Mar 24, 2024 11:25
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (muqawama) ya Palestina, Hamas, imelaani vikali jamii ya kimataifa kwa "ukimya wake wa aibu" juu ya uvamizi wa jeshi la utawala wa Israel dhidi ya hospitali ya al-Shifa ya Gaza ambako maelfu ya Wapalestina waliokimbia makwao wanapata hifadhi.