Mar 14, 2023 07:53
Msumbiji na Malawi zinatathmini maafa ya Kimbunga kwa jina la Freddy, ambacho kimelikumba eneo la Kusini mwa Afrika kwa mara ya pili katika kipindi cha mwezi mmoja sasa na kusababisha uharibifu mkubwa na kuua watu wasiopungua 100 huko Malawi.