<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Habari, TV, redio na mengineyo</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Thu, 23 Apr 2026 16:30:44 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran la IRGC lasema litazindua zana za kivita zitakazomshangaza adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137912-jeshi_la_iran_la_irgc_lasema_litazindua_zana_za_kivita_zitakazomshangaza_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1768d560812p9ae.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137912-jeshi_la_iran_la_irgc_lasema_litazindua_zana_za_kivita_zitakazomshangaza_adui </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema kuwa liko tayari kutangaza mafanikio mapya pamoja na  zana za kushangaza za kivita zinazozidi upeo wa kuelewa wa adui, likionya kuwa kila kitendo kipya cha uchokozi kitapata majibu makali.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 11:02:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran Yalalamikia Matumizi Mabaya ya Ardhi na Anga ya Nchi 5 na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137910-iran_yalalamikia_matumizi_mabaya_ya_ardhi_na_anga_ya_nchi_5_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1dc576fedc2p97a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137910-iran_yalalamikia_matumizi_mabaya_ya_ardhi_na_anga_ya_nchi_5_na_marekani </guid>  
      <description>Amir Saeed Iravani, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa, katika barua aliyomwandikia Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama, ametoa malalamiko makali kuhusu matumizi mabaya ya Marekani ya ardhi na anga ya nchi tano za eneo katika hujuma za kijeshi dhidi ya Iran. Nchi hizo ambazo zimeafiki ardhi zao kutumiwa kuishambulia Iran  ni pamoja na Qatar, Kuwait, Bahrain, Falme za Kiarabu (UAE) na Saudi Arabia.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 10:59:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Mzingiro wa bandari za Iran ni uvunjaji wa makubaliano ya usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137908-araghchi_mzingiro_wa_bandari_za_iran_ni_uvunjaji_wa_makubaliano_ya_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwcf5b7bc81b2p9bi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137908-araghchi_mzingiro_wa_bandari_za_iran_ni_uvunjaji_wa_makubaliano_ya_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ametoa tamko kufuatia shambulio la Marekani dhidi ya meli ya kibiashara ya Iran katika Bahari ya Oman, akisema kwamba kuweka mzingiro dhidi ya bandari za Iran ni uvunjaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 10:56:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137906-israel_na_somaliland_njama_ya_kudhibiti_bab_al_mandeb</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfb2f51c1e02p9bu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137906-israel_na_somaliland_njama_ya_kudhibiti_bab_al_mandeb </guid>  
      <description>Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 10:06:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137904-baqaei_iran_iko_tayari_kujilinda_mkabala_wa_vitisho_vya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbweb6abb8d0c2p958.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137904-baqaei_iran_iko_tayari_kujilinda_mkabala_wa_vitisho_vya_adui </guid>  
      <description> Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza utayari wa Tehran kujilinda dhidi ya mashambulizi na vitisho vya aina yoyote vya adui.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:58:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Somalia yazuia meli za Israel kupita Bab al-Mandab  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137902-somalia_yazuia_meli_za_israel_kupita_bab_al_mandab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwaa98bf3fe52p9bq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137902-somalia_yazuia_meli_za_israel_kupita_bab_al_mandab </guid>  
      <description>Somalia imepiga marufuku meli za utawala wa Israel kupita katika mlango‑bahari wa kimkakati wa Bab al‑Mandab kama jibu kwa hatua ya utawala huo ya kulitambua rasmi eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la “Somaliland”.  </description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:54:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kremlin: Putin yuko tayari kukutana na Zelensky kukamilisha makubaliano ya amani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137900-kremlin_putin_yuko_tayari_kukutana_na_zelensky_kukamilisha_makubaliano_ya_amani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw2f6b4cd63b2p9bk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137900-kremlin_putin_yuko_tayari_kukutana_na_zelensky_kukamilisha_makubaliano_ya_amani </guid>  
      <description>Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo yuko tayari kukutana na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, lakini ikiwa mkutano wao utahusu suala la kusaini makubaliano ya amani.  </description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:46:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa ujumbe wa UN atoa wito wa mazungumzo ili kurejesha utulivu mashariki mwa Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137896-mkuu_wa_ujumbe_wa_un_atoa_wito_wa_mazungumzo_ili_kurejesha_utulivu_mashariki_mwa_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe8257bcf712p9bg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137896-mkuu_wa_ujumbe_wa_un_atoa_wito_wa_mazungumzo_ili_kurejesha_utulivu_mashariki_mwa_kongo </guid>  
      <description>Mkuu wa Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) amesema kuwa amekutana na kuzungumza na maafisa wa majimbo kuhusu haja ya kufanyika mazungumzo na kufanya juhudi za pamoja ili kurejesha utulivu wa kudumu na kukabiliana na changamoto za kiusalama mashariki ya nchi.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:41:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Mashambulizi dhidi ya Iran ni chanzo cha ukosefu wa usalama katika Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137894-araqchi_mashambulizi_dhidi_ya_iran_ni_chanzo_cha_ukosefu_wa_usalama_katika_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw87510afbdf2p9b8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137894-araqchi_mashambulizi_dhidi_ya_iran_ni_chanzo_cha_ukosefu_wa_usalama_katika_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Mwakilishi Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini, ambaye aliwasili Tehran kwa ajili ya mashauriano na viongozi wa Iran, amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:37:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137892-vita_vya_maneno_vya_trump_dhidi_ya_papa_chanzo_na_matokeo_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw833bf8fe1c2p94q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137892-vita_vya_maneno_vya_trump_dhidi_ya_papa_chanzo_na_matokeo_yake </guid>  
      <description>Tofauti zilizozuka kati ya Trump na Papa Leo wa 14 hazitokani na masuala ya kisiasa pekee, lakini zimesababishwa zaidi na hulka ya majivuno na ya kujikweza aliyonayo rais huyo wa sasa wa Marekani. </description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 16:37:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Trump Ameikasirikia NATO?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137890-kwa_nini_trump_ameikasirikia_nato</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5b2b8199b72p94m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137890-kwa_nini_trump_ameikasirikia_nato </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani, kwa upande mmoja, analimezea mate eneo lote la ardhi ya Canada ambayo ni mwanachama wa NATO, na kwa upande mwingine, ameonyesha kuwa, ana dhamira ya kuinyakua sehemu kubwa ya ardhi ya Denmark, ambayo nayo pia ni mwanachama wa shirika hilo la kijeshi.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 16:21:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137888-sababu_za_kuzidi_kuporomoka_umaarufu_wa_israel_mbele_ya_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw12a531d9342p8ym.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137888-sababu_za_kuzidi_kuporomoka_umaarufu_wa_israel_mbele_ya_wamarekani </guid>  
      <description>Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani umepungua kwa asilimia 31 na mbele ya vijana wa Republican kwa asilimia 22 kulinganisha na ilivyokuwa miaka minne iliyopita. </description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 05:05:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hofu yatanza juu ya uwezekano wa kuibuka mzozo mpya Ethiopia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137884-hofu_yatanza_juu_ya_uwezekano_wa_kuibuka_mzozo_mpya_ethiopia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7b322b78672p8v6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137884-hofu_yatanza_juu_ya_uwezekano_wa_kuibuka_mzozo_mpya_ethiopia </guid>  
      <description>Chama kikuu cha siasa katika eneo la Tigray kaskaizni mwa Ethiopia kimetangaza kuwa kinachukua udhibiti wa serikali ya eneo hilo, na hivyo kubatilisha makubaliano ya amani na Serikali ya Shirikisho ya Ethiopia ambayo yalihitimisha moja ya migogoro mibaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika karne hii.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 10:29:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137882-burundi_unhcr_kuwarejesha_makwao_wakimbizi_wa_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwc7398de00e2p8v4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137882-burundi_unhcr_kuwarejesha_makwao_wakimbizi_wa_kongo </guid>  
      <description>Serikali ya Burundi, kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), imetangaza mpango wa kuwarejesha makwao kwa hiari maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaoishi nchini humo.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 10:22:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu awashukuru Maulamaa wa Kisunni wa Hormozgan </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137880-kiongozi_muadhamu_awashukuru_maulamaa_wa_kisunni_wa_hormozgan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw262ac291952p8ug.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137880-kiongozi_muadhamu_awashukuru_maulamaa_wa_kisunni_wa_hormozgan </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei, ameelezea shukrani zake za dhati kwa wanazuoni na maulamaa wa Kisunni katika mkoa wa kusini mwa Iran wa Hormozgan, akisifu mshikamano wao na tamko lao la kutoa Bay’a yaani kiapo cha utii.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:25:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa wakosoa vitisho vipya vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137878-umoja_wa_mataifa_wakosoa_vitisho_vipya_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbweb94604a492p8uc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137878-umoja_wa_mataifa_wakosoa_vitisho_vipya_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa amekosoa wazi vitisho vipya vya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu kushambulia miundombinu ya Iran endapo matakwa ya Washington hayatatekelezwa. </description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:16:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makundi ya Kiislamu ya Marekani yatoa wito wa kuwachiwa huru kiongozi wa jumuiya ya Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137876-makundi_ya_kiislamu_ya_marekani_yatoa_wito_wa_kuwachiwa_huru_kiongozi_wa_jumuiya_ya_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa80fcfcc732p8u6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137876-makundi_ya_kiislamu_ya_marekani_yatoa_wito_wa_kuwachiwa_huru_kiongozi_wa_jumuiya_ya_wapalestina </guid>  
      <description>Muungano wa mashirika ya kutetea haki za kiraia ya Kiislamu Jumatatu wiki hii ulikusanyika nje ya Mahakama ya Juu ya Marekani ukitaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Salah Sarsour, kiongozi wa Jumuiya ya Wapalestina huko Milwaukee ambaye anaishi Marekani kwa zaidi ya miaka 30.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:15:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hakuna mazungumzo chini ya vitisho, Iran iko tayari kufichua kadi mpya uwanjani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137874-qalibaf_hakuna_mazungumzo_chini_ya_vitisho_iran_iko_tayari_kufichua_kadi_mpya_uwanjani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw95c6de4fa12p8u2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137874-qalibaf_hakuna_mazungumzo_chini_ya_vitisho_iran_iko_tayari_kufichua_kadi_mpya_uwanjani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema Tehran haitakubali kufanya mazungumzo na Washington chini ya kivuli cha vitisho.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:11:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137872-iran_yailaani_israel_kwa_kukiuka_mamlaka_ya_kitaifa_ya_somalia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw570d32c1872p8gg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137872-iran_yailaani_israel_kwa_kukiuka_mamlaka_ya_kitaifa_ya_somalia </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya utawala wa kizayuni wa Israel ya kuteua mjumbe wa kidiplomasia huko Somaliland ni ishara wazi ya njama ya utawala huo ya kuvuruga amani na utulivu na kuchochea migawanyiko baina ya nchi za Kiislamu na za Kanda hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 08:15:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu mpya wa Hungary: Netanyahu atakamatwa kama ataingia nchini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137870-waziri_mkuu_mpya_wa_hungary_netanyahu_atakamatwa_kama_ataingia_nchini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw69366b4d8d2p8qw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137870-waziri_mkuu_mpya_wa_hungary_netanyahu_atakamatwa_kama_ataingia_nchini </guid>  
      <description>Péter Magyar Waziri Mkuu mpya wa Hungary, amesema kuwa iwapo Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel ataingia nchini humo, atakamatwa kwa kesi ya uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 08:02:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uongozi wa mashirika ya kidini na kisayansi ya Iran wapongeza msimamo wa Papa kuhusu vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137868-uongozi_wa_mashirika_ya_kidini_na_kisayansi_ya_iran_wapongeza_msimamo_wa_papa_kuhusu_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4f2093db352p8gi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137868-uongozi_wa_mashirika_ya_kidini_na_kisayansi_ya_iran_wapongeza_msimamo_wa_papa_kuhusu_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Wenyeviti wa taasisi za kidini na kisayansi za Iran, katika barua ya pamoja kwa kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, wamepongeza "msimamo wake wa ujasiri" na kueleza matumaini kuwa utasaidia kumaliza migogoro inayoendelea.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 11:06:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Siku ya Jeshi: Kiongozi apongeza jeshi la Iran kwa ujasiri katika kulilinda taifa dhidi ya wavamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137864-siku_ya_jeshi_kiongozi_apongeza_jeshi_la_iran_kwa_ujasiri_katika_kulilinda_taifa_dhidi_ya_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa64ba29f8e2p8g6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137864-siku_ya_jeshi_kiongozi_apongeza_jeshi_la_iran_kwa_ujasiri_katika_kulilinda_taifa_dhidi_ya_wavamizi </guid>  
      <description>Katika ujumbe alioutoa Jumapili kwa mnasaba wa Siku ya Jeshi, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei amelisifu Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kusimama kwa ujasiri kulilinda taifa katika vita vya hivi karibuni vya kulazimishwa, kama lilivyofanya  katika vita vya kulazimishwa vya awamu zilizopita.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 11:01:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137862-aljazeera_trump_anatafuta_njia_ya_kutoka_vitani_kwa_heshima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb83af3c8462p8bq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137862-aljazeera_trump_anatafuta_njia_ya_kutoka_vitani_kwa_heshima </guid>  
      <description>Mwandishi wa kituo cha Aljazeera
 huko Washington anasema kuwa Rais Donald Trump Marekani anatafuta jinsi ya kutoka kwenye vita na Iran kwa njia ya heshima.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:55:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran kudhibiti trafiki ya Lango Bahari la Hormuz hadi makubaliano yafikiwe kumaliza vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137860-iran_kudhibiti_trafiki_ya_lango_bahari_la_hormuz_hadi_makubaliano_yafikiwe_kumaliza_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw04af1acf1b2p8g4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137860-iran_kudhibiti_trafiki_ya_lango_bahari_la_hormuz_hadi_makubaliano_yafikiwe_kumaliza_vita </guid>  
      <description>Baraza la Juu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) limesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kusimamia na kudhibiti trafiki yote inayopita katika Lango Bahari la Hormuz, ambalo ni njia ya kimkakati, hadi kufikiwa mapatano kamili ya kumaliza vita vya kulazimishwa vya Marekani na Israel dhidi ya nchi hii.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:52:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137858-wamarekani_upungufu_wa_akili_wa_trump_umeongezeka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8d84924ba92p8em.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137858-wamarekani_upungufu_wa_akili_wa_trump_umeongezeka </guid>  
      <description>Mshauri wa Mkuu wa zamani mkuu wa Ikulu ya White House wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump ameonya kuwa upungufu wa akili wa rais wa Marekani umeongezeka kwa kiasi kikubwa.  </description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:50:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Onyo la Yemen: Hakuna atakayefungua Lango Bahari la Bab el Mandeb likifungwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137854-onyo_la_yemen_hakuna_atakayefungua_lango_bahari_la_bab_el_mandeb_likifungwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf8334ce5942p8g8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137854-onyo_la_yemen_hakuna_atakayefungua_lango_bahari_la_bab_el_mandeb_likifungwa </guid>  
      <description>Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amemhimiza Rais wa Marekani Donald Trump kujiepusha na maamuzi ya uchochezi na kuheshimu haki za mataifa ya Kiislamu, akimwonya yeye pamoja na washirika wake kuhusu uwezekano wa kufungwa kwa Lango Bahari la Bab el Mandeb.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:36:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamala Harris: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni jaribio la kuvuruga kesi ya Epstein</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137856-kamala_harris_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_jaribio_la_kuvuruga_kesi_ya_epstein</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa9b07735f92p8ga.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137856-kamala_harris_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_jaribio_la_kuvuruga_kesi_ya_epstein </guid>  
      <description>Makamo wa zamani wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anasema Rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump alilazimika kuingia vitani na Iran akishirikiana na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, 'katika jaribio dhaifu la kupindisha na kupitisha mazingatio ya raia wa Marekani kutoka kwenye kesi ya Epstein.'</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:38:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kenya yaongeza bei ya mafuta kufuatia vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137852-kenya_yaongeza_bei_ya_mafuta_kufuatia_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6c1bb520242p7ng.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137852-kenya_yaongeza_bei_ya_mafuta_kufuatia_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Serikali ya Kenya imepandisha bei za rejareja za bidhaa za mafuta kwa kiwango cha hadi asilimia 24.2, ikizingatia ongezeko la ghafla la bei ya mafuta ghafi duniani na changamoto za usambazaji wa nishati zinazosababishwa na vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Iran..
</description>
      <pubDate>Thu, 16 Apr 2026 06:25:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nigeria yataka msaada kukabiliana na mshtuko wa kiuchumi uliochochewa na vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137850-nigeria_yataka_msaada_kukabiliana_na_mshtuko_wa_kiuchumi_uliochochewa_na_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdeec040f7f2p7s4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137850-nigeria_yataka_msaada_kukabiliana_na_mshtuko_wa_kiuchumi_uliochochewa_na_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Fedha wa Nigeria, ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa muungano wa nchi zinazoendelea unaojulikana kama G24, amesema kwamba taasisi za kifedha za kimataifa zinapaswa kuongeza hatua za kusaidia mataifa yaliyo hatarini ili kuvuka mishtuko ya kiuchumi inayosababishwa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
</description>
      <pubDate>Thu, 16 Apr 2026 06:17:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Esmaeil Baqaei: Iran yasema haitakubali ubabe wa Marekani katika mazungumzo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137848-esmaeil_baqaei_iran_yasema_haitakubali_ubabe_wa_marekani_katika_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4e8462a6532p7ro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137848-esmaeil_baqaei_iran_yasema_haitakubali_ubabe_wa_marekani_katika_mazungumzo </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amesisitiza kuwa Iran ilikataa mapendekezo aliyoyaita “yasiyo na mantiki” yaliyowasilishwa na Marekani katika mazungumzo yaliyofanyika Islamabad, akionya kuwa Tehran haitawahi kukubali mazungumzo yanayoendeshwa kwa mfumo wa ubabe na kulazimisha masharti.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Apr 2026 06:11:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kinara wa Liberal Democrats Uingereza asema Trump ni jambazi fisadi na hatari </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137846-kinara_wa_liberal_democrats_uingereza_asema_trump_ni_jambazi_fisadi_na_hatari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw557ecc408b2p7cm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137846-kinara_wa_liberal_democrats_uingereza_asema_trump_ni_jambazi_fisadi_na_hatari </guid>  
      <description> Mwanasiasa wa Uingereza amemtaja Donald Trump, rais wa Marekani, kuwa jambazi fisadi na hatari, na kusisitiza kuwa kitendo chake cha kuzingira Mlango-Bahari wa Hormuz kinaweza kuhatarisha usitishaji mapigano dhaifu kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Apr 2026 08:16:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iravani: Silaha zilizotumiwa katika uvamizi dhidi ya Iran zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za Kiarabu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137844-iravani_silaha_zilizotumiwa_katika_uvamizi_dhidi_ya_iran_zilitoka_kwenye_maghala_ya_baadhi_ya_nchi_za_kiarabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw19265ee3922p7he.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137844-iravani_silaha_zilizotumiwa_katika_uvamizi_dhidi_ya_iran_zilitoka_kwenye_maghala_ya_baadhi_ya_nchi_za_kiarabu </guid>  
      <description>Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amepinga madai ya Bahrain, akisema: Mabaki yaliyopatikana kutoka kwenye silaha zilizotumiwa katika mashambulizi ya miji ya Iran yanathibitisha kuwa silaha hizo zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za kiarabu za Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Apr 2026 08:11:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka: Hali ya maisha huko Gaza ni ya kutisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137842-shirika_la_madaktari_wasio_na_mipaka_hali_ya_maisha_huko_gaza_ni_ya_kutisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw521f22d90e2p7aa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137842-shirika_la_madaktari_wasio_na_mipaka_hali_ya_maisha_huko_gaza_ni_ya_kutisha </guid>  
      <description>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetoa onyo kuhusu kuendelea na kuongezeka kwa mashambulizi ya kikatili na udhibiti wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 12:08:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137838-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw97af6bbb5a2p7a6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137838-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house </guid>  
      <description>Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 11:51:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137836-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw053fe0476f2p7a4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137836-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house </guid>  
      <description>Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 11:50:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Taifa la Iran limemfanya adui akate tamaa kwa mapambano yake ya siku 40</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137834-pezeshkian_taifa_la_iran_limemfanya_adui_akate_tamaa_kwa_mapambano_yake_ya_siku_40</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7b4aa3d8d22p704.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137834-pezeshkian_taifa_la_iran_limemfanya_adui_akate_tamaa_kwa_mapambano_yake_ya_siku_40 </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo nafasi muhimu ya Muqawama na mapambano ya kitaifa katika kuvuka kipindi na hali ya vita na kusema: "Taifa la Iran, limemfanya adui akate tamaa na kukosa matumaini kwa Muqawama na mapambano yake ya siku 40."</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 09:40:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah Yemen: Lobi ya Wazayuni imezuia makubaliano kati ya Marekani na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137832-ansarullah_yemen_lobi_ya_wazayuni_imezuia_makubaliano_kati_ya_marekani_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfed6f30ea42p72a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137832-ansarullah_yemen_lobi_ya_wazayuni_imezuia_makubaliano_kati_ya_marekani_na_iran </guid>  
      <description> Mjumbe wa Idara ya Siasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa lobi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Marekani imezuia kufikiwa makubaliano katika mazungumzo kati ya Marekani na Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 09:18:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanazuoni wa Ahlu‑Sunnah wa Russia: Imam Khamenei hakukubali udhalili </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137830-mwanazuoni_wa_ahlu_sunnah_wa_russia_imam_khamenei_hakukubali_udhalili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5bdc7024832p71k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137830-mwanazuoni_wa_ahlu_sunnah_wa_russia_imam_khamenei_hakukubali_udhalili </guid>  
      <description>Mufti wa Volgograd, nchini Russia amesema: Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ni shahidi mkubwa wa Umma wa Kiislamu na mfuasi wa Suna ya Mtume Muhammad (S.A.W.), na jina lake litasalia katika historia kama kiongozi jasiri na mwanaume halisi.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 08:59:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, wimbi la kuuzuliwa makamanda wakuu jeshini nchini Marekani linaweza kuwa ushindi mwingine wa kistratijia kwa Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw98d860b2e82p6dj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran </guid>  
      <description>Wimbi la kutimuliwa makamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Marekani kufuatia kushindwa kimkakati kwa nchi hiyo dhidi ya Iran limeibua mgogoro mkubwa zaidi wa kamandi katika Wizara ya Vita ya nchi hiyo, Pentagon.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 07:52:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la IRGC lashambulia Kamandi ya Jeshi la Marekani na ngome za Israel katika Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw268d7ac63d2p6cg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya shabaha mbalimbali zenye mfungamano na Marekani na Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi katika sehemu ya wimbi la 97 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 04:50:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Huenda uchumi wa Afrika ukaporomoka kutokana na vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137824-huenda_uchumi_wa_afrika_ukaporomoka_kutokana_na_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0z2e84e6a75526bln.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137824-huenda_uchumi_wa_afrika_ukaporomoka_kutokana_na_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa, pamoja na Umoja wa Afrika na Benki ya Maendeleo ya Afrika, yametoa ripoti mpya ikionya kuwa uchumi wa mataifa ya bara hili unaweza kukumbwa na kuporomoka ikiwa mapigano yanayoendelea katika ukanda wa Asia Magharibi yataendelea bila suluhu ya haraka.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 03:40:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf amwambia Trump: Kutii maagizo ya Netanyahu kutawasha moto kwenye kanda nzima</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa396ca5b8d2p6b8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amejibu vitisho vya hivi karibuni vya Donald Trump, rais gaidi wa Marekani katika ujumbe wake kwenye mtandao wa kijamii wa X akisema tabia yake ya kutii na kufuata maagizo ya waziri mkuu katili wa Israel Benjamin Netanyahu kutawasha zaidi moto wa vita katika kanda nzima ya Magharibi mwa Asia. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:28:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Mr. Trump, Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1697c6caba2p6c1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi </guid>  
      <description>Seneta wa Marekani amekemea vitisho na matusi ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump dhidi ya Iran, akisema: Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi na lugha chafu, bali ni lazima kufanya mazungumzo na Iran.
</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:27:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Vita vilivyotwishwa Iran vimelenga utambulisho wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6fd928a88d2p2ka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Vita vya kulazimishwa vya Wamarekani na Wazayuni dhidi ya Iran vimelenga uwepo na utambulisho wa Kiirani.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:16:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madrid: Hatutadanganywa tena na Marekani; kwa uzoefu wa Iraq, hapana kwa vita ndio njia pekee</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c92eecee438302kymv.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza kuwa nchi hiyo haitadanganywa tena na Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:13:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano ya kuunga mkono Iran kutoka London hadi Auckland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva9db9df96f2p2d4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland </guid>  
      <description>Maandamano ya kulaani hujuma za kijeshi za Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran yangali yanaendelea katika pembe mbalimbali za dunia.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:09:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aragchi: Tishio la Trump dhidi ya miundombinu ya nishati Iran ni kukiri uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0e3923fde92p6bo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vitisho vya Marekani vya kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ni kukiri wazi nia ya kutenda uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:30:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO yalaani hujuma ya Israel na Marekani dhidi ya kituo cha nyuklia Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa1faadc8822p6br.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran </guid>  
      <description>Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu kuendelea kwa mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran, akionya kuwa hatua hiyo inaweza kusababisha janga la nyuklia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:19:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yapiga marufuku kuchapishwa picha za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome za nchi hiyo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7e5a3eb58c2p672.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo </guid>  
      <description>Katika jitihada za kudhibiti picha za athari za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome na vituo vyake, Marekani imepiga marufuku kuchapishwa na kuonyeshwa picha za setilaiti za maeneo yanayohusika katika vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 06:12:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Majenerali wa Marekani hawataki kufa kwa ajili ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw41d6028a1f2p668.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran, amekejeli hatua ya Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth ya kuwatimua makamanda wenye uzoefu katika jeshi la nchi hiyo na kuandika: Hawataki tena kumtii mtangazaji wa televisheni anayehatarisha maisha ya Wamarekani kwa ajili ya njozi za Israel.
</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:42:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New Yorker: Hali ya vita dhidi ya Iran ni tofauti na matarajio ya Trump na Hegseth</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0400e0ee1e2p65v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth </guid>  
      <description>Gazeti la New Yorker la Marekani limekosoa vita vya Marekani na dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, vita hivi vimeonyesha kwamba hali halisi ni tofauti na matarajio ya viongozi wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:38:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kapteni wa Timu ya Taifa ya Bosnia: Kwa heshima ya haki na uadilifu tumekataa kuwapa mkono Waisraeli </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bxye531353ea71tmn5.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli </guid>  
      <description>Kapteni wa timu ya taifa ya soka ya Bosnia na Herzegovina chini ya miaka 21 amesema kuwa kuheshimu haki na uadilifu ndiyo sababu iliyowazuia wachezaji wa timu hiyo kuwapa mkono wachezaji wa timu ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:37:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaangusha helikopta mbili za Black Hawk na ndege mbili za kijeshi za C‑130 za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwebfcecb5742p68z.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi Kuu ya Khatam al‑Anbiya ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vyombo vya anga vya adui vilivyovamia mkoa wa Isfahan, vikijumuisha helikopta mbili aina ya Black Hawk na ndege mbili za usafirishaji wa kijeshi ya C‑130 zimetunguliwa na kuangamizwa na vikosi vya ulinzi.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:36:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yalaani hujuma ya Marekani, Israel dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbta38852ec2c2okqx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr </guid>  
      <description>Maria Zakharova, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, ametangaza kuwa Moscow inalaani vikali mashambulio ya hivi karibuni dhidi ya kituo cha Nyuklia cha Bushehr kilichoko kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:06:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran aonya kuhusu majibu mapana dhidi ya maslahi ya Marekani katika eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfe903b61232p66f.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Ghalibaf, amesisitiza kuwa “usalama endelevu” ndio kipaumbele kikuu cha Iran, akionya kwamba kuendelea kwa mvutano kutasababisha majibu mapana yatakayolenga maslahi ya Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:05:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna vita dhidi ya Iran vilivyobadilisha muundo wa soko la nishati duniani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3oae25f808132cfsj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani </guid>  
      <description>Taasisi moja ya Marekani imekiri kwamba vita dhidi ya Iran vimebadilisha pakubwa muundo wa soko la nishati duniani.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:53:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran latoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by272068b229b1w9bt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran </guid>  
      <description>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vyake vya amani vya nyuklia, likisema hilo ndilo tarajio la chini kabisa  linalotazamiwa kutoka kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:48:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0ve545e68447240p6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia </guid>  
      <description>Ni jambo la kawaida kwamba nchi zilizoko katika maeneo tofauti ya kijografia na kistratijia hutumia nafasi hiyo kwa manufaa ya watu wake na kulinda maslahi yao ya kitaifa. Wachambuzi wa mambo wanasema hilo ni jambo linakubalika kimataifa na wala hakuna sheria yoyote inayopinga suala hilo ambayo ni haki ya kimsingi ya nchi iliyo katika maeneo kama hayo. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 12:57:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ndege kadhaa za kivita za Marekani zatunguliwa Iran, hadi sasa droni 160 za adui zimedunguliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137788-ndege_kadhaa_za_kivita_za_marekani_zatunguliwa_iran_hadi_sasa_droni_160_za_adui_zimedunguliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw16bc1f11612p64b.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137788-ndege_kadhaa_za_kivita_za_marekani_zatunguliwa_iran_hadi_sasa_droni_160_za_adui_zimedunguliwa </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimeangamiza ndege kadhaa za kijeshi za Marekani katika “siku nyeusi” kwa majeshi ya nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.
</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 07:28:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchambuzi wa Yemen: Haiwezekani kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw9d08cda6ed2p644.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu </guid>  
      <description>Mwandishi na mchambuzi wa Yemen ameeleza kuwa: Adui haiwezi kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 07:27:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wananchi na vyama vya kisiasa vya Uturuki vyapinga mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137782-wananchi_na_vyama_vya_kisiasa_vya_uturuki_vyapinga_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw54bff52dff2p646.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137782-wananchi_na_vyama_vya_kisiasa_vya_uturuki_vyapinga_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi wa maoni nchini Uturuki unaonyesha kuwa akthari ya wananchi wa nchi hiyo wanaunga mkono msimamo wa serikali yao wa kujiweka mbali na vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Vyama mbalimbali vya siasa nchini humo pia vimelaani mashambulizi ya pande mbili hizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 06:16:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askofu Mkuu wa Wakatoliki Jeshi la Marekani: Vita dhidi ya Iran haviendani na mafundisho ya Kikristo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137780-askofu_mkuu_wa_wakatoliki_jeshi_la_marekani_vita_dhidi_ya_iran_haviendani_na_mafundisho_ya_kikristo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw255116dd4f2p645.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137780-askofu_mkuu_wa_wakatoliki_jeshi_la_marekani_vita_dhidi_ya_iran_haviendani_na_mafundisho_ya_kikristo </guid>  
      <description>Afisa wa juu zaidi wa Kikatoliki katika Majeshi ya Marekani amesema kuwa vita dhidi ya Iran si vya haki na haviendani na mafundisho ya Kikristo.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 04:22:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Hujuma dhidi ya madaraja ni uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137778-iran_hujuma_dhidi_ya_madaraja_ni_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1832af05b42p626.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137778-iran_hujuma_dhidi_ya_madaraja_ni_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali Marekani na utawala wa Israel kwa kutekeleza “uhalifu wa kivita wa kigaidi wa mtindo wa Daesh” wakati wa vita vyao vya kichokozi vinavyoendelea dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisema maadui hao wawili hawatapata nguvu kwa kuharibu madaraja makubwa nchini Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 03:18:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Tutailinda Iran kwa azma thabiti na uwezo wetu wote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137776-pezeshkian_tutailinda_iran_kwa_azma_thabiti_na_uwezo_wetu_wote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3a13397af92p5yt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137776-pezeshkian_tutailinda_iran_kwa_azma_thabiti_na_uwezo_wetu_wote </guid>  
      <description>Rais Mahmoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akiashiria kwamba Iran ilishambuliwa kijeshi na Marekani na utawala haramu wa Israel wakati ilipokuwa kwenye mazungumzo na Marekani, amesema: "Sisis tunasisitiza juu ya azma thabiti ya kujilinda."</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:56:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchina: Tehran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137774-uchina_tehran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa22c17a38b2p61k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137774-uchina_tehran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo </guid>  
      <description>Huku akielezea upinzani wa Beijing kuhusu kushambuliwa miundombinu ya Iran, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, amesema Tehran kamwe haitapigishwa magoti na mashinikizo yoyote ya kijeshi na kwamba hatua hizi zitachochea tu moto wa mivutano.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:52:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Israel lalegeza msimamo kuhusu ahadi alizotoa Netanyahu/Upokonyaji silaha wa Hizbullah hauwezekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137772-jeshi_la_israel_lalegeza_msimamo_kuhusu_ahadi_alizotoa_netanyahu_upokonyaji_silaha_wa_hizbullah_hauwezekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bse307e39f4451d5pa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137772-jeshi_la_israel_lalegeza_msimamo_kuhusu_ahadi_alizotoa_netanyahu_upokonyaji_silaha_wa_hizbullah_hauwezekani </guid>  
      <description>Katika kukiri kistratijia kulikofichua udhaifu na mkanganyiko katika baraza la mawaziri la Israel, jeshi la utawala huo ghasibu limelegeza msimamo kuhusu ahadi alizotoa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel na  kutangaza rasmi kwamba, upokonyaji silaha dhidi ya Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon ni jambo lisilowezekana na kwamba sasa kauli mbiu hiyo imeondolewa katika orodha ya malengo ya vita.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:49:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani na Israel zalenga Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti katika hujuma dhidi ya sayansi Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137770-marekani_na_israel_zalenga_chuo_kikuu_cha_shahid_beheshti_katika_hujuma_dhidi_ya_sayansi_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdf5f97ebdf2p627.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137770-marekani_na_israel_zalenga_chuo_kikuu_cha_shahid_beheshti_katika_hujuma_dhidi_ya_sayansi_iran </guid>  
      <description>Muungano wa kijinai wa Marekani na Israel unaendelea na mashambulizi yake dhidi ya miundombinu ya kitaaluma na ya kiraia nchini Iran, huku shambulizi la karibuni likiharibu vibaya kituo cha utafiti katika Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti mjini Tehran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 22:58:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laapa kuendelea na vita hadi Marekani na Israel ‘zitakapojutia’ uchokozi wao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137768-jeshi_la_iran_laapa_kuendelea_na_vita_hadi_marekani_na_israel_zitakapojutia’_uchokozi_wao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw866e5c8c3b2p60c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137768-jeshi_la_iran_laapa_kuendelea_na_vita_hadi_marekani_na_israel_zitakapojutia’_uchokozi_wao </guid>  
      <description>Msemaji mkuu wa Jeshi la Iran amesema Tehran itaendelea na vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel hadi kuifanya Marekani na utawala wa Israel "zijutie" kitendo chao cha uchokozi kinyume cha sheria.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 06:39:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Texas: Kuwapiga mabomu watoto wasio na hatia katika shule ya Minab ni tusi kwa Yesu Kristo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137766-mwakilishi_wa_texas_kuwapiga_mabomu_watoto_wasio_na_hatia_katika_shule_ya_minab_ni_tusi_kwa_yesu_kristo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1e62c7afd82p605.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137766-mwakilishi_wa_texas_kuwapiga_mabomu_watoto_wasio_na_hatia_katika_shule_ya_minab_ni_tusi_kwa_yesu_kristo </guid>  
      <description>Mwanasiasa mtajika wa Marekani amelitaja shambulio lililofanywa na Washington dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajarah Tayyiba huko Minab, kusini mwa Iran, kuwa ni dharau na dhihaka kwa Yesu Kristo (Isa Masih AS).</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 06:35:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kampuni ya Kimarekani ya Oracle nchini Imarati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137764-irgc_yashambulia_kampuni_ya_kimarekani_ya_oracle_nchini_imarati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwbdafc858592p5zy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137764-irgc_yashambulia_kampuni_ya_kimarekani_ya_oracle_nchini_imarati </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kuwa: Limetoa kipigo kikali kwa Kampuni ya Kimarekani ya Oracle kufuatia mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mkewe.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 05:24:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Vita wa Marekani awatimua majenarali baada ya kushindwa kwa vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137762-waziri_wa_vita_wa_marekani_awatimua_majenarali_baada_ya_kushindwa_kwa_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8bd934b0af2p5yz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137762-waziri_wa_vita_wa_marekani_awatimua_majenarali_baada_ya_kushindwa_kwa_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth, amemlazimisha Mkuu wa Majeshi ya Marekani (Army Chief of Staff), Jenerali Randy George, kustaafu mara moja, huku kukiwa na mgogoro unaozidi kuongezeka ndani ya uongozi wa kijeshi nchini humo kufuatia kushindwa kwa vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:58:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yatungua ndege ya pili ya kivita ya Marekani aina ya F-35 katika anga ya katikati mwa nchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137760-irgc_yatungua_ndege_ya_pili_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_35_katika_anga_ya_katikati_mwa_nchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb743391a0a2p5z1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137760-irgc_yatungua_ndege_ya_pili_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_35_katika_anga_ya_katikati_mwa_nchi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua ndege ya pili ya kisasa ya Marekani aina ya F-35 ikiwa katika anga katikati ya Iran kwa kutumia mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Kikosi cha Anga cha jeshi hilo.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:45:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Nchi za Ulaya zinawajibika kujibu uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137758-pezeshkian_nchi_za_ulaya_zinawajibika_kujibu_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3a13397af92p5yt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137758-pezeshkian_nchi_za_ulaya_zinawajibika_kujibu_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amekosoa utendaji wa Umoja wa Ulaya mkabala wa ukiukwaji wa wazi wa sheria unaofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, akisema: "Nchi chache za Ulaya zimechukua msimamo wa kuwajibika dhidi ya uchokozi huo, na nyingi zimekuwa na mtazamo wa kutojali na hata wa upendeleo."</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:41:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>El Baradei awashambulia watawala wa Kiarabu vibaraka wa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137756-el_baradei_awashambulia_watawala_wa_kiarabu_vibaraka_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwc01f0ba69c2p5w2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137756-el_baradei_awashambulia_watawala_wa_kiarabu_vibaraka_wa_marekani </guid>  
      <description>Mwanasiasa mashuhuri wa Misri amekosoa utiifu wa baadhi ya watawala wa Kiarabu vibaraka wa Marekani na uungaji mkono wao kwa Washington kwenye vita vyake dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:40:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afrika Kusini yalaani vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137754-afrika_kusini_yalaani_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3edc36f0b62p5yh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137754-afrika_kusini_yalaani_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Ronald Lamola, Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini, amefanya  mazungumzo ya simu na Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo amesisitiza msimamo wa nchi yake wa kulaani vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 03:39:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran na Oman kuandaa itifaki ya Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137752-iran_na_oman_kuandaa_itifaki_ya_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6j08e54051ce2k5jq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137752-iran_na_oman_kuandaa_itifaki_ya_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Iran na Oman zinashirikiana kuandaa itifaki ya pamoja ili kuhakikisha usafiri salama wa majini katika Lango Bahari la Hormuz katika kipindi cha baada ya vita.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 03:38:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jibu la watumiaji wa mtandao wa X kwa tishio la shambulio la nchi kavu la Marekani: Tunawasubiri, njooni, majeneza yako tayari!</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/uncategorised-i137750-jibu_la_watumiaji_wa_mtandao_wa_x_kwa_tishio_la_shambulio_la_nchi_kavu_la_marekani_tunawasubiri_njooni_majeneza_yako_tayari!</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw41aff2be802p5vx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/uncategorised-i137750-jibu_la_watumiaji_wa_mtandao_wa_x_kwa_tishio_la_shambulio_la_nchi_kavu_la_marekani_tunawasubiri_njooni_majeneza_yako_tayari! </guid>  
      <description>Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wamevitaja vitisho vya Marekani vya kuanzisha mashambulizi na uvamizi wa nchi kavu dhidi ya Iran kuwa ni dhihirisho lingine la kukata tamaa kwa Marekani dhidi ya nguvu ya kijeshi na ulinzi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 08:45:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amir Hatami: Hakuna adui hata mmoja anayepaswa kubakia hai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137748-amir_hatami_hakuna_adui_hata_mmoja_anayepaswa_kubakia_hai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd7337aae322p5v9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137748-amir_hatami_hakuna_adui_hata_mmoja_anayepaswa_kubakia_hai </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameiagiza Makao Makuu ya Operesheni ya Jeshi kufuatilia nyendo na vitendo vya adui kwa jicho la kushuku na usahihi mkubwa, mara kwa mara, na kutekeleza mipango ya kukabiliana na mbinu za mashambulizi ya adui kwa wakati unaofaa.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:17:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imejaa uongo, udanganyifu: Wabunge wa Marekani wakosoa hotuba ya Trump kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137746-imejaa_uongo_udanganyifu_wabunge_wa_marekani_wakosoa_hotuba_ya_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa74290fb892p5vg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137746-imejaa_uongo_udanganyifu_wabunge_wa_marekani_wakosoa_hotuba_ya_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Wabunge wa Marekani wamelaani hotuba ya Rais Donald Trump kwa taifa kutokana na kuwa na mchanganyiko wa ajabu wa udanganyifu na uongo kuhusu malengo na mafanikio yanayodaiwa katika vita vya uchokozi vya Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:17:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mearsheimer: Kama kesi ya mtindo wa Nuremberg ingefanyika, Trump na Netanyahu wangenyongwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137744-mearsheimer_kama_kesi_ya_mtindo_wa_nuremberg_ingefanyika_trump_na_netanyahu_wangenyongwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwab1b6b7aaa2p5vd.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137744-mearsheimer_kama_kesi_ya_mtindo_wa_nuremberg_ingefanyika_trump_na_netanyahu_wangenyongwa </guid>  
      <description>John Mearsheimer, profesa maarufu wa mahusiano ya kimataifa katika Chuo Kikuu cha Chicago, amesema kufuatia vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza kwamba: "Kama kungefanyika kesi kama ile ya Nuremberg, na Waisraeli na Wamarekani wakafikishwa mahakamani, Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na washauri wao wengi wangehukumiwa kifo na kunyongwa."</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:15:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump: NATO ni simbamarara wa karatasi, ninafikiria kujiondoa kwenye shirika hili </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137742-trump_nato_ni_simbamarara_wa_karatasi_ninafikiria_kujiondoa_kwenye_shirika_hili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw98c7d999b52p5vf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137742-trump_nato_ni_simbamarara_wa_karatasi_ninafikiria_kujiondoa_kwenye_shirika_hili </guid>  
      <description>Rais wa Marekani amesema kwamba Washington inafikiria kwa dhati kujiondoa kwenye Shirika la Kujihami la Nchi za Magharibi (NATO).</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:15:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran na vikwazo kwa vyombo vya habari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137740-un_yaonya_kuhusu_ukandamizaji_wa_waungaji_mkono_wa_iran_na_vikwazo_kwa_vyombo_vya_habari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw71d3ded3262p5va.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137740-un_yaonya_kuhusu_ukandamizaji_wa_waungaji_mkono_wa_iran_na_vikwazo_kwa_vyombo_vya_habari </guid>  
      <description>Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali na kuonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran katika eneo la Magharibi mwa Asia kufuatia uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya nchi hiyo, pamoja na vikwazo dhidi ya uhuru wa vyombo vya habari huko Washington na Tel Aviv.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:55:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Nishati la Kimataifa: Tatizo kubwa zaidi la mafuta katika historia liko njiani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137738-shirika_la_nishati_la_kimataifa_tatizo_kubwa_zaidi_la_mafuta_katika_historia_liko_njiani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0d7fa676ab2p5ve.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137738-shirika_la_nishati_la_kimataifa_tatizo_kubwa_zaidi_la_mafuta_katika_historia_liko_njiani </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA) ameonya kwamba matatizo katika usambazaji wa mafuta na gesi yaliyosababishwa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran yamezidi mgogoro wa mafuta wa 1973 na 1979 na yameibua mshtuko mkubwa zaidi wa nishati katika historia.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:55:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaingia rasmi vitani kwa maslahi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137736-yemen_yaingia_rasmi_vitani_kwa_maslahi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c93f06090523f2la98.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137736-yemen_yaingia_rasmi_vitani_kwa_maslahi_ya_iran </guid>  
      <description>Yemen imetangaza rasmi kuingia katika vita kwa maslahi ya Iran, na sasa kila mtu ana wasiwasi kuhusu muelekeo wa vita hivi huku Wamagharibi na waungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel wakiingiwa na wasi wasi mkubwa kwamba huenda uchumi wa utawala huo ukabanwa na kupata madhara makubwa iwapo jeshi la Yemen litaamua kufunga na kudhibiti njia muhimu ya usafiri wa meli za biashara na mizigo, yaani  Lango-Bahari la Bab al-Mandab.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:43:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lango-Bahari la Hormuz liko chini ya udhibiti kamili wa IRGC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137734-lango_bahari_la_hormuz_liko_chini_ya_udhibiti_kamili_wa_irgc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpre54424e40a17j10.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137734-lango_bahari_la_hormuz_liko_chini_ya_udhibiti_kamili_wa_irgc </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuwa Lango-Bahari la Hormuz sasa liko chini ya udhibiti kamili wa vikosi vyake vya majini, huku likitoa maelezo ya mfululizo wa operesheni za makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya malengo ya Marekani na Israel katika maeneo mbalimbali ya kanda.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:27:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali sheria ya Israel inayoruhusu kunyongwa wafungwa wa Kipalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137732-iran_yalaani_vikali_sheria_ya_israel_inayoruhusu_kunyongwa_wafungwa_wa_kipalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd146d4e7aa2p5ts.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137732-iran_yalaani_vikali_sheria_ya_israel_inayoruhusu_kunyongwa_wafungwa_wa_kipalestina </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amelaani jaribio la utawala wa Kizayuni wa Israel kupitisha sheria kupitia bunge la utawala huo, Knesset, itakayoruhusu kunyongwa wafungwa wa Kipalestina, akitaja uamuzi huo kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na misingi ya haki za binadamu.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:23:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Shambulio dhidi ya miundombinu ya Iran ni dalili ya udhaifu wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137730-rais_pezeshkian_shambulio_dhidi_ya_miundombinu_ya_iran_ni_dalili_ya_udhaifu_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa00c41033b2p5tu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137730-rais_pezeshkian_shambulio_dhidi_ya_miundombinu_ya_iran_ni_dalili_ya_udhaifu_wa_marekani </guid>  
      <description>Rais wa Iran, amehoji katika ujumbe aliouelekeza kwa wananchi wa Marekani kwamba: Vita vinavyoendelea sasa vinanufaisha vipi maslahi halisi ya watu wa Marekani? Amesisitiza kuwa mashambulio dhidi ya miundombinu muhimu ya Iran, ikiwemo vituo vya nishati na viwanda, ni hatua inayolenga moja kwa moja kuvuruga maisha ya watu wa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:22:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aiambia Hizbullah: Iran itaendelea kuunga mkono Muqawama dhidi ya Marekani na Wazayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137728-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aiambia_hizbullah_iran_itaendelea_kuunga_mkono_muqawama_dhidi_ya_marekani_na_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv453067edd42p5nw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137728-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aiambia_hizbullah_iran_itaendelea_kuunga_mkono_muqawama_dhidi_ya_marekani_na_wazayuni </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Ali Khamenei amemwandikia barua Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, akiahidi kuendeleza uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa harakati hiyo ya Muqawama na mapambano katika kukabiliana na adui, Marekani na Uzayuni.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 05:32:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yashambuliwa kwa makombora kutoka Iran, Yemen na Hizbullah</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137726-israel_yashambuliwa_kwa_makombora_kutoka_iran_yemen_na_hizbullah</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpw0d883eeae31b9ey.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137726-israel_yashambuliwa_kwa_makombora_kutoka_iran_yemen_na_hizbullah </guid>  
      <description>Mashambulizi ya pamoja ya makombora kutoka Iran, harakati ya Hizbullah ya Lebnon na Jeshi la Yemen yamelenga ngome za utawala wa Kizayuni wa Israel mapema siku ya Jumatano.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:35:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Brigedia Jenerali Fadavi: Ujinga wa Marekani umewaletea matatizo walimwengu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137724-brigedia_jenerali_fadavi_ujinga_wa_marekani_umewaletea_matatizo_walimwengu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9c3ec42669bc2o2jo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137724-brigedia_jenerali_fadavi_ujinga_wa_marekani_umewaletea_matatizo_walimwengu </guid>  
      <description>Mshauri wa Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: “Walimwengu sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa ya nishati kutokana na upumbavu wa shetani mkubwa, Marekani.”</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:13:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Italia pia yapiga marufuku Marekani kutumia vituo vyake katika vita dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137722-italia_pia_yapiga_marufuku_marekani_kutumia_vituo_vyake_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0z9b0916ed3726aj1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137722-italia_pia_yapiga_marufuku_marekani_kutumia_vituo_vyake_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Italia nayo imepiga marufuku Marekani kutumia kituo chake cha anga cha Sigonella katika kuishambulia Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:08:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje: Marekani inataka kuhuisha fikra ya ufashisti ya kabla ya Vita vya Pili vya Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137720-msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje_marekani_inataka_kuhuisha_fikra_ya_ufashisti_ya_kabla_ya_vita_vya_pili_vya_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv16795f803c2p5kh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137720-msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje_marekani_inataka_kuhuisha_fikra_ya_ufashisti_ya_kabla_ya_vita_vya_pili_vya_dunia </guid>  
      <description>Akijibu kauli za Seneta wa chama cha Republican, Lindsey Graham, na mshauri wa zamani wa Donald Trump, Steve Bannon kuhusu kutumia mifano ya kihistoria kuhalalisha vita, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema: "Marejeleo haya ya kihistoria yanafanana waziwazi na mawazo ya Wanazi na Wafashisti."</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:00:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Tunashindwa vibaya katika vita dhidi ya Iran na kwa aibu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137718-seneta_wa_marekani_tunashindwa_vibaya_katika_vita_dhidi_ya_iran_na_kwa_aibu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0w5c142d90a224krj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137718-seneta_wa_marekani_tunashindwa_vibaya_katika_vita_dhidi_ya_iran_na_kwa_aibu </guid>  
      <description>Seneta Chris Murphy wa Marekani ameonya kwamba Marekani inakaribia kushindwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:59:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China: Shambulio lolote la Marekani na Israel dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran litakuwa na madhara makubwa kwa usalama na uthabiti wa eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137716-china_shambulio_lolote_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran_litakuwa_na_madhara_makubwa_kwa_usalama_na_uthabiti_wa_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw542ccde6eb2p5pz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137716-china_shambulio_lolote_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran_litakuwa_na_madhara_makubwa_kwa_usalama_na_uthabiti_wa_eneo </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, huku akisisitiza haja ya kusimamishwa haraka vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameonya dhidi ya shambulio lolote la pande mbili hizo dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:55:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu awashukuru wanazuoni wa Kisuni wa Kurdistan kwa uungaji mkono wao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137714-kiongozi_muadhamu_awashukuru_wanazuoni_wa_kisuni_wa_kurdistan_kwa_uungaji_mkono_wao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv32b45bb3072p5nc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137714-kiongozi_muadhamu_awashukuru_wanazuoni_wa_kisuni_wa_kurdistan_kwa_uungaji_mkono_wao </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa shukrani kwa wanazuoni wa Kisuni katika Mkoa wa Kurdistan nchini Iran kufuatia ujumbe wao wa pole na mshikamano baada ya kuuawa shahidi aliyekuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:20:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Iran UN alaani shambulio la US na Israel dhidi ya ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137712-mwakilishi_wa_iran_un_alaani_shambulio_la_us_na_israel_dhidi_ya_ofisi_za_umoja_wa_mataifa_mjini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0yd0305a51e925ura.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137712-mwakilishi_wa_iran_un_alaani_shambulio_la_us_na_israel_dhidi_ya_ofisi_za_umoja_wa_mataifa_mjini_tehran </guid>  
      <description>Balozi na mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo, akilaani mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Tehran na kutoa wito wa ufuatiliaji wa haraka na kutolewa ripoti rasmi kuhusu tukio hilo. </description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:13:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Iran haijatoa jibu lolote kwa mapendekezo 15 ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137710-araghchi_iran_haijatoa_jibu_lolote_kwa_mapendekezo_15_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv7ce2252d1c2p5np.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137710-araghchi_iran_haijatoa_jibu_lolote_kwa_mapendekezo_15_ya_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Tehran hadi sasa haijatoa jibu kwa mapendekezo 15 ya Marekani, wala haijawasilisha sharti lolote.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:07:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CNN: Kuharibiwa ndege za AWACS za US ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137708-cnn_kuharibiwa_ndege_za_awacs_za_us_ni_pigo_kubwa_kwa_uwezo_wa_anga_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv94b708047b2p5ml.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137708-cnn_kuharibiwa_ndege_za_awacs_za_us_ni_pigo_kubwa_kwa_uwezo_wa_anga_wa_marekani </guid>  
      <description>Mtaalamu wa masuala ya kijeshi wa Televisheni ya CNN ya Marekani ameitaja hatua ya Iran ya kupiga na kuharibu ndege ya kijasusi ya Marekani aina ya AWACS kuwa ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:44:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ahadi ya Kweli 4, Wimbi la 88: Jeshi la Wanamaji la IRGC laharibu mfumo wa kukabiliana na droni wa US Fifth Fleet</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137706-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_88_jeshi_la_wanamaji_la_irgc_laharibu_mfumo_wa_kukabiliana_na_droni_wa_us_fifth_fleet</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv1d48f9e5312p5m9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137706-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_88_jeshi_la_wanamaji_la_irgc_laharibu_mfumo_wa_kukabiliana_na_droni_wa_us_fifth_fleet </guid>  
      <description>Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) mapema leo Jumanne kimefanya operesheni nne dhidi ya shabaha za magaidi wa Kimarekani na Israel na kutoa vipigo vikali ikiwa ni sehemu ya wimbi la 88 la Operesheni Ahadi ya Kweli-4.
</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:18:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian alishukuru taifa la Iraq kwa kuwa bega kwa bega na Iran katika mapambano dhidi ya Marekani, Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137704-pezeshkian_alishukuru_taifa_la_iraq_kwa_kuwa_bega_kwa_bega_na_iran_katika_mapambano_dhidi_ya_marekani_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9cd3fe8643112oege.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137704-pezeshkian_alishukuru_taifa_la_iraq_kwa_kuwa_bega_kwa_bega_na_iran_katika_mapambano_dhidi_ya_marekani_israel </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesifu na kupongeza ujasiri wa taifa la Iraq wa kusimama bega kwa bega na watu wa Iran katika kipindi hiki cha uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:17:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uungaji mkono wa Wamarekani kwa utendaji wa Trump wapungua hadi asilimia 33</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137702-uungaji_mkono_wa_wamarekani_kwa_utendaji_wa_trump_wapungua_hadi_asilimia_33</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvaa2f8966e42p5lx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137702-uungaji_mkono_wa_wamarekani_kwa_utendaji_wa_trump_wapungua_hadi_asilimia_33 </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa, kiwango cha uungaji mkono wa wananchi kwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena kimepungua hadi asilimia 33 tu; huku idadi kubwa ya Wamarekani wakipinga mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.  </description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 05:41:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mapambano ya Watu wa Iran dhidi ya Madhalimu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137700-mapambano_ya_watu_wa_iran_dhidi_ya_madhalimu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c975852edf13e2mkx0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137700-mapambano_ya_watu_wa_iran_dhidi_ya_madhalimu </guid>  
      <description>Swali muhimu zaidi ambalo limekuwa likiwashughulisha wachambuzi wengi na hata watumiaji wa mitandao ya kijamii siku hizi ni kuwa: "Je, Wairani wameweza vipi kusimama imara mbele ya nguvu mbili zenye silaha za nyuklia bila kuogopa wala kusalimu amri?"</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 04:51:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uingereza: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran si vita vyetu/ Ujerumani: Kuenea kwa vita kutashinikiza vikali uchumi wa Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137698-uingereza_hujuma_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_si_vita_vyetu_ujerumani_kuenea_kwa_vita_kutashinikiza_vikali_uchumi_wa_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva38ceff3102p5lh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137698-uingereza_hujuma_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_si_vita_vyetu_ujerumani_kuenea_kwa_vita_kutashinikiza_vikali_uchumi_wa_ulaya </guid>  
      <description>Keir Starmer, Waziri Mkuu wa Uingereza, amesisitiza tena msimamo wa London kuhusu vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema kuwa vita hivi sio vya Uingereza na kwamba nchi yake haitaburuzwa kuingia kwenye vita hivyo.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 03:01:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Uingereza: Athari mbaya za uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kwa maisha ya Wamarekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137696-vyombo_vya_habari_vya_uingereza_athari_mbaya_za_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_kwa_maisha_ya_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6e6a26423fa32i55a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137696-vyombo_vya_habari_vya_uingereza_athari_mbaya_za_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_kwa_maisha_ya_wamarekani </guid>  
      <description>Gazeti la Uingereza la The Guardian limeandika katika ripoti yake kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimetoa mashinikizo makubwa kwa Wamarekani na kuongeza pakubwa gharama za maisha yao ya kila siku.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 02:57:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Marekani: Uungaji mkono wa Yemen kwa Iran katika mashambulizi ya Marekani na Israel umeongeza bei ya mafuta duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137694-vyombo_vya_habari_vya_marekani_uungaji_mkono_wa_yemen_kwa_iran_katika_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_umeongeza_bei_ya_mafuta_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva691c495312p5hx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137694-vyombo_vya_habari_vya_marekani_uungaji_mkono_wa_yemen_kwa_iran_katika_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_umeongeza_bei_ya_mafuta_duniani </guid>  
      <description>Tovuti ya CNBC imeandika kwamba uungaji mkono wa vikosi vya Yemen kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashambulizo ya kichokozi ya Marekani na Israel dhidi yake na urushaji wa makombora wa Wayemen kuelekea Palestina inayokaliwa kwa mabavu umepelekea bei ya mafuta kuongezeka sana katika soko la kimataifa.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 02:48:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhispania yafunga anga yake kwa ndege zenye uhusiano na mashambulizi dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137692-uhispania_yafunga_anga_yake_kwa_ndege_zenye_uhusiano_na_mashambulizi_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc7d4e5e7f32p5k3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137692-uhispania_yafunga_anga_yake_kwa_ndege_zenye_uhusiano_na_mashambulizi_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Serikali ya Uispania imetangaza kufunga anga ya nchi hiyo kwa ndege zote za kijeshi zinazohusiana na mashambulizi dhidi ya Iran, kama ishara ya kupinga vita vinavyoongozwa na Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 00:28:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakanusha kuwepo mazungumzo yoyote na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137690-iran_yakanusha_kuwepo_mazungumzo_yoyote_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv387eb6c4142p5jw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137690-iran_yakanusha_kuwepo_mazungumzo_yoyote_na_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amesisitiza kuwa Tehran haijafanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani, na amekanusha madai kwamba Jamhuri ya Kiislamu imekubali mapendekezo ya Washington, akieleza kauli hizo kuwa hazina msingi wowote.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 00:16:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC: Israel izoee “Mfumo Mpya wa Kikanda”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137688-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_israel_izoee_mfumo_mpya_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c94bd1b697ece2ljam.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137688-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_israel_izoee_mfumo_mpya_wa_kikanda </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Esmaeil Qaani, amesema kuwa utawala wa Israel unapaswa kuanza kuzoea  “mfumo mpya wa nguvu katika kanda y Magharibi mwa Asia,” akisisitiza kwamba hatua zilizoratibiwa na washirika wa Iran katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) zimepunguza kwa kiasi kikubwa matarajio ya usalama ya Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 23:07:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4; ulipizaji kisasi dhidi ya maeneo ya viwanda ya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137686-awamu_ya_pili_ya_wimbi_la_86_la_oparesheni_ahadi_ya_kweli_4_ulipizaji_kisasi_dhidi_ya_maeneo_ya_viwanda_ya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvdc0e25a2fa2p5fl.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137686-awamu_ya_pili_ya_wimbi_la_86_la_oparesheni_ahadi_ya_kweli_4_ulipizaji_kisasi_dhidi_ya_maeneo_ya_viwanda_ya_adui </guid>  
      <description>Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetoa taarifa ikitangaza kuwa jeshi hilo limetekeleza awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4 dhidi ya kitongoji cha viwanda cha Neot Hovav huko Beersheba kusini mwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel). </description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 07:20:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Senator Mdemocrat wa Marekani: Uwongo wa Trump ni ujumbe kwa Iran kuhusu namna alivyokwama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137684-senator_mdemocrat_wa_marekani_uwongo_wa_trump_ni_ujumbe_kwa_iran_kuhusu_namna_alivyokwama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bk1bf293db8b63577.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137684-senator_mdemocrat_wa_marekani_uwongo_wa_trump_ni_ujumbe_kwa_iran_kuhusu_namna_alivyokwama </guid>  
      <description>Chris Murphy Seneta wa chama cha Democratic nchini Marekani amesema kuwa uongo wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba anafanya mazungumzo na Iran unatoa ujumbe kwa Tehran kwamba amekwama kwenye kinamasi na amezongwa na mashinikizo. 
</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 07:11:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa ngazi ya juu wa vikosi vya ulinzi vya Yemen: Tupo pamoja na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137682-kamanda_wa_ngazi_ya_juu_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_yemen_tupo_pamoja_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv051aad0ba82p5ib.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137682-kamanda_wa_ngazi_ya_juu_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_yemen_tupo_pamoja_na_iran </guid>  
      <description>Kamanda wa ngazi ya juu wa vikosi vya ulinzi vya Yemen amesema: Tunatumia chaguo la kufunga Mlango Bahari wa Babul Mandab kwa meli za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. </description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 06:57:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni ya Wamarekani waandamana kupinga  vita  vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137680-mamilioni_ya_wamarekani_waandamana_kupinga_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv1319f2607f2p5g3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137680-mamilioni_ya_wamarekani_waandamana_kupinga_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mamilioni ya Wamarekani wameandamana katika miji zaidi ya 50 kote Marekani mwishoni mwa juma kupinga uvamizi wa pamoja wa Marekani na Israel dhidi ya Iran, wakati mzozo huo ukiingia mwezi wake wa pili.</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 04:24:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu awashukuru wanazuoni wakuu na wananchi wa Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137678-kiongozi_muadhamu_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_awashukuru_wanazuoni_wakuu_na_wananchi_wa_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvec891392ef2p5ew.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137678-kiongozi_muadhamu_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_awashukuru_wanazuoni_wakuu_na_wananchi_wa_iraq </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshukuru na kuthamini misimamo ya msingi ya wanazuoni wakuu wa kidini na wananchi wa Iraq.</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 01:55:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Admeri Irani awaonya Wamarekani: Manowari ya Lincoln ikija karibu, tutalipiza kisasi cha damu ya mashahidi wa Dena.</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137676-admeri_irani_awaonya_wamarekani_manowari_ya_lincoln_ikija_karibu_tutalipiza_kisasi_cha_damu_ya_mashahidi_wa_dena.</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0w74c2b9c1ce24l9i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137676-admeri_irani_awaonya_wamarekani_manowari_ya_lincoln_ikija_karibu_tutalipiza_kisasi_cha_damu_ya_mashahidi_wa_dena. </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaonya Wamarekani akisema: "Mara tu manowari ya kubeba ndege ya Abraham Lincoln itakapokaribia eneo letu la ulengaji shabaha, tutalipiza kisasi cha damu ya mashahidi wa manowari ya Dena kwa kurusha aina mbalimbali ya makombora kutoka pwani hadi baharini."</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 01:54:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Wanajeshi wa Marekani watageuzwa kuwa “Chakula cha Papa”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137674-jeshi_la_iran_wanajeshi_wa_marekani_watageuzwa_kuwa_chakula_cha_papa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf0054385fe2p5eq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137674-jeshi_la_iran_wanajeshi_wa_marekani_watageuzwa_kuwa_chakula_cha_papa </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi ya Khatam al‑Anbia ya Jeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa uvamizi wowote wa kijeshi wa Marekani kupitia nchi kavu au jaribio la kuikalia kwa mabavu ardhi ya Iran utamalizika kwa madhara makubwa, akisema askari wa Marekani watakumbana na maangamizi na hata kugeuka “chakula cha papa” katika Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 23:17:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge: Iran imekataa matakwa ya Marekani na Israel ya “Kujisalimisha,” Itapigana hadi ushindi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137672-spika_wa_bunge_iran_imekataa_matakwa_ya_marekani_na_israel_ya_kujisalimisha_itapigana_hadi_ushindi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvb3687fb28b2p5ck.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137672-spika_wa_bunge_iran_imekataa_matakwa_ya_marekani_na_israel_ya_kujisalimisha_itapigana_hadi_ushindi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema Iran haitakubali kamwe masharti ya kujisalimisha yanayotolewa na Marekani na Israel, na itaendelea kupigana hadi ipate ushindi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 23:09:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo XIV audhihaki utawala wa Trump: Mungu hayuko pamoja na wapenda vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137670-papa_leo_xiv_audhihaki_utawala_wa_trump_mungu_hayuko_pamoja_na_wapenda_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c970492bcd4c62mbmf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137670-papa_leo_xiv_audhihaki_utawala_wa_trump_mungu_hayuko_pamoja_na_wapenda_vita </guid>  
      <description>Papa Leo wa 14 amepinga majaribio ya kutaka kuhalalisha vita na mauaji kwa kutumia vibaya jina la Mungu, katika matamshi ambayo, kwa mujibu wa Televisheni ya CNN, yamerudi na kupinga madai yaliyotolewa na utawala wa Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 09:12:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini jiografia inaipa Iran nafasi nzuri katika Lango-Bahari la Hormuz?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137668-kwa_nini_jiografia_inaipa_iran_nafasi_nzuri_katika_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsj4db6ec42541gnht.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137668-kwa_nini_jiografia_inaipa_iran_nafasi_nzuri_katika_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Lango Bahari la Hormuz takriban limefungwa kwa wiki nne sasa na hivyo
kupelekea soko la mafuta duniani kutumbukia katika mgogoro mkubwa wa nishati na wala haijulikani litafunguliwa lini.
</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 08:56:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wimbi la uungaji mkono kwa Iran barani Afrika, Ulaya na Marekani; Watu walaani uchokozi wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137666-wimbi_la_uungaji_mkono_kwa_iran_barani_afrika_ulaya_na_marekani_watu_walaani_uchokozi_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbveb275d7c242p5c2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137666-wimbi_la_uungaji_mkono_kwa_iran_barani_afrika_ulaya_na_marekani_watu_walaani_uchokozi_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Wananchi katika nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano wakipinga vita na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 06:36:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Jibu la Iran limepangwa ili kuharakisha kusambaratika jeshi la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137664-qalibaf_jibu_la_iran_limepangwa_ili_kuharakisha_kusambaratika_jeshi_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv8c7195fdb32p4gr.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137664-qalibaf_jibu_la_iran_limepangwa_ili_kuharakisha_kusambaratika_jeshi_la_israel </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezungumzia kukiri kamanda wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kusambaratika jeshi hilo na kuandika: Jibu la Iran limeratibiwa kwa namna ambayo linaharakisha kusambaratika jeshi la Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 05:57:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>