<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Habari, TV, redio na mengineyo</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Thu, 27 Aug 2026 16:11:53 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu waanza mjini Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141012-mkutano_wa_kimataifa_wa_umoja_wa_kiislamu_waanza_mjini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01e190ac6d92qcr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141012-mkutano_wa_kimataifa_wa_umoja_wa_kiislamu_waanza_mjini_tehran </guid>  
      <description>Mkutano wa 40 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza mjini Tehran, ukijikita zaidi kwenye maono ya Kiongozi marehemu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei kuhusu kuimarisha umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 12:04:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapendekeza 'mkataba wa usalama wa pande zote' miongoni mwa mataifa ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141010-iran_yapendekeza_'mkataba_wa_usalama_wa_pande_zote'_miongoni_mwa_mataifa_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bf8acddd7d2qcr2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141010-iran_yapendekeza_'mkataba_wa_usalama_wa_pande_zote'_miongoni_mwa_mataifa_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amependekeza "mkataba wa usalama wa pande zote na kutokuchokozana" miongoni mwa nchi za Kiislamu ili kulinda usalama wa kikanda, hasa katika kipindi hiki ambapo Marekani na Israel zinaendeleza uchokozi wao katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 12:02:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO yathibitisha Uganda haina Ebola, ugonjwa huo unaendelea kuenea Kongo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141008-who_yathibitisha_uganda_haina_ebola_ugonjwa_huo_unaendelea_kuenea_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a1cfa363222qcr0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141008-who_yathibitisha_uganda_haina_ebola_ugonjwa_huo_unaendelea_kuenea_kongo </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limethibitisha kumalizika mlipuko wa Ebola nchini Uganda.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 11:59:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti: Makundi ya wanamgambo Nigeria yamepata karibu dola milioni 6 kupitia malipo ya kikomboleo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141006-utafiti_makundi_ya_wanamgambo_nigeria_yamepata_karibu_dola_milioni_6_kupitia_malipo_ya_kikomboleo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01cbcc4e8482qcqy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141006-utafiti_makundi_ya_wanamgambo_nigeria_yamepata_karibu_dola_milioni_6_kupitia_malipo_ya_kikomboleo </guid>  
      <description>Utafiti mpya umebaini kuwa makundi yenye silaha nchini Nigeria yamekusanya karibu dola milioni 6 kama malipo ya kikomboleo katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, huku visa vya utekaji nyara vikiongezeka kwa kasi katika nchi hiyo yenye idadi kubwa zaidi ya watu barani Afrika.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 11:57:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel inanyakua maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141004-israel_inanyakua_maelfu_ya_ekari_za_ardhi_ya_wapalestina_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05bf36ee3452qcqs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141004-israel_inanyakua_maelfu_ya_ekari_za_ardhi_ya_wapalestina_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Mamlaka za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetwaa maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katikati mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu ili kujenga kile kinachoitwa "njia ya usalama" kuzunguka vitongoji haramu vya Wazayuni kinyume cha sheria za kimataifa na maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 11:54:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amani ya Kudumu Katika Eneo Itapatikana tu Pale Utawala wa Kizayuni Utakapopokonywa Silaha za Nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141002-amani_ya_kudumu_katika_eneo_itapatikana_tu_pale_utawala_wa_kizayuni_utakapopokonywa_silaha_za_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09e2894ee682qclc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141002-amani_ya_kudumu_katika_eneo_itapatikana_tu_pale_utawala_wa_kizayuni_utakapopokonywa_silaha_za_nyuklia </guid>  
      <description>Madamu silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel, ambao ndio utawala pekee unaomiliki silaha za nyuklia katika Asia Magharibi, zitaendelea kufunikwa na utata wa makusudi wa utawala huo pamoja na kimya cha kimataifa, mjadala wowote kuhusu upokonyaji silaha katika eneo hautakuwa na maana na utaendelea kuwa ni unafiki mtupu.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 06:18:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini vita vya kiuchumi vya Trump dhidi ya Iran vinaiathiri Marekani yenyewe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141000-kwa_nini_vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_vinaiathiri_marekani_yenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ecbb536f122qcl4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141000-kwa_nini_vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_vinaiathiri_marekani_yenyewe </guid>  
      <description>Mohammad Bagher Ghalibaf, Spika wa Bunge la Iran, amefananisha mpango mpya wa Marekani wa kutoa mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Iran na 'boomerang,' ambacho ni kifaa cha kurushwa ambacho humrudia aliyekirusha, kwa maana kuwa utawadhuru tu waasisi wake wenyewe.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 06:11:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Marekani haitapata chochote kupitia mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140998-pezeshkian_marekani_haitapata_chochote_kupitia_mashinikizo_ya_kiuchumi_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0902fdaced72qcjg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140998-pezeshkian_marekani_haitapata_chochote_kupitia_mashinikizo_ya_kiuchumi_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Marekani haitaweza kufanikisha lolote kupitia mashinikizo ya kiuchumi, akisisitiza kuwa Iran itaendelea kusimama imara.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:33:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yataka UN na nchi wanachama zikatae “ugaidi wa kiuchumi” wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140996-iran_yataka_un_na_nchi_wanachama_zikatae_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc019ed3ece452qcje.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140996-iran_yataka_un_na_nchi_wanachama_zikatae_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wanachama wa umoja huo kukataa kampeni mpya ya Marekani ya ugaidi wa kiuchumi dhidi ya Iran, akisema Washington inalenga kuzilazimisha nchi nyingine kuacha mahusiano halali ya kiuchumi na Tehran kwa kutumia vitisho vya vikwazo.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:32:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran: Iran kupanua kwa mafanikio mifumo ya ulinzi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140994-kamanda_wa_kikosi_cha_ulinzi_wa_anga_cha_jeshi_la_iran_iran_kupanua_kwa_mafanikio_mifumo_ya_ulinzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01f0305da6b2qcj8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140994-kamanda_wa_kikosi_cha_ulinzi_wa_anga_cha_jeshi_la_iran_iran_kupanua_kwa_mafanikio_mifumo_ya_ulinzi </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran amesema kuwa Iran inapiga hatua mbele kwa kutegemea kikamilifu uwezo wake wa ndani, ikipanua mifumo yake ya ulinzi wa anga na kuzalisha nakala za mifumo ile iliyofanya vyema wakati wa vita vya siku 40.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:27:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nigeria yaagiza kufanyika msako baada ya kutekwa nyara watu wengi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140988-nigeria_yaagiza_kufanyika_msako_baada_ya_kutekwa_nyara_watu_wengi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0204ae6959b2qcj6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140988-nigeria_yaagiza_kufanyika_msako_baada_ya_kutekwa_nyara_watu_wengi </guid>  
      <description>Rais Bola Tinubu wa Nigeria ameviagiza vyombo vya usalama kuwasaka watu wenye silaha wanaotuhumiwa kuua makumi ya watu na kuwateka nyara wakazi wa vijiji vinne katika jimbo la Niger linalopatikana kaskazini- kati nchini humo.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:24:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Nchi 125 zawajibika kisheria kumkamata Netanyahu huku hati ya ICC ikimnyemelea Waziri Mkuu huyo wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140986-ripoti_nchi_125_zawajibika_kisheria_kumkamata_netanyahu_huku_hati_ya_icc_ikimnyemelea_waziri_mkuu_huyo_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0576ae1a0fa2qcj4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140986-ripoti_nchi_125_zawajibika_kisheria_kumkamata_netanyahu_huku_hati_ya_icc_ikimnyemelea_waziri_mkuu_huyo_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anakabiliwa na vizuizi vikali kimataifa vya kusafiri huku nchi 125 duniani zikiwajibika kisheria kwa kuwa wanachama katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kumtia mbaroni mtenda jinai huyo iwapo awasili katika nchi hizo.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:22:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Alkhamisi, tarehe 27 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140984-alkhamisi_tarehe_27_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc098b632de8c2q8fk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140984-alkhamisi_tarehe_27_agosti_2026 </guid>  
      <description>
Leo ni Alkhamisi tarehe 14 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1448 Hijria sawa na Agosti 27 mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:19:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yafafanua ilivyokubaliana na Oman kuhusu utaratibu wa muda utakaotumika kwenye Mlango-Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140982-iran_yafafanua_ilivyokubaliana_na_oman_kuhusu_utaratibu_wa_muda_utakaotumika_kwenye_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00b78e845202qcca.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140982-iran_yafafanua_ilivyokubaliana_na_oman_kuhusu_utaratibu_wa_muda_utakaotumika_kwenye_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran wa masuala ya sheria na kimataifa ametoa ufafanuzi kuhusu makubaliano ya muda yaliyofikiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Oman kuhusu Mlango-Bahari wa Hormuz, akisisitiza kwamba, kufunguliwa tena kwa njia hiyo ya majini kunategemea kutekelezwa kwa matakwa ya Tehran.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:24:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti mpya: Mashambulizi ya Iran yalisababisha uharibifu kwa vituo vya ujasusi vya US ambao "haujawahi kushuhudiwa"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140980-ripoti_mpya_mashambulizi_ya_iran_yalisababisha_uharibifu_kwa_vituo_vya_ujasusi_vya_us_ambao_haujawahi_kushuhudiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d4b6dec83d2qcda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140980-ripoti_mpya_mashambulizi_ya_iran_yalisababisha_uharibifu_kwa_vituo_vya_ujasusi_vya_us_ambao_haujawahi_kushuhudiwa </guid>  
      <description>Mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesababisha "uharibifu ambao haujawahi kushuhudiwa" kwa vituo vya ujasusi vya Marekani na vifaa vyake vya upelelezi kote Mashariki ya Kati.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:22:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watoto wachanga 14 wafariki katika ajali ya moto iliyotokea hospitalini Pakistan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140978-watoto_wachanga_14_wafariki_katika_ajali_ya_moto_iliyotokea_hospitalini_pakistan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09cf6d746ca2qcd4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140978-watoto_wachanga_14_wafariki_katika_ajali_ya_moto_iliyotokea_hospitalini_pakistan </guid>  
      <description>Watoto wachanga wasiopungua14 wamefariki dunia katika moto uliozuka kwenye chumba cha watoto cha hospitali ya serikali katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, huku Waziri Mkuu Shehbaz Sharif akitangaza kuwa ameshaamuru uchunguzi ufanyike kuhusu ajali hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:16:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya miaka 25, Misri yamtambulisha tena mtoto Muhammad al-Durra kwenye mtaala wa somo la historia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140976-baada_ya_miaka_25_misri_yamtambulisha_tena_mtoto_muhammad_al_durra_kwenye_mtaala_wa_somo_la_historia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dddc79872a2qcd2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140976-baada_ya_miaka_25_misri_yamtambulisha_tena_mtoto_muhammad_al_durra_kwenye_mtaala_wa_somo_la_historia </guid>  
      <description>Miaka 25 baada ya tukio lililoishtua na kuitikisa dunia, picha ya mtoto wa miaka 12 wa Kipalestina Muhammad al-Durra aliyeuliwa kinyama na hadharani na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel imehama kutoka kwenye skrini za televisheni hadi kwenye kurasa za kitabu cha kiada cha Misri, katika somo linaloangazia Intifadha ya Pili ya Wapalestina ya mwaka 2000.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:14:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Mapigano yasitishwe DRC kwa angalau miezi sita ili kukomesha mripuko wa ebola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140974-who_mapigano_yasitishwe_drc_kwa_angalau_miezi_sita_ili_kukomesha_mripuko_wa_ebola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08db5d762ae2qcd0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140974-who_mapigano_yasitishwe_drc_kwa_angalau_miezi_sita_ili_kukomesha_mripuko_wa_ebola </guid>  
      <description>Wakati mripuko wa ugonjwa wa ebola unaendelea kuenea kwa kasi ambayo haijawahi kushuhudiwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito wa kusitishwa mapigano kwa sababu za kibinadamu kwa muda wa angalau miezi sita, ili kuwezesha timu za afya kuwafikia watu walio katika hatari na kudhibiti kuenea kwa maambukizi ya ugonjwa huo hatari.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Vita vya Marekani Dhidi ya Iran Vimesababisha Vipi Nakisi ya Bajeti katika Uchumi wa Qatar?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140972-je_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vimesababisha_vipi_nakisi_ya_bajeti_katika_uchumi_wa_qatar</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc072644940562qc96.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140972-je_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vimesababisha_vipi_nakisi_ya_bajeti_katika_uchumi_wa_qatar </guid>  
      <description>Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeripoti kupungua kwa takriban asilimia 9 ya uchumi wa Qatar, ambapo baadhi ya wachambuzi wanakadiria kuwa uchumi wa nchi hiyo utapungua kwa asilimia 13 hadi 14 kufikia mwishoni mwa mwaka huu. </description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 06:54:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, tarehe 26 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140970-jumatano_tarehe_26_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ab98d3522d2qc7w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140970-jumatano_tarehe_26_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatano tarehe 13 Rabiul Awwal 1448 Hijria sawa na tarehe 26 Agosti 2026.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 05:59:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Kuimarisha mshikamano wa nchi za Kiislamu ni jambo la msingi katika kudumisha utulivu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140968-pezeshkian_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu_ni_jambo_la_msingi_katika_kudumisha_utulivu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f0c7b9d9fc2qc4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140968-pezeshkian_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu_ni_jambo_la_msingi_katika_kudumisha_utulivu </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kwamba maadui, wenye tamaa ya utajiri na rasilimali za eneo la Magharibi mwa Asia, wanataka kuibua hitilafu, vita na migogoro ili kunyakua utajiri huo, na njia pekee ya kukabiliana nao ni kudumisha umakini na umoja miongoni mwa mataifa ya Waislamu.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:36:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapinzani Sudan wapinga mazungumzo ya kitaifa ya Burhan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140966-wapinzani_sudan_wapinga_mazungumzo_ya_kitaifa_ya_burhan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc022b32a30f22qc4w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140966-wapinzani_sudan_wapinga_mazungumzo_ya_kitaifa_ya_burhan </guid>  
      <description>Mkutano mkubwa wa makundi ya kisiasa na asasi za kiraia za Sudan zinayopinga vita umemalizika huko Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:32:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yapinga vitisho vya Marekani na vikwazo haramu dhidi ya nchi zinazofanya biashara na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140964-china_yapinga_vitisho_vya_marekani_na_vikwazo_haramu_dhidi_ya_nchi_zinazofanya_biashara_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dc94d902da2qc4u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140964-china_yapinga_vitisho_vya_marekani_na_vikwazo_haramu_dhidi_ya_nchi_zinazofanya_biashara_na_iran </guid>  
      <description>China imepinga vitisho vya Marekani vya kuziwekea vikwazo nchi zinazofanya biashara na Iran, ikisema kuwa ushirikiano wa Beijing na Tehran unafanyika kwa mujibu wa sheria za kimataifa na haupaswi kuvurugwa.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:30:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maseneta wa Marekani wataka kusikilizwa hoja kuhusu mashinikizo yanayowasibu wanajeshi wao katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140962-maseneta_wa_marekani_wataka_kusikilizwa_hoja_kuhusu_mashinikizo_yanayowasibu_wanajeshi_wao_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0225d62e8ab2qc4s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140962-maseneta_wa_marekani_wataka_kusikilizwa_hoja_kuhusu_mashinikizo_yanayowasibu_wanajeshi_wao_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kundi la maseneta wa Marekani limetaka kufanyike kikao cha kusikiliza maoni bungeni kuhusu kuchoka na mashinikizo yanayowasumbua wanajeshi wa Marekani kutokana na vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:27:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taasisi ya Royan ya Iran ni miongoni mwa vituo 10 bora duniani vya tiba ya uzazi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140960-taasisi_ya_royan_ya_iran_ni_miongoni_mwa_vituo_10_bora_duniani_vya_tiba_ya_uzazi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e28c21dd9a2qc4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140960-taasisi_ya_royan_ya_iran_ni_miongoni_mwa_vituo_10_bora_duniani_vya_tiba_ya_uzazi </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa takwimu za SCImago; Taasisi ya Royan ya Iran ni miongoni mwa vituo 10 bora duniani katika nyanja ya tiba ya uzazi. Haya yameelezwa na Naibu Mkuu wa taasisi hiyo anayesimamia masuala ya utafiti.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:25:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Dakta Nchimbi atangaza kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140958-dakta_nchimbi_atangaza_kujiuzulu_nafasi_ya_makamu_wa_rais_wa_tanzania</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc033474226fb2qc0y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140958-dakta_nchimbi_atangaza_kujiuzulu_nafasi_ya_makamu_wa_rais_wa_tanzania </guid>  
      <description>Dakta Nchimbi atangaza kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 13:38:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Vita dhidi ya Iran vimefichua mapungufu ya mataifa makubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140956-mkuu_wa_umoja_wa_mataifa_vita_dhidi_ya_iran_vimefichua_mapungufu_ya_mataifa_makubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0664baa21042qbyw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140956-mkuu_wa_umoja_wa_mataifa_vita_dhidi_ya_iran_vimefichua_mapungufu_ya_mataifa_makubwa </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema kwamba uvamizi wa kijeshi wa hivi karibuni wa Marekani na Israel dhidi ya Iran umefichua mapungufu ya udhibiti wa madola makubwa, na kuashiria mabadiliko ya uhakika na yasiyoweza kurekebishwa kuelekea mfumo wa kimataifa wa kambi nyingi. </description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 11:32:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Upinzani DRC wamtaka Tshisekedi kuachana na mpango wa kubadili katiba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140954-upinzani_drc_wamtaka_tshisekedi_kuachana_na_mpango_wa_kubadili_katiba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02bdb59de542qbyq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140954-upinzani_drc_wamtaka_tshisekedi_kuachana_na_mpango_wa_kubadili_katiba </guid>  
      <description>Kiongozi wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amemtaka Rais Felix Tshisekedi kuachana na mapendekezo ya kufanyia marekebisho katiba ambayo wapinzani wanahofia yanaweza kutoa mwanya kwa rais huyo kugombea muhula wa tatu wa urais.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 11:28:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Serikali ya India yabomoa zaidi ya misikiti na shule 23, Waislamu wafungua mashtaka </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140952-serikali_ya_india_yabomoa_zaidi_ya_misikiti_na_shule_23_waislamu_wafungua_mashtaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc084e982688c2qbyc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140952-serikali_ya_india_yabomoa_zaidi_ya_misikiti_na_shule_23_waislamu_wafungua_mashtaka </guid>  
      <description>Serikali ya India imebomoa zaidi ya misikiti 23, shule za Kiislamu na kumbi za sala za Eid katika siku 45 pekee, zote zikiwa katika majimbo yanayoongozwa na Chama cha Bharatiya Janata (BJP), chama kinachoongozwa na Waziri Mkuu wa sasa, Narendra Modi.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:59:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan yaripoti 'maendeleo makubwa' katika mazungumzo ya Tehran ili kupunguza mvutano kati ya Marekani na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140948-pakistan_yaripoti_'maendeleo_makubwa'_katika_mazungumzo_ya_tehran_ili_kupunguza_mvutano_kati_ya_marekani_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02dc96b5a022qbxa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140948-pakistan_yaripoti_'maendeleo_makubwa'_katika_mazungumzo_ya_tehran_ili_kupunguza_mvutano_kati_ya_marekani_na_iran </guid>  
      <description>Pakistan imeripoti "maendeleo makubwa" katika mazungumzo ya kidiplomasia ya ngazi ya juu yaliyofanyika Tehran, yenye lengo la kupunguza kasi ya vita vinavyoendelea kati ya Marekani na Iran na kuokoa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU), unaosimamiwa na Pakistan.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:20:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini sera ya Marekani ya "mashinikizo ya juu zaidi" ni marudio ya mkakati uliofeli?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140950-kwa_nini_sera_ya_marekani_ya_mashinikizo_ya_juu_zaidi_ni_marudio_ya_mkakati_uliofeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc091d0ed6f3c2qbxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140950-kwa_nini_sera_ya_marekani_ya_mashinikizo_ya_juu_zaidi_ni_marudio_ya_mkakati_uliofeli </guid>  
      <description>Richard Nephew, mmoja wa wabunifu wakuu wa mfumo wa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, amekosoa mbinu ya sasa ya Washington, akisema sera ya "kuongeza mashinikizo ya kiuchumi" haina tija wala msingi mzuri wa kimkakati.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:30:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taasisi ya Brookings: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ni vya kimaonyesho tu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140946-taasisi_ya_brookings_vikwazo_vipya_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_vya_kimaonyesho_tu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0cac3db837e2qbx2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140946-taasisi_ya_brookings_vikwazo_vipya_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_vya_kimaonyesho_tu </guid>  
      <description>Mjumbe mkuu wa taasisi ya wanafikra ya Brookings amezungumzia mpango wa Marekani wa eti kuzidisha mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Iran na kusema: Kwa mujibu wa matarajio, mpango huu si chochote ila kampeni ya kipropaganda yenye makelele mengi.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:15:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne, Agosti 25, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140944-jumanne_agosti_25_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a61f4268b22q9xg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140944-jumanne_agosti_25_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumanne tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1448 Hijria sawa na 25 Agosti, 2026.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:29:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Umoja wa kitaifa kinga ya Iran dhidi ya vitisho vya nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140942-rais_pezeshkian_umoja_wa_kitaifa_kinga_ya_iran_dhidi_ya_vitisho_vya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00184a7a3b12qboc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140942-rais_pezeshkian_umoja_wa_kitaifa_kinga_ya_iran_dhidi_ya_vitisho_vya_nje </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kulinda umoja na mshikamano wa kitaifa, akisema kuwa kukabiliana na vitisho vya nje kunahitaji ushirikiano, kuzingatia haki na kushughulikia matatizo ya kiuchumi pamoja na changamoto za maisha zinazowakabili wananchi.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:26:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Jeshi: Wairani wako tayari kupambana kwa vizazi 20 vijavyo, hawatakubali ardhi yao idhuriwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140940-mkuu_wa_jeshi_wairani_wako_tayari_kupambana_kwa_vizazi_20_vijavyo_hawatakubali_ardhi_yao_idhuriwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09c0482a34e2qboa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140940-mkuu_wa_jeshi_wairani_wako_tayari_kupambana_kwa_vizazi_20_vijavyo_hawatakubali_ardhi_yao_idhuriwe </guid>  
      <description>Kamanda mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasema kuwa taifa liko tayari kupambana kwa vizazi vijavyo ili kuzuia maadui na mataifa ya kigeni kubadili sura ya nchi yao, akisisitiza kuwa Wairani hawatakubali ardhi yao ya asili idhuriwe.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:17:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>“Umma wa Mtume” ni Kaulimbiu Kuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140938-umma_wa_mtume_ni_kaulimbiu_kuu_ya_wiki_ya_umoja_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01144c31ca42qbo8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140938-umma_wa_mtume_ni_kaulimbiu_kuu_ya_wiki_ya_umoja_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Katibu wa Makao Makuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu nchini Iran ametangaza kuwa kaulimbiu kuu ya hafla ya mwaka huu ni “Ummah wa Mtume Mtukufu (SAW).”

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:16:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madaktari wa Iran wazindua mbinu mpya ya tiba ya saratani ‘isiyo na kifani duniani kote’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140936-madaktari_wa_iran_wazindua_mbinu_mpya_ya_tiba_ya_saratani_isiyo_na_kifani_duniani_kote’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09585b197432qbo6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140936-madaktari_wa_iran_wazindua_mbinu_mpya_ya_tiba_ya_saratani_isiyo_na_kifani_duniani_kote’ </guid>  
      <description>Madaktari wa Iran wamezindua mbinu mpya ya uchunguzi na tiba ya saratani sugu na zilizosambaa mwilini (metastatic solid cancers), wakiielezea kama mbinu ya kwanza ya aina yake kuvumbuliwa na kutumiwa ulimwenguni.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:12:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Siku 100 za mlipuko hatari zaidi wa Ebola: Unaweza kuzuiwa, na huu ndio mpango</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140934-siku_100_za_mlipuko_hatari_zaidi_wa_ebola_unaweza_kuzuiwa_na_huu_ndio_mpango</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03c862ed2662qbo4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140934-siku_100_za_mlipuko_hatari_zaidi_wa_ebola_unaweza_kuzuiwa_na_huu_ndio_mpango </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, inaendelea kukabiliana na mlipuko wa Ebola ambao tayari umegeuka kuwa mbaya zaidi kuwahi kurekodiwa nchini humo, huku takribani watu 2,500 wakiripotiwa kufariki katika siku 100 tangu mlipuko huo utangazwe rasmi.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:10:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hakuna nchi inayopasa kutuhofia iwapo haiwasaidii wavamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140932-hakuna_nchi_inayopasa_kutuhofia_iwapo_haiwasaidii_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08c95f0041d2qbks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140932-hakuna_nchi_inayopasa_kutuhofia_iwapo_haiwasaidii_wavamizi </guid>  
      <description>Iran imesema kuwa nchi hazipaswi kuwa na wasiwasi wowote kuhusu Jamhuri ya Kiislamu, isipokuwa pale zinapozipatia pande zinazotekeleza vitendo vya uhalifu na uvamizi vituo, miundombinu au zana ili kutekeleza mashambulizi dhidi yake. </description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:51:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran ndiyo nguvu mpya ya kikanda, si Marekani au 'Israel': The Atlantic</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140930-iran_ndiyo_nguvu_mpya_ya_kikanda_si_marekani_au_'israel'_the_atlantic</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fc01ca1fc52qbko.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140930-iran_ndiyo_nguvu_mpya_ya_kikanda_si_marekani_au_'israel'_the_atlantic </guid>  
      <description>Mtaalamu maarufu wa masuala ya kimikakati wa kihafidhina wa Marekani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimekuwa na matokeo kinyume na matarajio, na vimeshindwa kuilazimisha Tehran kusalimu amri, na badala yake vimeimarisha ushawishi wa Iran wa kikanda, vikifichua mipaka ya nguvu za kijeshi za Marekani na kugeuza Lango-Bahari la Hormuz kuwa chanzo kikuu cha ushawishi wa Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:48:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Serikali ya Kenya: Haturuhusu ICC kuchunguza visa vya mashambulizi ya “wahuni”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140928-serikali_ya_kenya_haturuhusu_icc_kuchunguza_visa_vya_mashambulizi_ya_wahuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a9415776262qbke.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140928-serikali_ya_kenya_haturuhusu_icc_kuchunguza_visa_vya_mashambulizi_ya_wahuni </guid>  
      <description>Serikali ya Kenya imekataa wito wa upinzani na mashirika ya kiraia kwa Mahakama ya Kimataifa unaotaka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ichunguze ongezeko la ghasia za kisiasa nchini humo katia kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2027.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:43:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripota Maalumu wa UN atoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kulinda Wapalestina Ukingo wa Magharibi na Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140926-ripota_maalumu_wa_un_atoa_wito_wa_kupelekwa_haraka_kikosi_cha_kimataifa_cha_kulinda_wapalestina_ukingo_wa_magharibi_na_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06f078b0ee62qbkc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140926-ripota_maalumu_wa_un_atoa_wito_wa_kupelekwa_haraka_kikosi_cha_kimataifa_cha_kulinda_wapalestina_ukingo_wa_magharibi_na_gaza </guid>  
      <description>Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu katika Maeneo Yanayokaliwa kwa ya Palestina, Francesca Albanese, ametoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kuwalinda Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:39:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu wasiopungua 30 wamefariki dunia kufuatia kuporomoka rundo kubwa la taka huko Conakry, Guinea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140924-watu_wasiopungua_30_wamefariki_dunia_kufuatia_kuporomoka_rundo_kubwa_la_taka_huko_conakry_guinea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bd41f311532qbka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140924-watu_wasiopungua_30_wamefariki_dunia_kufuatia_kuporomoka_rundo_kubwa_la_taka_huko_conakry_guinea </guid>  
      <description>Watu wasiopungua 30 wamefariki dunia baada ya rundo kubwa la taka kuporomoka katika dampo kubwa zaidi huko Conakry, nchini Guinea.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:34:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya Kiuchumi vya Trump Dhidi ya Iran: Chombo Ambacho Hakifanyi Kazi Tena</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140922-vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_chombo_ambacho_hakifanyi_kazi_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b07145bf0d2qbfm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140922-vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_chombo_ambacho_hakifanyi_kazi_tena </guid>  
      <description>Katika kujibu vitisho vipya vya Donald Trump dhidi ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, "kung'ang'ania sera zilizofeli kutapelekea tu kushindwa zaidi na kuchochea chuki ya wananchi wa Iran dhidi ya watawala wa Marekani." </description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 10:59:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatatu, 24 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140920-jumatatu_24_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05ce1c877d12qbbk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140920-jumatatu_24_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu tarehe 11 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1448 Hijria sawa na 24 Agosti, 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:20:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>PGSA: Iran itazuilia na kutwaa meli zinazokiuka sheria za Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140918-pgsa_iran_itazuilia_na_kutwaa_meli_zinazokiuka_sheria_za_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0739de5746c2qbbe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140918-pgsa_iran_itazuilia_na_kutwaa_meli_zinazokiuka_sheria_za_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Mamlaka ya Lango-Bahari la Ghuba ya Uajemi (PGSA), ambayo ni chombo cha udhibiti cha Iran cha Lango-Bahari la Hormuz, imetangaza kwamba meli zinazokiuka itifaki za Iran za njia hiyo ya majini ya kimkakati zitakabiliwa na vikwazo kwenye njia za baadaye, ikiwa ni pamoja na faini, kuzuiliwa, au kutwaliwa.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:17:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti: Kampuni ya Uingereza ilisafirisha Waafrika kama watumwa hadi Guyana baada ya kukomeshwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140916-utafiti_kampuni_ya_uingereza_ilisafirisha_waafrika_kama_watumwa_hadi_guyana_baada_ya_kukomeshwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ea7bcd75882qbb6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140916-utafiti_kampuni_ya_uingereza_ilisafirisha_waafrika_kama_watumwa_hadi_guyana_baada_ya_kukomeshwa </guid>  
      <description>Gazeti la The Guardian limefichua kuwa, kampuni ya kibiashara ya Uingereza iliendelea kusafirisha Waafrika kama watumwa kwenda Guyana, miaka kadhaa baada ya kukomeshwa utumwa katika sehemu kubwa ya makoloni ya Uingereza.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:15:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Qaani: Palestina ni fikra iliyo hai na isiyobadilika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140914-kamanda_qaani_palestina_ni_fikra_iliyo_hai_na_isiyobadilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05859575d882qbb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140914-kamanda_qaani_palestina_ni_fikra_iliyo_hai_na_isiyobadilika </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema: "Suala la kukomboa Palestina, kuanzia baharini hadi mtoni, (ardhi ya Palestina kuanzia Bahari ya Mediterania hadi Mto Jordan) liko hai zaidi na linawezekana kutimizwa sasa kuliko hapo awali."</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:11:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa ulinzi aliyetimuliwa Ukraine: Ufisadi mkubwa unazuia kuhitishwa vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140912-waziri_wa_ulinzi_aliyetimuliwa_ukraine_ufisadi_mkubwa_unazuia_kuhitishwa_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b39284ab0e2qbau.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140912-waziri_wa_ulinzi_aliyetimuliwa_ukraine_ufisadi_mkubwa_unazuia_kuhitishwa_vita </guid>  
      <description>Waziri wa ulinzi aliyefukuzwa kazi wa Ukraine amekosoa kiwango cha ufisadi nchini humo, akisema kwamba ufisadi uliokita mizizi unazuia kukomeshwa vita na ujenzi mpya wa Ukraine.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:08:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti Mkuu wa Russia asifu juhudi za Iran za kuunganisha Umma wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140910-mufti_mkuu_wa_russia_asifu_juhudi_za_iran_za_kuunganisha_umma_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fe7c4d10e42qbac.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140910-mufti_mkuu_wa_russia_asifu_juhudi_za_iran_za_kuunganisha_umma_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Mkuu wa Baraza la Mufti na Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Russia amepongeza hatua za Tehran kuimarisha umoja wa Umma wa Kiislamu.  </description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 04:40:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Ulimwengu umeshangazwa na ustahimilivu wa Iran katika vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140908-pezeshkian_ulimwengu_umeshangazwa_na_ustahimilivu_wa_iran_katika_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f16e7842912qb8s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140908-pezeshkian_ulimwengu_umeshangazwa_na_ustahimilivu_wa_iran_katika_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa tathmini ya adui kwamba Iran itasambaratika kutokana na mashinikizo makubwa haikuwa sahihi na kwamba mshikamano na umoja wa taifa hili vimeishangaza dunia.  </description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 14:36:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Usalama: Iran itaendelea kufunga Hormuz hadi Marekani itimize majukumu yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140906-mkuu_wa_usalama_iran_itaendelea_kufunga_hormuz_hadi_marekani_itimize_majukumu_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0095261f8382qb8o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140906-mkuu_wa_usalama_iran_itaendelea_kufunga_hormuz_hadi_marekani_itimize_majukumu_yake </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itafubaza mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani ikiwa ni pamoja na kuzichukulia hatua nchi ambazo zinashiriki katika “vita vya kiuchumi” vya Marekani dhidi ya Iran. </description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 14:26:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malik Agar: Chaguo letu ni suluhisho la kijeshi hadi mazingira ya mazungumzo yatakapotimizwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140904-malik_agar_chaguo_letu_ni_suluhisho_la_kijeshi_hadi_mazingira_ya_mazungumzo_yatakapotimizwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc027e242224f2qb8k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140904-malik_agar_chaguo_letu_ni_suluhisho_la_kijeshi_hadi_mazingira_ya_mazungumzo_yatakapotimizwa </guid>  
      <description>Malik Agar, naibu mkuu wa Baraza Kuu la Utawala nchini Sudan, amesema kwamba chaguo la sasa ni suluhisho la kijeshi mpaka pale mazingira ya kufanyika mazungumzo yatakapotimizwa, akisisitiza kwamba Khartoum inalitaka kundi la Rapid Support Forces (RSF) kuondoka katika miji na maeneo ya makazi ya raia kabla ya mazungumzo yoyote kuanza.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 14:23:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yawapongeza mabalozi wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaotaka Israel iwekewe vikwazo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140902-hamas_yawapongeza_mabalozi_wa_zamani_wa_ufaransa_na_uingereza_wanaotaka_israel_iwekewe_vikwazo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a34a5135d02qb82.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140902-hamas_yawapongeza_mabalozi_wa_zamani_wa_ufaransa_na_uingereza_wanaotaka_israel_iwekewe_vikwazo </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza muungano wa wanadiplomasia zaidi ya 100 wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaozitaka serikali za nchi zao kushirikiana kulinda sheria za kimataifa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina. Mabalozi hao pia wametaka Israel iwekewe vikwazo.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 13:58:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa zamani wa Kongo, Joseph Kabila, apinga vikwazo vya US mahakamani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140900-rais_wa_zamani_wa_kongo_joseph_kabila_apinga_vikwazo_vya_us_mahakamani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a9df5f5d862qb80.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140900-rais_wa_zamani_wa_kongo_joseph_kabila_apinga_vikwazo_vya_us_mahakamani </guid>  
      <description>Katika kesi iliyofanyika mahakamani huko Washington, Joseph Kabila ambaye aliongoza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuanzia 2001 hadi 2019 ametaka jina lake liondolewe kwenye orodha nyeusi ya Wizara ya Fedha ya Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 13:56:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwisho wa satwa ya Marekani: Asia Magharibi Katika Ukingo wa Mfumo Mpya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140898-mwisho_wa_satwa_ya_marekani_asia_magharibi_katika_ukingo_wa_mfumo_mpya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09a8420b4832qaxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140898-mwisho_wa_satwa_ya_marekani_asia_magharibi_katika_ukingo_wa_mfumo_mpya </guid>  
      <description>Katika uchambuzi wake wa hivi karibuni, jarida la Foreign Affairs linataja vita dhidi ya Iran kama hatua muhimu inayoharakisha kuporomoka kwa mfumo wa kikanda unaoongozwa na Marekani na kudhihiri taratibu mabadiliko yanayoweza kubadili mitazamo na mikakati ya kiusalama ya mataifa ya Asia Magharibi katika miaka ijayo.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 06:38:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vitisho Visivyo na Uzito vya Trump na Kudhoofika kwa Nguvu ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140896-vitisho_visivyo_na_uzito_vya_trump_na_kudhoofika_kwa_nguvu_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01759d0cec52qaja.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140896-vitisho_visivyo_na_uzito_vya_trump_na_kudhoofika_kwa_nguvu_ya_marekani </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena ametishia kuishambulia Oman kwa mabomu, nchi iliyo na nafasi muhimu katika mazungumzo yanayohusu Iran pamoja na masuala yanayohusiana na usafiri wa baharini katika Lango Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 05:02:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kaimu Waziri wa Ulinzi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitasalimu amri kwa kuwekewa mashinikizo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140894-kaimu_waziri_wa_ulinzi_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_katu_haitasalimu_amri_kwa_kuwekewa_mashinikizo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d1dcede3c92qavq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140894-kaimu_waziri_wa_ulinzi_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_katu_haitasalimu_amri_kwa_kuwekewa_mashinikizo </guid>  
      <description>Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, taifa hili limeishinda kimkakati Marekani na utawala wa Kizayuni kwa kutegemea uwezo wake wa ndani, na akasisitiza kwamba: Jamhuri ya Kiislamu haitasalimu amri katu kwa kuwekewa mashinikizo.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:33:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu wa UN: Hatua kali zaidi zichukuliwe kukomesha ubaguzi kwa sababu ya dini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140892-katibu_mkuu_wa_un_hatua_kali_zaidi_zichukuliwe_kukomesha_ubaguzi_kwa_sababu_ya_dini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08517b94b152qavo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140892-katibu_mkuu_wa_un_hatua_kali_zaidi_zichukuliwe_kukomesha_ubaguzi_kwa_sababu_ya_dini </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kukomesha vurugu na ubaguzi dhidi ya watu kwa sababu ya dini au imani yao, akionya kuwa mashambulizi dhidi ya jumuiya za kidini ni shambulio dhidi ya haki za binadamu na utu wa binadamu.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:28:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF: Mgogoro wa njaa kwa watoto Somalia wazidi kuwa mbaya baada ya kupunguzwa misaada</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140890-unicef_mgogoro_wa_njaa_kwa_watoto_somalia_wazidi_kuwa_mbaya_baada_ya_kupunguzwa_misaada</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08ae928846a2qavm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140890-unicef_mgogoro_wa_njaa_kwa_watoto_somalia_wazidi_kuwa_mbaya_baada_ya_kupunguzwa_misaada </guid>  
      <description>Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeonya kuwa, utapiamlo unaotishia maisha miongoni mwa watoto nchini Somalia unaongezeka kwa kasi, huku zaidi ya vituo 200 vya afya na lishe vikilazimika kufungwa kutokana na kupunguzwa misaada ya kimataifa.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:24:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tunisia yaopoa miili ya wahamiaji wanne baada ya boti kuzama karibu na pwani ya nchi hiyo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140888-tunisia_yaopoa_miili_ya_wahamiaji_wanne_baada_ya_boti_kuzama_karibu_na_pwani_ya_nchi_hiyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bb2fdec2d12qavk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140888-tunisia_yaopoa_miili_ya_wahamiaji_wanne_baada_ya_boti_kuzama_karibu_na_pwani_ya_nchi_hiyo </guid>  
      <description>Mamlaka za Tunisia imepata miili ya wahamiaji wanne wasio na vibali karibu na pwani ya Ben Guerdane, kusini-mashariki mwa nchi hiyo, baada ya boti iliyokuwa imebeba watu 15 kupinduka. Haya yameelezwa jana na Shirika la Kutetea Haki za Binadamu. </description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:21:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maafisa wa jeshi la Israel: Netanyahu anataka kushadidisha vita ili uchaguzi usifanyike</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140886-maafisa_wa_jeshi_la_israel_netanyahu_anataka_kushadidisha_vita_ili_uchaguzi_usifanyike</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06194ef3c1c2qavi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140886-maafisa_wa_jeshi_la_israel_netanyahu_anataka_kushadidisha_vita_ili_uchaguzi_usifanyike </guid>  
      <description>Maafisa waandamizi wa jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel wanamshuku waziri mkuu Benjamin Netanyahu kwamba anaweza akataka kushadidisha vita katika Ukanda wa Ghaza ili kujaribu kuvuruga au kuahirisha uchaguzi ujao wa bunge wa utawala huo ghasibu.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:14:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 23 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140884-jumapili_23_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0deca4e74782qavg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140884-jumapili_23_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 10 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1448 Hijria mwafaka 23Agosti 2026 Miladia.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 02:46:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Samia azindua mradi mkubwa utakaochangia nusu ya umeme unaozalishwa Tanzania</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140882-rais_samia_azindua_mradi_mkubwa_utakaochangia_nusu_ya_umeme_unaozalishwa_tanzania</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0557288e4272qaru.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140882-rais_samia_azindua_mradi_mkubwa_utakaochangia_nusu_ya_umeme_unaozalishwa_tanzania </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere, hatua inayofungua rasmi kuanza kwa kazi ya mojawapo ya miradi mikubwa zaidi ya miundombinu nchini humo na mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme unaofadhiliwa na serikali.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 13:12:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Safavi: Jina la Iran linapaswa kuwa jinamizi la daima kwa tawala vamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140880-meja_jenerali_safavi_jina_la_iran_linapaswa_kuwa_jinamizi_la_daima_kwa_tawala_vamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0c568df8d452qare.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140880-meja_jenerali_safavi_jina_la_iran_linapaswa_kuwa_jinamizi_la_daima_kwa_tawala_vamizi </guid>  
      <description>Mshauri Mkuu wa Kiongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Meja Jenerali Sayyed Yahya Rahim Safavi, amesema uzoefu wa Iran katika vita na makabiliano yake na Marekani na utawala wa Israel unaonesha umuhimu wa kuimarisha uwezo wa kiulinzi na kujenga nguvu ya kuzuia uchokozi.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:25:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikwazo vipya vya Marekani na kuvitaja kuwa hujuma dhidi ya mamlaka ya nchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140878-iran_yalaani_vikwazo_vipya_vya_marekani_na_kuvitaja_kuwa_hujuma_dhidi_ya_mamlaka_ya_nchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc000f5768bbb2qarc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140878-iran_yalaani_vikwazo_vipya_vya_marekani_na_kuvitaja_kuwa_hujuma_dhidi_ya_mamlaka_ya_nchi </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali vikwazo vipya vya kiuchumi vilivyotangazwa na Marekani, ikisema hatua hiyo ni ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala nchi huru na jaribio la Washington la kujipa mamlaka juu ya mataifa mengine.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:23:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Salehi-Amiri: Afrika Kusini ni lango la Iran kuingia katika soko la utalii barani Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140876-salehi_amiri_afrika_kusini_ni_lango_la_iran_kuingia_katika_soko_la_utalii_barani_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03b762466ae2qara.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140876-salehi_amiri_afrika_kusini_ni_lango_la_iran_kuingia_katika_soko_la_utalii_barani_afrika </guid>  
      <description>Waziri wa Urithi wa Utamaduni, Utalii na Kazi za Mikono wa Iran, Seyyed Reza Salehi-Amiri, amesema Afrika Kusini inaweza kuwa lango la Iran kuingia katika soko la utalii barani Afrika, akisisitiza umuhimu wa kubadilisha mazungumzo ya kisiasa na kidiplomasia kuwa ushirikiano wa kivitendo na wa kiuchumi.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:22:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Rekodi ya serikali ya Marekani imejaa umwagaji damu na jinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140874-hizbullah_rekodi_ya_serikali_ya_marekani_imejaa_umwagaji_damu_na_jinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01b302a28df2qar4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140874-hizbullah_rekodi_ya_serikali_ya_marekani_imejaa_umwagaji_damu_na_jinai </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali vikwazo vipya vya Wizara ya Hazina ya Marekani dhidi ya harakati hiyo.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:20:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaonya: Mlipuko wa Ebola nchini DR Congo 'unaongezeka kwa kasi' baada ya zaidi ya watu 2,500 kuaga dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140870-un_yaonya_mlipuko_wa_ebola_nchini_dr_congo_'unaongezeka_kwa_kasi'_baada_ya_zaidi_ya_watu_2_500_kuaga_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0267d99615b2qaha.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140870-un_yaonya_mlipuko_wa_ebola_nchini_dr_congo_'unaongezeka_kwa_kasi'_baada_ya_zaidi_ya_watu_2_500_kuaga_dunia </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa ulitangaza jana Ijumaa kwamba virusi vya Ebola vinaenea kwa kasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuua zaidi ya watu 2,500, ukitoa wito wa kutolewa misaada zaidi na kuonya kwamba ufadhili uliotolewa hadi sasa utaisha ndani ya wiki chache.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 03:32:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaendelea kuboresha sekta yake ya ulinzi baada ya vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140868-iran_yaendelea_kuboresha_sekta_yake_ya_ulinzi_baada_ya_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09615188f5d2qah8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140868-iran_yaendelea_kuboresha_sekta_yake_ya_ulinzi_baada_ya_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Iran imesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu inaendelea kuifanya sekta yake ya ulinzi kuwa ya kisasa, ikizingatia mahitaji yaliyojitokeza kutokana na vita vya hivi karibuni vilivyolazimishwa dhidi ya nchi hii na Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:57:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu Ukanda wa Gaza ni mbaya kutokana na kuongezeka wimbi la njaa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140866-umoja_wa_mataifa_hali_ya_kibinadamu_ukanda_wa_gaza_ni_mbaya_kutokana_na_kuongezeka_wimbi_la_njaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc059db72e09c2qah6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140866-umoja_wa_mataifa_hali_ya_kibinadamu_ukanda_wa_gaza_ni_mbaya_kutokana_na_kuongezeka_wimbi_la_njaa </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza kutokana na kuendelea mashambulizi ya utawala wa Israel pamoja na kushadidishwa mzingiro dhidi ya eneo hilo.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:54:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Miaka 57 tangu kuchomwa moto Msikiti wa Al-Aqswa; uhalifu unaoendelea kujirudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140864-miaka_57_tangu_kuchomwa_moto_msikiti_wa_al_aqswa_uhalifu_unaoendelea_kujirudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc079ccbd194f2qah4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140864-miaka_57_tangu_kuchomwa_moto_msikiti_wa_al_aqswa_uhalifu_unaoendelea_kujirudia </guid>  
      <description>Miaka 57 baada ya kuchomwa moto kwa Msikiti wa Al-Aqsa, utambulisho wake wa Kiislamu unaendelea kutishiwa na njama za kuliyahudisha eneo hilo takatifu zingali zinaendeea.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:53:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WFP: Mamilioni ya watu wanakabiliwa na baa la njaa nchini Somalia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140862-wfp_mamilioni_ya_watu_wanakabiliwa_na_baa_la_njaa_nchini_somalia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc071cb62eaec2qah2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140862-wfp_mamilioni_ya_watu_wanakabiliwa_na_baa_la_njaa_nchini_somalia </guid>  
      <description>Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa, watu milioni sita nchini Somalia wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:51:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, 22 Agosti 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140860-jumamosi_22_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b2c29fafc02qah0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140860-jumamosi_22_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 9 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1448 Hijria mwafaka na 22 Agosti 2026 Miladia.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:47:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mahakama ya Tanzania: Tundu Lissu ana kesi ya kujibu ya uhaini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140858-mahakama_ya_tanzania_tundu_lissu_ana_kesi_ya_kujibu_ya_uhaini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b2b2aaf0c02qae4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140858-mahakama_ya_tanzania_tundu_lissu_ana_kesi_ya_kujibu_ya_uhaini </guid>  
      <description>Mahakama Kuu ya Tanzania imeamua kwamba Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Tundu Lissu, ana kesi ya kujibu katika kesi ya uhaini inayomkabili, hatua inayofungua njia kwa mwanasiasa huyo kuanza kujitetea.

</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 12:35:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Vikwazo vipya vya Marekani ni ‘ugaidi wa kiuchumi’ na ‘uhalifu dhidi ya ubinadamu’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140856-iran_vikwazo_vipya_vya_marekani_ni_ugaidi_wa_kiuchumi’_na_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a03dfce6dc2qaac.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140856-iran_vikwazo_vipya_vya_marekani_ni_ugaidi_wa_kiuchumi’_na_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu’ </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali mzunguko mpya wa vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Marekani dhidi ya taifa hili, ikisisitiza kuwa hatua hizo ni sawa na “ugaidi wa kiuchumi” na “uhalifu dhidi ya ubinadamu.”</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 10:35:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran:  Qur’ani yahimiza mshikamano wa Umma wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140854-imamu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_qur’ani_yahimiza_mshikamano_wa_umma_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ca7a74b4272qacy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140854-imamu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_qur’ani_yahimiza_mshikamano_wa_umma_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Imamu wa muda wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran, Hujjat al-Islam wal-Muslimin Muhammad-Hassan Abutorabi-Fard, amesema Wiki ya Umoja na sherehe za kukumbuka  kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) hutoa fursa muhimu ya kutafakari ujumbe wa Qur’ani Tukufu kuhusu umoja na mshikamano wa jamii ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 10:33:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matumaini baada ya DRC kupokea dozi 70,000  za chanjo ya Ebola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140850-matumaini_baada_ya_drc_kupokea_dozi_70_000_za_chanjo_ya_ebola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf1d952fd352pli4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140850-matumaini_baada_ya_drc_kupokea_dozi_70_000_za_chanjo_ya_ebola </guid>  
      <description>Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO, na Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa, Africa CDC, zimekaribisha uamuzi wa kuipatia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, dozi 70,000 za chanjo ya Ervebo ili kuimarisha mapambano dhidi ya mlipuko wa Ebola aina ya Bundibugyo.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 10:25:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina ‘wanakabiliwa na baa la njaa’ huku walowezi wa Kizayuni wakiendeleza mzingiro katika mji wa Qusra</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140848-wapalestina_wanakabiliwa_na_baa_la_njaa’_huku_walowezi_wa_kizayuni_wakiendeleza_mzingiro_katika_mji_wa_qusra</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a6fc57c2552qaco.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140848-wapalestina_wanakabiliwa_na_baa_la_njaa’_huku_walowezi_wa_kizayuni_wakiendeleza_mzingiro_katika_mji_wa_qusra </guid>  
      <description>Wapalestina walionaswa ndani ya nyumba zao katika mji wa Qusra wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula huku walowezi wenye itikadi kali za Kizayuni wakiendeleza mzingiro wao dhidi ya mji huo wa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, wakati vikosi vya utawala ghasibu  wa Israel vikiendelea kuzuia misaada ya chakula kufika.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 10:22:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa, Agosti 21, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140846-ijumaa_agosti_21_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03ec1ee4b752qaa6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140846-ijumaa_agosti_21_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa tarehe 8 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1448 Hijria, mwafaka na tarehe 21 Agosti 2026.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 06:19:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: “Ugaidi wa kiuchumi” wa Trump dhidi ya Iran ni mbinu ya kupotosha umma kuhusu matatizo ya uchumi wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140844-araghchi_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_trump_dhidi_ya_iran_ni_mbinu_ya_kupotosha_umma_kuhusu_matatizo_ya_uchumi_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02f1f2c12262qaa2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140844-araghchi_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_trump_dhidi_ya_iran_ni_mbinu_ya_kupotosha_umma_kuhusu_matatizo_ya_uchumi_wa_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameionya Marekani kwamba kuendeleza sera “zilizoshindwa” dhidi ya Iran kutasababisha kurudi nyuma zaidi kwa Washington. Kauli hiyo imekuja huku Marekani ikigeukia mashinikizo ya kiuchumi baada ya kukiri kushindwa katika uchokozi wake wa kijeshi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 06:16:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lengo la Marekani ni kupora rasilimali za eneo, Qalibaf amwambia Rais wa Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140842-lengo_la_marekani_ni_kupora_rasilimali_za_eneo_qalibaf_amwambia_rais_wa_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08bcce861b22qaa0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140842-lengo_la_marekani_ni_kupora_rasilimali_za_eneo_qalibaf_amwambia_rais_wa_iraq </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa uwepo wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi unasukumwa na shauku ya kupora rasilimali za eneo hilo.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 06:13:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi ya Wapalestina 50 wasiojulikana waliouawa katika mauaji ya kimbari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140840-mazishi_ya_wapalestina_50_wasiojulikana_waliouawa_katika_mauaji_ya_kimbari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04b3a25b0312qa9s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140840-mazishi_ya_wapalestina_50_wasiojulikana_waliouawa_katika_mauaji_ya_kimbari </guid>  
      <description>Mamia ya watu wameswali Swala ya Janaza wakati wa mazishi ya pamoja katika Jiji la Gaza kwa ajili ya Wapalestina 50 ambao miili yao ilipatikana hivi karibuni na vikosi vya Ulinzi wa Raia ikiwa chini ya mabaki ya nyumba zilizobomolewa katika mashambulizi ya Israel wakati wa vita vya mauaji ya kimbari katika eneo hilo lililozingirwa.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 06:10:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Miili ya watoto 40 yapatikana katika ajali ya boti iliyotokea jimboni Sokoto, Nigeria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140838-miili_ya_watoto_40_yapatikana_katika_ajali_ya_boti_iliyotokea_jimboni_sokoto_nigeria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fe1e57c6c12qa9q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140838-miili_ya_watoto_40_yapatikana_katika_ajali_ya_boti_iliyotokea_jimboni_sokoto_nigeria </guid>  
      <description>Makumi ya watu wamefariki dunia baada ya boti kuzama katika jimbo la kaskazini magharibi mwa Nigeria la Sokoto.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 06:08:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa ujasusi Ecuador apoteza maisha katika ajali ya helikopta nchini Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140836-mkuu_wa_ujasusi_ecuador_apoteza_maisha_katika_ajali_ya_helikopta_nchini_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc07a5a9e20842qa9o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140836-mkuu_wa_ujasusi_ecuador_apoteza_maisha_katika_ajali_ya_helikopta_nchini_kenya </guid>  
      <description>Helikopta iliyokuwa imewabeba watalii imeanguka kaskazini mwa Kenya na kuwaua watu wote saba waliokuwa ndani, akiwemo Mkuu wa Shirika la Ujasusi wa Ecuador na raia watano wa Marekani.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 05:58:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Vikizuka vita vipya, Iran itatumia silaha zinazosababisha uharibifu mkubwa zaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140834-irgc_vikizuka_vita_vipya_iran_itatumia_silaha_zinazosababisha_uharibifu_mkubwa_zaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b09ae6b9622qa0y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140834-irgc_vikizuka_vita_vipya_iran_itatumia_silaha_zinazosababisha_uharibifu_mkubwa_zaidi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa, kama vitazuka vita vipya litatumia silaha zinazosababisha uharibifu mkubwa zaidi na za kisasa zaidi kuliko zile zilizotumika katika vita vilivyopita.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 11:53:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Vita vikishtadi, yamkini Iran ikavishambulia vituo vya Marekani barani Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140832-ripoti_vita_vikishtadi_yamkini_iran_ikavishambulia_vituo_vya_marekani_barani_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc080b124feec2qa3u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140832-ripoti_vita_vikishtadi_yamkini_iran_ikavishambulia_vituo_vya_marekani_barani_ulaya </guid>  
      <description>Gazeti la Financial Times limeripoti kuwa Iran inafikiria kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya ikiwa Rais wa Marekani Donald Trump atashadidisha vita, wakati Tehran inazingatia pia machaguo ya kupanua wigo wa mzozo hadi nje ya Mashariki ya Kati. </description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 11:49:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Upinzani Kenya wamtaka Mwendesha Mashtaka wa ICC achukue hatua dhidi ya Rais Ruto</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140828-upinzani_kenya_wamtaka_mwendesha_mashtaka_wa_icc_achukue_hatua_dhidi_ya_rais_ruto</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08de51ddbeb2qa3s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140828-upinzani_kenya_wamtaka_mwendesha_mashtaka_wa_icc_achukue_hatua_dhidi_ya_rais_ruto </guid>  
      <description>Vyama vya upinzani nchini Kenya vimetoa wito kwa Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchukua hatua dhidi ya Rais wa nchi hiyo William Ruto, kufuatia ghasia za hivi karibuni za kisiasa zilizoshuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya nchi.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 11:46:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya kukana kwa zaidi ya miaka 2, Israel yakiri kumuua mtoto wa Kipalestina Hind Rajab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140826-baada_ya_kukana_kwa_zaidi_ya_miaka_2_israel_yakiri_kumuua_mtoto_wa_kipalestina_hind_rajab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04969dd09c72qa3o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140826-baada_ya_kukana_kwa_zaidi_ya_miaka_2_israel_yakiri_kumuua_mtoto_wa_kipalestina_hind_rajab </guid>  
      <description>Kwa mara ya kwanza, jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limekiri kuwa lilimuua Hind Rajab mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka mitano huko Ghaza, na hivyo kubatilisha makanusho yake ya hapo awali, na kutangaza kwamba limeshaagiza kufanyika uchunguzi wa kijinai kuhusiana na mauaji yake.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 11:44:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yalaani na kupinga vikali vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya maafisa wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140824-icc_yalaani_na_kupinga_vikali_vikwazo_vipya_vya_marekani_dhidi_ya_maafisa_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d2e311508c2qa2w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140824-icc_yalaani_na_kupinga_vikali_vikwazo_vipya_vya_marekani_dhidi_ya_maafisa_wake </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, imelaani na kupinga vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Rais wa Mahakama hiyo, Jaji Tomoko Akane kutoka Japan, na Wakili Mwandamizi wa Ofisi ya Mwendesha Mashtaka, Abdoulaye Seye kutoka Senegal.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 10:38:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna shambulio la kijeshi dhidi ya Iran lilivyoikatisha tamaa Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140822-namna_shambulio_la_kijeshi_dhidi_ya_iran_lilivyoikatisha_tamaa_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b16776f1732q9zg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140822-namna_shambulio_la_kijeshi_dhidi_ya_iran_lilivyoikatisha_tamaa_ulaya </guid>  
      <description>Vita vinavyoendeshwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran si mgogoro wa kijeshi wa eneo dogo tu katika Asia Magharibi. Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz na kuvurugika kimataifa usambazaji wa nishati kumetikisa uchumi wa dunia nzima, ambapo madhara yake yanaonekana wazi hadi katika kitovu cha Ulaya na Uingereza.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 06:54:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maombolezo ya Imam Askari (AS) Hadi Mapambazuko ya Matumaini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/event-i140818-maombolezo_ya_imam_askari_(as)_hadi_mapambazuko_ya_matumaini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03780bd98fd2q9z8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/event-i140818-maombolezo_ya_imam_askari_(as)_hadi_mapambazuko_ya_matumaini </guid>  
      <description>Tarehe 8 na 9 za mwezi wa Rabiul al-Awwal ni siku mbili zinazofuatana katika kalenda ya Waislamu wa madhehebu ya Shia: Moja huwa ni siku ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hassan al-Askari (AS), na nyingine huashiria kuanza uongozi wa Imam wa Zama (AS).</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 06:28:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita dhidi ya Iran na Mgogoro katika Akiba ya Kimkakati ya Mafuta ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140820-vita_dhidi_ya_iran_na_mgogoro_katika_akiba_ya_kimkakati_ya_mafuta_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a1ff9d4f312q9zc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140820-vita_dhidi_ya_iran_na_mgogoro_katika_akiba_ya_kimkakati_ya_mafuta_ya_marekani </guid>  
      <description>Vita dhidi ya Iran vimesababisha akiba ya kimkakati ya mafuta ya Marekani kushuka hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miongo mine iliyopita.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 06:39:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Muqawama wa Iraq ni chanzo kikuu cha nguvu kwa Iran na Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140814-spika_qalibaf_muqawama_wa_iraq_ni_chanzo_kikuu_cha_nguvu_kwa_iran_na_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05e28c46b062q9xs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140814-spika_qalibaf_muqawama_wa_iraq_ni_chanzo_kikuu_cha_nguvu_kwa_iran_na_iraq </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Muqawama wa Kiislamu nchini Iraq umekuwa moja ya nguzo muhimu za nguvu kwa Iran na Iraq, akisisitiza kuwa fikra na harakati za Muqawama zimevuka mipaka ya eneo na kupata uungwaji mkono duniani.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:32:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mearsheimer: Marekani haina budi isipokuwa kukubali matakwa ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140812-mearsheimer_marekani_haina_budi_isipokuwa_kukubali_matakwa_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00b3fec6e272q9xq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140812-mearsheimer_marekani_haina_budi_isipokuwa_kukubali_matakwa_ya_iran </guid>  
      <description>Msomi na mtaalamu mashuhuri wa masuala ya siasa za kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amesema kuwa Marekani haina chaguo jingine bali kukubali matakwa ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:30:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya Sudan: Wapiganaji 318 wa RSF wajiunga na jeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140810-vita_vya_sudan_wapiganaji_318_wa_rsf_wajiunga_na_jeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f9469f4b802q9xo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140810-vita_vya_sudan_wapiganaji_318_wa_rsf_wajiunga_na_jeshi </guid>  
      <description>Jeshi la Sudan limeripoti kuwa wapiganaji 318 wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF), wakiwemo makamanda wanne wameasi na kujiunga na jeshi hilo katika tukio la hivi karibuni la wanachama wa kikosi hicho cha kijeshi kuamua kujisalimisha. </description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:28:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maporomoko ya udongo kwenye mgodi wa dhahabu katika mpaka wa Cameron na CAR yaua zaidi ya watu 100</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140808-maporomoko_ya_udongo_kwenye_mgodi_wa_dhahabu_katika_mpaka_wa_cameron_na_car_yaua_zaidi_ya_watu_100</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09e8ff58ac52q9xm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140808-maporomoko_ya_udongo_kwenye_mgodi_wa_dhahabu_katika_mpaka_wa_cameron_na_car_yaua_zaidi_ya_watu_100 </guid>  
      <description>Zaidi ya watu 100 wamefariki dunia baada ya maporomoko ya udongo kutokea katika mgodi wa dhahabu ulioko katika eneo la mpakani kati ya Cameroon na Jamhuri ya Afrika ya Kati.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:21:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel imepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140806-israel_imepora_hekta_25_000_za_ardhi_ya_ukingo_wa_magharibi_katika_miaka_mitatu_iliyopita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0051e0c32052q9xk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140806-israel_imepora_hekta_25_000_za_ardhi_ya_ukingo_wa_magharibi_katika_miaka_mitatu_iliyopita </guid>  
      <description>Utawala dhalimu wa Israel umepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita. </description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:19:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Alkhamisi, Agosti 20, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140804-alkhamisi_agosti_20_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc050615b86622q9xi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140804-alkhamisi_agosti_20_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Alkhamisi tarehe 27 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1448 Hijria, mwafaka na tarehe 20 Agosti 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:00:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, 19 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140802-jumatano_19_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a61f4268b22q9xg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140802-jumatano_19_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatano tarehe 6 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1448 Hiijria sawa na tarehe 19 Agosti 2026</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 02:58:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa majeshi ya Iran azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kuhusu kulisaidia jeshi la Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140800-kamanda_wa_majeshi_ya_iran_azionya_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_kulisaidia_jeshi_la_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08c0bebe0e12q9ri.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140800-kamanda_wa_majeshi_ya_iran_azionya_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_kulisaidia_jeshi_la_marekani </guid>  
      <description>Mkuu wa Majeshi ya Iran amezionya nchi za kusini mwa Ghuba ya Uajemi kuhusu kulisaidia au kuliruhusu jeshi la Marekani kutumia ardhi za nchi hizo katika uchokozi wake dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 11:05:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gaza na Sudan zaongoza katika orodha ya maeneo hatari zaidi kwa watoa misaada ya kibinadamu   </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140798-gaza_na_sudan_zaongoza_katika_orodha_ya_maeneo_hatari_zaidi_kwa_watoa_misaada_ya_kibinadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02b194afff82q9rc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140798-gaza_na_sudan_zaongoza_katika_orodha_ya_maeneo_hatari_zaidi_kwa_watoa_misaada_ya_kibinadamu </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba mwaka 2025 ulishuhudia viwango vya juu vya ukatili dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, ambapo wafanyakazi 907 wa sekta hiyo wameuawa, kujeruhiwa au kutekwa nyara.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 11:01:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Zambia aahidi kukuza uchumi baada ya kushinda uchaguzi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140796-rais_wa_zambia_aahidi_kukuza_uchumi_baada_ya_kushinda_uchaguzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02c4a1ba8fc2q9ra.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140796-rais_wa_zambia_aahidi_kukuza_uchumi_baada_ya_kushinda_uchaguzi </guid>  
      <description>Rais Hakainde Hichilema wa Zambia amesema kuwa atatumia muhula wake mpya kukuza uchumi wa nchi hiyo na kuandaa fursa zaidi kwa wananchi ili kupunguza gharama za maisha.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 10:51:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawatimua wanadiplomasia wawili wa Ufaransa kutokana na mienendo yao haramu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140794-iran_yawatimua_wanadiplomasia_wawili_wa_ufaransa_kutokana_na_mienendo_yao_haramu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fef7ac99e82q9py.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140794-iran_yawatimua_wanadiplomasia_wawili_wa_ufaransa_kutokana_na_mienendo_yao_haramu </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imewatangaza wanadiplomasia wawili wa Ufaransa wanaofanya kazi katika Ubalozi wa Ufaransa mjini Tehran kuwa ni watu wasiostahili kutokana na shughuli zao zinazotambuliwa kuwa kinyume na sheria za kimataifa na Mkataba wa Vienna wa 1961 kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 10:07:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanasheria Mkuu Kenya akosa kujibu iwapo waliotimuliwa afisini wanaweza kuwania urais au la</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140792-mwanasheria_mkuu_kenya_akosa_kujibu_iwapo_waliotimuliwa_afisini_wanaweza_kuwania_urais_au_la</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f58b9566a82q9os.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140792-mwanasheria_mkuu_kenya_akosa_kujibu_iwapo_waliotimuliwa_afisini_wanaweza_kuwania_urais_au_la </guid>  
      <description>Mvutano wa kisheria kuhusu iwapo viongozi waliotimuliwa afisini kupitia Bunge wanaweza kugombea nyadhifa za kisiasa kabla ya kesi zao kukamilika bado utaendelea kutokota nchini Kenya.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 09:41:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Inawezekana kuitokomeza Ebola ndani ya miezi 3</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140790-who_inawezekana_kuitokomeza_ebola_ndani_ya_miezi_3</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06b10bcf04f2q9no.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140790-who_inawezekana_kuitokomeza_ebola_ndani_ya_miezi_3 </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa bado kuna uwezekano wa kudhibiti mlipuko wa Ebola ambao unaenea kwa kasi inayopiku juhudi za kuuzuia, na ambao umekuwa mlipuko wa pili kwa ukubwa kuwahi kurekodiwa.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 09:16:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Zimepoteza Imani na Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140788-kwa_nini_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_zimepoteza_imani_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a33eb0b59a2q9lm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140788-kwa_nini_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_zimepoteza_imani_na_marekani </guid>  
      <description>Hali ya kutoridhishwa na Marekani inazidi kuongezeka miongoni mwa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 08:06:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakanusha madai kuwa imeishambulia UAE kwa makombora </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140786-iran_yakanusha_madai_kuwa_imeishambulia_uae_kwa_makombora</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0616ae4d4552q3cy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140786-iran_yakanusha_madai_kuwa_imeishambulia_uae_kwa_makombora </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwamba Iran imevurumisha makombora mawili ya balestiki kuelekea nchi hiyo. </description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:19:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yamtahadharisha Trump kuhusu 'fikra potofu' ya kudai Mlango-Bahari wa Hormuz ni eneo la Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140784-iran_yamtahadharisha_trump_kuhusu_'fikra_potofu'_ya_kudai_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_eneo_la_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01905aed8e02q9i6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140784-iran_yamtahadharisha_trump_kuhusu_'fikra_potofu'_ya_kudai_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_eneo_la_marekani </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Masuala ya Kisheria na Kimataifa Kazem Gharibabadi amemkosoa vikali Rais Donald Trump wa Marekani kwa madai yake kuhusu Lango la Bahari la Hormuz, akionya kuwa "fikra yake potofu" ya kuihesabu njia hiyo muhimu ya maji kama "eneo jipya la Marekani" inapasa kurekebishwa, la sivyo Tehran itamweka sawa.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:17:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nigeria inachunguza shambulio lililosababisha vifo vya watu  25 katika jimbo la Plateau</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140782-nigeria_inachunguza_shambulio_lililosababisha_vifo_vya_watu_25_katika_jimbo_la_plateau</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc050103c3ac72q9i4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140782-nigeria_inachunguza_shambulio_lililosababisha_vifo_vya_watu_25_katika_jimbo_la_plateau </guid>  
      <description>Watu wasiopungua 25 wameuawa katika shambulio dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:14:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sudan Kusini yazidisha jitahada za kukabiliana na Ebola katika mpaka wake na Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140780-sudan_kusini_yazidisha_jitahada_za_kukabiliana_na_ebola_katika_mpaka_wake_na_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e520866efe2q9i2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140780-sudan_kusini_yazidisha_jitahada_za_kukabiliana_na_ebola_katika_mpaka_wake_na_kongo </guid>  
      <description>Sudan Kusini imeimarisha ufuatiliaji wa maambukizi ya Ebola katika mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo harakati kubwa za watu kuvuka mpaka na matumizi ya njia zisizo rasmi zinaleta changamoto.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti:  Vikosi vya Yemen vyashambulia kiwanda cha kusafisha mafuta cha Saudia cha Aramco katika mji wa Jizan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140774-ripoti_vikosi_vya_yemen_vyashambulia_kiwanda_cha_kusafisha_mafuta_cha_saudia_cha_aramco_katika_mji_wa_jizan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc010a71b68272q9i0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140774-ripoti_vikosi_vya_yemen_vyashambulia_kiwanda_cha_kusafisha_mafuta_cha_saudia_cha_aramco_katika_mji_wa_jizan </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimetekeleza kwa mafanikio mashambulizi dhidi ya kituo cha mafuta kinachoendeshwa na kampuni ya serikali ya mafuta na gesi asilia ya Saudi Arabia ya Aramco, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi dhidi ya uchokozi na mzingiro unaoendelea kutekelezwa na utawala wa Riyadh dhidi ya Yemen.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:10:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marasimu ya Arubaini ya kumuenzi Kiongozi shahidi wa Iran na familia yake yafanyika Musalla wa Imam Khomeini, Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140772-marasimu_ya_arubaini_ya_kumuenzi_kiongozi_shahidi_wa_iran_na_familia_yake_yafanyika_musalla_wa_imam_khomeini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc075d94e4bc02q9he.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140772-marasimu_ya_arubaini_ya_kumuenzi_kiongozi_shahidi_wa_iran_na_familia_yake_yafanyika_musalla_wa_imam_khomeini_tehran </guid>  
      <description>Sambamba na kutimia siku arubaini tangu kufanyika mazishi ya kihistoria ya kiongozi wa Iran aliyeuliwa shahidi, shughuli ya kumbukumbu ya kumuenzi kiongozi huyo shahidi na familia yake imefanyika leo katika eneo la Swala (Mosalla) la Imam Khomeini (RA) mjini Tehran.</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 15:42:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Ustahimilivu, umoja, na matumaini ni nguzo ya Iran kukabiliana na vitisho vya nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140770-pezeshkian_ustahimilivu_umoja_na_matumaini_ni_nguzo_ya_iran_kukabiliana_na_vitisho_vya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00a2c19b1332q994.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140770-pezeshkian_ustahimilivu_umoja_na_matumaini_ni_nguzo_ya_iran_kukabiliana_na_vitisho_vya_nje </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema vita vya Iraq dhidi ya Iran, vinavyofahamika nchini Iran kama Vita vya Kujihami Kutakatifu, vina somo muhimu ambalo ni ustahimilivu, umoja, na matumaini. </description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:45:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Iran italipiza kisasi damu ya Kiongozi Shahidi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140768-qalibaf_iran_italipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04a200937bc2q97w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140768-qalibaf_iran_italipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ameahidi kwamba Jamhuri ya Kiislamu haitaruhusu damu ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, na mashahidi wengine wa uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya taifa hili “kupotea bila kulipiziwa kisasi.”</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:43:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda: Iran ilitungua ndege zaidi ya 200 za adui katika Uvamizi wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140766-kamanda_iran_ilitungua_ndege_zaidi_ya_200_za_adui_katika_uvamizi_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ade9b0fb0e2q9c6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140766-kamanda_iran_ilitungua_ndege_zaidi_ya_200_za_adui_katika_uvamizi_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Naibu Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilitungua ndege za adui zaidi ya 200, zikiwemo ndege zisizo na rubani (drones) na ndege zenye marubani, wakati wa uvamizi wa hivi karibuni wa Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:41:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lavrov: Wanajeshi wa Ukraine Wanahusika na Ugaidi dhidi ya Nchi za Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140764-lavrov_wanajeshi_wa_ukraine_wanahusika_na_ugaidi_dhidi_ya_nchi_za_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3255264d2e2px82.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140764-lavrov_wanajeshi_wa_ukraine_wanahusika_na_ugaidi_dhidi_ya_nchi_za_afrika </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema kuwa Moscow imetiwa wasiwasi na ripoti zinazoashiria kuwa wanajeshi wa Ukraine wanahusika katika operesheni zinazotekelezwa na makundi haramu ya wanamgambo dhidi ya nchi za ukanda wa Sahel barani Afrika.</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:38:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maharamia wateka meli ya mizigo katika pwani ya Somalia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140762-maharamia_wateka_meli_ya_mizigo_katika_pwani_ya_somalia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d77959badc2q9c2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140762-maharamia_wateka_meli_ya_mizigo_katika_pwani_ya_somalia </guid>  
      <description>Maharamia wa katika pwani ya Somalia wameiteka meli nyingine ya mizigo kando ya pwani ya nchi hiyo. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti za mashirika ya usalama wa baharini. Tukio hili ni ishara mpya ya kurejea kwa uharamia katika maji ya Pembe ya Afrika, baada ya miaka mingi ya utulivu .</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:36:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Dunia Inavyorejea katika Enzi za Ukatili na Ufedhuli?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140760-namna_dunia_inavyorejea_katika_enzi_za_ukatili_na_ufedhuli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02d830efb082q9c0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140760-namna_dunia_inavyorejea_katika_enzi_za_ukatili_na_ufedhuli </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alisema karibuni hivi kwamba "matumizi ya nguvu za wazi na madai ya kumiliki rasilimali za mataifa mengine ni ishara zinazoonyesha kuwa tunarejea kwenye zama za kale za matumizi ya nguvu, ambalo lilikuwa jambo la kawaida na lisilodhibitiwa."</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:30:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne, tarehe 18 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140758-jumanne_tarehe_18_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04ad39f4a992q96c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140758-jumanne_tarehe_18_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumanne tarehe 5 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1448 Hiijria sawa na tarehe 18 Agosti 2026.</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 03:34:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>