<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Tue, 09 Jun 2026 21:23:49 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Ni ujumbe gani umetolewa na vita vipya na vya muda mfupi kati ya Iran na Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139010-ni_ujumbe_gani_umetolewa_na_vita_vipya_na_vya_muda_mfupi_kati_ya_iran_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby40416b1ca62pkas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139010-ni_ujumbe_gani_umetolewa_na_vita_vipya_na_vya_muda_mfupi_kati_ya_iran_na_israel </guid>  
      <description>Hatimaye duru mpya ya vita kati ya utawala wa Kizayuni na Iran ilianza Jumapili, kufuatia utawala huo kuishambulia Lebanon mara kwa mara; na ingawa ilikuwa fupi, lakini ilikuwa na ujumbe muhimu.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 12:58:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Iran itatumia vita na diplomasia kutetea haki za watu wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139008-spika_qalibaf_iran_itatumia_vita_na_diplomasia_kutetea_haki_za_watu_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2f4092b4762pkce.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139008-spika_qalibaf_iran_itatumia_vita_na_diplomasia_kutetea_haki_za_watu_wake </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf anasema mkakati wa nchi wa kukomesha uchokozi wa Marekani na Israel ni kutumia vita na diplomasia kwa wakati mmoja ili kutetea haki za taifa la Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 12:24:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gazeti la Kizayuni: Iran ilikuwa na kauli ya mwisho katika vita vya sasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139004-gazeti_la_kizayuni_iran_ilikuwa_na_kauli_ya_mwisho_katika_vita_vya_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby40416b1ca62pkas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i139004-gazeti_la_kizayuni_iran_ilikuwa_na_kauli_ya_mwisho_katika_vita_vya_sasa </guid>  
      <description>Gazeti la Kiebrania huko Israel limekiri kwamba nguvu ya Iran imethibitishwa katika majibu yake ya hivi karibuni ya makombora dhidi ya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 11:22:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maprofesa 12 wa Chuo Kikuu cha Amirkabir watajwa miongoni mwa 1% ya watafiti watajika sana duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138998-maprofesa_12_wa_chuo_kikuu_cha_amirkabir_watajwa_miongoni_mwa_1_ya_watafiti_watajika_sana_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2a4aee57852pk70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138998-maprofesa_12_wa_chuo_kikuu_cha_amirkabir_watajwa_miongoni_mwa_1_ya_watafiti_watajika_sana_duniani </guid>  
      <description>Maprofesa 12 wa Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Amirkabir cha Iran wametambuliwa miongoni mwa asilimia moja bora zaidi ya watafiti waliotajwa sana duniani, kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni iliyotolewa na Taasisi ya Unukuzi na Ufuatiliaji wa Sayansi ya Ulimwengu wa Kiislamu (Islamic World Science Citation and Monitoring Institute (ISC)).</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:40:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran haitalegeza kamba, itasimama kidete kulinda taifa dhidi ya vitisho</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138996-pezeshkian_iran_haitalegeza_kamba_itasimama_kidete_kulinda_taifa_dhidi_ya_vitisho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydbb8b8343c2pk64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138996-pezeshkian_iran_haitalegeza_kamba_itasimama_kidete_kulinda_taifa_dhidi_ya_vitisho </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian ametilia mkazo msimamo thabiti wa Iran dhidi ya tishio lolote, akisema Jamhuri ya Kiislamu haitarudi nyuma wala kusita kulinda usalama na amani ya taifa lake.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:38:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Colombia asema 'ufashisti katika Ikulu ya White House unapofusha mantiki na akili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138994-rais_wa_colombia_asema_'ufashisti_katika_ikulu_ya_white_house_unapofusha_mantiki_na_akili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby260d9048462pk6y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138994-rais_wa_colombia_asema_'ufashisti_katika_ikulu_ya_white_house_unapofusha_mantiki_na_akili </guid>  
      <description>Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ameikosoa Marekani kuhusu "ufashisti ulioenea katika Ikulu ya White House" huku mvutano ukiongezeka kati ya Bogota na Washington.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:34:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bab al-Mandab, mstari mpya wa kuzuia hujuma na kuimarisha uwiano wa "Umoja wa Medani"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138988-bab_al_mandab_mstari_mpya_wa_kuzuia_hujuma_na_kuimarisha_uwiano_wa_umoja_wa_medani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd7facee80a2pk2k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138988-bab_al_mandab_mstari_mpya_wa_kuzuia_hujuma_na_kuimarisha_uwiano_wa_umoja_wa_medani </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Yemen ametangaza kwamba kuanzia sasa jeshi hilo limeanza kutekeleza amri ya kupiga marufuku kikamilifu meli zote za utawala haramu wa Israel kupita katika maji ya Bahari ya Shamu au kwa Kiingereza Red Sea na kwamba kuanzia wakati wa kutangazwa marufuku hiyo na kuendelea urambazaji wa baharini wa Israel katika Bahari Nyekundu utakuwa shabaha halali ya jeshi la wanajeshi wa Yemen.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 12:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lashambulia kambi za kimkakati za anga za jeshi la anga la Israel kujibu uchokozi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138986-jeshi_la_iran_lashambulia_kambi_za_kimkakati_za_anga_za_jeshi_la_anga_la_israel_kujibu_uchokozi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9562abaeff2pk2q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138986-jeshi_la_iran_lashambulia_kambi_za_kimkakati_za_anga_za_jeshi_la_anga_la_israel_kujibu_uchokozi </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuanzisha “Operesheni Nasr” (Ushindi), likisema limezilenga kambi za kimkakati za anga za utawala wa Israel za Nevatim na Tel Nof, kama hatua ya kujibu mashambulizi ya makombora yaliyolenga vituo vya rada vya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:30:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi afanya mazungumzo ya kidiplomasia kuhusu uchokozi wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138984-araghchi_afanya_mazungumzo_ya_kidiplomasia_kuhusu_uchokozi_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx749b2d59ae2phq0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138984-araghchi_afanya_mazungumzo_ya_kidiplomasia_kuhusu_uchokozi_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amefanya mfululizo wa mazungumzo kwa njia ya simu na baadhi ya mawaziri wenzake wa maeneo mbali mbali duniani pamoja na kamanda wa jeshi, kufuatia hatua ya Iran kujibu ukiukaji wa mara kwa mara wa makubaliano ya usitishaji mapigano nchini Lebanon unaotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:23:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jibu kali la makombora la Iran kwa ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za Israel nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138976-jibu_kali_la_makombora_la_iran_kwa_ukiukaji_wa_mara_kwa_mara_wa_usitishaji_vita_na_jinai_za_israel_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfa6c3c7d8d2pk1w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138976-jibu_kali_la_makombora_la_iran_kwa_ukiukaji_wa_mara_kwa_mara_wa_usitishaji_vita_na_jinai_za_israel_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Iikiwa ni katika kunufaika na haki yake ya kujilinda na kujibu ukiukaji wa mara kwa mara wa usitishaji vita na jinai za kinyama zinazofanywa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya watu wa Lebanon, vikosi vya jeshi la Iran Jumapili usiku vilitoa jibu kali la makombora katika maeneo ya utawala huo katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu. Maeneo yaliyolengwa katika shambulio hilo kubwa la makombora kimsingi ni ya kijeshi na kistratijia ya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 08:08:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yashambulia maeneo yanayokaliwa kwa mabavu, yatahadharisha kuhusu vipigo vikali zaidi' iwapo mashambulizi dhidi ya Lebanon yataendelea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138974-iran_yashambulia_maeneo_yanayokaliwa_kwa_mabavu_yatahadharisha_kuhusu_vipigo_vikali_zaidi'_iwapo_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon_yataendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0af36d3b862pjyy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138974-iran_yashambulia_maeneo_yanayokaliwa_kwa_mabavu_yatahadharisha_kuhusu_vipigo_vikali_zaidi'_iwapo_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon_yataendelea </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Iran jana usiku viliyatangwa kwa makombora maeneo kadhaa ya Israel, ikiwa ni katika kujibu mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Lebanon kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:27:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema misimamo ya Marekani “inayobadilika na kinzani” imekwamisha mazungumzo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138972-iran_yasema_misimamo_ya_marekani_inayobadilika_na_kinzani_imekwamisha_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1885cb3c6f2pjyw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138972-iran_yasema_misimamo_ya_marekani_inayobadilika_na_kinzani_imekwamisha_mazungumzo </guid>  
      <description>Iran imesema mazungumzo yanayoendelea na Marekani bado yamekwama hasa kutokana na misimamo ya Washington inayobadilika mara kwa mara na yenye kauli zinazokinzana. Aidha Marekani inaendelea “kubadilisha vigezo vya mazungumzo.” Hata hivyo, ubadilishanaji wa ujumbe kati ya pande hizo mbili unaendelea kupitia wapatanishi kutoka Pakistan.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:23:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kulazimisha Timu ya Taifa ya Iran kuingia na kutoka Marekani siku ya mechi si haki na ni janga</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138970-kulazimisha_timu_ya_taifa_ya_iran_kuingia_na_kutoka_marekani_siku_ya_mechi_si_haki_na_ni_janga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb2a528162b2pjyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138970-kulazimisha_timu_ya_taifa_ya_iran_kuingia_na_kutoka_marekani_siku_ya_mechi_si_haki_na_ni_janga </guid>  
      <description>Kocha wa soka wa Iran na mchezaji wa zamani wa kimataifa ameishutumu serikali ya Marekani kwa kuingiza siasa katika michezo, akitaja vikwazo vya visa na matatizo ya kiutawala yanayowakabili wachezaji na wasimamizi wa Timu ya Taifa ya Soka ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:21:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Mauaji ya umati ya Minab ni mfano mmoja tu wa jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138962-baqaei_mauaji_ya_umati_ya_minab_ni_mfano_mmoja_tu_wa_jinai_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_wairani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb26b97ef852pjva.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138962-baqaei_mauaji_ya_umati_ya_minab_ni_mfano_mmoja_tu_wa_jinai_za_marekani_na_israel_dhidi_ya_wairani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ameeleza kuwa mauaji ya Minab ni kati ya mamia ya jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:19:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138960-balozi_wa_iran_brics_ina_jukumu_muhimu_katika_usalama_wa_nishati_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3840d9964c2pjv6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138960-balozi_wa_iran_brics_ina_jukumu_muhimu_katika_usalama_wa_nishati_duniani </guid>  
      <description>Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani </description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:16:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini washirika wa Washington sasa wana wasiwasi kuhusu uwepo wa kambi za Marekani katika ardhi zao?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138964-kwa_nini_washirika_wa_washington_sasa_wana_wasiwasi_kuhusu_uwepo_wa_kambi_za_marekani_katika_ardhi_zao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1d32de30e92pjjk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138964-kwa_nini_washirika_wa_washington_sasa_wana_wasiwasi_kuhusu_uwepo_wa_kambi_za_marekani_katika_ardhi_zao </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa jarida la Foreign Affairs la nchini Marekani, vita na Iran vinaweza kutoa changamoto kubwa kwa jeshi la Marekani na hasa kuhusu hatari ya kushambuliwa kambi zake za kijeshi katika siku zijazo. </description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:13:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Eslami: Kituo cha nyuklia cha Bushehr; Iran ni kati ya vituo kumi bora duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138958-eslami_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_iran_ni_kati_ya_vituo_kumi_bora_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4e6769bec82pjv4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138958-eslami_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_iran_ni_kati_ya_vituo_kumi_bora_duniani </guid>  
      <description>Kituo cha Nishati ya Nyuklia cha Bushehr nchini Iran ni miongoni mwa vituo 10 vya juu vya nyuklia duniani kwa upande wa usalama na ufanisi. Haya yamebainishwa na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI).</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 11:12:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yatoa jibu kali kwa matamshi ya Rais wa Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138946-tehran_yatoa_jibu_kali_kwa_matamshi_ya_rais_wa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydc909d33dd2pjnw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138946-tehran_yatoa_jibu_kali_kwa_matamshi_ya_rais_wa_lebanon </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu vikali matamshi ya Rais Joseph Aoun wa Lebanon dhidi ya Iran, akiweka wazi kuwa kiongozi huyo anashindwa kutofautisha kati ya marafiki na maadui wa nchi yake.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:27:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Mohsen Rezaei: Trump amesababisha mazungumzo kusimama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138944-meja_jenerali_mohsen_rezaei_trump_amesababisha_mazungumzo_kusimama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby777584a8092pjnu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138944-meja_jenerali_mohsen_rezaei_trump_amesababisha_mazungumzo_kusimama </guid>  
      <description>Meja Jenerali Mohsen Rezaei Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amesimamisha mazungumzo kati ya Tehran na Washington, na kuonya kuwa ikiwa vita vingine vitaanza, wigo wake utaenea kutoka Bahari ya Hindi hadi Bahari ya Shamu na Mediterania.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:22:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yawanyima visa maafisa wa timu ya soka ya Iran licha ya majukumu yake kama mwenyeji wa FIFA 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138936-marekani_yawanyima_visa_maafisa_wa_timu_ya_soka_ya_iran_licha_ya_majukumu_yake_kama_mwenyeji_wa_fifa_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby874090049b2pjjo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138936-marekani_yawanyima_visa_maafisa_wa_timu_ya_soka_ya_iran_licha_ya_majukumu_yake_kama_mwenyeji_wa_fifa_2026 </guid>  
      <description>Marekani imekataa kutoa visa kwa maafisa kadhaa wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iran kabla ya Kombe la Dunia la FIFA la 2026 licha ya majukumu yake kama mmoja wa waandaaji wa tukio hilo la kimataifa.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 11:32:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yashambulia kambi za Marekani huko Kuwait, Bahrain baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika ardhi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138934-irgc_yashambulia_kambi_za_marekani_huko_kuwait_bahrain_baada_ya_mashambulizi_ya_ndege_zisizo_na_rubani_katika_ardhi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1d32de30e92pjjk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138934-irgc_yashambulia_kambi_za_marekani_huko_kuwait_bahrain_baada_ya_mashambulizi_ya_ndege_zisizo_na_rubani_katika_ardhi_ya_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeshambulia kambi mbili za anga za Marekani huko Kuwait na vituo vilivyobaki vya Kikosi cha Tano cha Marekani (US Fifth Fleet) huko Bahrain ili kujibu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 11:27:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Manowari za kivita za Marekani zakimbia Bahari ya Oman baada ya onyo la Jeshi la Wanamaji la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138928-manowari_za_kivita_za_marekani_zakimbia_bahari_ya_oman_baada_ya_onyo_la_jeshi_la_wanamaji_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby569af840b42pjcg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138928-manowari_za_kivita_za_marekani_zakimbia_bahari_ya_oman_baada_ya_onyo_la_jeshi_la_wanamaji_la_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limetangaza kuwa meli kadhaa za kivita za Marekani katika Bahari ya Oman zimelazimika kuondoka katika eneo hilo baada ya vikosi vya Jeshi la Majini la Iran kufyatua risasi za onyo kwa kutumia makombora ya cruise na ndege zisizo na rubani za kisasa.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 04:43:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Starlink ilikuwa sehemu muhimu ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138926-ripoti_starlink_ilikuwa_sehemu_muhimu_ya_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybbb4206a4e2pjdy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138926-ripoti_starlink_ilikuwa_sehemu_muhimu_ya_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Ripoti mpya imefichua nafasi ya mtandao wa satalaiti wa SpaceX wa Starlink katika mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ikisema teknolojia hiyo inayouzwa kama miundombinu ya raia imekuwa sehemu muhimu ya mashambulizi ya mauaji dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 04:42:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujumbe wa UN nchini Libya wakana kuwepo mipango ya kuwapa makazi wahamiaji nchini humo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138924-ujumbe_wa_un_nchini_libya_wakana_kuwepo_mipango_ya_kuwapa_makazi_wahamiaji_nchini_humo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1a38e39f6e2pjdw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138924-ujumbe_wa_un_nchini_libya_wakana_kuwepo_mipango_ya_kuwapa_makazi_wahamiaji_nchini_humo </guid>  
      <description>Ujumbe wa Msaada wa Umoja wa Mataifa nchini Libya (UNSMIL) umekana kile ulichokiita "madai" yasiyo ya kweli kuhusu kuwepo mpango wa umoja huo za kuwapa makazi wahamiaji ndani ya Libya, ukisisitiza kwamba madai haya "hayana msingi".</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 04:40:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaikosoa Israel na Marekani kwa kuua watoto vitani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138910-iran_yaikosoa_israel_na_marekani_kwa_kuua_watoto_vitani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby31589d1d432pj9k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138910-iran_yaikosoa_israel_na_marekani_kwa_kuua_watoto_vitani </guid>  
      <description>Iran imekosoa vikali Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaua watoto wasio na hatia katika nchi mbalimbali kupitia uhalifu wa kivita na uvamizi wa kijeshi.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:17:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Iran haitaki vita, lakini iko tayari kuendelea kujilinda ikilazimu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138902-araqchi_iran_haitaki_vita_lakini_iko_tayari_kuendelea_kujilinda_ikilazimu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby29d23ea2012pj6u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138902-araqchi_iran_haitaki_vita_lakini_iko_tayari_kuendelea_kujilinda_ikilazimu </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema Iran haitaki vita, lakini iko tayari kuendelea kujilinda inapobidi.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 03:08:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yaikosoa jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138900-tehran_yaikosoa_jamii_ya_kimataifa_kwa_kutochukua_hatua_za_kukabiliana_na_ukatili_dhidi_ya_watoto</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby54ebf9665b2pj6s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138900-tehran_yaikosoa_jamii_ya_kimataifa_kwa_kutochukua_hatua_za_kukabiliana_na_ukatili_dhidi_ya_watoto </guid>  
      <description>Shirika kuu la haki za binadamu la Iran limelaani mwenendo wa jamii ya kiimataifa wa kutochukua hatua za kushughulikia uhalifu wa ukatili unaofanywa dhidi ya watoto, likitaka kutiliwa maanani kimataifa watoto wengi wasio na hatia waliouawa na Marekani na utawala wa Israel katika uchokozi wa karibuni dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 03:05:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran chafikia rekodi ya kilowati-saa bilioni 80 za uzalishaji wa umeme</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138898-kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_nchini_iran_chafikia_rekodi_ya_kilowati_saa_bilioni_80_za_uzalishaji_wa_umeme</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc88ac080a22pj6q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138898-kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr_nchini_iran_chafikia_rekodi_ya_kilowati_saa_bilioni_80_za_uzalishaji_wa_umeme </guid>  
      <description>Kituo cha Nguvu za Nyuklia cha Bushehr nchini Iran kimezalisha jumla ya kilowati-saa bilioni 80 za umeme, hatua inayochukuliwa kuwa mafanikio muhimu katika mpango wa nishati ya nyuklia kwa matumizi ya kiraia nchini.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 03:02:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matembezi ya kilomita 10 katika Siku Kuu ya Ghadir jijini Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138890-matembezi_ya_kilomita_10_katika_siku_kuu_ya_ghadir_jijini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf203653a9c2pj5y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138890-matembezi_ya_kilomita_10_katika_siku_kuu_ya_ghadir_jijini_tehran </guid>  
      <description>Leo joto kali la mwezi Juni katika barabara za Tehran halikuweza kupunguza hamasa na shauku ya wananchi waliojitokeza kushiriki katika “Ugeni wa Ghadir wa Kilomita 10”. </description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 15:40:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Khamenei: Adui aliyefedheheshwa anahamia kwenye vita  mseto baada ya kushindwa kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138888-ayatullah_khamenei_adui_aliyefedheheshwa_anahamia_kwenye_vita_mseto_baada_ya_kushindwa_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf6c728267c2pj50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138888-ayatullah_khamenei_adui_aliyefedheheshwa_anahamia_kwenye_vita_mseto_baada_ya_kushindwa_kijeshi </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema mahasimu wa Iran wamegeukia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya mbele ya vikosi vya ulinzi vya nchi hii na kusisitiza kuhusu umoja na umakini wa kitaifa ili kusambaratisha njama za maadui</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 12:54:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wairani wamuenzi Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu Imam Khomeini katika kumbukumbu ya miaka 37 tangu kuaga dunia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138886-wairani_wamuenzi_mwasisi_wa_jamhuri_ya_kiislamu_imam_khomeini_katika_kumbukumbu_ya_miaka_37_tangu_kuaga_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby940de41b182pj4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138886-wairani_wamuenzi_mwasisi_wa_jamhuri_ya_kiislamu_imam_khomeini_katika_kumbukumbu_ya_miaka_37_tangu_kuaga_dunia </guid>  
      <description>Wananchi wa Iran wa matabaka mbalimbali wameshiriki katika marasimu mbalimbali ya  maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa 37 tangu kufariki dunia Imam Ruhullah Musavi Khomeini (M.A) Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. </description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 12:52:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge asema: Zama za kuitishia Iran bila gharama zimeisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138884-spika_wa_bunge_asema_zama_za_kuitishia_iran_bila_gharama_zimeisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5e829da4fa2pj4i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138884-spika_wa_bunge_asema_zama_za_kuitishia_iran_bila_gharama_zimeisha </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Iran si tena shabaha ya vitisho rahisi vya maadui, akiongeza kuwa uzoefu wa vita viwili vya Marekani na Israel umeonyesha kwamba Iran ina uwezo wa kutoa majibu makali kwa uchokozi wa aina yoyote.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 11:26:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yakanusha madai ya Marekani, yasema Washington inajaribu kuficha uhalifu wake dhidi ya Wairani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138874-tehran_yakanusha_madai_ya_marekani_yasema_washington_inajaribu_kuficha_uhalifu_wake_dhidi_ya_wairani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf121b387c32pizk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138874-tehran_yakanusha_madai_ya_marekani_yasema_washington_inajaribu_kuficha_uhalifu_wake_dhidi_ya_wairani </guid>  
      <description>Iran imepinga vikali tuhuma za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwamba Tehran inataka kuwaua maafisa wa Marekani, ikiikosoa Washington kwa kujaribu kujionyesha kama mwathirika huku ikificha rekodi yake ya uhalifu wa kivita dhidi ya watu wa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:36:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapinga 'matakwa ya kupita kiasi' katika mazungumzo au kusitisha mapigano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138868-iran_yapinga_'matakwa_ya_kupita_kiasi'_katika_mazungumzo_au_kusitisha_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0acc2bc5192pizy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138868-iran_yapinga_'matakwa_ya_kupita_kiasi'_katika_mazungumzo_au_kusitisha_mapigano </guid>  
      <description>Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kuwa Tehran haitairuhusu Marekani kuwasilisha matakwa ya kupita kiasi, iwe ni katika mazungumzo au wakati wa mchakato wa kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:12:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya jeshi la Iran: Adui amelazimishwa kukubali sheria mpya za Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138864-vikosi_vya_jeshi_la_iran_adui_amelazimishwa_kukubali_sheria_mpya_za_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4cf4db79c42pix8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138864-vikosi_vya_jeshi_la_iran_adui_amelazimishwa_kukubali_sheria_mpya_za_iran </guid>  
      <description>Vikosi vya jeshi la Iran vimetangaza kuwa adui amelazimika kukubali sheria mpya zilizowekwa na Tehran kwenye uwanja wa vita, hasa kuhusu usimamizi na udhibiti makini wa Mlango-Bahari wa Hormuz, huku nchi hii ikiwa katika kumbukumbu ya kifo cha Imam Ruhullah Khomeini na mapambano ya 1963 dhidi ya utawala wa Shah.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 13:29:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hormuz, vita na ukweli ambao Washington haikuwa na budi ila kuukubali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138852-hormuz_vita_na_ukweli_ambao_washington_haikuwa_na_budi_ila_kuukubali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4b0757e67e2pitg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138852-hormuz_vita_na_ukweli_ambao_washington_haikuwa_na_budi_ila_kuukubali </guid>  
      <description>Katika hali ambayo sera ya "mashinikizo ya juu zaidi" na chaguo la kijeshi la Trump vilipaswa kuilazimisha Iran ilegeze msimamo na kurudi nyuma, lakini matukio ya karibuni yameonyesha kuwa Washington inatafuta njia ya kujiondoa kwa heshima katika mgogoro ambao imejianzishia yenyewe.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 07:10:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Tumejiandaa vya kutosha kwa uchokozi wa aina zote wa adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138850-irgc_tumejiandaa_vya_kutosha_kwa_uchokozi_wa_aina_zote_wa_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyac5c0dc8822pir0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138850-irgc_tumejiandaa_vya_kutosha_kwa_uchokozi_wa_aina_zote_wa_adui </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa vikosi vyake vimejiandaa vyema kuliko hapo awali na viko tayari kikamilifu kwa dharura yoyote ya siku zijazo, likisisitiza kwamba kurudi kwa adui kwenye uvamizi wa kijeshi kutakabiliwa na mbinu tofauti za kiutendaji.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:13:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazindua kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya saratani Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138846-iran_yazindua_kituo_kikubwa_zaidi_cha_matibabu_ya_saratani_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby778a56dfae2piqm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138846-iran_yazindua_kituo_kikubwa_zaidi_cha_matibabu_ya_saratani_asia_magharibi </guid>  
      <description>Iran imezindua kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya saratani katika eneo la Asia Magharibi, ambacho kinachukua nafasi ya kituo cha zamani, kwa hospitali mpya yenye ghorofa 18, vitanda zaidi ya 610 na teknolojia ya kisasa ya matibabu.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:10:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lashambulia vituo vya kijeshi vya Marekani baada ya ukiukaji karibu na Mlango wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138840-jeshi_la_iran_lashambulia_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_baada_ya_ukiukaji_karibu_na_mlango_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye34941349d2piq2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138840-jeshi_la_iran_lashambulia_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_baada_ya_ukiukaji_karibu_na_mlango_wa_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kwamba vikosi vyake vimetekeleza mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya meli ya adui, makao makuu ya Kikosi cha Tano cha Jeshi la Wanamaji la Marekani nchini Bahrain, pamoja na kambi ya jeshi la anga ya Marekani katika eneo hilo, kufuatia vitendo viwili vya uchokozi wa Marekani vilivyolenga mali za Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 03:02:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yafuta mpango wa kushambulia Beirut baada ya onyo kali la Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138834-israel_yafuta_mpango_wa_kushambulia_beirut_baada_ya_onyo_kali_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya273d477dc2pikq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138834-israel_yafuta_mpango_wa_kushambulia_beirut_baada_ya_onyo_kali_la_iran </guid>  
      <description>Utawala wa Israel umeachana na mpango wake wa kufanya mashambulizi makali ya ya kijeshi dhidi ya mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Haya yameelezwa siku ya Jumatatu na Rais wa Marekani, Donald Trump, kufuatia onyo kali kutoka kwa Iran kwamba haitavumilia wimbi jipya la uvamizi dhidi ya Beirut, hatua ambayo ingekiuka makubaliano ya kusitisha vita kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:13:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Kikosi cha Quds cha IRGC aonya Bab al-Mandab itageuka kama Mlango wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138832-mkuu_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_aonya_bab_al_mandab_itageuka_kama_mlango_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4996fcc2512pihc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138832-mkuu_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_aonya_bab_al_mandab_itageuka_kama_mlango_wa_hormuz </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Esmail Qa’ani, ameonya kuwa Mlango wa Bab al-Mandab unaweza kukabiliwa na vikwazo vya usafiri wa meli vinavyofanana na vya Mlango wa Hormuz iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea na uhalifu nchini Lebanon na Ukanda wa Gaza chini ya himaya ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:11:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Marekani ni lazima ilipe gharama za jinai za Israel Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138822-qalibaf_marekani_ni_lazima_ilipe_gharama_za_jinai_za_israel_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9309214e342pihy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138822-qalibaf_marekani_ni_lazima_ilipe_gharama_za_jinai_za_israel_lebanon </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) Mohammad Baqir Qalibaf ameilaani Marekani kwa kuhusika katika mashambulizi ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Lebanon na kueleza kuwa Washington lazima ilipe gharama ya jinai za kivita zinazofanywa na utawala huo ghasibu dhidi ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 03:07:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yapiga kambi ya anga ya Marekani iliyohusishwa na shambulio dhidi ya mnara wa mawasiliano kusini mwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138820-irgc_yapiga_kambi_ya_anga_ya_marekani_iliyohusishwa_na_shambulio_dhidi_ya_mnara_wa_mawasiliano_kusini_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby26b82cee8a2pihs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138820-irgc_yapiga_kambi_ya_anga_ya_marekani_iliyohusishwa_na_shambulio_dhidi_ya_mnara_wa_mawasiliano_kusini_mwa_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la  Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema limefanya shambulio la kulipiza kisasi dhidi ya kambi ya anga iliyotumiwa na Marekani kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya mnara wa mawasiliano katika kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 03:01:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kauli ya Umoja wa Ulaya inayolaani kujilinda halali kwa Iran ni ya kinafiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138806-kauli_ya_umoja_wa_ulaya_inayolaani_kujilinda_halali_kwa_iran_ni_ya_kinafiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5d230595d12pid8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138806-kauli_ya_umoja_wa_ulaya_inayolaani_kujilinda_halali_kwa_iran_ni_ya_kinafiki </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa Umoja wa Ulaya unapasa kuzingatia kanuni ya utawala wa sheria na Hati ya Umoja wa Mataifa ambazo unadai kufungamana nazo.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 11:24:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali shambulio la polisi wa Uholanzi dhidi ya mke mjamzito wa Mpalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138798-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_polisi_wa_uholanzi_dhidi_ya_mke_mjamzito_wa_mpalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby887ed9f6472pic6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138798-iran_yalaani_vikali_shambulio_la_polisi_wa_uholanzi_dhidi_ya_mke_mjamzito_wa_mpalestina </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali shambulio la kikatili lililofanywa na polisi wa Uholanzi dhidi ya mke mjamzito wa mwanamume Mpalestina, ikitoa wito kwa serikali ya Uholanzi kuchunguza tukio hilo na kuwawajibisha waliohusika.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 09:20:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Iran inamrudisha nyuma adui kupitia umoja wa kitaifa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138794-spika_qalibaf_iran_inamrudisha_nyuma_adui_kupitia_umoja_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6c2f3b68e32pi66.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138794-spika_qalibaf_iran_inamrudisha_nyuma_adui_kupitia_umoja_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Mohammad Baqir Qalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa Iran, kupitia umoja wa kitaifa, inamrudisha nyuma adui katika vita vinavyoacha historia.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 03:25:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump anatapatapa kati ya vitisho na makubaliano?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138782-kwa_nini_trump_anatapatapa_kati_ya_vitisho_na_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9abb6c05812pi0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138782-kwa_nini_trump_anatapatapa_kati_ya_vitisho_na_makubaliano </guid>  
      <description>CNN imesema katika ripoti kwamba: "Serikali ya Marekani huchanganyikiwa linapokuja suala la nyuklia la Iran." Katika kipindi cha wiki kadhaa zilizopita, Rais Donald Trump wa Marekani amebadilisha misimamo yake mara kadhaa kuhusu hatima ya hifadhi ya urani iliyorutubishwa ya Iran. </description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 13:22:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump anakabiliwa na chaguzi 'mbaya' au 'mbaya zaidi' kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138780-trump_anakabiliwa_na_chaguzi_'mbaya'_au_'mbaya_zaidi'_kuhusu_iran_jenerali_wa_irgc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx16f7d153bb2pi26.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138780-trump_anakabiliwa_na_chaguzi_'mbaya'_au_'mbaya_zaidi'_kuhusu_iran_jenerali_wa_irgc </guid>  
      <description>Kamanda wa cheo cha juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) anasema Rais wa Marekani, Donald Trump, hana chaguo zuri kuhusu Iran na anapaswa kuchagua kati ya njia "mbaya" au "mbaya zaidi".</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:58:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Iran kupigia kura mpango wa usimamizi wa Lango Bahari la Hormuz 'hivi karibuni'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138768-bunge_la_iran_kupigia_kura_mpango_wa_usimamizi_wa_lango_bahari_la_hormuz_'hivi_karibuni'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx21bf0183a32phw8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138768-bunge_la_iran_kupigia_kura_mpango_wa_usimamizi_wa_lango_bahari_la_hormuz_'hivi_karibuni' </guid>  
      <description>Bunge la Iran linatarajiwa kupitia na kuidhinisha sheria inayorasimisha usimamizi na mamlaka ya Jamhuri ya Kiislamu juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:29:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waasi wa RSF wanaoungwa mkono na UAE wauwa raia 27  siku ya Eid nchini Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138758-waasi_wa_rsf_wanaoungwa_mkono_na_uae_wauwa_raia_27_siku_ya_eid_nchini_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx788ff772ca2phqs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138758-waasi_wa_rsf_wanaoungwa_mkono_na_uae_wauwa_raia_27_siku_ya_eid_nchini_sudan </guid>  
      <description>Waasi wa RSF wamewaua angalau raia 27, wakiwemo wazee, katika shambulio dhidi ya vijiji vilivyoko magharibi mwa Bara katika jimbo la North Kordofan nchini Sudan.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 11:51:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema mapatano na Marekani  bado hayajafikiwa, yakataa mabavu ya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138754-iran_yasema_mapatano_na_marekani_bado_hayajafikiwa_yakataa_mabavu_ya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6a1f3daffb2phpc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138754-iran_yasema_mapatano_na_marekani_bado_hayajafikiwa_yakataa_mabavu_ya_trump </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Ijumaa kwamba mabadilishano ya ujumbe kati ya Iran na yanaendelea, lakini hadi sasa hakuna mwafaka wa mwisho uliofikiwa huku akisisitiza kuwa Tehran haikubali lugha ya mabavu.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 11:03:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aonya: Trump anaisaliti diplomasia kwa mara ya tatu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138752-mshauri_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aonya_trump_anaisaliti_diplomasia_kwa_mara_ya_tatu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd20d95858f2pbfk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138752-mshauri_wa_kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_aonya_trump_anaisaliti_diplomasia_kwa_mara_ya_tatu </guid>  
      <description>Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonya kuwa Rais wa Marekani Donald Trump anaisaliti diplomasia na kuupa nafasi mwelekeo wa vita kwa mara ya tatu, kutokana na kile alichokitaja kuwa ni hatua zake za kichokozi.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 11:01:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138738-iran_yakemea_vikali_tishio_la_marekani_la_kuiwekea_oman_vikwazo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4cb846a8d92phle.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138738-iran_yakemea_vikali_tishio_la_marekani_la_kuiwekea_oman_vikwazo </guid>  
      <description>Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 05:27:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani na Israel zimedhoofika baada ya Vita vya Ramadhani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138728-imamu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_na_israel_zimedhoofika_baada_ya_vita_vya_ramadhani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxba56fd400b2phfk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138728-imamu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_na_israel_zimedhoofika_baada_ya_vita_vya_ramadhani </guid>  
      <description>Katibu wa muda wa swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa Marekani na Israel zinashuhudia “kudhoofika”  katika eneo la  Asia Magharibi. Amesisitiza kuwa vita vya siku 40 vya Ramadhani vilivyoanzishwa na tawala hizo mbili dhidi ya Iran vimedhihirisha kuwa Marekani imepoteza uwezo wa kudumisha ushawishi wake wa kisiasa katika Asia ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 13:09:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Sikukuu ya wanyonya damu imekwisha': Iran yasema hakuna ngao tena kwa kambi za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138724-'sikukuu_ya_wanyonya_damu_imekwisha'_iran_yasema_hakuna_ngao_tena_kwa_kambi_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1d50c2e0d02phg0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138724-'sikukuu_ya_wanyonya_damu_imekwisha'_iran_yasema_hakuna_ngao_tena_kwa_kambi_za_marekani </guid>  
      <description>Ulinzi wenye nguvu wa Iran umeonyesha kwamba "sikukuu ya wanyonya damu" imekwisha. </description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:41:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yadungua ndege isiyo na rubani ya Marekani karibu na Bushehr</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138714-iran_yadungua_ndege_isiyo_na_rubani_ya_marekani_karibu_na_bushehr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3939b4b4062pha6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138714-iran_yadungua_ndege_isiyo_na_rubani_ya_marekani_karibu_na_bushehr </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limedungua ndege isiyo na rubani ya Marekani iliyokiuka anga ya Jamhuri ya Kiislamu karibu na mji wa kusini wa Bushehr.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:22:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani ukiukaji wa Marekani wa makubaliano ya amani, yahimiza UN kuingilia kati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138712-iran_yalaani_ukiukaji_wa_marekani_wa_makubaliano_ya_amani_yahimiza_un_kuingilia_kati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc38119ac1f2ph98.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138712-iran_yalaani_ukiukaji_wa_marekani_wa_makubaliano_ya_amani_yahimiza_un_kuingilia_kati </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali vitisho vya mara kwa mara vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyosimamisha vita haramu vya hivi karibun, ikiuhimiza Umoja wa Mataifa kuingilia kati.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:20:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yasimamia kupita salama meli nyingine 26 katika Mlango wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138704-irgc_yasimamia_kupita_salama_meli_nyingine_26_katika_mlango_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa88bf61ff22pha0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138704-irgc_yasimamia_kupita_salama_meli_nyingine_26_katika_mlango_wa_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema meli 26 za kibiashara na meli za mafuta zimevuka Mlango-Bahari wa Hormuz katika muda wa saa 24 zilizopita baada ya kuratibu na kikosi chake cha wanamaji, na kuonya kwamba jaribio lolote la kuvuruga au kifungu njia hiyo ya bahari ya kimkakati litakabiliwa na jibu kali.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 02:56:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ahimiza kulinda 'neema kubwa' ya umoja wa kitaifa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138702-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_ahimiza_kulinda_'neema_kubwa'_ya_umoja_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5e4f10bef12ph5m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138702-kiongozi_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_ahimiza_kulinda_'neema_kubwa'_ya_umoja_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani na Israel, ambazo zimeshindwa katika uvamizi wao wa kijeshi dhidi ya Iran, zinapanga njama ya kupandikiza mzozo na fitina ndani ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 12:49:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Kituo cha uchokozi dhidi ya Bandar Abbas kimelengwa; uchokozi ukirudiwa, jibu litakuwa kali zaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138692-irgc_kituo_cha_uchokozi_dhidi_ya_bandar_abbas_kimelengwa_uchokozi_ukirudiwa_jibu_litakuwa_kali_zaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0e2ed3a9c82ph2o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138692-irgc_kituo_cha_uchokozi_dhidi_ya_bandar_abbas_kimelengwa_uchokozi_ukirudiwa_jibu_litakuwa_kali_zaidi </guid>  
      <description>Idara ya Mahusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuwa: Kituo cha anga cha Marekani kilichotumiwa kufanya uchokozi dhidi ya Bandar Abbas kusini mwa Iran, kimelengwa alfajiri ya leo Alkhamisi saa 10:50.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 10:07:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kuanzia "Kujisalimisha Bila Masharti" hadi Kukubali Nguvu ya Iran; Kurudi Nyuma kwa Trump Chini ya Mashinikizo ya Ukweli wa Mambo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138694-kuanzia_kujisalimisha_bila_masharti_hadi_kukubali_nguvu_ya_iran_kurudi_nyuma_kwa_trump_chini_ya_mashinikizo_ya_ukweli_wa_mambo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8d1cfe2e822pgw8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138694-kuanzia_kujisalimisha_bila_masharti_hadi_kukubali_nguvu_ya_iran_kurudi_nyuma_kwa_trump_chini_ya_mashinikizo_ya_ukweli_wa_mambo </guid>  
      <description>Kushindwa Trump na Netanyahu katika kufikia malengo yao ya kuishambulia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara ya pili katika kipindi cha miezi tisa, ni moja ya mada muhimu zinazojadiliwa na taasisi za utafiti, wananadharia mashuhuri na vyombo tajika vya habari. </description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 09:47:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Iran imepata uwezo mpya wa kukabiliana na maadui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138688-irgc_iran_imepata_uwezo_mpya_wa_kukabiliana_na_maadui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1b9f0c7c022pgys.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138688-irgc_iran_imepata_uwezo_mpya_wa_kukabiliana_na_maadui </guid>  
      <description>Afisa mmoja mwandamizi wa kijeshi ameonya kwamba uchokozi wowote mpya wa kijeshi dhidi ya Iran utasababisha jibu la aina tofauti na lenye nguvu zaidi, “lisilofanana na chochote walichowahi kukiona hapo kabla.”</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 04:50:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Khatami: Trump ana jeni ya kusema uongo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138678-ayatullah_khatami_trump_ana_jeni_ya_kusema_uongo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9d5a5a98852pgw4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138678-ayatullah_khatami_trump_ana_jeni_ya_kusema_uongo </guid>  
      <description>Imamu wa Swala ya Idul Adh'ha iliyofanyika mapema leo mjini Tehran amesema: "Maadui wanatamani taifa la Iran lichoke, lakini kwa neema ya Mungu, wataingia kaburi na matarajio hayo." </description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 15:19:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran ahimiza mshikamano wa Kiislamu dhidi ya Marekani na Israel katika mazungumzo na viongozi wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138674-rais_wa_iran_ahimiza_mshikamano_wa_kiislamu_dhidi_ya_marekani_na_israel_katika_mazungumzo_na_viongozi_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx08a0a388c82pgug.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138674-rais_wa_iran_ahimiza_mshikamano_wa_kiislamu_dhidi_ya_marekani_na_israel_katika_mazungumzo_na_viongozi_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mheshimiwa Masoud Pezeshkian, ametoa wito wa kuimarishwa umoja na ushirikiano miongoni mwa nchi za Kiislamu, akisisitiza kuwa mshikamano wa Umma mzima wa Kiislamu ni nguzo muhimu katika kukabiliana na vitisho na changamoto zinazokabili eneo la Magharibi mwa Asia.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 10:59:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasema ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita unathibitisha “nia ovu” ya Marekani, </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138672-iran_yasema_ukiukwaji_wa_makubaliano_ya_kusitisha_vita_unathibitisha_nia_ovu_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8c6165383f2pgpe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138672-iran_yasema_ukiukwaji_wa_makubaliano_ya_kusitisha_vita_unathibitisha_nia_ovu_ya_marekani </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali ukiukwaji wa “wazi na usio na msingi” wa makubaliano ya kusitisha mapigano uliofanywa na Marekani katika Lango Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 10:56:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yaitungua ndege ya kivita ya Marekani  katika Ghuba ya Uajemi, yatoa onyo kali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138664-irgc_yaitungua_ndege_ya_kivita_ya_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_yatoa_onyo_kali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb09f1194312pgr0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138664-irgc_yaitungua_ndege_ya_kivita_ya_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_yatoa_onyo_kali </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimetungua ndege ya kivita ya Marekani isiyo na rubani, aina ya MQ-9 Reaper, katika anga ya Ghuba ya Uajemi. </description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:27:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya kuwa, ikishambuliwa tena jibu la litakuwa ‘kali zaidi’ kuliko vita vilivyopita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138662-iran_yaonya_kuwa_ikishambuliwa_tena_jibu_la_litakuwa_kali_zaidi’_kuliko_vita_vilivyopita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx71897b3b4b2pgqy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138662-iran_yaonya_kuwa_ikishambuliwa_tena_jibu_la_litakuwa_kali_zaidi’_kuliko_vita_vilivyopita </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa onyo kali kuhusu mashambulizi ya kulipiza kisasi yatakayokuwa “mazito na makali zaidi” iwapo tawala za Marekani na Israel zitafanya uchokozi mpya.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:18:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu- Siku ya Arafa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138652-ujumbe_wa_kiongozi_muadhamu_siku_ya_arafa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2aa01700422pgnq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138652-ujumbe_wa_kiongozi_muadhamu_siku_ya_arafa </guid>  
      <description>Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuwadia msimu wa Hijja ya Nabii Ibrahim (as), Ayatullah Seyyed Mojtaba Hosseini Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametaja amali na thikri  zilizajaa maana za Hijja na kusema ni ishara za kudumu milele kwa wanadamu kwa ajili ya kuwahamasisha waelekee kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, na kuwa huru kutokana na minyororo ya Shetani na wafuasi wake, na wakati huo huo kufanya bidii bila kuchoka kwa ajili ya kuondokana na matamanio ya nafsi, na kufikia sa</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 13:37:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujumbe wa Hija: Kiongozi Muadhamu ayatolea wito mataifa ya Kiislamu kuunda utaratibu mpya wa kikanda; asema enzi ya US imefikia tamati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138650-ujumbe_wa_hija_kiongozi_muadhamu_ayatolea_wito_mataifa_ya_kiislamu_kuunda_utaratibu_mpya_wa_kikanda_asema_enzi_ya_us_imefikia_tamati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9d22c8b5642pgm2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138650-ujumbe_wa_hija_kiongozi_muadhamu_ayatolea_wito_mataifa_ya_kiislamu_kuunda_utaratibu_mpya_wa_kikanda_asema_enzi_ya_us_imefikia_tamati </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amezitolea wito nchi za Kiislamu kuzidisha ushirikiano na kuanzisha utaratibu mpya wa kieneo na kimataifa mbali na utawala wa Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 11:29:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa: Iran haitasalimu amri wala kurudi nyuma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138648-katibu_wa_baraza_kuu_la_usalama_wa_taifa_iran_haitasalimu_amri_wala_kurudi_nyuma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5b7e66c6c12pgly.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138648-katibu_wa_baraza_kuu_la_usalama_wa_taifa_iran_haitasalimu_amri_wala_kurudi_nyuma </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu "haitarudi nyuma" huku kukiwa na ripoti juu ya uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 11:24:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Marekani imefanya uhalifu wa kivita kwa kujaribu nguvu ya kombora lilitumika kwa mara ya kwanza kuua watu Lamerd, Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138646-baqaei_marekani_imefanya_uhalifu_wa_kivita_kwa_kujaribu_nguvu_ya_kombora_lilitumika_kwa_mara_ya_kwanza_kuua_watu_lamerd_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx721637c9232pgls.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138646-baqaei_marekani_imefanya_uhalifu_wa_kivita_kwa_kujaribu_nguvu_ya_kombora_lilitumika_kwa_mara_ya_kwanza_kuua_watu_lamerd_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Marekani ilitumia kwa mara ya kwanza kombora la PrMS katika shambulio lake kwenye eneo la makazi ya raia na uwanja wa michezo wa Lamerd katika Mkoa wa Fars kusini mwa Iran, kwa lengo la kujaribu nguvu za uharibifu za silaha hiyo."</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 11:17:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Marekani inapasa kudhamini ushiriki wa timu ya taifa ya Iran katika mashindano ya Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138636-baqaei_marekani_inapasa_kudhamini_ushiriki_wa_timu_ya_taifa_ya_iran_katika_mashindano_ya_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx51458abf842pghe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138636-baqaei_marekani_inapasa_kudhamini_ushiriki_wa_timu_ya_taifa_ya_iran_katika_mashindano_ya_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezungumzia uvumi unaoendelea kuhusu kushiriki wa timu ya taifa ya kandanda ya Iran katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026, na kusisitiza kuwa Marekani inawajibika kuandaa mazingira yanayofaa kwa timu hiyo kushiriki katika mashindano bila vizuizi vyovyote. </description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 02:58:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran haitasalimu amri kwa matakwa 'ya kupitiliza' ya Marekani, inataka kurejeshea haki zake kikamilifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138626-pezeshkian_iran_haitasalimu_amri_kwa_matakwa_'ya_kupitiliza'_ya_marekani_inataka_kurejeshea_haki_zake_kikamilifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7419a7af512pgeu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138626-pezeshkian_iran_haitasalimu_amri_kwa_matakwa_'ya_kupitiliza'_ya_marekani_inataka_kurejeshea_haki_zake_kikamilifu </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian ametangaza kwamba Iran haitasalimu amri kwa mashinikizo ya Marekani na matwaka ya kuchupa mipaka ya utawala huo, akisema wapatanishi wa Iran watahakikisha haki za taifa zinarejeshwa kikamilifu kupitia mchakato wa kidiplomasia.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 12:30:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa machafuko yaliyofadhiliwa na Marekani mwezi Januari auawa nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138618-kiongozi_wa_machafuko_yaliyofadhiliwa_na_marekani_mwezi_januari_auawa_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b1de352ee2pgdq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138618-kiongozi_wa_machafuko_yaliyofadhiliwa_na_marekani_mwezi_januari_auawa_nchini_iran </guid>  
      <description>Mahakama ya Iran imetangaza kwamba mmoja wa viongozi wa makundi yenye silaha yaliyohusika na ghasia zilizofadhiliwa na madola ya kigeni mnamo Januari 2026 amenyongwa katika mji wa Nain.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 10:25:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran iko tayari kuihakikishia dunia kwamba haifuatilii silaha za nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138616-pezeshkian_iran_iko_tayari_kuihakikishia_dunia_kwamba_haifuatilii_silaha_za_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0ceecb89892pgbc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138616-pezeshkian_iran_iko_tayari_kuihakikishia_dunia_kwamba_haifuatilii_silaha_za_nyuklia </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuihakikishia jamii ya kimataifa kwamba haifuatilii silaha za nyuklia.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 09:21:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rezaei: Iran itajiondoa katika mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia iwapo itashambuliwa tena</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138614-rezaei_iran_itajiondoa_katika_mkataba_wa_kuzuia_silaha_za_nyuklia_iwapo_itashambuliwa_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxde4fbc1fd02pgao.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138614-rezaei_iran_itajiondoa_katika_mkataba_wa_kuzuia_silaha_za_nyuklia_iwapo_itashambuliwa_tena </guid>  
      <description>Iran imetoa onyo kali kwa Marekani, ikisema kuwa itajiondoa kwenye Mkataba wa Kuzuia Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), ikiwa Marekani itaanzisha tena mashambulizi dhidi ya yake.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 09:19:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Iran inapigania haki zake halali katika mazungumzo na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138604-rais_pezeshkian_iran_inapigania_haki_zake_halali_katika_mazungumzo_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx99bc68b51e2pg6y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138604-rais_pezeshkian_iran_inapigania_haki_zake_halali_katika_mazungumzo_na_marekani </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Iran inataka kurejesha haki zake halali katika mazungumzo na Marekani. Hata hivyo, ameeleza kuwa uzoefu mchungu wa majadiliano ya huko nyuma na Washington unaifanya Tehran kusonga mbele kwa tahadhari kubwa.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 12:51:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya: Tuko tayari kutoa jibu “la maangamizi” dhidi ya uchokozi mpya </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138600-iran_yaonya_tuko_tayari_kutoa_jibu_la_maangamizi_dhidi_ya_uchokozi_mpya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc1029ecb102pg7i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138600-iran_yaonya_tuko_tayari_kutoa_jibu_la_maangamizi_dhidi_ya_uchokozi_mpya </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yako katika kiwango cha juu kabisa cha utayari na yataitoa “adhabu yenye maangamizi na ya kuzimu” iwapo adui ataanzisha tena vita au shambulio lolote la kichokozi dhidi ya nchi.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 12:42:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Iran haina imani na Marekani, haitasalimu amri kuhusu haki zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138590-qalibaf_iran_haina_imani_na_marekani_haitasalimu_amri_kuhusu_haki_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf0c258688f2pg20.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138590-qalibaf_iran_haina_imani_na_marekani_haitasalimu_amri_kuhusu_haki_zake </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa Iran haina imani yoyote na Marekani na kwamba haitarudi nyuma kamwe katika kutetea haki zake za kitaifa wakati wa mazungumzo na Marekani yanayolenga kuhitimisha vita katika eneo lote la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 03:33:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran  lasema meli 25 zimepita katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138588-jeshi_la_iran_lasema_meli_25_zimepita_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4632ae5c7a2pg1y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138588-jeshi_la_iran_lasema_meli_25_zimepita_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Kikosi cha  Wanamaji cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa meli 25, zikiwemo meli za mafuta, meli za mizigo (kontena), na meli zingine kibiashara, zimevuka Lango la Bahari la Hormuz katika kipindi cha saa 24 zilizopita hadi kufikia jana, baada ya kupata idhini na chini ya uratibu wa kiusalama wa jeshi hilo.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 03:29:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Balozi wa Iran UN apinga madai ya Marekani kuhusu shambulio dhidi ya kinu cha nyuklia cha UAE</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138586-balozi_wa_iran_un_apinga_madai_ya_marekani_kuhusu_shambulio_dhidi_ya_kinu_cha_nyuklia_cha_uae</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0b5aa53d9a2pg1w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138586-balozi_wa_iran_un_apinga_madai_ya_marekani_kuhusu_shambulio_dhidi_ya_kinu_cha_nyuklia_cha_uae </guid>  
      <description>Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameyatupilia mbali madai ya Marekani kuhusu shambulio la ndege zisizo na rubani (drone) dhidi ya kinu cha kuzalisha umeme kwa nishati ya nyuklia cha Barakah nchini Falme za Kiarabu (UAE). Amesema kuwa Washington imetumia vibaya Baraza la Usalama ili kusambaza tuhuma za uongo dhidi ya Iran na mpango wake wa nyuklia wenye malengo ya amani.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 03:28:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa jeshi la Pakistan azungumza kwa kina na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran mjini Tehran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138578-mkuu_wa_jeshi_la_pakistan_azungumza_kwa_kina_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_mjini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb69517db232pfx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138578-mkuu_wa_jeshi_la_pakistan_azungumza_kwa_kina_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_mjini_tehran </guid>  
      <description>Asim Munir, Mkuu wa jeshi la Pakistan amefanya mazungumzo ya muda mrefu na Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araqchi mjini Tehran, huku jitihada za kidiplomasia zikishika kasi ili kuzuia kushtadi hali ya mgogoro katika Asia Magharibi. </description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 12:38:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaiambia UN: Nchi za Ghuba ya Uajemi zinapasa kutoa jibu na kulipa fidia kwa mchango wao katika vita vya Marekani na Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138576-iran_yaiambia_un_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_zinapasa_kutoa_jibu_na_kulipa_fidia_kwa_mchango_wao_katika_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx364688c1f72pfx0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138576-iran_yaiambia_un_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_zinapasa_kutoa_jibu_na_kulipa_fidia_kwa_mchango_wao_katika_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Amir Saeid Iravani Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa nchi za kusini mwa Ghuba ya Uajemi na Jordan zinabeba dhima ya kuzisaidia Marekani na Israel katika uvamizi wao dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 12:35:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Talaei-Nik: Trump hana chaguo ila kukubali haki ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138574-kamanda_talaei_nik_trump_hana_chaguo_ila_kukubali_haki_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb82bb37aad2pfwy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138574-kamanda_talaei_nik_trump_hana_chaguo_ila_kukubali_haki_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Iran amesema: "Kushindwa adui kufungamana na matakwa halali ya taifa la Iran kutasababisha gharama kubwa na kushindwa zaidi adui Mzayuni na Marekani."</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 12:32:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian awataka wataalamu wa mahusiano ya umma kuvunja vikwazo vya vyombo vya habari vya Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138566-rais_pezeshkian_awataka_wataalamu_wa_mahusiano_ya_umma_kuvunja_vikwazo_vya_vyombo_vya_habari_vya_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx204cc551c72pfqc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138566-rais_pezeshkian_awataka_wataalamu_wa_mahusiano_ya_umma_kuvunja_vikwazo_vya_vyombo_vya_habari_vya_kizayuni </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian anasema wataalamu wa mahusiano ya umma wanapaswa kuchukua jukumu muhimu katika kuongeza uelewa wa umma, ikizingatiwa kwamba vyombo vya habari vya Kizayuni vinawazuia watu kuona na kujua ukweli.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 03:08:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Kuharibiwa Taasisi ya Pasteur ya Iran ni tishio kwa usalama wa afya wa kikanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138560-baqaei_kuharibiwa_taasisi_ya_pasteur_ya_iran_ni_tishio_kwa_usalama_wa_afya_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc17de1b7b42pfo0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138560-baqaei_kuharibiwa_taasisi_ya_pasteur_ya_iran_ni_tishio_kwa_usalama_wa_afya_wa_kikanda </guid>  
      <description>Ismail Baqaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amechapisha nukuu ya ripoti ya jarida la masuala ya tiba la The Lancet kuhusu uharibifu uliosababishwa na mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Taasisi ya Pasteur ya Iran, na kusisitiza kwamba kuharibiwa taasisi hiyo ni tishio kwa usalama wa kikanda.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 02:42:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imam wa Swala ya Ijumaa Tehran: Maadui watakabiliana na makombora mapya ikiwa watafanya makosa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138554-imam_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_maadui_watakabiliana_na_makombora_mapya_ikiwa_watafanya_makosa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxda6bc883b52pfoq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138554-imam_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_maadui_watakabiliana_na_makombora_mapya_ikiwa_watafanya_makosa </guid>  
      <description>Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: "Iwapo maadui watafanya kosa jingine, watakabiliana na vita vipana zaidi badala ya vita vya kikanda, na badala ya kuzuiliwa Mlango-Bahari wa Hormuz, wakati huo Mlango Bahari wa Bab al-Mandeb pia atafungwa. </description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 15:08:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Serikali imejitolea kikamilifu kuboresha uwezo wa Jeshi la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138544-pezeshkian_serikali_imejitolea_kikamilifu_kuboresha_uwezo_wa_jeshi_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx00ff2d475b2pfke.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138544-pezeshkian_serikali_imejitolea_kikamilifu_kuboresha_uwezo_wa_jeshi_la_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amesema serikali yake itatumia “nguvu na rasilimali zote zilizopo” kuimarisha majeshi ya ulinzi huku akisifu majibu ya kijeshi ya Iran kuwa “makini, madhubuti na yanayozuia uchokozi” kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni yaliyotekelezwa na tawala za Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 06:57:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali Qa'ani: Freedom Flotilla imewafedhehesha Wazayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138540-jenerali_qa'ani_freedom_flotilla_imewafedhehesha_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8c025543a42pfjo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138540-jenerali_qa'ani_freedom_flotilla_imewafedhehesha_wazayuni </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema katika ujumbe wake kwamba mafanikio ya msafara wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza "Global Sumud Flotilla, yanaendelea.</description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 04:31:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>“Tutawafanya maadui wajute”: Qalibaf aonya dhidi ya njama za Marekani kuanzisha vita vipya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138528-tutawafanya_maadui_wajute_qalibaf_aonya_dhidi_ya_njama_za_marekani_kuanzisha_vita_vipya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8abcbb876c2pdb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138528-tutawafanya_maadui_wajute_qalibaf_aonya_dhidi_ya_njama_za_marekani_kuanzisha_vita_vipya </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa onyo kali akisema kuwa mienendo ya wazi na ya siri ya adui inaashiria wazi kuwa wanapanga kuanzisha duru nyingine ya vita.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 13:26:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu amkumbuka Shahidi Rais Raeisi, ampongeza kwa uwajibikaji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138520-kiongozi_muadhamu_amkumbuka_shahidi_rais_raeisi_ampongeza_kwa_uwajibikaji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx73fdd0e9592pfdk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138520-kiongozi_muadhamu_amkumbuka_shahidi_rais_raeisi_ampongeza_kwa_uwajibikaji </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa ujumbe wa kuadhimisha mwaka wa pili tangu kufa shahidi aliyekuwa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raeisi. Katika ujumbe huo, alimwelezea marehemu Rais Raeisi kama kiongozi aliyekuwa na hisia ya juu ya uwajibikaji, mwenye kuzingatia uadilifu, mwenye kuendesha diplomasia hai na yenye manufaa, na hasa aliyekuwa karibu na wananchi kwa unyenyekevu na huruma.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 04:45:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yaonya kuwa vita vipya dhidi ya Iran vitavuka mipaka ya eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138518-irgc_yaonya_kuwa_vita_vipya_dhidi_ya_iran_vitavuka_mipaka_ya_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6e93b9b0be2pfdi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138518-irgc_yaonya_kuwa_vita_vipya_dhidi_ya_iran_vitavuka_mipaka_ya_eneo </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa onyo kali kwamba endapo vita dhidi ya Iran vitaanzishwa tena, basi vita vya kikanda vilivyoahidiwa hapo awali safari hii vitapanuka kuvuka eneo la Asia Magharibi, na kwamba mapigo mazito yataelekezwa kutoka maeneo ambayo adui hawezi kuyadhania.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 04:42:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakosoa upotoshaji wa CENTICOM kuhusu mauaji ya halaiki ya Minab </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138516-iran_yakosoa_upotoshaji_wa_centicom_kuhusu_mauaji_ya_halaiki_ya_minab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7eff25cfc22pfde.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138516-iran_yakosoa_upotoshaji_wa_centicom_kuhusu_mauaji_ya_halaiki_ya_minab </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekadhibisha matamshi ya Kamandi Kuu ya Marekani (CENTCOM) kuhusu mashambulizi ya ya makombora yaliyofanywa katika shule ya msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab kusini mwa Iran na kuyataja kuwa "yasiyo na msingi". </description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 04:40:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu: Nguvu inayojitokeza ya Iran inahusiana  moja kwa moja na ongezeko la idadi ya watu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138508-kiongozi_muadhamu_nguvu_inayojitokeza_ya_iran_inahusiana_moja_kwa_moja_na_ongezeko_la_idadi_ya_watu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe77c80756e2pfaa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138508-kiongozi_muadhamu_nguvu_inayojitokeza_ya_iran_inahusiana_moja_kwa_moja_na_ongezeko_la_idadi_ya_watu </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kupanda hadhi ya Iran ya kuwa taifa kubwa na lenye taathira kunahusiana moja kwa moja na ongezeko la idadi ya watu wake, na kutoa wito wa kuzidishwa juhudi za kukuza utamaduni wa kuzaa watoto.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:16:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa vyombo vya mahakama: Shahidi Raisi alijitolea kuwatumikia wananchi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138506-mkuu_wa_vyombo_vya_mahakama_shahidi_raisi_alijitolea_kuwatumikia_wananchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0a44aea8552pfa8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138506-mkuu_wa_vyombo_vya_mahakama_shahidi_raisi_alijitolea_kuwatumikia_wananchi </guid>  
      <description>Mkuu wa vyombo vya Mahakama vya Iran anasema kuwa Rais Shahidi Ebrahim Raisi alijitolea kwa dhati kuwatumikia wananchi na kusabilia maisha yake kwa ajili ya Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:12:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatahadharisha kuhusu Marekani kulitumia vibaya Baraza la Usalama la UN</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138504-iran_yatahadharisha_kuhusu_marekani_kulitumia_vibaya_baraza_la_usalama_la_un</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6af96005942pfa6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138504-iran_yatahadharisha_kuhusu_marekani_kulitumia_vibaya_baraza_la_usalama_la_un </guid>  
      <description>Mwakilishi wa  Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa: "Marekani inalitumia vibaya Baraza la Usalama kwa kueneza uwongo na tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mpango wake wa nyuklia."</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:09:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Medani mpya za mapambano zitafunguliwa ikiwa adui atatumbukia katika mtego wa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138494-jeshi_la_iran_medani_mpya_za_mapambano_zitafunguliwa_ikiwa_adui_atatumbukia_katika_mtego_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7453cf51172pf50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138494-jeshi_la_iran_medani_mpya_za_mapambano_zitafunguliwa_ikiwa_adui_atatumbukia_katika_mtego_wa_israel </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limeonya kuwa iwapo adui ataanguka tena katika mtego wa Israel na kuanzisha uchokozi mwingine dhidi ya Iran, jeshi la taifa litafungua medani mpya ya mapambano kwa kutumia zana na mbinu mpya.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:29:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kulegeza kamba mara kwa mara Trump, ishara ya kuemewa mbele ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138490-kulegeza_kamba_mara_kwa_mara_trump_ishara_ya_kuemewa_mbele_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa0b4e0df272pf2y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138490-kulegeza_kamba_mara_kwa_mara_trump_ishara_ya_kuemewa_mbele_ya_iran </guid>  
      <description>Pars Today - Rais wa Marekani Donald Trump, kwa mara ya kumi na moja katika kipindi cha wiki chache tu, amerudia tena majigambo yake ya kuishambulia Iran lakini baadaye anatafuta kisingizio cha kuakhirisha kushambulia.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:06:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Intelijensia ya Iran yasambaratisha kundi la magaidi wa kitakfiri wenye uhusiano na Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138484-intelijensia_ya_iran_yasambaratisha_kundi_la_magaidi_wa_kitakfiri_wenye_uhusiano_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx69e946c8a92pf4s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138484-intelijensia_ya_iran_yasambaratisha_kundi_la_magaidi_wa_kitakfiri_wenye_uhusiano_na_israel </guid>  
      <description>Timu za upelelezi za Iran zimefanikiwa kusambaratisha seli nne za wanamgambo wa Kitakfri wenye mfungamano na utawala wa Israel katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, kusini mashariki mwa Iran mkoa unaopakana na Pakistan.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 02:54:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran na vikosi vya jeshi vitailazimisha Marekani kusalimu amri</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138480-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_taifa_la_iran_na_vikosi_vya_jeshi_vitailazimisha_marekani_kusalimu_amri</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxadfca112482pf1i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138480-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_taifa_la_iran_na_vikosi_vya_jeshi_vitailazimisha_marekani_kusalimu_amri </guid>  
      <description>Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kwamba mkono wa chuma wa vikosi vya jeshi na taifa thabiti la Iran vitailazimisha Marekani kurudi nyuma na kusalimu amri.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 12:57:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Hatutasalimu amri kamwe': Pezeshkian aapa kuendeleza mapambano huku Trump akizidi kupiga ngoma za vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138468-'hatutasalimu_amri_kamwe'_pezeshkian_aapa_kuendeleza_mapambano_huku_trump_akizidi_kupiga_ngoma_za_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx390e5d7c232pew6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138468-'hatutasalimu_amri_kamwe'_pezeshkian_aapa_kuendeleza_mapambano_huku_trump_akizidi_kupiga_ngoma_za_vita </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameapa kutosalimu amri kamwe mbele ya dola lolote au kutoa kafara heshima ya taifa kwa ajili ya faraja.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 05:54:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran: Marekani, Israel zinapandikiza chuki baina ya Waislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138454-rais_wa_iran_marekani_israel_zinapandikiza_chuki_baina_ya_waislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx92f9dde07c2pen8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138454-rais_wa_iran_marekani_israel_zinapandikiza_chuki_baina_ya_waislamu </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba tawala za Marekani na Israel zinaendeleza miradi ya kuzusha migawanyiko na kueneza hali ya kutoaminiana ili kuyagonganisha mataifa ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 12:13:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na wenzake huku mvutano na Marekani ukitokota</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138452-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_wenzake_huku_mvutano_na_marekani_ukitokota</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx407dbd8af42penc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138452-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_azungumza_na_wenzake_huku_mvutano_na_marekani_ukitokota </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amefanya mazungumzo ya simu kwa nyakati tofauti na mawaziri wenzake wa Ufaransa, Qatar, Uturuki, na Korea Kusini, siku ya Jumapili, ili kutathmini mahusiano ya pande mbili, matukio ya kieneo na mchakato wa kidiplomasia unaoendelea.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 12:10:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Velayati aikosoa Marekani kwa vitisho dhidi ya Iran, aonya inaangukia “mtego” wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138444-velayati_aikosoa_marekani_kwa_vitisho_dhidi_ya_iran_aonya_inaangukia_mtego_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx360c4ec8822peom.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138444-velayati_aikosoa_marekani_kwa_vitisho_dhidi_ya_iran_aonya_inaangukia_mtego_wa_israel </guid>  
      <description>Ali Akbar Velayati, mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ameonya kuwa Marekani inaangukia “mtego wa kimkakati” uliotegwa na Israel, akisema kuwa Marekani itapoteza kabisa mabaki ya uaminifu wake katika eneo la Asia Magharibi iwapo itaanzisha vita vingine dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:43:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Muqawama wa kihistoria wa Iran unaongeza kasi ya mabadiliko ya kimataifa ambayo hayajawahi kutokea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138434-spika_qalibaf_muqawama_wa_kihistoria_wa_iran_unaongeza_kasi_ya_mabadiliko_ya_kimataifa_ambayo_hayajawahi_kutokea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxdc41b5c9d72peju.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138434-spika_qalibaf_muqawama_wa_kihistoria_wa_iran_unaongeza_kasi_ya_mabadiliko_ya_kimataifa_ambayo_hayajawahi_kutokea </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) Mohammad Baqir Qalibaf amesema kuwa muqawama wa kishujaa wa taifa la Iran kwa muda wa siku 70 umekuwa msukumo katika kuharakisha mageuzi ambayo hayajaonekana katika karne moja, na hivyo kuashiria mapambazuko ya mfumo mpya wa kambi kadhaa.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 11:30:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi Muadhamu: Uvumilivu haupo siku zote/ Azitahadharisha nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138432-mshauri_wa_ngazi_ya_juu_wa_kiongozi_muadhamu_uvumilivu_haupo_siku_zote_azitahadharisha_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3b2dd1b3bd2pejo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138432-mshauri_wa_ngazi_ya_juu_wa_kiongozi_muadhamu_uvumilivu_haupo_siku_zote_azitahadharisha_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi </guid>  
      <description>Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi Muadhamu: Uvumilivu haupo siku zote/ Azitahadharisha nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 11:23:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran yaikosoa Magharibi kwa kutoweza kutatua migogoro inayojitengenezea yenyewe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138422-tehran_yaikosoa_magharibi_kwa_kutoweza_kutatua_migogoro_inayojitengenezea_yenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8d4a8095b82pe4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138422-tehran_yaikosoa_magharibi_kwa_kutoweza_kutatua_migogoro_inayojitengenezea_yenyewe </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemsihi mwandishi anayepinga ukoloni, Aimé Césaire, kulaani uozo wa maadili, unafiki na kushindwa kwa nchi za Magharibi kukabiliana na migogoro iliyotokana na vita na udhibiti wao.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:49:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kumalizika enzi za kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu za madola ya Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138412-kumalizika_enzi_za_kutekeleza_kwa_lazima_amri_za_kimabavu_za_madola_ya_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8b0c0d1cc82pef0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138412-kumalizika_enzi_za_kutekeleza_kwa_lazima_amri_za_kimabavu_za_madola_ya_magharibi </guid>  
      <description>Pars Today - Majid Nili Ahmadabadi, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ujerumani amejibu kauli za kansela wa nchi hiyo alizotoa baada ya mazungumzo ya simu na rais wa Marekani Donald Trump, akisema kwa maandishi kwamba: "Enzi ya kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu na za upande mmoja za madola ya Magharibi, zimekwisha.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:09:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian ampongeza Papa Leo, asema Iran bado imejitolea kwa diplomasia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138410-rais_pezeshkian_ampongeza_papa_leo_asema_iran_bado_imejitolea_kwa_diplomasia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc60be126832pe9k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138410-rais_pezeshkian_ampongeza_papa_leo_asema_iran_bado_imejitolea_kwa_diplomasia </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza misimamo ya kimaadili ya Papa Leo XIV kuhusu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, akisisitiza haja ya jamii ya kimataifa kuchukua mwelekeo unaotilia maanani hali halisi na wa haki, na kutoa wito kwa nchi zote duniani kukabiliana na matakwa haramu na sera za kibabe na hatari za Marekani.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:25:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Walioanzisha vita wanabeba dhima ya hali ya sasa ya Hormuz na athari zake mbaya za kiuchumi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138406-iran_walioanzisha_vita_wanabeba_dhima_ya_hali_ya_sasa_ya_hormuz_na_athari_zake_mbaya_za_kiuchumi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5834ecf22d2pebe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138406-iran_walioanzisha_vita_wanabeba_dhima_ya_hali_ya_sasa_ya_hormuz_na_athari_zake_mbaya_za_kiuchumi </guid>  
      <description>Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa mjini New York amesema kuwa walioanzisha vita dhidi ya Iran na washirika wao katika kanda hii wanabeba dhima kamili ya hali ya sasa katika Mlango-Bahari wa Hormuz na athari zake mbaya za kiuchumi duniani. </description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:14:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Qassim: Imamu Khamenei alirejesha Umma kwenye Uislamu halisi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138390-sheikh_qassim_imamu_khamenei_alirejesha_umma_kwenye_uislamu_halisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx14421d729f2pe6w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138390-sheikh_qassim_imamu_khamenei_alirejesha_umma_kwenye_uislamu_halisi </guid>  
      <description>Mwanazuoni mkuu wa Bahrain, Ayatullah Sheikh Isa Qassim amemsifu Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Imam Ali Khamenei, kama "mtu aliyerudisha Umma kwenye Uislamu halisi."</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:53:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Ubadilishanaji wa teknolojia na rasilimali watu ufanyike bila vikwazo kati ya wanachama wa BRICS</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138388-araqchi_ubadilishanaji_wa_teknolojia_na_rasilimali_watu_ufanyike_bila_vikwazo_kati_ya_wanachama_wa_brics</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx54728a76142pe68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138388-araqchi_ubadilishanaji_wa_teknolojia_na_rasilimali_watu_ufanyike_bila_vikwazo_kati_ya_wanachama_wa_brics </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika Mkutano wa Pili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa BRICS kwamba: Ubadilishanaji wa teknolojia na rasilimali watu unapaswa kufanywa bila vikwazo miongoni mwa wanachama wa BRICS.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:45:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awaonya maadui, mkijaribu mtashindwa tena </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138376-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_awaonya_maadui_mkijaribu_mtashindwa_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3825a386802pe28.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138376-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran_awaonya_maadui_mkijaribu_mtashindwa_tena </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amezionya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuanzisha tena hatua mpya za kijeshi dhidi ya Iran, akisema kuwa makabiliano ya awali yalishindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa, na kwamba jaribio lolote la baadaye litakuwa na matokeo yaleyale.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:49:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Maigizo ya Marekani Hormuz yanaweza kusababisha mgogoro mpya wa kifedha duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138374-qalibaf_maigizo_ya_marekani_hormuz_yanaweza_kusababisha_mgogoro_mpya_wa_kifedha_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4998940d382pe2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138374-qalibaf_maigizo_ya_marekani_hormuz_yanaweza_kusababisha_mgogoro_mpya_wa_kifedha_duniani </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge), Mohammad-Baqer Qalibaf, ameonya kuwa juhudi za Marekani za kuendeleza mvutano wa kijeshi karibu na Mlango Bahari wa Hormuz zinaweza kusababisha mgogoro mpya wa kifedha duniani, wakati ambapo deni la taifa la Marekani tayari limefikia kiwango kikubwa cha dola trilioni 39.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:47:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Satelaiti tatu za Iran kurushwa katika anga za mbali karibuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138368-satelaiti_tatu_za_iran_kurushwa_katika_anga_za_mbali_karibuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx298101175d2pe2w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138368-satelaiti_tatu_za_iran_kurushwa_katika_anga_za_mbali_karibuni </guid>  
      <description>Shirika la Anga za Mbali la Iran (ISA) limetangaza kwamba satelaiti tatu zilizotengenezwa ndani ya nchi zimeingia katika hatua ya mwisho ya majaribio, ishara kwamba mpango wa anga wa kiraia wa nchi hii unastawi kwa kasi licha ya mashinikizo kutoka nchi za Magharibi na utawala wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 09:38:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya viwanja vya michezo yafichua uadui kwa heshima ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138364-pezeshkian_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_viwanja_vya_michezo_yafichua_uadui_kwa_heshima_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx76b662a40b2pe0y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138364-pezeshkian_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_viwanja_vya_michezo_yafichua_uadui_kwa_heshima_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa kulengwa kwa viwanja vya michezo na miundombinu ya umma na Marekani pamoja na Israel wakati wa vita vya uchokozi kumefichua uadui wa washambuliaji hao dhidi ya heshima, furaha na fahari ya taifa la Iran. </description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:08:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: UAE ni “mshirika hai” katika uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138362-araghchi_uae_ni_mshirika_hai_katika_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc6c817b2412pe0u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138362-araghchi_uae_ni_mshirika_hai_katika_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameikosoa vikali Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuwa mshirika wa moja kwa moja katika uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran. Ametoa kauli hiyo akijibu madai yasiyo na msingi yaliyotolewa na mwakilishi wa UAE.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:06:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi katika mkutano wa BRICS New Delhi: Ushawishi wa Marekani unapungua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138354-araqchi_katika_mkutano_wa_brics_new_delhi_ushawishi_wa_marekani_unapungua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxeca646c6942pdum.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138354-araqchi_katika_mkutano_wa_brics_new_delhi_ushawishi_wa_marekani_unapungua </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi amesema kuwa wananchi wa Iran "wamesimama kidete na kwa fahari " dhidi ya machafuko ya kutisha, na kamwe hawatasalimu amri mbele ya matakwa ya Marekani nchi ambayo ushawishi wake duniani unazidi kupungua.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 10:31:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya Habari vya Marekani: Iran bado ina uwezo mkubwa wa makombora</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138346-vyombo_vya_habari_vya_marekani_iran_bado_ina_uwezo_mkubwa_wa_makombora</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx819ae6f6092pdsw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138346-vyombo_vya_habari_vya_marekani_iran_bado_ina_uwezo_mkubwa_wa_makombora </guid>  
      <description>Kinyume na madai ya maafisa wa serikali ya Marekani wanaochochea vita, akiwemo Rais Donald Trump, vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti, vikinukuu tathmini za siri, kwamba Iran bado ina uwezo mkubwa wa makombora.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 08:46:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran: Hakuna silaha za Marekani zikazovuka Mlango-Bahari wa Hormuz </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138344-jeshi_la_iran_hakuna_silaha_za_marekani_zikazovuka_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa2939bca2e2pdpa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i138344-jeshi_la_iran_hakuna_silaha_za_marekani_zikazovuka_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran limetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaruhusu tena silaha za Marekani kuvuka Mlango-Bahari wa Hormuz na kuingia katika vituo vya nchi za kanda hii. Limesema kuwa njia hiyo ya kistratejia ya majini sasa iko chini ya udhibiti wa kimkakati wa vikosi vya ulinzi vya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:37:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>