-
Maandamano dhidi ya kituo cha kupambana na Ebola cha Marekani huko Kenya yageuka kuwa vurugu
Jun 09, 2026 13:42Polisi wa Kenya wametumia gesi ya kutoa machozi dhidi ya raia waliokuwa wakiandamana huko Nanyuki leo Jumanne kupinga kuanzishwa kituo cha karantini cha Marekani ndani ya kambi ya kijeshi ili kuwapokea raia wa Marekani wanaoshukiwa kuwa na Ebola.
-
Spika Qalibaf: Iran itatumia vita na diplomasia kutetea haki za watu wake
Jun 09, 2026 12:21Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf anasema mkakati wa nchi wa kukomesha uchokozi wa Marekani na Israel ni kutumia vita na diplomasia kwa wakati mmoja ili kutetea haki za taifa la Iran.
-
Guterres: Wafanyakazi 80 wa Umoja wa Mataifa waliuawa mwaka jana huko Gaza
Jun 09, 2026 11:46Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ametangaza kwamba wafanyakazi 136 wa shirika hilo la kimataifa waliuawa wakitekeleza majukumu yao katika mwaka uliopita, wakiwemo wafanyakazi 80 waliokuwa wakifanya kazi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Gazeti la Kizayuni: Iran ilikuwa na kauli ya mwisho katika vita vya sasa
Jun 09, 2026 11:18Gazeti la Kiebrania huko Israel limekiri kwamba nguvu ya Iran imethibitishwa katika majibu yake ya hivi karibuni ya makombora dhidi ya utawala wa Israel.
-
ICC yamsimamisha Kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu kwa tuhuma za utovu wa nidhamu wa kingono
Jun 09, 2026 09:48Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemsimamisha kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu, Karim Khan, kwa madai ya utovu wa nidhamu wa kingono na msaidizi wake.
-
6 hours ago -
Bab al-Mandab, mstari mpya wa kuzuia hujuma na kuimarisha uwiano wa "Umoja wa Medani"
1 day ago -
Jibu kali la makombora la Iran kwa ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za Israel nchini Lebanon
1 day ago -
Kwa nini washirika wa Washington sasa wana wasiwasi kuhusu uwepo wa kambi za Marekani katika ardhi zao?
2 days ago -
Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?
3 days ago -
Utawala wa Bahrain unafuatilia malengo gani katika kuwatia mbaroni viongozi wa kidini?
4 days ago -
Je, Israel inafuatilia malengo gani katika kuzidisha vita nchini Lebanon?
6 days ago
-
Iran yashambulia maeneo yanayokaliwa kwa mabavu, yatahadharisha kuhusu vipigo vikali zaidi' iwapo mashambulizi dhidi ya Lebanon yataendelea
-
Jeshi la Iran lashambulia kambi za kimkakati za anga za jeshi la anga la Israel kujibu uchokozi
-
Yemen yatangaza marufuku ya meli za Israel katika Bahari ya Sham
-
Gazeti la Kizayuni: Iran ilikuwa na kauli ya mwisho katika vita vya sasa
-
Jibu kali la makombora la Iran kwa ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za Israel nchini Lebanon
-
Araghchi afanya mazungumzo ya kidiplomasia kuhusu uchokozi wa Israel
-
Lavrov: Guterres anashirikiana na Magharibi, Washington haina nia ya kurudi kwenye makubaliano ya Anchorage
-
Bab al-Mandab, mstari mpya wa kuzuia hujuma na kuimarisha uwiano wa "Umoja wa Medani"
-
Maprofesa 12 wa Chuo Kikuu cha Amirkabir watajwa miongoni mwa 1% ya watafiti watajika sana duniani
-
Kulazimisha Timu ya Taifa ya Iran kuingia na kutoka Marekani siku ya mechi si haki na ni janga
Bab al-Mandab, mstari mpya wa kuzuia hujuma na kuimarisha uwiano wa "Umoja wa Medani"
Msemaji wa Jeshi la Yemen ametangaza kwamba kuanzia sasa jeshi hilo limeanza kutekeleza amri ya kupiga marufuku kikamilifu meli zote za utawala haramu wa Israel kupita katika maji ya Bahari ya Shamu au kwa Kiingereza Red Sea na kwamba kuanzia wakati wa kutangazwa marufuku hiyo na kuendelea urambazaji wa baharini wa Israel katika Bahari Nyekundu utakuwa shabaha halali ya jeshi la wanajeshi wa Yemen.
Jibu kali la makombora la Iran kwa ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za Israel nchini Lebanon
Iikiwa ni katika kunufaika na haki yake ya kujilinda na kujibu ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za kinyama zinazofanywa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya watu wa Lebanon, vikosi vya jeshi la Iran Jumapili usiku vilitoa jibu kali la makombora katika maeneo ya utawala huo katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu. Maeneo yaliyolengwa katika shambulio hilo kubwa la makombora kimsingi ni ya kijeshi na kistratijia ya utawala wa Israel.
Kwa nini washirika wa Washington sasa wana wasiwasi kuhusu uwepo wa kambi za Marekani katika ardhi zao?
Kwa mujibu wa jarida la Foreign Affairs la nchini Marekani, vita na Iran vinaweza kutoa changamoto kubwa kwa jeshi la Marekani na hasa kuhusu hatari ya kushambuliwa kambi zake za kijeshi katika siku zijazo.
Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?
Ufaransa na nchi nyingine nne za Ulaya, katika mkesha wa mkutano wa kimkakati wa Kamisheni ya Ulaya kuhusu China, zilitoa wito wa kuundwa vyombo vipya vya kutetea biashara ili kulinda viwanda vya Ulaya na kukabiliana na ushindani kutoka kwa makampuni yanayoungwa mkono na serikali ya Beijing.
-
Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?
3 days ago -
Lengo la Marekani kutokana na siasa zake zenye mgongano katika eneo la Asia-Pasifiki
-
Je, ni vipi Ulaya imekuwa mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni?
-
Kwa nini makubaliano yoyote na Iran ni fedheha kwa Trump?
-
Sababu za kuongezeka mgawanyiko barani Ulaya kuhusu utawala wa Kizayuni
-
Sababu ya kujiuzulu Mkurugenzi wa Intelijensia ya Kitaifa wa Marekani
-
Viwango vya Undumakuwili wa Ulaya; Kwa Nini Jinai za Israel Zinanyamaziwa Kimya?
-
Ujumbe wa safari ya Rais Putin nchini China kwa ulimwengu
-
Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma?
-
Mwanzo wa mpasuko wa kimkakati kati ya pande mbili za Atlantiki
-
Ni ujumbe gani umetolewa na vita vipya na vya muda mfupi kati ya Iran na Israel?
6 hours ago -
Bab al-Mandab, mstari mpya wa kuzuia hujuma na kuimarisha uwiano wa "Umoja wa Medani"
-
Jibu kali la makombora la Iran kwa ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za Israel nchini Lebanon
-
Kwa nini washirika wa Washington sasa wana wasiwasi kuhusu uwepo wa kambi za Marekani katika ardhi zao?
-
Hormuz, vita na ukweli ambao Washington haikuwa na budi ila kuukubali
-
Kwa nini Trump anatapatapa kati ya vitisho na makubaliano?
-
Kuanzia "Kujisalimisha Bila Masharti" hadi Kukubali Nguvu ya Iran; Kurudi Nyuma kwa Trump Chini ya Mashinikizo ya Ukweli wa Mambo
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu- Siku ya Arafa
-
Kulegeza kamba mara kwa mara Trump, ishara ya kuemewa mbele ya Iran
-
Kumalizika enzi za kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu za madola ya Magharibi
-
Utawala wa Bahrain unafuatilia malengo gani katika kuwatia mbaroni viongozi wa kidini?
4 days ago -
Je, Israel inafuatilia malengo gani katika kuzidisha vita nchini Lebanon?
-
Kwa nini utawala wa Kizayuni unasisitiza kuendeleza vita huko Lebanon?
-
Kwa nini Trump anataka Pakistan iwe na uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel?
-
Nabih Berri: Kwa pamoja tutaikomboa na kuijenga upya Lebanon
-
Israel ilianzisha vipi vituo vya kijeshi nchini Iraq na madhara yake ni yapi?
-
Kwa nini UAE imekuwa na wasiwasi kuhusu kufichuliwa safari ya Netanyahu huko Abu Dhabi?
-
Sababu Gani Zinaifanya UAE Ishupalie Vita Dhidi ya Iran?
-
Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel
-
Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia
Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb
Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.
Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?
Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.
Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano
Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.
-
George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia
3 months ago -
Kanali Msaudia: Imarati inafanya njama za kuigawa vipande vipande Saudi Arabia + Video
5 months ago -
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
5 months ago -
Shujaa Muislamu aliyejitolea kupambana na gaidi kuwaokoa Mayahudi Australia + VIDEO
6 months ago