<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - discover_iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/discover_iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Sun, 09 Aug 2026 04:27:30 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi Mkuu Iran asema vikosi vya Marekani lazima viondoke Asia Magharibi, ahimiza ushirikiano wa kikanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140524-mshauri_wa_kiongozi_mkuu_iran_asema_vikosi_vya_marekani_lazima_viondoke_asia_magharibi_ahimiza_ushirikiano_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fa898d1ee92q5wq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140524-mshauri_wa_kiongozi_mkuu_iran_asema_vikosi_vya_marekani_lazima_viondoke_asia_magharibi_ahimiza_ushirikiano_wa_kikanda </guid>  
      <description>Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ali Akbar Velayati, amesema vikosi vya majeshi ya kigeni lazima viondoke Asia Magharibi, akitaja uwepo wao wa kama chanzo kikuu cha ukosefu wa usalama na utulivu katika eneo hilo.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:19:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malaysia na Indonesia zasisitiza kuunga mkono Palestina na maeneo matakatifu Baytul-Muqaddas</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140522-malaysia_na_indonesia_zasisitiza_kuunga_mkono_palestina_na_maeneo_matakatifu_baytul_muqaddas</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02ca89f67622q5wo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140522-malaysia_na_indonesia_zasisitiza_kuunga_mkono_palestina_na_maeneo_matakatifu_baytul_muqaddas </guid>  
      <description>Malaysia na Indonesia kwa mara nyingine tena zimesisitiza uungaji mkono wao kwa watu wa Palestina na kuhifadhi hadhi ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo katika Baytul-Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:17:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afrika Kusini yaadhimisha Maandamano ya Wanawake ya 1956 – mapambano ya uhuru bado yanaendelea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140520-afrika_kusini_yaadhimisha_maandamano_ya_wanawake_ya_1956_mapambano_ya_uhuru_bado_yanaendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02b64ed6ac82q5wg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140520-afrika_kusini_yaadhimisha_maandamano_ya_wanawake_ya_1956_mapambano_ya_uhuru_bado_yanaendelea </guid>  
      <description>Afrika Kusini, leo Jumapili, inaadhimisha miaka 70 tangu Maandamano ya Wanawake ya 1956, wakati wanawake wapatao 20,000 wa mbari na rangi zote walipoandamana hadi mji mkuu wa utawala, Pretoria, kupinga sheria za ubaguzi wa rangi zilizowalazimisha wanawake weusi kubeba vibali vilivyowazuia kutembea.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:01:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF yachukua hatua dhidi ya afisa anayetuhumiwa kufanya ujasusi kwa maslahi ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140518-unicef_yachukua_hatua_dhidi_ya_afisa_anayetuhumiwa_kufanya_ujasusi_kwa_maslahi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01be1a24cd32q5we.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140518-unicef_yachukua_hatua_dhidi_ya_afisa_anayetuhumiwa_kufanya_ujasusi_kwa_maslahi_ya_israel </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa amethibitisha kwamba Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) linachukua hatua dhidi ya mmoja wa wafanyakazi wake, kufuatia madai kwamba alifanya ujasusi kwa maslahi ya Israel wakati wa kazi yake ya awali katika Shirika la Idadi ya Watu la Umoja wa Mataifa.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:00:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali wa Trump anatafuta njia ya kujiondoa vitani na Iran huku machaguo ya kijeshi ya Marekani yakipungua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140516-jenerali_wa_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_vitani_na_iran_huku_machaguo_ya_kijeshi_ya_marekani_yakipungua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc038d81ccb2f2q5wc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140516-jenerali_wa_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_vitani_na_iran_huku_machaguo_ya_kijeshi_ya_marekani_yakipungua </guid>  
      <description>Mkuu wa Majeshi ya Marekani, Jenerali Daniel Caine, amewasihi maafisa wakuu wa utawala wa Trump kutafuta njia ya kupunguza vita na Iran, akionya kwamba ongezeko zaidi la mapigano ya kijeshi haliwezi kupata mafanikio makubwa na kwamba linawaweka wanajeshi wa Marekani na washirika wake katika hatari ya majibu angamizi ya Iran.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 02:57:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 9 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140514-jumapili_9_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby93238fb8c72pii0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140514-jumapili_9_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 25 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka 9 Agosti 2026 Miladia.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 02:54:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian akumbuka mashambulizi ya mabomu ya atomiki huko Hiroshima na Nagasaki, asema mtazamo uleule bado unatawala Washington</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140512-pezeshkian_akumbuka_mashambulizi_ya_mabomu_ya_atomiki_huko_hiroshima_na_nagasaki_asema_mtazamo_uleule_bado_unatawala_washington</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05c1ec58b5b2q5rs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140512-pezeshkian_akumbuka_mashambulizi_ya_mabomu_ya_atomiki_huko_hiroshima_na_nagasaki_asema_mtazamo_uleule_bado_unatawala_washington </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amelaani mashambulizi ya mabomu ya nyuklia yaliyofanywa na Marekani dhidi ya miji ya Hiroshima na Nagasaki huko Japan na kueleza kuwa mtazamo fikra zilizopelekea kufanyika mashambulizi hayo bado zipo Washington hii leo.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 13:02:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maafisa wa ngazi ya juu wa Iran wapongeza nafasi ya waandishi wa habari katika kuhami ukweli na umoja wa kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140510-maafisa_wa_ngazi_ya_juu_wa_iran_wapongeza_nafasi_ya_waandishi_wa_habari_katika_kuhami_ukweli_na_umoja_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0efdb6861f52q5rq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140510-maafisa_wa_ngazi_ya_juu_wa_iran_wapongeza_nafasi_ya_waandishi_wa_habari_katika_kuhami_ukweli_na_umoja_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Maafisa wa Iran wamewasifu na kuwapongeza waandishi wa habari kutokana na mchango wao wa kukabiliana na taarifa potofu za uhasama na vita vya kisaikolojia, na kusisitiza umuhimu wa vyombo vya habari katika kulinda uelewa wa umma na umoja wa kitaifa.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:59:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Watoto zaidi ya 300 wamefariki dunia kwa Ebola tangu kuanza mlipuko huo huko Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140508-un_watoto_zaidi_ya_300_wamefariki_dunia_kwa_ebola_tangu_kuanza_mlipuko_huo_huko_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0153bcc51ca2q5ro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140508-un_watoto_zaidi_ya_300_wamefariki_dunia_kwa_ebola_tangu_kuanza_mlipuko_huo_huko_kongo </guid>  
      <description>Watoto zaidi ya 300 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola tangu mlipuko huo uliopoikumba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Idadi hii ni kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa jana Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa, Farhan Haq.
 
</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:57:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Baraza la Usalama la UN limepoteza hadhi; maazimio yake hayana thamani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140506-ansarullah_baraza_la_usalama_la_un_limepoteza_hadhi_maazimio_yake_hayana_thamani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d8ef1cae1e2q5rm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140506-ansarullah_baraza_la_usalama_la_un_limepoteza_hadhi_maazimio_yake_hayana_thamani </guid>  
      <description>Kiongozi mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amepuzilia mbali hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kulaani mashambulizi ya makombora ya kulipiza kisasi dhidi ya Saudi Arabia na meli za kibiashara za utawala huo wa kifalme akisema kuwa chombo hicho cha kimataifa kimepoteza uhalali na hadhi yake, na maazimio yake hayana thamani yoyote.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:55:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yashambulia eneo la kutengeneza makombora na ghala la mafuta la Ukraine huko Kyiv</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140504-russia_yashambulia_eneo_la_kutengeneza_makombora_na_ghala_la_mafuta_la_ukraine_huko_kyiv</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d5cbfbb9472q5rk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140504-russia_yashambulia_eneo_la_kutengeneza_makombora_na_ghala_la_mafuta_la_ukraine_huko_kyiv </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi ya nchi hiyo vimeshambulia kituo cha kijeshi na viwanda cha Ukraine kinachotengeneza makombora ya cruise pamoja na ghala la mafuta huko Kyiv.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:50:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tabia za Marekani Kudumisha Mvutano katika uhusiano wake na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140502-tabia_za_marekani_kudumisha_mvutano_katika_uhusiano_wake_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc035f31048cd2q5ge.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140502-tabia_za_marekani_kudumisha_mvutano_katika_uhusiano_wake_na_iran </guid>  
      <description>Mwenendo wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unachochea kuendelea kwa mvutano na uhasama katika uhusiano wa Washington na Tehran.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 06:33:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, 8 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140500-jumamosi_8_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06a2a705b1c2q5k0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140500-jumamosi_8_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 24 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka 8 Agosti 2026 Miladia.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 06:00:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yayaasa mataifa ya Kiislamu: Ni wakati sasa wa sisi kujitegemea, kuwa na udugu wa kweli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140498-iran_yayaasa_mataifa_ya_kiislamu_ni_wakati_sasa_wa_sisi_kujitegemea_kuwa_na_udugu_wa_kweli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fd4f9ad9bc2q5ik.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140498-iran_yayaasa_mataifa_ya_kiislamu_ni_wakati_sasa_wa_sisi_kujitegemea_kuwa_na_udugu_wa_kweli </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito wa kuwepo muunganiko na ushirikiano mkubwa wa kikanda, ikitilia mkazo udharura wa mataifa ya eneo kutegemea uwezo wao wa kikanda ili kuondoa uingiliaji wa kigeni.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 03:26:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Telegraph: Vita dhidi ya Iran vinaweza vikawa moja ya makosa ya kihistoria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140496-telegraph_vita_dhidi_ya_iran_vinaweza_vikawa_moja_ya_makosa_ya_kihistoria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0991be607072q5ii.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140496-telegraph_vita_dhidi_ya_iran_vinaweza_vikawa_moja_ya_makosa_ya_kihistoria </guid>  
      <description>Gazeti la Telegraph linalochapishwa nchini Uingereza limekiri katika ripoti yake kwamba Marekani na Israel zimeshindwa katika vita, huku Iran ikiwa imeibuka mshindi, na kwamba vita hivi vinaweza kuwa tukio muhimu sana la kupelekea kupungua satua na ushawishi wa Marekani duniani.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 03:24:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan zasaini mkataba wa pamoja wa ulinzi huku nguvu ya Marekani ikipungua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140494-uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_zasaini_mkataba_wa_pamoja_wa_ulinzi_huku_nguvu_ya_marekani_ikipungua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d274a141242q5hq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140494-uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_zasaini_mkataba_wa_pamoja_wa_ulinzi_huku_nguvu_ya_marekani_ikipungua </guid>  
      <description>Saudi Arabia imesaini makubaliano ya pamoja ya ulinzi kati yake na Uturuki Pakistan kwa lengo la kuimarisha usalama wa pamoja na ushirikiano wa kijeshi huku nguvu za kijeshi za Marekani zikipungua katika eneo hili. </description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 02:47:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakulima wa Kenya wakanusha madai ya matumizi ya sianidi baada ya tembo 15 kufa huko Amboseli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140492-wakulima_wa_kenya_wakanusha_madai_ya_matumizi_ya_sianidi_baada_ya_tembo_15_kufa_huko_amboseli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc07d1a94a2a12q5ig.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140492-wakulima_wa_kenya_wakanusha_madai_ya_matumizi_ya_sianidi_baada_ya_tembo_15_kufa_huko_amboseli </guid>  
      <description>Wakulima wanaopakana na Hifadhi ya Taifa ya Amboseli nchini Kenya wamekanusha kutumia sianidi baada ya tembo 15 kufariki dunia baada ya kudaiwa kuwa tembo hao wamekufa kutokana na sumu hiyo. </description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 02:46:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mlipuko wa Ebola Kongo wapindukia maambukizi 4,000 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140490-mlipuko_wa_ebola_kongo_wapindukia_maambukizi_4_000</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc054373c65a72q5ie.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140490-mlipuko_wa_ebola_kongo_wapindukia_maambukizi_4_000 </guid>  
      <description>Idadi ya kesi za Ebola zilizothibitishwa hadi kufikia jana Ijumaa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zilikuwa zimepindukia 4,000 huku maeneo ya afya yaliyoathirika yakiongezeka.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 02:43:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi mapya ya Yemen yaangamiza mamluki wa Saudia wasiopungua 58 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140488-mashambulizi_mapya_ya_yemen_yaangamiza_mamluki_wa_saudia_wasiopungua_58</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00259ff306c2q5fs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140488-mashambulizi_mapya_ya_yemen_yaangamiza_mamluki_wa_saudia_wasiopungua_58 </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimefanya operesheni kubwa iliyozilenga ngome za kijeshi na vituo vikuu vya kamanda za kijeshi zilizokuwa zikisimamiwa na mamluki wanaoungwa mkono na Saudi Arabia nchini humo.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 13:41:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Mossad awatimua maafisa wawili wakuu kwa kufeli mpango wa kuipindua serikali ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140486-mkuu_wa_mossad_awatimua_maafisa_wawili_wakuu_kwa_kufeli_mpango_wa_kuipindua_serikali_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0531e9bfbea2q5fi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140486-mkuu_wa_mossad_awatimua_maafisa_wawili_wakuu_kwa_kufeli_mpango_wa_kuipindua_serikali_ya_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa shirika la ujasusi na ugaidi la utawala wa kizayuni wa Israel Mossad, Roman Gofman, amewafukuza kazi maafisa wawili wakuu wa intelijensia baada ya kushindwa au kutotekelezwa mpango wa kuipindua serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 12:31:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wabunge wa Uganda watilia shaka uamuzi wa serikali kutaka kupeleka wanajeshi Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140484-wabunge_wa_uganda_watilia_shaka_uamuzi_wa_serikali_kutaka_kupeleka_wanajeshi_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08666ee80622q5fg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140484-wabunge_wa_uganda_watilia_shaka_uamuzi_wa_serikali_kutaka_kupeleka_wanajeshi_ghaza </guid>  
      <description>Baadhi ya wabunge wa upinzani nchini Uganda wametilia shaka uamuzi wa serikali wa kutaka kupeleka wanajeshi wa nchi hiyo huko Ukanda wa Ghaza watakaokuwa sehemu ya kikosi cha kimataifa cha kurejesha uthabiti katika eneo hilo la ardhi ya Palestina.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 12:28:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika kumbukumbu ya mwaka wa 81 tangu US ilipoishambulia Hiroshima, UN yataka silaha za nyuklia ziangamizwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140482-katika_kumbukumbu_ya_mwaka_wa_81_tangu_us_ilipoishambulia_hiroshima_un_yataka_silaha_za_nyuklia_ziangamizwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0491dd158612q5fc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140482-katika_kumbukumbu_ya_mwaka_wa_81_tangu_us_ilipoishambulia_hiroshima_un_yataka_silaha_za_nyuklia_ziangamizwe </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameonya kuwa dunia inakabiliwa na ongezeko la hatari ya matumizi ya silaha za nyuklia kutokana na kushamiri migawanyiko ya kisiasa, kutokuaminiana na mashindano ya kijeshi. </description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 12:27:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watetezi wa Palestina washinda katika uteuzi wa wagombea wa Democratic wa uchaguzi wa US</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140480-watetezi_wa_palestina_washinda_katika_uteuzi_wa_wagombea_wa_democratic_wa_uchaguzi_wa_us</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ae80664a9e2q5f8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140480-watetezi_wa_palestina_washinda_katika_uteuzi_wa_wagombea_wa_democratic_wa_uchaguzi_wa_us </guid>  
      <description>Matokeo ya uchaguzi wa mashinani wa Marekani wa kuteua wagombea wa Seneti na Baraza la Wawakilishi katika uchaguzi wa Novemba yanaonyesha ushawishi unaoongezeka wa mrengo wa chama cha Democratic unaotaka mabadiliko, ambao umeliweka suala la Palestina kwenye kitovu cha wito wake wa kisiasa.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 12:25:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa, 07 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140478-ijumaa_07_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bb4a1985062q4v4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140478-ijumaa_07_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa 23 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka na 7 Agosti 2026.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:42:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Mkakati wa Marekani wa vitisho na kuvunja ahadi umefeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140476-spika_qalibaf_mkakati_wa_marekani_wa_vitisho_na_kuvunja_ahadi_umefeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8abcbb876c2pdb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140476-spika_qalibaf_mkakati_wa_marekani_wa_vitisho_na_kuvunja_ahadi_umefeli </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, amekosoa miamala ya hivi karibuni ya Washington kama “diplomasia ya maigizo” isiyo na mashiko, akitangaza kuwa mkakati wa Marekani wa vitisho, kuvunja ahadi, na kusuka simulizi za uongo umefeli. Aidha amesisitiza  kwamba Iran haitashiriki katika michezo hiyo ya kuigiza tena.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:39:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Ulinzi: Vikosi vya Iran vimesheheni silaha za kujibu mapigo kwa tishio lolote lile</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140474-waziri_wa_ulinzi_vikosi_vya_iran_vimesheheni_silaha_za_kujibu_mapigo_kwa_tishio_lolote_lile</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02eb5839f2e2q58k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140474-waziri_wa_ulinzi_vikosi_vya_iran_vimesheheni_silaha_za_kujibu_mapigo_kwa_tishio_lolote_lile </guid>  
      <description>Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesisitiza kuwa, kwa kutegemea utaalamu wa kiulinzi wa ndani ya nchi, Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vimesheheni kila vinachohitaji ili kutoa jibu kwa tishio lolote lile.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:37:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNSC: Kundi la DAESH (ISIS) lingali ni tishio kubwa kwa usalama barani Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140472-unsc_kundi_la_daesh_(isis)_lingali_ni_tishio_kubwa_kwa_usalama_barani_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc07a51765e012q58i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140472-unsc_kundi_la_daesh_(isis)_lingali_ni_tishio_kubwa_kwa_usalama_barani_afrika </guid>  
      <description>
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetahadharisha kuwa, kundi la kigaidi la ISIS (DAESH) lingali ni tishio kubwa kwa usalama wa kimataifa licha ya operesheni za kupambana na ugaidi zilizodhoofisha uongozi wake wa juu. </description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:35:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tume ya kupambana na uhalifu wa kiuchumi Nigeria yafunga akaunti za serikali ya jimbo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140470-tume_ya_kupambana_na_uhalifu_wa_kiuchumi_nigeria_yafunga_akaunti_za_serikali_ya_jimbo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06edf46b6642q58g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140470-tume_ya_kupambana_na_uhalifu_wa_kiuchumi_nigeria_yafunga_akaunti_za_serikali_ya_jimbo </guid>  
      <description>Tume ya kupambana na uhalifu wa kiuchumi na kifedha nchini Nigeria, Economic and Financial Crimes Commission (EFCC), imeagiza kufungwa akaunti za Serikali ya Jimbo la Osun la Kusini Magharibi mwa nchi hiyo, ikieleza wasiwasi wake kuhusu fedha za umma zinazohusishwa na uchunguzi unaoendelea wa madai ya ubadhirifu wa fedha karibu Naira bilioni 11 ($8,080,000).</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:34:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya nchi 8 za Kiarabu na Kiislamu yalaani jinai za Israel Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140468-taarifa_ya_nchi_8_za_kiarabu_na_kiislamu_yalaani_jinai_za_israel_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b294c15c422q58e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140468-taarifa_ya_nchi_8_za_kiarabu_na_kiislamu_yalaani_jinai_za_israel_ghaza </guid>  
      <description>Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nane za Kiarabu na Kiislamu wametoa taarifa ya pamoja ambapo mbali na kulaani uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wamelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liulazimishe utawala huo utekeleze majukumu yake na kuwawajibisha wale wanaokiuka haki za Wapalestina.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:33:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran inajulikana kama nchi yenye nguvu na inayoheshimika; maadui wanalenga nembo za nguvu zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140466-pezeshkian_iran_inajulikana_kama_nchi_yenye_nguvu_na_inayoheshimika_maadui_wanalenga_nembo_za_nguvu_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b497b543802q52i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140466-pezeshkian_iran_inajulikana_kama_nchi_yenye_nguvu_na_inayoheshimika_maadui_wanalenga_nembo_za_nguvu_zake </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa licha ya changamoto zinazoikabili nchi, Iran inatambulika kimataifa kama taifa lenye nguvu na linaloheshimika sana, huku akitahadharisha kuwa maadui wa taifa hili wanajaribu kudhoofisha alama za nguvu zake.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:10:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Watu 8 wenye silaha wenye mfungamano na makundi ya kigaidi watiwa nguvuni kusini-mashariki mwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140464-irgc_watu_8_wenye_silaha_wenye_mfungamano_na_makundi_ya_kigaidi_watiwa_nguvuni_kusini_mashariki_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc07c8408c96d2q52g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140464-irgc_watu_8_wenye_silaha_wenye_mfungamano_na_makundi_ya_kigaidi_watiwa_nguvuni_kusini_mashariki_mwa_iran </guid>  
      <description>Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa kimewatia nguvuni watu wanane wenye silaha wenye mfungamano na makundi ya kigaidi katika mkoa wa Sistan na Baluchestan kusini-mashariki mwa Iran kufuatia oparesheni maalum mtawalia. </description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:08:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Mashambulio ya Marekani yaliua na kujeruhi mamia ya raia Yemen mwaka jana; Washington inaficha idadi kamili ya wahanga</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140462-ripoti_mashambulio_ya_marekani_yaliua_na_kujeruhi_mamia_ya_raia_yemen_mwaka_jana_washington_inaficha_idadi_kamili_ya_wahanga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00112b5d52e2q52e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140462-ripoti_mashambulio_ya_marekani_yaliua_na_kujeruhi_mamia_ya_raia_yemen_mwaka_jana_washington_inaficha_idadi_kamili_ya_wahanga </guid>  
      <description>Mashambulio ya anga ya Marekani nchini Yemen yalisababisha vifo au majeraha kwa mamia ya raia mwaka jana, hata hivyo utawala wa Trump umeficha kwa makusudi idadi kamili ya waliofariki na kushindwa kuwasilisha kwa Bunge la nchi hiyo ripoti inayohitajika kuhusu wahanga wa mashambulio hayo.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:06:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Raia zaidi ya 300 waliotekwa nyara Nigeria waokolewa katika operesheni kubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140460-raia_zaidi_ya_300_waliotekwa_nyara_nigeria_waokolewa_katika_operesheni_kubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e5f82d2fa72q52c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140460-raia_zaidi_ya_300_waliotekwa_nyara_nigeria_waokolewa_katika_operesheni_kubwa </guid>  
      <description>Nigeria imesema kuwa zaidi ya watu 300 waliotekwa nyara katika mashambulizi tofauti ya watu wenye silaha wameokolewa kupitia operesheni ya pamoja ya kiintelijensia na kiusalama.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:04:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbu vamizi azua hofu ya malaria kote barani Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140458-mbu_vamizi_azua_hofu_ya_malaria_kote_barani_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03c8965ef8d2q52a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140458-mbu_vamizi_azua_hofu_ya_malaria_kote_barani_afrika </guid>  
      <description>Aina ya mbu vamizi inayoenea kwa kasi imezua hofu kote barani Afrika, huku wanasayansi wakionya kuwa inaweza kuchochea kuibuka upya kwa ugonjwa wa malaria katika miji mikubwa.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:02:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malengo yanayofuatiliwa na Marekani katika kuzichochea nchi za Kiarabu zikabiliane na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140456-malengo_yanayofuatiliwa_na_marekani_katika_kuzichochea_nchi_za_kiarabu_zikabiliane_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f527702e642q4ww.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140456-malengo_yanayofuatiliwa_na_marekani_katika_kuzichochea_nchi_za_kiarabu_zikabiliane_na_iran </guid>  
      <description>Hata kama nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi hazitaki kuchochea mivutano katika eneo, kwa mujibu wa sera zao rasmi, lakini Marekani inajaribu kuzivuta katika makabiliano ya moja kwa moja na Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 06:43:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgawanyiko kati ya Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Kuhusu Vita vya Marekani dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140454-mgawanyiko_kati_ya_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d0dfe776312q4we.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140454-mgawanyiko_kati_ya_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa gazeti la The Wall Street Journal, nchi za Kiarabu katika eneo la Ghuba ya Uajemi bado zimegawanyika pakubwa kuhusu namna ya kushughulikia vita vya kichokozi na kulazimishwa dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 05:51:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Alkhamisi, tarehe 6 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140452-alkhamisi_tarehe_6_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bb4a1985062q4v4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140452-alkhamisi_tarehe_6_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Alkhamisi tarehe 22 Safar 1448 Hijria sawa na Agosti 6 mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 04:05:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran itaunga mkono maamuzi yatakayochukuliwa na viongozi wa Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140450-pezeshkian_iran_itaunga_mkono_maamuzi_yatakayochukuliwa_na_viongozi_wa_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0def773e4b22q4v2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140450-pezeshkian_iran_itaunga_mkono_maamuzi_yatakayochukuliwa_na_viongozi_wa_palestina </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itaunga mkono mpango au uamuzi wowote utakaopitishwa na viongozi wa Palestina katika mchakato wa mazungumzo yanayoendelea, akithibitisha tena uungaji mkono thabiti wa Tehran kwa mapambano ya Palestina.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 03:55:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump anazidi kuchanganyikiwa kuhusu ulipizaji kisasi wa Iran, amkabili Hegseth kuhusu uhaba wa silaha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140448-trump_anazidi_kuchanganyikiwa_kuhusu_ulipizaji_kisasi_wa_iran_amkabili_hegseth_kuhusu_uhaba_wa_silaha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ea4baf297c2q4v0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140448-trump_anazidi_kuchanganyikiwa_kuhusu_ulipizaji_kisasi_wa_iran_amkabili_hegseth_kuhusu_uhaba_wa_silaha </guid>  
      <description>Rais wa Marekani, Donald Trump, amezidi kukatishwa tamaa na kushindwa mara kwa mara kwa mashine ya kivita ya nchi hiyo kutokana na ulipizaji kisasi wa Iran na amemkabili Waziri wa Vita, Pete Hegseth, kuhusu uhaba wa silaha muhimu za Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 03:52:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya Ebola DRC huku maambukizi yakienea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140446-kituo_kikubwa_zaidi_cha_matibabu_ya_ebola_drc_huku_maambukizi_yakienea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00a7d3a096a2q4uw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140446-kituo_kikubwa_zaidi_cha_matibabu_ya_ebola_drc_huku_maambukizi_yakienea </guid>  
      <description>Kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kimefunguliwa wiki hii na wadau wa Umoja wa Mataifa ikiwa ni hatua inayolenga kuimarisha mwitikio dhidi ya mlipuko wa sasa wa virusi vya Ebola aina ya Bundibugyo unaoendelea kuenea kwa kasi katika jimbo la Ituri, mashariki mwa taifa hilo.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 03:50:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Interpol: Akili Mnemba (AI) inatumika katika 55% ya uhalifu wa mtandaoni barani Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140444-interpol_akili_mnemba_(ai)_inatumika_katika_55_ya_uhalifu_wa_mtandaoni_barani_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc064caee95422q4uu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140444-interpol_akili_mnemba_(ai)_inatumika_katika_55_ya_uhalifu_wa_mtandaoni_barani_afrika </guid>  
      <description>Ripoti ya karibuni ya Polisi ya Kimataifa, Interpol, kuhusu tishio la uhalifu wa mtandaoni barani Afrika kwa mwaka 2026 imetoa onyo kali kuhusu jinsi teknolojia ya Akili Mnemba (AI) inavyotumiwa kudhoofisha usalama wa kiuchumi na kijamii katika mataifa bara hilo.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 03:48:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ruto asema serikali imetekeleza ahadi ilizowapa Waislamu wa Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140442-ruto_asema_serikali_imetekeleza_ahadi_ilizowapa_waislamu_wa_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc045b4708d442q4us.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140442-ruto_asema_serikali_imetekeleza_ahadi_ilizowapa_waislamu_wa_kenya </guid>  
      <description>Rais William Ruto wa Kenya amesema serikali imetekeleza ahadi muhimu ilizotoa kwa jamii ya Waislamu wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2022. </description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 03:31:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Afya wa Iran alaani shambulio la Marekani dhidi ya uwanja wa michezo wa Lamerd Februari mwaka huu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140440-waziri_wa_afya_wa_iran_alaani_shambulio_la_marekani_dhidi_ya_uwanja_wa_michezo_wa_lamerd_februari_mwaka_huu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bdc85c49942q4p4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140440-waziri_wa_afya_wa_iran_alaani_shambulio_la_marekani_dhidi_ya_uwanja_wa_michezo_wa_lamerd_februari_mwaka_huu </guid>  
      <description>Waziri wa Afya wa Iran kwa mara nyingine tena amelaani shambulio lililofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya uwanja wa michezo katika mji wa Lamerd mwanzoni mwa mashambulizi ya nchii hiyo na utawala katili wa Israel mwezi Februari mwaka huu hapa nchini lililosababisha vifo kuwajeruhi raia kadhaa.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:20:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen lapiga meli nyingine ya mafuta ya Saudi Arabia katika Bahari Nyekundu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140438-jeshi_la_yemen_lapiga_meli_nyingine_ya_mafuta_ya_saudi_arabia_katika_bahari_nyekundu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc037bbbce3982q4oy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140438-jeshi_la_yemen_lapiga_meli_nyingine_ya_mafuta_ya_saudi_arabia_katika_bahari_nyekundu </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya mafuta ya Saudi Arabia katika sehemu ya kaskazini ya Bahari Nyekundu, baada ya meli hiyo kukiuka mzingiro wa baharini uliowekwa dhidi ya Saudi Arabia.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:14:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Marekani inazishinikiza nchi za Afrika kujiondoa ICC au kukabiliwa na madhara</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140436-ripoti_marekani_inazishinikiza_nchi_za_afrika_kujiondoa_icc_au_kukabiliwa_na_madhara</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc001a144c0a52q4oq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140436-ripoti_marekani_inazishinikiza_nchi_za_afrika_kujiondoa_icc_au_kukabiliwa_na_madhara </guid>  
      <description>Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani unazishinikiza nchi za Afrika kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) na kutishia kuzichukulia hatua, huku Washington ikiongeza kasi ya kampeni yake dhidi ya mahakama hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:13:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Africa CDC yatoa tahadhari kufuatia mlipuko wa Ebola Kongo kushindwa kudhibitiwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140434-africa_cdc_yatoa_tahadhari_kufuatia_mlipuko_wa_ebola_kongo_kushindwa_kudhibitiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b98ead91f52q4oo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140434-africa_cdc_yatoa_tahadhari_kufuatia_mlipuko_wa_ebola_kongo_kushindwa_kudhibitiwa </guid>  
      <description>Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa barani Afrika ( AFRICA CDC) kimetahadharisha kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unazidi kuwa nje ya udhibiti, huku vifo zaidi ya 1,700 vikirekodiwa ndani ya wiki 14 pekee. Hii ni katika hali ambayo juhudi za kuwafuatilia watu waliotangamana na wagonjwa zimeshindwa kudhibiti msambao wa virusi hivyo.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:10:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hukumu ya kihistoria nchini Uingereza: Kupinga Uzayuni si chuki dhidi ya Wayahudi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140432-hukumu_ya_kihistoria_nchini_uingereza_kupinga_uzayuni_si_chuki_dhidi_ya_wayahudi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a217e37dd52q4ok.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140432-hukumu_ya_kihistoria_nchini_uingereza_kupinga_uzayuni_si_chuki_dhidi_ya_wayahudi </guid>  
      <description>Katika uamuzi wa kihistoria uliotolewa jana Agosti 4, 2026, Mahakama Kuu ya Rufaa ya Ajira ya Uingereza ilikataa rufaa iliyowasilishwa na Chuo Kikuu cha Bristol dhidi ya msomi David Miller, ikithibitisha mfano wa kisheria unaotambua imani za kupinga Uzayuni kuwa ni itikadi ya kifalsafa inayolindwa chini ya Kifungu cha 10 cha Sheria ya Usawa ya Uingereza ya 2010.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:08:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gharama Halisi ya Vita vya Marekani dhidi ya Iran: Mara Nne ya Makadirio ya Pentagon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140430-gharama_halisi_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_mara_nne_ya_makadirio_ya_pentagon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc004568ea21d2q42k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140430-gharama_halisi_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_mara_nne_ya_makadirio_ya_pentagon </guid>  
      <description>Gazeti la Uingereza la The Telegraph limefichua kuwa gharama halisi ya vita vya Marekani dhidi ya Iran ni mara nne zaidi ya kiasi kilichotajwa na Pentagon.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 06:44:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ghaza yafanya maziko makubwa zaidi ya halaiki ya Wapalestina 112 waliouliwa kikatili na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140428-ghaza_yafanya_maziko_makubwa_zaidi_ya_halaiki_ya_wapalestina_112_waliouliwa_kikatili_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a44bbf59bd2q4cw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140428-ghaza_yafanya_maziko_makubwa_zaidi_ya_halaiki_ya_wapalestina_112_waliouliwa_kikatili_na_israel </guid>  
      <description>Wapalestina wamewazika watu 112 wa ukoo mmoja waliouawa katika mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel mnamo Novemba 2023, baada ya mabaki yao kupatikana kutoka chini ya vifusi mwezi uliopita.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 03:08:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, tarehe 5 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140426-jumatano_tarehe_5_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc017591590a12q4cu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140426-jumatano_tarehe_5_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatano tarehe 21 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria inayosadifiana na tarehe 5 Agosti mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 03:02:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya Yemen vyashambulia shabaha muhimu ndani ya Uwanja wa Ndege wa Najran, Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140424-vikosi_vya_yemen_vyashambulia_shabaha_muhimu_ndani_ya_uwanja_wa_ndege_wa_najran_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b28b4512462q4cs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140424-vikosi_vya_yemen_vyashambulia_shabaha_muhimu_ndani_ya_uwanja_wa_ndege_wa_najran_saudi_arabia </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limekishambulia kituo cha kimkakati ndani ya uwanja wa ndege wa Najran kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni jibu kwa mashambulizi na mzingiro unaoendelea kufanywa na utawala wa Riyadh dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:57:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ElBaradei kwa Netanyahu: Umeiharibu Gaza, sasa unazungumzia "uhuru" wa watu wake!</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140422-elbaradei_kwa_netanyahu_umeiharibu_gaza_sasa_unazungumzia_uhuru_wa_watu_wake!</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0459b5c5bd12q4cq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140422-elbaradei_kwa_netanyahu_umeiharibu_gaza_sasa_unazungumzia_uhuru_wa_watu_wake! </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) Mohamed ElBaradei, amemhutubu Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akisema: "Umeiharibu Gaza, na sasa unazungumzia uhuru wa watu wake!"</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:55:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Aramco: Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha ‘mshtuko mkubwa kwa usambazaji wa mafuta katika historia’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140420-mkuu_wa_aramco_kufungwa_lango_bahari_la_hormuz_kumesababisha_mshtuko_mkubwa_kwa_usambazaji_wa_mafuta_katika_historia’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d0183a96712q4co.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140420-mkuu_wa_aramco_kufungwa_lango_bahari_la_hormuz_kumesababisha_mshtuko_mkubwa_kwa_usambazaji_wa_mafuta_katika_historia’ </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa kampuni kubwa ya mafuta ya Saudi Arabia ya Aramco ameeleza kuwa kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha "mshtuko mkubwa zaidi wa usambazaji wa mafuta katika historia," na kwamba masoko ya dunia yamepoteza mapipa ya mafuta zaidi ya bilioni 2.6 tangu kuanza kutekelezwa hatua hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:53:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari Ulaya vyafichua mpango wa kifisadi wa Rais wa FIFA na wandani wa Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140418-vyombo_vya_habari_ulaya_vyafichua_mpango_wa_kifisadi_wa_rais_wa_fifa_na_wandani_wa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0be67c878852q4cm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140418-vyombo_vya_habari_ulaya_vyafichua_mpango_wa_kifisadi_wa_rais_wa_fifa_na_wandani_wa_trump </guid>  
      <description>Jarida la The Times limefichua kiasi kikubwa cha fedha ambazo rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino, angeweka mfukoni iwapo mpango wa kuuza Kombe la Dunia ungetekelezwa.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:50:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni ya Wairani washiriki Arubaini ya Imam Hussein, watoa wito wa kulipiza kisasi damu ya Kiongozi aliyeuawa shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140416-mamilioni_ya_wairani_washiriki_arubaini_ya_imam_hussein_watoa_wito_wa_kulipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01687d5807a2q4ay.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140416-mamilioni_ya_wairani_washiriki_arubaini_ya_imam_hussein_watoa_wito_wa_kulipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi </guid>  
      <description>Mamilioni ya Wairani wamekusanyika kote nchini kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein bin Ali (AS), ambayo inaashiria siku ya 40 baada ya kuuawa shahidi mjukuu huyo wa Mtume wetu Muhammad (SAW) huko Karbala nchini Iraq mwaka 61 Hijria.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 14:54:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Arubaini ya Imam Hussein ni onyesho kubwa la umoja wa kitaifa kati ya Iran na Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140414-araqchi_arubaini_ya_imam_hussein_ni_onyesho_kubwa_la_umoja_wa_kitaifa_kati_ya_iran_na_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0511644596e2q480.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140414-araqchi_arubaini_ya_imam_hussein_ni_onyesho_kubwa_la_umoja_wa_kitaifa_kati_ya_iran_na_iraq </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi ameyataja matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein baina ya miji miwili mitakatifu ya Najaf na Karbala nchini Iraq kuwa ni onyesho kubwa la umoja usiovunjika kati ya watu wa Iran na Iraq, akitilia mkazo viunganishi vikubwa vya kidini na kidugu vinavyoendelea kuimarisha uhusiano wa pande mbili.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:38:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Iran iliishinda Marekani katikati ya 'vita vya tatu vya Trump'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140412-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_iran_iliishinda_marekani_katikati_ya_'vita_vya_tatu_vya_trump'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0cdc02bde342q47y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140412-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_iran_iliishinda_marekani_katikati_ya_'vita_vya_tatu_vya_trump' </guid>  
      <description>Mohsen Rezaei, Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa Marekani ilishindwa katikati ya "vita vya tatu vya Rais wa Marekani Donald Trump" dhidi ya Iran, huku vikosi vya ulinzi vya Iran vikivuruga mipango ya Marekani, kuilazimisha kuhamisha vituo vyake vya amri na wanajeshi wengi wa nchi hiyo wakiangamizwa na kujeruhiwa; hatua inayozidisha kushindwa kwingine kukubwa katika rekodi ya kufeli ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:33:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Naim Qassim: Mazungumzo ya moja kwa moja ya Lebanon na Israel hayana tija yoyote isipokuwa aibu na fedheha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140410-sheikh_naim_qassim_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_ya_lebanon_na_israel_hayana_tija_yoyote_isipokuwa_aibu_na_fedheha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05cdcaead9c2q47u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140410-sheikh_naim_qassim_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_ya_lebanon_na_israel_hayana_tija_yoyote_isipokuwa_aibu_na_fedheha </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Lebanon na Israel hayajakuwa na matokeo yoyote isipokuwa aibu na fedheha.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:30:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mapigano kati ya jeshi la Ethiopia na Tigray yapanuka hadi mpakani mwa Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140408-mapigano_kati_ya_jeshi_la_ethiopia_na_tigray_yapanuka_hadi_mpakani_mwa_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00eb22f9f532q47s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140408-mapigano_kati_ya_jeshi_la_ethiopia_na_tigray_yapanuka_hadi_mpakani_mwa_sudan </guid>  
      <description>Makabiliano ya kijeshi kati ya vikosi vya Serikali ya Shirikisho nchini Ethiopia na Kikosi cha Ukombozi wa Watu wa Tigray yanaongezeka baada ya siku kadhaa za mapigano, na sasa yanaripotiwa kupanuka hadi kwenye maeneo ya mpakani na Sudan.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:28:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Algeria na Italia zakubaliana kuimarisha ushirikiano ili kupambana na uhamiaji haramu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140406-algeria_na_italia_zakubaliana_kuimarisha_ushirikiano_ili_kupambana_na_uhamiaji_haramu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06056fe8d032q47m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140406-algeria_na_italia_zakubaliana_kuimarisha_ushirikiano_ili_kupambana_na_uhamiaji_haramu </guid>  
      <description>Algeria na Italia zimekubaliana kuimarisha ushirikiano dhidi ya uhamiaji haramu na uhalifu wa kuvuka mipaka. Uamuzi huu umefikiwa wakati wa mazungumzo kati ya Mawaziri wa Mambo ya Ndani wan chi mbili hizo huko Roma, Italia. </description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:22:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne tarehe 4 Agosti 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140404-jumanne_tarehe_4_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7543a7212b2pl6o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140404-jumanne_tarehe_4_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni tarehe 20 Safar 1448 Hijria sawa na Agosti 4 mwaka 2026.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:22:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Leo ni Arubaini ya Imam Hussein AS, Waislamu wa Iran waungana na Waislamu wengine kuiadhimisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140402-leo_ni_arubaini_ya_imam_hussein_as_waislamu_wa_iran_waungana_na_waislamu_wengine_kuiadhimisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00cdfc098c12q43s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140402-leo_ni_arubaini_ya_imam_hussein_as_waislamu_wa_iran_waungana_na_waislamu_wengine_kuiadhimisha </guid>  
      <description>Jumanne ya leo ya tarehe 4 Agosti 2026 inasadifiana na maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS, yaani siku ya 40 tangu Imam Husain AS na wafuasi wake watiifu walipouawa kinyama kwenye jangwa la Karbala mwezi 10 Mfunguo Nne Muharram, mwaka wa 61 Hijria.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:18:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya raia nchini Iran ni uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140400-baghaei_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_maeneo_ya_raia_nchini_iran_ni_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05d7cb251e32q43q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140400-baghaei_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_maeneo_ya_raia_nchini_iran_ni_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya makazi na ya raia katika miji ya Qeshm, Minab, na Lamerd ni uhalifu wa kivita, huku akiahidi kuwa Iran itatumia mifumo yote ya kimataifa inayopatikana kuwafikisha wahalifu mbele ya sheria.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:10:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laangusha ndege ya kivita ya Marekani ya MQ-9 Reaper katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140398-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_ya_marekani_ya_mq_9_reaper_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b3fd2099762q43o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140398-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_ya_marekani_ya_mq_9_reaper_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza rasmi kuwa kikosi chake cha anga kimeidungua ndege ya kivita isiyo na rubani ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper juu ya Lango la Hormuz, kwa kutumia mfumo wa ulinzi wa anga ulio wa kisasa na wenye uwezo wa hali ya juu.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:08:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa Ansarullah: Kauli za Trump kuhusu amani zimetokana na hofu ya nguvu za Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140396-afisa_wa_ansarullah_kauli_za_trump_kuhusu_amani_zimetokana_na_hofu_ya_nguvu_za_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05c4d315cf92q43m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140396-afisa_wa_ansarullah_kauli_za_trump_kuhusu_amani_zimetokana_na_hofu_ya_nguvu_za_iran </guid>  
      <description>Afisa mwandamizi wa Ansarullah amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu amani yanaonyesha wasiwasi wa Marekani juu ya uwezo wa ulinzi wa Iran.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:05:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: DRC inakabiliwa na mlipuko mbaya zaidi wa Ebola katika historia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140394-who_drc_inakabiliwa_na_mlipuko_mbaya_zaidi_wa_ebola_katika_historia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0aa812c17cb2q43k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140394-who_drc_inakabiliwa_na_mlipuko_mbaya_zaidi_wa_ebola_katika_historia </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa mlipuko wa Ebola unaoendelea kusambaa kwa kasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ndio mkubwa zaidi kuwahi kuikumba nchi hiyo katika rekodi zake zote.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:03:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Hakuna mazungumzo na Washington kwa sasa, tunajadiliana na Oman kuhusu njia ya muda Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140390-baqaei_hakuna_mazungumzo_na_washington_kwa_sasa_tunajadiliana_na_oman_kuhusu_njia_ya_muda_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08d86a55db42q3ya.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140390-baqaei_hakuna_mazungumzo_na_washington_kwa_sasa_tunajadiliana_na_oman_kuhusu_njia_ya_muda_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Hatufanyi mazungumzo na Marekani, na mazungumzo yetu na Oman yanahusu njia ya kupita salama meli katika Lango-Bahari la Hormuz."</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 11:16:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Somalia: Tutazuia Israel kuimarisha ushawishi wake Somaliland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140388-rais_wa_somalia_tutazuia_israel_kuimarisha_ushawishi_wake_somaliland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dc49853dae2q3y6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140388-rais_wa_somalia_tutazuia_israel_kuimarisha_ushawishi_wake_somaliland </guid>  
      <description>Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, amesema kwamba Serikali ya Shirikisho itachanganya "nguvu na hekima" ili kuzuia "Israel" kupata nafasi au kuanzisha ushawishi wa kudumu katika eneo la "Somaliland," akisisitiza kwamba Mogadishu ingali inashikamana na umoja wa ardhi na mamlaka ya Somalia, na inapinga kwa nguvu zote kuhamisha migogoro ya "Mashariki ya Kati" hadi eneo la Pembe ya Afrika.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 11:13:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini shambulio la Saudi Arabia na Marekani dhidi ya Hashd al-Shaabi ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala ya Iraq?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140392-kwa_nini_shambulio_la_saudi_arabia_na_marekani_dhidi_ya_hashd_al_shaabi_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mamlaka_ya_kujitawala_ya_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc059d130d9f62q3yc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140392-kwa_nini_shambulio_la_saudi_arabia_na_marekani_dhidi_ya_hashd_al_shaabi_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mamlaka_ya_kujitawala_ya_iraq </guid>  
      <description>Kikosi cha Hashd al-Shaabi cha Iraq kilitangaza siku chache zilizopita kuwa watu wasiopungua 20 waliuawa na wengine 32 kujeruhiwa katika shambulio la pamoja la kichokozi lililofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq mapema Jumatano iliyopita.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 11:17:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Palestina watoa onyo baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya Israel tangu kusitisha mapigano </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140386-muqawama_wa_palestina_watoa_onyo_baada_ya_mashambulizi_mabaya_zaidi_ya_israel_tangu_kusitisha_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04a263f2bc42q3x2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140386-muqawama_wa_palestina_watoa_onyo_baada_ya_mashambulizi_mabaya_zaidi_ya_israel_tangu_kusitisha_mapigano </guid>  
      <description>Makundi ya Muqawama ya Palestina yametoa onyo kali baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya anga ya Israel tangu kusitisha mapigano Oktoba 2025, yakisema mashambulizi hayo yasiyokoma ni hujuma ya makusudi dhidi ya makubaliano ya kusitisha mapigano na ujumbe kwamba Israel haina nia ya kutimiza majukumu yake.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 10:13:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi mkuu wa kidini wa Bahrain alaani mataifa ya Kiarabu kwa kutumikia ajenda za Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140384-kiongozi_mkuu_wa_kidini_wa_bahrain_alaani_mataifa_ya_kiarabu_kwa_kutumikia_ajenda_za_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08578b740ef2q3wy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140384-kiongozi_mkuu_wa_kidini_wa_bahrain_alaani_mataifa_ya_kiarabu_kwa_kutumikia_ajenda_za_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Ayatullah Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain, amezilaani nchi za Kiarabu na Kiislamu za kanda ya Magharibi mwa Asia kwa kuchangia katika njama za Marekani na Israel za kuimarisha migawanyiko katika eneo hilo.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 10:09:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vibaraka wawili wa Mossad wanyongwa nchini Iran kwa kutoa taarifa za usalama kwa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140382-vibaraka_wawili_wa_mossad_wanyongwa_nchini_iran_kwa_kutoa_taarifa_za_usalama_kwa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc069fb8bc24c2q3wg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140382-vibaraka_wawili_wa_mossad_wanyongwa_nchini_iran_kwa_kutoa_taarifa_za_usalama_kwa_israel </guid>  
      <description>Wanaume wawili waliopatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa maslahi ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad, wamenyongwa kwa kosa la kutoa taarifa nyeti kuhusu jeshi na maeneo ya usalama ya Iran katika vita vya hivi karibuni vya Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 09:50:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malengo ya Julani katika kuanzisha uadui dhidi ya kundi la Hashd al-Shaabi la Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140380-malengo_ya_julani_katika_kuanzisha_uadui_dhidi_ya_kundi_la_hashd_al_shaabi_la_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04d01d63ea32q3vo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140380-malengo_ya_julani_katika_kuanzisha_uadui_dhidi_ya_kundi_la_hashd_al_shaabi_la_iraq </guid>  
      <description>Abu Mohammad al-Julani, mtawala wa serikali ya mpito ya Syria, amedai katika matamshi tatanishi kuwa ana wasiwasi kuhusu uwepo wa makundi ya wanamgambo wa Iraq na vikosi vya Hashd al-Shaabi katika maeneo ya mpaka wa nchi hiyo na Iraq.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 09:21:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Haniya, Iran yasisitiza uungaji mkono wake kwa malengo ya Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140378-kwa_mnasaba_wa_kuuawa_shahidi_haniya_iran_yasisitiza_uungaji_mkono_wake_kwa_malengo_ya_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a80e600c252q3mg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140378-kwa_mnasaba_wa_kuuawa_shahidi_haniya_iran_yasisitiza_uungaji_mkono_wake_kwa_malengo_ya_palestina </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa pili tangu alipouawa shahidi Ismail Haniya, ambapo mbali na kumuenzi mkuu huyo wa zamani wa ofisi ya kisiasa ya HAMAS imesisitiza kuendelea kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina na ulazima wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa ili kupunguza mateso ya watu wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi, sambamba na kufunguliwa kesi wahusika wa jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni </description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 03:39:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatatu, 03 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140376-jumatatu_03_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0cb4c857fff2q3mc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140376-jumatatu_03_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu tarehe 19 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka na 3 Agosti 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 03:06:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Ibrahim Zakzaky apinga pendekezo la Trump kuhusu Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140374-sheikh_ibrahim_zakzaky_apinga_pendekezo_la_trump_kuhusu_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00e7e19fc142q3ma.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140374-sheikh_ibrahim_zakzaky_apinga_pendekezo_la_trump_kuhusu_gaza </guid>  
      <description>Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky, amelitaja pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu makubaliano ya usitishaji vita kati ya Israel na Hamas kuwa ni “uoga”, hasa kutokana na sharti linalodaiwa la kuitaka Hamas kusalimisha silaha zake.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 02:48:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti ya Middle East Monitor: Mwisho wa dhana ya Marekani ya 'kutoshindwa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140372-ripoti_ya_middle_east_monitor_mwisho_wa_dhana_ya_marekani_ya_'kutoshindwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ace1e4465f2q3m8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140372-ripoti_ya_middle_east_monitor_mwisho_wa_dhana_ya_marekani_ya_'kutoshindwa' </guid>  
      <description>Ripoti ya gazeti la Middle East Monitor imesema kuwa, Iran haiwezi kushindwa katika vita, na kwamba hali hiyo ni ukweli ambao Marekani na Israel haziwezi kuubadilisha hata kama watajitahidi kiasi gani.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 02:46:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Umaskini wakithiri Marekani, pengo la kijamii lazidi kupanuka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140370-new_york_times_umaskini_wakithiri_marekani_pengo_la_kijamii_lazidi_kupanuka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ee9243b6372q3m6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140370-new_york_times_umaskini_wakithiri_marekani_pengo_la_kijamii_lazidi_kupanuka </guid>  
      <description>Gazeti la New York Times limeripoti kuongezeka umaskini nchini Marekani na kuongezeka pengo la kijamii miongoni mwa wananchi wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 02:44:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano makubwa ya kupinga sera zilizofeli za Benjamin Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140368-maandamano_makubwa_ya_kupinga_sera_zilizofeli_za_benjamin_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00266482d112q3m4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140368-maandamano_makubwa_ya_kupinga_sera_zilizofeli_za_benjamin_netanyahu </guid>  
      <description>Wakazi wa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel wamefanya maandamano makubwa katika maeneo mbalimbali wakipinga sera za serikali ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambazo wamezitaja kuwa zimeshindwa.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 02:43:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya Iran kuapa kuwa itajibu mapigo makali, Trump asitisha mashambulizi dhidi ya miundombinu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140366-baada_ya_iran_kuapa_kuwa_itajibu_mapigo_makali_trump_asitisha_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06685c835b02q3ji.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140366-baada_ya_iran_kuapa_kuwa_itajibu_mapigo_makali_trump_asitisha_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu </guid>  
      <description>Rais wa Marekani Donald Trump amesema amefuta mashambulizi aliyotangaza kuwa yatafanywa dhidi ya Iran baada ya nchi za eneo kuomba yasitishwe wakati juhudi zinafanywa ili kufikia makubaliano, na kufuatia maonyo yaliyotolewa na Tehran kwamba uchokozi wowote mpya wa Marekani au Israel utakabiliwa na jibu la mapigo makali.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:16:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika mwezi wa Julai pekee Israel imeua Wapalestina zaidi ya 150 Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140364-katika_mwezi_wa_julai_pekee_israel_imeua_wapalestina_zaidi_ya_150_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f65575c71a2q3k2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140364-katika_mwezi_wa_julai_pekee_israel_imeua_wapalestina_zaidi_ya_150_ghaza </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Ghaza imetangaza kuwa, katika mwezi Julai pekee, Wapalestina 152 waliuawa shahidi katika eneo hilo lililowekewa mzingiro, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo vya kila mwezi kuwahi kurekodiwa tangu ulipoanza mwaka huu.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:14:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Abdel Bari Atwan: Makamanda wa jeshi la Marekani wanahofia kurudiwa "tajiriba ya Vietnam"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140362-abdel_bari_atwan_makamanda_wa_jeshi_la_marekani_wanahofia_kurudiwa_tajiriba_ya_vietnam</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05602c863ba2q3k0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140362-abdel_bari_atwan_makamanda_wa_jeshi_la_marekani_wanahofia_kurudiwa_tajiriba_ya_vietnam </guid>  
      <description>Abdel Bari Atwan, mchambuzi mashuhuri katika Ulimwengu wa Kiarabu ameashiria jinsi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilivyojiandaa kutoa kipigo kikali dhidi ya uchokozi wowote, na hofu ya makamanda wa kijeshi wa Marekani ya kujirudia tajriba ya Vita vya Vietnam, na kutaja sababu tano zilizomfanya Trump arudi nyuma katika kutekeleza vitisho vyake.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:09:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>TPLF ya Tigray yaituhumu serikali ya Ethiopia 'kuanzisha vita vya wazi'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140360-tplf_ya_tigray_yaituhumu_serikali_ya_ethiopia_'kuanzisha_vita_vya_wazi'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e5cdca2e312q3jw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140360-tplf_ya_tigray_yaituhumu_serikali_ya_ethiopia_'kuanzisha_vita_vya_wazi' </guid>  
      <description>Mamlaka katika eneo la Tigray nchini Ethiopia zimeituhumu serikali ya shirikisho kuwa kuanzisha mashambulizi ya kijeshi siku ya Jumamosi, na kufufua hofu ya kurejea vitani.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:06:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya kinyama vya Israel Ghaza: Miili 40 ya watoto, 38 ya wanawake miongoni mwa iliyotolewa kwenye kifusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140358-vita_vya_kinyama_vya_israel_ghaza_miili_40_ya_watoto_38_ya_wanawake_miongoni_mwa_iliyotolewa_kwenye_kifusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc070459209992q3ju.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140358-vita_vya_kinyama_vya_israel_ghaza_miili_40_ya_watoto_38_ya_wanawake_miongoni_mwa_iliyotolewa_kwenye_kifusi </guid>  
      <description>Shirika la Ulinzi wa Raia la Ghaza limesema, wafanyakazi wake walipata miili na mabaki ya watu 112 kutoka chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel katika kitongoji cha Sabra cha Jiji la Ghaza.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:02:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Changamoto mpya kwa Wasaudia kufuatia mzingiro wa majini wa Yemen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140356-changamoto_mpya_kwa_wasaudia_kufuatia_mzingiro_wa_majini_wa_yemen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05d4115d55e2q3iq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140356-changamoto_mpya_kwa_wasaudia_kufuatia_mzingiro_wa_majini_wa_yemen </guid>  
      <description>Mzingiro wa majini wa Yemen dhidi ya Saudi Arabia, pamoja na kufungwa kwa Lango-Bahari la Bab al-Mandab kwa meli za mafuta za Saudia, vimetoa changamoto mpya kwa Wasaudia.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 11:14:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazuwari zaidi ya milioni nne wameingia Iraq tangu Muharram hadi sasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140354-mazuwari_zaidi_ya_milioni_nne_wameingia_iraq_tangu_muharram_hadi_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ddce2fed4c2q3aa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140354-mazuwari_zaidi_ya_milioni_nne_wameingia_iraq_tangu_muharram_hadi_sasa </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya habari ya masuala ya usalama wa Iraq ametangaza kuwa wafanyaziara zaidi ya milioni nne wa kigeni wamewasili nchini humo tangu mwanzo wa mwezi wa Muharram, na kwamba zoezi la upokeaji mazuwari wanaokwenda kushiriki kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS lingali unaendelea.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 03:29:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Iran iko tayari kukabiliana na uvamizi wowote mpya wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140350-araqchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_uvamizi_wowote_mpya_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01346e76d252q3a8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140350-araqchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_uvamizi_wowote_mpya_wa_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ameonya dhidi ya kitendo chochote kipya cha uvamizi cha Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisisitiza kwamba Tehran iko tayari kikamilifu kukabiliana na makosa yoyote kama hayo.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 03:16:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali wa Marekani: Hatuna vikosi vya kutosha vya kuilinda Israel na makombora ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140348-jenerali_wa_marekani_hatuna_vikosi_vya_kutosha_vya_kuilinda_israel_na_makombora_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01b24bc0f432q3a6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140348-jenerali_wa_marekani_hatuna_vikosi_vya_kutosha_vya_kuilinda_israel_na_makombora_ya_iran </guid>  
      <description>Gazeti la The Washington Post limeandika: Jenerali mmoja mwandamizi wa Marekani barani Ulaya ameionya Pentagon kuwa Jeshi la Wanamaji halina vikosi vya kutosha vya kuweza kuendelea kuilinda Israel na makombora ya masafa marefu.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 02:51:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kitengo cha "Kundi 26" cha RSF chajisalimisha kwa jeshi la Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140346-kitengo_cha_kundi_26_cha_rsf_chajisalimisha_kwa_jeshi_la_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09cf781f0722q3a4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140346-kitengo_cha_kundi_26_cha_rsf_chajisalimisha_kwa_jeshi_la_sudan </guid>  
      <description>Shirika la Habari la Sudan SUNA limetangaza kuwa, kitengo kimoja cha Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF kimejisalimisha kwa jeshi na kukabidhi wanajeshi wake na vifaa kamili vya kijeshi.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 02:48:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la Israel dhidi ya maghala ya dawa Ghaza latajwa kuwa ni 'jinai ovu sana'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140344-shambulio_la_israel_dhidi_ya_maghala_ya_dawa_ghaza_latajwa_kuwa_ni_'jinai_ovu_sana'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05acfe8a40e2q3a2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140344-shambulio_la_israel_dhidi_ya_maghala_ya_dawa_ghaza_latajwa_kuwa_ni_'jinai_ovu_sana' </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Ghaza imelaani kile ilichokiita "jinai ovu sana" iliyofanywa na vikosi vya utawala wa kizayuni wa Israel huko Deir el-Balah, ikisema shambulio hilo la Ijumaa asubuhi lililenga "maghala ya dawa" ya Hospitali ya Mashahidi wa Al-Aqsa, na kuyabomoa kikamilifu mawili kati ya maghala hayo.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 02:45:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 02 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140342-jumapili_02_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01b0fa5e80c2q3a0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140342-jumapili_02_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 18 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria ambayo inasadifiana na Pili Agosti 2026 Miladia.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 02:41:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa, Julai 31, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140340-ijumaa_julai_31_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e24d9fd8282q36g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140340-ijumaa_julai_31_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Iijumaa tarehe 16 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria, sawa na 31 Julai 2026.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 12:09:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti ya polisi Kenya yafichua ukatili wa wanajeshi wa Uingereza Laikipia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140338-ripoti_ya_polisi_kenya_yafichua_ukatili_wa_wanajeshi_wa_uingereza_laikipia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a589c921222q36a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140338-ripoti_ya_polisi_kenya_yafichua_ukatili_wa_wanajeshi_wa_uingereza_laikipia </guid>  
      <description>Ripoti ya siri ya polisi ya Kenya imefichua madai mazito ya ubakaji, ulawiti wa watoto na ukiukaji wa haki za kibinadamu unaodaiwa kufanywa na wanajeshi wa kikosi cha Uingereza wanaopata mafunzo Kenya (BATUK) katika Kaunti ya Laikipia.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 11:52:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Mkuu wa Iran: Nchi za kanda hii zinazotumika kama ngao ya Marekani 'zitateketea katika moto wa vita'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140336-kamanda_mkuu_wa_iran_nchi_za_kanda_hii_zinazotumika_kama_ngao_ya_marekani_'zitateketea_katika_moto_wa_vita'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d4e1c906552q35u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140336-kamanda_mkuu_wa_iran_nchi_za_kanda_hii_zinazotumika_kama_ngao_ya_marekani_'zitateketea_katika_moto_wa_vita' </guid>  
      <description>Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amezionya nchi za kanda hii kuhusu kushirikiana na Marekani akisema: Nchi yoyote itakayotumika kama "ngao ya ulinzi" kwa Washington itaungua katika moto wa vita. </description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 11:34:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa waonya kuhusu utumiaji wa mada zilizopigwa marufuku dhidi ya raia wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140334-umoja_wa_mataifa_waonya_kuhusu_utumiaji_wa_mada_zilizopigwa_marufuku_dhidi_ya_raia_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05e229ccc832q35s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140334-umoja_wa_mataifa_waonya_kuhusu_utumiaji_wa_mada_zilizopigwa_marufuku_dhidi_ya_raia_wa_iran </guid>  
      <description>Maripota wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wametoa taarifa ya pamoja, wakisema kuwa raia 3,375 wa Iran wameuawa katika mashambulizi ya kikatili ya Marekani na Israel (wakiwemo wanawake wapatao 500), na kutoa wito wa kuwajibishwa Marekani na Israel kwa uhalifu wao wa kivita, hasa kuhusu janga la shule ya msingi ya Minab.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 11:31:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti: Mlipuko wa Ebola Kongo ulianza miezi kadhaa kabla ya kugunduliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140332-utafiti_mlipuko_wa_ebola_kongo_ulianza_miezi_kadhaa_kabla_ya_kugunduliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ddb94485642q35o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140332-utafiti_mlipuko_wa_ebola_kongo_ulianza_miezi_kadhaa_kabla_ya_kugunduliwa </guid>  
      <description>Utafiti: Mlipuko wa Ebola Kongo ulianza miezi kadhaa kabla ya kugunduliwa</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 11:26:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meya wa Moscow: Zaidi ya droni 6,000 za Ukraine zililenga mji mkuu wa Russia mwezi Julai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140330-meya_wa_moscow_zaidi_ya_droni_6_000_za_ukraine_zililenga_mji_mkuu_wa_russia_mwezi_julai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e120c641032q35k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140330-meya_wa_moscow_zaidi_ya_droni_6_000_za_ukraine_zililenga_mji_mkuu_wa_russia_mwezi_julai </guid>  
      <description>Zaidi ya ndege zisizo na rubani (droni) 6,000 za Ukraine ziliulenga mji mkuu wa Russia, Moscow mwezi Julai mwaka huu. Haya yameelezwa na, Meya wa Moscow, Sergey Sobyanin.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 11:24:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Abdullahi: Sasa, majeneza ni sehemu ya vifaa vya wanajeshi wa Marekani, Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140328-meja_jenerali_abdullahi_sasa_majeneza_ni_sehemu_ya_vifaa_vya_wanajeshi_wa_marekani_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06a94dfe7a52q2yo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140328-meja_jenerali_abdullahi_sasa_majeneza_ni_sehemu_ya_vifaa_vya_wanajeshi_wa_marekani_asia_magharibi </guid>  
      <description>Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) ameandika ujumbe katika mitandao ya kiijamii akisema: Majeneza ya Wamarekani sasa ni sehemu ya vifaa vyao katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:36:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yazilenga na kuzisimamisha meli mbili za mafuta katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140326-irgc_yazilenga_na_kuzisimamisha_meli_mbili_za_mafuta_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb7db8c06722q2v4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140326-irgc_yazilenga_na_kuzisimamisha_meli_mbili_za_mafuta_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) jana lilitangaza kuwa zimezishambulia meli mbili za mafuta katika Lango Bahari la Hormuz na kuzisimamisha baada ya kukiuka sheria na tahadhari ilizopewa.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:35:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen lalazimisha meli 8 za mafuta za Saudia kubadili njia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140324-jeshi_la_yemen_lalazimisha_meli_8_za_mafuta_za_saudia_kubadili_njia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09bfed291312q2xm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140324-jeshi_la_yemen_lalazimisha_meli_8_za_mafuta_za_saudia_kubadili_njia </guid>  
      <description>Msemaji wa Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen ametangaza katika taarifa kwamba, katika juhudi za kuimarisha mlingano wa “kuzingirwa kwa kuzingirwa”, na kufuatia kuongezeka kwa vikwazo vya baharini dhidi ya meli za mafuta za Saudi Arabia, meli nane za mafuta za Saudi Arabia zimelazimika kubadili njia na kuelekea Rasi ya Tumaini Jema (Cape of Good Hope).</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:34:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Liberia awafukuta kazi maafisa kadhaa baada ya kukamatwa shehena kubwa za dawa za kulevya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140322-rais_wa_liberia_awafukuta_kazi_maafisa_kadhaa_baada_ya_kukamatwa_shehena_kubwa_za_dawa_za_kulevya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b1691d584d2q2yi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140322-rais_wa_liberia_awafukuta_kazi_maafisa_kadhaa_baada_ya_kukamatwa_shehena_kubwa_za_dawa_za_kulevya </guid>  
      <description>Rais Joseph Boakai wa Liberia amewafukuza kazi maafisa kadhaa wa serikali na huku akipendekeza kuchunguzwa baadhi ya maafisa kufuatia visa vingi vya dawa za kulevya katika miezi ya hivi karibuni ambavyo vimeibua malalamiko ya wananchi wakitaka hatua kali zichukuliwe. </description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:32:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mvua kubwa yazingira maelfu ya watu katika kambi ya Al Karama 3 nchini Sudan, uhaba wa huduma waathiri familia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140320-mvua_kubwa_yazingira_maelfu_ya_watu_katika_kambi_ya_al_karama_3_nchini_sudan_uhaba_wa_huduma_waathiri_familia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ede51d11f12q2yg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140320-mvua_kubwa_yazingira_maelfu_ya_watu_katika_kambi_ya_al_karama_3_nchini_sudan_uhaba_wa_huduma_waathiri_familia </guid>  
      <description>Mvua kubwa za msimu zimezidisha hali mbaya kwa wakimbizi wa Sudan katika kambi ya Al Karama 3 huko Damazin, mji mkuu wa Jimbo la Blue Nile, ambayo imejaa watu zaidi ya 31,000 waliokimbia makazi yao kutokana na vita vya ndani.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:31:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, 01 Agosti, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140316-jumamosi_01_agosti_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz11342eab0c2pyfc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140316-jumamosi_01_agosti_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 17 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria ambayo inasadifiana na Mosi Agosti 2026 Miladia.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:29:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Nguvu ya Marekani Inaelekea Ukingoni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140318-kwa_nini_nguvu_ya_marekani_inaelekea_ukingoni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d135e2cfd82q2ya.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140318-kwa_nini_nguvu_ya_marekani_inaelekea_ukingoni </guid>  
      <description>Miongo mitatu baada ya operesheni ya "Desert Storm," mtazamo ndani ya duru za kimkakati za Marekani ni kwamba zama za nguvu na utawala usio na mpinzani wa Washington zimefikia ukingoni. Vita na Iran vimethibitisha kuwa mwenendo wa mabadiliko katika uwiano wa nguvu na kupungua kwa uwezo wa Marekani wa kuzuia vitisho (deterrence credibility) ndani ya mfumo wa dunia umeanza kushika kasi.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:29:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani si mchezaji mkuu tena Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140314-hatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_si_mchezaji_mkuu_tena_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1facf5f1262q2s8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140314-hatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_si_mchezaji_mkuu_tena_asia_magharibi </guid>  
      <description>Imamu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran, amesema Marekani si mchezaji mkuu tena katika eneo la Magharibi mwa Asia, akisisitiza kwamba: "Leo, kwa hatua za Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na mapambano yanayotokana na maarifa na imani ya wapiganaji wa Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefikia kiwango cha juu cha kujilinda ambacho kinamfanya adui asiwezi kuanza chochoko ya aina yoyote bila kupata jibu linalofaa."</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 11:03:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Serikali ya Ghana yaunga mkono kuongezwa muhula wa urais kutoka miaka minne hadi mitano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140312-serikali_ya_ghana_yaunga_mkono_kuongezwa_muhula_wa_urais_kutoka_miaka_minne_hadi_mitano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz578307d2012q2rq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140312-serikali_ya_ghana_yaunga_mkono_kuongezwa_muhula_wa_urais_kutoka_miaka_minne_hadi_mitano </guid>  
      <description>Serikali ya Ghana jana Alhamisi ilikubali pendekezo la kuongeza muhula wa urais kutoka miaka minne hadi mitano.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 10:19:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa zamani Kenya: Rais Ruto anawalazimisha mawaziri kufanya anachotaka kwa woga</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140310-waziri_wa_zamani_kenya_rais_ruto_anawalazimisha_mawaziri_kufanya_anachotaka_kwa_woga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz96ead022ae2q2ro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140310-waziri_wa_zamani_kenya_rais_ruto_anawalazimisha_mawaziri_kufanya_anachotaka_kwa_woga </guid>  
      <description>Waziri wa zamani wa Fedha wa Kenya, Prof Njuguna Ndung’u, amemshutumu Rais wa nchi hiyo, William Ruto kwa kuingilia utendakazi wa taasisi huru, akisema mtindo huu umezorotesha uwezo wa kutekeleza majukumu ipasavyo.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 10:16:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Droni za Jeshi la Iran zashambulia vituo vya kimkakati vya Marekani nchini Kuwait</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140308-droni_za_jeshi_la_iran_zashambulia_vituo_vya_kimkakati_vya_marekani_nchini_kuwait</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze5d5f18a9d2q2r4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140308-droni_za_jeshi_la_iran_zashambulia_vituo_vya_kimkakati_vya_marekani_nchini_kuwait </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeshambulia vituo vya kimkakati vya jeshi la kigaidi la Marekani katika kambi ya Ahmed al-Jaber huko Kuwait kwa kutumia ndege zisizo na rubani zenye uharibifu mkubwa.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 10:01:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu kadhaa wafa maji, mamia ya Wamorocco wakimbilia Ceuta ya Uhispania </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140306-watu_kadhaa_wafa_maji_mamia_ya_wamorocco_wakimbilia_ceuta_ya_uhispania</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1b29c760fa2q2qm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140306-watu_kadhaa_wafa_maji_mamia_ya_wamorocco_wakimbilia_ceuta_ya_uhispania </guid>  
      <description>Wimbi la wahamiaji kutoka Morocco kuelekea mji unaodhibitiwa na Uhispania wa Ceuta limegeuka kuwa mgogoro wa kibinadamu na kisiasa, baada ya miili ya wahamiaji tisa kuopolewa majini. Wahamiaji hao waliaga dunia wakiwa katika jitihada za kuogelea hadi mjini huo.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 08:41:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei amhoji Guterres; kwa nini unahepa kuwataja wavurugaji wawili wakuu wa sheria za kimataifa?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140304-baghaei_amhoji_guterres_kwa_nini_unahepa_kuwataja_wavurugaji_wawili_wakuu_wa_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz09042b5b432q2ok.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140304-baghaei_amhoji_guterres_kwa_nini_unahepa_kuwataja_wavurugaji_wawili_wakuu_wa_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria matamshi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupuuzwa kwa sheria za kimataifa kwa namna inayotisha, na kumhutubu yeye kwa kumwambia: "Sasa ni wakati wa kutimiza jukumu lako zito na kusaidia kuzuia Umoja wa Mataifa na mfumo wa kanuni zake kutofikwa na hatima ya Jumuiya ya Mataifa."</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:42:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya watu milioni 2 wavuka mipaka ya Iran kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein (AS)</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140302-zaidi_ya_watu_milioni_2_wavuka_mipaka_ya_iran_kwa_ajili_ya_arubaini_ya_imam_hussein_(as)</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz00ac14c5292q2om.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140302-zaidi_ya_watu_milioni_2_wavuka_mipaka_ya_iran_kwa_ajili_ya_arubaini_ya_imam_hussein_(as) </guid>  
      <description>Zaidi ya mazuwari milioni mbili wa Iran wamevuka salama mipaka ya nchi ili kuhudhuria shughuli ya kila mwaka ya Arubaini ya Imam Hussein, mojawapo ya mikusanyiko mikubwa zaidi ya kidini duniani, inayofanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:40:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Karibu nusu ya Wamarekani wanataka Netanyahu akamatwe licha ya propaganda za mamilioni ya dola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140300-karibu_nusu_ya_wamarekani_wanataka_netanyahu_akamatwe_licha_ya_propaganda_za_mamilioni_ya_dola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd83694ef082q2ha.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140300-karibu_nusu_ya_wamarekani_wanataka_netanyahu_akamatwe_licha_ya_propaganda_za_mamilioni_ya_dola </guid>  
      <description>Karibu nusu ya Wamarekani wanataka waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akamatwe licha ya propaganda zinazofanywa na utawala huo wa kizayuni ambazo zimeugharimu mamilioni ya dola.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:33:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140298-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza69c5772052q2io.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140298-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa' </guid>  
      <description>Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:30:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amnesty International: India inashiriki katika mauaji ya kimbari ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140296-amnesty_international_india_inashiriki_katika_mauaji_ya_kimbari_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz08beb082de2q2gq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140296-amnesty_international_india_inashiriki_katika_mauaji_ya_kimbari_ya_gaza </guid>  
      <description>Katika ripoti mpya iliyotolewa jana, Julai 30, Amnesty International imefichua data za forodha kuhusu usafirishaji kutoka India kuelekea Israel, ikisema kwamba New Delhi imeendelea kusafirisha vipuri vya zana za kijeshi, risasi na vifaa kwa makampuni ya Israel licha ya hatari iliyo wazi ya silaha hizo kutumika katika mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:27:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Leo ni Alkhamisi Julai 30, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140294-leo_ni_alkhamisi_julai_30_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza0fe02b4682q2ng.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i140294-leo_ni_alkhamisi_julai_30_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Safar 1447 Hijria sawa na Julai 30 mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 15:07:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran yaharibu ndege tatu za F-35 katika kambi ya Marekani huko Jordan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140292-mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran_yaharibu_ndege_tatu_za_f_35_katika_kambi_ya_marekani_huko_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze274706dc12q2lw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140292-mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran_yaharibu_ndege_tatu_za_f_35_katika_kambi_ya_marekani_huko_jordan </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limefanya mashambulizi ya makombora ya balestiki kwenye Kituo cha Anga cha Muwaffaq Salti kinachoendeshwa na jeshi la Marekani huko Azraq, nchini Jordan, na kuharibu ndege tatu za kivita za Marekani aina ya F-35 na kusababisha madhara makubwa kwa ndege nyingine tatu, katika operesheni ya kulipiza kisasi kwa shambulio la anga la Marekani lililoua watu watatu wa familia moja kwenye Kisiwa cha Qeshm nchini Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 15:02:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140290-kiongozi_wa_upinzani_nchini_uganda_kizza_besigye_amelazwa_katika_chumba_cha_wagonjwa_mahututi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdc74a5181d2q2n4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140290-kiongozi_wa_upinzani_nchini_uganda_kizza_besigye_amelazwa_katika_chumba_cha_wagonjwa_mahututi </guid>  
      <description>Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, amelazwa hospitalini na hana fahamu baada ya kuziraia akiwa mahakamani jana Jumatano. Hayo ni kwa mujibu wa mkewe na watu wengine wanaozihimiza mamlaka husika nchini Uganda kumwachilia huru baada ya kunyimwa dhamana mara kwa mara.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 14:58:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la kinyama la US kisiwani Qeshm, Iran laua wazazi na mtoto wao mdogo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140286-shambulio_la_kinyama_la_us_kisiwani_qeshm_iran_laua_wazazi_na_mtoto_wao_mdogo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzbecba062fa2q2iu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140286-shambulio_la_kinyama_la_us_kisiwani_qeshm_iran_laua_wazazi_na_mtoto_wao_mdogo </guid>  
      <description>Wanafamilia watatu, wakiwemo mama, baba na mtoto wao wa kiume wa miaka miwili, wameuawa shahidi katika shambulio la kinyama la anga la jeshi la kigaidi la Marekani lililolenga jengo la makazi kwenye Kisiwa cha Qeshm kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 11:11:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140284-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza69c5772052q2io.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140284-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa' </guid>  
      <description>Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 11:09:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Upinzani DRC wakasirika baada ya Mahakama kumfungulia njia rais Tshisekedi kugombea muhula wa tatu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140282-upinzani_drc_wakasirika_baada_ya_mahakama_kumfungulia_njia_rais_tshisekedi_kugombea_muhula_wa_tatu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby61dc959f292pnv0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140282-upinzani_drc_wakasirika_baada_ya_mahakama_kumfungulia_njia_rais_tshisekedi_kugombea_muhula_wa_tatu </guid>  
      <description>Wanasiasa wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, ambao ni wanachama wa muungano wa upinzani uliopewa jina la utani "C64", wamepinga vikali uamuzi wa Mahakama ya Katiba kuhusu sheria ya kura ya maoni, ambayo inaweza kumfungulia njia Rais wa nchi hiyo Felix Tshisekedi kugombea urais kwa muhula wa tatu baada ya kura hiyo ya maoni.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 10:22:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>