Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Iran na Algeria zasisitiza kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na kimataifa

    Iran na Algeria zasisitiza kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na kimataifa

    Aug 21, 2023 13:12

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran na mwenzake wa Algeria wamesisitiza udharura wa kustawishwa uhusiano wa kiuchumi, kieneo na kimataifa wa pande mbili.

  • Balozi wa Kenya nchini Iran atembelea viwanda vya uzalishaji Arak

    Balozi wa Kenya nchini Iran atembelea viwanda vya uzalishaji Arak

    Aug 21, 2023 11:09

    Balozi wa Kenya mjini Tehran ametembelea viwanda vya uzalishaji katika mji wa Arak, makao makuu ya mkoa wa Markazi, unaofahamika kama mji mkuu wa viwanda wa Iran.

  • Iran na Afrika Kusini katika mkondo wa kuhuisha kikamilifu mahusiano

    Iran na Afrika Kusini katika mkondo wa kuhuisha kikamilifu mahusiano

    Aug 11, 2023 11:04

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki hii aliekea Pretoria Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika Kusini na kukutana na viongozi mbalimbali wa taifa hilo.

  • Mehdi Safari: Iran inaweza kuimarisha uhusiano wake na BRICS licha ya vikwazo

    Mehdi Safari: Iran inaweza kuimarisha uhusiano wake na BRICS licha ya vikwazo

    Aug 08, 2023 15:11

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya uchumi amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu inaweza kuanzisha uhusiano na kundi la BRICS linaloundwa na nchi zinazoibukia kiuchumi, licha ya kukabiliwa na vikwazo haramu vya Marekani.

  • Afisa mwandamizi wa usalama wa Iran ahudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini

    Afisa mwandamizi wa usalama wa Iran ahudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini

    Jul 24, 2023 11:32

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Iran yuko nchini Afrika Kusini kushiriki mkutano wa ngazi ya juu wa usalama wa nchi kundi la BRICS.

  • Misri: Tuna hamu ya kuwa na uhusiano chanya na Iran

    Misri: Tuna hamu ya kuwa na uhusiano chanya na Iran

    Jul 20, 2023 03:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri ameitaja Iran kama nchi kubwa na yenye ushawishi katika eneo na kusisitiza kuwa, maingiliano baina ya nchi mbili hizi hayajawahi kuvunjika.

  • Mtaalamu: Iran imepata ushindi wa kidiplomasia barani Afrika wakati huu wa mzozo wa madola makubwa

    Mtaalamu: Iran imepata ushindi wa kidiplomasia barani Afrika wakati huu wa mzozo wa madola makubwa

    Jul 15, 2023 10:18

    Mtafiti wa masuala ya kisiasa Idris Ehmid amesema kuwa, Iran inataka kuendeleza uhusiano wake na kujenga zaidi madaraja ya ushirikiano na bara la Afrika na ushahidi wa wazi ni ziara ya Rais Ebrahim Raisi katika nchi tatu za Afrika.

  • Balozi wa Iran nchini Kenya: Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kupanua ushirikiano na nchi za Afrika

    Balozi wa Iran nchini Kenya: Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kupanua ushirikiano na nchi za Afrika

    Jul 14, 2023 08:02

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema kuwa utendaji wa Serikali ya Awamu ya 13 umekuwa na mafanikio katika kupanua ushirikiano na Kenya.

  • Raisi: Uporaji mali za Waafrika na kuwageuza watumwa ni matokeo ya siasa zisizojali masuala ya kiroho

    Raisi: Uporaji mali za Waafrika na kuwageuza watumwa ni matokeo ya siasa zisizojali masuala ya kiroho

    Jul 14, 2023 04:39

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika kikao cha dini mbalimbali kilichofanyika katika Msikiti wa Taifa wa Uganda kuwa: uporaji mali za Waafrika na kuwafanya watumwa ni matokeo ya siasa zisizojali masuala ya kiroho.

  • Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari ya Rais wa Iran barani Afrika

    Zimbabwe, kituo cha mwisho cha safari ya Rais wa Iran barani Afrika

    Jul 14, 2023 02:14

    Rais Ibrahim Rais wa Jamhuri ya Kiislamu jana Alkhamisi aliwasili Harare mji mkuu wa Zimbabwe ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo akiwemo mwenyeji wake, Rais Emerson Mnangagwa.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    12 minutes ago
  • Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

  • Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya: Utulivu umerejea Tripoli

  • Misri yafurahia kurejeshwa turathi nyingi zilizoibwa na Marekani

  • Witkoff: Amani haiwezi kupatikana Ukraine bila ridhaa ya Putin

Chaguo La Mhariri
  • Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    18 minutes ago
  • Kukandamizwa watetezi wa Palestina na kuporomoka maadili ya kibinadamu barani Ulaya

    Kukandamizwa watetezi wa Palestina na kuporomoka maadili ya kibinadamu barani Ulaya

    19 hours ago
  • Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    24 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

  • Wazayuni wahamaki baada ya Trump kukiri Wayemen ni mashujaa

  • Iran kujiunga na safu ya watengenezaji wa ndege za kibiashara duniani

  • "Israel imehusika katika mapigano baina ya India na Pakistan"

  • Jenerali wa zamani aonya: Israel imegeuka kutoka kuwa mali na kuwa mzigo kwa Marekani

  • Rais Trump wa Marekani awasili Saudia, alenga kutoka na kitita cha dola trilioni 1

  • Rais Traoré wa Burkina Faso aikosoa vikali kamandi ya kijeshi ya Marekani barani Afrika

  • Kundi la PKK lavunjwa katika juhudi za kufikia amani na Uturuki

  • Hamas yakubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli

  • Milio ya risasi yasikika Tripoli baada ya mauaji ya kiongozi wa wanamgambo

  • Hamas yailaani Israel kwa kumuua mwandishi mashuhuri wa habari Gaza

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS