<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - discover_iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/discover_iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Tue, 09 Jun 2026 21:24:33 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Maandamano dhidi ya kituo cha kupambana na Ebola cha Marekani huko Kenya yageuka kuwa vurugu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139012-maandamano_dhidi_ya_kituo_cha_kupambana_na_ebola_cha_marekani_huko_kenya_yageuka_kuwa_vurugu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf00039166d2pkd4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139012-maandamano_dhidi_ya_kituo_cha_kupambana_na_ebola_cha_marekani_huko_kenya_yageuka_kuwa_vurugu </guid>  
      <description>Polisi wa Kenya wametumia gesi ya kutoa machozi dhidi ya raia waliokuwa wakiandamana huko Nanyuki leo Jumanne kupinga kuanzishwa kituo cha karantini cha Marekani ndani ya kambi ya kijeshi ili kuwapokea raia wa Marekani wanaoshukiwa kuwa na Ebola.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 13:45:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ni ujumbe gani umetolewa na vita vipya na vya muda mfupi kati ya Iran na Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139010-ni_ujumbe_gani_umetolewa_na_vita_vipya_na_vya_muda_mfupi_kati_ya_iran_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby40416b1ca62pkas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139010-ni_ujumbe_gani_umetolewa_na_vita_vipya_na_vya_muda_mfupi_kati_ya_iran_na_israel </guid>  
      <description>Hatimaye duru mpya ya vita kati ya utawala wa Kizayuni na Iran ilianza Jumapili, kufuatia utawala huo kuishambulia Lebanon mara kwa mara; na ingawa ilikuwa fupi, lakini ilikuwa na ujumbe muhimu.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 12:58:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Iran itatumia vita na diplomasia kutetea haki za watu wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139008-spika_qalibaf_iran_itatumia_vita_na_diplomasia_kutetea_haki_za_watu_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2f4092b4762pkce.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139008-spika_qalibaf_iran_itatumia_vita_na_diplomasia_kutetea_haki_za_watu_wake </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf anasema mkakati wa nchi wa kukomesha uchokozi wa Marekani na Israel ni kutumia vita na diplomasia kwa wakati mmoja ili kutetea haki za taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 12:24:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Guterres: Wafanyakazi 80 wa Umoja wa Mataifa waliuawa mwaka jana huko Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139006-guterres_wafanyakazi_80_wa_umoja_wa_mataifa_waliuawa_mwaka_jana_huko_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9463d428412pkc4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139006-guterres_wafanyakazi_80_wa_umoja_wa_mataifa_waliuawa_mwaka_jana_huko_gaza </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ametangaza kwamba wafanyakazi 136 wa shirika hilo la kimataifa waliuawa wakitekeleza majukumu yao katika mwaka uliopita, wakiwemo wafanyakazi 80 waliokuwa wakifanya kazi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 11:53:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gazeti la Kizayuni: Iran ilikuwa na kauli ya mwisho katika vita vya sasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139004-gazeti_la_kizayuni_iran_ilikuwa_na_kauli_ya_mwisho_katika_vita_vya_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby40416b1ca62pkas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139004-gazeti_la_kizayuni_iran_ilikuwa_na_kauli_ya_mwisho_katika_vita_vya_sasa </guid>  
      <description>Gazeti la Kiebrania huko Israel limekiri kwamba nguvu ya Iran imethibitishwa katika majibu yake ya hivi karibuni ya makombora dhidi ya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 11:22:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yamsimamisha Kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu kwa tuhuma za utovu wa nidhamu wa kingono</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139000-icc_yamsimamisha_kazi_mwendesha_mashtaka_mkuu_kwa_tuhuma_za_utovu_wa_nidhamu_wa_kingono</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby13d176a21d2pkay.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139000-icc_yamsimamisha_kazi_mwendesha_mashtaka_mkuu_kwa_tuhuma_za_utovu_wa_nidhamu_wa_kingono </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemsimamisha kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu, Karim Khan, kwa madai ya utovu wa nidhamu wa kingono na msaidizi wake.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 10:26:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maprofesa 12 wa Chuo Kikuu cha Amirkabir watajwa miongoni mwa 1% ya watafiti watajika sana duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138998-maprofesa_12_wa_chuo_kikuu_cha_amirkabir_watajwa_miongoni_mwa_1_ya_watafiti_watajika_sana_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2a4aee57852pk70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138998-maprofesa_12_wa_chuo_kikuu_cha_amirkabir_watajwa_miongoni_mwa_1_ya_watafiti_watajika_sana_duniani </guid>  
      <description>Maprofesa 12 wa Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Amirkabir cha Iran wametambuliwa miongoni mwa asilimia moja bora zaidi ya watafiti waliotajwa sana duniani, kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni iliyotolewa na Taasisi ya Unukuzi na Ufuatiliaji wa Sayansi ya Ulimwengu wa Kiislamu (Islamic World Science Citation and Monitoring Institute (ISC)).</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:40:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran haitalegeza kamba, itasimama kidete kulinda taifa dhidi ya vitisho</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138996-pezeshkian_iran_haitalegeza_kamba_itasimama_kidete_kulinda_taifa_dhidi_ya_vitisho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydbb8b8343c2pk64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138996-pezeshkian_iran_haitalegeza_kamba_itasimama_kidete_kulinda_taifa_dhidi_ya_vitisho </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian ametilia mkazo msimamo thabiti wa Iran dhidi ya tishio lolote, akisema Jamhuri ya Kiislamu haitarudi nyuma wala kusita kulinda usalama na amani ya taifa lake.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:38:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Colombia asema 'ufashisti katika Ikulu ya White House unapofusha mantiki na akili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138994-rais_wa_colombia_asema_'ufashisti_katika_ikulu_ya_white_house_unapofusha_mantiki_na_akili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby260d9048462pk6y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138994-rais_wa_colombia_asema_'ufashisti_katika_ikulu_ya_white_house_unapofusha_mantiki_na_akili </guid>  
      <description>Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ameikosoa Marekani kuhusu "ufashisti ulioenea katika Ikulu ya White House" huku mvutano ukiongezeka kati ya Bogota na Washington.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:34:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lavrov: Guterres anashirikiana na Magharibi, Washington haina nia ya kurudi kwenye makubaliano ya Anchorage</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138992-lavrov_guterres_anashirikiana_na_magharibi_washington_haina_nia_ya_kurudi_kwenye_makubaliano_ya_anchorage</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx167b41ddad2pgqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138992-lavrov_guterres_anashirikiana_na_magharibi_washington_haina_nia_ya_kurudi_kwenye_makubaliano_ya_anchorage </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amekosoa utendaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, akisisitiza haja ya kutekelezwa kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa "bila kubagua".</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:22:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Refa bora wa Afrika azuiwa kuingia Marekani licha ya kuteuliwa na FIFA kwa Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138990-refa_bora_wa_afrika_azuiwa_kuingia_marekani_licha_ya_kuteuliwa_na_fifa_kwa_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby928cbf68332pk6e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138990-refa_bora_wa_afrika_azuiwa_kuingia_marekani_licha_ya_kuteuliwa_na_fifa_kwa_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Katika tukio jingine la kashfa siku chache kabla ya Kombe la Dunia 2026, mwamuzi mashuhuri kutoka Somalia, anayesifiwa sana kuwa miongoni mwa marefa bora zaidi barani Afrika, amezuiwa kuingia nchini Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 03:19:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bab al-Mandab, mstari mpya wa kuzuia hujuma na kuimarisha uwiano wa "Umoja wa Medani"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138988-bab_al_mandab_mstari_mpya_wa_kuzuia_hujuma_na_kuimarisha_uwiano_wa_umoja_wa_medani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd7facee80a2pk2k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138988-bab_al_mandab_mstari_mpya_wa_kuzuia_hujuma_na_kuimarisha_uwiano_wa_umoja_wa_medani </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Yemen ametangaza kwamba kuanzia sasa jeshi hilo limeanza kutekeleza amri ya kupiga marufuku kikamilifu meli zote za utawala haramu wa Israel kupita katika maji ya Bahari ya Shamu au kwa Kiingereza Red Sea na kwamba kuanzia wakati wa kutangazwa marufuku hiyo na kuendelea urambazaji wa baharini wa Israel katika Bahari Nyekundu utakuwa shabaha halali ya jeshi la wanajeshi wa Yemen.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 12:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lashambulia kambi za kimkakati za anga za jeshi la anga la Israel kujibu uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138986-jeshi_la_iran_lashambulia_kambi_za_kimkakati_za_anga_za_jeshi_la_anga_la_israel_kujibu_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9562abaeff2pk2q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138986-jeshi_la_iran_lashambulia_kambi_za_kimkakati_za_anga_za_jeshi_la_anga_la_israel_kujibu_uchokozi </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuanzisha “Operesheni Nasr” (Ushindi), likisema limezilenga kambi za kimkakati za anga za utawala wa Israel za Nevatim na Tel Nof, kama hatua ya kujibu mashambulizi ya makombora yaliyolenga vituo vya rada vya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:30:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi afanya mazungumzo ya kidiplomasia kuhusu uchokozi wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138984-araghchi_afanya_mazungumzo_ya_kidiplomasia_kuhusu_uchokozi_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx749b2d59ae2phq0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138984-araghchi_afanya_mazungumzo_ya_kidiplomasia_kuhusu_uchokozi_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amefanya mfululizo wa mazungumzo kwa njia ya simu na baadhi ya mawaziri wenzake wa maeneo mbali mbali duniani pamoja na kamanda wa jeshi, kufuatia hatua ya Iran kujibu ukiukaji wa mara kwa mara wa makubaliano ya usitishaji mapigano nchini Lebanon unaotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:23:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yatangaza marufuku ya meli za Israel katika Bahari ya Sham</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138982-yemen_yatangaza_marufuku_ya_meli_za_israel_katika_bahari_ya_sham</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd7facee80a2pk2k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138982-yemen_yatangaza_marufuku_ya_meli_za_israel_katika_bahari_ya_sham </guid>  
      <description>Vikosi vya Jeshi la Yemen vimetangaza marufuku kamili ya usafiri wa baharini wa Israel katika Bahari Nyekundu (Bahari ya Sham), vikisema kwamba harakati zote za adui katika eneo hilo sasa zitachukuliwa kuwa malengo halali ya kijeshi, baada ya kutekeleza shambulizi la kombora lenye usahihi dhidi ya maeneo nyeti ya Israel huko Tel Aviv.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:14:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Visa vya Ebola vyazidi 500 nchini DRC huku tahadhari ya kuenea zaidi ikitolewa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138980-visa_vya_ebola_vyazidi_500_nchini_drc_huku_tahadhari_ya_kuenea_zaidi_ikitolewa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby107dee00cd2pjjg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138980-visa_vya_ebola_vyazidi_500_nchini_drc_huku_tahadhari_ya_kuenea_zaidi_ikitolewa </guid>  
      <description>Idadi ya visa vilivyothibitishwa vya ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefikia 515, vikiwemo vifo 91, huku mamlaka za afya zikionya kuwa maambukizi bado yanaendelea na huenda visa vikazidi kuongezeka ikiwa hatua za udhibiti hazitaimarishwa haraka.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:12:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ramaphosa atangaza hatua mpya kukabili uhamiaji haramu Afrika Kusini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138978-ramaphosa_atangaza_hatua_mpya_kukabili_uhamiaji_haramu_afrika_kusini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4dce32f3f12pk30.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138978-ramaphosa_atangaza_hatua_mpya_kukabili_uhamiaji_haramu_afrika_kusini </guid>  
      <description>Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametangaza msururu wa hatua mpya zinazolenga kukabiliana na uhamiaji haramu, kufuatia kuongezeka kwa wasiwasi wa umma kuhusu suala hilo.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:12:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jibu kali la makombora la Iran kwa ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za Israel nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138976-jibu_kali_la_makombora_la_iran_kwa_ukiukaji_wa_mara_kwa_mara_wa_usitishaji_vita_na_jinai_za_israel_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfa6c3c7d8d2pk1w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138976-jibu_kali_la_makombora_la_iran_kwa_ukiukaji_wa_mara_kwa_mara_wa_usitishaji_vita_na_jinai_za_israel_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Iikiwa ni katika kunufaika na haki yake ya kujilinda na kujibu ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za kinyama zinazofanywa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya watu wa Lebanon, vikosi vya jeshi la Iran Jumapili usiku vilitoa jibu kali la makombora katika maeneo ya utawala huo katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu. Maeneo yaliyolengwa katika shambulio hilo kubwa la makombora kimsingi ni ya kijeshi na kistratijia ya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 08:08:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yashambulia maeneo yanayokaliwa kwa mabavu, yatahadharisha kuhusu vipigo vikali zaidi' iwapo mashambulizi dhidi ya Lebanon yataendelea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138974-iran_yashambulia_maeneo_yanayokaliwa_kwa_mabavu_yatahadharisha_kuhusu_vipigo_vikali_zaidi'_iwapo_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon_yataendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0af36d3b862pjyy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138974-iran_yashambulia_maeneo_yanayokaliwa_kwa_mabavu_yatahadharisha_kuhusu_vipigo_vikali_zaidi'_iwapo_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon_yataendelea </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Iran jana usiku viliyatangwa kwa makombora maeneo kadhaa ya Israel, ikiwa ni katika kujibu mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Lebanon kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:27:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema misimamo ya Marekani “inayobadilika na kinzani” imekwamisha mazungumzo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138972-iran_yasema_misimamo_ya_marekani_inayobadilika_na_kinzani_imekwamisha_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1885cb3c6f2pjyw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138972-iran_yasema_misimamo_ya_marekani_inayobadilika_na_kinzani_imekwamisha_mazungumzo </guid>  
      <description>Iran imesema mazungumzo yanayoendelea na Marekani bado yamekwama hasa kutokana na misimamo ya Washington inayobadilika mara kwa mara na yenye kauli zinazokinzana. Aidha Marekani inaendelea “kubadilisha vigezo vya mazungumzo.” Hata hivyo, ubadilishanaji wa ujumbe kati ya pande hizo mbili unaendelea kupitia wapatanishi kutoka Pakistan.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:23:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kulazimisha Timu ya Taifa ya Iran kuingia na kutoka Marekani siku ya mechi si haki na ni janga</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138970-kulazimisha_timu_ya_taifa_ya_iran_kuingia_na_kutoka_marekani_siku_ya_mechi_si_haki_na_ni_janga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb2a528162b2pjyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138970-kulazimisha_timu_ya_taifa_ya_iran_kuingia_na_kutoka_marekani_siku_ya_mechi_si_haki_na_ni_janga </guid>  
      <description>Kocha wa soka wa Iran na mchezaji wa zamani wa kimataifa ameishutumu serikali ya Marekani kwa kuingiza siasa katika michezo, akitaja vikwazo vya visa na matatizo ya kiutawala yanayowakabili wachezaji na wasimamizi wa Timu ya Taifa ya Soka ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:21:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita dhidi ya Iran havikidhi vigezo vya “Vita vya Haki”, asema Papa Leo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138968-vita_dhidi_ya_iran_havikidhi_vigezo_vya_vita_vya_haki_asema_papa_leo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyde8af67bd32pjyq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138968-vita_dhidi_ya_iran_havikidhi_vigezo_vya_vita_vya_haki_asema_papa_leo </guid>  
      <description>Katika kauli yenye ukali dhidi ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran havina uhalali wa maadili.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:17:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nigeria: Mamia ya wanawake na watoto waliotekwa nyara na magaidi waachiliwa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138966-nigeria_mamia_ya_wanawake_na_watoto_waliotekwa_nyara_na_magaidi_waachiliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4793f77cda2pjym.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138966-nigeria_mamia_ya_wanawake_na_watoto_waliotekwa_nyara_na_magaidi_waachiliwa </guid>  
      <description>Mamia ya wanawake na watoto waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria wameachiwa huru mwishoni mwa wiki.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:15:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Mauaji ya umati ya Minab ni mfano mmoja tu wa jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138962-baqaei_mauaji_ya_umati_ya_minab_ni_mfano_mmoja_tu_wa_jinai_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_wairani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb26b97ef852pjva.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138962-baqaei_mauaji_ya_umati_ya_minab_ni_mfano_mmoja_tu_wa_jinai_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_wairani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ameeleza kuwa mauaji ya Minab ni kati ya mamia ya jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:19:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138960-balozi_wa_iran_brics_ina_jukumu_muhimu_katika_usalama_wa_nishati_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3840d9964c2pjv6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138960-balozi_wa_iran_brics_ina_jukumu_muhimu_katika_usalama_wa_nishati_duniani </guid>  
      <description>Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani </description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:16:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini washirika wa Washington sasa wana wasiwasi kuhusu uwepo wa kambi za Marekani katika ardhi zao?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138964-kwa_nini_washirika_wa_washington_sasa_wana_wasiwasi_kuhusu_uwepo_wa_kambi_za_marekani_katika_ardhi_zao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1d32de30e92pjjk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138964-kwa_nini_washirika_wa_washington_sasa_wana_wasiwasi_kuhusu_uwepo_wa_kambi_za_marekani_katika_ardhi_zao </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa jarida la Foreign Affairs la nchini Marekani, vita na Iran vinaweza kutoa changamoto kubwa kwa jeshi la Marekani na hasa kuhusu hatari ya kushambuliwa kambi zake za kijeshi katika siku zijazo. </description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:13:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Eslami: Kituo cha nyuklia cha Bushehr; Iran ni kati ya vituo kumi bora duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138958-eslami_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_iran_ni_kati_ya_vituo_kumi_bora_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4e6769bec82pjv4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138958-eslami_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_iran_ni_kati_ya_vituo_kumi_bora_duniani </guid>  
      <description>Kituo cha Nishati ya Nyuklia cha Bushehr nchini Iran ni miongoni mwa vituo 10 vya juu vya nyuklia duniani kwa upande wa usalama na ufanisi. Haya yamebainishwa na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI).</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:12:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Raia 11 wauawa katika shambulio la droni sokoni Kordofan Kaskazini nchini Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138956-raia_11_wauawa_katika_shambulio_la_droni_sokoni_kordofan_kaskazini_nchini_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye9cd683e612pjuw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138956-raia_11_wauawa_katika_shambulio_la_droni_sokoni_kordofan_kaskazini_nchini_sudan </guid>  
      <description>Shambulio la ndege zisizo na rubani sokoni katika jimbo la Kordofan Kaskazini nchini Sudan limeua takriban raia 11 na kujeruhi makumi ya wengine. </description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:10:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sanders: Netanyahu anashirikiana na Kongresi kuficha msaada wa kijeshi kwa Israel katika mikataba ya Pentagon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138954-sanders_netanyahu_anashirikiana_na_kongresi_kuficha_msaada_wa_kijeshi_kwa_israel_katika_mikataba_ya_pentagon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyca00e3192a2pjtc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138954-sanders_netanyahu_anashirikiana_na_kongresi_kuficha_msaada_wa_kijeshi_kwa_israel_katika_mikataba_ya_pentagon </guid>  
      <description>Seneta wa kujitegemea kutoka Vermont, Bernie Sanders, ametangaza kwamba atapinga sheria inayochunguzwa bungeni ambayo itaongeza ushawishi wa Israel katika taasisi za kijeshi na viwanda vya Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 09:29:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 07 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138952-jumapili_07_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybbfef54c702pjo2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138952-jumapili_07_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 21 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1447 Hijria sawa na 7 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:58:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waandishi wa habari wa Gaza wasimulia unyanyasaji waliokumbana nao katika gereza la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138950-waandishi_wa_habari_wa_gaza_wasimulia_unyanyasaji_waliokumbana_nao_katika_gereza_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby44e9020fde2pjo0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138950-waandishi_wa_habari_wa_gaza_wasimulia_unyanyasaji_waliokumbana_nao_katika_gereza_la_israel </guid>  
      <description>Shirika la Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (RSF) limechapisha ushuhuda kutoka kwa waandishi wa habari watano wa Kipalestina huko Gaza, ambao walitekwa nyara na askari wa Israel baada ya Oktoba 7, 2023 ikiwa ni pamoja na visa vya unyanyasaji, kuhojiwa na ukiukwaji wa sheria unaohusiana moja kwa moja na shughuli zao za uandishi wa habari.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:55:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo XIV : Uvamizi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran 'sio vita vya haki'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138948-papa_leo_xiv_uvamizi_wa_kijeshi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_'sio_vita_vya_haki'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8e53adb3252pjny.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138948-papa_leo_xiv_uvamizi_wa_kijeshi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_'sio_vita_vya_haki' </guid>  
      <description>Kiongozi wa kanisa katoliki Dunia, Papa Leo XIV amesema uchokozi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa "vita vya haki", akisisitiza kwamba itikadi hiyo ya karne nyingi haiendani na uhalisia wa vita vya kisasa.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:49:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yatoa jibu kali kwa matamshi ya Rais wa Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138946-tehran_yatoa_jibu_kali_kwa_matamshi_ya_rais_wa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydc909d33dd2pjnw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138946-tehran_yatoa_jibu_kali_kwa_matamshi_ya_rais_wa_lebanon </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu vikali matamshi ya Rais Joseph Aoun wa Lebanon dhidi ya Iran, akiweka wazi kuwa kiongozi huyo anashindwa kutofautisha kati ya marafiki na maadui wa nchi yake.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:27:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Mohsen Rezaei: Trump amesababisha mazungumzo kusimama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138944-meja_jenerali_mohsen_rezaei_trump_amesababisha_mazungumzo_kusimama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby777584a8092pjnu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138944-meja_jenerali_mohsen_rezaei_trump_amesababisha_mazungumzo_kusimama </guid>  
      <description>Meja Jenerali Mohsen Rezaei Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amesimamisha mazungumzo kati ya Tehran na Washington, na kuonya kuwa ikiwa vita vingine vitaanza, wigo wake utaenea kutoka Bahari ya Hindi hadi Bahari ya Shamu na Mediterania.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:22:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel na walowezi wa Kizayuni wazidisha mashambulizi katika Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138942-israel_na_walowezi_wa_kizayuni_wazidisha_mashambulizi_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc0a89027ef2pjns.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138942-israel_na_walowezi_wa_kizayuni_wazidisha_mashambulizi_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Wanajeshi wa Israel na walowezi wa Kizayuni wamezidisha mashambulizi yao dhidi ya Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu. </description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:20:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138940-kwa_nini_ulaya_inataka_kufafanua_upya_uhusiano_wake_na_china</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2080547c6e2pjku.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138940-kwa_nini_ulaya_inataka_kufafanua_upya_uhusiano_wake_na_china </guid>  
      <description>Ufaransa na nchi nyingine nne za Ulaya, katika mkesha wa mkutano wa kimkakati wa Kamisheni ya Ulaya kuhusu China, zilitoa wito wa kuundwa vyombo vipya vya kutetea biashara ili kulinda viwanda vya Ulaya na kukabiliana na ushindani kutoka kwa makampuni yanayoungwa mkono na serikali ya Beijing.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 12:59:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waislamu wa Canada watoa wito kwa serikali kupambana na chuki dhidi ya Uislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138938-waislamu_wa_canada_watoa_wito_kwa_serikali_kupambana_na_chuki_dhidi_ya_uislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5a7ade276e2pjjq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138938-waislamu_wa_canada_watoa_wito_kwa_serikali_kupambana_na_chuki_dhidi_ya_uislamu </guid>  
      <description>Waislamu wa Canada wameitaka serikali kupambana na chuki dhidi ya Uislamu nchini humo kupitia mageuzi ya kina na hatua madhubuti.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 11:37:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yawanyima visa maafisa wa timu ya soka ya Iran licha ya majukumu yake kama mwenyeji wa FIFA 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138936-marekani_yawanyima_visa_maafisa_wa_timu_ya_soka_ya_iran_licha_ya_majukumu_yake_kama_mwenyeji_wa_fifa_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby874090049b2pjjo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138936-marekani_yawanyima_visa_maafisa_wa_timu_ya_soka_ya_iran_licha_ya_majukumu_yake_kama_mwenyeji_wa_fifa_2026 </guid>  
      <description>Marekani imekataa kutoa visa kwa maafisa kadhaa wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iran kabla ya Kombe la Dunia la FIFA la 2026 licha ya majukumu yake kama mmoja wa waandaaji wa tukio hilo la kimataifa.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 11:32:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kambi za Marekani huko Kuwait, Bahrain baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika ardhi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138934-irgc_yashambulia_kambi_za_marekani_huko_kuwait_bahrain_baada_ya_mashambulizi_ya_ndege_zisizo_na_rubani_katika_ardhi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1d32de30e92pjjk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138934-irgc_yashambulia_kambi_za_marekani_huko_kuwait_bahrain_baada_ya_mashambulizi_ya_ndege_zisizo_na_rubani_katika_ardhi_ya_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeshambulia kambi mbili za anga za Marekani huko Kuwait na vituo vilivyobaki vya Kikosi cha Tano cha Marekani (US Fifth Fleet) huko Bahrain ili kujibu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 11:27:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kliniki katika kitovu cha Ebola nchini DR Congo 'yazidiwa' na wagonjwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138932-kliniki_katika_kitovu_cha_ebola_nchini_dr_congo_'yazidiwa'_na_wagonjwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby107dee00cd2pjjg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138932-kliniki_katika_kitovu_cha_ebola_nchini_dr_congo_'yazidiwa'_na_wagonjwa </guid>  
      <description>Ripoti zinasema kuwa, hospitali katika eneo lililoathiriwa na Ebola la Bunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imejaa idadi kubwa ya wagonjwa wa Ebola.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 11:23:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Leon Panetta: Vita dhidi ya Iran imekuwa Vietnam nyingine kwa Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138930-leon_panetta_vita_dhidi_ya_iran_imekuwa_vietnam_nyingine_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9aa74cf96a2pjim.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138930-leon_panetta_vita_dhidi_ya_iran_imekuwa_vietnam_nyingine_kwa_trump </guid>  
      <description>Waziri wa zamani wa Vita wa Marekani ameonya kuwa: Vita dhidi ya Iran vinakuwa sawa na vita Vietnam kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 09:39:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Manowari za kivita za Marekani zakimbia Bahari ya Oman baada ya onyo la Jeshi la Wanamaji la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138928-manowari_za_kivita_za_marekani_zakimbia_bahari_ya_oman_baada_ya_onyo_la_jeshi_la_wanamaji_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby569af840b42pjcg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138928-manowari_za_kivita_za_marekani_zakimbia_bahari_ya_oman_baada_ya_onyo_la_jeshi_la_wanamaji_la_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limetangaza kuwa meli kadhaa za kivita za Marekani katika Bahari ya Oman zimelazimika kuondoka katika eneo hilo baada ya vikosi vya Jeshi la Majini la Iran kufyatua risasi za onyo kwa kutumia makombora ya cruise na ndege zisizo na rubani za kisasa.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 04:43:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Starlink ilikuwa sehemu muhimu ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138926-ripoti_starlink_ilikuwa_sehemu_muhimu_ya_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybbb4206a4e2pjdy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138926-ripoti_starlink_ilikuwa_sehemu_muhimu_ya_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Ripoti mpya imefichua nafasi ya mtandao wa satalaiti wa SpaceX wa Starlink katika mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ikisema teknolojia hiyo inayouzwa kama miundombinu ya raia imekuwa sehemu muhimu ya mashambulizi ya mauaji dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 04:42:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujumbe wa UN nchini Libya wakana kuwepo mipango ya kuwapa makazi wahamiaji nchini humo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138924-ujumbe_wa_un_nchini_libya_wakana_kuwepo_mipango_ya_kuwapa_makazi_wahamiaji_nchini_humo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1a38e39f6e2pjdw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138924-ujumbe_wa_un_nchini_libya_wakana_kuwepo_mipango_ya_kuwapa_makazi_wahamiaji_nchini_humo </guid>  
      <description>Ujumbe wa Msaada wa Umoja wa Mataifa nchini Libya (UNSMIL) umekana kile ulichokiita "madai" yasiyo ya kweli kuhusu kuwepo mpango wa umoja huo za kuwapa makazi wahamiaji ndani ya Libya, ukisisitiza kwamba madai haya "hayana msingi".</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 04:40:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mali yaatangaza zawadi ya dola milioni 12.4 kwa atakayesaidia kukamatwa au kuuawa viongozi wa waasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138922-mali_yaatangaza_zawadi_ya_dola_milioni_12.4_kwa_atakayesaidia_kukamatwa_au_kuuawa_viongozi_wa_waasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby51a29c1bc12pjdk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138922-mali_yaatangaza_zawadi_ya_dola_milioni_12.4_kwa_atakayesaidia_kukamatwa_au_kuuawa_viongozi_wa_waasi </guid>  
      <description>Serikali ya Mali imezindua kifurushi kisicho cha kawaida cha hatua za usalama, kikijumuisha zawadi kubwa za kifedha na hatua kali, kama sehemu ya kuzidisha mapambano dhidi ya makundi ya waasi yenye silaha ambayo yamezidisha mashambulizi katika miezi ya hivi karibuni, haswa baada ya shambulio la umwagaji damu la Aprili 25 lililomuua Waziri wa Ulinzi wa Mali.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 04:34:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, Juni 6, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138920-jumamosi_juni_6_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx21df3fd8e22pf88.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138920-jumamosi_juni_6_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 20 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria mwafaka na 6 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 04:16:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WFP: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinasukuma mamilioni kukumbwa na njaa Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138918-wfp_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_vinasukuma_mamilioni_kukumbwa_na_njaa_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya0eceb08eb2pjd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138918-wfp_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_vinasukuma_mamilioni_kukumbwa_na_njaa_afrika </guid>  
      <description>Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinawasukuma mamilioni ya watu duniani kuingia katika hali ya njaa huku bara Afrika likionekana kuathirika zaidi.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 03:14:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utawala wa Bahrain unafuatilia malengo gani katika kuwatia mbaroni viongozi wa kidini?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138916-utawala_wa_bahrain_unafuatilia_malengo_gani_katika_kuwatia_mbaroni_viongozi_wa_kidini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf5639a462c2pjbc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138916-utawala_wa_bahrain_unafuatilia_malengo_gani_katika_kuwatia_mbaroni_viongozi_wa_kidini </guid>  
      <description>Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kuwakandamiza viongozi mashuhuri wa kidini Utawala wa Al Khalifa nchini Bahrain umewatia nguvuni viongozi wengine kadhaa wa kidini.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 14:28:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump sasa adai atahisi “heshima” kukutana na Kiongozi mpya wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138914-trump_sasa_adai_atahisi_heshima_kukutana_na_kiongozi_mpya_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby05d56413e22pj9m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138914-trump_sasa_adai_atahisi_heshima_kukutana_na_kiongozi_mpya_wa_iran </guid>  
      <description>Rais wa Marekani Donald Trump amesema angehisi “heshima” kukutana na Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, iwapo makubaliano yatafikiwa ya kumaliza vita kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:25:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yashambulia vikosi vamizi vya Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138912-hizbullah_yashambulia_vikosi_vamizi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby348ff3dcf52pj9q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138912-hizbullah_yashambulia_vikosi_vamizi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Wapiganaji wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wametekeleza wimbi la mashambulizi yaliyoratibiwa siku ya Alhamisi, wakilenga ngome kadhaa za kijeshi za Israel na kusababisha hasara kubwa kwa wanajeshi hao vamizi wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:21:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaikosoa Israel na Marekani kwa kuua watoto vitani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138910-iran_yaikosoa_israel_na_marekani_kwa_kuua_watoto_vitani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby31589d1d432pj9k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138910-iran_yaikosoa_israel_na_marekani_kwa_kuua_watoto_vitani </guid>  
      <description>Iran imekosoa vikali Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaua watoto wasio na hatia katika nchi mbalimbali kupitia uhalifu wa kivita na uvamizi wa kijeshi.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:17:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Utafiti: Wamarekani waliowengi wanataka vita dhidi ya Iran visitishwe haraka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138906-utafiti_wamarekani_waliowengi_wanataka_vita_dhidi_ya_iran_visitishwe_haraka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby27d5e79b2a2pj9e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138906-utafiti_wamarekani_waliowengi_wanataka_vita_dhidi_ya_iran_visitishwe_haraka </guid>  
      <description>Takribani Wamarekani saba kati ya kumi wanautaka utawala wa nchi hiyo ukomeshe vita vyake visivyo halali dhidi ya Iran “haraka iwezekanavyo.” Hayo ni kwa mujibu wa utafiti mpya uliofichua kiwango kikubwa cha kutoridhika kwa umma kuhusu mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Trump ambayo yanaendelea kwa zaidi ya miezi mitatu.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:04:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio dhidi ya timu ya mazishi ya Ebola huku maambukizi yakiongezeka DRC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138904-shambulio_dhidi_ya_timu_ya_mazishi_ya_ebola_huku_maambukizi_yakiongezeka_drc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe2030d322c2pg1u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138904-shambulio_dhidi_ya_timu_ya_mazishi_ya_ebola_huku_maambukizi_yakiongezeka_drc </guid>  
      <description>Wakazi walishambulia timu ya mazishi ya Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika jimbo la Kivu Kusini wiki hii, na kuwalazimisha wahudumu kuacha jeneza na kuzua hofu ya kuenea zaidi maambukizi ya virusi hivyo, wizara ya afya imesema.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 10:56:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Iran haitaki vita, lakini iko tayari kuendelea kujilinda ikilazimu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138902-araqchi_iran_haitaki_vita_lakini_iko_tayari_kuendelea_kujilinda_ikilazimu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby29d23ea2012pj6u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138902-araqchi_iran_haitaki_vita_lakini_iko_tayari_kuendelea_kujilinda_ikilazimu </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema Iran haitaki vita, lakini iko tayari kuendelea kujilinda inapobidi.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 03:08:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yaikosoa jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138900-tehran_yaikosoa_jamii_ya_kimataifa_kwa_kutochukua_hatua_za_kukabiliana_na_ukatili_dhidi_ya_watoto</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby54ebf9665b2pj6s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138900-tehran_yaikosoa_jamii_ya_kimataifa_kwa_kutochukua_hatua_za_kukabiliana_na_ukatili_dhidi_ya_watoto </guid>  
      <description>Shirika kuu la haki za binadamu la Iran limelaani mwenendo wa jamii ya kiimataifa wa kutochukua hatua za kushughulikia uhalifu wa ukatili unaofanywa dhidi ya watoto, likitaka kutiliwa maanani kimataifa watoto wengi wasio na hatia waliouawa na Marekani na utawala wa Israel katika uchokozi wa karibuni dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 03:05:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran chafikia rekodi ya kilowati-saa bilioni 80 za uzalishaji wa umeme</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138898-kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_nchini_iran_chafikia_rekodi_ya_kilowati_saa_bilioni_80_za_uzalishaji_wa_umeme</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc88ac080a22pj6q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138898-kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_nchini_iran_chafikia_rekodi_ya_kilowati_saa_bilioni_80_za_uzalishaji_wa_umeme </guid>  
      <description>Kituo cha Nguvu za Nyuklia cha Bushehr nchini Iran kimezalisha jumla ya kilowati-saa bilioni 80 za umeme, hatua inayochukuliwa kuwa mafanikio muhimu katika mpango wa nishati ya nyuklia kwa matumizi ya kiraia nchini.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 03:02:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ramaphosa: Waafrika Kusini si wachukia wageni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138896-ramaphosa_waafrika_kusini_si_wachukia_wageni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc3af0155852pj6o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138896-ramaphosa_waafrika_kusini_si_wachukia_wageni </guid>  
      <description>Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemweleza mwenzake wa Kenya, Rais William Ruto, kwamba maandamano ya hivi karibuni dhidi ya uhamiaji haramu nchini humo hayamaanishi kuwa Waafrika Kusini wana chuki dhidi ya wageni.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 03:00:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waasi wa ADF wanaofungamana na ISIS waua watu 21 DRC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138894-waasi_wa_adf_wanaofungamana_na_isis_waua_watu_21_drc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyaae2ddf5ca2pj6m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138894-waasi_wa_adf_wanaofungamana_na_isis_waua_watu_21_drc </guid>  
      <description>Idadi ya vifo kufuatia shambulio lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF), kundi la waasi lenye misimamo mikali lililoanzia Uganda, imefikia 21 katika mji wa Mbau, ulioko mkoa wa Kivu Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 02:57:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa, 5 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138892-ijumaa_5_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye96f042e4c2pj6k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138892-ijumaa_5_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa 19 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria mwafaka na 5 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 02:43:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matembezi ya kilomita 10 katika Siku Kuu ya Ghadir jijini Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138890-matembezi_ya_kilomita_10_katika_siku_kuu_ya_ghadir_jijini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf203653a9c2pj5y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138890-matembezi_ya_kilomita_10_katika_siku_kuu_ya_ghadir_jijini_tehran </guid>  
      <description>Leo joto kali la mwezi Juni katika barabara za Tehran halikuweza kupunguza hamasa na shauku ya wananchi waliojitokeza kushiriki katika “Ugeni wa Ghadir wa Kilomita 10”. </description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 15:40:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Khamenei: Adui aliyefedheheshwa anahamia kwenye vita  mseto baada ya kushindwa kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138888-ayatullah_khamenei_adui_aliyefedheheshwa_anahamia_kwenye_vita_mseto_baada_ya_kushindwa_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf6c728267c2pj50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138888-ayatullah_khamenei_adui_aliyefedheheshwa_anahamia_kwenye_vita_mseto_baada_ya_kushindwa_kijeshi </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema mahasimu wa Iran wamegeukia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya mbele ya vikosi vya ulinzi vya nchi hii na kusisitiza kuhusu umoja na umakini wa kitaifa ili kusambaratisha njama za maadui</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 12:54:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wairani wamuenzi Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu Imam Khomeini katika kumbukumbu ya miaka 37 tangu kuaga dunia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138886-wairani_wamuenzi_mwasisi_wa_jamhuri_ya_kiislamu_imam_khomeini_katika_kumbukumbu_ya_miaka_37_tangu_kuaga_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby940de41b182pj4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138886-wairani_wamuenzi_mwasisi_wa_jamhuri_ya_kiislamu_imam_khomeini_katika_kumbukumbu_ya_miaka_37_tangu_kuaga_dunia </guid>  
      <description>Wananchi wa Iran wa matabaka mbalimbali wameshiriki katika marasimu mbalimbali ya  maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa 37 tangu kufariki dunia Imam Ruhullah Musavi Khomeini (M.A) Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. </description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 12:52:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge asema: Zama za kuitishia Iran bila gharama zimeisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138884-spika_wa_bunge_asema_zama_za_kuitishia_iran_bila_gharama_zimeisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5e829da4fa2pj4i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138884-spika_wa_bunge_asema_zama_za_kuitishia_iran_bila_gharama_zimeisha </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Iran si tena shabaha ya vitisho rahisi vya maadui, akiongeza kuwa uzoefu wa vita viwili vya Marekani na Israel umeonyesha kwamba Iran ina uwezo wa kutoa majibu makali kwa uchokozi wa aina yoyote.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 11:26:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Sudan lazuia shambulio la RSF huko Blue Nile</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138880-jeshi_la_sudan_lazuia_shambulio_la_rsf_huko_blue_nile</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyae0639b36e2pj4a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138880-jeshi_la_sudan_lazuia_shambulio_la_rsf_huko_blue_nile </guid>  
      <description>Jeshi la Sudan limetangaza kuwa limezima shambulio la Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) kwenye eneo la kimkakati la Al-Baraka nje kidogo ya mji wa Kurmuk katika Jimbo la Blue Nile, kusini mashariki mwa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 11:21:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Alkhamisi, tarehe 04 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138878-alkhamisi_tarehe_04_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybcd32de4fb2pj28.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138878-alkhamisi_tarehe_04_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe 04 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 07:45:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgawanyiko waongezeka kati ya Rais wa Senegal na Waziri Mkuu wa zamani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138876-mgawanyiko_waongezeka_kati_ya_rais_wa_senegal_na_waziri_mkuu_wa_zamani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby478920c8492pj04.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138876-mgawanyiko_waongezeka_kati_ya_rais_wa_senegal_na_waziri_mkuu_wa_zamani </guid>  
      <description>Mvutano kati ya Rais Bassirou Diomaye Faye wa Senegal na mshauri wake wa zamani, Ousmane Sonko umezusha mzozo wa kisiasa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi inayosumbuliwa na deni kubwa.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:51:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yakanusha madai ya Marekani, yasema Washington inajaribu kuficha uhalifu wake dhidi ya Wairani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138874-tehran_yakanusha_madai_ya_marekani_yasema_washington_inajaribu_kuficha_uhalifu_wake_dhidi_ya_wairani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf121b387c32pizk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138874-tehran_yakanusha_madai_ya_marekani_yasema_washington_inajaribu_kuficha_uhalifu_wake_dhidi_ya_wairani </guid>  
      <description>Iran imepinga vikali tuhuma za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwamba Tehran inataka kuwaua maafisa wa Marekani, ikiikosoa Washington kwa kujaribu kujionyesha kama mwathirika huku ikificha rekodi yake ya uhalifu wa kivita dhidi ya watu wa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:36:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Marekani lapitisha hatua ya kupunguza mamlaka ya vita ya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138872-bunge_la_marekani_lapitisha_hatua_ya_kupunguza_mamlaka_ya_vita_ya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6add70225b2pj02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138872-bunge_la_marekani_lapitisha_hatua_ya_kupunguza_mamlaka_ya_vita_ya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha azimio linalolenga kupunguza mamlaka ya vita ya Rais Donald Trump kuhusiana na Iran, ikiwa ni ishara ya changamoto kubwa kwa jinsi utawala wa Trump unavyoshughulikia uchokozi wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:34:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Foreign Policy: Chuki dhidi ya Wakristo imeongezeka huko Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138870-foreign_policy_chuki_dhidi_ya_wakristo_imeongezeka_huko_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4ef44e5d892pj00.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138870-foreign_policy_chuki_dhidi_ya_wakristo_imeongezeka_huko_israel </guid>  
      <description>Uchunguzi uliofanywa na baadhi ya vyombo vya habari umebaini kuwa chuki na hujuma dhidi ya Wakristo vimeongezeka huko Israel.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:32:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapinga 'matakwa ya kupita kiasi' katika mazungumzo au kusitisha mapigano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138868-iran_yapinga_'matakwa_ya_kupita_kiasi'_katika_mazungumzo_au_kusitisha_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0acc2bc5192pizy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138868-iran_yapinga_'matakwa_ya_kupita_kiasi'_katika_mazungumzo_au_kusitisha_mapigano </guid>  
      <description>Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kuwa Tehran haitairuhusu Marekani kuwasilisha matakwa ya kupita kiasi, iwe ni katika mazungumzo au wakati wa mchakato wa kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:12:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50, yumo kamanda mkuu wa kundi la ISWAP </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138866-jeshi_la_nigeria_laangamiza_magaidi_50_yumo_kamanda_mkuu_wa_kundi_la_iswap</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5315253fd92pizw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138866-jeshi_la_nigeria_laangamiza_magaidi_50_yumo_kamanda_mkuu_wa_kundi_la_iswap </guid>  
      <description>Wanajeshi wa Nigeria wanaoendesha oparesheni kwa jina "Hadin Kai" wamewaangamiza magaidi wasiopungua 50, akiwemo kamanda mkuu wa tawi la ISWAP lililoungana na kundi la Boko Haram.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:07:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya jeshi la Iran: Adui amelazimishwa kukubali sheria mpya za Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138864-vikosi_vya_jeshi_la_iran_adui_amelazimishwa_kukubali_sheria_mpya_za_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4cf4db79c42pix8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138864-vikosi_vya_jeshi_la_iran_adui_amelazimishwa_kukubali_sheria_mpya_za_iran </guid>  
      <description>Vikosi vya jeshi la Iran vimetangaza kuwa adui amelazimika kukubali sheria mpya zilizowekwa na Tehran kwenye uwanja wa vita, hasa kuhusu usimamizi na udhibiti makini wa Mlango-Bahari wa Hormuz, huku nchi hii ikiwa katika kumbukumbu ya kifo cha Imam Ruhullah Khomeini na mapambano ya 1963 dhidi ya utawala wa Shah.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 13:29:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi wa Israel wakiona cha mtemakuni Lebanon; ripoti ya Marekani: Hizbullah sasa ina uwezo zaidi kuliko awali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138862-wanajeshi_wa_israel_wakiona_cha_mtemakuni_lebanon_ripoti_ya_marekani_hizbullah_sasa_ina_uwezo_zaidi_kuliko_awali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby17f43ca17c2pix6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138862-wanajeshi_wa_israel_wakiona_cha_mtemakuni_lebanon_ripoti_ya_marekani_hizbullah_sasa_ina_uwezo_zaidi_kuliko_awali </guid>  
      <description>Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema imetoa kipigo kikubwa kwa wanajeshi wa Israel katika mji wa al-Bayyada, kusini mwa Lebanon, huku jeshi la Israel likiendelea kushindwa na wanajeshi wake wakikabiliwa na mbinu za kisasa zaidi.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 13:27:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tunisia: Ghannouchi na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138860-tunisia_ghannouchi_na_wenzake_wahukumiwa_kifungo_cha_maisha_jela</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby117883b9f82pix2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138860-tunisia_ghannouchi_na_wenzake_wahukumiwa_kifungo_cha_maisha_jela </guid>  
      <description>Mahakama ya Tunisia imemhukumu kifungo cha maisha jela kiongozi wa Harakati ya Ennahdha na Spika wa zamani wa Bunge, Rached Ghannouchi (miaka 84), pamoja na kuwahukumu wenzake katika kesi inayojulikana kwa jina la "Ennahdha Movement's Secret Apparatus".</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 13:24:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watetezi haki za binadamu: NBA ikomeshe ushirikiano na UAE katika mauaji ya halaiki Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138858-watetezi_haki_za_binadamu_nba_ikomeshe_ushirikiano_na_uae_katika_mauaji_ya_halaiki_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby17c56952af2piws.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138858-watetezi_haki_za_binadamu_nba_ikomeshe_ushirikiano_na_uae_katika_mauaji_ya_halaiki_sudan </guid>  
      <description>Watetezi wa haki za binadamu wamekitaka Chama cha Kitaifa cha Mpira wa Kikapu cha Marekani (NBA) kukomesha ushirikiano wake na Umoja wa Falme za Kiarabuu (UAE), wakisema uhusiano wa ligi hiyo na Abu Dhabi unaikingia kifua nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi kutokana na kulaaniwa vikali kwa kuhusika kwake katika vita ndani nchini Sudan.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 13:15:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Zimbabwe lajadili rasimu ya muswada wa kuongeza muda wa urais</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138854-bunge_la_zimbabwe_lajadili_rasimu_ya_muswada_wa_kuongeza_muda_wa_urais</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye776fd815b2piwk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138854-bunge_la_zimbabwe_lajadili_rasimu_ya_muswada_wa_kuongeza_muda_wa_urais </guid>  
      <description>Bunge la Zimbabwe linazingatia muswada tata wa marekebisho ya Katiba ambao utaongeza muhula wa Rais Emmerson Mnangagwa kwa miaka miwili hadi 2030.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 12:39:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Israel inafuatilia malengo gani katika kuzidisha vita nchini Lebanon?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138856-je_israel_inafuatilia_malengo_gani_katika_kuzidisha_vita_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby48ca7045ff2piti.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138856-je_israel_inafuatilia_malengo_gani_katika_kuzidisha_vita_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Utawala wa Kizayuni unaendelea kushambulia Lebanon ambapo katika siku za hivi karibuni ulikuwa umetishia kuushambulia mtaa wa Dhahiyah kusini mwa Beirut na kutaka watu wahame kutoka eneo hilo.
Swali muhimu ni je, kwa nini utawala wa Kizayuni unataka kushadidisha mgogoro na vita nchini Lebanon?
</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 12:51:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hormuz, vita na ukweli ambao Washington haikuwa na budi ila kuukubali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138852-hormuz_vita_na_ukweli_ambao_washington_haikuwa_na_budi_ila_kuukubali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4b0757e67e2pitg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138852-hormuz_vita_na_ukweli_ambao_washington_haikuwa_na_budi_ila_kuukubali </guid>  
      <description>Katika hali ambayo sera ya "mashinikizo ya juu zaidi" na chaguo la kijeshi la Trump vilipaswa kuilazimisha Iran ilegeze msimamo na kurudi nyuma, lakini matukio ya karibuni yameonyesha kuwa Washington inatafuta njia ya kujiondoa kwa heshima katika mgogoro ambao imejianzishia yenyewe.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 07:10:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Tumejiandaa vya kutosha kwa uchokozi wa aina zote wa adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138850-irgc_tumejiandaa_vya_kutosha_kwa_uchokozi_wa_aina_zote_wa_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyac5c0dc8822pir0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138850-irgc_tumejiandaa_vya_kutosha_kwa_uchokozi_wa_aina_zote_wa_adui </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa vikosi vyake vimejiandaa vyema kuliko hapo awali na viko tayari kikamilifu kwa dharura yoyote ya siku zijazo, likisisitiza kwamba kurudi kwa adui kwenye uvamizi wa kijeshi kutakabiliwa na mbinu tofauti za kiutendaji.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:13:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yatishia kutoa jibu la pande zote kwa ongezeko lolote la mashambulizi ya Israel nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138848-yemen_yatishia_kutoa_jibu_la_pande_zote_kwa_ongezeko_lolote_la_mashambulizi_ya_israel_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf8334ce5942p8g8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138848-yemen_yatishia_kutoa_jibu_la_pande_zote_kwa_ongezeko_lolote_la_mashambulizi_ya_israel_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya mapambano ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuwa vikosi vya jeshi la Israel vilivyotumwa Lebanon vitaendelea kuwa katika hatari ya mashambulizi yatakayofanywa na harakati hiyo kuonyesha mshikamano na Lebanon na harakati yake ya mapambano ya Hizbullah hadi vitakapoondoka kabisa kwenye ardhi ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:12:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazindua kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya saratani Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138846-iran_yazindua_kituo_kikubwa_zaidi_cha_matibabu_ya_saratani_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby778a56dfae2piqm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138846-iran_yazindua_kituo_kikubwa_zaidi_cha_matibabu_ya_saratani_asia_magharibi </guid>  
      <description>Iran imezindua kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya saratani katika eneo la Asia Magharibi, ambacho kinachukua nafasi ya kituo cha zamani, kwa hospitali mpya yenye ghorofa 18, vitanda zaidi ya 610 na teknolojia ya kisasa ya matibabu.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:10:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirikisho la Soka la Norway laiomba FIFA kuchunguza tuzo ya amani ya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138844-shirikisho_la_soka_la_norway_laiomba_fifa_kuchunguza_tuzo_ya_amani_ya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8ed59aee1b2pire.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138844-shirikisho_la_soka_la_norway_laiomba_fifa_kuchunguza_tuzo_ya_amani_ya_trump </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Norway (NFF) lilisema jana Jumanne kwamba limeiomba kamati ya maadili ya FIFA kuchunguza tuzo ya amani iliyotolewa na baraza linalosimamia soka duniani kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:08:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, tarehe 3 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138842-jumatano_tarehe_3_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx21df3fd8e22pf88.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138842-jumatano_tarehe_3_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatano tarehe 17 Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe 3 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:04:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lashambulia vituo vya kijeshi vya Marekani baada ya ukiukaji karibu na Mlango wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138840-jeshi_la_iran_lashambulia_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_baada_ya_ukiukaji_karibu_na_mlango_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye34941349d2piq2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138840-jeshi_la_iran_lashambulia_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_baada_ya_ukiukaji_karibu_na_mlango_wa_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kwamba vikosi vyake vimetekeleza mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya meli ya adui, makao makuu ya Kikosi cha Tano cha Jeshi la Wanamaji la Marekani nchini Bahrain, pamoja na kambi ya jeshi la anga ya Marekani katika eneo hilo, kufuatia vitendo viwili vya uchokozi wa Marekani vilivyolenga mali za Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 03:02:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Nairobi kupinga kituo cha Ebola cha Marekani nchini Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138838-wanaharakati_wa_haki_za_binadamu_waandamana_nairobi_kupinga_kituo_cha_ebola_cha_marekani_nchini_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbycdfad7b7d22pip8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138838-wanaharakati_wa_haki_za_binadamu_waandamana_nairobi_kupinga_kituo_cha_ebola_cha_marekani_nchini_kenya </guid>  
      <description>Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano leo mjini Nairobi wakipinga makubaliano yaliyofikiwa kati ya serikali ya nchi hiyo na Marekani ya kuanzisha nchini Kenya kituo cha kuhifadhi Wamarekani wanaoshukiwa kuambukizwa virusi vya Ebola. </description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 15:17:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lengo la Marekani kutokana na siasa zake zenye mgongano katika eneo la Asia-Pasifiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138836-lengo_la_marekani_kutokana_na_siasa_zake_zenye_mgongano_katika_eneo_la_asia_pasifiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1bbdb92caa2pima.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138836-lengo_la_marekani_kutokana_na_siasa_zake_zenye_mgongano_katika_eneo_la_asia_pasifiki </guid>  
      <description>Waziri wa Vita wa Marekani amesema katika mkutano wa Shangri-La huko Singapore kwamba Washington inatarajia washirika wake wa Asia waongeze matumizi yao ya kijeshi na ulinzi hadi asilimia 3.5 ya Pato lao la Taifa.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 10:06:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yafuta mpango wa kushambulia Beirut baada ya onyo kali la Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138834-israel_yafuta_mpango_wa_kushambulia_beirut_baada_ya_onyo_kali_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya273d477dc2pikq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138834-israel_yafuta_mpango_wa_kushambulia_beirut_baada_ya_onyo_kali_la_iran </guid>  
      <description>Utawala wa Israel umeachana na mpango wake wa kufanya mashambulizi makali ya ya kijeshi dhidi ya mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Haya yameelezwa siku ya Jumatatu na Rais wa Marekani, Donald Trump, kufuatia onyo kali kutoka kwa Iran kwamba haitavumilia wimbi jipya la uvamizi dhidi ya Beirut, hatua ambayo ingekiuka makubaliano ya kusitisha vita kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:13:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Kikosi cha Quds cha IRGC aonya Bab al-Mandab itageuka kama Mlango wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138832-mkuu_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_aonya_bab_al_mandab_itageuka_kama_mlango_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4996fcc2512pihc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138832-mkuu_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_aonya_bab_al_mandab_itageuka_kama_mlango_wa_hormuz </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Esmail Qa’ani, ameonya kuwa Mlango wa Bab al-Mandab unaweza kukabiliwa na vikwazo vya usafiri wa meli vinavyofanana na vya Mlango wa Hormuz iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea na uhalifu nchini Lebanon na Ukanda wa Gaza chini ya himaya ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:11:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waliowengi Baraza la Usalama la UN walaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138830-waliowengi_baraza_la_usalama_la_un_walaani_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby093be492652pija.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138830-waliowengi_baraza_la_usalama_la_un_walaani_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Idadi kubwa ya wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameonyesha kutokuridhishwa kwao na kuongezeka kwa mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya Lebanon. Wakati hayo yakijiri, Marekani imepuuza kuukosoa utawala wa Israel, badala yake ikielekeza lawama zake zote kwa harakati ya Muqawama ya Hizbullah na nchi ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:09:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Visa vya Ebola vimefika 300 nchini DR Congo huku maeneo zaidi ya afya yakiathirika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138828-visa_vya_ebola_vimefika_300_nchini_dr_congo_huku_maeneo_zaidi_ya_afya_yakiathirika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxab210fee112pha2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138828-visa_vya_ebola_vimefika_300_nchini_dr_congo_huku_maeneo_zaidi_ya_afya_yakiathirika </guid>  
      <description>Idadi ya visa vilivyothibitishwa vya ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imevuka 300 kufikia Jumatatu.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:08:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Raia watano wa Msumbiji wauawa katika ‘Mashambulizi ya Chuki’ nchini Afrika Kusini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138826-raia_watano_wa_msumbiji_wauawa_katika_mashambulizi_ya_chuki’_nchini_afrika_kusini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc0a45242432pilu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138826-raia_watano_wa_msumbiji_wauawa_katika_mashambulizi_ya_chuki’_nchini_afrika_kusini </guid>  
      <description>Serikali ya Msumbiji imetangaza kuwa takriban raia wake watano wameuawa katika “mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni” nchini Afrika Kusini mwishoni mwa juma lililopita. Vifo hivyo vinaashiria kushadidia maandamano yanayoendelea nchi nzima dhidi ya wahamiaji wasio na vibali.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:05:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne tarehe Pili Juni mwaka 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138824-jumanne_tarehe_pili_juni_mwaka_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby93238fb8c72pii0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138824-jumanne_tarehe_pili_juni_mwaka_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumanne tarehe 16 Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe Pili Juni 2026.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 03:14:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Marekani ni lazima ilipe gharama za jinai za Israel Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138822-qalibaf_marekani_ni_lazima_ilipe_gharama_za_jinai_za_israel_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9309214e342pihy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138822-qalibaf_marekani_ni_lazima_ilipe_gharama_za_jinai_za_israel_lebanon </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) Mohammad Baqir Qalibaf ameilaani Marekani kwa kuhusika katika mashambulizi ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Lebanon na kueleza kuwa Washington lazima ilipe gharama ya jinai za kivita zinazofanywa na utawala huo ghasibu dhidi ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 03:07:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yapiga kambi ya anga ya Marekani iliyohusishwa na shambulio dhidi ya mnara wa mawasiliano kusini mwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138820-irgc_yapiga_kambi_ya_anga_ya_marekani_iliyohusishwa_na_shambulio_dhidi_ya_mnara_wa_mawasiliano_kusini_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby26b82cee8a2pihs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138820-irgc_yapiga_kambi_ya_anga_ya_marekani_iliyohusishwa_na_shambulio_dhidi_ya_mnara_wa_mawasiliano_kusini_mwa_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la  Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema limefanya shambulio la kulipiza kisasi dhidi ya kambi ya anga iliyotumiwa na Marekani kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya mnara wa mawasiliano katika kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 03:01:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei ya mafuta duniani yapanda huku majeshi ya Israel yakisonga ndani zaidi kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138818-bei_ya_mafuta_duniani_yapanda_huku_majeshi_ya_israel_yakisonga_ndani_zaidi_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby51881ffd892pihq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138818-bei_ya_mafuta_duniani_yapanda_huku_majeshi_ya_israel_yakisonga_ndani_zaidi_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Bei ya mafuta duniani yapanda huku majeshi ya Israel yakisonga ndani zaidi kusini mwa Lebanon</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 02:58:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walimu Nigeria waitisha mgomo katika jimbo la Oyo kufuatia vitendo vya utekaji nyara shuleni </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138816-walimu_nigeria_waitisha_mgomo_katika_jimbo_la_oyo_kufuatia_vitendo_vya_utekaji_nyara_shuleni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby89bfc75d2e2pihm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138816-walimu_nigeria_waitisha_mgomo_katika_jimbo_la_oyo_kufuatia_vitendo_vya_utekaji_nyara_shuleni </guid>  
      <description>Muungano wa Walimu wa Nigeria umeitisha mgomo wa wazi kuanzia leo Jumatatu katika jimbo la Oyo kupinga kutekwa nyara makumi ya watoto na walimu wao katikati ya mwezi wa Mei mwaka huu.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 02:56:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Somalia lamuuwa kamanda mwandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabaab </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138814-jeshi_la_somalia_lamuuwa_kamanda_mwandamizi_wa_kundi_la_kigaidi_la_al_shabaab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby63b2a767f32pihk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138814-jeshi_la_somalia_lamuuwa_kamanda_mwandamizi_wa_kundi_la_kigaidi_la_al_shabaab </guid>  
      <description>Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) limewaua wanachama wawili wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, akiwemo kamanda mwandamizi, katika operesheni ya kijeshi iliyopangwa katika eneo la Hanti Wadaag, mkoani Lower Shabelle.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 02:53:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Ruto aagiza ujumuishaji wa Shule za Kiislamu katika mfumo rasmi wa elimu wa Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138812-rais_ruto_aagiza_ujumuishaji_wa_shule_za_kiislamu_katika_mfumo_rasmi_wa_elimu_wa_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby68cc7ff1952pieq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138812-rais_ruto_aagiza_ujumuishaji_wa_shule_za_kiislamu_katika_mfumo_rasmi_wa_elimu_wa_kenya </guid>  
      <description>Rais wa Kenya, William Ruto, amemwagiza waziri wa elimu kushirikisha wadau wote husika na kuanzisha mashauriano kuhusu ujumuishaji rasmi wa shule za Kiislamu nchini, zinazojulikana kama Duksi au Madrasa, katika mfumo wa elimu wa Kenya.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 13:08:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanawake wako katika hatari kubwa ya kuathiriwa na mlipuko wa Ebola Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138810-wanawake_wako_katika_hatari_kubwa_ya_kuathiriwa_na_mlipuko_wa_ebola_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby80e496fc6e2pie2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138810-wanawake_wako_katika_hatari_kubwa_ya_kuathiriwa_na_mlipuko_wa_ebola_kongo </guid>  
      <description>Wakati Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikiendelea na mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, wanawake nchini humo wametajwa kuwa kundi lililo kwenye hatari ya kuambukizwa ugonjwa huo unaosababishwa na virusi. </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 11:51:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu 12 wauawa shahidi katika mashambulizi ya anga ya Israel katika ardhi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138808-watu_12_wauawa_shahidi_katika_mashambulizi_ya_anga_ya_israel_katika_ardhi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby30784199272piai.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138808-watu_12_wauawa_shahidi_katika_mashambulizi_ya_anga_ya_israel_katika_ardhi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Ikiwa ni katika muendelezo wa ukiukaji wa makubaliano ya usitishaji vita na mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya miji na vijiji vya kusini mwa Lebanon yaliyotekelezwa zaidi ya mara 36 mchana na Jumapili usiku, watu 12 wameuawa shahidi na wengine 35 kujeruhiwa katika mashambulizi hayo ya jinai.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 11:27:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kauli ya Umoja wa Ulaya inayolaani kujilinda halali kwa Iran ni ya kinafiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138806-kauli_ya_umoja_wa_ulaya_inayolaani_kujilinda_halali_kwa_iran_ni_ya_kinafiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5d230595d12pid8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138806-kauli_ya_umoja_wa_ulaya_inayolaani_kujilinda_halali_kwa_iran_ni_ya_kinafiki </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa Umoja wa Ulaya unapasa kuzingatia kanuni ya utawala wa sheria na Hati ya Umoja wa Mataifa ambazo unadai kufungamana nazo.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 11:24:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, ni vipi Ulaya imekuwa mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138802-je_ni_vipi_ulaya_imekuwa_mshirika_wa_jinai_za_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye8006f09ae2pidc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138802-je_ni_vipi_ulaya_imekuwa_mshirika_wa_jinai_za_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Jürgen Todenhofer, mwanasiasa na mjumbe wa zamani wa bunge la Ujerumani, amesema: "Umoja wa Ulaya na serikali ya Ujerumani zinahusika moja kwa moja katika maangamizi makubwa ya watu wa Palestina." </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 10:03:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen: Kupiga marufuku Hamas na Jihad Islami kunaonyesha jinsi Ulaya inavyoukingia kifua Uzayuni wa kimataifa.</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138800-yemen_kupiga_marufuku_hamas_na_jihad_islami_kunaonyesha_jinsi_ulaya_inavyoukingia_kifua_uzayuni_wa_kimataifa.</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye49a132cb32pice.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138800-yemen_kupiga_marufuku_hamas_na_jihad_islami_kunaonyesha_jinsi_ulaya_inavyoukingia_kifua_uzayuni_wa_kimataifa. </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imelaani vikali hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuimarisha vikwazo dhidi ya harakati za ukombozi wa Palestina, Hamas na Jihad Islami, ikiitaja kuwa ni ishara ya utiifu kwa Uzayuni wa kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 09:27:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali shambulio la polisi wa Uholanzi dhidi ya mke mjamzito wa Mpalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138798-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_polisi_wa_uholanzi_dhidi_ya_mke_mjamzito_wa_mpalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby887ed9f6472pic6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138798-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_polisi_wa_uholanzi_dhidi_ya_mke_mjamzito_wa_mpalestina </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali shambulio la kikatili lililofanywa na polisi wa Uholanzi dhidi ya mke mjamzito wa mwanamume Mpalestina, ikitoa wito kwa serikali ya Uholanzi kuchunguza tukio hilo na kuwawajibisha waliohusika.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 09:20:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatatu tarehe Mosi Juni 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138796-jumatatu_tarehe_mosi_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya59acf2ba22pi68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138796-jumatatu_tarehe_mosi_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu 15 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1447 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Juni 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 03:28:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Iran inamrudisha nyuma adui kupitia umoja wa kitaifa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138794-spika_qalibaf_iran_inamrudisha_nyuma_adui_kupitia_umoja_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6c2f3b68e32pi66.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138794-spika_qalibaf_iran_inamrudisha_nyuma_adui_kupitia_umoja_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Mohammad Baqir Qalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa Iran, kupitia umoja wa kitaifa, inamrudisha nyuma adui katika vita vinavyoacha historia.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 03:25:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanasiasa wa Ujerumani: EU ni mshirika katika ugaidi wa kimfumo wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138790-mwanasiasa_wa_ujerumani_eu_ni_mshirika_katika_ugaidi_wa_kimfumo_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby23614602702pi64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138790-mwanasiasa_wa_ujerumani_eu_ni_mshirika_katika_ugaidi_wa_kimfumo_wa_israel </guid>  
      <description>Mwanasiasa wa Ujerumani na mbunge wa zamani wa bunge la nchi hiyo amekosoa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema: "Walowezi wa Kizayuni wanafanya ugaidi wa kimfumo dhidi ya Wapalestina, na serikali ya Ujerumani na Umoja wa Ulaya wanashiriki katika uhalifu huo kwa kunyamaza kimya."</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 03:20:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Uvutaji sigara unahatarisha afya ya watu bilioni 1.2 duniani kote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138788-who_uvutaji_sigara_unahatarisha_afya_ya_watu_bilioni_1.2_duniani_kote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8823b51a432pi60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138788-who_uvutaji_sigara_unahatarisha_afya_ya_watu_bilioni_1.2_duniani_kote </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza takwimu za kutisha na za kusikitisha kuhusu hatari ya uvutaji sigara, kwa mnasaba wa madhimisho ya kila mwaka ya Siku ya Kupiga Vita Tumbaku Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 31. </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:51:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchaguzi mkuu Ethiopia; Abiy Ahmed anatarajiwa kushinda tena kiti cha Waziri Mkuu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138786-uchaguzi_mkuu_ethiopia_abiy_ahmed_anatarajiwa_kushinda_tena_kiti_cha_waziri_mkuu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydb182db1012pi5y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138786-uchaguzi_mkuu_ethiopia_abiy_ahmed_anatarajiwa_kushinda_tena_kiti_cha_waziri_mkuu </guid>  
      <description>Uchaguzi mkuu wa Ethiopia unatarajiwa kufanyika Jumatatu hii huku migogoro ikiendelea katika baadhi ya maeneo ya nchi, ikimaanisha kuwa watu wengi hawataweza kupiga kura.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:46:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkaguzi mkuu wa magereza Ufaransa: Hali ya magereza nchini ni "mbaya, ya aibu na ya majanga"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138784-mkaguzi_mkuu_wa_magereza_ufaransa_hali_ya_magereza_nchini_ni_mbaya_ya_aibu_na_ya_majanga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby50fb89566d2pi5w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138784-mkaguzi_mkuu_wa_magereza_ufaransa_hali_ya_magereza_nchini_ni_mbaya_ya_aibu_na_ya_majanga </guid>  
      <description>Wizara ya Sheria ya Ufaransa imetangaza kwamba idadi ya wafungwa nchini humo imefikia zaidi ya watu 88,600, ambayo ni kubwa zaidi kuwahi kurekodiwa katika historia ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:42:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump anatapatapa kati ya vitisho na makubaliano?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138782-kwa_nini_trump_anatapatapa_kati_ya_vitisho_na_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9abb6c05812pi0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138782-kwa_nini_trump_anatapatapa_kati_ya_vitisho_na_makubaliano </guid>  
      <description>CNN imesema katika ripoti kwamba: "Serikali ya Marekani huchanganyikiwa linapokuja suala la nyuklia la Iran." Katika kipindi cha wiki kadhaa zilizopita, Rais Donald Trump wa Marekani amebadilisha misimamo yake mara kadhaa kuhusu hatima ya hifadhi ya urani iliyorutubishwa ya Iran. </description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 13:22:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump anakabiliwa na chaguzi 'mbaya' au 'mbaya zaidi' kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138780-trump_anakabiliwa_na_chaguzi_'mbaya'_au_'mbaya_zaidi'_kuhusu_iran_jenerali_wa_irgc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx16f7d153bb2pi26.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138780-trump_anakabiliwa_na_chaguzi_'mbaya'_au_'mbaya_zaidi'_kuhusu_iran_jenerali_wa_irgc </guid>  
      <description>Kamanda wa cheo cha juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) anasema Rais wa Marekani, Donald Trump, hana chaguo zuri kuhusu Iran na anapaswa kuchagua kati ya njia "mbaya" au "mbaya zaidi".</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:58:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Wanazuoni Waislamu: Kuanzisha uhusiano na Israel kuna madhara kwa nchi za Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138778-umoja_wa_wanazuoni_waislamu_kuanzisha_uhusiano_na_israel_kuna_madhara_kwa_nchi_za_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb855168ef52pi24.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138778-umoja_wa_wanazuoni_waislamu_kuanzisha_uhusiano_na_israel_kuna_madhara_kwa_nchi_za_kiislamu </guid>  
      <description>Umoja wa Wasomi wa Kiislamu Duniani umetangaza upinzani wake kamili kwa tishio lolote linaloelekezwa kwa nchi za Kiislamu au mataifa yao kutoka upande wowote ule, na kuonya kuhusu matokeo mabaya ya kunzisha uhusiano na utawala wa Tel Aviv. </description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:55:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Simulizi la Wall Street Journal kuhusu vita vya Marekani dhidi ya Iran: Ni ushindi wa kimaonyesho wa Trump au kushindwa halisi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138776-simulizi_la_wall_street_journal_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ushindi_wa_kimaonyesho_wa_trump_au_kushindwa_halisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9abb6c05812pi0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138776-simulizi_la_wall_street_journal_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ushindi_wa_kimaonyesho_wa_trump_au_kushindwa_halisi </guid>  
      <description>Mhariri mkuu wa Wall Street Journal amesema: "Trump analazimika kudhihirisha kushindwa kwake mbele ya Iran kama ushindi ili kulinda sura na hadhi yake."</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:52:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Israeli Ben-Gvir amhimiza Netanyahu 'kusawazisha vitongoji vya Beirut na ardhi'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138774-waziri_wa_israeli_ben_gvir_amhimiza_netanyahu_'kusawazisha_vitongoji_vya_beirut_na_ardhi'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7ab61337de2pi22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138774-waziri_wa_israeli_ben_gvir_amhimiza_netanyahu_'kusawazisha_vitongoji_vya_beirut_na_ardhi' </guid>  
      <description>Waziri anayejiita wa usalama wa Israel, Itamar Ben-Gvir, amemtaka Waziri Mkuu wa utawaka huo katili, Benjamin Netanyahu, kusawazisha na ardhi vitongoji vya mji mkuu wa Lebanon, Beirut huku utawala huo ukizidisha mashambulizi yake dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:49:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>MSF yaonya: Mlipuko wa Ebola DR Congo ni wa kutisha sana</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138772-msf_yaonya_mlipuko_wa_ebola_dr_congo_ni_wa_kutisha_sana</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1669332a572pi20.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138772-msf_yaonya_mlipuko_wa_ebola_dr_congo_ni_wa_kutisha_sana </guid>  
      <description>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba mlipuko wa Ebola katika Mkoa wa Ituri nchini Kongo DR unaenea kwa kasi kubwa zaidi kuliko juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) ikifuatilia ongezeko la dharura ya afya ya umma sambamba na kuwepo mamia ya visa vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:48:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 31 Mei, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138770-jumapili_31_mei_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b0dd57fe92pe9u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i138770-jumapili_31_mei_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 14 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1447 Hijria sawa na 31 Mei 2026.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:38:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Iran kupigia kura mpango wa usimamizi wa Lango Bahari la Hormuz 'hivi karibuni'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138768-bunge_la_iran_kupigia_kura_mpango_wa_usimamizi_wa_lango_bahari_la_hormuz_'hivi_karibuni'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx21bf0183a32phw8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138768-bunge_la_iran_kupigia_kura_mpango_wa_usimamizi_wa_lango_bahari_la_hormuz_'hivi_karibuni' </guid>  
      <description>Bunge la Iran linatarajiwa kupitia na kuidhinisha sheria inayorasimisha usimamizi na mamlaka ya Jamhuri ya Kiislamu juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:29:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti: Wamarekani wengi wanasumbuliwa na njaa kuliko wakati wa janga la Covid-19</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138766-utafiti_wamarekani_wengi_wanasumbuliwa_na_njaa_kuliko_wakati_wa_janga_la_covid_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0d62f5c6de2phwk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138766-utafiti_wamarekani_wengi_wanasumbuliwa_na_njaa_kuliko_wakati_wa_janga_la_covid_19 </guid>  
      <description>Utafiti wa Benki ya Hifadhi ya Shirikisho ya New York unaonyesha kwamba karibu 10% ya kaya zinaripoti kutokula chakula kutokana na kupanda kwa gharama na matatizo ya kifedha.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:25:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhaba wa dawa unavyotishia maisha ya wagonjwa nchini Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138764-uhaba_wa_dawa_unavyotishia_maisha_ya_wagonjwa_nchini_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9772037b702phvy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138764-uhaba_wa_dawa_unavyotishia_maisha_ya_wagonjwa_nchini_sudan </guid>  
      <description>Utafutaji wa dawa za binadamu nchini Sudan umegeuka kuwa maumivu ya kila siku yanayotishia maisha ya maelfu ya watu, huku kukiwa na uhaba mkubwa wa dawa muhimu na kuzagaa ovyo dawa zisizojulikana asili na ubora wake.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:22:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>