<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Sat, 19 Sep 2026 02:01:59 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Al-Hajj Ali-Akbari: Hatutofanya mazungumzo hadi masharti ya Kiongozi Muadhamu yatimizwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141550-al_hajj_ali_akbari_hatutofanya_mazungumzo_hadi_masharti_ya_kiongozi_muadhamu_yatimizwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc190725ded0b2qklq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141550-al_hajj_ali_akbari_hatutofanya_mazungumzo_hadi_masharti_ya_kiongozi_muadhamu_yatimizwe </guid>  
      <description>Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema kuwa: "Hakutakuwa na mazungumzo yoyote hadi pale masharti yote yaliyowekwa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu yatakapotimizwa. Kwa taufiki ya Allah, tutaendelea kuwa macho mbele ya njama hatari za adui."</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 11:03:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa: Marekani imetenda uhalifu wa kivita nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141538-tume_ya_uchunguzi_ya_umoja_wa_mataifa_marekani_imetenda_uhalifu_wa_kivita_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ee9656b62a2qki2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141538-tume_ya_uchunguzi_ya_umoja_wa_mataifa_marekani_imetenda_uhalifu_wa_kivita_nchini_iran </guid>  
      <description>Tume ya Kutafuta Ukweli ya Umoja wa Mataifa imetangaza kwamba, baada ya kufanya uchunguzi na kuchambua ushahidi, imefikia hitimisho kwamba mashambulizi ya Marekani dhidi ya Minab na Lamerd yalikuwa ni uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:57:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei ajibu madai ya Saudi Arabia kuhusu kushambuliwa mji mtakatifu wa Makka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141536-baghaei_ajibu_madai_ya_saudi_arabia_kuhusu_kushambuliwa_mji_mtakatifu_wa_makka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14cca97abd32qki0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141536-baghaei_ajibu_madai_ya_saudi_arabia_kuhusu_kushambuliwa_mji_mtakatifu_wa_makka </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, madai ya kuzuia ndege isiyo na rubani iliyokuwa ikielekea katika mji mtakatifu wa Makka hayawezi kuwa msingi wa kuutuhumu upande wowote.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:54:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yajibu mapigo, yamtimua mwanadiplomasia wa Sweden</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141534-iran_yajibu_mapigo_yamtimua_mwanadiplomasia_wa_sweden</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc182c8f702942qkhy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141534-iran_yajibu_mapigo_yamtimua_mwanadiplomasia_wa_sweden </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, sanjari na kukanusha madai ya Sweden dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, imempa mwanadiplomasia wa nchi hiyo aliyeko Tehran muda wa saa 48 kuondoka nchini, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi kwa uamuzi wa Stockholm wa kukataa kumruhusu mwanadiplomasia wa Iran kuendelea na shughuli zake.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:52:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Araghchi: Mashauriano ya Beijing yamefanikiwa; Iran yathamini “ushirikiano wa kimkakati” na China</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141528-araghchi_mashauriano_ya_beijing_yamefanikiwa_iran_yathamini_ushirikiano_wa_kimkakati_na_china</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1d86d9d40632qkaa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141528-araghchi_mashauriano_ya_beijing_yamefanikiwa_iran_yathamini_ushirikiano_wa_kimkakati_na_china </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameelezea mashauriano yake mjini Beijing kama “yaliyofanikiwa,” akizungumzia maudhui ya safari yake katika mji mkuu huo wa China, ambapo alikutana na mwenzake, Wang Yi.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 12:10:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa IRGC: Iran itajibu vikali kosa lolote la kimahesabu la adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141522-kamanda_wa_irgc_iran_itajibu_vikali_kosa_lolote_la_kimahesabu_la_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1dcbb055b032qkbo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141522-kamanda_wa_irgc_iran_itajibu_vikali_kosa_lolote_la_kimahesabu_la_adui </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameonya kuwa kitendo chochote cha uchokozi kutoka kwa adui kitakabiliwa na jibu kali na thabiti kutoka kwa vikosi vya ulinzi vya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 11:07:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Sayansi wa Iran atahadharisha kuhusu hatari ya Akili Mnemba kuwa "udikteta usioonekana"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141512-waziri_wa_sayansi_wa_iran_atahadharisha_kuhusu_hatari_ya_akili_mnemba_kuwa_udikteta_usioonekana</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1897dd57a0e2qk6a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141512-waziri_wa_sayansi_wa_iran_atahadharisha_kuhusu_hatari_ya_akili_mnemba_kuwa_udikteta_usioonekana </guid>  
      <description>Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran, akitoa tahadhari kuhusu madhara ya ufuatiliaji mpana unaotumia Akili Mnemba amesema, hali hiyo inaweza kuweka mazingira ya kubadilisha udhibiti wa data kuwa udhibiti wa watu na hatimaye kusababisha kuibuka “udikteta usioonekana.”</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 02:51:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Amir Hatami: Nguvu halisi ya Iran ni umoja na azma ya wananchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141504-meja_jenerali_amir_hatami_nguvu_halisi_ya_iran_ni_umoja_na_azma_ya_wananchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc120de2bce2b2qk00.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141504-meja_jenerali_amir_hatami_nguvu_halisi_ya_iran_ni_umoja_na_azma_ya_wananchi </guid>  
      <description>Meja Jenerali Amir Hatami Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe wake wa kupongeza siku 200 za uwepo wa kishujaa wa wananchi wa Iran na kusisitiza kwamba uwepo huo ni dhihirisho la kudumu la imani, mshikamano na azma ya kitaifa, pamoja na kuwa kielelezo cha nguvu na uimara wa ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 12:15:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China: Tuko tayari kutetea kwa nguvu haki za Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141502-china_tuko_tayari_kutetea_kwa_nguvu_haki_za_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15907caf1132qjzy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141502-china_tuko_tayari_kutetea_kwa_nguvu_haki_za_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema kuwa uhusiano na ushirikiano wa nchi yake na Iran ni wa kimkakati na kwamba Beijing inatangaza rasmi kwamba iko tayari kuimarisha mazungumzo na ushirikiano na Iran, na kutetea kwa dhati haki na maslahi halali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 12:11:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan: Makubaliano yetu na Saudia hayatoathiri uhusiano wetu na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141496-pakistan_makubaliano_yetu_na_saudia_hayatoathiri_uhusiano_wetu_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1967bfb4d3f2qjzs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141496-pakistan_makubaliano_yetu_na_saudia_hayatoathiri_uhusiano_wetu_na_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Pakistan amesema kuwa makubaliano ya kijeshi ya nchi yake na Saudi Arabia pamoja na Uturuki maarufu kwa jina la Makubaliano ya Makka, hayatoathiri uhusiano wa Tehran na Islamabad.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 12:03:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yashika nafasi ya tatu duniani katika kutibu ugumba, yakamilisha mpango wa chanjo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141490-iran_yashika_nafasi_ya_tatu_duniani_katika_kutibu_ugumba_yakamilisha_mpango_wa_chanjo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15bd51b42dc2qjqe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141490-iran_yashika_nafasi_ya_tatu_duniani_katika_kutibu_ugumba_yakamilisha_mpango_wa_chanjo </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Madaktari la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imeshika nafasi ya kwanza duniani katika utoaji wa chanjo na nafasi ya tatu duniani katika kutibuu tatizo la ugumba.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 02:58:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi, IRGC: Iran inawakabili maadui ambao hakuna taifa jengine linalothubutu 'kuwafyatulia hata risasi moja'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141482-jeshi_irgc_iran_inawakabili_maadui_ambao_hakuna_taifa_jengine_linalothubutu_'kuwafyatulia_hata_risasi_moja'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc12cf91d03eb2qjkq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141482-jeshi_irgc_iran_inawakabili_maadui_ambao_hakuna_taifa_jengine_linalothubutu_'kuwafyatulia_hata_risasi_moja' </guid>  
      <description>Wasemaji wakuu wa Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wameashiria umoja usioweza kuvunjika kati ya matawi hayo mawili ya kijeshi na kutangaza kwamba Iran inavishambulia kwa mafanikio vikosi vya Marekani na Israel, vilivyojizatiti kwa silaha nzito, ambazo hakuna nchi nyingine yoyote duniani inayothubutu kukabiliana nazo.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 11:41:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema hakuna mazungumzo na Marekani hadi masharti yake yatimizwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141472-iran_yasema_hakuna_mazungumzo_na_marekani_hadi_masharti_yake_yatimizwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1662776e4472qjcw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141472-iran_yasema_hakuna_mazungumzo_na_marekani_hadi_masharti_yake_yatimizwe </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (SNSC), Meja Jenerali Mohsen Rezaei, amesisitiza kuwa kauli za mkanganyiko na ujumbe unaotatanisha kutoka kwa Rais wa Marekani haupaswi kumpotosha yeyote kutoka kwenye uhalisia mpya uliopo sasa kuhusu mafuta na milango-bahari, akiongeza kuwa hakutakuwa na mazungumzo yoyote hadi masharti yaliyowekwa na Iran yatimizwe kikamilifu.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:20:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meli kubwa ya mafuta yalipuka baada ya kukanyaga mabomu ya majini kwenye njia haramu kusini mwa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141470-meli_kubwa_ya_mafuta_yalipuka_baada_ya_kukanyaga_mabomu_ya_majini_kwenye_njia_haramu_kusini_mwa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1fec44b046a2qjcs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141470-meli_kubwa_ya_mafuta_yalipuka_baada_ya_kukanyaga_mabomu_ya_majini_kwenye_njia_haramu_kusini_mwa_hormuz </guid>  
      <description>Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa meli kubwa ya kubeba mafuta ghafi (supertanker) iliyojaribu kupita bila idhini katika eneo lililopigwa marufuku kusini mwa Lango Bahari la Hormuz imelipuka baada ya kukanyaga mabomu ya kutega majini, huku chombo hicho chote kikiwa kimeteketea na kufunikwa na miali mikubwa ya moto.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:18:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laangusha ndege ya kivita isyo na rubani ya Marekani katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141450-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_isyo_na_rubani_ya_marekani_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1d5566667cd2qj3s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141450-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_isyo_na_rubani_ya_marekani_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua na kuiangamiza ndege nyingine isiyo na rubani (droni) ya kisasa ya kivita ya Marekani aina ya MQ-1 juu ya anga ya Lango-Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 09:28:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Haya ndiyo masharti yetu ya kufungua Lango Bahari la Hormuz </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141448-iran_haya_ndiyo_masharti_yetu_ya_kufungua_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc11abe3af17d2qj1a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141448-iran_haya_ndiyo_masharti_yetu_ya_kufungua_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametangaza kuwa kufunguliwa upya Lango Bahari la Hormuz kunategemea Marekani kurejea na kuheshimu ahadi zake chini ya Mkataba wa Maelewano wa Islamabad.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 07:39:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Ulinzi: Iran itakuwa na teknolojia ya kisasa zaidi katika vita vyovyote vipya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141436-waziri_wa_ulinzi_iran_itakuwa_na_teknolojia_ya_kisasa_zaidi_katika_vita_vyovyote_vipya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14dfb19e7082qiu6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141436-waziri_wa_ulinzi_iran_itakuwa_na_teknolojia_ya_kisasa_zaidi_katika_vita_vyovyote_vipya </guid>  
      <description>Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itakuwa na maendeleo makubwa zaidi ya kiteknolojia iwapo vita vingine vitazuka. </description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 04:03:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran aihimiza BRICS kulinda kanuni ya kutotumia mabavu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141432-rais_wa_iran_aihimiza_brics_kulinda_kanuni_ya_kutotumia_mabavu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14eba7882762qipc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141432-rais_wa_iran_aihimiza_brics_kulinda_kanuni_ya_kutotumia_mabavu </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa kundi la mataifa yanayoinukia kiuchumi la BRICS kuchukua jukumu “lenye ufanisi zaidi” katika kulinda mamlaka ya kitaifa na kusimamia kanuni ya kimataifa ya kutotumia nguvu, hasa katika kipindi hiki cha sasa chenye changamoto nyingi.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 11:32:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wairani 352,983 washtaki Marekani na Israel kwa vita vya kwanza dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141426-wairani_352_983_washtaki_marekani_na_israel_kwa_vita_vya_kwanza_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a28699125c2qip4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141426-wairani_352_983_washtaki_marekani_na_israel_kwa_vita_vya_kwanza_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kesi ya kwanza ya madai iliyofunguliwa na familia za waathiriwa wa “Vita vya Siku 12” vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran mwezi Juni 2025, ilisikilizwa Jumapili asubuhi katika Mahakama ya Iran jijini Tehran.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 11:20:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la Marekani dhidi ya Meli za Mafuta za Iran: Mvutano Wahama kutoka Shinikizo la Kiuchumi hadi Mapigano ya Kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141420-shambulio_la_marekani_dhidi_ya_meli_za_mafuta_za_iran_mvutano_wahama_kutoka_shinikizo_la_kiuchumi_hadi_mapigano_ya_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1e3db6d41a02qijc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141420-shambulio_la_marekani_dhidi_ya_meli_za_mafuta_za_iran_mvutano_wahama_kutoka_shinikizo_la_kiuchumi_hadi_mapigano_ya_kijeshi </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesisitiza kupitia taarifa kuwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayatasita kutumia haki yake ya kimsingi ya kujilinda kisheria na kwamba yatajibu vikali na ipaswavyo kitendo chochote cha uchokozi wa kijeshi wa adui.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 09:28:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Marekani Inahusisha Mgogoro wa Yemen na Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141418-kwa_nini_marekani_inahusisha_mgogoro_wa_yemen_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1329ea790d12qike.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141418-kwa_nini_marekani_inahusisha_mgogoro_wa_yemen_na_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa madai ya uongo ya Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, hayawezi kubadili uhalisia wa mambo kwamba Ansarallah ya Yemen ni kundi huru linalofanya maamuzi yake lenyewe, halipokei maagizo kutoka kwa mtu yeyote wala kufanya kazi kama kibaraka wa upande mwingine.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 09:22:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran: Tunahitaji mageuzi ya kweli katika mifumo ya kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141414-rais_wa_iran_tunahitaji_mageuzi_ya_kweli_katika_mifumo_ya_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1534f8f743a2qii8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141414-rais_wa_iran_tunahitaji_mageuzi_ya_kweli_katika_mifumo_ya_kimataifa </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa suala la utawala na mamlaka shirikishi ya dunia na kuimarishwa mfumo wa pande nyingi lina umuhimu mkubwa zaidi hivi sasa.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:25:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: mkutano wa Oman ni hatua muhimu kuelekea utulivu na usalama wa kikanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141412-iran_mkutano_wa_oman_ni_hatua_muhimu_kuelekea_utulivu_na_usalama_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1160c5566842qii4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141412-iran_mkutano_wa_oman_ni_hatua_muhimu_kuelekea_utulivu_na_usalama_wa_kikanda </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mkutano uliopangwa kufanyika nchini Oman Jumatatu ya kesho utakuwa hatua muhimu kuelekea kuhakikisha utulivu na usalama katika eneo la Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:23:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mlango Bahari wa Hormuz unabaki kwenye udhibiti wetu kamili; dunia iilaumu US kwa kupanda bei ya mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141404-iran_mlango_bahari_wa_hormuz_unabaki_kwenye_udhibiti_wetu_kamili_dunia_iilaumu_us_kwa_kupanda_bei_ya_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1fde493b1f32qihs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141404-iran_mlango_bahari_wa_hormuz_unabaki_kwenye_udhibiti_wetu_kamili_dunia_iilaumu_us_kwa_kupanda_bei_ya_mafuta </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje amesisitiza kuwa Mlango wa Bahari wa Hormuz unasalia kuwa chini ya udhibiti kamili wa Iran, akisema Marekani ndiye wa kulaumiwa kwa kuvurugika usalama wa baharini wa eneo hilo na inapasa ilaumiwe pia kwa kupanda bei ya mafuta duniani.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:12:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian ahimiza BRICS kuunda mtandao imara wa kibiashara na kutumia sarafu za kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141394-pezeshkian_ahimiza_brics_kuunda_mtandao_imara_wa_kibiashara_na_kutumia_sarafu_za_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1e4b54f744c2qic4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141394-pezeshkian_ahimiza_brics_kuunda_mtandao_imara_wa_kibiashara_na_kutumia_sarafu_za_kitaifa </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amezihimiza nchi wanachama wa jumuiya ya BRICS kujenga mtandao thabiti na wenye uwezo wa kustahimili misukosuko ya kibiashara, sambamba na kupanua matumizi ya sarafu za kitaifa ili kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kupunguza uwezekano wa kuathiriwa na mshtuko wa kisiasa.</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:37:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Falsafa ya Ujumbe wa Mitume ni mwanadamu kusimama imara kupigania haki na uadilifu"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141382-falsafa_ya_ujumbe_wa_mitume_ni_mwanadamu_kusimama_imara_kupigania_haki_na_uadilifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ff3e623ca02qi5s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141382-falsafa_ya_ujumbe_wa_mitume_ni_mwanadamu_kusimama_imara_kupigania_haki_na_uadilifu </guid>  
      <description>Imam wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, falsafa ya ujumbe wa Mitume na Manabii ni wanadamu kusimama imara kupigania haki na uadilifu.</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 10:16:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>US yakiri kula kipigo; Iran: Wamarekani msikubali kuwa chambo cha Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141380-us_yakiri_kula_kipigo_iran_wamarekani_msikubali_kuwa_chambo_cha_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1298c9e7b272qi54.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141380-us_yakiri_kula_kipigo_iran_wamarekani_msikubali_kuwa_chambo_cha_israel </guid>  
      <description>Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Wizara ya Vita ya Marekani mapema leo asubuhi amekiri kwamba mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran yameangamiza takriban tasisi zote za kijeshi za Marekani nchini Bahrain.</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 09:28:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Ndege za kivita za Marekani ziliharibiwa katika mashambulizi ya Iran dhidi ya kambi ya kijeshi nchini Jordan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141370-ripoti_ndege_za_kivita_za_marekani_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_iran_dhidi_ya_kambi_ya_kijeshi_nchini_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc11a8e8233062qi1e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141370-ripoti_ndege_za_kivita_za_marekani_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_iran_dhidi_ya_kambi_ya_kijeshi_nchini_jordan </guid>  
      <description>Ndege kadhaa za kijeshi na kivita za Marekani zinaripotiwa kuharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran dhidi ya kambi ya jeshi la  anga ya Muwaffaq Salti inayoendeshwa na Marekani, inayojulikana pia kama kambi ya al-Azraq, nchini Jordan.

</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 04:30:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaiambia IAEA: Ukaguzi wa kawaida wa nyuklia ‘hauwezekani’ katikati ya uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141360-iran_yaiambia_iaea_ukaguzi_wa_kawaida_wa_nyuklia_hauwezekani’_katikati_ya_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c7722d4a622qhte.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141360-iran_yaiambia_iaea_ukaguzi_wa_kawaida_wa_nyuklia_hauwezekani’_katikati_ya_uchokozi </guid>  
      <description>Iran imekataa matakwa ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa ajili ya kurejelewa ukaguzi wa kawaida, ikisema kuwa kutarajia utekelezaji wa kawaida wa hatua za usalama huku  Iran ikiendelea kukabiliwa na hujuma za kichokozi ni jambo "lisilo na mantiki" na "lisilowezekana kutekelezwa."</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:40:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Ulinzi: Sekta ya ulinzi ya Iran haiwezi kuharibiwa; itastawi na kuimarika pakubwa kuliko huko nyuma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141358-wizara_ya_ulinzi_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_haiwezi_kuharibiwa_itastawi_na_kuimarika_pakubwa_kuliko_huko_nyuma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1289eb72f542qhtc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141358-wizara_ya_ulinzi_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_haiwezi_kuharibiwa_itastawi_na_kuimarika_pakubwa_kuliko_huko_nyuma </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema kuwa sekta ya ulinzi ya nchi hii ni ya ndani, iko imara na imejengwa kwa kutegemea maarifa na uwezo wa vijana wa Iran. Wizara hiyo imesisitiza kuwa sekta hii haiwezi kuharibiwa wala kuangamizwa. </description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:36:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Ulaya imekuwa tena chombo cha mashinikizo cha Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141356-kwa_nini_ulaya_imekuwa_tena_chombo_cha_mashinikizo_cha_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc110beb0267b2qht2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141356-kwa_nini_ulaya_imekuwa_tena_chombo_cha_mashinikizo_cha_marekani </guid>  
      <description>Marekani na kundi la nchi tatu za Ulaya (Troika) zimeungana tena katika mkutano wa Baraza la Magavana la Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) katika kushinikiza kupitishwa kwa azimio dhidi ya Iran na kuandaa mazingira ya kupelekwa suala hilo katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:19:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan: Iran ina haki kisheria ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141354-pakistan_iran_ina_haki_kisheria_ya_kutumia_nishati_ya_nyuklia_kwa_malengo_ya_amani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a93252f45f2qhsy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141354-pakistan_iran_ina_haki_kisheria_ya_kutumia_nishati_ya_nyuklia_kwa_malengo_ya_amani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwa mwanachama wa Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), ina haki ya kuendeleza mipango yake ya nyuklia kwa malengo ya amani.

</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:08:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya Marekani dhidi ya Iran: Matokeo ya Wazi na ya Siri kwa Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141344-vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_matokeo_ya_wazi_na_ya_siri_kwa_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc13226fb67122qhhy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141344-vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_matokeo_ya_wazi_na_ya_siri_kwa_wamarekani </guid>  
      <description>Vita vya Marekani dhidi ya Iran haviwezi kupimwa kwa kuzingatia tu gharama za moja kwa moja za operesheni za kijeshi, ununuzi wa silaha au kuharibiwa vifaa vya kijeshi bali pia vinapaswa kupimwa kutokana na matokeo mengi ya wazi na ya siri kwa wananchi wa Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 05:44:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa Jeshi la SEPAH: Marekani haina uwezo tena wa kuendelea kuwepo Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141340-msemaji_wa_jeshi_la_sepah_marekani_haina_uwezo_tena_wa_kuendelea_kuwepo_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc18218ed72832qho0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141340-msemaji_wa_jeshi_la_sepah_marekani_haina_uwezo_tena_wa_kuendelea_kuwepo_asia_magharibi </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema kuwa Marekani haina uwezo tena wa kuendelea kuwepo katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 03:23:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Hatua kali za kulipiza kisasi za Iran zachagiza mipango ya Marekani ya kujiondoa Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141328-ripoti_hatua_kali_za_kulipiza_kisasi_za_iran_zachagiza_mipango_ya_marekani_ya_kujiondoa_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc13226fb67122qhhy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141328-ripoti_hatua_kali_za_kulipiza_kisasi_za_iran_zachagiza_mipango_ya_marekani_ya_kujiondoa_asia_magharibi </guid>  
      <description>Maafisa wa jeshi na ujasusi wa Marekani wanajadili kimya kimya kupunguza pakubwa uwepo kijeshi wa Washington katika eneo la Asia Magharibi baada ya mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran kusababisha vifo vingi na kuharibu kambi na vituo vya ujasusi vya Marekani. Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya jana Jumanne ya CNN.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 11:10:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hifadhi ya makombora ya Marekani yaathiriwa pakubwa na vita vya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141324-hifadhi_ya_makombora_ya_marekani_yaathiriwa_pakubwa_na_vita_vya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16dfa1349ec2qhhw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141324-hifadhi_ya_makombora_ya_marekani_yaathiriwa_pakubwa_na_vita_vya_iran </guid>  
      <description>Vita na Iran vimepunguza pakubwa akiba ya makombora ya Marekani na kuibua vizuizi katika uzalishaji katika sekta ya ulinzi huku Washington ikilazimika Washington kupima uwezo wake wa kuhuisha upya akiba  ya makombora ili kuwa tayari kukabiliana na migogoro mingine.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 11:07:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Kutengwa Kiuchumi": Je, ni Onyesho la Nguvu au Dhihirisho la Mapungufu ya Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141318-kutengwa_kiuchumi_je_ni_onyesho_la_nguvu_au_dhihirisho_la_mapungufu_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ee17ea37072qhfc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141318-kutengwa_kiuchumi_je_ni_onyesho_la_nguvu_au_dhihirisho_la_mapungufu_ya_marekani </guid>  
      <description>Huku watawala wa Marekani wakiitishia Iran kuwa wataiwekea vikwazo vya kiuchumi kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, CNN imeripoti kuwa utekelezaji wa tahadhari na wa hatua kwa hatua wa kampeni ya "kutengwa kiuchumi" hautakuwa na athari yoyote kwa Iran, taifa ambalo limestahimili aina mbalimbali za vikwazo kwa miaka hamsini.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 08:26:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapiga kambi na manuwari za Marekani kulipiza kisasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141316-iran_yapiga_kambi_na_manuwari_za_marekani_kulipiza_kisasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a4818222172qhaq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141316-iran_yapiga_kambi_na_manuwari_za_marekani_kulipiza_kisasi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limesema kuwa Kikosi chake cha Anga kimepiga kwa makombora Kituo cha Anga cha al-Azraq cha Marekani huko Jordan na kusisitiza kuwa operesheni hiyo ni ya kulipiza kisasi uchokozi wa Marekani dhidi ya meli za mafuta za Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 03:16:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kaimu Waziri wa Ulinzi: Iran inao uwezo kamili wa kuzishambulia manuwari za US zilizoweka mzingiro wa kiuchumi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141314-kaimu_waziri_wa_ulinzi_iran_inao_uwezo_kamili_wa_kuzishambulia_manuwari_za_us_zilizoweka_mzingiro_wa_kiuchumi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a972f5cd1d2qhao.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141314-kaimu_waziri_wa_ulinzi_iran_inao_uwezo_kamili_wa_kuzishambulia_manuwari_za_us_zilizoweka_mzingiro_wa_kiuchumi </guid>  
      <description>Iran imeitoa maanani kikamilifu kauli iliyotolewa na Marekani ya kudogosha uwezo wake wa kijeshi na kusisitiza kwamba vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vina teknolojia na utayari wa kuzilenga meli za kivita za Marekani zinazoshiriki katika mzingiro haramu wa majini uliowekwa dhidi ya taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 03:15:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Mohsen Rezaei: Marekani impokea ‘onyo la wazi’ kutoka kwa makombora mapya ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141304-jenerali_mohsen_rezaei_marekani_impokea_onyo_la_wazi’_kutoka_kwa_makombora_mapya_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc156962488a22qh2o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141304-jenerali_mohsen_rezaei_marekani_impokea_onyo_la_wazi’_kutoka_kwa_makombora_mapya_ya_iran </guid>  
      <description>Afisa mkuu wa usalama wa Iran amesema kuwa Marekani imepokea “onyo la wazi” kutokana na uwezo mpya wa makombora wa Jamhuri ya Kiislamu, baada ya Tehran kufanya majaribio ya kombora jipya la kupambana na meli za kivita karibu na meli ya kivita ya Marekani katika maji ya kikanda.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 11:25:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Nchi za Kiislamu ziwajibike kupinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141298-araghchi_nchi_za_kiislamu_ziwajibike_kupinga_kukiukwa_mamlaka_ya_kujitawala_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ba0d5e36b22qh56.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141298-araghchi_nchi_za_kiislamu_ziwajibike_kupinga_kukiukwa_mamlaka_ya_kujitawala_iran </guid>  
      <description>Katika mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu Mpya wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amessitiza umuhimu wa nchi za Kiislamu kuwajibika ipasavyo kupinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya Iran na wakati huo huo kukabiliana na matumizi ya nguvu na hujuma za uvamizi.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 11:12:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mafuta kwa Dola 40: Mgongano kati ya Ndoto ya Washington na Uhalisia wa Soko la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141292-mafuta_kwa_dola_40_mgongano_kati_ya_ndoto_ya_washington_na_uhalisia_wa_soko_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1713ed753b02qh12.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141292-mafuta_kwa_dola_40_mgongano_kati_ya_ndoto_ya_washington_na_uhalisia_wa_soko_la_dunia </guid>  
      <description>Mohammad Bagher Ghalibaf, Spika wa Bunge la Iran, amemjibu kwa kejeli, katika mtandao wa X, Scott Bessent, Waziri wa Fedha wa Marekani anayeota kuwa bei ya mafuta itapungua hivi karibuni na kufikia dola 40.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 09:26:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazindua programu mpya ya kinga-virusi iliyotengenezwa nchini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141290-iran_yazindua_programu_mpya_ya_kinga_virusi_iliyotengenezwa_nchini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a3d5a437202qgxg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141290-iran_yazindua_programu_mpya_ya_kinga_virusi_iliyotengenezwa_nchini </guid>  
      <description>Sambamba na maonyesho ya kimataifa ya Iran ya ELECOMP 2026, ambayo ni maonyesho makubwa zaidi ya nchi kwa sekta za elektroniki, teknolojia za kompyuta, na biashara pepe (e-commerce), Iran imezindua programu yake ya pili ya kinga-virusi (antivirus) iliyotengenezwa nchini, ijulikanayo kama Ayyza. Programu hii hutumia akili mnemba (AI) na mbinu za kujifunza kwa mashine (machine learning) kutambua virusi vipya visivyojulikana na vitisho vya mtandaoni ambavyo havijatambulika awali.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 04:43:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf aonya kuwa Iran italipiza kisasi kwa kushambulia rasilimali za nishati za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141288-qalibaf_aonya_kuwa_iran_italipiza_kisasi_kwa_kushambulia_rasilimali_za_nishati_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc13ff50222a42qgxc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141288-qalibaf_aonya_kuwa_iran_italipiza_kisasi_kwa_kushambulia_rasilimali_za_nishati_za_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa onyo kali kwa Marekani kwamba shambulizi lolote dhidi ya rasilimali za mafuta na gesi za Iran litajibiwa kwa hatua sawa, akisisitiza kuwa makampuni na miundombinu ya nishati ya Marekani katika eneo hili iko katika hali sawa ya hatari.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 04:38:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf aukejeli utabiri wa Waziri wa Hazina wa Marekani kuhusu bei ya mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141276-qalibaf_aukejeli_utabiri_wa_waziri_wa_hazina_wa_marekani_kuhusu_bei_ya_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16380a382642qgr2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141276-qalibaf_aukejeli_utabiri_wa_waziri_wa_hazina_wa_marekani_kuhusu_bei_ya_mafuta </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amepuuzilia mbali utabiri wa Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, kwamba bei ya mafuta itashuka hadi dola 40 kwa pipa, akiutaja kuwa “ni mawazo na ndoto.”

</description>
      <pubDate>Mon, 07 Sep 2026 11:18:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Uhusiano wa Iran na China ni mzuri sana, na mawasiliano yanaendelea katika ngazi mbalimbali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141274-baghaei_uhusiano_wa_iran_na_china_ni_mzuri_sana_na_mawasiliano_yanaendelea_katika_ngazi_mbalimbali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1e455850c662qgqm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141274-baghaei_uhusiano_wa_iran_na_china_ni_mzuri_sana_na_mawasiliano_yanaendelea_katika_ngazi_mbalimbali </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran sambamba na kusisitiza kuendelea uhusiano mzuri na wa kirafiki kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na China amesema, “Mawasiliano kati ya nchi hizo mbili yanaendelea kwa utaratibu na kwa mfululizo katika ngazi mbalimbali, na Iran itatumia fursa zilizopo mbele yake, zikiwemo Mkutano wa BRICS, kuendeleza mashauriano na China pamoja na nchi nyingine rafiki.”

</description>
      <pubDate>Mon, 07 Sep 2026 11:01:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Marekani inakanusha vita ilivyoanzisha yenyewe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141268-kwa_nini_marekani_inakanusha_vita_ilivyoanzisha_yenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c2b23652d62qg2y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141268-kwa_nini_marekani_inakanusha_vita_ilivyoanzisha_yenyewe </guid>  
      <description>Katikati ya mashambulizi ya kulipizana kisasi kati ya Marekani na Iran, White House inaendelea kukwepa kutumia neno "vita," kuhusu mgogoro uliopo na badala yake kutumia ibara za "operesheni za kijeshi" na "hatua chache"; hata hivyo, hali halisi ya mambo, kuanzia mashambulizi ya makombora na vifo au majeruhi hadi kutumwa katika eneo idadi kubwa ya askari na meli za kivita za Marekani, inaonyesha taswira tofauti kabisa.</description>
      <pubDate>Mon, 07 Sep 2026 06:11:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Rezaei: Iran itaainisha 'eneo jipya la marufuku' nje ya Mlango-Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141264-meja_jenerali_rezaei_iran_itaainisha_'eneo_jipya_la_marufuku'_nje_ya_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15b791496c92qgli.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141264-meja_jenerali_rezaei_iran_itaainisha_'eneo_jipya_la_marufuku'_nje_ya_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) amesema, eneo jipya la marufuku nje ya Mlango-Bahari wa Hormuz litatangazwa katika siku zijazo, akionya kwamba chombo chochote kitakachoingia katika eneo hilo bila mashauriano na Tehran kitawekwa kwenye orodha ya vikwazo vya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 07 Sep 2026 03:41:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yavunja rekodi ya uzalishaji wa zao la ngano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141260-iran_yavunja_rekodi_ya_uzalishaji_wa_zao_la_ngano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ec6436275d2qglc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141260-iran_yavunja_rekodi_ya_uzalishaji_wa_zao_la_ngano </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Jihadi ya Kilimo anayesimamia masuala ya uzalishaji wa mazao nchini Iran ametangaza kuvunjwa rekodi ya uzalishaji wa ngano akisema: “Mwaka huu, kwa mara ya kwanza katika historia, taifa hili limefanikiwa kuzalisha tani milioni 14.1 za ngano nchini, kiwango ambacho kinachukuliwa kuwa kikubwa na cha kuzingatiwa.</description>
      <pubDate>Mon, 07 Sep 2026 03:02:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Marekani inapaswa kujua kwamba enzi ya "majibu sawia" imekwisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141252-qalibaf_marekani_inapaswa_kujua_kwamba_enzi_ya_majibu_sawia_imekwisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1af7f4ba7f92qghu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141252-qalibaf_marekani_inapaswa_kujua_kwamba_enzi_ya_majibu_sawia_imekwisha </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa kabla ya kuchelewa, Wamarekani wanapasa kujua kwamba kanuni za mchezo zimebadilika na kuanzia sasa, uchokozi wowote dhidi ya maslahi na usalama wa Iran utajibiwa kwa hatua itakayokuwa "ya haraka zaidi, nzito zaidi na yenye kuumiza zaidi."</description>
      <pubDate>Sun, 06 Sep 2026 11:41:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Admeri Sayyari: Uwezo wa Iran wa kuzuia mashambulizi umeongezeka pakubwa/ Taifa la Iran haliwezi kushindwa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141250-admeri_sayyari_uwezo_wa_iran_wa_kuzuia_mashambulizi_umeongezeka_pakubwa_taifa_la_iran_haliwezi_kushindwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc17fd3e823f22qghs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141250-admeri_sayyari_uwezo_wa_iran_wa_kuzuia_mashambulizi_umeongezeka_pakubwa_taifa_la_iran_haliwezi_kushindwa </guid>  
      <description>Naibu Mkuu wa Jeshi la Iran amesema kuwa uwezo wa Jamhuri ya Kislamu wa kuzuia mashambulizi dhidi umeimarika pakubwa.</description>
      <pubDate>Sun, 06 Sep 2026 11:38:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makombora ya Balistiki ya IRGC yalazimisha meli za Kivita za Marekani kutoroka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141242-makombora_ya_balistiki_ya_irgc_yalazimisha_meli_za_kivita_za_marekani_kutoroka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1603faa35df2qgdc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141242-makombora_ya_balistiki_ya_irgc_yalazimisha_meli_za_kivita_za_marekani_kutoroka </guid>  
      <description>Kikosi cha Anga za Juu cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimerusha makombora kadhaa ya balistiki kuelekea kwenye manowari mbili za Marekani ikiwemo ile yenye uwezo wa kubeba ndege za kivita na kuzilazimu kutoroka. Meli hizo za kivita zilikuwa zikishiriki katika mzingiro haramu wa baharini wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sun, 06 Sep 2026 04:23:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kuanzia Reuters hadi The New York Times: Ushahidi wa Kushambuliwa Sherehe ya Harusi huko Kuhestak kwa Silaha za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141240-kuanzia_reuters_hadi_the_new_york_times_ushahidi_wa_kushambuliwa_sherehe_ya_harusi_huko_kuhestak_kwa_silaha_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc12b6e8324482qg26.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141240-kuanzia_reuters_hadi_the_new_york_times_ushahidi_wa_kushambuliwa_sherehe_ya_harusi_huko_kuhestak_kwa_silaha_za_marekani </guid>  
      <description>
Kitendo cha kikatili cha Marekani huko Kuhestak, Sirik, kusini mwa Iran, hakiwezi tena kufichwa nyuma ya simulizi kinzani zinazoenezwa kuhusu vita. Vyombo vya habari vya Magharibi, wataalamu, na wanasiasa sasa wanazungumzia hadharani ushahidi unaoonyesha kuwa silaha za Marekani zilitumika kushambulia moja kwa moja sherehe ya harusi, na kusababisha vifo na majeraha kwa raia waliokuwa wakishiriki sherehe hiyo.
</description>
      <pubDate>Sun, 06 Sep 2026 03:56:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makamu wa Rais: Iran imezishinda njama za kijeshi, imejiweka tayari kwa vita vya kiuchumi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141238-makamu_wa_rais_iran_imezishinda_njama_za_kijeshi_imejiweka_tayari_kwa_vita_vya_kiuchumi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc11e0f4ca5e82qgd4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141238-makamu_wa_rais_iran_imezishinda_njama_za_kijeshi_imejiweka_tayari_kwa_vita_vya_kiuchumi </guid>  
      <description>Makamu wa Kwanza wa Rais Mohammad Reza Aref amesema Iran imezishinda njama za mtawalia za kijeshi, kiuchumi, kijamii na kisiasa zilizolenga kuipindua Jamhuri ya Kiislamu au kuifanya isalimu amri, na kwamba sasa inajiandaa kukabiliana na awamu mpya ya vita vya kiuchumi.</description>
      <pubDate>Sun, 06 Sep 2026 03:02:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Idara ya Mahakama Iran ataka nchi za BRICS kuwashtaki wahalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141228-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_iran_ataka_nchi_za_brics_kuwashtaki_wahalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc119939daabc2qg96.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141228-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_iran_ataka_nchi_za_brics_kuwashtaki_wahalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran ametaka nchi wanachama wa BRICS kulaani kukiukwa mamlaka ya Iran na kuwasaka wahusika wa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu uliofanywa wakati wa vita vya Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 05 Sep 2026 12:10:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani Yakata Tamaa Kimkakati: Kuanzia Kushindwa Kijeshi hadi Vita vya Kiuchumi Dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141216-marekani_yakata_tamaa_kimkakati_kuanzia_kushindwa_kijeshi_hadi_vita_vya_kiuchumi_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc148f42ba0992qg54.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141216-marekani_yakata_tamaa_kimkakati_kuanzia_kushindwa_kijeshi_hadi_vita_vya_kiuchumi_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Katika onyesho jingine la ubabe na upuuzaji wa sheria za kimataifa, Scott Bessent, Waziri wa Fedha wa Marekani amezitishia nchi huru kuhusu ushirikiano wao na Iran, akisema kwamba hakuna mtu yeyote anayepaswa kuiunga mkono Tehran.</description>
      <pubDate>Sat, 05 Sep 2026 07:17:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lililenga ndege 370 za adui katika vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141214-jeshi_la_iran_lililenga_ndege_370_za_adui_katika_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16536560f342qg2m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141214-jeshi_la_iran_lililenga_ndege_370_za_adui_katika_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran kililenga zaidi ya ndege 370 za kivita  za adui zikiwemo zenye rubani na zisizikuwa na rubani au droni wakati wa uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani na Israel.

</description>
      <pubDate>Sat, 05 Sep 2026 03:17:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China na Iran zaahidi kupanua ushirikiano wa kimkakati katika nyanja zote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141210-china_na_iran_zaahidi_kupanua_ushirikiano_wa_kimkakati_katika_nyanja_zote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc100e70dc95e2qg2i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141210-china_na_iran_zaahidi_kupanua_ushirikiano_wa_kimkakati_katika_nyanja_zote </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholam-Hossein Mohseni Ejei, amesisitiza tena “azma” ya Iran ya kupanua uhusiano na China, akisisitiza kuwa ushirikiano imara wa kisheria na kimahakama unaweza kuwa nguzo ya mahusiano mapana ya kimkakati kati ya nchi hizo mbili.

</description>
      <pubDate>Sat, 05 Sep 2026 03:03:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sayyid Khatami: Vita vya leo dhidi ya Iran ni vita mseto</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141202-sayyid_khatami_vita_vya_leo_dhidi_ya_iran_ni_vita_mseto</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1afbafc72d92qfyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141202-sayyid_khatami_vita_vya_leo_dhidi_ya_iran_ni_vita_mseto </guid>  
      <description>Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, hivi sasa Iran inakabiliwa na vita mseto kutoka kwa adui na kwamba hata vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Waislamu vilianza tangu enzi za Mtume Muhammad SAW mwanzoni mwa Uislamu.</description>
      <pubDate>Fri, 04 Sep 2026 10:55:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaiambia Jordan: Mnataraji tusubiri hadi lini kutomjibu mchokozi?!</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141200-iran_yaiambia_jordan_mnataraji_tusubiri_hadi_lini_kutomjibu_mchokozi_!</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1943c2a31012qfys.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141200-iran_yaiambia_jordan_mnataraji_tusubiri_hadi_lini_kutomjibu_mchokozi_! </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu matamshi ya hivi karibuni ya waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Jorda kwa kumuuliza: Mnataraji Jamhuri ya Kiislamu ya Iran isubiri hadi lini kutomjibu mchokozi ambaye haheshimu haki ya kujitawala nchi za Kiarabu wala haki za Iran?</description>
      <pubDate>Fri, 04 Sep 2026 10:53:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Reuters: Marekani ndiyo iliyoshambulia sherehe ya harusi nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141196-reuters_marekani_ndiyo_iliyoshambulia_sherehe_ya_harusi_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc184466696de2qfy6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141196-reuters_marekani_ndiyo_iliyoshambulia_sherehe_ya_harusi_nchini_iran </guid>  
      <description>Baada ya kukiri New York Times, sasa ni zamu ya shirika la habari la Reuters kukiri na kuripoti kwamba, lina ushahidi wa wataalamu wanne wa silaha wanaothibitisha kuwa Marekani ndiyo iliyoshambulia moja kwa moja wananchi waliokuwa kwenye sherehe ya harusi huko Sirik kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 04 Sep 2026 10:47:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qatar imethibitisha kuwa mashambulio ya Iran ndani ya ardhi ya nchi hiyo yalilenga vituo vya kijeshi tu vya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141190-qatar_imethibitisha_kuwa_mashambulio_ya_iran_ndani_ya_ardhi_ya_nchi_hiyo_yalilenga_vituo_vya_kijeshi_tu_vya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1002a9a854e2qfu0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141190-qatar_imethibitisha_kuwa_mashambulio_ya_iran_ndani_ya_ardhi_ya_nchi_hiyo_yalilenga_vituo_vya_kijeshi_tu_vya_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, ameashiria hati rasmi ya Qatar iliyowasilishwa kwa Umoja wa Kimataifa wa Mawasiliano (ITU) ikithibitisha kwamba operesheni halali za kujihami za Jamhuri ya Kiislamu dhidi ya vikosi vya Marekani vilivyoko katika ardhi ya Qatar zilielekezwa kwenye vituo vya kijeshi tu vya Marekani.</description>
      <pubDate>Fri, 04 Sep 2026 03:23:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Vahidi: Damu isiyo na hatia ya mashahidi madhulumu wa Kohestak haitapotea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141188-meja_jenerali_vahidi_damu_isiyo_na_hatia_ya_mashahidi_madhulumu_wa_kohestak_haitapotea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc144afe52cba2qfw4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141188-meja_jenerali_vahidi_damu_isiyo_na_hatia_ya_mashahidi_madhulumu_wa_kohestak_haitapotea </guid>  
      <description>Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe maalumu na kusema kuwa: Damu isiyo na hatia ya mashahidi waliouliwa kidhulma na magaidi wa Kimarekani huko Kohestak haitapotea kamwe na wahusika wakiwemo makamanda waliofanya jinai hiyo ya kivita wataburuzwa mahakamani.</description>
      <pubDate>Fri, 04 Sep 2026 03:21:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya shambulio harusini; IRGC yasema: Viongozi wa US wanapasa kuwajibishwa kwa jinai za kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141180-baada_ya_shambulio_harusini_irgc_yasema_viongozi_wa_us_wanapasa_kuwajibishwa_kwa_jinai_za_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a4cdbb7d4e2qfni.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141180-baada_ya_shambulio_harusini_irgc_yasema_viongozi_wa_us_wanapasa_kuwajibishwa_kwa_jinai_za_kivita </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuwa Washington lazima iwajibishwe kwa jinai za kivita zilizofanywa na wanajeshi magaidi wa Marekani katika Mkoa wa Hormozgan kufuatia shambulio la anga lililolenga sherehe ya harusi.</description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 10:19:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kuanzia shule ya Minab hadi harusi ya Kuhestak: Raia waendelea kuwa wahanga wa ukatili wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141168-kuanzia_shule_ya_minab_hadi_harusi_ya_kuhestak_raia_waendelea_kuwa_wahanga_wa_ukatili_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14fcfc76da12qfea.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141168-kuanzia_shule_ya_minab_hadi_harusi_ya_kuhestak_raia_waendelea_kuwa_wahanga_wa_ukatili_wa_marekani </guid>  
      <description>Jioni ya Jumanne, jeshi la Marekani lilishambulia kinyama sherehe ya harusi katika bandari ya Kuhestak, katika Wilaya ya Sirik kusini mwa Iran. Makumi ya watu waliuawa shahidi na kujeruhiwa; huku wanawake na watoto wakiwa miongoni mwa wahanga.</description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 06:48:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Iran na kambi ya Muqawama wako katika njia moja dhidi ya ubeberu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141166-qalibaf_iran_na_kambi_ya_muqawama_wako_katika_njia_moja_dhidi_ya_ubeberu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc19e525814f02qfci.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141166-qalibaf_iran_na_kambi_ya_muqawama_wako_katika_njia_moja_dhidi_ya_ubeberu </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa Iran na kambi ya Muqawama wako katika njia moja kukabiliana na ubeberu.</description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 03:27:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Baraza la Usalama la UN lilaani shambulio la Marekani lililoua raia kwenye sherehe ya harusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141158-iran_baraza_la_usalama_la_un_lilaani_shambulio_la_marekani_lililoua_raia_kwenye_sherehe_ya_harusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1df0455145a2qfe4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141158-iran_baraza_la_usalama_la_un_lilaani_shambulio_la_marekani_lililoua_raia_kwenye_sherehe_ya_harusi </guid>  
      <description>Iran imeliitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulaani shambulio la Marekani lililolenga nyumba ya makazi iliyokuwa ikiandaa sherehe ya harusi kusini mwa Jamhuri ya Kiislamu, ambalo limesababisha kuuawa shahidi wa raia watano, akiwemo mtoto wa miaka minne, na kuwajeruhi zaidi ya watu 70 wengine.</description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 03:21:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yapiga makao ya kamandi ya Marekani na eneo la kuegeshea droni huko Kuwait</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141156-irgc_yapiga_makao_ya_kamandi_ya_marekani_na_eneo_la_kuegeshea_droni_huko_kuwait</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15690c0dbb22qf7y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141156-irgc_yapiga_makao_ya_kamandi_ya_marekani_na_eneo_la_kuegeshea_droni_huko_kuwait </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limesema kuwa vikosi vyake vimeshambulia makao makuu ya kamandi na makazi ya wanajeshi wa Marekani katika Kituo cha Jeshi la Anga cha Ali Al-Salem nchini Kuwait, na kuteketeza ghala la ndege zisizo na rubani (droni) na eneo la maandalizi ya kurushia ndege hizo. Shambulizi hilo limeharibu idadi kadhaa ya ndege zisizo na rubani za jeshi la kigaidi la Marekani.</description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 12:59:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Marekani ‘inaua kama Shetani’: Alaani shambulio dhidi ya sherehe ya harusi kusini mwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141154-qalibaf_marekani_inaua_kama_shetani’_alaani_shambulio_dhidi_ya_sherehe_ya_harusi_kusini_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c41acbbfba2qf7w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141154-qalibaf_marekani_inaua_kama_shetani’_alaani_shambulio_dhidi_ya_sherehe_ya_harusi_kusini_mwa_iran </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amelaani shambulio la Marekani dhidi ya sherehe ya harusi kusini mwa Iran, akisema kuwa kulenga raia katika shule, ukumbi wa michezo na sherehe ya harusi kunaonyesha namana Washington inavyotenda na kuua "kama Shetani."</description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 12:57:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbunge wa Iran ahoji namna Marekani inavyoshindwa kutofautisha shabaha za kijeshi na maeneo ya raia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141152-mbunge_wa_iran_ahoji_namna_marekani_inavyoshindwa_kutofautisha_shabaha_za_kijeshi_na_maeneo_ya_raia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14edc31fc1a2qf7u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141152-mbunge_wa_iran_ahoji_namna_marekani_inavyoshindwa_kutofautisha_shabaha_za_kijeshi_na_maeneo_ya_raia </guid>  
      <description>Hasan Ghashghavi, msemaji wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amehoji namna Marekani inavyoshindwa kutofautisha kati ya shabaha za kijeshi na maeneo ya raia kufuatia shambulio la majeshi ya nchi hiyo dhidi ya sherehe ya harusi huko Sirik, katika Mkoa wa Hormuzgan nchini Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 12:55:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Marekani inaogopa kuweka vikwazo dhidi ya nchi zinazoshirikiana na Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141142-kwa_nini_marekani_inaogopa_kuweka_vikwazo_dhidi_ya_nchi_zinazoshirikiana_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1cc8c4fb25f2qf0k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141142-kwa_nini_marekani_inaogopa_kuweka_vikwazo_dhidi_ya_nchi_zinazoshirikiana_na_iran </guid>  
      <description>Huku Marekani ikijaribu kuonyesha kuwa inatekeleza vita vikubwa zaidi vya kiuchumi dhidi ya Iran na kuanzisha mbwembwe zisizo na mfano wake katika uwanja huo, jambo linalojitokeza zaidi katika uhalisia wa mambo si taathira kubwa za vikwazo hivyo vinavyopigiwa debe, bali ni migongano na kuchanganyikiwa watawala wa Marekani kuhusu suala hilo. </description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 07:12:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yaangamiza askari wengi Wamarekani walioko Jordan baada ya US kuua raia wa Iran kwenye sherehe ya harusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141140-irgc_yaangamiza_askari_wengi_wamarekani_walioko_jordan_baada_ya_us_kuua_raia_wa_iran_kwenye_sherehe_ya_harusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14927291bcf2qev4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141140-irgc_yaangamiza_askari_wengi_wamarekani_walioko_jordan_baada_ya_us_kuua_raia_wa_iran_kwenye_sherehe_ya_harusi </guid>  
      <description>Vikosi vya Ulinzi vya Iran vimetekeleza mfululizo wa operesheni kali za kulipiza kisasi ambazo zimehusisha mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani zilizolenga kambi na maslahi ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi kufuatia vitendo vya hivi karibuni vya utawala huo wa kigaidi vya kuanzisha uchokozi usio na sababu, ambao umepelekea kuuawa shahidi raia kadhaa wasio na hatia wa Jamhuri ya Kiislamu akiwemo mtoto mdogo.</description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 03:43:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran na Russia zinaweza kusimama kidete dhidi ya sera ya upande mmoja ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141138-pezeshkian_iran_na_russia_zinaweza_kusimama_kidete_dhidi_ya_sera_ya_upande_mmoja_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1d0878ce7bc2qevs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141138-pezeshkian_iran_na_russia_zinaweza_kusimama_kidete_dhidi_ya_sera_ya_upande_mmoja_ya_marekani </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt Masoud Pezeshkian, amesema kuwa Marekani haina uhalali wowote wa kisheria wala wa kimataifa wa kuiwekea Iran vikwazo vya kidhalimu, akisisitiza kuwa Tehran na Moscow zinaweza kushirikiana bega kwa bega ili kukabiliana na sera ya upande mmoja (unilateralism) ya Marekani inayovuruga utulivu wa dunia.</description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 02:55:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Ulaya inatekeleza kivitendo maagizo ya Washington </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141126-baqaei_ulaya_inatekeleza_kivitendo_maagizo_ya_washington</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc13f62740f7c2qerk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141126-baqaei_ulaya_inatekeleza_kivitendo_maagizo_ya_washington </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa sera za nchi za Ulaya za kufuata kibubusa maagizo ya Marekani akisema: "Ulaya haiwezi tena kuzungumzia 'kujitawala na kujichukulia maamuzi kimkakati' ilhali imejishusha yenyewe hadi kuwa mtekelezaji wa maagizo ya Washington.</description>
      <pubDate>Tue, 01 Sep 2026 14:52:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu awasamehe na kuwapunguzia vifungo wafungwa zaidi ya 2,500 kwa mnasaba wa maadhimisho ya kuzaliwa Mtume SAW</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141118-kiongozi_muadhamu_awasamehe_na_kuwapunguzia_vifungo_wafungwa_zaidi_ya_2_500_kwa_mnasaba_wa_maadhimisho_ya_kuzaliwa_mtume_saw</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc196a12d7d2b2qehm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141118-kiongozi_muadhamu_awasamehe_na_kuwapunguzia_vifungo_wafungwa_zaidi_ya_2_500_kwa_mnasaba_wa_maadhimisho_ya_kuzaliwa_mtume_saw </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ameidhinisha kusamehewa kikamilifu au sehemu ya adhabu wafungwa zaidi ya 2,500 kwa mnasaba wa maadhimisho ya kuzaliwa Mtume SAW.

</description>
      <pubDate>Tue, 01 Sep 2026 03:31:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Shekarchi: Zaidi ya wanajeshi 1,000 wa Israel waliuawa katika vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141116-jenerali_shekarchi_zaidi_ya_wanajeshi_1_000_wa_israel_waliuawa_katika_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc160ff91443d2qehk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141116-jenerali_shekarchi_zaidi_ya_wanajeshi_1_000_wa_israel_waliuawa_katika_vita_na_iran </guid>  
      <description>Msemaji mkuu wa vikosi vya majeshi ya Iran amesema: "Zaidi ya wanajeshi elfu moja wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameuawa katika vita na Iran na maelfu yaw engine wamejeruhiwa."

</description>
      <pubDate>Tue, 01 Sep 2026 03:29:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Kuna makundi nchini Marekani yanayoona maslahi yao yapo katika kuendelea vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141108-rais_pezeshkian_kuna_makundi_nchini_marekani_yanayoona_maslahi_yao_yapo_katika_kuendelea_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc075760142eb2qebk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141108-rais_pezeshkian_kuna_makundi_nchini_marekani_yanayoona_maslahi_yao_yapo_katika_kuendelea_vita </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuna makundi nchini Marekani yanayoona maslahi yao yapo katika kuendelea vita na hivyo yanataka vita viendelee.

</description>
      <pubDate>Mon, 31 Aug 2026 12:22:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya kisiwa cha Lark ni ukiukaji wa wazi wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141106-iran_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_kisiwa_cha_lark_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mkataba_wa_umoja_wa_mataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02107b9f5c02qebg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141106-iran_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_kisiwa_cha_lark_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mkataba_wa_umoja_wa_mataifa </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kuhusu uvamizi wa kijeshi uliofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya kisiwa cha Lark, pamoja na jibu la kiulinzi lililotolewa na Iran.

</description>
      <pubDate>Mon, 31 Aug 2026 12:06:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kushindwa "Mashinikizo ya Kiwango cha Juu Zaidi": Namna Vikwazo vya Marekani Vinavyoidhuru Yenyewe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141098-kushindwa_mashinikizo_ya_kiwango_cha_juu_zaidi_namna_vikwazo_vya_marekani_vinavyoidhuru_yenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0babec161bc2qe22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141098-kushindwa_mashinikizo_ya_kiwango_cha_juu_zaidi_namna_vikwazo_vya_marekani_vinavyoidhuru_yenyewe </guid>  
      <description>Ripoti mpya zinaonyesha kuwa sera ya Marekani ya "mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi" haina tena uwezo wa kuilazimisha Iran ibadili mienendo yake, na inaweza hata kudhoofisha uwezo wa Washington yenyewe wa kutumia vikwazo kufikia malengo yake.</description>
      <pubDate>Mon, 31 Aug 2026 05:44:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yamuadhibu vikali mchokozi kwa kupiga kambi za Marekani Jordan baada ya kushambulia Kisiwa cha Larak</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141096-irgc_yamuadhibu_vikali_mchokozi_kwa_kupiga_kambi_za_marekani_jordan_baada_ya_kushambulia_kisiwa_cha_larak</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ab50b9af0c2qe0q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141096-irgc_yamuadhibu_vikali_mchokozi_kwa_kupiga_kambi_za_marekani_jordan_baada_ya_kushambulia_kisiwa_cha_larak </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuwa Kikosi chake cha Anga kimeshambulia maeneo na kambi za kijeshi za Marekani huko Jordan, na kutoa jibu la haraka kwa shambulio la kigaidi la Marekani katika Kisiwa cha Larak nchini Iran jana usiku.</description>
      <pubDate>Mon, 31 Aug 2026 04:46:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf aziambia nchi za kanda hii: Usalama unaojengwa kwa kutegemea uingiliaji wa nchi ajinabi unalegalega</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141094-qalibaf_aziambia_nchi_za_kanda_hii_usalama_unaojengwa_kwa_kutegemea_uingiliaji_wa_nchi_ajinabi_unalegalega</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06077f905292qe0i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141094-qalibaf_aziambia_nchi_za_kanda_hii_usalama_unaojengwa_kwa_kutegemea_uingiliaji_wa_nchi_ajinabi_unalegalega </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema kuwa matokeo ya umoja miongoni mwa Waislamu yamekuwa ni kushindwa kwa maadui zao, na kusisitiza kuwa usalama wa kikanda unaotegemea uwepo na uingiliaji kati wa madola ya nje ya eneo hili kimsingi ni dhaifu.</description>
      <pubDate>Mon, 31 Aug 2026 04:43:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi: 'Wahalifu' Marekani na Israel ni maadui wa Waislamu wote, si wa Iran peke yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141080-kiongozi_'wahalifu'_marekani_na_israel_ni_maadui_wa_waislamu_wote_si_wa_iran_peke_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc040338ee51b2qdoo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141080-kiongozi_'wahalifu'_marekani_na_israel_ni_maadui_wa_waislamu_wote_si_wa_iran_peke_yake </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema, watawala wahalifu na watenda jinai wa Marekani na wa utawala wa Kizayuni si maadui wa taifa la Iran peke yake, bali ni maadui pia wa Umma mzima wa Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sun, 30 Aug 2026 12:26:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian aipa heko timu ya mpira wa wavu kwa kutwaa ubingwa wa dunia baada ya kuibwaga Ufaransa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141078-rais_pezeshkian_aipa_heko_timu_ya_mpira_wa_wavu_kwa_kutwaa_ubingwa_wa_dunia_baada_ya_kuibwaga_ufaransa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05c413adf972qdvo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141078-rais_pezeshkian_aipa_heko_timu_ya_mpira_wa_wavu_kwa_kutwaa_ubingwa_wa_dunia_baada_ya_kuibwaga_ufaransa </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu maalumu za pongezi kwa wachezaji, makocha, maafisa wa benchi ya ufundi, familia zao, na jamii ya michezo nchini kufuatia mafanikio makubwa iliyopata timu ya taifa ya voliboli ya vijana wa chini ya umri wa miaka 17 ya kutwaa ubingwa wa dunia wa mchezo huo katika Mashindano ya Dunia yaliyofanyika nchini Qatar.</description>
      <pubDate>Sun, 30 Aug 2026 12:21:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatangaza mashtaka rasmi dhidi ya Marekani na Israel kuhusu mauaji ya kigaidi ya Kiongozi Muadhamu na wanafunzi wa Minab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141070-iran_yatangaza_mashtaka_rasmi_dhidi_ya_marekani_na_israel_kuhusu_mauaji_ya_kigaidi_ya_kiongozi_muadhamu_na_wanafunzi_wa_minab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc07123c488a32qdm8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141070-iran_yatangaza_mashtaka_rasmi_dhidi_ya_marekani_na_israel_kuhusu_mauaji_ya_kigaidi_ya_kiongozi_muadhamu_na_wanafunzi_wa_minab </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa hati rasmi za mashtaka kufuatia vitendo vya kigaidi vilivyofanywa na muungano wa Marekani na Israel, ambavyo vilisababisha kuuawa kishahidi kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na wanafamilia wake wanne, sambamba na wanafunzi na walimu katika shule moja mjini Minab.</description>
      <pubDate>Sun, 30 Aug 2026 03:58:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mauzo ya Mafuta ya Iran kwa China yaimarika licha ya vita vya kiuchumi vya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141064-mauzo_ya_mafuta_ya_iran_kwa_china_yaimarika_licha_ya_vita_vya_kiuchumi_vya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc066fffa8f1a2qdm2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141064-mauzo_ya_mafuta_ya_iran_kwa_china_yaimarika_licha_ya_vita_vya_kiuchumi_vya_marekani </guid>  
      <description>Takwimu mpya zinaonyesha kuwa mauzo ya mafuta ya petroli ya Iran kuelekea China yameendelea kuwa imara kwa kiasi kikubwa mwaka huu, licha ya Marekani kushadidisha vita vyake vya kiuchumi na kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, huku Tehran ikithibitisha kuendelea kwa usambazaji wa mafuta ghafi kwa wateja wake wa kimataifa bila kusitishwa.</description>
      <pubDate>Sun, 30 Aug 2026 03:37:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Brigedia Jenerali Talaei-Nik: Iran inaandaa ‘mambo ya kushangaza’ katika upande wa silaha na mbinu kwa ajili ya vita vya baadaye</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141060-brigedia_jenerali_talaei_nik_iran_inaandaa_mambo_ya_kushangaza’_katika_upande_wa_silaha_na_mbinu_kwa_ajili_ya_vita_vya_baadaye</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc027dbb0a88c2qdgs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141060-brigedia_jenerali_talaei_nik_iran_inaandaa_mambo_ya_kushangaza’_katika_upande_wa_silaha_na_mbinu_kwa_ajili_ya_vita_vya_baadaye </guid>  
      <description>Iran imeandaa silaha, vifaa, teknolojia na mbinu mpya zitakazotumiwa uwanjani iwapo vita vingine vitazuka, huku ikizingatia mkakati wa kumshangaza adui.  Haya yameelezwa na Msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Masuala ya Lojistiki ya Vikosi vya Ulinzi vya Iran. </description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 10:55:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Changamoto Mpya ya Marekani Kuhusu Iran: Kukimbia Vita au Makubaliano?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141050-changamoto_mpya_ya_marekani_kuhusu_iran_kukimbia_vita_au_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc075ad229caa2qd8i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141050-changamoto_mpya_ya_marekani_kuhusu_iran_kukimbia_vita_au_makubaliano </guid>  
      <description>Uchambuzi wa mwenendo na kauli za watawala wa Marekani unaonyesha kuwa Washington bado haijafikia uamuzi wa mwisho kuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, huku ikiwa katika hali ya kutojua la kufanya kati ya kuendelea na vita au kufanya mazungumzo.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 07:01:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, vita vipya vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya Iran vitafikia malengo yake?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141048-je_vita_vipya_vya_kiuchumi_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vitafikia_malengo_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc018712c7c612qd80.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141048-je_vita_vipya_vya_kiuchumi_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vitafikia_malengo_yake </guid>  
      <description>Huku vita vinavyoendeshwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran vikiwa vimekwama na kampeni ya kijeshi kushindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa, Washington imebadilisha mkakati wake na kuhamisha mwelekeo wa makabiliano kutoka uwanja wa vita vya kijeshi hadi kwenye uwanja wa kiuchumi.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 06:45:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Mkuu: Utatuzi wa masuala ya kiuchumi uko kwenye uzalishaji wa ndani na kufuta sarafu ya dola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141044-kiongozi_mkuu_utatuzi_wa_masuala_ya_kiuchumi_uko_kwenye_uzalishaji_wa_ndani_na_kufuta_sarafu_ya_dola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a5fb864bc42qd5q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141044-kiongozi_mkuu_utatuzi_wa_masuala_ya_kiuchumi_uko_kwenye_uzalishaji_wa_ndani_na_kufuta_sarafu_ya_dola </guid>  
      <description>Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojataba Khamenei ameipongeza serikali ya Rais Masoud Pezeshkian kwa kushughulikia mahitaji ya wananchi wakati nchi inakabiliwa na vita vya kichokozi vya Marekani na Israel na mzingiro wa baharini wa Marekani na akahimiza kuongezwa uzalishaji wa ndani na kuifuta sarafu ya dola ya Marekani katika miamala ya kifedha.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 04:47:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya taifa la Iran ni uhalifu dhidi ya ubinadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141042-wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani_dhidi_ya_taifa_la_iran_ni_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0da886876cf2qd50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141042-wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani_dhidi_ya_taifa_la_iran_ni_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeonya kwamba kushirikiana na Marekani katika utekelezaji wa vikwazo vya upande mmoja vya nchi hiyo dhidi ya Iran ni kushiriki katika kulazimisha matakwa haramu ya taifa moja kwa mataifa huru na kuvuruga uhusiano wao halali wa kiuchumi na kibiashara, na suala hili lina maana ya kushiriki katika kuharibu kanuni muhimu zaidi ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa, yaani "kuheshimu usawa wa mamlaka ya kujitawala" wa nchi zote.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 02:53:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Adui anataka kuleta mifarakano; kila mmoja alinde umoja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141034-khatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_adui_anataka_kuleta_mifarakano_kila_mmoja_alinde_umoja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0677e158bd92qd2i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141034-khatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_adui_anataka_kuleta_mifarakano_kila_mmoja_alinde_umoja </guid>  
      <description>Khatibu wa muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja katika jamii na kubainisha kwamba, hakuna udhuru wowote unaokubalika wa kuchochea hitilafu na mifarakano.

</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 12:23:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Hali ya Lango Bahari la Hormuz haiwezi kurejea kama ilivyokuwa kabla ya Februari 28</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141032-araghchi_hali_ya_lango_bahari_la_hormuz_haiwezi_kurejea_kama_ilivyokuwa_kabla_ya_februari_28</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0590f40c1a72qd0k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141032-araghchi_hali_ya_lango_bahari_la_hormuz_haiwezi_kurejea_kama_ilivyokuwa_kabla_ya_februari_28 </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa hali ya sasa ya eneo la Mashariki ya Kati na Mlango-Bahari wa Hormuz ni matokeo ya mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 10:02:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian amwambia Waziri Mkuu wa Qatar : Iran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo na vitisho</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141022-pezeshkian_amwambia_waziri_mkuu_wa_qatar_iran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo_na_vitisho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ebc2dedc852qcwa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141022-pezeshkian_amwambia_waziri_mkuu_wa_qatar_iran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo_na_vitisho </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa haki zote za kisheria za wananchi wa Iran lazima zitambuliwe ndani ya mfumo wa sheria za kimataifa, akisisitiza kuwa Tehran haitafuti chochote zaidi ya haki zake halali na haitasalimu amri mkabala wa mashinikizo au vitisho.</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 03:33:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran: Adui atashindwa katika vita kamili vya kiuchumi alivyoanzisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141020-spika_wa_bunge_la_iran_adui_atashindwa_katika_vita_kamili_vya_kiuchumi_alivyoanzisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dbfcd880232qcw8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141020-spika_wa_bunge_la_iran_adui_atashindwa_katika_vita_kamili_vya_kiuchumi_alivyoanzisha </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Nchi iko katika vita kamili ya kiuchumi na tutaona jinsi adui atakavyoshindwa katika vita hivi.</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 03:30:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu waanza mjini Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141012-mkutano_wa_kimataifa_wa_umoja_wa_kiislamu_waanza_mjini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01e190ac6d92qcr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141012-mkutano_wa_kimataifa_wa_umoja_wa_kiislamu_waanza_mjini_tehran </guid>  
      <description>Mkutano wa 40 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza mjini Tehran, ukijikita zaidi kwenye maono ya Kiongozi marehemu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei kuhusu kuimarisha umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 12:04:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapendekeza 'mkataba wa usalama wa pande zote' miongoni mwa mataifa ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141010-iran_yapendekeza_'mkataba_wa_usalama_wa_pande_zote'_miongoni_mwa_mataifa_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bf8acddd7d2qcr2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141010-iran_yapendekeza_'mkataba_wa_usalama_wa_pande_zote'_miongoni_mwa_mataifa_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amependekeza "mkataba wa usalama wa pande zote na kutokuchokozana" miongoni mwa nchi za Kiislamu ili kulinda usalama wa kikanda, hasa katika kipindi hiki ambapo Marekani na Israel zinaendeleza uchokozi wao katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 12:02:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini vita vya kiuchumi vya Trump dhidi ya Iran vinaiathiri Marekani yenyewe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141000-kwa_nini_vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_vinaiathiri_marekani_yenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ecbb536f122qcl4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141000-kwa_nini_vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_vinaiathiri_marekani_yenyewe </guid>  
      <description>Mohammad Bagher Ghalibaf, Spika wa Bunge la Iran, amefananisha mpango mpya wa Marekani wa kutoa mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Iran na 'boomerang,' ambacho ni kifaa cha kurushwa ambacho humrudia aliyekirusha, kwa maana kuwa utawadhuru tu waasisi wake wenyewe.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 06:11:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Marekani haitapata chochote kupitia mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140998-pezeshkian_marekani_haitapata_chochote_kupitia_mashinikizo_ya_kiuchumi_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0902fdaced72qcjg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140998-pezeshkian_marekani_haitapata_chochote_kupitia_mashinikizo_ya_kiuchumi_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Marekani haitaweza kufanikisha lolote kupitia mashinikizo ya kiuchumi, akisisitiza kuwa Iran itaendelea kusimama imara.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:33:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yataka UN na nchi wanachama zikatae “ugaidi wa kiuchumi” wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140996-iran_yataka_un_na_nchi_wanachama_zikatae_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc019ed3ece452qcje.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140996-iran_yataka_un_na_nchi_wanachama_zikatae_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wanachama wa umoja huo kukataa kampeni mpya ya Marekani ya ugaidi wa kiuchumi dhidi ya Iran, akisema Washington inalenga kuzilazimisha nchi nyingine kuacha mahusiano halali ya kiuchumi na Tehran kwa kutumia vitisho vya vikwazo.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:32:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran: Iran kupanua kwa mafanikio mifumo ya ulinzi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140994-kamanda_wa_kikosi_cha_ulinzi_wa_anga_cha_jeshi_la_iran_iran_kupanua_kwa_mafanikio_mifumo_ya_ulinzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01f0305da6b2qcj8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140994-kamanda_wa_kikosi_cha_ulinzi_wa_anga_cha_jeshi_la_iran_iran_kupanua_kwa_mafanikio_mifumo_ya_ulinzi </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran amesema kuwa Iran inapiga hatua mbele kwa kutegemea kikamilifu uwezo wake wa ndani, ikipanua mifumo yake ya ulinzi wa anga na kuzalisha nakala za mifumo ile iliyofanya vyema wakati wa vita vya siku 40.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:27:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yafafanua ilivyokubaliana na Oman kuhusu utaratibu wa muda utakaotumika kwenye Mlango-Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140982-iran_yafafanua_ilivyokubaliana_na_oman_kuhusu_utaratibu_wa_muda_utakaotumika_kwenye_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00b78e845202qcca.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140982-iran_yafafanua_ilivyokubaliana_na_oman_kuhusu_utaratibu_wa_muda_utakaotumika_kwenye_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran wa masuala ya sheria na kimataifa ametoa ufafanuzi kuhusu makubaliano ya muda yaliyofikiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Oman kuhusu Mlango-Bahari wa Hormuz, akisisitiza kwamba, kufunguliwa tena kwa njia hiyo ya majini kunategemea kutekelezwa kwa matakwa ya Tehran.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:24:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Kuimarisha mshikamano wa nchi za Kiislamu ni jambo la msingi katika kudumisha utulivu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140968-pezeshkian_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu_ni_jambo_la_msingi_katika_kudumisha_utulivu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f0c7b9d9fc2qc4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140968-pezeshkian_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu_ni_jambo_la_msingi_katika_kudumisha_utulivu </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kwamba maadui, wenye tamaa ya utajiri na rasilimali za eneo la Magharibi mwa Asia, wanataka kuibua hitilafu, vita na migogoro ili kunyakua utajiri huo, na njia pekee ya kukabiliana nao ni kudumisha umakini na umoja miongoni mwa mataifa ya Waislamu.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:36:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taasisi ya Royan ya Iran ni miongoni mwa vituo 10 bora duniani vya tiba ya uzazi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140960-taasisi_ya_royan_ya_iran_ni_miongoni_mwa_vituo_10_bora_duniani_vya_tiba_ya_uzazi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e28c21dd9a2qc4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140960-taasisi_ya_royan_ya_iran_ni_miongoni_mwa_vituo_10_bora_duniani_vya_tiba_ya_uzazi </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa takwimu za SCImago; Taasisi ya Royan ya Iran ni miongoni mwa vituo 10 bora duniani katika nyanja ya tiba ya uzazi. Haya yameelezwa na Naibu Mkuu wa taasisi hiyo anayesimamia masuala ya utafiti.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:25:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini sera ya Marekani ya "mashinikizo ya juu zaidi" ni marudio ya mkakati uliofeli?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140950-kwa_nini_sera_ya_marekani_ya_mashinikizo_ya_juu_zaidi_ni_marudio_ya_mkakati_uliofeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc091d0ed6f3c2qbxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140950-kwa_nini_sera_ya_marekani_ya_mashinikizo_ya_juu_zaidi_ni_marudio_ya_mkakati_uliofeli </guid>  
      <description>Richard Nephew, mmoja wa wabunifu wakuu wa mfumo wa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, amekosoa mbinu ya sasa ya Washington, akisema sera ya "kuongeza mashinikizo ya kiuchumi" haina tija wala msingi mzuri wa kimkakati.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:30:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Umoja wa kitaifa kinga ya Iran dhidi ya vitisho vya nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140942-rais_pezeshkian_umoja_wa_kitaifa_kinga_ya_iran_dhidi_ya_vitisho_vya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00184a7a3b12qboc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140942-rais_pezeshkian_umoja_wa_kitaifa_kinga_ya_iran_dhidi_ya_vitisho_vya_nje </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kulinda umoja na mshikamano wa kitaifa, akisema kuwa kukabiliana na vitisho vya nje kunahitaji ushirikiano, kuzingatia haki na kushughulikia matatizo ya kiuchumi pamoja na changamoto za maisha zinazowakabili wananchi.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:26:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Jeshi: Wairani wako tayari kupambana kwa vizazi 20 vijavyo, hawatakubali ardhi yao idhuriwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140940-mkuu_wa_jeshi_wairani_wako_tayari_kupambana_kwa_vizazi_20_vijavyo_hawatakubali_ardhi_yao_idhuriwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09c0482a34e2qboa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140940-mkuu_wa_jeshi_wairani_wako_tayari_kupambana_kwa_vizazi_20_vijavyo_hawatakubali_ardhi_yao_idhuriwe </guid>  
      <description>Kamanda mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasema kuwa taifa liko tayari kupambana kwa vizazi vijavyo ili kuzuia maadui na mataifa ya kigeni kubadili sura ya nchi yao, akisisitiza kuwa Wairani hawatakubali ardhi yao ya asili idhuriwe.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:17:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>“Umma wa Mtume” ni Kaulimbiu Kuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140938-umma_wa_mtume_ni_kaulimbiu_kuu_ya_wiki_ya_umoja_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01144c31ca42qbo8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140938-umma_wa_mtume_ni_kaulimbiu_kuu_ya_wiki_ya_umoja_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Katibu wa Makao Makuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu nchini Iran ametangaza kuwa kaulimbiu kuu ya hafla ya mwaka huu ni “Ummah wa Mtume Mtukufu (SAW).”

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:16:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madaktari wa Iran wazindua mbinu mpya ya tiba ya saratani ‘isiyo na kifani duniani kote’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140936-madaktari_wa_iran_wazindua_mbinu_mpya_ya_tiba_ya_saratani_isiyo_na_kifani_duniani_kote’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09585b197432qbo6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140936-madaktari_wa_iran_wazindua_mbinu_mpya_ya_tiba_ya_saratani_isiyo_na_kifani_duniani_kote’ </guid>  
      <description>Madaktari wa Iran wamezindua mbinu mpya ya uchunguzi na tiba ya saratani sugu na zilizosambaa mwilini (metastatic solid cancers), wakiielezea kama mbinu ya kwanza ya aina yake kuvumbuliwa na kutumiwa ulimwenguni.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:12:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hakuna nchi inayopasa kutuhofia iwapo haiwasaidii wavamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140932-hakuna_nchi_inayopasa_kutuhofia_iwapo_haiwasaidii_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08c95f0041d2qbks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140932-hakuna_nchi_inayopasa_kutuhofia_iwapo_haiwasaidii_wavamizi </guid>  
      <description>Iran imesema kuwa nchi hazipaswi kuwa na wasiwasi wowote kuhusu Jamhuri ya Kiislamu, isipokuwa pale zinapozipatia pande zinazotekeleza vitendo vya uhalifu na uvamizi vituo, miundombinu au zana ili kutekeleza mashambulizi dhidi yake. </description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:51:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran ndiyo nguvu mpya ya kikanda, si Marekani au 'Israel': The Atlantic</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140930-iran_ndiyo_nguvu_mpya_ya_kikanda_si_marekani_au_'israel'_the_atlantic</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fc01ca1fc52qbko.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140930-iran_ndiyo_nguvu_mpya_ya_kikanda_si_marekani_au_'israel'_the_atlantic </guid>  
      <description>Mtaalamu maarufu wa masuala ya kimikakati wa kihafidhina wa Marekani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimekuwa na matokeo kinyume na matarajio, na vimeshindwa kuilazimisha Tehran kusalimu amri, na badala yake vimeimarisha ushawishi wa Iran wa kikanda, vikifichua mipaka ya nguvu za kijeshi za Marekani na kugeuza Lango-Bahari la Hormuz kuwa chanzo kikuu cha ushawishi wa Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:48:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya Kiuchumi vya Trump Dhidi ya Iran: Chombo Ambacho Hakifanyi Kazi Tena</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140922-vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_chombo_ambacho_hakifanyi_kazi_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b07145bf0d2qbfm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140922-vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_chombo_ambacho_hakifanyi_kazi_tena </guid>  
      <description>Katika kujibu vitisho vipya vya Donald Trump dhidi ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, "kung'ang'ania sera zilizofeli kutapelekea tu kushindwa zaidi na kuchochea chuki ya wananchi wa Iran dhidi ya watawala wa Marekani." </description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 10:59:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>PGSA: Iran itazuilia na kutwaa meli zinazokiuka sheria za Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140918-pgsa_iran_itazuilia_na_kutwaa_meli_zinazokiuka_sheria_za_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0739de5746c2qbbe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140918-pgsa_iran_itazuilia_na_kutwaa_meli_zinazokiuka_sheria_za_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Mamlaka ya Lango-Bahari la Ghuba ya Uajemi (PGSA), ambayo ni chombo cha udhibiti cha Iran cha Lango-Bahari la Hormuz, imetangaza kwamba meli zinazokiuka itifaki za Iran za njia hiyo ya majini ya kimkakati zitakabiliwa na vikwazo kwenye njia za baadaye, ikiwa ni pamoja na faini, kuzuiliwa, au kutwaliwa.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:17:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Ulimwengu umeshangazwa na ustahimilivu wa Iran katika vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140908-pezeshkian_ulimwengu_umeshangazwa_na_ustahimilivu_wa_iran_katika_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f16e7842912qb8s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140908-pezeshkian_ulimwengu_umeshangazwa_na_ustahimilivu_wa_iran_katika_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa tathmini ya adui kwamba Iran itasambaratika kutokana na mashinikizo makubwa haikuwa sahihi na kwamba mshikamano na umoja wa taifa hili vimeishangaza dunia.  </description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 14:36:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Usalama: Iran itaendelea kufunga Hormuz hadi Marekani itimize majukumu yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140906-mkuu_wa_usalama_iran_itaendelea_kufunga_hormuz_hadi_marekani_itimize_majukumu_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0095261f8382qb8o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140906-mkuu_wa_usalama_iran_itaendelea_kufunga_hormuz_hadi_marekani_itimize_majukumu_yake </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itafubaza mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani ikiwa ni pamoja na kuzichukulia hatua nchi ambazo zinashiriki katika “vita vya kiuchumi” vya Marekani dhidi ya Iran. </description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 14:26:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kaimu Waziri wa Ulinzi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitasalimu amri kwa kuwekewa mashinikizo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140894-kaimu_waziri_wa_ulinzi_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_katu_haitasalimu_amri_kwa_kuwekewa_mashinikizo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d1dcede3c92qavq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140894-kaimu_waziri_wa_ulinzi_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_katu_haitasalimu_amri_kwa_kuwekewa_mashinikizo </guid>  
      <description>Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, taifa hili limeishinda kimkakati Marekani na utawala wa Kizayuni kwa kutegemea uwezo wake wa ndani, na akasisitiza kwamba: Jamhuri ya Kiislamu haitasalimu amri katu kwa kuwekewa mashinikizo.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:33:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Safavi: Jina la Iran linapaswa kuwa jinamizi la daima kwa tawala vamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140880-meja_jenerali_safavi_jina_la_iran_linapaswa_kuwa_jinamizi_la_daima_kwa_tawala_vamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0c568df8d452qare.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140880-meja_jenerali_safavi_jina_la_iran_linapaswa_kuwa_jinamizi_la_daima_kwa_tawala_vamizi </guid>  
      <description>Mshauri Mkuu wa Kiongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Meja Jenerali Sayyed Yahya Rahim Safavi, amesema uzoefu wa Iran katika vita na makabiliano yake na Marekani na utawala wa Israel unaonesha umuhimu wa kuimarisha uwezo wa kiulinzi na kujenga nguvu ya kuzuia uchokozi.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:25:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikwazo vipya vya Marekani na kuvitaja kuwa hujuma dhidi ya mamlaka ya nchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140878-iran_yalaani_vikwazo_vipya_vya_marekani_na_kuvitaja_kuwa_hujuma_dhidi_ya_mamlaka_ya_nchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc000f5768bbb2qarc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140878-iran_yalaani_vikwazo_vipya_vya_marekani_na_kuvitaja_kuwa_hujuma_dhidi_ya_mamlaka_ya_nchi </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali vikwazo vipya vya kiuchumi vilivyotangazwa na Marekani, ikisema hatua hiyo ni ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala nchi huru na jaribio la Washington la kujipa mamlaka juu ya mataifa mengine.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:23:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Salehi-Amiri: Afrika Kusini ni lango la Iran kuingia katika soko la utalii barani Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140876-salehi_amiri_afrika_kusini_ni_lango_la_iran_kuingia_katika_soko_la_utalii_barani_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03b762466ae2qara.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140876-salehi_amiri_afrika_kusini_ni_lango_la_iran_kuingia_katika_soko_la_utalii_barani_afrika </guid>  
      <description>Waziri wa Urithi wa Utamaduni, Utalii na Kazi za Mikono wa Iran, Seyyed Reza Salehi-Amiri, amesema Afrika Kusini inaweza kuwa lango la Iran kuingia katika soko la utalii barani Afrika, akisisitiza umuhimu wa kubadilisha mazungumzo ya kisiasa na kidiplomasia kuwa ushirikiano wa kivitendo na wa kiuchumi.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:22:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaendelea kuboresha sekta yake ya ulinzi baada ya vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140868-iran_yaendelea_kuboresha_sekta_yake_ya_ulinzi_baada_ya_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09615188f5d2qah8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140868-iran_yaendelea_kuboresha_sekta_yake_ya_ulinzi_baada_ya_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Iran imesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu inaendelea kuifanya sekta yake ya ulinzi kuwa ya kisasa, ikizingatia mahitaji yaliyojitokeza kutokana na vita vya hivi karibuni vilivyolazimishwa dhidi ya nchi hii na Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:57:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Vikwazo vipya vya Marekani ni ‘ugaidi wa kiuchumi’ na ‘uhalifu dhidi ya ubinadamu’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140856-iran_vikwazo_vipya_vya_marekani_ni_ugaidi_wa_kiuchumi’_na_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a03dfce6dc2qaac.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140856-iran_vikwazo_vipya_vya_marekani_ni_ugaidi_wa_kiuchumi’_na_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu’ </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali mzunguko mpya wa vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Marekani dhidi ya taifa hili, ikisisitiza kuwa hatua hizo ni sawa na “ugaidi wa kiuchumi” na “uhalifu dhidi ya ubinadamu.”</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 10:35:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>