<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Wed, 20 May 2026 20:05:54 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu: Nguvu inayojitokeza ya Iran inahusiana  moja kwa moja na ongezeko la idadi ya watu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138508-kiongozi_muadhamu_nguvu_inayojitokeza_ya_iran_inahusiana_moja_kwa_moja_na_ongezeko_la_idadi_ya_watu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe77c80756e2pfaa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138508-kiongozi_muadhamu_nguvu_inayojitokeza_ya_iran_inahusiana_moja_kwa_moja_na_ongezeko_la_idadi_ya_watu </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kupanda hadhi ya Iran ya kuwa taifa kubwa na lenye taathira kunahusiana moja kwa moja na ongezeko la idadi ya watu wake, na kutoa wito wa kuzidishwa juhudi za kukuza utamaduni wa kuzaa watoto.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:16:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa vyombo vya mahakama: Shahidi Raisi alijitolea kuwatumikia wananchi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138506-mkuu_wa_vyombo_vya_mahakama_shahidi_raisi_alijitolea_kuwatumikia_wananchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0a44aea8552pfa8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138506-mkuu_wa_vyombo_vya_mahakama_shahidi_raisi_alijitolea_kuwatumikia_wananchi </guid>  
      <description>Mkuu wa vyombo vya Mahakama vya Iran anasema kuwa Rais Shahidi Ebrahim Raisi alijitolea kwa dhati kuwatumikia wananchi na kusabilia maisha yake kwa ajili ya Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:12:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatahadharisha kuhusu Marekani kulitumia vibaya Baraza la Usalama la UN</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138504-iran_yatahadharisha_kuhusu_marekani_kulitumia_vibaya_baraza_la_usalama_la_un</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6af96005942pfa6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138504-iran_yatahadharisha_kuhusu_marekani_kulitumia_vibaya_baraza_la_usalama_la_un </guid>  
      <description>Mwakilishi wa  Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa: "Marekani inalitumia vibaya Baraza la Usalama kwa kueneza uwongo na tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mpango wake wa nyuklia."</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:09:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Medani mpya za mapambano zitafunguliwa ikiwa adui atatumbukia katika mtego wa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138494-jeshi_la_iran_medani_mpya_za_mapambano_zitafunguliwa_ikiwa_adui_atatumbukia_katika_mtego_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7453cf51172pf50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138494-jeshi_la_iran_medani_mpya_za_mapambano_zitafunguliwa_ikiwa_adui_atatumbukia_katika_mtego_wa_israel </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limeonya kuwa iwapo adui ataanguka tena katika mtego wa Israel na kuanzisha uchokozi mwingine dhidi ya Iran, jeshi la taifa litafungua medani mpya ya mapambano kwa kutumia zana na mbinu mpya.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:29:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kulegeza kamba mara kwa mara Trump, ishara ya kuemewa mbele ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138490-kulegeza_kamba_mara_kwa_mara_trump_ishara_ya_kuemewa_mbele_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa0b4e0df272pf2y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138490-kulegeza_kamba_mara_kwa_mara_trump_ishara_ya_kuemewa_mbele_ya_iran </guid>  
      <description>Pars Today - Rais wa Marekani Donald Trump, kwa mara ya kumi na moja katika kipindi cha wiki chache tu, amerudia tena majigambo yake ya kuishambulia Iran lakini baadaye anatafuta kisingizio cha kuakhirisha kushambulia.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:06:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Intelijensia ya Iran yasambaratisha kundi la magaidi wa kitakfiri wenye uhusiano na Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138484-intelijensia_ya_iran_yasambaratisha_kundi_la_magaidi_wa_kitakfiri_wenye_uhusiano_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx69e946c8a92pf4s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138484-intelijensia_ya_iran_yasambaratisha_kundi_la_magaidi_wa_kitakfiri_wenye_uhusiano_na_israel </guid>  
      <description>Timu za upelelezi za Iran zimefanikiwa kusambaratisha seli nne za wanamgambo wa Kitakfri wenye mfungamano na utawala wa Israel katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, kusini mashariki mwa Iran mkoa unaopakana na Pakistan.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 02:54:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran na vikosi vya jeshi vitailazimisha Marekani kusalimu amri</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138480-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_taifa_la_iran_na_vikosi_vya_jeshi_vitailazimisha_marekani_kusalimu_amri</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxadfca112482pf1i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138480-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_taifa_la_iran_na_vikosi_vya_jeshi_vitailazimisha_marekani_kusalimu_amri </guid>  
      <description>Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kwamba mkono wa chuma wa vikosi vya jeshi na taifa thabiti la Iran vitailazimisha Marekani kurudi nyuma na kusalimu amri.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 12:57:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Hatutasalimu amri kamwe': Pezeshkian aapa kuendeleza mapambano huku Trump akizidi kupiga ngoma za vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138468-'hatutasalimu_amri_kamwe'_pezeshkian_aapa_kuendeleza_mapambano_huku_trump_akizidi_kupiga_ngoma_za_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx390e5d7c232pew6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138468-'hatutasalimu_amri_kamwe'_pezeshkian_aapa_kuendeleza_mapambano_huku_trump_akizidi_kupiga_ngoma_za_vita </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameapa kutosalimu amri kamwe mbele ya dola lolote au kutoa kafara heshima ya taifa kwa ajili ya faraja.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 05:54:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran: Marekani, Israel zinapandikiza chuki baina ya Waislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138454-rais_wa_iran_marekani_israel_zinapandikiza_chuki_baina_ya_waislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx92f9dde07c2pen8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138454-rais_wa_iran_marekani_israel_zinapandikiza_chuki_baina_ya_waislamu </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba tawala za Marekani na Israel zinaendeleza miradi ya kuzusha migawanyiko na kueneza hali ya kutoaminiana ili kuyagonganisha mataifa ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 12:13:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na wenzake huku mvutano na Marekani ukitokota</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138452-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_wenzake_huku_mvutano_na_marekani_ukitokota</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx407dbd8af42penc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138452-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_wenzake_huku_mvutano_na_marekani_ukitokota </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amefanya mazungumzo ya simu kwa nyakati tofauti na mawaziri wenzake wa Ufaransa, Qatar, Uturuki, na Korea Kusini, siku ya Jumapili, ili kutathmini mahusiano ya pande mbili, matukio ya kieneo na mchakato wa kidiplomasia unaoendelea.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 12:10:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Velayati aikosoa Marekani kwa vitisho dhidi ya Iran, aonya inaangukia “mtego” wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138444-velayati_aikosoa_marekani_kwa_vitisho_dhidi_ya_iran_aonya_inaangukia_mtego_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx360c4ec8822peom.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138444-velayati_aikosoa_marekani_kwa_vitisho_dhidi_ya_iran_aonya_inaangukia_mtego_wa_israel </guid>  
      <description>Ali Akbar Velayati, mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ameonya kuwa Marekani inaangukia “mtego wa kimkakati” uliotegwa na Israel, akisema kuwa Marekani itapoteza kabisa mabaki ya uaminifu wake katika eneo la Asia Magharibi iwapo itaanzisha vita vingine dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:43:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Muqawama wa kihistoria wa Iran unaongeza kasi ya mabadiliko ya kimataifa ambayo hayajawahi kutokea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138434-spika_qalibaf_muqawama_wa_kihistoria_wa_iran_unaongeza_kasi_ya_mabadiliko_ya_kimataifa_ambayo_hayajawahi_kutokea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxdc41b5c9d72peju.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138434-spika_qalibaf_muqawama_wa_kihistoria_wa_iran_unaongeza_kasi_ya_mabadiliko_ya_kimataifa_ambayo_hayajawahi_kutokea </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) Mohammad Baqir Qalibaf amesema kuwa muqawama wa kishujaa wa taifa la Iran kwa muda wa siku 70 umekuwa msukumo katika kuharakisha mageuzi ambayo hayajaonekana katika karne moja, na hivyo kuashiria mapambazuko ya mfumo mpya wa kambi kadhaa.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 11:30:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi Muadhamu: Uvumilivu haupo siku zote/ Azitahadharisha nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138432-mshauri_wa_ngazi_ya_juu_wa_kiongozi_muadhamu_uvumilivu_haupo_siku_zote_azitahadharisha_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3b2dd1b3bd2pejo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138432-mshauri_wa_ngazi_ya_juu_wa_kiongozi_muadhamu_uvumilivu_haupo_siku_zote_azitahadharisha_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi Muadhamu: Uvumilivu haupo siku zote/ Azitahadharisha nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 11:23:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yaikosoa Magharibi kwa kutoweza kutatua migogoro inayojitengenezea yenyewe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138422-tehran_yaikosoa_magharibi_kwa_kutoweza_kutatua_migogoro_inayojitengenezea_yenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8d4a8095b82pe4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138422-tehran_yaikosoa_magharibi_kwa_kutoweza_kutatua_migogoro_inayojitengenezea_yenyewe </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemsihi mwandishi anayepinga ukoloni, Aimé Césaire, kulaani uozo wa maadili, unafiki na kushindwa kwa nchi za Magharibi kukabiliana na migogoro iliyotokana na vita na udhibiti wao.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:49:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kumalizika enzi za kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu za madola ya Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138412-kumalizika_enzi_za_kutekeleza_kwa_lazima_amri_za_kimabavu_za_madola_ya_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8b0c0d1cc82pef0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138412-kumalizika_enzi_za_kutekeleza_kwa_lazima_amri_za_kimabavu_za_madola_ya_magharibi </guid>  
      <description>Pars Today - Majid Nili Ahmadabadi, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ujerumani amejibu kauli za kansela wa nchi hiyo alizotoa baada ya mazungumzo ya simu na rais wa Marekani Donald Trump, akisema kwa maandishi kwamba: "Enzi ya kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu na za upande mmoja za madola ya Magharibi, zimekwisha.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:09:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian ampongeza Papa Leo, asema Iran bado imejitolea kwa diplomasia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138410-rais_pezeshkian_ampongeza_papa_leo_asema_iran_bado_imejitolea_kwa_diplomasia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc60be126832pe9k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138410-rais_pezeshkian_ampongeza_papa_leo_asema_iran_bado_imejitolea_kwa_diplomasia </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza misimamo ya kimaadili ya Papa Leo XIV kuhusu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, akisisitiza haja ya jamii ya kimataifa kuchukua mwelekeo unaotilia maanani hali halisi na wa haki, na kutoa wito kwa nchi zote duniani kukabiliana na matakwa haramu na sera za kibabe na hatari za Marekani.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:25:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Walioanzisha vita wanabeba dhima ya hali ya sasa ya Hormuz na athari zake mbaya za kiuchumi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138406-iran_walioanzisha_vita_wanabeba_dhima_ya_hali_ya_sasa_ya_hormuz_na_athari_zake_mbaya_za_kiuchumi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5834ecf22d2pebe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138406-iran_walioanzisha_vita_wanabeba_dhima_ya_hali_ya_sasa_ya_hormuz_na_athari_zake_mbaya_za_kiuchumi </guid>  
      <description>Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa mjini New York amesema kuwa walioanzisha vita dhidi ya Iran na washirika wao katika kanda hii wanabeba dhima kamili ya hali ya sasa katika Mlango-Bahari wa Hormuz na athari zake mbaya za kiuchumi duniani. </description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:14:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Qassim: Imamu Khamenei alirejesha Umma kwenye Uislamu halisi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138390-sheikh_qassim_imamu_khamenei_alirejesha_umma_kwenye_uislamu_halisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx14421d729f2pe6w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138390-sheikh_qassim_imamu_khamenei_alirejesha_umma_kwenye_uislamu_halisi </guid>  
      <description>Mwanazuoni mkuu wa Bahrain, Ayatullah Sheikh Isa Qassim amemsifu Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Imam Ali Khamenei, kama "mtu aliyerudisha Umma kwenye Uislamu halisi."</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:53:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Ubadilishanaji wa teknolojia na rasilimali watu ufanyike bila vikwazo kati ya wanachama wa BRICS</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138388-araqchi_ubadilishanaji_wa_teknolojia_na_rasilimali_watu_ufanyike_bila_vikwazo_kati_ya_wanachama_wa_brics</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx54728a76142pe68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138388-araqchi_ubadilishanaji_wa_teknolojia_na_rasilimali_watu_ufanyike_bila_vikwazo_kati_ya_wanachama_wa_brics </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika Mkutano wa Pili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa BRICS kwamba: Ubadilishanaji wa teknolojia na rasilimali watu unapaswa kufanywa bila vikwazo miongoni mwa wanachama wa BRICS.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:45:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awaonya maadui, mkijaribu mtashindwa tena </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138376-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_awaonya_maadui_mkijaribu_mtashindwa_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3825a386802pe28.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138376-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_awaonya_maadui_mkijaribu_mtashindwa_tena </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amezionya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuanzisha tena hatua mpya za kijeshi dhidi ya Iran, akisema kuwa makabiliano ya awali yalishindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa, na kwamba jaribio lolote la baadaye litakuwa na matokeo yaleyale.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:49:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Maigizo ya Marekani Hormuz yanaweza kusababisha mgogoro mpya wa kifedha duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138374-qalibaf_maigizo_ya_marekani_hormuz_yanaweza_kusababisha_mgogoro_mpya_wa_kifedha_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4998940d382pe2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138374-qalibaf_maigizo_ya_marekani_hormuz_yanaweza_kusababisha_mgogoro_mpya_wa_kifedha_duniani </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge), Mohammad-Baqer Qalibaf, ameonya kuwa juhudi za Marekani za kuendeleza mvutano wa kijeshi karibu na Mlango Bahari wa Hormuz zinaweza kusababisha mgogoro mpya wa kifedha duniani, wakati ambapo deni la taifa la Marekani tayari limefikia kiwango kikubwa cha dola trilioni 39.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:47:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Satelaiti tatu za Iran kurushwa katika anga za mbali karibuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138368-satelaiti_tatu_za_iran_kurushwa_katika_anga_za_mbali_karibuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx298101175d2pe2w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138368-satelaiti_tatu_za_iran_kurushwa_katika_anga_za_mbali_karibuni </guid>  
      <description>Shirika la Anga za Mbali la Iran (ISA) limetangaza kwamba satelaiti tatu zilizotengenezwa ndani ya nchi zimeingia katika hatua ya mwisho ya majaribio, ishara kwamba mpango wa anga wa kiraia wa nchi hii unastawi kwa kasi licha ya mashinikizo kutoka nchi za Magharibi na utawala wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:38:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya viwanja vya michezo yafichua uadui kwa heshima ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138364-pezeshkian_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_viwanja_vya_michezo_yafichua_uadui_kwa_heshima_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx76b662a40b2pe0y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138364-pezeshkian_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_viwanja_vya_michezo_yafichua_uadui_kwa_heshima_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa kulengwa kwa viwanja vya michezo na miundombinu ya umma na Marekani pamoja na Israel wakati wa vita vya uchokozi kumefichua uadui wa washambuliaji hao dhidi ya heshima, furaha na fahari ya taifa la Iran. </description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:08:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: UAE ni “mshirika hai” katika uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138362-araghchi_uae_ni_mshirika_hai_katika_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc6c817b2412pe0u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138362-araghchi_uae_ni_mshirika_hai_katika_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameikosoa vikali Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuwa mshirika wa moja kwa moja katika uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran. Ametoa kauli hiyo akijibu madai yasiyo na msingi yaliyotolewa na mwakilishi wa UAE.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:06:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi katika mkutano wa BRICS New Delhi: Ushawishi wa Marekani unapungua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138354-araqchi_katika_mkutano_wa_brics_new_delhi_ushawishi_wa_marekani_unapungua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxeca646c6942pdum.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138354-araqchi_katika_mkutano_wa_brics_new_delhi_ushawishi_wa_marekani_unapungua </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi amesema kuwa wananchi wa Iran "wamesimama kidete na kwa fahari " dhidi ya machafuko ya kutisha, na kamwe hawatasalimu amri mbele ya matakwa ya Marekani nchi ambayo ushawishi wake duniani unazidi kupungua.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 10:31:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya Habari vya Marekani: Iran bado ina uwezo mkubwa wa makombora</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138346-vyombo_vya_habari_vya_marekani_iran_bado_ina_uwezo_mkubwa_wa_makombora</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx819ae6f6092pdsw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138346-vyombo_vya_habari_vya_marekani_iran_bado_ina_uwezo_mkubwa_wa_makombora </guid>  
      <description>Kinyume na madai ya maafisa wa serikali ya Marekani wanaochochea vita, akiwemo Rais Donald Trump, vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti, vikinukuu tathmini za siri, kwamba Iran bado ina uwezo mkubwa wa makombora.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 08:46:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Hakuna silaha za Marekani zikazovuka Mlango-Bahari wa Hormuz </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138344-jeshi_la_iran_hakuna_silaha_za_marekani_zikazovuka_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa2939bca2e2pdpa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138344-jeshi_la_iran_hakuna_silaha_za_marekani_zikazovuka_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaruhusu tena silaha za Marekani kuvuka Mlango-Bahari wa Hormuz na kuingia katika vituo vya nchi za kanda hii. Limesema kuwa njia hiyo ya kistratejia ya majini sasa iko chini ya udhibiti wa kimkakati wa vikosi vya ulinzi vya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:37:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Uko Imara Zaidi ya Ulivyokuwa Huko Nyuma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138332-mfumo_wa_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_uko_imara_zaidi_ya_ulivyokuwa_huko_nyuma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxff30f2515f2pdlm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138332-mfumo_wa_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_uko_imara_zaidi_ya_ulivyokuwa_huko_nyuma </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa zamani wa Qatar ameeleza katika mahojiano marefu aliyofanyiwa na televisheni ya Al Jazeera kwamba, Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uko mara zaidi hivi sasa kuliko ulivyokuwa huko nyuma.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 13:17:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Ulinzi wa Iran: Kubalini haki za Iran au mkabiliwe na kipigo kingine cha kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138330-wizara_ya_ulinzi_wa_iran_kubalini_haki_za_iran_au_mkabiliwe_na_kipigo_kingine_cha_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx76f3a581922pdku.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138330-wizara_ya_ulinzi_wa_iran_kubalini_haki_za_iran_au_mkabiliwe_na_kipigo_kingine_cha_kijeshi </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema maadui, Marekani na Uzayuni, wanapaswa kukubali haki halali za taifa la Iran, au wasubiri kushindwa tena katika nyanja za kidiplomasia na katika uwanja wa vita. </description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:22:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kushiriki UAE katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni 'haramu kabisa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138328-kushiriki_uae_katika_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_'haramu_kabisa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx680f4ed55f2pdks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138328-kushiriki_uae_katika_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_'haramu_kabisa' </guid>  
      <description>Chuo Kikuu cha Kimataifa cha al-Mustafa kimetangaza kuwa ushiriki, uwezeshaji na ushirikiano wa UAE katika vita vya hivi karibuni vya Marekani na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Iran ni sawa na "kusaidia kambi ya ukafiri dhidi ya ndugu Waislamu" na hivyo, "kimsingi ni haramu."</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:20:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Msimamo wa Marekani ndio kikwazo kikuu kumaliza vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138314-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_msimamo_wa_marekani_ndio_kikwazo_kikuu_kumaliza_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx172ccb76b22pdgc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138314-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_msimamo_wa_marekani_ndio_kikwazo_kikuu_kumaliza_vita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amesema kuwa msimamo wa Marekani wa kutaka masharti ya kupita kiasi pamoja na mienendo yake mingine inayodhoofisha juhudi za diplomasia ndiyo vizuizi vikuu vya kumaliza mzozo uliozuka kufuatia vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 02:46:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Majeshi ya Iran yako tayari kuwashitua wavamizi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138310-spika_qalibaf_majeshi_ya_iran_yako_tayari_kuwashitua_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8abcbb876c2pdb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138310-spika_qalibaf_majeshi_ya_iran_yako_tayari_kuwashitua_wavamizi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, amesema kuwa majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu yako katika hali ya juu kabisa ya utayari wa kivita na yako tayari kutoa jibu kali, la haki na linalostahili dhidi ya aina yoyote ya uchokozi. Amewaonya maadui kwamba mikakati na maamuzi yenye makosa hayatazaa chochote isipokuwa maafa.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:15:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi ajadiliana na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi na Misri kuhusu diplomasia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138300-araghchi_ajadiliana_na_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_saudi_na_misri_kuhusu_diplomasia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd598be6c3c2pd7w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138300-araghchi_ajadiliana_na_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_saudi_na_misri_kuhusu_diplomasia </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amejadiliana na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia na Misri kuhusu maendeleo muhimu katika mchakato wa kidiplomasia kati ya Iran na Marekani unaopatanishwa na Pakistan.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:37:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Marekani inaendelea kusisitiza mawazo yaliyobuniwa na utawala wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138290-baqaei_marekani_inaendelea_kusisitiza_mawazo_yaliyobuniwa_na_utawala_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx99ca78309b2pd72.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138290-baqaei_marekani_inaendelea_kusisitiza_mawazo_yaliyobuniwa_na_utawala_wa_israel </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Marekani inaendelea kung'ang'ania fikra na mawazo ya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 03:49:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawasilisha majibu kwa pendekezo la Marekani la kukomesha uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138288-iran_yawasilisha_majibu_kwa_pendekezo_la_marekani_la_kukomesha_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb0d2cd54b12pd70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138288-iran_yawasilisha_majibu_kwa_pendekezo_la_marekani_la_kukomesha_uchokozi </guid>  
      <description>Iran imewasilisha mpango kamili wa kukomesha vita vya uchokozi wa Marekani na Israel, ikisisitiza kulipwa fidia kamili kwa uharibifu wa vita na kuondolewa vikwazo vyote.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 03:43:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa IRGC: Iran iko  tayari kushambulia ngome za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138276-kamanda_wa_irgc_iran_iko_tayari_kushambulia_ngome_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx833c15766c2pd0u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138276-kamanda_wa_irgc_iran_iko_tayari_kushambulia_ngome_za_marekani </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) amesema makombora ya kisasa pamoja na droni za kivita za Iran tayari zimeelekezwa dhidi ya ngome za  Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi, huku vikosi vya jeshi vikisubiri amri ya mwisho ya kushambulia.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 09:11:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchezaji wa tenisi wa Iran ajiondoa mashindano ya dunia kuepuka kushindana na Muisraeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138274-mchezaji_wa_tenisi_wa_iran_ajiondoa_mashindano_ya_dunia_kuepuka_kushindana_na_muisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd637fec3432pd0q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138274-mchezaji_wa_tenisi_wa_iran_ajiondoa_mashindano_ya_dunia_kuepuka_kushindana_na_muisraeli </guid>  
      <description>Mchezaji chipukizi wa tenisi kutoka Iran, Hana Shabanpour, amejiondoa katika fainali ya mashindano ya J60 Turkey World Tour siku ya Jumapili baada ya kukataa kucheza dhidi ya mpinzani aliyekuwa akiwakilisha utawala wa Israel, kama ishara ya kupinga mauaji na mateso dhidi ya Wapalestina.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 09:07:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kurudi Nyumbani Wakati wa Vita vya Siku 40 Wairan Waliokuwa Wameihajiri Nchi Kunafikisha Ujumbe Gani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138268-kurudi_nyumbani_wakati_wa_vita_vya_siku_40_wairan_waliokuwa_wameihajiri_nchi_kunafikisha_ujumbe_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0ce2a74e5a2pcvw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138268-kurudi_nyumbani_wakati_wa_vita_vya_siku_40_wairan_waliokuwa_wameihajiri_nchi_kunafikisha_ujumbe_gani </guid>  
      <description>Takwimu zilizorekodiwa katika mipaka ya Iran zinaonyesha kuwa wakati wa vita vya siku 40 vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Wairani 630,000 waliingia nchini kupitia mipaka ya nchi kavu. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 14:09:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CIA yakiri: Iran inaweza kuhimili mzingiro wa baharini wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138262-cia_yakiri_iran_inaweza_kuhimili_mzingiro_wa_baharini_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf116a48c192pcro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138262-cia_yakiri_iran_inaweza_kuhimili_mzingiro_wa_baharini_wa_marekani </guid>  
      <description>Shirika la Ujasusi la Marekani limekiri kuwa Iran ina uwezo wa kuhimili athari za mzingiro wa nchi hiyo kwa miezi kadhaa, na pia ina hifadhi kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:59:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Wairani hawapigi magoti mbele ya mashinikizo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138256-araghchi_wairani_hawapigi_magoti_mbele_ya_mashinikizo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbf2c60f38c2pcss.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138256-araghchi_wairani_hawapigi_magoti_mbele_ya_mashinikizo </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameonya kuwa Marekani hukimbilia hatua za kijeshi za kiholela hasa pale suluhisho la kidiplomasia linapoonekana kuwa karibu, huku akisisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasalimu amri kamwe mbele ya mashinikizo.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:33:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Ukoloni hauna nafasi katika dunia; Iran yataka mahusiano ya kuheshimiana</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138254-pezeshkian_ukoloni_hauna_nafasi_katika_dunia_iran_yataka_mahusiano_ya_kuheshimiana</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx66fc79265a2pcu4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138254-pezeshkian_ukoloni_hauna_nafasi_katika_dunia_iran_yataka_mahusiano_ya_kuheshimiana </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa ukoloni na unyonyaji havitakuwa na nafasi katika dunia ya kesho, akisisitiza tena dhamira ya Iran ya kuendeleza mahusiano ya kirafiki yanayojengwa juu ya kuheshimiana na maslahi ya pamoja.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:30:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbunge Ulaya atoa wito wa uchunguzi kuhusu mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138250-mbunge_ulaya_atoa_wito_wa_uchunguzi_kuhusu_mauaji_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_minab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9c2fe489bf2pctw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138250-mbunge_ulaya_atoa_wito_wa_uchunguzi_kuhusu_mauaji_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_minab </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Bunge la Ulaya ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji yaliyofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wasichana wa Shule ya Msingi ya Minab kusini mwa Iran, akisema huenda yalikuwa shambulio la kupangwa.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:47:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya Iran vyashambulia meli za  kivita za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138240-vikosi_vya_iran_vyashambulia_meli_za_kivita_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx421aafd2a22pckq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138240-vikosi_vya_iran_vyashambulia_meli_za_kivita_za_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi ya  Khatam alAnbiya  ya Majeshi ya Iran amesema kwamba vikosi vya Iran vimetoa jibu la papo hapo na lenye nguvu kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya kijeshi ya Marekani katika eneo muhimu la MlangoBahari wa Hormuz pamoja na ukanda wa pwani wa kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 08 May 2026 11:22:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian asifu unyenyekevu wa Kiongozi Muadhamu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138238-rais_pezeshkian_asifu_unyenyekevu_wa_kiongozi_muadhamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx78ac6591c92pcmm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138238-rais_pezeshkian_asifu_unyenyekevu_wa_kiongozi_muadhamu </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amesimulia kwa kina mkutano wake wa hivi karibuni na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, akielezea hali ya kikao hicho pamoja na sifa za binafsi, kimaadili na kiuongozi alizozishuhudia kwa Kiongozi huyo.</description>
      <pubDate>Fri, 08 May 2026 11:19:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian amwambia Macron: Iran yataka diplomasia huku ikisisitiza kulinda haki za taifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138222-pezeshkian_amwambia_macron_iran_yataka_diplomasia_huku_ikisisitiza_kulinda_haki_za_taifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc3f23742b02pcda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138222-pezeshkian_amwambia_macron_iran_yataka_diplomasia_huku_ikisisitiza_kulinda_haki_za_taifa </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amemwambia mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, kuwa Tehran iko tayari kuendelea kwa dhati na njia za kidiplomasia ili kukomesha vita, huku ikisisitiza umuhimu wa kulindwa haki za taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 08:09:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> China yalaani vita dhidi ya Iran, yataka usitishaji kamili wa mapigano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138220-china_yalaani_vita_dhidi_ya_iran_yataka_usitishaji_kamili_wa_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd5816d43b72pc64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138220-china_yalaani_vita_dhidi_ya_iran_yataka_usitishaji_kamili_wa_mapigano </guid>  
      <description>China imemkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, kwa mazungumzo mjini Beijing, huku Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, akivitaja vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran kuwa “visivyo halali” na kutoa wito wa kusitishwa kabisa kwa mapigano.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 08:06:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran imewasilisha nyaraka kuhusu jinai za kivita za Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138218-iran_imewasilisha_nyaraka_kuhusu_jinai_za_kivita_za_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx34c3e8296f2payy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138218-iran_imewasilisha_nyaraka_kuhusu_jinai_za_kivita_za_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Iran amesema wamewasilisha nyaraka 35 zinazoonyesha wazi jinai za kivita zilizofanywa na Marekani na Israel wakati wa mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya Iran, katika taasisi mbalimbali za kimataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 08:02:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran inasimamia nguvu ya Maadili na Uwajibikaji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138214-pezeshkian_iran_inasimamia_nguvu_ya_maadili_na_uwajibikaji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd7db1a6d8e2pc76.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138214-pezeshkian_iran_inasimamia_nguvu_ya_maadili_na_uwajibikaji </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran inasimamia nguvu inayojali maadili na uwajibikaji huku akiwatuhumu maadui zake kwa kuwakilisha nguvu zisizo na uwajibikaji. </description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 11:05:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iravani akanusha vikali azimio la Arab League dhidi ya Iran, asema ni la upendeleo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138204-iravani_akanusha_vikali_azimio_la_arab_league_dhidi_ya_iran_asema_ni_la_upendeleo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4dd0b196242pc6s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138204-iravani_akanusha_vikali_azimio_la_arab_league_dhidi_ya_iran_asema_ni_la_upendeleo </guid>  
      <description>Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amejibu azimio la kikao cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab Legue) dhidi ya Iran kilichofanyika mjini Cairo akisema kuwakingia kifua wavamizi hakuwezi kubadili ukweli wa kisheria. </description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:48:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazindua utaratibu mpya wa kudhibiti meli zinazopita Mlango Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138196-iran_yazindua_utaratibu_mpya_wa_kudhibiti_meli_zinazopita_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd2041184282pc4k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138196-iran_yazindua_utaratibu_mpya_wa_kudhibiti_meli_zinazopita_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Iran imezindua rasmi mfumo mpya wa udhibiti wa usafiri wa majini katika Mlango Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 08:10:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hali katika Mlango Bahari wa Hormuz imekuwa “isiyovumilika” kwa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138192-qalibaf_hali_katika_mlango_bahari_wa_hormuz_imekuwa_isiyovumilika_kwa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx49fef7adb72pc1o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138192-qalibaf_hali_katika_mlango_bahari_wa_hormuz_imekuwa_isiyovumilika_kwa_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ameonya kwamba hali inayoendelea katika Mlango Bahari wa Hormuz imekuwa “isiyovumilika” kwa Marekani, huku akisisitiza kuwa Tehran “bado haijaanza hata hatua zake halisi.”</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 07:59:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Matukio ya Hormuz yadhihirisha kuwa suluhisho la kijeshi halipo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138174-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_matukio_ya_hormuz_yadhihirisha_kuwa_suluhisho_la_kijeshi_halipo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxecdf47b5d42pbrc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138174-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_matukio_ya_hormuz_yadhihirisha_kuwa_suluhisho_la_kijeshi_halipo </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyed Abbas Araghchi, amesema kuwa matukio ya karibuni katika Mlango wa Bahari wa Hormuz yameweka wazi tena kwamba hakuna suluhisho la kijeshi kwa mgogoro wa kisiasa unaoikumba kanda ya Asia Magharibi, akisisitiza upya sera ya Jamhuri ya Kiislamu ya kufuatilia diplomasia kutoka katika nafasi ya nguvu.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 05:42:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema  “tamaa isiyo na mwisho ya Marekani haina mipaka”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138170-iran_yasema_tamaa_isiyo_na_mwisho_ya_marekani_haina_mipaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx62155e2df62pbrg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138170-iran_yasema_tamaa_isiyo_na_mwisho_ya_marekani_haina_mipaka </guid>  
      <description>Iran imesema kuwa Marekani haijaacha mwenendo wake wa madai kupita kiasi na tamaa isiyo na kikomo, ikithibitisha kuwa imepokea jibu la watawala wa Washington  kuhusu pendekezo la Iran la mpango wa pointi 14 unaohusu mazungumzo ya pande zote, yenye lengo la kusitisha vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 05:33:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meli ya kijeshi ya Marekani yapigwa kwa makombora mawili baada ya kupuuza onyo la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138166-meli_ya_kijeshi_ya_marekani_yapigwa_kwa_makombora_mawili_baada_ya_kupuuza_onyo_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb8062acdef2pbmq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138166-meli_ya_kijeshi_ya_marekani_yapigwa_kwa_makombora_mawili_baada_ya_kupuuza_onyo_la_iran </guid>  
      <description>Shirika la Habari la Fars limetangaza kuwa, meli ya Jeshi la Wanamaji la Marekani imepigwa kwa makombora mawili baada ya kupuuza onyo la Jeshi la Majini la Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 11:52:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawanyonga magaidi watatu wa Mossad waliopatikana na hatia ya kuwauwa askari usalama katika ghasia za Mashhad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138164-iran_yawanyonga_magaidi_watatu_wa_mossad_waliopatikana_na_hatia_ya_kuwauwa_askari_usalama_katika_ghasia_za_mashhad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfcbabe64782pbly.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138164-iran_yawanyonga_magaidi_watatu_wa_mossad_waliopatikana_na_hatia_ya_kuwauwa_askari_usalama_katika_ghasia_za_mashhad </guid>  
      <description>Watu watatu waliopatikana na hatia ya kuhusika katika ghasia na machafuko makubwa, mashambulizi dhidi ya askari usalama, na kuwa na uhusiano na Shirika la Ujasusi la Israel (Mossad) wamenyongwa katika mkoa wa Khorasan Razavi, kaskazini mashariki mwa Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:33:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Shirikisho la Soka Iran akataa simu ya Waziri Mkuu wa Canada baada ya kutendewa vibaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138156-mkuu_wa_shirikisho_la_soka_iran_akataa_simu_ya_waziri_mkuu_wa_canada_baada_ya_kutendewa_vibaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx078316dd122pblq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138156-mkuu_wa_shirikisho_la_soka_iran_akataa_simu_ya_waziri_mkuu_wa_canada_baada_ya_kutendewa_vibaya </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirikisho la Soka la Iran, Mehdi Taj, amekataa ombi la maafisa wa Canada la kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mark Carney baada ya wajumbe wa Iran kuvunjiwa heshima na maafisa wa mpaka wa Canada.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:21:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laapa kulenga vikosi vya kigeni vitakavyokaribia Mlango wa Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138150-jeshi_la_iran_laapa_kulenga_vikosi_vya_kigeni_vitakavyokaribia_mlango_wa_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfdc0005f082pbks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138150-jeshi_la_iran_laapa_kulenga_vikosi_vya_kigeni_vitakavyokaribia_mlango_wa_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Kamanda wa kitengo cha juu zaidi cha uendeshaji wa operesheni za kijeshi cha Iran ameonya kuwa majeshi ya Iran yatalenga vikosi vyovyote vya kigeni, hasa vile vya Jeshi la Marekani, vitakavyojaribu kukaribia au kuingia katika Mlango wa Bahari wa Hormuz, njia nyeti ya kimkakati ya baharini.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 09:45:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askari wa Marekani watoweka wakati wa mazoezi ya kijeshi Morocco </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138148-askari_wa_marekani_watoweka_wakati_wa_mazoezi_ya_kijeshi_morocco</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx11e0e013172pbl8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138148-askari_wa_marekani_watoweka_wakati_wa_mazoezi_ya_kijeshi_morocco </guid>  
      <description>Askari wawili wa Jeshi la Marekani waliokuwa wakishiriki katika mazoezi ya kijeshi karibu na mji mmoja kusini-magharibi mwa Morocco wameripotiwa kutoweka, na hadi sasa hawajulikani waliko.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 09:37:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi dhidi ya khatibu wa Haram ya Bibi Zainab (AS)</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138146-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_kigaidi_dhidi_ya_khatibu_wa_haram_ya_bibi_zainab_(as)</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx20f764946d2pbeu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138146-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_kigaidi_dhidi_ya_khatibu_wa_haram_ya_bibi_zainab_(as) </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea katika eneo la Sayyida Zainab mjini Damascus, ambalo limepelekea kuuawa shahidi Sayyid Farhan Hassan Al‑Mansour, mmoja wa wanazuoni wa Kiislamu na khatibu wa Ijumaa katika Haram ya Bibi Zainab (AS).</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:47:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Majigambo ya Trump kuhusu uharamia ni ‘kukiri wazi’ jinai </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138142-iran_majigambo_ya_trump_kuhusu_uharamia_ni_kukiri_wazi’_jinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4e8462a6532p7ro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138142-iran_majigambo_ya_trump_kuhusu_uharamia_ni_kukiri_wazi’_jinai </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imejibu kauli za Rais wa Marekani Donald Trump, ambaye amejigamba kuwa Jeshi la Wanamaji la Marekani limetekeleza operesheni “kama maharamia” katika mzingiro wa baharini usio halali dhidi ya meli na bandari za Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:28:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Hakuna dola linaloweza kudhoofisha azma ya taifa la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138144-irgc_hakuna_dola_linaloweza_kudhoofisha_azma_ya_taifa_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx436cf4a74c2pbes.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138144-irgc_hakuna_dola_linaloweza_kudhoofisha_azma_ya_taifa_la_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limelishukuru taifa la Iran kwa kusimama kidete kuilinda nchi na msimamo wake imara wa Kiislamu kupitia maandamano ya kuonyesha umoja na mshikamano nchini. </description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:42:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema: 'Mpira uko upande wa Marekani' yawasilisha mapendekezo kwa wapatanishi ili kukomesha vita vya US na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138138-iran_yasema_'mpira_uko_upande_wa_marekani'_yawasilisha_mapendekezo_kwa_wapatanishi_ili_kukomesha_vita_vya_us_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxce19c3743e2pbeo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138138-iran_yasema_'mpira_uko_upande_wa_marekani'_yawasilisha_mapendekezo_kwa_wapatanishi_ili_kukomesha_vita_vya_us_na_israel </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Sheria na Kimataifa ameweka wazi msimamo rasmi wa Iran kuhusu  juhudi zinazoendelea kufanywa kwa ajili ya kufikiwa mapatano na Marekani. </description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:25:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Iran iko tayari kukabiliana na tishio au uovu wowote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138116-araghchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_tishio_au_uovu_wowote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx800c9eb25f2pb7m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138116-araghchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_tishio_au_uovu_wowote </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa jeshi la Iran liko katika hali ya utayari kamili kulinda mamlaka na heshima ya taifa dhidi ya tishio au uchokozi wa aina yoyote.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 11:22:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei ajibu madai ya Marekani: Hujuma dhidi ya Iran ni uchokozi, si hatua ya kujilinda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138112-baqaei_ajibu_madai_ya_marekani_hujuma_dhidi_ya_iran_ni_uchokozi_si_hatua_ya_kujilinda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf20961efe62pb3s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138112-baqaei_ajibu_madai_ya_marekani_hujuma_dhidi_ya_iran_ni_uchokozi_si_hatua_ya_kujilinda </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu madai ya Marekani kwamba iliingia vitani na Iran kwa ajili ya "kujilinda," akisisitiza kuwa: Hakukuwa na hatua yoyote ya kijeshi kutoka upande wa Iran dhidi ya Marekani, na kwa hivyo shambulio la kijeshi la Marekani dhidi ya Iran lilikuwa kitendo cha uchokozi.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 10:00:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Mudhamu: Taifa la Iran litamshinda adui katika nyuga za kiuchumi na kiutamaduni baada ya ushindi katika vita vya kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138104-kiongozi_mudhamu_taifa_la_iran_litamshinda_adui_katika_nyuga_za_kiuchumi_na_kiutamaduni_baada_ya_ushindi_katika_vita_vya_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9cf46024c52payk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138104-kiongozi_mudhamu_taifa_la_iran_litamshinda_adui_katika_nyuga_za_kiuchumi_na_kiutamaduni_baada_ya_ushindi_katika_vita_vya_kijeshi </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameapa kuwa taifa la Iran litamshinda pia adui katika nyanja za kiutamaduni na kiuchumi baada ya kupata ushindi katika medani ya vita vya kijeshi.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 09:26:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mipaka yetu ni mirefu kuliko kuta mbili kote Marekani: Spika Qalibaf akejeli mzingiro wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138096-mipaka_yetu_ni_mirefu_kuliko_kuta_mbili_kote_marekani_spika_qalibaf_akejeli_mzingiro_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb83fe7bbd22pb36.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138096-mipaka_yetu_ni_mirefu_kuliko_kuta_mbili_kote_marekani_spika_qalibaf_akejeli_mzingiro_wa_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amekejeli mzingiro wa jeshi la majini la Marekani dhidi ya Iran, akieleza kuwa mipaka mirefu ya nchi hiyo inabatilisha jaribio lolote la kuizingira Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:25:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Manowari za Marekani zitateketea ikiwa Iran itashambuliwa tena</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138088-irgc_manowari_za_marekani_zitateketea_ikiwa_iran_itashambuliwa_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfe298dd5ec2paz8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138088-irgc_manowari_za_marekani_zitateketea_ikiwa_iran_itashambuliwa_tena </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Seyyed Majid Mousavi, amesema Iran itajibu uchokozi wowote wa adui kwa mashambulizi ya muda mrefu na yenye kuumiza, akibainisha kuwa meli za kivita za Marekani zitapata hatima sawa na vituo vya kijeshi vya Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 01 May 2026 08:16:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran: Mzingiro wa kijeshi baharini ni tishio kwa amani ya dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138086-rais_wa_iran_mzingiro_wa_kijeshi_baharini_ni_tishio_kwa_amani_ya_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx40aea9d5042pb0u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138086-rais_wa_iran_mzingiro_wa_kijeshi_baharini_ni_tishio_kwa_amani_ya_dunia </guid>  
      <description>Rais wa Iran: Mzingiro wa kijeshi baharini ni tishio kwa amani ya dunia</description>
      <pubDate>Fri, 01 May 2026 08:13:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu: Iran itaweka “kanuni mpya za kisheria” katika Mlango wa Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138084-kiongozi_muadhamu_iran_itaweka_kanuni_mpya_za_kisheria_katika_mlango_wa_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbweea1a445632pax8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138084-kiongozi_muadhamu_iran_itaweka_kanuni_mpya_za_kisheria_katika_mlango_wa_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametangaza mwanzo wa “sura mpya” kwa Mlango Bahari wa Hormuz, njia ya kimkakati ya baharini.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 14:00:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Jeshi la Wanamaji la Iran: Wamarekani wanaogopa silaha yetu mpya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138082-mkuu_wa_jeshi_la_wanamaji_la_iran_wamarekani_wanaogopa_silaha_yetu_mpya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6198804a712pata.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138082-mkuu_wa_jeshi_la_wanamaji_la_iran_wamarekani_wanaogopa_silaha_yetu_mpya </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kwamba majeshi ya Iran yameufunga Mlango Bahari wa Hormuz kutoka Bahari ya Arabia, akisisitiza kwamba: Adui atakutana na silaha yetu ambayo anaiogopa sana.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 11:10:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf ajibu madai ya Trump na Waziri wa Fedha wa US</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138078-qalibaf_ajibu_madai_ya_trump_na_waziri_wa_fedha_wa_us</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwaf601f39022patc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138078-qalibaf_ajibu_madai_ya_trump_na_waziri_wa_fedha_wa_us </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amejibu madai ya Rais wa Marekani na majigambo ya Waziri wa Fedha wa utawala huo wa kigaidi kupitia ujumbe uliotumwa katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 10:25:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazungumzo ya mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Kenya </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138070-mazungumzo_ya_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_na_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw545d0e90a42paso.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138070-mazungumzo_ya_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_na_kenya </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo na mwenzake wa Kenya kuhusu masuala muhimu ya uhusiano wa pande mbili.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 08:20:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaitaka ICRC kufuatilia kisheria ukiukwaji wa haki za binadamu katika vita vya siku 40</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138068-iran_yaitaka_icrc_kufuatilia_kisheria_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu_katika_vita_vya_siku_40</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf8d582fac62pasm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138068-iran_yaitaka_icrc_kufuatilia_kisheria_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu_katika_vita_vya_siku_40 </guid>  
      <description>Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS), katika kikao na Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC), ameitaka taasisi hiyo ya kimataifa kuiunga mkono Jumuiya ya Hilali Nyekundu na wananchi wa Iran katika kufuatilia kisheria ukiukwaji wa haki za kibinadamu uliofanyika katika vita vya siku 40 vya Marekani na Israel dhidi ya nchi hii.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 08:16:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uharamia wa Marekani utakabiliwa na majibu makali Iran ambayo hayajawahi kuonekana</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138066-uharamia_wa_marekani_utakabiliwa_na_majibu_makali_iran_ambayo_hayajawahi_kuonekana</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw65397e592d2pask.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138066-uharamia_wa_marekani_utakabiliwa_na_majibu_makali_iran_ambayo_hayajawahi_kuonekana </guid>  
      <description>Uharamia na ujangili wa baharini unaoendelezwa na Marekani utapata majibu ya Iran ambayo yatakuwa ya 'kivitendo na ya kipekee.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 08:12:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Ulinzi ya Iran: Marekani haiwezi tena kulazimisha sera zake kwa mataifa huru </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138040-wizara_ya_ulinzi_ya_iran_marekani_haiwezi_tena_kulazimisha_sera_zake_kwa_mataifa_huru</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw23d30b0a5c2pakc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138040-wizara_ya_ulinzi_ya_iran_marekani_haiwezi_tena_kulazimisha_sera_zake_kwa_mataifa_huru </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Iran amesema kuwa Marekani haina tena uwezo wa kulazimisha sera zake kwa mataifa huru, akiongeza kuwa hali hiyo sasa imejidhihirisha wazi duniani kupitia ustahimilivu wa wananchi wa Iran pamoja na vikosi vyake vya ulinzi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:05:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Kukabiliana na ugaidi ni jukumu la kimataifa  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138030-baqaei_kukabiliana_na_ugaidi_ni_jukumu_la_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfaa2626aab2pab6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138030-baqaei_kukabiliana_na_ugaidi_ni_jukumu_la_kimataifa </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi ya Mali. </description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:44:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yachaguliwa kuwa miongoni mwa makamu wenyeviti wa mkutano wa wa NPT, kipigo cha kidiplomasia kwa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138024-iran_yachaguliwa_kuwa_miongoni_mwa_makamu_wenyeviti_wa_mkutano_wa_wa_npt_kipigo_cha_kidiplomasia_kwa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwde810276742padi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138024-iran_yachaguliwa_kuwa_miongoni_mwa_makamu_wenyeviti_wa_mkutano_wa_wa_npt_kipigo_cha_kidiplomasia_kwa_marekani </guid>  
      <description>Iran imechaguliwa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuwa mmoja wa makamu wenyeviti wa mkutano wa mwaka huu wa kupitia upya Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) utakaoendelea kwa kipindi cha wiki nne.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:34:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Duru za Magharibi: Iran imeanza "uhandisi kinyume wa bunker-buster" na silaha za kisasa za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138010-duru_za_magharibi_iran_imeanza_uhandisi_kinyume_wa_bunker_buster_na_silaha_za_kisasa_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa2d3e955ca2pa86.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138010-duru_za_magharibi_iran_imeanza_uhandisi_kinyume_wa_bunker_buster_na_silaha_za_kisasa_za_marekani </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini (IRGC) limetangaza kuwa limegundua makombora 15 ya Marekani ambayo hayakulipuka katika jimbo la Hormozgan kusini mwa Iran, na maelfu ya mabomu katika jimbo la kaskazini la Zanjan, chini ya mwezi mmoja baada ya uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kusitishwa.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:59:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian aishukuru Serikali na Taifa la Afrika Kusini kwa mshikamamo wao na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138008-rais_pezeshkian_aishukuru_serikali_na_taifa_la_afrika_kusini_kwa_mshikamamo_wao_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdfc90ea40e2pa80.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138008-rais_pezeshkian_aishukuru_serikali_na_taifa_la_afrika_kusini_kwa_mshikamamo_wao_na_iran </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameishukuru serikali na taifa la Afrika Kusini kwa kuonyesha mshikamano na taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:53:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na mawaziri wenzake Qatar na Saudia kuhusu utulivu wa kieneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137998-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_mawaziri_wenzake_qatar_na_saudia_kuhusu_utulivu_wa_kieneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw9ee58163b52pa4i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137998-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_mawaziri_wenzake_qatar_na_saudia_kuhusu_utulivu_wa_kieneo </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amefanya mazungumzo ya simu kwa nyakati tofauti siku ya Jumapili na mawaziri wenzake wa Qatar na Saudi Arabia, ikiwa ni sehemu ya juhudi pana za kidiplomasia za kukomesha mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 09:52:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema Lango-Bahari La Hormuz liko wazi kwa Kenya </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137990-iran_yasema_lango_bahari_la_hormuz_liko_wazi_kwa_kenya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw22de0f5a6c2pa6a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137990-iran_yasema_lango_bahari_la_hormuz_liko_wazi_kwa_kenya </guid>  
      <description>Balozi wa Iran nchini Kenya, Dkt. Ali Gholampour, amesema kuwa Lango-Bahari la Hormuz liko wazi kwa Kenya pamoja na mataifa mengine rafiki.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 09:32:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laonya litatoa jibu kali iwapo mzingiro haramu wa baharini wa Marekani utaendelea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137986-jeshi_la_iran_laonya_litatoa_jibu_kali_iwapo_mzingiro_haramu_wa_baharini_wa_marekani_utaendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw860aaefdc32p9z6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137986-jeshi_la_iran_laonya_litatoa_jibu_kali_iwapo_mzingiro_haramu_wa_baharini_wa_marekani_utaendelea </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran imeonya kuwa kuendelea kwa “uharamia, mzingiro, na uhalifu wa baharini” unaofanywa na vikosi vya Marekani katika eneo, utakabiliwa na jibu kutoka kwa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 11:29:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yamkamata jasusi mkongwe wa Mossad na magaidi katika operesheni za kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137984-iran_yamkamata_jasusi_mkongwe_wa_mossad_na_magaidi_katika_operesheni_za_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd828be38162pa0i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137984-iran_yamkamata_jasusi_mkongwe_wa_mossad_na_magaidi_katika_operesheni_za_kitaifa </guid>  
      <description>Wizara ya Usalama wa Taifa Iran imetangaza kukamatwa kwa jasusi “mzoefu” aliyekuwa akifanya kazi kwa niaba ya utawala wa Kizayuni wa Israel, pamoja na wanachama 15 wa makundi ya kigaidi ya makundi ya wanaotaka kujitenga, kufuatia operesheni zilizofanyika katika mikoa mbalimbali nchini</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 11:25:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Iran haitaingia katika mazungumzo chini ya mashinikizo, vitisho na mzingiro</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137982-rais_pezeshkian_iran_haitaingia_katika_mazungumzo_chini_ya_mashinikizo_vitisho_na_mzingiro</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7151c2dd2f2pa04.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137982-rais_pezeshkian_iran_haitaingia_katika_mazungumzo_chini_ya_mashinikizo_vitisho_na_mzingiro </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amekosoa utata na mgongano unaoshuhudiwa kati ya mbinu za mashinikizo zinazotumiwa na Marekani dhidi ya Iran na kile kinachotajwa kuwa ni nia yake ya kushiriki katika mchakato wa kidiplomasia na Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:40:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Mahakama ya Iran asema: Tabas itakaririwa katika Ghuba ya Uajemi/ atoa indhari kuhusu kushindwa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137966-mkuu_wa_mahakama_ya_iran_asema_tabas_itakaririwa_katika_ghuba_ya_uajemi_atoa_indhari_kuhusu_kushindwa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe78b772a702p9sq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137966-mkuu_wa_mahakama_ya_iran_asema_tabas_itakaririwa_katika_ghuba_ya_uajemi_atoa_indhari_kuhusu_kushindwa_marekani </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran ametahadharisha kuwa Washington haina uwezo wa kuweka mzingiro wa kijeshi wa majini dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, na kuapa kuwa kushindwa kihistoria wanajeshi wa Marekani huko Tabas na Isfahan kutarudiwa katika maji ya Ghuba ya Uajemi. </description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:51:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Michezo wa Italia akataa pendekezo la kuchukua nafasi ya Iran kwenye Kombe la Dunia la FIFA</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137944-waziri_wa_michezo_wa_italia_akataa_pendekezo_la_kuchukua_nafasi_ya_iran_kwenye_kombe_la_dunia_la_fifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5e3859b5f92p9qc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137944-waziri_wa_michezo_wa_italia_akataa_pendekezo_la_kuchukua_nafasi_ya_iran_kwenye_kombe_la_dunia_la_fifa </guid>  
      <description>Waziri wa michezo wa Italia, Andrea Abodi, amesema kuwa pendekezo la nchi yake kuchukua nafasi ya Iran kwenye Kombe la Soka la Dunia “si sahihi,” na akapinga wazo lolote kuwa timu ya taifa ya nchi hiyo maarufu kama Azzurri itapewa nafasi ya dharura katika mashindano ya ya soka ya FIFA mwaka huu.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 09:42:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Saudi Arabia yatarajia kuwapokea kwa ukarimu Wairani wanaoshiriki ibada Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137942-saudi_arabia_yatarajia_kuwapokea_kwa_ukarimu_wairani_wanaoshiriki_ibada_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw83a26202a62p9q8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137942-saudi_arabia_yatarajia_kuwapokea_kwa_ukarimu_wairani_wanaoshiriki_ibada_hija </guid>  
      <description>Saudi Arabia imetangaza kuwa imejiandaa kikamilifu kwa msimu wa Hija na inasubiri kwa shauku kuwasili kwa waumini wa Iran wanaoshiriki katika ibada ya Hija Iran, baada ya kufanya maandalizi yote muhimu ili kuhakikisha wanatekeleza ibada zao kwa usalama na faraja.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 09:38:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na viongozi wa Pakistan jijini Islamabad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137938-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_akutana_na_viongozi_wa_pakistan_jijini_islamabad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwbf590f410b2p9ou.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137938-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_akutana_na_viongozi_wa_pakistan_jijini_islamabad </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Abbas Araqchi, amefika katika mji wa Islamabad, Pakistan na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu nchini humo.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 09:32:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu: Umoja wa Wairani umetoa pigo kubwa kwa safu za adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137936-kiongozi_muadhamu_umoja_wa_wairani_umetoa_pigo_kubwa_kwa_safu_za_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw187dbe93ba2p9j2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137936-kiongozi_muadhamu_umoja_wa_wairani_umetoa_pigo_kubwa_kwa_safu_za_adui </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, amepongeza athari kubwa ya umoja wa kitaifa, akisema mshikamano wa wananchi wa Iran umevuruga kwa kiasi kikubwa safu za maadui.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 06:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Iran wamwambia Trump: Hatuna watu wenye msimamo mkali na wenye msimamo wa wastani; sote ni Wairani na wanamapinduzi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137934-viongozi_wa_iran_wamwambia_trump_hatuna_watu_wenye_msimamo_mkali_na_wenye_msimamo_wa_wastani_sote_ni_wairani_na_wanamapinduzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw74dd6fb95d2p9n0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137934-viongozi_wa_iran_wamwambia_trump_hatuna_watu_wenye_msimamo_mkali_na_wenye_msimamo_wa_wastani_sote_ni_wairani_na_wanamapinduzi </guid>  
      <description>Wakuu wa Mihimili Mitatu ya Iran wamejibu madai ya uongo ya Rais Donald Trump Marekani kwamba kuna mgawanyiko ndani ya nchi na kusema: Hatuna watu wenye msimamo mkali na wenye msimamo wa wastani; sote ni Wairani na wanamapinduzi.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 06:01:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti wa IRIB: Wairani wengi wanaunga mkono msimamo wa mapambano dhidi ya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137922-utafiti_wa_irib_wairani_wengi_wanaunga_mkono_msimamo_wa_mapambano_dhidi_ya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe3c47df7722p99y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137922-utafiti_wa_irib_wairani_wengi_wanaunga_mkono_msimamo_wa_mapambano_dhidi_ya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Baada ya vita vya siku 40 vya muungano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, utafiti wa kitaifa uliofanywa na Kituo cha Utafiti cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) umeonyesha kuendelea kusimama kidete kwa wananchi katika kuunga mkono vikosi vya ulinzi, mshikamano wa kitaifa na azma madhubuti ya kulinda uwezo wa nchi wa makombora na miundombinu ya kiulinzi.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 04:51:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya kuhusu mgogoro wa chakula duniani kutokana na vita vya kigaidi vya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137920-iran_yaonya_kuhusu_mgogoro_wa_chakula_duniani_kutokana_na_vita_vya_kigaidi_vya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw77ecf7df5b2p9m8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137920-iran_yaonya_kuhusu_mgogoro_wa_chakula_duniani_kutokana_na_vita_vya_kigaidi_vya_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Kilimo wa Iran, Gholamreza Nouri, amesema kuwa mashambulizi na vitendo vya uchokozi vya Marekani vina madhara makubwa kwa usalama wa chakula duniani, na vinatoa kikwazo kikubwa katika kufanikisha lengo la “kutokomeza njaa.”</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 04:33:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vipi IRGC Imefikia Kuwa na Nguvu na Uwezo Unaoshuhudiwa Hivi Sasa?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137914-vipi_irgc_imefikia_kuwa_na_nguvu_na_uwezo_unaoshuhudiwa_hivi_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5033a5fd462p9f2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137914-vipi_irgc_imefikia_kuwa_na_nguvu_na_uwezo_unaoshuhudiwa_hivi_sasa </guid>  
      <description>Maadhimisho ya mwaka huu ya kutimia miaka 48 ya kuasisiwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC yametoa mguso zaidi katika duru za kisiasa na za vyombo vya habari kuliko ilivyowahi kushuhudiwa katika maadhimisho ya miaka iliyopita. </description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 19:07:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran la IRGC lasema litazindua zana za kivita zitakazomshangaza adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137912-jeshi_la_iran_la_irgc_lasema_litazindua_zana_za_kivita_zitakazomshangaza_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1768d560812p9ae.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137912-jeshi_la_iran_la_irgc_lasema_litazindua_zana_za_kivita_zitakazomshangaza_adui </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema kuwa liko tayari kutangaza mafanikio mapya pamoja na  zana za kushangaza za kivita zinazozidi upeo wa kuelewa wa adui, likionya kuwa kila kitendo kipya cha uchokozi kitapata majibu makali.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 11:02:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran Yalalamikia Matumizi Mabaya ya Ardhi na Anga ya Nchi 5 na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137910-iran_yalalamikia_matumizi_mabaya_ya_ardhi_na_anga_ya_nchi_5_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1dc576fedc2p97a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137910-iran_yalalamikia_matumizi_mabaya_ya_ardhi_na_anga_ya_nchi_5_na_marekani </guid>  
      <description>Amir Saeed Iravani, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa, katika barua aliyomwandikia Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama, ametoa malalamiko makali kuhusu matumizi mabaya ya Marekani ya ardhi na anga ya nchi tano za eneo katika hujuma za kijeshi dhidi ya Iran. Nchi hizo ambazo zimeafiki ardhi zao kutumiwa kuishambulia Iran  ni pamoja na Qatar, Kuwait, Bahrain, Falme za Kiarabu (UAE) na Saudi Arabia.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 10:59:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Mzingiro wa bandari za Iran ni uvunjaji wa makubaliano ya usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137908-araghchi_mzingiro_wa_bandari_za_iran_ni_uvunjaji_wa_makubaliano_ya_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwcf5b7bc81b2p9bi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137908-araghchi_mzingiro_wa_bandari_za_iran_ni_uvunjaji_wa_makubaliano_ya_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ametoa tamko kufuatia shambulio la Marekani dhidi ya meli ya kibiashara ya Iran katika Bahari ya Oman, akisema kwamba kuweka mzingiro dhidi ya bandari za Iran ni uvunjaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 10:56:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137904-baqaei_iran_iko_tayari_kujilinda_mkabala_wa_vitisho_vya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbweb6abb8d0c2p958.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137904-baqaei_iran_iko_tayari_kujilinda_mkabala_wa_vitisho_vya_adui </guid>  
      <description> Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza utayari wa Tehran kujilinda dhidi ya mashambulizi na vitisho vya aina yoyote vya adui.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:58:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Mashambulizi dhidi ya Iran ni chanzo cha ukosefu wa usalama katika Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137894-araqchi_mashambulizi_dhidi_ya_iran_ni_chanzo_cha_ukosefu_wa_usalama_katika_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw87510afbdf2p9b8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137894-araqchi_mashambulizi_dhidi_ya_iran_ni_chanzo_cha_ukosefu_wa_usalama_katika_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Mwakilishi Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini, ambaye aliwasili Tehran kwa ajili ya mashauriano na viongozi wa Iran, amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:37:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu awashukuru Maulamaa wa Kisunni wa Hormozgan </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137880-kiongozi_muadhamu_awashukuru_maulamaa_wa_kisunni_wa_hormozgan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw262ac291952p8ug.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137880-kiongozi_muadhamu_awashukuru_maulamaa_wa_kisunni_wa_hormozgan </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei, ameelezea shukrani zake za dhati kwa wanazuoni na maulamaa wa Kisunni katika mkoa wa kusini mwa Iran wa Hormozgan, akisifu mshikamano wao na tamko lao la kutoa Bay’a yaani kiapo cha utii.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:25:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa wakosoa vitisho vipya vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137878-umoja_wa_mataifa_wakosoa_vitisho_vipya_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbweb94604a492p8uc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137878-umoja_wa_mataifa_wakosoa_vitisho_vipya_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa amekosoa wazi vitisho vipya vya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu kushambulia miundombinu ya Iran endapo matakwa ya Washington hayatatekelezwa. </description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:16:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hakuna mazungumzo chini ya vitisho, Iran iko tayari kufichua kadi mpya uwanjani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137874-qalibaf_hakuna_mazungumzo_chini_ya_vitisho_iran_iko_tayari_kufichua_kadi_mpya_uwanjani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw95c6de4fa12p8u2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137874-qalibaf_hakuna_mazungumzo_chini_ya_vitisho_iran_iko_tayari_kufichua_kadi_mpya_uwanjani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema Tehran haitakubali kufanya mazungumzo na Washington chini ya kivuli cha vitisho.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:11:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Siku ya Jeshi: Kiongozi apongeza jeshi la Iran kwa ujasiri katika kulilinda taifa dhidi ya wavamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137864-siku_ya_jeshi_kiongozi_apongeza_jeshi_la_iran_kwa_ujasiri_katika_kulilinda_taifa_dhidi_ya_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa64ba29f8e2p8g6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137864-siku_ya_jeshi_kiongozi_apongeza_jeshi_la_iran_kwa_ujasiri_katika_kulilinda_taifa_dhidi_ya_wavamizi </guid>  
      <description>Katika ujumbe alioutoa Jumapili kwa mnasaba wa Siku ya Jeshi, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei amelisifu Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kusimama kwa ujasiri kulilinda taifa katika vita vya hivi karibuni vya kulazimishwa, kama lilivyofanya  katika vita vya kulazimishwa vya awamu zilizopita.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 11:01:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran kudhibiti trafiki ya Lango Bahari la Hormuz hadi makubaliano yafikiwe kumaliza vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137860-iran_kudhibiti_trafiki_ya_lango_bahari_la_hormuz_hadi_makubaliano_yafikiwe_kumaliza_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw04af1acf1b2p8g4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137860-iran_kudhibiti_trafiki_ya_lango_bahari_la_hormuz_hadi_makubaliano_yafikiwe_kumaliza_vita </guid>  
      <description>Baraza la Juu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) limesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kusimamia na kudhibiti trafiki yote inayopita katika Lango Bahari la Hormuz, ambalo ni njia ya kimkakati, hadi kufikiwa mapatano kamili ya kumaliza vita vya kulazimishwa vya Marekani na Israel dhidi ya nchi hii.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:52:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Esmaeil Baqaei: Iran yasema haitakubali ubabe wa Marekani katika mazungumzo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137848-esmaeil_baqaei_iran_yasema_haitakubali_ubabe_wa_marekani_katika_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4e8462a6532p7ro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137848-esmaeil_baqaei_iran_yasema_haitakubali_ubabe_wa_marekani_katika_mazungumzo </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amesisitiza kuwa Iran ilikataa mapendekezo aliyoyaita “yasiyo na mantiki” yaliyowasilishwa na Marekani katika mazungumzo yaliyofanyika Islamabad, akionya kuwa Tehran haitawahi kukubali mazungumzo yanayoendeshwa kwa mfumo wa ubabe na kulazimisha masharti.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Apr 2026 06:11:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iravani: Silaha zilizotumiwa katika uvamizi dhidi ya Iran zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za Kiarabu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137844-iravani_silaha_zilizotumiwa_katika_uvamizi_dhidi_ya_iran_zilitoka_kwenye_maghala_ya_baadhi_ya_nchi_za_kiarabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw19265ee3922p7he.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137844-iravani_silaha_zilizotumiwa_katika_uvamizi_dhidi_ya_iran_zilitoka_kwenye_maghala_ya_baadhi_ya_nchi_za_kiarabu </guid>  
      <description>Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amepinga madai ya Bahrain, akisema: Mabaki yaliyopatikana kutoka kwenye silaha zilizotumiwa katika mashambulizi ya miji ya Iran yanathibitisha kuwa silaha hizo zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za kiarabu za Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Apr 2026 08:11:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Taifa la Iran limemfanya adui akate tamaa kwa mapambano yake ya siku 40</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137834-pezeshkian_taifa_la_iran_limemfanya_adui_akate_tamaa_kwa_mapambano_yake_ya_siku_40</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7b4aa3d8d22p704.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137834-pezeshkian_taifa_la_iran_limemfanya_adui_akate_tamaa_kwa_mapambano_yake_ya_siku_40 </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo nafasi muhimu ya Muqawama na mapambano ya kitaifa katika kuvuka kipindi na hali ya vita na kusema: "Taifa la Iran, limemfanya adui akate tamaa na kukosa matumaini kwa Muqawama na mapambano yake ya siku 40."</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 09:40:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanazuoni wa Ahlu‑Sunnah wa Russia: Imam Khamenei hakukubali udhalili </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137830-mwanazuoni_wa_ahlu_sunnah_wa_russia_imam_khamenei_hakukubali_udhalili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5bdc7024832p71k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137830-mwanazuoni_wa_ahlu_sunnah_wa_russia_imam_khamenei_hakukubali_udhalili </guid>  
      <description>Mufti wa Volgograd, nchini Russia amesema: Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ni shahidi mkubwa wa Umma wa Kiislamu na mfuasi wa Suna ya Mtume Muhammad (S.A.W.), na jina lake litasalia katika historia kama kiongozi jasiri na mwanaume halisi.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 08:59:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la IRGC lashambulia Kamandi ya Jeshi la Marekani na ngome za Israel katika Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw268d7ac63d2p6cg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137826-jeshi_la_irgc_lashambulia_kamandi_ya_jeshi_la_marekani_na_ngome_za_israel_katika_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya shabaha mbalimbali zenye mfungamano na Marekani na Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi katika sehemu ya wimbi la 97 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 04:50:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf amwambia Trump: Kutii maagizo ya Netanyahu kutawasha moto kwenye kanda nzima</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa396ca5b8d2p6b8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137822-qalibaf_amwambia_trump_kutii_maagizo_ya_netanyahu_kutawasha_moto_kwenye_kanda_nzima </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amejibu vitisho vya hivi karibuni vya Donald Trump, rais gaidi wa Marekani katika ujumbe wake kwenye mtandao wa kijamii wa X akisema tabia yake ya kutii na kufuata maagizo ya waziri mkuu katili wa Israel Benjamin Netanyahu kutawasha zaidi moto wa vita katika kanda nzima ya Magharibi mwa Asia. </description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:28:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Vita vilivyotwishwa Iran vimelenga utambulisho wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6fd928a88d2p2ka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137818-baghaei_vita_vilivyotwishwa_iran_vimelenga_utambulisho_wa_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Vita vya kulazimishwa vya Wamarekani na Wazayuni dhidi ya Iran vimelenga uwepo na utambulisho wa Kiirani.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:16:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aragchi: Tishio la Trump dhidi ya miundombinu ya nishati Iran ni kukiri uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0e3923fde92p6bo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137812-aragchi_tishio_la_trump_dhidi_ya_miundombinu_ya_nishati_iran_ni_kukiri_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vitisho vya Marekani vya kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ni kukiri wazi nia ya kutenda uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:30:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Majenerali wa Marekani hawataki kufa kwa ajili ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw41d6028a1f2p668.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137806-qalibaf_majenerali_wa_marekani_hawataki_kufa_kwa_ajili_ya_israel </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran, amekejeli hatua ya Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth ya kuwatimua makamanda wenye uzoefu katika jeshi la nchi hiyo na kuandika: Hawataki tena kumtii mtangazaji wa televisheni anayehatarisha maisha ya Wamarekani kwa ajili ya njozi za Israel.
</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:42:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaangusha helikopta mbili za Black Hawk na ndege mbili za kijeshi za C‑130 za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwebfcecb5742p68z.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137800-iran_yaangusha_helikopta_mbili_za_black_hawk_na_ndege_mbili_za_kijeshi_za_c_130_za_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi Kuu ya Khatam al‑Anbiya ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vyombo vya anga vya adui vilivyovamia mkoa wa Isfahan, vikijumuisha helikopta mbili aina ya Black Hawk na ndege mbili za usafirishaji wa kijeshi ya C‑130 zimetunguliwa na kuangamizwa na vikosi vya ulinzi.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:36:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran aonya kuhusu majibu mapana dhidi ya maslahi ya Marekani katika eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfe903b61232p66f.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137796-spika_wa_bunge_la_iran_aonya_kuhusu_majibu_mapana_dhidi_ya_maslahi_ya_marekani_katika_eneo </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Ghalibaf, amesisitiza kuwa “usalama endelevu” ndio kipaumbele kikuu cha Iran, akionya kwamba kuendelea kwa mvutano kutasababisha majibu mapana yatakayolenga maslahi ya Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:05:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna vita dhidi ya Iran vilivyobadilisha muundo wa soko la nishati duniani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3oae25f808132cfsj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137794-namna_vita_dhidi_ya_iran_vilivyobadilisha_muundo_wa_soko_la_nishati_duniani </guid>  
      <description>Taasisi moja ya Marekani imekiri kwamba vita dhidi ya Iran vimebadilisha pakubwa muundo wa soko la nishati duniani.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:53:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran latoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by272068b229b1w9bt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137792-shirika_la_nishati_ya_atomiki_la_iran_latoa_wito_wa_kulaaniwa_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran </guid>  
      <description>Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vyake vya amani vya nyuklia, likisema hilo ndilo tarajio la chini kabisa  linalotazamiwa kutoka kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 01:48:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ndege kadhaa za kivita za Marekani zatunguliwa Iran, hadi sasa droni 160 za adui zimedunguliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137788-ndege_kadhaa_za_kivita_za_marekani_zatunguliwa_iran_hadi_sasa_droni_160_za_adui_zimedunguliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw16bc1f11612p64b.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137788-ndege_kadhaa_za_kivita_za_marekani_zatunguliwa_iran_hadi_sasa_droni_160_za_adui_zimedunguliwa </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimeangamiza ndege kadhaa za kijeshi za Marekani katika “siku nyeusi” kwa majeshi ya nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.
</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 07:28:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Hujuma dhidi ya madaraja ni uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137778-iran_hujuma_dhidi_ya_madaraja_ni_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1832af05b42p626.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137778-iran_hujuma_dhidi_ya_madaraja_ni_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali Marekani na utawala wa Israel kwa kutekeleza “uhalifu wa kivita wa kigaidi wa mtindo wa Daesh” wakati wa vita vyao vya kichokozi vinavyoendelea dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisema maadui hao wawili hawatapata nguvu kwa kuharibu madaraja makubwa nchini Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 03:18:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Tutailinda Iran kwa azma thabiti na uwezo wetu wote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137776-pezeshkian_tutailinda_iran_kwa_azma_thabiti_na_uwezo_wetu_wote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw3a13397af92p5yt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137776-pezeshkian_tutailinda_iran_kwa_azma_thabiti_na_uwezo_wetu_wote </guid>  
      <description>Rais Mahmoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akiashiria kwamba Iran ilishambuliwa kijeshi na Marekani na utawala haramu wa Israel wakati ilipokuwa kwenye mazungumzo na Marekani, amesema: "Sisis tunasisitiza juu ya azma thabiti ya kujilinda."</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:56:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchina: Tehran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137774-uchina_tehran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa22c17a38b2p61k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i137774-uchina_tehran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo </guid>  
      <description>Huku akielezea upinzani wa Beijing kuhusu kushambuliwa miundombinu ya Iran, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, amesema Tehran kamwe haitapigishwa magoti na mashinikizo yoyote ya kijeshi na kwamba hatua hizi zitachochea tu moto wa mivutano.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:52:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>