<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - home</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Thu, 09 Apr 2026 13:39:01 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Je, wimbi la kuuzuliwa makamanda wakuu jeshini nchini Marekani linaweza kuwa ushindi mwingine wa kistratijia kwa Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw98d860b2e82p6dj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran </guid>  
      <description>Wimbi la kutimuliwa makamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Marekani kufuatia kushindwa kimkakati kwa nchi hiyo dhidi ya Iran limeibua mgogoro mkubwa zaidi wa kamandi katika Wizara ya Vita ya nchi hiyo, Pentagon.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 07:52:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la IRGC lashambulia Kamandi ya Jeshi la Marekani na ngome za Israel katika Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw268d7ac63d2p6cg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya shabaha mbalimbali zenye mfungamano na Marekani na Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi katika sehemu ya wimbi la 97 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 04:50:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Huenda uchumi wa Afrika ukaporomoka kutokana na vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137824-huenda_uchumi_wa_afrika_ukaporomoka_kutokana_na_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0z2e84e6a75526bln.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137824-huenda_uchumi_wa_afrika_ukaporomoka_kutokana_na_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa, pamoja na Umoja wa Afrika na Benki ya Maendeleo ya Afrika, yametoa ripoti mpya ikionya kuwa uchumi wa mataifa ya bara hili unaweza kukumbwa na kuporomoka ikiwa mapigano yanayoendelea katika ukanda wa Asia Magharibi yataendelea bila suluhu ya haraka.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 03:40:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf amwambia Trump: Kutii maagizo ya Netanyahu kutawasha moto kwenye kanda nzima</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa396ca5b8d2p6b8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amejibu vitisho vya hivi karibuni vya Donald Trump, rais gaidi wa Marekani katika ujumbe wake kwenye mtandao wa kijamii wa X akisema tabia yake ya kutii na kufuata maagizo ya waziri mkuu katili wa Israel Benjamin Netanyahu kutawasha zaidi moto wa vita katika kanda nzima ya Magharibi mwa Asia. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:28:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Mr. Trump, Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1697c6caba2p6c1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi </guid>  
      <description>Seneta wa Marekani amekemea vitisho na matusi ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump dhidi ya Iran, akisema: Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi na lugha chafu, bali ni lazima kufanya mazungumzo na Iran.
</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:27:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Vita vilivyotwishwa Iran vimelenga utambulisho wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6fd928a88d2p2ka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Vita vya kulazimishwa vya Wamarekani na Wazayuni dhidi ya Iran vimelenga uwepo na utambulisho wa Kiirani.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:16:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madrid: Hatutadanganywa tena na Marekani; kwa uzoefu wa Iraq, hapana kwa vita ndio njia pekee</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c92eecee438302kymv.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza kuwa nchi hiyo haitadanganywa tena na Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:13:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano ya kuunga mkono Iran kutoka London hadi Auckland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva9db9df96f2p2d4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland </guid>  
      <description>Maandamano ya kulaani hujuma za kijeshi za Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran yangali yanaendelea katika pembe mbalimbali za dunia.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:09:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aragchi: Tishio la Trump dhidi ya miundombinu ya nishati Iran ni kukiri uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0e3923fde92p6bo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vitisho vya Marekani vya kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ni kukiri wazi nia ya kutenda uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:30:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO yalaani hujuma ya Israel na Marekani dhidi ya kituo cha nyuklia Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa1faadc8822p6br.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran </guid>  
      <description>Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu kuendelea kwa mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran, akionya kuwa hatua hiyo inaweza kusababisha janga la nyuklia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:19:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yapiga marufuku kuchapishwa picha za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome za nchi hiyo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7e5a3eb58c2p672.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo </guid>  
      <description>Katika jitihada za kudhibiti picha za athari za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome na vituo vyake, Marekani imepiga marufuku kuchapishwa na kuonyeshwa picha za setilaiti za maeneo yanayohusika katika vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 06:12:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Majenerali wa Marekani hawataki kufa kwa ajili ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw41d6028a1f2p668.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran, amekejeli hatua ya Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth ya kuwatimua makamanda wenye uzoefu katika jeshi la nchi hiyo na kuandika: Hawataki tena kumtii mtangazaji wa televisheni anayehatarisha maisha ya Wamarekani kwa ajili ya njozi za Israel.
</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:42:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New Yorker: Hali ya vita dhidi ya Iran ni tofauti na matarajio ya Trump na Hegseth</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0400e0ee1e2p65v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth </guid>  
      <description>Gazeti la New Yorker la Marekani limekosoa vita vya Marekani na dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, vita hivi vimeonyesha kwamba hali halisi ni tofauti na matarajio ya viongozi wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:38:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kapteni wa Timu ya Taifa ya Bosnia: Kwa heshima ya haki na uadilifu tumekataa kuwapa mkono Waisraeli </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bxye531353ea71tmn5.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli </guid>  
      <description>Kapteni wa timu ya taifa ya soka ya Bosnia na Herzegovina chini ya miaka 21 amesema kuwa kuheshimu haki na uadilifu ndiyo sababu iliyowazuia wachezaji wa timu hiyo kuwapa mkono wachezaji wa timu ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:37:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaangusha helikopta mbili za Black Hawk na ndege mbili za kijeshi za C‑130 za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwebfcecb5742p68z.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi Kuu ya Khatam al‑Anbiya ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vyombo vya anga vya adui vilivyovamia mkoa wa Isfahan, vikijumuisha helikopta mbili aina ya Black Hawk na ndege mbili za usafirishaji wa kijeshi ya C‑130 zimetunguliwa na kuangamizwa na vikosi vya ulinzi.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:36:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yalaani hujuma ya Marekani, Israel dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbta38852ec2c2okqx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr </guid>  
      <description>Maria Zakharova, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, ametangaza kuwa Moscow inalaani vikali mashambulio ya hivi karibuni dhidi ya kituo cha Nyuklia cha Bushehr kilichoko kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:06:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran aonya kuhusu majibu mapana dhidi ya maslahi ya Marekani katika eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfe903b61232p66f.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Ghalibaf, amesisitiza kuwa “usalama endelevu” ndio kipaumbele kikuu cha Iran, akionya kwamba kuendelea kwa mvutano kutasababisha majibu mapana yatakayolenga maslahi ya Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:05:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna vita dhidi ya Iran vilivyobadilisha muundo wa soko la nishati duniani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3oae25f808132cfsj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani </guid>  
      <description>Taasisi moja ya Marekani imekiri kwamba vita dhidi ya Iran vimebadilisha pakubwa muundo wa soko la nishati duniani.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:53:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran latoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by272068b229b1w9bt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran </guid>  
      <description>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vyake vya amani vya nyuklia, likisema hilo ndilo tarajio la chini kabisa  linalotazamiwa kutoka kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:48:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0ve545e68447240p6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia </guid>  
      <description>Ni jambo la kawaida kwamba nchi zilizoko katika maeneo tofauti ya kijografia na kistratijia hutumia nafasi hiyo kwa manufaa ya watu wake na kulinda maslahi yao ya kitaifa. Wachambuzi wa mambo wanasema hilo ni jambo linakubalika kimataifa na wala hakuna sheria yoyote inayopinga suala hilo ambayo ni haki ya kimsingi ya nchi iliyo katika maeneo kama hayo. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 12:57:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ndege kadhaa za kivita za Marekani zatunguliwa Iran, hadi sasa droni 160 za adui zimedunguliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137788-ndege_kadhaa_za_kivita_za_marekani_zatunguliwa_iran_hadi_sasa_droni_160_za_adui_zimedunguliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw16bc1f11612p64b.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137788-ndege_kadhaa_za_kivita_za_marekani_zatunguliwa_iran_hadi_sasa_droni_160_za_adui_zimedunguliwa </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimeangamiza ndege kadhaa za kijeshi za Marekani katika “siku nyeusi” kwa majeshi ya nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.
</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 07:28:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchambuzi wa Yemen: Haiwezekani kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw9d08cda6ed2p644.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu </guid>  
      <description>Mwandishi na mchambuzi wa Yemen ameeleza kuwa: Adui haiwezi kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 07:27:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wananchi na vyama vya kisiasa vya Uturuki vyapinga mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137782-wananchi_na_vyama_vya_kisiasa_vya_uturuki_vyapinga_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw54bff52dff2p646.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137782-wananchi_na_vyama_vya_kisiasa_vya_uturuki_vyapinga_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi wa maoni nchini Uturuki unaonyesha kuwa akthari ya wananchi wa nchi hiyo wanaunga mkono msimamo wa serikali yao wa kujiweka mbali na vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Vyama mbalimbali vya siasa nchini humo pia vimelaani mashambulizi ya pande mbili hizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 06:16:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askofu Mkuu wa Wakatoliki Jeshi la Marekani: Vita dhidi ya Iran haviendani na mafundisho ya Kikristo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137780-askofu_mkuu_wa_wakatoliki_jeshi_la_marekani_vita_dhidi_ya_iran_haviendani_na_mafundisho_ya_kikristo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw255116dd4f2p645.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137780-askofu_mkuu_wa_wakatoliki_jeshi_la_marekani_vita_dhidi_ya_iran_haviendani_na_mafundisho_ya_kikristo </guid>  
      <description>Afisa wa juu zaidi wa Kikatoliki katika Majeshi ya Marekani amesema kuwa vita dhidi ya Iran si vya haki na haviendani na mafundisho ya Kikristo.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 04:22:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Hujuma dhidi ya madaraja ni uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137778-iran_hujuma_dhidi_ya_madaraja_ni_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1832af05b42p626.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137778-iran_hujuma_dhidi_ya_madaraja_ni_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali Marekani na utawala wa Israel kwa kutekeleza “uhalifu wa kivita wa kigaidi wa mtindo wa Daesh” wakati wa vita vyao vya kichokozi vinavyoendelea dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisema maadui hao wawili hawatapata nguvu kwa kuharibu madaraja makubwa nchini Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 03:18:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Tutailinda Iran kwa azma thabiti na uwezo wetu wote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137776-pezeshkian_tutailinda_iran_kwa_azma_thabiti_na_uwezo_wetu_wote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3a13397af92p5yt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137776-pezeshkian_tutailinda_iran_kwa_azma_thabiti_na_uwezo_wetu_wote </guid>  
      <description>Rais Mahmoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akiashiria kwamba Iran ilishambuliwa kijeshi na Marekani na utawala haramu wa Israel wakati ilipokuwa kwenye mazungumzo na Marekani, amesema: "Sisis tunasisitiza juu ya azma thabiti ya kujilinda."</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:56:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchina: Tehran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137774-uchina_tehran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa22c17a38b2p61k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137774-uchina_tehran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo </guid>  
      <description>Huku akielezea upinzani wa Beijing kuhusu kushambuliwa miundombinu ya Iran, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, amesema Tehran kamwe haitapigishwa magoti na mashinikizo yoyote ya kijeshi na kwamba hatua hizi zitachochea tu moto wa mivutano.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:52:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Israel lalegeza msimamo kuhusu ahadi alizotoa Netanyahu/Upokonyaji silaha wa Hizbullah hauwezekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137772-jeshi_la_israel_lalegeza_msimamo_kuhusu_ahadi_alizotoa_netanyahu_upokonyaji_silaha_wa_hizbullah_hauwezekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bse307e39f4451d5pa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137772-jeshi_la_israel_lalegeza_msimamo_kuhusu_ahadi_alizotoa_netanyahu_upokonyaji_silaha_wa_hizbullah_hauwezekani </guid>  
      <description>Katika kukiri kistratijia kulikofichua udhaifu na mkanganyiko katika baraza la mawaziri la Israel, jeshi la utawala huo ghasibu limelegeza msimamo kuhusu ahadi alizotoa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel na  kutangaza rasmi kwamba, upokonyaji silaha dhidi ya Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon ni jambo lisilowezekana na kwamba sasa kauli mbiu hiyo imeondolewa katika orodha ya malengo ya vita.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:49:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani na Israel zalenga Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti katika hujuma dhidi ya sayansi Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137770-marekani_na_israel_zalenga_chuo_kikuu_cha_shahid_beheshti_katika_hujuma_dhidi_ya_sayansi_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdf5f97ebdf2p627.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137770-marekani_na_israel_zalenga_chuo_kikuu_cha_shahid_beheshti_katika_hujuma_dhidi_ya_sayansi_iran </guid>  
      <description>Muungano wa kijinai wa Marekani na Israel unaendelea na mashambulizi yake dhidi ya miundombinu ya kitaaluma na ya kiraia nchini Iran, huku shambulizi la karibuni likiharibu vibaya kituo cha utafiti katika Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti mjini Tehran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 22:58:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laapa kuendelea na vita hadi Marekani na Israel ‘zitakapojutia’ uchokozi wao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137768-jeshi_la_iran_laapa_kuendelea_na_vita_hadi_marekani_na_israel_zitakapojutia’_uchokozi_wao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw866e5c8c3b2p60c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137768-jeshi_la_iran_laapa_kuendelea_na_vita_hadi_marekani_na_israel_zitakapojutia’_uchokozi_wao </guid>  
      <description>Msemaji mkuu wa Jeshi la Iran amesema Tehran itaendelea na vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel hadi kuifanya Marekani na utawala wa Israel "zijutie" kitendo chao cha uchokozi kinyume cha sheria.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 06:39:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Texas: Kuwapiga mabomu watoto wasio na hatia katika shule ya Minab ni tusi kwa Yesu Kristo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137766-mwakilishi_wa_texas_kuwapiga_mabomu_watoto_wasio_na_hatia_katika_shule_ya_minab_ni_tusi_kwa_yesu_kristo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1e62c7afd82p605.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137766-mwakilishi_wa_texas_kuwapiga_mabomu_watoto_wasio_na_hatia_katika_shule_ya_minab_ni_tusi_kwa_yesu_kristo </guid>  
      <description>Mwanasiasa mtajika wa Marekani amelitaja shambulio lililofanywa na Washington dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajarah Tayyiba huko Minab, kusini mwa Iran, kuwa ni dharau na dhihaka kwa Yesu Kristo (Isa Masih AS).</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 06:35:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kampuni ya Kimarekani ya Oracle nchini Imarati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137764-irgc_yashambulia_kampuni_ya_kimarekani_ya_oracle_nchini_imarati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwbdafc858592p5zy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137764-irgc_yashambulia_kampuni_ya_kimarekani_ya_oracle_nchini_imarati </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kuwa: Limetoa kipigo kikali kwa Kampuni ya Kimarekani ya Oracle kufuatia mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mkewe.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 05:24:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Vita wa Marekani awatimua majenarali baada ya kushindwa kwa vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137762-waziri_wa_vita_wa_marekani_awatimua_majenarali_baada_ya_kushindwa_kwa_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8bd934b0af2p5yz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137762-waziri_wa_vita_wa_marekani_awatimua_majenarali_baada_ya_kushindwa_kwa_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth, amemlazimisha Mkuu wa Majeshi ya Marekani (Army Chief of Staff), Jenerali Randy George, kustaafu mara moja, huku kukiwa na mgogoro unaozidi kuongezeka ndani ya uongozi wa kijeshi nchini humo kufuatia kushindwa kwa vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:58:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yatungua ndege ya pili ya kivita ya Marekani aina ya F-35 katika anga ya katikati mwa nchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137760-irgc_yatungua_ndege_ya_pili_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_35_katika_anga_ya_katikati_mwa_nchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb743391a0a2p5z1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137760-irgc_yatungua_ndege_ya_pili_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_35_katika_anga_ya_katikati_mwa_nchi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua ndege ya pili ya kisasa ya Marekani aina ya F-35 ikiwa katika anga katikati ya Iran kwa kutumia mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Kikosi cha Anga cha jeshi hilo.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:45:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Nchi za Ulaya zinawajibika kujibu uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137758-pezeshkian_nchi_za_ulaya_zinawajibika_kujibu_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3a13397af92p5yt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137758-pezeshkian_nchi_za_ulaya_zinawajibika_kujibu_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amekosoa utendaji wa Umoja wa Ulaya mkabala wa ukiukwaji wa wazi wa sheria unaofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, akisema: "Nchi chache za Ulaya zimechukua msimamo wa kuwajibika dhidi ya uchokozi huo, na nyingi zimekuwa na mtazamo wa kutojali na hata wa upendeleo."</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:41:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>El Baradei awashambulia watawala wa Kiarabu vibaraka wa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137756-el_baradei_awashambulia_watawala_wa_kiarabu_vibaraka_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwc01f0ba69c2p5w2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137756-el_baradei_awashambulia_watawala_wa_kiarabu_vibaraka_wa_marekani </guid>  
      <description>Mwanasiasa mashuhuri wa Misri amekosoa utiifu wa baadhi ya watawala wa Kiarabu vibaraka wa Marekani na uungaji mkono wao kwa Washington kwenye vita vyake dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:40:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afrika Kusini yalaani vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137754-afrika_kusini_yalaani_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3edc36f0b62p5yh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137754-afrika_kusini_yalaani_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Ronald Lamola, Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini, amefanya  mazungumzo ya simu na Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo amesisitiza msimamo wa nchi yake wa kulaani vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 03:39:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran na Oman kuandaa itifaki ya Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137752-iran_na_oman_kuandaa_itifaki_ya_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6j08e54051ce2k5jq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137752-iran_na_oman_kuandaa_itifaki_ya_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Iran na Oman zinashirikiana kuandaa itifaki ya pamoja ili kuhakikisha usafiri salama wa majini katika Lango Bahari la Hormuz katika kipindi cha baada ya vita.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 03:38:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jibu la watumiaji wa mtandao wa X kwa tishio la shambulio la nchi kavu la Marekani: Tunawasubiri, njooni, majeneza yako tayari!</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/uncategorised-i137750-jibu_la_watumiaji_wa_mtandao_wa_x_kwa_tishio_la_shambulio_la_nchi_kavu_la_marekani_tunawasubiri_njooni_majeneza_yako_tayari!</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw41aff2be802p5vx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/uncategorised-i137750-jibu_la_watumiaji_wa_mtandao_wa_x_kwa_tishio_la_shambulio_la_nchi_kavu_la_marekani_tunawasubiri_njooni_majeneza_yako_tayari! </guid>  
      <description>Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wamevitaja vitisho vya Marekani vya kuanzisha mashambulizi na uvamizi wa nchi kavu dhidi ya Iran kuwa ni dhihirisho lingine la kukata tamaa kwa Marekani dhidi ya nguvu ya kijeshi na ulinzi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 08:45:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amir Hatami: Hakuna adui hata mmoja anayepaswa kubakia hai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137748-amir_hatami_hakuna_adui_hata_mmoja_anayepaswa_kubakia_hai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd7337aae322p5v9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137748-amir_hatami_hakuna_adui_hata_mmoja_anayepaswa_kubakia_hai </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameiagiza Makao Makuu ya Operesheni ya Jeshi kufuatilia nyendo na vitendo vya adui kwa jicho la kushuku na usahihi mkubwa, mara kwa mara, na kutekeleza mipango ya kukabiliana na mbinu za mashambulizi ya adui kwa wakati unaofaa.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:17:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imejaa uongo, udanganyifu: Wabunge wa Marekani wakosoa hotuba ya Trump kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137746-imejaa_uongo_udanganyifu_wabunge_wa_marekani_wakosoa_hotuba_ya_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa74290fb892p5vg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137746-imejaa_uongo_udanganyifu_wabunge_wa_marekani_wakosoa_hotuba_ya_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Wabunge wa Marekani wamelaani hotuba ya Rais Donald Trump kwa taifa kutokana na kuwa na mchanganyiko wa ajabu wa udanganyifu na uongo kuhusu malengo na mafanikio yanayodaiwa katika vita vya uchokozi vya Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:17:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mearsheimer: Kama kesi ya mtindo wa Nuremberg ingefanyika, Trump na Netanyahu wangenyongwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137744-mearsheimer_kama_kesi_ya_mtindo_wa_nuremberg_ingefanyika_trump_na_netanyahu_wangenyongwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwab1b6b7aaa2p5vd.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137744-mearsheimer_kama_kesi_ya_mtindo_wa_nuremberg_ingefanyika_trump_na_netanyahu_wangenyongwa </guid>  
      <description>John Mearsheimer, profesa maarufu wa mahusiano ya kimataifa katika Chuo Kikuu cha Chicago, amesema kufuatia vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza kwamba: "Kama kungefanyika kesi kama ile ya Nuremberg, na Waisraeli na Wamarekani wakafikishwa mahakamani, Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na washauri wao wengi wangehukumiwa kifo na kunyongwa."</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:15:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump: NATO ni simbamarara wa karatasi, ninafikiria kujiondoa kwenye shirika hili </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137742-trump_nato_ni_simbamarara_wa_karatasi_ninafikiria_kujiondoa_kwenye_shirika_hili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw98c7d999b52p5vf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137742-trump_nato_ni_simbamarara_wa_karatasi_ninafikiria_kujiondoa_kwenye_shirika_hili </guid>  
      <description>Rais wa Marekani amesema kwamba Washington inafikiria kwa dhati kujiondoa kwenye Shirika la Kujihami la Nchi za Magharibi (NATO).</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:15:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran na vikwazo kwa vyombo vya habari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137740-un_yaonya_kuhusu_ukandamizaji_wa_waungaji_mkono_wa_iran_na_vikwazo_kwa_vyombo_vya_habari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw71d3ded3262p5va.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137740-un_yaonya_kuhusu_ukandamizaji_wa_waungaji_mkono_wa_iran_na_vikwazo_kwa_vyombo_vya_habari </guid>  
      <description>Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali na kuonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran katika eneo la Magharibi mwa Asia kufuatia uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya nchi hiyo, pamoja na vikwazo dhidi ya uhuru wa vyombo vya habari huko Washington na Tel Aviv.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:55:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Nishati la Kimataifa: Tatizo kubwa zaidi la mafuta katika historia liko njiani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137738-shirika_la_nishati_la_kimataifa_tatizo_kubwa_zaidi_la_mafuta_katika_historia_liko_njiani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0d7fa676ab2p5ve.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137738-shirika_la_nishati_la_kimataifa_tatizo_kubwa_zaidi_la_mafuta_katika_historia_liko_njiani </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA) ameonya kwamba matatizo katika usambazaji wa mafuta na gesi yaliyosababishwa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran yamezidi mgogoro wa mafuta wa 1973 na 1979 na yameibua mshtuko mkubwa zaidi wa nishati katika historia.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:55:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaingia rasmi vitani kwa maslahi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137736-yemen_yaingia_rasmi_vitani_kwa_maslahi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c93f06090523f2la98.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137736-yemen_yaingia_rasmi_vitani_kwa_maslahi_ya_iran </guid>  
      <description>Yemen imetangaza rasmi kuingia katika vita kwa maslahi ya Iran, na sasa kila mtu ana wasiwasi kuhusu muelekeo wa vita hivi huku Wamagharibi na waungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel wakiingiwa na wasi wasi mkubwa kwamba huenda uchumi wa utawala huo ukabanwa na kupata madhara makubwa iwapo jeshi la Yemen litaamua kufunga na kudhibiti njia muhimu ya usafiri wa meli za biashara na mizigo, yaani  Lango-Bahari la Bab al-Mandab.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:43:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lango-Bahari la Hormuz liko chini ya udhibiti kamili wa IRGC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137734-lango_bahari_la_hormuz_liko_chini_ya_udhibiti_kamili_wa_irgc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpre54424e40a17j10.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137734-lango_bahari_la_hormuz_liko_chini_ya_udhibiti_kamili_wa_irgc </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuwa Lango-Bahari la Hormuz sasa liko chini ya udhibiti kamili wa vikosi vyake vya majini, huku likitoa maelezo ya mfululizo wa operesheni za makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya malengo ya Marekani na Israel katika maeneo mbalimbali ya kanda.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:27:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali sheria ya Israel inayoruhusu kunyongwa wafungwa wa Kipalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137732-iran_yalaani_vikali_sheria_ya_israel_inayoruhusu_kunyongwa_wafungwa_wa_kipalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd146d4e7aa2p5ts.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137732-iran_yalaani_vikali_sheria_ya_israel_inayoruhusu_kunyongwa_wafungwa_wa_kipalestina </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amelaani jaribio la utawala wa Kizayuni wa Israel kupitisha sheria kupitia bunge la utawala huo, Knesset, itakayoruhusu kunyongwa wafungwa wa Kipalestina, akitaja uamuzi huo kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na misingi ya haki za binadamu.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:23:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Shambulio dhidi ya miundombinu ya Iran ni dalili ya udhaifu wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137730-rais_pezeshkian_shambulio_dhidi_ya_miundombinu_ya_iran_ni_dalili_ya_udhaifu_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa00c41033b2p5tu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137730-rais_pezeshkian_shambulio_dhidi_ya_miundombinu_ya_iran_ni_dalili_ya_udhaifu_wa_marekani </guid>  
      <description>Rais wa Iran, amehoji katika ujumbe aliouelekeza kwa wananchi wa Marekani kwamba: Vita vinavyoendelea sasa vinanufaisha vipi maslahi halisi ya watu wa Marekani? Amesisitiza kuwa mashambulio dhidi ya miundombinu muhimu ya Iran, ikiwemo vituo vya nishati na viwanda, ni hatua inayolenga moja kwa moja kuvuruga maisha ya watu wa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:22:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aiambia Hizbullah: Iran itaendelea kuunga mkono Muqawama dhidi ya Marekani na Wazayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137728-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aiambia_hizbullah_iran_itaendelea_kuunga_mkono_muqawama_dhidi_ya_marekani_na_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv453067edd42p5nw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137728-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aiambia_hizbullah_iran_itaendelea_kuunga_mkono_muqawama_dhidi_ya_marekani_na_wazayuni </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Ali Khamenei amemwandikia barua Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, akiahidi kuendeleza uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa harakati hiyo ya Muqawama na mapambano katika kukabiliana na adui, Marekani na Uzayuni.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 05:32:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yashambuliwa kwa makombora kutoka Iran, Yemen na Hizbullah</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137726-israel_yashambuliwa_kwa_makombora_kutoka_iran_yemen_na_hizbullah</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpw0d883eeae31b9ey.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137726-israel_yashambuliwa_kwa_makombora_kutoka_iran_yemen_na_hizbullah </guid>  
      <description>Mashambulizi ya pamoja ya makombora kutoka Iran, harakati ya Hizbullah ya Lebnon na Jeshi la Yemen yamelenga ngome za utawala wa Kizayuni wa Israel mapema siku ya Jumatano.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:35:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Brigedia Jenerali Fadavi: Ujinga wa Marekani umewaletea matatizo walimwengu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137724-brigedia_jenerali_fadavi_ujinga_wa_marekani_umewaletea_matatizo_walimwengu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9c3ec42669bc2o2jo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137724-brigedia_jenerali_fadavi_ujinga_wa_marekani_umewaletea_matatizo_walimwengu </guid>  
      <description>Mshauri wa Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: “Walimwengu sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa ya nishati kutokana na upumbavu wa shetani mkubwa, Marekani.”</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:13:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Italia pia yapiga marufuku Marekani kutumia vituo vyake katika vita dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137722-italia_pia_yapiga_marufuku_marekani_kutumia_vituo_vyake_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0z9b0916ed3726aj1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137722-italia_pia_yapiga_marufuku_marekani_kutumia_vituo_vyake_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Italia nayo imepiga marufuku Marekani kutumia kituo chake cha anga cha Sigonella katika kuishambulia Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:08:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje: Marekani inataka kuhuisha fikra ya ufashisti ya kabla ya Vita vya Pili vya Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137720-msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje_marekani_inataka_kuhuisha_fikra_ya_ufashisti_ya_kabla_ya_vita_vya_pili_vya_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv16795f803c2p5kh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137720-msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje_marekani_inataka_kuhuisha_fikra_ya_ufashisti_ya_kabla_ya_vita_vya_pili_vya_dunia </guid>  
      <description>Akijibu kauli za Seneta wa chama cha Republican, Lindsey Graham, na mshauri wa zamani wa Donald Trump, Steve Bannon kuhusu kutumia mifano ya kihistoria kuhalalisha vita, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema: "Marejeleo haya ya kihistoria yanafanana waziwazi na mawazo ya Wanazi na Wafashisti."</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:00:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Tunashindwa vibaya katika vita dhidi ya Iran na kwa aibu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137718-seneta_wa_marekani_tunashindwa_vibaya_katika_vita_dhidi_ya_iran_na_kwa_aibu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0w5c142d90a224krj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137718-seneta_wa_marekani_tunashindwa_vibaya_katika_vita_dhidi_ya_iran_na_kwa_aibu </guid>  
      <description>Seneta Chris Murphy wa Marekani ameonya kwamba Marekani inakaribia kushindwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:59:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China: Shambulio lolote la Marekani na Israel dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran litakuwa na madhara makubwa kwa usalama na uthabiti wa eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137716-china_shambulio_lolote_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran_litakuwa_na_madhara_makubwa_kwa_usalama_na_uthabiti_wa_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw542ccde6eb2p5pz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137716-china_shambulio_lolote_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran_litakuwa_na_madhara_makubwa_kwa_usalama_na_uthabiti_wa_eneo </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, huku akisisitiza haja ya kusimamishwa haraka vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameonya dhidi ya shambulio lolote la pande mbili hizo dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:55:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu awashukuru wanazuoni wa Kisuni wa Kurdistan kwa uungaji mkono wao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137714-kiongozi_muadhamu_awashukuru_wanazuoni_wa_kisuni_wa_kurdistan_kwa_uungaji_mkono_wao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv32b45bb3072p5nc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137714-kiongozi_muadhamu_awashukuru_wanazuoni_wa_kisuni_wa_kurdistan_kwa_uungaji_mkono_wao </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa shukrani kwa wanazuoni wa Kisuni katika Mkoa wa Kurdistan nchini Iran kufuatia ujumbe wao wa pole na mshikamano baada ya kuuawa shahidi aliyekuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:20:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Iran UN alaani shambulio la US na Israel dhidi ya ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137712-mwakilishi_wa_iran_un_alaani_shambulio_la_us_na_israel_dhidi_ya_ofisi_za_umoja_wa_mataifa_mjini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0yd0305a51e925ura.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137712-mwakilishi_wa_iran_un_alaani_shambulio_la_us_na_israel_dhidi_ya_ofisi_za_umoja_wa_mataifa_mjini_tehran </guid>  
      <description>Balozi na mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo, akilaani mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Tehran na kutoa wito wa ufuatiliaji wa haraka na kutolewa ripoti rasmi kuhusu tukio hilo. </description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:13:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Iran haijatoa jibu lolote kwa mapendekezo 15 ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137710-araghchi_iran_haijatoa_jibu_lolote_kwa_mapendekezo_15_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv7ce2252d1c2p5np.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137710-araghchi_iran_haijatoa_jibu_lolote_kwa_mapendekezo_15_ya_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Tehran hadi sasa haijatoa jibu kwa mapendekezo 15 ya Marekani, wala haijawasilisha sharti lolote.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:07:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CNN: Kuharibiwa ndege za AWACS za US ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137708-cnn_kuharibiwa_ndege_za_awacs_za_us_ni_pigo_kubwa_kwa_uwezo_wa_anga_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv94b708047b2p5ml.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137708-cnn_kuharibiwa_ndege_za_awacs_za_us_ni_pigo_kubwa_kwa_uwezo_wa_anga_wa_marekani </guid>  
      <description>Mtaalamu wa masuala ya kijeshi wa Televisheni ya CNN ya Marekani ameitaja hatua ya Iran ya kupiga na kuharibu ndege ya kijasusi ya Marekani aina ya AWACS kuwa ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:44:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ahadi ya Kweli 4, Wimbi la 88: Jeshi la Wanamaji la IRGC laharibu mfumo wa kukabiliana na droni wa US Fifth Fleet</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137706-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_88_jeshi_la_wanamaji_la_irgc_laharibu_mfumo_wa_kukabiliana_na_droni_wa_us_fifth_fleet</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv1d48f9e5312p5m9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137706-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_88_jeshi_la_wanamaji_la_irgc_laharibu_mfumo_wa_kukabiliana_na_droni_wa_us_fifth_fleet </guid>  
      <description>Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) mapema leo Jumanne kimefanya operesheni nne dhidi ya shabaha za magaidi wa Kimarekani na Israel na kutoa vipigo vikali ikiwa ni sehemu ya wimbi la 88 la Operesheni Ahadi ya Kweli-4.
</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:18:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian alishukuru taifa la Iraq kwa kuwa bega kwa bega na Iran katika mapambano dhidi ya Marekani, Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137704-pezeshkian_alishukuru_taifa_la_iraq_kwa_kuwa_bega_kwa_bega_na_iran_katika_mapambano_dhidi_ya_marekani_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9cd3fe8643112oege.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137704-pezeshkian_alishukuru_taifa_la_iraq_kwa_kuwa_bega_kwa_bega_na_iran_katika_mapambano_dhidi_ya_marekani_israel </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesifu na kupongeza ujasiri wa taifa la Iraq wa kusimama bega kwa bega na watu wa Iran katika kipindi hiki cha uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:17:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uungaji mkono wa Wamarekani kwa utendaji wa Trump wapungua hadi asilimia 33</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137702-uungaji_mkono_wa_wamarekani_kwa_utendaji_wa_trump_wapungua_hadi_asilimia_33</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvaa2f8966e42p5lx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137702-uungaji_mkono_wa_wamarekani_kwa_utendaji_wa_trump_wapungua_hadi_asilimia_33 </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa, kiwango cha uungaji mkono wa wananchi kwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena kimepungua hadi asilimia 33 tu; huku idadi kubwa ya Wamarekani wakipinga mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.  </description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 05:41:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mapambano ya Watu wa Iran dhidi ya Madhalimu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137700-mapambano_ya_watu_wa_iran_dhidi_ya_madhalimu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c975852edf13e2mkx0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137700-mapambano_ya_watu_wa_iran_dhidi_ya_madhalimu </guid>  
      <description>Swali muhimu zaidi ambalo limekuwa likiwashughulisha wachambuzi wengi na hata watumiaji wa mitandao ya kijamii siku hizi ni kuwa: "Je, Wairani wameweza vipi kusimama imara mbele ya nguvu mbili zenye silaha za nyuklia bila kuogopa wala kusalimu amri?"</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 04:51:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uingereza: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran si vita vyetu/ Ujerumani: Kuenea kwa vita kutashinikiza vikali uchumi wa Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137698-uingereza_hujuma_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_si_vita_vyetu_ujerumani_kuenea_kwa_vita_kutashinikiza_vikali_uchumi_wa_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva38ceff3102p5lh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137698-uingereza_hujuma_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_si_vita_vyetu_ujerumani_kuenea_kwa_vita_kutashinikiza_vikali_uchumi_wa_ulaya </guid>  
      <description>Keir Starmer, Waziri Mkuu wa Uingereza, amesisitiza tena msimamo wa London kuhusu vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema kuwa vita hivi sio vya Uingereza na kwamba nchi yake haitaburuzwa kuingia kwenye vita hivyo.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 03:01:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Uingereza: Athari mbaya za uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kwa maisha ya Wamarekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137696-vyombo_vya_habari_vya_uingereza_athari_mbaya_za_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_kwa_maisha_ya_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6e6a26423fa32i55a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137696-vyombo_vya_habari_vya_uingereza_athari_mbaya_za_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_kwa_maisha_ya_wamarekani </guid>  
      <description>Gazeti la Uingereza la The Guardian limeandika katika ripoti yake kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimetoa mashinikizo makubwa kwa Wamarekani na kuongeza pakubwa gharama za maisha yao ya kila siku.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 02:57:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Marekani: Uungaji mkono wa Yemen kwa Iran katika mashambulizi ya Marekani na Israel umeongeza bei ya mafuta duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137694-vyombo_vya_habari_vya_marekani_uungaji_mkono_wa_yemen_kwa_iran_katika_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_umeongeza_bei_ya_mafuta_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva691c495312p5hx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137694-vyombo_vya_habari_vya_marekani_uungaji_mkono_wa_yemen_kwa_iran_katika_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_umeongeza_bei_ya_mafuta_duniani </guid>  
      <description>Tovuti ya CNBC imeandika kwamba uungaji mkono wa vikosi vya Yemen kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashambulizo ya kichokozi ya Marekani na Israel dhidi yake na urushaji wa makombora wa Wayemen kuelekea Palestina inayokaliwa kwa mabavu umepelekea bei ya mafuta kuongezeka sana katika soko la kimataifa.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 02:48:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhispania yafunga anga yake kwa ndege zenye uhusiano na mashambulizi dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137692-uhispania_yafunga_anga_yake_kwa_ndege_zenye_uhusiano_na_mashambulizi_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc7d4e5e7f32p5k3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137692-uhispania_yafunga_anga_yake_kwa_ndege_zenye_uhusiano_na_mashambulizi_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Serikali ya Uispania imetangaza kufunga anga ya nchi hiyo kwa ndege zote za kijeshi zinazohusiana na mashambulizi dhidi ya Iran, kama ishara ya kupinga vita vinavyoongozwa na Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 00:28:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakanusha kuwepo mazungumzo yoyote na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137690-iran_yakanusha_kuwepo_mazungumzo_yoyote_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv387eb6c4142p5jw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137690-iran_yakanusha_kuwepo_mazungumzo_yoyote_na_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amesisitiza kuwa Tehran haijafanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani, na amekanusha madai kwamba Jamhuri ya Kiislamu imekubali mapendekezo ya Washington, akieleza kauli hizo kuwa hazina msingi wowote.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 00:16:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC: Israel izoee “Mfumo Mpya wa Kikanda”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137688-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_israel_izoee_mfumo_mpya_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c94bd1b697ece2ljam.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137688-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_israel_izoee_mfumo_mpya_wa_kikanda </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Esmaeil Qaani, amesema kuwa utawala wa Israel unapaswa kuanza kuzoea  “mfumo mpya wa nguvu katika kanda y Magharibi mwa Asia,” akisisitiza kwamba hatua zilizoratibiwa na washirika wa Iran katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) zimepunguza kwa kiasi kikubwa matarajio ya usalama ya Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 23:07:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4; ulipizaji kisasi dhidi ya maeneo ya viwanda ya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137686-awamu_ya_pili_ya_wimbi_la_86_la_oparesheni_ahadi_ya_kweli_4_ulipizaji_kisasi_dhidi_ya_maeneo_ya_viwanda_ya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvdc0e25a2fa2p5fl.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137686-awamu_ya_pili_ya_wimbi_la_86_la_oparesheni_ahadi_ya_kweli_4_ulipizaji_kisasi_dhidi_ya_maeneo_ya_viwanda_ya_adui </guid>  
      <description>Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetoa taarifa ikitangaza kuwa jeshi hilo limetekeleza awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4 dhidi ya kitongoji cha viwanda cha Neot Hovav huko Beersheba kusini mwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel). </description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 07:20:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Senator Mdemocrat wa Marekani: Uwongo wa Trump ni ujumbe kwa Iran kuhusu namna alivyokwama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137684-senator_mdemocrat_wa_marekani_uwongo_wa_trump_ni_ujumbe_kwa_iran_kuhusu_namna_alivyokwama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bk1bf293db8b63577.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137684-senator_mdemocrat_wa_marekani_uwongo_wa_trump_ni_ujumbe_kwa_iran_kuhusu_namna_alivyokwama </guid>  
      <description>Chris Murphy Seneta wa chama cha Democratic nchini Marekani amesema kuwa uongo wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba anafanya mazungumzo na Iran unatoa ujumbe kwa Tehran kwamba amekwama kwenye kinamasi na amezongwa na mashinikizo. 
</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 07:11:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa ngazi ya juu wa vikosi vya ulinzi vya Yemen: Tupo pamoja na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137682-kamanda_wa_ngazi_ya_juu_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_yemen_tupo_pamoja_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv051aad0ba82p5ib.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137682-kamanda_wa_ngazi_ya_juu_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_yemen_tupo_pamoja_na_iran </guid>  
      <description>Kamanda wa ngazi ya juu wa vikosi vya ulinzi vya Yemen amesema: Tunatumia chaguo la kufunga Mlango Bahari wa Babul Mandab kwa meli za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. </description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 06:57:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni ya Wamarekani waandamana kupinga  vita  vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137680-mamilioni_ya_wamarekani_waandamana_kupinga_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv1319f2607f2p5g3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137680-mamilioni_ya_wamarekani_waandamana_kupinga_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mamilioni ya Wamarekani wameandamana katika miji zaidi ya 50 kote Marekani mwishoni mwa juma kupinga uvamizi wa pamoja wa Marekani na Israel dhidi ya Iran, wakati mzozo huo ukiingia mwezi wake wa pili.</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 04:24:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu awashukuru wanazuoni wakuu na wananchi wa Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137678-kiongozi_muadhamu_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_awashukuru_wanazuoni_wakuu_na_wananchi_wa_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvec891392ef2p5ew.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137678-kiongozi_muadhamu_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_awashukuru_wanazuoni_wakuu_na_wananchi_wa_iraq </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshukuru na kuthamini misimamo ya msingi ya wanazuoni wakuu wa kidini na wananchi wa Iraq.</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 01:55:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Admeri Irani awaonya Wamarekani: Manowari ya Lincoln ikija karibu, tutalipiza kisasi cha damu ya mashahidi wa Dena.</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137676-admeri_irani_awaonya_wamarekani_manowari_ya_lincoln_ikija_karibu_tutalipiza_kisasi_cha_damu_ya_mashahidi_wa_dena.</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0w74c2b9c1ce24l9i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137676-admeri_irani_awaonya_wamarekani_manowari_ya_lincoln_ikija_karibu_tutalipiza_kisasi_cha_damu_ya_mashahidi_wa_dena. </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaonya Wamarekani akisema: "Mara tu manowari ya kubeba ndege ya Abraham Lincoln itakapokaribia eneo letu la ulengaji shabaha, tutalipiza kisasi cha damu ya mashahidi wa manowari ya Dena kwa kurusha aina mbalimbali ya makombora kutoka pwani hadi baharini."</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 01:54:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Wanajeshi wa Marekani watageuzwa kuwa “Chakula cha Papa”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137674-jeshi_la_iran_wanajeshi_wa_marekani_watageuzwa_kuwa_chakula_cha_papa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf0054385fe2p5eq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137674-jeshi_la_iran_wanajeshi_wa_marekani_watageuzwa_kuwa_chakula_cha_papa </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi ya Khatam al‑Anbia ya Jeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa uvamizi wowote wa kijeshi wa Marekani kupitia nchi kavu au jaribio la kuikalia kwa mabavu ardhi ya Iran utamalizika kwa madhara makubwa, akisema askari wa Marekani watakumbana na maangamizi na hata kugeuka “chakula cha papa” katika Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 23:17:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge: Iran imekataa matakwa ya Marekani na Israel ya “Kujisalimisha,” Itapigana hadi ushindi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137672-spika_wa_bunge_iran_imekataa_matakwa_ya_marekani_na_israel_ya_kujisalimisha_itapigana_hadi_ushindi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvb3687fb28b2p5ck.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137672-spika_wa_bunge_iran_imekataa_matakwa_ya_marekani_na_israel_ya_kujisalimisha_itapigana_hadi_ushindi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema Iran haitakubali kamwe masharti ya kujisalimisha yanayotolewa na Marekani na Israel, na itaendelea kupigana hadi ipate ushindi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 23:09:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo XIV audhihaki utawala wa Trump: Mungu hayuko pamoja na wapenda vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137670-papa_leo_xiv_audhihaki_utawala_wa_trump_mungu_hayuko_pamoja_na_wapenda_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c970492bcd4c62mbmf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137670-papa_leo_xiv_audhihaki_utawala_wa_trump_mungu_hayuko_pamoja_na_wapenda_vita </guid>  
      <description>Papa Leo wa 14 amepinga majaribio ya kutaka kuhalalisha vita na mauaji kwa kutumia vibaya jina la Mungu, katika matamshi ambayo, kwa mujibu wa Televisheni ya CNN, yamerudi na kupinga madai yaliyotolewa na utawala wa Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 09:12:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini jiografia inaipa Iran nafasi nzuri katika Lango-Bahari la Hormuz?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137668-kwa_nini_jiografia_inaipa_iran_nafasi_nzuri_katika_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsj4db6ec42541gnht.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137668-kwa_nini_jiografia_inaipa_iran_nafasi_nzuri_katika_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Lango Bahari la Hormuz takriban limefungwa kwa wiki nne sasa na hivyo
kupelekea soko la mafuta duniani kutumbukia katika mgogoro mkubwa wa nishati na wala haijulikani litafunguliwa lini.
</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 08:56:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wimbi la uungaji mkono kwa Iran barani Afrika, Ulaya na Marekani; Watu walaani uchokozi wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137666-wimbi_la_uungaji_mkono_kwa_iran_barani_afrika_ulaya_na_marekani_watu_walaani_uchokozi_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbveb275d7c242p5c2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i137666-wimbi_la_uungaji_mkono_kwa_iran_barani_afrika_ulaya_na_marekani_watu_walaani_uchokozi_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Wananchi katika nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano wakipinga vita na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 06:36:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Jibu la Iran limepangwa ili kuharakisha kusambaratika jeshi la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137664-qalibaf_jibu_la_iran_limepangwa_ili_kuharakisha_kusambaratika_jeshi_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv8c7195fdb32p4gr.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137664-qalibaf_jibu_la_iran_limepangwa_ili_kuharakisha_kusambaratika_jeshi_la_israel </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezungumzia kukiri kamanda wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kusambaratika jeshi hilo na kuandika: Jibu la Iran limeratibiwa kwa namna ambayo linaharakisha kusambaratika jeshi la Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 05:57:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jebelli: Misimamo ya ujasiri ya Shahidi Shoaib ilipinga mashine ya vita ya adui Mzayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137662-jebelli_misimamo_ya_ujasiri_ya_shahidi_shoaib_ilipinga_mashine_ya_vita_ya_adui_mzayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvb892e65e6a2p5ba.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137662-jebelli_misimamo_ya_ujasiri_ya_shahidi_shoaib_ilipinga_mashine_ya_vita_ya_adui_mzayuni </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ametuma salamu za rambirambi kwa wakurugenzi wa Televisheni za Al-Manar na Al-Mayadeen za Lebanon kufuatia hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwauwa kwa makusudi waandishi habari wa vyombo hivyo habari kusini mwa Lebanon. </description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 05:50:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Mashambulizi dhidi ya vyuo vikuu yanaonyesha chuki ya adui kwa maendeleo ya kisayansi ya Wairani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137660-baqaei_mashambulizi_dhidi_ya_vyuo_vikuu_yanaonyesha_chuki_ya_adui_kwa_maendeleo_ya_kisayansi_ya_wairani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu873446e3422owwn.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137660-baqaei_mashambulizi_dhidi_ya_vyuo_vikuu_yanaonyesha_chuki_ya_adui_kwa_maendeleo_ya_kisayansi_ya_wairani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai za adui za kuvishambulia vyuo viku na vituo vya elimu nchini Iran. </description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 05:26:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi ya Iran yaua au kujeruhi zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani waliokuwa wamejificha UAE</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137658-mashambulizi_ya_iran_yaua_au_kujeruhi_zaidi_ya_wanajeshi_500_wa_marekani_waliokuwa_wamejificha_uae</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvbb5fc697302p59i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137658-mashambulizi_ya_iran_yaua_au_kujeruhi_zaidi_ya_wanajeshi_500_wa_marekani_waliokuwa_wamejificha_uae </guid>  
      <description>Jeshi la Iran lilitangaza siku ya Jumamosi kuwa vikosi vyake vimeua au kuwajeruhi zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani katika mashambulizi yaliyolenga maficho mawili ya Marekani huko Dubai.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 03:23:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bloomberg: Nchi za Ghuba ya Uajemi zimechoshwa na vita/ Oman yaunga mkono Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137656-bloomberg_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_zimechoshwa_na_vita_oman_yaunga_mkono_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3oe7a74742132cbzf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137656-bloomberg_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_zimechoshwa_na_vita_oman_yaunga_mkono_iran </guid>  
      <description>Chombo kimoja cha habari cha Magharibi kimekiri kwamba nchi za Ghuba ya Uajemi zimechoshwa na vita dhidi ya Iran na zinaamini kuwa Marekani haina mkakati wowote katika vita hivi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 03:17:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia nchini Iran yanapaswa kulaaniwa kimataifa/Grossi achukue msimamo ulio wazi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137654-russia_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_nchini_iran_yanapaswa_kulaaniwa_kimataifa_grossi_achukue_msimamo_ulio_wazi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0v70859c433b2430s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137654-russia_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_nchini_iran_yanapaswa_kulaaniwa_kimataifa_grossi_achukue_msimamo_ulio_wazi </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema mashambulizi mapya ya Ijumaa kwenye vituo vya amani vya nyuklia nchini Iran yanapasa kulaaniwa kimataifa.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, mashambulizi mapya dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia nchini Iran siku ya Ijumaa yanapasa kulaaniwa kimataifa, na kumtaka Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki kuwa na msimamo wa wazi na kubainisha bayana kwamba wavamizi wa Marekani na Wazayuni wamevuka mipaka.
</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 03:06:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatafakari kujiondoa mkataba wa nyuklia wa  NPT</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137652-iran_yatafakari_kujiondoa_mkataba_wa_nyuklia_wa_npt</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bv50d86303d381kxt7.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137652-iran_yatafakari_kujiondoa_mkataba_wa_nyuklia_wa_npt </guid>  
      <description>Ripoti zinaonyesha kuwa suala la kujiondoa katika Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) sasa limewekwa katika ajenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 01:06:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran, aonya kuwa Israel inalenga kueneza vita katika kanda ya Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137650-rais_wa_iran_aonya_kuwa_israel_inalenga_kueneza_vita_katika_kanda_ya_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv4a33c93c692p58y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137650-rais_wa_iran_aonya_kuwa_israel_inalenga_kueneza_vita_katika_kanda_ya_asia_magharibi </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameonya katika mazungumzo yake ya simu na Waziri Mkuu wa Pakistan, kuhusu malengo hatari ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupanua vita hadi nchi nyingine za kanda ya Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 01:05:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaangusha ndege nyingine ya kivita aina ya F 16 ya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137648-iran_yaangusha_ndege_nyingine_ya_kivita_aina_ya_f_16_ya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6e77c67c192p2k9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137648-iran_yaangusha_ndege_nyingine_ya_kivita_aina_ya_f_16_ya_adui </guid>  
      <description>Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kwamba wimbi la 85 la Operesheni Ahadi ya Kweli 4 lilitekelezwa, kwa kushambulia viwanda kadhaa vikubwa vya adui na kuharibu ndege nyingine ya kivita ya F-16 ya adui.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 00:02:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya kichokozi vya Israel na Marekani dhidi ya Iran na msimamo hasi wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137646-vita_vya_kichokozi_vya_israel_na_marekani_dhidi_ya_iran_na_msimamo_hasi_wa_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv80686301592p571.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137646-vita_vya_kichokozi_vya_israel_na_marekani_dhidi_ya_iran_na_msimamo_hasi_wa_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Asubuhi ya Jumamosi, Februari 28, 2026, Israel na Marekani zilianza rasmi kuishambulia Iran kwa pamoja ambapo mwanzoni kabisa mwa shambulio hilo, zilimuua shahidi Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mauaji hayo ya kigaidi yalitekelezwa huku mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani yakiendelea.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 08:16:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baraza la Haki za Binadamu la UN lalaani kwa kauli moja shambulio la Marekani na Israel dhidi ya shule Minab, Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137644-baraza_la_haki_za_binadamu_la_un_lalaani_kwa_kauli_moja_shambulio_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_shule_minab_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c97b2401cd9b22mcx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137644-baraza_la_haki_za_binadamu_la_un_lalaani_kwa_kauli_moja_shambulio_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_shule_minab_iran </guid>  
      <description>Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limelaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya Shule ya Shajareh Tayyebeh katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ambapo kwa uchache wanafunzi na wafanyakazi wa shule 175 waliuawa kikatili tarehe 28 Februari.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 07:52:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah yaingia rasmi vitani; Yashambulia kusini mwa Israel kwa makombora ya balestiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137642-ansarullah_yaingia_rasmi_vitani_yashambulia_kusini_mwa_israel_kwa_makombora_ya_balestiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c69bca15a453f2ft72.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137642-ansarullah_yaingia_rasmi_vitani_yashambulia_kusini_mwa_israel_kwa_makombora_ya_balestiki </guid>  
      <description>Vikosi vya jeshi la Yemen vimetangaza kwamba vimeshambulia shabaha nyeti kusini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa makombora ya balestiki.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 07:38:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazamisha boti za kivita na kuua magaidi kadhaa wa jeshi la Marekani katika wimbi la 84, Ahadi ya Kweli4</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137640-iran_yazamisha_boti_za_kivita_na_kuua_magaidi_kadhaa_wa_jeshi_la_marekani_katika_wimbi_la_84_ahadi_ya_kweli4</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvbee9d0ec652p4xl.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137640-iran_yazamisha_boti_za_kivita_na_kuua_magaidi_kadhaa_wa_jeshi_la_marekani_katika_wimbi_la_84_ahadi_ya_kweli4 </guid>  
      <description>Idara ya Mahusiano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuwa: "Meli kadhaa za kivita za jeshi gaidi la Marekani zimezamishwa majini, na idadi kubwa ya wanajeshi kuuawa katika wimbi la 84 "la Operesheni Ahadi ya Kweli 4."</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 05:44:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ankara yaziambia nchi za Kiarabu: Msiingie katika mchezo wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137638-ankara_yaziambia_nchi_za_kiarabu_msiingie_katika_mchezo_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9b8610d92d022noqt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137638-ankara_yaziambia_nchi_za_kiarabu_msiingie_katika_mchezo_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amezihutubu nchi za Kiislamu na kuzitahadharisha ziwe makini na kutoingia katika mchezo wa utawala wa Kizayuni Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 04:42:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran unahusiana na rasilimali za nishati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137636-russia_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_unahusiana_na_rasilimali_za_nishati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bk1fa039698bb2uv0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137636-russia_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_unahusiana_na_rasilimali_za_nishati </guid>  
      <description>Maria Zakharova, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, amesema kupitia taarifa akiashiria hujuma za kijeshi za Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran kwamba: "Sababu ya mashambulio dhidi ya nchi hii inahusiana moja kwa moja na tamaa ya madola ya kigeni ya kutaka kupora na kudhibiti rasilimali zake za mafuta na gesi."</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 04:42:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uungaji mkono wa mabunge ya CSTO kwa Iran dhidi ya uchokozi wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137634-uungaji_mkono_wa_mabunge_ya_csto_kwa_iran_dhidi_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9b9c65bc169d2o07w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137634-uungaji_mkono_wa_mabunge_ya_csto_kwa_iran_dhidi_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Baraza la Mabunge ya Jumuiya ya Makubaliano ya Usalama wa Pamoja (CSTO) limetoa taarifa ya pamoja likitangaza mshikamano wake na serikali pamoja na watu wa Iran katika kukabiliana na hujuma za kijeshi za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. Limesema: "Matumizi au tishio la nguvu dhidi ya nchi huru ni jambo lisilokubalika na kitendo hicho ni tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa."</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 04:37:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Mousavi amuonya adui Mzayuni-Mmarekani: Umepiga miundombinu yetu; sasa subiri uone</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137632-jenerali_mousavi_amuonya_adui_mzayuni_mmarekani_umepiga_miundombinu_yetu_sasa_subiri_uone</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv36bce638ee2p3do.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137632-jenerali_mousavi_amuonya_adui_mzayuni_mmarekani_umepiga_miundombinu_yetu_sasa_subiri_uone </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa matamshi ya kujibu mashambulizi ya adui Marekani-Mzayuni dhidi ya miundombinu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 04:32:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Iran ndiyo nchi iliyofanikiwa zaidi kudhibiti nguvu za kijeshi za Marekani tangu Vita vya Pili vya Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137630-new_york_times_iran_ndiyo_nchi_iliyofanikiwa_zaidi_kudhibiti_nguvu_za_kijeshi_za_marekani_tangu_vita_vya_pili_vya_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf88926f98d2p548.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137630-new_york_times_iran_ndiyo_nchi_iliyofanikiwa_zaidi_kudhibiti_nguvu_za_kijeshi_za_marekani_tangu_vita_vya_pili_vya_dunia </guid>  
      <description>Chombo cha habari cha Marekani kimetangaza kwamba Iran ndiyo kikwazo kikubwa zaidi kwa nguvu za kijeshi za Marekani tangu baada ya Vita vya Pili vya Dunia.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 03:22:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen latangaza utayari wa kujiunga na Iran kupambana na maadui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137628-jeshi_la_yemen_latangaza_utayari_wa_kujiunga_na_iran_kupambana_na_maadui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvafc15983132p543.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137628-jeshi_la_yemen_latangaza_utayari_wa_kujiunga_na_iran_kupambana_na_maadui </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limetangaza kuwa liko tayari kuingilia moja kwa moja kijeshi iwapo pande nyingine zitaungana na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mhimili wa Muqawama.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 00:12:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab ni sehemu ndogo tu ya uhalifu wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137624-araghchi_mauaji_ya_wanafunzi_katika_shule_ya_minab_ni_sehemu_ndogo_tu_ya_uhalifu_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv51306764102p531.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137624-araghchi_mauaji_ya_wanafunzi_katika_shule_ya_minab_ni_sehemu_ndogo_tu_ya_uhalifu_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyofanywa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu,” ya uhalifu wa kivita unaofanywa na muungano wa kijeshi wa tawala hizo mbili.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 23:24:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kujiuzulu kwa Joe Kent kunasema mengi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137622-kujiuzulu_kwa_joe_kent_kunasema_mengi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc52ecb6e7c2p485.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137622-kujiuzulu_kwa_joe_kent_kunasema_mengi </guid>  
      <description>Katika chapisho la mtandao wa kijamii siku ya Jumanne tarehe 17 Machi, Joe Kent alitangaza kwamba amejiuzulu kama Mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi cha Marekani kwa lengo la kupinga uamuzi wa utawala wa Donald Trump wa kujiunga na Israel katika vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 11:08:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yalitaka Baraza la Usalama la UN kulaani njama za mauaji za Marekani na Israel dhidi ya maafisa wakuu wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137620-tehran_yalitaka_baraza_la_usalama_la_un_kulaani_njama_za_mauaji_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_maafisa_wakuu_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv3d72e3c5062p503.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137620-tehran_yalitaka_baraza_la_usalama_la_un_kulaani_njama_za_mauaji_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_maafisa_wakuu_wa_iran </guid>  
      <description>Iran imeuarifu rasmi Umoja wa Mataifa kuhusu ripoti za vyombo vya habari zinazofichua mipango ya hila ya Marekani na Israel ya kuwaua maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu, akiwemo Spika wa Bunge Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Sayyid Abbas Araghchi, ikielezea vitisho hivyo kama mfano wazi wa ugaidi wa serikali na ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 06:20:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al Houthi: Mashambulizi ya adui Marekani na Mzayuni dhidi ya Iran hayawezi kuhalalishwa kwa namna yoyote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137618-al_houthi_mashambulizi_ya_adui_marekani_na_mzayuni_dhidi_ya_iran_hayawezi_kuhalalishwa_kwa_namna_yoyote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6hb5c22c60692j6ud.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137618-al_houthi_mashambulizi_ya_adui_marekani_na_mzayuni_dhidi_ya_iran_hayawezi_kuhalalishwa_kwa_namna_yoyote </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran hayana msingi wowote.  </description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 06:20:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ahadi ya Kweli - 4, Wimbi la 83: Iran yapiga ngome za Marekani, Israel kwa makombora ya kisasa, ndege zisizo na rubani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137616-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_83_iran_yapiga_ngome_za_marekani_israel_kwa_makombora_ya_kisasa_ndege_zisizo_na_rubani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6c210eadcac42hfbe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137616-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_83_iran_yapiga_ngome_za_marekani_israel_kwa_makombora_ya_kisasa_ndege_zisizo_na_rubani </guid>  
      <description>Kikosi cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza utekelezaji wa wimbi 83 la Operesheni Ahadi ya Kweli- 4 mapema leo Ijumaa, kikilenga vituo muhimu vya kijeshi vya Marekani na Israel kote katika eneo la Asia Magharibi kwa makombora na ndege zisizo na rubani.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 05:52:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vipigo vya makombora ya Hizbullah vyalivuruga baraza la mawaziri la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137614-vipigo_vya_makombora_ya_hizbullah_vyalivuruga_baraza_la_mawaziri_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf16261d5bb2p501.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137614-vipigo_vya_makombora_ya_hizbullah_vyalivuruga_baraza_la_mawaziri_la_israel </guid>  
      <description>Ongezeko la mashambulizi ya roketi ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon dhidi ya jeshi la utawala ghasibu wa Israel, yaliyoelezwa na vyombo vya habari vya Israel kama mashambulizi makali zaidi tangu kuanza kwa vita, limeugeuza mkutano wa baraza la mawaziri la Israel kuwa uwanja wa malumbano makali kati ya waziri wa fedha na mkuu wa majeshi ya utawala huo.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 04:49:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jarida la Marekani: Iran inapata ushindi katika vita vya Marekani na Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137612-jarida_la_marekani_iran_inapata_ushindi_katika_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv2fa653f7332p50a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137612-jarida_la_marekani_iran_inapata_ushindi_katika_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Jarida la Foreign Affairs la Marekani, limechunguza uwiano wa ushindi na hasara katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kuandika: Tehran inapata ushindi katika vita hivi.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 04:37:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Matokeo ya uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran yanaweza kulinganishwa na athari mbaya za corona</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137610-putin_matokeo_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_yanaweza_kulinganishwa_na_athari_mbaya_za_corona</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by02bdd97e7711uy5i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137610-putin_matokeo_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_yanaweza_kulinganishwa_na_athari_mbaya_za_corona </guid>  
      <description>Rais wa Russia amesema tathmini ya matokeo ya uchokozi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran inaweza kulinganishwa na matokeo mabaya ya janga la virusi vya corona, na vita hivi vimepunguza kasi ya maendeleo ya kanda na mabara yote.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 04:34:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yataka Umoja wa Mataifa uwalaani wavamizi na uwawajibishe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137608-iran_yataka_umoja_wa_mataifa_uwalaani_wavamizi_na_uwawajibishe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf4b2c693c52p4zk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137608-iran_yataka_umoja_wa_mataifa_uwalaani_wavamizi_na_uwawajibishe </guid>  
      <description> Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za dhati na kutoa msimamo thabiti na wa wazi katika kulaani tawala zilizoanzisha vita dhidi ya Iran. Aidha ametaka uwezo wa taasisi hiyo na nchi huru utumike kuwawajibisha wahusika wa vita hivyo.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 23:28:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Nchi za Kiislamu zisiwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137606-pezeshkian_nchi_za_kiislamu_zisiwaruhusu_maadui_kupanda_mbegu_za_mifarakano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvdbc86060752p4zj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137606-pezeshkian_nchi_za_kiislamu_zisiwaruhusu_maadui_kupanda_mbegu_za_mifarakano </guid>  
      <description>Rais wa Iran amesema katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Malaysia kwamba nchi za Kiislamu hazipaswi kuwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano na kuwasha moto wa vita.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 23:05:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa Jeshi la Iran: Takribani wanajeshi 800 wa Marekani na Waisraeli 1,300 wameuawa vitani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137604-msemaji_wa_jeshi_la_iran_takribani_wanajeshi_800_wa_marekani_na_waisraeli_1_300_wameuawa_vitani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvba349f0edc2p4ze.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137604-msemaji_wa_jeshi_la_iran_takribani_wanajeshi_800_wa_marekani_na_waisraeli_1_300_wameuawa_vitani </guid>  
      <description>Msemaji mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema kuwa, kulingana na makadirio ya kijeshi ya Iran, mamia ya wanajeshi wa Marekani pamoja na zaidi ya Waisraeli 1,300 wameuawa katika vita vinavyoendelea ambavyo, vilianzishwa na tawala hizo mbili dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 22:46:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yapiga ndege nyingine ya kivita ya Marekani aina ya F-18 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137602-irgc_yapiga_ndege_nyingine_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_18</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bkb858b7484bcifg7.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137602-irgc_yapiga_ndege_nyingine_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_18 </guid>  
      <description>Ndege ya kivita aina ya F-18 ya jeshi la kigaidi la Marekani imepigwa na kutunguliwa kwa kombora la Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kusini mwa nchi.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 07:19:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyanzo vya habari: Trump anahofia ongezeko la vifo vya wanajeshi wa US katika vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137600-vyanzo_vya_habari_trump_anahofia_ongezeko_la_vifo_vya_wanajeshi_wa_us_katika_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc27d7ad4b72p4v4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137600-vyanzo_vya_habari_trump_anahofia_ongezeko_la_vifo_vya_wanajeshi_wa_us_katika_vita_na_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Wall Street Journal limeripoti mapema leo Alkhamisi likiwanukuu maafisa wa serikali ya Marekani, kwamba Rais Donald Trump anahaha kutafuta njia ya kukomesha vita na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 07:17:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Guardian: Iron Dome imeshindwa kukabiliana na makombora ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137598-guardian_iron_dome_imeshindwa_kukabiliana_na_makombora_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv5d8f43350f2p4v1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137598-guardian_iron_dome_imeshindwa_kukabiliana_na_makombora_ya_iran </guid>  
      <description>Gazeti la The Guardian la Uingereza limeandika katika ripoti inayozungumzia kushindwa kwa Iron Dome katika kukabiliana na makombora ya Iran kwamba: "Mng’aro wa makombora madogo magogo angani nyakati za usiku limekuwa jambo la kawaida kwa Waisraeli, huku Iran ikiendelea kutumia vyema udhaifu wa ulinzi wa anga wa utawala wa Israel."</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 07:15:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Harakati ya Ansarullah ya Yemen iko tayari Kudhibiti Lango Bahari la Bab al‑Mandab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137596-ripoti_harakati_ya_ansarullah_ya_yemen_iko_tayari_kudhibiti_lango_bahari_la_bab_al_mandab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0ve545e68447240p6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137596-ripoti_harakati_ya_ansarullah_ya_yemen_iko_tayari_kudhibiti_lango_bahari_la_bab_al_mandab </guid>  
      <description>Duru zinadokeza kuwa, Harakati ya Ansarullah ya Yemen iko tayari kuchukua udhibiti wa eneo la kimkakati la  Lango Bahari wa Bab al‑Mandab kama sehemu ya hatua za nguvu za Muqawama (Mapambano) za kuwaadhibu maadui walioanzisha hujuma ya kichokozi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 06:00:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatoa onyo kali kwa nchi jirani inayoshirikiana na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137594-iran_yatoa_onyo_kali_kwa_nchi_jirani_inayoshirikiana_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv52350417b22p4w1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137594-iran_yatoa_onyo_kali_kwa_nchi_jirani_inayoshirikiana_na_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa onyo kali kuhusu mpango wa pamoja unaolenga kutwaa kisiwa cha Iran, mpango unaoungwa mkono na mshirika wa kikanda wa maadui.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 05:36:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakataa pendekezo la Marekani, yaweka masharti matano ya kukomesha vita </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137592-iran_yakataa_pendekezo_la_marekani_yaweka_masharti_matano_ya_kukomesha_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv89a265d7332p4va.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137592-iran_yakataa_pendekezo_la_marekani_yaweka_masharti_matano_ya_kukomesha_vita </guid>  
      <description>Iran imetoa majibu hasi kwa pendekezo la Marekani linalolenga kukomesha vita vinavyoendelea hivi sasa, ikisisitiza kwamba jambo hilo litatokea kwa masharti na ratiba ya Tehran, afisa mkuu wa usalama na kisiasa ameambia Press TV.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:52:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Harakati ya Al-Nujaba yataka makubaliano ya usalama kati ya Iraq na Marekani yafutwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137590-harakati_ya_al_nujaba_yataka_makubaliano_ya_usalama_kati_ya_iraq_na_marekani_yafutwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsd0b727555c31ci2l.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137590-harakati_ya_al_nujaba_yataka_makubaliano_ya_usalama_kati_ya_iraq_na_marekani_yafutwe </guid>  
      <description>Mkuu wa Baraza Kuu la harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Iraq, Al-Nujaba, ametoa wito kwa Bunge na harakati za kizalendo kufuta makubaliano ya usalama na Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:47:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Vita na Iran ndio vita ya kijinga zaidi katika historia ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137588-seneta_wa_marekani_vita_na_iran_ndio_vita_ya_kijinga_zaidi_katika_historia_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv265c4c41052p4um.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137588-seneta_wa_marekani_vita_na_iran_ndio_vita_ya_kijinga_zaidi_katika_historia_ya_marekani </guid>  
      <description>Seneta wa chama cha Democratic cha Marekani, Chris Murphy, amesema katika ujumbe wake: "Vita na Iran ni vita vya kijinga zaidi katika historia ya Marekani."</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:40:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Duru za uchumi: Mgogoro wa vita vya Iran umelishtua bara Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137586-duru_za_uchumi_mgogoro_wa_vita_vya_iran_umelishtua_bara_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv435109954f2p4uj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137586-duru_za_uchumi_mgogoro_wa_vita_vya_iran_umelishtua_bara_ulaya </guid>  
      <description>Duru za kiuchumi za kimataifa zinasema mgogoro uliojitokeza kutokana na uchokozi na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umelishtua na kuliacha bara la Ulaya katika hali ya sintofahamu. </description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:37:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>