<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>
<rss xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:itunes="http://www.itunes.com/dtds/podcast-1.0.dtd" xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" xmlns:ppg="http://bbc.co.uk/2009/01/ppgRss" version="2.0">
  <channel>
    <title>Kiambishi Awali cha Podcast Ufufuo Kiambishi Tamati cha Podcast</title>
    <link>https://parstoday.ir/sw/radio/program--ufufuo</link>
    <description></description>
    <itunes:summary></itunes:summary>
    <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
    <itunes:owner>
      <itunes:name>PARS TODAY</itunes:name>
      <itunes:email>kiswahili@parstoday.ir</itunes:email>
    </itunes:owner>
    <language>sw</language>

    <image>
      <url>https://media.parstoday.ir/image/4bhi6d1bd3edd912ul.jpg</url>
      <title>Kiambishi Awali cha Podcast Ufufuo Kiambishi Tamati cha Podcast</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/program--ufufuo</link>
    </image>
    <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bhi6d1bd3edd912ul.jpg" />
    <copyright>Hatimiliki ya Podcast 2016 - 2026</copyright>
    <lastBuildDate>Sun, 10 Jul 2016 02:06:36 GMT</lastBuildDate>
    <itunes:category text="Business"/>
    <itunes:explicit>no</itunes:explicit>
    <media:rating scheme="urn:simple">nonadult</media:rating>
    <atom:link href="https://parstoday.ir/sw/radio/podcast--ufufuo" rel="self" type="application/rss+xml" />
    
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (12)</title>
        <description>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Katika Makala iliyopita tulisema dunia ni utangulizi wa Akhera na wenzo wa kupata saada na ufanisi wa milele. Dunia ni sehemu ya kazi na amali na Akhera ni mahala pa kuchuma na matokeo ya kazi na amali. Vilevile tulisisitizia kuwa, kutadabari na kufikiria daima suala hilo la ufufuo huwa na taathira kubwa katika maisha ya kidunia ya mwanadamu. Hata hivyo hapana budi kuzingatia njia ya kati na kati na kutochupa mpaka katika suala hili.</description>
        <itunes:subtitle>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Katika Makala iliyopita tulisema dunia ni utangulizi wa Akhera na wenzo wa kupata saada na ufanisi wa milele. Dunia ni sehemu ya kazi na amali na Akhera ni mahala pa kuchuma na matokeo ya kazi na amali. Vilevile tulisisitizia kuwa, kutadabari na kufikiria daima suala hilo la ufufuo huwa na taathira kubwa katika maisha ya kidunia ya mwanadamu. Hata hivyo hapana budi kuzingatia njia ya kati na kati na kutochupa mpaka katika suala hili.</itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Katika Makala iliyopita tulisema dunia ni utangulizi wa Akhera na wenzo wa kupata saada na ufanisi wa milele. Dunia ni sehemu ya kazi na amali na Akhera ni mahala pa kuchuma na matokeo ya kazi na amali. Vilevile tulisisitizia kuwa, kutadabari na kufikiria daima suala hilo la ufufuo huwa na taathira kubwa katika maisha ya kidunia ya mwanadamu. Hata hivyo hapana budi kuzingatia njia ya kati na kati na kutochupa mpaka katika suala hili.</itunes:summary>
        <pubDate>Sun, 10 Jul 2016 02:06:36 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk734d7b69fa29zx1.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i10933-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(12)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk734d7b69fa29zx1.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk260d0de5d353hiy.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i10933-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(12)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Marejeo ya Wanadamu (11)</title>
        <description>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine na kipindi chetu cha leo. Katika kipindi kilichopita tulisema kwamba, dunia ni utangulizi wa harakati na safari ya mja kuelekea kwenye ulimwengu wa milele, usio na mwisho na wa kudumu. </description>
        <itunes:subtitle>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine na kipindi chetu cha leo. Katika kipindi kilichopita tulisema kwamba, dunia ni utangulizi wa harakati na safari ya mja kuelekea kwenye ulimwengu wa milele, usio na mwisho na wa kudumu. </itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine na kipindi chetu cha leo. Katika kipindi kilichopita tulisema kwamba, dunia ni utangulizi wa harakati na safari ya mja kuelekea kwenye ulimwengu wa milele, usio na mwisho na wa kudumu. </itunes:summary>
        <pubDate>Sun, 10 Jul 2016 02:01:55 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk73dd62b6a3e9zx7.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i10930-ufufuo_na_marejeo_ya_wanadamu_(11)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk73dd62b6a3e9zx7.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk402f6d65a335l4p.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i10930-ufufuo_na_marejeo_ya_wanadamu_(11)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kuelekea kwa Allah (10)</title>
        <description>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya Makala hii inayozungumzia hatima ya mwanadamu na safari yake ya kurejea kwa Mola Muumba. Katika Makala ya wiki iliyopita tulisema kuwa, dunia ni shamba la Akhera na kwamba matunda ya dunia yanachumwa huko katika ulimwengu mwingine. </description>
        <itunes:subtitle>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya Makala hii inayozungumzia hatima ya mwanadamu na safari yake ya kurejea kwa Mola Muumba. Katika Makala ya wiki iliyopita tulisema kuwa, dunia ni shamba la Akhera na kwamba matunda ya dunia yanachumwa huko katika ulimwengu mwingine. </itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya Makala hii inayozungumzia hatima ya mwanadamu na safari yake ya kurejea kwa Mola Muumba. Katika Makala ya wiki iliyopita tulisema kuwa, dunia ni shamba la Akhera na kwamba matunda ya dunia yanachumwa huko katika ulimwengu mwingine. </itunes:summary>
        <pubDate>Sun, 10 Jul 2016 01:59:41 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk72d8dd1399f9zus.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i10927-ufufuo_na_safari_ya_kuelekea_kwa_allah_(10)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk72d8dd1399f9zus.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk31fb8e73c215gy7.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i10927-ufufuo_na_safari_ya_kuelekea_kwa_allah_(10)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Marejeo ya Wanadamu kwa Allah (9)</title>
        <description>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni wakati mwingine umewadia wa kuwa nanyi wapenzi wasikilizaji katika dakika chache za kipindi hiki cha kila wiki. Katika kipindi kilichopita tulizungumzia maudhui ya kifo na mauti na maisha ya milele ya wanadamu. Tulisema kuwa, kupitia kifo na mauti, mwanadamu huhamia katika ulimwengu mwingine wa Akhera katika safari yake ya kufikia ukamilifu.</description>
        <itunes:subtitle>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni wakati mwingine umewadia wa kuwa nanyi wapenzi wasikilizaji katika dakika chache za kipindi hiki cha kila wiki. Katika kipindi kilichopita tulizungumzia maudhui ya kifo na mauti na maisha ya milele ya wanadamu. Tulisema kuwa, kupitia kifo na mauti, mwanadamu huhamia katika ulimwengu mwingine wa Akhera katika safari yake ya kufikia ukamilifu.</itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni wakati mwingine umewadia wa kuwa nanyi wapenzi wasikilizaji katika dakika chache za kipindi hiki cha kila wiki. Katika kipindi kilichopita tulizungumzia maudhui ya kifo na mauti na maisha ya milele ya wanadamu. Tulisema kuwa, kupitia kifo na mauti, mwanadamu huhamia katika ulimwengu mwingine wa Akhera katika safari yake ya kufikia ukamilifu.</itunes:summary>
        <pubDate>Sun, 10 Jul 2016 01:57:44 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk75ce3a0107d9ztm.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i10924-ufufuo_na_marejeo_ya_wanadamu_kwa_allah_(9)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk75ce3a0107d9ztm.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk6afb4fccab08eva.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i10924-ufufuo_na_marejeo_ya_wanadamu_kwa_allah_(9)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (8)</title>
        <description>Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nami tena katika sehemu nyingine ya kipindi hiki kinachozungumzia maadi na safari ya mja kurejea kwa Mola Muumba. Katika baadhi ya vipindi vilivyopita tulisema kuwa, itikadi ya kuwepo ulimwengu wa milele ni itikadi ya kifitra na kimaumbile. </description>
        <itunes:subtitle>Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nami tena katika sehemu nyingine ya kipindi hiki kinachozungumzia maadi na safari ya mja kurejea kwa Mola Muumba. Katika baadhi ya vipindi vilivyopita tulisema kuwa, itikadi ya kuwepo ulimwengu wa milele ni itikadi ya kifitra na kimaumbile. </itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nami tena katika sehemu nyingine ya kipindi hiki kinachozungumzia maadi na safari ya mja kurejea kwa Mola Muumba. Katika baadhi ya vipindi vilivyopita tulisema kuwa, itikadi ya kuwepo ulimwengu wa milele ni itikadi ya kifitra na kimaumbile. </itunes:summary>
        <pubDate>Tue, 07 Jun 2016 04:03:20 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk79122448be39zsd.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i8683-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(8)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk79122448be39zsd.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk62e890757d28evj.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i8683-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(8)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (7)</title>
        <description>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni wakati mwingine umewadia wa kuwa nanyi katika dakika chache za kipindi chetu cha leo cha ufufuo na safari ya mja kurejea kwa Mola Muumba. Katika vipindi kadhaa vilivyopita tulizungumzia suala la mauati na maisha ya milele ya mwanadamu na kusema kuwa, itikadi ya kuwepo ulimwengu wa Akhera ni itikadi ya kimaumbile iliyopo katika fitra ya mwanadamu. </description>
        <itunes:subtitle>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni wakati mwingine umewadia wa kuwa nanyi katika dakika chache za kipindi chetu cha leo cha ufufuo na safari ya mja kurejea kwa Mola Muumba. Katika vipindi kadhaa vilivyopita tulizungumzia suala la mauati na maisha ya milele ya mwanadamu na kusema kuwa, itikadi ya kuwepo ulimwengu wa Akhera ni itikadi ya kimaumbile iliyopo katika fitra ya mwanadamu. </itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni wakati mwingine umewadia wa kuwa nanyi katika dakika chache za kipindi chetu cha leo cha ufufuo na safari ya mja kurejea kwa Mola Muumba. Katika vipindi kadhaa vilivyopita tulizungumzia suala la mauati na maisha ya milele ya mwanadamu na kusema kuwa, itikadi ya kuwepo ulimwengu wa Akhera ni itikadi ya kimaumbile iliyopo katika fitra ya mwanadamu. </itunes:summary>
        <pubDate>Tue, 07 Jun 2016 04:01:09 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk7c757cff7d79zsg.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i8680-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(7)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk7c757cff7d79zsg.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk66e86dc616c8evp.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i8680-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(7)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (6)</title>
        <description>Assalamu Aalaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibu tena kuwa nasi katika makala ya Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Mola Muumba. Katika kipindi cha wiki iliyopita tulianza kuzungumzia hakika ya mauti na kifo na ajal au kifo ambacho wakati wake hauakhirishwi au kubadilika na kile ambacho yumkini wakati na ajal yake ikabadilika au ajal muallaq. Kipindi chetu leo kitakamilisha maudhui hiyo.</description>
        <itunes:subtitle>Assalamu Aalaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibu tena kuwa nasi katika makala ya Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Mola Muumba. Katika kipindi cha wiki iliyopita tulianza kuzungumzia hakika ya mauti na kifo na ajal au kifo ambacho wakati wake hauakhirishwi au kubadilika na kile ambacho yumkini wakati na ajal yake ikabadilika au ajal muallaq. Kipindi chetu leo kitakamilisha maudhui hiyo.</itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalamu Aalaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibu tena kuwa nasi katika makala ya Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Mola Muumba. Katika kipindi cha wiki iliyopita tulianza kuzungumzia hakika ya mauti na kifo na ajal au kifo ambacho wakati wake hauakhirishwi au kubadilika na kile ambacho yumkini wakati na ajal yake ikabadilika au ajal muallaq. Kipindi chetu leo kitakamilisha maudhui hiyo.</itunes:summary>
        <pubDate>Tue, 07 Jun 2016 03:54:46 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk7a9865b0a6a9zsm.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i8677-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(6)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk7a9865b0a6a9zsm.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk6cab9c8e0ef8evs.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i8677-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(6)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (5)</title>
        <description>Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi ni wakati mwingine tena wa kuwa nanyi katika kipindi hiki cha ufufuo na safari ya kurejea kwa Allah. Ni matarajio yetu mtaendelea kuwa nasi hadi mwisho wa kipindi hiki ambapo leo hii kitazungumzia hakika ya kifo na umauti na kupelekwa roho katika ulimwengu mwingine na ajal au kifo ambacho wakati wake haubadilishwi na kile ambacho wanawakti wake unaweza kubadilika. Karibuni.</description>
        <itunes:subtitle>Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi ni wakati mwingine tena wa kuwa nanyi katika kipindi hiki cha ufufuo na safari ya kurejea kwa Allah. Ni matarajio yetu mtaendelea kuwa nasi hadi mwisho wa kipindi hiki ambapo leo hii kitazungumzia hakika ya kifo na umauti na kupelekwa roho katika ulimwengu mwingine na ajal au kifo ambacho wakati wake haubadilishwi na kile ambacho wanawakti wake unaweza kubadilika. Karibuni.</itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi ni wakati mwingine tena wa kuwa nanyi katika kipindi hiki cha ufufuo na safari ya kurejea kwa Allah. Ni matarajio yetu mtaendelea kuwa nasi hadi mwisho wa kipindi hiki ambapo leo hii kitazungumzia hakika ya kifo na umauti na kupelekwa roho katika ulimwengu mwingine na ajal au kifo ambacho wakati wake haubadilishwi na kile ambacho wanawakti wake unaweza kubadilika. Karibuni.</itunes:summary>
        <pubDate>Tue, 07 Jun 2016 03:29:04 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk72d3d93b3269zsy.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i8674-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(5)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk72d3d93b3269zsy.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk629d5a9ce718etg.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i8674-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(5)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (4)</title>
        <description>Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya tatu ya kipindi hiki Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah, kizungumzia athari chanya za imani ya ufufuo katika maisha ya mwanadamu. Ni matarajio yetu kwamba mtakuwa nasi hadi mwisho wa kipindi hiki.</description>
        <itunes:subtitle>Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya tatu ya kipindi hiki Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah, kizungumzia athari chanya za imani ya ufufuo katika maisha ya mwanadamu. Ni matarajio yetu kwamba mtakuwa nasi hadi mwisho wa kipindi hiki.</itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya tatu ya kipindi hiki Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah, kizungumzia athari chanya za imani ya ufufuo katika maisha ya mwanadamu. Ni matarajio yetu kwamba mtakuwa nasi hadi mwisho wa kipindi hiki.</itunes:summary>
        <pubDate>Mon, 23 May 2016 05:05:59 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk79ba1d4e7999zt1.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i7645-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(4)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk79ba1d4e7999zt1.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk4afee5f06055oaj.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i7645-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(4)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (3)</title>
        <description>Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya tatu ya kipindi hiki cha Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah, ambacho leo kitakamilisha maudhui na kipindi kilichopita. Matarajio yetu kwamba mtakuwa nasi hadi mwisho wa kipindi hiki. Karibuni.</description>
        <itunes:subtitle>Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya tatu ya kipindi hiki cha Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah, ambacho leo kitakamilisha maudhui na kipindi kilichopita. Matarajio yetu kwamba mtakuwa nasi hadi mwisho wa kipindi hiki. Karibuni.</itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya tatu ya kipindi hiki cha Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah, ambacho leo kitakamilisha maudhui na kipindi kilichopita. Matarajio yetu kwamba mtakuwa nasi hadi mwisho wa kipindi hiki. Karibuni.</itunes:summary>
        <pubDate>Mon, 23 May 2016 05:02:17 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk77f69fa41fd9zt7.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i7642-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(3)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk77f69fa41fd9zt7.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk4b6ae542b035vv7.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i7642-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(3)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (2)</title>
        <description>Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi katika kipindi kingine cha ufufuo na safari ya kurejea mja kwa Allah. Katika kipindi chetu kilichopita tulielezea maisha ya baada ya kifo na kwamba watu wengi ndani ya nyoyo zao wana hamu ya kuishi milele na kwamba hamu hii ya kimaumbile inapaswa kushibishwa kwa njia sahihi. </description>
        <itunes:subtitle>Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi katika kipindi kingine cha ufufuo na safari ya kurejea mja kwa Allah. Katika kipindi chetu kilichopita tulielezea maisha ya baada ya kifo na kwamba watu wengi ndani ya nyoyo zao wana hamu ya kuishi milele na kwamba hamu hii ya kimaumbile inapaswa kushibishwa kwa njia sahihi. </itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi katika kipindi kingine cha ufufuo na safari ya kurejea mja kwa Allah. Katika kipindi chetu kilichopita tulielezea maisha ya baada ya kifo na kwamba watu wengi ndani ya nyoyo zao wana hamu ya kuishi milele na kwamba hamu hii ya kimaumbile inapaswa kushibishwa kwa njia sahihi. </itunes:summary>
        <pubDate>Sun, 08 May 2016 05:43:20 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk7eec1a051e09ztd.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i6652-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(2)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk7eec1a051e09ztd.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bk2a9d4b0e6f33hcd.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i6652-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(2)</ppg:canonical>
      </item>
                <item>
        <title>Ufufuo na Safari ya Kurejea kwa Allah (1)</title>
        <description>Hatima ya mja baada ya kifo, ni miongoni mwa masuala yanayomtia wahka na wasiwasi mkubwa mwanadamu. Je, maisha ya mwanadamu ni hayahaya tuliyonayo hapa duniani yanayoanzia kipindi anapozaliwa hadi anapopatwa na mauti, na hakuna maisha mengine baada ya kufariki dunia? Na je, kuletwa kwetu duniani na kisha kufishwa, kumefanyika kwa malengo maalumu? </description>
        <itunes:subtitle>Hatima ya mja baada ya kifo, ni miongoni mwa masuala yanayomtia wahka na wasiwasi mkubwa mwanadamu. Je, maisha ya mwanadamu ni hayahaya tuliyonayo hapa duniani yanayoanzia kipindi anapozaliwa hadi anapopatwa na mauti, na hakuna maisha mengine baada ya kufariki dunia? Na je, kuletwa kwetu duniani na kisha kufishwa, kumefanyika kwa malengo maalumu? </itunes:subtitle>
        <itunes:summary>Hatima ya mja baada ya kifo, ni miongoni mwa masuala yanayomtia wahka na wasiwasi mkubwa mwanadamu. Je, maisha ya mwanadamu ni hayahaya tuliyonayo hapa duniani yanayoanzia kipindi anapozaliwa hadi anapopatwa na mauti, na hakuna maisha mengine baada ya kufariki dunia? Na je, kuletwa kwetu duniani na kisha kufishwa, kumefanyika kwa malengo maalumu? </itunes:summary>
        <pubDate>Sun, 08 May 2016 05:19:21 GMT</pubDate>
        <itunes:duration>1700</itunes:duration>
        <enclosure url="https://media.parstoday.ir/audio/4bk7dce2ddb81f9zs4.mp3" length="1" type="audio/mpeg" />
        <guid isPermaLink="false">https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i6646-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(1)</guid>
        <link>https://media.parstoday.ir/audio/4bk7dce2ddb81f9zs4.mp3</link>
        <itunes:explicit>clean</itunes:explicit>
        <itunes:author>Mtunzi wa Podcast</itunes:author>
        <itunes:image href="https://media.parstoday.ir/image/4bhga75d3f3023pm2.jpg"/>
        <ppg:canonical>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i6646-ufufuo_na_safari_ya_kurejea_kwa_allah_(1)</ppg:canonical>
      </item>
    
    


  </channel>
</rss>