Apr 23, 2022 02:49
Baada ya serikali ya kifalme ya Morocco kufanya usaliti dhidi ya kadhia ya Palestina ambayo ndiyo muhimu zaidi kwa Umma wa Kiislamu, na baada ya Rabbat kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala pandikizi wa Kizayuni, hivi sasa nchi hiyo inajifanya kuguswa na jinai za Israel.