<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - home</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Wed, 29 Apr 2026 22:32:43 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>UN yaonya: Hatua za Marekani zimepandisha bei ya vyakula duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138058-un_yaonya_hatua_za_marekani_zimepandisha_bei_ya_vyakula_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw33cdf5417a2pala.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138058-un_yaonya_hatua_za_marekani_zimepandisha_bei_ya_vyakula_duniani </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa bei za vyakula duniani zimeongezeka kufuatia hatua za Marekani katika Mlango Bahari wa Hormuz. </description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 10:11:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yamtahadharisha Trump/ Sana'a : Tunaunga mkono hatua za Iran katika Mlango Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138054-yemen_yamtahadharisha_trump_sana'a_tunaunga_mkono_hatua_za_iran_katika_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw2d4f6665902pal8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138054-yemen_yamtahadharisha_trump_sana'a_tunaunga_mkono_hatua_za_iran_katika_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetahadharisha kuhusu  hatua zozote za uchokozi na ukatili za serikali ya Trump katika Ghuba ya Uajemi na kutangaza kuwa Sana'a inaunga mkono hatua za Iran katika Mlango wa Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 10:06:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Ukraine na washirika wake wamegeukia kwenye ugaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138050-putin_ukraine_na_washirika_wake_wamegeukia_kwenye_ugaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8632c8bde12pal4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138050-putin_ukraine_na_washirika_wake_wamegeukia_kwenye_ugaidi </guid>  
      <description>Rais wa Russia amesema: Vikosi vya jeshi la Ukraine na washirika wake haviwezi kuzuia kusonga mbele kwa jeshi la nchi hii na vinapoteza maeneo zaidi kila siku, kwa hivyo vinageukia ugaidi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:59:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Israel inapasa kuondoka katika ardhi ya Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138046-russia_israel_inapasa_kuondoka_katika_ardhi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa6f194561b2pal0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138046-russia_israel_inapasa_kuondoka_katika_ardhi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa Israel haiheshimu kivyovyote majukumu ya askari jeshi wa kulinda amani cha Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:53:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Algeria yaunga mkono umoja wa nchi ya Mali/ Yapinga aina zote za ugaidi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138044-algeria_yaunga_mkono_umoja_wa_nchi_ya_mali_yapinga_aina_zote_za_ugaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5f9c36318d2paky.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138044-algeria_yaunga_mkono_umoja_wa_nchi_ya_mali_yapinga_aina_zote_za_ugaidi </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria Ahmed Attaf amesema Algiers inaunga mkono umoja na mshikamano wa nchi ya  Mali kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya silaha yaliyolenga maeneo ya kijeshi, akisisitza kuwa nchi yake inapinga "aina zote za ugaidi."</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:47:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>: Afisa wa Marekani: Mfumo wa makombora wa Marekani umepoteza ufanisi wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138042-afisa_wa_marekani_mfumo_wa_makombora_wa_marekani_umepoteza_ufanisi_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw21ad8c0e2e2paks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138042-afisa_wa_marekani_mfumo_wa_makombora_wa_marekani_umepoteza_ufanisi_wake </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Vita wa Marekani amekiri kuwa mifumo ya makombora ya nchi hiyo haiwezi kudhamini kiwango cha kutosha cha ulinzi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:39:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Ulinzi ya Iran: Marekani haiwezi tena kulazimisha sera zake kwa mataifa huru </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138040-wizara_ya_ulinzi_ya_iran_marekani_haiwezi_tena_kulazimisha_sera_zake_kwa_mataifa_huru</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw23d30b0a5c2pakc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138040-wizara_ya_ulinzi_ya_iran_marekani_haiwezi_tena_kulazimisha_sera_zake_kwa_mataifa_huru </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Iran amesema kuwa Marekani haina tena uwezo wa kulazimisha sera zake kwa mataifa huru, akiongeza kuwa hali hiyo sasa imejidhihirisha wazi duniani kupitia ustahimilivu wa wananchi wa Iran pamoja na vikosi vyake vya ulinzi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:05:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Migawanyiko yaripotiwa katika utawala wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138038-migawanyiko_yaripotiwa_katika_utawala_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd40549d3ba2paka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138038-migawanyiko_yaripotiwa_katika_utawala_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Makamu wa Rais wa Marekani, J. D. Vance, anaripotiwa kuanza kutilia shaka kimyakimya simulizi ya matumaini inayotolewa na Wizara ya Vita ya Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:02:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF: Watoto 43,000 wameuawa au kujeruhiwa tangu kuanza kwa vita nchini Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138036-unicef_watoto_43_000_wameuawa_au_kujeruhiwa_tangu_kuanza_kwa_vita_nchini_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw9c854a79362pak8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138036-unicef_watoto_43_000_wameuawa_au_kujeruhiwa_tangu_kuanza_kwa_vita_nchini_sudan </guid>  
      <description>Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Dharura kwa Watoto, UNICEF, limetangaza kuwa watoto 43,000 wameuawa au kujeruhiwa tangu kuanza kwa vita nchini Sudan. </description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 08:58:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Marekani Inao Utayari wa Kuachana na Sera na Ndoto Yake ya Kuipigisha Magoti Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138034-je_marekani_inao_utayari_wa_kuachana_na_sera_na_ndoto_yake_ya_kuipigisha_magoti_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf40622ba3a2pahq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138034-je_marekani_inao_utayari_wa_kuachana_na_sera_na_ndoto_yake_ya_kuipigisha_magoti_iran </guid>  
      <description>Jake Sullivan, mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani katika serikali ya Joe Biden, ametoa taswira wadhiha na ya wazi ya sifa maalumu za mwenendo wa Iran katika mazungumzo ambayo inaweza kuwa ramani ya njia ya kuinasua serikali ya Marekani kwenye mkwamo ilionasa ndani yake hivi sasa. Sullivan ametoa taswira hiyo katika mahojiano na jarida la Foreign Affairs.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 03:41:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran kufuta tuzo ya FIFA kwa Trump?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138032-iran_kufuta_tuzo_ya_fifa_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe7b665257c2padw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138032-iran_kufuta_tuzo_ya_fifa_kwa_trump </guid>  
      <description>Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, baada ya kusababisha hasara za kiuchumi na kutia doa hadhi ya kijeshi na kisiasa ya Marekani sasa vimeweka kivuli kizito juu ya kinachoitwa tuzo ya amani ya FIFA kwa rais Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:47:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Kukabiliana na ugaidi ni jukumu la kimataifa  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138030-baqaei_kukabiliana_na_ugaidi_ni_jukumu_la_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfaa2626aab2pab6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138030-baqaei_kukabiliana_na_ugaidi_ni_jukumu_la_kimataifa </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi ya Mali. </description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:44:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Trump ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani; Amekwama katika kinamasi cha Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138028-new_york_times_trump_ndiye_rais_mbaya_zaidi_katika_historia_ya_marekani_amekwama_katika_kinamasi_cha_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw771e11ac522pabi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138028-new_york_times_trump_ndiye_rais_mbaya_zaidi_katika_historia_ya_marekani_amekwama_katika_kinamasi_cha_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Kimarekani la New York Times limemtaja Donald Trump kuwa ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:40:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Viongozi wa RSF wamejenga na kulimbikiza mali za mamilioni ya pesa kwa himaya ya Imarati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138026-ripoti_viongozi_wa_rsf_wamejenga_na_kulimbikiza_mali_za_mamilioni_ya_pesa_kwa_himaya_ya_imarati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdfcc4e4a3c2padm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138026-ripoti_viongozi_wa_rsf_wamejenga_na_kulimbikiza_mali_za_mamilioni_ya_pesa_kwa_himaya_ya_imarati </guid>  
      <description>Viongozi wa wanamgambo wa Sudan wanaojulikana kwa jina la Kikosi cha Msaada wa Haraka au Rapid Support Forces (RSF) na mtandao wao wamekusanya mamilioni ya mali za kifahari huko Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:37:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yachaguliwa kuwa miongoni mwa makamu wenyeviti wa mkutano wa wa NPT, kipigo cha kidiplomasia kwa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138024-iran_yachaguliwa_kuwa_miongoni_mwa_makamu_wenyeviti_wa_mkutano_wa_wa_npt_kipigo_cha_kidiplomasia_kwa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwde810276742padi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138024-iran_yachaguliwa_kuwa_miongoni_mwa_makamu_wenyeviti_wa_mkutano_wa_wa_npt_kipigo_cha_kidiplomasia_kwa_marekani </guid>  
      <description>Iran imechaguliwa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuwa mmoja wa makamu wenyeviti wa mkutano wa mwaka huu wa kupitia upya Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) utakaoendelea kwa kipindi cha wiki nne.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:34:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kongo kupeleka walinzi katika maeneo ya migodi ili kuzuia wizi wa madini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138022-kongo_kupeleka_walinzi_katika_maeneo_ya_migodi_ili_kuzuia_wizi_wa_madini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa3a795079a2padg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138022-kongo_kupeleka_walinzi_katika_maeneo_ya_migodi_ili_kuzuia_wizi_wa_madini </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika jitihada za kuzuia uporaji wa madini yake, imetangaza mpango wa kupeleka kikosi maalumu cha wanamgambo kitakachokuwa na jukumu la kulinda sekta ya madini nchini humo.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:30:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Watu wa Iran wanapigania kwa ushujaa uhuru wao wa kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138020-putin_watu_wa_iran_wanapigania_kwa_ushujaa_uhuru_wao_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdeada0261f2paaq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138020-putin_watu_wa_iran_wanapigania_kwa_ushujaa_uhuru_wao_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Rais wa Russia, Vladimir Putin, amesema kuwa wananchi wa Iran wanapigana kwa ujasiri na kishujaa kulinda mamlaka yao ya kitaifa. Putin ameyasema hayo mjini Moscow  katika mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:22:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC asisistiza kuhusu uungaji mkono imara kwa Hizbullah</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138018-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_asisistiza_kuhusu_uungaji_mkono_imara_kwa_hizbullah</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwab903527e02paai.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138018-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_asisistiza_kuhusu_uungaji_mkono_imara_kwa_hizbullah </guid>  
      <description> Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amekanusha vikali propaganda za Israel zinazolenga kupunguza nguvu za harakati ya Hizbullah, huku akisisitiza uungaji mkono kamili wa mhimili wa muqawama kwa harakati hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:19:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iraq amteua al-Zaidi kuwa Waziri Mkuu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138014-rais_wa_iraq_amteua_al_zaidi_kuwa_waziri_mkuu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6ec77398772pac6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138014-rais_wa_iraq_amteua_al_zaidi_kuwa_waziri_mkuu </guid>  
      <description>Rais wa Iraq, Nizar Amedi, ambaye amechaguliwa hivi karibuni, ametangaza rasmi kumteua Ali al Zaidi kuwa waziri mkuu mteule wa nchi hiyo na kumpa jukumu la kuunda serikali ijayo.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:17:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ufyatuaji Risasi Uliotokea Kwenye Hadhara ya Viongozi Wakuu wa US Utakuwa na Matokeo Gani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138012-ufyatuaji_risasi_uliotokea_kwenye_hadhara_ya_viongozi_wakuu_wa_us_utakuwa_na_matokeo_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw74ce559b602pabc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138012-ufyatuaji_risasi_uliotokea_kwenye_hadhara_ya_viongozi_wakuu_wa_us_utakuwa_na_matokeo_gani </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa, mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 31 aitwaye Cole Thomas Allen, ambaye alikuwa amedhamiria kuwashambulia kwa bunduki viongozi wakuu wa Marekani, amejeruhiwa na kutiwa nguvuni. Kwa mara nyingine tena, Marekani imeshuhudia tukio la ufyatuaji risasi kwenye hadhara ya viongozi wake wakuu akiwemo rais wake Donald Trump; mara hii ikiwa ni katika mkutano wa kila mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari wa Ikulu ya nchi hiyo, White House. </description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 04:59:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Duru za Magharibi: Iran imeanza "uhandisi kinyume wa bunker-buster" na silaha za kisasa za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138010-duru_za_magharibi_iran_imeanza_uhandisi_kinyume_wa_bunker_buster_na_silaha_za_kisasa_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa2d3e955ca2pa86.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138010-duru_za_magharibi_iran_imeanza_uhandisi_kinyume_wa_bunker_buster_na_silaha_za_kisasa_za_marekani </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini (IRGC) limetangaza kuwa limegundua makombora 15 ya Marekani ambayo hayakulipuka katika jimbo la Hormozgan kusini mwa Iran, na maelfu ya mabomu katika jimbo la kaskazini la Zanjan, chini ya mwezi mmoja baada ya uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kusitishwa.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:59:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian aishukuru Serikali na Taifa la Afrika Kusini kwa mshikamamo wao na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138008-rais_pezeshkian_aishukuru_serikali_na_taifa_la_afrika_kusini_kwa_mshikamamo_wao_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdfc90ea40e2pa80.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138008-rais_pezeshkian_aishukuru_serikali_na_taifa_la_afrika_kusini_kwa_mshikamamo_wao_na_iran </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameishukuru serikali na taifa la Afrika Kusini kwa kuonyesha mshikamano na taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:53:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ecowas yataka kuwepo mkakati madhubuti wa kikanda wa kutokomeza malaria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138006-ecowas_yataka_kuwepo_mkakati_madhubuti_wa_kikanda_wa_kutokomeza_malaria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwcc37ffca6a2pa7y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138006-ecowas_yataka_kuwepo_mkakati_madhubuti_wa_kikanda_wa_kutokomeza_malaria </guid>  
      <description>Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imetaka kuimarishwa mikakati ya kikanda ili kutokomeza kabisa ugonjwa wa malaria.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:44:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kongo: Tumetungua droni ya jeshi la Rwanda  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138004-kongo_tumetungua_droni_ya_jeshi_la_rwanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw223f46a9bb2pa7u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i138004-kongo_tumetungua_droni_ya_jeshi_la_rwanda </guid>  
      <description>Jeshi la Kongo limetangaza kuwa limeidungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la Rwanda mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:37:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgogoro katika jeshi la Israel; Ongezeko kubwa la kujiua miongoni mwa jeshi la utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138002-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_ongezeko_kubwa_la_kujiua_miongoni_mwa_jeshi_la_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8a511d49872pa7s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138002-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_ongezeko_kubwa_la_kujiua_miongoni_mwa_jeshi_la_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Chombo cha habari cha Kizayuni kimeripoti ongezeko kubwa la idadi ya kujiua katika jeshi la utawala wa Kizayuni tangu mwanzoni mwa mwaka huu 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:31:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tanker Trackers: Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138000-tanker_trackers_iran_imepakia_mapipa_milioni_4.6_ya_mafuta_ghafi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw49875098452pa7o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138000-tanker_trackers_iran_imepakia_mapipa_milioni_4.6_ya_mafuta_ghafi </guid>  
      <description>Taasisi ya Ufuatiliaji wa Meli za Mafuta (Tanker Trackers) imetangaza kuwa Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi katika vituo vyake vya  kuuza nje bidhaa hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:20:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na mawaziri wenzake Qatar na Saudia kuhusu utulivu wa kieneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137998-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_mawaziri_wenzake_qatar_na_saudia_kuhusu_utulivu_wa_kieneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw9ee58163b52pa4i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137998-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_mawaziri_wenzake_qatar_na_saudia_kuhusu_utulivu_wa_kieneo </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amefanya mazungumzo ya simu kwa nyakati tofauti siku ya Jumapili na mawaziri wenzake wa Qatar na Saudi Arabia, ikiwa ni sehemu ya juhudi pana za kidiplomasia za kukomesha mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 09:52:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei ya mafuta duniani yaongezeka kutokana na ukaidi wa Marekani kuhusu Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137996-bei_ya_mafuta_duniani_yaongezeka_kutokana_na_ukaidi_wa_marekani_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa1c33cf1502pa6g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137996-bei_ya_mafuta_duniani_yaongezeka_kutokana_na_ukaidi_wa_marekani_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Bei ya mafuta imepanda duniani baada ya maafisa wa Iran kusisitiza kuwa Lango Bahari la Hormuz katu halitarejea katika hali yake ya awali kwa manufaa ya Marekani na washirika wake.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 09:41:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema Lango-Bahari La Hormuz liko wazi kwa Kenya </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137990-iran_yasema_lango_bahari_la_hormuz_liko_wazi_kwa_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw22de0f5a6c2pa6a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137990-iran_yasema_lango_bahari_la_hormuz_liko_wazi_kwa_kenya </guid>  
      <description>Balozi wa Iran nchini Kenya, Dkt. Ali Gholampour, amesema kuwa Lango-Bahari la Hormuz liko wazi kwa Kenya pamoja na mataifa mengine rafiki.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 09:32:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sultan wa Oman akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137988-sultan_wa_oman_akutana_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb23e744d2c2p9z8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137988-sultan_wa_oman_akutana_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran </guid>  
      <description>Sultan wa Oman Haitham bin Tariq amemkaribisha Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika Kasri la Al-Barakah mjini Muscat, mapema Jumapili.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 11:31:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laonya litatoa jibu kali iwapo mzingiro haramu wa baharini wa Marekani utaendelea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137986-jeshi_la_iran_laonya_litatoa_jibu_kali_iwapo_mzingiro_haramu_wa_baharini_wa_marekani_utaendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw860aaefdc32p9z6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137986-jeshi_la_iran_laonya_litatoa_jibu_kali_iwapo_mzingiro_haramu_wa_baharini_wa_marekani_utaendelea </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran imeonya kuwa kuendelea kwa “uharamia, mzingiro, na uhalifu wa baharini” unaofanywa na vikosi vya Marekani katika eneo, utakabiliwa na jibu kutoka kwa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 11:29:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yamkamata jasusi mkongwe wa Mossad na magaidi katika operesheni za kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137984-iran_yamkamata_jasusi_mkongwe_wa_mossad_na_magaidi_katika_operesheni_za_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd828be38162pa0i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137984-iran_yamkamata_jasusi_mkongwe_wa_mossad_na_magaidi_katika_operesheni_za_kitaifa </guid>  
      <description>Wizara ya Usalama wa Taifa Iran imetangaza kukamatwa kwa jasusi “mzoefu” aliyekuwa akifanya kazi kwa niaba ya utawala wa Kizayuni wa Israel, pamoja na wanachama 15 wa makundi ya kigaidi ya makundi ya wanaotaka kujitenga, kufuatia operesheni zilizofanyika katika mikoa mbalimbali nchini</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 11:25:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Iran haitaingia katika mazungumzo chini ya mashinikizo, vitisho na mzingiro</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137982-rais_pezeshkian_iran_haitaingia_katika_mazungumzo_chini_ya_mashinikizo_vitisho_na_mzingiro</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7151c2dd2f2pa04.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137982-rais_pezeshkian_iran_haitaingia_katika_mazungumzo_chini_ya_mashinikizo_vitisho_na_mzingiro </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amekosoa utata na mgongano unaoshuhudiwa kati ya mbinu za mashinikizo zinazotumiwa na Marekani dhidi ya Iran na kile kinachotajwa kuwa ni nia yake ya kushiriki katika mchakato wa kidiplomasia na Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:40:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Zakzaky: Jina la kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran limekuwa membo ya mapambano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137980-sheikh_zakzaky_jina_la_kiongozi_aliyeuawa_shahidi_wa_iran_limekuwa_membo_ya_mapambano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf1333c9e962pa00.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137980-sheikh_zakzaky_jina_la_kiongozi_aliyeuawa_shahidi_wa_iran_limekuwa_membo_ya_mapambano </guid>  
      <description>Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, amemtaja Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran, kuwa ni nembo mapambano, imani na kusimama kidete.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:30:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump atoroka baada ya ufyatuaji risasi kwenye dhifa ya waandishi wa habari wa White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137978-trump_atoroka_baada_ya_ufyatuaji_risasi_kwenye_dhifa_ya_waandishi_wa_habari_wa_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0195f76fc92p9zq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137978-trump_atoroka_baada_ya_ufyatuaji_risasi_kwenye_dhifa_ya_waandishi_wa_habari_wa_white_house </guid>  
      <description>Rais wa Marekani, Donald Trump na mkewe, Melania, waliondolewa kwenye Dhidi ya Waandishi wa Habari wa Ikulu ya White House (WHCA) baada ya ripoti za milio ya risasi kusababisha uingiliaji wa haraka wa Jeshi la Polisi.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:21:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Ulaya Ilivyochoshwa na Uchukuaji Hatua wa Upande Mmoja wa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137974-namna_ulaya_ilivyochoshwa_na_uchukuaji_hatua_wa_upande_mmoja_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwff38f9505a2p9zg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137974-namna_ulaya_ilivyochoshwa_na_uchukuaji_hatua_wa_upande_mmoja_wa_marekani </guid>  
      <description>Kuendelea kupanuka ufa wa mpasuko uliojitokeza kati ya Ulaya na Marekani kumezifanya serikali za Ulaya zichoshwe na mienendo ya udhalilishaji ya Trump na uchukuaji wake wa hatua wa upande mmoja. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:26:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Qaeda na waasi wa Kituareg wadai kuhusika na "shambulio kubwa zaidi" nchini Mali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137976-al_qaeda_na_waasi_wa_kituareg_wadai_kuhusika_na_shambulio_kubwa_zaidi_nchini_mali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfd6c69303d2p9zm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137976-al_qaeda_na_waasi_wa_kituareg_wadai_kuhusika_na_shambulio_kubwa_zaidi_nchini_mali </guid>  
      <description>Kundi linalohusishwa na mtandao wa al-Qaeda na waasi wa Tuareg limedai kuhusika na mashambulizi yaliyoratibiwa kote nchini Mali siku ya Jumamosi, yanayotajwa kama mojawapo ya operesheni kali zaidi dhidi ya serikali inayoongozwa na jeshi la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:15:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137970-kwa_nini_chuki_dhidi_ya_israel_zinaendelea_kuongezeka_ndani_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw735a47c1da2p9z4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137970-kwa_nini_chuki_dhidi_ya_israel_zinaendelea_kuongezeka_ndani_ya_marekani </guid>  
      <description>Chama cha Democrat nchini Marekani hivi sasa kinazihama enzi za uungaji mkono wake wa jadi kwa utawala bandia wa Israel na kuhamia kwenye zama za kupingana vikali na utawala huo. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:08:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CIG: UAE iliwalipa mamluki wa Colombia ili kuwasaidia wanamgambo Sudan kufanya mauaji ya kimbari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137972-cig_uae_iliwalipa_mamluki_wa_colombia_ili_kuwasaidia_wanamgambo_sudan_kufanya_mauaji_ya_kimbari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw20e2fca0012p9zc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137972-cig_uae_iliwalipa_mamluki_wa_colombia_ili_kuwasaidia_wanamgambo_sudan_kufanya_mauaji_ya_kimbari </guid>  
      <description>Umoja wa Falme za Kiarabu uliwapa mamluki wa Colombia kulisaidia kundi la wanamgambo wa Sudan, la Rapid Support Forces (RSF), kuwaua maelfu ya raia katika nchi hiyo ya kaskazini mashariki mwa Afrika. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 08:58:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kansela wa Ujerumani: Athari mbaya za vita dhidi ya Iran haziishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137968-kansela_wa_ujerumani_athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_haziishii_kwenye_ongezeko_la_bei_ya_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4926a39d1d2p9ys.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137968-kansela_wa_ujerumani_athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_haziishii_kwenye_ongezeko_la_bei_ya_mafuta </guid>  
      <description>Kansela wa Ujerumani ameonya kwamba matokeo mabaya ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran hayaishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta, bali pia yanatishia misingi ya uchumi wa Ujerumani.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 08:18:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Mahakama ya Iran asema: Tabas itakaririwa katika Ghuba ya Uajemi/ atoa indhari kuhusu kushindwa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137966-mkuu_wa_mahakama_ya_iran_asema_tabas_itakaririwa_katika_ghuba_ya_uajemi_atoa_indhari_kuhusu_kushindwa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe78b772a702p9sq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137966-mkuu_wa_mahakama_ya_iran_asema_tabas_itakaririwa_katika_ghuba_ya_uajemi_atoa_indhari_kuhusu_kushindwa_marekani </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran ametahadharisha kuwa Washington haina uwezo wa kuweka mzingiro wa kijeshi wa majini dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, na kuapa kuwa kushindwa kihistoria wanajeshi wa Marekani huko Tabas na Isfahan kutarudiwa katika maji ya Ghuba ya Uajemi. </description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:51:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mashambulizi ya Israel Gaza; yasema ni jinai kamili ya kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137964-hamas_yalaani_mashambulizi_ya_israel_gaza_yasema_ni_jinai_kamili_ya_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6ec321de752p9s4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137964-hamas_yalaani_mashambulizi_ya_israel_gaza_yasema_ni_jinai_kamili_ya_kivita </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na makundi mengine ya muqawama wa Palestina yamelaani vikali wimbi la sasa la mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kuwa ni "kuzidisha umwagaji damu na jinai kamili ya kivitaya Wazayuni." </description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:41:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vijana wa Kisomali wachukua udhibiti wa  meli ya mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137960-vijana_wa_kisomali_wachukua_udhibiti_wa_meli_ya_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw964a2e1ea02p9ry.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137960-vijana_wa_kisomali_wachukua_udhibiti_wa_meli_ya_mafuta </guid>  
      <description>Taarifa zinasema meli ya mafuta iliyokuwa imebeba mapipa 18,500 ya mafuta na wafanyakazi 17 katika pwani ya kaskazini mashariki Somalia imechukuliwa na vijana wa Kisomali.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:25:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waasi wa ADF wauwa raia zaidi ya 80 mashariki mwa Kongo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137962-waasi_wa_adf_wauwa_raia_zaidi_ya_80_mashariki_mwa_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa63f99aa5f2p9rw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137962-waasi_wa_adf_wauwa_raia_zaidi_ya_80_mashariki_mwa_kongo </guid>  
      <description>Waasi wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) wameripotiwa kufanya mauaji ya takriban raia 87 katika mashambulizi tofauti katika vijiji vya mkoa wa Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. 

</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:25:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwandishi wa Kiyahudi Mpinga Uzayuni: Netanyahu ni saratani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137956-mwandishi_wa_kiyahudi_mpinga_uzayuni_netanyahu_ni_saratani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw97c535d7932p9r4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137956-mwandishi_wa_kiyahudi_mpinga_uzayuni_netanyahu_ni_saratani </guid>  
      <description>Alon Mizrahi, mwandishi wa habari wa Kiyahudi anayepinga Uzayuni, ameandika katika ujumbe wake ulioashiria taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu uvimbe wa saratani wa Benjamin Netanyahu kwamba:  
“Je, saratani yenyewe inaweza kuwa na saratani?”  
</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:13:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti wa Fox News: Trump hana afya ya akili  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137948-utafiti_wa_fox_news_trump_hana_afya_ya_akili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5a1ea1755f2p9qy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137948-utafiti_wa_fox_news_trump_hana_afya_ya_akili </guid>  
      <description>Asilimia 60 ya washiriki katika utafiti wa Fox News, kituo kinachomuunga mkono rais wa Marekani, wamesema kuwa Donald Trump hana tabia na afya ya akili inayofaa.  </description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:08:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti ya kimataifa: Theluthi mbili ya wanaokabiliwa na migogoro ya chakula duniani wanaishi katika nchi 10 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137958-ripoti_ya_kimataifa_theluthi_mbili_ya_wanaokabiliwa_na_migogoro_ya_chakula_duniani_wanaishi_katika_nchi_10</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw13ff3fc04d2p9r8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137958-ripoti_ya_kimataifa_theluthi_mbili_ya_wanaokabiliwa_na_migogoro_ya_chakula_duniani_wanaishi_katika_nchi_10 </guid>  
      <description>Ripoti ya kimataifa imeonya kwamba mzozo wa Mashariki ya Kati unaweza kuzidisha migogoro iliyopo, ikifichua kuwa watu milioni 266 katika nchi au maeneo 47 walikabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula mnamo 2025, karibu mara mbili ya idadi iliyorekodiwa mnamo 2016.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:02:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Michezo wa Italia akataa pendekezo la kuchukua nafasi ya Iran kwenye Kombe la Dunia la FIFA</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137944-waziri_wa_michezo_wa_italia_akataa_pendekezo_la_kuchukua_nafasi_ya_iran_kwenye_kombe_la_dunia_la_fifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5e3859b5f92p9qc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137944-waziri_wa_michezo_wa_italia_akataa_pendekezo_la_kuchukua_nafasi_ya_iran_kwenye_kombe_la_dunia_la_fifa </guid>  
      <description>Waziri wa michezo wa Italia, Andrea Abodi, amesema kuwa pendekezo la nchi yake kuchukua nafasi ya Iran kwenye Kombe la Soka la Dunia “si sahihi,” na akapinga wazo lolote kuwa timu ya taifa ya nchi hiyo maarufu kama Azzurri itapewa nafasi ya dharura katika mashindano ya ya soka ya FIFA mwaka huu.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 09:42:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Saudi Arabia yatarajia kuwapokea kwa ukarimu Wairani wanaoshiriki ibada Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137942-saudi_arabia_yatarajia_kuwapokea_kwa_ukarimu_wairani_wanaoshiriki_ibada_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw83a26202a62p9q8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137942-saudi_arabia_yatarajia_kuwapokea_kwa_ukarimu_wairani_wanaoshiriki_ibada_hija </guid>  
      <description>Saudi Arabia imetangaza kuwa imejiandaa kikamilifu kwa msimu wa Hija na inasubiri kwa shauku kuwasili kwa waumini wa Iran wanaoshiriki katika ibada ya Hija Iran, baada ya kufanya maandalizi yote muhimu ili kuhakikisha wanatekeleza ibada zao kwa usalama na faraja.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 09:38:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na viongozi wa Pakistan jijini Islamabad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137938-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_akutana_na_viongozi_wa_pakistan_jijini_islamabad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwbf590f410b2p9ou.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137938-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_akutana_na_viongozi_wa_pakistan_jijini_islamabad </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Abbas Araqchi, amefika katika mji wa Islamabad, Pakistan na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu nchini humo.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 09:32:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu: Umoja wa Wairani umetoa pigo kubwa kwa safu za adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137936-kiongozi_muadhamu_umoja_wa_wairani_umetoa_pigo_kubwa_kwa_safu_za_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw187dbe93ba2p9j2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137936-kiongozi_muadhamu_umoja_wa_wairani_umetoa_pigo_kubwa_kwa_safu_za_adui </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, amepongeza athari kubwa ya umoja wa kitaifa, akisema mshikamano wa wananchi wa Iran umevuruga kwa kiasi kikubwa safu za maadui.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 06:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Iran wamwambia Trump: Hatuna watu wenye msimamo mkali na wenye msimamo wa wastani; sote ni Wairani na wanamapinduzi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137934-viongozi_wa_iran_wamwambia_trump_hatuna_watu_wenye_msimamo_mkali_na_wenye_msimamo_wa_wastani_sote_ni_wairani_na_wanamapinduzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw74dd6fb95d2p9n0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137934-viongozi_wa_iran_wamwambia_trump_hatuna_watu_wenye_msimamo_mkali_na_wenye_msimamo_wa_wastani_sote_ni_wairani_na_wanamapinduzi </guid>  
      <description>Wakuu wa Mihimili Mitatu ya Iran wamejibu madai ya uongo ya Rais Donald Trump Marekani kwamba kuna mgawanyiko ndani ya nchi na kusema: Hatuna watu wenye msimamo mkali na wenye msimamo wa wastani; sote ni Wairani na wanamapinduzi.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 06:01:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Nigeria lauwa magaidi 25 na kuzima njama yao kaskazini mashariki mwa nchi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137932-jeshi_la_nigeria_lauwa_magaidi_25_na_kuzima_njama_yao_kaskazini_mashariki_mwa_nchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3bd52325e42p9my.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137932-jeshi_la_nigeria_lauwa_magaidi_25_na_kuzima_njama_yao_kaskazini_mashariki_mwa_nchi </guid>  
      <description>Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limeuwa magaidi 25, akiwemo kamanda wao wa ngazi ya juu katika hujuma ya magaidi hayo iliyozimwa na jeshi dhidi ya jamii moja kaskazini mashariki mwa Nigeria.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 05:52:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137930-papa_leo_aendelea_kukosoa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1ce465a93e2p9mo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137930-papa_leo_aendelea_kukosoa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi wa Wakatoliki duniani, ameendelea kukosoaji vikali sera za kuchochea vita za Donald Trump, Rais wa Marekani, akiwa ziarani barani Afrika na kwa mara nyingine amekemea vita na mashambulizi ya nchi hiyo ikishirikiana na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 05:24:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgogoro wa binadamu nchini Sudan waongezeka baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137928-mgogoro_wa_binadamu_nchini_sudan_waongezeka_baada_ya_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwcdff1802b22p9mk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137928-mgogoro_wa_binadamu_nchini_sudan_waongezeka_baada_ya_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran katika Vita vya Ramadhani na ukosefu wa usalama katika Mlango-Bahari wa Hormuz na kuzingirwa kwake na Marekani, ambayo ndiyo njia kuu ya kupitisha nishati na vifaa vya matibabu kote duniani, kumezidisha mgogoro wa binadamu nchini Sudan.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 05:15:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aoun: Lengo la Israel katika kuwaua waandishi wa habari ni kuficha uhalifu wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137926-aoun_lengo_la_israel_katika_kuwaua_waandishi_wa_habari_ni_kuficha_uhalifu_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0352593f622p9mg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137926-aoun_lengo_la_israel_katika_kuwaua_waandishi_wa_habari_ni_kuficha_uhalifu_wake </guid>  
      <description>Rais wa Lebanon ameeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya mwandishi wa habari wa nchi hiyo na kujeruhiwa mwandishi mwingine wa habari katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa Lebanon, akitangaza kwamba lengo la uhalifu huu ni jitihada za utawala wa Israeli za kutaka kuficha uhalifu wake.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 05:03:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Uhalifu Mpya Kaskazini mwa Gaza Unaonyesha Kutokuwa na Uwezo wa Bodi ya Amani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137924-hamas_uhalifu_mpya_kaskazini_mwa_gaza_unaonyesha_kutokuwa_na_uwezo_wa_bodi_ya_amani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw780e3b56392p9me.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137924-hamas_uhalifu_mpya_kaskazini_mwa_gaza_unaonyesha_kutokuwa_na_uwezo_wa_bodi_ya_amani </guid>  
      <description>Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kwamba mauaji ya kutisha yaliyofanywa na jeshi utawala vamizi la Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, ambayo yamewalenga moja kwa moja watoto, ni kielelezo kipya cha kuendelea vita vya mauaji ya kimbari na maangamizi ya kizazi katika maeneo mbalimbali ya Ukanda huo.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 04:55:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti wa IRIB: Wairani wengi wanaunga mkono msimamo wa mapambano dhidi ya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137922-utafiti_wa_irib_wairani_wengi_wanaunga_mkono_msimamo_wa_mapambano_dhidi_ya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe3c47df7722p99y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137922-utafiti_wa_irib_wairani_wengi_wanaunga_mkono_msimamo_wa_mapambano_dhidi_ya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Baada ya vita vya siku 40 vya muungano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, utafiti wa kitaifa uliofanywa na Kituo cha Utafiti cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) umeonyesha kuendelea kusimama kidete kwa wananchi katika kuunga mkono vikosi vya ulinzi, mshikamano wa kitaifa na azma madhubuti ya kulinda uwezo wa nchi wa makombora na miundombinu ya kiulinzi.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 04:51:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya kuhusu mgogoro wa chakula duniani kutokana na vita vya kigaidi vya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137920-iran_yaonya_kuhusu_mgogoro_wa_chakula_duniani_kutokana_na_vita_vya_kigaidi_vya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw77ecf7df5b2p9m8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137920-iran_yaonya_kuhusu_mgogoro_wa_chakula_duniani_kutokana_na_vita_vya_kigaidi_vya_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Kilimo wa Iran, Gholamreza Nouri, amesema kuwa mashambulizi na vitendo vya uchokozi vya Marekani vina madhara makubwa kwa usalama wa chakula duniani, na vinatoa kikwazo kikubwa katika kufanikisha lengo la “kutokomeza njaa.”</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 04:33:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imekuwaje Muungano wa Nchi za Magharibi na Marekani Sasa Unaelekea Kutoweka? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137918-imekuwaje_muungano_wa_nchi_za_magharibi_na_marekani_sasa_unaelekea_kutoweka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7176ac9db82p9fu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137918-imekuwaje_muungano_wa_nchi_za_magharibi_na_marekani_sasa_unaelekea_kutoweka </guid>  
      <description>Jarida la Foreign Policy la nchini Marekani limetahadharisha kuwa, vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Iran ni nukta ya kushuhudiwa mabadiliko muhimu yanayopelekea kudhoofika muungano wa Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 24 Apr 2026 06:25:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Marekani Inaonekana si Mshirika wa Kuaminika kwa Nchi za Kiarabu?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137916-kwa_nini_marekani_inaonekana_si_mshirika_wa_kuaminika_kwa_nchi_za_kiarabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf32fb4c54b2p9ki.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137916-kwa_nini_marekani_inaonekana_si_mshirika_wa_kuaminika_kwa_nchi_za_kiarabu </guid>  
      <description>Vita vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimekuwa na matokeo muhimu katika eneo la Asia Magharibi na hasa Ghuba ya Uajemi. Moja ya matokeo muhimu ya vita hivyo ni kuthibitika kwamba Marekani si mshirika wa kutegemewa na nchi za Kiarabu za eneo hilo.</description>
      <pubDate>Fri, 24 Apr 2026 06:13:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vipi IRGC Imefikia Kuwa na Nguvu na Uwezo Unaoshuhudiwa Hivi Sasa?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137914-vipi_irgc_imefikia_kuwa_na_nguvu_na_uwezo_unaoshuhudiwa_hivi_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5033a5fd462p9f2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137914-vipi_irgc_imefikia_kuwa_na_nguvu_na_uwezo_unaoshuhudiwa_hivi_sasa </guid>  
      <description>Maadhimisho ya mwaka huu ya kutimia miaka 48 ya kuasisiwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC yametoa mguso zaidi katika duru za kisiasa na za vyombo vya habari kuliko ilivyowahi kushuhudiwa katika maadhimisho ya miaka iliyopita. </description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 19:07:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran la IRGC lasema litazindua zana za kivita zitakazomshangaza adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137912-jeshi_la_iran_la_irgc_lasema_litazindua_zana_za_kivita_zitakazomshangaza_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1768d560812p9ae.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137912-jeshi_la_iran_la_irgc_lasema_litazindua_zana_za_kivita_zitakazomshangaza_adui </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema kuwa liko tayari kutangaza mafanikio mapya pamoja na  zana za kushangaza za kivita zinazozidi upeo wa kuelewa wa adui, likionya kuwa kila kitendo kipya cha uchokozi kitapata majibu makali.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 11:02:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran Yalalamikia Matumizi Mabaya ya Ardhi na Anga ya Nchi 5 na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137910-iran_yalalamikia_matumizi_mabaya_ya_ardhi_na_anga_ya_nchi_5_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1dc576fedc2p97a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137910-iran_yalalamikia_matumizi_mabaya_ya_ardhi_na_anga_ya_nchi_5_na_marekani </guid>  
      <description>Amir Saeed Iravani, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa, katika barua aliyomwandikia Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama, ametoa malalamiko makali kuhusu matumizi mabaya ya Marekani ya ardhi na anga ya nchi tano za eneo katika hujuma za kijeshi dhidi ya Iran. Nchi hizo ambazo zimeafiki ardhi zao kutumiwa kuishambulia Iran  ni pamoja na Qatar, Kuwait, Bahrain, Falme za Kiarabu (UAE) na Saudi Arabia.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 10:59:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Mzingiro wa bandari za Iran ni uvunjaji wa makubaliano ya usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137908-araghchi_mzingiro_wa_bandari_za_iran_ni_uvunjaji_wa_makubaliano_ya_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwcf5b7bc81b2p9bi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137908-araghchi_mzingiro_wa_bandari_za_iran_ni_uvunjaji_wa_makubaliano_ya_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ametoa tamko kufuatia shambulio la Marekani dhidi ya meli ya kibiashara ya Iran katika Bahari ya Oman, akisema kwamba kuweka mzingiro dhidi ya bandari za Iran ni uvunjaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 10:56:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137906-israel_na_somaliland_njama_ya_kudhibiti_bab_al_mandeb</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfb2f51c1e02p9bu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137906-israel_na_somaliland_njama_ya_kudhibiti_bab_al_mandeb </guid>  
      <description>Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 10:06:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137904-baqaei_iran_iko_tayari_kujilinda_mkabala_wa_vitisho_vya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbweb6abb8d0c2p958.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137904-baqaei_iran_iko_tayari_kujilinda_mkabala_wa_vitisho_vya_adui </guid>  
      <description> Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza utayari wa Tehran kujilinda dhidi ya mashambulizi na vitisho vya aina yoyote vya adui.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:58:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Somalia yazuia meli za Israel kupita Bab al-Mandab  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137902-somalia_yazuia_meli_za_israel_kupita_bab_al_mandab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwaa98bf3fe52p9bq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137902-somalia_yazuia_meli_za_israel_kupita_bab_al_mandab </guid>  
      <description>Somalia imepiga marufuku meli za utawala wa Israel kupita katika mlango‑bahari wa kimkakati wa Bab al‑Mandab kama jibu kwa hatua ya utawala huo ya kulitambua rasmi eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la “Somaliland”.  </description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:54:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kremlin: Putin yuko tayari kukutana na Zelensky kukamilisha makubaliano ya amani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137900-kremlin_putin_yuko_tayari_kukutana_na_zelensky_kukamilisha_makubaliano_ya_amani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw2f6b4cd63b2p9bk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137900-kremlin_putin_yuko_tayari_kukutana_na_zelensky_kukamilisha_makubaliano_ya_amani </guid>  
      <description>Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo yuko tayari kukutana na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, lakini ikiwa mkutano wao utahusu suala la kusaini makubaliano ya amani.  </description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:46:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa ujumbe wa UN atoa wito wa mazungumzo ili kurejesha utulivu mashariki mwa Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137896-mkuu_wa_ujumbe_wa_un_atoa_wito_wa_mazungumzo_ili_kurejesha_utulivu_mashariki_mwa_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe8257bcf712p9bg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137896-mkuu_wa_ujumbe_wa_un_atoa_wito_wa_mazungumzo_ili_kurejesha_utulivu_mashariki_mwa_kongo </guid>  
      <description>Mkuu wa Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) amesema kuwa amekutana na kuzungumza na maafisa wa majimbo kuhusu haja ya kufanyika mazungumzo na kufanya juhudi za pamoja ili kurejesha utulivu wa kudumu na kukabiliana na changamoto za kiusalama mashariki ya nchi.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:41:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Mashambulizi dhidi ya Iran ni chanzo cha ukosefu wa usalama katika Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137894-araqchi_mashambulizi_dhidi_ya_iran_ni_chanzo_cha_ukosefu_wa_usalama_katika_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw87510afbdf2p9b8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137894-araqchi_mashambulizi_dhidi_ya_iran_ni_chanzo_cha_ukosefu_wa_usalama_katika_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Mwakilishi Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini, ambaye aliwasili Tehran kwa ajili ya mashauriano na viongozi wa Iran, amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:37:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137892-vita_vya_maneno_vya_trump_dhidi_ya_papa_chanzo_na_matokeo_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw833bf8fe1c2p94q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137892-vita_vya_maneno_vya_trump_dhidi_ya_papa_chanzo_na_matokeo_yake </guid>  
      <description>Tofauti zilizozuka kati ya Trump na Papa Leo wa 14 hazitokani na masuala ya kisiasa pekee, lakini zimesababishwa zaidi na hulka ya majivuno na ya kujikweza aliyonayo rais huyo wa sasa wa Marekani. </description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 16:37:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Trump Ameikasirikia NATO?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137890-kwa_nini_trump_ameikasirikia_nato</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5b2b8199b72p94m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137890-kwa_nini_trump_ameikasirikia_nato </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani, kwa upande mmoja, analimezea mate eneo lote la ardhi ya Canada ambayo ni mwanachama wa NATO, na kwa upande mwingine, ameonyesha kuwa, ana dhamira ya kuinyakua sehemu kubwa ya ardhi ya Denmark, ambayo nayo pia ni mwanachama wa shirika hilo la kijeshi.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 16:21:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137888-sababu_za_kuzidi_kuporomoka_umaarufu_wa_israel_mbele_ya_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw12a531d9342p8ym.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137888-sababu_za_kuzidi_kuporomoka_umaarufu_wa_israel_mbele_ya_wamarekani </guid>  
      <description>Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani umepungua kwa asilimia 31 na mbele ya vijana wa Republican kwa asilimia 22 kulinganisha na ilivyokuwa miaka minne iliyopita. </description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 05:05:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hofu yatanza juu ya uwezekano wa kuibuka mzozo mpya Ethiopia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137884-hofu_yatanza_juu_ya_uwezekano_wa_kuibuka_mzozo_mpya_ethiopia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7b322b78672p8v6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137884-hofu_yatanza_juu_ya_uwezekano_wa_kuibuka_mzozo_mpya_ethiopia </guid>  
      <description>Chama kikuu cha siasa katika eneo la Tigray kaskaizni mwa Ethiopia kimetangaza kuwa kinachukua udhibiti wa serikali ya eneo hilo, na hivyo kubatilisha makubaliano ya amani na Serikali ya Shirikisho ya Ethiopia ambayo yalihitimisha moja ya migogoro mibaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika karne hii.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 10:29:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137882-burundi_unhcr_kuwarejesha_makwao_wakimbizi_wa_kongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwc7398de00e2p8v4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137882-burundi_unhcr_kuwarejesha_makwao_wakimbizi_wa_kongo </guid>  
      <description>Serikali ya Burundi, kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), imetangaza mpango wa kuwarejesha makwao kwa hiari maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaoishi nchini humo.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 10:22:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu awashukuru Maulamaa wa Kisunni wa Hormozgan </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137880-kiongozi_muadhamu_awashukuru_maulamaa_wa_kisunni_wa_hormozgan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw262ac291952p8ug.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137880-kiongozi_muadhamu_awashukuru_maulamaa_wa_kisunni_wa_hormozgan </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei, ameelezea shukrani zake za dhati kwa wanazuoni na maulamaa wa Kisunni katika mkoa wa kusini mwa Iran wa Hormozgan, akisifu mshikamano wao na tamko lao la kutoa Bay’a yaani kiapo cha utii.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:25:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa wakosoa vitisho vipya vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137878-umoja_wa_mataifa_wakosoa_vitisho_vipya_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbweb94604a492p8uc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137878-umoja_wa_mataifa_wakosoa_vitisho_vipya_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa amekosoa wazi vitisho vipya vya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu kushambulia miundombinu ya Iran endapo matakwa ya Washington hayatatekelezwa. </description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:16:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makundi ya Kiislamu ya Marekani yatoa wito wa kuwachiwa huru kiongozi wa jumuiya ya Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137876-makundi_ya_kiislamu_ya_marekani_yatoa_wito_wa_kuwachiwa_huru_kiongozi_wa_jumuiya_ya_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa80fcfcc732p8u6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137876-makundi_ya_kiislamu_ya_marekani_yatoa_wito_wa_kuwachiwa_huru_kiongozi_wa_jumuiya_ya_wapalestina </guid>  
      <description>Muungano wa mashirika ya kutetea haki za kiraia ya Kiislamu Jumatatu wiki hii ulikusanyika nje ya Mahakama ya Juu ya Marekani ukitaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Salah Sarsour, kiongozi wa Jumuiya ya Wapalestina huko Milwaukee ambaye anaishi Marekani kwa zaidi ya miaka 30.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:15:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hakuna mazungumzo chini ya vitisho, Iran iko tayari kufichua kadi mpya uwanjani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137874-qalibaf_hakuna_mazungumzo_chini_ya_vitisho_iran_iko_tayari_kufichua_kadi_mpya_uwanjani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw95c6de4fa12p8u2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137874-qalibaf_hakuna_mazungumzo_chini_ya_vitisho_iran_iko_tayari_kufichua_kadi_mpya_uwanjani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema Tehran haitakubali kufanya mazungumzo na Washington chini ya kivuli cha vitisho.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:11:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137872-iran_yailaani_israel_kwa_kukiuka_mamlaka_ya_kitaifa_ya_somalia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw570d32c1872p8gg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137872-iran_yailaani_israel_kwa_kukiuka_mamlaka_ya_kitaifa_ya_somalia </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya utawala wa kizayuni wa Israel ya kuteua mjumbe wa kidiplomasia huko Somaliland ni ishara wazi ya njama ya utawala huo ya kuvuruga amani na utulivu na kuchochea migawanyiko baina ya nchi za Kiislamu na za Kanda hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 08:15:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu mpya wa Hungary: Netanyahu atakamatwa kama ataingia nchini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137870-waziri_mkuu_mpya_wa_hungary_netanyahu_atakamatwa_kama_ataingia_nchini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw69366b4d8d2p8qw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137870-waziri_mkuu_mpya_wa_hungary_netanyahu_atakamatwa_kama_ataingia_nchini </guid>  
      <description>Péter Magyar Waziri Mkuu mpya wa Hungary, amesema kuwa iwapo Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel ataingia nchini humo, atakamatwa kwa kesi ya uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 08:02:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uongozi wa mashirika ya kidini na kisayansi ya Iran wapongeza msimamo wa Papa kuhusu vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137868-uongozi_wa_mashirika_ya_kidini_na_kisayansi_ya_iran_wapongeza_msimamo_wa_papa_kuhusu_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4f2093db352p8gi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137868-uongozi_wa_mashirika_ya_kidini_na_kisayansi_ya_iran_wapongeza_msimamo_wa_papa_kuhusu_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Wenyeviti wa taasisi za kidini na kisayansi za Iran, katika barua ya pamoja kwa kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, wamepongeza "msimamo wake wa ujasiri" na kueleza matumaini kuwa utasaidia kumaliza migogoro inayoendelea.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 11:06:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Siku ya Jeshi: Kiongozi apongeza jeshi la Iran kwa ujasiri katika kulilinda taifa dhidi ya wavamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137864-siku_ya_jeshi_kiongozi_apongeza_jeshi_la_iran_kwa_ujasiri_katika_kulilinda_taifa_dhidi_ya_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa64ba29f8e2p8g6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137864-siku_ya_jeshi_kiongozi_apongeza_jeshi_la_iran_kwa_ujasiri_katika_kulilinda_taifa_dhidi_ya_wavamizi </guid>  
      <description>Katika ujumbe alioutoa Jumapili kwa mnasaba wa Siku ya Jeshi, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei amelisifu Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kusimama kwa ujasiri kulilinda taifa katika vita vya hivi karibuni vya kulazimishwa, kama lilivyofanya  katika vita vya kulazimishwa vya awamu zilizopita.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 11:01:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137862-aljazeera_trump_anatafuta_njia_ya_kutoka_vitani_kwa_heshima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb83af3c8462p8bq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137862-aljazeera_trump_anatafuta_njia_ya_kutoka_vitani_kwa_heshima </guid>  
      <description>Mwandishi wa kituo cha Aljazeera
 huko Washington anasema kuwa Rais Donald Trump Marekani anatafuta jinsi ya kutoka kwenye vita na Iran kwa njia ya heshima.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:55:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran kudhibiti trafiki ya Lango Bahari la Hormuz hadi makubaliano yafikiwe kumaliza vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137860-iran_kudhibiti_trafiki_ya_lango_bahari_la_hormuz_hadi_makubaliano_yafikiwe_kumaliza_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw04af1acf1b2p8g4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137860-iran_kudhibiti_trafiki_ya_lango_bahari_la_hormuz_hadi_makubaliano_yafikiwe_kumaliza_vita </guid>  
      <description>Baraza la Juu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) limesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kusimamia na kudhibiti trafiki yote inayopita katika Lango Bahari la Hormuz, ambalo ni njia ya kimkakati, hadi kufikiwa mapatano kamili ya kumaliza vita vya kulazimishwa vya Marekani na Israel dhidi ya nchi hii.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:52:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137858-wamarekani_upungufu_wa_akili_wa_trump_umeongezeka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8d84924ba92p8em.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137858-wamarekani_upungufu_wa_akili_wa_trump_umeongezeka </guid>  
      <description>Mshauri wa Mkuu wa zamani mkuu wa Ikulu ya White House wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump ameonya kuwa upungufu wa akili wa rais wa Marekani umeongezeka kwa kiasi kikubwa.  </description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:50:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Onyo la Yemen: Hakuna atakayefungua Lango Bahari la Bab el Mandeb likifungwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137854-onyo_la_yemen_hakuna_atakayefungua_lango_bahari_la_bab_el_mandeb_likifungwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf8334ce5942p8g8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137854-onyo_la_yemen_hakuna_atakayefungua_lango_bahari_la_bab_el_mandeb_likifungwa </guid>  
      <description>Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amemhimiza Rais wa Marekani Donald Trump kujiepusha na maamuzi ya uchochezi na kuheshimu haki za mataifa ya Kiislamu, akimwonya yeye pamoja na washirika wake kuhusu uwezekano wa kufungwa kwa Lango Bahari la Bab el Mandeb.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:36:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamala Harris: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni jaribio la kuvuruga kesi ya Epstein</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137856-kamala_harris_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_jaribio_la_kuvuruga_kesi_ya_epstein</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa9b07735f92p8ga.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137856-kamala_harris_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_jaribio_la_kuvuruga_kesi_ya_epstein </guid>  
      <description>Makamo wa zamani wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anasema Rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump alilazimika kuingia vitani na Iran akishirikiana na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, 'katika jaribio dhaifu la kupindisha na kupitisha mazingatio ya raia wa Marekani kutoka kwenye kesi ya Epstein.'</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:38:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kenya yaongeza bei ya mafuta kufuatia vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137852-kenya_yaongeza_bei_ya_mafuta_kufuatia_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6c1bb520242p7ng.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137852-kenya_yaongeza_bei_ya_mafuta_kufuatia_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Serikali ya Kenya imepandisha bei za rejareja za bidhaa za mafuta kwa kiwango cha hadi asilimia 24.2, ikizingatia ongezeko la ghafla la bei ya mafuta ghafi duniani na changamoto za usambazaji wa nishati zinazosababishwa na vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Iran..
</description>
      <pubDate>Thu, 16 Apr 2026 06:25:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nigeria yataka msaada kukabiliana na mshtuko wa kiuchumi uliochochewa na vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137850-nigeria_yataka_msaada_kukabiliana_na_mshtuko_wa_kiuchumi_uliochochewa_na_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdeec040f7f2p7s4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137850-nigeria_yataka_msaada_kukabiliana_na_mshtuko_wa_kiuchumi_uliochochewa_na_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Fedha wa Nigeria, ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa muungano wa nchi zinazoendelea unaojulikana kama G24, amesema kwamba taasisi za kifedha za kimataifa zinapaswa kuongeza hatua za kusaidia mataifa yaliyo hatarini ili kuvuka mishtuko ya kiuchumi inayosababishwa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
</description>
      <pubDate>Thu, 16 Apr 2026 06:17:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Esmaeil Baqaei: Iran yasema haitakubali ubabe wa Marekani katika mazungumzo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137848-esmaeil_baqaei_iran_yasema_haitakubali_ubabe_wa_marekani_katika_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4e8462a6532p7ro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137848-esmaeil_baqaei_iran_yasema_haitakubali_ubabe_wa_marekani_katika_mazungumzo </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amesisitiza kuwa Iran ilikataa mapendekezo aliyoyaita “yasiyo na mantiki” yaliyowasilishwa na Marekani katika mazungumzo yaliyofanyika Islamabad, akionya kuwa Tehran haitawahi kukubali mazungumzo yanayoendeshwa kwa mfumo wa ubabe na kulazimisha masharti.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Apr 2026 06:11:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kinara wa Liberal Democrats Uingereza asema Trump ni jambazi fisadi na hatari </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137846-kinara_wa_liberal_democrats_uingereza_asema_trump_ni_jambazi_fisadi_na_hatari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw557ecc408b2p7cm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137846-kinara_wa_liberal_democrats_uingereza_asema_trump_ni_jambazi_fisadi_na_hatari </guid>  
      <description> Mwanasiasa wa Uingereza amemtaja Donald Trump, rais wa Marekani, kuwa jambazi fisadi na hatari, na kusisitiza kuwa kitendo chake cha kuzingira Mlango-Bahari wa Hormuz kinaweza kuhatarisha usitishaji mapigano dhaifu kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Apr 2026 08:16:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iravani: Silaha zilizotumiwa katika uvamizi dhidi ya Iran zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za Kiarabu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137844-iravani_silaha_zilizotumiwa_katika_uvamizi_dhidi_ya_iran_zilitoka_kwenye_maghala_ya_baadhi_ya_nchi_za_kiarabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw19265ee3922p7he.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137844-iravani_silaha_zilizotumiwa_katika_uvamizi_dhidi_ya_iran_zilitoka_kwenye_maghala_ya_baadhi_ya_nchi_za_kiarabu </guid>  
      <description>Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amepinga madai ya Bahrain, akisema: Mabaki yaliyopatikana kutoka kwenye silaha zilizotumiwa katika mashambulizi ya miji ya Iran yanathibitisha kuwa silaha hizo zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za kiarabu za Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Apr 2026 08:11:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka: Hali ya maisha huko Gaza ni ya kutisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137842-shirika_la_madaktari_wasio_na_mipaka_hali_ya_maisha_huko_gaza_ni_ya_kutisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw521f22d90e2p7aa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137842-shirika_la_madaktari_wasio_na_mipaka_hali_ya_maisha_huko_gaza_ni_ya_kutisha </guid>  
      <description>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetoa onyo kuhusu kuendelea na kuongezeka kwa mashambulizi ya kikatili na udhibiti wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 12:08:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137838-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw97af6bbb5a2p7a6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137838-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house </guid>  
      <description>Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 11:51:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137836-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw053fe0476f2p7a4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137836-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house </guid>  
      <description>Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 11:50:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Taifa la Iran limemfanya adui akate tamaa kwa mapambano yake ya siku 40</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137834-pezeshkian_taifa_la_iran_limemfanya_adui_akate_tamaa_kwa_mapambano_yake_ya_siku_40</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7b4aa3d8d22p704.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137834-pezeshkian_taifa_la_iran_limemfanya_adui_akate_tamaa_kwa_mapambano_yake_ya_siku_40 </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo nafasi muhimu ya Muqawama na mapambano ya kitaifa katika kuvuka kipindi na hali ya vita na kusema: "Taifa la Iran, limemfanya adui akate tamaa na kukosa matumaini kwa Muqawama na mapambano yake ya siku 40."</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 09:40:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah Yemen: Lobi ya Wazayuni imezuia makubaliano kati ya Marekani na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137832-ansarullah_yemen_lobi_ya_wazayuni_imezuia_makubaliano_kati_ya_marekani_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfed6f30ea42p72a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137832-ansarullah_yemen_lobi_ya_wazayuni_imezuia_makubaliano_kati_ya_marekani_na_iran </guid>  
      <description> Mjumbe wa Idara ya Siasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa lobi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Marekani imezuia kufikiwa makubaliano katika mazungumzo kati ya Marekani na Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 09:18:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanazuoni wa Ahlu‑Sunnah wa Russia: Imam Khamenei hakukubali udhalili </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137830-mwanazuoni_wa_ahlu_sunnah_wa_russia_imam_khamenei_hakukubali_udhalili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5bdc7024832p71k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137830-mwanazuoni_wa_ahlu_sunnah_wa_russia_imam_khamenei_hakukubali_udhalili </guid>  
      <description>Mufti wa Volgograd, nchini Russia amesema: Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ni shahidi mkubwa wa Umma wa Kiislamu na mfuasi wa Suna ya Mtume Muhammad (S.A.W.), na jina lake litasalia katika historia kama kiongozi jasiri na mwanaume halisi.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 08:59:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, wimbi la kuuzuliwa makamanda wakuu jeshini nchini Marekani linaweza kuwa ushindi mwingine wa kistratijia kwa Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw98d860b2e82p6dj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran </guid>  
      <description>Wimbi la kutimuliwa makamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Marekani kufuatia kushindwa kimkakati kwa nchi hiyo dhidi ya Iran limeibua mgogoro mkubwa zaidi wa kamandi katika Wizara ya Vita ya nchi hiyo, Pentagon.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 07:52:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la IRGC lashambulia Kamandi ya Jeshi la Marekani na ngome za Israel katika Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw268d7ac63d2p6cg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya shabaha mbalimbali zenye mfungamano na Marekani na Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi katika sehemu ya wimbi la 97 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 04:50:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Huenda uchumi wa Afrika ukaporomoka kutokana na vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137824-huenda_uchumi_wa_afrika_ukaporomoka_kutokana_na_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0z2e84e6a75526bln.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137824-huenda_uchumi_wa_afrika_ukaporomoka_kutokana_na_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa, pamoja na Umoja wa Afrika na Benki ya Maendeleo ya Afrika, yametoa ripoti mpya ikionya kuwa uchumi wa mataifa ya bara hili unaweza kukumbwa na kuporomoka ikiwa mapigano yanayoendelea katika ukanda wa Asia Magharibi yataendelea bila suluhu ya haraka.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 03:40:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf amwambia Trump: Kutii maagizo ya Netanyahu kutawasha moto kwenye kanda nzima</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa396ca5b8d2p6b8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amejibu vitisho vya hivi karibuni vya Donald Trump, rais gaidi wa Marekani katika ujumbe wake kwenye mtandao wa kijamii wa X akisema tabia yake ya kutii na kufuata maagizo ya waziri mkuu katili wa Israel Benjamin Netanyahu kutawasha zaidi moto wa vita katika kanda nzima ya Magharibi mwa Asia. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:28:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Mr. Trump, Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1697c6caba2p6c1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi </guid>  
      <description>Seneta wa Marekani amekemea vitisho na matusi ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump dhidi ya Iran, akisema: Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi na lugha chafu, bali ni lazima kufanya mazungumzo na Iran.
</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:27:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Vita vilivyotwishwa Iran vimelenga utambulisho wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6fd928a88d2p2ka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Vita vya kulazimishwa vya Wamarekani na Wazayuni dhidi ya Iran vimelenga uwepo na utambulisho wa Kiirani.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:16:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madrid: Hatutadanganywa tena na Marekani; kwa uzoefu wa Iraq, hapana kwa vita ndio njia pekee</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c92eecee438302kymv.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza kuwa nchi hiyo haitadanganywa tena na Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:13:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano ya kuunga mkono Iran kutoka London hadi Auckland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva9db9df96f2p2d4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland </guid>  
      <description>Maandamano ya kulaani hujuma za kijeshi za Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran yangali yanaendelea katika pembe mbalimbali za dunia.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:09:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aragchi: Tishio la Trump dhidi ya miundombinu ya nishati Iran ni kukiri uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0e3923fde92p6bo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vitisho vya Marekani vya kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ni kukiri wazi nia ya kutenda uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:30:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO yalaani hujuma ya Israel na Marekani dhidi ya kituo cha nyuklia Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa1faadc8822p6br.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran </guid>  
      <description>Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu kuendelea kwa mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran, akionya kuwa hatua hiyo inaweza kusababisha janga la nyuklia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:19:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yapiga marufuku kuchapishwa picha za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome za nchi hiyo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7e5a3eb58c2p672.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo </guid>  
      <description>Katika jitihada za kudhibiti picha za athari za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome na vituo vyake, Marekani imepiga marufuku kuchapishwa na kuonyeshwa picha za setilaiti za maeneo yanayohusika katika vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 06:12:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Majenerali wa Marekani hawataki kufa kwa ajili ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw41d6028a1f2p668.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran, amekejeli hatua ya Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth ya kuwatimua makamanda wenye uzoefu katika jeshi la nchi hiyo na kuandika: Hawataki tena kumtii mtangazaji wa televisheni anayehatarisha maisha ya Wamarekani kwa ajili ya njozi za Israel.
</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:42:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New Yorker: Hali ya vita dhidi ya Iran ni tofauti na matarajio ya Trump na Hegseth</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0400e0ee1e2p65v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth </guid>  
      <description>Gazeti la New Yorker la Marekani limekosoa vita vya Marekani na dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, vita hivi vimeonyesha kwamba hali halisi ni tofauti na matarajio ya viongozi wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:38:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kapteni wa Timu ya Taifa ya Bosnia: Kwa heshima ya haki na uadilifu tumekataa kuwapa mkono Waisraeli </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bxye531353ea71tmn5.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli </guid>  
      <description>Kapteni wa timu ya taifa ya soka ya Bosnia na Herzegovina chini ya miaka 21 amesema kuwa kuheshimu haki na uadilifu ndiyo sababu iliyowazuia wachezaji wa timu hiyo kuwapa mkono wachezaji wa timu ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:37:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaangusha helikopta mbili za Black Hawk na ndege mbili za kijeshi za C‑130 za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwebfcecb5742p68z.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi Kuu ya Khatam al‑Anbiya ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vyombo vya anga vya adui vilivyovamia mkoa wa Isfahan, vikijumuisha helikopta mbili aina ya Black Hawk na ndege mbili za usafirishaji wa kijeshi ya C‑130 zimetunguliwa na kuangamizwa na vikosi vya ulinzi.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:36:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yalaani hujuma ya Marekani, Israel dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbta38852ec2c2okqx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr </guid>  
      <description>Maria Zakharova, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, ametangaza kuwa Moscow inalaani vikali mashambulio ya hivi karibuni dhidi ya kituo cha Nyuklia cha Bushehr kilichoko kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:06:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran aonya kuhusu majibu mapana dhidi ya maslahi ya Marekani katika eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfe903b61232p66f.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Ghalibaf, amesisitiza kuwa “usalama endelevu” ndio kipaumbele kikuu cha Iran, akionya kwamba kuendelea kwa mvutano kutasababisha majibu mapana yatakayolenga maslahi ya Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:05:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna vita dhidi ya Iran vilivyobadilisha muundo wa soko la nishati duniani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3oae25f808132cfsj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani </guid>  
      <description>Taasisi moja ya Marekani imekiri kwamba vita dhidi ya Iran vimebadilisha pakubwa muundo wa soko la nishati duniani.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:53:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran latoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by272068b229b1w9bt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran </guid>  
      <description>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vyake vya amani vya nyuklia, likisema hilo ndilo tarajio la chini kabisa  linalotazamiwa kutoka kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:48:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0ve545e68447240p6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia </guid>  
      <description>Ni jambo la kawaida kwamba nchi zilizoko katika maeneo tofauti ya kijografia na kistratijia hutumia nafasi hiyo kwa manufaa ya watu wake na kulinda maslahi yao ya kitaifa. Wachambuzi wa mambo wanasema hilo ni jambo linakubalika kimataifa na wala hakuna sheria yoyote inayopinga suala hilo ambayo ni haki ya kimsingi ya nchi iliyo katika maeneo kama hayo. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 12:57:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>