<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - discover_iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/discover_iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Wed, 20 May 2026 20:05:50 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu: Nguvu inayojitokeza ya Iran inahusiana  moja kwa moja na ongezeko la idadi ya watu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138508-kiongozi_muadhamu_nguvu_inayojitokeza_ya_iran_inahusiana_moja_kwa_moja_na_ongezeko_la_idadi_ya_watu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe77c80756e2pfaa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138508-kiongozi_muadhamu_nguvu_inayojitokeza_ya_iran_inahusiana_moja_kwa_moja_na_ongezeko_la_idadi_ya_watu </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kupanda hadhi ya Iran ya kuwa taifa kubwa na lenye taathira kunahusiana moja kwa moja na ongezeko la idadi ya watu wake, na kutoa wito wa kuzidishwa juhudi za kukuza utamaduni wa kuzaa watoto.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:16:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa vyombo vya mahakama: Shahidi Raisi alijitolea kuwatumikia wananchi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138506-mkuu_wa_vyombo_vya_mahakama_shahidi_raisi_alijitolea_kuwatumikia_wananchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0a44aea8552pfa8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138506-mkuu_wa_vyombo_vya_mahakama_shahidi_raisi_alijitolea_kuwatumikia_wananchi </guid>  
      <description>Mkuu wa vyombo vya Mahakama vya Iran anasema kuwa Rais Shahidi Ebrahim Raisi alijitolea kwa dhati kuwatumikia wananchi na kusabilia maisha yake kwa ajili ya Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:12:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatahadharisha kuhusu Marekani kulitumia vibaya Baraza la Usalama la UN</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138504-iran_yatahadharisha_kuhusu_marekani_kulitumia_vibaya_baraza_la_usalama_la_un</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6af96005942pfa6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138504-iran_yatahadharisha_kuhusu_marekani_kulitumia_vibaya_baraza_la_usalama_la_un </guid>  
      <description>Mwakilishi wa  Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa: "Marekani inalitumia vibaya Baraza la Usalama kwa kueneza uwongo na tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mpango wake wa nyuklia."</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:09:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa China na Russia: Tunafanya kazi ili kuasisi utaratibu wa kiadilifu na haki zaidi duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138502-viongozi_wa_china_na_russia_tunafanya_kazi_ili_kuasisi_utaratibu_wa_kiadilifu_na_haki_zaidi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9384ff5de12pfa4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138502-viongozi_wa_china_na_russia_tunafanya_kazi_ili_kuasisi_utaratibu_wa_kiadilifu_na_haki_zaidi_duniani </guid>  
      <description>Viongozi wa China na Russia wamesisitiza mwanzoni mwa mazungumzo yao kuhusu azimio la pamoja la nchi hizo mbili la kuasisi utaratibu wa haki zaidi wa kimataifa na ulimwengu wa kambi kadhaa. </description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:06:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rwanda yaimarisha udhibiti wa mpakani kutokana na mlipuko hatari wa Ebola nchini Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138500-rwanda_yaimarisha_udhibiti_wa_mpakani_kutokana_na_mlipuko_hatari_wa_ebola_nchini_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx32a5cd51b12pfa2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138500-rwanda_yaimarisha_udhibiti_wa_mpakani_kutokana_na_mlipuko_hatari_wa_ebola_nchini_kongo </guid>  
      <description>Mamlaka ya Rwanda imeongeza hatua za uchunguzi wa afya na kuimarisha udhibiti katika mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huku mlipuko hatari wa homa ya Ebola ukiendelea kuitatiza Kongo.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:04:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, tarehe 20 Mei, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138498-jumatano_tarehe_20_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx21df3fd8e22pf88.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138498-jumatano_tarehe_20_mei_2026 </guid>  
      <description>leo ni Jumatano tarehe 3 Dhulhija 1447 Hijria sawa na Mei 20 mwaka 2027.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 09:06:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Arsenal yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Man City kulazimishwa sare na FC Bournemouth</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/event-i138496-arsenal_yatwaa_ubingwa_wa_ligi_kuu_ya_uingereza_baada_ya_man_city_kulazimishwa_sare_na_fc_bournemouth</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb8082fe6282pf54.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/event-i138496-arsenal_yatwaa_ubingwa_wa_ligi_kuu_ya_uingereza_baada_ya_man_city_kulazimishwa_sare_na_fc_bournemouth </guid>  
      <description>Hatimaye baada ya miaka 22 ya ukame, Arsenal au ukipenda waite The Gunners wametwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu wa 2025-26 baada ya Man City kulazimishwa sare ya bao moja kwa moja na The Cherries ambao nao walikuwa wanafukuzia angalau alama moja ili wafaulu kushiriki kombe la Uefa Conference Cup msimu ujao.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:59:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Medani mpya za mapambano zitafunguliwa ikiwa adui atatumbukia katika mtego wa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138494-jeshi_la_iran_medani_mpya_za_mapambano_zitafunguliwa_ikiwa_adui_atatumbukia_katika_mtego_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7453cf51172pf50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138494-jeshi_la_iran_medani_mpya_za_mapambano_zitafunguliwa_ikiwa_adui_atatumbukia_katika_mtego_wa_israel </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limeonya kuwa iwapo adui ataanguka tena katika mtego wa Israel na kuanzisha uchokozi mwingine dhidi ya Iran, jeshi la taifa litafungua medani mpya ya mapambano kwa kutumia zana na mbinu mpya.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:29:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uganda yawaweka karantini zaidi ya watu 100 huku WHO ikitoa tahadhari kuhusu kasi ya Ebola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138492-uganda_yawaweka_karantini_zaidi_ya_watu_100_huku_who_ikitoa_tahadhari_kuhusu_kasi_ya_ebola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6f3d6d36a42pf4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138492-uganda_yawaweka_karantini_zaidi_ya_watu_100_huku_who_ikitoa_tahadhari_kuhusu_kasi_ya_ebola </guid>  
      <description>Serikali ya Uganda inasema zaidi ya watu 100 wamewekwa karantini huku maafisa wa afya wakijitahidi kudhibiti mlipuko nadra wa Ebola unaohusishwa na aina ya virusi vya Bundibugyo.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:26:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kulegeza kamba mara kwa mara Trump, ishara ya kuemewa mbele ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138490-kulegeza_kamba_mara_kwa_mara_trump_ishara_ya_kuemewa_mbele_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa0b4e0df272pf2y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138490-kulegeza_kamba_mara_kwa_mara_trump_ishara_ya_kuemewa_mbele_ya_iran </guid>  
      <description>Pars Today - Rais wa Marekani Donald Trump, kwa mara ya kumi na moja katika kipindi cha wiki chache tu, amerudia tena majigambo yake ya kuishambulia Iran lakini baadaye anatafuta kisingizio cha kuakhirisha kushambulia.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:06:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138488-russia_yaanza_mazoezi_ya_nyuklia_ya_siku_3_huku_putin_akitarajiwa_nchini_china_kwa_ziara_ya_siku_mbili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5902e7a4a22pf4w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138488-russia_yaanza_mazoezi_ya_nyuklia_ya_siku_3_huku_putin_akitarajiwa_nchini_china_kwa_ziara_ya_siku_mbili </guid>  
      <description>Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya siku mbili.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:01:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Zakzaky: Damu ya Imam Khamenei aliyeuawa shahidi itawaandama Wazayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138486-sheikh_zakzaky_damu_ya_imam_khamenei_aliyeuawa_shahidi_itawaandama_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1aa2dbfef92pf4u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138486-sheikh_zakzaky_damu_ya_imam_khamenei_aliyeuawa_shahidi_itawaandama_wazayuni </guid>  
      <description>Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria amesema Imam Ali Khamenei aliyeuawa shahidi na damu yake safi vitaendelea kuuandama utawala wa Kizayuni wa Israel ambao ni sawa na donda la saratani.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 02:57:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Intelijensia ya Iran yasambaratisha kundi la magaidi wa kitakfiri wenye uhusiano na Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138484-intelijensia_ya_iran_yasambaratisha_kundi_la_magaidi_wa_kitakfiri_wenye_uhusiano_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx69e946c8a92pf4s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138484-intelijensia_ya_iran_yasambaratisha_kundi_la_magaidi_wa_kitakfiri_wenye_uhusiano_na_israel </guid>  
      <description>Timu za upelelezi za Iran zimefanikiwa kusambaratisha seli nne za wanamgambo wa Kitakfri wenye mfungamano na utawala wa Israel katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, kusini mashariki mwa Iran mkoa unaopakana na Pakistan.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 02:54:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran na vikosi vya jeshi vitailazimisha Marekani kusalimu amri</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138480-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_taifa_la_iran_na_vikosi_vya_jeshi_vitailazimisha_marekani_kusalimu_amri</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxadfca112482pf1i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138480-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_taifa_la_iran_na_vikosi_vya_jeshi_vitailazimisha_marekani_kusalimu_amri </guid>  
      <description>Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kwamba mkono wa chuma wa vikosi vya jeshi na taifa thabiti la Iran vitailazimisha Marekani kurudi nyuma na kusalimu amri.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 12:57:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Serikali ya Uganda yaweka udhibiti wa mipaka kutokana na mlipuko wa Ebola DRC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138478-serikali_ya_uganda_yaweka_udhibiti_wa_mipaka_kutokana_na_mlipuko_wa_ebola_drc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9a31c17eaa2pf1c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138478-serikali_ya_uganda_yaweka_udhibiti_wa_mipaka_kutokana_na_mlipuko_wa_ebola_drc </guid>  
      <description>Uganda imeanzisha udhibiti wa mipaka kutokana na mlipuko wa virusi vya Ebola. Wafanyakazi wa afya nchini humo tayari wameanza kupima halijoto ya watu huku wakiwasaidia kunawa mikono yao karibu na Bundibugyo magharibi mwa Uganda.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 12:47:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu watano wauawa katika shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko California</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138476-watu_watano_wauawa_katika_shambulio_dhidi_ya_msikiti_na_kituo_cha_kiislamu_huko_california</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf248b69dee2pf12.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138476-watu_watano_wauawa_katika_shambulio_dhidi_ya_msikiti_na_kituo_cha_kiislamu_huko_california </guid>  
      <description>Polisi wa San Diego huko California nchini Marekani wametangaza kwamba watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga kituo cha Kiislamu cha mji huo, wakiwemo washambuliaji wawili.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 12:34:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yasikiliza kesi dhidi ya kamanda wa zamani wa Gereza la Mitiga huko Libya kuhusu unyanyasaji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138474-icc_yasikiliza_kesi_dhidi_ya_kamanda_wa_zamani_wa_gereza_la_mitiga_huko_libya_kuhusu_unyanyasaji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx98472e83b02pf04.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138474-icc_yasikiliza_kesi_dhidi_ya_kamanda_wa_zamani_wa_gereza_la_mitiga_huko_libya_kuhusu_unyanyasaji </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imefungua kesi dhidi ya kamanda wa zamani wa gereza la Libya, Mohammed Ali El Hishri, anayetuhumiwa kusimamia uhalifu dhidi ya ubinadamu katika kituo maarufu cha kizuizi cha Mitiga karibu na Tripoli. </description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 11:18:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgomo wa sekta ya uchukuzi Kenya waahirishwa kuruhusu mazungumzo baina ya serikali na sekta hiyo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138472-mgomo_wa_sekta_ya_uchukuzi_kenya_waahirishwa_kuruhusu_mazungumzo_baina_ya_serikali_na_sekta_hiyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb7fa814b772pf00.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138472-mgomo_wa_sekta_ya_uchukuzi_kenya_waahirishwa_kuruhusu_mazungumzo_baina_ya_serikali_na_sekta_hiyo </guid>  
      <description>Mgomo wa sekta ya uchukuzi uliokuwa umeingia siku ya pili nchini Kenya umeahirishwa kwa muda wa siku saba ili kutoa nafasi kwa mazungumzo kati ya serikali na viongozi wa sekta hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 11:05:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138470-kwa_nini_ndoto_ya_marekani_ya_kuwa_nchi_ya_fursa_imeyoyoma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfa05eb8f142pezg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138470-kwa_nini_ndoto_ya_marekani_ya_kuwa_nchi_ya_fursa_imeyoyoma </guid>  
      <description>Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema, kutokana na “hali ya kijamii” ya Marekani inayozidi kuwa mbaya, haitazami tena nchi hiyo kwa jicho la mahala pa kuwashauri watoto wake wakasome au kufanya kazi. </description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 09:39:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Hatutasalimu amri kamwe': Pezeshkian aapa kuendeleza mapambano huku Trump akizidi kupiga ngoma za vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138468-'hatutasalimu_amri_kamwe'_pezeshkian_aapa_kuendeleza_mapambano_huku_trump_akizidi_kupiga_ngoma_za_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx390e5d7c232pew6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138468-'hatutasalimu_amri_kamwe'_pezeshkian_aapa_kuendeleza_mapambano_huku_trump_akizidi_kupiga_ngoma_za_vita </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameapa kutosalimu amri kamwe mbele ya dola lolote au kutoa kafara heshima ya taifa kwa ajili ya faraja.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 05:54:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu wanne wauawa katika maandamano ya bei ya mafuta Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138466-watu_wanne_wauawa_katika_maandamano_ya_bei_ya_mafuta_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6426432ffe2pex4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138466-watu_wanne_wauawa_katika_maandamano_ya_bei_ya_mafuta_kenya </guid>  
      <description>Takribani watu wanne wameuawa na wengine 30 kujeruhiwa nchini Kenya wakati maandamano ya kitaifa yakizuka kupinga kupanda kwa kasi kwa bei ya mafuta.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 05:50:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi wa Washington Post kuhusu mashambulio ya Iran kwenye vituo 228 vya kijeshi vya Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138464-uchunguzi_wa_washington_post_kuhusu_mashambulio_ya_iran_kwenye_vituo_228_vya_kijeshi_vya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx764065ff812pery.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138464-uchunguzi_wa_washington_post_kuhusu_mashambulio_ya_iran_kwenye_vituo_228_vya_kijeshi_vya_marekani </guid>  
      <description>Mwandishi wa habari mpelelezi wa gazeti la Washington Post amechapishwa maelezo kuhusu mashambulizi ya Iran kwenye taasisi na zana 228 za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 05:44:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Kihispania: Simulizi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya watu wa Gaza inabadilika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138462-muigizaji_wa_kihispania_simulizi_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_dhidi_ya_watu_wa_gaza_inabadilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx760aafd7b52pewi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138462-muigizaji_wa_kihispania_simulizi_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_dhidi_ya_watu_wa_gaza_inabadilika </guid>  
      <description>Muigizaji maarufu wa Kihispania amesema kando ya Tamasha la Filamu la Cannes kwamba: Licha ya kampeni yake ya hadharani dhidi ya vita vya Israel na mauaji ya kimbari ya utawala huo huko Gaza, Palestina, anafanya kazi zaidi kuliko hapo awali, na hii ina maana ya kubadilika simulizi kuhusu vita vya Gaza.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 04:11:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yavamia meli za Freedom Flotilla na kuwakamata washiriki 100</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138460-israel_yavamia_meli_za_freedom_flotilla_na_kuwakamata_washiriki_100</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1431e64f2a2pevo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138460-israel_yavamia_meli_za_freedom_flotilla_na_kuwakamata_washiriki_100 </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vimeripoti kwamba makomandoo wa jeshi la Wanamaji la Israel wamevamia msafara wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza "Global Sumud Flotilla," ambao ulianza safari Alhamisi iliyopita kutoka Uturuki kuelekea Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 04:02:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne, Pili Dhulhija 1447 Hijria, 19 Mei 2026.</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138458-jumanne_pili_dhulhija_1447_hijria_19_mei_2026.</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b0dd57fe92pe9u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138458-jumanne_pili_dhulhija_1447_hijria_19_mei_2026. </guid>  
      <description>Leo ni Jumanne tarehe Pili Dhulhija 1447 Hijria mwafaka na 19 Mei 2026.
Siku kama ya leo miaka Miaka 505 iliyopita, majeshi ya utawala wa kifalme wa Othmania yaliuteka mji muhimu wa Belgrade, uliokuwa mji mkuu wa Yugoslavia ya zamani.  
</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 03:58:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel ilianzisha vipi vituo vya kijeshi nchini Iraq na madhara yake ni yapi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138456-israel_ilianzisha_vipi_vituo_vya_kijeshi_nchini_iraq_na_madhara_yake_ni_yapi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbfb6e2780c2peuk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138456-israel_ilianzisha_vipi_vituo_vya_kijeshi_nchini_iraq_na_madhara_yake_ni_yapi </guid>  
      <description>Gazeti la Marekani la New York Times limeandika katika ripoti yake kwamba, Israel imeanzisha vituo viwili vya kijeshi vya siri ndani ya ardhi ya Iraq kwa ajili ya kusaidia operesheni zake dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 16:21:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran: Marekani, Israel zinapandikiza chuki baina ya Waislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138454-rais_wa_iran_marekani_israel_zinapandikiza_chuki_baina_ya_waislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx92f9dde07c2pen8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138454-rais_wa_iran_marekani_israel_zinapandikiza_chuki_baina_ya_waislamu </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba tawala za Marekani na Israel zinaendeleza miradi ya kuzusha migawanyiko na kueneza hali ya kutoaminiana ili kuyagonganisha mataifa ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 12:13:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na wenzake huku mvutano na Marekani ukitokota</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138452-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_wenzake_huku_mvutano_na_marekani_ukitokota</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx407dbd8af42penc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138452-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_wenzake_huku_mvutano_na_marekani_ukitokota </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amefanya mazungumzo ya simu kwa nyakati tofauti na mawaziri wenzake wa Ufaransa, Qatar, Uturuki, na Korea Kusini, siku ya Jumapili, ili kutathmini mahusiano ya pande mbili, matukio ya kieneo na mchakato wa kidiplomasia unaoendelea.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 12:10:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uganda yapitisha sheria ya kudhibiti ushawishi wa kigeni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138450-uganda_yapitisha_sheria_ya_kudhibiti_ushawishi_wa_kigeni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxdb359e33b12peso.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138450-uganda_yapitisha_sheria_ya_kudhibiti_ushawishi_wa_kigeni </guid>  
      <description>Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ametia saini sheria mpya inayolenga kudhibiti ushawishi wa kigeni nchini humo.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 12:08:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgomo na maandamano Kenya kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138448-mgomo_na_maandamano_kenya_kufuatia_kupanda_kwa_bei_ya_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7a8ccad5d92pesk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138448-mgomo_na_maandamano_kenya_kufuatia_kupanda_kwa_bei_ya_mafuta </guid>  
      <description>Maandamano dhidi ya kupanda kwa bei ya mafuta yamezuka katika miji kadhaa nchini Kenya siku ya Jumatatu huku athari mbaya za vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran zikiendelea kuhisika duniani kote.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 12:03:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Cuba yasisitiza haki yake ya kujilinda kufuatia tishio la hujuma ya kijeshi kutoka Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138446-cuba_yasisitiza_haki_yake_ya_kujilinda_kufuatia_tishio_la_hujuma_ya_kijeshi_kutoka_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7b6494502e2pese.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138446-cuba_yasisitiza_haki_yake_ya_kujilinda_kufuatia_tishio_la_hujuma_ya_kijeshi_kutoka_marekani </guid>  
      <description>Balozi wa Cuba katika Umoja wa Mataifa amesisitiza haki ya nchi yake kujilinda dhidi ya uwezekano wowote wa uvamizi wa kijeshi kutoka Marekani, kwa mujibu wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 11:50:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Velayati aikosoa Marekani kwa vitisho dhidi ya Iran, aonya inaangukia “mtego” wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138444-velayati_aikosoa_marekani_kwa_vitisho_dhidi_ya_iran_aonya_inaangukia_mtego_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx360c4ec8822peom.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138444-velayati_aikosoa_marekani_kwa_vitisho_dhidi_ya_iran_aonya_inaangukia_mtego_wa_israel </guid>  
      <description>Ali Akbar Velayati, mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ameonya kuwa Marekani inaangukia “mtego wa kimkakati” uliotegwa na Israel, akisema kuwa Marekani itapoteza kabisa mabaki ya uaminifu wake katika eneo la Asia Magharibi iwapo itaanzisha vita vingine dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:43:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>FIFA yafanya mazungumzo “chanya” na Iran Kabla ya Kombe la Dunia 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138442-fifa_yafanya_mazungumzo_chanya_na_iran_kabla_ya_kombe_la_dunia_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5fe54313f82peoi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138442-fifa_yafanya_mazungumzo_chanya_na_iran_kabla_ya_kombe_la_dunia_2026 </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limesema mazungumzo ya hivi karibuni na maafisa wa soka wa Iran yalikuwa chanya na yenye kujenga, huku maandalizi ya kuelekea Kombe la Dunia la 2026 yakiendelea.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:40:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iraq yachora mstari mwekundu; yasema: Ardhi ya nchi hiyo haitatumika kufanya mashambulizi dhidi ya Iran au nchi jirani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138440-iraq_yachora_mstari_mwekundu_yasema_ardhi_ya_nchi_hiyo_haitatumika_kufanya_mashambulizi_dhidi_ya_iran_au_nchi_jirani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf8503c55e22peog.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138440-iraq_yachora_mstari_mwekundu_yasema_ardhi_ya_nchi_hiyo_haitatumika_kufanya_mashambulizi_dhidi_ya_iran_au_nchi_jirani </guid>  
      <description>Iraq imetangaza wazi kuwa kamwe haitaruhusu ardhi yake itumike kwa ajili ya kufanya mashambulizi dhidi ya nchi jirani, hasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:37:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri: Marekani haiwezi kuizuia Afrika Kusini kushiriki  kwenye kikao cha G20 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138438-waziri_marekani_haiwezi_kuizuia_afrika_kusini_kushiriki_kwenye_kikao_cha_g20</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5d870b5a182peoe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138438-waziri_marekani_haiwezi_kuizuia_afrika_kusini_kushiriki_kwenye_kikao_cha_g20 </guid>  
      <description>Waziri wa Afrika Kusini wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Ronald Lamola, amesema Marekani haiwezi kuizuia nchi yake kushiriki kwenye Mkutano wa kilele wa nchi za G20 mwezi Desemba, akisisitiza kuwa nchi hiyo ni mwanachama mwanzilishi.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:32:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yatoa hati “za siri” za kukamatwa kwa maafisa watano wa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138436-icc_yatoa_hati_za_siri_za_kukamatwa_kwa_maafisa_watano_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2708388a892peoc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138436-icc_yatoa_hati_za_siri_za_kukamatwa_kwa_maafisa_watano_wa_israel </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yenye makao yake The Hague imeripotiwa kutoa hati tano za “siri” za kukamatwa kwa maafisa wa utawala wa Israel, wakiwemo wanasiasa watatu na maafisa wawili wa kijeshi.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:29:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Muqawama wa kihistoria wa Iran unaongeza kasi ya mabadiliko ya kimataifa ambayo hayajawahi kutokea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138434-spika_qalibaf_muqawama_wa_kihistoria_wa_iran_unaongeza_kasi_ya_mabadiliko_ya_kimataifa_ambayo_hayajawahi_kutokea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxdc41b5c9d72peju.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138434-spika_qalibaf_muqawama_wa_kihistoria_wa_iran_unaongeza_kasi_ya_mabadiliko_ya_kimataifa_ambayo_hayajawahi_kutokea </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) Mohammad Baqir Qalibaf amesema kuwa muqawama wa kishujaa wa taifa la Iran kwa muda wa siku 70 umekuwa msukumo katika kuharakisha mageuzi ambayo hayajaonekana katika karne moja, na hivyo kuashiria mapambazuko ya mfumo mpya wa kambi kadhaa.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 11:30:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi Muadhamu: Uvumilivu haupo siku zote/ Azitahadharisha nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138432-mshauri_wa_ngazi_ya_juu_wa_kiongozi_muadhamu_uvumilivu_haupo_siku_zote_azitahadharisha_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3b2dd1b3bd2pejo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138432-mshauri_wa_ngazi_ya_juu_wa_kiongozi_muadhamu_uvumilivu_haupo_siku_zote_azitahadharisha_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi Muadhamu: Uvumilivu haupo siku zote/ Azitahadharisha nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 11:23:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Felicien Kabuga aliyekuwa ameshtakiwa kwa mauaji ya kimbari ya Rwanda afariki dunia nchini Uholanzi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138430-felicien_kabuga_aliyekuwa_ameshtakiwa_kwa_mauaji_ya_kimbari_ya_rwanda_afariki_dunia_nchini_uholanzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4fc4ed732e2pej0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138430-felicien_kabuga_aliyekuwa_ameshtakiwa_kwa_mauaji_ya_kimbari_ya_rwanda_afariki_dunia_nchini_uholanzi </guid>  
      <description>Felicien Kabuga, aliyekuwa ameshtakiwa kwa kufadhili mauaji ya kimbari ya 1994 dhidi ya Watutsi nchini Rwanda, jana Jumamosi alifariki dunia katika hospitali huko The Hague, nchini Uholanzi akiwa na umri wa miaka 91. </description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 09:47:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO yaainisha mlipuko wa Ebola Congo DR na Uganda kama dharura ya afya ya umma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138428-who_yaainisha_mlipuko_wa_ebola_congo_dr_na_uganda_kama_dharura_ya_afya_ya_umma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx903bc1448b2peic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138428-who_yaainisha_mlipuko_wa_ebola_congo_dr_na_uganda_kama_dharura_ya_afya_ya_umma </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limeainisha mlipuko wa virusi vya Ebola vya Bundibugyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda kama dharura ya afya ya umma inayotia wasiwasi kimataifa.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 08:50:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yatoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu unyanyasaji dhidi ya wafungwa katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138426-un_yatoa_wito_wa_kufanyika_uchunguzi_kuhusu_unyanyasaji_dhidi_ya_wafungwa_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcc2ef6f27b2peia.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138426-un_yatoa_wito_wa_kufanyika_uchunguzi_kuhusu_unyanyasaji_dhidi_ya_wafungwa_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa imelaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya wafungwa wa Kipalestina, ikitaka kufanyike uchunguzi huru, usioegemea upande wowote na wa wazi kuhusu visa vyote vya vifo, mateso, unyanyasaji na ukiukaji mwingine, na kwa wale waliohusika kuwajibishwa.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 08:45:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili tarehe 17 Mei 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138424-jumapili_tarehe_17_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa7f64d22792pefi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138424-jumapili_tarehe_17_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili tarehe 29 Mfunguo Pili Dhulqaada 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 17 Mei, 2026.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:57:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yaikosoa Magharibi kwa kutoweza kutatua migogoro inayojitengenezea yenyewe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138422-tehran_yaikosoa_magharibi_kwa_kutoweza_kutatua_migogoro_inayojitengenezea_yenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8d4a8095b82pe4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138422-tehran_yaikosoa_magharibi_kwa_kutoweza_kutatua_migogoro_inayojitengenezea_yenyewe </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemsihi mwandishi anayepinga ukoloni, Aimé Césaire, kulaani uozo wa maadili, unafiki na kushindwa kwa nchi za Magharibi kukabiliana na migogoro iliyotokana na vita na udhibiti wao.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:49:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mzimu wa Khashoggi bado unamwandama Bin Salman; Mahakama ya Ufaransa yaidhinisha uchunguzi kuhusu mauaji yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138420-mzimu_wa_khashoggi_bado_unamwandama_bin_salman_mahakama_ya_ufaransa_yaidhinisha_uchunguzi_kuhusu_mauaji_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0b69df0b912pefe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138420-mzimu_wa_khashoggi_bado_unamwandama_bin_salman_mahakama_ya_ufaransa_yaidhinisha_uchunguzi_kuhusu_mauaji_yake </guid>  
      <description>Jaji wa Ufaransa atachunguza mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi mwaka 2018 kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu dhidi ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:45:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemeni: Ansarullah iko ‘bega kwa bega’ na Hizbullah dhidi ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138418-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_yemeni_ansarullah_iko_bega_kwa_bega’_na_hizbullah_dhidi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx824c3993432pefc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138418-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_yemeni_ansarullah_iko_bega_kwa_bega’_na_hizbullah_dhidi_ya_israel </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema harakati ya muqawama ya nchi hiyo Ansarullah iko "bega kwa bega" na harakati ya mapambano ya Lebanon Hizbullah katika kukukabiliana na njama na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:43:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeffrey Sachs: Walioishambulia Iran wanapasa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138416-jeffrey_sachs_walioishambulia_iran_wanapasa_kuarifishwa_kama_pande_zilizoshindwa_vitani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxed7aad6c1e2pef8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138416-jeffrey_sachs_walioishambulia_iran_wanapasa_kuarifishwa_kama_pande_zilizoshindwa_vitani </guid>  
      <description>Mchumi mashuhuri wa Marekani, anaamini kuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa, walioanzisha mashambulizi dhidi ya Iran wanapaswa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani; wamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na wanawajibika kwa uharibifu na matokeo ya vita walivyovianzisha.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:38:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu wenye silaha wawateka nyara makumi ya wanafunzi katika Jimbo la Borno nchini Nigeria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138414-watu_wenye_silaha_wawateka_nyara_makumi_ya_wanafunzi_katika_jimbo_la_borno_nchini_nigeria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx44ac2c300a2pef6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138414-watu_wenye_silaha_wawateka_nyara_makumi_ya_wanafunzi_katika_jimbo_la_borno_nchini_nigeria </guid>  
      <description>Watu waliokuwa na silaha wameteka nyara makumi ya wanafunzi wa shule katika jimbo lililokumbwa na machafuko la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:36:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kumalizika enzi za kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu za madola ya Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138412-kumalizika_enzi_za_kutekeleza_kwa_lazima_amri_za_kimabavu_za_madola_ya_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8b0c0d1cc82pef0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138412-kumalizika_enzi_za_kutekeleza_kwa_lazima_amri_za_kimabavu_za_madola_ya_magharibi </guid>  
      <description>Pars Today - Majid Nili Ahmadabadi, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ujerumani amejibu kauli za kansela wa nchi hiyo alizotoa baada ya mazungumzo ya simu na rais wa Marekani Donald Trump, akisema kwa maandishi kwamba: "Enzi ya kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu na za upande mmoja za madola ya Magharibi, zimekwisha.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:09:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian ampongeza Papa Leo, asema Iran bado imejitolea kwa diplomasia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138410-rais_pezeshkian_ampongeza_papa_leo_asema_iran_bado_imejitolea_kwa_diplomasia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc60be126832pe9k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138410-rais_pezeshkian_ampongeza_papa_leo_asema_iran_bado_imejitolea_kwa_diplomasia </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza misimamo ya kimaadili ya Papa Leo XIV kuhusu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, akisisitiza haja ya jamii ya kimataifa kuchukua mwelekeo unaotilia maanani hali halisi na wa haki, na kutoa wito kwa nchi zote duniani kukabiliana na matakwa haramu na sera za kibabe na hatari za Marekani.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:25:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Kuhusu "Siku ya Nakbat"; Uhalifu wa Israel ni jinai ya kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138408-taarifa_ya_wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_kuhusu_siku_ya_nakbat_uhalifu_wa_israel_ni_jinai_ya_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4df8edbcfd2pebg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138408-taarifa_ya_wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_kuhusu_siku_ya_nakbat_uhalifu_wa_israel_ni_jinai_ya_kivita </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza katika taarifa iliyotolewa kwa mnasaba wa tukio la "Siku ya Nakbat" kwamba uhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kielelezo halisi cha jinai za kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya kimbari, na kwa msingi huu, mahakama za kimataifa zinataka kuwaadhibu wahalifu wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:21:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Walioanzisha vita wanabeba dhima ya hali ya sasa ya Hormuz na athari zake mbaya za kiuchumi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138406-iran_walioanzisha_vita_wanabeba_dhima_ya_hali_ya_sasa_ya_hormuz_na_athari_zake_mbaya_za_kiuchumi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5834ecf22d2pebe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138406-iran_walioanzisha_vita_wanabeba_dhima_ya_hali_ya_sasa_ya_hormuz_na_athari_zake_mbaya_za_kiuchumi </guid>  
      <description>Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa mjini New York amesema kuwa walioanzisha vita dhidi ya Iran na washirika wao katika kanda hii wanabeba dhima kamili ya hali ya sasa katika Mlango-Bahari wa Hormuz na athari zake mbaya za kiuchumi duniani. </description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:14:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi wa awali wabaini utambulisho wa miili 12 iliyopatikana pwani ya Matrouh, Misri</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138404-uchunguzi_wa_awali_wabaini_utambulisho_wa_miili_12_iliyopatikana_pwani_ya_matrouh_misri</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5ca90d02e02pebc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138404-uchunguzi_wa_awali_wabaini_utambulisho_wa_miili_12_iliyopatikana_pwani_ya_matrouh_misri </guid>  
      <description>Vyanzo rasmi vya Misri vimefichua kwamba miili 12 iliyopatikana kwenye boti ya mpira siku ya Alkhamisi nje ya pwani ya kijiji cha Abu Ghleila katika mji wa Sidi Barrani ni ya vijana wa Misri kutoka majimbo 5 nchini humo.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:10:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138402-kiongozi_wa_wachache_wa_seneti_ya_marekani_safari_ya_trump_nchini_china_ilikuwa_fedheha_tupu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc7a3d021bd2peba.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138402-kiongozi_wa_wachache_wa_seneti_ya_marekani_safari_ya_trump_nchini_china_ilikuwa_fedheha_tupu </guid>  
      <description>Chuck Schumer, Kiongozi wa Wachache katika Seneti ya Marekani, amesema kwamba safari ya Rais Donald Trump nchini China haikuwa na mafanikio yoyote kwa watu wa Marekani na ilikuwa fedheha kamili.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:05:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini UAE imekuwa na wasiwasi kuhusu kufichuliwa safari ya Netanyahu huko Abu Dhabi? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138396-kwa_nini_uae_imekuwa_na_wasiwasi_kuhusu_kufichuliwa_safari_ya_netanyahu_huko_abu_dhabi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxee7c5c1f062peas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138396-kwa_nini_uae_imekuwa_na_wasiwasi_kuhusu_kufichuliwa_safari_ya_netanyahu_huko_abu_dhabi </guid>  
      <description>Kufichuliwa kwa safari ya Netanyahu huko UAE wakati wa vita vya kichokozi vya Marekani na utawala haramu wa Israel dhidi ya Iran kumewafanya watawala wa UAE wawakasirikie sana wenzao wa utawala wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 10:50:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, tarehe 16 Mei, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138394-jumamosi_tarehe_16_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b0dd57fe92pe9u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138394-jumamosi_tarehe_16_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi tarehe 28 Dhulqaada 1447 Hijria sawa na tarehe 16 Mei 2026.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 08:19:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ebola yaibuka tena nchini DRC, WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na mlipuko</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138392-ebola_yaibuka_tena_nchini_drc_who_yaimarisha_hatua_za_kukabiliana_na_mlipuko</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2947ddea852pe6y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138392-ebola_yaibuka_tena_nchini_drc_who_yaimarisha_hatua_za_kukabiliana_na_mlipuko </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani, WHO, limetangaza kuisaidia kikamilifu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC baada ya kuthibitishwa kwa mlipuko mpya wa ugonjwa hatari wa Ebola katika jimbo la Ituri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 03:00:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Qassim: Imamu Khamenei alirejesha Umma kwenye Uislamu halisi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138390-sheikh_qassim_imamu_khamenei_alirejesha_umma_kwenye_uislamu_halisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx14421d729f2pe6w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138390-sheikh_qassim_imamu_khamenei_alirejesha_umma_kwenye_uislamu_halisi </guid>  
      <description>Mwanazuoni mkuu wa Bahrain, Ayatullah Sheikh Isa Qassim amemsifu Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Imam Ali Khamenei, kama "mtu aliyerudisha Umma kwenye Uislamu halisi."</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:53:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Ubadilishanaji wa teknolojia na rasilimali watu ufanyike bila vikwazo kati ya wanachama wa BRICS</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138388-araqchi_ubadilishanaji_wa_teknolojia_na_rasilimali_watu_ufanyike_bila_vikwazo_kati_ya_wanachama_wa_brics</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx54728a76142pe68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138388-araqchi_ubadilishanaji_wa_teknolojia_na_rasilimali_watu_ufanyike_bila_vikwazo_kati_ya_wanachama_wa_brics </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika Mkutano wa Pili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa BRICS kwamba: Ubadilishanaji wa teknolojia na rasilimali watu unapaswa kufanywa bila vikwazo miongoni mwa wanachama wa BRICS.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:45:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashirika ya Kiislamu ya Marekani: Warepublican wamegeuza vikao vya Kongresi kuwa silaha dhidi ya Waislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138386-mashirika_ya_kiislamu_ya_marekani_warepublican_wamegeuza_vikao_vya_kongresi_kuwa_silaha_dhidi_ya_waislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0307b8e7b72pe6u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138386-mashirika_ya_kiislamu_ya_marekani_warepublican_wamegeuza_vikao_vya_kongresi_kuwa_silaha_dhidi_ya_waislamu </guid>  
      <description>Mashirika ya Kiislamu nchini Marekani yametangaza kwamba vikao vya Kongresi, ambavyo wabunge wa Republican wametangaza kuwa lengo lake ni kuondoa Sharia nchini Marekani, vimekuwa silaha dhidi ya Waislamu waliowachache kwa kusababisha hofu dhidi ya wafusi wa dini hiiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:43:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Quds na Msikiti wa Al-Aqsa ndio utambulisho wa Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138382-hamas_quds_na_msikiti_wa_al_aqsa_ndio_utambulisho_wa_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd7180c83ea2pe6q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138382-hamas_quds_na_msikiti_wa_al_aqsa_ndio_utambulisho_wa_palestina </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba uvamizi wa walowezi wa Kizayuni na kufanya "maandamano ya bendera" huko Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Al-Aqsa ni majaribio yaliyoshindwa ya kutaka kubadilisha utambulisho wa ardhi takatifu ya Palestina.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:19:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa, tarehe 15 Mei, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138380-ijumaa_tarehe_15_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0125fdecaa2pe4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138380-ijumaa_tarehe_15_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa tarehe 27 Dhilqaada 1447 Hijria sawa na tarehe 15 Mei mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 14:12:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanzo wa mpasuko wa kimkakati kati ya pande mbili za Atlantiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138378-mwanzo_wa_mpasuko_wa_kimkakati_kati_ya_pande_mbili_za_atlantiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6f1ac59d632pb6g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138378-mwanzo_wa_mpasuko_wa_kimkakati_kati_ya_pande_mbili_za_atlantiki </guid>  
      <description>José Manuel Albares Bueno, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uhispania, akisisitiza tena sera ya serikali ya nchi yake katika kupinga uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema: 'Marekani haiwezi kutumia vituo vyetu vya anga kwa ajili ya vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 10:22:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awaonya maadui, mkijaribu mtashindwa tena </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138376-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_awaonya_maadui_mkijaribu_mtashindwa_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3825a386802pe28.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138376-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_awaonya_maadui_mkijaribu_mtashindwa_tena </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amezionya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuanzisha tena hatua mpya za kijeshi dhidi ya Iran, akisema kuwa makabiliano ya awali yalishindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa, na kwamba jaribio lolote la baadaye litakuwa na matokeo yaleyale.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:49:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Maigizo ya Marekani Hormuz yanaweza kusababisha mgogoro mpya wa kifedha duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138374-qalibaf_maigizo_ya_marekani_hormuz_yanaweza_kusababisha_mgogoro_mpya_wa_kifedha_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4998940d382pe2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138374-qalibaf_maigizo_ya_marekani_hormuz_yanaweza_kusababisha_mgogoro_mpya_wa_kifedha_duniani </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge), Mohammad-Baqer Qalibaf, ameonya kuwa juhudi za Marekani za kuendeleza mvutano wa kijeshi karibu na Mlango Bahari wa Hormuz zinaweza kusababisha mgogoro mpya wa kifedha duniani, wakati ambapo deni la taifa la Marekani tayari limefikia kiwango kikubwa cha dola trilioni 39.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:47:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>YouTube yaifuta akaunti ya ‘Sovereign Media’ ya kupinga ubeberu nchini Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138372-youtube_yaifuta_akaunti_ya_sovereign_media’_ya_kupinga_ubeberu_nchini_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf310646ab92pe30.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138372-youtube_yaifuta_akaunti_ya_sovereign_media’_ya_kupinga_ubeberu_nchini_kenya </guid>  
      <description>Kwa hatua iliyowashangaza wengi, YouTube imeiondoa bila taarifa ya awali akaunti ya Sovereign Media, chombo huru cha habari chenye makao yake Nairobi kinachojulikana kwa msimamo wake wa kupinga ubeberu.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:45:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaonya kuwa mamilioni wanakabiliwa na njaa DRC kutokana na vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138370-un_yaonya_kuwa_mamilioni_wanakabiliwa_na_njaa_drc_kutokana_na_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1e34fd381e2pe2y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138370-un_yaonya_kuwa_mamilioni_wanakabiliwa_na_njaa_drc_kutokana_na_vita </guid>  
      <description>Onyo kali limetolewa na Mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa njaa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo unaoendelea kuwa mbaya zaidi, huku zaidi ya watu milioni 26.5 wakihangaika kupata mahitaji yao ya msingi ya chakula kila siku.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:42:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Satelaiti tatu za Iran kurushwa katika anga za mbali karibuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138368-satelaiti_tatu_za_iran_kurushwa_katika_anga_za_mbali_karibuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx298101175d2pe2w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138368-satelaiti_tatu_za_iran_kurushwa_katika_anga_za_mbali_karibuni </guid>  
      <description>Shirika la Anga za Mbali la Iran (ISA) limetangaza kwamba satelaiti tatu zilizotengenezwa ndani ya nchi zimeingia katika hatua ya mwisho ya majaribio, ishara kwamba mpango wa anga wa kiraia wa nchi hii unastawi kwa kasi licha ya mashinikizo kutoka nchi za Magharibi na utawala wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:38:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Washington Katika Mkwamo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/event-i138366-washington_katika_mkwamo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8a63e84a7d2pe1u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/event-i138366-washington_katika_mkwamo </guid>  
      <description>Jarida la Marekani la The Atlantic hivi karibuni lilichapisha ripoti iliyochunguza kwa mapana na marefu vipengele vya makabiliano ya kijeshi kati ya Marekani na Iran pamoja na athari zake. Ripoti hiyo inaonyesha kuwa, sera na hatua za Washington hadi sasa hazijawa na matokeo yaliyotarajiwa, na zimeisababishia Marekani vizuizi na changamoto kali.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 07:59:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya viwanja vya michezo yafichua uadui kwa heshima ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138364-pezeshkian_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_viwanja_vya_michezo_yafichua_uadui_kwa_heshima_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx76b662a40b2pe0y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138364-pezeshkian_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_viwanja_vya_michezo_yafichua_uadui_kwa_heshima_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa kulengwa kwa viwanja vya michezo na miundombinu ya umma na Marekani pamoja na Israel wakati wa vita vya uchokozi kumefichua uadui wa washambuliaji hao dhidi ya heshima, furaha na fahari ya taifa la Iran. </description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:08:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: UAE ni “mshirika hai” katika uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138362-araghchi_uae_ni_mshirika_hai_katika_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc6c817b2412pe0u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138362-araghchi_uae_ni_mshirika_hai_katika_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameikosoa vikali Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuwa mshirika wa moja kwa moja katika uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran. Ametoa kauli hiyo akijibu madai yasiyo na msingi yaliyotolewa na mwakilishi wa UAE.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:06:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>HRW yawatuhumu waasi M23 na wanajeshi wa Rwanda kwa mauaji, ubakaji katika mji wa Uvira, Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138360-hrw_yawatuhumu_waasi_m23_na_wanajeshi_wa_rwanda_kwa_mauaji_ubakaji_katika_mji_wa_uvira_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx661ae6daaf2pe0s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138360-hrw_yawatuhumu_waasi_m23_na_wanajeshi_wa_rwanda_kwa_mauaji_ubakaji_katika_mji_wa_uvira_kongo </guid>  
      <description>Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeeleza katika ripoti yake kuwa waasi wa kundi la M23 na wanajeshi wa Rwanda waliukalia kwa mabavu na kwa ukatili mji wa Uvira kwa muda wa mwezi mmoja unaopatikana mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo; hatua iliyoambatana na mauaji ya kiholela, ubakaji na kuwateka nyara raia. </description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:03:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nchi Washirika wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi wagawanyika kuhusu vita vipya dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138358-nchi_washirika_wa_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_wagawanyika_kuhusu_vita_vipya_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0070d4357e2pe00.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138358-nchi_washirika_wa_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_wagawanyika_kuhusu_vita_vipya_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Tathmini ya siri iliyofanywa na shirika la kijasusi la Marekani, CIA, imebaini kuwa washirika wa Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi wamegawanyika kuhusu iwapo waunge mkono vita vipya dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:01:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mahakama yasitisha vikwazo vya Marekani dhidi ya Albanese kwa kauli zake kuhusu mauaji ya kimbari Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138356-mahakama_yasitisha_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_albanese_kwa_kauli_zake_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbb2b5034382pdzs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138356-mahakama_yasitisha_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_albanese_kwa_kauli_zake_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_gaza </guid>  
      <description>Jaji wa mahakama ya shirikisho katika Wilaya ya Columbia nchini Marekani amesitisha vikwazo vilivyowekwa na serikali ya Marekani dhidi ya Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 04:40:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi katika mkutano wa BRICS New Delhi: Ushawishi wa Marekani unapungua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138354-araqchi_katika_mkutano_wa_brics_new_delhi_ushawishi_wa_marekani_unapungua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxeca646c6942pdum.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138354-araqchi_katika_mkutano_wa_brics_new_delhi_ushawishi_wa_marekani_unapungua </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi amesema kuwa wananchi wa Iran "wamesimama kidete na kwa fahari " dhidi ya machafuko ya kutisha, na kamwe hawatasalimu amri mbele ya matakwa ya Marekani nchi ambayo ushawishi wake duniani unazidi kupungua.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 10:31:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Havana yatahadharisha: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Cuba yatasababisha umwagaji damu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138352-havana_yatahadharisha_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_cuba_yatasababisha_umwagaji_damu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6348224fc52pdui.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138352-havana_yatahadharisha_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_cuba_yatasababisha_umwagaji_damu </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba ametahadharisha kuwa: Hujuma yoyote ya kijeshi ya Marekani dhidi ya nchi hiyo itasababisha maafa ya binadamu na umwagaji damu.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 10:16:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madaktari wa magonjwa ya akili wa Marekani: Trump anapasa kuuzuliwa mamlakani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138350-madaktari_wa_magonjwa_ya_akili_wa_marekani_trump_anapasa_kuuzuliwa_mamlakani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8647dfe29e2pdug.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138350-madaktari_wa_magonjwa_ya_akili_wa_marekani_trump_anapasa_kuuzuliwa_mamlakani </guid>  
      <description>Makumi ya madaktari wa magonjwa ya akili na wataalam wakuu wa afya ya akili nchini Marekani wametia saini taarifa ambayo imemtaja Rais Donald Trump kuwa "hatari ya wazi na ya haraka" na kutaka hatua za haraka zichukuliwe ili kumuondoa madarakani.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 10:13:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa China amuonya Trump kuhusu Taiwan; usifanye makosa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138348-rais_wa_china_amuonya_trump_kuhusu_taiwan_usifanye_makosa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc4b4c51fe62pdik.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138348-rais_wa_china_amuonya_trump_kuhusu_taiwan_usifanye_makosa </guid>  
      <description>Rais wa China ameonya katika mazungumzo yake na mwenzake wa Marekani, Donald Trump huko Beijing kuhusu hatua zozote za Washington katika Kisiwa cha Taiwan, akisema: Kosa lolote linaweza kusababisha mzozo kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 09:18:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya Habari vya Marekani: Iran bado ina uwezo mkubwa wa makombora</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138346-vyombo_vya_habari_vya_marekani_iran_bado_ina_uwezo_mkubwa_wa_makombora</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx819ae6f6092pdsw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138346-vyombo_vya_habari_vya_marekani_iran_bado_ina_uwezo_mkubwa_wa_makombora </guid>  
      <description>Kinyume na madai ya maafisa wa serikali ya Marekani wanaochochea vita, akiwemo Rais Donald Trump, vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti, vikinukuu tathmini za siri, kwamba Iran bado ina uwezo mkubwa wa makombora.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 08:46:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Hakuna silaha za Marekani zikazovuka Mlango-Bahari wa Hormuz </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138344-jeshi_la_iran_hakuna_silaha_za_marekani_zikazovuka_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa2939bca2e2pdpa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138344-jeshi_la_iran_hakuna_silaha_za_marekani_zikazovuka_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaruhusu tena silaha za Marekani kuvuka Mlango-Bahari wa Hormuz na kuingia katika vituo vya nchi za kanda hii. Limesema kuwa njia hiyo ya kistratejia ya majini sasa iko chini ya udhibiti wa kimkakati wa vikosi vya ulinzi vya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:37:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Uhispania ampongeza Lamine Yamal kwa kusherehekea ubingwa na bendera ya Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138342-waziri_mkuu_wa_uhispania_ampongeza_lamine_yamal_kwa_kusherehekea_ubingwa_na_bendera_ya_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8820a4bf162pdh6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138342-waziri_mkuu_wa_uhispania_ampongeza_lamine_yamal_kwa_kusherehekea_ubingwa_na_bendera_ya_palestina </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sanchez, amesisitiza uungaji mkono wa nchi yake kwa haki ya Wapalestina ya kuanzisha nchi yao wenyewe, akitoa maoni yake kuhusu utata uliosababishwa na hatua ya nyoka wa timu ya soka ya Barcelona, Lamine Yamal, wakati timu yake ilipokuwa ikisherehekea taji la ubingwa wa ligi ya Uhispania.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:35:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Barua ya wanasayansi zaidi ya 1,000 yasisitiza kulindwa vyuo vikuu vya Iran dhidi mashambulizi ya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138340-barua_ya_wanasayansi_zaidi_ya_1_000_yasisitiza_kulindwa_vyuo_vikuu_vya_iran_dhidi_mashambulizi_ya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4de2f0f01f2pdp6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138340-barua_ya_wanasayansi_zaidi_ya_1_000_yasisitiza_kulindwa_vyuo_vikuu_vya_iran_dhidi_mashambulizi_ya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Mamia ya wanachama wa Muungano wa Kimataifa wa Wanasayansi Duniani wameandika barua ya wazi kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UNESCO, na Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wakitaka kulindwa taasisi za kisayansi nchini Iran, na pande vamizi yaani Marekani na Israel ziwajibishwe. </description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:29:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin apongeza uzinduzi wa 'kombora lenye nguvu zaidi duniani'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138338-putin_apongeza_uzinduzi_wa_'kombora_lenye_nguvu_zaidi_duniani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx38b143d3f62pdp4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138338-putin_apongeza_uzinduzi_wa_'kombora_lenye_nguvu_zaidi_duniani' </guid>  
      <description>Russia imefanya majaribio ya kombora jipya la balestiki lenye uwezo wa kupiga shabaha kutoka bara moja hadi jingine, huku Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo akilitaja kombora hilo lenye uwezo wa kutumia silaha za nyuklia kwa jina la "Sarmat" kuwa kombora "lenye nguvu zaidi" duniani. </description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:27:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yaionya Marekani kuhusu mauzo ya silaha kwa Taiwan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138336-china_yaionya_marekani_kuhusu_mauzo_ya_silaha_kwa_taiwan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7135a362542pdp2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138336-china_yaionya_marekani_kuhusu_mauzo_ya_silaha_kwa_taiwan </guid>  
      <description>China kwa mara nyingine tena imepinga vikali hatua ya Marekani kuzidisha himaya na uungaji mkono wake wa kijeshi kwa Taiwan sambamba na ziara ya Rais Trump mjini Beijing.  </description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:24:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kukaribia mwisho wa kisiasa wa Starmer na kuzidi kupata nguvu Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138334-kukaribia_mwisho_wa_kisiasa_wa_starmer_na_kuzidi_kupata_nguvu_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0c12a188e02p79s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138334-kukaribia_mwisho_wa_kisiasa_wa_starmer_na_kuzidi_kupata_nguvu_iran </guid>  
      <description>Pars Today - Magazeti ya Uingereza yameripoti kwa wingi habari inayosisitiza kuwa, kusambaratika kisiasa Waziri mkuu wa nchi hiyo Keir Starmer kumekaribia.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 18:56:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Uko Imara Zaidi ya Ulivyokuwa Huko Nyuma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138332-mfumo_wa_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_uko_imara_zaidi_ya_ulivyokuwa_huko_nyuma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxff30f2515f2pdlm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138332-mfumo_wa_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_uko_imara_zaidi_ya_ulivyokuwa_huko_nyuma </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa zamani wa Qatar ameeleza katika mahojiano marefu aliyofanyiwa na televisheni ya Al Jazeera kwamba, Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uko mara zaidi hivi sasa kuliko ulivyokuwa huko nyuma.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 13:17:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Ulinzi wa Iran: Kubalini haki za Iran au mkabiliwe na kipigo kingine cha kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138330-wizara_ya_ulinzi_wa_iran_kubalini_haki_za_iran_au_mkabiliwe_na_kipigo_kingine_cha_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx76f3a581922pdku.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138330-wizara_ya_ulinzi_wa_iran_kubalini_haki_za_iran_au_mkabiliwe_na_kipigo_kingine_cha_kijeshi </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema maadui, Marekani na Uzayuni, wanapaswa kukubali haki halali za taifa la Iran, au wasubiri kushindwa tena katika nyanja za kidiplomasia na katika uwanja wa vita. </description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:22:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kushiriki UAE katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni 'haramu kabisa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138328-kushiriki_uae_katika_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_'haramu_kabisa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx680f4ed55f2pdks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138328-kushiriki_uae_katika_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_'haramu_kabisa' </guid>  
      <description>Chuo Kikuu cha Kimataifa cha al-Mustafa kimetangaza kuwa ushiriki, uwezeshaji na ushirikiano wa UAE katika vita vya hivi karibuni vya Marekani na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Iran ni sawa na "kusaidia kambi ya ukafiri dhidi ya ndugu Waislamu" na hivyo, "kimsingi ni haramu."</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:20:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Macron akabiliwa na upinzani baada ya matamshi yake makali kwenye mkutano wa Nairobi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138326-rais_macron_akabiliwa_na_upinzani_baada_ya_matamshi_yake_makali_kwenye_mkutano_wa_nairobi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe4cb6e18162pdkq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138326-rais_macron_akabiliwa_na_upinzani_baada_ya_matamshi_yake_makali_kwenye_mkutano_wa_nairobi </guid>  
      <description>Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na upinzani mkali baada ya kukatiza kikao cha mjadala katika kongamano la Africa Forward Summit nchini Kenya akiwataka hadhirina wanyamaze kimya.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:18:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa dini wafanya maandamano ya amani ya 'Moral Monday' mjini Washington kulaani 'vita visivyo vitakatifu' vya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138324-viongozi_wa_dini_wafanya_maandamano_ya_amani_ya_'moral_monday'_mjini_washington_kulaani_'vita_visivyo_vitakatifu'_vya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf8d2028dfa2pdkm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138324-viongozi_wa_dini_wafanya_maandamano_ya_amani_ya_'moral_monday'_mjini_washington_kulaani_'vita_visivyo_vitakatifu'_vya_trump </guid>  
      <description>Viongozi wa imani za dini walifanya maandamano ya amani ya Jumatatu ya Maadili (Moral Monday) nje ya Ikulu ya White House dhidi ya 'vita visivyo vitakatifu' katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:14:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ghana kuwarejesha nyumbani mamia ya raia walioko Afrika Kusini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138322-ghana_kuwarejesha_nyumbani_mamia_ya_raia_walioko_afrika_kusini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0650c1deef2pdki.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138322-ghana_kuwarejesha_nyumbani_mamia_ya_raia_walioko_afrika_kusini </guid>  
      <description>Ghana imetangaza kwamba imeanzisha mchakato wa kuwahamisha takriban raia wake 300 kutoka Afrika Kusini kufuatia wimbi la maandamano dhidi ya wageni.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:10:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Watu milioni 83 watalazimika kuhama makazi yao ifikapo mwaka wa 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138320-ripoti_watu_milioni_83_watalazimika_kuhama_makazi_yao_ifikapo_mwaka_wa_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa4f75f5df2pdii.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138320-ripoti_watu_milioni_83_watalazimika_kuhama_makazi_yao_ifikapo_mwaka_wa_2026 </guid>  
      <description>Idadi ya watu waliokimbia makazi yao ndani ya nchi zao kutokana na migogoro na machafuko imeongezeka katika mwaka uliopita ikilinganishwa na watu waliokimbia makazi yao kutokana na majanga ya asili, idadi ambayo imeweka rekodi ya watu milioni 32, hasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:27:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bolton: Trump amenaswa katika mtego wa kujitengenezea wa Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138318-bolton_trump_amenaswa_katika_mtego_wa_kujitengenezea_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx52c1cb70a02pdig.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138318-bolton_trump_amenaswa_katika_mtego_wa_kujitengenezea_wa_iran </guid>  
      <description>Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema: Donald Trump, Rais wa nchi hiyo, amenaswa katika mtego wa kujitengenezea mwenyewe wa Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:18:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yamal apongezwa kwa kupeperusha bendera ya Palestina katika sherehe ya ubingwa wa Barça</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138316-yamal_apongezwa_kwa_kupeperusha_bendera_ya_palestina_katika_sherehe_ya_ubingwa_wa_barça</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb1256d72e82pdic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138316-yamal_apongezwa_kwa_kupeperusha_bendera_ya_palestina_katika_sherehe_ya_ubingwa_wa_barça </guid>  
      <description>Nyota wa timu ya soka ya Barçelona, Lamine Yamal, alimeonyesha kitendo cha kupigiwa mfano kwa kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa sherehe ya ubingwa wa timu hiyo kama ishara ya kuwaunga mkono watu wanaokandamizwa wa Palestina.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:15:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Msimamo wa Marekani ndio kikwazo kikuu kumaliza vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138314-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_msimamo_wa_marekani_ndio_kikwazo_kikuu_kumaliza_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx172ccb76b22pdgc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138314-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_msimamo_wa_marekani_ndio_kikwazo_kikuu_kumaliza_vita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amesema kuwa msimamo wa Marekani wa kutaka masharti ya kupita kiasi pamoja na mienendo yake mingine inayodhoofisha juhudi za diplomasia ndiyo vizuizi vikuu vya kumaliza mzozo uliozuka kufuatia vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 02:46:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kenya yataka Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138312-kenya_yataka_afrika_ipewe_kiti_cha_kudumu_katika_baraza_la_usalama_la_un</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1ec378f2f12pdda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138312-kenya_yataka_afrika_ipewe_kiti_cha_kudumu_katika_baraza_la_usalama_la_un </guid>  
      <description>Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito kwa Afrika kupewa uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, takwa ambalo limeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 14:27:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Majeshi ya Iran yako tayari kuwashitua wavamizi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138310-spika_qalibaf_majeshi_ya_iran_yako_tayari_kuwashitua_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8abcbb876c2pdb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138310-spika_qalibaf_majeshi_ya_iran_yako_tayari_kuwashitua_wavamizi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, amesema kuwa majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu yako katika hali ya juu kabisa ya utayari wa kivita na yako tayari kutoa jibu kali, la haki na linalostahili dhidi ya aina yoyote ya uchokozi. Amewaonya maadui kwamba mikakati na maamuzi yenye makosa hayatazaa chochote isipokuwa maafa.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:15:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi wa Maoni: Wamarekani waliowengi wanasema Trump hakuwa na hoja ya wazi ya vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138308-uchunguzi_wa_maoni_wamarekani_waliowengi_wanasema_trump_hakuwa_na_hoja_ya_wazi_ya_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa546072d442pdb0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138308-uchunguzi_wa_maoni_wamarekani_waliowengi_wanasema_trump_hakuwa_na_hoja_ya_wazi_ya_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa asilimia 66  Wamarekani wanaamini kuwa Rais Donald Trump ameshindwa kutoa hoja iliyo wazi kuhusu vita vya kichokozi vya na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Aidha Wamarekani waliwengi wanasema wamekumbwa na hali ngumu ya kifedha kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta baada ya mashambulizi hayo.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:13:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wairani 24,000 wameingia Saudia kwa ajili ya ibada ya Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138306-wairani_24_000_wameingia_saudia_kwa_ajili_ya_ibada_ya_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6c5edc9cab2pday.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138306-wairani_24_000_wameingia_saudia_kwa_ajili_ya_ibada_ya_hija </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara la Iran amesema kuwa takribani Wairani 24,000 tayari wamewasili nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija mwaka huu, ambapo kati yao takribani 14,000 wako Makka, na zaidi ya 10,000 wapo Madina.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:10:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yafanya mashambulizi dhidi ya vikosi vya Israel Kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138304-hizbullah_yafanya_mashambulizi_dhidi_ya_vikosi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx72378d5a792pd8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138304-hizbullah_yafanya_mashambulizi_dhidi_ya_vikosi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema imefanya operesheni 20 za kijeshi dhidi ya vikosi vamizi vya Israel katika maeneo ya kusini mwa Lebanon, huku mapigano yakiendelea licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyoongezwa hadi katikati ya mwezi Mei.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:08:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN kujenga ofisi mpya yenye thamani ya dola milioni 340 Nairobi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138302-un_kujenga_ofisi_mpya_yenye_thamani_ya_dola_milioni_340_nairobi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe49a1b025e2pdaw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138302-un_kujenga_ofisi_mpya_yenye_thamani_ya_dola_milioni_340_nairobi </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amshuhudia uwekezaji mkubwa wa Umoja wa Mataifa wenye thamani ya karibu dola milioni 340 katika ofisi yake katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:04:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi ajadiliana na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi na Misri kuhusu diplomasia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138300-araghchi_ajadiliana_na_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_saudi_na_misri_kuhusu_diplomasia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd598be6c3c2pd7w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138300-araghchi_ajadiliana_na_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_saudi_na_misri_kuhusu_diplomasia </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amejadiliana na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia na Misri kuhusu maendeleo muhimu katika mchakato wa kidiplomasia kati ya Iran na Marekani unaopatanishwa na Pakistan.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:37:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Macron asema Ufaransa “haikuwahi kufikiria” kupeleka jeshi Hormuz bila uratibu na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138298-macron_asema_ufaransa_haikuwahi_kufikiria_kupeleka_jeshi_hormuz_bila_uratibu_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx83556391612pd7u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138298-macron_asema_ufaransa_haikuwahi_kufikiria_kupeleka_jeshi_hormuz_bila_uratibu_na_iran </guid>  
      <description>Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema Paris haijawahi kufikiria kupeleka vikosi vya kijeshi vya Ufaransa katika Mlango-Bahari wa Hormuz bila uratibu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakati mvutano unaochochewa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ukiendelea.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:33:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen yaionya Marekani baada ya Trump kukataa mpango wa amani wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138296-ansarullah_ya_yemen_yaionya_marekani_baada_ya_trump_kukataa_mpango_wa_amani_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcf0fe6b1ba2pd7q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138296-ansarullah_ya_yemen_yaionya_marekani_baada_ya_trump_kukataa_mpango_wa_amani_wa_iran </guid>  
      <description>Afisa mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen ameonya kuwa Marekani italazimika kubeba dhima ya madhara ya kukataa mapendekezo mapya ya Iran ya kumaliza vita, kufuatia matamshi ya kupinga yaliyotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:28:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ramaphosa: Hujuma dhidi ya wageni haziakisi maoni ya Afrika Kusini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138294-ramaphosa_hujuma_dhidi_ya_wageni_haziakisi_maoni_ya_afrika_kusini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx32a7727fda2pd7e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138294-ramaphosa_hujuma_dhidi_ya_wageni_haziakisi_maoni_ya_afrika_kusini </guid>  
      <description>Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa "wahalifu walipanga mashambulizi dhidi ya wageni na kuzitoa hofu nchi nyingine za Afrika, ambazo zimeelezea wasiwasi wao kuhusu raia wake waliopo Afrika Kusini.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:14:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yakataa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, yaapa kulinda kampuni zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138292-china_yakataa_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_iran_yaapa_kulinda_kampuni_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx80fc1472082pd74.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138292-china_yakataa_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_iran_yaapa_kulinda_kampuni_zake </guid>  
      <description>China imepinga vikali vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya kampuni zake tatu kwa madai ya kusaidia shughuli za kijeshi za Iran, na imeahidi kulinda biashara zake dhidi ya hatua hizo ambazo imezitaja kuwa za upande mmoja na zisizo halali.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:00:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Marekani inaendelea kusisitiza mawazo yaliyobuniwa na utawala wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138290-baqaei_marekani_inaendelea_kusisitiza_mawazo_yaliyobuniwa_na_utawala_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx99ca78309b2pd72.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138290-baqaei_marekani_inaendelea_kusisitiza_mawazo_yaliyobuniwa_na_utawala_wa_israel </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Marekani inaendelea kung'ang'ania fikra na mawazo ya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 03:49:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawasilisha majibu kwa pendekezo la Marekani la kukomesha uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138288-iran_yawasilisha_majibu_kwa_pendekezo_la_marekani_la_kukomesha_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb0d2cd54b12pd70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138288-iran_yawasilisha_majibu_kwa_pendekezo_la_marekani_la_kukomesha_uchokozi </guid>  
      <description>Iran imewasilisha mpango kamili wa kukomesha vita vya uchokozi wa Marekani na Israel, ikisisitiza kulipwa fidia kamili kwa uharibifu wa vita na kuondolewa vikwazo vyote.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 03:43:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi wa Kizayuni nchini Lebanon: Hatuna chaguo ila kukimbia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138286-wanajeshi_wa_kizayuni_nchini_lebanon_hatuna_chaguo_ila_kukimbia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx48df8675512pd22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138286-wanajeshi_wa_kizayuni_nchini_lebanon_hatuna_chaguo_ila_kukimbia </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri kushindwa jeshi la utawala wa vamizi wa Israel kukabiliana na ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 11:21:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ongezeko la vifo kabla ya Hija laibua taharuki nchini Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138284-ongezeko_la_vifo_kabla_ya_hija_laibua_taharuki_nchini_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd5629266d62pd1m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138284-ongezeko_la_vifo_kabla_ya_hija_laibua_taharuki_nchini_saudi_arabia </guid>  
      <description>Ripoti za kuongezeka vifo baina ya mahujaji waliokwenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija imezua wasiwasi na taharuki baina ya viongozi na wasimamizi wa ibada hiyo. </description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 10:30:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138282-zambia_yapinga_matakwa_ya_marekani_yanayohusiana_na_mkataba_wa_afya_na_madini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9fcfe573ed2pd1k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138282-zambia_yapinga_matakwa_ya_marekani_yanayohusiana_na_mkataba_wa_afya_na_madini </guid>  
      <description>Zambia imeishutumu hadharani Marekani kwa kuunganisha kifurushi cha afya kilichopendekezwa cha dola bilioni 2 na matakwa kupewa data na madini na muhimu, ikisema baadhi ya masharti yaliyoambatanishwa na makubaliano hayo "hayakubaliki".</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 10:28:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wananchi wa Mali waandamana kumuunga mkono kiongozi wao wa kijeshi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138280-wananchi_wa_mali_waandamana_kumuunga_mkono_kiongozi_wao_wa_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx34de8ff3572pd1i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138280-wananchi_wa_mali_waandamana_kumuunga_mkono_kiongozi_wao_wa_kijeshi </guid>  
      <description>Mamia ya waungaji mkono wa uongozi wa serikali ya kijeshi ya Mali Jumamosi walijumuika katika uwanja wa michezo katika mji mkuu, Bamako ili kuthibitisha uungaji mkono wao kwa serikali ya mpito ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 10:18:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Niger yasimamisha vyombo tisa vya habari vya Ufaransa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138278-niger_yasimamisha_vyombo_tisa_vya_habari_vya_ufaransa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx55e66c307b2pd0w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138278-niger_yasimamisha_vyombo_tisa_vya_habari_vya_ufaransa </guid>  
      <description>Serikali ya Niger imetangaza kusimamisha shughuli za vyombo tisa vya habari vya Ufaransa, ikieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na “usambazaji wa mara kwa mara wa maudhui yanayoweza kuhatarisha kwa kiasi kikubwa utulivu wa umma, umoja wa taifa, mshikamano wa kijamii, na uthabiti wa taasisi za Jamhuri.”</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 09:30:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa IRGC: Iran iko  tayari kushambulia ngome za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138276-kamanda_wa_irgc_iran_iko_tayari_kushambulia_ngome_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx833c15766c2pd0u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138276-kamanda_wa_irgc_iran_iko_tayari_kushambulia_ngome_za_marekani </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) amesema makombora ya kisasa pamoja na droni za kivita za Iran tayari zimeelekezwa dhidi ya ngome za  Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi, huku vikosi vya jeshi vikisubiri amri ya mwisho ya kushambulia.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 09:11:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchezaji wa tenisi wa Iran ajiondoa mashindano ya dunia kuepuka kushindana na Muisraeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138274-mchezaji_wa_tenisi_wa_iran_ajiondoa_mashindano_ya_dunia_kuepuka_kushindana_na_muisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd637fec3432pd0q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138274-mchezaji_wa_tenisi_wa_iran_ajiondoa_mashindano_ya_dunia_kuepuka_kushindana_na_muisraeli </guid>  
      <description>Mchezaji chipukizi wa tenisi kutoka Iran, Hana Shabanpour, amejiondoa katika fainali ya mashindano ya J60 Turkey World Tour siku ya Jumapili baada ya kukataa kucheza dhidi ya mpinzani aliyekuwa akiwakilisha utawala wa Israel, kama ishara ya kupinga mauaji na mateso dhidi ya Wapalestina.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 09:07:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mateso na unyanyasaji wa wanawake wa Kipalestina katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138272-hamas_yalaani_mateso_na_unyanyasaji_wa_wanawake_wa_kipalestina_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa8e46f65a12pczw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138272-hamas_yalaani_mateso_na_unyanyasaji_wa_wanawake_wa_kipalestina_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani ongezeko la uhalifu na ukiukwaji wa haki za wafungwa wanawake wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel, ikisema kwamba mateso ya kimwili na kisaikolojia ni uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 07:47:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu 70 wauawa kaskazini mashariki mwa Kongo; Umoja wa Mataifa walaani ghasia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138270-watu_70_wauawa_kaskazini_mashariki_mwa_kongo_umoja_wa_mataifa_walaani_ghasia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3451bd25a22pczs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138270-watu_70_wauawa_kaskazini_mashariki_mwa_kongo_umoja_wa_mataifa_walaani_ghasia </guid>  
      <description>Kwa uchache watu 70, wengi wao wakiwa raia, wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha waliohusishwa na wanamgambo wa CODECO, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 07:43:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kurudi Nyumbani Wakati wa Vita vya Siku 40 Wairan Waliokuwa Wameihajiri Nchi Kunafikisha Ujumbe Gani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138268-kurudi_nyumbani_wakati_wa_vita_vya_siku_40_wairan_waliokuwa_wameihajiri_nchi_kunafikisha_ujumbe_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0ce2a74e5a2pcvw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138268-kurudi_nyumbani_wakati_wa_vita_vya_siku_40_wairan_waliokuwa_wameihajiri_nchi_kunafikisha_ujumbe_gani </guid>  
      <description>Takwimu zilizorekodiwa katika mipaka ya Iran zinaonyesha kuwa wakati wa vita vya siku 40 vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Wairani 630,000 waliingia nchini kupitia mipaka ya nchi kavu. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 14:09:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sera ya US ya Mwiko wa Kutosema Chochote Kuhusu Silaha za Nyuklia ya Israel Inamomonyoka?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138266-sera_ya_us_ya_mwiko_wa_kutosema_chochote_kuhusu_silaha_za_nyuklia_ya_israel_inamomonyoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf2e0621b732pcvq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138266-sera_ya_us_ya_mwiko_wa_kutosema_chochote_kuhusu_silaha_za_nyuklia_ya_israel_inamomonyoka </guid>  
      <description>Katika hali isiyo ya kawaida na ya nadra kuwahi kushuhudiwa, wajumbe 29 wa Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio wakiitaka Washington ifichue na kuweka hadharani mpango wa silaha za nyuklia wa Israel. Barua hiyo inataka kukomeshwa sera ya kiitwacho "kimya rasmi" kuhusu uwezo wa nyuklia wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 13:49:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CIA yakiri: Iran inaweza kuhimili mzingiro wa baharini wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138262-cia_yakiri_iran_inaweza_kuhimili_mzingiro_wa_baharini_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf116a48c192pcro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138262-cia_yakiri_iran_inaweza_kuhimili_mzingiro_wa_baharini_wa_marekani </guid>  
      <description>Shirika la Ujasusi la Marekani limekiri kuwa Iran ina uwezo wa kuhimili athari za mzingiro wa nchi hiyo kwa miezi kadhaa, na pia ina hifadhi kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:59:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapinzani Afrika Kusini waapa kumuondoa madarakani Ramaphosa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138260-wapinzani_afrika_kusini_waapa_kumuondoa_madarakani_ramaphosa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd1ee37d9282pcu6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138260-wapinzani_afrika_kusini_waapa_kumuondoa_madarakani_ramaphosa </guid>  
      <description>Julius Malema, kiongozi wa chama cha upinzani cha Economic Freedom Fighters (EFF) nchini Afrika Kusini, amemtaka Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo ajiuzulu haraka iwezekanavyo na taratibu za kumfungulia mashtaka zianze.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:56:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>