May 08, 2023 06:25
Mmoja wa viongozi wa kisiasa wa harakati za mrengo wa kushoto nchini Morocco ametangaza kuwa, kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel ni khiyana na usalitii mkubwa kwa sasa na kwa baadaye kwa Morocco na taifa lolote lile la Kiarabu.