-
Shirika la Umoja wa Mataifa: Kuna Ushahidi wa matumizi ya kimfumo ya ubakaji nchini Sudan
Nov 12, 2025 07:39Shirika la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Wanawake limeonya kwamba kuna "ushahidi unaoongezeka kwamba ubakaji unatumika kwa makusudi na kwa utaratibu maalumu" nchini Sudan, huku njaa na ukosefu wa usalama wa chakula vikiendelea kutesa watu nchini humo.
-
Larijani: Hakuna ujumbe mpya uliotumwa Marekani
Nov 12, 2025 07:38Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amepuuzilia mbali ripoti kwamba kumekuwepo mawasiliano mapya kati ya Tehran na Washington na kusisitiza kuwa hakuna ujumbe mpya uliowasilishwa kwa Marekani.
-
Mfuasi wa zamani wa Mchungaji Mackenzie: Nilitoa tahadhari kuhusu mauaji ya Shakahola, sikusikilizwa
Nov 12, 2025 07:33Aliyekuwa mfuasi wa Mchungaji Paul Mackenzie, kiongozi wa Kanisa la Good News International (GNI) amefichua jinsi alivyotoa onya kuhusu mauaji ya Shakahola lakini hakusiikilizwa na vyombo husika.
-
Hamas: Kumbukumbu ya kuuawa Arafat ni kielelezo cha mwendelezo wa uhalifu wa Israel
Nov 12, 2025 06:02Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba maadhimisho ya kumbukumbu ya siku ya kuuawa Rais wa zamani wa Palestina, Yasser Arafat, yanatukumbusha kwamba "uhalifu wa kuzingirwa uliomlenga Arafat bado unaendelea dhidi ya watu wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa Gaza."
-
Hizbullah yasema silaha ni muhimu kwa ulinzi wa Lebanon, haitasalimu amri kwa Marekani au Israel
Nov 12, 2025 05:24Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwamba wito wa Marekani na Israel wa kupokonya silaha kundi hilo la mapambano na muqawama unakusudiwa kuidhoofisha Lebanon na kuiacha ikikabiliwa na uvamizi wa kigeni.
-
7 minutes ago -
Marekani na Uingereza; madai ya uongo kuhusu haki za binadamu
6 hours ago -
Kwa nini Iran inaunga mkono mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Sudan?
22 hours ago -
Kwa nini vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran vimefeli?
1 day ago -
Hatari ya ushawishi wa Israel barani Afrika; Tishio lililofichika kwa uhuru wa bara Afrika
2 days ago -
Kwa nini China inakosoa hatua za Marekani huko Yemen?
2 days ago -
Kususia Trump mkutano wa G20; sera za mashinikizo au mshikamano na Israel?
3 days ago
-
Brigedia Jenerali Belali: Nguvu ya makombora ya Iran imeanza na mizinga
-
Kwa nini vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran vimefeli?
-
IRGC yavunja mtandao wa udukuzi unaohusishwa na Mossad
-
Larijani: Nchi za Magharibi hazistahili kutoa maoni kuhusu uwezo wa makombora ya Iran
-
Trump awakatia msaada ya chakula watu maskini nchini Marekani
-
Araqchi: Magharibi haina chaguo ila kuitambua Iran kama 'kitovu cha sayansi ya nyuklia'
-
Gavana wa Darfur: Al Burhan aamuru vikosi kusonga mbele kuelekea magharibi
-
Iran kuzindua satelaiti 3 mwanzoni mwa msimu wa baridi
-
Hatari ya ushawishi wa Israel barani Afrika; Tishio lililofichika kwa uhuru wa bara Afrika
-
AU yatoa wito wa kuchukuliwa hatua za kimataifa kushughulikia mgogoro wa Mali
Ni yepi matokeo ya kujiuzulu waziri wa mikakati wa utawala wa Kizayuni?
Waziri wa masuala ya mikakati wa utawala wa Kizayuni na ambaye ni mtu wa karibu na waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, amejiuzulu. Ron Dermer, ametangaza kujiuzulu kwa kumtumia barua rasmi Netanyahu.
Marekani na Uingereza; madai ya uongo kuhusu haki za binadamu
Ripoti kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Marekani na Uingereza zimechapishwa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran.
Kwa nini Iran inaunga mkono mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Sudan?
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza uungaji mkono wa Tehran kwa haki ya mamlaka ya kujitawala Sudan.
Kwa nini vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran vimefeli?
Shirika la Kimataifa la Ufuatiliaji wa Meli za Mafuta, katika ripoti yake mpya, limesema kuwa mauzo ya nje ya mafuta ghafi ya Iran yamefikia kiwango cha juu zaidi katika kipindi cha miaka saba iliyopita.
-
Marekani na Uingereza; madai ya uongo kuhusu haki za binadamu
6 hours ago -
Kwa nini China inakosoa hatua za Marekani huko Yemen?
-
Kususia Trump mkutano wa G20; sera za mashinikizo au mshikamano na Israel?
-
Zawadi ya dola trilioni moja kwa Musk mkabala wa njaa inayowakabili Wamarekani milioni 42; Uadilifu au mkanganyiko?
-
Kwa nini New Delhi imekhitari sera ya kuwa karibu zaidi na Tel Aviv?
-
Kuna taathira gani za kufukuzwa Mwanamfalme Andrew katika mfumo wa ufalme wa Uingereza?
-
Kwa nini UN inayataja mashambulizi ya Marekani katika Bahari ya Karibi kuwa ni kinyume na sheria za kimataifa?
-
Jinsi himaya isiyo na masharti ya Ujerumani kwa Israel inavyoakisi unafiki wa vigezo vya Magharibi vya haki za binadamu
-
Kwa nini Iran inataka kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya Cuba bila masharti yoyote?
-
Madai yasiyo na msingi ya Trump ya eti ushindi wa Marekani katika vita vyote; ni kujisahaulisha matukio ya Afghanistan na Iraq?
-
Kwa nini Iran inaunga mkono mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Sudan?
22 hours ago -
Kwa nini vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran vimefeli?
-
Ni nini takwa la Tehran baada ya Trump kukiri kuhusika Marekani katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran?
-
Je, dunia inapaswa kuwa na wasiwasi juu ya uamuzi wa nyuklia aliotangaza Trump? Nini mtazamo wa Iran?
-
Tarehe 13 Aban; dhihiriisho la mshikamano wa kitaifa kwa ajili ya kukabiliana na sera za uingiliaji kati za Marekani nchini Iran
-
Kwa nini Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasisitiza kulinda mafanikio ya sekta ya nyuklia?
-
Mkutano wa ECO mjini Tehran; Ishara ya Utulivu, Uaminifu na Fursa Mpya za Uchumi
-
Upeo mpya katika mahusiano ya kibiashara wa Iran na Pakistan; biashara ya kubadilishana, hatua mpya ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi
-
Kwa nini Afrika ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa Iran?
-
Kumalizika muda wa Azimio 2231 la Baraza la Usalama; Iran yasisitiza kuondolewa vikwazo, yaungwa mkono na nchi 121
-
Ni yepi matokeo ya kujiuzulu waziri wa mikakati wa utawala wa Kizayuni?
7 minutes ago -
Je, Gaza itaweza kuepuka mzunguko wa kudumu wa mgogoro bila kufanyika ukarabati wa kimuundo?
-
Ripoti ya kushtusha ya Umoja wa Mataifa; mauaji ya kimbari ya Wapalestina Ghaza yangali yanaendelea
-
Kwa nini kilio cha machungu ya Wapalestina hakisikiwi na walimwengu?
-
Umuhimu wa kusimama kidete Muqawama wa Lebanon katika kukabiliana na njama za Marekani na Israel
-
Malengo ya mashambulizi ya Marekani na Israel nchini Lebanon
-
Kwa nini UNRWA huko Gaza inalengwa kwa mashinikizo ya kisiasa?
-
Usitishaji vita wa kulegalega; kwa nini hatuwezi kuwa na matumaini kuhusu mustakabali wa amani Gaza?
-
Ni mambo gani yameifanya Israel itengwe kisiasa na kijamii kiasi hiki?
-
Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?
Hatari ya ushawishi wa Israel barani Afrika; Tishio lililofichika kwa uhuru wa bara Afrika
Katika juhudi zake za kuitoa Israel kwenye hali ya kutengwa, Isaac Herzog, rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel, anatarajiwa kuelekea barani Afrika.
Wasichotaka mkijue; Sudan, nchi ya dhahabu iliyonaswa na wafanyanjama wa kimataifa
Sudan, ambayo kwa sasa imetumbukia katika kinamasi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe, ni nchi yenye nguvu na uwezo mwingi.
Mapitio ya jinai za Magharibi; jinai za Marekani nchini Somalia
Marekani imefanya mashambulizi ya anga na operesheni za kijeshi nchini Somalia, na kusababisha vifo vingi vya raia, na akthari ya hatua hizo zimekuwa zikikosolewa na makundi ya kutetea haki za binadamu. Idadi halisi ya vifo inaweza kuwa kubwa zaidi kuliko ile iliyotangazwa na Pentagon.
Maandamano ya Tunisia na Morocco; dhihirisho la kuunga mkono Wapalestina barani Afrika
Wimbi jipya la uungaji mkono kwa Wapalestina barani Afrika limekwenda sambamba na kulaani vitendo vya kijinai vya utawala haramu wa Israel.
-
Waandamanaji wa Afrika Kusini wataka Israel iwaachilie wanaharakati wa msafara wa Gaza
1 month ago -
Jeshi la Majini la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza
4 months ago -
Familia ya Kipalestina yalazimika kula majani ya mti kutokana na kukosa chakula
4 months ago -
Satelaiti ya Iran, Nahid-2, yarushwa katika anga za mbali kwa mafanikio
4 months ago