<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Tue, 30 Jun 2026 01:05:14 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Kinyume na propaganda za adui, sekta ya ulinzi ya Iran inaendelea kupata mafanikio: Naibu Mkuu wa Jeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139516-kinyume_na_propaganda_za_adui_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_inaendelea_kupata_mafanikio_naibu_mkuu_wa_jeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby13aeb852002pqhe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139516-kinyume_na_propaganda_za_adui_sekta_ya_ulinzi_ya_iran_inaendelea_kupata_mafanikio_naibu_mkuu_wa_jeshi </guid>  
      <description>Kamanda wa Jeshi la Iran amesema Jamhuri ya Kislamu imepata mafanikio endelevu katika teknolojia ya ulinzi wa ndege zisizo na rubani na anga licha ya madai ya uhasama ya vyombo vya habari.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:32:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sardasht; Jeraha Lisilosahaulika Duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139504-sardasht_jeraha_lisilosahaulika_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya9e1059c0c2pqeu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139504-sardasht_jeraha_lisilosahaulika_duniani </guid>  
      <description>Julai 28, 1987, imewekwa alama katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama kumbukumbu ya moja ya jinai za kivita za kutisha dhidi ya ubinadamu. Siku hii, inakumbushia shambulio la kikatili la mabomu ya kemikali katika mji wa Sardasht lililofanywa na utawala wa Baath wa Iraq; jinai ambayo ilitekelezwa kwa uungaji mkono na kimya cha aibu cha madola ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 07:55:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Jukumu la kupanga na kusimamia shughuli Mlango-Bahari wa Hormuz ni la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139500-araghchi_jukumu_la_kupanga_na_kusimamia_shughuli_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbycfcee2fece2pqae.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139500-araghchi_jukumu_la_kupanga_na_kusimamia_shughuli_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_la_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa jukumu la kupanga na kusimamia shughuli katika Mlango-Bahari wa Hormuz ni la Iran pekee, akisisitiza kwamba hakuna taasisi wala nchi nyingine yenye mamlaka au wajibu katika suala hilo.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:44:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika ujumbe wa Wiki ya Mahakama, Kiongozi aamuru kufuatiliwa kisheria uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139492-katika_ujumbe_wa_wiki_ya_mahakama_kiongozi_aamuru_kufuatiliwa_kisheria_uhalifu_wa_kivita_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd55e4216122pq5o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139492-katika_ujumbe_wa_wiki_ya_mahakama_kiongozi_aamuru_kufuatiliwa_kisheria_uhalifu_wa_kivita_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei ametoa wito kwa Mahakama ya Iran kufuatilia na kurejesha haki za taifa ambazo zimekiukwa kutokana na vita vya uchokozi vya Marekani na Israel tangu mwaka jana.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 13:06:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139490-baqaei_msaada_wa_kiufundi_na_uungaji_mkono_kwa_mvamizi_ni_sawa_na_kushiriki_katika_uvamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyaed4c6561c2ppnu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139490-baqaei_msaada_wa_kiufundi_na_uungaji_mkono_kwa_mvamizi_ni_sawa_na_kushiriki_katika_uvamizi </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, utoaji wa huduma za "kiufundi na msaada" kwa pande zinazoshambulia nchi nyingine  ni kushiriki moja kwa moja na waziwazi katika kupigana vita haramu vya hiari na ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.

</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 09:59:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gharibabadi: Sardasht, mhanga wa mabomu ya kemikali na undumakuwili wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139488-gharibabadi_sardasht_mhanga_wa_mabomu_ya_kemikali_na_undumakuwili_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby917ff2f61d2pq3o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139488-gharibabadi_sardasht_mhanga_wa_mabomu_ya_kemikali_na_undumakuwili_wa_magharibi </guid>  
      <description>Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisheria na Kimataifa amesisitiza kuwa, Tehran itafuatilia kwa uzito jukumu la wahusika wa uhalifu wa mashambulio ya mabomu ya kemikali yaliyofanywa na utawala wa zamani wa Iraq.

</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 09:56:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139480-jeshi_la_iran_lalenga_vituo_vya_jeshi_la_marekani_kujibu_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby007466563b2ppz4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139480-jeshi_la_iran_lalenga_vituo_vya_jeshi_la_marekani_kujibu_uchokozi </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeendesha oparesheni kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya vituo nane vya kijeshi vya Marekani katika kanda hii, likiitaja hatua hiyo kuwa “jibu madhubuti” dhidi ya uchokozi mpya wa Marekani kwenye ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:35:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Rezaei: Kama adui ataanzisha vita vingine, atapata maafa na hasara kubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139474-meja_jenerali_rezaei_kama_adui_ataanzisha_vita_vingine_atapata_maafa_na_hasara_kubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby777584a8092pjnu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139474-meja_jenerali_rezaei_kama_adui_ataanzisha_vita_vingine_atapata_maafa_na_hasara_kubwa </guid>  
      <description>Kamanda wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, "Iwapo adui atafanya kosa na kuanzisha vita vipya, vita hivyo havitakuwa tena kama vita vya tatu vya kulazimishwa, bali vitasababisha hasara na maafa makubwa ya kibinadamu.
</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:30:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139468-araqchi_azungumzia_makubaliano_ya_islamabad_na_mawaziri_wenzake_wa_mambo_ya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye329bed9502ppqc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139468-araqchi_azungumzia_makubaliano_ya_islamabad_na_mawaziri_wenzake_wa_mambo_ya_nje </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amefanya mfululizo wa mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa kutoka Pakistan, Misri, Falme za Kiarabu (UAE), Uingereza, na Romania, ambapo walijadili makubaliano ya Islamabad pamoja na maendeleo ya karibuni katika ukanda.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 11:11:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139466-iran_yakemea_hujuma_ya_marekani_kusini_mwa_nchi_yaitaja_kuwa_ukiukaji_wa_wazi_wa_mou_ya_islamabad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby05df9e71ea2ppsq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139466-iran_yakemea_hujuma_ya_marekani_kusini_mwa_nchi_yaitaja_kuwa_ukiukaji_wa_wazi_wa_mou_ya_islamabad </guid>  
      <description>Iran imekemea mashambulizi ya hivi karibuni ya anga ya Marekani dhidi ya maeneo kadhaa kando ya pwani za kusini mwa nchi, ikiyataja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa hati ya makubaliano ya maelewano (MoU) iliyopatanishwa na Pakistan.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 11:08:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139458-kwa_nini_mwavuli_wa_usalama_wa_marekani_umeshindwa_kufikia_malengo_yaliyokusudiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0e6ab302142ppfw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139458-kwa_nini_mwavuli_wa_usalama_wa_marekani_umeshindwa_kufikia_malengo_yaliyokusudiwa </guid>  
      <description>Katika taarifa yake, Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeelezea misimamo iliyotangazwa katika taarifa ya pamoja ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi tarehe 25 Juni, kuwa ni ya uingiliaji, kutowajibika na ya kichochezi.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 10:29:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139456-madai_ya_uongo_kuhusu_kufikiwa_malengo_ya_marekani_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7df873dfc22ppii.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139456-madai_ya_uongo_kuhusu_kufikiwa_malengo_ya_marekani_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>J.D Vance, Makamu wa Rais Donald Trump wa Marekani, amedai kuwa malengo yote yaliyotangazwa na utawala wa nchi hiyo na hasa ya kijeshi na ya nyuklia katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran yamefikiwa. Vance amedai kuwa Marekani imefanikiwa kufikia yale yote iliyokuwa imepanga kuyafikia kwa kutumia uwezo wake wa kiuchumi, kidiplomasia na kijeshi.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 05:25:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139452-irgc_yashambulia_ngome_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_shambulio_dhidi_ya_maeneo_ya_pwani_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9a7fdf29a82ppkq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139452-irgc_yashambulia_ngome_za_jeshi_la_marekani_kulipiza_kisasi_shambulio_dhidi_ya_maeneo_ya_pwani_ya_iran </guid>  
      <description>Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeshambulia ngome za kijeshi za Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia kulipiza kisasi uchokozi wa awali dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 03:28:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139450-majeshi_ya_iran_yaonya_kuhusu_jibu_kwa_tishio_lolote_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby43acc6a3862ppkm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139450-majeshi_ya_iran_yaonya_kuhusu_jibu_kwa_tishio_lolote_la_israel </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran imeonya kwamba Jamhuri ya Kiislamu itajibu “hatua hatari” za Israel katika anga za baadhi ya nchi jirani.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 03:06:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139446-iran_yalaani_taarifa_ya_kichochezi_ya_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya5b12672262ppkk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139446-iran_yalaani_taarifa_ya_kichochezi_ya_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_na_marekani </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali taarifa ya pamoja ya Marekani na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P-GCC), ikiitaja kuwa ni “ya kuingilia mambo ya wengine, isiyo ya kuwajibika, na ya kichochezi,” huku ikizionya nchi za eneo hilo dhidi ya kuendelea kushirikiana kwa misimamo ya uadui na Washington.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 02:59:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139442-araqchi_hatutasahau_wala_hatutasamehe_mauaji_ya_sayyidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd5133204c92ppd2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139442-araqchi_hatutasahau_wala_hatutasamehe_mauaji_ya_sayyidi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema katika ujumbe wake kwamba: "Kuuliwa shahidi Sayyid na kinara wa mashahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu hakutasahaulika wala hakutasamehewa."</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 11:27:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Waliohusika na mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab wachukuliwe hatua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139432-iran_waliohusika_na_mauaji_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_minab_wachukuliwe_hatua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye979357cbd2ppc6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139432-iran_waliohusika_na_mauaji_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_minab_wachukuliwe_hatua </guid>  
      <description>Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani "uhalifu mbaya" uliofanywa na Marekani katika shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh ya Minab nchini Iran wakati wa mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kislamu, na kutoa wito kwa wahusika wote, wapangaji na viongozi kuwajibishwa kikamilifu, akisisitiza kwamba: "Kumbukumbu ya watoto wa Minab inahitaji haki, uwajibikaji na utekelezaji, si kukaa kimya."

</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 04:26:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Imam Hussein (a.s.) ametufundisha kusimama dhidi ya dhulma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139418-rais_pezeshkian_imam_hussein_(a.s.)_ametufundisha_kusimama_dhidi_ya_dhulma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7ec44aff462pp64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139418-rais_pezeshkian_imam_hussein_(a.s.)_ametufundisha_kusimama_dhidi_ya_dhulma </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa, Imam Hussein (a.s.) ametufundisha kusimama dhidi ya dhulma, vishawishi vya madaraka, na tamaa ya maslahi binafsi.

</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 10:09:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: NATO inapaswa kuwajibishwa kwa kushiriki katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139416-baghaei_nato_inapaswa_kuwajibishwa_kwa_kushiriki_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8a752600f02pp1a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139416-baghaei_nato_inapaswa_kuwajibishwa_kwa_kushiriki_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwamba, Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) na nchi wanachama wake, zikiwemo Italia na Romania, ambazo Katibu Mkuu wa NATO amekiri waziwazi nafasi yao katika kutekeleza mashambulizi haramu na ya kihalifu dhidi ya Iran, zinapaswa kuwajibishwa kwa aina yoyote ya ushirikiano katika uhalifu uliofanywa na Marekani na Israel dhidi ya Iran.

</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 09:57:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapendekeza kuanzishwa Umoja wa Redio na Televisheni wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139404-iran_yapendekeza_kuanzishwa_umoja_wa_redio_na_televisheni_wa_shirika_la_ushirikiano_la_shanghai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5af39db1aa2pp1c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139404-iran_yapendekeza_kuanzishwa_umoja_wa_redio_na_televisheni_wa_shirika_la_ushirikiano_la_shanghai </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Mkuu wa Kitengo cha Matangazo ya Ng'ambo ya  Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ametoa pendekezo la kuanzishwa Umoja wa Redio na Televisheni wa Shirika la Ushirikiano la Shanghai kama utaratibu mpya wa kuimarisha diplomasia ya vyombo vya habari na muungano wa kitamaduni miongoni mwa nchi wanachama.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:25:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139396-mamilioni_ya_wairani_washiriki_maombolezo_kuelekea_siku_ya_ashura</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9c36b55fc52pouu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139396-mamilioni_ya_wairani_washiriki_maombolezo_kuelekea_siku_ya_ashura </guid>  
      <description>Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo mchana wameshiriki katika maombolezo ya kumbukumbu ya Ta'asua  na jioni hii wanashiriki katika hafla za mkesha wa Ashura ambayo ni kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 11:14:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Mkataba wa Islamabad ni tangazo la kufeli kwa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139394-qalibaf_mkataba_wa_islamabad_ni_tangazo_la_kufeli_kwa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4991cfbbb32poty.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139394-qalibaf_mkataba_wa_islamabad_ni_tangazo_la_kufeli_kwa_marekani </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Mkataba wa Maelewano (MoU) wa kumaliza vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa matokeo ya shinikizo au kulazimishwa, bali ni zao la ustahimilivu na nguvu ya taifa shupavu la Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 11:04:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran haitazungumzia uwezo wake wa kjeshi, asema makombora yameiepusha Iran na hatima ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139392-pezeshkian_iran_haitazungumzia_uwezo_wake_wa_kjeshi_asema_makombora_yameiepusha_iran_na_hatima_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby786d3ce4152posy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139392-pezeshkian_iran_haitazungumzia_uwezo_wake_wa_kjeshi_asema_makombora_yameiepusha_iran_na_hatima_ya_gaza </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Tehran haitawahi kamwe kufanya mazungumzo yoyote kuhusu uwezo wake wa ulinzi na kuzuia uchokozi (deterrence), akibainisha kuwa ghala la makombora la nchi hii ndilo limeiweka Iran salama dhidi ya kukumbwa na hatima ya Gaza.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 11:00:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watafiti wa Iran wapiga hatua ya kwanza katika chanjo ya mRNA dhidi ya saratani ya matiti</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139390-watafiti_wa_iran_wapiga_hatua_ya_kwanza_katika_chanjo_ya_mrna_dhidi_ya_saratani_ya_matiti</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby325ccf64212pouo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139390-watafiti_wa_iran_wapiga_hatua_ya_kwanza_katika_chanjo_ya_mrna_dhidi_ya_saratani_ya_matiti </guid>  
      <description>Watafiti kutoka taasisi tano za kisayansi na kitiba nchini Iran wamefanikiwa kubuni chanjo ya aina yake ya mRNA kwa kutumia njia za hali ya juu za kompyuta. </description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 10:58:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda: Jeshi la Iran bado halijaonesha uwezo wake kamili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139376-kamanda_jeshi_la_iran_bado_halijaonesha_uwezo_wake_kamili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1fc22e2bd92poni.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139376-kamanda_jeshi_la_iran_bado_halijaonesha_uwezo_wake_kamili </guid>  
      <description>Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamebadili mwelekeo wa kimkakati kutoka kwenye ulinzi pekee na kuelekea kwenye mafundisho ya kijeshi ya mashambulizi (offensive military doctrine), huku operesheni za kutangulia kumzuia adui (preemptive operations) zikiwa sasa mezani.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 03:54:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Marekani ina wajibu wa kuondoa vikwazo vyote haramu dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139370-iran_marekani_ina_wajibu_wa_kuondoa_vikwazo_vyote_haramu_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2e25be15952pok0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139370-iran_marekani_ina_wajibu_wa_kuondoa_vikwazo_vyote_haramu_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema kuwa Marekani ina wajibu wa kuondoa vikwazo vyote vya kiuchumi ilivyoiwekea Iran kinyume cha sheria, kulingana na mkataba wa maelewano uliotiwa saini kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 03:36:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Kuwajibika kwa Marekani ndio sharti la kuendelea mazungumzo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139358-pezeshkian_kuwajibika_kwa_marekani_ndio_sharti_la_kuendelea_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby53bf6d23482poeo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139358-pezeshkian_kuwajibika_kwa_marekani_ndio_sharti_la_kuendelea_mazungumzo </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo umuhimu wa kutekelezwa makubaliano yaliyofikwa baina ya Iran na Marekani kwa ajili ya kuendelezwa mazungumzo kati ya pande hizo kuhusu utekelezaji wa mkataba wa maelewano uliosainiwa hivi karibuni.</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 10:35:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi ya Imam Khamenei kufanyika kwa siku sita nchini Iran na Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139356-mazishi_ya_imam_khamenei_kufanyika_kwa_siku_sita_nchini_iran_na_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby31d03863a02po9s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139356-mazishi_ya_imam_khamenei_kufanyika_kwa_siku_sita_nchini_iran_na_iraq </guid>  
      <description>Makao makuu ya kumbukumbu ya Kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei yametangaza ratiba ya mazishi ya siku sita katika miji mitano, ikianza na shughuli ya kuaga mwili wake kwa siku mbili mjini Tehran mnamo Julai 4 na kumalizika kwa maziko yake katika mji mtakatifu wa Mash'had, tarehe 9 Julai.

</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 03:07:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Qaani awaambia Wazayuni: Muondoke wenyewe kusini mwa Lebanon la sivyo mtafukuzwa kwa mateke</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139354-jenerali_qaani_awaambia_wazayuni_muondoke_wenyewe_kusini_mwa_lebanon_la_sivyo_mtafukuzwa_kwa_mateke</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1c6c9d6cf32po9q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139354-jenerali_qaani_awaambia_wazayuni_muondoke_wenyewe_kusini_mwa_lebanon_la_sivyo_mtafukuzwa_kwa_mateke </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amewaambia wavamizi wa Kizayuni kwamba ikiwa hawataondoka kusini mwa Lebanon kwa miguu yao wenyewe, watafukuzwa kwa fedheha hali ya kuwa wameshindwa.

</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 03:02:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamati ya utendaji ya PUIC yakaribisha mpango wa Iran wa kuimarisha mshikamano wa nchi za Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139340-kamati_ya_utendaji_ya_puic_yakaribisha_mpango_wa_iran_wa_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc0a5d853e62po2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139340-kamati_ya_utendaji_ya_puic_yakaribisha_mpango_wa_iran_wa_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu </guid>  
      <description>Pendekezo la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran la kuimarisha mshikamano katika mchakato wa kumchagua Rais mpya wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) limepitishwa katika mkutano wa Kamati ya Utendaji ya PUIC.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 11:14:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mawaziri wa Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan wajadili makubaliano ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139332-mawaziri_wa_misri_uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_wajadili_makubaliano_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd68da8d4fa2po0a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139332-mawaziri_wa_misri_uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_wajadili_makubaliano_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan umefanyika mjini Cairo kwa ajili ya kujadili utulivu wa kikanda na kufuatilia makubaliano kati ya Iran na Marekani.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 08:53:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi:  Mazungumzo ya Uswisi yamepiga hatua kubwa, usitishaji vita Lebanon bado ni mtihani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139328-araqchi_mazungumzo_ya_uswisi_yamepiga_hatua_kubwa_usitishaji_vita_lebanon_bado_ni_mtihani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby693e6a43ec2pntm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139328-araqchi_mazungumzo_ya_uswisi_yamepiga_hatua_kubwa_usitishaji_vita_lebanon_bado_ni_mtihani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amezipongeza Pakistan na Qatar kwa juhudi zao alizozitaja kuwa za "kutochoka" katika upatanishi, akisema kuwa hatua kubwa zimefikiwa kuelekea kumaliza vita dhidi ya Iran, lakini akasisitiza kuwa "kipimo halisi" kitakuwa utekelezaji wenye mafanikio wa usitishaji vita nchini Lebanon.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:47:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Hatuogopi vita, lakini vita havina maslahi na mtu yeyote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139326-rais_pezeshkian_hatuogopi_vita_lakini_vita_havina_maslahi_na_mtu_yeyote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6340b632752pnou.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139326-rais_pezeshkian_hatuogopi_vita_lakini_vita_havina_maslahi_na_mtu_yeyote </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Hatuogopi vita, lakini vita havina maslahi na mtu yeyote.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:45:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Kiebrania: Israel kwa mara nyingine tena imesalimu amri kwa masharti ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139324-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_israel_kwa_mara_nyingine_tena_imesalimu_amri_kwa_masharti_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc74b4f82152pnvc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139324-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_israel_kwa_mara_nyingine_tena_imesalimu_amri_kwa_masharti_ya_iran </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti kuwa, uamuzi wa kusitisha mapigano nchini Lebanon umetolewa baada ya Marekani kutoa mashinikizo makali dhidi ya Tel Aviv na kwamba, maafisa wa kisiasa wa utawala huo wamesalimu amri tena kwa masharti ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:43:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Timu ya taifa ya karate ya wanawake ya Iran yatwaa ubingwa wa Asia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139322-timu_ya_taifa_ya_karate_ya_wanawake_ya_iran_yatwaa_ubingwa_wa_asia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyee38afb03a2pnv6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139322-timu_ya_taifa_ya_karate_ya_wanawake_ya_iran_yatwaa_ubingwa_wa_asia </guid>  
      <description>Timu ya taifa ya karate ya wanawake ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa ubingwa wa bara la Asia katika mchezo huo.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 04:36:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema mazungumzo na Marekani yanahusu kutotekelezwa kwa kifungu cha kwanza cha makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139316-iran_yasema_mazungumzo_na_marekani_yanahusu_kutotekelezwa_kwa_kifungu_cha_kwanza_cha_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyce52ef28802pnky.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139316-iran_yasema_mazungumzo_na_marekani_yanahusu_kutotekelezwa_kwa_kifungu_cha_kwanza_cha_makubaliano </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kuwa mazungumzo yaliyopangwa kufanyika na Marekani yatalenga suala la kutotekelezwa kwa kifungu cha kwanza cha Waraka wa Makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:26:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi aonya dhidi ya matumaini kupita kiasi kuhusu mazungumzo na “adui anayevunja ahadi”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139314-mshauri_wa_kiongozi_aonya_dhidi_ya_matumaini_kupita_kiasi_kuhusu_mazungumzo_na_adui_anayevunja_ahadi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby817ff5c8ec2pnm2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139314-mshauri_wa_kiongozi_aonya_dhidi_ya_matumaini_kupita_kiasi_kuhusu_mazungumzo_na_adui_anayevunja_ahadi </guid>  
      <description>Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonya dhidi ya kuwa na matumaini kupita kiasi kuhusu mazungumzo na adui, akitaja historia yake ya kuvunja ahadi.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:25:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139306-spika_wa_bunge_la_iran_aapa_kuwa_mwaminifu_kwa_mashahidi_baada_ya_kuwasili_uswisi_kwa_mazungumzo_na_us</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5bb08eefa72pnfq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139306-spika_wa_bunge_la_iran_aapa_kuwa_mwaminifu_kwa_mashahidi_baada_ya_kuwasili_uswisi_kwa_mazungumzo_na_us </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran amesisitiza tena kwamba atatetea haki za Wairani waliouawa shahidi wakati wa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu baada ya kuwasili Uswisi kufuatilia mkataba wa Hati ya Maelewano uliosainiwa na viongozi wa nchi mbili kwa lengo la kukomesha vita.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 04:43:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139302-picha_ya_mazishi_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_msingi_ya_minab_yashinda_tuzo_ya_picha_bora_zaidi_ya_mwaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby49159722eb2pnem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139302-picha_ya_mazishi_ya_wanafunzi_wa_shule_ya_msingi_ya_minab_yashinda_tuzo_ya_picha_bora_zaidi_ya_mwaka </guid>  
      <description>Picha iliyochukuliwa kutokea angani inayoonyesha mazishi ya wanafunzi 168 waliouawa shahidi wakati wa shambulio la makombora ya Marekani dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab, kusini mwa Iran, imeshinda tuzo ya juu katika Kategoria ya Upigaji Picha za Habari ya tuzo za Golden Shot Photography Awards 2026.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 03:00:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yafunga tena Lango-Bahari la Hormuz baada ya Marekani na Israel kukiuka MoU </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139296-iran_yafunga_tena_lango_bahari_la_hormuz_baada_ya_marekani_na_israel_kukiuka_mou</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby27f92241e02pnby.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139296-iran_yafunga_tena_lango_bahari_la_hormuz_baada_ya_marekani_na_israel_kukiuka_mou </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran imetangaza rasmi kwamba Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa vyombo vyote vya usafirishaji wa baharini, baada ya Marekani na Israel kukiuka makubaliano ya hati ya maelewano ya kusitisha vita kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 14:48:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya Wizara ya Ulinzi ya Iran ya kushukuru ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kuhusu mazungumzo ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139294-taarifa_ya_wizara_ya_ulinzi_ya_iran_ya_kushukuru_ujumbe_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_kuhusu_mazungumzo_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf93e75e45f2pnao.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139294-taarifa_ya_wizara_ya_ulinzi_ya_iran_ya_kushukuru_ujumbe_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_kuhusu_mazungumzo_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Katika kujibu ujumbe wa Kiongozi muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu mazungumzo ya Iran na Marekani, Wizara ya Ulinzi na Msaada Kwa Jeshi la Iran imesisitiza katika taarifa kwamba: Siri ya mafanikio endelevu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kufuata kamilifu na bila kusitasita amri na hatua za Amiri Jeshi Mkuu.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 13:03:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa mambo ya ndani wa Pakistan arejea tena Tehran kujadili mazungumzo ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139292-waziri_wa_mambo_ya_ndani_wa_pakistan_arejea_tena_tehran_kujadili_mazungumzo_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfd331258a02pmt2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139292-waziri_wa_mambo_ya_ndani_wa_pakistan_arejea_tena_tehran_kujadili_mazungumzo_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Syed Mohsin Raza Naqvi, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Pakistan amerejea tena Tehran kwa ajili ya kukutana na kuzungumza na viongozi wa ngazi za juu wa Iran, kuhusu suala la kuendeleza mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani. </description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 12:19:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Iran: Ukiukaji wowote wa ahadi wa Marekani utakabiliwa na jibu kali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139290-bunge_la_iran_ukiukaji_wowote_wa_ahadi_wa_marekani_utakabiliwa_na_jibu_kali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby64bec60ee82pn74.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139290-bunge_la_iran_ukiukaji_wowote_wa_ahadi_wa_marekani_utakabiliwa_na_jibu_kali </guid>  
      <description>Mwenyekiti wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika akaunti yake ya mtandao wa kijamii kwamba: "Ukiukaji wowote wa ahadi utakaofanywa na Marekani au kujiondoa katika fremu kuu ya maelewano kutapelekea jeshi la Iran, kwa uungaji mkono wa taifa shupavu la Iran kutoa jibu kali, thabiti na la kuumiza zaidi dhidi ya adui huyo kuliko ilivyokuwa huko nyuma."</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 12:09:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Amani na uthabiti nchini Lebanon na eneo havitapatikana bila ya kukomeshwa uvamizi wa adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139288-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_amani_na_uthabiti_nchini_lebanon_na_eneo_havitapatikana_bila_ya_kukomeshwa_uvamizi_wa_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd2aa45854f2pn2s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139288-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_amani_na_uthabiti_nchini_lebanon_na_eneo_havitapatikana_bila_ya_kukomeshwa_uvamizi_wa_adui </guid>  
      <description>Katika mahojiano na televisheni ya Al Jazeera, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Washington lazima imzuie Netanyahu kuvuruga juhudi za maelewano kwa sababu hakuna amani wala utulivu wowote utakaopatikana Lebanon na katika eneo zima la Asia Magharibi bila kukomeshwa uvamizi na ukaliaji mabavu wa ardhi za nchi za eneo.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 12:07:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump: Kama nisingesimamisha vita na Iran, tungeachwa bila mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139286-trump_kama_nisingesimamisha_vita_na_iran_tungeachwa_bila_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby83baa793092pn9g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139286-trump_kama_nisingesimamisha_vita_na_iran_tungeachwa_bila_mafuta </guid>  
      <description>Katika mahojiano na chombo cha habari cha Marekani Axios, Rais Doland Trump wa Marekani amekiri hadharani kwamba hakuwa na budi ila kufanya mazungumzo na Iran kwa ajili ya kumaliza vita.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 11:51:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasitisha mazungumzo na Marekani  nchini Uswisi baada ya Israel kuendeleza hujuma Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139284-iran_yasitisha_mazungumzo_na_marekani_nchini_uswisi_baada_ya_israel_kuendeleza_hujuma_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf3ddf3004a2pn1q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139284-iran_yasitisha_mazungumzo_na_marekani_nchini_uswisi_baada_ya_israel_kuendeleza_hujuma_lebanon </guid>  
      <description>Mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani nchini Uswisi, yaliyokusudiwa kuimarisha Hati ya Makubaliano (MoU) iliyosainiwa hivi karibuni, yameahirishwa. </description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:27:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Tuko tayari kuwapa maadui ‘kichapo kikubwa zaidi’ ikiwa haki za Iran zitakiukwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139282-irgc_tuko_tayari_kuwapa_maadui_kichapo_kikubwa_zaidi’_ikiwa_haki_za_iran_zitakiukwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2a780cbaab2pn2m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139282-irgc_tuko_tayari_kuwapa_maadui_kichapo_kikubwa_zaidi’_ikiwa_haki_za_iran_zitakiukwa </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limethibitisha utayari wake wa kuwapa maadui “kichapo kikubwa cha kihistoria” iwapo wataendeleza madai yao ya kupita kiasi na kukiuka haki za taifa tukufu la Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:25:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walinzi wa mpaka wa Iran na Iraq washirikiana kuandaa marasimu ya Arbaeen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139274-walinzi_wa_mpaka_wa_iran_na_iraq_washirikiana_kuandaa_marasimu_ya_arbaeen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6bab94477f2pn0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139274-walinzi_wa_mpaka_wa_iran_na_iraq_washirikiana_kuandaa_marasimu_ya_arbaeen </guid>  
      <description>Walinzi wa mpaka wa pamoja wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Iraq wamefanya vikao vya pamoja katika mpaka wa eneo la Mehran katika mkesha wa kuanza rasmi wimbi kubwa la mazuwwar wa Muharram na Arbaeen.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:42:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imam wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran: Utawala wa Marekani hauaminiki hata kidogo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139272-imam_wa_swala_ya_ijumaa_mjini_tehran_utawala_wa_marekani_hauaminiki_hata_kidogo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby34ab9ce2d92pn0a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139272-imam_wa_swala_ya_ijumaa_mjini_tehran_utawala_wa_marekani_hauaminiki_hata_kidogo </guid>  
      <description>Huku akisema kuwa, nguvu ni matunda ya subira mitaani, medani ya vita na diplomasia kwa pamoja, Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesisitiza kuwa: 'Leo utawala wa Marekani hauaminiki hata kidogo.'</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:35:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkataba wa Maelewano na Iran: Mwisho wa nguvu ya Dola la Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139270-mkataba_wa_maelewano_na_iran_mwisho_wa_nguvu_ya_dola_la_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4b0cefa5f92pmv8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139270-mkataba_wa_maelewano_na_iran_mwisho_wa_nguvu_ya_dola_la_marekani </guid>  
      <description>Tucker Carlson, mtangazaji na mchambuzi mashuhuri wa Marekani, amesema katika taarifa kuhusu makubaliano ya hivi karibuni kati ya Iran na Marekani kwamba makubaliano hayo yamemaliza kikamilifu nguvu, kiburi, majigambo na ubabe wa Marekani katika ngazi ya kimataifa na kuipelekea ikiri rasmi hadharani kwamba Iran ni mchezaji muhimu mwenye maamuzi huru, na kwamba hilo pekee limebadilisha kila kitu katika mtazamo wa kisiasa na kijeshi.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:27:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya misikiti ya Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139266-iran_yalaani_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_misikiti_ya_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8b69dafa9e2pmwe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139266-iran_yalaani_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_misikiti_ya_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vitendo vya Wazayuni kuvunjia heshima na kushambulia misikiti ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:23:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139264-kutoka_uwanja_wa_vita_hadi_meza_ya_mazungumzo_je_iran_imebadilisha_vipi_milinganyo_ya_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby266c7650c32pmy0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139264-kutoka_uwanja_wa_vita_hadi_meza_ya_mazungumzo_je_iran_imebadilisha_vipi_milinganyo_ya_vita </guid>  
      <description>Kusainiwa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad na Marais wa Iran na Marekani kunashiria mwisho wa mojawapo ya mivutano na makabiliano makubwa zaidi kati ya nchi hizi mbili. </description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 10:30:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu apongeza juhudi za maafisa wa Iran, asema Trump alitamani sana kufikia makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139260-kiongozi_muadhamu_apongeza_juhudi_za_maafisa_wa_iran_asema_trump_alitamani_sana_kufikia_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby05d1098c6a2pmvy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139260-kiongozi_muadhamu_apongeza_juhudi_za_maafisa_wa_iran_asema_trump_alitamani_sana_kufikia_makubaliano </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema maafisa wa Iran wamefanya juhudi kubwa kwa nia njema kufikia makubaliano ya maelewano na Marekani, huku rais wa Marekani akitumia njia mbalimbali za mashinikizo kutokana na kukata tamaa.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 04:04:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian apongeza hati ya makualiano na Marekani; asema ni ushahidi wa 'Iran yenye nguvu'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139258-rais_pezeshkian_apongeza_hati_ya_makualiano_na_marekani_asema_ni_ushahidi_wa_'iran_yenye_nguvu'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb84440fc102pmvw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139258-rais_pezeshkian_apongeza_hati_ya_makualiano_na_marekani_asema_ni_ushahidi_wa_'iran_yenye_nguvu' </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesifu hati ya makubaliano ya Islamabad iliyotiwa saini kati ya Iran na Marekani kuwa ni "hati ya kihistoria" na dhihirisho la nguvu ya Iran duniani.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 04:01:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Tozo ya kupita Mango Bahari la Hormuz baada ya siku 60 imejumuishwa katika Hati ya Makubalino (MoU)</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139250-qalibaf_tozo_ya_kupita_mango_bahari_la_hormuz_baada_ya_siku_60_imejumuishwa_katika_hati_ya_makubalino_(mou)</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby23931767542pmvo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139250-qalibaf_tozo_ya_kupita_mango_bahari_la_hormuz_baada_ya_siku_60_imejumuishwa_katika_hati_ya_makubalino_(mou) </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge), Mohammad Baqer Qalibaf, ambaye anaongoza timu ya mazungumzo na Marekani, ameeleza kuwa malipo ya kuvuka katika Lango-Bahari la Hormuz yamejumuishwa kwenye Hati ya Makubaliano baina ya pande hizo mbili na kwamba kupita katika lango hilo katika kipindi hiki cha siku 60 cha mazungumzo kutakuwa bure.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 03:44:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, vita vya Iran vilisambaratisha vipi ngano ya nguvu isiyoshindwa ya Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139238-je_vita_vya_iran_vilisambaratisha_vipi_ngano_ya_nguvu_isiyoshindwa_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby34c07750c42pmau.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139238-je_vita_vya_iran_vilisambaratisha_vipi_ngano_ya_nguvu_isiyoshindwa_ya_marekani </guid>  
      <description>"Vita na Iran vimefichua ukweli mchungu kwa Marekani; Trump alifanya makosa makubwa na hatari kwa kuanzisha vita hivi na hatimaye kutoka kwenye vita akiwa dhaifu kijeshi, kidiplomasia na kiuchumi."</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 08:29:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Taifa la Iran limejifunza kutokubali kudhalilishwa kutoka kwa Kiongozi aliyeuawa shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139236-rais_pezeshkian_taifa_la_iran_limejifunza_kutokubali_kudhalilishwa_kutoka_kwa_kiongozi_aliyeuawa_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx54d36cd9832pej6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139236-rais_pezeshkian_taifa_la_iran_limejifunza_kutokubali_kudhalilishwa_kutoka_kwa_kiongozi_aliyeuawa_shahidi </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amesema taifa la Iran limejifunza kutokubali kudhalilishwa kutoka kwa Kiongozi aliyeuawa shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei. </description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 06:03:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Anga za Juu la Iran kuzindua satalaiti ya Pars-2</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139234-shirika_la_anga_za_juu_la_iran_kuzindua_satalaiti_ya_pars_2</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby74eee6ead52pmnk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139234-shirika_la_anga_za_juu_la_iran_kuzindua_satalaiti_ya_pars_2 </guid>  
      <description>Shirika la Masuala ya Anga za Juu la Iran linasonga mbele kwa kasi mpya, huku Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano akitangaza mipango ya uzinduzi ujao wa satalaiti ya "Pars 2" na kupelekwa angani Shahid Soleimani Satellite Constellation ifikapo mwisho wa mwaka huu.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 06:01:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marais wa Iran na Marekani watia saini kidijitali Makubaliano ya kumaliza vita </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139230-marais_wa_iran_na_marekani_watia_saini_kidijitali_makubaliano_ya_kumaliza_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyebb1aa19992pmmu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139230-marais_wa_iran_na_marekani_watia_saini_kidijitali_makubaliano_ya_kumaliza_vita </guid>  
      <description>Hati ya makubaliano (MoU) kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani sasa imetiwa saini rasmi na marais wa nchi hizo mbili baada ya maandishi yake kukamilishwa, na hivyo makubaliano hayo kuanza kutekelezwa. Hayo yametangazwa na msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Jumatano usiku.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 04:30:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini umoja wa nyanja ni muhimu kwa Iran na kusambaratika kwake ni muhimu kwa Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139224-kwa_nini_umoja_wa_nyanja_ni_muhimu_kwa_iran_na_kusambaratika_kwake_ni_muhimu_kwa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf51625c9be2pmic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139224-kwa_nini_umoja_wa_nyanja_ni_muhimu_kwa_iran_na_kusambaratika_kwake_ni_muhimu_kwa_israel </guid>  
      <description>Wakati Iran na Marekani zilipokuwa zinakaribia kufikia mapatano ya awali kuhusu kusimamisha vita, utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena siku ya Jumapili (Juni 14, 2026) ulishambulia viunga vya mji wa Beirut, na hivyo kuendelea kukiuka usitishavi vita.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 12:30:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laionya Israel kuhusu ukiukaji usitishaji vita Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139222-jeshi_la_iran_laionya_israel_kuhusu_ukiukaji_usitishaji_vita_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby28137252932pmgk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139222-jeshi_la_iran_laionya_israel_kuhusu_ukiukaji_usitishaji_vita_lebanon </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran, Khatam al-Anbiya imeuonya utawala wa Israel na kuutaka usitishe mara moja ukiukaji wa mara kwa mara wa makubaliiano ya usitishaji vita kusini mwa Lebanon, au ukabiliwe na “jibu kali” la majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 12:14:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatengeneza dawa ya kutibu saratani kwa kutumia teknolojia ya nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139220-iran_yatengeneza_dawa_ya_kutibu_saratani_kwa_kutumia_teknolojia_ya_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby22b4f1a4c72pmi2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139220-iran_yatengeneza_dawa_ya_kutibu_saratani_kwa_kutumia_teknolojia_ya_nyuklia </guid>  
      <description>Iran inatarajiwa hivi karibuni kuzindua AlphaZa, dawa ya kwanza ya tiba ya nyuklia ya kutibu saratani iliyotengenezwa nchini inayotumia chembe za alfa (alpha‑emitting radiopharmaceutical), kwa ajili ya kutibu saratani zilizo katika hatua ya juu ambazo hazijaitikia tiba za kawaida.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 12:09:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ejei: Iran iko tayari kuendelea kupigana iwapo adui atavunja ahadi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139206-ejei_iran_iko_tayari_kuendelea_kupigana_iwapo_adui_atavunja_ahadi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby175c0cab9b2pmbg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139206-ejei_iran_iko_tayari_kuendelea_kupigana_iwapo_adui_atavunja_ahadi </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholamhossein Mohseni Ejei, amesema Iran iko tayari kuendeleza mapambano dhidi ya uchokozi wa Marekani na Israel iwapo maadui hawatatimiza ahadi zao chini ya makubaliano mapya yaliyotangazwa ya kumaliza vita.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 03:31:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Quds: Vita dhidi ya Iran vimeifedhehesha Marekani, vimeharakisha kuporomoka Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139204-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_vita_dhidi_ya_iran_vimeifedhehesha_marekani_vimeharakisha_kuporomoka_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf4f38e9e042pmbe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139204-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_vita_dhidi_ya_iran_vimeifedhehesha_marekani_vimeharakisha_kuporomoka_israel </guid>  
      <description>Brigedia Jenerali Esmail Qaani, kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), amesema kuwa vita vya tatu vya kulazimishwa dhidi ya Iran vimeifedhehesha kabisa Marekani na vimeharakisha kuporomoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 03:29:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kocha:  Timu ya Iran imedhulumiwa zaidi katika Historia ya Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139202-kocha_timu_ya_iran_imedhulumiwa_zaidi_katika_historia_ya_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby94c4f978b52pmba.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139202-kocha_timu_ya_iran_imedhulumiwa_zaidi_katika_historia_ya_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Iran, Amir Ghalenoei, amesema kuwa ‘Team Melli’ ndiyo “timu inayodhulumiwa zaidi katika historia ya Kombe la Dunia la FIFA.” </description>
      <pubDate>Wed, 17 Jun 2026 03:24:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Marekani ina jukumu la kuhakikisha inakomesha kabisa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139192-iran_marekani_ina_jukumu_la_kuhakikisha_inakomesha_kabisa_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby33d0105f8a2pm7i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139192-iran_marekani_ina_jukumu_la_kuhakikisha_inakomesha_kabisa_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema kuwa Marekani ina jukumu la kuhakikisha utekelezwaji wa hati ya maelewano (MoU) ya makubaliano itakayosainiwa na Tehran na Washington ikijumuisha kusitishwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 11:16:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Jeshi la Iran: Adui yeyote atakayefanya makosa atakabiliwa na ghadhabu kubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139190-mkuu_wa_jeshi_la_iran_adui_yeyote_atakayefanya_makosa_atakabiliwa_na_ghadhabu_kubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby806a9379ee2pm7g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139190-mkuu_wa_jeshi_la_iran_adui_yeyote_atakayefanya_makosa_atakabiliwa_na_ghadhabu_kubwa </guid>  
      <description>Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran amesema adui alishindwa kufikia malengo yake yoyote kupitia vita viwili, akionya kwamba makosa yoyote ya kimahesabu yatakabiliwa na hasira kali ya Jeshi la Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 11:13:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani ilishindwa vipi katika vita dhidi ya Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139182-marekani_ilishindwa_vipi_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6769d77afe2pm02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139182-marekani_ilishindwa_vipi_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Siku mia moja na sita baada ya kuanza hujuma za kijeshi za Marekani na Wazayuni dhidi ya Iran, hatimaye Tehran na Washington zimefikia muafaka katika mfumo wa makubaliano ya kuhitimisha rasmi vita hivyo.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 06:31:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatoka sare ya mabao 2 kwa 2 na New Zealand, Misri yagawana pointi na Ubelgiji Kundi G</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139180-iran_yatoka_sare_ya_mabao_2_kwa_2_na_new_zealand_misri_yagawana_pointi_na_ubelgiji_kundi_g</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf1a7d60ed22pm4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139180-iran_yatoka_sare_ya_mabao_2_kwa_2_na_new_zealand_misri_yagawana_pointi_na_ubelgiji_kundi_g </guid>  
      <description>Timu ya Taifa ya Iran, Team Melli, imetoka sare ya mabao mawili kwa mawili na timu ya taifa ya New Zealand katika mechi ya kundi G iliyopigwa uwanja wa SoFi Stadium huko California.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 05:57:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Hasira ya Israel dhidi ya MoU na Marekani ni 'ishara dhahiri' ya ushindi wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139178-pezeshkian_hasira_ya_israel_dhidi_ya_mou_na_marekani_ni_'ishara_dhahiri'_ya_ushindi_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby66a5da5bd02pm1w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139178-pezeshkian_hasira_ya_israel_dhidi_ya_mou_na_marekani_ni_'ishara_dhahiri'_ya_ushindi_wa_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema hasira ya Israel kuhusu hati ya maelewano (MoU) ya makubaliano kati ya Iran na Marekani inaashiria wazi mafanikio na ushindi wa taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 03:34:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Amoli Larijani: Istiqama ya taifa imeshinda 'kiburi kibaya cha US-Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139176-ayatullah_amoli_larijani_istiqama_ya_taifa_imeshinda_'kiburi_kibaya_cha_us_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7737c05aba2pm36.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139176-ayatullah_amoli_larijani_istiqama_ya_taifa_imeshinda_'kiburi_kibaya_cha_us_israel </guid>  
      <description>Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesifu istiqama na ushujaa wa taifa kubwa la Iran mbele ya "kiburi kibaya" cha Marekani na utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 03:01:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump afedheheka kwa kusherehekea kurejea katika hali ya kabla ya vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139166-trump_afedheheka_kwa_kusherehekea_kurejea_katika_hali_ya_kabla_ya_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby96829e6e492pluk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139166-trump_afedheheka_kwa_kusherehekea_kurejea_katika_hali_ya_kabla_ya_vita_na_iran </guid>  
      <description>Wataalamu wengi wa masuala ya siasa wametathmini utangulizi wa mapatano ya kusitisha vita kati ya Marekani na Jamhuri ya Kislamu ya Iran na kuyataja kuwa fedheha kubwa kwa utawala wa Marekani unaoongozwa na Rais Donald Trump. </description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 13:57:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Iran itaiwajibisha Marekani kwa ajili ya utekelezaji wa makubaliano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139158-araqchi_iran_itaiwajibisha_marekani_kwa_ajili_ya_utekelezaji_wa_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfa668d754d2plz4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139158-araqchi_iran_itaiwajibisha_marekani_kwa_ajili_ya_utekelezaji_wa_makubaliano </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi amejadili makubaliano ya Iran na Marekani na wenzake wa Uturuki, Iraq, Misri, Japani na Saudi Arabia, akisisitiza wajibu wa Marekani wa kutekeleza makubaliano hayo.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 10:47:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatangaza kufikiwa makubaliano ya kumaliza vita na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139154-iran_yatangaza_kufikiwa_makubaliano_ya_kumaliza_vita_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyabfe9f785f2plta.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139154-iran_yatangaza_kufikiwa_makubaliano_ya_kumaliza_vita_na_marekani </guid>  
      <description>Sekretarieti ya Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) imethibitisha kuwa Iran na Marekani zimekamilisha maandishi ya hati ya makubaliano (MoU) yanayolenga kumaliza vita, kusimamisha mara moja na kwa kudumu operesheni zote za kijeshi katika nyanja zote, ikiwemo Lebanon, na pia kuondoa mzingiro wa baharini uliowekwa na Marekani dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:30:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makumi ya magaidi, majasusi na wachochezi wa ghasia wamekamatwa wakati wa uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139146-makumi_ya_magaidi_majasusi_na_wachochezi_wa_ghasia_wamekamatwa_wakati_wa_uvamizi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby495a3606642pltm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139146-makumi_ya_magaidi_majasusi_na_wachochezi_wa_ghasia_wamekamatwa_wakati_wa_uvamizi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Wizara ya Intelijensia ya Iran imesema imefanikiwa kutekeleza operesheni za kupambana na ugaidi, ujasusi na hujuma nchini wakati wa uvamizi wa siku 39 wa Marekani na Israel ambao ulisitishwa mapema Aprili.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:23:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali wa IRGC: Iran inajitayarisha kujibu vitendo vya uchokozi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139138-jenerali_wa_irgc_iran_inajitayarisha_kujibu_vitendo_vya_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7172acb1de2plpc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139138-jenerali_wa_irgc_iran_inajitayarisha_kujibu_vitendo_vya_uchokozi </guid>  
      <description>Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Iran laWalinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema vikosi vya ulinzi vya Iran viko tayari kikamilifu kukabiliana na hatua yoyote ya uadui, akionya maadui kwamba nchi hiyo iko tayari kutoa jibu la haraka kwa shambulio lolote.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:07:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita na Iran vimefichua vipi mwanzo wa kudhoofika nguvu ya kimkakati ya Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139140-vita_na_iran_vimefichua_vipi_mwanzo_wa_kudhoofika_nguvu_ya_kimkakati_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd4174ab3f82plpi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139140-vita_na_iran_vimefichua_vipi_mwanzo_wa_kudhoofika_nguvu_ya_kimkakati_ya_marekani </guid>  
      <description>Vita wakati mwingine huweka wazi washindi wake wa kweli na walioshindwa sio kwenye uwanja wa vita, bali katika vyumba vya kifikra na vituo vya kimkakati.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:10:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shahidi Imam Khamenei kuzikwa katika Haram ya Imam Ridha (AS) tarehe 9 Julai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139128-shahidi_imam_khamenei_kuzikwa_katika_haram_ya_imam_ridha_(as)_tarehe_9_julai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf53ab06a172plic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139128-shahidi_imam_khamenei_kuzikwa_katika_haram_ya_imam_ridha_(as)_tarehe_9_julai </guid>  
      <description>Ofisi inayohusika na kuhifadhi na kuchapisha kazi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza ratiba ya hafla za kuaga, mazishi, na kuzikwa kwa Shahidi Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:22:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaadhimisha mwaka mmoja tangu Vita vya Siku 12</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139124-iran_yaadhimisha_mwaka_mmoja_tangu_vita_vya_siku_12</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1db33fbd982pli6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139124-iran_yaadhimisha_mwaka_mmoja_tangu_vita_vya_siku_12 </guid>  
      <description>Maafisa wakuu wa Iran wameadhimisha mwaka mmoja tangu kuanza kwa Vita vya Siku 12, vilivyoanza tarehe 13 Juni mwaka uliopita kufuatia mashambulizi ya kichokozi ya anga ya utawala haramu wa  Israel, na ambayo yaliua makamanda kadhaa wa juu wa kijeshi, maafisa wa serikali, pamoja na wanasayansi wa nyuklia.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:13:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Khatamul-Anbiya (SAW): Hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139114-kamanda_wa_khatamul_anbiya_(saw)_hivi_karibuni_ulimwengu_utasikia_mwangwi_wa_ushindi_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9227db8fb12plec.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139114-kamanda_wa_khatamul_anbiya_(saw)_hivi_karibuni_ulimwengu_utasikia_mwangwi_wa_ushindi_wa_iran </guid>  
      <description>Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amesema kuwa hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran, na ushindi wa muqawama dhidi ya adui mchokozi na gaidi. </description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 11:20:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump anaendelea kukariri mkakati ulioshindwa mara nyingi huko nyuma?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139116-kwa_nini_trump_anaendelea_kukariri_mkakati_ulioshindwa_mara_nyingi_huko_nyuma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydb8e0fe6f32plau.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139116-kwa_nini_trump_anaendelea_kukariri_mkakati_ulioshindwa_mara_nyingi_huko_nyuma </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena amekiuka makubaliano legevu ya kusitisha mapigano kati ya nchi hiyo na Iran kwa kushambulia upya maeneo kadhaa ndani ya ardhi ya Iran, ikiwa ni pamoja na miundombinu ya kiraia, hii ikiwa ni siku chache tu baada ya kudai kuwa makubaliano na Iran yalikuwa yanakaribia.</description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 11:03:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Jukumu la diplomasia ni kuimarisha mafanikio ya uwanja wa vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139102-araqchi_jukumu_la_diplomasia_ni_kuimarisha_mafanikio_ya_uwanja_wa_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby402ac7a7ce2pl6e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139102-araqchi_jukumu_la_diplomasia_ni_kuimarisha_mafanikio_ya_uwanja_wa_vita </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, ameelezea muundo wa makubaliano tarajiwa kati ya Iran na Marekani na kusisitiza kwamba diplomasia inakusudia kuimarisha mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu katika uwanja wa vita.</description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 03:16:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda mkuu wa Iran aonya Marekani kuhusu 'mzunguko usio na maana' wa uongo na migongano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139100-kamanda_mkuu_wa_iran_aonya_marekani_kuhusu_'mzunguko_usio_na_maana'_wa_uongo_na_migongano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfe94e48e8e2pl6c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139100-kamanda_mkuu_wa_iran_aonya_marekani_kuhusu_'mzunguko_usio_na_maana'_wa_uongo_na_migongano </guid>  
      <description>Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) ameionya Marekani kuhusu "mzunguko wa uongo, tasa na wenye migongano" katika mienendo yake, baada ya Washington kutishia kwanza kwamba itashambulia miundombinu ya nishati ya Iran na kisha kudai mazungumzo yameidhinishwa.</description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 03:08:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya meli za India ni uharamia wa serikali </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139096-baqaei_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_meli_za_india_ni_uharamia_wa_serikali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4fe2b59f3c2pkyk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139096-baqaei_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_meli_za_india_ni_uharamia_wa_serikali </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baqaei amelaani mashambulizi ya kikatili ya Marekani dhidi ya meli za kibiashara za India, na kusisitiza kuwa mashambulizi hayo ya Marekani katika Bahari ya Oman ni uharamia wa serikali.</description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 02:42:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Adui akikosea, atazabwa kibao kikali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139092-hatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_adui_akikosea_atazabwa_kibao_kikali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby34a0f49c852pl56.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139092-hatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_adui_akikosea_atazabwa_kibao_kikali </guid>  
      <description>Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: "Adui wa taifa haelewi lugha ya mazungumzo wala lugha ya kusitisha mapigano, bali anaelewa lugha ya mabavu, ambayo majeshi yetu yamemfanya aielewe vizuri sana na yataendelea kumfanya adui ielewe vizuri zaidi."</description>
      <pubDate>Fri, 12 Jun 2026 14:25:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Wairani wameungana kuilinda nchi yao dhidi ya vitisho</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139088-rais_pezeshkian_wairani_wameungana_kuilinda_nchi_yao_dhidi_ya_vitisho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby382d9e48432pl4a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139088-rais_pezeshkian_wairani_wameungana_kuilinda_nchi_yao_dhidi_ya_vitisho </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba taifa litalinda uhuru na mamlaka yake ya kitaifa licha ya kuongezeka vitisho na mashinikizo.</description>
      <pubDate>Fri, 12 Jun 2026 12:48:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Handala yadukua mifumo ya maji ya California baada ya Marekani kushambulia maghala ya maji ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139084-handala_yadukua_mifumo_ya_maji_ya_california_baada_ya_marekani_kushambulia_maghala_ya_maji_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya4f09ff0132pl3q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139084-handala_yadukua_mifumo_ya_maji_ya_california_baada_ya_marekani_kushambulia_maghala_ya_maji_ya_iran </guid>  
      <description>Kundi la wadukuzi wanaopinga uvamizi wa kivita wa Marekani limetangaza kwamba limedukua vituo vya maji vya California kama kulipiza kisasi cha moja kwa moja kwa shambulio la anga la Marekani lililoharibu maghala ya maji ya kunywa kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 12 Jun 2026 11:30:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Makubaliano ya kumaliza vita yanakaribia lakini Marekani ina misimamo kinzani  na inaendeleza uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139082-iran_makubaliano_ya_kumaliza_vita_yanakaribia_lakini_marekani_ina_misimamo_kinzani_na_inaendeleza_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyaea70289542pkzq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139082-iran_makubaliano_ya_kumaliza_vita_yanakaribia_lakini_marekani_ina_misimamo_kinzani_na_inaendeleza_uchokozi </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa sehemu muhimu za maelewano yanyolenga kumaliza vita vilivyolazimishwa zinakaribia kukamilika, pamoja na kuwepo misimamo kinzani ya Washington na vitendo vya mara kwa mara vya uchokozi wa kijeshi vinavyolenga kuvuruga mchakato wa kidiplomasia.</description>
      <pubDate>Fri, 12 Jun 2026 04:46:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Majeshi ya Iran yashambulia ngome za kijeshi za Marekani kujibu uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139070-majeshi_ya_iran_yashambulia_ngome_za_kijeshi_za_marekani_kujibu_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1d041e5b6d2pkp6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139070-majeshi_ya_iran_yashambulia_ngome_za_kijeshi_za_marekani_kujibu_uchokozi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) likishirikiana na Jeshi la Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (Artesh), limetangaza mfululizo wa operesheni za kijeshi za kulipiza kisasi zilizoratibiwa vyema dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Thu, 11 Jun 2026 11:43:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ulaya na vikwazo vipya dhidi ya Iran; Kutetea ubaharia au muendelezo wa mashinikizo ya kisiasa?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139062-ulaya_na_vikwazo_vipya_dhidi_ya_iran_kutetea_ubaharia_au_muendelezo_wa_mashinikizo_ya_kisiasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc35849d0562pku0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139062-ulaya_na_vikwazo_vipya_dhidi_ya_iran_kutetea_ubaharia_au_muendelezo_wa_mashinikizo_ya_kisiasa </guid>  
      <description>Akizungumzia vikwazo vilivyowekwa karibuni na Umoja wa Ulaya dhidi ya baadhi ya shakhsia na taasisi za Iran, Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Sheria na Masuala ya Kimataifa amesema: 'Iran haiipi thamani yoyote hatua hiyo ya kimaonyesho ya Ulaya.'  </description>
      <pubDate>Thu, 11 Jun 2026 10:56:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran yaamuru kufungwa Mlango Bahari wa Hormuz kwa meli zote baada ya mashambulizi mapya ya Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139048-kamandi_kuu_ya_jeshi_la_iran_yaamuru_kufungwa_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_meli_zote_baada_ya_mashambulizi_mapya_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyaf614e28612pkpo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139048-kamandi_kuu_ya_jeshi_la_iran_yaamuru_kufungwa_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_meli_zote_baada_ya_mashambulizi_mapya_ya_marekani </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran imeamuru kufungwa Mlango-Bahari wa Kistratejia wa Hormuz muda mfupi baada ya kuanza hujuma mpya ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran, licha ya  Jamhuri ya Kiislamu kuonya juu ya chokochoko hizo. </description>
      <pubDate>Thu, 11 Jun 2026 03:20:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yaangusha droni ya kivita ya Marekani aina ya MQ 9 karibu na Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139046-irgc_yaangusha_droni_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_mq_9_karibu_na_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby97f47710462pkpm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139046-irgc_yaangusha_droni_ya_kivita_ya_marekani_aina_ya_mq_9_karibu_na_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema kuwa liliangusha droni ya kivita ya Marekani aina ya MQ 9 karibu na Mlango Bahari wa Hormuz, wakati mvutano wa kijeshi ukiongezeka kufuatia vitendo vya kijeshi vya Marekani na ukiukaji wa mara kwa mara wa makubaliano ya kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Thu, 11 Jun 2026 03:18:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yashambulia kigaidi kituo cha maji ya kunywa Hormuzgan, Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139044-marekani_yashambulia_kigaidi_kituo_cha_maji_ya_kunywa_hormuzgan_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby99b7f8345e2pkpk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139044-marekani_yashambulia_kigaidi_kituo_cha_maji_ya_kunywa_hormuzgan_iran </guid>  
      <description>Marekani yashambulia kigaidi kituo cha maji ya kunywa Hormozgan, Iran</description>
      <pubDate>Thu, 11 Jun 2026 03:15:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaongoza miongoni mwa nchi bora duniani katika Mikroelektroniki </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139042-iran_yaongoza_miongoni_mwa_nchi_bora_duniani_katika_mikroelektroniki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby171ce6ae952pkpi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139042-iran_yaongoza_miongoni_mwa_nchi_bora_duniani_katika_mikroelektroniki </guid>  
      <description>Iran imejitokeza kama taifa linaloongoza kwa uzalishaji wa kisayansi katika nyanja ya mikroelektroniki miongoni mwa nchi za Kiislamu, huku ikishika nafasi ya kwanza katika matawi mengi muhimu ya sekta hiyo na kupanda hadi kuwa miongoni mwa mataifa 16 bora duniani katika uwezo wa kisayansi wa sekta hiyo.</description>
      <pubDate>Thu, 11 Jun 2026 03:12:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Vikosi vya ulinzi vyatoa 'vipigo vikali' kwa vituo vya Marekani, na mali baada ya 'hujuma haramu'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139036-wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_vikosi_vya_ulinzi_vyatoa_'vipigo_vikali'_kwa_vituo_vya_marekani_na_mali_baada_ya_'hujuma_haramu'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2bb7c099932pkl4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139036-wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_vikosi_vya_ulinzi_vyatoa_'vipigo_vikali'_kwa_vituo_vya_marekani_na_mali_baada_ya_'hujuma_haramu' </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeripoti kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hii vimetoa vipigo vikali kwa kambi za Marekani na mali mbalimbali katika kanda hii ambavyo Marekani imevitumia kuishambulia Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 10:51:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran: Ukikiuka majukumu yako, tutatumia lugha tunayoijua vyema</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139030-spika_wa_bunge_la_iran_ukikiuka_majukumu_yako_tutatumia_lugha_tunayoijua_vyema</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4571f2509d2pkkc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139030-spika_wa_bunge_la_iran_ukikiuka_majukumu_yako_tutatumia_lugha_tunayoijua_vyema </guid>  
      <description>Akijibu uchokozi na ukiukwaji wa mapigano uliofanywa na Marekani, Spika wa Bunge la Iran amesisitiza kuwa: "Ukivunja ahadi na majukumu yako, tutatumia lugha tunayoijua vyema."</description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 09:30:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakosoa 'onyesho lingine la unafiki' UN huku igizo la vikwazo vya Marekani likigonga mwamba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139028-iran_yakosoa_'onyesho_lingine_la_unafiki'_un_huku_igizo_la_vikwazo_vya_marekani_likigonga_mwamba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby932c622c662pkk8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139028-iran_yakosoa_'onyesho_lingine_la_unafiki'_un_huku_igizo_la_vikwazo_vya_marekani_likigonga_mwamba </guid>  
      <description>Ujumbe wa Iran katika Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali mkutano wa Baraza la Usalama la umoja huo ulioitishwa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran ukiutaja kuwa ni "onyesho lingine la unafiki," na kusisitiza kwamba hakuna msingi wa kisheria wa kutumia azimio lililopitwa na wakati kuiwekea vikwazo Tehran.</description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 09:28:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kwa makombora kituo cha anga cha jeshi la Marekani na kituo cha udhibiti huko Al-Arzaq, Jordan </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139026-irgc_yashambulia_kwa_makombora_kituo_cha_anga_cha_jeshi_la_marekani_na_kituo_cha_udhibiti_huko_al_arzaq_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf9e261d7bb2pkgu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139026-irgc_yashambulia_kwa_makombora_kituo_cha_anga_cha_jeshi_la_marekani_na_kituo_cha_udhibiti_huko_al_arzaq_jordan </guid>  
      <description>Maeneo manne muhimu katika kambi ya anga na kituo cha amri na udhibiti cha jeshi la mauaji ya watoto la Marekani huko Al-Azraq, Jordan yameshambuliwa usiku wa kuamkia leo kwa makombora ya Jeshi la Walinzi wa Jamhuri ya Kiislamu (IRGC).</description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 04:12:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaiomba FIFA kuruhusu vitambaa vyeusi vya mkononi katika mechi na Misri sambamba na Ashura</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139024-iran_yaiomba_fifa_kuruhusu_vitambaa_vyeusi_vya_mkononi_katika_mechi_na_misri_sambamba_na_ashura</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby91e46867372pkgs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139024-iran_yaiomba_fifa_kuruhusu_vitambaa_vyeusi_vya_mkononi_katika_mechi_na_misri_sambamba_na_ashura </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Iran limeomba rasmi ruhusa ya FIFA kwa wachezaji wa timu yake ya taifa kuvaa vitambaa vyeusi mikononi wakati wa mechi yao ijayo ya Kombe la Dunia dhidi ya Misri, ili kuenzi mwezi wa Muharram na tukio la Ashura ya mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).</description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 04:09:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shughuli ya kumuaga Imam Khamenei kufanyika baada ya siku kumi za kwanza za Muharram</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139018-shughuli_ya_kumuaga_imam_khamenei_kufanyika_baada_ya_siku_kumi_za_kwanza_za_muharram</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybf80f7f42c2pkgm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139018-shughuli_ya_kumuaga_imam_khamenei_kufanyika_baada_ya_siku_kumi_za_kwanza_za_muharram </guid>  
      <description>Makao makuu ya taasisi yanayosimamia shughuli za kumuenzi shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, yametangaza kuwa shughuli ya kumuaga na mazishi ya Shahidi huyo yatafanyika baada ya siku 10 za mwanzo za mwezi wa Muharram.</description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 03:51:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ni ujumbe gani umetolewa na vita vipya na vya muda mfupi kati ya Iran na Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139010-ni_ujumbe_gani_umetolewa_na_vita_vipya_na_vya_muda_mfupi_kati_ya_iran_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby40416b1ca62pkas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139010-ni_ujumbe_gani_umetolewa_na_vita_vipya_na_vya_muda_mfupi_kati_ya_iran_na_israel </guid>  
      <description>Hatimaye duru mpya ya vita kati ya utawala wa Kizayuni na Iran ilianza Jumapili, kufuatia utawala huo kuishambulia Lebanon mara kwa mara; na ingawa ilikuwa fupi, lakini ilikuwa na ujumbe muhimu.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 12:58:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Iran itatumia vita na diplomasia kutetea haki za watu wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139008-spika_qalibaf_iran_itatumia_vita_na_diplomasia_kutetea_haki_za_watu_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2f4092b4762pkce.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139008-spika_qalibaf_iran_itatumia_vita_na_diplomasia_kutetea_haki_za_watu_wake </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf anasema mkakati wa nchi wa kukomesha uchokozi wa Marekani na Israel ni kutumia vita na diplomasia kwa wakati mmoja ili kutetea haki za taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 12:24:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gazeti la Kizayuni: Iran ilikuwa na kauli ya mwisho katika vita vya sasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139004-gazeti_la_kizayuni_iran_ilikuwa_na_kauli_ya_mwisho_katika_vita_vya_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby40416b1ca62pkas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139004-gazeti_la_kizayuni_iran_ilikuwa_na_kauli_ya_mwisho_katika_vita_vya_sasa </guid>  
      <description>Gazeti la Kiebrania huko Israel limekiri kwamba nguvu ya Iran imethibitishwa katika majibu yake ya hivi karibuni ya makombora dhidi ya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 11:22:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maprofesa 12 wa Chuo Kikuu cha Amirkabir watajwa miongoni mwa 1% ya watafiti watajika sana duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138998-maprofesa_12_wa_chuo_kikuu_cha_amirkabir_watajwa_miongoni_mwa_1_ya_watafiti_watajika_sana_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2a4aee57852pk70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138998-maprofesa_12_wa_chuo_kikuu_cha_amirkabir_watajwa_miongoni_mwa_1_ya_watafiti_watajika_sana_duniani </guid>  
      <description>Maprofesa 12 wa Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Amirkabir cha Iran wametambuliwa miongoni mwa asilimia moja bora zaidi ya watafiti waliotajwa sana duniani, kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni iliyotolewa na Taasisi ya Unukuzi na Ufuatiliaji wa Sayansi ya Ulimwengu wa Kiislamu (Islamic World Science Citation and Monitoring Institute (ISC)).</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:40:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran haitalegeza kamba, itasimama kidete kulinda taifa dhidi ya vitisho</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138996-pezeshkian_iran_haitalegeza_kamba_itasimama_kidete_kulinda_taifa_dhidi_ya_vitisho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydbb8b8343c2pk64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138996-pezeshkian_iran_haitalegeza_kamba_itasimama_kidete_kulinda_taifa_dhidi_ya_vitisho </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian ametilia mkazo msimamo thabiti wa Iran dhidi ya tishio lolote, akisema Jamhuri ya Kiislamu haitarudi nyuma wala kusita kulinda usalama na amani ya taifa lake.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:38:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Colombia asema 'ufashisti katika Ikulu ya White House unapofusha mantiki na akili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138994-rais_wa_colombia_asema_'ufashisti_katika_ikulu_ya_white_house_unapofusha_mantiki_na_akili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby260d9048462pk6y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138994-rais_wa_colombia_asema_'ufashisti_katika_ikulu_ya_white_house_unapofusha_mantiki_na_akili </guid>  
      <description>Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ameikosoa Marekani kuhusu "ufashisti ulioenea katika Ikulu ya White House" huku mvutano ukiongezeka kati ya Bogota na Washington.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:34:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bab al-Mandab, mstari mpya wa kuzuia hujuma na kuimarisha uwiano wa "Umoja wa Medani"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138988-bab_al_mandab_mstari_mpya_wa_kuzuia_hujuma_na_kuimarisha_uwiano_wa_umoja_wa_medani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd7facee80a2pk2k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138988-bab_al_mandab_mstari_mpya_wa_kuzuia_hujuma_na_kuimarisha_uwiano_wa_umoja_wa_medani </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Yemen ametangaza kwamba kuanzia sasa jeshi hilo limeanza kutekeleza amri ya kupiga marufuku kikamilifu meli zote za utawala haramu wa Israel kupita katika maji ya Bahari ya Shamu au kwa Kiingereza Red Sea na kwamba kuanzia wakati wa kutangazwa marufuku hiyo na kuendelea urambazaji wa baharini wa Israel katika Bahari Nyekundu utakuwa shabaha halali ya jeshi la wanajeshi wa Yemen.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 12:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lashambulia kambi za kimkakati za anga za jeshi la anga la Israel kujibu uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138986-jeshi_la_iran_lashambulia_kambi_za_kimkakati_za_anga_za_jeshi_la_anga_la_israel_kujibu_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9562abaeff2pk2q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138986-jeshi_la_iran_lashambulia_kambi_za_kimkakati_za_anga_za_jeshi_la_anga_la_israel_kujibu_uchokozi </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuanzisha “Operesheni Nasr” (Ushindi), likisema limezilenga kambi za kimkakati za anga za utawala wa Israel za Nevatim na Tel Nof, kama hatua ya kujibu mashambulizi ya makombora yaliyolenga vituo vya rada vya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:30:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi afanya mazungumzo ya kidiplomasia kuhusu uchokozi wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138984-araghchi_afanya_mazungumzo_ya_kidiplomasia_kuhusu_uchokozi_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx749b2d59ae2phq0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138984-araghchi_afanya_mazungumzo_ya_kidiplomasia_kuhusu_uchokozi_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amefanya mfululizo wa mazungumzo kwa njia ya simu na baadhi ya mawaziri wenzake wa maeneo mbali mbali duniani pamoja na kamanda wa jeshi, kufuatia hatua ya Iran kujibu ukiukaji wa mara kwa mara wa makubaliano ya usitishaji mapigano nchini Lebanon unaotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:23:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jibu kali la makombora la Iran kwa ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za Israel nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138976-jibu_kali_la_makombora_la_iran_kwa_ukiukaji_wa_mara_kwa_mara_wa_usitishaji_vita_na_jinai_za_israel_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfa6c3c7d8d2pk1w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138976-jibu_kali_la_makombora_la_iran_kwa_ukiukaji_wa_mara_kwa_mara_wa_usitishaji_vita_na_jinai_za_israel_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Iikiwa ni katika kunufaika na haki yake ya kujilinda na kujibu ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za kinyama zinazofanywa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya watu wa Lebanon, vikosi vya jeshi la Iran Jumapili usiku vilitoa jibu kali la makombora katika maeneo ya utawala huo katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu. Maeneo yaliyolengwa katika shambulio hilo kubwa la makombora kimsingi ni ya kijeshi na kistratijia ya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 08:08:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yashambulia maeneo yanayokaliwa kwa mabavu, yatahadharisha kuhusu vipigo vikali zaidi' iwapo mashambulizi dhidi ya Lebanon yataendelea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138974-iran_yashambulia_maeneo_yanayokaliwa_kwa_mabavu_yatahadharisha_kuhusu_vipigo_vikali_zaidi'_iwapo_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon_yataendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0af36d3b862pjyy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138974-iran_yashambulia_maeneo_yanayokaliwa_kwa_mabavu_yatahadharisha_kuhusu_vipigo_vikali_zaidi'_iwapo_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon_yataendelea </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Iran jana usiku viliyatangwa kwa makombora maeneo kadhaa ya Israel, ikiwa ni katika kujibu mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Lebanon kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:27:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema misimamo ya Marekani “inayobadilika na kinzani” imekwamisha mazungumzo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138972-iran_yasema_misimamo_ya_marekani_inayobadilika_na_kinzani_imekwamisha_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1885cb3c6f2pjyw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138972-iran_yasema_misimamo_ya_marekani_inayobadilika_na_kinzani_imekwamisha_mazungumzo </guid>  
      <description>Iran imesema mazungumzo yanayoendelea na Marekani bado yamekwama hasa kutokana na misimamo ya Washington inayobadilika mara kwa mara na yenye kauli zinazokinzana. Aidha Marekani inaendelea “kubadilisha vigezo vya mazungumzo.” Hata hivyo, ubadilishanaji wa ujumbe kati ya pande hizo mbili unaendelea kupitia wapatanishi kutoka Pakistan.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:23:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kulazimisha Timu ya Taifa ya Iran kuingia na kutoka Marekani siku ya mechi si haki na ni janga</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138970-kulazimisha_timu_ya_taifa_ya_iran_kuingia_na_kutoka_marekani_siku_ya_mechi_si_haki_na_ni_janga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb2a528162b2pjyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138970-kulazimisha_timu_ya_taifa_ya_iran_kuingia_na_kutoka_marekani_siku_ya_mechi_si_haki_na_ni_janga </guid>  
      <description>Kocha wa soka wa Iran na mchezaji wa zamani wa kimataifa ameishutumu serikali ya Marekani kwa kuingiza siasa katika michezo, akitaja vikwazo vya visa na matatizo ya kiutawala yanayowakabili wachezaji na wasimamizi wa Timu ya Taifa ya Soka ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:21:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Mauaji ya umati ya Minab ni mfano mmoja tu wa jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138962-baqaei_mauaji_ya_umati_ya_minab_ni_mfano_mmoja_tu_wa_jinai_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_wairani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb26b97ef852pjva.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138962-baqaei_mauaji_ya_umati_ya_minab_ni_mfano_mmoja_tu_wa_jinai_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_wairani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ameeleza kuwa mauaji ya Minab ni kati ya mamia ya jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:19:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138960-balozi_wa_iran_brics_ina_jukumu_muhimu_katika_usalama_wa_nishati_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3840d9964c2pjv6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138960-balozi_wa_iran_brics_ina_jukumu_muhimu_katika_usalama_wa_nishati_duniani </guid>  
      <description>Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani </description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:16:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini washirika wa Washington sasa wana wasiwasi kuhusu uwepo wa kambi za Marekani katika ardhi zao?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138964-kwa_nini_washirika_wa_washington_sasa_wana_wasiwasi_kuhusu_uwepo_wa_kambi_za_marekani_katika_ardhi_zao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1d32de30e92pjjk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138964-kwa_nini_washirika_wa_washington_sasa_wana_wasiwasi_kuhusu_uwepo_wa_kambi_za_marekani_katika_ardhi_zao </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa jarida la Foreign Affairs la nchini Marekani, vita na Iran vinaweza kutoa changamoto kubwa kwa jeshi la Marekani na hasa kuhusu hatari ya kushambuliwa kambi zake za kijeshi katika siku zijazo. </description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:13:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Eslami: Kituo cha nyuklia cha Bushehr; Iran ni kati ya vituo kumi bora duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138958-eslami_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_iran_ni_kati_ya_vituo_kumi_bora_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4e6769bec82pjv4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138958-eslami_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_iran_ni_kati_ya_vituo_kumi_bora_duniani </guid>  
      <description>Kituo cha Nishati ya Nyuklia cha Bushehr nchini Iran ni miongoni mwa vituo 10 vya juu vya nyuklia duniani kwa upande wa usalama na ufanisi. Haya yamebainishwa na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI).</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:12:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yatoa jibu kali kwa matamshi ya Rais wa Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138946-tehran_yatoa_jibu_kali_kwa_matamshi_ya_rais_wa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydc909d33dd2pjnw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138946-tehran_yatoa_jibu_kali_kwa_matamshi_ya_rais_wa_lebanon </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu vikali matamshi ya Rais Joseph Aoun wa Lebanon dhidi ya Iran, akiweka wazi kuwa kiongozi huyo anashindwa kutofautisha kati ya marafiki na maadui wa nchi yake.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:27:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Mohsen Rezaei: Trump amesababisha mazungumzo kusimama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138944-meja_jenerali_mohsen_rezaei_trump_amesababisha_mazungumzo_kusimama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby777584a8092pjnu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138944-meja_jenerali_mohsen_rezaei_trump_amesababisha_mazungumzo_kusimama </guid>  
      <description>Meja Jenerali Mohsen Rezaei Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amesimamisha mazungumzo kati ya Tehran na Washington, na kuonya kuwa ikiwa vita vingine vitaanza, wigo wake utaenea kutoka Bahari ya Hindi hadi Bahari ya Shamu na Mediterania.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:22:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yawanyima visa maafisa wa timu ya soka ya Iran licha ya majukumu yake kama mwenyeji wa FIFA 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138936-marekani_yawanyima_visa_maafisa_wa_timu_ya_soka_ya_iran_licha_ya_majukumu_yake_kama_mwenyeji_wa_fifa_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby874090049b2pjjo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138936-marekani_yawanyima_visa_maafisa_wa_timu_ya_soka_ya_iran_licha_ya_majukumu_yake_kama_mwenyeji_wa_fifa_2026 </guid>  
      <description>Marekani imekataa kutoa visa kwa maafisa kadhaa wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iran kabla ya Kombe la Dunia la FIFA la 2026 licha ya majukumu yake kama mmoja wa waandaaji wa tukio hilo la kimataifa.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 11:32:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>