<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Habari, TV, redio na mengineyo</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Tue, 23 Jun 2026 01:50:12 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Jumatatu, tarehe 22 Juni, mwaka 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139348-jumatatu_tarehe_22_juni_mwaka_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby02df83b0852po8g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139348-jumatatu_tarehe_22_juni_mwaka_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu tarehe 7 Muharram 1448 Hijria sawa na Juni 22 mwaka 2026.
</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 17:33:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili tarehe 21 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139346-jumapili_tarehe_21_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby808115107b2po8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139346-jumapili_tarehe_21_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili tarehe 6 Muharram 1448 Hijria inayosadifiana na tarehe 21 Juni 2026.
</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 17:30:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, 20 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139344-jumamosi_20_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc240a91d642po8a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139344-jumamosi_20_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 05 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria mwafaka na 20 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 17:28:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Italia amwambia Trump: Pilipili usioila inakuwashia nini?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139342-waziri_mkuu_wa_italia_amwambia_trump_pilipili_usioila_inakuwashia_nini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc4b7193d182po64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139342-waziri_mkuu_wa_italia_amwambia_trump_pilipili_usioila_inakuwashia_nini </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amemshauri Rais wa Marekani, Donald Trump kujalia ya kwake mwenyewe badala na kufuatilia ya wengine baada ya kudai kwamba kiongozi huyo wa Italia anajaribu kuongeza umaarufu na viwango vyake vya kukubalika ndani ya nchi kwa kurekebisha uhusiano na Washington.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 14:11:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamati ya utendaji ya PUIC yakaribisha mpango wa Iran wa kuimarisha mshikamano wa nchi za Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139340-kamati_ya_utendaji_ya_puic_yakaribisha_mpango_wa_iran_wa_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc0a5d853e62po2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139340-kamati_ya_utendaji_ya_puic_yakaribisha_mpango_wa_iran_wa_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu </guid>  
      <description>Pendekezo la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran la kuimarisha mshikamano katika mchakato wa kumchagua Rais mpya wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) limepitishwa katika mkutano wa Kamati ya Utendaji ya PUIC.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 11:14:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kenya: Muswada wa fedha 2026 kutiwa saini kuwa sheria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139338-kenya_muswada_wa_fedha_2026_kutiwa_saini_kuwa_sheria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1ec378f2f12pdda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139338-kenya_muswada_wa_fedha_2026_kutiwa_saini_kuwa_sheria </guid>  
      <description>Muswada wa fedha 2026 nchini Kenya unatarajiwa kutiwa saini na kuwa sheria.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 10:45:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mataifa ya Ulaya yakabiliwa na wimbi la joto kali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139336-mataifa_ya_ulaya_yakabiliwa_na_wimbi_la_joto_kali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb895900dd22po1c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139336-mataifa_ya_ulaya_yakabiliwa_na_wimbi_la_joto_kali </guid>  
      <description>Mataifa ya Ulaya yanakabiliwa na wimbi la joto kali huku yakilazimika kuchukua hatua kadhaa ili kuepusha maafa.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 10:15:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naim Qassem: Mradi wa kuangamiza Iran na Muqawama umefeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139334-naim_qassem_mradi_wa_kuangamiza_iran_na_muqawama_umefeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6392423f472pa7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139334-naim_qassem_mradi_wa_kuangamiza_iran_na_muqawama_umefeli </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwamba, mradi wa kuisambaratisha Iran na Muqawama katika eneo la Asia Magharibi umeshindwa na kugonga mwamba.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 09:09:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mawaziri wa Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan wajadili makubaliano ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139332-mawaziri_wa_misri_uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_wajadili_makubaliano_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd68da8d4fa2po0a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139332-mawaziri_wa_misri_uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_wajadili_makubaliano_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan umefanyika mjini Cairo kwa ajili ya kujadili utulivu wa kikanda na kufuatilia makubaliano kati ya Iran na Marekani.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 08:53:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139330-kwa_nini_ulaya_ina_wasiwasi_kuhusu_mrengo_wa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc362541aed2pnxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139330-kwa_nini_ulaya_ina_wasiwasi_kuhusu_mrengo_wa_lebanon </guid>  
      <description>Uungaji mkono wa Ulaya juu kwa usimamishaji hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon katika maelewano kati ya Tehran na Washington unaonyesha wasiwasi unaoongezeka wa nchi za Ulaya kuhusu kuenea vita na taathira zake hasi katika uthabiti na usalama wa eneo.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 05:57:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi:  Mazungumzo ya Uswisi yamepiga hatua kubwa, usitishaji vita Lebanon bado ni mtihani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139328-araqchi_mazungumzo_ya_uswisi_yamepiga_hatua_kubwa_usitishaji_vita_lebanon_bado_ni_mtihani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby693e6a43ec2pntm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139328-araqchi_mazungumzo_ya_uswisi_yamepiga_hatua_kubwa_usitishaji_vita_lebanon_bado_ni_mtihani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amezipongeza Pakistan na Qatar kwa juhudi zao alizozitaja kuwa za "kutochoka" katika upatanishi, akisema kuwa hatua kubwa zimefikiwa kuelekea kumaliza vita dhidi ya Iran, lakini akasisitiza kuwa "kipimo halisi" kitakuwa utekelezaji wenye mafanikio wa usitishaji vita nchini Lebanon.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:47:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Hatuogopi vita, lakini vita havina maslahi na mtu yeyote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139326-rais_pezeshkian_hatuogopi_vita_lakini_vita_havina_maslahi_na_mtu_yeyote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6340b632752pnou.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139326-rais_pezeshkian_hatuogopi_vita_lakini_vita_havina_maslahi_na_mtu_yeyote </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Hatuogopi vita, lakini vita havina maslahi na mtu yeyote.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:45:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Kiebrania: Israel kwa mara nyingine tena imesalimu amri kwa masharti ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139324-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_israel_kwa_mara_nyingine_tena_imesalimu_amri_kwa_masharti_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc74b4f82152pnvc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139324-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_israel_kwa_mara_nyingine_tena_imesalimu_amri_kwa_masharti_ya_iran </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti kuwa, uamuzi wa kusitisha mapigano nchini Lebanon umetolewa baada ya Marekani kutoa mashinikizo makali dhidi ya Tel Aviv na kwamba, maafisa wa kisiasa wa utawala huo wamesalimu amri tena kwa masharti ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:43:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Timu ya taifa ya karate ya wanawake ya Iran yatwaa ubingwa wa Asia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139322-timu_ya_taifa_ya_karate_ya_wanawake_ya_iran_yatwaa_ubingwa_wa_asia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyee38afb03a2pnv6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139322-timu_ya_taifa_ya_karate_ya_wanawake_ya_iran_yatwaa_ubingwa_wa_asia </guid>  
      <description>Timu ya taifa ya karate ya wanawake ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa ubingwa wa bara la Asia katika mchezo huo.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:36:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CENCO yapinga kufanyika kwa mageuzi ya katiba DRC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139320-cenco_yapinga_kufanyika_kwa_mageuzi_ya_katiba_drc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby61dc959f292pnv0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139320-cenco_yapinga_kufanyika_kwa_mageuzi_ya_katiba_drc </guid>  
      <description>Muungano maaskofu wa kanisa Katoliki (CENCO) umepinga mapendekezo ya kuifanyia marekebisho katiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:32:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139318-kwa_nini_israel_haina_uwezo_wa_kuilazimisha_hizbullah_ijisalimishe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6392423f472pa7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139318-kwa_nini_israel_haina_uwezo_wa_kuilazimisha_hizbullah_ijisalimishe </guid>  
      <description>Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema, maadui walijaribu kuandaa mazingira ya kuuangamiza muqawama kwa kutumia vibaya serikali ya Lebanon na kuunda mwavuli haramu wa kisheria, lakini pamoja na hayo si tu kwamba adui wa Kizayuni alishindwa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe, bali pia inaendelea kupipigania ushindi wa mwisho.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 12:51:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema mazungumzo na Marekani yanahusu kutotekelezwa kwa kifungu cha kwanza cha makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139316-iran_yasema_mazungumzo_na_marekani_yanahusu_kutotekelezwa_kwa_kifungu_cha_kwanza_cha_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyce52ef28802pnky.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139316-iran_yasema_mazungumzo_na_marekani_yanahusu_kutotekelezwa_kwa_kifungu_cha_kwanza_cha_makubaliano </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kuwa mazungumzo yaliyopangwa kufanyika na Marekani yatalenga suala la kutotekelezwa kwa kifungu cha kwanza cha Waraka wa Makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:26:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi aonya dhidi ya matumaini kupita kiasi kuhusu mazungumzo na “adui anayevunja ahadi”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139314-mshauri_wa_kiongozi_aonya_dhidi_ya_matumaini_kupita_kiasi_kuhusu_mazungumzo_na_adui_anayevunja_ahadi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby817ff5c8ec2pnm2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139314-mshauri_wa_kiongozi_aonya_dhidi_ya_matumaini_kupita_kiasi_kuhusu_mazungumzo_na_adui_anayevunja_ahadi </guid>  
      <description>Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonya dhidi ya kuwa na matumaini kupita kiasi kuhusu mazungumzo na adui, akitaja historia yake ya kuvunja ahadi.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:25:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imamu ashambuliwa nje ya msikiti nchini Kanada huku chuki dhidi ya Uislamu ikiongezeka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139312-imamu_ashambuliwa_nje_ya_msikiti_nchini_kanada_huku_chuki_dhidi_ya_uislamu_ikiongezeka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf32c0acde92pnlu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139312-imamu_ashambuliwa_nje_ya_msikiti_nchini_kanada_huku_chuki_dhidi_ya_uislamu_ikiongezeka </guid>  
      <description>Imamu wa Msikiti wa Jumuiya ya Waislamu wa British Columbia (BCMA), Sheikh Ebrahim, ameshambuliwa katika tukio linalohusishwa na chuki dhidi ya Uislamu.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:24:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walebanon waipongeza Iran kwa kuunga mkono kukomeshwa hujuma ya vita ya Israel dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139310-walebanon_waipongeza_iran_kwa_kuunga_mkono_kukomeshwa_hujuma_ya_vita_ya_israel_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf2ba823a592pnlm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139310-walebanon_waipongeza_iran_kwa_kuunga_mkono_kukomeshwa_hujuma_ya_vita_ya_israel_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Mabango yanayoonyesha shukrani kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesimikwa kando ya barabara kuu inayoelekea uwanja wa ndege wa Beirut, yakionyesha shukrani za dhati kwa msimamo wa Iran wa kutaka kukomeshwa kikamilifu uchokozi wa Israel dhidi ya Lebanon, kama ilivyotajwa katika waraka wa makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:22:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Yamkini waasi wa RSF wanatekeleza mauaji ya halaiki mjini El Obeid, Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139308-un_yamkini_waasi_wa_rsf_wanatekeleza_mauaji_ya_halaiki_mjini_el_obeid_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0656a0983f2pnli.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139308-un_yamkini_waasi_wa_rsf_wanatekeleza_mauaji_ya_halaiki_mjini_el_obeid_sudan </guid>  
      <description>Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameeleza wasiwasi mkubwa kuhusu taarifa za kuongezeka kwa wapiganaji wa kundi la waasi la RSF, ambao wameuzingira mji wa El Obeid nchini Sudan.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:21:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139306-spika_wa_bunge_la_iran_aapa_kuwa_mwaminifu_kwa_mashahidi_baada_ya_kuwasili_uswisi_kwa_mazungumzo_na_us</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5bb08eefa72pnfq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139306-spika_wa_bunge_la_iran_aapa_kuwa_mwaminifu_kwa_mashahidi_baada_ya_kuwasili_uswisi_kwa_mazungumzo_na_us </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amesisitiza tena kwamba atatetea haki za Wairani waliouawa shahidi wakati wa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu baada ya kuwasili Uswisi kufuatilia mkataba wa Hati ya Maelewano uliosainiwa na viongozi wa nchi mbili kwa lengo la kukomesha vita.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 04:43:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139304-baada_ya_karne_nyingi_za_utumwa_afrika_yafungua_faili_la_fidia_na_kudai_haki_ya_kihistoria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby330f410b5e2pnfm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139304-baada_ya_karne_nyingi_za_utumwa_afrika_yafungua_faili_la_fidia_na_kudai_haki_ya_kihistoria </guid>  
      <description>Karne nyingi baada ya kumalizika biashara ya utumwa ya kuvuka Atlantiki, moja ya masuala nyeti zaidi ya kihistoria yameibuka tena katika mji mkuu wa Ghana, Accra, ambapo Mkutano wa Dunia kuhusu Fidia ya Utumwa na Haki ya Kihistoria ulihitimishwa jana, huku Afrika ikitaka kuwepo mfumo wa vitendo wa kufidia jamii ambazo bado zinateseka kutokana na athari mbaya za enzi hizo.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 04:41:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139302-picha_ya_mazishi_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_msingi_ya_minab_yashinda_tuzo_ya_picha_bora_zaidi_ya_mwaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby49159722eb2pnem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139302-picha_ya_mazishi_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_msingi_ya_minab_yashinda_tuzo_ya_picha_bora_zaidi_ya_mwaka </guid>  
      <description>Picha iliyochukuliwa kutokea angani inayoonyesha mazishi ya wanafunzi 168 waliouawa shahidi wakati wa shambulio la makombora ya Marekani dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab, kusini mwa Iran, imeshinda tuzo ya juu katika Kategoria ya Upigaji Picha za Habari ya tuzo za Golden Shot Photography Awards 2026.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 03:00:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa CDC asema Afrika lazima iwekeze fedha zake katika kukabiliana na Ebola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139300-mkuu_wa_cdc_asema_afrika_lazima_iwekeze_fedha_zake_katika_kukabiliana_na_ebola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5e4bab167e2pnek.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139300-mkuu_wa_cdc_asema_afrika_lazima_iwekeze_fedha_zake_katika_kukabiliana_na_ebola </guid>  
      <description>Mkuu wa Vituo vya Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) amesema bara hilo linahitaji kuwekeza fedha zake lenyewe katika kukabiliana na Ebola.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 02:57:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Kutoadhibiwa wahalifu kunaeneza hisia za mauaji ya kimbari nchini Nigeria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139298-un_kutoadhibiwa_wahalifu_kunaeneza_hisia_za_mauaji_ya_kimbari_nchini_nigeria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby411194a7492pnei.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139298-un_kutoadhibiwa_wahalifu_kunaeneza_hisia_za_mauaji_ya_kimbari_nchini_nigeria </guid>  
      <description>Ripoti ya Umoja wa Mtaifa inasema, kutoadhibiwa watu wanaofanya mashambulizi ya mara kwa mara dhidi ya viongozi wa kidini na sehemu za ibada, pamoja na kinga dhaifu na uwajibikaji duni, vinawafanya waathiriwa nchini Nigeria kuona kwamba vurugu zinazofanyika nchini humo ni mateso au hata mauaji ya halaiki. </description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 02:55:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yafunga tena Lango-Bahari la Hormuz baada ya Marekani na Israel kukiuka MoU </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139296-iran_yafunga_tena_lango_bahari_la_hormuz_baada_ya_marekani_na_israel_kukiuka_mou</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby27f92241e02pnby.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139296-iran_yafunga_tena_lango_bahari_la_hormuz_baada_ya_marekani_na_israel_kukiuka_mou </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran imetangaza rasmi kwamba Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa vyombo vyote vya usafirishaji wa baharini, baada ya Marekani na Israel kukiuka makubaliano ya hati ya maelewano ya kusitisha vita kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 14:48:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya Wizara ya Ulinzi ya Iran ya kushukuru ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kuhusu mazungumzo ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139294-taarifa_ya_wizara_ya_ulinzi_ya_iran_ya_kushukuru_ujumbe_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_kuhusu_mazungumzo_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf93e75e45f2pnao.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139294-taarifa_ya_wizara_ya_ulinzi_ya_iran_ya_kushukuru_ujumbe_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_kuhusu_mazungumzo_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Katika kujibu ujumbe wa Kiongozi muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu mazungumzo ya Iran na Marekani, Wizara ya Ulinzi na Msaada Kwa Jeshi la Iran imesisitiza katika taarifa kwamba: Siri ya mafanikio endelevu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kufuata kamilifu na bila kusitasita amri na hatua za Amiri Jeshi Mkuu.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 13:03:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa mambo ya ndani wa Pakistan arejea tena Tehran kujadili mazungumzo ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139292-waziri_wa_mambo_ya_ndani_wa_pakistan_arejea_tena_tehran_kujadili_mazungumzo_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfd331258a02pmt2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139292-waziri_wa_mambo_ya_ndani_wa_pakistan_arejea_tena_tehran_kujadili_mazungumzo_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Syed Mohsin Raza Naqvi, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Pakistan amerejea tena Tehran kwa ajili ya kukutana na kuzungumza na viongozi wa ngazi za juu wa Iran, kuhusu suala la kuendeleza mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani. </description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 12:19:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Iran: Ukiukaji wowote wa ahadi wa Marekani utakabiliwa na jibu kali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139290-bunge_la_iran_ukiukaji_wowote_wa_ahadi_wa_marekani_utakabiliwa_na_jibu_kali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby64bec60ee82pn74.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139290-bunge_la_iran_ukiukaji_wowote_wa_ahadi_wa_marekani_utakabiliwa_na_jibu_kali </guid>  
      <description>Mwenyekiti wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika akaunti yake ya mtandao wa kijamii kwamba: "Ukiukaji wowote wa ahadi utakaofanywa na Marekani au kujiondoa katika fremu kuu ya maelewano kutapelekea jeshi la Iran, kwa uungaji mkono wa taifa shupavu la Iran kutoa jibu kali, thabiti na la kuumiza zaidi dhidi ya adui huyo kuliko ilivyokuwa huko nyuma."</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 12:09:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Amani na uthabiti nchini Lebanon na eneo havitapatikana bila ya kukomeshwa uvamizi wa adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139288-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_amani_na_uthabiti_nchini_lebanon_na_eneo_havitapatikana_bila_ya_kukomeshwa_uvamizi_wa_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd2aa45854f2pn2s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139288-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_amani_na_uthabiti_nchini_lebanon_na_eneo_havitapatikana_bila_ya_kukomeshwa_uvamizi_wa_adui </guid>  
      <description>Katika mahojiano na televisheni ya Al Jazeera, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Washington lazima imzuie Netanyahu kuvuruga juhudi za maelewano kwa sababu hakuna amani wala utulivu wowote utakaopatikana Lebanon na katika eneo zima la Asia Magharibi bila kukomeshwa uvamizi na ukaliaji mabavu wa ardhi za nchi za eneo.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 12:07:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump: Kama nisingesimamisha vita na Iran, tungeachwa bila mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139286-trump_kama_nisingesimamisha_vita_na_iran_tungeachwa_bila_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby83baa793092pn9g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139286-trump_kama_nisingesimamisha_vita_na_iran_tungeachwa_bila_mafuta </guid>  
      <description>Katika mahojiano na chombo cha habari cha Marekani Axios, Rais Doland Trump wa Marekani amekiri hadharani kwamba hakuwa na budi ila kufanya mazungumzo na Iran kwa ajili ya kumaliza vita.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 11:51:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasitisha mazungumzo na Marekani  nchini Uswisi baada ya Israel kuendeleza hujuma Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139284-iran_yasitisha_mazungumzo_na_marekani_nchini_uswisi_baada_ya_israel_kuendeleza_hujuma_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf3ddf3004a2pn1q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139284-iran_yasitisha_mazungumzo_na_marekani_nchini_uswisi_baada_ya_israel_kuendeleza_hujuma_lebanon </guid>  
      <description>Mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani nchini Uswisi, yaliyokusudiwa kuimarisha Hati ya Makubaliano (MoU) iliyosainiwa hivi karibuni, yameahirishwa. </description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:27:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Tuko tayari kuwapa maadui ‘kichapo kikubwa zaidi’ ikiwa haki za Iran zitakiukwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139282-irgc_tuko_tayari_kuwapa_maadui_kichapo_kikubwa_zaidi’_ikiwa_haki_za_iran_zitakiukwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2a780cbaab2pn2m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139282-irgc_tuko_tayari_kuwapa_maadui_kichapo_kikubwa_zaidi’_ikiwa_haki_za_iran_zitakiukwa </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limethibitisha utayari wake wa kuwapa maadui “kichapo kikubwa cha kihistoria” iwapo wataendeleza madai yao ya kupita kiasi na kukiuka haki za taifa tukufu la Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:25:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawasilisha malalamiko FIFA kuhusu vikwazo vya Marekani kabla ya mechi na Ubelgiji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139280-iran_yawasilisha_malalamiko_fifa_kuhusu_vikwazo_vya_marekani_kabla_ya_mechi_na_ubelgiji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyecaf9559342pn2i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139280-iran_yawasilisha_malalamiko_fifa_kuhusu_vikwazo_vya_marekani_kabla_ya_mechi_na_ubelgiji </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Iran limetangaza kuwa limewasilisha malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) kufuatia kukataliwa kwa mara ya pili mfululizo kwa mipango ya maandalizi ya Timu ya Taifa ya Iran, Team Melli.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:24:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Israel imeua watoto 265 wa Kipalestina tangu Oktoba 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139278-un_israel_imeua_watoto_265_wa_kipalestina_tangu_oktoba_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby091dc3cbac2pn2g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139278-un_israel_imeua_watoto_265_wa_kipalestina_tangu_oktoba_2025 </guid>  
      <description>Huku utawala katili wa Israel ukiendeleza jinai Lebanon, mashirika ya misaada ya kibinadamu yametoa tahadhari mpya kuhusu Gaza, ambapo watoto 265 wa Kipalestina wameuawa katika mashambulizi ya Israel tangu usitishaji wa mapigano ulipotangazwa mwezi Oktoba 2025.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:16:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yaionya Israel dhidi ya kuzuia makubaliano ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139276-china_yaionya_israel_dhidi_ya_kuzuia_makubaliano_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb464a8e4fa2pn2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139276-china_yaionya_israel_dhidi_ya_kuzuia_makubaliano_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>China imeionya Israel dhidi ya kuzuia utekelezaji wa Mkataba wa Maelewano (MoU) kati ya Iran na Marekani, huku ikitaka pande zote kuchukua hatua za vitendo kuunga mkono amani ya kikanda na kuunda mazingira yanayofaa kwa mazungumzo yajayo.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:14:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa marasimu ya Arbaeen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139274-walinzi_wa_mpaka_wa_iran_na_iraq_washirikiana_kuandaa_marasimu_ya_arbaeen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6bab94477f2pn0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139274-walinzi_wa_mpaka_wa_iran_na_iraq_washirikiana_kuandaa_marasimu_ya_arbaeen </guid>  
      <description>Walinzi wa mpaka wa pamoja wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Iraq wamefanya vikao vya pamoja katika mpaka wa eneo la Mehran katika mkesha wa kuanza rasmi wimbi kubwa la mazuwwar wa Muharram na Arbaeen.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:42:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imam wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran: Utawala wa Marekani hauaminiki hata kidogo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139272-imam_wa_swala_ya_ijumaa_mjini_tehran_utawala_wa_marekani_hauaminiki_hata_kidogo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby34ab9ce2d92pn0a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139272-imam_wa_swala_ya_ijumaa_mjini_tehran_utawala_wa_marekani_hauaminiki_hata_kidogo </guid>  
      <description>Huku akisema kuwa, nguvu ni matunda ya subira mitaani, medani ya vita na diplomasia kwa pamoja, Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesisitiza kuwa: 'Leo utawala wa Marekani hauaminiki hata kidogo.'</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:35:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkataba wa Maelewano na Iran: Mwisho wa nguvu ya Dola la Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139270-mkataba_wa_maelewano_na_iran_mwisho_wa_nguvu_ya_dola_la_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4b0cefa5f92pmv8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139270-mkataba_wa_maelewano_na_iran_mwisho_wa_nguvu_ya_dola_la_marekani </guid>  
      <description>Tucker Carlson, mtangazaji na mchambuzi mashuhuri wa Marekani, amesema katika taarifa kuhusu makubaliano ya hivi karibuni kati ya Iran na Marekani kwamba makubaliano hayo yamemaliza kikamilifu nguvu, kiburi, majigambo na ubabe wa Marekani katika ngazi ya kimataifa na kuipelekea ikiri rasmi hadharani kwamba Iran ni mchezaji muhimu mwenye maamuzi huru, na kwamba hilo pekee limebadilisha kila kitu katika mtazamo wa kisiasa na kijeshi.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:27:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utawala wa Kizayuni wakiri kuuawa na kujeruhiwa wanajeshi wake 22 katika mapigano ya kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139268-utawala_wa_kizayuni_wakiri_kuuawa_na_kujeruhiwa_wanajeshi_wake_22_katika_mapigano_ya_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya437487a6e2pmzo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139268-utawala_wa_kizayuni_wakiri_kuuawa_na_kujeruhiwa_wanajeshi_wake_22_katika_mapigano_ya_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Jeshi la utawala wa Kizayuni limetangaza kuuawa na kujeruhiwa askari wake 22 katika mapigano ya jana Alhamisi jioni na vikosi vya muqawama vya Hizbullah ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:25:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya misikiti ya Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139266-iran_yalaani_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_misikiti_ya_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8b69dafa9e2pmwe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139266-iran_yalaani_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_misikiti_ya_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vitendo vya Wazayuni kuvunjia heshima na kushambulia misikiti ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:23:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139264-kutoka_uwanja_wa_vita_hadi_meza_ya_mazungumzo_je_iran_imebadilisha_vipi_milinganyo_ya_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby266c7650c32pmy0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139264-kutoka_uwanja_wa_vita_hadi_meza_ya_mazungumzo_je_iran_imebadilisha_vipi_milinganyo_ya_vita </guid>  
      <description>Kusainiwa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad na Marais wa Iran na Marekani kunashiria mwisho wa mojawapo ya mivutano na makabiliano makubwa zaidi kati ya nchi hizi mbili. </description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 10:30:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa tarehe 19 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139262-ijumaa_tarehe_19_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4e4f7a10d92pmwq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139262-ijumaa_tarehe_19_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa 04 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria mwafaka na 19 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 06:14:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu apongeza juhudi za maafisa wa Iran, asema Trump alitamani sana kufikia makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139260-kiongozi_muadhamu_apongeza_juhudi_za_maafisa_wa_iran_asema_trump_alitamani_sana_kufikia_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby05d1098c6a2pmvy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139260-kiongozi_muadhamu_apongeza_juhudi_za_maafisa_wa_iran_asema_trump_alitamani_sana_kufikia_makubaliano </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema maafisa wa Iran wamefanya juhudi kubwa kwa nia njema kufikia makubaliano ya maelewano na Marekani, huku rais wa Marekani akitumia njia mbalimbali za mashinikizo kutokana na kukata tamaa.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 04:04:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian apongeza hati ya makualiano na Marekani; asema ni ushahidi wa 'Iran yenye nguvu'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139258-rais_pezeshkian_apongeza_hati_ya_makualiano_na_marekani_asema_ni_ushahidi_wa_'iran_yenye_nguvu'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb84440fc102pmvw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139258-rais_pezeshkian_apongeza_hati_ya_makualiano_na_marekani_asema_ni_ushahidi_wa_'iran_yenye_nguvu' </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesifu hati ya makubaliano ya Islamabad iliyotiwa saini kati ya Iran na Marekani kuwa ni "hati ya kihistoria" na dhihirisho la nguvu ya Iran duniani.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 04:01:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jihad Islami yailaumu Marekani kwa ukatili unaoendelezwa na Israel huko Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139256-jihad_islami_yailaumu_marekani_kwa_ukatili_unaoendelezwa_na_israel_huko_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4d3330552f2pmvu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139256-jihad_islami_yailaumu_marekani_kwa_ukatili_unaoendelezwa_na_israel_huko_gaza </guid>  
      <description>Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina imesema utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani lazima uwajibishwe kwa ukatili na vitendo vya uchokozi vinavyofanywa na askari wa utawala vamizi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa kawaida katika Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 03:55:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanasayansi: Aina ya sasa ya Ebola imeitoka kwa wanyamapori </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139254-wanasayansi_aina_ya_sasa_ya_ebola_imeitoka_kwa_wanyamapori</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyca6d6a6cf62pmvs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139254-wanasayansi_aina_ya_sasa_ya_ebola_imeitoka_kwa_wanyamapori </guid>  
      <description>Ugonjwa wa sasa wa Ebola, ambao ulizuka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda mwezi uliopita, ni matokeo ya kuenea kwa wanyamapori. Haya yameelezwa na wanasayansi kutoka nchi hizo mbili jana Alhamisi.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 03:48:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamia waandamana Brussels wakitaka kuwekewa vikwazo Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139252-mamia_waandamana_brussels_wakitaka_kuwekewa_vikwazo_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby18930fac182pmvq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139252-mamia_waandamana_brussels_wakitaka_kuwekewa_vikwazo_israel </guid>  
      <description>Mamia ya watu walifanya maandamano jana Alhamisi Brussels, Ubelgiji kabla ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya. </description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 03:46:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Tozo ya kupita Mango Bahari la Hormuz baada ya siku 60 imejumuishwa katika Hati ya Makubalino (MoU)</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139250-qalibaf_tozo_ya_kupita_mango_bahari_la_hormuz_baada_ya_siku_60_imejumuishwa_katika_hati_ya_makubalino_(mou)</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby23931767542pmvo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139250-qalibaf_tozo_ya_kupita_mango_bahari_la_hormuz_baada_ya_siku_60_imejumuishwa_katika_hati_ya_makubalino_(mou) </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge), Mohammad Baqer Qalibaf, ambaye anaongoza timu ya mazungumzo na Marekani, ameeleza kuwa malipo ya kuvuka katika Lango-Bahari la Hormuz yamejumuishwa kwenye Hati ya Makubaliano baina ya pande hizo mbili na kwamba kupita katika lango hilo katika kipindi hiki cha siku 60 cha mazungumzo kutakuwa bure.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 03:44:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Kujisalimisha kikamilifu' kwa Iran: Wabunge wa Marekani washambulia MoU ya Trump na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139248-'kujisalimisha_kikamilifu'_kwa_iran_wabunge_wa_marekani_washambulia_mou_ya_trump_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8a230452e52pmse.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139248-'kujisalimisha_kikamilifu'_kwa_iran_wabunge_wa_marekani_washambulia_mou_ya_trump_na_iran </guid>  
      <description>Wakielezea hati ya maelewano kati ya Iran na Marekani kuwa ni "kujisalimisha kikamilifu" kwa Iran, wakosoaji wa Donald Trump katika Bunge la marekanii wamesema utawala wake umesalimu amri kwa Jamhuri ya Kiislamu baada ya vita vya gharama kubwa na visivyo na maana ambavyo vilishindwa kufikia malengo yaliyotajwa na Washington.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 12:43:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hitilafu zapamba moto baina ya Trump na Netanyahu kuhusu mashambulizi dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139246-hitilafu_zapamba_moto_baina_ya_trump_na_netanyahu_kuhusu_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby65de10820c2pmrw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139246-hitilafu_zapamba_moto_baina_ya_trump_na_netanyahu_kuhusu_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Rais wa Marekani, Donald Trump amekosoa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, na kukiri kwamba kuna hitilafu kati yake na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu suala la Lebanon.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 12:19:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uamuzi wa mahakama ya Zimbabwe kuhusu marekebisho ya katiba wazua hisia tofauti</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139244-uamuzi_wa_mahakama_ya_zimbabwe_kuhusu_marekebisho_ya_katiba_wazua_hisia_tofauti</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye1813420a02pmro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139244-uamuzi_wa_mahakama_ya_zimbabwe_kuhusu_marekebisho_ya_katiba_wazua_hisia_tofauti </guid>  
      <description>Nchini Zimbabwe, uamuzi wa mahakama uliotupilia mbali pingamizi la kisheria lililotolewa na maveterani wa vita dhidi ya marekebisho ya katiba umesababisha hisia tofauti.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 11:47:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakuu wa zamani wa usalama wamwambia Netanyahu: Komesha ugaidi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139242-wakuu_wa_zamani_wa_usalama_wamwambia_netanyahu_komesha_ugaidi_wa_kiyahudi_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8421c1020b2pmrg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139242-wakuu_wa_zamani_wa_usalama_wamwambia_netanyahu_komesha_ugaidi_wa_kiyahudi_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Mawaziri wakuu wawili wa zamani wa Israel, pamoja na watu mashuhuri kutoka Israel na Marekani, wakuu wa zamani wa mashirika ya usalama, na maafisa kadhaa wa zamani katika taasisi mbalimbali za usalama, wamesaini barua iliyoelekezwa kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu jana Jumatano, wakiitaka serikali na mashirika yake kuchukua hatua za haraka za kukabiliana na kile walichokiita "ugaidi wa Kiyahudi" katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huko Palestina.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 11:36:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Milio ya risasi yasikika katika mji mkuu wa Niger, Niamey</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139240-milio_ya_risasi_yasikika_katika_mji_mkuu_wa_niger_niamey</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4475ffb6632pmqm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139240-milio_ya_risasi_yasikika_katika_mji_mkuu_wa_niger_niamey </guid>  
      <description>Milio ya risasi imesikika mapema leo Alkhamisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Diori Hamani mjini Niamey, nchini Niger, miezi kadhaa baada ya shambulio kubwa la waasi katika eneo hilo hilo.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 10:11:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, vita vya Iran vilisambaratisha vipi ngano ya nguvu isiyoshindwa ya Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139238-je_vita_vya_iran_vilisambaratisha_vipi_ngano_ya_nguvu_isiyoshindwa_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby34c07750c42pmau.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139238-je_vita_vya_iran_vilisambaratisha_vipi_ngano_ya_nguvu_isiyoshindwa_ya_marekani </guid>  
      <description>"Vita na Iran vimefichua ukweli mchungu kwa Marekani; Trump alifanya makosa makubwa na hatari kwa kuanzisha vita hivi na hatimaye kutoka kwenye vita akiwa dhaifu kijeshi, kidiplomasia na kiuchumi."</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 08:29:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Taifa la Iran limejifunza kutokubali kudhalilishwa kutoka kwa Kiongozi aliyeuawa shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139236-rais_pezeshkian_taifa_la_iran_limejifunza_kutokubali_kudhalilishwa_kutoka_kwa_kiongozi_aliyeuawa_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx54d36cd9832pej6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139236-rais_pezeshkian_taifa_la_iran_limejifunza_kutokubali_kudhalilishwa_kutoka_kwa_kiongozi_aliyeuawa_shahidi </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amesema taifa la Iran limejifunza kutokubali kudhalilishwa kutoka kwa Kiongozi aliyeuawa shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei. </description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 06:03:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Anga za Juu la Iran kuzindua satalaiti ya Pars-2</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139234-shirika_la_anga_za_juu_la_iran_kuzindua_satalaiti_ya_pars_2</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby74eee6ead52pmnk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139234-shirika_la_anga_za_juu_la_iran_kuzindua_satalaiti_ya_pars_2 </guid>  
      <description>Shirika la Masuala ya Anga za Juu la Iran linasonga mbele kwa kasi mpya, huku Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano akitangaza mipango ya uzinduzi ujao wa satalaiti ya "Pars 2" na kupelekwa angani Shahid Soleimani Satellite Constellation ifikapo mwisho wa mwaka huu.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 06:01:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Kamwe hatutakabidhi silaha zetu kwa Israel na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139232-hamas_kamwe_hatutakabidhi_silaha_zetu_kwa_israel_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyea12f2ca892pmni.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139232-hamas_kamwe_hatutakabidhi_silaha_zetu_kwa_israel_na_marekani </guid>  
      <description>Naibu mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) nje ya nchi ametangaza kwamba harakati hiyo kamwe haitakabidhi silaha zake kwa Israel na Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 05:58:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marais wa Iran na Marekani watia saini kidijitali Makubaliano ya kumaliza vita </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139230-marais_wa_iran_na_marekani_watia_saini_kidijitali_makubaliano_ya_kumaliza_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyebb1aa19992pmmu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139230-marais_wa_iran_na_marekani_watia_saini_kidijitali_makubaliano_ya_kumaliza_vita </guid>  
      <description>Hati ya makubaliano (MoU) kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani sasa imetiwa saini rasmi na marais wa nchi hizo mbili baada ya maandishi yake kukamilishwa, na hivyo makubaliano hayo kuanza kutekelezwa. Hayo yametangazwa na msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Jumatano usiku.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 04:30:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Bila Israel, kusingekuwa na Marekani"; Balozi wa Washington huko Tel Aviv aibua hasira za Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139228-bila_israel_kusingekuwa_na_marekani_balozi_wa_washington_huko_tel_aviv_aibua_hasira_za_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfa2b9dec012pmn4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139228-bila_israel_kusingekuwa_na_marekani_balozi_wa_washington_huko_tel_aviv_aibua_hasira_za_wamarekani </guid>  
      <description>Matamshi ya balozi wa Marekani huko Israel, Mike Huckabee, yamezua wimbi la hasira na ukosoaji mkubwa katika duru za kisiasa na vyombo vya habari vya Marekani, baada ya kusema kwamba Marekani "haingekuwepo bila Israel," katika taarifa iliyozusha mjadala mkubwa kuhusu ushawishi wa Israel ndani ya duru za kufanya maamuzi za Marekani na mipaka ya majukumu ya balozi wa Marekani huko Tel Aviv.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 04:27:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Alkhamisi tarehe 18 Juni 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139226-alkhamisi_tarehe_18_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx21df3fd8e22pf88.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139226-alkhamisi_tarehe_18_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria sawa na 18 Juni mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 04:25:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini umoja wa nyanja ni muhimu kwa Iran na kusambaratika kwake ni muhimu kwa Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139224-kwa_nini_umoja_wa_nyanja_ni_muhimu_kwa_iran_na_kusambaratika_kwake_ni_muhimu_kwa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf51625c9be2pmic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139224-kwa_nini_umoja_wa_nyanja_ni_muhimu_kwa_iran_na_kusambaratika_kwake_ni_muhimu_kwa_israel </guid>  
      <description>Wakati Iran na Marekani zilipokuwa zinakaribia kufikia mapatano ya awali kuhusu kusimamisha vita, utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena siku ya Jumapili (Juni 14, 2026) ulishambulia viunga vya mji wa Beirut, na hivyo kuendelea kukiuka usitishavi vita.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 12:30:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laionya Israel kuhusu ukiukaji usitishaji vita Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139222-jeshi_la_iran_laionya_israel_kuhusu_ukiukaji_usitishaji_vita_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby28137252932pmgk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139222-jeshi_la_iran_laionya_israel_kuhusu_ukiukaji_usitishaji_vita_lebanon </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran, Khatam al-Anbiya imeuonya utawala wa Israel na kuutaka usitishe mara moja ukiukaji wa mara kwa mara wa makubaliiano ya usitishaji vita kusini mwa Lebanon, au ukabiliwe na “jibu kali” la majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 12:14:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatengeneza dawa ya kutibu saratani kwa kutumia teknolojia ya nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139220-iran_yatengeneza_dawa_ya_kutibu_saratani_kwa_kutumia_teknolojia_ya_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby22b4f1a4c72pmi2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139220-iran_yatengeneza_dawa_ya_kutibu_saratani_kwa_kutumia_teknolojia_ya_nyuklia </guid>  
      <description>Iran inatarajiwa hivi karibuni kuzindua AlphaZa, dawa ya kwanza ya tiba ya nyuklia ya kutibu saratani iliyotengenezwa nchini inayotumia chembe za alfa (alpha‑emitting radiopharmaceutical), kwa ajili ya kutibu saratani zilizo katika hatua ya juu ambazo hazijaitikia tiba za kawaida.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 12:09:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa Yemen: Majeshi ya Iran ni mfano wa kuigwa katika ulimwengu wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139218-afisa_wa_yemen_majeshi_ya_iran_ni_mfano_wa_kuigwa_katika_ulimwengu_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6124e9eaf52pmhy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139218-afisa_wa_yemen_majeshi_ya_iran_ni_mfano_wa_kuigwa_katika_ulimwengu_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen, Mahdi al Mashat, amesifu Majeshi ya Iran, hasa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), akisema utendaji wao wakati wa vita vya Marekani na Israel umeonyesha ustahimilivu, azma thabiti, na nguvu ya kijeshi.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 12:07:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Afrika waunga mkono mpango wa dola milioni 518 kukabiliana na kuenea kwa Ebola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139216-viongozi_wa_afrika_waunga_mkono_mpango_wa_dola_milioni_518_kukabiliana_na_kuenea_kwa_ebola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxab210fee112pha2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139216-viongozi_wa_afrika_waunga_mkono_mpango_wa_dola_milioni_518_kukabiliana_na_kuenea_kwa_ebola </guid>  
      <description>Viongozi wa Afrika siku ya Jumanne walikutana katika mkutano wa dharura wa ngazi ya juu uliofanyika kwa njia ya mtandao, kwa lengo la kutafuta ufadhili wa dola milioni 518 za kudhibiti mlipuko wa Ebola unaoendelea huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 12:05:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Somalia yabainisha wasiwasi kufuatia uhusiano kati ya "Israel" na "Somaliland"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139214-somalia_yabainisha_wasiwasi_kufuatia_uhusiano_kati_ya_israel_na_somaliland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8321f048ae2pmhw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139214-somalia_yabainisha_wasiwasi_kufuatia_uhusiano_kati_ya_israel_na_somaliland </guid>  
      <description>Serikali ya Somalia imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuheshimu sheria za kimataifa, kutambua mamlaka yake ya kitaifa, na kulaani hatua zozote zinazodhoofisha umoja na uthabiti wa taifa hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 12:03:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kombe la Dunia 2026: Timu za Asia na Afrika Zilivyokumbana na Vikwazo Marekani Hata Kabla ya Kupulizwa Kipenga cha Kwanza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/event-i139212-kombe_la_dunia_2026_timu_za_asia_na_afrika_zilivyokumbana_na_vikwazo_marekani_hata_kabla_ya_kupulizwa_kipenga_cha_kwanza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb412b917232pmfa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/event-i139212-kombe_la_dunia_2026_timu_za_asia_na_afrika_zilivyokumbana_na_vikwazo_marekani_hata_kabla_ya_kupulizwa_kipenga_cha_kwanza </guid>  
      <description>Huku nikitumai kuwa hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo, nakukaribisha kuwa nami katika Makala ya Wiki ya juma hili itakayoangazia jinsi mamlaka za Marekani, ambayo ni moja ya wenyeji wa mashindano ya Dunia ya soka yaliyoanza siku ya Alkhamisi, zilivyozitendea timu za nchi washiriki wa mashindano hayo zilipowasili nchini humo. </description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 07:53:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>EID Gadir na Kumbukumbu ya Kuaga Dunia Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu)</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/event-i139210-eid_gadir_na_kumbukumbu_ya_kuaga_dunia_imam_khomeini_(mwenyezi_mungu_amrehemu)</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby787521f3572pmf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/event-i139210-eid_gadir_na_kumbukumbu_ya_kuaga_dunia_imam_khomeini_(mwenyezi_mungu_amrehemu) </guid>  
      <description>Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh.
Hamdu zote ni za Mwenyezi Mungu aliyetujaalia kuwa miongoni mwa wanaoshikamana na Wilaya ya Amirul Muuminin, Ali bin Abi Talib AS.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 07:42:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>“Hormuz, Lango Takatifu” </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/event-i139208-hormuz_lango_takatifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybf8c62078b2pmeu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/event-i139208-hormuz_lango_takatifu </guid>  
      <description>Matumaini yangu mpenzi msikilizaji ni kuwa hujambo popote pale ulipo.
Karibu kuwa pamoja nami katika makala yetu ya wiki hii yenye anuani: “Hormuz, Lango Takatifu”.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 07:31:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ejei: Iran iko tayari kuendelea kupigana iwapo adui atavunja ahadi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139206-ejei_iran_iko_tayari_kuendelea_kupigana_iwapo_adui_atavunja_ahadi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby175c0cab9b2pmbg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139206-ejei_iran_iko_tayari_kuendelea_kupigana_iwapo_adui_atavunja_ahadi </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholamhossein Mohseni Ejei, amesema Iran iko tayari kuendeleza mapambano dhidi ya uchokozi wa Marekani na Israel iwapo maadui hawatatimiza ahadi zao chini ya makubaliano mapya yaliyotangazwa ya kumaliza vita.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 03:31:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Quds: Vita dhidi ya Iran vimeifedhehesha Marekani, vimeharakisha kuporomoka Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139204-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_vita_dhidi_ya_iran_vimeifedhehesha_marekani_vimeharakisha_kuporomoka_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf4f38e9e042pmbe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139204-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_vita_dhidi_ya_iran_vimeifedhehesha_marekani_vimeharakisha_kuporomoka_israel </guid>  
      <description>Brigedia Jenerali Esmail Qaani, kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), amesema kuwa vita vya tatu vya kulazimishwa dhidi ya Iran vimeifedhehesha kabisa Marekani na vimeharakisha kuporomoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 03:29:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kocha:  Timu ya Iran imedhulumiwa zaidi katika Historia ya Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139202-kocha_timu_ya_iran_imedhulumiwa_zaidi_katika_historia_ya_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby94c4f978b52pmba.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139202-kocha_timu_ya_iran_imedhulumiwa_zaidi_katika_historia_ya_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Iran, Amir Ghalenoei, amesema kuwa ‘Team Melli’ ndiyo “timu inayodhulumiwa zaidi katika historia ya Kombe la Dunia la FIFA.” </description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 03:24:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Huenda mlipuko wa Ebola nchini DRC ukadumu kwa mwaka mmoja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139200-huenda_mlipuko_wa_ebola_nchini_drc_ukadumu_kwa_mwaka_mmoja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby41252af1702pmb8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139200-huenda_mlipuko_wa_ebola_nchini_drc_ukadumu_kwa_mwaka_mmoja </guid>  
      <description>Imebainika kuwa mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola unaoendelea kuenea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) bado haujafikia kilele chake, na huenda ukadumu kwa takriban mwaka mmoja.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 03:21:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati lakanusha uvumi kuhusu njama ya mapinduzi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139198-jeshi_la_jamhuri_ya_afrika_ya_kati_lakanusha_uvumi_kuhusu_njama_ya_mapinduzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4d8bc50d282pmb6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139198-jeshi_la_jamhuri_ya_afrika_ya_kati_lakanusha_uvumi_kuhusu_njama_ya_mapinduzi </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati limekanusha taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna njama ya kutaka kuipindua serikali, na kusisitiza kuwa nchi hiyo ina utulivu wa kutosha, na kwamba taasisi za serikali zinafanya kazi kama kawaida.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 03:18:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, tarehe 17 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139196-jumatano_tarehe_17_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby929c26adf42pmb4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139196-jumatano_tarehe_17_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatano tarehe 02 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria sawa na Juni 17 mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 02:51:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne, 16 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139194-jumanne_16_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4338a5aa952pmb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139194-jumanne_16_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumanne tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria mwafaka na 16 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 02:49:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Marekani ina jukumu la kuhakikisha inakomesha kabisa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139192-iran_marekani_ina_jukumu_la_kuhakikisha_inakomesha_kabisa_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby33d0105f8a2pm7i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139192-iran_marekani_ina_jukumu_la_kuhakikisha_inakomesha_kabisa_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema kuwa Marekani ina jukumu la kuhakikisha utekelezwaji wa hati ya maelewano (MoU) ya makubaliano itakayosainiwa na Tehran na Washington ikijumuisha kusitishwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 11:16:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Jeshi la Iran: Adui yeyote atakayefanya makosa atakabiliwa na ghadhabu kubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139190-mkuu_wa_jeshi_la_iran_adui_yeyote_atakayefanya_makosa_atakabiliwa_na_ghadhabu_kubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby806a9379ee2pm7g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139190-mkuu_wa_jeshi_la_iran_adui_yeyote_atakayefanya_makosa_atakabiliwa_na_ghadhabu_kubwa </guid>  
      <description>Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran amesema adui alishindwa kufikia malengo yake yoyote kupitia vita viwili, akionya kwamba makosa yoyote ya kimahesabu yatakabiliwa na hasira kali ya Jeshi la Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 11:13:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapiganaji wa Hizbullah wakabiliana na wanajeshi vamizi wa Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139188-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_wanajeshi_vamizi_wa_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc1c79acf772pm7c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139188-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_wanajeshi_vamizi_wa_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Wapiganaji wa Hizbullah wakabiliana na wanajeshi vamizi wa Israel kusini mwa Lebanon</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 11:09:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kesi inayomkabili wa Rais wa zamani wa CAR yaanza kusikilizwa bila ya yeye kuwepo mahakamani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139186-kesi_inayomkabili_wa_rais_wa_zamani_wa_car_yaanza_kusikilizwa_bila_ya_yeye_kuwepo_mahakamani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby93b1eed1f52pm7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139186-kesi_inayomkabili_wa_rais_wa_zamani_wa_car_yaanza_kusikilizwa_bila_ya_yeye_kuwepo_mahakamani </guid>  
      <description>Kesi inayomkabili aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Francois Bozize, imeanza kusikilizwa katika Mahakama Maalumu inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa nchi hiyo Bangui.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 11:07:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nigeria: Karibu wapiganaji 10,000 wa zamani wa Boko Haram waunganishwa katika jamii</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139184-nigeria_karibu_wapiganaji_10_000_wa_zamani_wa_boko_haram_waunganishwa_katika_jamii</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyec7614aee32pm74.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139184-nigeria_karibu_wapiganaji_10_000_wa_zamani_wa_boko_haram_waunganishwa_katika_jamii </guid>  
      <description>Mamlaka husika katika Jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria zimearifu kuwa karibu wapiganaji 10,000 wa zamani wa kundi la waamgambo wa Boko Haram sasa wameunganishwa tena katika jamii chini ya mpango unaofadhiliwa na serikali wa kurekebisha tabia na kuhimiza kuachana na makundi ya uasi.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 11:03:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani ilishindwa vipi katika vita dhidi ya Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139182-marekani_ilishindwa_vipi_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6769d77afe2pm02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139182-marekani_ilishindwa_vipi_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Siku mia moja na sita baada ya kuanza hujuma za kijeshi za Marekani na Wazayuni dhidi ya Iran, hatimaye Tehran na Washington zimefikia muafaka katika mfumo wa makubaliano ya kuhitimisha rasmi vita hivyo.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 06:31:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatoka sare ya mabao 2 kwa 2 na New Zealand, Misri yagawana pointi na Ubelgiji Kundi G</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139180-iran_yatoka_sare_ya_mabao_2_kwa_2_na_new_zealand_misri_yagawana_pointi_na_ubelgiji_kundi_g</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf1a7d60ed22pm4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139180-iran_yatoka_sare_ya_mabao_2_kwa_2_na_new_zealand_misri_yagawana_pointi_na_ubelgiji_kundi_g </guid>  
      <description>Timu ya Taifa ya Iran, Team Melli, imetoka sare ya mabao mawili kwa mawili na timu ya taifa ya New Zealand katika mechi ya kundi G iliyopigwa uwanja wa SoFi Stadium huko California.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 05:57:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Hasira ya Israel dhidi ya MoU na Marekani ni 'ishara dhahiri' ya ushindi wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139178-pezeshkian_hasira_ya_israel_dhidi_ya_mou_na_marekani_ni_'ishara_dhahiri'_ya_ushindi_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby66a5da5bd02pm1w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139178-pezeshkian_hasira_ya_israel_dhidi_ya_mou_na_marekani_ni_'ishara_dhahiri'_ya_ushindi_wa_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema hasira ya Israel kuhusu hati ya maelewano (MoU) ya makubaliano kati ya Iran na Marekani inaashiria wazi mafanikio na ushindi wa taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 03:34:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Amoli Larijani: Istiqama ya taifa imeshinda 'kiburi kibaya cha US-Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139176-ayatullah_amoli_larijani_istiqama_ya_taifa_imeshinda_'kiburi_kibaya_cha_us_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7737c05aba2pm36.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139176-ayatullah_amoli_larijani_istiqama_ya_taifa_imeshinda_'kiburi_kibaya_cha_us_israel </guid>  
      <description>Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesifu istiqama na ushujaa wa taifa kubwa la Iran mbele ya "kiburi kibaya" cha Marekani na utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 03:01:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu: Pakistani itakuwa mwenyeji wa hafla ya "kihistoria" ya kusaini makubaliano ya Iran na Marekani mjini Geneva, Juni 19</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139174-waziri_mkuu_pakistani_itakuwa_mwenyeji_wa_hafla_ya_kihistoria_ya_kusaini_makubaliano_ya_iran_na_marekani_mjini_geneva_juni_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9036282aaa2pm34.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139174-waziri_mkuu_pakistani_itakuwa_mwenyeji_wa_hafla_ya_kihistoria_ya_kusaini_makubaliano_ya_iran_na_marekani_mjini_geneva_juni_19 </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Pakistani, Shehbaz Sharif amesema kuwa hafla ya kutia saini Mkataba wa Maelewano kati ya Iran na Marekani (MOU) itaandaliwa na nchi yake mjini Geneva, Juni 19 mwaka huu.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 02:58:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya Trump kusherekea bethidei yake ya 80, sasa umri na afya ndio kiini cha mjadala wa kisiasa wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139172-baada_ya_trump_kusherekea_bethidei_yake_ya_80_sasa_umri_na_afya_ndio_kiini_cha_mjadala_wa_kisiasa_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya8a0caedf52pm32.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139172-baada_ya_trump_kusherekea_bethidei_yake_ya_80_sasa_umri_na_afya_ndio_kiini_cha_mjadala_wa_kisiasa_wa_marekani </guid>  
      <description>Ripoti ya Newsweek inaonyesha kwamba kutimiza umri wa miaka 80 Rais wa Marekani Donald Trump kumerejesha mjadala wa umri na afya ya rais katika mstari wa mbele wa malumbano ya kisiasa nchini Marekani, baada ya yeye mwenyewe kufanya umri na utimamu wa akili wa mtangulizi wake, Joe Biden kuwa moja ya mada kuu za kampeni yake ya uchaguzi.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 02:56:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tel Aviv inawakera hata washirika wake, Ufaransa yalituhumu shirika la Israel kuingia mambo ya ndani ya nchi hiyo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139170-tel_aviv_inawakera_hata_washirika_wake_ufaransa_yalituhumu_shirika_la_israel_kuingia_mambo_ya_ndani_ya_nchi_hiyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydc8f9868ce2pm30.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139170-tel_aviv_inawakera_hata_washirika_wake_ufaransa_yalituhumu_shirika_la_israel_kuingia_mambo_ya_ndani_ya_nchi_hiyo </guid>  
      <description>Baada ya takriban mwezi mmoja wa uchunguzi rasmi, Paris imeituhumu kampuni ya Israel kwa kuingilia uchaguzi uliopita nchini Ufaransa, na imetaka maelezo kutoka Tel Aviv kuhusu suala hilo.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 02:53:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uingereza kupiga marufuku watoto wa chini ya miaka 16 kutumia mitandao ya kijamii</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139168-uingereza_kupiga_marufuku_watoto_wa_chini_ya_miaka_16_kutumia_mitandao_ya_kijamii</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0351135f952pm2y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139168-uingereza_kupiga_marufuku_watoto_wa_chini_ya_miaka_16_kutumia_mitandao_ya_kijamii </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uingereza jana alisema nchi hiyo itapiga marufuku watoto walio na umri wa chini ya miaka 16 kutumia programu mbalimbali za mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na Snapchat, TikTok na YouTube ili kuwalinda vijana dhidi ya maudhui hatari na kupoteza muda mwingi katika mitandao ya kijamii.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 02:51:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump afedheheka kwa kusherehekea kurejea katika hali ya kabla ya vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139166-trump_afedheheka_kwa_kusherehekea_kurejea_katika_hali_ya_kabla_ya_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby96829e6e492pluk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139166-trump_afedheheka_kwa_kusherehekea_kurejea_katika_hali_ya_kabla_ya_vita_na_iran </guid>  
      <description>Wataalamu wengi wa masuala ya siasa wametathmini utangulizi wa mapatano ya kusitisha vita kati ya Marekani na Jamhuri ya Kislamu ya Iran na kuyataja kuwa fedheha kubwa kwa utawala wa Marekani unaoongozwa na Rais Donald Trump. </description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 13:57:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamishna wa Haki za Binadamu UN: Mapigano yasitishwe Gaza na Lebanon, aonya kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139164-kamishna_wa_haki_za_binadamu_un_mapigano_yasitishwe_gaza_na_lebanon_aonya_kuhusu_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf72150b87b2pm0i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139164-kamishna_wa_haki_za_binadamu_un_mapigano_yasitishwe_gaza_na_lebanon_aonya_kuhusu_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu_sudan </guid>  
      <description>Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza haja ya kuimarishwa usitishaji mapigano huko Gaza na kufikiwa makubaliano endelevu ya kusitisha mapigano, akibainisha kuwa vikosi vya jeshi la Israel vimewaua Wapalestina wapatao 1,000 tangu usitishaji mapigano Oktoba mwaka jana, pamoja na kuimarisha vizingiti vya kuzuia misaada ya kibinadamu kwa watu wa Gaza, jambo ambalo amesema limezidisha mgogoro wa binadamu katika sekta hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 12:40:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Serikali ya Afrika Kusini yasema imewarejesha nyumbani wageni 2,745 ndani ya wiki moja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139162-serikali_ya_afrika_kusini_yasema_imewarejesha_nyumbani_wageni_2_745_ndani_ya_wiki_moja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybd3b58493c2pm0a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139162-serikali_ya_afrika_kusini_yasema_imewarejesha_nyumbani_wageni_2_745_ndani_ya_wiki_moja </guid>  
      <description>Afrika Kusini imewarejesha nyumbani wageni 2,745 katika wiki moja baada ya Rais Cyril Ramaphosa kuapa kuchukua hatua kali dhidi ya uhamiaji haramu.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 12:25:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapiga picha wa Gaza washinda Tuzo ya Kalamu ya Dhahabu ya Uhuru</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139160-wapiga_picha_wa_gaza_washinda_tuzo_ya_kalamu_ya_dhahabu_ya_uhuru</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby47cb0e81402plzi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139160-wapiga_picha_wa_gaza_washinda_tuzo_ya_kalamu_ya_dhahabu_ya_uhuru </guid>  
      <description>Jumuiya ya Wachapishaji Habari Duniani imetangaza kwamba tuzo ya Kalamu ya Dhahabu ya Uhuru 2026 itatolewa kwa wapiga picha na wakurugenzi wa video kutoka Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 11:28:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Iran itaiwajibisha Marekani kwa ajili ya utekelezaji wa makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139158-araqchi_iran_itaiwajibisha_marekani_kwa_ajili_ya_utekelezaji_wa_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfa668d754d2plz4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139158-araqchi_iran_itaiwajibisha_marekani_kwa_ajili_ya_utekelezaji_wa_makubaliano </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi amejadili makubaliano ya Iran na Marekani na wenzake wa Uturuki, Iraq, Misri, Japani na Saudi Arabia, akisisitiza wajibu wa Marekani wa kutekeleza makubaliano hayo.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 10:47:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Washington Post: Trump anasherehekea kurudi katika hali ya kabla ya vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139156-washington_post_trump_anasherehekea_kurudi_katika_hali_ya_kabla_ya_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb4bbb0f6422plwi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139156-washington_post_trump_anasherehekea_kurudi_katika_hali_ya_kabla_ya_vita_na_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Washington Post, katika ripoti yake kuhusu hati ya makubaliano kati ya Iran na Marekani, limekejeli hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kusherehekea kurejea Washington kwenye hali ya kabla ya Februari 28, hatua ambayo baadhi ya wataalamu wanaamini ni kurudi nyuma kwa maana halisi ya neno hilo mkabala wa Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 10:11:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatangaza kufikiwa makubaliano ya kumaliza vita na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139154-iran_yatangaza_kufikiwa_makubaliano_ya_kumaliza_vita_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyabfe9f785f2plta.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139154-iran_yatangaza_kufikiwa_makubaliano_ya_kumaliza_vita_na_marekani </guid>  
      <description>Sekretarieti ya Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) imethibitisha kuwa Iran na Marekani zimekamilisha maandishi ya hati ya makubaliano (MoU) yanayolenga kumaliza vita, kusimamisha mara moja na kwa kudumu operesheni zote za kijeshi katika nyanja zote, ikiwemo Lebanon, na pia kuondoa mzingiro wa baharini uliowekwa na Marekani dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:30:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa dunia wakaribisha makubaliano ya kumaliza vita vya Marekani dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139152-viongozi_wa_dunia_wakaribisha_makubaliano_ya_kumaliza_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1f552670ad2plt0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139152-viongozi_wa_dunia_wakaribisha_makubaliano_ya_kumaliza_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Viongozi mbalimbali duniani wamekaribisha hati ya makubaliano (MoU) kati ya Iran na Marekani, ambayo inahitimisha mara moja vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran, kuondoa mzingiro wa baharini, na kufungua tena Lango Bahari la Hormuz kwa usafiri wa kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:29:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jezi za Kombe la Dunia zilizopewa jina la mtoto wa Kipalestina aliyeuawa na Isral zazinduliwa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139150-jezi_za_kombe_la_dunia_zilizopewa_jina_la_mtoto_wa_kipalestina_aliyeuawa_na_isral_zazinduliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9c8d3bfe2a2pltu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139150-jezi_za_kombe_la_dunia_zilizopewa_jina_la_mtoto_wa_kipalestina_aliyeuawa_na_isral_zazinduliwa </guid>  
      <description>Fulana za michezo zenye jina la "Jezi ya Kombe la Dunia ya Hind Rajab" zimezinduliwa rasmi sambamba na mashindano ya kombe hilo yanayoendelea katika nchi za Marekani, Canada na Mexico; jezi ambazo zimebuniwa na kutengenezwa kwa idhini ya mama wa "Hind Rajab", mtoto wa Kipalestina aliyeuawa shahidi na askari wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:28:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sudan: RSF inafanya biashara haramu ya viungo vya binadamu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139148-sudan_rsf_inafanya_biashara_haramu_ya_viungo_vya_binadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5434e311322pltq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139148-sudan_rsf_inafanya_biashara_haramu_ya_viungo_vya_binadamu </guid>  
      <description>Serikali ya Sudan imelituhumu kundi la Rapid Support Forces (RSF) kuwa linaendesha mtandao wa biashara haramu ya viungo vya binadamu ndani ya magereza ya Daqris na Shala huko El Fasher, mji mkuu wa jimbo la Darfur Kusini, ambalo kwa mujibu wa makadirio ya serikali ya Khartoum, lina wafungwa karibu 20,000 wa kijeshi na raia.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:27:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makumi ya magaidi, majasusi na wachochezi wa ghasia wamekamatwa wakati wa uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139146-makumi_ya_magaidi_majasusi_na_wachochezi_wa_ghasia_wamekamatwa_wakati_wa_uvamizi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby495a3606642pltm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139146-makumi_ya_magaidi_majasusi_na_wachochezi_wa_ghasia_wamekamatwa_wakati_wa_uvamizi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Wizara ya Intelijensia ya Iran imesema imefanikiwa kutekeleza operesheni za kupambana na ugaidi, ujasusi na hujuma nchini wakati wa uvamizi wa siku 39 wa Marekani na Israel ambao ulisitishwa mapema Aprili.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:23:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani safari ya "rais wa Somaliland" huko Israel, yasema ni dhambi ya kisiasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139144-hamas_yalaani_safari_ya_rais_wa_somaliland_huko_israel_yasema_ni_dhambi_ya_kisiasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6df371083d2pltk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139144-hamas_yalaani_safari_ya_rais_wa_somaliland_huko_israel_yasema_ni_dhambi_ya_kisiasa </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeitaja safari ya rais wa jimbo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland huko Israel kuwa ni "dhambi ya kisiasa, ukiukaji wa kanuni na sheria zote za kimataifa, na kupuuza msimamo wa Waarabu na Waislamu kuhusu suala la Quds tukufu."</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:20:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatatu, 15 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139142-jumatatu_15_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybbfef54c702pjo2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139142-jumatatu_15_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu 29 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1447 Hijria sawa na 15 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:08:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali wa IRGC: Iran inajitayarisha kujibu vitendo vya uchokozi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139138-jenerali_wa_irgc_iran_inajitayarisha_kujibu_vitendo_vya_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7172acb1de2plpc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139138-jenerali_wa_irgc_iran_inajitayarisha_kujibu_vitendo_vya_uchokozi </guid>  
      <description>Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Iran laWalinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema vikosi vya ulinzi vya Iran viko tayari kikamilifu kukabiliana na hatua yoyote ya uadui, akionya maadui kwamba nchi hiyo iko tayari kutoa jibu la haraka kwa shambulio lolote.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:07:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu atoa msamaha kwa wafungwa 139 waliohukumiwa adhabu ya kifo Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139136-kiongozi_muadhamu_atoa_msamaha_kwa_wafungwa_139_waliohukumiwa_adhabu_ya_kifo_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9d22c8b5642pgm2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139136-kiongozi_muadhamu_atoa_msamaha_kwa_wafungwa_139_waliohukumiwa_adhabu_ya_kifo_iran </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ameidhinisha pendekezo la kubadilisha hukumu za wafungwa 139 waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo na mahakama mbalimbali nchini.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:05:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapiganaji wa Hizbullah wakabiliana na jeshi vamizi la Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139134-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_jeshi_vamizi_la_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby55d74c2bb42plou.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139134-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_jeshi_vamizi_la_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Wapiganaji wa harakati ya mapambano ya Hizbullah wamekabiliana na vikosi vya Israel vilipokuwa vikijaribu kupenya katika maeneo ya kusini mwa Lebanon, wakilenga mikusanyiko ya wanajeshi na magari ya kijeshi kwa mashambulizi ya makombora pamoja na droni za kujitoa mhanga.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:03:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita na Iran vimefichua vipi mwanzo wa kudhoofika nguvu ya kimkakati ya Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139140-vita_na_iran_vimefichua_vipi_mwanzo_wa_kudhoofika_nguvu_ya_kimkakati_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd4174ab3f82plpi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139140-vita_na_iran_vimefichua_vipi_mwanzo_wa_kudhoofika_nguvu_ya_kimkakati_ya_marekani </guid>  
      <description>Vita wakati mwingine huweka wazi washindi wake wa kweli na walioshindwa sio kwenye uwanja wa vita, bali katika vyumba vya kifikra na vituo vya kimkakati.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:10:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali mstaafu Nigeria afariki akiwa ametekwa, rais aapa kuchukua hatua kali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139132-jenerali_mstaafu_nigeria_afariki_akiwa_ametekwa_rais_aapa_kuchukua_hatua_kali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb0c6987fba2pl46.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139132-jenerali_mstaafu_nigeria_afariki_akiwa_ametekwa_rais_aapa_kuchukua_hatua_kali </guid>  
      <description>Rais wa Nigeria, Bola Ahmed Tinubu, ameapa kuangamiza wale aliowataja kuwa ni  “maadui wakubwa” wa nchi hiyo baada ya jenerali mstaafu wa jeshi kufariki dunia akiwa mikononi mwa watekaji nyara.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:02:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maambukizi ya Ebola DRC yafikia 710 huku hofu ikitanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139130-maambukizi_ya_ebola_drc_yafikia_710_huku_hofu_ikitanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxab210fee112pha2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139130-maambukizi_ya_ebola_drc_yafikia_710_huku_hofu_ikitanda </guid>  
      <description>Idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imefikia 710, wakiwemo watu 149 waliofariki dunia, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumamosi na Wizara ya Afya ya nchi hiyo. </description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 11:58:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shahidi Imam Khamenei kuzikwa katika Haram ya Imam Ridha (AS) tarehe 9 Julai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139128-shahidi_imam_khamenei_kuzikwa_katika_haram_ya_imam_ridha_(as)_tarehe_9_julai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf53ab06a172plic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139128-shahidi_imam_khamenei_kuzikwa_katika_haram_ya_imam_ridha_(as)_tarehe_9_julai </guid>  
      <description>Ofisi inayohusika na kuhifadhi na kuchapisha kazi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza ratiba ya hafla za kuaga, mazishi, na kuzikwa kwa Shahidi Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:22:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Pakistan: Makubaliano kati ya Iran na Marekani 'yanatarajiwa ndani ya saa 24'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139126-waziri_mkuu_wa_pakistan_makubaliano_kati_ya_iran_na_marekani_'yanatarajiwa_ndani_ya_saa_24'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfbbcf6c0c62pli8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139126-waziri_mkuu_wa_pakistan_makubaliano_kati_ya_iran_na_marekani_'yanatarajiwa_ndani_ya_saa_24' </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amesema kuwa makubaliano kati ya Iran na Marekani kwa lengo la kukumaliza vita yapo "karibu zaidi kuliko wakati mwingine wowote," huku yakitarajiwa kukamilika ndani ya saa 24 zijazo.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:19:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaadhimisha mwaka mmoja tangu Vita vya Siku 12</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139124-iran_yaadhimisha_mwaka_mmoja_tangu_vita_vya_siku_12</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1db33fbd982pli6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139124-iran_yaadhimisha_mwaka_mmoja_tangu_vita_vya_siku_12 </guid>  
      <description>Maafisa wakuu wa Iran wameadhimisha mwaka mmoja tangu kuanza kwa Vita vya Siku 12, vilivyoanza tarehe 13 Juni mwaka uliopita kufuatia mashambulizi ya kichokozi ya anga ya utawala haramu wa  Israel, na ambayo yaliua makamanda kadhaa wa juu wa kijeshi, maafisa wa serikali, pamoja na wanasayansi wa nyuklia.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:13:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Idadi kubwa ya walioambukizwa Ebola DRC na Uganda ni wanawake na wasichana </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139122-idadi_kubwa_ya_walioambukizwa_ebola_drc_na_uganda_ni_wanawake_na_wasichana</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf1d952fd352pli4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139122-idadi_kubwa_ya_walioambukizwa_ebola_drc_na_uganda_ni_wanawake_na_wasichana </guid>  
      <description>Wanawake na wasichana wanawakilisha asilimia 53.4 ya wagonjwa wa Ebola waliothibitishwa kwa vipimo vya maabara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda, sawa na wagonjwa 244 kati ya 457 kwa mujibu wa taarifa za wagonjwa katika maeneo zilikopatikana. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:11:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mradi wa reli ya Ankara–Riyadh waibua wasiwasi Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139120-mradi_wa_reli_ya_ankara_riyadh_waibua_wasiwasi_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby39dbaf41982pli2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139120-mradi_wa_reli_ya_ankara_riyadh_waibua_wasiwasi_israel </guid>  
      <description>Pendekezo la kuanzisha ukanda mpya wa biashara na usafirishaji unaoendelezwa na Uturuki na Saudi Arabia limeibua wasiwasi miongoni mwa maafisa wa utawala wa Israel. </description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:08:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 14 Juni 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139118-jumapili_14_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0a816e282c2pli0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139118-jumapili_14_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 28 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria sawa na 14 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:02:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Khatamul-Anbiya (SAW): Hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139114-kamanda_wa_khatamul_anbiya_(saw)_hivi_karibuni_ulimwengu_utasikia_mwangwi_wa_ushindi_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9227db8fb12plec.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139114-kamanda_wa_khatamul_anbiya_(saw)_hivi_karibuni_ulimwengu_utasikia_mwangwi_wa_ushindi_wa_iran </guid>  
      <description>Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amesema kuwa hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran, na ushindi wa muqawama dhidi ya adui mchokozi na gaidi. </description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 11:20:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Somalia aituhumu Israel kwa kutumia mzozo kati ya Somalia na Somaliland kwa maslahi yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139112-rais_wa_somalia_aituhumu_israel_kwa_kutumia_mzozo_kati_ya_somalia_na_somaliland_kwa_maslahi_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby418ea7623d2plea.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139112-rais_wa_somalia_aituhumu_israel_kwa_kutumia_mzozo_kati_ya_somalia_na_somaliland_kwa_maslahi_yake </guid>  
      <description>Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud leo amelaani hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland, na kuituhumu Tel Aviv kuwa inatumia mzozo kati ya Mogadishu na eneo hilo lililojitenga na Somalia kwa maslahi yake.</description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 11:18:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139110-rais_wa_cuba_atangaza_mageuzi_mapya_ya_kiuchumi_ili_kukabiliana_na_mzingiro_wa_kijinai_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby624a4d5ea02ple6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139110-rais_wa_cuba_atangaza_mageuzi_mapya_ya_kiuchumi_ili_kukabiliana_na_mzingiro_wa_kijinai_wa_marekani </guid>  
      <description>Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani </description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 11:16:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump anaendelea kukariri mkakati ulioshindwa mara nyingi huko nyuma?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139116-kwa_nini_trump_anaendelea_kukariri_mkakati_ulioshindwa_mara_nyingi_huko_nyuma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydb8e0fe6f32plau.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139116-kwa_nini_trump_anaendelea_kukariri_mkakati_ulioshindwa_mara_nyingi_huko_nyuma </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena amekiuka makubaliano legevu ya kusitisha mapigano kati ya nchi hiyo na Iran kwa kushambulia upya maeneo kadhaa ndani ya ardhi ya Iran, ikiwa ni pamoja na miundombinu ya kiraia, hii ikiwa ni siku chache tu baada ya kudai kuwa makubaliano na Iran yalikuwa yanakaribia.</description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 11:03:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>