<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - home</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Tue, 30 Jun 2026 01:05:13 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Kinyume na propaganda za adui, sekta ya ulinzi ya Iran inaendelea kupata mafanikio: Naibu Mkuu wa Jeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139516-kinyume_na_propaganda_za_adui_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_inaendelea_kupata_mafanikio_naibu_mkuu_wa_jeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby13aeb852002pqhe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139516-kinyume_na_propaganda_za_adui_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_inaendelea_kupata_mafanikio_naibu_mkuu_wa_jeshi </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Iran amesema Jamhuri ya Kislamu imepata mafanikio endelevu katika teknolojia ya ulinzi wa ndege zisizo na rubani na anga licha ya madai ya uhasama ya vyombo vya habari.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:32:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran na Oman zazindua kamati ya pamoja ya Hormuz kujadili usimamizi wa baadaye wa lango hilo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139514-iran_na_oman_zazindua_kamati_ya_pamoja_ya_hormuz_kujadili_usimamizi_wa_baadaye_wa_lango_hilo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby44aaf7f6d22pqhc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139514-iran_na_oman_zazindua_kamati_ya_pamoja_ya_hormuz_kujadili_usimamizi_wa_baadaye_wa_lango_hilo </guid>  
      <description>Iran na Oman zimefanya mkutano wa kwanza wa kamati mpya ya pamoja ya Hormuz, unaojadili usimamizi wa baadaye wa Lango-Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:29:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakenya wapinga sheria za ukaguzi wa magari, wataka zikomeshwe </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139512-wakenya_wapinga_sheria_za_ukaguzi_wa_magari_wataka_zikomeshwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8d94017aaf2pqh2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139512-wakenya_wapinga_sheria_za_ukaguzi_wa_magari_wataka_zikomeshwe </guid>  
      <description>Mpango wa serikali ya Kenya wa kulazimisha magari ya kibinafsi kufanyiwa ukaguzi kila mwaka umezua hisia kali miongoni mwa umma, huku waendeshaji magari na viongozi wa upinzani wakitaka ukomeshwe na kuishutumu serikali kwa kuwatwika mzigo mwingine Wakenya wanaopambana na hali ngumu ya maisha.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:18:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Lebanon apinga makubaliano na Israel akisema 'ni ya kutwishwa' </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139510-spika_wa_bunge_la_lebanon_apinga_makubaliano_na_israel_akisema_'ni_ya_kutwishwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby742f0a52002pqh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139510-spika_wa_bunge_la_lebanon_apinga_makubaliano_na_israel_akisema_'ni_ya_kutwishwa' </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Lebanon, Nabih Berri, amekosoa vikali makubaliano yaliyosainiwa Washington kati ya Lebanon na utawala wa Israel, akiyataja kuwa ni seti ya maagizo ya kutwishwa badala ya kuwa makubaliano yanayolinda haki za nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:15:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti ya HRW: Pande zinazopigana Mali zinahusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139508-ripoti_ya_hrw_pande_zinazopigana_mali_zinahusika_na_ukiukwaji_mkubwa_wa_haki_za_binadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby25536da2d42pqgw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139508-ripoti_ya_hrw_pande_zinazopigana_mali_zinahusika_na_ukiukwaji_mkubwa_wa_haki_za_binadamu </guid>  
      <description>Pande zinazopigana nchini Mali zinahusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti mpya iliyotolewa na shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW).</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:12:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Hizbullah inapinga makubaliano ya serikali ya Lebanon na Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139506-kwa_nini_hizbullah_inapinga_makubaliano_ya_serikali_ya_lebanon_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3ebcb42c8f2pqf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139506-kwa_nini_hizbullah_inapinga_makubaliano_ya_serikali_ya_lebanon_na_israel </guid>  
      <description>Sheikh Naim Qassim, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, na baadhi ya wabunge wa Hizbullah wamekosoa na kupinga vikali mazungumzo yanayodaiwa kufikiwa kati ya serikali ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 09:08:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sardasht; Jeraha Lisilosahaulika Duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139504-sardasht_jeraha_lisilosahaulika_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya9e1059c0c2pqeu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139504-sardasht_jeraha_lisilosahaulika_duniani </guid>  
      <description>Julai 28, 1987, imewekwa alama katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama kumbukumbu ya moja ya jinai za kivita za kutisha dhidi ya ubinadamu. Siku hii, inakumbushia shambulio la kikatili la mabomu ya kemikali katika mji wa Sardasht lililofanywa na utawala wa Baath wa Iraq; jinai ambayo ilitekelezwa kwa uungaji mkono na kimya cha aibu cha madola ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 07:55:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatatu tarehe 29 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139502-jumatatu_tarehe_29_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye96f042e4c2pj6k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139502-jumatatu_tarehe_29_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu tarehe 14 Muharram 1448 Hijria sawa na Juni 29 mwaka 2026.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:47:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Jukumu la kupanga na kusimamia shughuli Mlango-Bahari wa Hormuz ni la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139500-araghchi_jukumu_la_kupanga_na_kusimamia_shughuli_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbycfcee2fece2pqae.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139500-araghchi_jukumu_la_kupanga_na_kusimamia_shughuli_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_la_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa jukumu la kupanga na kusimamia shughuli katika Mlango-Bahari wa Hormuz ni la Iran pekee, akisisitiza kwamba hakuna taasisi wala nchi nyingine yenye mamlaka au wajibu katika suala hilo.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:44:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taasisi ya Hind Rajab yawasilisha mashtaka Wizara ya Sheria ya Marekani dhidi ya Ben-Gvir</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139498-taasisi_ya_hind_rajab_yawasilisha_mashtaka_wizara_ya_sheria_ya_marekani_dhidi_ya_ben_gvir</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7a1b5d77d52pqac.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139498-taasisi_ya_hind_rajab_yawasilisha_mashtaka_wizara_ya_sheria_ya_marekani_dhidi_ya_ben_gvir </guid>  
      <description>Taasisi ya Hind Rajab (HRF) imewasilisha malalamiko kwa Wizara ya Sheria ya Marekani (DoJ), ikitaka kukamatwa na kushtakiwa anayeitwa waziri wa usalama wa taifa wa utawala wa Israel, Itamar Ben-Gvir kwa tuhuma za kutenda jinai.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:42:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Gaza inatafuta maiti 8,500 za mauaji ya kimbari ya Israel chini ya vifusi kwa kutumia chombo kimoja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139496-ripoti_gaza_inatafuta_maiti_8_500_za_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_chini_ya_vifusi_kwa_kutumia_chombo_kimoja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3a9ac2bdd62pqa8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139496-ripoti_gaza_inatafuta_maiti_8_500_za_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_chini_ya_vifusi_kwa_kutumia_chombo_kimoja </guid>  
      <description>Ripoti kutoka Ukanda wa Gaza zinasema kuwa chombo kimoja cha kuchimba vifusi (excavator) tu kinatumiwa kutafuta karibu miili ya watu 8,500 na mabaki yaliyo chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na jeshi la Israel wakati wa vita vya mauaji ya kimbari katika eneo hilo.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:38:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanaharakati waliotoweka Kenya katika maandamano ya Gen Z wapatikana wakiwa wameteswa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139494-wanaharakati_waliotoweka_kenya_katika_maandamano_ya_gen_z_wapatikana_wakiwa_wameteswa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2d40157f8f2pq6s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139494-wanaharakati_waliotoweka_kenya_katika_maandamano_ya_gen_z_wapatikana_wakiwa_wameteswa </guid>  
      <description>Wanaharakati watano waliotoweka baada ya kukamatwa katika maandamano ya kumbukumbu ya Gen Z ya Juni 25, wamepatikana wakiwa na majeraha na sasa wanapewa matibabu katika Hospitali ya Nairobi Women’s. </description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 14:10:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika ujumbe wa Wiki ya Mahakama, Kiongozi aamuru kufuatiliwa kisheria uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139492-katika_ujumbe_wa_wiki_ya_mahakama_kiongozi_aamuru_kufuatiliwa_kisheria_uhalifu_wa_kivita_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd55e4216122pq5o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139492-katika_ujumbe_wa_wiki_ya_mahakama_kiongozi_aamuru_kufuatiliwa_kisheria_uhalifu_wa_kivita_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei ametoa wito kwa Mahakama ya Iran kufuatilia na kurejesha haki za taifa ambazo zimekiukwa kutokana na vita vya uchokozi vya Marekani na Israel tangu mwaka jana.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 13:06:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139490-baqaei_msaada_wa_kiufundi_na_uungaji_mkono_kwa_mvamizi_ni_sawa_na_kushiriki_katika_uvamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyaed4c6561c2ppnu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139490-baqaei_msaada_wa_kiufundi_na_uungaji_mkono_kwa_mvamizi_ni_sawa_na_kushiriki_katika_uvamizi </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, utoaji wa huduma za "kiufundi na msaada" kwa pande zinazoshambulia nchi nyingine  ni kushiriki moja kwa moja na waziwazi katika kupigana vita haramu vya hiari na ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.

</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 09:59:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gharibabadi: Sardasht, mhanga wa mabomu ya kemikali na undumakuwili wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139488-gharibabadi_sardasht_mhanga_wa_mabomu_ya_kemikali_na_undumakuwili_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby917ff2f61d2pq3o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139488-gharibabadi_sardasht_mhanga_wa_mabomu_ya_kemikali_na_undumakuwili_wa_magharibi </guid>  
      <description>Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisheria na Kimataifa amesisitiza kuwa, Tehran itafuatilia kwa uzito jukumu la wahusika wa uhalifu wa mashambulio ya mabomu ya kemikali yaliyofanywa na utawala wa zamani wa Iraq.

</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 09:56:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano ya kupinga ukiukaji wa usitishaji vita Gaza yafanyika nchini Sweden</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139486-maandamano_ya_kupinga_ukiukaji_wa_usitishaji_vita_gaza_yafanyika_nchini_sweden</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbycbc106bb332pq3i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139486-maandamano_ya_kupinga_ukiukaji_wa_usitishaji_vita_gaza_yafanyika_nchini_sweden </guid>  
      <description>Maandamano makubwa ya kupinga ukiukaji wa usitishaji vita Gaza yamefanyika nchini Sweden yakilaani pia jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 09:51:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Majeshi ya Uganda aamuru kufungwa NTV Uganda na vyombo vingine vya habari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139482-mkuu_wa_majeshi_ya_uganda_aamuru_kufungwa_ntv_uganda_na_vyombo_vingine_vya_habari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfe14ba4bbd2pq2w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139482-mkuu_wa_majeshi_ya_uganda_aamuru_kufungwa_ntv_uganda_na_vyombo_vingine_vya_habari </guid>  
      <description>Mkuu wa Majeshi ya Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametoa amri ya kufungwa televisheni ya NTV na vyombo vingine vya habari.

</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 09:14:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139480-jeshi_la_iran_lalenga_vituo_vya_jeshi_la_marekani_kujibu_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby007466563b2ppz4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139480-jeshi_la_iran_lalenga_vituo_vya_jeshi_la_marekani_kujibu_uchokozi </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeendesha oparesheni kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya vituo nane vya kijeshi vya Marekani katika kanda hii, likiitaja hatua hiyo kuwa “jibu madhubuti” dhidi ya uchokozi mpya wa Marekani kwenye ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:35:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>DRC yaishtaki Rwanda ICJ kwa tuhuma za unyanyasaji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139478-drc_yaishtaki_rwanda_icj_kwa_tuhuma_za_unyanyasaji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby41afa13b512ppzc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139478-drc_yaishtaki_rwanda_icj_kwa_tuhuma_za_unyanyasaji </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imewasilisha kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ, ikiituhumu nchi hiyo jirani kwa vitendo vya ukatili katika eneo lenye utajiri wa madini la mashariki mwa DRC.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:33:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Volker Turk aonya kuongezeka vifo vya wahamiaji katika utawala wa Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139476-volker_turk_aonya_kuongezeka_vifo_vya_wahamiaji_katika_utawala_wa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7ba9ca351e2ppyi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139476-volker_turk_aonya_kuongezeka_vifo_vya_wahamiaji_katika_utawala_wa_trump </guid>  
      <description>Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk imetoa taarifa na kuonyesha wasiwasi kuhusu ongezeko kubwa la vifo vya wahamiaji vinavyotokea katika vituo vya kuwazuilia wahamiaji nchini Marekani wakati wa muhula wa pili wa utawala wa Donald Trump, na ametaka kufanyika uchunguzi huru kuhusu suala hilo.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:31:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Rezaei: Kama adui ataanzisha vita vingine, atapata maafa na hasara kubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139474-meja_jenerali_rezaei_kama_adui_ataanzisha_vita_vingine_atapata_maafa_na_hasara_kubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby777584a8092pjnu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139474-meja_jenerali_rezaei_kama_adui_ataanzisha_vita_vingine_atapata_maafa_na_hasara_kubwa </guid>  
      <description>Kamanda wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, "Iwapo adui atafanya kosa na kuanzisha vita vipya, vita hivyo havitakuwa tena kama vita vya tatu vya kulazimishwa, bali vitasababisha hasara na maafa makubwa ya kibinadamu.
</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:30:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ireland: Wanamichezo waungana kupinga uhusiano wa kimichezo na utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139472-ireland_wanamichezo_waungana_kupinga_uhusiano_wa_kimichezo_na_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybe98093d5d2ppza.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139472-ireland_wanamichezo_waungana_kupinga_uhusiano_wa_kimichezo_na_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Mji mkuu wa Ireland, Dublin, umeshuhudia kufanyika kwa wakati mmoja shughuli mbalimbali za wananchi na matukio ya michezo yaliyolenga kuunga mkono Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano wa kimichezo na utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:29:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili 28 Juni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139470-jumapili_28_juni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby808115107b2po8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139470-jumapili_28_juni </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 13 Mfunguuo Nne Muharram 1448 Hijria mwafaka na 28 Juni 2026 Miladia.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:23:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139468-araqchi_azungumzia_makubaliano_ya_islamabad_na_mawaziri_wenzake_wa_mambo_ya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye329bed9502ppqc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139468-araqchi_azungumzia_makubaliano_ya_islamabad_na_mawaziri_wenzake_wa_mambo_ya_nje </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amefanya mfululizo wa mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa kutoka Pakistan, Misri, Falme za Kiarabu (UAE), Uingereza, na Romania, ambapo walijadili makubaliano ya Islamabad pamoja na maendeleo ya karibuni katika ukanda.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 11:11:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139466-iran_yakemea_hujuma_ya_marekani_kusini_mwa_nchi_yaitaja_kuwa_ukiukaji_wa_wazi_wa_mou_ya_islamabad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby05df9e71ea2ppsq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139466-iran_yakemea_hujuma_ya_marekani_kusini_mwa_nchi_yaitaja_kuwa_ukiukaji_wa_wazi_wa_mou_ya_islamabad </guid>  
      <description>Iran imekemea mashambulizi ya hivi karibuni ya anga ya Marekani dhidi ya maeneo kadhaa kando ya pwani za kusini mwa nchi, ikiyataja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa hati ya makubaliano ya maelewano (MoU) iliyopatanishwa na Pakistan.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 11:08:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139464-maandamano_kote_lebanon_kupinga_makubaliano_yanayoungwa_mkono_na_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf17fba9aa72ppsk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139464-maandamano_kote_lebanon_kupinga_makubaliano_yanayoungwa_mkono_na_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Maelfu ya wananchi wa Lebanon wamejitokeza mitaani katika miji na maeneo mbalimbali kupinga “makubaliano” yanayoungwa mkono na Marekani kati ya Lebanon na  utawala wa Israel, huku wakiyataja kuwa tishio kwa mamlaka ya taifa lao.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 11:06:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mlipuko wa Ebola waongeza  mateso kwa wananchi wa mashariki mwa DRC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139462-mlipuko_wa_ebola_waongeza_mateso_kwa_wananchi_wa_mashariki_mwa_drc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby18179c92a52ppse.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139462-mlipuko_wa_ebola_waongeza_mateso_kwa_wananchi_wa_mashariki_mwa_drc </guid>  
      <description>Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamejulishwa kuwa kuongezeka kwa mapigano, kuzorota kwa hali ya kibinadamu na mlipuko mpya wa Ebola kunazidi kuongeza mateso kwa wananchi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC)  licha ya juhudi za kikanda za kuleta amani kuendelea kupata mafanikio.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 11:04:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Burkina Faso yavunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, yaituhumu kwa kuingilia mambo yake ya ndani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139460-burkina_faso_yavunja_uhusiano_wa_kidiplomasia_na_ufaransa_yaituhumu_kwa_kuingilia_mambo_yake_ya_ndani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydaeafd92d72ppsa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139460-burkina_faso_yavunja_uhusiano_wa_kidiplomasia_na_ufaransa_yaituhumu_kwa_kuingilia_mambo_yake_ya_ndani </guid>  
      <description>Burkina Faso imevunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, na hivyo kuwa taifa jipya zaidi la Afrika Magharibi kujitenga na aliyekuwa mtawala wake wa kikoloni baada ya miaka ya kuzorota kwa mahusiano kati ya pande hizo mbili.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 10:53:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139458-kwa_nini_mwavuli_wa_usalama_wa_marekani_umeshindwa_kufikia_malengo_yaliyokusudiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0e6ab302142ppfw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139458-kwa_nini_mwavuli_wa_usalama_wa_marekani_umeshindwa_kufikia_malengo_yaliyokusudiwa </guid>  
      <description>Katika taarifa yake, Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeelezea misimamo iliyotangazwa katika taarifa ya pamoja ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi tarehe 25 Juni, kuwa ni ya uingiliaji, kutowajibika na ya kichochezi.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 10:29:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139456-madai_ya_uongo_kuhusu_kufikiwa_malengo_ya_marekani_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7df873dfc22ppii.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139456-madai_ya_uongo_kuhusu_kufikiwa_malengo_ya_marekani_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>J.D Vance, Makamu wa Rais Donald Trump wa Marekani, amedai kuwa malengo yote yaliyotangazwa na utawala wa nchi hiyo na hasa ya kijeshi na ya nyuklia katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran yamefikiwa. Vance amedai kuwa Marekani imefanikiwa kufikia yale yote iliyokuwa imepanga kuyafikia kwa kutumia uwezo wake wa kiuchumi, kidiplomasia na kijeshi.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 05:25:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi 27 Juni 2026 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139454-jumamosi_27_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyeecd730adf2ppku.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139454-jumamosi_27_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 12 Mfunguuo Nne Muharram 1448 Hijria mwafaka na 27 Juni 2026 Miladia.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 03:31:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139452-irgc_yashambulia_ngome_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_shambulio_dhidi_ya_maeneo_ya_pwani_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9a7fdf29a82ppkq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139452-irgc_yashambulia_ngome_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_shambulio_dhidi_ya_maeneo_ya_pwani_ya_iran </guid>  
      <description>Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeshambulia ngome za kijeshi za Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia kulipiza kisasi uchokozi wa awali dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 03:28:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139450-majeshi_ya_iran_yaonya_kuhusu_jibu_kwa_tishio_lolote_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby43acc6a3862ppkm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139450-majeshi_ya_iran_yaonya_kuhusu_jibu_kwa_tishio_lolote_la_israel </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran imeonya kwamba Jamhuri ya Kiislamu itajibu “hatua hatari” za Israel katika anga za baadhi ya nchi jirani.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 03:06:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139448-kiongozi_wa_hizbullah_israel_italazimika_kuondoka_lebanon_ikiwa_imedhalilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3dcdd0cf452ppis.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139448-kiongozi_wa_hizbullah_israel_italazimika_kuondoka_lebanon_ikiwa_imedhalilika </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, amesema kuwa Israel italazimika kuondoka bila masharti katika kila sehemu ya ardhi ya Lebanon, ikiwa “imeshindwa na kudhalilika.”</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 03:01:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139446-iran_yalaani_taarifa_ya_kichochezi_ya_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya5b12672262ppkk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139446-iran_yalaani_taarifa_ya_kichochezi_ya_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_na_marekani </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali taarifa ya pamoja ya Marekani na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P-GCC), ikiitaja kuwa ni “ya kuingilia mambo ya wengine, isiyo ya kuwajibika, na ya kichochezi,” huku ikizionya nchi za eneo hilo dhidi ya kuendelea kushirikiana kwa misimamo ya uadui na Washington.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 02:59:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu UN: Jitihada zaidi zinahitajika kutokomeza matumizi ya mihadarati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139444-katibu_mkuu_un_jitihada_zaidi_zinahitajika_kutokomeza_matumizi_ya_mihadarati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc3c25d01ce2ppkg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139444-katibu_mkuu_un_jitihada_zaidi_zinahitajika_kutokomeza_matumizi_ya_mihadarati </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuimarisha juhudi za kukabiliana na matumizi ya dawa za kulevya na biashara haramu ya dawa hizo, akionya kuwa tatizo hilo linaendelea kusababisha madhara makubwa kwa watu na jamii duniani kote.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 02:52:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139442-araqchi_hatutasahau_wala_hatutasamehe_mauaji_ya_sayyidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd5133204c92ppd2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139442-araqchi_hatutasahau_wala_hatutasamehe_mauaji_ya_sayyidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema katika ujumbe wake kwamba: "Kuuliwa shahidi Sayyid na kinara wa mashahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu hakutasahaulika wala hakutasamehewa."</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 11:27:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139440-ansarullah_yatishia_kushambnulia_vituo_vyovyote_vya_israel_katika_eneo_la_somaliland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfc700cd24c2ppg2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139440-ansarullah_yatishia_kushambnulia_vituo_vyovyote_vya_israel_katika_eneo_la_somaliland </guid>  
      <description>Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik al-Houthi, ameapa kwamba atashambulia uwepo wowote wa Israel katika eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland kwa njia zote zinazowezekana, akisisitiza kwamba Yemen "haitakaa kimya mbele ya uwepo wowote wa Israel huko Somaliland, na haitawasubiri waoga."</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 11:23:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka" </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139438-trump_amwambia_netanyahu_katika_malumbano_makali_ya_simu_wayahudi_wote_wamekuchoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0e6ab302142ppfw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139438-trump_amwambia_netanyahu_katika_malumbano_makali_ya_simu_wayahudi_wote_wamekuchoka </guid>  
      <description>Televisheni ya CNN ya Marekani imefichua malumbano makali ya simu baina ya Rais wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel ambapo Donald Trump amemkemea Benjamin Netanyahu, akimwambia: "Wayahudi wote wamekuchoka," huku Marekani ikizidisha mashinikizo kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusu Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 11:20:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afrika Kusini yaapa kukabiliana vikali na ukatili dhidi ya wahamiaji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139436-afrika_kusini_yaapa_kukabiliana_vikali_na_ukatili_dhidi_ya_wahamiaji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya52365a03a2ppfu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139436-afrika_kusini_yaapa_kukabiliana_vikali_na_ukatili_dhidi_ya_wahamiaji </guid>  
      <description>Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameapa kukabiliana na jaribio lolote la kuyumbisha taifa wakati wa maandamano yaliyopangwa kufanywa wiki ijayo dhidi ya wahamiaji, huku wimbi la chuki dhidi ya wageni lizidi kuongezeka nchini humo. </description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 11:15:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Timu za uokoaji zinakimbizana na wakati kutafuta manusura chini ya vifusi; huenda 10,000 wameuawa zilzala ya Venezuela</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139434-timu_za_uokoaji_zinakimbizana_na_wakati_kutafuta_manusura_chini_ya_vifusi_huenda_10_000_wameuawa_zilzala_ya_venezuela</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyad90d4e2ef2ppfg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139434-timu_za_uokoaji_zinakimbizana_na_wakati_kutafuta_manusura_chini_ya_vifusi_huenda_10_000_wameuawa_zilzala_ya_venezuela </guid>  
      <description>Baada ya mitetemeko miwili mikubwa ya ardhi kukumba miji kadhaa nchini Venezuela Jumatano jioni, Wavenezuela wamekuwa wakiishi katika hali ngumu, ikiwa ni pamoja na kuhama makazi na kutafuta jamaa zao waliokwama chini ya vifusi, huku makadirio yakisema kwamba idadi ya vifo vilivyosababishwa na mitetemeko hiyo inaweza kuzidi watu 10,000.</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 10:41:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139432-iran_waliohusika_na_mauaji_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_minab_wachukuliwe_hatua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye979357cbd2ppc6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139432-iran_waliohusika_na_mauaji_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_minab_wachukuliwe_hatua </guid>  
      <description>Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani "uhalifu mbaya" uliofanywa na Marekani katika shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh ya Minab nchini Iran wakati wa mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kislamu, na kutoa wito kwa wahusika wote, wapangaji na viongozi kuwajibishwa kikamilifu, akisisitiza kwamba: "Kumbukumbu ya watoto wa Minab inahitaji haki, uwajibikaji na utekelezaji, si kukaa kimya."

</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 04:26:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Joto kali lasababisha vifo vya zaidi ya watu 212 barani Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139430-joto_kali_lasababisha_vifo_vya_zaidi_ya_watu_212_barani_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb7d08841ea2ppc4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139430-joto_kali_lasababisha_vifo_vya_zaidi_ya_watu_212_barani_ulaya </guid>  
      <description>Nchi kadhaa za Ulaya zimerekodi vifo vya makumi ya watu kutokana na wimbi kubwa la joto, huku kwa uchache watu 212 wakifariki dunia nchini Uhispania, na wengine kadhaa, wakiwemo watoto 3, wakiaga dunia nchini Ufaransa wiki hii.

</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 04:20:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wafungwa 11 wa kisiasa Tunisia wataka kuanzishwa kambi moja ya upinzani ili kurejesha uhuru</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139428-wafungwa_11_wa_kisiasa_tunisia_wataka_kuanzishwa_kambi_moja_ya_upinzani_ili_kurejesha_uhuru</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6bcaab97162ppby.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139428-wafungwa_11_wa_kisiasa_tunisia_wataka_kuanzishwa_kambi_moja_ya_upinzani_ili_kurejesha_uhuru </guid>  
      <description>Wafungwa kumi na mmoja wa Tunisia wameyataka makundi ya upinzani nchini humo "kuungana ili kurejesha uhuru na demokrasia" nchini humo.

</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 04:04:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wamarekani: Waasisi wangekatishwa tamaa na hali ya sasa ya nchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139426-wamarekani_waasisi_wangekatishwa_tamaa_na_hali_ya_sasa_ya_nchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6fad4087102ppbw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139426-wamarekani_waasisi_wangekatishwa_tamaa_na_hali_ya_sasa_ya_nchi </guid>  
      <description>Wamarekani wengi wamekatishwa tamaa na serikali yao, wakisema kwamba Waasisi wangesikitishwa sana na hali ya sasa ya kijamii na kisiasa ya Marekani.

</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 03:51:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa tarehe 26 Juni 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139424-ijumaa_tarehe_26_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7543a7212b2pl6o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139424-ijumaa_tarehe_26_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa tarehe 11 Muharram 1448 Hijria sawa na Juni 26, 2026.

</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 03:41:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Polisi yatumia mabomu ya machozi kudhibiti maandamano Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139422-polisi_yatumia_mabomu_ya_machozi_kudhibiti_maandamano_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9f766f2ed62ppbo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139422-polisi_yatumia_mabomu_ya_machozi_kudhibiti_maandamano_kenya </guid>  
      <description>Polisi nchini Kenya jana walitumia mabomu ya kutoa machozi dhidi ya waandamanaji katika maeneo mbalimbali mjini Nairobi huku makundi yanayoongozwa na vijana yakifanya kumbukumbu ya miaka miwili tangu maandamano ya Gen Z.

</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 02:42:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139420-ashura_shule_ya_ufahamu_na_uaminifu_iliyovuka_mipaka_ya_historia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd0892f01142pp7u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139420-ashura_shule_ya_ufahamu_na_uaminifu_iliyovuka_mipaka_ya_historia </guid>  
      <description>Ashura; Shule ambayo iliunganika na damu tukufu na kupelekea watu waaminifu 72 kuuawa shahidi, na hivyo kuwa taa ya wongofu wa historia huku wakiwa wamechagua utukufu wa milele kwa ufahamu na mwamko kamili.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 12:57:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Imam Hussein (a.s.) ametufundisha kusimama dhidi ya dhulma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139418-rais_pezeshkian_imam_hussein_(a.s.)_ametufundisha_kusimama_dhidi_ya_dhulma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7ec44aff462pp64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139418-rais_pezeshkian_imam_hussein_(a.s.)_ametufundisha_kusimama_dhidi_ya_dhulma </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa, Imam Hussein (a.s.) ametufundisha kusimama dhidi ya dhulma, vishawishi vya madaraka, na tamaa ya maslahi binafsi.

</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 10:09:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: NATO inapaswa kuwajibishwa kwa kushiriki katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139416-baghaei_nato_inapaswa_kuwajibishwa_kwa_kushiriki_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8a752600f02pp1a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139416-baghaei_nato_inapaswa_kuwajibishwa_kwa_kushiriki_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwamba, Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) na nchi wanachama wake, zikiwemo Italia na Romania, ambazo Katibu Mkuu wa NATO amekiri waziwazi nafasi yao katika kutekeleza mashambulizi haramu na ya kihalifu dhidi ya Iran, zinapaswa kuwajibishwa kwa aina yoyote ya ushirikiano katika uhalifu uliofanywa na Marekani na Israel dhidi ya Iran.

</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 09:57:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matetemeko makubwa ya ardhi yaikumba Venezuela, makumi waaaga dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139414-matetemeko_makubwa_ya_ardhi_yaikumba_venezuela_makumi_waaaga_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd0d11f1ec32pp60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139414-matetemeko_makubwa_ya_ardhi_yaikumba_venezuela_makumi_waaaga_dunia </guid>  
      <description>Matetemeko mawili makubwa ya ardhi yameikumba Venezuela siku ya Jumatano, na kusababisha uharibifu mkubwa katika mji mkuu Caracas na maeneo ya jirani.

</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 09:53:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nembo na alama za Palestina zatawala katika mashindano ya Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139412-nembo_na_alama_za_palestina_zatawala_katika_mashindano_ya_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2e28f877ec2pp5w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139412-nembo_na_alama_za_palestina_zatawala_katika_mashindano_ya_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Mtandao wa Al Jazeera umeripoti uwepo mkubwa wa alama, nembo na bendera za Palestina katika mashindano ya Kombe la Dunia la Mpira wa Miguu 2026 yanayoendelea huko Marekani, Canada na Mexico.

</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 09:36:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baraza la Seneti Zimbabwe larefusha muhula wa urais</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139410-baraza_la_seneti_zimbabwe_larefusha_muhula_wa_urais</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye776fd815b2piwk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139410-baraza_la_seneti_zimbabwe_larefusha_muhula_wa_urais </guid>  
      <description>Baraza la Seneti nchini Zimbabwe limeidhinisha kwa wingi mkubwa wa kura marekebisho ya katiba yenye utata ambayo yatamfanya Rais Emmerson Mnangagwa kubakia madarakani hadi mwaka 2030.

</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 09:21:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Mpangilio mpya wa Kiislamu uundwe baada ya Marekani na Israel kudhalilishwa katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139408-qalibaf_mpangilio_mpya_wa_kiislamu_uundwe_baada_ya_marekani_na_israel_kudhalilishwa_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4c3b5d8ac12poxw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139408-qalibaf_mpangilio_mpya_wa_kiislamu_uundwe_baada_ya_marekani_na_israel_kudhalilishwa_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa mataifa ya Asia Magharibi na ulimwengu wa Kiislamu kuanzisha mpangilio mpya wa kikanda unaotegemea uwezo, rasilimali na watu wa mataifa hayo, akisisitiza kwamba “chanzo cha misiba yote ni utawala wa Kizayuni.”</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:28:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Israel haiwezi kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139406-hizbullah_israel_haiwezi_kamwe_kufikia_malengo_yake_katika_medani_ya_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb0030302302pp02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139406-hizbullah_israel_haiwezi_kamwe_kufikia_malengo_yake_katika_medani_ya_vita </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, ameashiria "kugonga mwamba wa mradi wa Israel," na kusisitiza kwamba, utawala huu hautaweza kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:26:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapendekeza kuanzishwa Umoja wa Redio na Televisheni wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139404-iran_yapendekeza_kuanzishwa_umoja_wa_redio_na_televisheni_wa_shirika_la_ushirikiano_la_shanghai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5af39db1aa2pp1c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139404-iran_yapendekeza_kuanzishwa_umoja_wa_redio_na_televisheni_wa_shirika_la_ushirikiano_la_shanghai </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Mkuu wa Kitengo cha Matangazo ya Ng'ambo ya  Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ametoa pendekezo la kuanzishwa Umoja wa Redio na Televisheni wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai kama utaratibu mpya wa kuimarisha diplomasia ya vyombo vya habari na muungano wa kitamaduni miongoni mwa nchi wanachama.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:25:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa: Watoto milioni 100 wameachishwa shule kutokana na migogoro</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139402-umoja_wa_mataifa_watoto_milioni_100_wameachishwa_shule_kutokana_na_migogoro</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyed30562eeb2pp18.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139402-umoja_wa_mataifa_watoto_milioni_100_wameachishwa_shule_kutokana_na_migogoro </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watoto milioni 100 wameachishwa shule kutokana na migogoro.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:22:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Hakuna hospitali yoyote Gaza inayofanya kazi kwa uwezo wake kamili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139400-who_hakuna_hospitali_yoyote_gaza_inayofanya_kazi_kwa_uwezo_wake_kamili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2d5060e3f22pp16.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139400-who_hakuna_hospitali_yoyote_gaza_inayofanya_kazi_kwa_uwezo_wake_kamili </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kwamba hakuna hospitali yoyote katika Ukanda wa Gaza inayofanya kazi kwa uwezo wake kamili kwa sasa, na kwamba, uhaba mkubwa wa vifaa vya matibabu na mafuta umeweka utoaji wa huduma za afya katika hatari kubwa.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:18:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Alkhamisi, tarehe 25 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139398-alkhamisi_tarehe_25_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybbfef54c702pjo2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139398-alkhamisi_tarehe_25_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni َAlkhamisi tarehe 10 Muharram 1448 Hijria sawa na Juni 25 mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:14:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139396-mamilioni_ya_wairani_washiriki_maombolezo_kuelekea_siku_ya_ashura</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9c36b55fc52pouu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139396-mamilioni_ya_wairani_washiriki_maombolezo_kuelekea_siku_ya_ashura </guid>  
      <description>Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo mchana wameshiriki katika maombolezo ya kumbukumbu ya Ta'asua  na jioni hii wanashiriki katika hafla za mkesha wa Ashura ambayo ni kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 11:14:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Mkataba wa Islamabad ni tangazo la kufeli kwa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139394-qalibaf_mkataba_wa_islamabad_ni_tangazo_la_kufeli_kwa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4991cfbbb32poty.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139394-qalibaf_mkataba_wa_islamabad_ni_tangazo_la_kufeli_kwa_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Mkataba wa Maelewano (MoU) wa kumaliza vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa matokeo ya shinikizo au kulazimishwa, bali ni zao la ustahimilivu na nguvu ya taifa shupavu la Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 11:04:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran haitazungumzia uwezo wake wa kjeshi, asema makombora yameiepusha Iran na hatima ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139392-pezeshkian_iran_haitazungumzia_uwezo_wake_wa_kjeshi_asema_makombora_yameiepusha_iran_na_hatima_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby786d3ce4152posy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139392-pezeshkian_iran_haitazungumzia_uwezo_wake_wa_kjeshi_asema_makombora_yameiepusha_iran_na_hatima_ya_gaza </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Tehran haitawahi kamwe kufanya mazungumzo yoyote kuhusu uwezo wake wa ulinzi na kuzuia uchokozi (deterrence), akibainisha kuwa ghala la makombora la nchi hii ndilo limeiweka Iran salama dhidi ya kukumbwa na hatima ya Gaza.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 11:00:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watafiti wa Iran wapiga hatua ya kwanza katika chanjo ya mRNA dhidi ya saratani ya matiti</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139390-watafiti_wa_iran_wapiga_hatua_ya_kwanza_katika_chanjo_ya_mrna_dhidi_ya_saratani_ya_matiti</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby325ccf64212pouo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139390-watafiti_wa_iran_wapiga_hatua_ya_kwanza_katika_chanjo_ya_mrna_dhidi_ya_saratani_ya_matiti </guid>  
      <description>Watafiti kutoka taasisi tano za kisayansi na kitiba nchini Iran wamefanikiwa kubuni chanjo ya aina yake ya mRNA kwa kutumia njia za hali ya juu za kompyuta. </description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 10:58:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kenya yaisitisha ujenzi wa kituo cha Ebola cha Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139388-kenya_yaisitisha_ujenzi_wa_kituo_cha_ebola_cha_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby16caed63862pouk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139388-kenya_yaisitisha_ujenzi_wa_kituo_cha_ebola_cha_marekani </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Kenya imesitisha ujenzi wa kituo cha karantini cha ugonjwa wa Ebola kinachozua utata, ambacho kinamilikiwa na Marekani, baada ya changamoto ya kisheria kuhoji uhalali wa mradi huo na hatari zake kwa jamii.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 10:56:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano tarehe 24 Juni mwaka 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139386-jumatano_tarehe_24_juni_mwaka_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby20b2e22b282pory.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139386-jumatano_tarehe_24_juni_mwaka_2026 </guid>  
      <description>Leo ni tarehe 9 Muharram 1448 Hijria sawa na Juni 24 mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 08:34:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne tarehe 23 Juni 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139384-jumanne_tarehe_23_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby51cd436b862poru.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139384-jumanne_tarehe_23_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumanne tarehe 8 Dhulhija 1448 Hijria sawa na Juni 23 mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 08:31:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tasu'a ya Imam Hussein (AS) yaunganisha mamilioni ya Wairani, waapa kuendeleza mapambano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139380-tasu'a_ya_imam_hussein_(as)_yaunganisha_mamilioni_ya_wairani_waapa_kuendeleza_mapambano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfcce45759b2ponk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139380-tasu'a_ya_imam_hussein_(as)_yaunganisha_mamilioni_ya_wairani_waapa_kuendeleza_mapambano </guid>  
      <description>Wairani katika mji mkuu Tehran, majiji, miji na vijiji vyote nchini usiku wa kuamkia leo walikusanyika misikitini na katika vituo vya kidini na barabarani katika marasimu ya kuadhimisha Tasu'a, siku ya tisa ya mwezi Muharram, kuelekea kwenye Siku ya Ashura ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS), mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW). </description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 04:28:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneti yapitisha azimio la kuondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vitani na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139378-seneti_yapitisha_azimio_la_kuondoa_wanajeshi_wa_marekani_kwenye_vitani_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc8403ce0ce2pona.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139378-seneti_yapitisha_azimio_la_kuondoa_wanajeshi_wa_marekani_kwenye_vitani_na_iran </guid>  
      <description>Seneti ya Marekani imepiga kura ya kuidhinisha azimio la kuwaondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vita na Iran, katika hatua ambayo imetajwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni kielelezo cha pigo la kisiasa kwa Rais Donald Trump.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 04:01:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda: Jeshi la Iran bado halijaonesha uwezo wake kamili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139376-kamanda_jeshi_la_iran_bado_halijaonesha_uwezo_wake_kamili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1fc22e2bd92poni.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139376-kamanda_jeshi_la_iran_bado_halijaonesha_uwezo_wake_kamili </guid>  
      <description>Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamebadili mwelekeo wa kimkakati kutoka kwenye ulinzi pekee na kuelekea kwenye mafundisho ya kijeshi ya mashambulizi (offensive military doctrine), huku operesheni za kutangulia kumzuia adui (preemptive operations) zikiwa sasa mezani.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 03:54:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf akutana na Sultani wa Oman kufuatia mazungumzo ya Uswisi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139374-spika_qalibaf_akutana_na_sultani_wa_oman_kufuatia_mazungumzo_ya_uswisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby232fa586cd2pong.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139374-spika_qalibaf_akutana_na_sultani_wa_oman_kufuatia_mazungumzo_ya_uswisi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran ambaye pia ni mkuu wa timu ya mazungumzo na Marekani, Mohammad Baqer Qalibaf, amekutana na Sultani Haitham bin Tariq wa Oman jijini Muscat, ambapo wamejadili uhusiano wa nchi mbili na matukio ya hivi karibuni kuhusu Mkataba wa Maelewano (MoU) kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 03:44:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sudan Kusini yatangaza tarehe ya uchaguzi mkuu wa kwanza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139372-sudan_kusini_yatangaza_tarehe_ya_uchaguzi_mkuu_wa_kwanza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0dd45e37902pone.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139372-sudan_kusini_yatangaza_tarehe_ya_uchaguzi_mkuu_wa_kwanza </guid>  
      <description>Sudan Kusini imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wake mkuu wa kwanza tarehe 22 Desemba mwaka huu, baada ya miaka mingi ya kuahirishwa mara kwa mara tangu nchi hiyo ilipojitangazia uhuru, zaidi ya muongo mmoja uliopita.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 03:40:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Marekani ina wajibu wa kuondoa vikwazo vyote haramu dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139370-iran_marekani_ina_wajibu_wa_kuondoa_vikwazo_vyote_haramu_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2e25be15952pok0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139370-iran_marekani_ina_wajibu_wa_kuondoa_vikwazo_vyote_haramu_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema kuwa Marekani ina wajibu wa kuondoa vikwazo vyote vya kiuchumi ilivyoiwekea Iran kinyume cha sheria, kulingana na mkataba wa maelewano uliotiwa saini kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 03:36:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Karbala yajiandaa kwa ajili ya mamilioni ya mazuwari wa Siku ya Ashura</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139368-karbala_yajiandaa_kwa_ajili_ya_mamilioni_ya_mazuwari_wa_siku_ya_ashura</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb444367eaa2pojk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139368-karbala_yajiandaa_kwa_ajili_ya_mamilioni_ya_mazuwari_wa_siku_ya_ashura </guid>  
      <description>Mamlaka za Iraq zinajitayarisha kwa ajili ya kupokea mamilioni ya mazuwari wa Waislamu wanaoendelea kumiminika katika mji mtakatifu wa Karbala kwa ajili ya siku za Tasu'a na Ashura na kukumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS). </description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 14:10:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Uhispania ni nchi ya Kikristo, si ya Kiislamu": Kusujudu Yamal kwachochea kampeni chafu ya mrengo wa kulia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139366-uhispania_ni_nchi_ya_kikristo_si_ya_kiislamu_kusujudu_yamal_kwachochea_kampeni_chafu_ya_mrengo_wa_kulia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf8b578ac882poi6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139366-uhispania_ni_nchi_ya_kikristo_si_ya_kiislamu_kusujudu_yamal_kwachochea_kampeni_chafu_ya_mrengo_wa_kulia </guid>  
      <description>Dakika chache baada ya kufunga bao lake la kwanza katika Kombe la Dunia Jumapili iliyopita, mchezaji wa timu ya taifa ya Uhispania, Lamine Yamal alijikuta akikabiliwa na wimbi kubwa la mashambulizi kwenye mitandao ya kijamii baada ya kusujudu akimshukuru Mungu kwa bao alilofunga dhidi ya timu ya taifa ya Saudi Arabia kwenye mashindano ya Kombe la Dunia FIFA 2026. </description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 13:19:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139364-netanyahu_alinasa_vipi_katika_mtego_wa_vita_vyake_mwenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc74b4f82152pnvc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139364-netanyahu_alinasa_vipi_katika_mtego_wa_vita_vyake_mwenyewe </guid>  
      <description>Kutiwa saini Mkataba wa Maelewano wa Islamabad kati ya Iran na Marekani kumevuruga milinganyo anayoipendelea Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni na kuuweka utawala huo katika hali isiyo na mfano wake ya kutengwa kimkakati, kudhoofika kijeshi na mgogoro wa kisiasa; hali ambayo hata vyombo vya habari vya Israel yenyewe vinaitaja kuwa "mbaya sana kwa Israel."</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 11:43:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yasema uwepo wowote wa Israel katika maji ya Somalia utakuwa shabaha halali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139362-yemen_yasema_uwepo_wowote_wa_israel_katika_maji_ya_somalia_utakuwa_shabaha_halali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7f53766cce2pofk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139362-yemen_yasema_uwepo_wowote_wa_israel_katika_maji_ya_somalia_utakuwa_shabaha_halali </guid>  
      <description>Mwanachama wa ngazi za juu wa harakati inayotawala nchini Yemen ya Ansarullah ameonya kuhusu uwepo wa vikosi vya jeshi la Israel katika maji ya Somalia, akisema kwamba kupelekwa huko wanajeshi hao kutatambuliwa kuwa shabaha halali.</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 11:23:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran na Oman zajadili utaratibu mpya wa kusimamia Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139360-iran_na_oman_zajadili_utaratibu_mpya_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby33244194b72poew.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139360-iran_na_oman_zajadili_utaratibu_mpya_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araghchi wamekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman, Sayyid Badr bin Hamad al-Busaidi, kujadili utaratibu mpya wa kusimamia Lango-Bahari la kimkakati la Hormuz.</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 10:51:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Kuwajibika kwa Marekani ndio sharti la kuendelea mazungumzo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139358-pezeshkian_kuwajibika_kwa_marekani_ndio_sharti_la_kuendelea_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby53bf6d23482poeo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139358-pezeshkian_kuwajibika_kwa_marekani_ndio_sharti_la_kuendelea_mazungumzo </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo umuhimu wa kutekelezwa makubaliano yaliyofikwa baina ya Iran na Marekani kwa ajili ya kuendelezwa mazungumzo kati ya pande hizo kuhusu utekelezaji wa mkataba wa maelewano uliosainiwa hivi karibuni.</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 10:35:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi ya Imam Khamenei kufanyika kwa siku sita nchini Iran na Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139356-mazishi_ya_imam_khamenei_kufanyika_kwa_siku_sita_nchini_iran_na_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby31d03863a02po9s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139356-mazishi_ya_imam_khamenei_kufanyika_kwa_siku_sita_nchini_iran_na_iraq </guid>  
      <description>Makao makuu ya kumbukumbu ya Kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei yametangaza ratiba ya mazishi ya siku sita katika miji mitano, ikianza na shughuli ya kuaga mwili wake kwa siku mbili mjini Tehran mnamo Julai 4 na kumalizika kwa maziko yake katika mji mtakatifu wa Mash'had, tarehe 9 Julai.

</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 03:07:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Qaani awaambia Wazayuni: Muondoke wenyewe kusini mwa Lebanon la sivyo mtafukuzwa kwa mateke</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139354-jenerali_qaani_awaambia_wazayuni_muondoke_wenyewe_kusini_mwa_lebanon_la_sivyo_mtafukuzwa_kwa_mateke</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1c6c9d6cf32po9q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139354-jenerali_qaani_awaambia_wazayuni_muondoke_wenyewe_kusini_mwa_lebanon_la_sivyo_mtafukuzwa_kwa_mateke </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amewaambia wavamizi wa Kizayuni kwamba ikiwa hawataondoka kusini mwa Lebanon kwa miguu yao wenyewe, watafukuzwa kwa fedheha hali ya kuwa wameshindwa.

</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 03:02:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ugonjwa wa Ebola DRC: Visa 1003, vifo 254 vyasajiliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139352-ugonjwa_wa_ebola_drc_visa_1003_vifo_254_vyasajiliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5e4bab167e2pnek.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139352-ugonjwa_wa_ebola_drc_visa_1003_vifo_254_vyasajiliwa </guid>  
      <description>Maambukizi 1,003 ya Ebola yamerekodiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambapo mlipuko wa hivi karibuni umesababisha pia vifo vya watu wasiopungua 254.

</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 02:59:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya wakimbizi milioni moja wa Sudan wanaishi nchini Misri kwa hofu na wasiwasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139350-zaidi_ya_wakimbizi_milioni_moja_wa_sudan_wanaishi_nchini_misri_kwa_hofu_na_wasiwasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby21b3ec96a12po9o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139350-zaidi_ya_wakimbizi_milioni_moja_wa_sudan_wanaishi_nchini_misri_kwa_hofu_na_wasiwasi </guid>  
      <description>Zaidi ya wakimbizi milioni 1.3 wa Sudan wanaishi Cairo, mji mkuu wa Misri kwa hofu na wasiwasi mkubwa, na licha ya mabilioni ya dola ya misaada yanayotumwa kwa nchi hiyo, wengi wao wanaendelea kufanya jitihada za kuondoka Misri kutokana na hofu ya kukamatwa na kufungwa.

</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 02:48:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatatu, tarehe 22 Juni, mwaka 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139348-jumatatu_tarehe_22_juni_mwaka_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby02df83b0852po8g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139348-jumatatu_tarehe_22_juni_mwaka_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu tarehe 7 Muharram 1448 Hijria sawa na Juni 22 mwaka 2026.
</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 17:33:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili tarehe 21 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139346-jumapili_tarehe_21_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby808115107b2po8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139346-jumapili_tarehe_21_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili tarehe 6 Muharram 1448 Hijria inayosadifiana na tarehe 21 Juni 2026.
</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 17:30:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, 20 Juni, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139344-jumamosi_20_juni_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc240a91d642po8a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139344-jumamosi_20_juni_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 05 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria mwafaka na 20 Juni 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 17:28:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Italia amwambia Trump: Pilipili usioila inakuwashia nini?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139342-waziri_mkuu_wa_italia_amwambia_trump_pilipili_usioila_inakuwashia_nini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc4b7193d182po64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139342-waziri_mkuu_wa_italia_amwambia_trump_pilipili_usioila_inakuwashia_nini </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amemshauri Rais wa Marekani, Donald Trump kujalia ya kwake mwenyewe badala na kufuatilia ya wengine baada ya kudai kwamba kiongozi huyo wa Italia anajaribu kuongeza umaarufu na viwango vyake vya kukubalika ndani ya nchi kwa kurekebisha uhusiano na Washington.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 14:11:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamati ya utendaji ya PUIC yakaribisha mpango wa Iran wa kuimarisha mshikamano wa nchi za Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139340-kamati_ya_utendaji_ya_puic_yakaribisha_mpango_wa_iran_wa_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc0a5d853e62po2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139340-kamati_ya_utendaji_ya_puic_yakaribisha_mpango_wa_iran_wa_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu </guid>  
      <description>Pendekezo la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran la kuimarisha mshikamano katika mchakato wa kumchagua Rais mpya wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) limepitishwa katika mkutano wa Kamati ya Utendaji ya PUIC.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 11:14:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kenya: Muswada wa fedha 2026 kutiwa saini kuwa sheria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139338-kenya_muswada_wa_fedha_2026_kutiwa_saini_kuwa_sheria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1ec378f2f12pdda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139338-kenya_muswada_wa_fedha_2026_kutiwa_saini_kuwa_sheria </guid>  
      <description>Muswada wa fedha 2026 nchini Kenya unatarajiwa kutiwa saini na kuwa sheria.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 10:45:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mataifa ya Ulaya yakabiliwa na wimbi la joto kali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139336-mataifa_ya_ulaya_yakabiliwa_na_wimbi_la_joto_kali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb895900dd22po1c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139336-mataifa_ya_ulaya_yakabiliwa_na_wimbi_la_joto_kali </guid>  
      <description>Mataifa ya Ulaya yanakabiliwa na wimbi la joto kali huku yakilazimika kuchukua hatua kadhaa ili kuepusha maafa.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 10:15:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naim Qassem: Mradi wa kuangamiza Iran na Muqawama umefeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139334-naim_qassem_mradi_wa_kuangamiza_iran_na_muqawama_umefeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6392423f472pa7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139334-naim_qassem_mradi_wa_kuangamiza_iran_na_muqawama_umefeli </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwamba, mradi wa kuisambaratisha Iran na Muqawama katika eneo la Asia Magharibi umeshindwa na kugonga mwamba.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 09:09:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mawaziri wa Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan wajadili makubaliano ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139332-mawaziri_wa_misri_uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_wajadili_makubaliano_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd68da8d4fa2po0a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139332-mawaziri_wa_misri_uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_wajadili_makubaliano_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan umefanyika mjini Cairo kwa ajili ya kujadili utulivu wa kikanda na kufuatilia makubaliano kati ya Iran na Marekani.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 08:53:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139330-kwa_nini_ulaya_ina_wasiwasi_kuhusu_mrengo_wa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc362541aed2pnxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139330-kwa_nini_ulaya_ina_wasiwasi_kuhusu_mrengo_wa_lebanon </guid>  
      <description>Uungaji mkono wa Ulaya juu kwa usimamishaji hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon katika maelewano kati ya Tehran na Washington unaonyesha wasiwasi unaoongezeka wa nchi za Ulaya kuhusu kuenea vita na taathira zake hasi katika uthabiti na usalama wa eneo.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 05:57:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi:  Mazungumzo ya Uswisi yamepiga hatua kubwa, usitishaji vita Lebanon bado ni mtihani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139328-araqchi_mazungumzo_ya_uswisi_yamepiga_hatua_kubwa_usitishaji_vita_lebanon_bado_ni_mtihani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby693e6a43ec2pntm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139328-araqchi_mazungumzo_ya_uswisi_yamepiga_hatua_kubwa_usitishaji_vita_lebanon_bado_ni_mtihani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amezipongeza Pakistan na Qatar kwa juhudi zao alizozitaja kuwa za "kutochoka" katika upatanishi, akisema kuwa hatua kubwa zimefikiwa kuelekea kumaliza vita dhidi ya Iran, lakini akasisitiza kuwa "kipimo halisi" kitakuwa utekelezaji wenye mafanikio wa usitishaji vita nchini Lebanon.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:47:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Hatuogopi vita, lakini vita havina maslahi na mtu yeyote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139326-rais_pezeshkian_hatuogopi_vita_lakini_vita_havina_maslahi_na_mtu_yeyote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6340b632752pnou.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139326-rais_pezeshkian_hatuogopi_vita_lakini_vita_havina_maslahi_na_mtu_yeyote </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Hatuogopi vita, lakini vita havina maslahi na mtu yeyote.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:45:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Kiebrania: Israel kwa mara nyingine tena imesalimu amri kwa masharti ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139324-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_israel_kwa_mara_nyingine_tena_imesalimu_amri_kwa_masharti_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc74b4f82152pnvc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139324-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_israel_kwa_mara_nyingine_tena_imesalimu_amri_kwa_masharti_ya_iran </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti kuwa, uamuzi wa kusitisha mapigano nchini Lebanon umetolewa baada ya Marekani kutoa mashinikizo makali dhidi ya Tel Aviv na kwamba, maafisa wa kisiasa wa utawala huo wamesalimu amri tena kwa masharti ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:43:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Timu ya taifa ya karate ya wanawake ya Iran yatwaa ubingwa wa Asia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139322-timu_ya_taifa_ya_karate_ya_wanawake_ya_iran_yatwaa_ubingwa_wa_asia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyee38afb03a2pnv6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139322-timu_ya_taifa_ya_karate_ya_wanawake_ya_iran_yatwaa_ubingwa_wa_asia </guid>  
      <description>Timu ya taifa ya karate ya wanawake ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa ubingwa wa bara la Asia katika mchezo huo.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:36:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CENCO yapinga kufanyika kwa mageuzi ya katiba DRC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139320-cenco_yapinga_kufanyika_kwa_mageuzi_ya_katiba_drc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby61dc959f292pnv0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139320-cenco_yapinga_kufanyika_kwa_mageuzi_ya_katiba_drc </guid>  
      <description>Muungano maaskofu wa kanisa Katoliki (CENCO) umepinga mapendekezo ya kuifanyia marekebisho katiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:32:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139318-kwa_nini_israel_haina_uwezo_wa_kuilazimisha_hizbullah_ijisalimishe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6392423f472pa7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139318-kwa_nini_israel_haina_uwezo_wa_kuilazimisha_hizbullah_ijisalimishe </guid>  
      <description>Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema, maadui walijaribu kuandaa mazingira ya kuuangamiza muqawama kwa kutumia vibaya serikali ya Lebanon na kuunda mwavuli haramu wa kisheria, lakini pamoja na hayo si tu kwamba adui wa Kizayuni alishindwa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe, bali pia inaendelea kupipigania ushindi wa mwisho.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 12:51:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema mazungumzo na Marekani yanahusu kutotekelezwa kwa kifungu cha kwanza cha makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139316-iran_yasema_mazungumzo_na_marekani_yanahusu_kutotekelezwa_kwa_kifungu_cha_kwanza_cha_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyce52ef28802pnky.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139316-iran_yasema_mazungumzo_na_marekani_yanahusu_kutotekelezwa_kwa_kifungu_cha_kwanza_cha_makubaliano </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kuwa mazungumzo yaliyopangwa kufanyika na Marekani yatalenga suala la kutotekelezwa kwa kifungu cha kwanza cha Waraka wa Makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:26:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi aonya dhidi ya matumaini kupita kiasi kuhusu mazungumzo na “adui anayevunja ahadi”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139314-mshauri_wa_kiongozi_aonya_dhidi_ya_matumaini_kupita_kiasi_kuhusu_mazungumzo_na_adui_anayevunja_ahadi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby817ff5c8ec2pnm2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139314-mshauri_wa_kiongozi_aonya_dhidi_ya_matumaini_kupita_kiasi_kuhusu_mazungumzo_na_adui_anayevunja_ahadi </guid>  
      <description>Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonya dhidi ya kuwa na matumaini kupita kiasi kuhusu mazungumzo na adui, akitaja historia yake ya kuvunja ahadi.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:25:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imamu ashambuliwa nje ya msikiti nchini Kanada huku chuki dhidi ya Uislamu ikiongezeka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139312-imamu_ashambuliwa_nje_ya_msikiti_nchini_kanada_huku_chuki_dhidi_ya_uislamu_ikiongezeka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf32c0acde92pnlu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139312-imamu_ashambuliwa_nje_ya_msikiti_nchini_kanada_huku_chuki_dhidi_ya_uislamu_ikiongezeka </guid>  
      <description>Imamu wa Msikiti wa Jumuiya ya Waislamu wa British Columbia (BCMA), Sheikh Ebrahim, ameshambuliwa katika tukio linalohusishwa na chuki dhidi ya Uislamu.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:24:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walebanon waipongeza Iran kwa kuunga mkono kukomeshwa hujuma ya vita ya Israel dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139310-walebanon_waipongeza_iran_kwa_kuunga_mkono_kukomeshwa_hujuma_ya_vita_ya_israel_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf2ba823a592pnlm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139310-walebanon_waipongeza_iran_kwa_kuunga_mkono_kukomeshwa_hujuma_ya_vita_ya_israel_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Mabango yanayoonyesha shukrani kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesimikwa kando ya barabara kuu inayoelekea uwanja wa ndege wa Beirut, yakionyesha shukrani za dhati kwa msimamo wa Iran wa kutaka kukomeshwa kikamilifu uchokozi wa Israel dhidi ya Lebanon, kama ilivyotajwa katika waraka wa makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:22:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Yamkini waasi wa RSF wanatekeleza mauaji ya halaiki mjini El Obeid, Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139308-un_yamkini_waasi_wa_rsf_wanatekeleza_mauaji_ya_halaiki_mjini_el_obeid_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0656a0983f2pnli.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139308-un_yamkini_waasi_wa_rsf_wanatekeleza_mauaji_ya_halaiki_mjini_el_obeid_sudan </guid>  
      <description>Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameeleza wasiwasi mkubwa kuhusu taarifa za kuongezeka kwa wapiganaji wa kundi la waasi la RSF, ambao wameuzingira mji wa El Obeid nchini Sudan.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:21:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139306-spika_wa_bunge_la_iran_aapa_kuwa_mwaminifu_kwa_mashahidi_baada_ya_kuwasili_uswisi_kwa_mazungumzo_na_us</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5bb08eefa72pnfq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139306-spika_wa_bunge_la_iran_aapa_kuwa_mwaminifu_kwa_mashahidi_baada_ya_kuwasili_uswisi_kwa_mazungumzo_na_us </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amesisitiza tena kwamba atatetea haki za Wairani waliouawa shahidi wakati wa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu baada ya kuwasili Uswisi kufuatilia mkataba wa Hati ya Maelewano uliosainiwa na viongozi wa nchi mbili kwa lengo la kukomesha vita.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 04:43:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139304-baada_ya_karne_nyingi_za_utumwa_afrika_yafungua_faili_la_fidia_na_kudai_haki_ya_kihistoria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby330f410b5e2pnfm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139304-baada_ya_karne_nyingi_za_utumwa_afrika_yafungua_faili_la_fidia_na_kudai_haki_ya_kihistoria </guid>  
      <description>Karne nyingi baada ya kumalizika biashara ya utumwa ya kuvuka Atlantiki, moja ya masuala nyeti zaidi ya kihistoria yameibuka tena katika mji mkuu wa Ghana, Accra, ambapo Mkutano wa Dunia kuhusu Fidia ya Utumwa na Haki ya Kihistoria ulihitimishwa jana, huku Afrika ikitaka kuwepo mfumo wa vitendo wa kufidia jamii ambazo bado zinateseka kutokana na athari mbaya za enzi hizo.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 04:41:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139302-picha_ya_mazishi_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_msingi_ya_minab_yashinda_tuzo_ya_picha_bora_zaidi_ya_mwaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby49159722eb2pnem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139302-picha_ya_mazishi_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_msingi_ya_minab_yashinda_tuzo_ya_picha_bora_zaidi_ya_mwaka </guid>  
      <description>Picha iliyochukuliwa kutokea angani inayoonyesha mazishi ya wanafunzi 168 waliouawa shahidi wakati wa shambulio la makombora ya Marekani dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab, kusini mwa Iran, imeshinda tuzo ya juu katika Kategoria ya Upigaji Picha za Habari ya tuzo za Golden Shot Photography Awards 2026.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 03:00:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa CDC asema Afrika lazima iwekeze fedha zake katika kukabiliana na Ebola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139300-mkuu_wa_cdc_asema_afrika_lazima_iwekeze_fedha_zake_katika_kukabiliana_na_ebola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5e4bab167e2pnek.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139300-mkuu_wa_cdc_asema_afrika_lazima_iwekeze_fedha_zake_katika_kukabiliana_na_ebola </guid>  
      <description>Mkuu wa Vituo vya Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) amesema bara hilo linahitaji kuwekeza fedha zake lenyewe katika kukabiliana na Ebola.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 02:57:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Kutoadhibiwa wahalifu kunaeneza hisia za mauaji ya kimbari nchini Nigeria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139298-un_kutoadhibiwa_wahalifu_kunaeneza_hisia_za_mauaji_ya_kimbari_nchini_nigeria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby411194a7492pnei.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139298-un_kutoadhibiwa_wahalifu_kunaeneza_hisia_za_mauaji_ya_kimbari_nchini_nigeria </guid>  
      <description>Ripoti ya Umoja wa Mtaifa inasema, kutoadhibiwa watu wanaofanya mashambulizi ya mara kwa mara dhidi ya viongozi wa kidini na sehemu za ibada, pamoja na kinga dhaifu na uwajibikaji duni, vinawafanya waathiriwa nchini Nigeria kuona kwamba vurugu zinazofanyika nchini humo ni mateso au hata mauaji ya halaiki. </description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 02:55:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yafunga tena Lango-Bahari la Hormuz baada ya Marekani na Israel kukiuka MoU </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139296-iran_yafunga_tena_lango_bahari_la_hormuz_baada_ya_marekani_na_israel_kukiuka_mou</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby27f92241e02pnby.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139296-iran_yafunga_tena_lango_bahari_la_hormuz_baada_ya_marekani_na_israel_kukiuka_mou </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran imetangaza rasmi kwamba Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa vyombo vyote vya usafirishaji wa baharini, baada ya Marekani na Israel kukiuka makubaliano ya hati ya maelewano ya kusitisha vita kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 14:48:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya Wizara ya Ulinzi ya Iran ya kushukuru ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kuhusu mazungumzo ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139294-taarifa_ya_wizara_ya_ulinzi_ya_iran_ya_kushukuru_ujumbe_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_kuhusu_mazungumzo_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf93e75e45f2pnao.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139294-taarifa_ya_wizara_ya_ulinzi_ya_iran_ya_kushukuru_ujumbe_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_kuhusu_mazungumzo_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Katika kujibu ujumbe wa Kiongozi muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu mazungumzo ya Iran na Marekani, Wizara ya Ulinzi na Msaada Kwa Jeshi la Iran imesisitiza katika taarifa kwamba: Siri ya mafanikio endelevu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kufuata kamilifu na bila kusitasita amri na hatua za Amiri Jeshi Mkuu.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 13:03:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa mambo ya ndani wa Pakistan arejea tena Tehran kujadili mazungumzo ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139292-waziri_wa_mambo_ya_ndani_wa_pakistan_arejea_tena_tehran_kujadili_mazungumzo_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfd331258a02pmt2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139292-waziri_wa_mambo_ya_ndani_wa_pakistan_arejea_tena_tehran_kujadili_mazungumzo_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Syed Mohsin Raza Naqvi, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Pakistan amerejea tena Tehran kwa ajili ya kukutana na kuzungumza na viongozi wa ngazi za juu wa Iran, kuhusu suala la kuendeleza mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani. </description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 12:19:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Iran: Ukiukaji wowote wa ahadi wa Marekani utakabiliwa na jibu kali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139290-bunge_la_iran_ukiukaji_wowote_wa_ahadi_wa_marekani_utakabiliwa_na_jibu_kali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby64bec60ee82pn74.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139290-bunge_la_iran_ukiukaji_wowote_wa_ahadi_wa_marekani_utakabiliwa_na_jibu_kali </guid>  
      <description>Mwenyekiti wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika akaunti yake ya mtandao wa kijamii kwamba: "Ukiukaji wowote wa ahadi utakaofanywa na Marekani au kujiondoa katika fremu kuu ya maelewano kutapelekea jeshi la Iran, kwa uungaji mkono wa taifa shupavu la Iran kutoa jibu kali, thabiti na la kuumiza zaidi dhidi ya adui huyo kuliko ilivyokuwa huko nyuma."</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 12:09:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Amani na uthabiti nchini Lebanon na eneo havitapatikana bila ya kukomeshwa uvamizi wa adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139288-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_amani_na_uthabiti_nchini_lebanon_na_eneo_havitapatikana_bila_ya_kukomeshwa_uvamizi_wa_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd2aa45854f2pn2s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139288-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_amani_na_uthabiti_nchini_lebanon_na_eneo_havitapatikana_bila_ya_kukomeshwa_uvamizi_wa_adui </guid>  
      <description>Katika mahojiano na televisheni ya Al Jazeera, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Washington lazima imzuie Netanyahu kuvuruga juhudi za maelewano kwa sababu hakuna amani wala utulivu wowote utakaopatikana Lebanon na katika eneo zima la Asia Magharibi bila kukomeshwa uvamizi na ukaliaji mabavu wa ardhi za nchi za eneo.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 12:07:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump: Kama nisingesimamisha vita na Iran, tungeachwa bila mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139286-trump_kama_nisingesimamisha_vita_na_iran_tungeachwa_bila_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby83baa793092pn9g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139286-trump_kama_nisingesimamisha_vita_na_iran_tungeachwa_bila_mafuta </guid>  
      <description>Katika mahojiano na chombo cha habari cha Marekani Axios, Rais Doland Trump wa Marekani amekiri hadharani kwamba hakuwa na budi ila kufanya mazungumzo na Iran kwa ajili ya kumaliza vita.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 11:51:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasitisha mazungumzo na Marekani  nchini Uswisi baada ya Israel kuendeleza hujuma Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139284-iran_yasitisha_mazungumzo_na_marekani_nchini_uswisi_baada_ya_israel_kuendeleza_hujuma_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf3ddf3004a2pn1q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139284-iran_yasitisha_mazungumzo_na_marekani_nchini_uswisi_baada_ya_israel_kuendeleza_hujuma_lebanon </guid>  
      <description>Mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani nchini Uswisi, yaliyokusudiwa kuimarisha Hati ya Makubaliano (MoU) iliyosainiwa hivi karibuni, yameahirishwa. </description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:27:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Tuko tayari kuwapa maadui ‘kichapo kikubwa zaidi’ ikiwa haki za Iran zitakiukwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139282-irgc_tuko_tayari_kuwapa_maadui_kichapo_kikubwa_zaidi’_ikiwa_haki_za_iran_zitakiukwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2a780cbaab2pn2m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139282-irgc_tuko_tayari_kuwapa_maadui_kichapo_kikubwa_zaidi’_ikiwa_haki_za_iran_zitakiukwa </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limethibitisha utayari wake wa kuwapa maadui “kichapo kikubwa cha kihistoria” iwapo wataendeleza madai yao ya kupita kiasi na kukiuka haki za taifa tukufu la Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:25:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawasilisha malalamiko FIFA kuhusu vikwazo vya Marekani kabla ya mechi na Ubelgiji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139280-iran_yawasilisha_malalamiko_fifa_kuhusu_vikwazo_vya_marekani_kabla_ya_mechi_na_ubelgiji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyecaf9559342pn2i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139280-iran_yawasilisha_malalamiko_fifa_kuhusu_vikwazo_vya_marekani_kabla_ya_mechi_na_ubelgiji </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Iran limetangaza kuwa limewasilisha malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) kufuatia kukataliwa kwa mara ya pili mfululizo kwa mipango ya maandalizi ya Timu ya Taifa ya Iran, Team Melli.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:24:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Israel imeua watoto 265 wa Kipalestina tangu Oktoba 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139278-un_israel_imeua_watoto_265_wa_kipalestina_tangu_oktoba_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby091dc3cbac2pn2g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139278-un_israel_imeua_watoto_265_wa_kipalestina_tangu_oktoba_2025 </guid>  
      <description>Huku utawala katili wa Israel ukiendeleza jinai Lebanon, mashirika ya misaada ya kibinadamu yametoa tahadhari mpya kuhusu Gaza, ambapo watoto 265 wa Kipalestina wameuawa katika mashambulizi ya Israel tangu usitishaji wa mapigano ulipotangazwa mwezi Oktoba 2025.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:16:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yaionya Israel dhidi ya kuzuia makubaliano ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139276-china_yaionya_israel_dhidi_ya_kuzuia_makubaliano_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb464a8e4fa2pn2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139276-china_yaionya_israel_dhidi_ya_kuzuia_makubaliano_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>China imeionya Israel dhidi ya kuzuia utekelezaji wa Mkataba wa Maelewano (MoU) kati ya Iran na Marekani, huku ikitaka pande zote kuchukua hatua za vitendo kuunga mkono amani ya kikanda na kuunda mazingira yanayofaa kwa mazungumzo yajayo.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:14:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa marasimu ya Arbaeen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139274-walinzi_wa_mpaka_wa_iran_na_iraq_washirikiana_kuandaa_marasimu_ya_arbaeen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6bab94477f2pn0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139274-walinzi_wa_mpaka_wa_iran_na_iraq_washirikiana_kuandaa_marasimu_ya_arbaeen </guid>  
      <description>Walinzi wa mpaka wa pamoja wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Iraq wamefanya vikao vya pamoja katika mpaka wa eneo la Mehran katika mkesha wa kuanza rasmi wimbi kubwa la mazuwwar wa Muharram na Arbaeen.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:42:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>