Kwa nini EU imejikita katika kuwafukuza wakimbizi badala ya kutatua mgogoro wa uhamiaji?

Kwa nini EU imejikita katika kuwafukuza wakimbizi badala ya kutatua mgogoro wa uhamiaji?

Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zimeidhinisha rasimu ya "Kanuni ya kuanzisha mfumo wa pamoja wa kuwarejesha raia wa nchi ya tatu wasio na vibali halali vya ukaazi.

Upinzani mkubwa wa UN dhidi ya kubadilishwa mipaka ya Gaza

Upinzani mkubwa wa UN dhidi ya kubadilishwa mipaka ya Gaza

Umoja wa Mataifa umetangaza upinzani wake mkubwa dhidi ya kufanyika mabadiliko ya aina yoyote ya mipaka ya Gaza na utawala wa Israel.

Mashtaka ya ICC dhidi ya Trump: Jinamizi kwa Ikulu ya White House?

Mashtaka ya ICC dhidi ya Trump: Jinamizi kwa Ikulu ya White House?

Ikulu ya Rais wa Marekani, White House, ina wasiwasi kuhusu uwezekano wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa kibali cha mashtaka dhidi ya Donald Trump.

Mtazamo wa Iran kuhusu vitendo vya Marekani dhidi ya Venezuela: Uzushi hatari unaotishia amani na usalama wa dunia

Mtazamo wa Iran kuhusu vitendo vya Marekani dhidi ya Venezuela: Uzushi hatari unaotishia amani na usalama wa dunia

Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amevitaja vitendo vya Marekani dhidi ya Venezuela kuwa ni uzushi hatari unaotishia amani na usalama wa dunia.

Nigeria imewezaje kusambaratisha mahesabu ya mapinduzi nchini Benin?

Nigeria imewezaje kusambaratisha mahesabu ya mapinduzi nchini Benin?

Uingiliaji wa haraka wa Nigeria kwa ombi la serikali ya Benin, ulifelisha jaribio la mapinduzi na kuzuia kuenea kwa ukosefu wa utulivu katika Afrika Magharibi.

Je, kujitawala kiuchumi Niger kutakuwa pigo la mwisho kwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

Je, kujitawala kiuchumi Niger kutakuwa pigo la mwisho kwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

Niger imeanza kuuza urani yake katika soko la kimataifa baada ya kukata mkono wa Ufaransa katika sekta ya madini hayo nchini humo.

Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

Bara la Afrika, kwa miaka kadhaa sasa, limekuwa likitafuta kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Mamluki wa kigeni wana jukumu gani katika kuchochea vita nchini Sudan?

Mamluki wa kigeni wana jukumu gani katika kuchochea vita nchini Sudan?

Kamati ya Uchunguzi wa Haki za Binadamu imetangaza kuhusu ushirikiano uliopo kati ya mamluki wa kigeni na Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan RSF katika vita vya ndani nchini humo.