<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Mon, 20 Jul 2026 04:58:59 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Je, ni malengo gani yanafuatiliwa na Marekani katika kushambulia miundombinu ya Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140008-je_ni_malengo_gani_yanafuatiliwa_na_marekani_katika_kushambulia_miundombinu_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2d1cad21912pyb0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140008-je_ni_malengo_gani_yanafuatiliwa_na_marekani_katika_kushambulia_miundombinu_ya_iran </guid>  
      <description>
Kwa madai ya kushambuliwa meli kadhaa zinazopita kinyume cha sheria kusini mwa Lango-Bahari la Hormuz na kukiukwa Mkataba wa Islamabad, Rais Donald Trump wa Marekani aliamuru kuanzishwa tena mashambulizi ya kichokozi dhidi ya Iran kuanzia Julai 7, ambapo pia mzingiro wa majini dhidi ya Iran ulirejeshwa mnamo Julai 14.
</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 13:49:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran: Wito wa Kiongozi wa "Umoja wa Kitaifa" ni muhimu kwa ushindi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140006-spika_wa_bunge_la_iran_wito_wa_kiongozi_wa_umoja_wa_kitaifa_ni_muhimu_kwa_ushindi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2dd40521122pymw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140006-spika_wa_bunge_la_iran_wito_wa_kiongozi_wa_umoja_wa_kitaifa_ni_muhimu_kwa_ushindi </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amesisitiza kuwa kuzingatia maaagizo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuhusu kudumisha umoja wa kitaifa ni muhimu kwa ajili ya ushindi katika mapambano dhidi ya adui.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 12:54:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140004-jeshi_la_iran_lafanya_mashambulizi_mapya_ya_droni_katika_kambi_za_marekani_huko_kuwait_irgc_yatungua_droni_ya_mq_9_huko_ahvaz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4b4b028cea2pymq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140004-jeshi_la_iran_lafanya_mashambulizi_mapya_ya_droni_katika_kambi_za_marekani_huko_kuwait_irgc_yatungua_droni_ya_mq_9_huko_ahvaz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 12:51:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Khamenei awapongeza Wairaqi kwa mahudhurio makubwa katika mazishi ya Kiongozi shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139998-ayatullah_khamenei_awapongeza_wairaqi_kwa_mahudhurio_makubwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzaf9bd315092pyjw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139998-ayatullah_khamenei_awapongeza_wairaqi_kwa_mahudhurio_makubwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amewashukuru watu wa Iraq kwa mapokezi "makubwa" na mahudhurio yao ya kustaajabisha katika mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, akisema tukio hilo linaonyesha uhusiano mkubwa wa kidini na kihistoria kati ya mataifa ya Iran na Iraq.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 09:31:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani' </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139994-ukiukaji_wa_mou_wa_marekani_unathibitisha_saini_ya_rais_wa_marekani_'haina_thamani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf56680c2e32pyfa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139994-ukiukaji_wa_mou_wa_marekani_unathibitisha_saini_ya_rais_wa_marekani_'haina_thamani' </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:47:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139992-marekani_yakiri_wanajeshi_wake_wameuawa_katika_shambulizi_la_iran_nchini_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz914cda41a92pyf8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139992-marekani_yakiri_wanajeshi_wake_wameuawa_katika_shambulizi_la_iran_nchini_jordan </guid>  
      <description>Jeshi la Marekani limethibitisha kwamba wanajeshi wake wasiopungua wawili wameuawa katika mashambulizi ya Iran yaliyolenga mali na kambi za kijeshi za za Marekani nchini Jordan.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:44:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iravani: Kutochukua hatua UN kunahalalisha haki ya Iran ya kujibu mashambulizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139988-iravani_kutochukua_hatua_un_kunahalalisha_haki_ya_iran_ya_kujibu_mashambulizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzeb2e2107d12pyd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139988-iravani_kutochukua_hatua_un_kunahalalisha_haki_ya_iran_ya_kujibu_mashambulizi </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeid Iravani, ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Katibu Mkuu wa umoja huo kufuatia uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran, kushambuliwa miundombinu na mauaji ya raia wa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:24:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Op. Nasr-2: IRGC yaharibu rada ya kijeshi ya Marekani huko Kuwait katika shambulio la kulipiza kisasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139982-op._nasr_2_irgc_yaharibu_rada_ya_kijeshi_ya_marekani_huko_kuwait_katika_shambulio_la_kulipiza_kisasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz327d9957792py9q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139982-op._nasr_2_irgc_yaharibu_rada_ya_kijeshi_ya_marekani_huko_kuwait_katika_shambulio_la_kulipiza_kisasi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeharibu kituo cha rada cha jeshi la Marekani katika Kituo cha Anga cha Ali Al Salem na kushambulia mkusanyiko wa wanajeshi wa nchi hiyo katika Kambi ya Arifjan huko Kuwait katika wimbi la 18 la Operesheni Nasr 2.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 11:15:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa IRGC aapa kuendeleza mashambulizi 'yenye ufanisi' zaidi hadi utulivu utakaporejea nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139972-kamanda_wa_irgc_aapa_kuendeleza_mashambulizi_'yenye_ufanisi'_zaidi_hadi_utulivu_utakaporejea_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz94ec139a032py60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139972-kamanda_wa_irgc_aapa_kuendeleza_mashambulizi_'yenye_ufanisi'_zaidi_hadi_utulivu_utakaporejea_nchini_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) ameapa kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza mashambulizi yake ya kulipiza kisasi "yenye ufanisi" hadi utulivu utakaporejeshwa kote nchini.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:34:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kulipiza kisasi damu ya Imam shahidi kutaendelea hadi kuondoka Marekani katika eneo hili na kuangamia utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139960-kulipiza_kisasi_damu_ya_imam_shahidi_kutaendelea_hadi_kuondoka_marekani_katika_eneo_hili_na_kuangamia_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4072f6d93a2py2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139960-kulipiza_kisasi_damu_ya_imam_shahidi_kutaendelea_hadi_kuondoka_marekani_katika_eneo_hili_na_kuangamia_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, kulipiza kisasi damu ya Imam shahidi kutaendelea hadi kuondoka Marekani katika eneo hili na kuangamia utawala wa Kizayuni wa Israel.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 12:08:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaendeleza mashambulizi dhidi ya Kambi za Jeshi la Marekani kulipiza kisasi jinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139948-iran_yaendeleza_mashambulizi_dhidi_ya_kambi_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_jinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb41697336f2pxx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139948-iran_yaendeleza_mashambulizi_dhidi_ya_kambi_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_jinai </guid>  
      <description>Kufuatia hujuma za kikatili za jeshi la kigaidi la Marekani dhidi ya madaraja kadhaa katika maeneo ya kusini mwa Iran, operesheni kubwa na endelevu ya makombora na droni za Iran imetekelezwa usiku wa kuamkia leo dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 04:15:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Udhibiti wa kimkakati wa Lango-Bahari la Hormuz sasa ni matakwa ya kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139946-jeshi_la_iran_udhibiti_wa_kimkakati_wa_lango_bahari_la_hormuz_sasa_ni_matakwa_ya_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf872907a2e2pxv4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139946-jeshi_la_iran_udhibiti_wa_kimkakati_wa_lango_bahari_la_hormuz_sasa_ni_matakwa_ya_kitaifa </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa suala la udhibiti wa kimkakati wa Mlango-Bahari wa Hormuz sasa limegeuka kuwa matakwa ya kitaifa, akisisitiza kuwa wananchi wa Iran wanaunga mkono hatua zinazolenga kulinda maslahi na usalama wa taifa katika njia hiyo muhimu ya kimataifa ya usafirishaji wa mafuta.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 03:00:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya italenga miundombinu yote ya eneo iwapo miundombinu yake itashambuliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139938-iran_yaonya_italenga_miundombinu_yote_ya_eneo_iwapo_miundombinu_yake_itashambuliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc8a0788f642pxnw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139938-iran_yaonya_italenga_miundombinu_yote_ya_eneo_iwapo_miundombinu_yake_itashambuliwa </guid>  
      <description>Iran imeonya kwamba italenga kila miundombinu iliyosalia katika eneo hili iwapo miundombinu yake itashambuliwa.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:52:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hakuna sababu ya kuendelea kuzingatia makubaliano na Marekani iwapo Iran hainufaiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139936-qalibaf_hakuna_sababu_ya_kuendelea_kuzingatia_makubaliano_na_marekani_iwapo_iran_hainufaiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1bee0f3fd22pxn2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139936-qalibaf_hakuna_sababu_ya_kuendelea_kuzingatia_makubaliano_na_marekani_iwapo_iran_hainufaiki </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ameonya kwamba ikiwa Jamhuri ya Kiislamu haitanufaika na Mkataba wa Maelewano (MoU) wa Islamabad uliotiwa saini baina yake na na Marekani, basi hakuna sababu yoyote ya kuendelea kuufuata.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:50:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakemea shambulio la Marekani karibu na hospitali ya watoto huko Ahvaz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139932-iran_yakemea_shambulio_la_marekani_karibu_na_hospitali_ya_watoto_huko_ahvaz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze00e5e4cb12pxr0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139932-iran_yakemea_shambulio_la_marekani_karibu_na_hospitali_ya_watoto_huko_ahvaz </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekemea shambulio la Marekani karibu na hospitali ya watoto wanaougua saratani katika mji wa Ahvaz, kusini-magharibi mwa nchi, na kulitaja kuwa ni “uhalifu wa kivita wa kijinga na wa woga.” Taarifa zinasema shambulio hilo lililazimisha uokoaji wa dharura wa mamia ya wagonjwa walio katika hali hatarishi na pia limewatia hofu watoto wanaopatiwa matibabu ya saratani.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:44:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mzunguko hatari wa vitisho vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139926-mzunguko_hatari_wa_vitisho_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9cb7b92ed72pxje.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139926-mzunguko_hatari_wa_vitisho_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Baada ya kushindwa kikamilifu mbinu zake zote za vikwazo, vitisho vya kijeshi na mashinikizo ya kisiasa, vitisho vipya vya Trump dhidi ya Iran vinaashiria wazi kushindwa kwake kimkakati, kabla ya kuwa ni dhihirisho la nguvu za Marekani. </description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 09:47:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Marekani imeelekeza mashambulizi yake kusini mwa Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139924-kwa_nini_marekani_imeelekeza_mashambulizi_yake_kusini_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2cad54439f2pxf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139924-kwa_nini_marekani_imeelekeza_mashambulizi_yake_kusini_mwa_iran </guid>  
      <description>Hatua ya majeshi ya Iran ya kudhihirisha nguvu moja kupitia operesheni madhubuti kama vile kufunga Lango Bahari la Hormuz, inatoa ujumbe kwa adui kwamba hakuna migawanyiko yoyote iliyopo jeshini katika uwanja wa vita na kwamba uwezo wote wa taifa umejikita katika lengo moja la kulinda maslahi ya taifa kwa gharama yoyote ile, dhidi ya adui Mmarekani na Mzayuni.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 07:32:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran haina mipango ya kufanya mazungumzo, inalenga kujilinda: Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139916-iran_haina_mipango_ya_kufanya_mazungumzo_inalenga_kujilinda_msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz83fec6edd82pxk6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139916-iran_haina_mipango_ya_kufanya_mazungumzo_inalenga_kujilinda_msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema nchi hiyo haina mpango wa kurudi kwenye mazungumzo na Marekani maadamu Washington inaendelea kukiuka majukumu yake chini ya Mkataba wa Maelewano (MoU) uliosainiwa mwezi uliopita na nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:10:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139902-un_yalaani_mashambulizi_dhidi_ya_wafanyakazi_na_miundombinu_ya_misaada_ya_kibinadamu_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2cad54439f2pxf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139902-un_yalaani_mashambulizi_dhidi_ya_wafanyakazi_na_miundombinu_ya_misaada_ya_kibinadamu_nchini_iran </guid>  
      <description>Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika barua rasmi kwa Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imelaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, huduma za matibabu, magari ya wagonjwa na miundombinu ya misaada. </description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 11:16:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapinga madai ya Trump, yasema hakuna mazungumzo ya moja kwa moja yaliyofanyika na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139900-iran_yapinga_madai_ya_trump_yasema_hakuna_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_yaliyofanyika_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz51a5d932bb2pxda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139900-iran_yapinga_madai_ya_trump_yasema_hakuna_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_yaliyofanyika_na_marekani </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisheria na kimataifa, Kazem Gharibabadi, amepinga madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kwamba Tehran na Washington zilifanya mazungumzo kwa saa 11, akisema hakuna mazungumzo yaliyofanyika Oman kati ya maafisa wa Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 10:09:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139898-pezeshkian_tutalinda_kila_inchi_ya_ardhi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz58e19d5dc52px9w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139898-pezeshkian_tutalinda_kila_inchi_ya_ardhi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa kauli za maafisa wa Marekani na kusisitiza kwamba Iran italinda ardhi yake yote dhidi ya tishio la aina yoyote. </description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 09:20:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Iran lawasilisha muswada wa kusimamia Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139894-bunge_la_iran_lawasilisha_muswada_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzeec5276c9c2px8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139894-bunge_la_iran_lawasilisha_muswada_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limewasilisha rasmi muswada wa sheria unaolenga kuimarisha usimamizi wa Mlango Bahari wa Hormuz, hatua inayokuja wakati wa kuongezeka kwa mvutano na uingiliaji wa Marekani katika njia hiyo muhimu ya kimkakati ya baharini.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 04:00:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Uamuzi wa Uingereza kuhusu jeshi la Sepah unakiuka sheria za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139890-iran_uamuzi_wa_uingereza_kuhusu_jeshi_la_sepah_unakiuka_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4b669b90132px88.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139890-iran_uamuzi_wa_uingereza_kuhusu_jeshi_la_sepah_unakiuka_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekemea vikali uamuzi wa serikali ya Uingereza wa kulitaja Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuwa ni “tishio chini ya Sheria ya Usalama wa Taifa ya Uingereza,” ikisema hatua hiyo “haina msingi na isiyo ya uwajibikaji” na inakiuka sheria za kimataifa.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:55:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lavrov: Kuanza tena mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ni ukiukaji wa Makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139886-lavrov_kuanza_tena_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ukiukaji_wa_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3255264d2e2px82.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139886-lavrov_kuanza_tena_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ukiukaji_wa_makubaliano </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Lavrov, amesema kuwa kuanza tena mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ni ukiukaji wa Hati ya Makubaliano (MoU) iliyotiwa saini kati ya Tehran na Washington.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:51:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran kwa Marekani: Lango la Hormuz halitafunguliwa kamwe kupitia vita na uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139884-jeshi_la_iran_kwa_marekani_lango_la_hormuz_halitafunguliwa_kamwe_kupitia_vita_na_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6333f6d7092pwy0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139884-jeshi_la_iran_kwa_marekani_lango_la_hormuz_halitafunguliwa_kamwe_kupitia_vita_na_uchokozi </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Iran ametoa onyo kali kwa Marekani kuwa hakuna kitendo chochote cha uchokozi kitakachoweza kulazimisha kufunguliwa kwa Lango la Bahari la Hormuz, kufuatia uamuzi wa Tehran wa kulifunga lango hilo la kimkakati baada ya Marekani kukiuka makubaliano.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:15:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawasilisha malalamiko rasmi UN kuhusu ukiukaji wa Marekani wa Mkataba wa Islamabad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139882-iran_yawasilisha_malalamiko_rasmi_un_kuhusu_ukiukaji_wa_marekani_wa_mkataba_wa_islamabad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5834ecf22d2pebe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139882-iran_yawasilisha_malalamiko_rasmi_un_kuhusu_ukiukaji_wa_marekani_wa_mkataba_wa_islamabad </guid>  
      <description>Iran imewasilisha rasmi malalamiko ya kina kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC), ikilaani vikali Marekani kwa kukiuka kwa mfumo Mkataba wa Maelewano (MoU) wa Islamabad uliotiwa saini mwezi uliopita.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:13:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanachama wawili wa kundi la kigaidi la Daesh wanyongwa nchini Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139880-wanachama_wawili_wa_kundi_la_kigaidi_la_daesh_wanyongwa_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2c59445d1d2pwze.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139880-wanachama_wawili_wa_kundi_la_kigaidi_la_daesh_wanyongwa_nchini_iran </guid>  
      <description>Wanachama wawili wa kundi la kigaidi la wakufurishaji la Daesh (ISIS), ambao walipatikana na hatia ya kupanga kutekeleza vitendo vya kigaidi na uasi wa kutumia silaha dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, wamehukumiwa kifo na kunyongwa baada ya hukumu zao kuthibitishwa na Mahakama Kuu ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:11:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Makubaliano ya Islamabad yamekumbwa na mgogoro?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139878-kwa_nini_makubaliano_ya_islamabad_yamekumbwa_na_mgogoro</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3e6f2cbf722pwxq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139878-kwa_nini_makubaliano_ya_islamabad_yamekumbwa_na_mgogoro </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelezea hatua za kichokozi za utawala wa Marekani kuwa ni ukiukaji wa makubaliano ya Islamabad na chanzo cha mgogoro unaohusu utekelezaji wake.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:05:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mkataba wa Islamabad umevurugwa na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139872-iran_mkataba_wa_islamabad_umevurugwa_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz52827901572pwps.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139872-iran_mkataba_wa_islamabad_umevurugwa_na_marekani </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa mkataba wa maelewano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni baina yake na Marekani sasa uko katika hali ya mkwamo, kufuatia hatua ya Washington kukiuka ahadi zake. Mkatataba huo unajulikana kama Mkataba wa Islamabad kutokana na kuhusika Pakistan katika jitihada za upatanishi baina ya pande hizo mbili.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:50:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Picha za satelaiti zaonyesha uharibifu mkubwa katika kambi za Marekani zilizolengwa na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139870-picha_za_satelaiti_zaonyesha_uharibifu_mkubwa_katika_kambi_za_marekani_zilizolengwa_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5308afad582pwpq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139870-picha_za_satelaiti_zaonyesha_uharibifu_mkubwa_katika_kambi_za_marekani_zilizolengwa_na_iran </guid>  
      <description>Vyanzo vya kijeshi vya tovuti ya Open Source Intelligence (OSINT) vimetoa picha zinazoonyesha kiwango kikubwa cha uharibifu uliosababishwa na mashambulizi ya hivi karibuni ya kulipiza kisasi ya Iran dhidi ya shabaha nyeti na za kimkakati za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:48:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lango-Bahari la Hormuz na Ndoto za White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139860-lango_bahari_la_hormuz_na_ndoto_za_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz48cb011db12pweu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139860-lango_bahari_la_hormuz_na_ndoto_za_white_house </guid>  
      <description>Kufuatia mashambulizi ya mara kwa mara ya Marekani katika maji na maeneo ya kusini mwa Iran, Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetoa taarifa kikitangaza kujibu vikali vitendo vya uchokozi vya jeshi la Marekani.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 11:22:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kambi za kijeshi za Marekani huko Bahrain, Jordan, Kuwait na Oman </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139858-irgc_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_huko_bahrain_jordan_kuwait_na_oman</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzbde297e50a2pwey.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139858-irgc_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_huko_bahrain_jordan_kuwait_na_oman </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limeshambulia na kuharibu kambi na maeneo kadhaa muhimu ya kijeshi ya Marekani katika nchi za Jordan, Bahrain, Kuwait na Oman katika operesheni ya kulipiza kisasi ya awamu tano dhidi ya uchokozi wa Marekani, ikiwa ni pamoja na mashambulizi ya nchi hiyo katika maeneo ya pwani ya Iran. </description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 10:16:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa safari zote kufuatia hatua 'haramu' za kijeshi za Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139856-iran_lango_bahari_la_hormuz_limefungwa_kwa_safari_zote_kufuatia_hatua_'haramu'_za_kijeshi_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz48cb011db12pweu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139856-iran_lango_bahari_la_hormuz_limefungwa_kwa_safari_zote_kufuatia_hatua_'haramu'_za_kijeshi_za_marekani </guid>  
      <description>Iran: Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa safari zote kufuatia hatua 'haramu' za kijeshi za Marekani </description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 10:13:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139846-iran_yaalaani_uchokozi_wa_kihalifu_wa_marekani_yaapa_kushambulia_chanzo_cha_mashambulizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0f7780ef4b2pw94.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139846-iran_yaalaani_uchokozi_wa_kihalifu_wa_marekani_yaapa_kushambulia_chanzo_cha_mashambulizi </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali jinai na mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran katika saa 24 zilizopita.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:12:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi: Iran imedhamiria kuanzisha mpango wake yenyewe katika Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139838-jeshi_iran_imedhamiria_kuanzisha_mpango_wake_yenyewe_katika_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6e6c5bd22d2pw8w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139838-jeshi_iran_imedhamiria_kuanzisha_mpango_wake_yenyewe_katika_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesema kuwa vikosi vyote vya ulinzi viko tayari kulinda haki za taifa na kuweka mfumo unaokusudiwa na Iran katika Lango -Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:03:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Timiza majukumu yako la sivyo utalipa gharama': Spika Qalibaf aionya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139836-'timiza_majukumu_yako_la_sivyo_utalipa_gharama'_spika_qalibaf_aionya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc21989c9dc2pw40.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139836-'timiza_majukumu_yako_la_sivyo_utalipa_gharama'_spika_qalibaf_aionya_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf ameionya Marekani kwamba inalazimika kutimiza majukumu yake la sivyo italazimika kulipa gharama ya kukiuka ahadi na majukumu yake chini ya makubaliano ya kukomesha vita.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 12:31:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi makubwa zaidi ya kukumbukwa katika historia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139830-mazishi_makubwa_zaidi_ya_kukumbukwa_katika_historia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz8391ee22442pvr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139830-mazishi_makubwa_zaidi_ya_kukumbukwa_katika_historia </guid>  
      <description>Mazishi makubwa na ya kuvutia ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, halikuwa tukio tu la maombolezo; bali lilibadilika haraka na kuwa moja ya matukio muhimu zaidi yaliyozingatiwa na vyombo vya habari na wanasiasa duniani, kieneo na kimataifa. </description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 10:27:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran, Oman zakubaliana kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kiufundi kuhusu usalama wa meli, Lango Bahari la Hormuz </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139826-iran_oman_zakubaliana_kuendeleza_mazungumzo_ya_kisiasa_na_kiufundi_kuhusu_usalama_wa_meli_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5dc5fb1c5c2pw1g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139826-iran_oman_zakubaliana_kuendeleza_mazungumzo_ya_kisiasa_na_kiufundi_kuhusu_usalama_wa_meli_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Iran na Oman zimekubaliana kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kiufundi kuhusu usalama wa baharini na mipango ya baadaye ya safari za meli katika Lango-Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 09:38:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yashambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Jordan, Kuwait, Oman, Qatar na Bahrain, yafunga Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139822-iran_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_nchini_jordan_kuwait_oman_qatar_na_bahrain_yafunga_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz38760419462pvxi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139822-iran_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_nchini_jordan_kuwait_oman_qatar_na_bahrain_yafunga_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo asubuhi vimetekeleza operesheni ya pamoja ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani nchini Jordan, Kuwait, Qatar, Oman na Bahrain, ikiwa ni hatua ya kujibu mashambulizi endelevu ya Marekani dhidi ya maeneo ya kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:23:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Idara ya Mahakama Iran: Tutawaandama wahalifu wa vita wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139820-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_iran_tutawaandama_wahalifu_wa_vita_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9d44cb7f722pvxe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139820-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_iran_tutawaandama_wahalifu_wa_vita_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Hujjatul Islam Gholam Hossein Mohseni Ejei, amesema kuwa chombo hicho kitaendeleza hatua za kisheria za kufuatilia uhalifu uliofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Iran, akisisitiza kwamba wahusika wa uhalifu wa kivita lazima waadhibiwe na walazimishwe kulipa fidia.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:19:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Mojtaba Khamenei asifu ushiriki ‘wa kihistoria’ wa waumini katika mazishi, aapa kulipiza kisasi kwa Kiongozi Shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139812-ayatullah_mojtaba_khamenei_asifu_ushiriki_wa_kihistoria’_wa_waumini_katika_mazishi_aapa_kulipiza_kisasi_kwa_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2bd09b30322pvuw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139812-ayatullah_mojtaba_khamenei_asifu_ushiriki_wa_kihistoria’_wa_waumini_katika_mazishi_aapa_kulipiza_kisasi_kwa_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa shukrani zake za dhati kwa mahudhurio “ya kustaajabisha, yenye kuvunja nguvu za adui na ya kihistoria” katika mazishi ya Kiongozi Shahidi, akisisitiza kuwa malipo ya kisasi dhidi ya “watenda jinai wauaji waliodhalilika” ni jambo la yakini.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 12:03:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utawala wa Israeli wamzuia Mufti wa Palestina kuingia Msikiti wa al-Aqsa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139810-utawala_wa_israeli_wamzuia_mufti_wa_palestina_kuingia_msikiti_wa_al_aqsa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz7f1a9779522pvv6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139810-utawala_wa_israeli_wamzuia_mufti_wa_palestina_kuingia_msikiti_wa_al_aqsa </guid>  
      <description>Utawala wa Kizayuni wa Israel umemzuia Mufti Mkuu wa Palestina kuingia katika uzio wa Msikiti wa al-Aqsa jijini Al Quds (Jerusalem) kwa muda wa wiki moja baada ya kumteka nyara, katika hatua nyingine inayolenga viongozi wa kidini wa Palestina.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 12:00:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanafunzi wa Iran washinda katika Olympiadi ya kimataifa ya hisabati ya China</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139808-wanafunzi_wa_iran_washinda_katika_olympiadi_ya_kimataifa_ya_hisabati_ya_china</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz41ad8596012pvv4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139808-wanafunzi_wa_iran_washinda_katika_olympiadi_ya_kimataifa_ya_hisabati_ya_china </guid>  
      <description>Makamu wa Rais wa Iran anayeshughulikia masuala ya sayansi na teknolojia amepongeza ufanisi wa timu ya taifa ya Olympiad ya Hisabati ya Iran baada ya kushinda nafasi ya kwanza katika Mashindano ya Kimataifa ya Hisabati ya China (IMSC) ya mwaka 2026. Mafanikio haya yameelezwa kuwa ni dhihirisho la uwezo wa Iran katika nyanja ya sayansi.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 11:59:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya: Mashambulizi dhidi ya miundombinu yetu yatajibiwa kikamilifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139798-iran_yaonya_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu_yetu_yatajibiwa_kikamilifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf59ccfae702pvrw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139798-iran_yaonya_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu_yetu_yatajibiwa_kikamilifu </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Zolqadr, ametoa onyo kali na la moja kwa moja katika ujumbe wake kupitia mtandao wa X siku ya Ijumaa, akijibu vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 04:50:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali mashambulizi ya kigaidi nchini Pakistan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139796-iran_yalaani_vikali_mashambulizi_ya_kigaidi_nchini_pakistan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzfe444fd8162pvrs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139796-iran_yalaani_vikali_mashambulizi_ya_kigaidi_nchini_pakistan </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotikisa mkoa wa kusini-magharibi mwa Pakistan wiki hii.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 04:45:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Makubwa zaidi katika historia ya binadamu': Zaidi ya watu milioni 43 wameshiriki mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi nchini Iran, Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139788-'makubwa_zaidi_katika_historia_ya_binadamu'_zaidi_ya_watu_milioni_43_wameshiriki_mazishi_ya_kiongozi_wa_mapinduzi_nchini_iran_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz8391ee22442pvr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139788-'makubwa_zaidi_katika_historia_ya_binadamu'_zaidi_ya_watu_milioni_43_wameshiriki_mazishi_ya_kiongozi_wa_mapinduzi_nchini_iran_iraq </guid>  
      <description>Makumi ya mamilioni ya Wairani na waumini kutoka nchi mbalimbali duniani waligeuza shughuli ya mazishi ya Kiongozi aliyeuawa shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kuwa mkusanyiko mkubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa ajili ya mazishi kote duniani.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 03:11:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Abu Torabifardi: Utaratibu wa makubaliano ni ahadi kwa ahadi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139782-abu_torabifardi_utaratibu_wa_makubaliano_ni_ahadi_kwa_ahadi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz35cedc64492pvr0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139782-abu_torabifardi_utaratibu_wa_makubaliano_ni_ahadi_kwa_ahadi </guid>  
      <description>Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo katika mji wa Tehran amesisitiza kuwa hati ya makubaliano kati ya Iran na Marekani haikuandaliwa kwa msingi wa kuuamini uongozi wa Marekani na kueleza kuwa: Mfumo wa makubaliano hayo ni 'ahadi kwa ahadi'; na tunatangaza wazi wazi kwamba Marekani hataruhusiwa kamwe kuingilia masuala ya Mlango Bahari wa Hormuz. </description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:52:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda mkuu wa Majeshi Iran asema wauaji wa Kiongozi Muadhamu watakabiliwa na adhabu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139780-kamanda_mkuu_wa_majeshi_iran_asema_wauaji_wa_kiongozi_muadhamu_watakabiliwa_na_adhabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb5efa566072pvqy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139780-kamanda_mkuu_wa_majeshi_iran_asema_wauaji_wa_kiongozi_muadhamu_watakabiliwa_na_adhabu </guid>  
      <description>Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran maarufu kwa jina la Kamandi ya Khatamul-Anbiya (SAW) amesema wale waliohusika na mauaji ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, watakabiliwa na adhabu, akielezea mahudhurio makubwa ya watu katika mazishi yake kuwa ni dhihirisho lenye nguvu la imani, ukakamavu na mshikamano.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:50:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Shahidi Ayatullah Khamenei azikwa katika Haram ya Imam Ridha (a.s) mjini Mash'had</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139772-kiongozi_shahidi_ayatullah_khamenei_azikwa_katika_haram_ya_imam_ridha_(a.s)_mjini_mash'had</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz113007e6392pvqq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139772-kiongozi_shahidi_ayatullah_khamenei_azikwa_katika_haram_ya_imam_ridha_(a.s)_mjini_mash'had </guid>  
      <description>Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ayatullah Sayyid Aali Khamenei amezikwa katika Haram ya Imam Ridha (a.s) mjini Mash'had kaskazini mashariki mwa Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:41:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni wahudhuria mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika mji wa Mash'had</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139766-mamilioni_wahudhuria_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_ayatullah_sayyid_ali_khamenei_katika_mji_wa_mash'had</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6d6260a3252pvis.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139766-mamilioni_wahudhuria_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_ayatullah_sayyid_ali_khamenei_katika_mji_wa_mash'had </guid>  
      <description>Shughuli maalumu ya kuuaga na kuusindikiza mwili wa kiongozi shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei pamoja na mashahidi wa familia yake imefanyika leo katika mji mtakatufu wa Mash'had.

</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 15:28:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapeleka malalamiko ya kushambuliwa vituo vyake vya anga za mbali katika Umoja wa Mataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139764-iran_yapeleka_malalamiko_ya_kushambuliwa_vituo_vyake_vya_anga_za_mbali_katika_umoja_wa_mataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2e0d2a02232pv92.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139764-iran_yapeleka_malalamiko_ya_kushambuliwa_vituo_vyake_vya_anga_za_mbali_katika_umoja_wa_mataifa </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi haramu ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani dhidi ya vituo vyake vya anga za mbali na kuwasilisha malalamiko yake rasmi kuhusu suala hilo katika kikao cha jopo kazi la Umoja wa Mataifa kuhusu kuzuia mashindano ya silaha katika anga za juu, ikitoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na matumizi ya silaha katika anga hizo.</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 12:07:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya mamilioni kutoa heshima kwa Shahidi Khamenei nchini Iraq, Tehran yasema tukio hilo limetuma ujumbe wa umoja wa Umma </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139756-baada_ya_mamilioni_kutoa_heshima_kwa_shahidi_khamenei_nchini_iraq_tehran_yasema_tukio_hilo_limetuma_ujumbe_wa_umoja_wa_umma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf56b3841de2pvbc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139756-baada_ya_mamilioni_kutoa_heshima_kwa_shahidi_khamenei_nchini_iraq_tehran_yasema_tukio_hilo_limetuma_ujumbe_wa_umoja_wa_umma </guid>  
      <description>Katika ujumbe uliotolewa mapema leo Alkhamisi, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Brigedia Jenerali Esmail Qaani ametoa shukrani kwa taifa na serikali ya Iraq kwa maandalizi mazuri ya mazishi ya Kiongozi aliyeuawa shahidi wa Mapinduzui ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei na watu wa familia yake.</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 09:50:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia miundombinu muhimu ya Marekani huko Kuwait, Bahrain kama sehemu ya majibu ya awali </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139754-irgc_yashambulia_miundombinu_muhimu_ya_marekani_huko_kuwait_bahrain_kama_sehemu_ya_majibu_ya_awali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2cfd9297ce2pv8w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139754-irgc_yashambulia_miundombinu_muhimu_ya_marekani_huko_kuwait_bahrain_kama_sehemu_ya_majibu_ya_awali </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeshambulia miundombinu muhimu katika kambi nne za Marekani huko Kuwait na Bahrain katika awamu ya kwanza ya majibu yake dhidi ya ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha vita unaofanywa na Marekani. </description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 08:49:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ni mabadiliko gani ya kisiasa na kiusalama yanayofuatiliwa na Marekani kwa kuendelea kukiuka makubaliano ya kusitisha vita?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139752-ni_mabadiliko_gani_ya_kisiasa_na_kiusalama_yanayofuatiliwa_na_marekani_kwa_kuendelea_kukiuka_makubaliano_ya_kusitisha_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4c2aac74282pv5m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139752-ni_mabadiliko_gani_ya_kisiasa_na_kiusalama_yanayofuatiliwa_na_marekani_kwa_kuendelea_kukiuka_makubaliano_ya_kusitisha_vita </guid>  
      <description>Katika saa za alfajiri ya Jumatano, Julai 8, 2026, jeshi la Marekani, kwa kukiuka waziwazi vifungu vya 2 na 4 vya Hati ya Umoja wa Mataifa na kifungu cha kwanza cha makubaliano ya kusitisha vita, limefanya mashambulizi ya kichokozi katika vituo vya ufuatiliaji na usimamzi katika pwani ya kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 07:15:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Mazishi ya Kiongozi wa Iran ni kielelezo cha umoja wa kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139750-rais_pezeshkian_mazishi_ya_kiongozi_wa_iran_ni_kielelezo_cha_umoja_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2c26b2ab742pv5c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139750-rais_pezeshkian_mazishi_ya_kiongozi_wa_iran_ni_kielelezo_cha_umoja_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amesema mahudhurio makubwa ya watu kutoka matabaka yote ya jamii katika mazishi makubwa yaliyofanyika kwa ajili ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ni kielelezo cha umoja wa kitaifa nchini Iran. </description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 03:35:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Unyanyasaji wa Marekani katika Kombe la Dunia unaakisi sera ya kigeni ya Washington</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139748-pezeshkian_unyanyasaji_wa_marekani_katika_kombe_la_dunia_unaakisi_sera_ya_kigeni_ya_washington</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9d5e6ae9db2pv5a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139748-pezeshkian_unyanyasaji_wa_marekani_katika_kombe_la_dunia_unaakisi_sera_ya_kigeni_ya_washington </guid>  
      <description>Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema Marekani imegeuza Kombe la Dunia FIFA la 2026 kuwa uwanja mwingine wa uonevu na mashinikizo ya kisiasa, akisisitiza kuwa mwenendo wa Washington kama mwenyeji wa michezo hiyo unaonyesha sera zile zile inazotekeleza kote duniani.</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 03:33:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran: Zama za uonevu wa Marekani zimekwisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139746-spika_wa_bunge_la_iran_zama_za_uonevu_wa_marekani_zimekwisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb6c9e25a7f2pv56.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139746-spika_wa_bunge_la_iran_zama_za_uonevu_wa_marekani_zimekwisha </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ameikosoa Marekani kwa kukiuka Mkataba wa Maelewano kati ya Iran na Marekani (MoU), akisisitiza kwamba "zama za uonevu na ulaghai" wa Washington zimekwisha.</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 03:30:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni wamuaga Kiongozi Shahidi Ayatullah Khamenei katika miji ya Najaf na Karbala nchini Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139736-mamilioni_wamuaga_kiongozi_shahidi_ayatullah_khamenei_katika_miji_ya_najaf_na_karbala_nchini_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc8cd9aef532pv0e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139736-mamilioni_wamuaga_kiongozi_shahidi_ayatullah_khamenei_katika_miji_ya_najaf_na_karbala_nchini_iraq </guid>  
      <description>Mamilioni ya waombolezaji leo Jumatano walikusanyika katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala nchini Iraq kwa ajili ya kuaga na kutoa heshima zao za mwisho kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na familia yake waliouliwa shahidi katika mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 08 Jul 2026 14:22:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Jeshi la Wanamaji: Fukwe za Iran zitakuwa jehanamu kwa jeshi lolote vamizi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139734-kamanda_wa_jeshi_la_wanamaji_fukwe_za_iran_zitakuwa_jehanamu_kwa_jeshi_lolote_vamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz805a9ce2fd2pv0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139734-kamanda_wa_jeshi_la_wanamaji_fukwe_za_iran_zitakuwa_jehanamu_kwa_jeshi_lolote_vamizi </guid>  
      <description>Admeri Habibullah Sayyari Naibu Mratibu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa jaribio lolote la majeshi ya kigeni kutua katika pwani ya Iran litakabiliwa na jibu kali sana, na kuonya kuwa ukanda wa pwani ya Iran utageuka kuwa "jehanamu" kwa jeshi lolote vamizi.</description>
      <pubDate>Wed, 08 Jul 2026 14:18:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Chanzo cha uungaji mkono wowote kwa jeshi Marekani ni shabaha halali </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139732-iran_chanzo_cha_uungaji_mkono_wowote_kwa_jeshi_marekani_ni_shabaha_halali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6fda2f99022pv08.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139732-iran_chanzo_cha_uungaji_mkono_wowote_kwa_jeshi_marekani_ni_shabaha_halali </guid>  
      <description>Makao Makuu ya Majeshi ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) yametangaza kuwa chanzo chochote cha uungaji mkono unaotolewa kwa "jeshi vamizi la Marekani" katika mashambulizi dhidi ya mamlaka ya kujitawala na ardhi nzima ya Iran ni shabaha halali ya vikosi vya ulinzi. </description>
      <pubDate>Wed, 08 Jul 2026 14:15:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi: Ujumbe na Umuhimu Wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139726-mazishi_ya_kiongozi_shahidi_wa_mapinduzi_ujumbe_na_umuhimu_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza05bc2f9e02pux2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139726-mazishi_ya_kiongozi_shahidi_wa_mapinduzi_ujumbe_na_umuhimu_wake </guid>  
      <description>Misafara ya mazishi ya mwili wa Ayatollah Khamenei, Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi, imefanyika kwa kishindo katika mji mkuu Tehran na katika miji mitakatifu ya Qom nchini Iran, na Najaf na Karbala nchini Iraq, ikihudhuriwa na mamilioni ya watu wa nchi mbili hizi na vile vile wa nchi nyingine za eneo.</description>
      <pubDate>Wed, 08 Jul 2026 11:39:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jibu la Awali la Jeshi la Iran: Shabaha 85 za jeshi la Marekani zalengwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139724-jibu_la_awali_la_jeshi_la_iran_shabaha_85_za_jeshi_la_marekani_zalengwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9256b95f4e2puns.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139724-jibu_la_awali_la_jeshi_la_iran_shabaha_85_za_jeshi_la_marekani_zalengwa </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza rasmi kuwa, katika hatua ya kwanza ya kujibu uchokozi wa Marekani wa usiku wa kuamkia leo, vikosi vya wanamaji na anga vya Jeshi hilo, katika operesheni ya pamoja ya makombora na ndege zisizo na rubani (drones), vimetekeleza kwa mafanikio mashambulizi makali dhidi ya shabaha 85 muhimu vya kijeshi la Marekani na kutungua ndege moja ya kisasa ya kijasusi ya adui aina ya MQ9.</description>
      <pubDate>Wed, 08 Jul 2026 04:50:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Wananchi na Majeshi ya Iran hawatikisiki kwa vitisho vyovyote </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139716-araghchi_wananchi_na_majeshi_ya_iran_hawatikisiki_kwa_vitisho_vyovyote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze13fa932362puo8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139716-araghchi_wananchi_na_majeshi_ya_iran_hawatikisiki_kwa_vitisho_vyovyote </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amesema kuwa mamilioni ya Wairani wamekusanyika kwa umoja kutoa heshima za mwisho kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, na urithi wake adhimu. Akisisitiza msimamo huo, amesema kuwa wananchi wa Iran na Majeshi ya Ulinzi hawatayumbishwa na vitisho vyovyote.</description>
      <pubDate>Wed, 08 Jul 2026 04:44:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Eslami: Maendeleo ya Nyuklia ya Iran yanatokana na mwongozo na uungaji mkono wa Kiongozi Shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139714-eslami_maendeleo_ya_nyuklia_ya_iran_yanatokana_na_mwongozo_na_uungaji_mkono_wa_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3b9dfe54e02puo4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139714-eslami_maendeleo_ya_nyuklia_ya_iran_yanatokana_na_mwongozo_na_uungaji_mkono_wa_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) anasema kuwa sekta ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu imefikia kiwango chake cha sasa cha maendeleo kupitia mwongozo na uungaji mkono thabiti wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.</description>
      <pubDate>Wed, 08 Jul 2026 04:39:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Simulizi ya Kimataifa kuhusu Nguvu ya Iran: Mazishi ya Kiongozi Shahidi Yatawala Vichwa vya Habari vya Kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139712-simulizi_ya_kimataifa_kuhusu_nguvu_ya_iran_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_yatawala_vichwa_vya_habari_vya_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz07d53a987c2pucg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139712-simulizi_ya_kimataifa_kuhusu_nguvu_ya_iran_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_yatawala_vichwa_vya_habari_vya_kimataifa </guid>  
      <description>Sambamba na kufanyika msafara wa mazishi ya Ali Khamenei, Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu mjini Tehran, macho ya ulimwengu mzima yalikuwa yameelekezwa Iran. Kilichofanyika mjini Tehran hayakuwa maombolezo tu bali lilikuwa tukio la kisiasa na kihistoria lililoakisiwa pakubwa kimataifa na vyombo vya habari. </description>
      <pubDate>Tue, 07 Jul 2026 10:30:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni wauaga mwili wa Imam Shahidi Khamenei katika mji wa Qom</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139710-mamilioni_wauaga_mwili_wa_imam_shahidi_khamenei_katika_mji_wa_qom</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz92770dfdd32pucw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139710-mamilioni_wauaga_mwili_wa_imam_shahidi_khamenei_katika_mji_wa_qom </guid>  
      <description>Mamilioni ya waombolezaji leo walikusanyika katika mji mtakatifu wa Qom tangu asubuhi kushiriki katika mazishi ya Kiongozi Shahidi.

</description>
      <pubDate>Tue, 07 Jul 2026 10:01:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian kuhudhuria mazishi ya Ayatullah Khamenei nchini Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139708-rais_pezeshkian_kuhudhuria_mazishi_ya_ayatullah_khamenei_nchini_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz06ee35f96b2pua2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139708-rais_pezeshkian_kuhudhuria_mazishi_ya_ayatullah_khamenei_nchini_iraq </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran alitarajiwa kusafiri kwenda Iraq leo Jumanne kuhudhuria shughuli ya mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, iliyopangwa kufanyika katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala kesho Jumatano.

</description>
      <pubDate>Tue, 07 Jul 2026 09:48:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran: Wauaji wa mashahidi wa nchi hii watapata malipo ya uhalifu wao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139706-spika_wa_bunge_la_iran_wauaji_wa_mashahidi_wa_nchi_hii_watapata_malipo_ya_uhalifu_wao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz463083a2312pucc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139706-spika_wa_bunge_la_iran_wauaji_wa_mashahidi_wa_nchi_hii_watapata_malipo_ya_uhalifu_wao </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wauaji wa mashahidi wa nchi hii watawajibishwa na watapata adhabu inayostahili kwa matendo yao.

</description>
      <pubDate>Tue, 07 Jul 2026 09:42:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wairaqi wasubiri kwa hamu kupokea mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139700-wairaqi_wasubiri_kwa_hamu_kupokea_mwili_wa_kiongozi_shahidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0ea644d5a92pu5o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139700-wairaqi_wasubiri_kwa_hamu_kupokea_mwili_wa_kiongozi_shahidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Wakati ukikaribia kwa ajili ya kufanyika mazishi ya mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika miji ya Najaf Ashraf na Karbala Mualla, Iraq inashuhudia maandalizi makubwa yasiyokuwa ya kawaida yanayohusisha serikali, wananchi, viongozi wa makabila, vikosi vya usalama na taasisi za huduma.</description>
      <pubDate>Tue, 07 Jul 2026 04:36:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>‘Zungumza kwa heshima, Bw. Trump; la sivyo Wairani watajibu kwa lugha tofauti’: Mkuu wa usalama Iran amwambia Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139696-zungumza_kwa_heshima_bw._trump_la_sivyo_wairani_watajibu_kwa_lugha_tofauti’_mkuu_wa_usalama_iran_amwambia_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz724b6a57322pu4u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139696-zungumza_kwa_heshima_bw._trump_la_sivyo_wairani_watajibu_kwa_lugha_tofauti’_mkuu_wa_usalama_iran_amwambia_trump </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa la Iran (SNSC), Mohammad Baqer Zolqadr, ametoa jibu madhubuti kwa vitisho vya hivi karibuni vya Rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya taifa la Iran, akisisitiza kwamba Tehran haitavumilia lugha isiyo na heshima na itajibu ipasavyo ikiwa italazimu.</description>
      <pubDate>Tue, 07 Jul 2026 03:33:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran katika Maombolezo na Hamasa: Msafara wa Mazishi wa Mamilioni ya Watu kwa ajili ya Kiongozi Shujaa, Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139688-tehran_katika_maombolezo_na_hamasa_msafara_wa_mazishi_wa_mamilioni_ya_watu_kwa_ajili_ya_kiongozi_shujaa_shahidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb399a649992pu3c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139688-tehran_katika_maombolezo_na_hamasa_msafara_wa_mazishi_wa_mamilioni_ya_watu_kwa_ajili_ya_kiongozi_shujaa_shahidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Msafara mkubwa usio na mfano wake wa mazishi adhimu na ya kihistoria ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu yamefanyika Jumatatu Tehran mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

</description>
      <pubDate>Mon, 06 Jul 2026 17:27:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni wafurika Tehran kwa mazishi ya kihistoria ya Kiongozi Muadhamu aliyeuawa Shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139678-mamilioni_wafurika_tehran_kwa_mazishi_ya_kihistoria_ya_kiongozi_muadhamu_aliyeuawa_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz8dd5fa5b352ptje.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139678-mamilioni_wafurika_tehran_kwa_mazishi_ya_kihistoria_ya_kiongozi_muadhamu_aliyeuawa_shahidi </guid>  
      <description>Umati wa waombolezaji umefurika barabarani katika mji mkuu wa Iran huku msafara wa mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, yakianza. Tukio hili linaelezwa na maafisa kama mkusanyiko mkubwa zaidi wa umma kuwahi kushuhudiwa katika historia.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Jul 2026 06:16:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Jeshi: Iran haitachoka kuwafuatilia waliomuua Kiongozi wetu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139676-mkuu_wa_jeshi_iran_haitachoka_kuwafuatilia_waliomuua_kiongozi_wetu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5f4fa7ca932ptb6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139676-mkuu_wa_jeshi_iran_haitachoka_kuwafuatilia_waliomuua_kiongozi_wetu </guid>  
      <description>Iran haitawahi kuacha azma yake ya kutafuta haki na kulipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Ali Khamenei (Mwenyezi Mungu amrehemu), zaidi ya miezi minne tangu alipouawa shahidi katika mashambulizi ya kigaidi ya Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Jul 2026 03:51:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jihad Islami: Nguvu ya Muqawama inatokana na kujitolea Kiongozi Shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139674-jihad_islami_nguvu_ya_muqawama_inatokana_na_kujitolea_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz01f4586eea2ptgw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139674-jihad_islami_nguvu_ya_muqawama_inatokana_na_kujitolea_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Msemaji wa harakati ya Muqawama ya Jihad Islami ya Palestina amesisitiza kuhusu “matamanio matukufu” ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, akisema kuwa nguvu ya Mhimili wa Muqawama inatokana na kujitolea kwake maishani.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Jul 2026 03:49:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Kufa shahidi Ayatullah Khamenei kumetoa msukumo kwa Waislamu kudumisha umoja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139662-pezeshkian_kufa_shahidi_ayatullah_khamenei_kumetoa_msukumo_kwa_waislamu_kudumisha_umoja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz50bbff1f732pt7y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139662-pezeshkian_kufa_shahidi_ayatullah_khamenei_kumetoa_msukumo_kwa_waislamu_kudumisha_umoja </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu hayati Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, na kuuawa kwake shahidi, vimewapa Waislamu kote duniani hamasa katika harakati zao za kudumisha umoja na mshikamano. </description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 11:18:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maafisa wa muqawama wafanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran pambizoni mwa mazishi ya Kiongozi Shahidi Khamenei</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139660-maafisa_wa_muqawama_wafanya_mazungumzo_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_pambizoni_mwa_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_khamenei</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6cd989c5ee2pt7o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139660-maafisa_wa_muqawama_wafanya_mazungumzo_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_pambizoni_mwa_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_khamenei </guid>  
      <description>Maafisa kutoka harakati ya muqawama wamekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi, na kuwasilisha salamu za rambirambi kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika mashambulizi ya kigaidi a Marekani na Israel dhidi ya Iran Februari 28 mwaka huu.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 11:14:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taifa Lamuaga kwa Hamasa Kiongozi Shahidi: Dhihirisho la Nguvu na Umoja Dhidi ya Maadui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139664-taifa_lamuaga_kwa_hamasa_kiongozi_shahidi_dhihirisho_la_nguvu_na_umoja_dhidi_ya_maadui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzfd7850283f2pt3y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139664-taifa_lamuaga_kwa_hamasa_kiongozi_shahidi_dhihirisho_la_nguvu_na_umoja_dhidi_ya_maadui </guid>  
      <description>Huku taifa la Iran likimuaga kwa hamasa Kiongozi wake wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, tukio hili limeakisi wazi na kwa mara nyingine mandhari ya kuvutia ya umoja, kusimama imara, na mwamko wa kina wa Umma wa Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 10:59:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni wauswalia mwili wa Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mjini Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139652-mamilioni_wauswalia_mwili_wa_kiongozi_shahidi_ayatullah_sayyid_ali_khamenei_mjini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz816b4885172pt16.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139652-mamilioni_wauswalia_mwili_wa_kiongozi_shahidi_ayatullah_sayyid_ali_khamenei_mjini_tehran </guid>  
      <description>Mamilioni ua waombolezaji wameshikiri Swala ya maiti ya mwili mtakatifu wa Imam shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na kundi la wanafamilia wake watukufu iliyofanyika kwa uwepo mkubwa wa viongozi wa serikali, jeshi na umma kwa ujumla.

</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 07:17:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Utawala wa Kizayuni ndio chanzo kikuu cha migogoro na ukosefu wa utulivu Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139650-rais_pezeshkian_utawala_wa_kizayuni_ndio_chanzo_kikuu_cha_migogoro_na_ukosefu_wa_utulivu_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz8837da12552psw8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139650-rais_pezeshkian_utawala_wa_kizayuni_ndio_chanzo_kikuu_cha_migogoro_na_ukosefu_wa_utulivu_asia_magharibi </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya mashambulizi dhidi ya nchi kadhaa za eneo la Asia Magharibi na umekuwa chanzo cha migogoro mingi pamoja na hali ya ukosefu wa usalama, huku akibainisha kwamba, nchi za Kiislamu hazijawahi kuanzisha mashambulizi ya aina hiyo.

</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 03:55:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Usalama ya Iran yaahidi kulipiza kisasi ajili ya damu ya Kiongozi aliyeuawa shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139648-wizara_ya_usalama_ya_iran_yaahidi_kulipiza_kisasi_ajili_ya_damu_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz59b6c16aaa2psw6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139648-wizara_ya_usalama_ya_iran_yaahidi_kulipiza_kisasi_ajili_ya_damu_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi </guid>  
      <description>Wizara ya Usalama ya Iran imeapa kulipiza kisasi damu ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, ikisisitiza kuwa mioyo iliyojeruhiwa ya wananchi wa Iran na wapenda uhuru duniani kote haitapata faraja yoyote isipokuwa kwa kulipiza kisasi dhidi ya wahusika.

</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 03:50:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu 6 wenye mfungamano na mitandao ya adui watiwa mbaroni Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139644-watu_6_wenye_mfungamano_na_mitandao_ya_adui_watiwa_mbaroni_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz64b9666f602psw2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139644-watu_6_wenye_mfungamano_na_mitandao_ya_adui_watiwa_mbaroni_tehran </guid>  
      <description>Askari usalama wa mji wa Tehran wamewatia baroni watu sita waliokuwa wakifanya kazi katika mitandao ya maadui na dhidi ya mapinduzi. Mamluki hao walitiwa mbaroni katika eneo la Pardis, mashariki mwa mkoa wa Tehran.

</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 03:45:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni wajitokeza Tehran kutoa heshima zao za mwisho kwa Kiongozi Shahidi Khamenei</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139636-mamilioni_wajitokeza_tehran_kutoa_heshima_zao_za_mwisho_kwa_kiongozi_shahidi_khamenei</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1be05779832psgs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139636-mamilioni_wajitokeza_tehran_kutoa_heshima_zao_za_mwisho_kwa_kiongozi_shahidi_khamenei </guid>  
      <description>Mamilioni ya watu leo wamejitokeza katika Musalla wa Imam Khomeini mjini Tehran na kutoa heshima zao za mwisho kwa Kiongozi Shahidi Imam Khamenei aliyeuawa shahidi Februari 28 mwaka huu katika mashambulio ya kinyama ya Marekani na utawala haramuu wa Israel.

</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 11:50:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi ya Kiongozi Shahidi Khamenei yagongwa vichwa vya habari ulimwenguni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139634-mazishi_ya_kiongozi_shahidi_khamenei_yagongwa_vichwa_vya_habari_ulimwenguni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz28d9ba62c92psgq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139634-mazishi_ya_kiongozi_shahidi_khamenei_yagongwa_vichwa_vya_habari_ulimwenguni </guid>  
      <description>Vyombo vya habari kama vile mashirika ya habari, vituo vya televisheni na magazeti ya kimataifa vimeonyesha umuhimu mkubwa kwa hafla ya mazishi ya Imam shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, ambapo tukio hilo limewekwa katika nafasi ya juu ya habari za kimataifa kwa kuripotiwa kwa karibu na kwa kina.
</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 11:45:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mtafiti wa Russia: Iran imara urithi wa kimkakati wa Ayatullah Seyed Ali Khamenei</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139632-mtafiti_wa_russia_iran_imara_urithi_wa_kimkakati_wa_ayatullah_seyed_ali_khamenei</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz04a9bc3ff12psgi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139632-mtafiti_wa_russia_iran_imara_urithi_wa_kimkakati_wa_ayatullah_seyed_ali_khamenei </guid>  
      <description>Mtafiti mwandamizi wa Kituo cha Utafiti wa Asia Magharibi katika Taasisi ya Uchumi wa Dunia na Mahusiano ya Kimataifa ya Primakov ya Russia anaamini kuwa: Moja ya vipengele muhimu zaidi katika urithi wa kimkakati wa Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kuanzishwa kwa mfumo wa kisiasa unaoweza kustahimili shinikizo la nje.

</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 11:28:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf amwambia Trump ashughulie lishe duni ya Wamarekani milioni 40</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139630-spika_qalibaf_amwambia_trump_ashughulie_lishe_duni_ya_wamarekani_milioni_40</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz59889f351a2psg6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139630-spika_qalibaf_amwambia_trump_ashughulie_lishe_duni_ya_wamarekani_milioni_40 </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu bwabwaja za Rais Donald Trump dhidi ya wananchi wa Iran kwa kusisitiza kuwa, shughulikia utapiamlo wa watu milioni 40 nchini Marekani, na usihamishie matatizo yako kwa wengine.

</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 10:58:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf ageuza diplomasia ya mazishi kuwa jukwaa la shughuli za kikanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139626-qalibaf_ageuza_diplomasia_ya_mazishi_kuwa_jukwaa_la_shughuli_za_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzabd0214e702psfg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139626-qalibaf_ageuza_diplomasia_ya_mazishi_kuwa_jukwaa_la_shughuli_za_kikanda </guid>  
      <description>Marasimu ya mazishi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatollah Seyyed Ali Khamenei, yamekuwa zaidi ya shughuli ya maombolezo ya kitaifa. Mazishi haya yameipa Iran fursa kubwa ya kidiplomasia, huku viongozi wakuu na jumbe za ngazi za juu kutoka kote Asia na Mashariki ya Kati wakikusanyika mjini Tehran kwa ajili ya kujadili masuala ya usalama wa kikanda, diplomasia ya baada ya vita na ushirikiano wa kimkakati.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 09:58:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa dunia wafika Tehran kutoa heshima  kwa Kiongozi Shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139624-viongozi_wa_dunia_wafika_tehran_kutoa_heshima_kwa_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0eff8b60a22prvo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139624-viongozi_wa_dunia_wafika_tehran_kutoa_heshima_kwa_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Viongozi waandamizi wa Iran, marais na wakuu wa nchi, pamoja na wageni mashuhuri na wajumbe wa ngazi za juu kutoka mataifa mbalimbali duniani, wamefika Tehran kutoa heshima zao kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 04:30:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani ilitekeleza kampeni ya kuzuia mataifa kuhudhuria mazishi ya Shahidi Ayatullah Khamenei </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139622-marekani_ilitekeleza_kampeni_ya_kuzuia_mataifa_kuhudhuria_mazishi_ya_shahidi_ayatullah_khamenei</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9ca6cb760c2ps4o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139622-marekani_ilitekeleza_kampeni_ya_kuzuia_mataifa_kuhudhuria_mazishi_ya_shahidi_ayatullah_khamenei </guid>  
      <description>Wakati huohuo, imebainika kuwa maafisa wakuu wa Marekani waliendesha kampeni kali katika siku tano zilizopita, wakijaribu kuyazuia mataifa kushiriki katika hafla za mazishi ya Ayatullah Khamenei.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 04:28:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti wa Russia: Kiongozi shahidi wa Iran alifanya juhudi kubwa za kuleta umoja wa madhehebu ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139620-mufti_wa_russia_kiongozi_shahidi_wa_iran_alifanya_juhudi_kubwa_za_kuleta_umoja_wa_madhehebu_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdb7dd394992ps42.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139620-mufti_wa_russia_kiongozi_shahidi_wa_iran_alifanya_juhudi_kubwa_za_kuleta_umoja_wa_madhehebu_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Mufti na Mwenyekiti wa Baraza la Kidini la Waislamu wa Russia anaamini kuwa Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kiongozi shahidi wa Iran, wakati wa uhai wake alichukua hatua kubwa katika kuimarisha umoja na maelewano kati ya madhehebu ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 04:22:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni jambo la dharura</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139618-spika_qalibaf_kuimarisha_uhusiano_wa_kimkakati_kati_ya_iran_na_china_ni_jambo_la_dharura</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz19d5c093622ps34.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139618-spika_qalibaf_kuimarisha_uhusiano_wa_kimkakati_kati_ya_iran_na_china_ni_jambo_la_dharura </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa kimkakati, kisiasa na kibunge kati ya Tehran na Beijing.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 04:19:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaapa kulipiza kisasi kwa Kiongozi Shahidi huku wageni maalum wakimiminika kwa ajili ya mazishi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139610-iran_yaapa_kulipiza_kisasi_kwa_kiongozi_shahidi_huku_wageni_maalum_wakimiminika_kwa_ajili_ya_mazishi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9b5da86d8b2prtg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139610-iran_yaapa_kulipiza_kisasi_kwa_kiongozi_shahidi_huku_wageni_maalum_wakimiminika_kwa_ajili_ya_mazishi </guid>  
      <description>Rais wa Iran na Spika wa Bunge wametoa kauli tofauti wakiahidi kuwajibisha tawala katili za Marekani na Israel kwa mauaji ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, huku maafisa wa ngazi za juu kutoka zaidi ya nchi 30 wakikusanyika Tehran kwa ajili ya shughuli za mazishi zinazotarajiwa kuvutia hadi waombolezaji milioni 20.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 11:37:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Iran inafungamanisha mazungumzo ya amani na usitishaji kamili wa mapigano nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139612-kwa_nini_iran_inafungamanisha_mazungumzo_ya_amani_na_usitishaji_kamili_wa_mapigano_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzea917b8a5b2prvg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139612-kwa_nini_iran_inafungamanisha_mazungumzo_ya_amani_na_usitishaji_kamili_wa_mapigano_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Katika hali ya sasa ya mgogoro wa Mashariki ya Kati, suala la Lebanon limeibuka kama moja ya mihimili mikuu na muhimu katika mazungumzo ya kidiplomasia na vyombo vya habari. Katika uwanja huu, sisitizo la Iran la kusitishwa kikamilifu uvamizi wa utawala haramu wa Israel nchini Lebanon kama sharti la mazungumzo na Washington limeibua maswali mengi miongoni mwa wachambuzi wa kikanda na kimataifa. Msimamo huu sio hitajio la kimkakati tu bali ni sehemu ya mantiki pana ya kimkakati ya sera za kigeni </description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 11:19:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni wanatarajiwa shughuli ya kumuaga Kiongozi Shahidi nchini Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139604-mamilioni_wanatarajiwa_shughuli_ya_kumuaga_kiongozi_shahidi_nchini_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza850b2a4fc2prqg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139604-mamilioni_wanatarajiwa_shughuli_ya_kumuaga_kiongozi_shahidi_nchini_iraq </guid>  
      <description>Mamilioni ya waumini wanatarajiwa kufurika katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala nchini Iraq kushiriki katika shughuli za mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 07:29:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaanza Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139600-mazishi_ya_kiongozi_shahidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_yaanza_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz41023da41b2prpg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139600-mazishi_ya_kiongozi_shahidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_yaanza_tehran </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza awamu ya kwanza ya taratibu za mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, huku viongozi wa kimataifa na wanazuoni wa kidini wakifika katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini maarufu kama Mosalla mjini Tehran kutoa heshima zao za mwisho.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 06:39:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Mahudhurio makubwa katika mazishi ya Kiongozi Shahidi ni ‘jibu madhubuti’ kwa ubeberu na ugaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139596-pezeshkian_mahudhurio_makubwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_ni_jibu_madhubuti’_kwa_ubeberu_na_ugaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza05998a7122prmy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139596-pezeshkian_mahudhurio_makubwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_ni_jibu_madhubuti’_kwa_ubeberu_na_ugaidi </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa umati mkubwa wa wananchi utakaojitokeza katika shughuli ya mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, utakuwa “jibu madhubuti” dhidi ya vitendo vya kigaidi, ukatili na mbinu za kibeberu. Amesema kuwa tukio hilo litakuwa dhihirisho la wazi la umoja wa taifa la Iran na dhamira yake isiyotetereka katika kulinda uhuru na heshima ya nchi.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 03:53:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Onyo kali la Majeshi ya Iran: Uchokozi wa Marekani katika Lango la Hormuz utajibiwa haraka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139594-onyo_kali_la_majeshi_ya_iran_uchokozi_wa_marekani_katika_lango_la_hormuz_utajibiwa_haraka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze172c57d8e2prn2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139594-onyo_kali_la_majeshi_ya_iran_uchokozi_wa_marekani_katika_lango_la_hormuz_utajibiwa_haraka </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran, maarufu kama Kamandi ya Khatam al-Anbiya, imetoa onyo kali kuwa, uingiliaji wowote wa kijeshi wa Marekani katika Lango Bahari la Hormuz utajibiwa kwa kasi na maamuzi madhubuti na vikosi vya ulinzi vya Iran, huku ikisisitiza kuwa njia hiyo muhimu ya bahari iko chini ya mamlaka kamili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 03:50:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran awahimiza Wairani kuhudhuria mazishi ya Kiongozi shahidi na kudai kisasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139590-spika_wa_bunge_la_iran_awahimiza_wairani_kuhudhuria_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_na_kudai_kisasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3b7ee45a8c2prg8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139590-spika_wa_bunge_la_iran_awahimiza_wairani_kuhudhuria_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_na_kudai_kisasi </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amewatolea wito wananchi kuhudhuria shughuli zijazo za mazishi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, na kutaka kulipizwa kisasi damu safi ya Kiongozi huyo aliyeuawa shahidi.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Jul 2026 11:54:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Salehi: Waandishi wa habari wa kigeni 600 kuripoti mazishi ya Ayatullah Khamenei </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139588-salehi_waandishi_wa_habari_wa_kigeni_600_kuripoti_mazishi_ya_ayatullah_khamenei</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc6874bf8db2prfw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139588-salehi_waandishi_wa_habari_wa_kigeni_600_kuripoti_mazishi_ya_ayatullah_khamenei </guid>  
      <description>Abbas Salehi Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema kuwa takriban waandishi habari na wawakilishi wa vyombo vya habari 600 kutoka nje ya nchi wataripoti shughuli ya mazishi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, yaliyopangwa kufanyika kuanzia tarehe 4 hadi 9 mwezi huu wa Julai.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Jul 2026 11:51:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya nchi 90 zatangaza utayarifu wa kuhudhuria mazishi ya Kiongozi shahidi wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139576-zaidi_ya_nchi_90_zatangaza_utayarifu_wa_kuhudhuria_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2ad3aeab262prau.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139576-zaidi_ya_nchi_90_zatangaza_utayarifu_wa_kuhudhuria_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_wa_iran </guid>  
      <description>Wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 90, pamoja na viongozi wa kidini, wasomi na watu mashuhuri kutoka kote duniani, wametangaza utayarifu wao wa kuhudhuria mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.

</description>
      <pubDate>Thu, 02 Jul 2026 03:50:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaapa kulipiza kisasi 'damu safi ya Kiongozi aliyeuawa shahidi kwa wakati unaofaa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139574-iran_yaapa_kulipiza_kisasi_'damu_safi_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi_kwa_wakati_unaofaa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1e3f48a9a82pras.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139574-iran_yaapa_kulipiza_kisasi_'damu_safi_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi_kwa_wakati_unaofaa' </guid>  
      <description>Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran limetangaza kuwa wahusika wa uhalifu na mauaji dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei na watu wa Iran watakabiliwa na adhabu "kwa wakati unaofaa" kutoka kwa "viumbe waadilifu," huku nchi hii ikijiandaa kwa mazishi ya Imam Sayyid Ali Khamenei.

</description>
      <pubDate>Thu, 02 Jul 2026 03:48:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China: Vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran vinapaswa kuondolewa haraka iwezekanavyo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139572-china_vikwazo_vya_upande_mmoja_dhidi_ya_iran_vinapaswa_kuondolewa_haraka_iwezekanavyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc796a7e2972praq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139572-china_vikwazo_vya_upande_mmoja_dhidi_ya_iran_vinapaswa_kuondolewa_haraka_iwezekanavyo </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, Guo Jiakun, amesisitiza umuhimu wa kuondolewa haraka iwezekanavyo vikwazo vya upande mmoja vilivyowekwa dhidi ya Iran, huku akikaribisha uwezekano wa kuondolewa vikwazo na masharti yaliyowekwa dhidi ya Tehran.

</description>
      <pubDate>Thu, 02 Jul 2026 03:46:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lamerd iligeuzwa vipi kuwa uwanja wa majaribio ya silaha za maangamizi ya umati za Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139564-lamerd_iligeuzwa_vipi_kuwa_uwanja_wa_majaribio_ya_silaha_za_maangamizi_ya_umati_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6d46d237a92pr4k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139564-lamerd_iligeuzwa_vipi_kuwa_uwanja_wa_majaribio_ya_silaha_za_maangamizi_ya_umati_za_marekani </guid>  
      <description>Takriban miezi mitatu imepita tangu kumalizika kwa uvamizi wa kijeshi wa Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel katika ardhi ya Iran, lakini kila siku, na kufuatia kuchapishwa nyaraka mpya na picha pamoja na simulizi tofauti, viwango vipya vya jinai za wavamizi hao vinafichuliwa.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Jul 2026 12:08:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mtaalamu wa Uislamu Kenya: Urithi wa Ayatullah Ali Khamenei katika kusimama kidete utaendelea kuwa dira</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139562-mtaalamu_wa_uislamu_kenya_urithi_wa_ayatullah_ali_khamenei_katika_kusimama_kidete_utaendelea_kuwa_dira</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzbaf75d4b462pr3e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139562-mtaalamu_wa_uislamu_kenya_urithi_wa_ayatullah_ali_khamenei_katika_kusimama_kidete_utaendelea_kuwa_dira </guid>  
      <description>Mtaalamu wa masuala ya Kiislamu kutoka Kenya katika mahojiano na Pars Today: Urithi wa Ayatullah Khamenei unaelekeza mwelekeo wa nchi za Kusini mwa Dunia katika harakati za kulinda heshima na uhuru wao.

</description>
      <pubDate>Wed, 01 Jul 2026 10:32:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian na Narendra Modi wasisitiza kuimarisha ushirikiano wa nchi zao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139560-pezeshkian_na_narendra_modi_wasisitiza_kuimarisha_ushirikiano_wa_nchi_zao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5081c18c802pr38.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139560-pezeshkian_na_narendra_modi_wasisitiza_kuimarisha_ushirikiano_wa_nchi_zao </guid>  
      <description>Rais wa Iran na Waziri Mkuu wa India wamesisitiza azma thabiti ya nchi zao ya kukuza na kuimarisha ushirikiano wa pande mbili.

</description>
      <pubDate>Wed, 01 Jul 2026 10:24:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hakutakuwa na mazungumzo mapya na Marekani kabla ya kutekeleza ahadi zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139558-qalibaf_hakutakuwa_na_mazungumzo_mapya_na_marekani_kabla_ya_kutekeleza_ahadi_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzbecb7258e62pr36.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139558-qalibaf_hakutakuwa_na_mazungumzo_mapya_na_marekani_kabla_ya_kutekeleza_ahadi_zake </guid>  
      <description>Mkuu wa timu ya Iran ya mazungumzo na Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaingia katika mazungumzo yoyote mapya na Marekani mpaka masharti yote yaliyomo katika hati ya makubaliano ya maelewano iliyopo yatakapotekelezwa kikamilifu.

</description>
      <pubDate>Wed, 01 Jul 2026 10:21:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasafirisha mapipa milioni 50 ya mafuta baada ya kuondolewa vikwazo vya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139556-iran_yasafirisha_mapipa_milioni_50_ya_mafuta_baada_ya_kuondolewa_vikwazo_vya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz19162258d62pr32.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139556-iran_yasafirisha_mapipa_milioni_50_ya_mafuta_baada_ya_kuondolewa_vikwazo_vya_marekani </guid>  
      <description>Kufuatia kupunguzwa kwa vikwazo vilivyokuwa vinaikabili sekta ya mafuta, Iran imesafirisha takriban mapipa milioni 50 ya mafuta katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, na inakadiriwa kuwa imepata mapato yanayozidi dola bilioni 3.5 za Kimarekani.

</description>
      <pubDate>Wed, 01 Jul 2026 10:19:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mataifa zaidi ya 90 kuwakilishwa katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139552-mataifa_zaidi_ya_90_kuwakilishwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye9be094f8f2pqxi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139552-mataifa_zaidi_ya_90_kuwakilishwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Dunia inashuhudia mshikamano wa kipekee kufuatia taarifa kwamba wawakilishi kutoka nchi zaidi ya 90, pamoja na viongozi wa kidini, wasomi, na watu mashuhuri kutoka kila pembe ya dunia, wanatarajiwa kushiriki katika shughuli za mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Jul 2026 03:43:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Iran inafuatilia hatua kwa hatua utekelezaji wa Marekani wa MoU</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139550-baghaei_iran_inafuatilia_hatua_kwa_hatua_utekelezaji_wa_marekani_wa_mou</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb912661fae2pqye.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139550-baghaei_iran_inafuatilia_hatua_kwa_hatua_utekelezaji_wa_marekani_wa_mou </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Tehran itafuatilia, dakika kwa dakika, iwapo Marekani itazingatia makubaliano ya maelewano (MoU) ya kumaliza vita, na akaonya kwamba Jamhuri ya Kiislamu haitatekeleza wajibu wake chini ya makubaliano hayo ikiwa ni upande mmoja pekee unaoyatekeleza.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Jul 2026 03:41:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri: Iran itajibu ukiukaji wowote wa usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139546-waziri_iran_itajibu_ukiukaji_wowote_wa_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyad01c9b2372pqxw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139546-waziri_iran_itajibu_ukiukaji_wowote_wa_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hakiuna shaka yoyote kwamba, Tehran itajibu kwa nguvu zote ukiukaji wowote ule wa usitishaji vita. </description>
      <pubDate>Wed, 01 Jul 2026 03:34:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian asema Iran itatekeleza mapatano ikiwa Marekani itafanya hivyo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139540-rais_pezeshkian_asema_iran_itatekeleza_mapatano_ikiwa_marekani_itafanya_hivyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby23d1cfca052pqr4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139540-rais_pezeshkian_asema_iran_itatekeleza_mapatano_ikiwa_marekani_itafanya_hivyo </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa makubaliano yoyote kati ya Iran na Marekani lazima yajikite katika heshima ya pande zote na ahadi za pamoja, na si kwa kutumia vitisho au shinikizo la upande mmoja.</description>
      <pubDate>Tue, 30 Jun 2026 11:32:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi: Mazishi ya Kiongozi Shahidi yatakuwa mwamko wa kimataifa dhidi ya ugaidi na jinai za Marekani na Uzayuni </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139536-jeshi_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_yatakuwa_mwamko_wa_kimataifa_dhidi_ya_ugaidi_na_jinai_za_marekani_na_uzayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby94752550082pquc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139536-jeshi_mazishi_ya_kiongozi_shahidi_yatakuwa_mwamko_wa_kimataifa_dhidi_ya_ugaidi_na_jinai_za_marekani_na_uzayuni </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesema kuwa sherehe za kitaifa za kuaga na mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, zitatumika kama jukwaa la harakati za kimataifa za kulaani ugaidi na maandamano hai dhidi ya jinai zinazofanywa na mhimili wa Marekani na Uzayuni.</description>
      <pubDate>Tue, 30 Jun 2026 11:27:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Dola bilioni 6 za Iran zinazozuiwa Qatar kuachiliwa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139526-pezeshkian_dola_bilioni_6_za_iran_zinazozuiwa_qatar_kuachiliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf4940d8f122pqng.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139526-pezeshkian_dola_bilioni_6_za_iran_zinazozuiwa_qatar_kuachiliwa </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ametangaza kuwa kiasi cha dola bilioni 6 mali ya nchi hii zinazozuiliwa Qatar kufuatia mashinikizo ya Marekani, zitaachiliwa.</description>
      <pubDate>Tue, 30 Jun 2026 03:53:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wasomi wanawake wa Iran wataka Marekani na Israel ziwajibishwe kwa jinai zao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139518-wasomi_wanawake_wa_iran_wataka_marekani_na_israel_ziwajibishwe_kwa_jinai_zao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby91503e41fa2pqn2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139518-wasomi_wanawake_wa_iran_wataka_marekani_na_israel_ziwajibishwe_kwa_jinai_zao </guid>  
      <description>Kundi la wanazuoni wanawake wa Iran, wasomi wa taaluma mbalimbali na wataalamu wa masuala ya utamaduni, limesambaza barua ya wazi likirekodi ukiukaji wa kimfumo uliofanywa na Marekani na Israel wakati wa vita vya hivi karibuni dhidi ya Iran, na limetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura za uwajibikaji.</description>
      <pubDate>Tue, 30 Jun 2026 03:40:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kinyume na propaganda za adui, sekta ya ulinzi ya Iran inaendelea kupata mafanikio: Naibu Mkuu wa Jeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139516-kinyume_na_propaganda_za_adui_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_inaendelea_kupata_mafanikio_naibu_mkuu_wa_jeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby13aeb852002pqhe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139516-kinyume_na_propaganda_za_adui_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_inaendelea_kupata_mafanikio_naibu_mkuu_wa_jeshi </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Iran amesema Jamhuri ya Kislamu imepata mafanikio endelevu katika teknolojia ya ulinzi wa ndege zisizo na rubani na anga licha ya madai ya uhasama ya vyombo vya habari.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:32:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sardasht; Jeraha Lisilosahaulika Duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139504-sardasht_jeraha_lisilosahaulika_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya9e1059c0c2pqeu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139504-sardasht_jeraha_lisilosahaulika_duniani </guid>  
      <description>Julai 28, 1987, imewekwa alama katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama kumbukumbu ya moja ya jinai za kivita za kutisha dhidi ya ubinadamu. Siku hii, inakumbushia shambulio la kikatili la mabomu ya kemikali katika mji wa Sardasht lililofanywa na utawala wa Baath wa Iraq; jinai ambayo ilitekelezwa kwa uungaji mkono na kimya cha aibu cha madola ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 07:55:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Jukumu la kupanga na kusimamia shughuli Mlango-Bahari wa Hormuz ni la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139500-araghchi_jukumu_la_kupanga_na_kusimamia_shughuli_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbycfcee2fece2pqae.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139500-araghchi_jukumu_la_kupanga_na_kusimamia_shughuli_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_la_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa jukumu la kupanga na kusimamia shughuli katika Mlango-Bahari wa Hormuz ni la Iran pekee, akisisitiza kwamba hakuna taasisi wala nchi nyingine yenye mamlaka au wajibu katika suala hilo.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:44:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika ujumbe wa Wiki ya Mahakama, Kiongozi aamuru kufuatiliwa kisheria uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139492-katika_ujumbe_wa_wiki_ya_mahakama_kiongozi_aamuru_kufuatiliwa_kisheria_uhalifu_wa_kivita_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd55e4216122pq5o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139492-katika_ujumbe_wa_wiki_ya_mahakama_kiongozi_aamuru_kufuatiliwa_kisheria_uhalifu_wa_kivita_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei ametoa wito kwa Mahakama ya Iran kufuatilia na kurejesha haki za taifa ambazo zimekiukwa kutokana na vita vya uchokozi vya Marekani na Israel tangu mwaka jana.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 13:06:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139490-baqaei_msaada_wa_kiufundi_na_uungaji_mkono_kwa_mvamizi_ni_sawa_na_kushiriki_katika_uvamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyaed4c6561c2ppnu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139490-baqaei_msaada_wa_kiufundi_na_uungaji_mkono_kwa_mvamizi_ni_sawa_na_kushiriki_katika_uvamizi </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, utoaji wa huduma za "kiufundi na msaada" kwa pande zinazoshambulia nchi nyingine  ni kushiriki moja kwa moja na waziwazi katika kupigana vita haramu vya hiari na ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.

</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 09:59:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gharibabadi: Sardasht, mhanga wa mabomu ya kemikali na undumakuwili wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139488-gharibabadi_sardasht_mhanga_wa_mabomu_ya_kemikali_na_undumakuwili_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby917ff2f61d2pq3o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139488-gharibabadi_sardasht_mhanga_wa_mabomu_ya_kemikali_na_undumakuwili_wa_magharibi </guid>  
      <description>Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisheria na Kimataifa amesisitiza kuwa, Tehran itafuatilia kwa uzito jukumu la wahusika wa uhalifu wa mashambulio ya mabomu ya kemikali yaliyofanywa na utawala wa zamani wa Iraq.

</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 09:56:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139480-jeshi_la_iran_lalenga_vituo_vya_jeshi_la_marekani_kujibu_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby007466563b2ppz4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139480-jeshi_la_iran_lalenga_vituo_vya_jeshi_la_marekani_kujibu_uchokozi </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeendesha oparesheni kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya vituo nane vya kijeshi vya Marekani katika kanda hii, likiitaja hatua hiyo kuwa “jibu madhubuti” dhidi ya uchokozi mpya wa Marekani kwenye ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:35:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>