<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Habari, TV, redio na mengineyo</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Tue, 02 Jun 2026 23:03:52 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Nairobi kupinga kituo cha Ebola cha Marekani nchini Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138838-wanaharakati_wa_haki_za_binadamu_waandamana_nairobi_kupinga_kituo_cha_ebola_cha_marekani_nchini_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbycdfad7b7d22pip8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138838-wanaharakati_wa_haki_za_binadamu_waandamana_nairobi_kupinga_kituo_cha_ebola_cha_marekani_nchini_kenya </guid>  
      <description>Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano leo mjini Nairobi wakipinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya serikali ya nchi hiyo na Marekani ya kuanzisha nchini Kenya kituo cha kuhifadhi Wamarekani wanaoshukiwa kuambukizwa virusi vya Ebola. </description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 15:17:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lengo la Marekani kutokana na siasa zake zenye mgongano katika eneo la Asia-Pasifiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138836-lengo_la_marekani_kutokana_na_siasa_zake_zenye_mgongano_katika_eneo_la_asia_pasifiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1bbdb92caa2pima.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138836-lengo_la_marekani_kutokana_na_siasa_zake_zenye_mgongano_katika_eneo_la_asia_pasifiki </guid>  
      <description>Waziri wa Vita wa Marekani amesema katika mkutano wa Shangri-La huko Singapore kwamba Washington inatarajia washirika wake wa Asia waongeze matumizi yao ya kijeshi na ulinzi hadi asilimia 3.5 ya Pato lao la Taifa.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 10:06:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yafuta mpango wa kushambulia Beirut baada ya onyo kali la Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138834-israel_yafuta_mpango_wa_kushambulia_beirut_baada_ya_onyo_kali_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya273d477dc2pikq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138834-israel_yafuta_mpango_wa_kushambulia_beirut_baada_ya_onyo_kali_la_iran </guid>  
      <description>Utawala wa Israel umeachana na mpango wake wa kufanya mashambulizi makali ya ya kijeshi dhidi ya mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Haya yameelezwa siku ya Jumatatu na Rais wa Marekani, Donald Trump, kufuatia onyo kali kutoka kwa Iran kwamba haitavumilia wimbi jipya la uvamizi dhidi ya Beirut, hatua ambayo ingekiuka makubaliano ya kusitisha vita kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:13:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Kikosi cha Quds cha IRGC aonya Bab al-Mandab itageuka kama Mlango wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138832-mkuu_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_aonya_bab_al_mandab_itageuka_kama_mlango_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4996fcc2512pihc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138832-mkuu_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_aonya_bab_al_mandab_itageuka_kama_mlango_wa_hormuz </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Esmail Qa’ani, ameonya kuwa Mlango wa Bab al-Mandab unaweza kukabiliwa na vikwazo vya usafiri wa meli vinavyofanana na vya Mlango wa Hormuz iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea na uhalifu nchini Lebanon na Ukanda wa Gaza chini ya himaya ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:11:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waliowengi Baraza la Usalama la UN walaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138830-waliowengi_baraza_la_usalama_la_un_walaani_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby093be492652pija.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138830-waliowengi_baraza_la_usalama_la_un_walaani_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Idadi kubwa ya wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameonyesha kutokuridhishwa kwao na kuongezeka kwa mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya Lebanon. Wakati hayo yakijiri, Marekani imepuuza kuukosoa utawala wa Israel, badala yake ikielekeza lawama zake zote kwa harakati ya Muqawama ya Hizbullah na nchi ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:09:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Visa vya Ebola vimefika 300 nchini DR Congo huku maeneo zaidi ya afya yakiathirika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138828-visa_vya_ebola_vimefika_300_nchini_dr_congo_huku_maeneo_zaidi_ya_afya_yakiathirika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxab210fee112pha2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138828-visa_vya_ebola_vimefika_300_nchini_dr_congo_huku_maeneo_zaidi_ya_afya_yakiathirika </guid>  
      <description>Idadi ya visa vilivyothibitishwa vya ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imevuka 300 kufikia Jumatatu.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:08:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Raia watano wa Msumbiji wauawa katika ‘Mashambulizi ya Chuki’ nchini Afrika Kusini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138826-raia_watano_wa_msumbiji_wauawa_katika_mashambulizi_ya_chuki’_nchini_afrika_kusini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc0a45242432pilu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138826-raia_watano_wa_msumbiji_wauawa_katika_mashambulizi_ya_chuki’_nchini_afrika_kusini </guid>  
      <description>Serikali ya Msumbiji imetangaza kuwa takriban raia wake watano wameuawa katika “mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni” nchini Afrika Kusini mwishoni mwa juma lililopita. Vifo hivyo vinaashiria kushadidia maandamano yanayoendelea nchi nzima dhidi ya wahamiaji wasio na vibali.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:05:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne tarehe Pili Juni mwaka 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138824-jumanne_tarehe_pili_juni_mwaka_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby93238fb8c72pii0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138824-jumanne_tarehe_pili_juni_mwaka_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumanne tarehe 16 Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe Pili Juni 2026.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 03:14:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Marekani ni lazima ilipe gharama za jinai za Israel Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138822-qalibaf_marekani_ni_lazima_ilipe_gharama_za_jinai_za_israel_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9309214e342pihy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138822-qalibaf_marekani_ni_lazima_ilipe_gharama_za_jinai_za_israel_lebanon </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) Mohammad Baqir Qalibaf ameilaani Marekani kwa kuhusika katika mashambulizi ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Lebanon na kueleza kuwa Washington lazima ilipe gharama ya jinai za kivita zinazofanywa na utawala huo ghasibu dhidi ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 03:07:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yapiga kambi ya anga ya Marekani iliyohusishwa na shambulio dhidi ya mnara wa mawasiliano kusini mwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138820-irgc_yapiga_kambi_ya_anga_ya_marekani_iliyohusishwa_na_shambulio_dhidi_ya_mnara_wa_mawasiliano_kusini_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby26b82cee8a2pihs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138820-irgc_yapiga_kambi_ya_anga_ya_marekani_iliyohusishwa_na_shambulio_dhidi_ya_mnara_wa_mawasiliano_kusini_mwa_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la  Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema limefanya shambulio la kulipiza kisasi dhidi ya kambi ya anga iliyotumiwa na Marekani kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya mnara wa mawasiliano katika kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 03:01:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei ya mafuta duniani yapanda huku majeshi ya Israel yakisonga ndani zaidi kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138818-bei_ya_mafuta_duniani_yapanda_huku_majeshi_ya_israel_yakisonga_ndani_zaidi_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby51881ffd892pihq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138818-bei_ya_mafuta_duniani_yapanda_huku_majeshi_ya_israel_yakisonga_ndani_zaidi_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Bei ya mafuta duniani yapanda huku majeshi ya Israel yakisonga ndani zaidi kusini mwa Lebanon</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 02:58:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walimu Nigeria waitisha mgomo katika jimbo la Oyo kufuatia vitendo vya utekaji nyara shuleni </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138816-walimu_nigeria_waitisha_mgomo_katika_jimbo_la_oyo_kufuatia_vitendo_vya_utekaji_nyara_shuleni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby89bfc75d2e2pihm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138816-walimu_nigeria_waitisha_mgomo_katika_jimbo_la_oyo_kufuatia_vitendo_vya_utekaji_nyara_shuleni </guid>  
      <description>Muungano wa Walimu wa Nigeria umeitisha mgomo wa wazi kuanzia leo Jumatatu katika jimbo la Oyo kupinga kutekwa nyara makumi ya watoto na walimu wao katikati ya mwezi wa Mei mwaka huu.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 02:56:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Somalia lamuuwa kamanda mwandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabaab </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138814-jeshi_la_somalia_lamuuwa_kamanda_mwandamizi_wa_kundi_la_kigaidi_la_al_shabaab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby63b2a767f32pihk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138814-jeshi_la_somalia_lamuuwa_kamanda_mwandamizi_wa_kundi_la_kigaidi_la_al_shabaab </guid>  
      <description>Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) limewaua wanachama wawili wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, akiwemo kamanda mwandamizi, katika operesheni ya kijeshi iliyopangwa katika eneo la Hanti Wadaag, mkoani Lower Shabelle.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 02:53:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Ruto aagiza ujumuishaji wa Shule za Kiislamu katika mfumo rasmi wa elimu wa Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138812-rais_ruto_aagiza_ujumuishaji_wa_shule_za_kiislamu_katika_mfumo_rasmi_wa_elimu_wa_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby68cc7ff1952pieq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138812-rais_ruto_aagiza_ujumuishaji_wa_shule_za_kiislamu_katika_mfumo_rasmi_wa_elimu_wa_kenya </guid>  
      <description>Rais wa Kenya, William Ruto, amemwagiza waziri wa elimu kushirikisha wadau wote husika na kuanzisha mashauriano kuhusu ujumuishaji rasmi wa shule za Kiislamu nchini, zinazojulikana kama Duksi au Madrasa, katika mfumo wa elimu wa Kenya.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 13:08:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanawake wako katika hatari kubwa ya kuathiriwa na mlipuko wa Ebola Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138810-wanawake_wako_katika_hatari_kubwa_ya_kuathiriwa_na_mlipuko_wa_ebola_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby80e496fc6e2pie2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138810-wanawake_wako_katika_hatari_kubwa_ya_kuathiriwa_na_mlipuko_wa_ebola_kongo </guid>  
      <description>Wakati Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikiendelea na mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, wanawake nchini humo wametajwa kuwa kundi lililo kwenye hatari ya kuambukizwa ugonjwa huo unaosababishwa na virusi. </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 11:51:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu 12 wauawa shahidi katika mashambulizi ya anga ya Israel katika ardhi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138808-watu_12_wauawa_shahidi_katika_mashambulizi_ya_anga_ya_israel_katika_ardhi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby30784199272piai.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138808-watu_12_wauawa_shahidi_katika_mashambulizi_ya_anga_ya_israel_katika_ardhi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Ikiwa ni katika muendelezo wa ukiukaji wa makubaliano ya usitishaji vita na mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya miji na vijiji vya kusini mwa Lebanon yaliyotekelezwa zaidi ya mara 36 mchana na Jumapili usiku, watu 12 wameuawa shahidi na wengine 35 kujeruhiwa katika mashambulizi hayo ya jinai.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 11:27:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kauli ya Umoja wa Ulaya inayolaani kujilinda halali kwa Iran ni ya kinafiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138806-kauli_ya_umoja_wa_ulaya_inayolaani_kujilinda_halali_kwa_iran_ni_ya_kinafiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5d230595d12pid8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138806-kauli_ya_umoja_wa_ulaya_inayolaani_kujilinda_halali_kwa_iran_ni_ya_kinafiki </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa Umoja wa Ulaya unapasa kuzingatia kanuni ya utawala wa sheria na Hati ya Umoja wa Mataifa ambazo unadai kufungamana nazo.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 11:24:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, ni vipi Ulaya imekuwa mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138802-je_ni_vipi_ulaya_imekuwa_mshirika_wa_jinai_za_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye8006f09ae2pidc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138802-je_ni_vipi_ulaya_imekuwa_mshirika_wa_jinai_za_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Jürgen Todenhofer, mwanasiasa na mjumbe wa zamani wa bunge la Ujerumani, amesema: "Umoja wa Ulaya na serikali ya Ujerumani zinahusika moja kwa moja katika maangamizi makubwa ya watu wa Palestina." </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 10:03:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen: Kupiga marufuku Hamas na Jihad Islami kunaonyesha jinsi Ulaya inavyoukingia kifua Uzayuni wa kimataifa.</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138800-yemen_kupiga_marufuku_hamas_na_jihad_islami_kunaonyesha_jinsi_ulaya_inavyoukingia_kifua_uzayuni_wa_kimataifa.</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye49a132cb32pice.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138800-yemen_kupiga_marufuku_hamas_na_jihad_islami_kunaonyesha_jinsi_ulaya_inavyoukingia_kifua_uzayuni_wa_kimataifa. </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imelaani vikali hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuimarisha vikwazo dhidi ya harakati za ukombozi wa Palestina, Hamas na Jihad Islami, ikiitaja kuwa ni ishara ya utiifu kwa Uzayuni wa kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 09:27:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali shambulio la polisi wa Uholanzi dhidi ya mke mjamzito wa Mpalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138798-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_polisi_wa_uholanzi_dhidi_ya_mke_mjamzito_wa_mpalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby887ed9f6472pic6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138798-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_polisi_wa_uholanzi_dhidi_ya_mke_mjamzito_wa_mpalestina </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali shambulio la kikatili lililofanywa na polisi wa Uholanzi dhidi ya mke mjamzito wa mwanamume Mpalestina, ikitoa wito kwa serikali ya Uholanzi kuchunguza tukio hilo na kuwawajibisha waliohusika.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 09:20:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatatu tarehe Mosi Juni 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138796-jumatatu_tarehe_mosi_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya59acf2ba22pi68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138796-jumatatu_tarehe_mosi_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu 15 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1447 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Juni 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 03:28:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Iran inamrudisha nyuma adui kupitia umoja wa kitaifa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138794-spika_qalibaf_iran_inamrudisha_nyuma_adui_kupitia_umoja_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6c2f3b68e32pi66.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138794-spika_qalibaf_iran_inamrudisha_nyuma_adui_kupitia_umoja_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Mohammad Baqir Qalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa Iran, kupitia umoja wa kitaifa, inamrudisha nyuma adui katika vita vinavyoacha historia.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 03:25:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanasiasa wa Ujerumani: EU ni mshirika katika ugaidi wa kimfumo wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138790-mwanasiasa_wa_ujerumani_eu_ni_mshirika_katika_ugaidi_wa_kimfumo_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby23614602702pi64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138790-mwanasiasa_wa_ujerumani_eu_ni_mshirika_katika_ugaidi_wa_kimfumo_wa_israel </guid>  
      <description>Mwanasiasa wa Ujerumani na mbunge wa zamani wa bunge la nchi hiyo amekosoa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema: "Walowezi wa Kizayuni wanafanya ugaidi wa kimfumo dhidi ya Wapalestina, na serikali ya Ujerumani na Umoja wa Ulaya wanashiriki katika uhalifu huo kwa kunyamaza kimya."</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 03:20:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Uvutaji sigara unahatarisha afya ya watu bilioni 1.2 duniani kote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138788-who_uvutaji_sigara_unahatarisha_afya_ya_watu_bilioni_1.2_duniani_kote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8823b51a432pi60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138788-who_uvutaji_sigara_unahatarisha_afya_ya_watu_bilioni_1.2_duniani_kote </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza takwimu za kutisha na za kusikitisha kuhusu hatari ya uvutaji sigara, kwa mnasaba wa madhimisho ya kila mwaka ya Siku ya Kupiga Vita Tumbaku Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 31. </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:51:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchaguzi mkuu Ethiopia; Abiy Ahmed anatarajiwa kushinda tena kiti cha Waziri Mkuu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138786-uchaguzi_mkuu_ethiopia_abiy_ahmed_anatarajiwa_kushinda_tena_kiti_cha_waziri_mkuu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydb182db1012pi5y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138786-uchaguzi_mkuu_ethiopia_abiy_ahmed_anatarajiwa_kushinda_tena_kiti_cha_waziri_mkuu </guid>  
      <description>Uchaguzi mkuu wa Ethiopia unatarajiwa kufanyika Jumatatu hii huku migogoro ikiendelea katika baadhi ya maeneo ya nchi, ikimaanisha kuwa watu wengi hawataweza kupiga kura.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:46:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkaguzi mkuu wa magereza Ufaransa: Hali ya magereza nchini ni "mbaya, ya aibu na ya majanga"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138784-mkaguzi_mkuu_wa_magereza_ufaransa_hali_ya_magereza_nchini_ni_mbaya_ya_aibu_na_ya_majanga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby50fb89566d2pi5w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138784-mkaguzi_mkuu_wa_magereza_ufaransa_hali_ya_magereza_nchini_ni_mbaya_ya_aibu_na_ya_majanga </guid>  
      <description>Wizara ya Sheria ya Ufaransa imetangaza kwamba idadi ya wafungwa nchini humo imefikia zaidi ya watu 88,600, ambayo ni kubwa zaidi kuwahi kurekodiwa katika historia ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:42:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump anatapatapa kati ya vitisho na makubaliano?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138782-kwa_nini_trump_anatapatapa_kati_ya_vitisho_na_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9abb6c05812pi0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138782-kwa_nini_trump_anatapatapa_kati_ya_vitisho_na_makubaliano </guid>  
      <description>CNN imesema katika ripoti kwamba: "Serikali ya Marekani huchanganyikiwa linapokuja suala la nyuklia la Iran." Katika kipindi cha wiki kadhaa zilizopita, Rais Donald Trump wa Marekani amebadilisha misimamo yake mara kadhaa kuhusu hatima ya hifadhi ya urani iliyorutubishwa ya Iran. </description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 13:22:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump anakabiliwa na chaguzi 'mbaya' au 'mbaya zaidi' kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138780-trump_anakabiliwa_na_chaguzi_'mbaya'_au_'mbaya_zaidi'_kuhusu_iran_jenerali_wa_irgc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx16f7d153bb2pi26.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138780-trump_anakabiliwa_na_chaguzi_'mbaya'_au_'mbaya_zaidi'_kuhusu_iran_jenerali_wa_irgc </guid>  
      <description>Kamanda wa cheo cha juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) anasema Rais wa Marekani, Donald Trump, hana chaguo zuri kuhusu Iran na anapaswa kuchagua kati ya njia "mbaya" au "mbaya zaidi".</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:58:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Wanazuoni Waislamu: Kuanzisha uhusiano na Israel kuna madhara kwa nchi za Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138778-umoja_wa_wanazuoni_waislamu_kuanzisha_uhusiano_na_israel_kuna_madhara_kwa_nchi_za_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb855168ef52pi24.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138778-umoja_wa_wanazuoni_waislamu_kuanzisha_uhusiano_na_israel_kuna_madhara_kwa_nchi_za_kiislamu </guid>  
      <description>Umoja wa Wasomi wa Kiislamu Duniani umetangaza upinzani wake kamili kwa tishio lolote linaloelekezwa kwa nchi za Kiislamu au mataifa yao kutoka upande wowote ule, na kuonya kuhusu matokeo mabaya ya kunzisha uhusiano na utawala wa Tel Aviv. </description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:55:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Simulizi la Wall Street Journal kuhusu vita vya Marekani dhidi ya Iran: Ni ushindi wa kimaonyesho wa Trump au kushindwa halisi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138776-simulizi_la_wall_street_journal_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ushindi_wa_kimaonyesho_wa_trump_au_kushindwa_halisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9abb6c05812pi0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138776-simulizi_la_wall_street_journal_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ushindi_wa_kimaonyesho_wa_trump_au_kushindwa_halisi </guid>  
      <description>Mhariri mkuu wa Wall Street Journal amesema: "Trump analazimika kudhihirisha kushindwa kwake mbele ya Iran kama ushindi ili kulinda sura na hadhi yake."</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:52:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Israeli Ben-Gvir amhimiza Netanyahu 'kusawazisha vitongoji vya Beirut na ardhi'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138774-waziri_wa_israeli_ben_gvir_amhimiza_netanyahu_'kusawazisha_vitongoji_vya_beirut_na_ardhi'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7ab61337de2pi22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138774-waziri_wa_israeli_ben_gvir_amhimiza_netanyahu_'kusawazisha_vitongoji_vya_beirut_na_ardhi' </guid>  
      <description>Waziri anayejiita wa usalama wa Israel, Itamar Ben-Gvir, amemtaka Waziri Mkuu wa utawaka huo katili, Benjamin Netanyahu, kusawazisha na ardhi vitongoji vya mji mkuu wa Lebanon, Beirut huku utawala huo ukizidisha mashambulizi yake dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:49:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>MSF yaonya: Mlipuko wa Ebola DR Congo ni wa kutisha sana</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138772-msf_yaonya_mlipuko_wa_ebola_dr_congo_ni_wa_kutisha_sana</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1669332a572pi20.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138772-msf_yaonya_mlipuko_wa_ebola_dr_congo_ni_wa_kutisha_sana </guid>  
      <description>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba mlipuko wa Ebola katika Mkoa wa Ituri nchini Kongo DR unaenea kwa kasi kubwa zaidi kuliko juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) ikifuatilia ongezeko la dharura ya afya ya umma sambamba na kuwepo mamia ya visa vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:48:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 31 Mei, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138770-jumapili_31_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b0dd57fe92pe9u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138770-jumapili_31_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 14 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1447 Hijria sawa na 31 Mei 2026.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:38:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Iran kupigia kura mpango wa usimamizi wa Lango Bahari la Hormuz 'hivi karibuni'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138768-bunge_la_iran_kupigia_kura_mpango_wa_usimamizi_wa_lango_bahari_la_hormuz_'hivi_karibuni'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx21bf0183a32phw8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138768-bunge_la_iran_kupigia_kura_mpango_wa_usimamizi_wa_lango_bahari_la_hormuz_'hivi_karibuni' </guid>  
      <description>Bunge la Iran linatarajiwa kupitia na kuidhinisha sheria inayorasimisha usimamizi na mamlaka ya Jamhuri ya Kiislamu juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:29:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti: Wamarekani wengi wanasumbuliwa na njaa kuliko wakati wa janga la Covid-19</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138766-utafiti_wamarekani_wengi_wanasumbuliwa_na_njaa_kuliko_wakati_wa_janga_la_covid_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0d62f5c6de2phwk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138766-utafiti_wamarekani_wengi_wanasumbuliwa_na_njaa_kuliko_wakati_wa_janga_la_covid_19 </guid>  
      <description>Utafiti wa Benki ya Hifadhi ya Shirikisho ya New York unaonyesha kwamba karibu 10% ya kaya zinaripoti kutokula chakula kutokana na kupanda kwa gharama na matatizo ya kifedha.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:25:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhaba wa dawa unavyotishia maisha ya wagonjwa nchini Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138764-uhaba_wa_dawa_unavyotishia_maisha_ya_wagonjwa_nchini_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9772037b702phvy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138764-uhaba_wa_dawa_unavyotishia_maisha_ya_wagonjwa_nchini_sudan </guid>  
      <description>Utafutaji wa dawa za binadamu nchini Sudan umegeuka kuwa maumivu ya kila siku yanayotishia maisha ya maelfu ya watu, huku kukiwa na uhaba mkubwa wa dawa muhimu na kuzagaa ovyo dawa zisizojulikana asili na ubora wake.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:22:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: EU imewawekea vikwazo viongozi wa Gaza lakini 'imepuuza' ukatili wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138762-hamas_eu_imewawekea_vikwazo_viongozi_wa_gaza_lakini_'imepuuza'_ukatili_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx98ea9fee6e2phvw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138762-hamas_eu_imewawekea_vikwazo_viongozi_wa_gaza_lakini_'imepuuza'_ukatili_wa_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Hamas imelaani vikwazo vya Umoja wa Ulaya, ikiikosoa kambi hiyo kwa "kufumbia macho" ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na Israel huku ikiyalenga makundi na viongozi wa mapambano ya ukombozi wa Palestina.
</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:19:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa WHO atembelea Bunia, kitovu cha Ebola asema , tuko pamoja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138760-mkuu_wa_who_atembelea_bunia_kitovu_cha_ebola_asema_tuko_pamoja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx657efce4362phvq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138760-mkuu_wa_who_atembelea_bunia_kitovu_cha_ebola_asema_tuko_pamoja </guid>  
      <description>Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO), Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema imani ya jamii itakuwa jambo muhimu katika kudhibiti mlipuko wa Ebola unaoendelea kusambaa kwa kasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 02:58:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waasi wa RSF wanaoungwa mkono na UAE wauwa raia 27  siku ya Eid nchini Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138758-waasi_wa_rsf_wanaoungwa_mkono_na_uae_wauwa_raia_27_siku_ya_eid_nchini_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx788ff772ca2phqs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138758-waasi_wa_rsf_wanaoungwa_mkono_na_uae_wauwa_raia_27_siku_ya_eid_nchini_sudan </guid>  
      <description>Waasi wa RSF wamewaua angalau raia 27, wakiwemo wazee, katika shambulio dhidi ya vijiji vilivyoko magharibi mwa Bara katika jimbo la North Kordofan nchini Sudan.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 11:51:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tamko la Marekani baada ya Mahakama ya Kenya kusitisha ujenzi wa kituo cha Ebola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138756-tamko_la_marekani_baada_ya_mahakama_ya_kenya_kusitisha_ujenzi_wa_kituo_cha_ebola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe2030d322c2pg1u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138756-tamko_la_marekani_baada_ya_mahakama_ya_kenya_kusitisha_ujenzi_wa_kituo_cha_ebola </guid>  
      <description>Mahakama Kuu ya Kenya imesitisha kwa muda kuanzishwa kituo cha karantini kwa wagonjwa wa Ebola raia wa Marekani, kilichotarajiwa kujengwa nchini humo. Kufuatia uamuzi huo, wakuu wa Marekani wamedai kuwa  watashughulikia hofu ya Wakenya kuhusiana na kituo hicho.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 11:35:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema mapatano na Marekani  bado hayajafikiwa, yakataa mabavu ya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138754-iran_yasema_mapatano_na_marekani_bado_hayajafikiwa_yakataa_mabavu_ya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6a1f3daffb2phpc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138754-iran_yasema_mapatano_na_marekani_bado_hayajafikiwa_yakataa_mabavu_ya_trump </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Ijumaa kwamba mabadilishano ya ujumbe kati ya Iran na yanaendelea, lakini hadi sasa hakuna mwafaka wa mwisho uliofikiwa huku akisisitiza kuwa Tehran haikubali lugha ya mabavu.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 11:03:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aonya: Trump anaisaliti diplomasia kwa mara ya tatu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138752-mshauri_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aonya_trump_anaisaliti_diplomasia_kwa_mara_ya_tatu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd20d95858f2pbfk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138752-mshauri_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aonya_trump_anaisaliti_diplomasia_kwa_mara_ya_tatu </guid>  
      <description>Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonya kuwa Rais wa Marekani Donald Trump anaisaliti diplomasia na kuupa nafasi mwelekeo wa vita kwa mara ya tatu, kutokana na kile alichokitaja kuwa ni hatua zake za kichokozi.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 11:01:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Asilimia 100 ya Gaza ni mali ya Wapalestina, yataka Israel ikomeshe uvamizi haramu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138750-un_asilimia_100_ya_gaza_ni_mali_ya_wapalestina_yataka_israel_ikomeshe_uvamizi_haramu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx204597ef952phpk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138750-un_asilimia_100_ya_gaza_ni_mali_ya_wapalestina_yataka_israel_ikomeshe_uvamizi_haramu </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umekosoa vikali mipango ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ya kupanua udhibiti juu ya Ukanda wa Gaza, na kusisitiza kuwa eneo lote ni haki ya watu wa Palestina.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 10:31:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Almasi Zilizochongwa kwa Machozi ya Afrika-Sehemu ya Kwanza: Maumivu ya Ukoloni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/event-i138748-almasi_zilizochongwa_kwa_machozi_ya_afrika_sehemu_ya_kwanza_maumivu_ya_ukoloni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0efa8adef32phoc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/event-i138748-almasi_zilizochongwa_kwa_machozi_ya_afrika_sehemu_ya_kwanza_maumivu_ya_ukoloni </guid>  
      <description>Wapenzi wasikilizaji, Ukoloni wa karne ya kumi na tisa haukuwa wa kuhodhi ardhi tu za mataifa, bali ulikuwa mfumo na utaratibu maalumu ulioratibiwa kwa ajili ya kuuhamisha utajiri wa Afrika na kuupeleka Ulaya. Katika kipindi kilichojulikana kama “ Uvamizi wa Afrika”, Uingereza ilitumia nguvu zake za kiuchumi pamoja na makampuni binafsi kuanzisha ubeberu wa kimuundo na ulio endelevu wa kuzihodhi rasilimali za bara hilo.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 08:46:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi tarehe 30 Mei 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138746-jumamosi_tarehe_30_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8dc7aee2ad2phn0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138746-jumamosi_tarehe_30_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi tarehe 13 Dhulhija 1447 Hijria sawa na 30 Mei mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 07:41:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa tarehe 29 Mei 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138744-ijumaa_tarehe_29_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfda40f1c762phmq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138744-ijumaa_tarehe_29_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa tarehe 12 Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe 29 Mei 2026.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 07:30:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini utawala wa Kizayuni unasisitiza kuendeleza vita huko Lebanon?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138742-kwa_nini_utawala_wa_kizayuni_unasisitiza_kuendeleza_vita_huko_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxdad644bfc62phmm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138742-kwa_nini_utawala_wa_kizayuni_unasisitiza_kuendeleza_vita_huko_lebanon </guid>  
      <description>Moja ya vikwazo muhimu katika mazungumzo ya Iran na Marekani ni sisitizo la utawala wa Kizayuni wa Israel la kuondolewa medani ya vita vya Lebanon kwenye mazungumzo hayo na kuendeleza vita dhidi ya harakati ya Hizbullah. Hii ni katika hali ambayo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa moja ya masharti muhimu ya kufikiwa mapatano na Marekani ni kusimamishwa kikamilifu vita katika ngome zote za mhimili wa muqawama na hasa nchini Lebanon. </description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 07:07:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138738-iran_yakemea_vikali_tishio_la_marekani_la_kuiwekea_oman_vikwazo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4cb846a8d92phle.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138738-iran_yakemea_vikali_tishio_la_marekani_la_kuiwekea_oman_vikwazo </guid>  
      <description>Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 05:27:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mahakama Kuu ya Katiba ya Madagascar yapinga kuondolewa madarakani Rais </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138734-mahakama_kuu_ya_katiba_ya_madagascar_yapinga_kuondolewa_madarakani_rais</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx42b8dcc3982phkc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138734-mahakama_kuu_ya_katiba_ya_madagascar_yapinga_kuondolewa_madarakani_rais </guid>  
      <description>Mahakama Kuu ya Katiba ya Madagascar imepinga jaribio la mbunge wa upinzani la kumwondoa madarakani Rais Michael Randrianirina wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 04:24:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO yakadiria kiwango cha vifo vya Ebola kufikia asilimia 30-50 wakati mkuu wake akizuru DRC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138736-who_yakadiria_kiwango_cha_vifo_vya_ebola_kufikia_asilimia_30_50_wakati_mkuu_wake_akizuru_drc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9687b326ba2phkk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138736-who_yakadiria_kiwango_cha_vifo_vya_ebola_kufikia_asilimia_30_50_wakati_mkuu_wake_akizuru_drc </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa kiwango cha vifo katika mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ni kati ya asilimia 30 na 50, huku mkuu wa shirika hilo akizuru nchi hiyo kusaidia juhudi za kuudhibiti ugonjwa huo hatari.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 04:49:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Hakuna njia nyingine isipokuwa mapambano dhidi ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138732-hizbullah_hakuna_njia_nyingine_isipokuwa_mapambano_dhidi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfe090a52852phk6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138732-hizbullah_hakuna_njia_nyingine_isipokuwa_mapambano_dhidi_ya_israel </guid>  
      <description>Mbunge mwandamizi wa Lebanon amesema kuwa harakati ya Hizbullah itaendeleza operesheni zake za kijeshi dhidi ya vikosi vya utawala dhalimu wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 03:31:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanamgambo wenye mfungamano na RSF wauwa raia 27 Kordofan Kaskazini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138730-wanamgambo_wenye_mfungamano_na_rsf_wauwa_raia_27_kordofan_kaskazini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe63bb03c7e2phk4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138730-wanamgambo_wenye_mfungamano_na_rsf_wauwa_raia_27_kordofan_kaskazini </guid>  
      <description>Mtandao wa Madaktari wa Sudan umeripoti kuwa wanamgambo wenye mfungamano na Kikosi cha wapiganaji wa RSF  kimewaua takriban raia 27, wakiwemo wazee, katika mashambulizi dhidi ya vijiji kadhaa magharibi mwa Bara katika jimbo la Kordofan Kaskazini. </description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 03:23:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani na Israel zimedhoofika baada ya Vita vya Ramadhani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138728-imamu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_na_israel_zimedhoofika_baada_ya_vita_vya_ramadhani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxba56fd400b2phfk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138728-imamu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_na_israel_zimedhoofika_baada_ya_vita_vya_ramadhani </guid>  
      <description>Katibu wa muda wa swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa Marekani na Israel zinashuhudia “kudhoofika”  katika eneo la  Asia Magharibi. Amesisitiza kuwa vita vya siku 40 vya Ramadhani vilivyoanzishwa na tawala hizo mbili dhidi ya Iran vimedhihirisha kuwa Marekani imepoteza uwezo wa kudumisha ushawishi wake wa kisiasa katika Asia ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 13:09:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini makubaliano yoyote na Iran ni fedheha kwa Trump?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138726-kwa_nini_makubaliano_yoyote_na_iran_ni_fedheha_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2cabd475922phg2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138726-kwa_nini_makubaliano_yoyote_na_iran_ni_fedheha_kwa_trump </guid>  
      <description>Kadiri uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Marekani na Iran unavyoongezeka, waandishi wa habari na wachambuzi mashuhuri wa Marekani wanatoa maoni yao kwa uwazi zaidi kuhusu kushindwa Trump na Netanyahu kutimiza matakwa yao katika mashambulio ya kijeshi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:45:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Sikukuu ya wanyonya damu imekwisha': Iran yasema hakuna ngao tena kwa kambi za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138724-'sikukuu_ya_wanyonya_damu_imekwisha'_iran_yasema_hakuna_ngao_tena_kwa_kambi_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1d50c2e0d02phg0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138724-'sikukuu_ya_wanyonya_damu_imekwisha'_iran_yasema_hakuna_ngao_tena_kwa_kambi_za_marekani </guid>  
      <description>Ulinzi wenye nguvu wa Iran umeonyesha kwamba "sikukuu ya wanyonya damu" imekwisha. </description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:41:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRIB yalaani mauaji ya Israel dhidi ya mwandishi habari wa al-Alam kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138722-irib_yalaani_mauaji_ya_israel_dhidi_ya_mwandishi_habari_wa_al_alam_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd85cc53e8d2phfy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138722-irib_yalaani_mauaji_ya_israel_dhidi_ya_mwandishi_habari_wa_al_alam_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, na Kitengo cha Matangazo ya Ng'ambo cha IRIB wamelaani vikali mauaji ya Hesam Zidan, mwandishi wa habari wa zamani wa chaneli ya televisheni ya al-Alam ya Iran nchini Syria, ambaye ameuawa katika shambulio la Israel kusini mwa Lebanon.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:40:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaanika uhalifu wa kutisha wa Israel... Ripoti ya Guterres kuhusu unyanyasaji wa kingono imefichua nini?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138720-un_yaanika_uhalifu_wa_kutisha_wa_israel..._ripoti_ya_guterres_kuhusu_unyanyasaji_wa_kingono_imefichua_nini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9413625e382phfw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138720-un_yaanika_uhalifu_wa_kutisha_wa_israel..._ripoti_ya_guterres_kuhusu_unyanyasaji_wa_kingono_imefichua_nini </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, Alkhamisi ya jana aliwasilisha ripoti yake ya kila mwaka kwa wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ukatili wa kingono unaohusiana na migogoro, ambayo inarekodi ukiukwaji mkubwa na wa kutisha wa sheria uliofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:38:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muungano wa Madaktari Kenya waipa serikali masaa 48, wapinga wagonjwa wa Ebola Marekani kutumwa Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138716-muungano_wa_madaktari_kenya_waipa_serikali_masaa_48_wapinga_wagonjwa_wa_ebola_marekani_kutumwa_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd4f4c6b7d32phfs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138716-muungano_wa_madaktari_kenya_waipa_serikali_masaa_48_wapinga_wagonjwa_wa_ebola_marekani_kutumwa_kenya </guid>  
      <description>Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) umepatia serikali muda wa saa 48 kueleza hadharani masharti kamili ya makubaliano yake na Marekani au ikabiliwe na mgomo wa kitaifa wa madaktari.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:36:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yadungua ndege isiyo na rubani ya Marekani karibu na Bushehr</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138714-iran_yadungua_ndege_isiyo_na_rubani_ya_marekani_karibu_na_bushehr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3939b4b4062pha6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138714-iran_yadungua_ndege_isiyo_na_rubani_ya_marekani_karibu_na_bushehr </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limedungua ndege isiyo na rubani ya Marekani iliyokiuka anga ya Jamhuri ya Kiislamu karibu na mji wa kusini wa Bushehr.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:22:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani ukiukaji wa Marekani wa makubaliano ya amani, yahimiza UN kuingilia kati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138712-iran_yalaani_ukiukaji_wa_marekani_wa_makubaliano_ya_amani_yahimiza_un_kuingilia_kati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc38119ac1f2ph98.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138712-iran_yalaani_ukiukaji_wa_marekani_wa_makubaliano_ya_amani_yahimiza_un_kuingilia_kati </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali vitisho vya mara kwa mara vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyosimamisha vita haramu vya hivi karibun, ikiuhimiza Umoja wa Mataifa kuingilia kati.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:20:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CNN: Trump amezitishia au kuzishambulia nchi 15 akiwa madarakani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138710-cnn_trump_amezitishia_au_kuzishambulia_nchi_15_akiwa_madarakani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx456282cbab2pha4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138710-cnn_trump_amezitishia_au_kuzishambulia_nchi_15_akiwa_madarakani </guid>  
      <description>Ripoti ya televisheni ya CNN imeeleza kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amezitishia, ameeleza wazi uwezekano wa kufanya mashambulizi au amezishambulia nchi 15 katika mihula yake miwili ya uongozi; yaani kwa mahesabu ya haraka amefanya hivyo kwa nchi moja kati ya kila nchi 13 duniani. </description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:07:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Afya ya Kongo: Idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa Ebola imepindukia 1,000 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138708-wizara_ya_afya_ya_kongo_idadi_ya_watu_wanaoshukiwa_kuambukizwa_ebola_imepindukia_1_000</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxab210fee112pha2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138708-wizara_ya_afya_ya_kongo_idadi_ya_watu_wanaoshukiwa_kuambukizwa_ebola_imepindukia_1_000 </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa idadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na Ebola nchini humo imepindukia 1,000 huku kukiwa na ongezeko la maambukizi katika majimbo ya mashariki mwa nchi hiyo. </description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:05:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Washington Post: Israel imetengwa duniani kutokana na vita vya mara kwa mara vya Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138706-washington_post_israel_imetengwa_duniani_kutokana_na_vita_vya_mara_kwa_mara_vya_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe77cac15df2pgsq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138706-washington_post_israel_imetengwa_duniani_kutokana_na_vita_vya_mara_kwa_mara_vya_netanyahu </guid>  
      <description>Gazeti la Washington Post limeandika kuwa: Vita vya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, Lebanon, Syria, Iran na Yemen vimeiweka Israel katika njia ya mmomonyoko wa kijeshi, kushindwa kimkakati na kutengwa kimataifa.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:00:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yasimamia kupita salama meli nyingine 26 katika Mlango wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138704-irgc_yasimamia_kupita_salama_meli_nyingine_26_katika_mlango_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa88bf61ff22pha0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138704-irgc_yasimamia_kupita_salama_meli_nyingine_26_katika_mlango_wa_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema meli 26 za kibiashara na meli za mafuta zimevuka Mlango-Bahari wa Hormuz katika muda wa saa 24 zilizopita baada ya kuratibu na kikosi chake cha wanamaji, na kuonya kwamba jaribio lolote la kuvuruga au kifungu njia hiyo ya bahari ya kimkakati litakabiliwa na jibu kali.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 02:56:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ahimiza kulinda 'neema kubwa' ya umoja wa kitaifa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138702-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_ahimiza_kulinda_'neema_kubwa'_ya_umoja_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5e4f10bef12ph5m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138702-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_ahimiza_kulinda_'neema_kubwa'_ya_umoja_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani na Israel, ambazo zimeshindwa katika uvamizi wao wa kijeshi dhidi ya Iran, zinapanga njama ya kupandikiza mzozo na fitina ndani ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 12:49:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kundi la kwanza la Waghana lawasili Accra baada ya kurejeshwa kutoka Afrika Kusini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138700-kundi_la_kwanza_la_waghana_lawasili_accra_baada_ya_kurejeshwa_kutoka_afrika_kusini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxdb0d927e432ph4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138700-kundi_la_kwanza_la_waghana_lawasili_accra_baada_ya_kurejeshwa_kutoka_afrika_kusini </guid>  
      <description>Kundi la kwanza la karibu Waghana 300 waliorudishwa kutoka Afrika Kusini kutokana na hujuma za kupinga wahamiaji, liliwasili Accra jana Jumatano.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 12:01:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yarejesha vikwazo dhidi ya Ripota Maalumu wa UN kwa kufichua mauaji ya kimbari ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138698-marekani_yarejesha_vikwazo_dhidi_ya_ripota_maalumu_wa_un_kwa_kufichua_mauaji_ya_kimbari_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2850663f032ph3k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138698-marekani_yarejesha_vikwazo_dhidi_ya_ripota_maalumu_wa_un_kwa_kufichua_mauaji_ya_kimbari_ya_israel </guid>  
      <description>Marekani imemuwekea tena vikwazo Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu kwa sababu tu ya kufichua mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 10:41:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Kituo cha uchokozi dhidi ya Bandar Abbas kimelengwa; uchokozi ukirudiwa, jibu litakuwa kali zaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138692-irgc_kituo_cha_uchokozi_dhidi_ya_bandar_abbas_kimelengwa_uchokozi_ukirudiwa_jibu_litakuwa_kali_zaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0e2ed3a9c82ph2o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138692-irgc_kituo_cha_uchokozi_dhidi_ya_bandar_abbas_kimelengwa_uchokozi_ukirudiwa_jibu_litakuwa_kali_zaidi </guid>  
      <description>Idara ya Mahusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuwa: Kituo cha anga cha Marekani kilichotumiwa kufanya uchokozi dhidi ya Bandar Abbas kusini mwa Iran, kimelengwa alfajiri ya leo Alkhamisi saa 10:50.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 10:07:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kuanzia "Kujisalimisha Bila Masharti" hadi Kukubali Nguvu ya Iran; Kurudi Nyuma kwa Trump Chini ya Mashinikizo ya Ukweli wa Mambo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138694-kuanzia_kujisalimisha_bila_masharti_hadi_kukubali_nguvu_ya_iran_kurudi_nyuma_kwa_trump_chini_ya_mashinikizo_ya_ukweli_wa_mambo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8d1cfe2e822pgw8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138694-kuanzia_kujisalimisha_bila_masharti_hadi_kukubali_nguvu_ya_iran_kurudi_nyuma_kwa_trump_chini_ya_mashinikizo_ya_ukweli_wa_mambo </guid>  
      <description>Kushindwa Trump na Netanyahu katika kufikia malengo yao ya kuishambulia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara ya pili katika kipindi cha miezi tisa, ni moja ya mada muhimu zinazojadiliwa na taasisi za utafiti, wananadharia mashuhuri na vyombo tajika vya habari. </description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 09:47:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanafunzi 16 wafariki dunia Kenya baada ya moto kuteketeza bweni Utumishi Girls Academy</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138690-wanafunzi_16_wafariki_dunia_kenya_baada_ya_moto_kuteketeza_bweni_utumishi_girls_academy</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx30e19d46512ph3e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138690-wanafunzi_16_wafariki_dunia_kenya_baada_ya_moto_kuteketeza_bweni_utumishi_girls_academy </guid>  
      <description>Wanafunzi 16 wameuawa baada ya moto kuteketeza bweni lao usiku wa kuamkia leo katika shule ya bweni huko Gilgil, (Utumishi Girls Academy) yapata kilomita 120 (maili 77) magharibi mwa mji mkuu wa Kenya, Nairobi, mamlaka imethibitisha.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 09:53:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Iran imepata uwezo mpya wa kukabiliana na maadui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138688-irgc_iran_imepata_uwezo_mpya_wa_kukabiliana_na_maadui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1b9f0c7c022pgys.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138688-irgc_iran_imepata_uwezo_mpya_wa_kukabiliana_na_maadui </guid>  
      <description>Afisa mmoja mwandamizi wa kijeshi ameonya kwamba uchokozi wowote mpya wa kijeshi dhidi ya Iran utasababisha jibu la aina tofauti na lenye nguvu zaidi, “lisilofanana na chochote walichowahi kukiona hapo kabla.”</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 04:50:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Houthi: Umma wa Kiislamu unapaswa kujifunza kutokana na mapambano ya Iran dhidi ya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138686-al_houthi_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kujifunza_kutokana_na_mapambano_ya_iran_dhidi_ya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx84ce88f8072pgu4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138686-al_houthi_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kujifunza_kutokana_na_mapambano_ya_iran_dhidi_ya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa: Msimamo imara wa Iran unapaswa kuwa kichocheo cha kuimarisha ushirikiano wa kikanda.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 04:49:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ma'ariv: Maafisa 50 wa utawala unaotaka kujitenga Somaliland wamepewa nafunzo Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138684-ma'ariv_maafisa_50_wa_utawala_unaotaka_kujitenga_somaliland_wamepewa_nafunzo_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfcef00db952pgyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138684-ma'ariv_maafisa_50_wa_utawala_unaotaka_kujitenga_somaliland_wamepewa_nafunzo_israel </guid>  
      <description>Gazeti la Kiebrania la Ma'ariv limefichua kashfa mpya kuhusu uhusiano wa siri kati ya Tel Aviv na eneo linalotaka kujitenga huko kaskazini mwa Somalia, likiandika kwamba askari 50 wa "Somaliland" wamerejea Afrika baada ya kukamilisha kozi za mafunzo katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 04:48:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>HRW: Mamluki wa Colombia katika vita vya Sudan wanapewa mafunzo UAE</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138682-hrw_mamluki_wa_colombia_katika_vita_vya_sudan_wanapewa_mafunzo_uae</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx563bbaa4012pgyq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138682-hrw_mamluki_wa_colombia_katika_vita_vya_sudan_wanapewa_mafunzo_uae </guid>  
      <description>Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kwamba wapiganaji mamluki kutoka Colombia wanapewa mafunzo katika kambi za kijeshi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na kisha wanapelekwa Sudan ili kuwasaidia waasi wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 04:43:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Alkhamisi tarehe 28 Mei , 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138680-alkhamisi_tarehe_28_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx21df3fd8e22pf88.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138680-alkhamisi_tarehe_28_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Mfunguo Tatu Dhulhijja 1447 Hijria mwafaka na tarehe 28 Mei 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 04:35:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Khatami: Trump ana jeni ya kusema uongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138678-ayatullah_khatami_trump_ana_jeni_ya_kusema_uongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9d5a5a98852pgw4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138678-ayatullah_khatami_trump_ana_jeni_ya_kusema_uongo </guid>  
      <description>Imamu wa Swala ya Idul Adh'ha iliyofanyika mapema leo mjini Tehran amesema: "Maadui wanatamani taifa la Iran lichoke, lakini kwa neema ya Mungu, wataingia kaburi na matarajio hayo." </description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 15:19:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump anataka Pakistan iwe na uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138676-kwa_nini_trump_anataka_pakistan_iwe_na_uhusiano_wa_kawaida_na_utawala_ghasibu_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b16896a242pgx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138676-kwa_nini_trump_anataka_pakistan_iwe_na_uhusiano_wa_kawaida_na_utawala_ghasibu_wa_israel </guid>  
      <description>Chanzo kimoja cha habari cha Pakistan kimeripoti kuhusu upinzani wa wazi wa Islamabad dhidi ya ombi la Rais Donald Trump wa Marekani la kuitaka nchi hiyo ijiunge na mchakato wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, na kuongeza kuwa Islamabad inaiona hatua ya Washington kuwa jaribio la kutumia vibaya diplomasia ya "kusimamisha vita na Iran" ili kutoa mashinikizo katika kesi zisizohusiana.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 13:57:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran ahimiza mshikamano wa Kiislamu dhidi ya Marekani na Israel katika mazungumzo na viongozi wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138674-rais_wa_iran_ahimiza_mshikamano_wa_kiislamu_dhidi_ya_marekani_na_israel_katika_mazungumzo_na_viongozi_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx08a0a388c82pgug.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138674-rais_wa_iran_ahimiza_mshikamano_wa_kiislamu_dhidi_ya_marekani_na_israel_katika_mazungumzo_na_viongozi_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mheshimiwa Masoud Pezeshkian, ametoa wito wa kuimarishwa umoja na ushirikiano miongoni mwa nchi za Kiislamu, akisisitiza kuwa mshikamano wa Umma mzima wa Kiislamu ni nguzo muhimu katika kukabiliana na vitisho na changamoto zinazokabili eneo la Magharibi mwa Asia.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 10:59:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita unathibitisha “nia ovu” ya Marekani, </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138672-iran_yasema_ukiukwaji_wa_makubaliano_ya_kusitisha_vita_unathibitisha_nia_ovu_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8c6165383f2pgpe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138672-iran_yasema_ukiukwaji_wa_makubaliano_ya_kusitisha_vita_unathibitisha_nia_ovu_ya_marekani </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali ukiukwaji wa “wazi na usio na msingi” wa makubaliano ya kusitisha mapigano uliofanywa na Marekani katika Lango Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 10:56:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yatekeleza operesheni 32 dhidi ya majeshi ghasibu ya Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138670-hizbullah_yatekeleza_operesheni_32_dhidi_ya_majeshi_ghasibu_ya_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa0577192e12pgrw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138670-hizbullah_yatekeleza_operesheni_32_dhidi_ya_majeshi_ghasibu_ya_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu nchini Lebanon, Hizbullah, imetangaza kutekeleza mfululizo wa operesheni 32 za kijeshi dhidi ya majeshi vamizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yanayofanya chokochoko kusini mwa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 10:52:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina wa Gaza katika jinamizi badala ya sherehe wakati wa Eid el-Adha </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138668-wapalestina_wa_gaza_katika_jinamizi_badala_ya_sherehe_wakati_wa_eid_el_adha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf2b6e9f4002pgui.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138668-wapalestina_wa_gaza_katika_jinamizi_badala_ya_sherehe_wakati_wa_eid_el_adha </guid>  
      <description>Ikiwa leo ni sikukuu ya Eid El-Adha, Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel hawana cha kusherehekea bali wanakumbwa na jinamizi na masaibu yaliyosababishwa na utawala huo ghasibu.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 10:50:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Serikali ya DRC yasitisha safari za ndege Bunia kufuatia mlipuko wa Ebola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138666-serikali_ya_drc_yasitisha_safari_za_ndege_bunia_kufuatia_mlipuko_wa_ebola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe2030d322c2pg1u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138666-serikali_ya_drc_yasitisha_safari_za_ndege_bunia_kufuatia_mlipuko_wa_ebola </guid>  
      <description>Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imechukua hatua ya dharura kwa kusitisha safari zote za ndege zinazoingia na kutoka mjini Bunia, mashariki mwa nchi hiyo, ikiwa ni juhudi za kudhibiti kuenea kwa ugonjwa hatari wa Ebola.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 10:42:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yaitungua ndege ya kivita ya Marekani  katika Ghuba ya Uajemi, yatoa onyo kali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138664-irgc_yaitungua_ndege_ya_kivita_ya_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_yatoa_onyo_kali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb09f1194312pgr0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138664-irgc_yaitungua_ndege_ya_kivita_ya_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_yatoa_onyo_kali </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimetungua ndege ya kivita ya Marekani isiyo na rubani, aina ya MQ-9 Reaper, katika anga ya Ghuba ya Uajemi. </description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:27:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya kuwa, ikishambuliwa tena jibu la litakuwa ‘kali zaidi’ kuliko vita vilivyopita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138662-iran_yaonya_kuwa_ikishambuliwa_tena_jibu_la_litakuwa_kali_zaidi’_kuliko_vita_vilivyopita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx71897b3b4b2pgqy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138662-iran_yaonya_kuwa_ikishambuliwa_tena_jibu_la_litakuwa_kali_zaidi’_kuliko_vita_vilivyopita </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa onyo kali kuhusu mashambulizi ya kulipiza kisasi yatakayokuwa “mazito na makali zaidi” iwapo tawala za Marekani na Israel zitafanya uchokozi mpya.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:18:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan yakataa wito wa Marekani wa kuanzisha uhusiano na 'Israel'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138660-pakistan_yakataa_wito_wa_marekani_wa_kuanzisha_uhusiano_na_'israel'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc057e8e88c2pgqw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138660-pakistan_yakataa_wito_wa_marekani_wa_kuanzisha_uhusiano_na_'israel' </guid>  
      <description>Pakistan imekataa wito wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa kuitaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Waziri wa Ulinzi wa Pakistan, Khawaja Asif, amesema pendekezo hilo kuwa “halikubaliki” na linakwenda kinyume na misingi ya taifa hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:14:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Russia yaunga mkono msukumo wa Afrika wa kudai fidia kutoka kwa madola ya kikoloni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138658-russia_yaunga_mkono_msukumo_wa_afrika_wa_kudai_fidia_kutoka_kwa_madola_ya_kikoloni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx167b41ddad2pgqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138658-russia_yaunga_mkono_msukumo_wa_afrika_wa_kudai_fidia_kutoka_kwa_madola_ya_kikoloni </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema nchi yake inaunga mkono msukumo wa Afrika wa kutaka fidia kutoka kwa madola ya kikoloni. Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Afrika mjini Moscow, Lavrov amesema suala hilo ni sehemu ya mapambano mapana dhidi ya ukoloni mambo-leo.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:12:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Senegal aliyefutwa kazi achaguliwa kuwa Spika wa Bunge</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138656-waziri_mkuu_wa_senegal_aliyefutwa_kazi_achaguliwa_kuwa_spika_wa_bunge</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfba67a34bc2pgqs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138656-waziri_mkuu_wa_senegal_aliyefutwa_kazi_achaguliwa_kuwa_spika_wa_bunge </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal Ousmane Sonko jana alichaguliwa kuwa Spika wa Bunge la nchi hiyo akimrithi El Malick Ndiaye, aliyejiuzulu siku ya Jumapili.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:05:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, 27 Mei, 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138654-jumatano_27_mei_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9ad7e78c9c2pgqq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138654-jumatano_27_mei_2025 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatano tarehe 10 Dhilhija 1447 Hijria sawa na 27 Mei 2026 ambayo ni sikukuu ya Idul Adh'ha, moja ya sikukuu kubwa za Kiislamu.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 02:46:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu- Siku ya Arafa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138652-ujumbe_wa_kiongozi_muadhamu_siku_ya_arafa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2aa01700422pgnq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138652-ujumbe_wa_kiongozi_muadhamu_siku_ya_arafa </guid>  
      <description>Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuwadia msimu wa Hijja ya Nabii Ibrahim (as), Ayatullah Seyyed Mojtaba Hosseini Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametaja amali na thikri  zilizajaa maana za Hijja na kusema ni ishara za kudumu milele kwa wanadamu kwa ajili ya kuwahamasisha waelekee kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, na kuwa huru kutokana na minyororo ya Shetani na wafuasi wake, na wakati huo huo kufanya bidii bila kuchoka kwa ajili ya kuondokana na matamanio ya nafsi, na kufikia sa</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 13:37:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujumbe wa Hija: Kiongozi Muadhamu ayatolea wito mataifa ya Kiislamu kuunda utaratibu mpya wa kikanda; asema enzi ya US imefikia tamati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138650-ujumbe_wa_hija_kiongozi_muadhamu_ayatolea_wito_mataifa_ya_kiislamu_kuunda_utaratibu_mpya_wa_kikanda_asema_enzi_ya_us_imefikia_tamati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9d22c8b5642pgm2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138650-ujumbe_wa_hija_kiongozi_muadhamu_ayatolea_wito_mataifa_ya_kiislamu_kuunda_utaratibu_mpya_wa_kikanda_asema_enzi_ya_us_imefikia_tamati </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amezitolea wito nchi za Kiislamu kuzidisha ushirikiano na kuanzisha utaratibu mpya wa kieneo na kimataifa mbali na utawala wa Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 11:29:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa: Iran haitasalimu amri wala kurudi nyuma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138648-katibu_wa_baraza_kuu_la_usalama_wa_taifa_iran_haitasalimu_amri_wala_kurudi_nyuma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5b7e66c6c12pgly.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138648-katibu_wa_baraza_kuu_la_usalama_wa_taifa_iran_haitasalimu_amri_wala_kurudi_nyuma </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu "haitarudi nyuma" huku kukiwa na ripoti juu ya uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 11:24:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Marekani imefanya uhalifu wa kivita kwa kujaribu nguvu ya kombora lilitumika kwa mara ya kwanza kuua watu Lamerd, Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138646-baqaei_marekani_imefanya_uhalifu_wa_kivita_kwa_kujaribu_nguvu_ya_kombora_lilitumika_kwa_mara_ya_kwanza_kuua_watu_lamerd_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx721637c9232pgls.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138646-baqaei_marekani_imefanya_uhalifu_wa_kivita_kwa_kujaribu_nguvu_ya_kombora_lilitumika_kwa_mara_ya_kwanza_kuua_watu_lamerd_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Marekani ilitumia kwa mara ya kwanza kombora la PrMS katika shambulio lake kwenye eneo la makazi ya raia na uwanja wa michezo wa Lamerd katika Mkoa wa Fars kusini mwa Iran, kwa lengo la kujaribu nguvu za uharibifu za silaha hiyo."</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 11:17:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkurugenzi Mkuu wa WHO: Vifo vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola vyafika 220 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138644-mkurugenzi_mkuu_wa_who_vifo_vinavyoshukiwa_kuwa_vya_ebola_vyafika_220</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd76f9b774e2pglq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138644-mkurugenzi_mkuu_wa_who_vifo_vinavyoshukiwa_kuwa_vya_ebola_vyafika_220 </guid>  
      <description>Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameeleza kuwa vifo 220 vinashukiwa kusababishwa na mlipuko wa sasa wa homa hatari ya Ebola.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 11:13:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgogoro wa kisiasa washtadi Senegal baada ya Rais kumteua Al Aminou Lo kuwa Waziri Mkuu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138642-mgogoro_wa_kisiasa_washtadi_senegal_baada_ya_rais_kumteua_al_aminou_lo_kuwa_waziri_mkuu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx94cb8d66cc2pgli.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138642-mgogoro_wa_kisiasa_washtadi_senegal_baada_ya_rais_kumteua_al_aminou_lo_kuwa_waziri_mkuu </guid>  
      <description>Mgogoro wa kisiasa wa Senegal umeshika kasi huku Rais wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye akimteua  mchumi Ahmadou Al Aminou Lo katika nafasi ya Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Ousmane Sonko aliyefutwa kazi. </description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 11:11:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mahujaji wanasimama Arafa leo kutekeleza nguzo muhimu ya Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138640-mahujaji_wanasimama_arafa_leo_kutekeleza_nguzo_muhimu_ya_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa8567115d2pghi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138640-mahujaji_wanasimama_arafa_leo_kutekeleza_nguzo_muhimu_ya_hija </guid>  
      <description>Mamilioni ya Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, Al Kaaba, leo wanasimama katika uwanja wa Arafa katika kilele cha ibada tukufu ya Hija.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 03:29:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo aomba radhi kutokana na nafasi ya Kanisa Katoliki katika biashara ya utumwa ya kuvuka Bahari ya Atlantiki </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138638-papa_leo_aomba_radhi_kutokana_na_nafasi_ya_kanisa_katoliki_katika_biashara_ya_utumwa_ya_kuvuka_bahari_ya_atlantiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa99641f5d52pghg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138638-papa_leo_aomba_radhi_kutokana_na_nafasi_ya_kanisa_katoliki_katika_biashara_ya_utumwa_ya_kuvuka_bahari_ya_atlantiki </guid>  
      <description>Katika hatua ya kihistoria, Papa Leo wa XIV Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameomba radhi kutokana nafasi ya Baraza Kuu la Uongozi wa Kanisa Katoliki na Vatican la kuhalalisha utumwa na kushindwa kulaani suala hilo kwa karne kadhaa. </description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 03:06:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Marekani inapasa kudhamini ushiriki wa timu ya taifa ya Iran katika mashindano ya Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138636-baqaei_marekani_inapasa_kudhamini_ushiriki_wa_timu_ya_taifa_ya_iran_katika_mashindano_ya_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx51458abf842pghe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138636-baqaei_marekani_inapasa_kudhamini_ushiriki_wa_timu_ya_taifa_ya_iran_katika_mashindano_ya_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezungumzia uvumi unaoendelea kuhusu kushiriki wa timu ya taifa ya kandanda ya Iran katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026, na kusisitiza kuwa Marekani inawajibika kuandaa mazingira yanayofaa kwa timu hiyo kushiriki katika mashindano bila vizuizi vyovyote. </description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 02:58:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>John Mearsheimer: Hakuna nguvu duniani yenye uwezo wa kuishinda Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138634-john_mearsheimer_hakuna_nguvu_duniani_yenye_uwezo_wa_kuishinda_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9a2dc053f92pge0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138634-john_mearsheimer_hakuna_nguvu_duniani_yenye_uwezo_wa_kuishinda_iran </guid>  
      <description>Profesa wa sayansi ya siasa na mtaalamu wa nadharia ya mahusiano ya kimataifa amesema kuwa: Wakati Marekani na Israel zimeshindwa kuishinda Iran kwa kutumia nguvu zao zote, katika kipindi cha siku 40 za mashambulizi ya anga, hakuna nguvu nyingine duniani yenye uwezo wa kufanya hivyo.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 02:54:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa China aunga mkono diplomasia ya amani kati ya Iran na Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138632-rais_wa_china_aunga_mkono_diplomasia_ya_amani_kati_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx516afe56e62pghc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138632-rais_wa_china_aunga_mkono_diplomasia_ya_amani_kati_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Katika kikao chake na Waziri Mkuu na Mkuu wa Majeshi wa Pakistan, Rais wa China amesisitiza uungaji mkono wa Beijing kwa upatanishi wa Islamabad na diplomasia inayoendelea katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ajili ya amani, akitolea mfano ziara ya hivi karibuni ya Asim Munir, Mkuu wa Majeshi wa Pakistan jijini Tehran.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 02:52:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne, tarehe 26 Mei mwaka 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138630-jumanne_tarehe_26_mei_mwaka_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa17860ba3a2pgha.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138630-jumanne_tarehe_26_mei_mwaka_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumanne tarehe 9 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe 26 Mei 2026.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 02:44:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nabih Berri: Kwa pamoja tutaikomboa na kuijenga upya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138628-nabih_berri_kwa_pamoja_tutaikomboa_na_kuijenga_upya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe99a4c189a2pgfs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138628-nabih_berri_kwa_pamoja_tutaikomboa_na_kuijenga_upya_lebanon </guid>  
      <description>Katika siku ya kumbukumbu ya kukombolewa Lebanon kutoka kwenye makucha ya utawala ghasibu wa Israel, Nabih Berri, Spika wa Bunge la nchi hiyo amesema kuwa, adui Mzayuni hatasita hata kidogo kulipiza kisasi dhidi ya Lebanon na kuongeza kwamba kwa pamoja watu wa nchi hiyo wana uwezo wa kuikomboa na kuijenga upya.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 14:30:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran haitasalimu amri kwa matakwa 'ya kupitiliza' ya Marekani, inataka kurejeshea haki zake kikamilifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138626-pezeshkian_iran_haitasalimu_amri_kwa_matakwa_'ya_kupitiliza'_ya_marekani_inataka_kurejeshea_haki_zake_kikamilifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7419a7af512pgeu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138626-pezeshkian_iran_haitasalimu_amri_kwa_matakwa_'ya_kupitiliza'_ya_marekani_inataka_kurejeshea_haki_zake_kikamilifu </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian ametangaza kwamba Iran haitasalimu amri kwa mashinikizo ya Marekani na matwaka ya kuchupa mipaka ya utawala huo, akisema wapatanishi wa Iran watahakikisha haki za taifa zinarejeshwa kikamilifu kupitia mchakato wa kidiplomasia.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 12:30:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malaysia: Tutaipeleka Israel ICJ kwa kuteka nyara na kuwatesa wanaharakati wa Freedom Flotilla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138624-malaysia_tutaipeleka_israel_icj_kwa_kuteka_nyara_na_kuwatesa_wanaharakati_wa_freedom_flotilla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaedc7115d72pgeq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138624-malaysia_tutaipeleka_israel_icj_kwa_kuteka_nyara_na_kuwatesa_wanaharakati_wa_freedom_flotilla </guid>  
      <description>Serikali ya Malaysia iko tayari kuipeleka Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kwa kosa la kuteka nyara na kuwatesa wanaharakati wa msafara meli za misaada ya kibinadamu wa Global Sumud Flotilla, uliokuwa njiani kuelekea Ukanda wa Gaza huko Palestina.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 12:27:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Palestina utaikomboa al-Qud: Jenerali Qa’ani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138622-muqawama_wa_palestina_utaikomboa_al_qud_jenerali_qa’ani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx211788bd652pgeo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138622-muqawama_wa_palestina_utaikomboa_al_qud_jenerali_qa’ani </guid>  
      <description>Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Muqawama wa Palestina utafungua njia ya ukombozi wa al-Quds, ukiashiria ushindi wa harakati za Muqawama nchini Iran na Lebanon.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 12:20:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa zamani wa Kizayuni: Hatimaye tutatoroka Lebanon kwa madhila</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138620-afisa_wa_zamani_wa_kizayuni_hatimaye_tutatoroka_lebanon_kwa_madhila</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx249bd69ed52pgem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138620-afisa_wa_zamani_wa_kizayuni_hatimaye_tutatoroka_lebanon_kwa_madhila </guid>  
      <description>Mkuu wa zamani wa Kamati ya Usalama na Mahusiano ya Kigeni katika Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kwamba utawala huo hatimaye utatoroka Lebanon kwa madhila na kushindwa.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 12:18:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa machafuko yaliyofadhiliwa na Marekani mwezi Januari auawa nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138618-kiongozi_wa_machafuko_yaliyofadhiliwa_na_marekani_mwezi_januari_auawa_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b1de352ee2pgdq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138618-kiongozi_wa_machafuko_yaliyofadhiliwa_na_marekani_mwezi_januari_auawa_nchini_iran </guid>  
      <description>Mahakama ya Iran imetangaza kwamba mmoja wa viongozi wa makundi yenye silaha yaliyohusika na ghasia zilizofadhiliwa na madola ya kigeni mnamo Januari 2026 amenyongwa katika mji wa Nain.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 10:25:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran iko tayari kuihakikishia dunia kwamba haifuatilii silaha za nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138616-pezeshkian_iran_iko_tayari_kuihakikishia_dunia_kwamba_haifuatilii_silaha_za_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0ceecb89892pgbc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138616-pezeshkian_iran_iko_tayari_kuihakikishia_dunia_kwamba_haifuatilii_silaha_za_nyuklia </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuihakikishia jamii ya kimataifa kwamba haifuatilii silaha za nyuklia.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 09:21:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rezaei: Iran itajiondoa katika mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia iwapo itashambuliwa tena</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138614-rezaei_iran_itajiondoa_katika_mkataba_wa_kuzuia_silaha_za_nyuklia_iwapo_itashambuliwa_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxde4fbc1fd02pgao.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138614-rezaei_iran_itajiondoa_katika_mkataba_wa_kuzuia_silaha_za_nyuklia_iwapo_itashambuliwa_tena </guid>  
      <description>Iran imetoa onyo kali kwa Marekani, ikisema kuwa itajiondoa kwenye Mkataba wa Kuzuia Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), ikiwa Marekani itaanzisha tena mashambulizi dhidi ya yake.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 09:19:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Nigeria Tinubu kugombea tena kiti cha urais baada ya kuteuliwa na chama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138612-rais_wa_nigeria_tinubu_kugombea_tena_kiti_cha_urais_baada_ya_kuteuliwa_na_chama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx985658e91e2pgd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138612-rais_wa_nigeria_tinubu_kugombea_tena_kiti_cha_urais_baada_ya_kuteuliwa_na_chama </guid>  
      <description>Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, atagombea tena katika uchaguzi mkuu mwezi Januari mwakani baada ya kushinda uteuzi wa chama chake katika kura za mchujo za All Progressives Congress.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 09:18:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>El Baradei: Mwendawazimu Trump anatafuta njia ya kujiondoa kwenye vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138610-el_baradei_mwendawazimu_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_kwenye_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa147c974aa2pgd6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138610-el_baradei_mwendawazimu_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_kwenye_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa zamani wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ametangaza kuwa mtu mmoja mwendawazimu alianzisha vita dhidi ya Iran na sasa anatafuta njia ya kujiondoa vitani.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 09:14:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatatu, 25 Mei, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138608-jumatatu_25_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx21df3fd8e22pf88.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138608-jumatatu_25_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu tarehe 8 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria, mwafaka na 25 Mei 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 04:03:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makumi wauawa katika shambulio la bomu lililolenga kituo cha treni Pakistani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138606-makumi_wauawa_katika_shambulio_la_bomu_lililolenga_kituo_cha_treni_pakistani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8f2d306f192pg7s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138606-makumi_wauawa_katika_shambulio_la_bomu_lililolenga_kituo_cha_treni_pakistani </guid>  
      <description>Shambulio la kigaidi katika kituo cha treni katika mji mkuu wa jimbo la Balochistan nchini Pakistani limesababisha vifo vya watu 24 na kujeruhiwa wengine wengi.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 13:16:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Iran inapigania haki zake halali katika mazungumzo na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138604-rais_pezeshkian_iran_inapigania_haki_zake_halali_katika_mazungumzo_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx99bc68b51e2pg6y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138604-rais_pezeshkian_iran_inapigania_haki_zake_halali_katika_mazungumzo_na_marekani </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Iran inataka kurejesha haki zake halali katika mazungumzo na Marekani. Hata hivyo, ameeleza kuwa uzoefu mchungu wa majadiliano ya huko nyuma na Washington unaifanya Tehran kusonga mbele kwa tahadhari kubwa.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 12:51:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yawazuia tena Wapalestina wa Gaza kutekeleza ibada ya Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138602-israel_yawazuia_tena_wapalestina_wa_gaza_kutekeleza_ibada_ya_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw83a26202a62p9q8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138602-israel_yawazuia_tena_wapalestina_wa_gaza_kutekeleza_ibada_ya_hija </guid>  
      <description>Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wamelaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia maelfu ya Wapalestina wa Gaza kusafiri kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 12:44:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya: Tuko tayari kutoa jibu “la maangamizi” dhidi ya uchokozi mpya </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138600-iran_yaonya_tuko_tayari_kutoa_jibu_la_maangamizi_dhidi_ya_uchokozi_mpya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc1029ecb102pg7i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138600-iran_yaonya_tuko_tayari_kutoa_jibu_la_maangamizi_dhidi_ya_uchokozi_mpya </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yako katika kiwango cha juu kabisa cha utayari na yataitoa “adhabu yenye maangamizi na ya kuzimu” iwapo adui ataanzisha tena vita au shambulio lolote la kichokozi dhidi ya nchi.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 12:42:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa WHO ataka hatua za haraka dhidi ya Ebola </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138598-mkuu_wa_who_ataka_hatua_za_haraka_dhidi_ya_ebola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx903bc1448b2peic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138598-mkuu_wa_who_ataka_hatua_za_haraka_dhidi_ya_ebola </guid>  
      <description>Mwishoni mwa Mkutano wa 79 wa Baraza la Afya Duniani, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Matiafa la Afya Duniani (WHO) amezitaka nchi wanachama kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya milipuko ya magonjwa hatari, akionya kuhusu tishio linaloongezeka la Ebola, virusi vya Hanta na majanga ya magonjwa yajayo.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 12:39:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu za kuongezeka mgawanyiko barani Ulaya kuhusu utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138596-sababu_za_kuongezeka_mgawanyiko_barani_ulaya_kuhusu_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1af6f892552pg40.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138596-sababu_za_kuongezeka_mgawanyiko_barani_ulaya_kuhusu_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Mbali na maoni ya wananchi, baadhi ya wabunge wa Bunge la Ulaya pia wameutaka Umoja wa Ulaya uchukue hatua kali dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na viongozi wake.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 07:35:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu za kuongezeka mgawanyiko barani Ulaya kuhusu utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/world-i138594-sababu_za_kuongezeka_mgawanyiko_barani_ulaya_kuhusu_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1af6f892552pg40.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/world-i138594-sababu_za_kuongezeka_mgawanyiko_barani_ulaya_kuhusu_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Mbali na maoni ya wananchi, baadhi ya wabunge wa Bunge la Ulaya pia wameutaka Umoja wa Ulaya uchukue hatua kali dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na viongozi wake.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 07:02:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, 23 Mei, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138592-jumamosi_23_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b0dd57fe92pe9u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138592-jumamosi_23_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 6 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1447 Hijria mwafaka na 23 Mei 2026 Miladia.

</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 06:15:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Iran haina imani na Marekani, haitasalimu amri kuhusu haki zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138590-qalibaf_iran_haina_imani_na_marekani_haitasalimu_amri_kuhusu_haki_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf0c258688f2pg20.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138590-qalibaf_iran_haina_imani_na_marekani_haitasalimu_amri_kuhusu_haki_zake </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa Iran haina imani yoyote na Marekani na kwamba haitarudi nyuma kamwe katika kutetea haki zake za kitaifa wakati wa mazungumzo na Marekani yanayolenga kuhitimisha vita katika eneo lote la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 03:33:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>