-
Mkuu wa IRGC: Iran imelipigisha magoti jeshi lenye silaha nyingi zaidi duniani
Aug 15, 2026 11:00Mkuu wa Jeshi la Walinzi mwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema kuwa, Iran imefanikiwa “kulipigisha magoti jeshi lenye silaha nyingi zaidi katika historia ya dunia”, kupitia operesheni za mashambulizi na ulinzi zilizotekelezwa kwa mafanikio licha ya mashambulizi makali ya adui.
-
Araghchi: Bado Hatujachukua uamuzi wowote wa kuanzisha upya mazungumzo na Marekani
Aug 15, 2026 10:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, Tehran bado haijachukua uamuzi wowote wa kuanza tena mazungumzo na upande wa Marekani.
-
Iran yaitaka Ufaransa kutoa maelezo kuhusu mienendo “haramu” ya wanadiplomasia wake
Aug 15, 2026 10:57Wizara ya Usalama wa Taifa ya Iran imeionya Ufaransa dhidi ya kuingilia mambo ya ndani ya taifa hili, ikisema kuwa Paris inapaswa kutoa maelezo kuhusu mienendo na shughuli haramu za wanadiplomasia wake.
-
Kiongozi wa Hizbullah: Muqawama hautasalimu amri wala kurudi nyuma katika kulinda mamlaka ya Lebanon
Aug 15, 2026 10:56Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbollah amesema kuwa, Muqawama hautakubali kusalimu amri wala kurudi nyuma katika kulinda mamlaka, heshima na umoja wa ardhi ya Lebanon, akiongeza kuwa Israel na Marekani zimekuwa zikiilazimisha Beirut kutekeleza matakwa yao na kudhoofisha mamlaka ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Umoja wa Mataifa: Wakimbizi 650,000 Sudan Kusini hatarini kukosa chakula
Aug 15, 2026 10:54Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa zaidi ya wakimbizi 650,000 Sudan Kusini wako hatarini kukosa chakula katka wiki chache zijazo.
-
3 hours ago -
Matokeo ya Kuendelea Vita: Marekani Iliyodhoofika na Iran Iliyoimarika
11 hours ago -
Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Ali bin Mussa al Ridha (AS)
2 days ago -
Mwezi 28 Safar, Siku aliyotawafu Bwana Mtume Muhammad SAW
3 days ago -
Sababu na Umuhimu wa Makubaliano ya Makka
3 days ago -
Kwa nini Marekani imeshindwa na Iran
4 days ago -
Alipoaga Dunia
4 days ago
-
Iran yaonyesha mabaki ya ndege za kivita za Marekani na Israel ilizozitungua +Video
-
Ayatullah Khatami: Uwezo wa makombora wa Iran umeidhalilisha Marekani
-
Jerusalem Post: Israel imeshtushwa na kasi ya Iran ya kujiimarisha upya kijeshi
-
Iran: Hakuna chombo kinachoweza kupita salama Hormuz bila idhini
-
Tehran: Taarifa ya Ufaransa na washirika wake wa Magharibi dhidi ya Iran ni propaganda za kinafiki za kupotosha ukweli
-
Mkuu wa IRGC: Iran imelipigisha magoti jeshi lenye silaha nyingi zaidi duniani
-
Iran: Miinuko ya Golan ni sehemu isiyotenganishwa na ardhi ya Syria
-
Abdul-Malik al-Houth: Kukaririwa vitendo vya kuivunjia heshima Qur’ani kumefichua zaidi uadui wa Wazayuni
-
Matokeo ya Kuendelea Vita: Marekani Iliyodhoofika na Iran Iliyoimarika
-
Misri na Imarati zasisitiza kupunguzwa mvutano na kurejeshwa njia ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani
Matokeo ya Kuendelea Vita: Marekani Iliyodhoofika na Iran Iliyoimarika
Seneta mmoja wa Marekani amekiri kuwa kuendelea vita kati ya Marekani na Iran kutapelekea Marekani kudhoofika na Iran kuimarika zaidi.
Kwa nini ni lazima Marekani iondoke Asia Magharibi?
Uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, ambao kwa miaka mingi umehalalishwa kwa kisingizio cha kudhamini usalama, sasa umekuwa kichocheo cha migogoro, sababu ya kuongezeka gharama, na jambo linaloitumbukiza Washington katika vita vya kuchosha na vya muda mrefu, kuliko wakati mwingine wowote.
Mustakabali wa usalama wa eneo: Kwa nini nafasi muhimu ya nchi za kanda ni ya dharura?
Pembezoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kwa ajili ya kutetea Quds Tukufu (Jerusalem), uliofanyika mjini Amman, Jordan, Badr Abdelatty, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, alisisitiza umuhimu wa kuandaliwa dira ya pamoja ya Kiarabu kwa ajili ya mustakabali wa usalama wa eneo. Alisema kuwa nchi za eneo lazima ziwe katika mstari wa mbele wa kubuni mipango yoyote ya usalama katika siku zijazo.
Kwa nini ushawishi wa Kizayuni nchini Marekani hauna tena taathira kama zamani?
Ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa mchujo wa Chama cha Democratic jimboni Michigan umeashiria kushindwa wazi kwa mara ya kwanza kwa fikra inayosema kwamba pesa, ushawishi na kampeni hasi huamua matokeo ya kisiasa ya moja kwa moja nchini Marekani.
-
Kwa nini Nguvu ya Marekani Inaelekea Ukingoni?
14 days ago -
Wakati Trump Anapokiuka Hata Ahadi Alizotoa kwa Washirika wake wa Kikanda!
-
Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?
-
Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?
-
Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia
-
Je, siasa zinapoingizwa michezoni, FIFA bado huwa ndiyo inayochukua maamuzi?
-
Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?
-
Lengo la Marekani kutokana na siasa zake zenye mgongano katika eneo la Asia-Pasifiki
-
Je, ni vipi Ulaya imekuwa mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni?
-
Kwa nini makubaliano yoyote na Iran ni fedheha kwa Trump?
-
Matokeo ya Kuendelea Vita: Marekani Iliyodhoofika na Iran Iliyoimarika
11 hours ago -
Sababu na Umuhimu wa Makubaliano ya Makka
-
Kwa nini ushawishi wa Kizayuni nchini Marekani hauna tena taathira kama zamani?
-
Ufichuzi kuhusu kisingizio bandia kilichotumiwa na Trump kuishambulia Iran
-
Kwa nini Trump amekwama katika "fedheha ya kimkakati" katika vita dhidi ya Iran?
-
Tabia za Marekani Kudumisha Mvutano katika uhusiano wake na Iran
-
Mgawanyiko kati ya Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Kuhusu Vita vya Marekani dhidi ya Iran
-
Gharama Halisi ya Vita vya Marekani dhidi ya Iran: Mara Nne ya Makadirio ya Pentagon
-
Kwa nini Marekani ilisimamisha vita dhidi ya Iran baada ya wiki mbili?
-
Namna Nguvu Dhaniwa ya Ulaya Ilivyosambaratika?
-
Kwa nini ni lazima Marekani iondoke Asia Magharibi?
4 days ago -
Mustakabali wa usalama wa eneo: Kwa nini nafasi muhimu ya nchi za kanda ni ya dharura?
-
Malengo yanayofuatiliwa na Marekani katika kuzichochea nchi za Kiarabu zikabiliane na Iran
-
Kwa nini shambulio la Saudi Arabia na Marekani dhidi ya Hashd al-Shaabi ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala ya Iraq?
-
Malengo ya Julani katika kuanzisha uadui dhidi ya kundi la Hashd al-Shaabi la Iraq
-
Changamoto mpya kwa Wasaudia kufuatia mzingiro wa majini wa Yemen
-
Kwa nini Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni?
-
Hatua ya Yemen ya Kuiwekea Saudi Arabia Mzingiro wa Majini: Sababu na Matokeo
-
Matamshi ya Waziri wa Vita wa Israel kuhusu Lebanon yana taathira gani?
-
Namna Watoto Wachanga wa Kipalestina Walivyogeuzwa Kuwa Walengwa wa Jinai za Kivita
Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb
Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.
Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?
Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.
Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano
Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.
-
George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia
6 months ago -
Kanali Msaudia: Imarati inafanya njama za kuigawa vipande vipande Saudi Arabia + Video
8 months ago -
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
8 months ago -
Shujaa Muislamu aliyejitolea kupambana na gaidi kuwaokoa Mayahudi Australia + VIDEO
8 months ago