<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - home</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Mon, 20 Jul 2026 03:05:48 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Je, ni malengo gani yanafuatiliwa na Marekani katika kushambulia miundombinu ya Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140008-je_ni_malengo_gani_yanafuatiliwa_na_marekani_katika_kushambulia_miundombinu_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2d1cad21912pyb0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140008-je_ni_malengo_gani_yanafuatiliwa_na_marekani_katika_kushambulia_miundombinu_ya_iran </guid>  
      <description>
Kwa madai ya kushambuliwa meli kadhaa zinazopita kinyume cha sheria kusini mwa Lango-Bahari la Hormuz na kukiukwa Mkataba wa Islamabad, Rais Donald Trump wa Marekani aliamuru kuanzishwa tena mashambulizi ya kichokozi dhidi ya Iran kuanzia Julai 7, ambapo pia mzingiro wa majini dhidi ya Iran ulirejeshwa mnamo Julai 14.
</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 13:49:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran: Wito wa Kiongozi wa "Umoja wa Kitaifa" ni muhimu kwa ushindi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140006-spika_wa_bunge_la_iran_wito_wa_kiongozi_wa_umoja_wa_kitaifa_ni_muhimu_kwa_ushindi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2dd40521122pymw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140006-spika_wa_bunge_la_iran_wito_wa_kiongozi_wa_umoja_wa_kitaifa_ni_muhimu_kwa_ushindi </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amesisitiza kuwa kuzingatia maaagizo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuhusu kudumisha umoja wa kitaifa ni muhimu kwa ajili ya ushindi katika mapambano dhidi ya adui.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 12:54:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140004-jeshi_la_iran_lafanya_mashambulizi_mapya_ya_droni_katika_kambi_za_marekani_huko_kuwait_irgc_yatungua_droni_ya_mq_9_huko_ahvaz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4b4b028cea2pymq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140004-jeshi_la_iran_lafanya_mashambulizi_mapya_ya_droni_katika_kambi_za_marekani_huko_kuwait_irgc_yatungua_droni_ya_mq_9_huko_ahvaz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 12:51:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Raia 114 wauawa mashariki mwa Kongo mwezi Juni </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140002-raia_114_wauawa_mashariki_mwa_kongo_mwezi_juni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzbd750e6e072pymk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140002-raia_114_wauawa_mashariki_mwa_kongo_mwezi_juni </guid>  
      <description>Waasi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi uliopita waliwauwa watu wasiopungua 114 kuwatekanyara wengine 17. Haya yameelezwa Shirika la Ufuatiliaji Usalama la Kivu Security Tracker.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 12:47:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tunisia inakabiliwa na joto kali huku viwango vya joto vikikaribia nyuzi joto 50</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140000-tunisia_inakabiliwa_na_joto_kali_huku_viwango_vya_joto_vikikaribia_nyuzi_joto_50</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9906ae093b2pymi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i140000-tunisia_inakabiliwa_na_joto_kali_huku_viwango_vya_joto_vikikaribia_nyuzi_joto_50 </guid>  
      <description>Wimbi kali la joto lisilo la kawaida limeikumba Tunisia, na kusababisha viwango vya joto kupanda hadi karibu nyuzi joto 50 Selsiasi na kuvunja rekodi za kihistoria katika maeneo kadhaa nchini humo.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 12:44:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Khamenei awapongeza Wairaqi kwa mahudhurio makubwa katika mazishi ya Kiongozi shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139998-ayatullah_khamenei_awapongeza_wairaqi_kwa_mahudhurio_makubwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzaf9bd315092pyjw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139998-ayatullah_khamenei_awapongeza_wairaqi_kwa_mahudhurio_makubwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amewashukuru watu wa Iraq kwa mapokezi "makubwa" na mahudhurio yao ya kustaajabisha katika mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, akisema tukio hilo linaonyesha uhusiano mkubwa wa kidini na kihistoria kati ya mataifa ya Iran na Iraq.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 09:31:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 19 Julai, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139996-jumapili_19_julai_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz11342eab0c2pyfc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139996-jumapili_19_julai_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 4 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka na 19 Julai 2026 Miladia.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:50:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani' </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139994-ukiukaji_wa_mou_wa_marekani_unathibitisha_saini_ya_rais_wa_marekani_'haina_thamani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf56680c2e32pyfa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139994-ukiukaji_wa_mou_wa_marekani_unathibitisha_saini_ya_rais_wa_marekani_'haina_thamani' </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:47:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139992-marekani_yakiri_wanajeshi_wake_wameuawa_katika_shambulizi_la_iran_nchini_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz914cda41a92pyf8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139992-marekani_yakiri_wanajeshi_wake_wameuawa_katika_shambulizi_la_iran_nchini_jordan </guid>  
      <description>Jeshi la Marekani limethibitisha kwamba wanajeshi wake wasiopungua wawili wameuawa katika mashambulizi ya Iran yaliyolenga mali na kambi za kijeshi za za Marekani nchini Jordan.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:44:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia inahudumia miradi ya Wamarekani-Wazayuni </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139990-ansarullah_ya_yemen_saudi_arabia_inahudumia_miradi_ya_wamarekani_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz08b6414d652pyf6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139990-ansarullah_ya_yemen_saudi_arabia_inahudumia_miradi_ya_wamarekani_wazayuni </guid>  
      <description>Mjumbe wa ngazi za juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kwamba Saudi Arabia imeweka uwezo na suhula zake za kisiasa, kifedha na kijeshi katika huduma ya miradi ya Marekani eneo la Asia Magharibi na inafanya kazi ya kudhoofisha mataifa ambayo yana misimamo dhidi ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:28:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iravani: Kutochukua hatua UN kunahalalisha haki ya Iran ya kujibu mashambulizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139988-iravani_kutochukua_hatua_un_kunahalalisha_haki_ya_iran_ya_kujibu_mashambulizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzeb2e2107d12pyd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139988-iravani_kutochukua_hatua_un_kunahalalisha_haki_ya_iran_ya_kujibu_mashambulizi </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeid Iravani, ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Katibu Mkuu wa umoja huo kufuatia uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran, kushambuliwa miundombinu na mauaji ya raia wa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:24:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Watoto laki tano walio na umri chini ya miaka 5 nchini Madagascar wana utapiamlo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139986-ripoti_watoto_laki_tano_walio_na_umri_chini_ya_miaka_5_nchini_madagascar_wana_utapiamlo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz56a2a2e50a2pyf2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139986-ripoti_watoto_laki_tano_walio_na_umri_chini_ya_miaka_5_nchini_madagascar_wana_utapiamlo </guid>  
      <description>Zaidi ya watu milioni 3.7 nchini Madagascar wanatarajiwa kukabiliwa na njaa kali huku hatari ya utapiamlo ikiongezeka miongoni mwa watoto na makundi yaliyo katika mazingira magumu.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:20:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF yahimiza ulinzi wa watoto wakati wa migogoro ya usalama na binadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139984-unicef_yahimiza_ulinzi_wa_watoto_wakati_wa_migogoro_ya_usalama_na_binadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz7e150778b42pybs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139984-unicef_yahimiza_ulinzi_wa_watoto_wakati_wa_migogoro_ya_usalama_na_binadamu </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) ametembelea kaskazini magharibi mwa Nigeria, wakati migogoro, umaskini na ukosefu wa usalama wa chakula vikiwalazimisha mamilioni ya watoto katika eneo hilo kuhitaji msaada ya dharura.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 11:54:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Op. Nasr-2: IRGC yaharibu rada ya kijeshi ya Marekani huko Kuwait katika shambulio la kulipiza kisasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139982-op._nasr_2_irgc_yaharibu_rada_ya_kijeshi_ya_marekani_huko_kuwait_katika_shambulio_la_kulipiza_kisasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz327d9957792py9q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139982-op._nasr_2_irgc_yaharibu_rada_ya_kijeshi_ya_marekani_huko_kuwait_katika_shambulio_la_kulipiza_kisasi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeharibu kituo cha rada cha jeshi la Marekani katika Kituo cha Anga cha Ali Al Salem na kushambulia mkusanyiko wa wanajeshi wa nchi hiyo katika Kambi ya Arifjan huko Kuwait katika wimbi la 18 la Operesheni Nasr 2.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 11:15:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yafanya mauaji makubwa huko Nuseirat, janga la binadamu linazidi kuwa baya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139980-israel_yafanya_mauaji_makubwa_huko_nuseirat_janga_la_binadamu_linazidi_kuwa_baya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzef63c980ad2pyb4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139980-israel_yafanya_mauaji_makubwa_huko_nuseirat_janga_la_binadamu_linazidi_kuwa_baya_gaza </guid>  
      <description>Wapalestina 14 wameuawa na wengine 37 kujeruhiwa, wengi wao wakiwa katika kambi ya Nuseirat katikati mwa Ukanda wa Gaza, kutokana na mashambulizi mtawalia ya Israel yaliyolenga maeneo mbalimbali ya ukanda huo, huku hali ya kibinadamu ikizidi kuwa mbaya.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 11:02:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139978-kwa_nini_trump_aliachana_na_mpango_wa_kutoza_ushuru_wa_20_kwenye_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze08af339622pxtw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139978-kwa_nini_trump_aliachana_na_mpango_wa_kutoza_ushuru_wa_20_kwenye_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani ameachana na mpango wake wa kutoza ushuru wa asilimia 20 kwenye Lango Bahari la Hormuz.
Trump ambaye awali alidai kwamba Marekani ina nia ya kuwa "mlinzi wa Lango-Bahari la Hormuz" na kusema atatoza ushuru wa asilimia 20 kwenye njia hii ya maji ambayo hana mamlaka nayo, hatimaye ameachana na ndoto hiyo isiyothibiti.
</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 09:54:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139976-who_ada_za_mazishi_zinatatiza_juhudi_za_kudhibiti_ebola_congo_dr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze60ef3f82d2pya2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139976-who_ada_za_mazishi_zinatatiza_juhudi_za_kudhibiti_ebola_congo_dr </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeonya kwamba kusafirisha miili za waathiriwa wa virusi vya Ebola kati ya maeneo mbalimbali kwa ajili ya mazishi katika miji yao kunaweza kuchangia kuenea kwa maambukizi, wakati huu ambapo idadi ya maambukizi ya virusi hivyo imeongezeka kwa takriban 70% katika wiki mbili, huku zaidi ya maambukizi 40 mapya yakirekodiwa kila siku kwa wastani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 09:13:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Khartoum yatoa ushahidi dhidi ya UAE na kuikosoa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139974-khartoum_yatoa_ushahidi_dhidi_ya_uae_na_kuikosoa_mahakama_ya_kimataifa_ya_jinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd94b65ebf42py9y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139974-khartoum_yatoa_ushahidi_dhidi_ya_uae_na_kuikosoa_mahakama_ya_kimataifa_ya_jinai </guid>  
      <description>Waziri wa Sheria wa Sudan, Abdullah Darf, amewasilisha kifurushi cha njia za kisheria "zisizo za kawaida" ambazo serikali ya Khartoum inakusudia kuchukua ili kufungua mashtaka dhidi ya serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na kundi la waasi la Rapid Support Forces (RSF), akisisitiza kwamba Khartoum ina "ushahidi wa kutosha na data kamili" kuhusu "ushiriki wa Abu Dhabi katika vita na uhalifu uliofanywa na pande hizo mbili dhidi ya watu wa Sudan."</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 09:09:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa IRGC aapa kuendeleza mashambulizi 'yenye ufanisi' zaidi hadi utulivu utakaporejea nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139972-kamanda_wa_irgc_aapa_kuendeleza_mashambulizi_'yenye_ufanisi'_zaidi_hadi_utulivu_utakaporejea_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz94ec139a032py60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139972-kamanda_wa_irgc_aapa_kuendeleza_mashambulizi_'yenye_ufanisi'_zaidi_hadi_utulivu_utakaporejea_nchini_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) ameapa kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza mashambulizi yake ya kulipiza kisasi "yenye ufanisi" hadi utulivu utakaporejeshwa kote nchini.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:34:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vurugu uchaguzi mdogo Kenya zaibua wasiwasi kuelekea uchaguzi mkuu 2027</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139970-vurugu_uchaguzi_mdogo_kenya_zaibua_wasiwasi_kuelekea_uchaguzi_mkuu_2027</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb84eb98f362py5y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139970-vurugu_uchaguzi_mdogo_kenya_zaibua_wasiwasi_kuelekea_uchaguzi_mkuu_2027 </guid>  
      <description>Mashambulio dhidi ya wapiga kura wakati wa uchaguzi mdogo katika eneo bunge la Ol Kalou katika mkoa wa kati nchini Kenya, yameibua hofu kuhusu hali ya usalama kuelekea uchaguzi mkuu hapo mwakani 2027.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:32:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mossad, Epstein na operesheni za siri: Vance aishambulia Israel na kusema umaarufu wake umeporomoka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139968-mossad_epstein_na_operesheni_za_siri_vance_aishambulia_israel_na_kusema_umaarufu_wake_umeporomoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz09fae2fd7d2py5u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139968-mossad_epstein_na_operesheni_za_siri_vance_aishambulia_israel_na_kusema_umaarufu_wake_umeporomoka </guid>  
      <description>Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Makamu wa Rais wa Marekani J.D. Vance aliishambulia Israel na kuishutumu kuwa inajaribu kushawishi siasa za Marekani, akisisitiza kuwa umaarufu wake umepungua nchini Marekani.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:17:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mateka wa zamani Muisraeli huko Gaza: Ninapata amani ninaposikiliza Qur'ani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139966-mateka_wa_zamani_muisraeli_huko_gaza_ninapata_amani_ninaposikiliza_qur'ani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz28341e367d2py5s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139966-mateka_wa_zamani_muisraeli_huko_gaza_ninapata_amani_ninaposikiliza_qur'ani </guid>  
      <description>Hadithi ya mateka wa zamani wa Hamas, Emily Damari imevuma tena katika vyombo vya habari katika tukio lililozua dhoruba ya hasira ndani ya duru za Israel na kwenda mbali zaidi hadi kutolewa wito mwanamke huyo arudishwe matekani huko Gaza!

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:16:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tucker Carlson: Marekani inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139964-tucker_carlson_marekani_inakabiliwa_na_tishio_la_mapinduzi_ya_umma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz916a3879122py5q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139964-tucker_carlson_marekani_inakabiliwa_na_tishio_la_mapinduzi_ya_umma </guid>  
      <description>Mwanahabari maarufu wa kihafidhina wa Marekani amesema kwamba nchi hiyo inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:14:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi, 18 Julai, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139962-jumamosi_18_julai_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b0dd57fe92pe9u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139962-jumamosi_18_julai_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 3 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka na 18 Julai 2026 Miladia

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:11:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kulipiza kisasi damu ya Imam shahidi kutaendelea hadi kuondoka Marekani katika eneo hili na kuangamia utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139960-kulipiza_kisasi_damu_ya_imam_shahidi_kutaendelea_hadi_kuondoka_marekani_katika_eneo_hili_na_kuangamia_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4072f6d93a2py2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139960-kulipiza_kisasi_damu_ya_imam_shahidi_kutaendelea_hadi_kuondoka_marekani_katika_eneo_hili_na_kuangamia_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, kulipiza kisasi damu ya Imam shahidi kutaendelea hadi kuondoka Marekani katika eneo hili na kuangamia utawala wa Kizayuni wa Israel.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 12:08:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkurugenzi wa Huduma za Dharura Gaza: Asilimia 80 ya uwezo wa uokoaji umeharibiwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139958-mkurugenzi_wa_huduma_za_dharura_gaza_asilimia_80_ya_uwezo_wa_uokoaji_umeharibiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz92475e45432py1k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139958-mkurugenzi_wa_huduma_za_dharura_gaza_asilimia_80_ya_uwezo_wa_uokoaji_umeharibiwa </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa Huduma za Dharura katika Ukanda wa Gaza amesema kuwa takribani asilimia 80 ya uwezo wa huduma za uokoaji na misaada ya dharura umeangamizwa kutokana na mashambulizi na uharibifu unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel katika eneo hilo.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:47:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mpango wa kuvunjwa Bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) wapitishwa rasmi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139956-mpango_wa_kuvunjwa_bunge_la_utawala_wa_kizayuni_(knesset)_wapitishwa_rasmi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6c720b96962py1i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139956-mpango_wa_kuvunjwa_bunge_la_utawala_wa_kizayuni_(knesset)_wapitishwa_rasmi </guid>  
      <description>Rasimu ya sheria ya kuvunjwa Bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) imepitishwa rasmi, hatua inayofungua njia ya kuitisha uchaguzi mpya wa mapema Israel.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:46:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Kiislamu wa Iraq watangaza zawadi ya dola milioni 10 kwa atakayemuua Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139954-muqawama_wa_kiislamu_wa_iraq_watangaza_zawadi_ya_dola_milioni_10_kwa_atakayemuua_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz22aebc1b602py1g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139954-muqawama_wa_kiislamu_wa_iraq_watangaza_zawadi_ya_dola_milioni_10_kwa_atakayemuua_trump </guid>  
      <description>Muqawama wa Kiislamu wa Iraq (Islamic Resistance in Iraq) umetangaza zawadi ya dola milioni 10 za Marekani kwa mtu yeyote atakayemuua Rais wa Marekani, Donald Trump.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:44:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ajali mbaya ya basi la shule Uganda yaua watoto 20</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139952-ajali_mbaya_ya_basi_la_shule_uganda_yaua_watoto_20</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf0fafa82382py1e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139952-ajali_mbaya_ya_basi_la_shule_uganda_yaua_watoto_20 </guid>  
      <description>Watoto wasiopungua 20 na mtu mmoja mzima wamefariki dunia baada ya basi la shule walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika Wilaya ya Kapchorwa, mashariki mwa Uganda, polisi wamesema.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:42:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaendeleza mashambulizi dhidi ya Kambi za Jeshi la Marekani kulipiza kisasi jinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139948-iran_yaendeleza_mashambulizi_dhidi_ya_kambi_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_jinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb41697336f2pxx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139948-iran_yaendeleza_mashambulizi_dhidi_ya_kambi_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_jinai </guid>  
      <description>Kufuatia hujuma za kikatili za jeshi la kigaidi la Marekani dhidi ya madaraja kadhaa katika maeneo ya kusini mwa Iran, operesheni kubwa na endelevu ya makombora na droni za Iran imetekelezwa usiku wa kuamkia leo dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 04:15:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Udhibiti wa kimkakati wa Lango-Bahari la Hormuz sasa ni matakwa ya kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139946-jeshi_la_iran_udhibiti_wa_kimkakati_wa_lango_bahari_la_hormuz_sasa_ni_matakwa_ya_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf872907a2e2pxv4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139946-jeshi_la_iran_udhibiti_wa_kimkakati_wa_lango_bahari_la_hormuz_sasa_ni_matakwa_ya_kitaifa </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa suala la udhibiti wa kimkakati wa Mlango-Bahari wa Hormuz sasa limegeuka kuwa matakwa ya kitaifa, akisisitiza kuwa wananchi wa Iran wanaunga mkono hatua zinazolenga kulinda maslahi na usalama wa taifa katika njia hiyo muhimu ya kimataifa ya usafirishaji wa mafuta.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 03:00:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ebola yazidi kuwa tishio katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139944-ebola_yazidi_kuwa_tishio_katika_jamhuri_ya_kidemokrasia_ya_congo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5e4bab167e2pnek.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139944-ebola_yazidi_kuwa_tishio_katika_jamhuri_ya_kidemokrasia_ya_congo </guid>  
      <description>Mlipuko wa maradhi ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo unasambaa zaidi ya juhudi zinazochukuliwa za kuudhibiti huku zaidi ya watu 2,000 wakiambukizwa na zaidi ya 750 wakiwa wameaga dunia.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 02:59:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wagonjwa wa saratani Gaza wakabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa na vifaa tiba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139942-wagonjwa_wa_saratani_gaza_wakabiliwa_na_uhaba_mkubwa_wa_dawa_na_vifaa_tiba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2a898c9c632pxxo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139942-wagonjwa_wa_saratani_gaza_wakabiliwa_na_uhaba_mkubwa_wa_dawa_na_vifaa_tiba </guid>  
      <description>Wagonjwa wa saratani katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na hali ngumu kutokana na uhaba mkubwa wa dawa na vifaa vya matibabu, hali inayozidi kuhatarisha maisha yao huku mfumo wa afya ukiendelea kulemewa na athari za mzingiro na vita.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 02:57:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Eritrea yajizatiti kukabiliana na tamaa ya Ethiopia; wasiwasi waongezeka kuhusu kurejea mvutano Pembe ya Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139940-eritrea_yajizatiti_kukabiliana_na_tamaa_ya_ethiopia_wasiwasi_waongezeka_kuhusu_kurejea_mvutano_pembe_ya_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzac780f81ce2pxxm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139940-eritrea_yajizatiti_kukabiliana_na_tamaa_ya_ethiopia_wasiwasi_waongezeka_kuhusu_kurejea_mvutano_pembe_ya_afrika </guid>  
      <description>Dalili za kuongezeka kwa mvutano kati ya Eritrea na Ethiopia zimeibua wasiwasi wa uwezekano wa kurejea mgogoro kati ya mataifa hayo mawili ya Pembe ya Afrika.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 02:52:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya italenga miundombinu yote ya eneo iwapo miundombinu yake itashambuliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139938-iran_yaonya_italenga_miundombinu_yote_ya_eneo_iwapo_miundombinu_yake_itashambuliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc8a0788f642pxnw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139938-iran_yaonya_italenga_miundombinu_yote_ya_eneo_iwapo_miundombinu_yake_itashambuliwa </guid>  
      <description>Iran imeonya kwamba italenga kila miundombinu iliyosalia katika eneo hili iwapo miundombinu yake itashambuliwa.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:52:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hakuna sababu ya kuendelea kuzingatia makubaliano na Marekani iwapo Iran hainufaiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139936-qalibaf_hakuna_sababu_ya_kuendelea_kuzingatia_makubaliano_na_marekani_iwapo_iran_hainufaiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1bee0f3fd22pxn2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139936-qalibaf_hakuna_sababu_ya_kuendelea_kuzingatia_makubaliano_na_marekani_iwapo_iran_hainufaiki </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ameonya kwamba ikiwa Jamhuri ya Kiislamu haitanufaika na Mkataba wa Maelewano (MoU) wa Islamabad uliotiwa saini baina yake na na Marekani, basi hakuna sababu yoyote ya kuendelea kuufuata.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:50:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wafanyakazi wa kukabiliana na Ebola waandamana DRC wakidai mishahara yao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139934-wafanyakazi_wa_kukabiliana_na_ebola_waandamana_drc_wakidai_mishahara_yao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5f779e0f302pu4o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139934-wafanyakazi_wa_kukabiliana_na_ebola_waandamana_drc_wakidai_mishahara_yao </guid>  
      <description>Wafanyakazi wa afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameanzisha mgomo kushinikiza kulipwa mishahara na marupurupu yao ambayo hawajapokea, hatua iliyosababisha kusimama kwa shughuli za kukabiliana na virusi vya Ebola vinavyoenea kwa kasi.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:46:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakemea shambulio la Marekani karibu na hospitali ya watoto huko Ahvaz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139932-iran_yakemea_shambulio_la_marekani_karibu_na_hospitali_ya_watoto_huko_ahvaz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze00e5e4cb12pxr0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139932-iran_yakemea_shambulio_la_marekani_karibu_na_hospitali_ya_watoto_huko_ahvaz </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekemea shambulio la Marekani karibu na hospitali ya watoto wanaougua saratani katika mji wa Ahvaz, kusini-magharibi mwa nchi, na kulitaja kuwa ni “uhalifu wa kivita wa kijinga na wa woga.” Taarifa zinasema shambulio hilo lililazimisha uokoaji wa dharura wa mamia ya wagonjwa walio katika hali hatarishi na pia limewatia hofu watoto wanaopatiwa matibabu ya saratani.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:44:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Zaidi ya watu milioni 48 Afrika Mashariki wako katika hatari ya njaa ya kutisha mwaka 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139928-un_zaidi_ya_watu_milioni_48_afrika_mashariki_wako_katika_hatari_ya_njaa_ya_kutisha_mwaka_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza798d342f82pxqw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139928-un_zaidi_ya_watu_milioni_48_afrika_mashariki_wako_katika_hatari_ya_njaa_ya_kutisha_mwaka_2026 </guid>  
      <description>Shirika la Misaada la Umoja wa Mataifa (UN) limeonya kuwa Afrika Mashariki inaendelea kuwa kitovu cha janga kubwa la kibinadamu, huku watu wapatao milioni 48.5 wakihitaji misaada ya dharura mwaka huu.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:39:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mzunguko hatari wa vitisho vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139926-mzunguko_hatari_wa_vitisho_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9cb7b92ed72pxje.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139926-mzunguko_hatari_wa_vitisho_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Baada ya kushindwa kikamilifu mbinu zake zote za vikwazo, vitisho vya kijeshi na mashinikizo ya kisiasa, vitisho vipya vya Trump dhidi ya Iran vinaashiria wazi kushindwa kwake kimkakati, kabla ya kuwa ni dhihirisho la nguvu za Marekani. </description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 09:47:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Marekani imeelekeza mashambulizi yake kusini mwa Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139924-kwa_nini_marekani_imeelekeza_mashambulizi_yake_kusini_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2cad54439f2pxf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139924-kwa_nini_marekani_imeelekeza_mashambulizi_yake_kusini_mwa_iran </guid>  
      <description>Hatua ya majeshi ya Iran ya kudhihirisha nguvu moja kupitia operesheni madhubuti kama vile kufunga Lango Bahari la Hormuz, inatoa ujumbe kwa adui kwamba hakuna migawanyiko yoyote iliyopo jeshini katika uwanja wa vita na kwamba uwezo wote wa taifa umejikita katika lengo moja la kulinda maslahi ya taifa kwa gharama yoyote ile, dhidi ya adui Mmarekani na Mzayuni.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 07:32:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ni Argentina dhidi ya Uhispania, Waingereza wapigwa mweleka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/uncategorised-i139922-ni_argentina_dhidi_ya_uhispania_waingereza_wapigwa_mweleka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz52b61bc5972pxme.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/uncategorised-i139922-ni_argentina_dhidi_ya_uhispania_waingereza_wapigwa_mweleka </guid>  
      <description>Lionel Messi na Argentina watacheza na Uhispania katika fainali ya Kombe la Dunia Jumapili ijayo baada ya kuifunga England mabao mawili katika dakika sita na sekunde 24 mwishoni mwa mechi kali ya nusu fainali na kuwavunja mioyo Waingereza.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 06:29:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Alkhamisi, tarehe 16 Julai, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139920-alkhamisi_tarehe_16_julai_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9757555d282pxlm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139920-alkhamisi_tarehe_16_julai_2026 </guid>  
      <description>Alkhamisi tarehe Mosi Safar 1448 Hijria, sawa na Julai 16 mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:17:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatano, 15 Julai, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139918-jumatano_15_julai_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd45c9c8b2d2pxlk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139918-jumatano_15_julai_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Tarehe 30 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria inayosadifiana na tarehe 15 Julai mwaka 2026.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:15:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran haina mipango ya kufanya mazungumzo, inalenga kujilinda: Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139916-iran_haina_mipango_ya_kufanya_mazungumzo_inalenga_kujilinda_msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz83fec6edd82pxk6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139916-iran_haina_mipango_ya_kufanya_mazungumzo_inalenga_kujilinda_msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema nchi hiyo haina mpango wa kurudi kwenye mazungumzo na Marekani maadamu Washington inaendelea kukiuka majukumu yake chini ya Mkataba wa Maelewano (MoU) uliosainiwa mwezi uliopita na nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:10:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Malaysia asema raia yeyote wa Israel atakayepatikana nchini huko atafukuzwa mara moja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139914-waziri_mkuu_wa_malaysia_asema_raia_yeyote_wa_israel_atakayepatikana_nchini_huko_atafukuzwa_mara_moja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze68e2cdcc32pxli.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139914-waziri_mkuu_wa_malaysia_asema_raia_yeyote_wa_israel_atakayepatikana_nchini_huko_atafukuzwa_mara_moja </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, amesema Muisraeli yeyote atakaopatikana akiingia nchini humo atafukuzwa mara moja. Amesema hayo huku mamlaka za Malaysia zikichunguza ripoti kwamba Waisraeli walitumia hati mbili za kusafiria kuingia katika jimbo la kusini la Johor.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:09:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa waonya dhidi ya kutumia vibaya rasilimali za Sudan kufadhili vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139912-umoja_wa_mataifa_waonya_dhidi_ya_kutumia_vibaya_rasilimali_za_sudan_kufadhili_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz38b51369ad2pxlg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139912-umoja_wa_mataifa_waonya_dhidi_ya_kutumia_vibaya_rasilimali_za_sudan_kufadhili_vita </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba makundi yanayopigana nchini Sudan yanafaidika kutokana na udhibiti wa rasilimali za nchi hiyo, wakati uchumi wa vita ukichangia katika kuendeleza mzozo huo.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:07:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>EU yaunga mkono ICC, yapinga kampeni ya Trump ya kuvunja mahakama ya uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139910-eu_yaunga_mkono_icc_yapinga_kampeni_ya_trump_ya_kuvunja_mahakama_ya_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza11de091a02pxle.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139910-eu_yaunga_mkono_icc_yapinga_kampeni_ya_trump_ya_kuvunja_mahakama_ya_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza tena uungaji mkono wake kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ukipinga kampeni mpya ya utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump ya kudhoofisha mahakama hiyo yenye makao yake makuu The Hague nchini Uholanzi.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:04:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kofi Annan Foundation: Yumkini Kenya ikatumbukia katika ghasia za Uchaguzi Mkuu 2027</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139908-kofi_annan_foundation_yumkini_kenya_ikatumbukia_katika_ghasia_za_uchaguzi_mkuu_2027</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1f636daccd2pxlc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139908-kofi_annan_foundation_yumkini_kenya_ikatumbukia_katika_ghasia_za_uchaguzi_mkuu_2027 </guid>  
      <description>Ripoti mpya iliyotolewa na taasisi ya Kofi Annan Foundation imeonya kuwa nchi ya Kenya iko katika hatari kubwa ya kushuhudia vurugu zinazohusiana na uchaguzi mkuu wa 2027 iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 02:54:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa wakala bandia wa serikali ya Nigeria akamatwa baada ya kuwa mafichoni kwa wiki kadhaa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139906-mkuu_wa_wakala_bandia_wa_serikali_ya_nigeria_akamatwa_baada_ya_kuwa_mafichoni_kwa_wiki_kadhaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5e56cb81d92pxk2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139906-mkuu_wa_wakala_bandia_wa_serikali_ya_nigeria_akamatwa_baada_ya_kuwa_mafichoni_kwa_wiki_kadhaa </guid>  
      <description>Polisi ya Nigeria imemtia mbaroni mtu aliyeanzisha wakala bandia wa serikali uliokuwa ukifanyia kazi zake katika ofisi ya Rais kwa karibu miaka miwili.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 15:40:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaonya: Tishio la kigaidi linaenea kote Afrika Magharibi na Sahel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139904-un_yaonya_tishio_la_kigaidi_linaenea_kote_afrika_magharibi_na_sahel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz7d06a1f3412pxgk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139904-un_yaonya_tishio_la_kigaidi_linaenea_kote_afrika_magharibi_na_sahel </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeonya kwamba makundi ya kigaidi yanapanua wigo wao kote Afrika Magharibi na Sahel, kwa kutumia mbinu za kisasa zaidi na kutishia amani ya majimbo ya pwani katika Ghuba ya Guinea.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 12:07:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139902-un_yalaani_mashambulizi_dhidi_ya_wafanyakazi_na_miundombinu_ya_misaada_ya_kibinadamu_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2cad54439f2pxf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139902-un_yalaani_mashambulizi_dhidi_ya_wafanyakazi_na_miundombinu_ya_misaada_ya_kibinadamu_nchini_iran </guid>  
      <description>Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika barua rasmi kwa Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imelaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, huduma za matibabu, magari ya wagonjwa na miundombinu ya misaada. </description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 11:16:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapinga madai ya Trump, yasema hakuna mazungumzo ya moja kwa moja yaliyofanyika na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139900-iran_yapinga_madai_ya_trump_yasema_hakuna_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_yaliyofanyika_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz51a5d932bb2pxda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139900-iran_yapinga_madai_ya_trump_yasema_hakuna_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_yaliyofanyika_na_marekani </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisheria na kimataifa, Kazem Gharibabadi, amepinga madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kwamba Tehran na Washington zilifanya mazungumzo kwa saa 11, akisema hakuna mazungumzo yaliyofanyika Oman kati ya maafisa wa Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 10:09:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139898-pezeshkian_tutalinda_kila_inchi_ya_ardhi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz58e19d5dc52px9w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139898-pezeshkian_tutalinda_kila_inchi_ya_ardhi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa kauli za maafisa wa Marekani na kusisitiza kwamba Iran italinda ardhi yake yote dhidi ya tishio la aina yoyote. </description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 09:20:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139896-kwa_nini_upinzani_dhidi_ya_mashambulizi_ya_kijeshi_dhidi_ya_iran_unaongezeka_nchini_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz275075cf202px78.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139896-kwa_nini_upinzani_dhidi_ya_mashambulizi_ya_kijeshi_dhidi_ya_iran_unaongezeka_nchini_marekani </guid>  
      <description>Mgogoro unaoendelea wa Marekani na Iran umefichua kwa uwazi zaidi kuliko huko nyuma, mipasuko ya kisiasa iliyopo huko Washington. Huku utawala wa Donald Trump ukisisitiza kuendeleza operesheni za kijeshi, upinzani unaongezeka bungeni, miongoni mwa umma kwa ujumla, na hata miongoni mwa baadhi ya Warepublican.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 06:31:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Iran lawasilisha muswada wa kusimamia Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139894-bunge_la_iran_lawasilisha_muswada_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzeec5276c9c2px8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139894-bunge_la_iran_lawasilisha_muswada_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limewasilisha rasmi muswada wa sheria unaolenga kuimarisha usimamizi wa Mlango Bahari wa Hormuz, hatua inayokuja wakati wa kuongezeka kwa mvutano na uingiliaji wa Marekani katika njia hiyo muhimu ya kimkakati ya baharini.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 04:00:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhispania yaibamiza Ufaransa na kutinga fainali ya Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139892-uhispania_yaibamiza_ufaransa_na_kutinga_fainali_ya_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdf901236632px8a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139892-uhispania_yaibamiza_ufaransa_na_kutinga_fainali_ya_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Timu ya taifa ya soka ya Uhispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia la Fifa 2026 baada ya kuilaza Ufaransa kwa ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa mjini Dallas, Marekani.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:59:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Uamuzi wa Uingereza kuhusu jeshi la Sepah unakiuka sheria za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139890-iran_uamuzi_wa_uingereza_kuhusu_jeshi_la_sepah_unakiuka_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4b669b90132px88.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139890-iran_uamuzi_wa_uingereza_kuhusu_jeshi_la_sepah_unakiuka_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekemea vikali uamuzi wa serikali ya Uingereza wa kulitaja Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuwa ni “tishio chini ya Sheria ya Usalama wa Taifa ya Uingereza,” ikisema hatua hiyo “haina msingi na isiyo ya uwajibikaji” na inakiuka sheria za kimataifa.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:55:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Oman: Tishio hatari zaidi halitokani na Tehran bali Tel Aviv</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139888-oman_tishio_hatari_zaidi_halitokani_na_tehran_bali_tel_aviv</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4407a8dbbf2px84.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139888-oman_tishio_hatari_zaidi_halitokani_na_tehran_bali_tel_aviv </guid>  
      <description>Serikali ya Oman imesema tishio kubwa zaidi kwa usalama na utulivu wa eneo halitokani na Tehran, bali linatoka Tel Aviv.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:53:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lavrov: Kuanza tena mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ni ukiukaji wa Makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139886-lavrov_kuanza_tena_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ukiukaji_wa_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3255264d2e2px82.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139886-lavrov_kuanza_tena_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ukiukaji_wa_makubaliano </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Lavrov, amesema kuwa kuanza tena mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ni ukiukaji wa Hati ya Makubaliano (MoU) iliyotiwa saini kati ya Tehran na Washington.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:51:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran kwa Marekani: Lango la Hormuz halitafunguliwa kamwe kupitia vita na uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139884-jeshi_la_iran_kwa_marekani_lango_la_hormuz_halitafunguliwa_kamwe_kupitia_vita_na_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6333f6d7092pwy0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139884-jeshi_la_iran_kwa_marekani_lango_la_hormuz_halitafunguliwa_kamwe_kupitia_vita_na_uchokozi </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Iran ametoa onyo kali kwa Marekani kuwa hakuna kitendo chochote cha uchokozi kitakachoweza kulazimisha kufunguliwa kwa Lango la Bahari la Hormuz, kufuatia uamuzi wa Tehran wa kulifunga lango hilo la kimkakati baada ya Marekani kukiuka makubaliano.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:15:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawasilisha malalamiko rasmi UN kuhusu ukiukaji wa Marekani wa Mkataba wa Islamabad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139882-iran_yawasilisha_malalamiko_rasmi_un_kuhusu_ukiukaji_wa_marekani_wa_mkataba_wa_islamabad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5834ecf22d2pebe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139882-iran_yawasilisha_malalamiko_rasmi_un_kuhusu_ukiukaji_wa_marekani_wa_mkataba_wa_islamabad </guid>  
      <description>Iran imewasilisha rasmi malalamiko ya kina kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC), ikilaani vikali Marekani kwa kukiuka kwa mfumo Mkataba wa Maelewano (MoU) wa Islamabad uliotiwa saini mwezi uliopita.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:13:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanachama wawili wa kundi la kigaidi la Daesh wanyongwa nchini Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139880-wanachama_wawili_wa_kundi_la_kigaidi_la_daesh_wanyongwa_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2c59445d1d2pwze.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139880-wanachama_wawili_wa_kundi_la_kigaidi_la_daesh_wanyongwa_nchini_iran </guid>  
      <description>Wanachama wawili wa kundi la kigaidi la wakufurishaji la Daesh (ISIS), ambao walipatikana na hatia ya kupanga kutekeleza vitendo vya kigaidi na uasi wa kutumia silaha dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, wamehukumiwa kifo na kunyongwa baada ya hukumu zao kuthibitishwa na Mahakama Kuu ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:11:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Sudan lakomboa eneo  la Fashfoun katika jimbo la Blue Nile baada ya mapigano na waasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139876-jeshi_la_sudan_lakomboa_eneo_la_fashfoun_katika_jimbo_la_blue_nile_baada_ya_mapigano_na_waasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe63bb03c7e2phk4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139876-jeshi_la_sudan_lakomboa_eneo_la_fashfoun_katika_jimbo_la_blue_nile_baada_ya_mapigano_na_waasi </guid>  
      <description>Jeshi la Sudan limesema mapema Jumanne kuwa limekomboa eneo la Fashfoun katika jimbo la Blue Nile baada ya mapigano na waasi wa makundi ya RSF na SPLM-N.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:05:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Makubaliano ya Islamabad yamekumbwa na mgogoro?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139878-kwa_nini_makubaliano_ya_islamabad_yamekumbwa_na_mgogoro</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3e6f2cbf722pwxq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139878-kwa_nini_makubaliano_ya_islamabad_yamekumbwa_na_mgogoro </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelezea hatua za kichokozi za utawala wa Marekani kuwa ni ukiukaji wa makubaliano ya Islamabad na chanzo cha mgogoro unaohusu utekelezaji wake.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:05:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Msaada wa haraka wahitajika Somalia kukabiliana na ukame mkali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139874-un_msaada_wa_haraka_wahitajika_somalia_kukabiliana_na_ukame_mkali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8321f048ae2pmhw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139874-un_msaada_wa_haraka_wahitajika_somalia_kukabiliana_na_ukame_mkali </guid>  
      <description>Shirika la misaada la Umoja wa Mataifa (UN) limetoa wito wa msaada wa dharura kwa mamia ya maelfu ya watu wa Somalia, hasa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo, ambao wanakabiliwa na hali ngumu inayozidi kuongezeka kutokana na ukame mkali.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:03:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mkataba wa Islamabad umevurugwa na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139872-iran_mkataba_wa_islamabad_umevurugwa_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz52827901572pwps.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139872-iran_mkataba_wa_islamabad_umevurugwa_na_marekani </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa mkataba wa maelewano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni baina yake na Marekani sasa uko katika hali ya mkwamo, kufuatia hatua ya Washington kukiuka ahadi zake. Mkatataba huo unajulikana kama Mkataba wa Islamabad kutokana na kuhusika Pakistan katika jitihada za upatanishi baina ya pande hizo mbili.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:50:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Picha za satelaiti zaonyesha uharibifu mkubwa katika kambi za Marekani zilizolengwa na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139870-picha_za_satelaiti_zaonyesha_uharibifu_mkubwa_katika_kambi_za_marekani_zilizolengwa_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5308afad582pwpq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139870-picha_za_satelaiti_zaonyesha_uharibifu_mkubwa_katika_kambi_za_marekani_zilizolengwa_na_iran </guid>  
      <description>Vyanzo vya kijeshi vya tovuti ya Open Source Intelligence (OSINT) vimetoa picha zinazoonyesha kiwango kikubwa cha uharibifu uliosababishwa na mashambulizi ya hivi karibuni ya kulipiza kisasi ya Iran dhidi ya shabaha nyeti na za kimkakati za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:48:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaionya Saudia: Shambulio dhidi ya uwanja wa ndege wa Sana’a ni mwisho wa usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139868-yemen_yaionya_saudia_shambulio_dhidi_ya_uwanja_wa_ndege_wa_sana’a_ni_mwisho_wa_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza07730c4032pwpm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139868-yemen_yaionya_saudia_shambulio_dhidi_ya_uwanja_wa_ndege_wa_sana’a_ni_mwisho_wa_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen mjini Sana’a imelaani vikali shambulio la Saudi Arabia dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana’a, ikisisitiza kuwa hatua hiyo ya kijeshi inahitimisha rasmi kipindi cha usitishaji vita na kuashiria kuanza kwa awamu mpya ya vita.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:45:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>DRC yaripoti mlipuko wa Ebola katika mikoa mitano; idadi ya maambukizi yavuka 1,900</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139866-drc_yaripoti_mlipuko_wa_ebola_katika_mikoa_mitano_idadi_ya_maambukizi_yavuka_1_900</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz21efdca6162pwpk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139866-drc_yaripoti_mlipuko_wa_ebola_katika_mikoa_mitano_idadi_ya_maambukizi_yavuka_1_900 </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeripoti kuenea kwa ugonjwa wa Ebola katika mikoa mitano, huku idadi ya kitaifa ya maambukizi ikipanda na kufikia visa 1,926 vilivyothibitishwa, ikiwa ni pamoja na vifo 702. Haya ni kwa mujibu wa ripoti rasmi iliyotolewa Jumapili na mamlaka za afya nchini humo.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:41:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumanne, 14 Julai, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139864-jumanne_14_julai_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz09ffeeed1b2pwow.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139864-jumanne_14_julai_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumanne 29 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria mwafaka na 14 Julai 2026.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 03:51:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>El Niño na tishio la mafuriko Afrika Mashariki na Asia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139862-el_niño_na_tishio_la_mafuriko_afrika_mashariki_na_asia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6ee9cc0a662pwos.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139862-el_niño_na_tishio_la_mafuriko_afrika_mashariki_na_asia </guid>  
      <description>Shirika la Masuala ya kibinadamu limetahadharisha kuwa hali ya hewa ya El Niño inayozidi kuongezeka kwa kasi inatishia kuleta mafuriko makubwa, magonjwa na ukame katika baadhi ya jamii zilizo hatarini zaidi duniani katika eneo la Afrika Mashariki na Asia.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 03:23:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lango-Bahari la Hormuz na Ndoto za White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139860-lango_bahari_la_hormuz_na_ndoto_za_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz48cb011db12pweu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139860-lango_bahari_la_hormuz_na_ndoto_za_white_house </guid>  
      <description>Kufuatia mashambulizi ya mara kwa mara ya Marekani katika maji na maeneo ya kusini mwa Iran, Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetoa taarifa kikitangaza kujibu vikali vitendo vya uchokozi vya jeshi la Marekani.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 11:22:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kambi za kijeshi za Marekani huko Bahrain, Jordan, Kuwait na Oman </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139858-irgc_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_huko_bahrain_jordan_kuwait_na_oman</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzbde297e50a2pwey.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139858-irgc_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_huko_bahrain_jordan_kuwait_na_oman </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limeshambulia na kuharibu kambi na maeneo kadhaa muhimu ya kijeshi ya Marekani katika nchi za Jordan, Bahrain, Kuwait na Oman katika operesheni ya kulipiza kisasi ya awamu tano dhidi ya uchokozi wa Marekani, ikiwa ni pamoja na mashambulizi ya nchi hiyo katika maeneo ya pwani ya Iran. </description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 10:16:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa safari zote kufuatia hatua 'haramu' za kijeshi za Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139856-iran_lango_bahari_la_hormuz_limefungwa_kwa_safari_zote_kufuatia_hatua_'haramu'_za_kijeshi_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz48cb011db12pweu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139856-iran_lango_bahari_la_hormuz_limefungwa_kwa_safari_zote_kufuatia_hatua_'haramu'_za_kijeshi_za_marekani </guid>  
      <description>Iran: Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa safari zote kufuatia hatua 'haramu' za kijeshi za Marekani </description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 10:13:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa kijeshi wa Libya kutoka Mashariki na Magharibi wakutana kujadili kuliunganisha jeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139854-viongozi_wa_kijeshi_wa_libya_kutoka_mashariki_na_magharibi_wakutana_kujadili_kuliunganisha_jeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz535364b0c02pwes.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139854-viongozi_wa_kijeshi_wa_libya_kutoka_mashariki_na_magharibi_wakutana_kujadili_kuliunganisha_jeshi </guid>  
      <description>Saddam Haftar Naibu Kamanda Jeshi la Mashariki mwa Libya amesema kuwa viongozi wakuu wa kijeshi kutoka mashariki na magharibi mwa Libya wamekutana katika mji wa Sirte katikati mwa nchi hiyo kujadili kuunganisha vikosi vya jeshi vilivyogawanyika nchini humo. </description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 10:10:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la haki za binadamu: RSF inawashikilia raia 6,000 katika magereza ya El Fasher</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139850-shirika_la_haki_za_binadamu_rsf_inawashikilia_raia_6_000_katika_magereza_ya_el_fasher</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz53ad8ae4dd2pwcy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139850-shirika_la_haki_za_binadamu_rsf_inawashikilia_raia_6_000_katika_magereza_ya_el_fasher </guid>  
      <description>Ripoti iliyoandaliwa na Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu nchini Sudan imeonyesha kuwa watu 6,000 wanashikiliwa na wapiganaji wa kundi la waasi la Rapid Support Forces (RSF) katika magereza huko El Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa nchi, na pia imerekodi ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na kundi hilo dhidi ya raia.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 08:17:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumatatu tarehe 13 Julai 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139848-jumatatu_tarehe_13_julai_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2a053458842pw96.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139848-jumatatu_tarehe_13_julai_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumatatu tarehe 28 Muharram 1448 Hijria inayosadifiana na tarehe 13 Julai 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:16:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139846-iran_yaalaani_uchokozi_wa_kihalifu_wa_marekani_yaapa_kushambulia_chanzo_cha_mashambulizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0f7780ef4b2pw94.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139846-iran_yaalaani_uchokozi_wa_kihalifu_wa_marekani_yaapa_kushambulia_chanzo_cha_mashambulizi </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali jinai na mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran katika saa 24 zilizopita.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:12:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madaktari na wauguzi wa London wataka kuachiliwa huru daktari wa watoto wa Kipalestina </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139844-madaktari_na_wauguzi_wa_london_wataka_kuachiliwa_huru_daktari_wa_watoto_wa_kipalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd7568de0ab2pw92.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139844-madaktari_na_wauguzi_wa_london_wataka_kuachiliwa_huru_daktari_wa_watoto_wa_kipalestina </guid>  
      <description>Madaktari, wauguzi na wanaharakati wamekusanyika nje ya Chuo cha Kifalme cha Watoto na Afya ya Watoto (RCPCH) jijini London, wakitaka hatua zichukuliwe dhidi ya kukamatwa kinyume cha sheria daktari wa watoto wa Kipalestina Dkt. Hussam Abu Safiya anayeshilikiwa na utawala ghasibu wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:10:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwalimu Fatima Kurtic afukuzwa kazi Luxenbourg kwa kuiunga mkono Palestina </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139842-mwalimu_fatima_kurtic_afukuzwa_kazi_luxenbourg_kwa_kuiunga_mkono_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6dda68b8942pw90.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139842-mwalimu_fatima_kurtic_afukuzwa_kazi_luxenbourg_kwa_kuiunga_mkono_palestina </guid>  
      <description>Mamlaka za Luxembourg zimemfukuza kazi mwalimu wa shule ya msingia mbaye pia ni manusura wa mauaji ya halaiki ya Bosnia-Herzegovina baada ya kukosoa hadharani mauaji ya watoto katika Ukanda wa Ghaza kupitia machapisho yake kwenye mitandao ya kijamii.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:08:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Raia wa Zimbabwe warejea nyumbani kutoka Afrika Kusini huku ghasia dhidi ya wahamiaji zikiendelea </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139840-raia_wa_zimbabwe_warejea_nyumbani_kutoka_afrika_kusini_huku_ghasia_dhidi_ya_wahamiaji_zikiendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd746cdc6472pw8y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139840-raia_wa_zimbabwe_warejea_nyumbani_kutoka_afrika_kusini_huku_ghasia_dhidi_ya_wahamiaji_zikiendelea </guid>  
      <description>Raia wa Zimbabwe wanaokimbia vurugu na vitisho vya chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini wamewasili katika kituo cha mapokezi katika mji wa mpakani wa Beitbridge, Zimbabwe.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:04:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi: Iran imedhamiria kuanzisha mpango wake yenyewe katika Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139838-jeshi_iran_imedhamiria_kuanzisha_mpango_wake_yenyewe_katika_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6e6c5bd22d2pw8w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139838-jeshi_iran_imedhamiria_kuanzisha_mpango_wake_yenyewe_katika_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesema kuwa vikosi vyote vya ulinzi viko tayari kulinda haki za taifa na kuweka mfumo unaokusudiwa na Iran katika Lango -Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:03:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Timiza majukumu yako la sivyo utalipa gharama': Spika Qalibaf aionya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139836-'timiza_majukumu_yako_la_sivyo_utalipa_gharama'_spika_qalibaf_aionya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc21989c9dc2pw40.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139836-'timiza_majukumu_yako_la_sivyo_utalipa_gharama'_spika_qalibaf_aionya_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf ameionya Marekani kwamba inalazimika kutimiza majukumu yake la sivyo italazimika kulipa gharama ya kukiuka ahadi na majukumu yake chini ya makubaliano ya kukomesha vita.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 12:31:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mfungwa wa Kipalestina aelezea unyanyasaji wa wanawake katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139834-mfungwa_wa_kipalestina_aelezea_unyanyasaji_wa_wanawake_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz15bb6e114a2pw46.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139834-mfungwa_wa_kipalestina_aelezea_unyanyasaji_wa_wanawake_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Mfungwa mwanamke Mpalestina amesimulia uvamizi wa mara kwa mara, unyanyasaji wa kimwili na hali mbaya ya kizuizini inayowaathiri wanawake Wapalestina waliofungwa katika magereza ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 12:29:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Serikali ya Sudan na UNICEF zaonya kuhusu kuzorota hali ya kiafya katika maeneo yenye migogoro</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139832-serikali_ya_sudan_na_unicef_zaonya_kuhusu_kuzorota_hali_ya_kiafya_katika_maeneo_yenye_migogoro</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz965af4e8ef2pw2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139832-serikali_ya_sudan_na_unicef_zaonya_kuhusu_kuzorota_hali_ya_kiafya_katika_maeneo_yenye_migogoro </guid>  
      <description>Serikali ya Sudan na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) zimeonya kuhusu mgogoro mbaya wa utapiamlo miongoni mwa watoto nchini Sudan, huku vita na mapigano ya ndani yakiendelea kwa mwaka wa nne sasa. </description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 10:52:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi makubwa zaidi ya kukumbukwa katika historia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139830-mazishi_makubwa_zaidi_ya_kukumbukwa_katika_historia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz8391ee22442pvr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139830-mazishi_makubwa_zaidi_ya_kukumbukwa_katika_historia </guid>  
      <description>Mazishi makubwa na ya kuvutia ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, halikuwa tukio tu la maombolezo; bali lilibadilika haraka na kuwa moja ya matukio muhimu zaidi yaliyozingatiwa na vyombo vya habari na wanasiasa duniani, kieneo na kimataifa. </description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 10:27:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta Graham, msaidizi mkuu wa Trump na mchochezi mkuu wa vita dhidi ya Iran ameangamia ghafla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139828-seneta_graham_msaidizi_mkuu_wa_trump_na_mchochezi_mkuu_wa_vita_dhidi_ya_iran_ameangamia_ghafla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz947ed498802pw22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139828-seneta_graham_msaidizi_mkuu_wa_trump_na_mchochezi_mkuu_wa_vita_dhidi_ya_iran_ameangamia_ghafla </guid>  
      <description>Seneta Lindsey Graham, anayetambuliwa kuwa mhandisi wa mipango ya Washington dhidi ya Iran na mhamasishaji mkuu wa Trump kufanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, hatimaye ameangamia na ndoto yake ya kunyakua "matrilioni ya dola katika pesa na mafuta ya Iran." </description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 10:21:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran, Oman zakubaliana kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kiufundi kuhusu usalama wa meli, Lango Bahari la Hormuz </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139826-iran_oman_zakubaliana_kuendeleza_mazungumzo_ya_kisiasa_na_kiufundi_kuhusu_usalama_wa_meli_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5dc5fb1c5c2pw1g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139826-iran_oman_zakubaliana_kuendeleza_mazungumzo_ya_kisiasa_na_kiufundi_kuhusu_usalama_wa_meli_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Iran na Oman zimekubaliana kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kiufundi kuhusu usalama wa baharini na mipango ya baadaye ya safari za meli katika Lango-Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 09:38:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumapili, 12 Julai, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139824-jumapili_12_julai_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzcc6e7071da2ptg2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139824-jumapili_12_julai_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumapili 27 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria mwafaka na 12 Julai 2026.
</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:28:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yashambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Jordan, Kuwait, Oman, Qatar na Bahrain, yafunga Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139822-iran_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_nchini_jordan_kuwait_oman_qatar_na_bahrain_yafunga_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz38760419462pvxi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139822-iran_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_nchini_jordan_kuwait_oman_qatar_na_bahrain_yafunga_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo asubuhi vimetekeleza operesheni ya pamoja ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani nchini Jordan, Kuwait, Qatar, Oman na Bahrain, ikiwa ni hatua ya kujibu mashambulizi endelevu ya Marekani dhidi ya maeneo ya kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:23:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Idara ya Mahakama Iran: Tutawaandama wahalifu wa vita wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139820-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_iran_tutawaandama_wahalifu_wa_vita_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9d44cb7f722pvxe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139820-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_iran_tutawaandama_wahalifu_wa_vita_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Hujjatul Islam Gholam Hossein Mohseni Ejei, amesema kuwa chombo hicho kitaendeleza hatua za kisheria za kufuatilia uhalifu uliofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Iran, akisisitiza kwamba wahusika wa uhalifu wa kivita lazima waadhibiwe na walazimishwe kulipa fidia.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:19:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Kataib Hizbullah ya Iraq aapa kuendeleza njia ya mapambano, apinga vitisho vya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139818-kiongozi_wa_kataib_hizbullah_ya_iraq_aapa_kuendeleza_njia_ya_mapambano_apinga_vitisho_vya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz99e6f231542pvxc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139818-kiongozi_wa_kataib_hizbullah_ya_iraq_aapa_kuendeleza_njia_ya_mapambano_apinga_vitisho_vya_adui </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Kataib Hizbullah nchini Iraq amesema kundi lake litaendeleza njia ya Muqawama na mapambano, akipuuza vitisho vya maadui na kuwataka maafisa wa serikali ya nchi hiyo na viongozi wa kisiasa kuheshimu matakwa ya taifa hilo la Kiarabu.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:18:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanamuziki wa Somaliland afungwa jela bila kesi kwa kutunga wimbo wa al-Quds</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139816-mwanamuziki_wa_somaliland_afungwa_jela_bila_kesi_kwa_kutunga_wimbo_wa_al_quds</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze30f495d842pvxa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139816-mwanamuziki_wa_somaliland_afungwa_jela_bila_kesi_kwa_kutunga_wimbo_wa_al_quds </guid>  
      <description>
Askari usalama katika eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland wamemkamata mwanamuziki kijana, Khalid Mohamud Abdillahi, anayejulikana sana kama Khalid Kamil, baada ya kutunga wimbo kuhusu al-Quds iliyokaliwa kwa mabavu. Hayo yameripotiwa na Hiiraan Online, ikinukuu familia yake.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:16:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ushiriki wa Wamarekani kwenye mazishi ya Ayatullah Khamenei waibua hasira huko Washington</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139814-ushiriki_wa_wamarekani_kwenye_mazishi_ya_ayatullah_khamenei_waibua_hasira_huko_washington</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc3dd9e83e32pvx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139814-ushiriki_wa_wamarekani_kwenye_mazishi_ya_ayatullah_khamenei_waibua_hasira_huko_washington </guid>  
      <description>Mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Shahidi Ayatullah Ali Khamenei, hayakuwa tukio la Iran pekee; bali pia uwepo mkubwa wa watu wenye ushawishi na wanablogu wa kigeni katika shughuli hiyo, wakiwemo Wamarekani ambao wamesema walikwenda Iran kuonyesha mshikamano wao na kutetea simulizi ya nchi hiyo mbele ya Marekani na Israel, umezusha hasira kubwa katika duru za Magharibi.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:13:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Mojtaba Khamenei asifu ushiriki ‘wa kihistoria’ wa waumini katika mazishi, aapa kulipiza kisasi kwa Kiongozi Shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139812-ayatullah_mojtaba_khamenei_asifu_ushiriki_wa_kihistoria’_wa_waumini_katika_mazishi_aapa_kulipiza_kisasi_kwa_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2bd09b30322pvuw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139812-ayatullah_mojtaba_khamenei_asifu_ushiriki_wa_kihistoria’_wa_waumini_katika_mazishi_aapa_kulipiza_kisasi_kwa_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa shukrani zake za dhati kwa mahudhurio “ya kustaajabisha, yenye kuvunja nguvu za adui na ya kihistoria” katika mazishi ya Kiongozi Shahidi, akisisitiza kuwa malipo ya kisasi dhidi ya “watenda jinai wauaji waliodhalilika” ni jambo la yakini.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 12:03:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utawala wa Israeli wamzuia Mufti wa Palestina kuingia Msikiti wa al-Aqsa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139810-utawala_wa_israeli_wamzuia_mufti_wa_palestina_kuingia_msikiti_wa_al_aqsa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz7f1a9779522pvv6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139810-utawala_wa_israeli_wamzuia_mufti_wa_palestina_kuingia_msikiti_wa_al_aqsa </guid>  
      <description>Utawala wa Kizayuni wa Israel umemzuia Mufti Mkuu wa Palestina kuingia katika uzio wa Msikiti wa al-Aqsa jijini Al Quds (Jerusalem) kwa muda wa wiki moja baada ya kumteka nyara, katika hatua nyingine inayolenga viongozi wa kidini wa Palestina.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 12:00:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanafunzi wa Iran washinda katika Olympiadi ya kimataifa ya hisabati ya China</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139808-wanafunzi_wa_iran_washinda_katika_olympiadi_ya_kimataifa_ya_hisabati_ya_china</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz41ad8596012pvv4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139808-wanafunzi_wa_iran_washinda_katika_olympiadi_ya_kimataifa_ya_hisabati_ya_china </guid>  
      <description>Makamu wa Rais wa Iran anayeshughulikia masuala ya sayansi na teknolojia amepongeza ufanisi wa timu ya taifa ya Olympiad ya Hisabati ya Iran baada ya kushinda nafasi ya kwanza katika Mashindano ya Kimataifa ya Hisabati ya China (IMSC) ya mwaka 2026. Mafanikio haya yameelezwa kuwa ni dhihirisho la uwezo wa Iran katika nyanja ya sayansi.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 11:59:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia na China zapinga mashinikizo ya  Magharibi dhidi  ya Iran katika Baraza la Usalama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139806-russia_na_china_zapinga_mashinikizo_ya_magharibi_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2873b9da562pvv2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139806-russia_na_china_zapinga_mashinikizo_ya_magharibi_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama </guid>  
      <description>Russia na China zimepinga vikali kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) kilichochochewa na nchi za Magharibi kuhusu Iran siku ya Ijumaa, zikisisitiza kuwa Azimio namba 2231 lilifika ukingano mnamo Oktoba 2025, na hivyo Baraza hilo halina tena mamlaka ya kisheria kujadili suala la nyuklia la Tehran.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 11:37:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maambukizi ya Ebola yapanda hadi zaidi ya 1,800 nchini DRC huku virusi vikisambaa hadi mkoa wa nne</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139804-maambukizi_ya_ebola_yapanda_hadi_zaidi_ya_1_800_nchini_drc_huku_virusi_vikisambaa_hadi_mkoa_wa_nne</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby41252af1702pmb8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139804-maambukizi_ya_ebola_yapanda_hadi_zaidi_ya_1_800_nchini_drc_huku_virusi_vikisambaa_hadi_mkoa_wa_nne </guid>  
      <description>Idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imevuka 1,800, kwa mujibu wa takwimu rasmi zilizotolewa siku ya Jumamosi, huku virusi hivyo vikisambaa hadi mkoa wa nne katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 11:31:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jumamosi 11 Julai, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139800-jumamosi_11_julai_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b0dd57fe92pe9u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139800-jumamosi_11_julai_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Jumamosi 26 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria sawa na 11 Julai 2026 Miladia.

</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 07:52:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matamshi ya Waziri wa Vita wa Israel kuhusu Lebanon yana taathira gani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139802-matamshi_ya_waziri_wa_vita_wa_israel_kuhusu_lebanon_yana_taathira_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9f2501ff502pvqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139802-matamshi_ya_waziri_wa_vita_wa_israel_kuhusu_lebanon_yana_taathira_gani </guid>  
      <description>Israel Katz, Waziri wa Vita wa utawala ghasibu wa Israel, amejibu matamshi ya hivi karibuni ya Donald Trump kuhusu kuondoka Israel katika ardhi ya Lebanon kwa kuyapinga vikali, na kusema Israel haitaomba idhini ya mtu yoyote katika kuendelea kusalia nchini Lebanon.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 07:51:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya: Mashambulizi dhidi ya miundombinu yetu yatajibiwa kikamilifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139798-iran_yaonya_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu_yetu_yatajibiwa_kikamilifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf59ccfae702pvrw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139798-iran_yaonya_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu_yetu_yatajibiwa_kikamilifu </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Zolqadr, ametoa onyo kali na la moja kwa moja katika ujumbe wake kupitia mtandao wa X siku ya Ijumaa, akijibu vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 04:50:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali mashambulizi ya kigaidi nchini Pakistan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139796-iran_yalaani_vikali_mashambulizi_ya_kigaidi_nchini_pakistan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzfe444fd8162pvrs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139796-iran_yalaani_vikali_mashambulizi_ya_kigaidi_nchini_pakistan </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotikisa mkoa wa kusini-magharibi mwa Pakistan wiki hii.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 04:45:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Ruto: Kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta Afrika Mashariki kujengwa Lamu, Kenya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139794-rais_ruto_kiwanda_kikubwa_zaidi_cha_kusafisha_mafuta_afrika_mashariki_kujengwa_lamu_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4cbe4aa6e72pvrq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139794-rais_ruto_kiwanda_kikubwa_zaidi_cha_kusafisha_mafuta_afrika_mashariki_kujengwa_lamu_kenya </guid>  
      <description>Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto, ametangaza hatua kuu ya maendeleo ya kiuchumi Ijumaa hii, akithibitisha kuwa mipango ya ujenzi wa kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta Afrika Mashariki imekamilika. </description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 04:41:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malalamiko rasmi dhidi ya Infantino wa FIFA kuhusu uhusiano Wake na Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139792-malalamiko_rasmi_dhidi_ya_infantino_wa_fifa_kuhusu_uhusiano_wake_na_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz638505443e2pvro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139792-malalamiko_rasmi_dhidi_ya_infantino_wa_fifa_kuhusu_uhusiano_wake_na_trump </guid>  
      <description>Shirika moja la kutetea haki za binadamu na usimamizi wa michezo limetangaza mpango wake wa kuwasilisha malalamiko dhidi ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino, kwa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC). Shirika hilo linamtuhumu Infantino kwa kukiuka mara kwa mara sheria za kutofungamana na upande wowote katika masuala ya kisiasa, kupitia uungaji mkono wake wa wazi na uhusiano wa karibu na Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 04:38:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wamalawi 38,000 waondoka Afrika Kusini kufuatia maandamano ya ghasia dhidi ya wahamiaji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139790-wamalawi_38_000_waondoka_afrika_kusini_kufuatia_maandamano_ya_ghasia_dhidi_ya_wahamiaji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4cdf3d32a92pvr8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139790-wamalawi_38_000_waondoka_afrika_kusini_kufuatia_maandamano_ya_ghasia_dhidi_ya_wahamiaji </guid>  
      <description>Wamalawi 38,000 waondoka Afrika Kusini kufuatia maandamano ghasia dhidi ya wahamiaji</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 03:32:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Makubwa zaidi katika historia ya binadamu': Zaidi ya watu milioni 43 wameshiriki mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi nchini Iran, Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139788-'makubwa_zaidi_katika_historia_ya_binadamu'_zaidi_ya_watu_milioni_43_wameshiriki_mazishi_ya_kiongozi_wa_mapinduzi_nchini_iran_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz8391ee22442pvr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139788-'makubwa_zaidi_katika_historia_ya_binadamu'_zaidi_ya_watu_milioni_43_wameshiriki_mazishi_ya_kiongozi_wa_mapinduzi_nchini_iran_iraq </guid>  
      <description>Makumi ya mamilioni ya Wairani na waumini kutoka nchi mbalimbali duniani waligeuza shughuli ya mazishi ya Kiongozi aliyeuawa shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kuwa mkusanyiko mkubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa ajili ya mazishi kote duniani.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 03:11:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mauaji ya kimbari, ubaguzi wa rangi, na ukoloni... Je, Kanisa la Uingereza limeipa mgongo Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139786-mauaji_ya_kimbari_ubaguzi_wa_rangi_na_ukoloni..._je_kanisa_la_uingereza_limeipa_mgongo_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz216c81cb492pvr4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139786-mauaji_ya_kimbari_ubaguzi_wa_rangi_na_ukoloni..._je_kanisa_la_uingereza_limeipa_mgongo_israel </guid>  
      <description>Gazeti la Times la London limeripoti kwamba Rabi Mkuu wa Mayahudi wa Uingereza, Sir Ephraim Mirvis, amelitaka Kanisa la Uingereza kukataa kujadili ripoti inayoelezea vita vya Israel huko Gaza kuwa ni "mauaji ya kimbari," akidai kwamba kupitishwa hati hiyo kunaweza kuharibu uhusiano kati ya Wayahudi na Wakristo uliojengwa kwa miongo kadhaa.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 03:09:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ijumaa, Julai 10, 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139784-ijumaa_julai_10_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8dc7aee2ad2phn0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/radio/programs-i139784-ijumaa_julai_10_2026 </guid>  
      <description>Leo ni Ijumaa tarehe 25 Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria sawa na tarehe 10 Julai 2026.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:59:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Abu Torabifardi: Utaratibu wa makubaliano ni ahadi kwa ahadi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139782-abu_torabifardi_utaratibu_wa_makubaliano_ni_ahadi_kwa_ahadi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz35cedc64492pvr0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139782-abu_torabifardi_utaratibu_wa_makubaliano_ni_ahadi_kwa_ahadi </guid>  
      <description>Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo katika mji wa Tehran amesisitiza kuwa hati ya makubaliano kati ya Iran na Marekani haikuandaliwa kwa msingi wa kuuamini uongozi wa Marekani na kueleza kuwa: Mfumo wa makubaliano hayo ni 'ahadi kwa ahadi'; na tunatangaza wazi wazi kwamba Marekani hataruhusiwa kamwe kuingilia masuala ya Mlango Bahari wa Hormuz. </description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:52:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda mkuu wa Majeshi Iran asema wauaji wa Kiongozi Muadhamu watakabiliwa na adhabu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139780-kamanda_mkuu_wa_majeshi_iran_asema_wauaji_wa_kiongozi_muadhamu_watakabiliwa_na_adhabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb5efa566072pvqy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139780-kamanda_mkuu_wa_majeshi_iran_asema_wauaji_wa_kiongozi_muadhamu_watakabiliwa_na_adhabu </guid>  
      <description>Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran maarufu kwa jina la Kamandi ya Khatamul-Anbiya (SAW) amesema wale waliohusika na mauaji ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, watakabiliwa na adhabu, akielezea mahudhurio makubwa ya watu katika mazishi yake kuwa ni dhihirisho lenye nguvu la imani, ukakamavu na mshikamano.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:50:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapinzani Kongo wapinga jitihada za Rais Tshisekedi za kuwania muhula wa tatu wa urais </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139778-wapinzani_kongo_wapinga_jitihada_za_rais_tshisekedi_za_kuwania_muhula_wa_tatu_wa_urais</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9c1e3ae9ce2pvqw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139778-wapinzani_kongo_wapinga_jitihada_za_rais_tshisekedi_za_kuwania_muhula_wa_tatu_wa_urais </guid>  
      <description>Wapinzani Kongo wapinga jitihada za Rais Tshisekedi za kuwania muhula wa tatu wa urais </description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:47:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Familia nzima imeangamizwa: Amnesty International yaituhumu Israel kufanya uhalifu wa kivita nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139776-familia_nzima_imeangamizwa_amnesty_international_yaituhumu_israel_kufanya_uhalifu_wa_kivita_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9f2501ff502pvqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139776-familia_nzima_imeangamizwa_amnesty_international_yaituhumu_israel_kufanya_uhalifu_wa_kivita_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Shirika la Amnesty International mapema jana Alhamisi lilitoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi matatu yaliyofanywa na utawala wa Israel kusini mwa Lebanon mwezi Machi, likiyataja mashambulizi hayo kuwa ni uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:45:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Hatua za Marekani ni mfano wa wazi wa uhalifu mkubwa wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139774-iran_hatua_za_marekani_ni_mfano_wa_wazi_wa_uhalifu_mkubwa_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0c96b7a2452pvqs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139774-iran_hatua_za_marekani_ni_mfano_wa_wazi_wa_uhalifu_mkubwa_wa_kivita </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema, mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya maeneo kadhaa katika mikoa ya pwani ya kusini mwa nchi pamoja na madaraja mawili yaliyopo katika mikoa ya mashariki kwenye njia ya reli inayoelekea mji mtakatifu wa Mashhad, yanajumuisha uhalifu mkubwa wa kivita.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:43:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Shahidi Ayatullah Khamenei azikwa katika Haram ya Imam Ridha (a.s) mjini Mash'had</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139772-kiongozi_shahidi_ayatullah_khamenei_azikwa_katika_haram_ya_imam_ridha_(a.s)_mjini_mash'had</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz113007e6392pvqq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139772-kiongozi_shahidi_ayatullah_khamenei_azikwa_katika_haram_ya_imam_ridha_(a.s)_mjini_mash'had </guid>  
      <description>Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ayatullah Sayyid Aali Khamenei amezikwa katika Haram ya Imam Ridha (a.s) mjini Mash'had kaskazini mashariki mwa Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:41:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maridhiano ya kisiasa Zanzibar yaja na matumaini mapya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139770-maridhiano_ya_kisiasa_zanzibar_yaja_na_matumaini_mapya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0a65ef111e2pvqo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139770-maridhiano_ya_kisiasa_zanzibar_yaja_na_matumaini_mapya </guid>  
      <description>Maridhiano mapya ya kisiasa kati ya vyama vikuu vya Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo, yalifikiwa rasmi jana baada ya viongozi wa pande hizo mbili kusaini tamko la pamoja.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:37:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapinzani Zimbabwe waapa kupinga azma ya kurekebisha katiba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139768-wapinzani_zimbabwe_waapa_kupinga_azma_ya_kurekebisha_katiba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz56e3c1ba2f2pvmq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/africa-i139768-wapinzani_zimbabwe_waapa_kupinga_azma_ya_kurekebisha_katiba </guid>  
      <description>Viongozi wa upinzani nchini Zimbabwe wameapa kupinga ndani na nje ya nchi marekebisho ya katiba yanayomruhusu Rais Emmerson Mnangagwa kuongeza muda wa utawala kwa miaka miwili na kufuta uchaguzi wa moja kwa moja wa rais.
</description>
      <pubDate>Fri, 10 Jul 2026 08:09:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni wahudhuria mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika mji wa Mash'had</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139766-mamilioni_wahudhuria_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_ayatullah_sayyid_ali_khamenei_katika_mji_wa_mash'had</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6d6260a3252pvis.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139766-mamilioni_wahudhuria_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_ayatullah_sayyid_ali_khamenei_katika_mji_wa_mash'had </guid>  
      <description>Shughuli maalumu ya kuuaga na kuusindikiza mwili wa kiongozi shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei pamoja na mashahidi wa familia yake imefanyika leo katika mji mtakatufu wa Mash'had.

</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 15:28:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapeleka malalamiko ya kushambuliwa vituo vyake vya anga za mbali katika Umoja wa Mataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139764-iran_yapeleka_malalamiko_ya_kushambuliwa_vituo_vyake_vya_anga_za_mbali_katika_umoja_wa_mataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2e0d2a02232pv92.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139764-iran_yapeleka_malalamiko_ya_kushambuliwa_vituo_vyake_vya_anga_za_mbali_katika_umoja_wa_mataifa </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi haramu ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani dhidi ya vituo vyake vya anga za mbali na kuwasilisha malalamiko yake rasmi kuhusu suala hilo katika kikao cha jopo kazi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuzuia mashindano ya silaha katika anga za juu, ikitoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na matumizi ya silaha katika anga hizo.</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 12:07:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>