<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Habari, TV, redio na mengineyo</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Wed, 13 May 2026 21:28:02 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Kukaribia mwisho wa kisiasa wa Starmer na kuzidi kupata nguvu Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138334-kukaribia_mwisho_wa_kisiasa_wa_starmer_na_kuzidi_kupata_nguvu_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0c12a188e02p79s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138334-kukaribia_mwisho_wa_kisiasa_wa_starmer_na_kuzidi_kupata_nguvu_iran </guid>  
      <description>Pars Today - Magazeti ya Uingereza yameripoti kwa wingi habari inayosisitiza kuwa, kusambaratika kisiasa Waziri mkuu wa nchi hiyo Keir Starmer kumekaribia.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 18:56:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Uko Imara Zaidi ya Ulivyokuwa Huko Nyuma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138332-mfumo_wa_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_uko_imara_zaidi_ya_ulivyokuwa_huko_nyuma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxff30f2515f2pdlm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138332-mfumo_wa_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_uko_imara_zaidi_ya_ulivyokuwa_huko_nyuma </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa zamani wa Qatar ameeleza katika mahojiano marefu aliyofanyiwa na televisheni ya Al Jazeera kwamba, Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uko mara zaidi hivi sasa kuliko ulivyokuwa huko nyuma.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 13:17:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Ulinzi wa Iran: Kubalini haki za Iran au mkabiliwe na kipigo kingine cha kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138330-wizara_ya_ulinzi_wa_iran_kubalini_haki_za_iran_au_mkabiliwe_na_kipigo_kingine_cha_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx76f3a581922pdku.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138330-wizara_ya_ulinzi_wa_iran_kubalini_haki_za_iran_au_mkabiliwe_na_kipigo_kingine_cha_kijeshi </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema maadui, Marekani na Uzayuni, wanapaswa kukubali haki halali za taifa la Iran, au wasubiri kushindwa tena katika nyanja za kidiplomasia na katika uwanja wa vita. </description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:22:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kushiriki UAE katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni 'haramu kabisa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138328-kushiriki_uae_katika_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_'haramu_kabisa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx680f4ed55f2pdks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138328-kushiriki_uae_katika_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_'haramu_kabisa' </guid>  
      <description>Chuo Kikuu cha Kimataifa cha al-Mustafa kimetangaza kuwa ushiriki, uwezeshaji na ushirikiano wa UAE katika vita vya hivi karibuni vya Marekani na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Iran ni sawa na "kusaidia kambi ya ukafiri dhidi ya ndugu Waislamu" na hivyo, "kimsingi ni haramu."</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:20:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Macron akabiliwa na upinzani baada ya matamshi yake makali kwenye mkutano wa Nairobi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138326-rais_macron_akabiliwa_na_upinzani_baada_ya_matamshi_yake_makali_kwenye_mkutano_wa_nairobi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe4cb6e18162pdkq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138326-rais_macron_akabiliwa_na_upinzani_baada_ya_matamshi_yake_makali_kwenye_mkutano_wa_nairobi </guid>  
      <description>Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na upinzani mkali baada ya kukatiza kikao cha mjadala katika kongamano la Africa Forward Summit nchini Kenya akiwataka hadhirina wanyamaze kimya.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:18:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa dini wafanya maandamano ya amani ya 'Moral Monday' mjini Washington kulaani 'vita visivyo vitakatifu' vya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138324-viongozi_wa_dini_wafanya_maandamano_ya_amani_ya_'moral_monday'_mjini_washington_kulaani_'vita_visivyo_vitakatifu'_vya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf8d2028dfa2pdkm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138324-viongozi_wa_dini_wafanya_maandamano_ya_amani_ya_'moral_monday'_mjini_washington_kulaani_'vita_visivyo_vitakatifu'_vya_trump </guid>  
      <description>Viongozi wa imani za dini walifanya maandamano ya amani ya Jumatatu ya Maadili (Moral Monday) nje ya Ikulu ya White House dhidi ya 'vita visivyo vitakatifu' katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:14:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ghana kuwarejesha nyumbani mamia ya raia walioko Afrika Kusini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138322-ghana_kuwarejesha_nyumbani_mamia_ya_raia_walioko_afrika_kusini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0650c1deef2pdki.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138322-ghana_kuwarejesha_nyumbani_mamia_ya_raia_walioko_afrika_kusini </guid>  
      <description>Ghana imetangaza kwamba imeanzisha mchakato wa kuwahamisha takriban raia wake 300 kutoka Afrika Kusini kufuatia wimbi la maandamano dhidi ya wageni.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:10:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Watu milioni 83 watalazimika kuhama makazi yao ifikapo mwaka wa 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138320-ripoti_watu_milioni_83_watalazimika_kuhama_makazi_yao_ifikapo_mwaka_wa_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa4f75f5df2pdii.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138320-ripoti_watu_milioni_83_watalazimika_kuhama_makazi_yao_ifikapo_mwaka_wa_2026 </guid>  
      <description>Idadi ya watu waliokimbia makazi yao ndani ya nchi zao kutokana na migogoro na machafuko imeongezeka katika mwaka uliopita ikilinganishwa na watu waliokimbia makazi yao kutokana na majanga ya asili, idadi ambayo imeweka rekodi ya watu milioni 32, hasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:27:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bolton: Trump amenaswa katika mtego wa kujitengenezea wa Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138318-bolton_trump_amenaswa_katika_mtego_wa_kujitengenezea_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx52c1cb70a02pdig.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138318-bolton_trump_amenaswa_katika_mtego_wa_kujitengenezea_wa_iran </guid>  
      <description>Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema: Donald Trump, Rais wa nchi hiyo, amenaswa katika mtego wa kujitengenezea mwenyewe wa Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:18:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yamal apongezwa kwa kupeperusha bendera ya Palestina katika sherehe ya ubingwa wa Barça</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138316-yamal_apongezwa_kwa_kupeperusha_bendera_ya_palestina_katika_sherehe_ya_ubingwa_wa_barça</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb1256d72e82pdic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138316-yamal_apongezwa_kwa_kupeperusha_bendera_ya_palestina_katika_sherehe_ya_ubingwa_wa_barça </guid>  
      <description>Nyota wa timu ya soka ya Barçelona, Lamine Yamal, alimeonyesha kitendo cha kupigiwa mfano kwa kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa sherehe ya ubingwa wa timu hiyo kama ishara ya kuwaunga mkono watu wanaokandamizwa wa Palestina.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:15:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Msimamo wa Marekani ndio kikwazo kikuu kumaliza vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138314-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_msimamo_wa_marekani_ndio_kikwazo_kikuu_kumaliza_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx172ccb76b22pdgc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138314-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_msimamo_wa_marekani_ndio_kikwazo_kikuu_kumaliza_vita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amesema kuwa msimamo wa Marekani wa kutaka masharti ya kupita kiasi pamoja na mienendo yake mingine inayodhoofisha juhudi za diplomasia ndiyo vizuizi vikuu vya kumaliza mzozo uliozuka kufuatia vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 02:46:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kenya yataka Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138312-kenya_yataka_afrika_ipewe_kiti_cha_kudumu_katika_baraza_la_usalama_la_un</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1ec378f2f12pdda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138312-kenya_yataka_afrika_ipewe_kiti_cha_kudumu_katika_baraza_la_usalama_la_un </guid>  
      <description>Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito kwa Afrika kupewa uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, takwa ambalo limeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 14:27:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Majeshi ya Iran yako tayari kuwashitua wavamizi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138310-spika_qalibaf_majeshi_ya_iran_yako_tayari_kuwashitua_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8abcbb876c2pdb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138310-spika_qalibaf_majeshi_ya_iran_yako_tayari_kuwashitua_wavamizi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, amesema kuwa majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu yako katika hali ya juu kabisa ya utayari wa kivita na yako tayari kutoa jibu kali, la haki na linalostahili dhidi ya aina yoyote ya uchokozi. Amewaonya maadui kwamba mikakati na maamuzi yenye makosa hayatazaa chochote isipokuwa maafa.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:15:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi wa Maoni: Wamarekani waliowengi wanasema Trump hakuwa na hoja ya wazi ya vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138308-uchunguzi_wa_maoni_wamarekani_waliowengi_wanasema_trump_hakuwa_na_hoja_ya_wazi_ya_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa546072d442pdb0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138308-uchunguzi_wa_maoni_wamarekani_waliowengi_wanasema_trump_hakuwa_na_hoja_ya_wazi_ya_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa asilimia 66  Wamarekani wanaamini kuwa Rais Donald Trump ameshindwa kutoa hoja iliyo wazi kuhusu vita vya kichokozi vya na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Aidha Wamarekani waliwengi wanasema wamekumbwa na hali ngumu ya kifedha kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta baada ya mashambulizi hayo.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:13:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wairani 24,000 wameingia Saudia kwa ajili ya ibada ya Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138306-wairani_24_000_wameingia_saudia_kwa_ajili_ya_ibada_ya_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6c5edc9cab2pday.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138306-wairani_24_000_wameingia_saudia_kwa_ajili_ya_ibada_ya_hija </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara la Iran amesema kuwa takribani Wairani 24,000 tayari wamewasili nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija mwaka huu, ambapo kati yao takribani 14,000 wako Makka, na zaidi ya 10,000 wapo Madina.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:10:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yafanya mashambulizi dhidi ya vikosi vya Israel Kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138304-hizbullah_yafanya_mashambulizi_dhidi_ya_vikosi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx72378d5a792pd8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138304-hizbullah_yafanya_mashambulizi_dhidi_ya_vikosi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema imefanya operesheni 20 za kijeshi dhidi ya vikosi vamizi vya Israel katika maeneo ya kusini mwa Lebanon, huku mapigano yakiendelea licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyoongezwa hadi katikati ya mwezi Mei.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:08:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN kujenga ofisi mpya yenye thamani ya dola milioni 340 Nairobi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138302-un_kujenga_ofisi_mpya_yenye_thamani_ya_dola_milioni_340_nairobi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe49a1b025e2pdaw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138302-un_kujenga_ofisi_mpya_yenye_thamani_ya_dola_milioni_340_nairobi </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amshuhudia uwekezaji mkubwa wa Umoja wa Mataifa wenye thamani ya karibu dola milioni 340 katika ofisi yake katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:04:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi ajadiliana na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi na Misri kuhusu diplomasia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138300-araghchi_ajadiliana_na_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_saudi_na_misri_kuhusu_diplomasia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd598be6c3c2pd7w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138300-araghchi_ajadiliana_na_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_saudi_na_misri_kuhusu_diplomasia </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amejadiliana na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia na Misri kuhusu maendeleo muhimu katika mchakato wa kidiplomasia kati ya Iran na Marekani unaopatanishwa na Pakistan.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:37:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Macron asema Ufaransa “haikuwahi kufikiria” kupeleka jeshi Hormuz bila uratibu na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138298-macron_asema_ufaransa_haikuwahi_kufikiria_kupeleka_jeshi_hormuz_bila_uratibu_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx83556391612pd7u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138298-macron_asema_ufaransa_haikuwahi_kufikiria_kupeleka_jeshi_hormuz_bila_uratibu_na_iran </guid>  
      <description>Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema Paris haijawahi kufikiria kupeleka vikosi vya kijeshi vya Ufaransa katika Mlango-Bahari wa Hormuz bila uratibu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakati mvutano unaochochewa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ukiendelea.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:33:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen yaionya Marekani baada ya Trump kukataa mpango wa amani wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138296-ansarullah_ya_yemen_yaionya_marekani_baada_ya_trump_kukataa_mpango_wa_amani_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcf0fe6b1ba2pd7q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138296-ansarullah_ya_yemen_yaionya_marekani_baada_ya_trump_kukataa_mpango_wa_amani_wa_iran </guid>  
      <description>Afisa mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen ameonya kuwa Marekani italazimika kubeba dhima ya madhara ya kukataa mapendekezo mapya ya Iran ya kumaliza vita, kufuatia matamshi ya kupinga yaliyotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:28:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ramaphosa: Hujuma dhidi ya wageni haziakisi maoni ya Afrika Kusini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138294-ramaphosa_hujuma_dhidi_ya_wageni_haziakisi_maoni_ya_afrika_kusini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx32a7727fda2pd7e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138294-ramaphosa_hujuma_dhidi_ya_wageni_haziakisi_maoni_ya_afrika_kusini </guid>  
      <description>Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa "wahalifu walipanga mashambulizi dhidi ya wageni na kuzitoa hofu nchi nyingine za Afrika, ambazo zimeelezea wasiwasi wao kuhusu raia wake waliopo Afrika Kusini.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:14:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yakataa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, yaapa kulinda kampuni zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138292-china_yakataa_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_iran_yaapa_kulinda_kampuni_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx80fc1472082pd74.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138292-china_yakataa_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_iran_yaapa_kulinda_kampuni_zake </guid>  
      <description>China imepinga vikali vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya kampuni zake tatu kwa madai ya kusaidia shughuli za kijeshi za Iran, na imeahidi kulinda biashara zake dhidi ya hatua hizo ambazo imezitaja kuwa za upande mmoja na zisizo halali.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:00:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Marekani inaendelea kusisitiza mawazo yaliyobuniwa na utawala wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138290-baqaei_marekani_inaendelea_kusisitiza_mawazo_yaliyobuniwa_na_utawala_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx99ca78309b2pd72.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138290-baqaei_marekani_inaendelea_kusisitiza_mawazo_yaliyobuniwa_na_utawala_wa_israel </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Marekani inaendelea kung'ang'ania fikra na mawazo ya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 03:49:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawasilisha majibu kwa pendekezo la Marekani la kukomesha uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138288-iran_yawasilisha_majibu_kwa_pendekezo_la_marekani_la_kukomesha_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb0d2cd54b12pd70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138288-iran_yawasilisha_majibu_kwa_pendekezo_la_marekani_la_kukomesha_uchokozi </guid>  
      <description>Iran imewasilisha mpango kamili wa kukomesha vita vya uchokozi wa Marekani na Israel, ikisisitiza kulipwa fidia kamili kwa uharibifu wa vita na kuondolewa vikwazo vyote.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 03:43:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi wa Kizayuni nchini Lebanon: Hatuna chaguo ila kukimbia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138286-wanajeshi_wa_kizayuni_nchini_lebanon_hatuna_chaguo_ila_kukimbia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx48df8675512pd22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138286-wanajeshi_wa_kizayuni_nchini_lebanon_hatuna_chaguo_ila_kukimbia </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri kushindwa jeshi la utawala wa vamizi wa Israel kukabiliana na ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 11:21:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ongezeko la vifo kabla ya Hija laibua taharuki nchini Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138284-ongezeko_la_vifo_kabla_ya_hija_laibua_taharuki_nchini_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd5629266d62pd1m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138284-ongezeko_la_vifo_kabla_ya_hija_laibua_taharuki_nchini_saudi_arabia </guid>  
      <description>Ripoti za kuongezeka vifo baina ya mahujaji waliokwenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija imezua wasiwasi na taharuki baina ya viongozi na wasimamizi wa ibada hiyo. </description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 10:30:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138282-zambia_yapinga_matakwa_ya_marekani_yanayohusiana_na_mkataba_wa_afya_na_madini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9fcfe573ed2pd1k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138282-zambia_yapinga_matakwa_ya_marekani_yanayohusiana_na_mkataba_wa_afya_na_madini </guid>  
      <description>Zambia imeishutumu hadharani Marekani kwa kuunganisha kifurushi cha afya kilichopendekezwa cha dola bilioni 2 na matakwa kupewa data na madini na muhimu, ikisema baadhi ya masharti yaliyoambatanishwa na makubaliano hayo "hayakubaliki".</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 10:28:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wananchi wa Mali waandamana kumuunga mkono kiongozi wao wa kijeshi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138280-wananchi_wa_mali_waandamana_kumuunga_mkono_kiongozi_wao_wa_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx34de8ff3572pd1i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138280-wananchi_wa_mali_waandamana_kumuunga_mkono_kiongozi_wao_wa_kijeshi </guid>  
      <description>Mamia ya waungaji mkono wa uongozi wa serikali ya kijeshi ya Mali Jumamosi walijumuika katika uwanja wa michezo katika mji mkuu, Bamako ili kuthibitisha uungaji mkono wao kwa serikali ya mpito ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 10:18:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Niger yasimamisha vyombo tisa vya habari vya Ufaransa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138278-niger_yasimamisha_vyombo_tisa_vya_habari_vya_ufaransa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx55e66c307b2pd0w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138278-niger_yasimamisha_vyombo_tisa_vya_habari_vya_ufaransa </guid>  
      <description>Serikali ya Niger imetangaza kusimamisha shughuli za vyombo tisa vya habari vya Ufaransa, ikieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na “usambazaji wa mara kwa mara wa maudhui yanayoweza kuhatarisha kwa kiasi kikubwa utulivu wa umma, umoja wa taifa, mshikamano wa kijamii, na uthabiti wa taasisi za Jamhuri.”</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 09:30:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa IRGC: Iran iko  tayari kushambulia ngome za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138276-kamanda_wa_irgc_iran_iko_tayari_kushambulia_ngome_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx833c15766c2pd0u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138276-kamanda_wa_irgc_iran_iko_tayari_kushambulia_ngome_za_marekani </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) amesema makombora ya kisasa pamoja na droni za kivita za Iran tayari zimeelekezwa dhidi ya ngome za  Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi, huku vikosi vya jeshi vikisubiri amri ya mwisho ya kushambulia.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 09:11:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchezaji wa tenisi wa Iran ajiondoa mashindano ya dunia kuepuka kushindana na Muisraeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138274-mchezaji_wa_tenisi_wa_iran_ajiondoa_mashindano_ya_dunia_kuepuka_kushindana_na_muisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd637fec3432pd0q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138274-mchezaji_wa_tenisi_wa_iran_ajiondoa_mashindano_ya_dunia_kuepuka_kushindana_na_muisraeli </guid>  
      <description>Mchezaji chipukizi wa tenisi kutoka Iran, Hana Shabanpour, amejiondoa katika fainali ya mashindano ya J60 Turkey World Tour siku ya Jumapili baada ya kukataa kucheza dhidi ya mpinzani aliyekuwa akiwakilisha utawala wa Israel, kama ishara ya kupinga mauaji na mateso dhidi ya Wapalestina.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 09:07:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mateso na unyanyasaji wa wanawake wa Kipalestina katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138272-hamas_yalaani_mateso_na_unyanyasaji_wa_wanawake_wa_kipalestina_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa8e46f65a12pczw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138272-hamas_yalaani_mateso_na_unyanyasaji_wa_wanawake_wa_kipalestina_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani ongezeko la uhalifu na ukiukwaji wa haki za wafungwa wanawake wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel, ikisema kwamba mateso ya kimwili na kisaikolojia ni uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 07:47:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu 70 wauawa kaskazini mashariki mwa Kongo; Umoja wa Mataifa walaani ghasia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138270-watu_70_wauawa_kaskazini_mashariki_mwa_kongo_umoja_wa_mataifa_walaani_ghasia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3451bd25a22pczs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138270-watu_70_wauawa_kaskazini_mashariki_mwa_kongo_umoja_wa_mataifa_walaani_ghasia </guid>  
      <description>Kwa uchache watu 70, wengi wao wakiwa raia, wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha waliohusishwa na wanamgambo wa CODECO, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 07:43:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kurudi Nyumbani Wakati wa Vita vya Siku 40 Wairan Waliokuwa Wameihajiri Nchi Kunafikisha Ujumbe Gani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138268-kurudi_nyumbani_wakati_wa_vita_vya_siku_40_wairan_waliokuwa_wameihajiri_nchi_kunafikisha_ujumbe_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0ce2a74e5a2pcvw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138268-kurudi_nyumbani_wakati_wa_vita_vya_siku_40_wairan_waliokuwa_wameihajiri_nchi_kunafikisha_ujumbe_gani </guid>  
      <description>Takwimu zilizorekodiwa katika mipaka ya Iran zinaonyesha kuwa wakati wa vita vya siku 40 vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Wairani 630,000 waliingia nchini kupitia mipaka ya nchi kavu. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 14:09:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sera ya US ya Mwiko wa Kutosema Chochote Kuhusu Silaha za Nyuklia ya Israel Inamomonyoka?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138266-sera_ya_us_ya_mwiko_wa_kutosema_chochote_kuhusu_silaha_za_nyuklia_ya_israel_inamomonyoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf2e0621b732pcvq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138266-sera_ya_us_ya_mwiko_wa_kutosema_chochote_kuhusu_silaha_za_nyuklia_ya_israel_inamomonyoka </guid>  
      <description>Katika hali isiyo ya kawaida na ya nadra kuwahi kushuhudiwa, wajumbe 29 wa Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio wakiitaka Washington ifichue na kuweka hadharani mpango wa silaha za nyuklia wa Israel. Barua hiyo inataka kukomeshwa sera ya kiitwacho "kimya rasmi" kuhusu uwezo wa nyuklia wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 13:49:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CIA yakiri: Iran inaweza kuhimili mzingiro wa baharini wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138262-cia_yakiri_iran_inaweza_kuhimili_mzingiro_wa_baharini_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf116a48c192pcro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138262-cia_yakiri_iran_inaweza_kuhimili_mzingiro_wa_baharini_wa_marekani </guid>  
      <description>Shirika la Ujasusi la Marekani limekiri kuwa Iran ina uwezo wa kuhimili athari za mzingiro wa nchi hiyo kwa miezi kadhaa, na pia ina hifadhi kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:59:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapinzani Afrika Kusini waapa kumuondoa madarakani Ramaphosa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138260-wapinzani_afrika_kusini_waapa_kumuondoa_madarakani_ramaphosa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd1ee37d9282pcu6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138260-wapinzani_afrika_kusini_waapa_kumuondoa_madarakani_ramaphosa </guid>  
      <description>Julius Malema, kiongozi wa chama cha upinzani cha Economic Freedom Fighters (EFF) nchini Afrika Kusini, amemtaka Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo ajiuzulu haraka iwezekanavyo na taratibu za kumfungulia mashtaka zianze.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:56:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran ni trilioni kadhaa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138258-new_york_times_gharama_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_trilioni_kadhaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx97b29d96552pcoe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138258-new_york_times_gharama_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_trilioni_kadhaa </guid>  
      <description>Justin Wolfers, profesa wa uchumi katika Chuo Kikuu cha Michigan, katika makala ya New York Times, amekadiria gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran kuwa trilioni kadhaa za dola.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:54:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Burundi kufanya uchaguzi wa rais Mei 3 mwaka ujao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138252-burundi_kufanya_uchaguzi_wa_rais_mei_3_mwaka_ujao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx442f1875052pcu2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138252-burundi_kufanya_uchaguzi_wa_rais_mei_3_mwaka_ujao </guid>  
      <description>Burundi itafanya uchaguzi wa rais Mei 3 mwaka ujao. Habari hiyo ilitangazwa Ijumaa na Tume ya Uchaguzi, wakati wa mkutano uliosusiwa na upinzani.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:49:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Virusi vya Hanta si sawa na vya COVID-19 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138264-who_virusi_vya_hanta_si_sawa_na_vya_covid_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb88ebb62fd2pcu8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138264-who_virusi_vya_hanta_si_sawa_na_vya_covid_19 </guid>  
      <description>Kufuatia mlipuko wa virusi vya Hanta au kwa kiingereza Hantavirus kuzua taharuki miongoni mwa umma kufuatia vifo vya watu watatu na wengine kadhaa wanapata matibabu, Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) limesisitiza kuwa mlipuko wa virusi huo kutoka meli ya kifahari ya kitalii ya MV Hondius si sawa na wa virusi vya  COVID-19 na kwamba hatari ya virusi hivyo kuenea kwa jamii kwa ujumla bado ni ndogo sana.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:41:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Wairani hawapigi magoti mbele ya mashinikizo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138256-araghchi_wairani_hawapigi_magoti_mbele_ya_mashinikizo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbf2c60f38c2pcss.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138256-araghchi_wairani_hawapigi_magoti_mbele_ya_mashinikizo </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameonya kuwa Marekani hukimbilia hatua za kijeshi za kiholela hasa pale suluhisho la kidiplomasia linapoonekana kuwa karibu, huku akisisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasalimu amri kamwe mbele ya mashinikizo.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:33:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Ukoloni hauna nafasi katika dunia; Iran yataka mahusiano ya kuheshimiana</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138254-pezeshkian_ukoloni_hauna_nafasi_katika_dunia_iran_yataka_mahusiano_ya_kuheshimiana</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx66fc79265a2pcu4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138254-pezeshkian_ukoloni_hauna_nafasi_katika_dunia_iran_yataka_mahusiano_ya_kuheshimiana </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa ukoloni na unyonyaji havitakuwa na nafasi katika dunia ya kesho, akisisitiza tena dhamira ya Iran ya kuendeleza mahusiano ya kirafiki yanayojengwa juu ya kuheshimiana na maslahi ya pamoja.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:30:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbunge Ulaya atoa wito wa uchunguzi kuhusu mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138250-mbunge_ulaya_atoa_wito_wa_uchunguzi_kuhusu_mauaji_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_minab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9c2fe489bf2pctw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138250-mbunge_ulaya_atoa_wito_wa_uchunguzi_kuhusu_mauaji_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_minab </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Bunge la Ulaya ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji yaliyofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wasichana wa Shule ya Msingi ya Minab kusini mwa Iran, akisema huenda yalikuwa shambulio la kupangwa.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:47:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Kiebrania: Lebanon imekuwa kinamasi chenye gharama kubwa kwa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138248-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_lebanon_imekuwa_kinamasi_chenye_gharama_kubwa_kwa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7432f0778e2pcly.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138248-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_lebanon_imekuwa_kinamasi_chenye_gharama_kubwa_kwa_israel </guid>  
      <description>Gazeti la Kiebrania Ma'ariv limeripoti kwamba Lebanon imekuwa kinamasi cha misukosuko na mawimbi makali, chenye gharama kubwa kwa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:10:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa zamani wa Pentagon: Majenerali wa Marekani wana hofu kubwa kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138246-msemaji_wa_zamani_wa_pentagon_majenerali_wa_marekani_wana_hofu_kubwa_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa8cd6353c52pcsu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138246-msemaji_wa_zamani_wa_pentagon_majenerali_wa_marekani_wana_hofu_kubwa_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) amefichua kuwa: Majenerali waandamizi wa jeshi la nchi hiyo wana hofu kubwa kuhusu kuzungumzia vita vya maafa dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 08:13:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Majibu ya Khalil al-Hayyah kwa mauaji ya mwanawe: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138244-majibu_ya_khalil_al_hayyah_kwa_mauaji_ya_mwanawe_adui_mzayuni_hawezi_kupata_maafikiano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxde0d9c1c7d2pcr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138244-majibu_ya_khalil_al_hayyah_kwa_mauaji_ya_mwanawe_adui_mzayuni_hawezi_kupata_maafikiano </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya harakati ya Hamas huko Gaza, amethibitisha kuuawa shahidi mwanawe, Azzam na rafiki yake, akisisitiza kuwa: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano kwenye meza ya mazungumzo kwa kulenga na kuua familia zetu.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 08:08:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Israel lawanyanyasa kingono wanaharakati wa Al-Samoud Global Flotilla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138242-jeshi_la_israel_lawanyanyasa_kingono_wanaharakati_wa_al_samoud_global_flotilla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0a59c8d0d52pcso.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138242-jeshi_la_israel_lawanyanyasa_kingono_wanaharakati_wa_al_samoud_global_flotilla </guid>  
      <description>Wakati mjadala wa mzingiro wa Ukanda wa Gaza na kampeni za kimataifa za kuvunja mzingiro huo wa utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo ukiendelea, kundi la Al-Samoud Global Flotilla, limechapisha ushuhuda kutoka kwa wanaharakati wake walioachiliwa huru, likishutumu jeshi la Israel kuwa limewanyanyasa kimwili na kingono washiriki wa msafara huo.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 08:06:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya Iran vyashambulia meli za  kivita za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138240-vikosi_vya_iran_vyashambulia_meli_za_kivita_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx421aafd2a22pckq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138240-vikosi_vya_iran_vyashambulia_meli_za_kivita_za_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi ya  Khatam alAnbiya  ya Majeshi ya Iran amesema kwamba vikosi vya Iran vimetoa jibu la papo hapo na lenye nguvu kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya kijeshi ya Marekani katika eneo muhimu la MlangoBahari wa Hormuz pamoja na ukanda wa pwani wa kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 08 May 2026 11:22:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian asifu unyenyekevu wa Kiongozi Muadhamu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138238-rais_pezeshkian_asifu_unyenyekevu_wa_kiongozi_muadhamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx78ac6591c92pcmm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138238-rais_pezeshkian_asifu_unyenyekevu_wa_kiongozi_muadhamu </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amesimulia kwa kina mkutano wake wa hivi karibuni na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, akielezea hali ya kikao hicho pamoja na sifa za binafsi, kimaadili na kiuongozi alizozishuhudia kwa Kiongozi huyo.</description>
      <pubDate>Fri, 08 May 2026 11:19:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yapinga azimio la Marekani dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama la UN</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138236-russia_yapinga_azimio_la_marekani_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama_la_un</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcf90ae04e82pcmi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138236-russia_yapinga_azimio_la_marekani_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama_la_un </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa, Vasily Nebenzya, amepinga vikali azimio lililopendekezwa na Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Baraza la Usalama. Amelitaja azimio hilo kuwa ni jaribio jingine lenye mtazamo wa uhasama, linalolenga kuizingira Iran huku likipuuza mizizi halisi ya mzozo wa sasa wa Ukanda wa Asia ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 08 May 2026 10:50:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yataka kuachiliwa huru wanaharakati wa Global Sumud Flotilla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138234-un_yataka_kuachiliwa_huru_wanaharakati_wa_global_sumud_flotilla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx01a07a90762pcga.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138234-un_yataka_kuachiliwa_huru_wanaharakati_wa_global_sumud_flotilla </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeitaka Israel iwaachilie mara moja wanaharakati wawili wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza wanaoshikiliwa bila mashtaka; na vilevile kuchunguzwa visa vya kuaminika vya kuteswa wanaharakati hao.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 12:03:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Chapisho la Trump kuhusu Yesu Kristo lapingwa na 87% ya umma huko Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138232-chapisho_la_trump_kuhusu_yesu_kristo_lapingwa_na_87_ya_umma_huko_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5c1032c60d2pcg0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138232-chapisho_la_trump_kuhusu_yesu_kristo_lapingwa_na_87_ya_umma_huko_marekani </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa Wamarekani wengi wamepinga vikali picha iliyotengenezwa na Donald Trump kwa kutumia akili mnemba (AI) ikimdhihirisha kiongozi huyo kama Yesu Kristo, na vilevile matamshi yake yanayomshambulia Papa Leo XIV, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:31:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni ukiukaji wa wazi wa usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138230-hamas_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxddf2a8157f2pcd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138230-hamas_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani mashambulizi yanayoongezeka ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, ikiyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa makubaliano ya usitishaji vita na sheria za kimataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:24:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Tshisekedi asema huenda akagombea muhula wa tatu wa urais, Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138228-rais_tshisekedi_asema_huenda_akagombea_muhula_wa_tatu_wa_urais_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9619aa65472pcfw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138228-rais_tshisekedi_asema_huenda_akagombea_muhula_wa_tatu_wa_urais_kongo </guid>  
      <description>Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amezungumzia uwezekano wa kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu, akisema atakubali kuendelea kuiongoza nchi hiyo iwapo ataungwa mkono na Wakongo kupitia kura ya maoni.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:19:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Athari mbaya za vita dhidi ya Iran… Ongezeko la mafuta ya ndege lawatia wasiwasi washauri wa Trump </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138226-athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_ongezeko_la_mafuta_ya_ndege_lawatia_wasiwasi_washauri_wa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4cfd4b00bf2pcaa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138226-athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_ongezeko_la_mafuta_ya_ndege_lawatia_wasiwasi_washauri_wa_trump </guid>  
      <description>Washauri wa Rais Donald Trump wa Marekani wanazidi kuwa na wasiwasi kwamba kupanda kwa bei ya mafuta ya ndege kunakosababishwa na vita vya nchi hiyo na Israel dhidi ya Iran kutawadhuru Warepublican katika uchaguzi wa katikati ya muhula.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Sudan Kusini awafuta kazi Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Fedha </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138224-rais_wa_sudan_kusini_awafuta_kazi_mkuu_wa_jeshi_na_waziri_wa_fedha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx358b60acc82pcfo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138224-rais_wa_sudan_kusini_awafuta_kazi_mkuu_wa_jeshi_na_waziri_wa_fedha </guid>  
      <description>Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewafukuza kazi Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Fedha. Waziri wa Fedha alikuwa amehudumu katika wadhifa huo chini ya wiki mbili.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:08:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian amwambia Macron: Iran yataka diplomasia huku ikisisitiza kulinda haki za taifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138222-pezeshkian_amwambia_macron_iran_yataka_diplomasia_huku_ikisisitiza_kulinda_haki_za_taifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc3f23742b02pcda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138222-pezeshkian_amwambia_macron_iran_yataka_diplomasia_huku_ikisisitiza_kulinda_haki_za_taifa </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amemwambia mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, kuwa Tehran iko tayari kuendelea kwa dhati na njia za kidiplomasia ili kukomesha vita, huku ikisisitiza umuhimu wa kulindwa haki za taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 08:09:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> China yalaani vita dhidi ya Iran, yataka usitishaji kamili wa mapigano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138220-china_yalaani_vita_dhidi_ya_iran_yataka_usitishaji_kamili_wa_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd5816d43b72pc64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138220-china_yalaani_vita_dhidi_ya_iran_yataka_usitishaji_kamili_wa_mapigano </guid>  
      <description>China imemkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, kwa mazungumzo mjini Beijing, huku Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, akivitaja vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran kuwa “visivyo halali” na kutoa wito wa kusitishwa kabisa kwa mapigano.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 08:06:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran imewasilisha nyaraka kuhusu jinai za kivita za Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138218-iran_imewasilisha_nyaraka_kuhusu_jinai_za_kivita_za_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx34c3e8296f2payy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138218-iran_imewasilisha_nyaraka_kuhusu_jinai_za_kivita_za_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Iran amesema wamewasilisha nyaraka 35 zinazoonyesha wazi jinai za kivita zilizofanywa na Marekani na Israel wakati wa mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya Iran, katika taasisi mbalimbali za kimataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 08:02:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu Gani Zinaifanya UAE Ishupalie Vita Dhidi ya Iran? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138216-sababu_gani_zinaifanya_uae_ishupalie_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6e81ede3642pc7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138216-sababu_gani_zinaifanya_uae_ishupalie_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Muungano wa Falme za Kiarabu, UAE au Imarati umechukua msimamo wa waziwazi wa kushupalia vita hususan dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 11:34:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran inasimamia nguvu ya Maadili na Uwajibikaji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138214-pezeshkian_iran_inasimamia_nguvu_ya_maadili_na_uwajibikaji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd7db1a6d8e2pc76.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138214-pezeshkian_iran_inasimamia_nguvu_ya_maadili_na_uwajibikaji </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran inasimamia nguvu inayojali maadili na uwajibikaji huku akiwatuhumu maadui zake kwa kuwakilisha nguvu zisizo na uwajibikaji. </description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 11:05:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo aendelea kuponda bwabwaja za Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138208-papa_leo_aendelea_kuponda_bwabwaja_za_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf7178158342pc70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138208-papa_leo_aendelea_kuponda_bwabwaja_za_trump </guid>  
      <description>Mvutano kati ya Rais Donald Trump wa Marekani na Kiongozi wa Wakatoliki duniani Papa Leo wa XIV kuhusu misimamo ya kupinga vita unaendelea kutokota.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:56:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Boko Haram yauwa wanajeshi 23 katika eneo la Ziwa Chad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138206-boko_haram_yauwa_wanajeshi_23_katika_eneo_la_ziwa_chad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0e52b1b0a12pc6w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138206-boko_haram_yauwa_wanajeshi_23_katika_eneo_la_ziwa_chad </guid>  
      <description>Takriban wanajeshi 23 wa Chad wameuawa na 26 kujeruhiwa katika shambulio la wanamgambo wa Boko Haram kwenye kituo cha kijeshi katika eneo la Ziwa Chad.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:51:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iravani akanusha vikali azimio la Arab League dhidi ya Iran, asema ni la upendeleo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138204-iravani_akanusha_vikali_azimio_la_arab_league_dhidi_ya_iran_asema_ni_la_upendeleo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4dd0b196242pc6s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138204-iravani_akanusha_vikali_azimio_la_arab_league_dhidi_ya_iran_asema_ni_la_upendeleo </guid>  
      <description>Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amejibu azimio la kikao cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab Legue) dhidi ya Iran kilichofanyika mjini Cairo akisema kuwakingia kifua wavamizi hakuwezi kubadili ukweli wa kisheria. </description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:48:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>BBC: Uingereza ni mwathirika mkubwa zaidi wa kiuchumi wa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138200-bbc_uingereza_ni_mwathirika_mkubwa_zaidi_wa_kiuchumi_wa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx15f365d4c82pc6c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138200-bbc_uingereza_ni_mwathirika_mkubwa_zaidi_wa_kiuchumi_wa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Ripoti ya BBC inasema Uingereza inakabiliwa na pigo kubwa zaidi kwa ukuaji wa uchumi miononi mwa nchi za kundi la 20 (G20), kutokana na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kufungwa Mlango Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:35:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afrika Kusini yabaini maambukizi ya virusi vya Hanter vinavyohusishwa na meli ya utalii</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138198-afrika_kusini_yabaini_maambukizi_ya_virusi_vya_hanter_vinavyohusishwa_na_meli_ya_utalii</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd67730e4532pc68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138198-afrika_kusini_yabaini_maambukizi_ya_virusi_vya_hanter_vinavyohusishwa_na_meli_ya_utalii </guid>  
      <description>Afrika Kusini imebaini virusi kwa jina la Hanter aina ya Andes ambavyo hueneza maambukizi kutoka kwa binadamu kwenda kwa binadamu katika watu wawili waliotoka kwenye meli iliyokumbwa na mlipuko wa ugonjwa huo. Haya yameelezwa leo bungeni na Waziri wa Afya wa nchi hiyo.  </description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:28:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazindua utaratibu mpya wa kudhibiti meli zinazopita Mlango Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138196-iran_yazindua_utaratibu_mpya_wa_kudhibiti_meli_zinazopita_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd2041184282pc4k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138196-iran_yazindua_utaratibu_mpya_wa_kudhibiti_meli_zinazopita_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Iran imezindua rasmi mfumo mpya wa udhibiti wa usafiri wa majini katika Mlango Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 08:10:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yatuhumiwa kulazimisha makubaliano ya afya na mikataba ya madini nchini Zambia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138194-marekani_yatuhumiwa_kulazimisha_makubaliano_ya_afya_na_mikataba_ya_madini_nchini_zambia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2765887f642pc4c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138194-marekani_yatuhumiwa_kulazimisha_makubaliano_ya_afya_na_mikataba_ya_madini_nchini_zambia </guid>  
      <description>Zambia imeishutumu Marekani kwa jaribio la kuhusisha makubaliano ya ufadhili wa sekta ya afya na mikataba ya uchimbaji madini yake ya kimkakati.  Hayo yamebainika baada ya balozi wa Marekani anayemaliza muda wake kuikosoa serikali ya Zambia kwa madai ya ufisadi, udhaifu wa utawala, na ukosefu wa ushirikiano na programu za misaada ya Marekani.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 08:06:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hali katika Mlango Bahari wa Hormuz imekuwa “isiyovumilika” kwa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138192-qalibaf_hali_katika_mlango_bahari_wa_hormuz_imekuwa_isiyovumilika_kwa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx49fef7adb72pc1o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138192-qalibaf_hali_katika_mlango_bahari_wa_hormuz_imekuwa_isiyovumilika_kwa_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ameonya kwamba hali inayoendelea katika Mlango Bahari wa Hormuz imekuwa “isiyovumilika” kwa Marekani, huku akisisitiza kuwa Tehran “bado haijaanza hata hatua zake halisi.”</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 07:59:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Njozi za Marekani Kujiona Dola Lenye Nguvu za Kipekee Zimefikia Ukingoni? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138190-njozi_za_marekani_kujiona_dola_lenye_nguvu_za_kipekee_zimefikia_ukingoni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2ee6cccd2a2pc02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138190-njozi_za_marekani_kujiona_dola_lenye_nguvu_za_kipekee_zimefikia_ukingoni </guid>  
      <description>Profesa Jeffrey Sachs wa Chuo Kikuu cha Columbia amesema: "Vita vya Iran ndio wakati ambapo dhana ya Marekani kuwa dola lenye nguvu za kipekee ilikumbana na ukweli halisi." </description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 14:26:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatibua mpango wa Trump kuhusu Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138188-iran_yatibua_mpango_wa_trump_kuhusu_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1563be35232pbyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138188-iran_yatibua_mpango_wa_trump_kuhusu_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Iran imevuruga mipango ya Rais wa Marekani, Donald Trump, si tu katika nyanja za uchumi, siasa na masuala ya kijeshi kufuatia mvutano kati ya pande hizo mbili, bali pia katika mradi unaohusiana na Kombe la Dunia FIFA 2026.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 12:05:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump ataka kufichwa picha za vituo vya Marekani vilivyoharibiwa na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138186-trump_ataka_kufichwa_picha_za_vituo_vya_marekani_vilivyoharibiwa_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4a4b92c7d92pbym.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138186-trump_ataka_kufichwa_picha_za_vituo_vya_marekani_vilivyoharibiwa_na_iran </guid>  
      <description>Donald Trump, Rais wa Marekani, amezitaka kampuni za satalaiti kuficha picha za vituo na kambi za kijeshi za Marekani zilizoharibiwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Asia ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:51:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sudan yazituhumu Imarati na Ethiopia kushambulia uwanja wa ndege wa Khartoum</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138184-sudan_yazituhumu_imarati_na_ethiopia_kushambulia_uwanja_wa_ndege_wa_khartoum</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6076f7c0fd2pbyc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138184-sudan_yazituhumu_imarati_na_ethiopia_kushambulia_uwanja_wa_ndege_wa_khartoum </guid>  
      <description>Sudan leo Jumanne imrudisha nyumbani balozi wake nchini Ethiopia kwa mashauriano na kuzituhutumu Ethiopia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa zimehusika na mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (droni) katika uwanja wa ndege wa Khartoum.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:43:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Ajali ya ndege ya China mwaka 2022 iliyoua watu 132 huwenda ilikuwa ya makusudi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138182-ripoti_ajali_ya_ndege_ya_china_mwaka_2022_iliyoua_watu_132_huwenda_ilikuwa_ya_makusudi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1cd92f95112pbya.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138182-ripoti_ajali_ya_ndege_ya_china_mwaka_2022_iliyoua_watu_132_huwenda_ilikuwa_ya_makusudi </guid>  
      <description>Televisheni ya CNN imeripoti kuwa, ikiwa imepita zaidi ya miaka minne baada ya ndege ya abiria ya Boeing 737-800 kuanguka mlimani kusini mwa China na kuua watu wote 132 waliokuwa ndani yake, data iliyotolewa hivi karibuni "imeashiria kwambs upo uwezekano mtu aliyekuwa katika chumba cha marubani alizima usambazaji wa mafuta katika injini kwa makusudi.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:41:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138180-palestina_yajibu_hatua_ya_rais_wa_fifa_yasema_wanasoka_566_wa_wameuawa_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7414b859402pby6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138180-palestina_yajibu_hatua_ya_rais_wa_fifa_yasema_wanasoka_566_wa_wameuawa_na_israel </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Palestina limechapisha ripoti kuhusu mauaji ya wachezaji wa mpira wa miguu na uharibifu wa miundombinu ya soka uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:38:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshukiwa wa jaribio la mauaji apigwa risasi karibu na Ikulu ya White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138178-mshukiwa_wa_jaribio_la_mauaji_apigwa_risasi_karibu_na_ikulu_ya_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8bcc9002192pby2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138178-mshukiwa_wa_jaribio_la_mauaji_apigwa_risasi_karibu_na_ikulu_ya_white_house </guid>  
      <description>Maafisa wa serikali ya Marekani wamesema kwamba maajenti wa Huduma za Siri (Secret Service) wamempiga risasi na kumjeruhi mwanaume aliyekuwa na silaha katikati mwa jiji la Washington, D.C., karibu na Mnara wa Washington siku ya Jumanne, na kusababisha kufungwa kwa muda Ikulu ya White House.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:36:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa kijeshi Mali achukua nafasi ya waziri wa ulinzi aliyeuawa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138176-kiongozi_wa_kijeshi_mali_achukua_nafasi_ya_waziri_wa_ulinzi_aliyeuawa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2045a6f0e22pby0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138176-kiongozi_wa_kijeshi_mali_achukua_nafasi_ya_waziri_wa_ulinzi_aliyeuawa </guid>  
      <description>Kiongozi wa kijeshi wa Mali, Assimi Goita, atachukua wadhifa mwingine wa Waziri wa Ulinzi, kwa mujibu wa dikrii iliyotangazwa kufuatia kuuawa waziri wa wizara hiyo katika mashambulizi makubwa ya hivi karibuni nchini humo.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:30:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Matukio ya Hormuz yadhihirisha kuwa suluhisho la kijeshi halipo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138174-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_matukio_ya_hormuz_yadhihirisha_kuwa_suluhisho_la_kijeshi_halipo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxecdf47b5d42pbrc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138174-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_matukio_ya_hormuz_yadhihirisha_kuwa_suluhisho_la_kijeshi_halipo </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyed Abbas Araghchi, amesema kuwa matukio ya karibuni katika Mlango wa Bahari wa Hormuz yameweka wazi tena kwamba hakuna suluhisho la kijeshi kwa mgogoro wa kisiasa unaoikumba kanda ya Asia Magharibi, akisisitiza upya sera ya Jamhuri ya Kiislamu ya kufuatilia diplomasia kutoka katika nafasi ya nguvu.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 05:42:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Kisunni watoa wito wa msaada wa ulimwengu kwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138172-viongozi_wa_kisunni_watoa_wito_wa_msaada_wa_ulimwengu_kwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx37f4af82412pbsg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138172-viongozi_wa_kisunni_watoa_wito_wa_msaada_wa_ulimwengu_kwa_iran </guid>  
      <description>Wanazuoni wa Kisunni kutoka pembe zote za dunia wamehimiza umoja wa Kiislamu na kutoa wito wa kuungwa mkono kwa Iran, katika kongamano la kipekee lililofanyika Jumatatu asubuhi chini ya uratibu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu yenye makao yake Tehran.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 05:39:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema  “tamaa isiyo na mwisho ya Marekani haina mipaka”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138170-iran_yasema_tamaa_isiyo_na_mwisho_ya_marekani_haina_mipaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx62155e2df62pbrg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138170-iran_yasema_tamaa_isiyo_na_mwisho_ya_marekani_haina_mipaka </guid>  
      <description>Iran imesema kuwa Marekani haijaacha mwenendo wake wa madai kupita kiasi na tamaa isiyo na kikomo, ikithibitisha kuwa imepokea jibu la watawala wa Washington  kuhusu pendekezo la Iran la mpango wa pointi 14 unaohusu mazungumzo ya pande zote, yenye lengo la kusitisha vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 05:33:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uungaji Mkono wa Ulaya kwa Jinai za Israel Umekuwa na Matokeo Gani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138168-uungaji_mkono_wa_ulaya_kwa_jinai_za_israel_umekuwa_na_matokeo_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9ae03e74d22pbo8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138168-uungaji_mkono_wa_ulaya_kwa_jinai_za_israel_umekuwa_na_matokeo_gani </guid>  
      <description>Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametoa indhari kali akisema, nchi za Ulaya zinazizoesha jamii zao sera za kikatili za Israel, yakiwa ni matokeo ya kuendeleza uhusiano na ushirikiano wa kijeshi na kibiashara na utawala huo wa kizayuni licha ya kuwa unakabiliwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari katika mahakama za kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 12:50:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meli ya kijeshi ya Marekani yapigwa kwa makombora mawili baada ya kupuuza onyo la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138166-meli_ya_kijeshi_ya_marekani_yapigwa_kwa_makombora_mawili_baada_ya_kupuuza_onyo_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb8062acdef2pbmq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138166-meli_ya_kijeshi_ya_marekani_yapigwa_kwa_makombora_mawili_baada_ya_kupuuza_onyo_la_iran </guid>  
      <description>Shirika la Habari la Fars limetangaza kuwa, meli ya Jeshi la Wanamaji la Marekani imepigwa kwa makombora mawili baada ya kupuuza onyo la Jeshi la Majini la Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 11:52:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawanyonga magaidi watatu wa Mossad waliopatikana na hatia ya kuwauwa askari usalama katika ghasia za Mashhad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138164-iran_yawanyonga_magaidi_watatu_wa_mossad_waliopatikana_na_hatia_ya_kuwauwa_askari_usalama_katika_ghasia_za_mashhad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfcbabe64782pbly.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138164-iran_yawanyonga_magaidi_watatu_wa_mossad_waliopatikana_na_hatia_ya_kuwauwa_askari_usalama_katika_ghasia_za_mashhad </guid>  
      <description>Watu watatu waliopatikana na hatia ya kuhusika katika ghasia na machafuko makubwa, mashambulizi dhidi ya askari usalama, na kuwa na uhusiano na Shirika la Ujasusi la Israel (Mossad) wamenyongwa katika mkoa wa Khorasan Razavi, kaskazini mashariki mwa Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:33:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>John Mearsheimer: Vita dhidi ya Iran ni kushindwa mutlaki Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138162-john_mearsheimer_vita_dhidi_ya_iran_ni_kushindwa_mutlaki_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8f8975dd2f2pbi0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138162-john_mearsheimer_vita_dhidi_ya_iran_ni_kushindwa_mutlaki_marekani </guid>  
      <description>Mnadharia wa mahusiano ya kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amevitaja vita dhidi ya Iran kuwa ni kosa lenye janga kubwa zaidi katika historia ya sera za kigeni na kushindwa kabisa kwa Marekani.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:28:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yatwanga maeneo mbalimbali ya Israel katika oparesheni 11 za droni na makombora </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138160-hizbullah_yatwanga_maeneo_mbalimbali_ya_israel_katika_oparesheni_11_za_droni_na_makombora</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx58143544a52pblw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138160-hizbullah_yatwanga_maeneo_mbalimbali_ya_israel_katika_oparesheni_11_za_droni_na_makombora </guid>  
      <description>Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa imefanya operesheni 11 dhidi ya maeneo mbalimbali ya Israel, kwa kutumia ndege zisizo na rubani, makombora na mizinga katika mshambulizi yake mtawalia. </description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:27:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Polisi Kenya yathibitisha vifo vya watu 18 katika maporomoko ya ardhi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138158-polisi_kenya_yathibitisha_vifo_vya_watu_18_katika_maporomoko_ya_ardhi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8cd3f7b4ad2pbls.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138158-polisi_kenya_yathibitisha_vifo_vya_watu_18_katika_maporomoko_ya_ardhi </guid>  
      <description>Huduma ya Polisi ya Kenya Jumapili ilithibitisha kupoteza maisha watu 18 kufuatia maporomoko ya udongo na mafuriko huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha katika maeneo kadhaa ya nchi hiyo, na kulazimisha familia nyingi kuhama makazi yao. </description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:25:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Shirikisho la Soka Iran akataa simu ya Waziri Mkuu wa Canada baada ya kutendewa vibaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138156-mkuu_wa_shirikisho_la_soka_iran_akataa_simu_ya_waziri_mkuu_wa_canada_baada_ya_kutendewa_vibaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx078316dd122pblq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138156-mkuu_wa_shirikisho_la_soka_iran_akataa_simu_ya_waziri_mkuu_wa_canada_baada_ya_kutendewa_vibaya </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirikisho la Soka la Iran, Mehdi Taj, amekataa ombi la maafisa wa Canada la kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mark Carney baada ya wajumbe wa Iran kuvunjiwa heshima na maafisa wa mpaka wa Canada.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:21:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwandishi wa habari wa Marekani amwita Trump "mateka wa Netanyahu"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138154-mwandishi_wa_habari_wa_marekani_amwita_trump_mateka_wa_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfa202e1b5d2pbgk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138154-mwandishi_wa_habari_wa_marekani_amwita_trump_mateka_wa_netanyahu </guid>  
      <description>Mchambuzi wa Marekani, Tucker Carlson amemtaja Donald Trump kama mtu anayedhibitiwa kwa mbali na mateka wa Waziri Mkuu wa Israel katika vita vya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:19:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yaifanya Gaza kuwa mahali hatari zaidi duniani kwa wanahabari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138152-israel_yaifanya_gaza_kuwa_mahali_hatari_zaidi_duniani_kwa_wanahabari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa21ebdd2922pblm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138152-israel_yaifanya_gaza_kuwa_mahali_hatari_zaidi_duniani_kwa_wanahabari </guid>  
      <description>Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu imetangaza Jumapili kuwa Gaza imegeuka kuwa sehemu hatari kuliko zote duniani kwa wanahabari, huku angalau wafanyakazi 295 wa vyombo vya habari wakithibitishwa kuuawa katika mashambulizi ya Israel tangu kuanza kwa vita Oktoba 2023.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 09:52:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laapa kulenga vikosi vya kigeni vitakavyokaribia Mlango wa Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138150-jeshi_la_iran_laapa_kulenga_vikosi_vya_kigeni_vitakavyokaribia_mlango_wa_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfdc0005f082pbks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138150-jeshi_la_iran_laapa_kulenga_vikosi_vya_kigeni_vitakavyokaribia_mlango_wa_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Kamanda wa kitengo cha juu zaidi cha uendeshaji wa operesheni za kijeshi cha Iran ameonya kuwa majeshi ya Iran yatalenga vikosi vyovyote vya kigeni, hasa vile vya Jeshi la Marekani, vitakavyojaribu kukaribia au kuingia katika Mlango wa Bahari wa Hormuz, njia nyeti ya kimkakati ya baharini.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 09:45:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askari wa Marekani watoweka wakati wa mazoezi ya kijeshi Morocco </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138148-askari_wa_marekani_watoweka_wakati_wa_mazoezi_ya_kijeshi_morocco</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx11e0e013172pbl8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138148-askari_wa_marekani_watoweka_wakati_wa_mazoezi_ya_kijeshi_morocco </guid>  
      <description>Askari wawili wa Jeshi la Marekani waliokuwa wakishiriki katika mazoezi ya kijeshi karibu na mji mmoja kusini-magharibi mwa Morocco wameripotiwa kutoweka, na hadi sasa hawajulikani waliko.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 09:37:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi dhidi ya khatibu wa Haram ya Bibi Zainab (AS)</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138146-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_kigaidi_dhidi_ya_khatibu_wa_haram_ya_bibi_zainab_(as)</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx20f764946d2pbeu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138146-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_kigaidi_dhidi_ya_khatibu_wa_haram_ya_bibi_zainab_(as) </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea katika eneo la Sayyida Zainab mjini Damascus, ambalo limepelekea kuuawa shahidi Sayyid Farhan Hassan Al‑Mansour, mmoja wa wanazuoni wa Kiislamu na khatibu wa Ijumaa katika Haram ya Bibi Zainab (AS).</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:47:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Majigambo ya Trump kuhusu uharamia ni ‘kukiri wazi’ jinai </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138142-iran_majigambo_ya_trump_kuhusu_uharamia_ni_kukiri_wazi’_jinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4e8462a6532p7ro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138142-iran_majigambo_ya_trump_kuhusu_uharamia_ni_kukiri_wazi’_jinai </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imejibu kauli za Rais wa Marekani Donald Trump, ambaye amejigamba kuwa Jeshi la Wanamaji la Marekani limetekeleza operesheni “kama maharamia” katika mzingiro wa baharini usio halali dhidi ya meli na bandari za Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:28:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Hakuna dola linaloweza kudhoofisha azma ya taifa la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138144-irgc_hakuna_dola_linaloweza_kudhoofisha_azma_ya_taifa_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx436cf4a74c2pbes.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138144-irgc_hakuna_dola_linaloweza_kudhoofisha_azma_ya_taifa_la_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limelishukuru taifa la Iran kwa kusimama kidete kuilinda nchi na msimamo wake imara wa Kiislamu kupitia maandamano ya kuonyesha umoja na mshikamano nchini. </description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:42:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Utekaji wa wanaharakati wa msafara wa misaada Gaza ni ‘ugaidi wa kimataifa’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138140-irgc_utekaji_wa_wanaharakati_wa_msafara_wa_misaada_gaza_ni_ugaidi_wa_kimataifa’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe5b9c23a8b2pb9e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138140-irgc_utekaji_wa_wanaharakati_wa_msafara_wa_misaada_gaza_ni_ugaidi_wa_kimataifa’ </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) la Iran amelaani vikali hatua ya vikosi vya jeshi la utawala haramu wa Israel kuzuia kwa nguvu meli za Msafara wa Global Sumud zilizokuwa zikipeleka misaada ya kibinadamu Gaza.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:25:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema: 'Mpira uko upande wa Marekani' yawasilisha mapendekezo kwa wapatanishi ili kukomesha vita vya US na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138138-iran_yasema_'mpira_uko_upande_wa_marekani'_yawasilisha_mapendekezo_kwa_wapatanishi_ili_kukomesha_vita_vya_us_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxce19c3743e2pbeo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138138-iran_yasema_'mpira_uko_upande_wa_marekani'_yawasilisha_mapendekezo_kwa_wapatanishi_ili_kukomesha_vita_vya_us_na_israel </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Sheria na Kimataifa ameweka wazi msimamo rasmi wa Iran kuhusu  juhudi zinazoendelea kufanywa kwa ajili ya kufikiwa mapatano na Marekani. </description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:25:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Ukatili uliopangwa wa walowezi wa Israel dhidi ya Wakristo umefikia kiwango cha juu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138136-ripoti_ukatili_uliopangwa_wa_walowezi_wa_israel_dhidi_ya_wakristo_umefikia_kiwango_cha_juu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd272a4fd7f2pbem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138136-ripoti_ukatili_uliopangwa_wa_walowezi_wa_israel_dhidi_ya_wakristo_umefikia_kiwango_cha_juu </guid>  
      <description>Ukatili uliopangwa unaofanywa na walowezi Waisraeli dhidi ya Wakristo na jamii zisizo za Kiyahudi katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu umeongezeka kwa kiasi kikubwa.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:22:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Takwa la kukabidhi silaha ni kisingizio cha Israel cha kukwepa wajibu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138134-hamas_takwa_la_kukabidhi_silaha_ni_kisingizio_cha_israel_cha_kukwepa_wajibu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7f1c58aa3e2pbek.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138134-hamas_takwa_la_kukabidhi_silaha_ni_kisingizio_cha_israel_cha_kukwepa_wajibu </guid>  
      <description>Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Hamas, Mohammed Nazzal, amesema kuwa ombi la kukabidhiwa silaha za harakati hiyo ni kisingizio kinachotumiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kukwepa utekelezaji wa majukumu yake.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:22:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya Ghana, Nigeria pia yamwita balozi wa Afrika Kusini kuhusu mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138132-baada_ya_ghana_nigeria_pia_yamwita_balozi_wa_afrika_kusini_kuhusu_mashambulizi_ya_chuki_dhidi_ya_wageni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd6ffe3f2002pbei.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138132-baada_ya_ghana_nigeria_pia_yamwita_balozi_wa_afrika_kusini_kuhusu_mashambulizi_ya_chuki_dhidi_ya_wageni </guid>  
      <description>Wimbi jipya la mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni, linalowalenga wahamiaji wa Kiafrika na biashara zao huko Afrika Kusini linatishia kuteteresha uhusiano wa nchi hiyo na nchi nyingine za Afrika. </description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:15:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Chanjo ya Malaria yaonyesha matumaini kwa watoto wa Cameroon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138130-who_chanjo_ya_malaria_yaonyesha_matumaini_kwa_watoto_wa_cameroon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8c856b42582pbee.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138130-who_chanjo_ya_malaria_yaonyesha_matumaini_kwa_watoto_wa_cameroon </guid>  
      <description>Baadhi ya akina mama nchini Cameroon wamesema kuwa wameshuhudia maboresho makubwa katika afya za watoto wao baada ya kutolewa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa malaria.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:10:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muda wa Kuondolewa Vituo vya Kijeshi vya Marekani Barani Ulaya Umeshaanza Rasmi? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138128-muda_wa_kuondolewa_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_barani_ulaya_umeshaanza_rasmi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa740204072pbe8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138128-muda_wa_kuondolewa_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_barani_ulaya_umeshaanza_rasmi </guid>  
      <description>Wizara ya vita ya Marekani Pentagon imetangaza rasmi kuwa, itawaondoa wanajeshi 5,000 wa nchi hiyo walioko Ujerumani; uamuzi ambao utatekelezwa ndani ya muda wa miezi sita hadi kumi na mbili ijayo. </description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 09:56:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Marekani Ilivyokosa Kuwa na Mkakati Unaoeleweka Katika Kuamiliana na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138126-namna_marekani_ilivyokosa_kuwa_na_mkakati_unaoeleweka_katika_kuamiliana_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf06b9268702pb9k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138126-namna_marekani_ilivyokosa_kuwa_na_mkakati_unaoeleweka_katika_kuamiliana_na_iran </guid>  
      <description>Naibu waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani, Wendy Sherman, amekosoa namna serikali ya Donald Trump inavyosimamia suala la vita dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, Washington haina mkakati unaoeleweka, wala mwenendo wa uchukuaji maamuzi ulioratibika, na kwamba mgogoro wa sasa hautatatuka pasi na kuirejea tena diplomasia. </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 17:45:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la Utawala wa Kizayuni Dhidi ya Msafara wa Meli wa Sumud; Mijibizo, Jumbe na Matokeo Yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138124-shambulio_la_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_msafara_wa_meli_wa_sumud_mijibizo_jumbe_na_matokeo_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe5b9c23a8b2pb9e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138124-shambulio_la_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_msafara_wa_meli_wa_sumud_mijibizo_jumbe_na_matokeo_yake </guid>  
      <description>Wanajeshi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameushambulia msafara wa Sumud wa meli za kimataifa na kuzuia kupelekwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro na utawala wa kizayuni wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 17:19:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Manowari kubwa na ya kisasa zaidi ya Marekani yaondoka kwa fedheha katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138122-manowari_kubwa_na_ya_kisasa_zaidi_ya_marekani_yaondoka_kwa_fedheha_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc315c6251c2pb7u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138122-manowari_kubwa_na_ya_kisasa_zaidi_ya_marekani_yaondoka_kwa_fedheha_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>USS Gerald R. Ford, meli kubwa zaidi ya kivita na ya gharama ya juu kuwahi kuundwa na Marekani, imelazimika kujiondoa kutoka ukanda wa Asia Magharibi baada ya siku 309 za operesheni endelevu baharini, ikiwa katika jukumu la kuunga mkono vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 11:34:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Kikristo wamlaani Muisraeli aliyemshambulia mtawa wa kike katika mji wa al-Quds</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138120-viongozi_wa_kikristo_wamlaani_muisraeli_aliyemshambulia_mtawa_wa_kike_katika_mji_wa_al_quds</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx43adc2f2a12pb7o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138120-viongozi_wa_kikristo_wamlaani_muisraeli_aliyemshambulia_mtawa_wa_kike_katika_mji_wa_al_quds </guid>  
      <description>Malalamiko yameendelea kumiminika baada ya Muisraeli mwenye misimamo mikali kumshambulia mtawa wa kike raia wa Kifaransa, huku Waisraeli Wazayuni wakishadidisha mashambulizi dhidi ya Waislamu na Wakristo pamoja na maeneo matakatifu katika ardhi za Palestina zinazokoloniwa na utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 11:30:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Iran iko tayari kukabiliana na tishio au uovu wowote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138116-araghchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_tishio_au_uovu_wowote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx800c9eb25f2pb7m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138116-araghchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_tishio_au_uovu_wowote </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa jeshi la Iran liko katika hali ya utayari kamili kulinda mamlaka na heshima ya taifa dhidi ya tishio au uchokozi wa aina yoyote.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 11:22:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbunge wa Marekani asema Trump ni mtendajinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138114-mbunge_wa_marekani_asema_trump_ni_mtendajinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa3f79463182pb3m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138114-mbunge_wa_marekani_asema_trump_ni_mtendajinai </guid>  
      <description>Mbunge wa chama cha Democratic wa Marekani amemtaja Donald Trump Rais wa nchi hiyo kuwa ni mhalifu mtendajinai.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 10:02:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei ajibu madai ya Marekani: Hujuma dhidi ya Iran ni uchokozi, si hatua ya kujilinda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138112-baqaei_ajibu_madai_ya_marekani_hujuma_dhidi_ya_iran_ni_uchokozi_si_hatua_ya_kujilinda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf20961efe62pb3s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138112-baqaei_ajibu_madai_ya_marekani_hujuma_dhidi_ya_iran_ni_uchokozi_si_hatua_ya_kujilinda </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu madai ya Marekani kwamba iliingia vitani na Iran kwa ajili ya "kujilinda," akisisitiza kuwa: Hakukuwa na hatua yoyote ya kijeshi kutoka upande wa Iran dhidi ya Marekani, na kwa hivyo shambulio la kijeshi la Marekani dhidi ya Iran lilikuwa kitendo cha uchokozi.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 10:00:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138110-uchunguzi_mpya_wa_cnn_kambi_nyingi_za_marekani_asia_magharibi_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx10bc682fcd2pb6a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138110-uchunguzi_mpya_wa_cnn_kambi_nyingi_za_marekani_asia_magharibi_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 09:57:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Palestina akataa ombi la rais wa FIFA la kupiga picha na Muisraeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138108-mwakilishi_wa_palestina_akataa_ombi_la_rais_wa_fifa_la_kupiga_picha_na_muisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaff768b6932pb68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138108-mwakilishi_wa_palestina_akataa_ombi_la_rais_wa_fifa_la_kupiga_picha_na_muisraeli </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirikisho la Soka la Palestina amekataa ombi la rais wa FIFA, Gianni Infantino la kupiga picha na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 09:54:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa zamani wa Kongo DR alaani vikwazo vya Marekani, asema si halali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138106-rais_wa_zamani_wa_kongo_dr_alaani_vikwazo_vya_marekani_asema_si_halali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf2930f44d52pb5y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138106-rais_wa_zamani_wa_kongo_dr_alaani_vikwazo_vya_marekani_asema_si_halali </guid>  
      <description>Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila, amelaani vikwazo vya Marekani dhidi yake kwa madai ya kuwaunga mkono waasi wa AFC/M23 mashariki mwa Kongo na kuvitaja kuwa "visivyo halali na vya matashi ya kisiasa."</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 09:42:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Mudhamu: Taifa la Iran litamshinda adui katika nyuga za kiuchumi na kiutamaduni baada ya ushindi katika vita vya kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138104-kiongozi_mudhamu_taifa_la_iran_litamshinda_adui_katika_nyuga_za_kiuchumi_na_kiutamaduni_baada_ya_ushindi_katika_vita_vya_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9cf46024c52payk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138104-kiongozi_mudhamu_taifa_la_iran_litamshinda_adui_katika_nyuga_za_kiuchumi_na_kiutamaduni_baada_ya_ushindi_katika_vita_vya_kijeshi </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameapa kuwa taifa la Iran litamshinda pia adui katika nyanja za kiutamaduni na kiuchumi baada ya kupata ushindi katika medani ya vita vya kijeshi.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 09:26:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti Mkuu wa Russia: Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za shetani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138102-mufti_mkuu_wa_russia_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kusimama_pamoja_na_iran_dhidi_ya_njama_za_shetani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7fe0478d9b2pb50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138102-mufti_mkuu_wa_russia_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kusimama_pamoja_na_iran_dhidi_ya_njama_za_shetani </guid>  
      <description>Mufti Mkuu na Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Russia ameeleza kuwa, Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na akasema: "Iwapo Waislamu watakuwa na umoja na mshikamano, kambi ya shetani haiwezi kamwe kurudia uchokozi dhidi ya Gaza, Syria, Iran na Lebanon."</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:41:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripota Maalumu wa UN ataka Israel iwajibishwe kwa kukamata meli za Samood Frotila</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138100-ripota_maalumu_wa_un_ataka_israel_iwajibishwe_kwa_kukamata_meli_za_samood_frotila</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3b30e1ded22pb1u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138100-ripota_maalumu_wa_un_ataka_israel_iwajibishwe_kwa_kukamata_meli_za_samood_frotila </guid>  
      <description>Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu, ametoa wito kwa Ulaya kuchukua hatua za haraka baada ya utawala ghasibu wa Israel kuzuia na  kukamata meli za misaada ya kibinadamu zinazojulikana kama Samood Flotilla zilizokuwa zikielekea Ukanda wa Gaza huko Palestina kwa ajili ya kuvunja mzingio wa kikatili wa utawala huo.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:33:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbunge wa Kongresi: Ni mwehu anayedai Marekani imeshinda vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138098-mbunge_wa_kongresi_ni_mwehu_anayedai_marekani_imeshinda_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7cdc3e8f2d2pb4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138098-mbunge_wa_kongresi_ni_mwehu_anayedai_marekani_imeshinda_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mwakilishi wa cha cha Democratic wa California katika Kongresi ya Marekani, Sara Jacobs, amemkosoa vikali Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth kwa kutangaza ushindi dhidi ya Iran, akitaja madai hayo kuwa ni udanganyifu. </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:31:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mipaka yetu ni mirefu kuliko kuta mbili kote Marekani: Spika Qalibaf akejeli mzingiro wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138096-mipaka_yetu_ni_mirefu_kuliko_kuta_mbili_kote_marekani_spika_qalibaf_akejeli_mzingiro_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb83fe7bbd22pb36.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138096-mipaka_yetu_ni_mirefu_kuliko_kuta_mbili_kote_marekani_spika_qalibaf_akejeli_mzingiro_wa_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amekejeli mzingiro wa jeshi la majini la Marekani dhidi ya Iran, akieleza kuwa mipaka mirefu ya nchi hiyo inabatilisha jaribio lolote la kuizingira Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:25:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Mali lakomboa mji wa mpakani baada ya shambulio la ISIS karibu na Niger</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138094-jeshi_la_mali_lakomboa_mji_wa_mpakani_baada_ya_shambulio_la_isis_karibu_na_niger</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbe22e858de2pb4g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138094-jeshi_la_mali_lakomboa_mji_wa_mpakani_baada_ya_shambulio_la_isis_karibu_na_niger </guid>  
      <description>Vikosi vya jeshi la Mali vimedhibiti tena mji wa karibu na mpaka wa nchi hiyo na Niger baada ya wanamgambo wanaohusishwa na ISIS kuondoka katika eneo hilo kufuatia mapigano makali, wakati jeshi likiimarisha doria kwenye maeneo hayo.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:23:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yapewa kichapo Lebanon, wanajeshi wasiopungua 2 wauawa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138092-israel_yapewa_kichapo_lebanon_wanajeshi_wasiopungua_2_wauawa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx57b80115b82pb3g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138092-israel_yapewa_kichapo_lebanon_wanajeshi_wasiopungua_2_wauawa </guid>  
      <description>Wanajeshi wasiopungua wawili wa Israel wameuawa na wengine zaidi ya 27 kujeruhiwa katika mashambulizi kadhaa ya ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah kusini mwa Lebanon, huku Israel ikiitonya Washington kwamba uwezo wake wa kukabiliana na harakati ya mapambano ya Lebanon unakaribia kusambaratika.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:21:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tumekataa majaribio ya kulazimisha masuluhisho kutoka nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138090-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_sudan_tumekataa_majaribio_ya_kulazimisha_masuluhisho_kutoka_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx144bfd53d42pb4c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138090-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_sudan_tumekataa_majaribio_ya_kulazimisha_masuluhisho_kutoka_nje </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan, Mohi El-Din Salem, amefichua kwamba serikali ya nchi yake itafanya tathmini ya uhusiano wake wa kimataifa na kikanda baada ya vita, na hautakuwa sawa na hapo awali. Amesema kuwa wizara yake imezuia majaribio ya kulazimisha masuluhisho ya kigeni kwa nchi yake na haitakubali mashinikizo ya aina yoyote.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:18:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Manowari za Marekani zitateketea ikiwa Iran itashambuliwa tena</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138088-irgc_manowari_za_marekani_zitateketea_ikiwa_iran_itashambuliwa_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfe298dd5ec2paz8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138088-irgc_manowari_za_marekani_zitateketea_ikiwa_iran_itashambuliwa_tena </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Seyyed Majid Mousavi, amesema Iran itajibu uchokozi wowote wa adui kwa mashambulizi ya muda mrefu na yenye kuumiza, akibainisha kuwa meli za kivita za Marekani zitapata hatima sawa na vituo vya kijeshi vya Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 01 May 2026 08:16:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>