<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Thu, 09 Apr 2026 18:38:58 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Jeshi la IRGC lashambulia Kamandi ya Jeshi la Marekani na ngome za Israel katika Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw268d7ac63d2p6cg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya shabaha mbalimbali zenye mfungamano na Marekani na Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi katika sehemu ya wimbi la 97 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 04:50:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf amwambia Trump: Kutii maagizo ya Netanyahu kutawasha moto kwenye kanda nzima</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa396ca5b8d2p6b8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amejibu vitisho vya hivi karibuni vya Donald Trump, rais gaidi wa Marekani katika ujumbe wake kwenye mtandao wa kijamii wa X akisema tabia yake ya kutii na kufuata maagizo ya waziri mkuu katili wa Israel Benjamin Netanyahu kutawasha zaidi moto wa vita katika kanda nzima ya Magharibi mwa Asia. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:28:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Vita vilivyotwishwa Iran vimelenga utambulisho wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6fd928a88d2p2ka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Vita vya kulazimishwa vya Wamarekani na Wazayuni dhidi ya Iran vimelenga uwepo na utambulisho wa Kiirani.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:16:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aragchi: Tishio la Trump dhidi ya miundombinu ya nishati Iran ni kukiri uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0e3923fde92p6bo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vitisho vya Marekani vya kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ni kukiri wazi nia ya kutenda uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:30:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Majenerali wa Marekani hawataki kufa kwa ajili ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw41d6028a1f2p668.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran, amekejeli hatua ya Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth ya kuwatimua makamanda wenye uzoefu katika jeshi la nchi hiyo na kuandika: Hawataki tena kumtii mtangazaji wa televisheni anayehatarisha maisha ya Wamarekani kwa ajili ya njozi za Israel.
</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:42:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaangusha helikopta mbili za Black Hawk na ndege mbili za kijeshi za C‑130 za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwebfcecb5742p68z.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi Kuu ya Khatam al‑Anbiya ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vyombo vya anga vya adui vilivyovamia mkoa wa Isfahan, vikijumuisha helikopta mbili aina ya Black Hawk na ndege mbili za usafirishaji wa kijeshi ya C‑130 zimetunguliwa na kuangamizwa na vikosi vya ulinzi.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:36:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran aonya kuhusu majibu mapana dhidi ya maslahi ya Marekani katika eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfe903b61232p66f.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Ghalibaf, amesisitiza kuwa “usalama endelevu” ndio kipaumbele kikuu cha Iran, akionya kwamba kuendelea kwa mvutano kutasababisha majibu mapana yatakayolenga maslahi ya Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:05:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna vita dhidi ya Iran vilivyobadilisha muundo wa soko la nishati duniani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3oae25f808132cfsj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani </guid>  
      <description>Taasisi moja ya Marekani imekiri kwamba vita dhidi ya Iran vimebadilisha pakubwa muundo wa soko la nishati duniani.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:53:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran latoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by272068b229b1w9bt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran </guid>  
      <description>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vyake vya amani vya nyuklia, likisema hilo ndilo tarajio la chini kabisa  linalotazamiwa kutoka kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:48:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ndege kadhaa za kivita za Marekani zatunguliwa Iran, hadi sasa droni 160 za adui zimedunguliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137788-ndege_kadhaa_za_kivita_za_marekani_zatunguliwa_iran_hadi_sasa_droni_160_za_adui_zimedunguliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw16bc1f11612p64b.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137788-ndege_kadhaa_za_kivita_za_marekani_zatunguliwa_iran_hadi_sasa_droni_160_za_adui_zimedunguliwa </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimeangamiza ndege kadhaa za kijeshi za Marekani katika “siku nyeusi” kwa majeshi ya nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.
</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 07:28:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Hujuma dhidi ya madaraja ni uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137778-iran_hujuma_dhidi_ya_madaraja_ni_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1832af05b42p626.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137778-iran_hujuma_dhidi_ya_madaraja_ni_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali Marekani na utawala wa Israel kwa kutekeleza “uhalifu wa kivita wa kigaidi wa mtindo wa Daesh” wakati wa vita vyao vya kichokozi vinavyoendelea dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisema maadui hao wawili hawatapata nguvu kwa kuharibu madaraja makubwa nchini Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 03:18:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Tutailinda Iran kwa azma thabiti na uwezo wetu wote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137776-pezeshkian_tutailinda_iran_kwa_azma_thabiti_na_uwezo_wetu_wote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3a13397af92p5yt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137776-pezeshkian_tutailinda_iran_kwa_azma_thabiti_na_uwezo_wetu_wote </guid>  
      <description>Rais Mahmoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akiashiria kwamba Iran ilishambuliwa kijeshi na Marekani na utawala haramu wa Israel wakati ilipokuwa kwenye mazungumzo na Marekani, amesema: "Sisis tunasisitiza juu ya azma thabiti ya kujilinda."</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:56:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchina: Tehran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137774-uchina_tehran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa22c17a38b2p61k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137774-uchina_tehran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo </guid>  
      <description>Huku akielezea upinzani wa Beijing kuhusu kushambuliwa miundombinu ya Iran, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, amesema Tehran kamwe haitapigishwa magoti na mashinikizo yoyote ya kijeshi na kwamba hatua hizi zitachochea tu moto wa mivutano.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:52:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani na Israel zalenga Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti katika hujuma dhidi ya sayansi Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137770-marekani_na_israel_zalenga_chuo_kikuu_cha_shahid_beheshti_katika_hujuma_dhidi_ya_sayansi_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdf5f97ebdf2p627.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137770-marekani_na_israel_zalenga_chuo_kikuu_cha_shahid_beheshti_katika_hujuma_dhidi_ya_sayansi_iran </guid>  
      <description>Muungano wa kijinai wa Marekani na Israel unaendelea na mashambulizi yake dhidi ya miundombinu ya kitaaluma na ya kiraia nchini Iran, huku shambulizi la karibuni likiharibu vibaya kituo cha utafiti katika Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti mjini Tehran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 22:58:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laapa kuendelea na vita hadi Marekani na Israel ‘zitakapojutia’ uchokozi wao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137768-jeshi_la_iran_laapa_kuendelea_na_vita_hadi_marekani_na_israel_zitakapojutia’_uchokozi_wao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw866e5c8c3b2p60c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137768-jeshi_la_iran_laapa_kuendelea_na_vita_hadi_marekani_na_israel_zitakapojutia’_uchokozi_wao </guid>  
      <description>Msemaji mkuu wa Jeshi la Iran amesema Tehran itaendelea na vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel hadi kuifanya Marekani na utawala wa Israel "zijutie" kitendo chao cha uchokozi kinyume cha sheria.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 06:39:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kampuni ya Kimarekani ya Oracle nchini Imarati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137764-irgc_yashambulia_kampuni_ya_kimarekani_ya_oracle_nchini_imarati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwbdafc858592p5zy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137764-irgc_yashambulia_kampuni_ya_kimarekani_ya_oracle_nchini_imarati </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kuwa: Limetoa kipigo kikali kwa Kampuni ya Kimarekani ya Oracle kufuatia mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mkewe.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 05:24:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yatungua ndege ya pili ya kivita ya Marekani aina ya F-35 katika anga ya katikati mwa nchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137760-irgc_yatungua_ndege_ya_pili_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_35_katika_anga_ya_katikati_mwa_nchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb743391a0a2p5z1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137760-irgc_yatungua_ndege_ya_pili_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_35_katika_anga_ya_katikati_mwa_nchi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua ndege ya pili ya kisasa ya Marekani aina ya F-35 ikiwa katika anga katikati ya Iran kwa kutumia mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Kikosi cha Anga cha jeshi hilo.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:45:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Nchi za Ulaya zinawajibika kujibu uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137758-pezeshkian_nchi_za_ulaya_zinawajibika_kujibu_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3a13397af92p5yt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137758-pezeshkian_nchi_za_ulaya_zinawajibika_kujibu_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amekosoa utendaji wa Umoja wa Ulaya mkabala wa ukiukwaji wa wazi wa sheria unaofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, akisema: "Nchi chache za Ulaya zimechukua msimamo wa kuwajibika dhidi ya uchokozi huo, na nyingi zimekuwa na mtazamo wa kutojali na hata wa upendeleo."</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:41:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran na Oman kuandaa itifaki ya Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137752-iran_na_oman_kuandaa_itifaki_ya_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6j08e54051ce2k5jq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137752-iran_na_oman_kuandaa_itifaki_ya_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Iran na Oman zinashirikiana kuandaa itifaki ya pamoja ili kuhakikisha usafiri salama wa majini katika Lango Bahari la Hormuz katika kipindi cha baada ya vita.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 03:38:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amir Hatami: Hakuna adui hata mmoja anayepaswa kubakia hai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137748-amir_hatami_hakuna_adui_hata_mmoja_anayepaswa_kubakia_hai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd7337aae322p5v9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137748-amir_hatami_hakuna_adui_hata_mmoja_anayepaswa_kubakia_hai </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameiagiza Makao Makuu ya Operesheni ya Jeshi kufuatilia nyendo na vitendo vya adui kwa jicho la kushuku na usahihi mkubwa, mara kwa mara, na kutekeleza mipango ya kukabiliana na mbinu za mashambulizi ya adui kwa wakati unaofaa.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:17:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lango-Bahari la Hormuz liko chini ya udhibiti kamili wa IRGC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137734-lango_bahari_la_hormuz_liko_chini_ya_udhibiti_kamili_wa_irgc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpre54424e40a17j10.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137734-lango_bahari_la_hormuz_liko_chini_ya_udhibiti_kamili_wa_irgc </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuwa Lango-Bahari la Hormuz sasa liko chini ya udhibiti kamili wa vikosi vyake vya majini, huku likitoa maelezo ya mfululizo wa operesheni za makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya malengo ya Marekani na Israel katika maeneo mbalimbali ya kanda.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:27:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Shambulio dhidi ya miundombinu ya Iran ni dalili ya udhaifu wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137730-rais_pezeshkian_shambulio_dhidi_ya_miundombinu_ya_iran_ni_dalili_ya_udhaifu_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa00c41033b2p5tu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137730-rais_pezeshkian_shambulio_dhidi_ya_miundombinu_ya_iran_ni_dalili_ya_udhaifu_wa_marekani </guid>  
      <description>Rais wa Iran, amehoji katika ujumbe aliouelekeza kwa wananchi wa Marekani kwamba: Vita vinavyoendelea sasa vinanufaisha vipi maslahi halisi ya watu wa Marekani? Amesisitiza kuwa mashambulio dhidi ya miundombinu muhimu ya Iran, ikiwemo vituo vya nishati na viwanda, ni hatua inayolenga moja kwa moja kuvuruga maisha ya watu wa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:22:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aiambia Hizbullah: Iran itaendelea kuunga mkono Muqawama dhidi ya Marekani na Wazayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137728-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aiambia_hizbullah_iran_itaendelea_kuunga_mkono_muqawama_dhidi_ya_marekani_na_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv453067edd42p5nw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137728-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aiambia_hizbullah_iran_itaendelea_kuunga_mkono_muqawama_dhidi_ya_marekani_na_wazayuni </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Ali Khamenei amemwandikia barua Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, akiahidi kuendeleza uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa harakati hiyo ya Muqawama na mapambano katika kukabiliana na adui, Marekani na Uzayuni.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 05:32:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Brigedia Jenerali Fadavi: Ujinga wa Marekani umewaletea matatizo walimwengu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137724-brigedia_jenerali_fadavi_ujinga_wa_marekani_umewaletea_matatizo_walimwengu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9c3ec42669bc2o2jo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137724-brigedia_jenerali_fadavi_ujinga_wa_marekani_umewaletea_matatizo_walimwengu </guid>  
      <description>Mshauri wa Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: “Walimwengu sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa ya nishati kutokana na upumbavu wa shetani mkubwa, Marekani.”</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:13:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje: Marekani inataka kuhuisha fikra ya ufashisti ya kabla ya Vita vya Pili vya Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137720-msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje_marekani_inataka_kuhuisha_fikra_ya_ufashisti_ya_kabla_ya_vita_vya_pili_vya_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv16795f803c2p5kh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137720-msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje_marekani_inataka_kuhuisha_fikra_ya_ufashisti_ya_kabla_ya_vita_vya_pili_vya_dunia </guid>  
      <description>Akijibu kauli za Seneta wa chama cha Republican, Lindsey Graham, na mshauri wa zamani wa Donald Trump, Steve Bannon kuhusu kutumia mifano ya kihistoria kuhalalisha vita, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema: "Marejeleo haya ya kihistoria yanafanana waziwazi na mawazo ya Wanazi na Wafashisti."</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:00:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu awashukuru wanazuoni wa Kisuni wa Kurdistan kwa uungaji mkono wao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137714-kiongozi_muadhamu_awashukuru_wanazuoni_wa_kisuni_wa_kurdistan_kwa_uungaji_mkono_wao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv32b45bb3072p5nc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137714-kiongozi_muadhamu_awashukuru_wanazuoni_wa_kisuni_wa_kurdistan_kwa_uungaji_mkono_wao </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa shukrani kwa wanazuoni wa Kisuni katika Mkoa wa Kurdistan nchini Iran kufuatia ujumbe wao wa pole na mshikamano baada ya kuuawa shahidi aliyekuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:20:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Iran UN alaani shambulio la US na Israel dhidi ya ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137712-mwakilishi_wa_iran_un_alaani_shambulio_la_us_na_israel_dhidi_ya_ofisi_za_umoja_wa_mataifa_mjini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0yd0305a51e925ura.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137712-mwakilishi_wa_iran_un_alaani_shambulio_la_us_na_israel_dhidi_ya_ofisi_za_umoja_wa_mataifa_mjini_tehran </guid>  
      <description>Balozi na mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo, akilaani mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Tehran na kutoa wito wa ufuatiliaji wa haraka na kutolewa ripoti rasmi kuhusu tukio hilo. </description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:13:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Iran haijatoa jibu lolote kwa mapendekezo 15 ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137710-araghchi_iran_haijatoa_jibu_lolote_kwa_mapendekezo_15_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv7ce2252d1c2p5np.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137710-araghchi_iran_haijatoa_jibu_lolote_kwa_mapendekezo_15_ya_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Tehran hadi sasa haijatoa jibu kwa mapendekezo 15 ya Marekani, wala haijawasilisha sharti lolote.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:07:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ahadi ya Kweli 4, Wimbi la 88: Jeshi la Wanamaji la IRGC laharibu mfumo wa kukabiliana na droni wa US Fifth Fleet</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137706-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_88_jeshi_la_wanamaji_la_irgc_laharibu_mfumo_wa_kukabiliana_na_droni_wa_us_fifth_fleet</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv1d48f9e5312p5m9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137706-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_88_jeshi_la_wanamaji_la_irgc_laharibu_mfumo_wa_kukabiliana_na_droni_wa_us_fifth_fleet </guid>  
      <description>Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) mapema leo Jumanne kimefanya operesheni nne dhidi ya shabaha za magaidi wa Kimarekani na Israel na kutoa vipigo vikali ikiwa ni sehemu ya wimbi la 88 la Operesheni Ahadi ya Kweli-4.
</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:18:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian alishukuru taifa la Iraq kwa kuwa bega kwa bega na Iran katika mapambano dhidi ya Marekani, Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137704-pezeshkian_alishukuru_taifa_la_iraq_kwa_kuwa_bega_kwa_bega_na_iran_katika_mapambano_dhidi_ya_marekani_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9cd3fe8643112oege.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137704-pezeshkian_alishukuru_taifa_la_iraq_kwa_kuwa_bega_kwa_bega_na_iran_katika_mapambano_dhidi_ya_marekani_israel </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesifu na kupongeza ujasiri wa taifa la Iraq wa kusimama bega kwa bega na watu wa Iran katika kipindi hiki cha uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:17:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mapambano ya Watu wa Iran dhidi ya Madhalimu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137700-mapambano_ya_watu_wa_iran_dhidi_ya_madhalimu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c975852edf13e2mkx0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137700-mapambano_ya_watu_wa_iran_dhidi_ya_madhalimu </guid>  
      <description>Swali muhimu zaidi ambalo limekuwa likiwashughulisha wachambuzi wengi na hata watumiaji wa mitandao ya kijamii siku hizi ni kuwa: "Je, Wairani wameweza vipi kusimama imara mbele ya nguvu mbili zenye silaha za nyuklia bila kuogopa wala kusalimu amri?"</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 04:51:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakanusha kuwepo mazungumzo yoyote na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137690-iran_yakanusha_kuwepo_mazungumzo_yoyote_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv387eb6c4142p5jw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137690-iran_yakanusha_kuwepo_mazungumzo_yoyote_na_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amesisitiza kuwa Tehran haijafanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani, na amekanusha madai kwamba Jamhuri ya Kiislamu imekubali mapendekezo ya Washington, akieleza kauli hizo kuwa hazina msingi wowote.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 00:16:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC: Israel izoee “Mfumo Mpya wa Kikanda”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137688-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_israel_izoee_mfumo_mpya_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c94bd1b697ece2ljam.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137688-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_israel_izoee_mfumo_mpya_wa_kikanda </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Esmaeil Qaani, amesema kuwa utawala wa Israel unapaswa kuanza kuzoea  “mfumo mpya wa nguvu katika kanda y Magharibi mwa Asia,” akisisitiza kwamba hatua zilizoratibiwa na washirika wa Iran katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) zimepunguza kwa kiasi kikubwa matarajio ya usalama ya Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 23:07:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4; ulipizaji kisasi dhidi ya maeneo ya viwanda ya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137686-awamu_ya_pili_ya_wimbi_la_86_la_oparesheni_ahadi_ya_kweli_4_ulipizaji_kisasi_dhidi_ya_maeneo_ya_viwanda_ya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvdc0e25a2fa2p5fl.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137686-awamu_ya_pili_ya_wimbi_la_86_la_oparesheni_ahadi_ya_kweli_4_ulipizaji_kisasi_dhidi_ya_maeneo_ya_viwanda_ya_adui </guid>  
      <description>Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetoa taarifa ikitangaza kuwa jeshi hilo limetekeleza awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4 dhidi ya kitongoji cha viwanda cha Neot Hovav huko Beersheba kusini mwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel). </description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 07:20:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu awashukuru wanazuoni wakuu na wananchi wa Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137678-kiongozi_muadhamu_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_awashukuru_wanazuoni_wakuu_na_wananchi_wa_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvec891392ef2p5ew.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137678-kiongozi_muadhamu_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_awashukuru_wanazuoni_wakuu_na_wananchi_wa_iraq </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshukuru na kuthamini misimamo ya msingi ya wanazuoni wakuu wa kidini na wananchi wa Iraq.</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 01:55:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Admeri Irani awaonya Wamarekani: Manowari ya Lincoln ikija karibu, tutalipiza kisasi cha damu ya mashahidi wa Dena.</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137676-admeri_irani_awaonya_wamarekani_manowari_ya_lincoln_ikija_karibu_tutalipiza_kisasi_cha_damu_ya_mashahidi_wa_dena.</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0w74c2b9c1ce24l9i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137676-admeri_irani_awaonya_wamarekani_manowari_ya_lincoln_ikija_karibu_tutalipiza_kisasi_cha_damu_ya_mashahidi_wa_dena. </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaonya Wamarekani akisema: "Mara tu manowari ya kubeba ndege ya Abraham Lincoln itakapokaribia eneo letu la ulengaji shabaha, tutalipiza kisasi cha damu ya mashahidi wa manowari ya Dena kwa kurusha aina mbalimbali ya makombora kutoka pwani hadi baharini."</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 01:54:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Wanajeshi wa Marekani watageuzwa kuwa “Chakula cha Papa”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137674-jeshi_la_iran_wanajeshi_wa_marekani_watageuzwa_kuwa_chakula_cha_papa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf0054385fe2p5eq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137674-jeshi_la_iran_wanajeshi_wa_marekani_watageuzwa_kuwa_chakula_cha_papa </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi ya Khatam al‑Anbia ya Jeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa uvamizi wowote wa kijeshi wa Marekani kupitia nchi kavu au jaribio la kuikalia kwa mabavu ardhi ya Iran utamalizika kwa madhara makubwa, akisema askari wa Marekani watakumbana na maangamizi na hata kugeuka “chakula cha papa” katika Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 23:17:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge: Iran imekataa matakwa ya Marekani na Israel ya “Kujisalimisha,” Itapigana hadi ushindi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137672-spika_wa_bunge_iran_imekataa_matakwa_ya_marekani_na_israel_ya_kujisalimisha_itapigana_hadi_ushindi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvb3687fb28b2p5ck.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137672-spika_wa_bunge_iran_imekataa_matakwa_ya_marekani_na_israel_ya_kujisalimisha_itapigana_hadi_ushindi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema Iran haitakubali kamwe masharti ya kujisalimisha yanayotolewa na Marekani na Israel, na itaendelea kupigana hadi ipate ushindi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 23:09:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini jiografia inaipa Iran nafasi nzuri katika Lango-Bahari la Hormuz?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137668-kwa_nini_jiografia_inaipa_iran_nafasi_nzuri_katika_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsj4db6ec42541gnht.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137668-kwa_nini_jiografia_inaipa_iran_nafasi_nzuri_katika_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Lango Bahari la Hormuz takriban limefungwa kwa wiki nne sasa na hivyo
kupelekea soko la mafuta duniani kutumbukia katika mgogoro mkubwa wa nishati na wala haijulikani litafunguliwa lini.
</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 08:56:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Jibu la Iran limepangwa ili kuharakisha kusambaratika jeshi la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137664-qalibaf_jibu_la_iran_limepangwa_ili_kuharakisha_kusambaratika_jeshi_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv8c7195fdb32p4gr.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137664-qalibaf_jibu_la_iran_limepangwa_ili_kuharakisha_kusambaratika_jeshi_la_israel </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezungumzia kukiri kamanda wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kusambaratika jeshi hilo na kuandika: Jibu la Iran limeratibiwa kwa namna ambayo linaharakisha kusambaratika jeshi la Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 05:57:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Mashambulizi dhidi ya vyuo vikuu yanaonyesha chuki ya adui kwa maendeleo ya kisayansi ya Wairani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137660-baqaei_mashambulizi_dhidi_ya_vyuo_vikuu_yanaonyesha_chuki_ya_adui_kwa_maendeleo_ya_kisayansi_ya_wairani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu873446e3422owwn.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137660-baqaei_mashambulizi_dhidi_ya_vyuo_vikuu_yanaonyesha_chuki_ya_adui_kwa_maendeleo_ya_kisayansi_ya_wairani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai za adui za kuvishambulia vyuo viku na vituo vya elimu nchini Iran. </description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 05:26:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi ya Iran yaua au kujeruhi zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani waliokuwa wamejificha UAE</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137658-mashambulizi_ya_iran_yaua_au_kujeruhi_zaidi_ya_wanajeshi_500_wa_marekani_waliokuwa_wamejificha_uae</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvbb5fc697302p59i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137658-mashambulizi_ya_iran_yaua_au_kujeruhi_zaidi_ya_wanajeshi_500_wa_marekani_waliokuwa_wamejificha_uae </guid>  
      <description>Jeshi la Iran lilitangaza siku ya Jumamosi kuwa vikosi vyake vimeua au kuwajeruhi zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani katika mashambulizi yaliyolenga maficho mawili ya Marekani huko Dubai.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 03:23:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatafakari kujiondoa mkataba wa nyuklia wa  NPT</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137652-iran_yatafakari_kujiondoa_mkataba_wa_nyuklia_wa_npt</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bv50d86303d381kxt7.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137652-iran_yatafakari_kujiondoa_mkataba_wa_nyuklia_wa_npt </guid>  
      <description>Ripoti zinaonyesha kuwa suala la kujiondoa katika Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) sasa limewekwa katika ajenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 01:06:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran, aonya kuwa Israel inalenga kueneza vita katika kanda ya Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137650-rais_wa_iran_aonya_kuwa_israel_inalenga_kueneza_vita_katika_kanda_ya_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv4a33c93c692p58y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137650-rais_wa_iran_aonya_kuwa_israel_inalenga_kueneza_vita_katika_kanda_ya_asia_magharibi </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameonya katika mazungumzo yake ya simu na Waziri Mkuu wa Pakistan, kuhusu malengo hatari ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupanua vita hadi nchi nyingine za kanda ya Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 01:05:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaangusha ndege nyingine ya kivita aina ya F 16 ya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137648-iran_yaangusha_ndege_nyingine_ya_kivita_aina_ya_f_16_ya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6e77c67c192p2k9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137648-iran_yaangusha_ndege_nyingine_ya_kivita_aina_ya_f_16_ya_adui </guid>  
      <description>Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kwamba wimbi la 85 la Operesheni Ahadi ya Kweli 4 lilitekelezwa, kwa kushambulia viwanda kadhaa vikubwa vya adui na kuharibu ndege nyingine ya kivita ya F-16 ya adui.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 00:02:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya kichokozi vya Israel na Marekani dhidi ya Iran na msimamo hasi wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137646-vita_vya_kichokozi_vya_israel_na_marekani_dhidi_ya_iran_na_msimamo_hasi_wa_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv80686301592p571.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137646-vita_vya_kichokozi_vya_israel_na_marekani_dhidi_ya_iran_na_msimamo_hasi_wa_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Asubuhi ya Jumamosi, Februari 28, 2026, Israel na Marekani zilianza rasmi kuishambulia Iran kwa pamoja ambapo mwanzoni kabisa mwa shambulio hilo, zilimuua shahidi Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mauaji hayo ya kigaidi yalitekelezwa huku mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani yakiendelea.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 08:16:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazamisha boti za kivita na kuua magaidi kadhaa wa jeshi la Marekani katika wimbi la 84, Ahadi ya Kweli4</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137640-iran_yazamisha_boti_za_kivita_na_kuua_magaidi_kadhaa_wa_jeshi_la_marekani_katika_wimbi_la_84_ahadi_ya_kweli4</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvbee9d0ec652p4xl.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137640-iran_yazamisha_boti_za_kivita_na_kuua_magaidi_kadhaa_wa_jeshi_la_marekani_katika_wimbi_la_84_ahadi_ya_kweli4 </guid>  
      <description>Idara ya Mahusiano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuwa: "Meli kadhaa za kivita za jeshi gaidi la Marekani zimezamishwa majini, na idadi kubwa ya wanajeshi kuuawa katika wimbi la 84 "la Operesheni Ahadi ya Kweli 4."</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 05:44:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Mousavi amuonya adui Mzayuni-Mmarekani: Umepiga miundombinu yetu; sasa subiri uone</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137632-jenerali_mousavi_amuonya_adui_mzayuni_mmarekani_umepiga_miundombinu_yetu_sasa_subiri_uone</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv36bce638ee2p3do.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137632-jenerali_mousavi_amuonya_adui_mzayuni_mmarekani_umepiga_miundombinu_yetu_sasa_subiri_uone </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa matamshi ya kujibu mashambulizi ya adui Marekani-Mzayuni dhidi ya miundombinu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 04:32:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab ni sehemu ndogo tu ya uhalifu wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137624-araghchi_mauaji_ya_wanafunzi_katika_shule_ya_minab_ni_sehemu_ndogo_tu_ya_uhalifu_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv51306764102p531.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137624-araghchi_mauaji_ya_wanafunzi_katika_shule_ya_minab_ni_sehemu_ndogo_tu_ya_uhalifu_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyofanywa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu,” ya uhalifu wa kivita unaofanywa na muungano wa kijeshi wa tawala hizo mbili.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 23:24:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yalitaka Baraza la Usalama la UN kulaani njama za mauaji za Marekani na Israel dhidi ya maafisa wakuu wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137620-tehran_yalitaka_baraza_la_usalama_la_un_kulaani_njama_za_mauaji_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_maafisa_wakuu_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv3d72e3c5062p503.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137620-tehran_yalitaka_baraza_la_usalama_la_un_kulaani_njama_za_mauaji_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_maafisa_wakuu_wa_iran </guid>  
      <description>Iran imeuarifu rasmi Umoja wa Mataifa kuhusu ripoti za vyombo vya habari zinazofichua mipango ya hila ya Marekani na Israel ya kuwaua maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu, akiwemo Spika wa Bunge Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Sayyid Abbas Araghchi, ikielezea vitisho hivyo kama mfano wazi wa ugaidi wa serikali na ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 06:20:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ahadi ya Kweli - 4, Wimbi la 83: Iran yapiga ngome za Marekani, Israel kwa makombora ya kisasa, ndege zisizo na rubani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137616-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_83_iran_yapiga_ngome_za_marekani_israel_kwa_makombora_ya_kisasa_ndege_zisizo_na_rubani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6c210eadcac42hfbe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137616-ahadi_ya_kweli_4_wimbi_la_83_iran_yapiga_ngome_za_marekani_israel_kwa_makombora_ya_kisasa_ndege_zisizo_na_rubani </guid>  
      <description>Kikosi cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza utekelezaji wa wimbi 83 la Operesheni Ahadi ya Kweli- 4 mapema leo Ijumaa, kikilenga vituo muhimu vya kijeshi vya Marekani na Israel kote katika eneo la Asia Magharibi kwa makombora na ndege zisizo na rubani.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 05:52:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Nchi za Kiislamu zisiwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137606-pezeshkian_nchi_za_kiislamu_zisiwaruhusu_maadui_kupanda_mbegu_za_mifarakano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvdbc86060752p4zj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137606-pezeshkian_nchi_za_kiislamu_zisiwaruhusu_maadui_kupanda_mbegu_za_mifarakano </guid>  
      <description>Rais wa Iran amesema katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Malaysia kwamba nchi za Kiislamu hazipaswi kuwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano na kuwasha moto wa vita.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 23:05:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa Jeshi la Iran: Takribani wanajeshi 800 wa Marekani na Waisraeli 1,300 wameuawa vitani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137604-msemaji_wa_jeshi_la_iran_takribani_wanajeshi_800_wa_marekani_na_waisraeli_1_300_wameuawa_vitani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvba349f0edc2p4ze.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137604-msemaji_wa_jeshi_la_iran_takribani_wanajeshi_800_wa_marekani_na_waisraeli_1_300_wameuawa_vitani </guid>  
      <description>Msemaji mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema kuwa, kulingana na makadirio ya kijeshi ya Iran, mamia ya wanajeshi wa Marekani pamoja na zaidi ya Waisraeli 1,300 wameuawa katika vita vinavyoendelea ambavyo, vilianzishwa na tawala hizo mbili dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 22:46:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yapiga ndege nyingine ya kivita ya Marekani aina ya F-18 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137602-irgc_yapiga_ndege_nyingine_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_18</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bkb858b7484bcifg7.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137602-irgc_yapiga_ndege_nyingine_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_18 </guid>  
      <description>Ndege ya kivita aina ya F-18 ya jeshi la kigaidi la Marekani imepigwa na kutunguliwa kwa kombora la Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kusini mwa nchi.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 07:19:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatoa onyo kali kwa nchi jirani inayoshirikiana na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137594-iran_yatoa_onyo_kali_kwa_nchi_jirani_inayoshirikiana_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv52350417b22p4w1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137594-iran_yatoa_onyo_kali_kwa_nchi_jirani_inayoshirikiana_na_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa onyo kali kuhusu mpango wa pamoja unaolenga kutwaa kisiwa cha Iran, mpango unaoungwa mkono na mshirika wa kikanda wa maadui.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 05:36:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakataa pendekezo la Marekani, yaweka masharti matano ya kukomesha vita </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137592-iran_yakataa_pendekezo_la_marekani_yaweka_masharti_matano_ya_kukomesha_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv89a265d7332p4va.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137592-iran_yakataa_pendekezo_la_marekani_yaweka_masharti_matano_ya_kukomesha_vita </guid>  
      <description>Iran imetoa majibu hasi kwa pendekezo la Marekani linalolenga kukomesha vita vinavyoendelea hivi sasa, ikisisitiza kwamba jambo hilo litatokea kwa masharti na ratiba ya Tehran, afisa mkuu wa usalama na kisiasa ameambia Press TV.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:52:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aragchi: Iran itaendeleza mapambano dhidi ya maadui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137584-aragchi_iran_itaendeleza_mapambano_dhidi_ya_maadui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf34b16940a2p4vi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137584-aragchi_iran_itaendeleza_mapambano_dhidi_ya_maadui </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ametilia mkazo uamuzi wa Jamhuri ya Kiislamu kuendelea na sera ya Muqawama na mapambano dhidi ya wavamizi.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:34:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Ukosefu wa usalama katika Ghuba ya Uajemi ni matokeo ya uchokozi wa adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137580-araqchi_ukosefu_wa_usalama_katika_ghuba_ya_uajemi_ni_matokeo_ya_uchokozi_wa_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv64f403ec9e2p4qh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137580-araqchi_ukosefu_wa_usalama_katika_ghuba_ya_uajemi_ni_matokeo_ya_uchokozi_wa_adui </guid>  
      <description>Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China wamezungumza kwa simu na kujadili matukio ya hivi sasa kuhusiana na Vita vya Ramadhani.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 07:59:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umeme wakatwa kaskazini mwa Tel Aviv kufuatia mashambulizi ya makombora ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137576-umeme_wakatwa_kaskazini_mwa_tel_aviv_kufuatia_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbve9bba194b52p4p5.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137576-umeme_wakatwa_kaskazini_mwa_tel_aviv_kufuatia_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimeripoti kuwa huduma ya umeme imekatwa katika moja ya miji ya kistratejia ya kaskazini mwa Israel kufuatia mashambulizi ya makombora ya Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 07:39:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Manuwari ya USS Abraham Lincoln yalengwa kwa makombora ya Cruise ya jeshi la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137574-manuwari_ya_uss_abraham_lincoln_yalengwa_kwa_makombora_ya_cruise_ya_jeshi_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by5ce85fa05071xm9p.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137574-manuwari_ya_uss_abraham_lincoln_yalengwa_kwa_makombora_ya_cruise_ya_jeshi_la_iran </guid>  
      <description>Makombora ya Qadir ya baharini ya Jeshi la Wanamaji la Iran yameshambulia kundi la meli za kivita za Marekani linaloongozwa na manowari ya Abraham Lincoln na kulilazimisha kukimbia na kubadilisha eneo lake.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 07:31:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makombora ya Iran yalenga Kamandi ya Kijeshi ya Israel na Manoari na Marekani ya Abraham Lincoln</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137568-makombora_ya_iran_yalenga_kamandi_ya_kijeshi_ya_israel_na_manoari_na_marekani_ya_abraham_lincoln</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvad14ee27842p4qt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137568-makombora_ya_iran_yalenga_kamandi_ya_kijeshi_ya_israel_na_manoari_na_marekani_ya_abraham_lincoln </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeilenga kamandi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni iliyoko katika eneo la kaskazini la Safed katika wimbi jipya la mashambulizi ya makombora.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 06:35:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Abdollahi: Jeshi la Iran litaendeleza mapambano ya kujihami hadi ushindi kamili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137566-jenerali_abdollahi_jeshi_la_iran_litaendeleza_mapambano_ya_kujihami_hadi_ushindi_kamili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv83c394e2922p4p7.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137566-jenerali_abdollahi_jeshi_la_iran_litaendeleza_mapambano_ya_kujihami_hadi_ushindi_kamili </guid>  
      <description>Kamanda wa Kamandi ya Khatam al‑Anbiya (SAW) katika Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika ujumbe wake kwamba: “Vikosi vyenye nguvu vya ulinzi vya Iran ya Kiislamu, kwa utiifu kamili kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, vimesimama imara katika ahadi yao ya kulinda taifa tukufu na lenye ushindi la Iran, na vitaendeleza njia hii tukufu kwa msaada wa watu wenye ufahamu na ushujaa wa Iran ya Kiislamu hadi ushindi kamili.”</description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 05:54:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa Jeshi la Iran: Msiite kushindwa kuwa ni  makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137564-msemaji_wa_jeshi_la_iran_msiite_kushindwa_kuwa_ni_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv2adf5e18dc2p4o0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137564-msemaji_wa_jeshi_la_iran_msiite_kushindwa_kuwa_ni_makubaliano </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi ya Khatamul Anbiya (SAW) ya Jeshi la Iran amewahutubu watawala wa Marekani na kuwaambia kuwa, wasiite kushindwa kuwa ni makubaliano.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 04:57:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marais wa Iran na Ufaransa wazungumza kuhusu kupunguza mvutano Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137562-marais_wa_iran_na_ufaransa_wazungumza_kuhusu_kupunguza_mvutano_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv10d03352df2p4q8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137562-marais_wa_iran_na_ufaransa_wazungumza_kuhusu_kupunguza_mvutano_asia_magharibi </guid>  
      <description>Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amesema kuwa katika mazungumzo ya simu na Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, walijadili suala la Lango Bahari la Hormuz na namna ya kupunguza mvutano katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).</description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 04:25:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Ukosefu wa usalama Lango la Hormuz ni matokeo ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137560-rais_pezeshkian_ukosefu_wa_usalama_lango_la_hormuz_ni_matokeo_ya_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv99ffc760892p4lf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137560-rais_pezeshkian_ukosefu_wa_usalama_lango_la_hormuz_ni_matokeo_ya_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshhkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif ambapo pande hizo mbili zimejadili uhusiano wa nchi mbili, matukio ya sasa katika kanda ya Magharibi mwa Asia na athari za vita haramu vya Marekani na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Iran kwa usalama na kanda na dunia nzima. </description>
      <pubDate>Tue, 24 Mar 2026 07:53:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Brigedia Jenerali Rezaei amwambia Trump: Ukipiga miondombinu yetu hatutalipiza kisasi cha jicho kwa jicho, bali kichwa kwa jicho </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137558-brigedia_jenerali_rezaei_amwambia_trump_ukipiga_miondombinu_yetu_hatutalipiza_kisasi_cha_jicho_kwa_jicho_bali_kichwa_kwa_jicho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bv55709c1c0d51kfzc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137558-brigedia_jenerali_rezaei_amwambia_trump_ukipiga_miondombinu_yetu_hatutalipiza_kisasi_cha_jicho_kwa_jicho_bali_kichwa_kwa_jicho </guid>  
      <description>Kamanda wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesisitiza udharura wa kuendelezwa vita hadi Iran itakapolipwa gharama kamili za hasara zilizosababishwa na adui Mmarekani na Mzayuni.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Mar 2026 07:52:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Droni za adui zilizotunguliwa hadi sasa ni 132</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137550-jeshi_la_iran_droni_za_adui_zilizotunguliwa_hadi_sasa_ni_132</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvff0695ab522p1ym.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137550-jeshi_la_iran_droni_za_adui_zilizotunguliwa_hadi_sasa_ni_132 </guid>  
      <description>Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuangushwa kwa ndege isiyo na rubani au droni moja ya kivita aina ya Hermes ya utawala haramu wa Israel katika anga ya Tehran mapema Jumanne.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Mar 2026 06:49:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Majibu ya Qalibaf kwa madai ya uongo ya Trump: Watu wa Iran wanataka wavamizi waadhibiwe kikamilifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137546-majibu_ya_qalibaf_kwa_madai_ya_uongo_ya_trump_watu_wa_iran_wanataka_wavamizi_waadhibiwe_kikamilifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv8c7195fdb32p4gr.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137546-majibu_ya_qalibaf_kwa_madai_ya_uongo_ya_trump_watu_wa_iran_wanataka_wavamizi_waadhibiwe_kikamilifu </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amejibu madai ya uongo ya rais Donald Trump wa Marekani kuhusu kuwepo kwa mazungumzo na Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Mar 2026 05:14:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa Kamandi Kuu ya Jeshi: Vita na Iran si filamu ya Hollywood</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137542-msemaji_wa_kamandi_kuu_ya_jeshi_vita_na_iran_si_filamu_ya_hollywood</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv33d3c1ecbe2p4f3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137542-msemaji_wa_kamandi_kuu_ya_jeshi_vita_na_iran_si_filamu_ya_hollywood </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi Kuu ya Jeshi Iran ya Khatamul Anbiyaa (SAW) amesema kuiambia Marekani na Israel kwamba: Munafanya makosa kufananisha vita vyenu na taifa lenye ghera na jeshi imara la Iran na filamu za Hollywood na mashujaa za kidhahania na wa kubuni akilini, na mumeanzisha uchokozi kutokana na makosa ya kimahesabu.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 07:11:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf azitahadharisha taasisi za fedha zinazodhamini bajeti ya kijeshi ya Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137536-qalibaf_azitahadharisha_taasisi_za_fedha_zinazodhamini_bajeti_ya_kijeshi_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv8c7195fdb32p4gr.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137536-qalibaf_azitahadharisha_taasisi_za_fedha_zinazodhamini_bajeti_ya_kijeshi_ya_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezitahadharisha taasisi za fedha zinazodhamini bajeti ya kijeshi ya Marekani. </description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 07:03:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Dunia imechoshwa na hadithi za uongo za Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137530-iran_dunia_imechoshwa_na_hadithi_za_uongo_za_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvd690a19aca2p4h9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137530-iran_dunia_imechoshwa_na_hadithi_za_uongo_za_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, ameashiria msimamo wa Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi-NATO- kuhusu kukataa madai ya hivi karibuni ya maafisa wa utawala wa Kizayuni Israel kuhusu tishio la makombora ya Iran kwa Ulaya na kuandika katika mtandao wa X kuwa dunia imechoka na simulizi za uongo za Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 05:30:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya Ayatullah Hajj Sheikh Muhammad Jawad Fadhil Lankarani, Kuhusu Hatua Isiyofaa ya Al-Azhar </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137524-taarifa_ya_ayatullah_hajj_sheikh_muhammad_jawad_fadhil_lankarani_kuhusu_hatua_isiyofaa_ya_al_azhar</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsgf8247580dd1eq0j.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137524-taarifa_ya_ayatullah_hajj_sheikh_muhammad_jawad_fadhil_lankarani_kuhusu_hatua_isiyofaa_ya_al_azhar </guid>  
      <description>Katika kujibu hatua ya hivi karibuni ya viongozi wa Al-Azhar, Chuo Kikuu cha Kidini cha nchini Misri ya kulaani hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kulipiza kisasi dhidi ya vituo vya kijeshi vya Marekani katika ardhi za nchi za Kiarabu za Ghuba ya Ujemi, viongozi tofauti wa kidini akiwemo Ayatullah Sheikh Muhammad Jawad Fadhil Lankarani, wametoa taarifa wakikosoa vikali hatua hiyo ya kibaguzi ya wanazuoni wa Al- Azhar.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 04:44:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwisho wa makubaliano ya Atlantiki; kwa nini Marekani imetengwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137522-mwisho_wa_makubaliano_ya_atlantiki_kwa_nini_marekani_imetengwa_katika_vita_vyake_vya_kichokozi_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsn0f126f77af1j6ja.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137522-mwisho_wa_makubaliano_ya_atlantiki_kwa_nini_marekani_imetengwa_katika_vita_vyake_vya_kichokozi_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Duru ya pili ya hujuma za kijeshi za Marekani na utawala wa Kizayuni imekuwa nukta muhimu katika historia ya mikataba na makubaliano ya kijeshi katika ulimwengu wa Magharibi.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 07:30:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran latungua ndege nyingine ya kivita aina ya F15 ya adui mvamizi, Sepah inaendelea kutoa dozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137520-jeshi_la_iran_latungua_ndege_nyingine_ya_kivita_aina_ya_f15_ya_adui_mvamizi_sepah_inaendelea_kutoa_dozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvd635b78ae32p4cj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137520-jeshi_la_iran_latungua_ndege_nyingine_ya_kivita_aina_ya_f15_ya_adui_mvamizi_sepah_inaendelea_kutoa_dozi </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limetangaza kuwa limetungua ndege ya kivita aina ya F15 ya maadui wavamizi, Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, kusini mwa nchi. </description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 07:14:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Mousavi: Iran sasa inadhibiti kikamilifu anga ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137518-kamanda_mousavi_iran_sasa_inadhibiti_kikamilifu_anga_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv36bce638ee2p3do.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137518-kamanda_mousavi_iran_sasa_inadhibiti_kikamilifu_anga_ya_israel </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametangaza kuwa makombora ya Iran sasa yanadhibiti kikamilifu anga ya utawala ghasibu wa Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 06:14:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran limelenga Uwanja wa Ndege wa Ben‑Gurion kwa droni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137512-jeshi_la_iran_limelenga_uwanja_wa_ndege_wa_ben_gurion_kwa_droni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvefee3578e72p4c2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137512-jeshi_la_iran_limelenga_uwanja_wa_ndege_wa_ben_gurion_kwa_droni </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa jeshi hilo limetekeleza shambulio kwa mafanikio dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Ben‑Gurion katika mji wa Lod umbali wa kilomita 15 kusini mashariki mwa Tel Aviv, kwa kutumia droni ya kisasa ya Arash‑2.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 05:04:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatoa onyo kuhusu  hujuma dhidi miundombinu ya nishati na mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137510-iran_yatoa_onyo_kuhusu_hujuma_dhidi_miundombinu_ya_nishati_na_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf440262fbe2p49x.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137510-iran_yatoa_onyo_kuhusu_hujuma_dhidi_miundombinu_ya_nishati_na_mafuta </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi ya Jeshi la Iran ya Khatam al-Anbiyaa (SAW) ametoa onyo kali kuhusu uwezekano wa kushambuliwa kijeshi miundombinu ya nishati na mafuta ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 05:03:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Anga ya Israel imekuwa "shamba la bibi", ni wakati wa kutekeleza mpango unaofuata</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137508-qalibaf_anga_ya_israel_imekuwa_shamba_la_bibi_ni_wakati_wa_kutekeleza_mpango_unaofuata</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv25c306eb092p4b9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137508-qalibaf_anga_ya_israel_imekuwa_shamba_la_bibi_ni_wakati_wa_kutekeleza_mpango_unaofuata </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema inaonekana kuwa umewadia wakati wa kutekeleza mpango unaofuata uliopangwa hapo awali kwa ajili ya mashambulizi zaidi dhidi ya Israel.
</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 03:50:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>The Independent: Trump analazimika kuipa Iran inachokitaka ili kujinasua kwenye maangamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137506-the_independent_trump_analazimika_kuipa_iran_inachokitaka_ili_kujinasua_kwenye_maangamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv7a91c4fec62p4as.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137506-the_independent_trump_analazimika_kuipa_iran_inachokitaka_ili_kujinasua_kwenye_maangamizi </guid>  
      <description>Gazeti la Uingereza la Independent limeandika kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani amenasa katika maangamizi kwa kuanzisha vita dhidi ya Iran na analazimika kuipatia Iran inachokitaka ili kukomesha vita hivyo.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 03:49:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mauaji ya kigaidi ya Marekani na Israel dhidi ya viongozi wa Iran na mmomonyoko wa sheria za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137500-mauaji_ya_kigaidi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_viongozi_wa_iran_na_mmomonyoko_wa_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv046de892b42p484.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137500-mauaji_ya_kigaidi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_viongozi_wa_iran_na_mmomonyoko_wa_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Mauaji ya kigaidi dhidi ya Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran mnamo Machi 17, 2026, siku 18 tu baada ya mauaji mengine ya kigaidi dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Seyyed Ali Khamenei, ni zaidi ya suala la kuongezeka tu mashambulizi ya kijeshi. Yanaangazia wazi upuuzaji wa sheria za kimataifa zilizobuniwa baada ya Vita vya Pili vya Dunia 1945.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Mar 2026 07:04:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mokhber: Taifa lenye irada na azma ya atomiki halihitaji bomu la atomiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137498-mokhber_taifa_lenye_irada_na_azma_ya_atomiki_halihitaji_bomu_la_atomiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv10775603442p47n.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137498-mokhber_taifa_lenye_irada_na_azma_ya_atomiki_halihitaji_bomu_la_atomiki </guid>  
      <description>Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe kwenye mitandao ya kijamii akisema: Taifa lenye irada na azma ya atomiki halihitaji bomu la atomiki.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Mar 2026 06:40:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Tunataka kukomeshwa vita kabisa, sio kusitishwa kwa muda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137494-araqchi_tunataka_kukomeshwa_vita_kabisa_sio_kusitishwa_kwa_muda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvbe27dffaa52p468.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137494-araqchi_tunataka_kukomeshwa_vita_kabisa_sio_kusitishwa_kwa_muda </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran haikubali suala la kusitishwa mapigano, bali inataka kukomeshwa kabisa, kikamilifu na daima kwa vita hivyo.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Mar 2026 06:33:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu: Mstari wa mbele wa Iran ni mpana zaidi kuliko fikra finyu za adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137490-kiongozi_muadhamu_mstari_wa_mbele_wa_iran_ni_mpana_zaidi_kuliko_fikra_finyu_za_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv21977418d62p43u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137490-kiongozi_muadhamu_mstari_wa_mbele_wa_iran_ni_mpana_zaidi_kuliko_fikra_finyu_za_adui </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwaambia wananchi wa Iran kwamba: Kwa kumpa adui pigo, mmemfahamisha kwamba hapambani tu na makombora, ndege zisizo na rubani, torpedo na zana za kijeshi pekee kwani mstari wa mbele wa Iran ni mpana sana kuliko taswira yake ndogo na iliyodhalilika.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Mar 2026 06:23:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran: Hatuna nia ya kuwa na migongano na nchi za Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137488-rais_wa_iran_hatuna_nia_ya_kuwa_na_migongano_na_nchi_za_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv4d85b8a2542p47v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137488-rais_wa_iran_hatuna_nia_ya_kuwa_na_migongano_na_nchi_za_kiislamu </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa ujumbe maalumu kwa mnasaba wa mwaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia, 1405 na kusema: “Mwaka huu, kuliko wakati mwingine wowote, tunaihitaji Nowruz; Nowruz inayonyesha umoja kwa dunia.”</description>
      <pubDate>Sat, 21 Mar 2026 06:22:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Qaani: Iran itawashangaza wengi katika medani ya vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137486-jenerali_qaani_iran_itawashangaza_wengi_katika_medani_ya_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6j568cb3ab532jtsn.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137486-jenerali_qaani_iran_itawashangaza_wengi_katika_medani_ya_vita </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema: Mrengo wa Haki utaendelea kuwa na uwezo na nguvu zaidi kila siku, na kwamba Iran itawashangaza wengi katika uwanja wa vita na utawala wa Kizayuni pamoja na Marekani.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Mar 2026 06:22:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkurugenzi wa zamani wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi cha Marekani: Mashambulizi ya Washington yamewafanya Wairani Kuungana Zaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137484-mkurugenzi_wa_zamani_wa_kituo_cha_kitaifa_cha_kupambana_na_ugaidi_cha_marekani_mashambulizi_ya_washington_yamewafanya_wairani_kuungana_zaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf7ff8dc3b12p45n.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137484-mkurugenzi_wa_zamani_wa_kituo_cha_kitaifa_cha_kupambana_na_ugaidi_cha_marekani_mashambulizi_ya_washington_yamewafanya_wairani_kuungana_zaidi </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa zamani wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi cha Marekani amekiri kwamba viongozi wakuu wa utawala wa Kizayuni na washirika wake wanaochochea vita wa Marekani ndio walimshinikiza rais wa nchi hiyo kuishambulia Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Mar 2026 06:18:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Kushiriki Uingereza katika mashambulizi dhidi ya Iran kutasajiliwa katika historia ya uhusiano wa nchi mbili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137482-araqchi_kushiriki_uingereza_katika_mashambulizi_dhidi_ya_iran_kutasajiliwa_katika_historia_ya_uhusiano_wa_nchi_mbili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbtd1e59393592ojzx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137482-araqchi_kushiriki_uingereza_katika_mashambulizi_dhidi_ya_iran_kutasajiliwa_katika_historia_ya_uhusiano_wa_nchi_mbili </guid>  
      <description>Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumza kwa simu na mwenzake wa Uingereza, Yvette Cooper, kuhusu taathira za vita vya kulazimishwa vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na hali ya mambo ya sasa katika eneo la Magharibi mwa Asia. </description>
      <pubDate>Fri, 20 Mar 2026 08:10:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa IRGC: Uzalishaji wa makombora unaendelea hata wakati wa vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137476-msemaji_wa_irgc_uzalishaji_wa_makombora_unaendelea_hata_wakati_wa_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9c926c8619102o14c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137476-msemaji_wa_irgc_uzalishaji_wa_makombora_unaendelea_hata_wakati_wa_vita </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema: "Hakuna wasiwasi katika uwanja wa makombora kwa sababu tunazalisha makombora hata wakati wa vita, jambo ambalo linashangaza, na hakuna tatizo maalumu katika suala la hifadhi ya makombora yetu."</description>
      <pubDate>Fri, 20 Mar 2026 04:52:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yamjibu waziri wa mambo ya nje wa Saudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137470-iran_yamjibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_saudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv704f04bd212p40q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137470-iran_yamjibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_saudia </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza umuhimu wa hatua za haraka kutoka kwa nchi za eneo la Asia Magharibi ili kuzuia kuendelea kwa matumizi ya ardhi na miundombinu yao na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni katika mashambulizi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 23:28:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Onyo la Pezeshkian kuhusu uhalifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni: Moto wa mgogoro huu utaathiri wengi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137468-onyo_la_pezeshkian_kuhusu_uhalifu_wa_marekani_na_utawala_wa_kizayuni_moto_wa_mgogoro_huu_utaathiri_wengi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6j24ce67e97e2k2lw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137468-onyo_la_pezeshkian_kuhusu_uhalifu_wa_marekani_na_utawala_wa_kizayuni_moto_wa_mgogoro_huu_utaathiri_wengi </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa onyo kuhusu uhalifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, akisisitiza kuwa moto wa mgogoro huu unaweza kuenea na kuwaathiri wengi.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 23:27:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lalenga ndege ya kivita ya Marekani aina ya F‑35</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137466-jeshi_la_iran_lalenga_ndege_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_35</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv2fa6649bac2p40w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137466-jeshi_la_iran_lalenga_ndege_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_f_35 </guid>  
      <description>Ndege ya kivita ya kimkakati aina ya F‑35 ya Jeshi la Marekani imelengwa kwa kombora na kuharibiwa vibaya ikiwa inaruka katika anga ya kati mwa Iran kwa lengo la kutekeleza mashambulizi.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 23:13:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Raia wote wa US wanapaswa kutangaza kuchukizwa na vita haramu vya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137458-baqaei_raia_wote_wa_us_wanapaswa_kutangaza_kuchukizwa_na_vita_haramu_vya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9b190fa8ab2f2npx0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137458-baqaei_raia_wote_wa_us_wanapaswa_kutangaza_kuchukizwa_na_vita_haramu_vya_trump </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa vita vya sasa si vita vya wananchi wa Marekani. Ismail Baqaei ameeleza haya katika ujumbe aliotuma katika mtandao wa kijamii wa X baada ya kujiuzulu Mkuu wa Kituo cha Taifa cha Kupambana na Ugaidi wa Marekani, Joseph Kent.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 07:29:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Taathira za mashambulizi dhidi ya miundo mbinu ya nishati ya Iran zitaitatiza dunia nzima</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137454-pezeshkian_taathira_za_mashambulizi_dhidi_ya_miundo_mbinu_ya_nishati_ya_iran_zitaitatiza_dunia_nzima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c95db4f5c51362lvec.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137454-pezeshkian_taathira_za_mashambulizi_dhidi_ya_miundo_mbinu_ya_nishati_ya_iran_zitaitatiza_dunia_nzima </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ametuma ujumbe na kuandika kuwa: Mashambulizi dhidi ya miundo msingi ya nishati ya Iran yana taathira ambazo ukubwa wake utaitatiza dunia nzima. </description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 07:20:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujumbe wa Rambirambi wa Kiongozi Muadhamu Kufuatia kuuawa shahidi Dkt.Larijani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137450-ujumbe_wa_rambirambi_wa_kiongozi_muadhamu_kufuatia_kuuawa_shahidi_dkt.larijani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva9b79011962p3xl.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137450-ujumbe_wa_rambirambi_wa_kiongozi_muadhamu_kufuatia_kuuawa_shahidi_dkt.larijani </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid  Mojtaba Hosseini Khamenei, ammetuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kuuawa shahidi kwa Dk. Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, pamoja na mwanawe na baadhi ya wenzake.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 05:30:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Siku ya ishirini ya mapambano; Wazayuni na Wamarekani watenda jinai katika kinamasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137446-siku_ya_ishirini_ya_mapambano_wazayuni_na_wamarekani_watenda_jinai_katika_kinamasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6e77c67c192p2k9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137446-siku_ya_ishirini_ya_mapambano_wazayuni_na_wamarekani_watenda_jinai_katika_kinamasi </guid>  
      <description>Vita vya kichokozi vilivyoanzisha na Marekani kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel  dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, sasa vimeingia siku yake ya ishirini.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 03:55:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran: Tutalipiza kisasi kwa damu ya Shahidi Larijani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137444-kamanda_mkuu_wa_jeshi_la_iran_tutalipiza_kisasi_kwa_damu_ya_shahidi_larijani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbt8a012c82002oqd6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137444-kamanda_mkuu_wa_jeshi_la_iran_tutalipiza_kisasi_kwa_damu_ya_shahidi_larijani </guid>  
      <description>Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Luteni Jenerali Hatami amesema kuwa jibu la Iran kwa mauaji ya kigaidi ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa litakuwa thabiti na la kuwafanya wahusika wajute.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Mar 2026 06:25:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatuma barua UN; yalalamikia mashambulizi ya US dhidi yake kutokea katika nchi za eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137438-iran_yatuma_barua_un_yalalamikia_mashambulizi_ya_us_dhidi_yake_kutokea_katika_nchi_za_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf05aa04a432p3tw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137438-iran_yatuma_barua_un_yalalamikia_mashambulizi_ya_us_dhidi_yake_kutokea_katika_nchi_za_eneo </guid>  
      <description>Iran imetuma barua saba tofauti kwa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la umoja huo kuhusiana na mashambulizi ya Marekani dhidi yake kutokea katika nchi za kanda hii. </description>
      <pubDate>Wed, 18 Mar 2026 05:51:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yamnyonga jasusi wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137436-iran_yamnyonga_jasusi_wa_shirika_la_ujasusi_la_israel_mossad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv02f8a56c4b2p3tm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137436-iran_yamnyonga_jasusi_wa_shirika_la_ujasusi_la_israel_mossad </guid>  
      <description>Mahakama ya Iran imetangaza mapema Jumatano kwamba imemnyonga mtu aliyepatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa maslahi ya utawala haramu wa Israel.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Mar 2026 05:05:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, ameuawa Shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137430-ali_larijani_katibu_wa_baraza_kuu_la_usalama_wa_taifa_la_iran_ameuawa_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva799a81fbe2p3t0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137430-ali_larijani_katibu_wa_baraza_kuu_la_usalama_wa_taifa_la_iran_ameuawa_shahidi </guid>  
      <description>Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuuawa shahidi kwa katibu wake, Ali Larijani, kufuatia shambulio la maadui, ambao ni  Marekani na  utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Mar 2026 03:43:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi amwambia Guterres: Simamisheni uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137426-araqchi_amwambia_guterres_simamisheni_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv40ab52140b2p3qi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137426-araqchi_amwambia_guterres_simamisheni_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Matatizo ya usafirishaji wa meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz ni matokeo ya vita vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, na kila nchi au shirika la kimataifa linalojali amani na usalama lazima lilaani uhalifu wa tawala hizo mbili na kutoa wito wa kukomeshwa uchokozi wao wa kijeshi dhidi ya taifa la Iran."</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 08:43:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Vita vitaisha kwa njia itakayomfanya adui asifikirie tena kutushambulia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137422-araqchi_vita_vitaisha_kwa_njia_itakayomfanya_adui_asifikirie_tena_kutushambulia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv375df67e352p3jf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137422-araqchi_vita_vitaisha_kwa_njia_itakayomfanya_adui_asifikirie_tena_kutushambulia </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haijatuma ujumbe wa aina yoyote kwa wavamizi wala haijaomba kusitishwa vita.</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 07:01:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran haitasalimu amri mbele ya madola ya kibeberu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137418-pezeshkian_iran_haitasalimu_amri_mbele_ya_madola_ya_kibeberu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv5f1ed4fb0c2p3k8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137418-pezeshkian_iran_haitasalimu_amri_mbele_ya_madola_ya_kibeberu </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema taifa hili halitasalimu amri kamwe mbele ya madola ya kibeberu, huku akiitaka jamii ya kimataifa kulaani uvamizi wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 06:04:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazitaka nchi za Kiislamu zitangaze msimamo, yasema Marekani haiaminiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137416-iran_yazitaka_nchi_za_kiislamu_zitangaze_msimamo_yasema_marekani_haiaminiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv34f7b5dd1d2p3o9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137416-iran_yazitaka_nchi_za_kiislamu_zitangaze_msimamo_yasema_marekani_haiaminiki </guid>  
      <description>Katika taarifa yenye vipengele sita iliyoelekezwa kwa serikali za nchi za Kiislamu, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema: “Lazima muamue msimamo wenu katika Vita vya Ramadhani,  je, mnasimama upande wa nchi ya Kiislamu ya Iran, au upande wa Marekani na Israel?”</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 04:45:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hali ya Hormuz haitarudi tena kama ilivyokuwa zamani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137414-qalibaf_hali_ya_hormuz_haitarudi_tena_kama_ilivyokuwa_zamani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva20cd129ea2p3p2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137414-qalibaf_hali_ya_hormuz_haitarudi_tena_kama_ilivyokuwa_zamani </guid>  
      <description>Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kutumia vita kubadilisha muundo wa eneo la Asia ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 04:44:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Tumewavurumishia maadui makombora 700, droni 3,600 mpaka sasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137410-irgc_tumewavurumishia_maadui_makombora_700_droni_3_600_mpaka_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvd19cc238742p3mz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137410-irgc_tumewavurumishia_maadui_makombora_700_droni_3_600_mpaka_sasa </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limesema limepiga shabaha za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa makombora zaidi ya 700 na ndege zisizo na rubani 3,600 tangu Jamhuri ya Kiislamu ianzishe operesheni za kulipiza kisasi cha mashambulizi ya kichokozi ya maadui hao mwishoni mwa Februari mwaka huu.</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 03:38:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Naeini: Iran inadhibiti kikamilifu Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137406-kamanda_naeini_iran_inadhibiti_kikamilifu_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc2379d498c2p3mm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137406-kamanda_naeini_iran_inadhibiti_kikamilifu_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Lango Bahari la Hormuz linadhibitiwa kikamilifu na Iran na kwamba uchokokozi wowote utakabiliwa na jibu kali. </description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 10:31:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Kushambulia maghala ya mafuta ni kuangamiza mazingira</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137402-araqchi_kushambulia_maghala_ya_mafuta_ni_kuangamiza_mazingira</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu50e219ed172otyj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137402-araqchi_kushambulia_maghala_ya_mafuta_ni_kuangamiza_mazingira </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa kitendo cha kushambulia maghala ya kuhifadhia mafuta katika mji wa Tehran ni sawa na kuangamiza mazingira.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 10:28:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran amwambia Macron: US, Israel ndio mzizi wa ukosefu wa usalama katika eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137400-rais_wa_iran_amwambia_macron_us_israel_ndio_mzizi_wa_ukosefu_wa_usalama_katika_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv307647c7e12p3m5.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137400-rais_wa_iran_amwambia_macron_us_israel_ndio_mzizi_wa_ukosefu_wa_usalama_katika_eneo </guid>  
      <description>Rais wa Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo chimbuko la ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo la Asia Magharibi, akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitasita kukabiliana na wavamizi.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 06:04:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uwezo wa mashambulizi wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran hauwezi kuzuiliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137398-uwezo_wa_mashambulizi_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_iran_hauwezi_kuzuiliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc35a2372f92p3lg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137398-uwezo_wa_mashambulizi_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_iran_hauwezi_kuzuiliwa </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi ya Majeshi ya Iran ya Khatam al‑Anbiya (s) amesema: uwezo wa mashambulizi wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unatokana na elimu na teknolojia ya ndani ya nchi; hauwezi kumalizika wala kudhibitiwa kwa namna yoyote.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 05:45:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawakamata 'mamluki na majasusi' 36 wa Marekani, Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137396-iran_yawakamata_'mamluki_na_majasusi'_36_wa_marekani_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c967b6e2a801c2m942.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137396-iran_yawakamata_'mamluki_na_majasusi'_36_wa_marekani_israel </guid>  
      <description>Jeshi la Polisi la Iran limefanikiwa kutambua na kuvunja mtandao wa mamluki na majasusi uliokuwa ukiongozwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani na utawala haramu wa Israel ndani ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 05:18:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Tutajenga upya kila kilichoharibiwa, tena bora kuliko hapo awali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137392-rais_pezeshkian_tutajenga_upya_kila_kilichoharibiwa_tena_bora_kuliko_hapo_awali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6j24ce67e97e2k2lw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137392-rais_pezeshkian_tutajenga_upya_kila_kilichoharibiwa_tena_bora_kuliko_hapo_awali </guid>  
      <description>Rais wa Iran amesisitiza kuwa, “Kwa msaada wenu, watu watukufu wa Iran, tutavuka kipindi hiki na tutajenga upya kila kilichoharibiwa, tena bora zaidi kuliko hapo awali.”</description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 04:12:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazitaka nchi jirani kuwafukuza wanajeshi vamizi wa kigeni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137388-iran_yazitaka_nchi_jirani_kuwafukuza_wanajeshi_vamizi_wa_kigeni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvfad630e0362p3i9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137388-iran_yazitaka_nchi_jirani_kuwafukuza_wanajeshi_vamizi_wa_kigeni </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran inaziomba nchi jirani na za kindugu kuwafukuza wanajeshi wa kigeni wanaovamia kutoka katika ardhi zao.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Mar 2026 05:35:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qaddoumi: Iran ina haki ya kujibu mashambulizi dhidi yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137384-qaddoumi_iran_ina_haki_ya_kujibu_mashambulizi_dhidi_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9a32ce037e5f2ndyx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137384-qaddoumi_iran_ina_haki_ya_kujibu_mashambulizi_dhidi_yake </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Tehran amesisitiza kuwa Iran ina haki kamili na ya pande zote ya kukabiliana na mashambulizi ya adui kwa kila njia inayoiona inafaa.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Mar 2026 05:11:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Shekarchi: Tumeharibu kambi zote za US katika eneo, meli ya Abraham Lincoln imetimka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137380-jenerali_shekarchi_tumeharibu_kambi_zote_za_us_katika_eneo_meli_ya_abraham_lincoln_imetimka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv7fe528960f2p3fk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137380-jenerali_shekarchi_tumeharibu_kambi_zote_za_us_katika_eneo_meli_ya_abraham_lincoln_imetimka </guid>  
      <description>Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi amesema kambi za kijeshi za Marekani zilizoundwa kwa kutumia rasilimali za Waislamu kwa kisingizio cha kudhamini usalama wa eneo, huku zikifuja mali za mataifa ya Waislamu, zimeharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Mar 2026 05:05:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Iran: Kambi za kijeshi za US ni tishio kwa nchi wenyeji wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137378-spika_wa_iran_kambi_za_kijeshi_za_us_ni_tishio_kwa_nchi_wenyeji_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv8dee7b358c2p3gp.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137378-spika_wa_iran_kambi_za_kijeshi_za_us_ni_tishio_kwa_nchi_wenyeji_wake </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Marekani imeitoa kafara kila nchi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, na kwamba kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi hazizipi ulinzi nchi wenyeji.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Mar 2026 05:04:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Kama Netanyahu hajafa tutaendelea kumuwinda na kumuua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137374-irgc_kama_netanyahu_hajafa_tutaendelea_kumuwinda_na_kumuua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbubfbce86e7f2p1fa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137374-irgc_kama_netanyahu_hajafa_tutaendelea_kumuwinda_na_kumuua </guid>  
      <description>Idara ya Mawasiliano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) imetangaza kuwa kama Waziri Mkuu mtendajinai wa Israel atakuwa hai jeshi hilo linamuwinda na kumuangamiza. </description>
      <pubDate>Sun, 15 Mar 2026 04:38:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Dhamiri iliyoamka ya watu wa Iran dhidi ya ukandamizaji haitanyamazishwa na tishio lolote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137362-qalibaf_dhamiri_iliyoamka_ya_watu_wa_iran_dhidi_ya_ukandamizaji_haitanyamazishwa_na_tishio_lolote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv2918c8583f2p3cd.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137362-qalibaf_dhamiri_iliyoamka_ya_watu_wa_iran_dhidi_ya_ukandamizaji_haitanyamazishwa_na_tishio_lolote </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema katika ujumbe kuwa: Watu wakubwa wa Iran kwa mara nyingine wameonyesha kwa hatua zao thabiti mitaani kwamba dhamiri iliyo macho ya taifa hili lenye busara dhidi ya dhulma haitanyamazishwa na tishio lolote.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:55:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jen. Mousavi: Iran imeivurumishia Israel makombora 30 ya balestiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137358-jen._mousavi_iran_imeivurumishia_israel_makombora_30_ya_balestiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv496a4975ac2p3cq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137358-jen._mousavi_iran_imeivurumishia_israel_makombora_30_ya_balestiki </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC  amesema asilimia kubwa ya makombora 30 ya balestiki yaliyovumishwa na Jamhuri ya Kiislamu usiku wa Lailatul Qadr yalipiga shabaha zilizokusudiwa kwa usahihi mkubwa.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:48:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Marekani na utawala wa Kizayuni zinafuatilia malengo maovu ya kuigawa Iran na nchi nyingine kubwa za Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137354-pezeshkian_marekani_na_utawala_wa_kizayuni_zinafuatilia_malengo_maovu_ya_kuigawa_iran_na_nchi_nyingine_kubwa_za_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva0c86982a82p3cy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137354-pezeshkian_marekani_na_utawala_wa_kizayuni_zinafuatilia_malengo_maovu_ya_kuigawa_iran_na_nchi_nyingine_kubwa_za_kiislamu </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Kiislamu kuwa macho dhidi ya njama za maadui wa pamoja wa Umma wa Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:45:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Kujitokeza mamilioni Siku ya Quds ni ishara ya azma thabiti ya Wairani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137350-araghchi_kujitokeza_mamilioni_siku_ya_quds_ni_ishara_ya_azma_thabiti_ya_wairani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva9a480a5722p3ar.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137350-araghchi_kujitokeza_mamilioni_siku_ya_quds_ni_ishara_ya_azma_thabiti_ya_wairani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kwamba: “Taifa la Iran, kwa umoja na mshikamano, litaendelea kusimama pamoja na misingi na malengo yake, na halitarudi nyuma kamwe.”</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:35:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>