-
Spika wa Bunge la Iran: Wito wa Kiongozi wa "Umoja wa Kitaifa" ni muhimu kwa ushindi
Jul 19, 2026 12:51Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amesisitiza kuwa kuzingatia maaagizo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuhusu kudumisha umoja wa kitaifa ni muhimu kwa ajili ya ushindi katika mapambano dhidi ya adui.
-
Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz
Jul 19, 2026 12:47Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz
-
Raia 114 wauawa mashariki mwa Kongo mwezi Juni
Jul 19, 2026 12:44Waasi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi uliopita waliwauwa watu wasiopungua 114 kuwatekanyara wengine 17. Haya yameelezwa Shirika la Ufuatiliaji Usalama la Kivu Security Tracker.
-
Tunisia inakabiliwa na joto kali huku viwango vya joto vikikaribia nyuzi joto 50
Jul 19, 2026 12:40Wimbi kali la joto lisilo la kawaida limeikumba Tunisia, na kusababisha viwango vya joto kupanda hadi karibu nyuzi joto 50 Selsiasi na kuvunja rekodi za kihistoria katika maeneo kadhaa nchini humo.
-
Ayatullah Khamenei awapongeza Wairaqi kwa mahudhurio makubwa katika mazishi ya Kiongozi shahidi
Jul 19, 2026 09:29Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amewashukuru watu wa Iraq kwa mapokezi "makubwa" na mahudhurio yao ya kustaajabisha katika mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, akisema tukio hilo linaonyesha uhusiano mkubwa wa kidini na kihistoria kati ya mataifa ya Iran na Iraq.
-
1 day ago -
Mzunguko hatari wa vitisho vya Trump dhidi ya Iran
3 days ago -
Kwa nini Marekani imeelekeza mashambulizi yake kusini mwa Iran?
3 days ago -
Ni Argentina dhidi ya Uhispania, Waingereza wapigwa mweleka
3 days ago -
Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?
4 days ago -
Kwa nini Makubaliano ya Islamabad yamekumbwa na mgogoro?
5 days ago -
Lango-Bahari la Hormuz na Ndoto za White House
6 days ago
-
Op. Nasr-2: IRGC yaharibu rada ya kijeshi ya Marekani huko Kuwait katika shambulio la kulipiza kisasi
-
Kamanda wa IRGC aapa kuendeleza mashambulizi 'yenye ufanisi' zaidi hadi utulivu utakaporejea nchini Iran
-
Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan
-
Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?
-
Mossad, Epstein na operesheni za siri: Vance aishambulia Israel na kusema umaarufu wake umeporomoka
-
Tucker Carlson: Marekani inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma
-
Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'
-
Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia inahudumia miradi ya Wamarekani-Wazayuni
-
Mateka wa zamani Muisraeli huko Gaza: Ninapata amani ninaposikiliza Qur'ani
-
Israel yafanya mauaji makubwa huko Nuseirat, janga la binadamu linazidi kuwa baya Gaza
Mzunguko hatari wa vitisho vya Trump dhidi ya Iran
Baada ya kushindwa kikamilifu mbinu zake zote za vikwazo, vitisho vya kijeshi na mashinikizo ya kisiasa, vitisho vipya vya Trump dhidi ya Iran vinaashiria wazi kushindwa kwake kimkakati, kabla ya kuwa ni dhihirisho la nguvu za Marekani.
Kwa nini Marekani imeelekeza mashambulizi yake kusini mwa Iran?
Hatua ya majeshi ya Iran ya kudhihirisha nguvu moja kupitia operesheni madhubuti kama vile kufunga Lango Bahari la Hormuz, inatoa ujumbe kwa adui kwamba hakuna migawanyiko yoyote iliyopo jeshini katika uwanja wa vita na kwamba uwezo wote wa taifa umejikita katika lengo moja la kulinda maslahi ya taifa kwa gharama yoyote ile, dhidi ya adui Mmarekani na Mzayuni.
Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?
Mgogoro unaoendelea wa Marekani na Iran umefichua kwa uwazi zaidi kuliko huko nyuma, mipasuko ya kisiasa iliyopo huko Washington. Huku utawala wa Donald Trump ukisisitiza kuendeleza operesheni za kijeshi, upinzani unaongezeka bungeni, miongoni mwa umma kwa ujumla, na hata miongoni mwa baadhi ya Warepublican.
Lango-Bahari la Hormuz na Ndoto za White House
Kufuatia mashambulizi ya mara kwa mara ya Marekani katika maji na maeneo ya kusini mwa Iran, Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetoa taarifa kikitangaza kujibu vikali vitendo vya uchokozi vya jeshi la Marekani.
-
Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?
1 day ago -
Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?
-
Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia
-
Je, siasa zinapoingizwa michezoni, FIFA bado huwa ndiyo inayochukua maamuzi?
-
Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?
-
Lengo la Marekani kutokana na siasa zake zenye mgongano katika eneo la Asia-Pasifiki
-
Je, ni vipi Ulaya imekuwa mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni?
-
Kwa nini makubaliano yoyote na Iran ni fedheha kwa Trump?
-
Sababu za kuongezeka mgawanyiko barani Ulaya kuhusu utawala wa Kizayuni
-
Sababu ya kujiuzulu Mkurugenzi wa Intelijensia ya Kitaifa wa Marekani
-
Mzunguko hatari wa vitisho vya Trump dhidi ya Iran
3 days ago -
Kwa nini Marekani imeelekeza mashambulizi yake kusini mwa Iran?
-
Kwa nini Makubaliano ya Islamabad yamekumbwa na mgogoro?
-
Lango-Bahari la Hormuz na Ndoto za White House
-
Mazishi makubwa zaidi ya kukumbukwa katika historia
-
Iran yapeleka malalamiko ya kushambuliwa vituo vyake vya anga za mbali katika Umoja wa Mataifa
-
Ni mabadiliko gani ya kisiasa na kiusalama yanayofuatiliwa na Marekani kwa kuendelea kukiuka makubaliano ya kusitisha vita?
-
Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi: Ujumbe na Umuhimu Wake
-
Simulizi ya Kimataifa kuhusu Nguvu ya Iran: Mazishi ya Kiongozi Shahidi Yatawala Vichwa vya Habari vya Kimataifa
-
Tehran katika Maombolezo na Hamasa: Msafara wa Mazishi wa Mamilioni ya Watu kwa ajili ya Kiongozi Shujaa, Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu
-
Matamshi ya Waziri wa Vita wa Israel kuhusu Lebanon yana taathira gani?
8 days ago -
Namna Watoto Wachanga wa Kipalestina Walivyogeuzwa Kuwa Walengwa wa Jinai za Kivita
-
Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?
-
Kwa nini Hizbullah inapinga makubaliano ya serikali ya Lebanon na Israel?
-
Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?
-
Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?
-
Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?
-
Utawala wa Kizayuni wakiri kuuawa na kujeruhiwa wanajeshi wake 22 katika mapigano ya kusini mwa Lebanon
-
Kwa nini watawala wa Marekani wanajaribu kujitenga na chokochoko za Netanyahu?
-
Utawala wa Bahrain unafuatilia malengo gani katika kuwatia mbaroni viongozi wa kidini?
Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb
Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.
Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?
Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.
Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano
Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.
-
George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia
5 months ago -
Kanali Msaudia: Imarati inafanya njama za kuigawa vipande vipande Saudi Arabia + Video
7 months ago -
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
7 months ago -
Shujaa Muislamu aliyejitolea kupambana na gaidi kuwaokoa Mayahudi Australia + VIDEO
7 months ago