<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - home</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Fri, 18 Sep 2026 09:05:46 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Ijumaa, 18 Septemba, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141540-ijumaa_18_septemba_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc166eba9d33d2qf2s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141540-ijumaa_18_septemba_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa tarehe 6 Mfunguo Saba Rabiuthani 1448 Hijria sawa na tarehe 18 Septemba mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:59:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa: Marekani imetenda uhalifu wa kivita nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141538-tume_ya_uchunguzi_ya_umoja_wa_mataifa_marekani_imetenda_uhalifu_wa_kivita_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ee9656b62a2qki2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141538-tume_ya_uchunguzi_ya_umoja_wa_mataifa_marekani_imetenda_uhalifu_wa_kivita_nchini_iran </guid>  
      <description>Tume ya Kutafuta Ukweli ya Umoja wa Mataifa imetangaza kwamba, baada ya kufanya uchunguzi na kuchambua ushahidi, imefikia hitimisho kwamba mashambulizi ya Marekani dhidi ya Minab na Lamerd yalikuwa ni uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:57:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei ajibu madai ya Saudi Arabia kuhusu kushambuliwa mji mtakatifu wa Makka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141536-baghaei_ajibu_madai_ya_saudi_arabia_kuhusu_kushambuliwa_mji_mtakatifu_wa_makka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14cca97abd32qki0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141536-baghaei_ajibu_madai_ya_saudi_arabia_kuhusu_kushambuliwa_mji_mtakatifu_wa_makka </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, madai ya kuzuia ndege isiyo na rubani iliyokuwa ikielekea katika mji mtakatifu wa Makka hayawezi kuwa msingi wa kuutuhumu upande wowote.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:54:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yajibu mapigo, yamtimua mwanadiplomasia wa Sweden</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141534-iran_yajibu_mapigo_yamtimua_mwanadiplomasia_wa_sweden</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc182c8f702942qkhy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141534-iran_yajibu_mapigo_yamtimua_mwanadiplomasia_wa_sweden </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, sanjari na kukanusha madai ya Sweden dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, imempa mwanadiplomasia wa nchi hiyo aliyeko Tehran muda wa saa 48 kuondoka nchini, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi kwa uamuzi wa Stockholm wa kukataa kumruhusu mwanadiplomasia wa Iran kuendelea na shughuli zake.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:52:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>The Nation: Iran “haikusalimu amri”, Marekani iko katika hatihati ya kupiga magoti</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141532-the_nation_iran_haikusalimu_amri_marekani_iko_katika_hatihati_ya_kupiga_magoti</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc162fd6e78e12qkhw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141532-the_nation_iran_haikusalimu_amri_marekani_iko_katika_hatihati_ya_kupiga_magoti </guid>  
      <description>Chombo cha habari cha Marekani The Nation, katika makala kali iliyoikosoa vikali serikali ya nchi hiyo kwa kuingia vitani na Iran, kimeandika:</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:50:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Houthi: Madai ya Saudia kuwa Yemen imelenga Makkah ni “uongo wa kuchukiza,” na kashfa ya wazi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141530-al_houthi_madai_ya_saudia_kuwa_yemen_imelenga_makkah_ni_uongo_wa_kuchukiza_na_kashfa_ya_wazi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1e502e928282qkhu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141530-al_houthi_madai_ya_saudia_kuwa_yemen_imelenga_makkah_ni_uongo_wa_kuchukiza_na_kashfa_ya_wazi </guid>  
      <description>Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdul-Malik al-Houthi, amelaani vikali madai ya Saudi Arabia kuwa vikosi vya Yemen vimelenga mji mtakatifu wa Makkah, akifutilia mbali madai hayo kama “uongo mkubwa, mbaya, na wa kuchukiza” unaolenga kuhalalisha vita vya Saudia dhidi ya Yemen.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:48:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Araghchi: Mashauriano ya Beijing yamefanikiwa; Iran yathamini “ushirikiano wa kimkakati” na China</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141528-araghchi_mashauriano_ya_beijing_yamefanikiwa_iran_yathamini_ushirikiano_wa_kimkakati_na_china</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1d86d9d40632qkaa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141528-araghchi_mashauriano_ya_beijing_yamefanikiwa_iran_yathamini_ushirikiano_wa_kimkakati_na_china </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameelezea mashauriano yake mjini Beijing kama “yaliyofanikiwa,” akizungumzia maudhui ya safari yake katika mji mkuu huo wa China, ambapo alikutana na mwenzake, Wang Yi.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 12:10:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Maambukizi ya Ebola yanapungua katika jimbo la Ituri lililoathirika vibaya nchini DRC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141526-who_maambukizi_ya_ebola_yanapungua_katika_jimbo_la_ituri_lililoathirika_vibaya_nchini_drc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0895fe9ae7d2qd0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141526-who_maambukizi_ya_ebola_yanapungua_katika_jimbo_la_ituri_lililoathirika_vibaya_nchini_drc </guid>  
      <description>Usambazaji wa virusi vya Ebola unapungua katika baadhi ya maeneo ya jimbo la Ituri lililoathirika vibaya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 11:55:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanamgambo wa HTS wauawa Syria huku maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha yakisambaa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141524-wanamgambo_wa_hts_wauawa_syria_huku_maandamano_ya_kupinga_hali_ngumu_ya_maisha_yakisambaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc117aeff5f482qkca.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141524-wanamgambo_wa_hts_wauawa_syria_huku_maandamano_ya_kupinga_hali_ngumu_ya_maisha_yakisambaa </guid>  
      <description>Takriban wanamgambo watatu wanaofungamana na utawala unaotawala wa kundi la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) nchini Syria wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa, kufuatia mapigano makali yaliyozuka kati ya vikosi hivyo na wapiganaji wa kundi la wenyeji katika mkoa wa kusini-magharibi wa Dara’a.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 11:43:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa IRGC: Iran itajibu vikali kosa lolote la kimahesabu la adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141522-kamanda_wa_irgc_iran_itajibu_vikali_kosa_lolote_la_kimahesabu_la_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1dcbb055b032qkbo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141522-kamanda_wa_irgc_iran_itajibu_vikali_kosa_lolote_la_kimahesabu_la_adui </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameonya kuwa kitendo chochote cha uchokozi kutoka kwa adui kitakabiliwa na jibu kali na thabiti kutoka kwa vikosi vya ulinzi vya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 11:07:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti Mkuu wa Libya: Saudi Arabia iko vitani Yemen kwa niaba ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141520-mufti_mkuu_wa_libya_saudi_arabia_iko_vitani_yemen_kwa_niaba_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16571a764a82qkbg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141520-mufti_mkuu_wa_libya_saudi_arabia_iko_vitani_yemen_kwa_niaba_ya_marekani </guid>  
      <description>Mufti Mkuu wa Libya, Sheikh Sadiq al-Ghariani, amezungumzia matukio ya hivi karibuni nchini Yemen, akisema kuwa Saudi Arabia iko vitani nchini humo kwa niaba ya Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 10:54:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Mpango wa "Kuifanya Yemen kama Syria" Ulifeli Vipi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141518-je_mpango_wa_kuifanya_yemen_kama_syria_ulifeli_vipi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a98abcc9c02qk2i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141518-je_mpango_wa_kuifanya_yemen_kama_syria_ulifeli_vipi </guid>  
      <description>Vyanzo vya habari mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen, vimeripoti kuhusu njama kubwa ya kuifanya Yemen ikabiliwe na hali ya machafuko kama ile ya Syria, mpango ambao hatimaye umefeli licha ya kushirikishwa makundi ya kitakfiri yanayohusishwa na utawala wa muda wa Al-Julani.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 05:49:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, BRICS iko tayari kuwa na nafasi athirifu zaidi katika mfumo wa dunia? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141516-je_brics_iko_tayari_kuwa_na_nafasi_athirifu_zaidi_katika_mfumo_wa_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1318e8872cc2qk70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141516-je_brics_iko_tayari_kuwa_na_nafasi_athirifu_zaidi_katika_mfumo_wa_dunia </guid>  
      <description>Katika mkutano wa 18 wa kilele wa BRICS mjini New Delhi India, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akisisitiza umuhimu wa jumuiya hiyo kuunga mkono na kutetea mamlaka ya kitaifa pamoja na umoja wa ardhi na wakati huo huo kupinga matumizi ya nguvu, ametoa wito kwa BRICS kuwa na nafasi zaidi katika mausala ya kimataifa, nafasi inayovuka mipaka ya ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara pekee.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 05:45:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Tuhuma ya kuishambulia Makka ni 'uongo mkubwa' wa Saudia; Wayemen ndio watetezi wa kweli wa maeneo matakatifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141514-ansarullah_tuhuma_ya_kuishambulia_makka_ni_'uongo_mkubwa'_wa_saudia_wayemen_ndio_watetezi_wa_kweli_wa_maeneo_matakatifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a9b0b7bb8d2qk6e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141514-ansarullah_tuhuma_ya_kuishambulia_makka_ni_'uongo_mkubwa'_wa_saudia_wayemen_ndio_watetezi_wa_kweli_wa_maeneo_matakatifu </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya wananchi wa Yemen, Ansarullah, imesisitiza tena msimamo wa serikali ya Sana'a wa kukanusha vikali madai ya Saudi Arabia kwamba Jeshi la Yemen linatishia kuyashambulia maeneo matakatifu katika mji wa Makka nchini Saudia.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 03:28:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Sayansi wa Iran atahadharisha kuhusu hatari ya Akili Mnemba kuwa "udikteta usioonekana"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141512-waziri_wa_sayansi_wa_iran_atahadharisha_kuhusu_hatari_ya_akili_mnemba_kuwa_udikteta_usioonekana</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1897dd57a0e2qk6a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141512-waziri_wa_sayansi_wa_iran_atahadharisha_kuhusu_hatari_ya_akili_mnemba_kuwa_udikteta_usioonekana </guid>  
      <description>Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran, akitoa tahadhari kuhusu madhara ya ufuatiliaji mpana unaotumia Akili Mnemba amesema, hali hiyo inaweza kuweka mazingira ya kubadilisha udhibiti wa data kuwa udhibiti wa watu na hatimaye kusababisha kuibuka “udikteta usioonekana.”</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 02:51:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mapigano yazuka kati ya Polisi DRC na waandamanaji wanaopinga mabadiliko ya Katiba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141510-mapigano_yazuka_kati_ya_polisi_drc_na_waandamanaji_wanaopinga_mabadiliko_ya_katiba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1778d36681f2qk68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141510-mapigano_yazuka_kati_ya_polisi_drc_na_waandamanaji_wanaopinga_mabadiliko_ya_katiba </guid>  
      <description>Mamia ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameingia mitaani kupinga mabadiliko ya Katiba, ambayo kwa mujibu wa wapinzani yanaweza kufungua njia ya kuongezwa muda wa rais kuweko madarakani. Polisi walitumia mabomu ya machozi na kufyatua risasi hewani katika jaribio la kuwatawanya waandamanaji.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 02:49:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Beki Mfaransa wa Klabu ya Barcelona ataka kukombolewa Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141508-beki_mfaransa_wa_klabu_ya_barcelona_ataka_kukombolewa_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1753c6678cc2qk66.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141508-beki_mfaransa_wa_klabu_ya_barcelona_ataka_kukombolewa_palestina </guid>  
      <description>Jules Koundé, beki Mfaransa wa klabu ya soka ya Barcelona ya Uhispania, kwa mara nyingine ameonyesha himaya na uungaji mkono wake kwa taifa la Palestina na kutoa wito wa kukombolewa ardhi hiyo.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 02:46:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Von der Leyen: Vita dhidi ya Iran vimeigharimu Ulaya Euro bilioni 90 za ziada</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141506-von_der_leyen_vita_dhidi_ya_iran_vimeigharimu_ulaya_euro_bilioni_90_za_ziada</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ade1dfbb4e2qk64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141506-von_der_leyen_vita_dhidi_ya_iran_vimeigharimu_ulaya_euro_bilioni_90_za_ziada </guid>  
      <description>Rais wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen amesema vita dhidi ya Iran hadi sasa vimeisababishia Umoja wa Ulaya gharama ya ziada ya euro bilioni 90 kutokana na kuongezeka gharama za uagizaji wa nishati ya mafuta kutoka nje.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 02:42:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Amir Hatami: Nguvu halisi ya Iran ni umoja na azma ya wananchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141504-meja_jenerali_amir_hatami_nguvu_halisi_ya_iran_ni_umoja_na_azma_ya_wananchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc120de2bce2b2qk00.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141504-meja_jenerali_amir_hatami_nguvu_halisi_ya_iran_ni_umoja_na_azma_ya_wananchi </guid>  
      <description>Meja Jenerali Amir Hatami Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe wake wa kupongeza siku 200 za uwepo wa kishujaa wa wananchi wa Iran na kusisitiza kwamba uwepo huo ni dhihirisho la kudumu la imani, mshikamano na azma ya kitaifa, pamoja na kuwa kielelezo cha nguvu na uimara wa ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 12:15:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China: Tuko tayari kutetea kwa nguvu haki za Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141502-china_tuko_tayari_kutetea_kwa_nguvu_haki_za_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15907caf1132qjzy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141502-china_tuko_tayari_kutetea_kwa_nguvu_haki_za_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema kuwa uhusiano na ushirikiano wa nchi yake na Iran ni wa kimkakati na kwamba Beijing inatangaza rasmi kwamba iko tayari kuimarisha mazungumzo na ushirikiano na Iran, na kutetea kwa dhati haki na maslahi halali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 12:11:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu 63 wafa wakati mgodi wa dhahabu ulipoporomoka huko Kordofan Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141500-watu_63_wafa_wakati_mgodi_wa_dhahabu_ulipoporomoka_huko_kordofan_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a54b93c7ea2qjzw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141500-watu_63_wafa_wakati_mgodi_wa_dhahabu_ulipoporomoka_huko_kordofan_sudan </guid>  
      <description>Kwa uchache watu 63 wamepoteza maisha wakati mgodi wa dhahabu ulipoporomoka katika Jimbo la Kordofan, huko Magharibi mwa Sudan. Hayo ni kwa majubu wa taarifa ya leo Jumatano ya manusura na watu wa kujitolea.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 12:09:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Rais wa Imarati: Marekani haina mwamana; Saudia ni jangwa tupu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141498-mshauri_wa_rais_wa_imarati_marekani_haina_mwamana_saudia_ni_jangwa_tupu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c55542b0352qjzu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141498-mshauri_wa_rais_wa_imarati_marekani_haina_mwamana_saudia_ni_jangwa_tupu </guid>  
      <description>Mshauri wa Rais wa Muungano wa Falme za Kiarabu ametoa matamshi makali dhidi ya Saudi Arabia na Marekani na kusema kuwa, asilimia 90 ya ardhi ya Saudia ni jangwa tupu na kwa upande wa Marekani ni dola lisilo na mwamana na wala huwezi kulitegemea</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 12:06:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan: Makubaliano yetu na Saudia hayatoathiri uhusiano wetu na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141496-pakistan_makubaliano_yetu_na_saudia_hayatoathiri_uhusiano_wetu_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1967bfb4d3f2qjzs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141496-pakistan_makubaliano_yetu_na_saudia_hayatoathiri_uhusiano_wetu_na_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Pakistan amesema kuwa makubaliano ya kijeshi ya nchi yake na Saudi Arabia pamoja na Uturuki maarufu kwa jina la Makubaliano ya Makka, hayatoathiri uhusiano wa Tehran na Islamabad.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 12:03:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump apanga kuipatia Israel 'shehena kubwa zaidi ya mabomu katika historia ya Marekani'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141494-trump_apanga_kuipatia_israel_'shehena_kubwa_zaidi_ya_mabomu_katika_historia_ya_marekani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc17ec80c908b2qjqi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141494-trump_apanga_kuipatia_israel_'shehena_kubwa_zaidi_ya_mabomu_katika_historia_ya_marekani' </guid>  
      <description>Ripoti moja inasema, serikali ya Trump inaandaa mpango wa kuupatia utawala wa kizayuni wa Israel shehena ya mabomu 40,000 yenye uzito wa pauni 2,000 kila moja, ambayo thamani yake ni dola bilioni 2.8.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 03:35:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, 16 Septemba 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141492-jumatano_16_septemba_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc198207b11812qjqg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141492-jumatano_16_septemba_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatano tarehe 04 Rabiuthani 1448 Hijria sawa na Septemba 16, 2026.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 03:00:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yashika nafasi ya tatu duniani katika kutibu ugumba, yakamilisha mpango wa chanjo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141490-iran_yashika_nafasi_ya_tatu_duniani_katika_kutibu_ugumba_yakamilisha_mpango_wa_chanjo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15bd51b42dc2qjqe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141490-iran_yashika_nafasi_ya_tatu_duniani_katika_kutibu_ugumba_yakamilisha_mpango_wa_chanjo </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Madaktari la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imeshika nafasi ya kwanza duniani katika utoaji wa chanjo na nafasi ya tatu duniani katika kutibuu tatizo la ugumba.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 02:58:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa wataka wakaguzi wa kimataifa waruhusiwe kufika maeneo yote ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141488-umoja_wa_mataifa_wataka_wakaguzi_wa_kimataifa_waruhusiwe_kufika_maeneo_yote_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc18a36baf12c2qjqc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141488-umoja_wa_mataifa_wataka_wakaguzi_wa_kimataifa_waruhusiwe_kufika_maeneo_yote_ya_gaza </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeashiria kugunduliwa mamia ya miili chini ya vifusi katika Ukanda wa Gaza na kutoa wito wakaguzi wa kimataifa waruhusiwe kuingia na kufika katika maeneo yote ya ukanda huo ili kukusanya ushahidi na kuchunguza uwezekano wa kutendeka uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 02:56:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IOM: Karibu Wasudan 100,000 wamekimbia makazi yao katika jimbo la Blue Nile</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141486-iom_karibu_wasudan_100_000_wamekimbia_makazi_yao_katika_jimbo_la_blue_nile</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1f3b6e9537f2qjqa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141486-iom_karibu_wasudan_100_000_wamekimbia_makazi_yao_katika_jimbo_la_blue_nile </guid>  
      <description>Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa tangu mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa, karibu Wasudan 100,000 wamekimbia makazi yao katika jimbo la Blue Nile, kutokana na kuongezeka ghasia na mapigano katika eneo hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 02:55:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Historia yaandikwa: Kenya mwenyeji wa kwanza Afrika wa mashindano ya dunia ya riadha 2029</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141484-historia_yaandikwa_kenya_mwenyeji_wa_kwanza_afrika_wa_mashindano_ya_dunia_ya_riadha_2029</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15d3334c3c62qjq8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141484-historia_yaandikwa_kenya_mwenyeji_wa_kwanza_afrika_wa_mashindano_ya_dunia_ya_riadha_2029 </guid>  
      <description>Mji mkuu wa Kenya Nairobi uumechaguliwa kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Dunia ya Riadha ya mwaka 2029, baada ya kushinda ushindani kutoka miji ya London, Munich na Rome.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 02:53:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi, IRGC: Iran inawakabili maadui ambao hakuna taifa jengine linalothubutu 'kuwafyatulia hata risasi moja'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141482-jeshi_irgc_iran_inawakabili_maadui_ambao_hakuna_taifa_jengine_linalothubutu_'kuwafyatulia_hata_risasi_moja'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc12cf91d03eb2qjkq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141482-jeshi_irgc_iran_inawakabili_maadui_ambao_hakuna_taifa_jengine_linalothubutu_'kuwafyatulia_hata_risasi_moja' </guid>  
      <description>Wasemaji wakuu wa Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wameashiria umoja usioweza kuvunjika kati ya matawi hayo mawili ya kijeshi na kutangaza kwamba Iran inavishambulia kwa mafanikio vikosi vya Marekani na Israel, vilivyojizatiti kwa silaha nzito, ambazo hakuna nchi nyingine yoyote duniani inayothubutu kukabiliana nazo.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 11:41:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tovuti ya kizayuni: Ishara za kushindwa Marekani katika vita na Iran ziko wazi kabisa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141480-tovuti_ya_kizayuni_ishara_za_kushindwa_marekani_katika_vita_na_iran_ziko_wazi_kabisa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1140e655dbd2qjk6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141480-tovuti_ya_kizayuni_ishara_za_kushindwa_marekani_katika_vita_na_iran_ziko_wazi_kabisa </guid>  
      <description>Tovuti moja ya habari ya Kizayuni imeandika kuwa, Marekani inajiona ndiye mshindi katika vita wakati Pentagon inakiri kwamba ina uhaba wa silaha, huku bei ya mafuta ikipanda na kufikia $110, na Mlango-Bahari wa Hormuz na ule wa Bab al-Mandab ikiwa imewekewa mzingiro kamili.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 10:57:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askari 50 wa Mali, wapiganaji watano wa Kirusi wauawa katika shambulio kubwa la wanamgambo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141478-askari_50_wa_mali_wapiganaji_watano_wa_kirusi_wauawa_katika_shambulio_kubwa_la_wanamgambo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14c8efb06522qjjs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141478-askari_50_wa_mali_wapiganaji_watano_wa_kirusi_wauawa_katika_shambulio_kubwa_la_wanamgambo </guid>  
      <description>Shambulio kubwa la kijeshi lililofanywa wiki iliyopita dhidi ya kambi kuu ya jeshi nchini Mali liliua askari wasiopungua 50 na wapiganaji watano wa kundi la Russia la 'Africa Corps'. Hayo yameripotiwa leo Jumatatu kwa vyombo vya habari na vyanzo vya kiusalama na vya eneo la tukio.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 10:49:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu wa UN: Imani ya wananchi kwa serikali inadorora, uhusiano baina yao unazidi kudhoofika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141476-katibu_mkuu_wa_un_imani_ya_wananchi_kwa_serikali_inadorora_uhusiano_baina_yao_unazidi_kudhoofika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1933d6b3fdb2qjjm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141476-katibu_mkuu_wa_un_imani_ya_wananchi_kwa_serikali_inadorora_uhusiano_baina_yao_unazidi_kudhoofika </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema demokrasia inakabiliwa na wakati mgumu huku migogoro ikiongezeka, imani ya wananchi kwa taasisi za serikali ikidorora na uhusiano kati ya raia na serikali zao ukizidi kudhoofika.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 10:46:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yatoa onyo kwa Japan, yakosoa mazoezi ya pamoja ya kijeshi inayofanya kila mara na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141474-china_yatoa_onyo_kwa_japan_yakosoa_mazoezi_ya_pamoja_ya_kijeshi_inayofanya_kila_mara_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc115165f59562qjjg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141474-china_yatoa_onyo_kwa_japan_yakosoa_mazoezi_ya_pamoja_ya_kijeshi_inayofanya_kila_mara_na_marekani </guid>  
      <description>China imekosoa hatua ya Japan ya kutangulia kupanga silaha za kimkakati za ushambuliaji na vilevile kwa mazoezi ya kijeshi inayoendelea kufanya kila mara kwa kushirikiana na Marekani na Australia, ikisema, vitendo hivyo vinaongeza hatari ya makabiliano katika eneo hilo.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 10:41:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema hakuna mazungumzo na Marekani hadi masharti yake yatimizwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141472-iran_yasema_hakuna_mazungumzo_na_marekani_hadi_masharti_yake_yatimizwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1662776e4472qjcw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141472-iran_yasema_hakuna_mazungumzo_na_marekani_hadi_masharti_yake_yatimizwe </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (SNSC), Meja Jenerali Mohsen Rezaei, amesisitiza kuwa kauli za mkanganyiko na ujumbe unaotatanisha kutoka kwa Rais wa Marekani haupaswi kumpotosha yeyote kutoka kwenye uhalisia mpya uliopo sasa kuhusu mafuta na milango-bahari, akiongeza kuwa hakutakuwa na mazungumzo yoyote hadi masharti yaliyowekwa na Iran yatimizwe kikamilifu.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:20:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meli kubwa ya mafuta yalipuka baada ya kukanyaga mabomu ya majini kwenye njia haramu kusini mwa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141470-meli_kubwa_ya_mafuta_yalipuka_baada_ya_kukanyaga_mabomu_ya_majini_kwenye_njia_haramu_kusini_mwa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1fec44b046a2qjcs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141470-meli_kubwa_ya_mafuta_yalipuka_baada_ya_kukanyaga_mabomu_ya_majini_kwenye_njia_haramu_kusini_mwa_hormuz </guid>  
      <description>Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa meli kubwa ya kubeba mafuta ghafi (supertanker) iliyojaribu kupita bila idhini katika eneo lililopigwa marufuku kusini mwa Lango Bahari la Hormuz imelipuka baada ya kukanyaga mabomu ya kutega majini, huku chombo hicho chote kikiwa kimeteketea na kufunikwa na miali mikubwa ya moto.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:18:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watengezaji wa filamu NAZA iliyofichua ukweli wa mauaji ya kimbari ya Ghaza hatarini kuvuliwa uraia wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141468-watengezaji_wa_filamu_naza_iliyofichua_ukweli_wa_mauaji_ya_kimbari_ya_ghaza_hatarini_kuvuliwa_uraia_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1f4abc1a1eb2qjcq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141468-watengezaji_wa_filamu_naza_iliyofichua_ukweli_wa_mauaji_ya_kimbari_ya_ghaza_hatarini_kuvuliwa_uraia_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Utamaduni wa utawala wa kizayuni wa Israel, Miki Zohar amesema atajaribu kuhakikisha watengenezaji wa filamu iitwayo NAZA inayofichua "mfumo wa mauaji" uliotumiwa dhidi ya raia wa Palestina huko Ghaza wakati wa mauaji ya kimbari yaliyofanywa na utawala huo wa kizayuni wanavuliwa uraia wao kwa kufanya "uhaini".</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:15:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waandishi wa habari 37 Wapalestina wanashikiliwa kwenye jela za Israel, 19 bila kufunguliwa mashtaka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141466-waandishi_wa_habari_37_wapalestina_wanashikiliwa_kwenye_jela_za_israel_19_bila_kufunguliwa_mashtaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c25c9f29542qjco.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141466-waandishi_wa_habari_37_wapalestina_wanashikiliwa_kwenye_jela_za_israel_19_bila_kufunguliwa_mashtaka </guid>  
      <description>Utawala wa kizayuni wa Israel unawashikilia waandishi wa habari 37 wa Kipalestina katika magereza yake, wakiwemo 19 waliowekwa kwenye kizuizi kisicho na kikomo kwa kutumia sheria ya kutofunguliwa mashtaka au kutofikishwa mahakamani. Hayo yameelezwa katika taarifa iliyotolewa na Jumuiya ya Wafungwa wa Kipalestina, Palestinian Prisoner Society.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:12:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yashambulia maegesho ya ndege za kivita, rada na maghala ya silaha ya kituo cha anga cha Saudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141464-yemen_yashambulia_maegesho_ya_ndege_za_kivita_rada_na_maghala_ya_silaha_ya_kituo_cha_anga_cha_saudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c968641b072qjcm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141464-yemen_yashambulia_maegesho_ya_ndege_za_kivita_rada_na_maghala_ya_silaha_ya_kituo_cha_anga_cha_saudia </guid>  
      <description>Vikosi vya Jeshi la Yemen vimefanya shambulio la pamoja la makombora na ndege zisizo na rubani kwenye kambi kubwa ya anga katika eneo la kusini mwa Saudi Arabia la Asir kulipiza kisasi kwa shambulio la hivi karibuni la uchokozi wa kijeshi lililofanywa na Saudia na mzingiro inaoendelea kuiwekea nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:06:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa upinzani Kenya wasema wana hofu ya kuenea machafuko ya kisiasa na kuhatarisha uchaguzi wa 2027</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141462-viongozi_wa_upinzani_kenya_wasema_wana_hofu_ya_kuenea_machafuko_ya_kisiasa_na_kuhatarisha_uchaguzi_wa_2027</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc10a0434aeec2qjck.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141462-viongozi_wa_upinzani_kenya_wasema_wana_hofu_ya_kuenea_machafuko_ya_kisiasa_na_kuhatarisha_uchaguzi_wa_2027 </guid>  
      <description>Viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani nchini Kenya wameonya kuwa ghasia za kisiasa zinaweza kuenea na kuhatarisha uchaguzi mkuu wa 2027.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:01:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Libya yakamata dawa za kulevya za picha ya Gaddafi zilizoingizwa kutokea Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141460-libya_yakamata_dawa_za_kulevya_za_picha_ya_gaddafi_zilizoingizwa_kutokea_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc190499e74772qj6m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141460-libya_yakamata_dawa_za_kulevya_za_picha_ya_gaddafi_zilizoingizwa_kutokea_ulaya </guid>  
      <description>Libya imekamata shehena ya maelfu ya vidonge vya dawa za kulevya aina ya ecstasy, vilivyowekwa alama ya picha ya kiongozi wa zamani wa nchi hiyo, Muammar Gaddafi. </description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 11:33:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei za kukodisha Meli za Mafuta zapaa mara nane</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141458-bei_za_kukodisha_meli_za_mafuta_zapaa_mara_nane</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1dc38f9b2b62qj52.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141458-bei_za_kukodisha_meli_za_mafuta_zapaa_mara_nane </guid>  
      <description>Wakati Marekani ikidai kuwa na udhibiti kamili wa Lango-Bahari wa Hormuz, gharama za kukodisha meli za mafuta katika njia hiyo muhimu mno ya baharini zinaendelea kupaa na kuvunja rekodi.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 10:55:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya Marekani vyadhoofisha mno Uchumi wa Imarati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141456-vita_vya_marekani_vyadhoofisha_mno_uchumi_wa_imarati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1126a9a85b12qj50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141456-vita_vya_marekani_vyadhoofisha_mno_uchumi_wa_imarati </guid>  
      <description>Takwimu rasmi zilizotolewa na Muungano wa Falme za Kiarabu zinaonesha kuwa, vita vilivyochochewa na Marekani na utawala wa Kizayuni katika ukanda huu vimefuta karibu nusu ya mapato ya sekta ya utalii ya Imarati (UAE).</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 10:54:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mlipuko wa ugonjwa wa Kimeta (Anthrax) waua wanyamapori nchini Zambia na kuwaambukiza binadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141454-mlipuko_wa_ugonjwa_wa_kimeta_(anthrax)_waua_wanyamapori_nchini_zambia_na_kuwaambukiza_binadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15fa121b11b2qj3y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141454-mlipuko_wa_ugonjwa_wa_kimeta_(anthrax)_waua_wanyamapori_nchini_zambia_na_kuwaambukiza_binadamu </guid>  
      <description>Mlipuko wa ugonjwa wa kimeta (anthrax) katika eneo la kaskazini mwa Zambia umesababisha vifo vya viboko 46, tembo wanane, nyati watano na mamba mmoja, huku watu 12 wakiripotiwa kuambukizwa ugonjwa huo baada ya kula nyama ya wanyama hao waliokufa ambao walikutwa na vimelea vya ugonjwa huo, kulingana na mamlaka husika.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 09:31:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Muqawama wa Yemen Ulishindaje Mkakati wa Saudi Arabia?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141452-je_muqawama_wa_yemen_ulishindaje_mkakati_wa_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16460a457ef2qj3i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141452-je_muqawama_wa_yemen_ulishindaje_mkakati_wa_saudi_arabia </guid>  
      <description>Kufuatia matukio ya hivi karibuni nchini Yemen, Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa ikisisitiza kuwa kutatuliwa matatizo ya Yemen hakuwezekani kupitia kuendelezwa mzingiro na utunishaji misuli ya kijeshi.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 09:29:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laangusha ndege ya kivita isyo na rubani ya Marekani katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141450-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_isyo_na_rubani_ya_marekani_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1d5566667cd2qj3s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141450-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_isyo_na_rubani_ya_marekani_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua na kuiangamiza ndege nyingine isiyo na rubani (droni) ya kisasa ya kivita ya Marekani aina ya MQ-1 juu ya anga ya Lango-Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 09:28:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Haya ndiyo masharti yetu ya kufungua Lango Bahari la Hormuz </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141448-iran_haya_ndiyo_masharti_yetu_ya_kufungua_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc11abe3af17d2qj1a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141448-iran_haya_ndiyo_masharti_yetu_ya_kufungua_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametangaza kuwa kufunguliwa upya Lango Bahari la Hormuz kunategemea Marekani kurejea na kuheshimu ahadi zake chini ya Mkataba wa Maelewano wa Islamabad.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 07:39:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakulima: Mzingiro tulioiwekea Iran unatumaliza sisi wenyewe Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141444-wakulima_mzingiro_tulioiwekea_iran_unatumaliza_sisi_wenyewe_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1bc84d78b4f2qj14.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141444-wakulima_mzingiro_tulioiwekea_iran_unatumaliza_sisi_wenyewe_wamarekani </guid>  
      <description>Chama cha Wakulima wa Michigan huko Marekani kimeshindwa kujizuia kulalamikia hali ngumu wanayopitia baada ya Marekani kuanzisha vita dhidi ya Iran na kuizingira kiuchumi na kimesema, mzingiro tulioiwekea Iran unatumaliza sisi wenyewe Wamarekani.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 07:38:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Moto warindima katika Kitovu cha Usafirishaji Mafuta Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141440-moto_warindima_katika_kitovu_cha_usafirishaji_mafuta_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1bcaebc7c892qj10.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141440-moto_warindima_katika_kitovu_cha_usafirishaji_mafuta_saudi_arabia </guid>  
      <description>Vyombo mbalimbali vya habari jana Jumapili vilisambaza picha zinazoonesha moshi mzito ukifuka kutoka kwenye kituo cha mafuta vya Yanbu katika pwani ya Bahari ya Shamu. Taarifa zinasema kuwa, kituo hicho ndicho kilichokuwa kinaisaidia Marekani kupakia mafuta baada ya Iran kufunga Lango-Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 07:36:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afrika Kusini yatoa mwito kwa BRICS kutetea ushirikiano wa pande nyingi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141438-afrika_kusini_yatoa_mwito_kwa_brics_kutetea_ushirikiano_wa_pande_nyingi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1b1871ac7702qj0y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141438-afrika_kusini_yatoa_mwito_kwa_brics_kutetea_ushirikiano_wa_pande_nyingi </guid>  
      <description>Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa mwito kwa nchi za BRICS kuimarisha ushirikiano wa pande nyingi na kushinikiza mageuzi ya mfumo wa kimataifa akisema kuwa sauti za Afrika na nchi za kusini mwa dunia lazima zisikike kikamilifu kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 07:34:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Ulinzi: Iran itakuwa na teknolojia ya kisasa zaidi katika vita vyovyote vipya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141436-waziri_wa_ulinzi_iran_itakuwa_na_teknolojia_ya_kisasa_zaidi_katika_vita_vyovyote_vipya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14dfb19e7082qiu6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141436-waziri_wa_ulinzi_iran_itakuwa_na_teknolojia_ya_kisasa_zaidi_katika_vita_vyovyote_vipya </guid>  
      <description>Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itakuwa na maendeleo makubwa zaidi ya kiteknolojia iwapo vita vingine vitazuka. </description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 04:03:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maimamu sita wa Nigeria watekiwa wakiwa njiani kwenda kuombea kuchaguliwa upya kwa Rais</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141434-maimamu_sita_wa_nigeria_watekiwa_wakiwa_njiani_kwenda_kuombea_kuchaguliwa_upya_kwa_rais</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb0c6987fba2pl46.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141434-maimamu_sita_wa_nigeria_watekiwa_wakiwa_njiani_kwenda_kuombea_kuchaguliwa_upya_kwa_rais </guid>  
      <description>Watu wenye silaha wamewateka nyara maimamu sita nchini Nigeria kaskazini mwa nchi hiyo, Polisi wametangaza leo Jumapili.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 12:00:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran aihimiza BRICS kulinda kanuni ya kutotumia mabavu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141432-rais_wa_iran_aihimiza_brics_kulinda_kanuni_ya_kutotumia_mabavu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14eba7882762qipc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141432-rais_wa_iran_aihimiza_brics_kulinda_kanuni_ya_kutotumia_mabavu </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa kundi la mataifa yanayoinukia kiuchumi la BRICS kuchukua jukumu “lenye ufanisi zaidi” katika kulinda mamlaka ya kitaifa na kusimamia kanuni ya kimataifa ya kutotumia nguvu, hasa katika kipindi hiki cha sasa chenye changamoto nyingi.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 11:32:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maelfu waandamana kupinga ziara ya Trump nchini Ireland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141430-maelfu_waandamana_kupinga_ziara_ya_trump_nchini_ireland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1fe020121702qip8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141430-maelfu_waandamana_kupinga_ziara_ya_trump_nchini_ireland </guid>  
      <description>Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika mitaa ya Dublin kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump, nchini Ireland, huku wanaharakati wakilaani sera zake katika masuala ya kigeni, mabadiliko ya tabianchi, uhamiaji, na masuala ya kijamii.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 11:26:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yashambulia kambi ya kijeshi ya Saudia kwa makombora na ndege zisizo na rubani kulipiza kisasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141428-yemen_yashambulia_kambi_ya_kijeshi_ya_saudia_kwa_makombora_na_ndege_zisizo_na_rubani_kulipiza_kisasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14f275823272qink.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141428-yemen_yashambulia_kambi_ya_kijeshi_ya_saudia_kwa_makombora_na_ndege_zisizo_na_rubani_kulipiza_kisasi </guid>  
      <description>Majeshi ya Jamhuri ya Yemen (YAF) yametekeleza operesheni kubwa ya pamoja ya makombora ya balistiki na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya kambi ya kijeshi ya Saudia katika eneo la Sharurah mkoani Najran kusini mwa ufalme huo, ikiwa ni jibu kwa kuendelea mashambulizi ya Saudia dhidi ya ardhi ya Yemen.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 11:23:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wairani 352,983 washtaki Marekani na Israel kwa vita vya kwanza dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141426-wairani_352_983_washtaki_marekani_na_israel_kwa_vita_vya_kwanza_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a28699125c2qip4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141426-wairani_352_983_washtaki_marekani_na_israel_kwa_vita_vya_kwanza_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kesi ya kwanza ya madai iliyofunguliwa na familia za waathiriwa wa “Vita vya Siku 12” vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran mwezi Juni 2025, ilisikilizwa Jumapili asubuhi katika Mahakama ya Iran jijini Tehran.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 11:20:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, BRICS Itazuia Vipi Siasa na Hatua za Upande Mmoja za Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141422-je_brics_itazuia_vipi_siasa_na_hatua_za_upande_mmoja_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc17cd2a61f522qika.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141422-je_brics_itazuia_vipi_siasa_na_hatua_za_upande_mmoja_za_marekani </guid>  
      <description>Mkutano wa 18 wa kilele wa BRICS mjini New Delhi unafanyika wakati ambapo kundi hilo si tena kama muungano wa kiuchumi wa mataifa yanayoinukia pekee; bali, limebadilika kuwa jukwaa muhimu la mashindano kuhusu sura ya baadaye ya mfumo wa dunia.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 10:25:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la Marekani dhidi ya Meli za Mafuta za Iran: Mvutano Wahama kutoka Shinikizo la Kiuchumi hadi Mapigano ya Kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141420-shambulio_la_marekani_dhidi_ya_meli_za_mafuta_za_iran_mvutano_wahama_kutoka_shinikizo_la_kiuchumi_hadi_mapigano_ya_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1e3db6d41a02qijc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141420-shambulio_la_marekani_dhidi_ya_meli_za_mafuta_za_iran_mvutano_wahama_kutoka_shinikizo_la_kiuchumi_hadi_mapigano_ya_kijeshi </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesisitiza kupitia taarifa kuwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayatasita kutumia haki yake ya kimsingi ya kujilinda kisheria na kwamba yatajibu vikali na ipaswavyo kitendo chochote cha uchokozi wa kijeshi wa adui.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 09:28:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Marekani Inahusisha Mgogoro wa Yemen na Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141418-kwa_nini_marekani_inahusisha_mgogoro_wa_yemen_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1329ea790d12qike.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141418-kwa_nini_marekani_inahusisha_mgogoro_wa_yemen_na_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa madai ya uongo ya Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, hayawezi kubadili uhalisia wa mambo kwamba Ansarallah ya Yemen ni kundi huru linalofanya maamuzi yake lenyewe, halipokei maagizo kutoka kwa mtu yeyote wala kufanya kazi kama kibaraka wa upande mwingine.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 09:22:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 13 Septemba, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141416-jumapili_13_septemba_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a632eb55282qiic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141416-jumapili_13_septemba_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili Mosi Mfunguo Saba Rabiu Thani 1448 Hijria sawa na 13 Septemba 2026.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:29:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran: Tunahitaji mageuzi ya kweli katika mifumo ya kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141414-rais_wa_iran_tunahitaji_mageuzi_ya_kweli_katika_mifumo_ya_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1534f8f743a2qii8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141414-rais_wa_iran_tunahitaji_mageuzi_ya_kweli_katika_mifumo_ya_kimataifa </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa suala la utawala na mamlaka shirikishi ya dunia na kuimarishwa mfumo wa pande nyingi lina umuhimu mkubwa zaidi hivi sasa.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:25:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: mkutano wa Oman ni hatua muhimu kuelekea utulivu na usalama wa kikanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141412-iran_mkutano_wa_oman_ni_hatua_muhimu_kuelekea_utulivu_na_usalama_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1160c5566842qii4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141412-iran_mkutano_wa_oman_ni_hatua_muhimu_kuelekea_utulivu_na_usalama_wa_kikanda </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mkutano uliopangwa kufanyika nchini Oman Jumatatu ya kesho utakuwa hatua muhimu kuelekea kuhakikisha utulivu na usalama katika eneo la Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:23:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti wa Oman: Umma wa Kiislamu umekumbwa na fitina kubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141410-mufti_wa_oman_umma_wa_kiislamu_umekumbwa_na_fitina_kubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1321683fe2e2qii0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141410-mufti_wa_oman_umma_wa_kiislamu_umekumbwa_na_fitina_kubwa </guid>  
      <description>Mufti wa Oman, Sheikh Ahmed Al-Khalili, amekosoa misimamo ya baadhi ya wanazuoni wa Kiislamu kuhusu Ansarullah ya Yemen, akieleza kuwa, hali imekuwa ya hatari kutokana na kuzuka tena mapigano nchini humo.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:21:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mlipuko wa Ebola DRC wavuka kiwango cha wagonjwa 7,000 na kuenea hadi mkoa wa saba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141408-mlipuko_wa_ebola_drc_wavuka_kiwango_cha_wagonjwa_7_000_na_kuenea_hadi_mkoa_wa_saba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15b80945e2b2qihy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141408-mlipuko_wa_ebola_drc_wavuka_kiwango_cha_wagonjwa_7_000_na_kuenea_hadi_mkoa_wa_saba </guid>  
      <description>Ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umevuka kiwango cha wagonjwa 7,000 waliothibitishwa na kufikia mkoa wa saba baada ya mgonjwa wa kwanza kugundulika katika mkoa wa Sud-Ubangi. </description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:19:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Niger yateua mkuu mpya wa majeshi baada ya jaribio la uasi lililozimwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141406-niger_yateua_mkuu_mpya_wa_majeshi_baada_ya_jaribio_la_uasi_lililozimwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc10364c3618b2qihu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141406-niger_yateua_mkuu_mpya_wa_majeshi_baada_ya_jaribio_la_uasi_lililozimwa </guid>  
      <description>Serikali ya kijeshi ya Niger imemteua mkuu mpya wa jeshi, kufuatia jaribio la uasi wa jeshi lililozimwa mwezi uliopita. Hayo ni kwa mujibu taarifa iliyotolewa na televisheni ya taifa.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:16:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mlango Bahari wa Hormuz unabaki kwenye udhibiti wetu kamili; dunia iilaumu US kwa kupanda bei ya mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141404-iran_mlango_bahari_wa_hormuz_unabaki_kwenye_udhibiti_wetu_kamili_dunia_iilaumu_us_kwa_kupanda_bei_ya_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1fde493b1f32qihs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141404-iran_mlango_bahari_wa_hormuz_unabaki_kwenye_udhibiti_wetu_kamili_dunia_iilaumu_us_kwa_kupanda_bei_ya_mafuta </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje amesisitiza kuwa Mlango wa Bahari wa Hormuz unasalia kuwa chini ya udhibiti kamili wa Iran, akisema Marekani ndiye wa kulaumiwa kwa kuvurugika usalama wa baharini wa eneo hilo na inapasa ilaumiwe pia kwa kupanda bei ya mafuta duniani.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:12:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askari wa Israel asema waliambiwa: 'Mnao watu milioni mbili wa kuwalenga shabaha Ghaza'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141402-askari_wa_israel_asema_waliambiwa_'mnao_watu_milioni_mbili_wa_kuwalenga_shabaha_ghaza'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1365869a6662qihq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141402-askari_wa_israel_asema_waliambiwa_'mnao_watu_milioni_mbili_wa_kuwalenga_shabaha_ghaza' </guid>  
      <description>Askari wa akiba wa jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel amesema, maafisa wa jeshi hilo wanaichukulia idadi yote ya Wapalestina milioni mbili wa Ukanda wa Ghaza kama walengwa halali wa kuuawa, na amesimulia mauaji mengi yaliyofanywa na askari wa kizayuni na jinsi utekelezaji wa kanuani za vita ulivyoporomoka wakati wa mauaji ya kimbari ya Wapalestina wa eneo hilo.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:07:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uzalishaji wa mafuta wa Saudia umeshuka hadi kiwango cha chini zaidi cha tangu 1990; sababu ni vita vya US dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141400-uzalishaji_wa_mafuta_wa_saudia_umeshuka_hadi_kiwango_cha_chini_zaidi_cha_tangu_1990_sababu_ni_vita_vya_us_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc192c826d8442qiho.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141400-uzalishaji_wa_mafuta_wa_saudia_umeshuka_hadi_kiwango_cha_chini_zaidi_cha_tangu_1990_sababu_ni_vita_vya_us_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uzalishaji wa mafuta ghafi wa Saudi Arabia ulishuka hadi mapipa milioni 6.24 kwa siku mwezi Agosti, na kuashiria kiwango chake cha chini kabisa kilichoripotiwa tangu 1990, huku vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani dhidi ya Iran vikiendelea kuvuruga mtiririko wa nishati katika Mashariki ya Kati.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:03:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Siku ya kuzaliwa Rais wa Zimbabwe yatangazwa Sikukuu ya Kitaifa, itaitwa Siku ya Munhumutapa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141398-siku_ya_kuzaliwa_rais_wa_zimbabwe_yatangazwa_sikukuu_ya_kitaifa_itaitwa_siku_ya_munhumutapa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c924ae15ce2qihm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141398-siku_ya_kuzaliwa_rais_wa_zimbabwe_yatangazwa_sikukuu_ya_kitaifa_itaitwa_siku_ya_munhumutapa </guid>  
      <description>Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ametangaza Septemba 15, siku yake ya kuzaliwa, kuwa sikukuu mpya ya umma. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya gazeti la serikali la Herald.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:01:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tucker Carlson: Tuko ukingoni mwa vita vya dunia vitavyomalizika kwa utumiaji wa silaha za nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141396-tucker_carlson_tuko_ukingoni_mwa_vita_vya_dunia_vitavyomalizika_kwa_utumiaji_wa_silaha_za_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1f116af30612qihk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141396-tucker_carlson_tuko_ukingoni_mwa_vita_vya_dunia_vitavyomalizika_kwa_utumiaji_wa_silaha_za_nyuklia </guid>  
      <description>Mwandishi wa habari mashuhuri nchini Marekani mwenye msimamo wa kihafidhina, Tucker Carlson, ametahadharisha kuwa dunia iko ukingoni kutumbukia kwenye mzozo wa kimataifa unaoweza kuhitimishwa kwa matumizi ya silaha za nyuklia.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 06:59:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian ahimiza BRICS kuunda mtandao imara wa kibiashara na kutumia sarafu za kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141394-pezeshkian_ahimiza_brics_kuunda_mtandao_imara_wa_kibiashara_na_kutumia_sarafu_za_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1e4b54f744c2qic4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141394-pezeshkian_ahimiza_brics_kuunda_mtandao_imara_wa_kibiashara_na_kutumia_sarafu_za_kitaifa </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amezihimiza nchi wanachama wa jumuiya ya BRICS kujenga mtandao thabiti na wenye uwezo wa kustahimili misukosuko ya kibiashara, sambamba na kupanua matumizi ya sarafu za kitaifa ili kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kupunguza uwezekano wa kuathiriwa na mshtuko wa kisiasa.</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:37:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mamlaka ya kujitawala ya Yemen lazima yaheshimiwe, mzingiro haramu lazima ukomeshwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141392-iran_mamlaka_ya_kujitawala_ya_yemen_lazima_yaheshimiwe_mzingiro_haramu_lazima_ukomeshwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ed366705992qic0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141392-iran_mamlaka_ya_kujitawala_ya_yemen_lazima_yaheshimiwe_mzingiro_haramu_lazima_ukomeshwe </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza tena msimamo wake thabiti na wa kimisngi kuhusu ulazima wa kuheshimiwa uhuru, mamlaka ya kitaifa ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya Yemen, na kutoa wito wa kukomeshwa mara moja mzingiro haramu na usio wa kibinadamu uliowekwa dhidi ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:33:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Vita Dhidi ya Ugaidi' vilivyoanzishwa baada ya Septemba 11, 2001 vimezigharimu haki za binadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141390-'vita_dhidi_ya_ugaidi'_vilivyoanzishwa_baada_ya_septemba_11_2001_vimezigharimu_haki_za_binadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a814677c102qiby.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141390-'vita_dhidi_ya_ugaidi'_vilivyoanzishwa_baada_ya_septemba_11_2001_vimezigharimu_haki_za_binadamu </guid>  
      <description>Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu wameonya kuwa robo karne ya hatua za kimataifa za kukabiliana na ugaidi zilizoanzishwa baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001 nchini Marekani imesababisha ukiukaji mkubwa na ulioenea wa haki za binadamu duniani.</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:30:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Axios: Trump amemkatalia Bin Salman ombi la kutaka Marekani iisaidie kijeshi Saudia dhidi ya Yemen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141388-axios_trump_amemkatalia_bin_salman_ombi_la_kutaka_marekani_iisaidie_kijeshi_saudia_dhidi_ya_yemen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc100d794492c2qibw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141388-axios_trump_amemkatalia_bin_salman_ombi_la_kutaka_marekani_iisaidie_kijeshi_saudia_dhidi_ya_yemen </guid>  
      <description>Marekani imeyakataa maombi ya Saudi Arabia ya kuanzisha mashambulizi ya moja kwa moja ya kijeshi dhidi ya harakati ya Wahouthi ya Ansarullah nchini Yemen baada ya wapiganaji wa harakati hiyo kuuteka mji wa kimkakati wa pwani wa Mokha. Hayo ni kwa mujibu wa tovuti ya habari ya nchini Marekani ya Axios.</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:29:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan: Tunafanya juhudi za kuzirudisha Marekani na Iran kwenye meza ya mazungumzo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141386-pakistan_tunafanya_juhudi_za_kuzirudisha_marekani_na_iran_kwenye_meza_ya_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc121196864a82qibu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141386-pakistan_tunafanya_juhudi_za_kuzirudisha_marekani_na_iran_kwenye_meza_ya_mazungumzo </guid>  
      <description>Balozi wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amesema: "tunafanya juhudi za kuzirudisha Marekani na Iran kwenye meza ya mazungumzo".</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:26:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, 12 Septemba, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141384-jumamosi_12_septemba_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b3ff91b4112qdno.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141384-jumamosi_12_septemba_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 30 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1448 Hijria mwafaka 12 Septemba 2026 Miladia.</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:21:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Falsafa ya Ujumbe wa Mitume ni mwanadamu kusimama imara kupigania haki na uadilifu"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141382-falsafa_ya_ujumbe_wa_mitume_ni_mwanadamu_kusimama_imara_kupigania_haki_na_uadilifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ff3e623ca02qi5s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141382-falsafa_ya_ujumbe_wa_mitume_ni_mwanadamu_kusimama_imara_kupigania_haki_na_uadilifu </guid>  
      <description>Imam wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, falsafa ya ujumbe wa Mitume na Manabii ni wanadamu kusimama imara kupigania haki na uadilifu.</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 10:16:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>US yakiri kula kipigo; Iran: Wamarekani msikubali kuwa chambo cha Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141380-us_yakiri_kula_kipigo_iran_wamarekani_msikubali_kuwa_chambo_cha_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1298c9e7b272qi54.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141380-us_yakiri_kula_kipigo_iran_wamarekani_msikubali_kuwa_chambo_cha_israel </guid>  
      <description>Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Wizara ya Vita ya Marekani mapema leo asubuhi amekiri kwamba mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran yameangamiza takriban tasisi zote za kijeshi za Marekani nchini Bahrain.</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 09:28:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen ladhibiti kikamilifu Lango Bahari Bab al-Mandab, pigo kubwa kwa wavamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141378-jeshi_la_yemen_ladhibiti_kikamilifu_lango_bahari_bab_al_mandab_pigo_kubwa_kwa_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16129dbd1b62qi4w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141378-jeshi_la_yemen_ladhibiti_kikamilifu_lango_bahari_bab_al_mandab_pigo_kubwa_kwa_wavamizi </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limefanikiwa kudhibiti kikamilifu Lango-Bahari muhimu mno la Bab al-Mandab baada ya kukikomboa kisiwa cha kimkakati cha Mayun. Hilo ni pigo kubwa kwa wavamizi wote wa Yemen.</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 09:27:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>AU yaadhimisha miaka 24 kwa mwito wa umoja wa bara zima na ushawishi wa kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141376-au_yaadhimisha_miaka_24_kwa_mwito_wa_umoja_wa_bara_zima_na_ushawishi_wa_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1e6df6e1a182qi4u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141376-au_yaadhimisha_miaka_24_kwa_mwito_wa_umoja_wa_bara_zima_na_ushawishi_wa_kimataifa </guid>  
      <description>Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC), Mahmoud Ali Youssouf, ametoa mwito wa kujitolea zaidi kwa kuzingatia misingi ya Umoja wa Waafrika (Pan-Africanism), mshikamano na umoja wa bara hilo zima. Ametoa mwito huo katika maadhimisho ya Siku ya Umoja wa Afrika (AU).</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 09:25:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya kutunga sheria vya Libya vyasisitiza mchakato wa kisiasa ufuate Katiba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141374-vyombo_vya_kutunga_sheria_vya_libya_vyasisitiza_mchakato_wa_kisiasa_ufuate_katiba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc18a121af8592qi4s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141374-vyombo_vya_kutunga_sheria_vya_libya_vyasisitiza_mchakato_wa_kisiasa_ufuate_katiba </guid>  
      <description>Vyombo viwili vikuu vya nchini Libya yaani Baraza la Wawakilishi la Libya (HoR) na Baraza Kuu la Serikali (High Council of State) vimesisitiza kuwa mchakato wa kisiasa wa nchi hiyo unapaswa kufanyika ndani ya mfumo wa Tamko la Katiba na Makubaliano ya Kisiasa yanayosimamia kazi za mabaraza hayo mawili.</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 09:24:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa tarehe 11 Septemba 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141372-ijumaa_tarehe_11_septemba_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b0dd57fe92pe9u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141372-ijumaa_tarehe_11_septemba_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa tarehe 29 Mfunguuo Sita Rabiul-Awwal 1448 Hijria sawa na tarehe 11 Septemba 2026.

</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 04:35:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Ndege za kivita za Marekani ziliharibiwa katika mashambulizi ya Iran dhidi ya kambi ya kijeshi nchini Jordan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141370-ripoti_ndege_za_kivita_za_marekani_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_iran_dhidi_ya_kambi_ya_kijeshi_nchini_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc11a8e8233062qi1e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141370-ripoti_ndege_za_kivita_za_marekani_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_iran_dhidi_ya_kambi_ya_kijeshi_nchini_jordan </guid>  
      <description>Ndege kadhaa za kijeshi na kivita za Marekani zinaripotiwa kuharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran dhidi ya kambi ya jeshi la  anga ya Muwaffaq Salti inayoendeshwa na Marekani, inayojulikana pia kama kambi ya al-Azraq, nchini Jordan.

</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 04:30:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Algeria yakata uhusiano wake wa kidiplomasia na Umoja wa Falme za Kiarabu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141368-algeria_yakata_uhusiano_wake_wa_kidiplomasia_na_umoja_wa_falme_za_kiarabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc110d86c815a2qi1a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141368-algeria_yakata_uhusiano_wake_wa_kidiplomasia_na_umoja_wa_falme_za_kiarabu </guid>  
      <description>Algeria imekata uhusiano wake wa kidiplomasia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) baada ya miaka kadhaa ya kuongezeka kwa mvutano kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 04:29:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya Yemen vyateka jiji la bandari la kimkakati la Bahari ya Sham la Mokha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141366-vikosi_vya_yemen_vyateka_jiji_la_bandari_la_kimkakati_la_bahari_ya_sham_la_mokha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1765eb11e9e2qi18.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141366-vikosi_vya_yemen_vyateka_jiji_la_bandari_la_kimkakati_la_bahari_ya_sham_la_mokha </guid>  
      <description>Vikosi vya Yemen  Alhamisi vimedhibiti jiji la bandari la kimkakati la Bahari ya Sham la Mokha, huku vikielekea kwenye mlango-bahari muhimu wa Bab al-Mandab, hatua ambayo ni pigo kubwa kwa mamluki Saudi Arabia.

</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 04:15:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vifo vya ugonjwa wa difteria katika Jimbo la Plateau nchini Nigeria vyafikia 27</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141364-vifo_vya_ugonjwa_wa_difteria_katika_jimbo_la_plateau_nchini_nigeria_vyafikia_27</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc113b4eb57f02qi16.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141364-vifo_vya_ugonjwa_wa_difteria_katika_jimbo_la_plateau_nchini_nigeria_vyafikia_27 </guid>  
      <description>Idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa difteria (diphtheria)  katika Jimbo la Plateau katikati ya Nigeria imepanda hadi 27, huku idadi ya visa vinavyoshukiwa ikiongezeka maradufu na kufikia 303, mamlaka za afya zilisema Jumatano.

</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 04:14:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WFP: Maeneo yenye Ebola DRC sasa yanakumbwa na njaa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141362-wfp_maeneo_yenye_ebola_drc_sasa_yanakumbwa_na_njaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c15ea9c3eb2qi14.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141362-wfp_maeneo_yenye_ebola_drc_sasa_yanakumbwa_na_njaa </guid>  
      <description>Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, mapambano dhidi ya mlipuko wa sasa wa Ebola huko  mashariki mwa taifa hilo la Maziwa Makuu, hayawezi kutenganishwa na juhudi za kuhakikisha wananchi wanapata chakula cha kutosha.

</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 04:10:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaiambia IAEA: Ukaguzi wa kawaida wa nyuklia ‘hauwezekani’ katikati ya uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141360-iran_yaiambia_iaea_ukaguzi_wa_kawaida_wa_nyuklia_hauwezekani’_katikati_ya_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c7722d4a622qhte.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141360-iran_yaiambia_iaea_ukaguzi_wa_kawaida_wa_nyuklia_hauwezekani’_katikati_ya_uchokozi </guid>  
      <description>Iran imekataa matakwa ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa ajili ya kurejelewa ukaguzi wa kawaida, ikisema kuwa kutarajia utekelezaji wa kawaida wa hatua za usalama huku  Iran ikiendelea kukabiliwa na hujuma za kichokozi ni jambo "lisilo na mantiki" na "lisilowezekana kutekelezwa."</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:40:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Ulinzi: Sekta ya ulinzi ya Iran haiwezi kuharibiwa; itastawi na kuimarika pakubwa kuliko huko nyuma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141358-wizara_ya_ulinzi_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_haiwezi_kuharibiwa_itastawi_na_kuimarika_pakubwa_kuliko_huko_nyuma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1289eb72f542qhtc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141358-wizara_ya_ulinzi_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_haiwezi_kuharibiwa_itastawi_na_kuimarika_pakubwa_kuliko_huko_nyuma </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema kuwa sekta ya ulinzi ya nchi hii ni ya ndani, iko imara na imejengwa kwa kutegemea maarifa na uwezo wa vijana wa Iran. Wizara hiyo imesisitiza kuwa sekta hii haiwezi kuharibiwa wala kuangamizwa. </description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:36:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Ulaya imekuwa tena chombo cha mashinikizo cha Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141356-kwa_nini_ulaya_imekuwa_tena_chombo_cha_mashinikizo_cha_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc110beb0267b2qht2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141356-kwa_nini_ulaya_imekuwa_tena_chombo_cha_mashinikizo_cha_marekani </guid>  
      <description>Marekani na kundi la nchi tatu za Ulaya (Troika) zimeungana tena katika mkutano wa Baraza la Magavana la Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) katika kushinikiza kupitishwa kwa azimio dhidi ya Iran na kuandaa mazingira ya kupelekwa suala hilo katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:19:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan: Iran ina haki kisheria ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141354-pakistan_iran_ina_haki_kisheria_ya_kutumia_nishati_ya_nyuklia_kwa_malengo_ya_amani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a93252f45f2qhsy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141354-pakistan_iran_ina_haki_kisheria_ya_kutumia_nishati_ya_nyuklia_kwa_malengo_ya_amani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwa mwanachama wa Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), ina haki ya kuendeleza mipango yake ya nyuklia kwa malengo ya amani.

</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:08:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF: Zaidi ya wanafunzi milioni 171 masomo yao yalivurugika kutokana na majanga ya hali ya hewa 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141352-unicef_zaidi_ya_wanafunzi_milioni_171_masomo_yao_yalivurugika_kutokana_na_majanga_ya_hali_ya_hewa_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc191133f12002qhsw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141352-unicef_zaidi_ya_wanafunzi_milioni_171_masomo_yao_yalivurugika_kutokana_na_majanga_ya_hali_ya_hewa_2025 </guid>  
      <description>Zaidi ya wanafunzi milioni 171 duniani kote, sawa na mwanafunzi mmoja kati ya 10, kuanzia ngazi ya elimu ya awali hadi sekondari ya juu masomo yao yalivurugika kutokana na majanga ya hali ya hewa mwaka 2025.

</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:05:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchaguzi wa Bunge la utawala wa Israel: Wapinzani wa Netanyahu wanaongoza katika kura za maoni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141350-uchaguzi_wa_bunge_la_utawala_wa_israel_wapinzani_wa_netanyahu_wanaongoza_katika_kura_za_maoni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc137525389252qhsu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141350-uchaguzi_wa_bunge_la_utawala_wa_israel_wapinzani_wa_netanyahu_wanaongoza_katika_kura_za_maoni </guid>  
      <description>Kura mpya ya maoni katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel kuhusiana na uchaguzi wa bunge inaonyesha kuwa, wapinzani wa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu bado wanaongoza.

</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:04:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Alkhamisi, Septemba 10, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141348-alkhamisi_septemba_10_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1bebf39794b2qhow.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141348-alkhamisi_septemba_10_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Alkhamisi, mwezi 28 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1448 Hijria, sawa na tarehe 10 Septemba, 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 06:05:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, vita vimezidisha vipi hali ya kutengwa kielimu utawala wa Kizayuni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141346-je_vita_vimezidisha_vipi_hali_ya_kutengwa_kielimu_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1da5d66692f2qhoo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141346-je_vita_vimezidisha_vipi_hali_ya_kutengwa_kielimu_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Tovuti ya Kizayuni ya Calcalist imeripoti kuwa sehemu ya Israel katika ufadhili wa utafiti wenye itibari wa Ulaya imepungua kwa kiasi kikubwa, huku kukiwa na ongezeko la visa vya watafiti wa kigeni wanaokataa kushirikiana na taasisi za Israel.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 05:52:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya Marekani dhidi ya Iran: Matokeo ya Wazi na ya Siri kwa Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141344-vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_matokeo_ya_wazi_na_ya_siri_kwa_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc13226fb67122qhhy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141344-vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_matokeo_ya_wazi_na_ya_siri_kwa_wamarekani </guid>  
      <description>Vita vya Marekani dhidi ya Iran haviwezi kupimwa kwa kuzingatia tu gharama za moja kwa moja za operesheni za kijeshi, ununuzi wa silaha au kuharibiwa vifaa vya kijeshi bali pia vinapaswa kupimwa kutokana na matokeo mengi ya wazi na ya siri kwa wananchi wa Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 05:44:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna vita na vikwazo vinavyounganisha uchumi wa Iran na Russia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/event-i141342-namna_vita_na_vikwazo_vinavyounganisha_uchumi_wa_iran_na_russia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc13f5786ec8e2qhog.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/event-i141342-namna_vita_na_vikwazo_vinavyounganisha_uchumi_wa_iran_na_russia </guid>  
      <description>Hamjambo wapendwa wasikilizaji na karibuni kuwa nasi tena katika kipindi cha Makala ya Wiki. Kipindi chetu kinaangazia vikwazo vya Marekani na washirika wake dhidi ya Iran na jinsi viilivyochangia kuunganisha uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu na Russia.  ******</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 05:42:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa Jeshi la SEPAH: Marekani haina uwezo tena wa kuendelea kuwepo Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141340-msemaji_wa_jeshi_la_sepah_marekani_haina_uwezo_tena_wa_kuendelea_kuwepo_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc18218ed72832qho0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141340-msemaji_wa_jeshi_la_sepah_marekani_haina_uwezo_tena_wa_kuendelea_kuwepo_asia_magharibi </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema kuwa Marekani haina uwezo tena wa kuendelea kuwepo katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 03:23:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Watu 8,000 wamekatwa viungo tangu kuanza kwa vita dhidi ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141338-ripoti_watu_8_000_wamekatwa_viungo_tangu_kuanza_kwa_vita_dhidi_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14a48d2253d2qhny.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141338-ripoti_watu_8_000_wamekatwa_viungo_tangu_kuanza_kwa_vita_dhidi_ya_gaza </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Quds (Qudsna), vyanzo vya Palestina vimeripoti kwamba tangu kuanza vita dhidi ya Gaza, visa 8,000 vya kukatwa viungo vya mwili vimeripotiwa. Aidha, katika hali ya sasa, watu 10,000 wenye ulemavu wa viungo wanahitaji huduma za urekebishaji na tiba ya viungo kwa dharura.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 03:20:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti wa Tanzania awataka Waislamu wafunge siku 3 kuomba El Nino iwe ya rehma, isiwe ya adhabu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141336-mufti_wa_tanzania_awataka_waislamu_wafunge_siku_3_kuomba_el_nino_iwe_ya_rehma_isiwe_ya_adhabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a631b7f4342qhnw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141336-mufti_wa_tanzania_awataka_waislamu_wafunge_siku_3_kuomba_el_nino_iwe_ya_rehma_isiwe_ya_adhabu </guid>  
      <description>Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally, ametoa wito kwa Mashekhe na Waislamu kwa ujumla kufunga kwa siku tatu kuanzia  leo Alkhamisi Septemba 10, 2026, huku akiwataka wamuombe Mwenyezi Mungu aliepushe taifa na madhara yanayoweza kusababishwa na mvua kubwa zinazotabiriwa.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 03:17:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Vituo vya Ebola Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo vimezidiwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141334-who_vituo_vya_ebola_jamhuri_ya_kidemokrasia_ya_congo_vimezidiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc19c0563abc32qhno.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141334-who_vituo_vya_ebola_jamhuri_ya_kidemokrasia_ya_congo_vimezidiwa </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, vituo vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo vimeelemewa kutokana na kuongezeka idadi ya maambukizi ya ugonjwa huuo. </description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 02:49:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa zamani wa Shin Bet: Kwa sasa tunaelekea kushuhudia mwisho wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141332-mkuu_wa_zamani_wa_shin_bet_kwa_sasa_tunaelekea_kushuhudia_mwisho_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1dbf81318ac2qhnm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141332-mkuu_wa_zamani_wa_shin_bet_kwa_sasa_tunaelekea_kushuhudia_mwisho_wa_israel </guid>  
      <description>Mkuu wa zamani wa Shirika la Usalama wa Ndani la Israel Shin Bet amesema kuwa, vita vinavyoanzishwa na Tel Aviv havina lengo la kisiasa, na kwamba Israel inaelekea katika mwisho wa mradi wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 02:47:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen yaitaka Saudia ijiondoe kwenye gwanda na mwavuli wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141330-ansarullah_ya_yemen_yaitaka_saudia_ijiondoe_kwenye_gwanda_na_mwavuli_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc11eee5b0d9f2qhig.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141330-ansarullah_ya_yemen_yaitaka_saudia_ijiondoe_kwenye_gwanda_na_mwavuli_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeituhumu Saudi Arabia kuwa inatekeleza mipango ya Kizayuni katika eneo na kuwataka watawala wa Riyadh wajiondoe kwenye gwanda na mwavuli wa himaya ya Marekani na utawala wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 11:43:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Hatua kali za kulipiza kisasi za Iran zachagiza mipango ya Marekani ya kujiondoa Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141328-ripoti_hatua_kali_za_kulipiza_kisasi_za_iran_zachagiza_mipango_ya_marekani_ya_kujiondoa_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc13226fb67122qhhy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141328-ripoti_hatua_kali_za_kulipiza_kisasi_za_iran_zachagiza_mipango_ya_marekani_ya_kujiondoa_asia_magharibi </guid>  
      <description>Maafisa wa jeshi na ujasusi wa Marekani wanajadili kimya kimya kupunguza pakubwa uwepo kijeshi wa Washington katika eneo la Asia Magharibi baada ya mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran kusababisha vifo vingi na kuharibu kambi na vituo vya ujasusi vya Marekani. Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya jana Jumanne ya CNN.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 11:10:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hifadhi ya makombora ya Marekani yaathiriwa pakubwa na vita vya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141324-hifadhi_ya_makombora_ya_marekani_yaathiriwa_pakubwa_na_vita_vya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16dfa1349ec2qhhw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141324-hifadhi_ya_makombora_ya_marekani_yaathiriwa_pakubwa_na_vita_vya_iran </guid>  
      <description>Vita na Iran vimepunguza pakubwa akiba ya makombora ya Marekani na kuibua vizuizi katika uzalishaji katika sekta ya ulinzi huku Washington ikilazimika Washington kupima uwezo wake wa kuhuisha upya akiba  ya makombora ili kuwa tayari kukabiliana na migogoro mingine.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 11:07:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgomo wa wauguzi Kenya waendelea kusababisha maafa, makumi ya wagonjwa wafariki mahospitalini </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141322-mgomo_wa_wauguzi_kenya_waendelea_kusababisha_maafa_makumi_ya_wagonjwa_wafariki_mahospitalini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1b79119e72f2qhh2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141322-mgomo_wa_wauguzi_kenya_waendelea_kusababisha_maafa_makumi_ya_wagonjwa_wafariki_mahospitalini </guid>  
      <description>Wagonjwa wanawake wapatao 22 wameaga dunia kutokana na matatizo yanayohusiana na uzazi katika kipindi cha wiki moja katika hospitali za Kenya huku mgomo wa wauguzi ukiwa unaendelea. </description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 10:21:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yaiamuru Uingereza ifunge ubalozi wake mdogo ulioko Baitul Muqaddas Mashariki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141320-israel_yaiamuru_uingereza_ifunge_ubalozi_wake_mdogo_ulioko_baitul_muqaddas_mashariki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1639f9636752qhh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141320-israel_yaiamuru_uingereza_ifunge_ubalozi_wake_mdogo_ulioko_baitul_muqaddas_mashariki </guid>  
      <description>Utawala wa kizayuni wa Israel umeutaarifu ubalozi mdogo wa Uingereza ulioko katika eneo la Baitul Muqaddas Mashariki (East Jerusalem) linalokaliwa kwa mabavu, kwamba lazima uwe umeshaufunga ubalozi huo ndani ya muda wa siku 30. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa leo na kituo cha habari cha umma cha Israel KAN.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 10:19:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Kutengwa Kiuchumi": Je, ni Onyesho la Nguvu au Dhihirisho la Mapungufu ya Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141318-kutengwa_kiuchumi_je_ni_onyesho_la_nguvu_au_dhihirisho_la_mapungufu_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ee17ea37072qhfc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141318-kutengwa_kiuchumi_je_ni_onyesho_la_nguvu_au_dhihirisho_la_mapungufu_ya_marekani </guid>  
      <description>Huku watawala wa Marekani wakiitishia Iran kuwa wataiwekea vikwazo vya kiuchumi kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, CNN imeripoti kuwa utekelezaji wa tahadhari na wa hatua kwa hatua wa kampeni ya "kutengwa kiuchumi" hautakuwa na athari yoyote kwa Iran, taifa ambalo limestahimili aina mbalimbali za vikwazo kwa miaka hamsini.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 08:26:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapiga kambi na manuwari za Marekani kulipiza kisasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141316-iran_yapiga_kambi_na_manuwari_za_marekani_kulipiza_kisasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a4818222172qhaq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141316-iran_yapiga_kambi_na_manuwari_za_marekani_kulipiza_kisasi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limesema kuwa Kikosi chake cha Anga kimepiga kwa makombora Kituo cha Anga cha al-Azraq cha Marekani huko Jordan na kusisitiza kuwa operesheni hiyo ni ya kulipiza kisasi uchokozi wa Marekani dhidi ya meli za mafuta za Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 03:16:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kaimu Waziri wa Ulinzi: Iran inao uwezo kamili wa kuzishambulia manuwari za US zilizoweka mzingiro wa kiuchumi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141314-kaimu_waziri_wa_ulinzi_iran_inao_uwezo_kamili_wa_kuzishambulia_manuwari_za_us_zilizoweka_mzingiro_wa_kiuchumi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a972f5cd1d2qhao.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141314-kaimu_waziri_wa_ulinzi_iran_inao_uwezo_kamili_wa_kuzishambulia_manuwari_za_us_zilizoweka_mzingiro_wa_kiuchumi </guid>  
      <description>Iran imeitoa maanani kikamilifu kauli iliyotolewa na Marekani ya kudogosha uwezo wake wa kijeshi na kusisitiza kwamba vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vina teknolojia na utayari wa kuzilenga meli za kivita za Marekani zinazoshiriki katika mzingiro haramu wa majini uliowekwa dhidi ya taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 03:15:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya kushtadi jinai za walowezi wa kizayuni, nchi 12 zatangaza marufuku ya biashara na vitongoji haramu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141312-baada_ya_kushtadi_jinai_za_walowezi_wa_kizayuni_nchi_12_zatangaza_marufuku_ya_biashara_na_vitongoji_haramu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc100b86a735f2qham.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141312-baada_ya_kushtadi_jinai_za_walowezi_wa_kizayuni_nchi_12_zatangaza_marufuku_ya_biashara_na_vitongoji_haramu </guid>  
      <description>Nchi 12 zimetoa taarifa ya pamoja zikitangaza marufuku ya kitaifa ya biashara kwa bidhaa zinazotoka kwenye vitongoji haramu vilivyojengwa na utawala wa kizayuni wa Israel katika maeneo ya Palestina ya Ukingo wa Magharibi unayoyakalia kwa mabavu.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 03:13:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Moto uliozuka kwenye msitu wa Mlima Kenya umeteketeza ekari 30,000 za maeneo ya nyanda za juu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141310-moto_uliozuka_kwenye_msitu_wa_mlima_kenya_umeteketeza_ekari_30_000_za_maeneo_ya_nyanda_za_juu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c5df8d44892qhak.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141310-moto_uliozuka_kwenye_msitu_wa_mlima_kenya_umeteketeza_ekari_30_000_za_maeneo_ya_nyanda_za_juu </guid>  
      <description>Ekari zipatazo 30,000 za maeneo ya nyanda za juu katika Msitu wa Mlima Kenya zimeteketea kutokana na moto mkali uliozuka mwanzoni mwa mwezi huu.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 03:09:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>MSF: Wahamiaji zaidi ya elfu moja wanaotokea Gambia wameokolewa katika pwani ya Afrika Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141308-msf_wahamiaji_zaidi_ya_elfu_moja_wanaotokea_gambia_wameokolewa_katika_pwani_ya_afrika_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc152280c16dc2qhai.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141308-msf_wahamiaji_zaidi_ya_elfu_moja_wanaotokea_gambia_wameokolewa_katika_pwani_ya_afrika_magharibi </guid>  
      <description>Shirika la Misaada la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetangaza kuwa, wahamiaji zaidi ya 1,000 wameokolewa katika kipindi cha wiki moja kwenye pwani ya Afrika Magharibi wakati wakijaribu kuvuka bahari hatari kuelekea Ulaya.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 03:07:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, Septemba 9, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141306-jumatano_septemba_9_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b3ff91b4112qdno.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i141306-jumatano_septemba_9_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatano 27 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1448 Hijria sawa na 09 Septemba 2026 Milaadia.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 03:04:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Mohsen Rezaei: Marekani impokea ‘onyo la wazi’ kutoka kwa makombora mapya ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141304-jenerali_mohsen_rezaei_marekani_impokea_onyo_la_wazi’_kutoka_kwa_makombora_mapya_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc156962488a22qh2o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141304-jenerali_mohsen_rezaei_marekani_impokea_onyo_la_wazi’_kutoka_kwa_makombora_mapya_ya_iran </guid>  
      <description>Afisa mkuu wa usalama wa Iran amesema kuwa Marekani imepokea “onyo la wazi” kutokana na uwezo mpya wa makombora wa Jamhuri ya Kiislamu, baada ya Tehran kufanya majaribio ya kombora jipya la kupambana na meli za kivita karibu na meli ya kivita ya Marekani katika maji ya kikanda.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 11:25:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msaada wa kigeni kwa RSF ndio sababu kuu ya kuendelea kwa vita nchini Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141302-msaada_wa_kigeni_kwa_rsf_ndio_sababu_kuu_ya_kuendelea_kwa_vita_nchini_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe63bb03c7e2phk4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141302-msaada_wa_kigeni_kwa_rsf_ndio_sababu_kuu_ya_kuendelea_kwa_vita_nchini_sudan </guid>  
      <description>Msaada wa nje kwa kundi la waasi la Rapid Support Forces (RSF) ndiyo sababu kuu ya kuendelea kwa vita vya muda mrefu na jinai nchini Sudan. Hayo yamedokezwa na mwanasheria mkuu wa nchi hiyo siku ya Jumatatu, akitoa wito wa kuchukuliwa kwa hatua madhubuti za kukomesha hali hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 11:21:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Nchi za Kiislamu ziwajibike kupinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141298-araghchi_nchi_za_kiislamu_ziwajibike_kupinga_kukiukwa_mamlaka_ya_kujitawala_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ba0d5e36b22qh56.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141298-araghchi_nchi_za_kiislamu_ziwajibike_kupinga_kukiukwa_mamlaka_ya_kujitawala_iran </guid>  
      <description>Katika mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu Mpya wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amessitiza umuhimu wa nchi za Kiislamu kuwajibika ipasavyo kupinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya Iran na wakati huo huo kukabiliana na matumizi ya nguvu na hujuma za uvamizi.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 11:12:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaanzisha mashambulizi makubwa ya makombora na droni dhidi ya vituo vya mafuta vya Aramco, Saudia Arabia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141296-yemen_yaanzisha_mashambulizi_makubwa_ya_makombora_na_droni_dhidi_ya_vituo_vya_mafuta_vya_aramco_saudia_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14c244d54092qh54.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141296-yemen_yaanzisha_mashambulizi_makubwa_ya_makombora_na_droni_dhidi_ya_vituo_vya_mafuta_vya_aramco_saudia_arabia </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limeanzisha operesheni kubwa ya kijeshi inayolenga vituo vya mafuta vya Saudi Aramco na kambi za kijeshi za anga kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi cha moja kwa moja dhidi ya kampeni ya kikatili ya mashambulizi ya anga ya siku tatu iliyofanywa na Riyadh, ambayo ilijumuisha mauaji ya kutisha katika gereza moja nchini Yemen.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 11:09:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kongo yaimarisha udhibiti wa serikali kwa data za uchimbaji madini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141294-kongo_yaimarisha_udhibiti_wa_serikali_kwa_data_za_uchimbaji_madini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14b988f5fb82qh4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i141294-kongo_yaimarisha_udhibiti_wa_serikali_kwa_data_za_uchimbaji_madini </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa inaratibu mpango wa kuimarisha udhibiti wa serikali kwa data ya kijiolojia ili kuboresha mapato ya mabilioni ya dola katika sekta ya uchimbaji madini kwa lengo la kusimamia pakubwa maendeleo ya utajiri mkubwa wa madini wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 11:04:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mafuta kwa Dola 40: Mgongano kati ya Ndoto ya Washington na Uhalisia wa Soko la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141292-mafuta_kwa_dola_40_mgongano_kati_ya_ndoto_ya_washington_na_uhalisia_wa_soko_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1713ed753b02qh12.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141292-mafuta_kwa_dola_40_mgongano_kati_ya_ndoto_ya_washington_na_uhalisia_wa_soko_la_dunia </guid>  
      <description>Mohammad Bagher Ghalibaf, Spika wa Bunge la Iran, amemjibu kwa kejeli, katika mtandao wa X, Scott Bessent, Waziri wa Fedha wa Marekani anayeota kuwa bei ya mafuta itapungua hivi karibuni na kufikia dola 40.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 09:26:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>