<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Sun, 09 Aug 2026 13:37:57 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Araqchi: Mazungumzo na Oman kuhusu Lango-Bahari la Hormuz yako katika hatua za mwisho</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140540-araqchi_mazungumzo_na_oman_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz_yako_katika_hatua_za_mwisho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08e1c84846e2q63w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140540-araqchi_mazungumzo_na_oman_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz_yako_katika_hatua_za_mwisho </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema leo kwamba mazungumzo na Oman kuhusu Lango Bahari la Hormuz yako katika hatua za mwisho na kuongeza: "Bila shaka, hii haina maana kwamba Lango la Hormuz litafunguliwa. Ufunguzi wa Lango la Hormuz unategemea masharti mengine."</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 11:11:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zolqadr: Lango-Bahari la Hormuz litaendelea kufungwa hadi pale Marekani itakapobadilisha tabia yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140530-zolqadr_lango_bahari_la_hormuz_litaendelea_kufungwa_hadi_pale_marekani_itakapobadilisha_tabia_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0950feea2e92q5yi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140530-zolqadr_lango_bahari_la_hormuz_litaendelea_kufungwa_hadi_pale_marekani_itakapobadilisha_tabia_yake </guid>  
      <description>Afisa wa ngazi ya juu wa usalama wa Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa nchi hiyo haitalegeza vikwazo vya usafirishaji kupitia Lango Bahari la Hormuz hadi pale Marekani itakapobadilisha mwenendo wake mbele ya Tehran. </description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 09:57:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump amekwama katika "fedheha ya kimkakati" katika vita dhidi ya Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140526-kwa_nini_trump_amekwama_katika_fedheha_ya_kimkakati_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ddfa94c6eb2q5gc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140526-kwa_nini_trump_amekwama_katika_fedheha_ya_kimkakati_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Financial Times, huku likinukuu wachambuzi mashuhuri, linaripoti kuwa Trump amekwama katika "fedheha ya kimkakati" kuhusiana na vita dhidi ya Iran na kwamba hawezi kujiondoa katika hali hiyo bila kulipa gharama za kisiasa nchini kwake.</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 05:48:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi Mkuu Iran asema vikosi vya Marekani lazima viondoke Asia Magharibi, ahimiza ushirikiano wa kikanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140524-mshauri_wa_kiongozi_mkuu_iran_asema_vikosi_vya_marekani_lazima_viondoke_asia_magharibi_ahimiza_ushirikiano_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fa898d1ee92q5wq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140524-mshauri_wa_kiongozi_mkuu_iran_asema_vikosi_vya_marekani_lazima_viondoke_asia_magharibi_ahimiza_ushirikiano_wa_kikanda </guid>  
      <description>Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ali Akbar Velayati, amesema vikosi vya majeshi ya kigeni lazima viondoke Asia Magharibi, akitaja uwepo wao wa kama chanzo kikuu cha ukosefu wa usalama na utulivu katika eneo hilo.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:19:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian akumbuka mashambulizi ya mabomu ya atomiki huko Hiroshima na Nagasaki, asema mtazamo uleule bado unatawala Washington</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140512-pezeshkian_akumbuka_mashambulizi_ya_mabomu_ya_atomiki_huko_hiroshima_na_nagasaki_asema_mtazamo_uleule_bado_unatawala_washington</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05c1ec58b5b2q5rs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140512-pezeshkian_akumbuka_mashambulizi_ya_mabomu_ya_atomiki_huko_hiroshima_na_nagasaki_asema_mtazamo_uleule_bado_unatawala_washington </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amelaani mashambulizi ya mabomu ya nyuklia yaliyofanywa na Marekani dhidi ya miji ya Hiroshima na Nagasaki huko Japan na kueleza kuwa mtazamo fikra zilizopelekea kufanyika mashambulizi hayo bado zipo Washington hii leo.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 13:02:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maafisa wa ngazi ya juu wa Iran wapongeza nafasi ya waandishi wa habari katika kuhami ukweli na umoja wa kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140510-maafisa_wa_ngazi_ya_juu_wa_iran_wapongeza_nafasi_ya_waandishi_wa_habari_katika_kuhami_ukweli_na_umoja_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0efdb6861f52q5rq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140510-maafisa_wa_ngazi_ya_juu_wa_iran_wapongeza_nafasi_ya_waandishi_wa_habari_katika_kuhami_ukweli_na_umoja_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Maafisa wa Iran wamewasifu na kuwapongeza waandishi wa habari kutokana na mchango wao wa kukabiliana na taarifa potofu za uhasama na vita vya kisaikolojia, na kusisitiza umuhimu wa vyombo vya habari katika kulinda uelewa wa umma na umoja wa kitaifa.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:59:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tabia za Marekani Kudumisha Mvutano katika uhusiano wake na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140502-tabia_za_marekani_kudumisha_mvutano_katika_uhusiano_wake_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc035f31048cd2q5ge.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140502-tabia_za_marekani_kudumisha_mvutano_katika_uhusiano_wake_na_iran </guid>  
      <description>Mwenendo wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unachochea kuendelea kwa mvutano na uhasama katika uhusiano wa Washington na Tehran.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 06:33:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yayaasa mataifa ya Kiislamu: Ni wakati sasa wa sisi kujitegemea, kuwa na udugu wa kweli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140498-iran_yayaasa_mataifa_ya_kiislamu_ni_wakati_sasa_wa_sisi_kujitegemea_kuwa_na_udugu_wa_kweli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fd4f9ad9bc2q5ik.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140498-iran_yayaasa_mataifa_ya_kiislamu_ni_wakati_sasa_wa_sisi_kujitegemea_kuwa_na_udugu_wa_kweli </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito wa kuwepo muunganiko na ushirikiano mkubwa wa kikanda, ikitilia mkazo udharura wa mataifa ya eneo kutegemea uwezo wao wa kikanda ili kuondoa uingiliaji wa kigeni.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 03:26:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Mkakati wa Marekani wa vitisho na kuvunja ahadi umefeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140476-spika_qalibaf_mkakati_wa_marekani_wa_vitisho_na_kuvunja_ahadi_umefeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8abcbb876c2pdb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140476-spika_qalibaf_mkakati_wa_marekani_wa_vitisho_na_kuvunja_ahadi_umefeli </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, amekosoa miamala ya hivi karibuni ya Washington kama “diplomasia ya maigizo” isiyo na mashiko, akitangaza kuwa mkakati wa Marekani wa vitisho, kuvunja ahadi, na kusuka simulizi za uongo umefeli. Aidha amesisitiza  kwamba Iran haitashiriki katika michezo hiyo ya kuigiza tena.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:39:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Ulinzi: Vikosi vya Iran vimesheheni silaha za kujibu mapigo kwa tishio lolote lile</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140474-waziri_wa_ulinzi_vikosi_vya_iran_vimesheheni_silaha_za_kujibu_mapigo_kwa_tishio_lolote_lile</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02eb5839f2e2q58k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140474-waziri_wa_ulinzi_vikosi_vya_iran_vimesheheni_silaha_za_kujibu_mapigo_kwa_tishio_lolote_lile </guid>  
      <description>Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesisitiza kuwa, kwa kutegemea utaalamu wa kiulinzi wa ndani ya nchi, Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vimesheheni kila vinachohitaji ili kutoa jibu kwa tishio lolote lile.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:37:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran inajulikana kama nchi yenye nguvu na inayoheshimika; maadui wanalenga nembo za nguvu zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140466-pezeshkian_iran_inajulikana_kama_nchi_yenye_nguvu_na_inayoheshimika_maadui_wanalenga_nembo_za_nguvu_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b497b543802q52i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140466-pezeshkian_iran_inajulikana_kama_nchi_yenye_nguvu_na_inayoheshimika_maadui_wanalenga_nembo_za_nguvu_zake </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa licha ya changamoto zinazoikabili nchi, Iran inatambulika kimataifa kama taifa lenye nguvu na linaloheshimika sana, huku akitahadharisha kuwa maadui wa taifa hili wanajaribu kudhoofisha alama za nguvu zake.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:10:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Watu 8 wenye silaha wenye mfungamano na makundi ya kigaidi watiwa nguvuni kusini-mashariki mwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140464-irgc_watu_8_wenye_silaha_wenye_mfungamano_na_makundi_ya_kigaidi_watiwa_nguvuni_kusini_mashariki_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc07c8408c96d2q52g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140464-irgc_watu_8_wenye_silaha_wenye_mfungamano_na_makundi_ya_kigaidi_watiwa_nguvuni_kusini_mashariki_mwa_iran </guid>  
      <description>Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa kimewatia nguvuni watu wanane wenye silaha wenye mfungamano na makundi ya kigaidi katika mkoa wa Sistan na Baluchestan kusini-mashariki mwa Iran kufuatia oparesheni maalum mtawalia. </description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:08:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgawanyiko kati ya Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Kuhusu Vita vya Marekani dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140454-mgawanyiko_kati_ya_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d0dfe776312q4we.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140454-mgawanyiko_kati_ya_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa gazeti la The Wall Street Journal, nchi za Kiarabu katika eneo la Ghuba ya Uajemi bado zimegawanyika pakubwa kuhusu namna ya kushughulikia vita vya kichokozi na kulazimishwa dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 05:51:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran itaunga mkono maamuzi yatakayochukuliwa na viongozi wa Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140450-pezeshkian_iran_itaunga_mkono_maamuzi_yatakayochukuliwa_na_viongozi_wa_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0def773e4b22q4v2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140450-pezeshkian_iran_itaunga_mkono_maamuzi_yatakayochukuliwa_na_viongozi_wa_palestina </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itaunga mkono mpango au uamuzi wowote utakaopitishwa na viongozi wa Palestina katika mchakato wa mazungumzo yanayoendelea, akithibitisha tena uungaji mkono thabiti wa Tehran kwa mapambano ya Palestina.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 03:55:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Afya wa Iran alaani shambulio la Marekani dhidi ya uwanja wa michezo wa Lamerd Februari mwaka huu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140440-waziri_wa_afya_wa_iran_alaani_shambulio_la_marekani_dhidi_ya_uwanja_wa_michezo_wa_lamerd_februari_mwaka_huu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bdc85c49942q4p4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140440-waziri_wa_afya_wa_iran_alaani_shambulio_la_marekani_dhidi_ya_uwanja_wa_michezo_wa_lamerd_februari_mwaka_huu </guid>  
      <description>Waziri wa Afya wa Iran kwa mara nyingine tena amelaani shambulio lililofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya uwanja wa michezo katika mji wa Lamerd mwanzoni mwa mashambulizi ya nchii hiyo na utawala katili wa Israel mwezi Februari mwaka huu hapa nchini lililosababisha vifo kuwajeruhi raia kadhaa.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:20:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gharama Halisi ya Vita vya Marekani dhidi ya Iran: Mara Nne ya Makadirio ya Pentagon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140430-gharama_halisi_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_mara_nne_ya_makadirio_ya_pentagon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc004568ea21d2q42k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140430-gharama_halisi_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_mara_nne_ya_makadirio_ya_pentagon </guid>  
      <description>Gazeti la Uingereza la The Telegraph limefichua kuwa gharama halisi ya vita vya Marekani dhidi ya Iran ni mara nne zaidi ya kiasi kilichotajwa na Pentagon.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 06:44:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni ya Wairani washiriki Arubaini ya Imam Hussein, watoa wito wa kulipiza kisasi damu ya Kiongozi aliyeuawa shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140416-mamilioni_ya_wairani_washiriki_arubaini_ya_imam_hussein_watoa_wito_wa_kulipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01687d5807a2q4ay.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140416-mamilioni_ya_wairani_washiriki_arubaini_ya_imam_hussein_watoa_wito_wa_kulipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi </guid>  
      <description>Mamilioni ya Wairani wamekusanyika kote nchini kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein bin Ali (AS), ambayo inaashiria siku ya 40 baada ya kuuawa shahidi mjukuu huyo wa Mtume wetu Muhammad (SAW) huko Karbala nchini Iraq mwaka 61 Hijria.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 14:54:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Arubaini ya Imam Hussein ni onyesho kubwa la umoja wa kitaifa kati ya Iran na Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140414-araqchi_arubaini_ya_imam_hussein_ni_onyesho_kubwa_la_umoja_wa_kitaifa_kati_ya_iran_na_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0511644596e2q480.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140414-araqchi_arubaini_ya_imam_hussein_ni_onyesho_kubwa_la_umoja_wa_kitaifa_kati_ya_iran_na_iraq </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi ameyataja matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein baina ya miji miwili mitakatifu ya Najaf na Karbala nchini Iraq kuwa ni onyesho kubwa la umoja usiovunjika kati ya watu wa Iran na Iraq, akitilia mkazo viunganishi vikubwa vya kidini na kidugu vinavyoendelea kuimarisha uhusiano wa pande mbili.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:38:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Iran iliishinda Marekani katikati ya 'vita vya tatu vya Trump'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140412-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_iran_iliishinda_marekani_katikati_ya_'vita_vya_tatu_vya_trump'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0cdc02bde342q47y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140412-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_iran_iliishinda_marekani_katikati_ya_'vita_vya_tatu_vya_trump' </guid>  
      <description>Mohsen Rezaei, Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa Marekani ilishindwa katikati ya "vita vya tatu vya Rais wa Marekani Donald Trump" dhidi ya Iran, huku vikosi vya ulinzi vya Iran vikivuruga mipango ya Marekani, kuilazimisha kuhamisha vituo vyake vya amri na wanajeshi wengi wa nchi hiyo wakiangamizwa na kujeruhiwa; hatua inayozidisha kushindwa kwingine kukubwa katika rekodi ya kufeli ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:33:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya raia nchini Iran ni uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140400-baghaei_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_maeneo_ya_raia_nchini_iran_ni_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05d7cb251e32q43q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140400-baghaei_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_maeneo_ya_raia_nchini_iran_ni_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya makazi na ya raia katika miji ya Qeshm, Minab, na Lamerd ni uhalifu wa kivita, huku akiahidi kuwa Iran itatumia mifumo yote ya kimataifa inayopatikana kuwafikisha wahalifu mbele ya sheria.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:10:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laangusha ndege ya kivita ya Marekani ya MQ-9 Reaper katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140398-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_ya_marekani_ya_mq_9_reaper_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b3fd2099762q43o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140398-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_ya_marekani_ya_mq_9_reaper_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza rasmi kuwa kikosi chake cha anga kimeidungua ndege ya kivita isiyo na rubani ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper juu ya Lango la Hormuz, kwa kutumia mfumo wa ulinzi wa anga ulio wa kisasa na wenye uwezo wa hali ya juu.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:08:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Hakuna mazungumzo na Washington kwa sasa, tunajadiliana na Oman kuhusu njia ya muda Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140390-baqaei_hakuna_mazungumzo_na_washington_kwa_sasa_tunajadiliana_na_oman_kuhusu_njia_ya_muda_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08d86a55db42q3ya.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140390-baqaei_hakuna_mazungumzo_na_washington_kwa_sasa_tunajadiliana_na_oman_kuhusu_njia_ya_muda_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Hatufanyi mazungumzo na Marekani, na mazungumzo yetu na Oman yanahusu njia ya kupita salama meli katika Lango-Bahari la Hormuz."</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 11:16:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vibaraka wawili wa Mossad wanyongwa nchini Iran kwa kutoa taarifa za usalama kwa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140382-vibaraka_wawili_wa_mossad_wanyongwa_nchini_iran_kwa_kutoa_taarifa_za_usalama_kwa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc069fb8bc24c2q3wg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140382-vibaraka_wawili_wa_mossad_wanyongwa_nchini_iran_kwa_kutoa_taarifa_za_usalama_kwa_israel </guid>  
      <description>Wanaume wawili waliopatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa maslahi ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad, wamenyongwa kwa kosa la kutoa taarifa nyeti kuhusu jeshi na maeneo ya usalama ya Iran katika vita vya hivi karibuni vya Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 09:50:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Haniya, Iran yasisitiza uungaji mkono wake kwa malengo ya Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140378-kwa_mnasaba_wa_kuuawa_shahidi_haniya_iran_yasisitiza_uungaji_mkono_wake_kwa_malengo_ya_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a80e600c252q3mg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140378-kwa_mnasaba_wa_kuuawa_shahidi_haniya_iran_yasisitiza_uungaji_mkono_wake_kwa_malengo_ya_palestina </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa pili tangu alipouawa shahidi Ismail Haniya, ambapo mbali na kumuenzi mkuu huyo wa zamani wa ofisi ya kisiasa ya HAMAS imesisitiza kuendelea kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina na ulazima wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa ili kupunguza mateso ya watu wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi, sambamba na kufunguliwa kesi wahusika wa jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni </description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 03:39:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya Iran kuapa kuwa itajibu mapigo makali, Trump asitisha mashambulizi dhidi ya miundombinu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140366-baada_ya_iran_kuapa_kuwa_itajibu_mapigo_makali_trump_asitisha_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06685c835b02q3ji.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140366-baada_ya_iran_kuapa_kuwa_itajibu_mapigo_makali_trump_asitisha_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu </guid>  
      <description>Rais wa Marekani Donald Trump amesema amefuta mashambulizi aliyotangaza kuwa yatafanywa dhidi ya Iran baada ya nchi za eneo kuomba yasitishwe wakati juhudi zinafanywa ili kufikia makubaliano, na kufuatia maonyo yaliyotolewa na Tehran kwamba uchokozi wowote mpya wa Marekani au Israel utakabiliwa na jibu la mapigo makali.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:16:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Abdel Bari Atwan: Makamanda wa jeshi la Marekani wanahofia kurudiwa "tajiriba ya Vietnam"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140362-abdel_bari_atwan_makamanda_wa_jeshi_la_marekani_wanahofia_kurudiwa_tajiriba_ya_vietnam</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05602c863ba2q3k0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140362-abdel_bari_atwan_makamanda_wa_jeshi_la_marekani_wanahofia_kurudiwa_tajiriba_ya_vietnam </guid>  
      <description>Abdel Bari Atwan, mchambuzi mashuhuri katika Ulimwengu wa Kiarabu ameashiria jinsi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilivyojiandaa kutoa kipigo kikali dhidi ya uchokozi wowote, na hofu ya makamanda wa kijeshi wa Marekani ya kujirudia tajriba ya Vita vya Vietnam, na kutaja sababu tano zilizomfanya Trump arudi nyuma katika kutekeleza vitisho vyake.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:09:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Iran iko tayari kukabiliana na uvamizi wowote mpya wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140350-araqchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_uvamizi_wowote_mpya_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01346e76d252q3a8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140350-araqchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_uvamizi_wowote_mpya_wa_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ameonya dhidi ya kitendo chochote kipya cha uvamizi cha Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisisitiza kwamba Tehran iko tayari kikamilifu kukabiliana na makosa yoyote kama hayo.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 03:16:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Mkuu wa Iran: Nchi za kanda hii zinazotumika kama ngao ya Marekani 'zitateketea katika moto wa vita'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140336-kamanda_mkuu_wa_iran_nchi_za_kanda_hii_zinazotumika_kama_ngao_ya_marekani_'zitateketea_katika_moto_wa_vita'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d4e1c906552q35u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140336-kamanda_mkuu_wa_iran_nchi_za_kanda_hii_zinazotumika_kama_ngao_ya_marekani_'zitateketea_katika_moto_wa_vita' </guid>  
      <description>Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amezionya nchi za kanda hii kuhusu kushirikiana na Marekani akisema: Nchi yoyote itakayotumika kama "ngao ya ulinzi" kwa Washington itaungua katika moto wa vita. </description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 11:34:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yazilenga na kuzisimamisha meli mbili za mafuta katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140326-irgc_yazilenga_na_kuzisimamisha_meli_mbili_za_mafuta_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb7db8c06722q2v4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140326-irgc_yazilenga_na_kuzisimamisha_meli_mbili_za_mafuta_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) jana lilitangaza kuwa zimezishambulia meli mbili za mafuta katika Lango Bahari la Hormuz na kuzisimamisha baada ya kukiuka sheria na tahadhari ilizopewa.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:35:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani si mchezaji mkuu tena Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140314-hatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_si_mchezaji_mkuu_tena_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1facf5f1262q2s8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140314-hatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_si_mchezaji_mkuu_tena_asia_magharibi </guid>  
      <description>Imamu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran, amesema Marekani si mchezaji mkuu tena katika eneo la Magharibi mwa Asia, akisisitiza kwamba: "Leo, kwa hatua za Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na mapambano yanayotokana na maarifa na imani ya wapiganaji wa Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefikia kiwango cha juu cha kujilinda ambacho kinamfanya adui asiwezi kuanza chochoko ya aina yoyote bila kupata jibu linalofaa."</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 11:03:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Droni za Jeshi la Iran zashambulia vituo vya kimkakati vya Marekani nchini Kuwait</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140308-droni_za_jeshi_la_iran_zashambulia_vituo_vya_kimkakati_vya_marekani_nchini_kuwait</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze5d5f18a9d2q2r4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140308-droni_za_jeshi_la_iran_zashambulia_vituo_vya_kimkakati_vya_marekani_nchini_kuwait </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeshambulia vituo vya kimkakati vya jeshi la kigaidi la Marekani katika kambi ya Ahmed al-Jaber huko Kuwait kwa kutumia ndege zisizo na rubani zenye uharibifu mkubwa.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 10:01:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei amhoji Guterres; kwa nini unahepa kuwataja wavurugaji wawili wakuu wa sheria za kimataifa?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140304-baghaei_amhoji_guterres_kwa_nini_unahepa_kuwataja_wavurugaji_wawili_wakuu_wa_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz09042b5b432q2ok.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140304-baghaei_amhoji_guterres_kwa_nini_unahepa_kuwataja_wavurugaji_wawili_wakuu_wa_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria matamshi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupuuzwa kwa sheria za kimataifa kwa namna inayotisha, na kumhutubu yeye kwa kumwambia: "Sasa ni wakati wa kutimiza jukumu lako zito na kusaidia kuzuia Umoja wa Mataifa na mfumo wa kanuni zake kutofikwa na hatima ya Jumuiya ya Mataifa."</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:42:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya watu milioni 2 wavuka mipaka ya Iran kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein (AS)</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140302-zaidi_ya_watu_milioni_2_wavuka_mipaka_ya_iran_kwa_ajili_ya_arubaini_ya_imam_hussein_(as)</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz00ac14c5292q2om.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140302-zaidi_ya_watu_milioni_2_wavuka_mipaka_ya_iran_kwa_ajili_ya_arubaini_ya_imam_hussein_(as) </guid>  
      <description>Zaidi ya mazuwari milioni mbili wa Iran wamevuka salama mipaka ya nchi ili kuhudhuria shughuli ya kila mwaka ya Arubaini ya Imam Hussein, mojawapo ya mikusanyiko mikubwa zaidi ya kidini duniani, inayofanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:40:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran yaharibu ndege tatu za F-35 katika kambi ya Marekani huko Jordan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140292-mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran_yaharibu_ndege_tatu_za_f_35_katika_kambi_ya_marekani_huko_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze274706dc12q2lw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140292-mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran_yaharibu_ndege_tatu_za_f_35_katika_kambi_ya_marekani_huko_jordan </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limefanya mashambulizi ya makombora ya balestiki kwenye Kituo cha Anga cha Muwaffaq Salti kinachoendeshwa na jeshi la Marekani huko Azraq, nchini Jordan, na kuharibu ndege tatu za kivita za Marekani aina ya F-35 na kusababisha madhara makubwa kwa ndege nyingine tatu, katika operesheni ya kulipiza kisasi kwa shambulio la anga la Marekani lililoua watu watatu wa familia moja kwenye Kisiwa cha Qeshm nchini Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 15:02:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la kinyama la US kisiwani Qeshm, Iran laua wazazi na mtoto wao mdogo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140286-shambulio_la_kinyama_la_us_kisiwani_qeshm_iran_laua_wazazi_na_mtoto_wao_mdogo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzbecba062fa2q2iu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140286-shambulio_la_kinyama_la_us_kisiwani_qeshm_iran_laua_wazazi_na_mtoto_wao_mdogo </guid>  
      <description>Wanafamilia watatu, wakiwemo mama, baba na mtoto wao wa kiume wa miaka miwili, wameuawa shahidi katika shambulio la kinyama la anga la jeshi la kigaidi la Marekani lililolenga jengo la makazi kwenye Kisiwa cha Qeshm kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 11:11:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Marekani ilisimamisha vita dhidi ya Iran baada ya wiki mbili?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140276-kwa_nini_marekani_ilisimamisha_vita_dhidi_ya_iran_baada_ya_wiki_mbili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzce3c57cb7f2q21a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140276-kwa_nini_marekani_ilisimamisha_vita_dhidi_ya_iran_baada_ya_wiki_mbili </guid>  
      <description>Kufuatia wiki mbili za uhasama na baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuzungumzia uwezekano wa kupanua mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran, mapigano kati ya pande hizi yalisimama ghafla.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 07:58:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Nguvu Dhaniwa ya Ulaya Ilivyosambaratika?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140272-namna_nguvu_dhaniwa_ya_ulaya_ilivyosambaratika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz55f796dd592q2cu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140272-namna_nguvu_dhaniwa_ya_ulaya_ilivyosambaratika </guid>  
      <description>Esmaeil Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, huku akijibu karibuni hivi hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuiwekea Iran vikwazo vipya kwa kisingizio cha kutetea haki za binadamu, amesema: "Madai ya Umoja wa Ulaya kuhusu kutetea haki za binadamu za wananchi wa Iran ni unafiki mtupu."</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 04:44:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lashambulia kambi ya anga ya Marekani Jordan, lasimamisha meli Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140260-jeshi_la_iran_lashambulia_kambi_ya_anga_ya_marekani_jordan_lasimamisha_meli_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzab66d7463f2q29q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140260-jeshi_la_iran_lashambulia_kambi_ya_anga_ya_marekani_jordan_lasimamisha_meli_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetekeleza shambulizi la kulipiza kisasi kwa makombora ya balistiki dhidi ya kambi ya Jeshi la Anga la Marekani nchini Jordan, sambamba na kusimamisha meli tatu zilizoingia kinyume cha sheria katika Lango Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Jul 2026 14:34:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya: Hujuma za Marekani na Israsel ni tishio kwa amani duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140258-iran_yaonya_hujuma_za_marekani_na_israsel_ni_tishio_kwa_amani_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5ae22a5e822q29m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140258-iran_yaonya_hujuma_za_marekani_na_israsel_ni_tishio_kwa_amani_duniani </guid>  
      <description>Iran imeonya kuwa kuendelea kwa hujuma za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza, mashambulizi dhidi ya nchi jirani, na upanuzi wa makazi haramu, sambamba na hujuma zisizo halali za Marekani dhidi ya Iran, kunaleta tishio kubwa kwa amani ya kikanda na ya kimataifa huku ikisisitiza tena haki yake ya kujilinda.
</description>
      <pubDate>Wed, 29 Jul 2026 14:29:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taasisi ya Royan ya Iran ni miongoni mwa taasisi 10 bora duniani katika kutibu ugumba </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140256-taasisi_ya_royan_ya_iran_ni_miongoni_mwa_taasisi_10_bora_duniani_katika_kutibu_ugumba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz163d82257f2q29e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140256-taasisi_ya_royan_ya_iran_ni_miongoni_mwa_taasisi_10_bora_duniani_katika_kutibu_ugumba </guid>  
      <description>Taasisi ya Utafiti ya Royan ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetajwa kuwa miongoni mwa taasisi kumi zenye ushawishi mkubwa zaidi duniani katika masuala ya utafiti wa ugumba wa kiume na teknolojia ya usaidizi wa uzazi (ART) ikishika nafasi ya tisa kimataifa.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Jul 2026 14:26:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Iran inadhihirisha uwezo unaoongezeka wa kushambulia shabaha za kijeshi za US kupitia operesheni za pamoja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140250-ripoti_iran_inadhihirisha_uwezo_unaoongezeka_wa_kushambulia_shabaha_za_kijeshi_za_us_kupitia_operesheni_za_pamoja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz736707dbb72q1xq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140250-ripoti_iran_inadhihirisha_uwezo_unaoongezeka_wa_kushambulia_shabaha_za_kijeshi_za_us_kupitia_operesheni_za_pamoja </guid>  
      <description>Iran imeonyesha uwezo unaoongezeka wa kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani kote Asia Magharibi kwa kuchanganya ndege zisizo na rubani za mashambulizi na makombora ya kisasa ya balestiki. Hii ni kwa mujibu wa  ripoti iliyomnukuu ripoti afisa wa ngazi ya juu wa Marekani.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Jul 2026 03:01:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Nchi yoyote inayopokea pesa kutoka kwenye mali za Iran hairuhusiwi kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140248-'nchi_yoyote_inayopokea_pesa_kutoka_kwenye_mali_za_iran_hairuhusiwi_kupita_katika_mlango_bahari_wa_hormuz'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze5ba4d26202q1xo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140248-'nchi_yoyote_inayopokea_pesa_kutoka_kwenye_mali_za_iran_hairuhusiwi_kupita_katika_mlango_bahari_wa_hormuz' </guid>  
      <description>Msemaji wa Makao Makuu ya Kijeshi ya Khatamul-Anbiyaa amesema: "Kampuni au nchi yoyote ile itakayopokea pesa kutoka kwenye mali za Iran haitaruhusiwa kupita kwenye Mlango-Bahari wa Hormuz."</description>
      <pubDate>Wed, 29 Jul 2026 02:43:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya Ulinzi: Vitisho vya US dhidi ya meli za Iran havitaachwa bila ya jibu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140238-vikosi_vya_ulinzi_vitisho_vya_us_dhidi_ya_meli_za_iran_havitaachwa_bila_ya_jibu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb2777b430c2q1uu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140238-vikosi_vya_ulinzi_vitisho_vya_us_dhidi_ya_meli_za_iran_havitaachwa_bila_ya_jibu </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya operesheni za kijeshi ya Iran imeionya Marekani kwamba vitisho inavyotoa dhidi ya meli za Jamhuri ya Kiislamu za kibiashara na za mafuta havitaachwa bila ya jibu.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 14:14:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laapa kutoa jibu kali zaidi dhidi ya uchokozi wowote siku zijazo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140224-jeshi_la_iran_laapa_kutoa_jibu_kali_zaidi_dhidi_ya_uchokozi_wowote_siku_zijazo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz8982ec1b4c2q1k2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140224-jeshi_la_iran_laapa_kutoa_jibu_kali_zaidi_dhidi_ya_uchokozi_wowote_siku_zijazo </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limeapa kutoa jibu kali na la nguvu zaidi dhidi ya uchokozi wa nchi yoyote katika siku zijazo.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 04:00:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Hatua hatari za kukurupuka za Ukraine zitapewa majibu muwafaka </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140214-baqaei_hatua_hatari_za_kukurupuka_za_ukraine_zitapewa_majibu_muwafaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb4416c1cce2q1c2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140214-baqaei_hatua_hatari_za_kukurupuka_za_ukraine_zitapewa_majibu_muwafaka </guid>  
      <description>Shambulio la Ukraine dhidi ya meli ya Iran lilikuwa kinyume cha sheria, limekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na ni kitendo hatari cha kichokozi. </description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 03:47:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Marekani imesaliti diplomasia kwa mara ya tatu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140210-baghaei_marekani_imesaliti_diplomasia_kwa_mara_ya_tatu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd4b467e9ae2q1c8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140210-baghaei_marekani_imesaliti_diplomasia_kwa_mara_ya_tatu </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema kuwa Marekani imeisaliti diplomasia kwa mara ya tatu, akieleza kuwa hatua za Washington zimeendelea kudhoofisha juhudi za kutatua migogoro kupitia mazungumzo.

</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 09:50:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Marekani imefikia mkwamo wa kimkakati katika mgogoro wake na Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140200-je_marekani_imefikia_mkwamo_wa_kimkakati_katika_mgogoro_wake_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb23e69458f2q16m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140200-je_marekani_imefikia_mkwamo_wa_kimkakati_katika_mgogoro_wake_na_iran </guid>  
      <description>Wachambuzi wengi mashuhuri wa Marekani wanaonya kwamba Washington inatembea kwenye njia ya mgogoro na Iran ambayo si lazima ifanikiwe kisiasa au kistratijia. Wanaamini kwamba changamoto kuu inayoikabili Marekani kwa sasa si kuanzisha vita, bali ni kutafuta njia ya kujiondoa kwenye mkwamo unaozidi kuongezeka siku hadi siku.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 07:11:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu: Uimara wa Hizbullah ni ujumbe kwa mataifa huru</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140198-kiongozi_muadhamu_uimara_wa_hizbullah_ni_ujumbe_kwa_mataifa_huru</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1b9c5d1ce52q14c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140198-kiongozi_muadhamu_uimara_wa_hizbullah_ni_ujumbe_kwa_mataifa_huru </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ameisifu harakati ya Hizbullah kwa msimamo wake thabiti na usioyumba katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema, kuwa uimara wa harakati hiyo ya Lebanon ni ujumbe wenye nguvu wa ukombozi kwa mataifa yaliyodhulumiwa duniani kote.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 04:00:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na Marekani ufuatiliwe kisheria kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140196-pezeshkian_uharibifu_wa_miundombinu_uliosababishwa_na_marekani_ufuatiliwe_kisheria_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzeaed6e220c2q144.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140196-pezeshkian_uharibifu_wa_miundombinu_uliosababishwa_na_marekani_ufuatiliwe_kisheria_kimataifa </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amelaani mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani dhidi ya miundombinu ya usafiri ya Iran akiyataja kuwa ni "uhalifu wa kivita," na kutaka hatua za kisheria za kimataifa zichukuliwe dhidi ya uharibifu uliosababishwa na nchi hiyo kwenye vituo vya mpakani, vituo vya forodha na mitandao ya usafirishaji.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 03:59:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yazionya Israel na Uingereza kuhusu kuisaidia Marekani katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140184-irgc_yazionya_israel_na_uingereza_kuhusu_kuisaidia_marekani_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz86c8edab822q112.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140184-irgc_yazionya_israel_na_uingereza_kuhusu_kuisaidia_marekani_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limezionya Uingereza na utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuisaidia na kushirikiana na Marekani katika vita vyake vya jinai na uchokozi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 13:28:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasifu mazungumzo ‘yenye tija’ na Oman kuhusu usafirishaji katika Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140182-iran_yasifu_mazungumzo_yenye_tija’_na_oman_kuhusu_usafirishaji_katika_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz867efe369e2q10q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140182-iran_yasifu_mazungumzo_yenye_tija’_na_oman_kuhusu_usafirishaji_katika_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Iran imesema kuwa mazungumzo kati yake na Oman kuhusu safari salama za meli katika Lango Bahari la Hormuz yamepiga hatua nzuri, lakini hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika katika suala la usafirishaji kupitia njia hiyo muhimu ya maji.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 13:20:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Karibu miundombinu yote ya Marekani huko Erbil imeharibiwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140180-jeshi_la_iran_karibu_miundombinu_yote_ya_marekani_huko_erbil_imeharibiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze5cee0d1362q10k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140180-jeshi_la_iran_karibu_miundombinu_yote_ya_marekani_huko_erbil_imeharibiwa </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza kuwa karibu miundombinu yote ya Marekani katika mji wa Erbil, kaskazini mwa Iraq imeharibiwa.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 13:18:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump Aidhinisha Saudi Arabia kuwa na Mpango wa Nyuklia: Mfano Mwingine wa Undumakuwili wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140174-trump_aidhinisha_saudi_arabia_kuwa_na_mpango_wa_nyuklia_mfano_mwingine_wa_undumakuwili_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz150b844c832q0fw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140174-trump_aidhinisha_saudi_arabia_kuwa_na_mpango_wa_nyuklia_mfano_mwingine_wa_undumakuwili_wa_marekani </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani hatimaye ametiliana saini na Saudi Arabia makubaliano ya ushirikiano wa nishati ya nyuklia kwa matumizi ya kiraia, ambayo yanafungua njia kwa ajili ya shughuli za kurutubisha urani ndani ya ufalme huo.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 09:43:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi alaani vikali shambulio la Ukraine dhidi ya meli ya biashara ya Iran Bahari ya Caspian</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140172-araqchi_alaani_vikali_shambulio_la_ukraine_dhidi_ya_meli_ya_biashara_ya_iran_bahari_ya_caspian</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4db64b9a9d2q0qy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140172-araqchi_alaani_vikali_shambulio_la_ukraine_dhidi_ya_meli_ya_biashara_ya_iran_bahari_ya_caspian </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amelaani vikali shambulio la kijeshi lililofanywa na utawala wa Ukraine dhidi ya meli ya biashara ya Iran katika Bahari ya Caspian.

</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 03:21:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mashambulizi yataendelea hadi adui atakapojisalimisha kikamilifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140170-iran_mashambulizi_yataendelea_hadi_adui_atakapojisalimisha_kikamilifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb791fab44f2q0qw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140170-iran_mashambulizi_yataendelea_hadi_adui_atakapojisalimisha_kikamilifu </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohammad Baqer Zolghadr amesema mashambulizi ya vikosi vya jeshi la Iran yataendelea hadi adui atakapojisalimisha kikamilifu na hadi kulipiza kisasi kwa damu ya mashahidi.

</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 03:10:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mawaziri wa Mambo ya nje wa Iran na Russia wajadili uchokozi wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140158-mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_na_russia_wajadili_uchokozi_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzaaed184a042q0jc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140158-mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_na_russia_wajadili_uchokozi_wa_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kujitolea kikamilifu katika kulinda maslahi yake ya kitaifa na usalama wake, akisisitiza kuwa ukosefu wa utulivu wa sasa katika Lango Bahari la Hormuz ni matokeo ya moja kwa moja ya ukiukaji wa ahadi na jinai zilizofanywa na Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 11:15:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani kimya cha EU kuhusu jinai za kivita za  Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140152-iran_yalaani_kimya_cha_eu_kuhusu_jinai_za_kivita_za_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9e3ed1de792q0ju.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140152-iran_yalaani_kimya_cha_eu_kuhusu_jinai_za_kivita_za_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Iran imekosoa vikali kauli za mkuu wa diplomasia wa Umoja wa Ulaya, Kaja Kallas, kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran, huku ikibaki kimya kuhusu jinai za vita zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya nchi hii, na kuzitaja kuwa ni “aina safi kabisa ya unafiki.”</description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 11:04:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Trump Anavyodhihirisha Hasara ya Vita na Iran kama Mafanikio</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140150-namna_trump_anavyodhihirisha_hasara_ya_vita_na_iran_kama_mafanikio</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz46f82010972q0io.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140150-namna_trump_anavyodhihirisha_hasara_ya_vita_na_iran_kama_mafanikio </guid>  
      <description>Kwa kuchapisha orodha ya wahanga wa vita tofauti vya Marekani, Rais Donald Trump amejaribu kudhihirisha mzozo na Iran kama "vita vyenye gharama ya chini, na vilivyofanikiwa" ambapo sasa anajivunia vifo vya wanajeshi 18 wa Marekani walioangamia katika vita vya karibuni.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 09:19:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kambi za Marekani Kuwait na Bahrain, yaonya raia wakae mbali na maeneo walipo Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140146-irgc_yashambulia_kambi_za_marekani_kuwait_na_bahrain_yaonya_raia_wakae_mbali_na_maeneo_walipo_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1f0ef855c52q0cm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140146-irgc_yashambulia_kambi_za_marekani_kuwait_na_bahrain_yaonya_raia_wakae_mbali_na_maeneo_walipo_wamarekani </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa kutekeleza mashambulizi mapya dhidi ya ngome za kijeshi za Marekani nchini Kuwait na Bahrain, huku likitoa onyo kwa raia katika nchi zinazowapa hifadhi wanajeshi wa Marekani kuondoka mara moja na kuwa mbali kwa angalau mita 500 kutoka maeneo yanayotumiwa na wanajeshi hao.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 03:15:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Idara ya Mahakama: Iran Haina Uadui na nchi jirani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140144-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_iran_haina_uadui_na_nchi_jirani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz36cd7b241a2q0ck.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140144-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_iran_haina_uadui_na_nchi_jirani </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Gholam-Hossein Mohseni Eje’i, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina uadui wowote dhidi ya nchi jirani, akibainisha kuwa mashambulizi ya kulipiza kisasi hulenga vituo vilivyotumika kutekeleza mashambulizi ya Marekani katika eneo hili.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 03:11:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Khatami: Watu wa Iran wamesimama imara mitaani hadi ushindi wa mwisho</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140136-ayatullah_khatami_watu_wa_iran_wamesimama_imara_mitaani_hadi_ushindi_wa_mwisho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz981fe3daaf2q07w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140136-ayatullah_khatami_watu_wa_iran_wamesimama_imara_mitaani_hadi_ushindi_wa_mwisho </guid>  
      <description>Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, watu wa Iran wamesimama imara mitaani hadi ushindi wa mwisho.

</description>
      <pubDate>Fri, 24 Jul 2026 10:03:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Kimya na misimamo ya kinafiki kwa mashambulizi dhidi ya Iran kunawapa kiburi wavamizi kuendeleza uhalifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140134-araghchi_kimya_na_misimamo_ya_kinafiki_kwa_mashambulizi_dhidi_ya_iran_kunawapa_kiburi_wavamizi_kuendeleza_uhalifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2e9e4872e72q06y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140134-araghchi_kimya_na_misimamo_ya_kinafiki_kwa_mashambulizi_dhidi_ya_iran_kunawapa_kiburi_wavamizi_kuendeleza_uhalifu </guid>  
      <description>Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, ukimya na misimamo ya kindumakuwili kuhusu mashambulizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kunawapa nguvu na kuwahamasisha wavamizi kuendelea kutekeleza vitendo vyao.

</description>
      <pubDate>Fri, 24 Jul 2026 08:47:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la SEPAH laionya Uingereza na kuitaka isizidi kulichafua faili lake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140132-jeshi_la_sepah_laionya_uingereza_na_kuitaka_isizidi_kulichafua_faili_lake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz295e27d38b2q06w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140132-jeshi_la_sepah_laionya_uingereza_na_kuitaka_isizidi_kulichafua_faili_lake </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limetoa onyo kali kwa serikali ya kifalme ya Uingereza, likiitaja kuwa miongoni mwa nchi zilizokuwa na mchango mkubwa katika mashambulizi ya hivi karibuni yaliyofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

</description>
      <pubDate>Fri, 24 Jul 2026 08:45:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei aionya GCC na Jordan: Kushiriki uchokozi dhidi ya Iran ni kielelezo cha uvamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140130-baqaei_aionya_gcc_na_jordan_kushiriki_uchokozi_dhidi_ya_iran_ni_kielelezo_cha_uvamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf3461611992q06s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140130-baqaei_aionya_gcc_na_jordan_kushiriki_uchokozi_dhidi_ya_iran_ni_kielelezo_cha_uvamizi </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amelionya Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) pamoja na Jordan kwamba, ushiriki wowote katika mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran utachukuliwa kuwa ni kitendo cha uchokozi wa kijeshi.

</description>
      <pubDate>Fri, 24 Jul 2026 08:44:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msishiriki katika uchokozi dhidi ya Iran, Gharibabadi azionya nchi za Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140124-msishiriki_katika_uchokozi_dhidi_ya_iran_gharibabadi_azionya_nchi_za_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc0e4afab592q04g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140124-msishiriki_katika_uchokozi_dhidi_ya_iran_gharibabadi_azionya_nchi_za_ulaya </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amezionya nchi za Ulaya kwamba kutoa kambi au maeneo ya kijeshi kwa Marekani kutaziweka "katika safu ya wavamizi."</description>
      <pubDate>Fri, 24 Jul 2026 02:55:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran iko tayari kuanzisha awamu mpya ya vita na kutumia mikakati mipya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140118-iran_iko_tayari_kuanzisha_awamu_mpya_ya_vita_na_kutumia_mikakati_mipya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9c0c6134442q044.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140118-iran_iko_tayari_kuanzisha_awamu_mpya_ya_vita_na_kutumia_mikakati_mipya </guid>  
      <description>Msemaji wa jeshi la Iran jana Alhamisi alitahadharisha kuwa Tehran itatumia mikakati na mbinu mpya ili kuifanya Marekani ishindwe kuendeleza vita iwapo mashambulio ya nchi hiyo dhidi ya miundombinu ya kusini mwa Iran yataendelea.</description>
      <pubDate>Fri, 24 Jul 2026 02:45:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaapa kulipiza kisasi iwapo Marekani itashambulia miundombinu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140112-iran_yaapa_kulipiza_kisasi_iwapo_marekani_itashambulia_miundombinu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze13fa932362puo8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140112-iran_yaapa_kulipiza_kisasi_iwapo_marekani_itashambulia_miundombinu </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameweka bayana msimamo thabiti wa Iran kwamba shambulio lolote dhidi ya miundombinu ya Iran litajibiwa kwa hatua stahiki na za maamuzi dhidi ya wachokozi na wale wote wanaowasaidia.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 11:52:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Iran na Iraq wasisitiza kuimarisha mahusiano ya kimkakati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140110-viongozi_wa_iran_na_iraq_wasisitiza_kuimarisha_mahusiano_ya_kimkakati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6f487f55772pzxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140110-viongozi_wa_iran_na_iraq_wasisitiza_kuimarisha_mahusiano_ya_kimkakati </guid>  
      <description>
Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq wamesisitiza juu ya mafungamano marefu ya kihistoria, kiutamaduni, kidini, na ya kijamii yaliyopo baina ya nchi hizo mbili, wakibainisha ulazima wa kuhifadhi na kuimarisha rasilimali hii yenye thamani kuu kama nguzo imara ya kutanua ushirikiano wa kimkakati.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 11:51:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi Makali ya Iran dhidi ya Vituo vya Marekani nchini Jordan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140104-mashambulizi_makali_ya_iran_dhidi_ya_vituo_vya_marekani_nchini_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze42c9326b42pzrc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140104-mashambulizi_makali_ya_iran_dhidi_ya_vituo_vya_marekani_nchini_jordan </guid>  
      <description>Mashambulizi ya Iran dhidi ya vituo vya Marekani nchini Jordan yanachukuliwa kuwa miongoni mwa operesheni zilizofanikiwa zaidi katika mzozo wa kijeshi wa hivi karibuni kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 08:23:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Dkt. Pezeshkian: Hakuna sababu wala mpaka unaoweza kuvunja uhusiano wa Iran na Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140100-dkt._pezeshkian_hakuna_sababu_wala_mpaka_unaoweza_kuvunja_uhusiano_wa_iran_na_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb926b79fba2pztc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140100-dkt._pezeshkian_hakuna_sababu_wala_mpaka_unaoweza_kuvunja_uhusiano_wa_iran_na_iraq </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, amesema kuwa hakuna sababu yoyote wala mipaka ya kijiografia inayoweza kuvunja uhusiano wa kindugu na wa kihistoria uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq.

</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 03:18:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Majeshi Iran aionya Marekani kuhusu hujuma ya kijeshi ya nchi kavu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140098-mkuu_wa_majeshi_iran_aionya_marekani_kuhusu_hujuma_ya_kijeshi_ya_nchi_kavu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz41d4d990052pzta.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140098-mkuu_wa_majeshi_iran_aionya_marekani_kuhusu_hujuma_ya_kijeshi_ya_nchi_kavu </guid>  
      <description>Mkuu wa Majeshi ya Iran, Meja Jenerali Amir Hatami, ametoa onyo kali kwamba uvamizi wowote wa nchi kavu wa jeshi la Marekani utakabiliwa na jibu la kijeshi la kuangamiza. Amesisitiza kuwa mamilioni ya Wairani wako tayari kuwakabili wavamizi kwa kila nyenzo waliyo nayo, huku Majeshi ya Ulinzi yakiwa katika utayari wa hali ya juu dhidi ya uchokozi wowote.

</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 03:09:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Tathmini ya CIA yakiri hujuma za Marekani dhidi ya Iran zimeshindwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140096-ripoti_tathmini_ya_cia_yakiri_hujuma_za_marekani_dhidi_ya_iran_zimeshindwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2a76ad85862pzt8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140096-ripoti_tathmini_ya_cia_yakiri_hujuma_za_marekani_dhidi_ya_iran_zimeshindwa </guid>  
      <description>Tathmini mpya ya kiintelijensia ya Marekani imetoa pigo kubwa kwa propaganda za kivita za utawala wa Donald Trump, kwa kuhitimisha kwamba kuendelezwa kwa uchokozi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hakutaweza kufanikisha malengo yoyote yaliyotangazwa na Ikulu ya White House.

</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 02:54:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Minab yazika vipande 62 vya miili ya watoto 32 waliouawa katika mashambulizi ya Marekani Februari 28 shuleni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140088-minab_yazika_vipande_62_vya_miili_ya_watoto_32_waliouawa_katika_mashambulizi_ya_marekani_februari_28_shuleni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz02643560212pzo2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140088-minab_yazika_vipande_62_vya_miili_ya_watoto_32_waliouawa_katika_mashambulizi_ya_marekani_februari_28_shuleni </guid>  
      <description>Zaidi ya vipande 62 vya miili ya wanafunzi 32 waliouawa katika shambulio la anga la Marekani katika Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab kusini mwa Iran vimetambuliwa kupitia vipimo vya vinasaba (DNA) na kuzikwa, karibu miezi mitano baada ya mashambulizi yaliyoua wanafunzi na walimu wao wasiopungua 168.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 11:59:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Katu hatutalegeza kamba kuhusu haki za taifa la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140084-rais_pezeshkian_katu_hatutalegeza_kamba_kuhusu_haki_za_taifa_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb5c3c480a92pzls.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140084-rais_pezeshkian_katu_hatutalegeza_kamba_kuhusu_haki_za_taifa_la_iran </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa mazungumzo yaliyofanyika kati ya Iran na Marekani yalianzishwa kwa kuzingatia misingi ya heshima, maslahi ya taifa, busara na hadhi ya Iran.

</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 09:53:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei akosoa utovu wa shukrani wa Kuwait na hatua yake ya kuwapokea maadui wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140082-baqaei_akosoa_utovu_wa_shukrani_wa_kuwait_na_hatua_yake_ya_kuwapokea_maadui_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzae02864a7f2pzlo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140082-baqaei_akosoa_utovu_wa_shukrani_wa_kuwait_na_hatua_yake_ya_kuwapokea_maadui_wa_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, ameikosoa serikali ya Kuwait kwa kile alichokiita kutokuwa na shukrani nchi hiyo na kuwakaribisha maadui wa Iran licha ya uhusiano wa ujirani uliopo kati ya nchi hizo.

</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 09:51:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani afichua uongo wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140074-seneta_wa_marekani_afichua_uongo_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzfef963dfec2pzhm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140074-seneta_wa_marekani_afichua_uongo_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Seneta Mark Warner wa Marekani amekiri kwamba "hakuna tishio lolote linalokaribia" kutoka kwa Iran dhidi ya Marekani.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 06:22:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Mwenendo wa wanadiplomasia wa Ufaransa Tehran haukubaliki </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140072-araqchi_mwenendo_wa_wanadiplomasia_wa_ufaransa_tehran_haukubaliki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzfe315e32c22pzes.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140072-araqchi_mwenendo_wa_wanadiplomasia_wa_ufaransa_tehran_haukubaliki </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani mwenendo wa wanadiplomasia wawili wa Ufaransa mjini Tehran na kuutaja kuwa "usiokubalika," huku akiitaka Paris kuzuia kujirudia vitendo vinavyokwenda kinyume na taratibu za kidiplomasia.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 03:42:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaangamiza rada za jeshi la Marekani Magharibi mwa Asia, askari kadhaa wauawa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140056-iran_yaangamiza_rada_za_jeshi_la_marekani_magharibi_mwa_asia_askari_kadhaa_wauawa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzaa686e1ac72pz7y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140056-iran_yaangamiza_rada_za_jeshi_la_marekani_magharibi_mwa_asia_askari_kadhaa_wauawa </guid>  
      <description>Majeshi ya Iran yametekeleza operesheni za uharibifu mkubwa wa miundombinu kadhaa ya rada na mifumo ya mawasiliano ya kijeshi ya Marekani katika eneo hili sambamba na hujuma iliyofanya dhidi ya kambi tatu za Marekani nchini Kuwait, ikiwa ni hatua endelevu ya kulipiza kisasi dhidi ya ukiukaji unaofanywa na Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 11:34:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yataka Baraza la Usalama la UN kulaani shambulizi la Marekani dhidi ya kituo cha nyuklia cha Darkhovin</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140054-iran_yataka_baraza_la_usalama_la_un_kulaani_shambulizi_la_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_darkhovin</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw2ee88a12582p7de.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140054-iran_yataka_baraza_la_usalama_la_un_kulaani_shambulizi_la_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_darkhovin </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulaani bila kusita shambulizi la kombora lililofanywa na Marekani dhidi ya Kituo cha Nishati ya Nyuklia cha Darkhovin, na kuthibitisha tena kuwa shambulizi lolote au tishio dhidi ya vituo vya nyuklia vya amani ni kinyume na sheria za kimataifa.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 11:32:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la Iran dhidi ya Kituo cha Marekani huko Al-Tanf, Syria: Hatua Isiyo na Mfano Wake na Yenye Jumbe za Pande Kadhaa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140046-shambulio_la_iran_dhidi_ya_kituo_cha_marekani_huko_al_tanf_syria_hatua_isiyo_na_mfano_wake_na_yenye_jumbe_za_pande_kadhaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz01fe2b82dc2pz3o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140046-shambulio_la_iran_dhidi_ya_kituo_cha_marekani_huko_al_tanf_syria_hatua_isiyo_na_mfano_wake_na_yenye_jumbe_za_pande_kadhaa </guid>  
      <description>Kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad miezi 19 iliyopita, vikosi vya jeshi la Iran vimeshambulia kwa njia ya anga eneo lililo ndani ya ardhi ya Syria.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 06:37:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yathibitisha kupokea mapendekezo ya wapatanishi yanayolenga kupunguza mvutano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140044-iran_yathibitisha_kupokea_mapendekezo_ya_wapatanishi_yanayolenga_kupunguza_mvutano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb1887d0e992pz2s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140044-iran_yathibitisha_kupokea_mapendekezo_ya_wapatanishi_yanayolenga_kupunguza_mvutano </guid>  
      <description>Iran imethibitisha kupokea mapendekezo na maoni mbalimbali kutoka kwa wapatanishi kadhaa yanayolenga kupunguza mivutano na Marekani, huku Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Esmaeil Baqaei, akisema kuwa Tehran inaendelea na juhudi za kidiplomasia sambamba na hatua zinazochukuliwa na vikosi vya ulinzi vya Iran.

</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 03:41:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Marekani imeonyesha tena sera yake ya uharibifu kwa kushambulia miundombinu ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140034-baqaei_marekani_imeonyesha_tena_sera_yake_ya_uharibifu_kwa_kushambulia_miundombinu_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz862000dec62pxn8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140034-baqaei_marekani_imeonyesha_tena_sera_yake_ya_uharibifu_kwa_kushambulia_miundombinu_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amesema kuwa Marekani imeonyesha kwa mara nyingine tena sera yake ya uharibifu baada ya kufanya mashambulizi dhidi ya miundombinu ya Iran.

</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 11:22:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kusimamishwa Ahadi za Mkataba wa Islamabad: Majibu ya Iran dhidi ya Ukiukaji wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140024-kusimamishwa_ahadi_za_mkataba_wa_islamabad_majibu_ya_iran_dhidi_ya_ukiukaji_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9123d0b9542pys0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140024-kusimamishwa_ahadi_za_mkataba_wa_islamabad_majibu_ya_iran_dhidi_ya_ukiukaji_wa_marekani </guid>  
      <description>Iran imesimamisha utekelezaji wa ahadi zake chini ya Mkataba wa Islamabad.
Akifafanua suala hilo, Kazem Gharibabadi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, amesema kuwa baada ya Marekani kukiuka wajibu wake chini ya Mkataba wa Maelewano wa Islamabad, Tehran imesimamisha utekelezaji wa ahadi zake zote na kwamba sasa imejikita katika mipango ya kulinda nchi kwa uthabiti mkabala wa hujuma za adui.
</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 08:06:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, ni malengo gani yanafuatiliwa na Marekani katika kushambulia miundombinu ya Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140008-je_ni_malengo_gani_yanafuatiliwa_na_marekani_katika_kushambulia_miundombinu_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2d1cad21912pyb0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140008-je_ni_malengo_gani_yanafuatiliwa_na_marekani_katika_kushambulia_miundombinu_ya_iran </guid>  
      <description>
Kwa madai ya kushambuliwa meli kadhaa zinazopita kinyume cha sheria kusini mwa Lango-Bahari la Hormuz na kukiukwa Mkataba wa Islamabad, Rais Donald Trump wa Marekani aliamuru kuanzishwa tena mashambulizi ya kichokozi dhidi ya Iran kuanzia Julai 7, ambapo pia mzingiro wa majini dhidi ya Iran ulirejeshwa mnamo Julai 14.
</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 13:49:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran: Wito wa Kiongozi wa "Umoja wa Kitaifa" ni muhimu kwa ushindi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140006-spika_wa_bunge_la_iran_wito_wa_kiongozi_wa_umoja_wa_kitaifa_ni_muhimu_kwa_ushindi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2dd40521122pymw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140006-spika_wa_bunge_la_iran_wito_wa_kiongozi_wa_umoja_wa_kitaifa_ni_muhimu_kwa_ushindi </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amesisitiza kuwa kuzingatia maaagizo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuhusu kudumisha umoja wa kitaifa ni muhimu kwa ajili ya ushindi katika mapambano dhidi ya adui.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 12:54:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140004-jeshi_la_iran_lafanya_mashambulizi_mapya_ya_droni_katika_kambi_za_marekani_huko_kuwait_irgc_yatungua_droni_ya_mq_9_huko_ahvaz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4b4b028cea2pymq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140004-jeshi_la_iran_lafanya_mashambulizi_mapya_ya_droni_katika_kambi_za_marekani_huko_kuwait_irgc_yatungua_droni_ya_mq_9_huko_ahvaz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 12:51:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Khamenei awapongeza Wairaqi kwa mahudhurio makubwa katika mazishi ya Kiongozi shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139998-ayatullah_khamenei_awapongeza_wairaqi_kwa_mahudhurio_makubwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzaf9bd315092pyjw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139998-ayatullah_khamenei_awapongeza_wairaqi_kwa_mahudhurio_makubwa_katika_mazishi_ya_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amewashukuru watu wa Iraq kwa mapokezi "makubwa" na mahudhurio yao ya kustaajabisha katika mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, akisema tukio hilo linaonyesha uhusiano mkubwa wa kidini na kihistoria kati ya mataifa ya Iran na Iraq.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 09:31:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani' </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139994-ukiukaji_wa_mou_wa_marekani_unathibitisha_saini_ya_rais_wa_marekani_'haina_thamani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf56680c2e32pyfa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139994-ukiukaji_wa_mou_wa_marekani_unathibitisha_saini_ya_rais_wa_marekani_'haina_thamani' </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:47:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139992-marekani_yakiri_wanajeshi_wake_wameuawa_katika_shambulizi_la_iran_nchini_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz914cda41a92pyf8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139992-marekani_yakiri_wanajeshi_wake_wameuawa_katika_shambulizi_la_iran_nchini_jordan </guid>  
      <description>Jeshi la Marekani limethibitisha kwamba wanajeshi wake wasiopungua wawili wameuawa katika mashambulizi ya Iran yaliyolenga mali na kambi za kijeshi za za Marekani nchini Jordan.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:44:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iravani: Kutochukua hatua UN kunahalalisha haki ya Iran ya kujibu mashambulizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139988-iravani_kutochukua_hatua_un_kunahalalisha_haki_ya_iran_ya_kujibu_mashambulizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzeb2e2107d12pyd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139988-iravani_kutochukua_hatua_un_kunahalalisha_haki_ya_iran_ya_kujibu_mashambulizi </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeid Iravani, ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Katibu Mkuu wa umoja huo kufuatia uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran, kushambuliwa miundombinu na mauaji ya raia wa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:24:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Op. Nasr-2: IRGC yaharibu rada ya kijeshi ya Marekani huko Kuwait katika shambulio la kulipiza kisasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139982-op._nasr_2_irgc_yaharibu_rada_ya_kijeshi_ya_marekani_huko_kuwait_katika_shambulio_la_kulipiza_kisasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz327d9957792py9q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139982-op._nasr_2_irgc_yaharibu_rada_ya_kijeshi_ya_marekani_huko_kuwait_katika_shambulio_la_kulipiza_kisasi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeharibu kituo cha rada cha jeshi la Marekani katika Kituo cha Anga cha Ali Al Salem na kushambulia mkusanyiko wa wanajeshi wa nchi hiyo katika Kambi ya Arifjan huko Kuwait katika wimbi la 18 la Operesheni Nasr 2.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 11:15:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa IRGC aapa kuendeleza mashambulizi 'yenye ufanisi' zaidi hadi utulivu utakaporejea nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139972-kamanda_wa_irgc_aapa_kuendeleza_mashambulizi_'yenye_ufanisi'_zaidi_hadi_utulivu_utakaporejea_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz94ec139a032py60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139972-kamanda_wa_irgc_aapa_kuendeleza_mashambulizi_'yenye_ufanisi'_zaidi_hadi_utulivu_utakaporejea_nchini_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) ameapa kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza mashambulizi yake ya kulipiza kisasi "yenye ufanisi" hadi utulivu utakaporejeshwa kote nchini.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:34:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kulipiza kisasi damu ya Imam shahidi kutaendelea hadi kuondoka Marekani katika eneo hili na kuangamia utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139960-kulipiza_kisasi_damu_ya_imam_shahidi_kutaendelea_hadi_kuondoka_marekani_katika_eneo_hili_na_kuangamia_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4072f6d93a2py2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139960-kulipiza_kisasi_damu_ya_imam_shahidi_kutaendelea_hadi_kuondoka_marekani_katika_eneo_hili_na_kuangamia_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, kulipiza kisasi damu ya Imam shahidi kutaendelea hadi kuondoka Marekani katika eneo hili na kuangamia utawala wa Kizayuni wa Israel.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 12:08:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaendeleza mashambulizi dhidi ya Kambi za Jeshi la Marekani kulipiza kisasi jinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139948-iran_yaendeleza_mashambulizi_dhidi_ya_kambi_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_jinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb41697336f2pxx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139948-iran_yaendeleza_mashambulizi_dhidi_ya_kambi_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_jinai </guid>  
      <description>Kufuatia hujuma za kikatili za jeshi la kigaidi la Marekani dhidi ya madaraja kadhaa katika maeneo ya kusini mwa Iran, operesheni kubwa na endelevu ya makombora na droni za Iran imetekelezwa usiku wa kuamkia leo dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 04:15:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Udhibiti wa kimkakati wa Lango-Bahari la Hormuz sasa ni matakwa ya kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139946-jeshi_la_iran_udhibiti_wa_kimkakati_wa_lango_bahari_la_hormuz_sasa_ni_matakwa_ya_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf872907a2e2pxv4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139946-jeshi_la_iran_udhibiti_wa_kimkakati_wa_lango_bahari_la_hormuz_sasa_ni_matakwa_ya_kitaifa </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa suala la udhibiti wa kimkakati wa Mlango-Bahari wa Hormuz sasa limegeuka kuwa matakwa ya kitaifa, akisisitiza kuwa wananchi wa Iran wanaunga mkono hatua zinazolenga kulinda maslahi na usalama wa taifa katika njia hiyo muhimu ya kimataifa ya usafirishaji wa mafuta.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 03:00:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya italenga miundombinu yote ya eneo iwapo miundombinu yake itashambuliwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139938-iran_yaonya_italenga_miundombinu_yote_ya_eneo_iwapo_miundombinu_yake_itashambuliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc8a0788f642pxnw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139938-iran_yaonya_italenga_miundombinu_yote_ya_eneo_iwapo_miundombinu_yake_itashambuliwa </guid>  
      <description>Iran imeonya kwamba italenga kila miundombinu iliyosalia katika eneo hili iwapo miundombinu yake itashambuliwa.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:52:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Hakuna sababu ya kuendelea kuzingatia makubaliano na Marekani iwapo Iran hainufaiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139936-qalibaf_hakuna_sababu_ya_kuendelea_kuzingatia_makubaliano_na_marekani_iwapo_iran_hainufaiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1bee0f3fd22pxn2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139936-qalibaf_hakuna_sababu_ya_kuendelea_kuzingatia_makubaliano_na_marekani_iwapo_iran_hainufaiki </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ameonya kwamba ikiwa Jamhuri ya Kiislamu haitanufaika na Mkataba wa Maelewano (MoU) wa Islamabad uliotiwa saini baina yake na na Marekani, basi hakuna sababu yoyote ya kuendelea kuufuata.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:50:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakemea shambulio la Marekani karibu na hospitali ya watoto huko Ahvaz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139932-iran_yakemea_shambulio_la_marekani_karibu_na_hospitali_ya_watoto_huko_ahvaz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze00e5e4cb12pxr0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139932-iran_yakemea_shambulio_la_marekani_karibu_na_hospitali_ya_watoto_huko_ahvaz </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekemea shambulio la Marekani karibu na hospitali ya watoto wanaougua saratani katika mji wa Ahvaz, kusini-magharibi mwa nchi, na kulitaja kuwa ni “uhalifu wa kivita wa kijinga na wa woga.” Taarifa zinasema shambulio hilo lililazimisha uokoaji wa dharura wa mamia ya wagonjwa walio katika hali hatarishi na pia limewatia hofu watoto wanaopatiwa matibabu ya saratani.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 10:44:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mzunguko hatari wa vitisho vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139926-mzunguko_hatari_wa_vitisho_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9cb7b92ed72pxje.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139926-mzunguko_hatari_wa_vitisho_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Baada ya kushindwa kikamilifu mbinu zake zote za vikwazo, vitisho vya kijeshi na mashinikizo ya kisiasa, vitisho vipya vya Trump dhidi ya Iran vinaashiria wazi kushindwa kwake kimkakati, kabla ya kuwa ni dhihirisho la nguvu za Marekani. </description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 09:47:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Marekani imeelekeza mashambulizi yake kusini mwa Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139924-kwa_nini_marekani_imeelekeza_mashambulizi_yake_kusini_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2cad54439f2pxf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139924-kwa_nini_marekani_imeelekeza_mashambulizi_yake_kusini_mwa_iran </guid>  
      <description>Hatua ya majeshi ya Iran ya kudhihirisha nguvu moja kupitia operesheni madhubuti kama vile kufunga Lango Bahari la Hormuz, inatoa ujumbe kwa adui kwamba hakuna migawanyiko yoyote iliyopo jeshini katika uwanja wa vita na kwamba uwezo wote wa taifa umejikita katika lengo moja la kulinda maslahi ya taifa kwa gharama yoyote ile, dhidi ya adui Mmarekani na Mzayuni.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 07:32:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran haina mipango ya kufanya mazungumzo, inalenga kujilinda: Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139916-iran_haina_mipango_ya_kufanya_mazungumzo_inalenga_kujilinda_msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz83fec6edd82pxk6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139916-iran_haina_mipango_ya_kufanya_mazungumzo_inalenga_kujilinda_msemaji_wa_wizara_ya_mambo_ya_nje </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema nchi hiyo haina mpango wa kurudi kwenye mazungumzo na Marekani maadamu Washington inaendelea kukiuka majukumu yake chini ya Mkataba wa Maelewano (MoU) uliosainiwa mwezi uliopita na nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:10:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139902-un_yalaani_mashambulizi_dhidi_ya_wafanyakazi_na_miundombinu_ya_misaada_ya_kibinadamu_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2cad54439f2pxf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139902-un_yalaani_mashambulizi_dhidi_ya_wafanyakazi_na_miundombinu_ya_misaada_ya_kibinadamu_nchini_iran </guid>  
      <description>Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika barua rasmi kwa Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imelaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, huduma za matibabu, magari ya wagonjwa na miundombinu ya misaada. </description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 11:16:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapinga madai ya Trump, yasema hakuna mazungumzo ya moja kwa moja yaliyofanyika na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139900-iran_yapinga_madai_ya_trump_yasema_hakuna_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_yaliyofanyika_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz51a5d932bb2pxda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139900-iran_yapinga_madai_ya_trump_yasema_hakuna_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_yaliyofanyika_na_marekani </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisheria na kimataifa, Kazem Gharibabadi, amepinga madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kwamba Tehran na Washington zilifanya mazungumzo kwa saa 11, akisema hakuna mazungumzo yaliyofanyika Oman kati ya maafisa wa Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 10:09:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139898-pezeshkian_tutalinda_kila_inchi_ya_ardhi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz58e19d5dc52px9w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139898-pezeshkian_tutalinda_kila_inchi_ya_ardhi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa kauli za maafisa wa Marekani na kusisitiza kwamba Iran italinda ardhi yake yote dhidi ya tishio la aina yoyote. </description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 09:20:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Iran lawasilisha muswada wa kusimamia Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139894-bunge_la_iran_lawasilisha_muswada_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzeec5276c9c2px8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139894-bunge_la_iran_lawasilisha_muswada_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limewasilisha rasmi muswada wa sheria unaolenga kuimarisha usimamizi wa Mlango Bahari wa Hormuz, hatua inayokuja wakati wa kuongezeka kwa mvutano na uingiliaji wa Marekani katika njia hiyo muhimu ya kimkakati ya baharini.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 04:00:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Uamuzi wa Uingereza kuhusu jeshi la Sepah unakiuka sheria za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139890-iran_uamuzi_wa_uingereza_kuhusu_jeshi_la_sepah_unakiuka_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4b669b90132px88.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139890-iran_uamuzi_wa_uingereza_kuhusu_jeshi_la_sepah_unakiuka_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekemea vikali uamuzi wa serikali ya Uingereza wa kulitaja Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuwa ni “tishio chini ya Sheria ya Usalama wa Taifa ya Uingereza,” ikisema hatua hiyo “haina msingi na isiyo ya uwajibikaji” na inakiuka sheria za kimataifa.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:55:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lavrov: Kuanza tena mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ni ukiukaji wa Makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139886-lavrov_kuanza_tena_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ukiukaji_wa_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3255264d2e2px82.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139886-lavrov_kuanza_tena_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ukiukaji_wa_makubaliano </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Lavrov, amesema kuwa kuanza tena mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ni ukiukaji wa Hati ya Makubaliano (MoU) iliyotiwa saini kati ya Tehran na Washington.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:51:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran kwa Marekani: Lango la Hormuz halitafunguliwa kamwe kupitia vita na uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139884-jeshi_la_iran_kwa_marekani_lango_la_hormuz_halitafunguliwa_kamwe_kupitia_vita_na_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6333f6d7092pwy0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139884-jeshi_la_iran_kwa_marekani_lango_la_hormuz_halitafunguliwa_kamwe_kupitia_vita_na_uchokozi </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Iran ametoa onyo kali kwa Marekani kuwa hakuna kitendo chochote cha uchokozi kitakachoweza kulazimisha kufunguliwa kwa Lango la Bahari la Hormuz, kufuatia uamuzi wa Tehran wa kulifunga lango hilo la kimkakati baada ya Marekani kukiuka makubaliano.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:15:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawasilisha malalamiko rasmi UN kuhusu ukiukaji wa Marekani wa Mkataba wa Islamabad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139882-iran_yawasilisha_malalamiko_rasmi_un_kuhusu_ukiukaji_wa_marekani_wa_mkataba_wa_islamabad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5834ecf22d2pebe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139882-iran_yawasilisha_malalamiko_rasmi_un_kuhusu_ukiukaji_wa_marekani_wa_mkataba_wa_islamabad </guid>  
      <description>Iran imewasilisha rasmi malalamiko ya kina kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC), ikilaani vikali Marekani kwa kukiuka kwa mfumo Mkataba wa Maelewano (MoU) wa Islamabad uliotiwa saini mwezi uliopita.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:13:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanachama wawili wa kundi la kigaidi la Daesh wanyongwa nchini Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139880-wanachama_wawili_wa_kundi_la_kigaidi_la_daesh_wanyongwa_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2c59445d1d2pwze.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139880-wanachama_wawili_wa_kundi_la_kigaidi_la_daesh_wanyongwa_nchini_iran </guid>  
      <description>Wanachama wawili wa kundi la kigaidi la wakufurishaji la Daesh (ISIS), ambao walipatikana na hatia ya kupanga kutekeleza vitendo vya kigaidi na uasi wa kutumia silaha dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, wamehukumiwa kifo na kunyongwa baada ya hukumu zao kuthibitishwa na Mahakama Kuu ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:11:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Makubaliano ya Islamabad yamekumbwa na mgogoro?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139878-kwa_nini_makubaliano_ya_islamabad_yamekumbwa_na_mgogoro</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3e6f2cbf722pwxq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139878-kwa_nini_makubaliano_ya_islamabad_yamekumbwa_na_mgogoro </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelezea hatua za kichokozi za utawala wa Marekani kuwa ni ukiukaji wa makubaliano ya Islamabad na chanzo cha mgogoro unaohusu utekelezaji wake.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 11:05:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mkataba wa Islamabad umevurugwa na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139872-iran_mkataba_wa_islamabad_umevurugwa_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz52827901572pwps.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139872-iran_mkataba_wa_islamabad_umevurugwa_na_marekani </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa mkataba wa maelewano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni baina yake na Marekani sasa uko katika hali ya mkwamo, kufuatia hatua ya Washington kukiuka ahadi zake. Mkatataba huo unajulikana kama Mkataba wa Islamabad kutokana na kuhusika Pakistan katika jitihada za upatanishi baina ya pande hizo mbili.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:50:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Picha za satelaiti zaonyesha uharibifu mkubwa katika kambi za Marekani zilizolengwa na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139870-picha_za_satelaiti_zaonyesha_uharibifu_mkubwa_katika_kambi_za_marekani_zilizolengwa_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5308afad582pwpq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139870-picha_za_satelaiti_zaonyesha_uharibifu_mkubwa_katika_kambi_za_marekani_zilizolengwa_na_iran </guid>  
      <description>Vyanzo vya kijeshi vya tovuti ya Open Source Intelligence (OSINT) vimetoa picha zinazoonyesha kiwango kikubwa cha uharibifu uliosababishwa na mashambulizi ya hivi karibuni ya kulipiza kisasi ya Iran dhidi ya shabaha nyeti na za kimkakati za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:48:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lango-Bahari la Hormuz na Ndoto za White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139860-lango_bahari_la_hormuz_na_ndoto_za_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz48cb011db12pweu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139860-lango_bahari_la_hormuz_na_ndoto_za_white_house </guid>  
      <description>Kufuatia mashambulizi ya mara kwa mara ya Marekani katika maji na maeneo ya kusini mwa Iran, Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetoa taarifa kikitangaza kujibu vikali vitendo vya uchokozi vya jeshi la Marekani.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 11:22:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kambi za kijeshi za Marekani huko Bahrain, Jordan, Kuwait na Oman </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139858-irgc_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_huko_bahrain_jordan_kuwait_na_oman</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzbde297e50a2pwey.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139858-irgc_yashambulia_kambi_za_kijeshi_za_marekani_huko_bahrain_jordan_kuwait_na_oman </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limeshambulia na kuharibu kambi na maeneo kadhaa muhimu ya kijeshi ya Marekani katika nchi za Jordan, Bahrain, Kuwait na Oman katika operesheni ya kulipiza kisasi ya awamu tano dhidi ya uchokozi wa Marekani, ikiwa ni pamoja na mashambulizi ya nchi hiyo katika maeneo ya pwani ya Iran. </description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 10:16:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa safari zote kufuatia hatua 'haramu' za kijeshi za Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139856-iran_lango_bahari_la_hormuz_limefungwa_kwa_safari_zote_kufuatia_hatua_'haramu'_za_kijeshi_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz48cb011db12pweu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139856-iran_lango_bahari_la_hormuz_limefungwa_kwa_safari_zote_kufuatia_hatua_'haramu'_za_kijeshi_za_marekani </guid>  
      <description>Iran: Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa safari zote kufuatia hatua 'haramu' za kijeshi za Marekani </description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 10:13:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139846-iran_yaalaani_uchokozi_wa_kihalifu_wa_marekani_yaapa_kushambulia_chanzo_cha_mashambulizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0f7780ef4b2pw94.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139846-iran_yaalaani_uchokozi_wa_kihalifu_wa_marekani_yaapa_kushambulia_chanzo_cha_mashambulizi </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali jinai na mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran katika saa 24 zilizopita.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:12:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi: Iran imedhamiria kuanzisha mpango wake yenyewe katika Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139838-jeshi_iran_imedhamiria_kuanzisha_mpango_wake_yenyewe_katika_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6e6c5bd22d2pw8w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139838-jeshi_iran_imedhamiria_kuanzisha_mpango_wake_yenyewe_katika_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesema kuwa vikosi vyote vya ulinzi viko tayari kulinda haki za taifa na kuweka mfumo unaokusudiwa na Iran katika Lango -Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:03:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Timiza majukumu yako la sivyo utalipa gharama': Spika Qalibaf aionya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139836-'timiza_majukumu_yako_la_sivyo_utalipa_gharama'_spika_qalibaf_aionya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc21989c9dc2pw40.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139836-'timiza_majukumu_yako_la_sivyo_utalipa_gharama'_spika_qalibaf_aionya_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf ameionya Marekani kwamba inalazimika kutimiza majukumu yake la sivyo italazimika kulipa gharama ya kukiuka ahadi na majukumu yake chini ya makubaliano ya kukomesha vita.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 12:31:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi makubwa zaidi ya kukumbukwa katika historia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139830-mazishi_makubwa_zaidi_ya_kukumbukwa_katika_historia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz8391ee22442pvr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139830-mazishi_makubwa_zaidi_ya_kukumbukwa_katika_historia </guid>  
      <description>Mazishi makubwa na ya kuvutia ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, halikuwa tukio tu la maombolezo; bali lilibadilika haraka na kuwa moja ya matukio muhimu zaidi yaliyozingatiwa na vyombo vya habari na wanasiasa duniani, kieneo na kimataifa. </description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 10:27:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>