<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - iran</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Sat, 29 Aug 2026 21:00:53 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Brigedia Jenerali Talaei-Nik: Iran inaandaa ‘mambo ya kushangaza’ katika upande wa silaha na mbinu kwa ajili ya vita vya baadaye</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141060-brigedia_jenerali_talaei_nik_iran_inaandaa_mambo_ya_kushangaza’_katika_upande_wa_silaha_na_mbinu_kwa_ajili_ya_vita_vya_baadaye</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc027dbb0a88c2qdgs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141060-brigedia_jenerali_talaei_nik_iran_inaandaa_mambo_ya_kushangaza’_katika_upande_wa_silaha_na_mbinu_kwa_ajili_ya_vita_vya_baadaye </guid>  
      <description>Iran imeandaa silaha, vifaa, teknolojia na mbinu mpya zitakazotumiwa uwanjani iwapo vita vingine vitazuka, huku ikizingatia mkakati wa kumshangaza adui.  Haya yameelezwa na Msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Masuala ya Lojistiki ya Vikosi vya Ulinzi vya Iran. </description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 10:55:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Changamoto Mpya ya Marekani Kuhusu Iran: Kukimbia Vita au Makubaliano?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141050-changamoto_mpya_ya_marekani_kuhusu_iran_kukimbia_vita_au_makubaliano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc075ad229caa2qd8i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141050-changamoto_mpya_ya_marekani_kuhusu_iran_kukimbia_vita_au_makubaliano </guid>  
      <description>Uchambuzi wa mwenendo na kauli za watawala wa Marekani unaonyesha kuwa Washington bado haijafikia uamuzi wa mwisho kuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, huku ikiwa katika hali ya kutojua la kufanya kati ya kuendelea na vita au kufanya mazungumzo.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 07:01:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, vita vipya vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya Iran vitafikia malengo yake?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141048-je_vita_vipya_vya_kiuchumi_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vitafikia_malengo_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc018712c7c612qd80.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141048-je_vita_vipya_vya_kiuchumi_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vitafikia_malengo_yake </guid>  
      <description>Huku vita vinavyoendeshwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran vikiwa vimekwama na kampeni ya kijeshi kushindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa, Washington imebadilisha mkakati wake na kuhamisha mwelekeo wa makabiliano kutoka uwanja wa vita vya kijeshi hadi kwenye uwanja wa kiuchumi.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 06:45:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Mkuu: Utatuzi wa masuala ya kiuchumi uko kwenye uzalishaji wa ndani na kufuta sarafu ya dola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141044-kiongozi_mkuu_utatuzi_wa_masuala_ya_kiuchumi_uko_kwenye_uzalishaji_wa_ndani_na_kufuta_sarafu_ya_dola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a5fb864bc42qd5q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141044-kiongozi_mkuu_utatuzi_wa_masuala_ya_kiuchumi_uko_kwenye_uzalishaji_wa_ndani_na_kufuta_sarafu_ya_dola </guid>  
      <description>Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojataba Khamenei ameipongeza serikali ya Rais Masoud Pezeshkian kwa kushughulikia mahitaji ya wananchi wakati nchi inakabiliwa na vita vya kichokozi vya Marekani na Israel na mzingiro wa baharini wa Marekani na akahimiza kuongezwa uzalishaji wa ndani na kuifuta sarafu ya dola ya Marekani katika miamala ya kifedha.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 04:47:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya taifa la Iran ni uhalifu dhidi ya ubinadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141042-wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani_dhidi_ya_taifa_la_iran_ni_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0da886876cf2qd50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141042-wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani_dhidi_ya_taifa_la_iran_ni_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeonya kwamba kushirikiana na Marekani katika utekelezaji wa vikwazo vya upande mmoja vya nchi hiyo dhidi ya Iran ni kushiriki katika kulazimisha matakwa haramu ya taifa moja kwa mataifa huru na kuvuruga uhusiano wao halali wa kiuchumi na kibiashara, na suala hili lina maana ya kushiriki katika kuharibu kanuni muhimu zaidi ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa, yaani "kuheshimu usawa wa mamlaka ya kujitawala" wa nchi zote.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 02:53:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Adui anataka kuleta mifarakano; kila mmoja alinde umoja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141034-khatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_adui_anataka_kuleta_mifarakano_kila_mmoja_alinde_umoja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0677e158bd92qd2i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141034-khatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_adui_anataka_kuleta_mifarakano_kila_mmoja_alinde_umoja </guid>  
      <description>Khatibu wa muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja katika jamii na kubainisha kwamba, hakuna udhuru wowote unaokubalika wa kuchochea hitilafu na mifarakano.

</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 12:23:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Hali ya Lango Bahari la Hormuz haiwezi kurejea kama ilivyokuwa kabla ya Februari 28</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141032-araghchi_hali_ya_lango_bahari_la_hormuz_haiwezi_kurejea_kama_ilivyokuwa_kabla_ya_februari_28</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0590f40c1a72qd0k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141032-araghchi_hali_ya_lango_bahari_la_hormuz_haiwezi_kurejea_kama_ilivyokuwa_kabla_ya_februari_28 </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa hali ya sasa ya eneo la Mashariki ya Kati na Mlango-Bahari wa Hormuz ni matokeo ya mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 10:02:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian amwambia Waziri Mkuu wa Qatar : Iran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo na vitisho</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141022-pezeshkian_amwambia_waziri_mkuu_wa_qatar_iran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo_na_vitisho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ebc2dedc852qcwa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141022-pezeshkian_amwambia_waziri_mkuu_wa_qatar_iran_haitasalimu_amri_mbele_ya_mashinikizo_na_vitisho </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa haki zote za kisheria za wananchi wa Iran lazima zitambuliwe ndani ya mfumo wa sheria za kimataifa, akisisitiza kuwa Tehran haitafuti chochote zaidi ya haki zake halali na haitasalimu amri mkabala wa mashinikizo au vitisho.</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 03:33:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Iran: Adui atashindwa katika vita kamili vya kiuchumi alivyoanzisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141020-spika_wa_bunge_la_iran_adui_atashindwa_katika_vita_kamili_vya_kiuchumi_alivyoanzisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dbfcd880232qcw8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141020-spika_wa_bunge_la_iran_adui_atashindwa_katika_vita_kamili_vya_kiuchumi_alivyoanzisha </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Nchi iko katika vita kamili ya kiuchumi na tutaona jinsi adui atakavyoshindwa katika vita hivi.</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 03:30:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu waanza mjini Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141012-mkutano_wa_kimataifa_wa_umoja_wa_kiislamu_waanza_mjini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01e190ac6d92qcr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141012-mkutano_wa_kimataifa_wa_umoja_wa_kiislamu_waanza_mjini_tehran </guid>  
      <description>Mkutano wa 40 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza mjini Tehran, ukijikita zaidi kwenye maono ya Kiongozi marehemu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei kuhusu kuimarisha umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 12:04:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yapendekeza 'mkataba wa usalama wa pande zote' miongoni mwa mataifa ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141010-iran_yapendekeza_'mkataba_wa_usalama_wa_pande_zote'_miongoni_mwa_mataifa_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bf8acddd7d2qcr2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141010-iran_yapendekeza_'mkataba_wa_usalama_wa_pande_zote'_miongoni_mwa_mataifa_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amependekeza "mkataba wa usalama wa pande zote na kutokuchokozana" miongoni mwa nchi za Kiislamu ili kulinda usalama wa kikanda, hasa katika kipindi hiki ambapo Marekani na Israel zinaendeleza uchokozi wao katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 12:02:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini vita vya kiuchumi vya Trump dhidi ya Iran vinaiathiri Marekani yenyewe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141000-kwa_nini_vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_vinaiathiri_marekani_yenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ecbb536f122qcl4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i141000-kwa_nini_vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_vinaiathiri_marekani_yenyewe </guid>  
      <description>Mohammad Bagher Ghalibaf, Spika wa Bunge la Iran, amefananisha mpango mpya wa Marekani wa kutoa mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Iran na 'boomerang,' ambacho ni kifaa cha kurushwa ambacho humrudia aliyekirusha, kwa maana kuwa utawadhuru tu waasisi wake wenyewe.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 06:11:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Marekani haitapata chochote kupitia mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140998-pezeshkian_marekani_haitapata_chochote_kupitia_mashinikizo_ya_kiuchumi_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0902fdaced72qcjg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140998-pezeshkian_marekani_haitapata_chochote_kupitia_mashinikizo_ya_kiuchumi_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Marekani haitaweza kufanikisha lolote kupitia mashinikizo ya kiuchumi, akisisitiza kuwa Iran itaendelea kusimama imara.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:33:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yataka UN na nchi wanachama zikatae “ugaidi wa kiuchumi” wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140996-iran_yataka_un_na_nchi_wanachama_zikatae_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc019ed3ece452qcje.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140996-iran_yataka_un_na_nchi_wanachama_zikatae_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wanachama wa umoja huo kukataa kampeni mpya ya Marekani ya ugaidi wa kiuchumi dhidi ya Iran, akisema Washington inalenga kuzilazimisha nchi nyingine kuacha mahusiano halali ya kiuchumi na Tehran kwa kutumia vitisho vya vikwazo.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:32:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran: Iran kupanua kwa mafanikio mifumo ya ulinzi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140994-kamanda_wa_kikosi_cha_ulinzi_wa_anga_cha_jeshi_la_iran_iran_kupanua_kwa_mafanikio_mifumo_ya_ulinzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01f0305da6b2qcj8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140994-kamanda_wa_kikosi_cha_ulinzi_wa_anga_cha_jeshi_la_iran_iran_kupanua_kwa_mafanikio_mifumo_ya_ulinzi </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran amesema kuwa Iran inapiga hatua mbele kwa kutegemea kikamilifu uwezo wake wa ndani, ikipanua mifumo yake ya ulinzi wa anga na kuzalisha nakala za mifumo ile iliyofanya vyema wakati wa vita vya siku 40.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:27:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yafafanua ilivyokubaliana na Oman kuhusu utaratibu wa muda utakaotumika kwenye Mlango-Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140982-iran_yafafanua_ilivyokubaliana_na_oman_kuhusu_utaratibu_wa_muda_utakaotumika_kwenye_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00b78e845202qcca.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140982-iran_yafafanua_ilivyokubaliana_na_oman_kuhusu_utaratibu_wa_muda_utakaotumika_kwenye_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran wa masuala ya sheria na kimataifa ametoa ufafanuzi kuhusu makubaliano ya muda yaliyofikiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Oman kuhusu Mlango-Bahari wa Hormuz, akisisitiza kwamba, kufunguliwa tena kwa njia hiyo ya majini kunategemea kutekelezwa kwa matakwa ya Tehran.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:24:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Kuimarisha mshikamano wa nchi za Kiislamu ni jambo la msingi katika kudumisha utulivu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140968-pezeshkian_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu_ni_jambo_la_msingi_katika_kudumisha_utulivu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f0c7b9d9fc2qc4y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140968-pezeshkian_kuimarisha_mshikamano_wa_nchi_za_kiislamu_ni_jambo_la_msingi_katika_kudumisha_utulivu </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kwamba maadui, wenye tamaa ya utajiri na rasilimali za eneo la Magharibi mwa Asia, wanataka kuibua hitilafu, vita na migogoro ili kunyakua utajiri huo, na njia pekee ya kukabiliana nao ni kudumisha umakini na umoja miongoni mwa mataifa ya Waislamu.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:36:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taasisi ya Royan ya Iran ni miongoni mwa vituo 10 bora duniani vya tiba ya uzazi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140960-taasisi_ya_royan_ya_iran_ni_miongoni_mwa_vituo_10_bora_duniani_vya_tiba_ya_uzazi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e28c21dd9a2qc4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140960-taasisi_ya_royan_ya_iran_ni_miongoni_mwa_vituo_10_bora_duniani_vya_tiba_ya_uzazi </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa takwimu za SCImago; Taasisi ya Royan ya Iran ni miongoni mwa vituo 10 bora duniani katika nyanja ya tiba ya uzazi. Haya yameelezwa na Naibu Mkuu wa taasisi hiyo anayesimamia masuala ya utafiti.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:25:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini sera ya Marekani ya "mashinikizo ya juu zaidi" ni marudio ya mkakati uliofeli?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140950-kwa_nini_sera_ya_marekani_ya_mashinikizo_ya_juu_zaidi_ni_marudio_ya_mkakati_uliofeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc091d0ed6f3c2qbxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140950-kwa_nini_sera_ya_marekani_ya_mashinikizo_ya_juu_zaidi_ni_marudio_ya_mkakati_uliofeli </guid>  
      <description>Richard Nephew, mmoja wa wabunifu wakuu wa mfumo wa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, amekosoa mbinu ya sasa ya Washington, akisema sera ya "kuongeza mashinikizo ya kiuchumi" haina tija wala msingi mzuri wa kimkakati.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:30:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian: Umoja wa kitaifa kinga ya Iran dhidi ya vitisho vya nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140942-rais_pezeshkian_umoja_wa_kitaifa_kinga_ya_iran_dhidi_ya_vitisho_vya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00184a7a3b12qboc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140942-rais_pezeshkian_umoja_wa_kitaifa_kinga_ya_iran_dhidi_ya_vitisho_vya_nje </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kulinda umoja na mshikamano wa kitaifa, akisema kuwa kukabiliana na vitisho vya nje kunahitaji ushirikiano, kuzingatia haki na kushughulikia matatizo ya kiuchumi pamoja na changamoto za maisha zinazowakabili wananchi.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:26:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Jeshi: Wairani wako tayari kupambana kwa vizazi 20 vijavyo, hawatakubali ardhi yao idhuriwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140940-mkuu_wa_jeshi_wairani_wako_tayari_kupambana_kwa_vizazi_20_vijavyo_hawatakubali_ardhi_yao_idhuriwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09c0482a34e2qboa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140940-mkuu_wa_jeshi_wairani_wako_tayari_kupambana_kwa_vizazi_20_vijavyo_hawatakubali_ardhi_yao_idhuriwe </guid>  
      <description>Kamanda mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasema kuwa taifa liko tayari kupambana kwa vizazi vijavyo ili kuzuia maadui na mataifa ya kigeni kubadili sura ya nchi yao, akisisitiza kuwa Wairani hawatakubali ardhi yao ya asili idhuriwe.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:17:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>“Umma wa Mtume” ni Kaulimbiu Kuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140938-umma_wa_mtume_ni_kaulimbiu_kuu_ya_wiki_ya_umoja_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01144c31ca42qbo8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140938-umma_wa_mtume_ni_kaulimbiu_kuu_ya_wiki_ya_umoja_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Katibu wa Makao Makuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu nchini Iran ametangaza kuwa kaulimbiu kuu ya hafla ya mwaka huu ni “Ummah wa Mtume Mtukufu (SAW).”

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:16:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madaktari wa Iran wazindua mbinu mpya ya tiba ya saratani ‘isiyo na kifani duniani kote’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140936-madaktari_wa_iran_wazindua_mbinu_mpya_ya_tiba_ya_saratani_isiyo_na_kifani_duniani_kote’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09585b197432qbo6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140936-madaktari_wa_iran_wazindua_mbinu_mpya_ya_tiba_ya_saratani_isiyo_na_kifani_duniani_kote’ </guid>  
      <description>Madaktari wa Iran wamezindua mbinu mpya ya uchunguzi na tiba ya saratani sugu na zilizosambaa mwilini (metastatic solid cancers), wakiielezea kama mbinu ya kwanza ya aina yake kuvumbuliwa na kutumiwa ulimwenguni.

</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 03:12:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hakuna nchi inayopasa kutuhofia iwapo haiwasaidii wavamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140932-hakuna_nchi_inayopasa_kutuhofia_iwapo_haiwasaidii_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08c95f0041d2qbks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140932-hakuna_nchi_inayopasa_kutuhofia_iwapo_haiwasaidii_wavamizi </guid>  
      <description>Iran imesema kuwa nchi hazipaswi kuwa na wasiwasi wowote kuhusu Jamhuri ya Kiislamu, isipokuwa pale zinapozipatia pande zinazotekeleza vitendo vya uhalifu na uvamizi vituo, miundombinu au zana ili kutekeleza mashambulizi dhidi yake. </description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:51:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran ndiyo nguvu mpya ya kikanda, si Marekani au 'Israel': The Atlantic</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140930-iran_ndiyo_nguvu_mpya_ya_kikanda_si_marekani_au_'israel'_the_atlantic</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fc01ca1fc52qbko.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140930-iran_ndiyo_nguvu_mpya_ya_kikanda_si_marekani_au_'israel'_the_atlantic </guid>  
      <description>Mtaalamu maarufu wa masuala ya kimikakati wa kihafidhina wa Marekani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimekuwa na matokeo kinyume na matarajio, na vimeshindwa kuilazimisha Tehran kusalimu amri, na badala yake vimeimarisha ushawishi wa Iran wa kikanda, vikifichua mipaka ya nguvu za kijeshi za Marekani na kugeuza Lango-Bahari la Hormuz kuwa chanzo kikuu cha ushawishi wa Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:48:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya Kiuchumi vya Trump Dhidi ya Iran: Chombo Ambacho Hakifanyi Kazi Tena</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140922-vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_chombo_ambacho_hakifanyi_kazi_tena</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b07145bf0d2qbfm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140922-vita_vya_kiuchumi_vya_trump_dhidi_ya_iran_chombo_ambacho_hakifanyi_kazi_tena </guid>  
      <description>Katika kujibu vitisho vipya vya Donald Trump dhidi ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, "kung'ang'ania sera zilizofeli kutapelekea tu kushindwa zaidi na kuchochea chuki ya wananchi wa Iran dhidi ya watawala wa Marekani." </description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 10:59:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>PGSA: Iran itazuilia na kutwaa meli zinazokiuka sheria za Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140918-pgsa_iran_itazuilia_na_kutwaa_meli_zinazokiuka_sheria_za_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0739de5746c2qbbe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140918-pgsa_iran_itazuilia_na_kutwaa_meli_zinazokiuka_sheria_za_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Mamlaka ya Lango-Bahari la Ghuba ya Uajemi (PGSA), ambayo ni chombo cha udhibiti cha Iran cha Lango-Bahari la Hormuz, imetangaza kwamba meli zinazokiuka itifaki za Iran za njia hiyo ya majini ya kimkakati zitakabiliwa na vikwazo kwenye njia za baadaye, ikiwa ni pamoja na faini, kuzuiliwa, au kutwaliwa.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:17:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Ulimwengu umeshangazwa na ustahimilivu wa Iran katika vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140908-pezeshkian_ulimwengu_umeshangazwa_na_ustahimilivu_wa_iran_katika_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f16e7842912qb8s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140908-pezeshkian_ulimwengu_umeshangazwa_na_ustahimilivu_wa_iran_katika_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa tathmini ya adui kwamba Iran itasambaratika kutokana na mashinikizo makubwa haikuwa sahihi na kwamba mshikamano na umoja wa taifa hili vimeishangaza dunia.  </description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 14:36:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Usalama: Iran itaendelea kufunga Hormuz hadi Marekani itimize majukumu yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140906-mkuu_wa_usalama_iran_itaendelea_kufunga_hormuz_hadi_marekani_itimize_majukumu_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0095261f8382qb8o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140906-mkuu_wa_usalama_iran_itaendelea_kufunga_hormuz_hadi_marekani_itimize_majukumu_yake </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itafubaza mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani ikiwa ni pamoja na kuzichukulia hatua nchi ambazo zinashiriki katika “vita vya kiuchumi” vya Marekani dhidi ya Iran. </description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 14:26:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kaimu Waziri wa Ulinzi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitasalimu amri kwa kuwekewa mashinikizo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140894-kaimu_waziri_wa_ulinzi_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_katu_haitasalimu_amri_kwa_kuwekewa_mashinikizo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d1dcede3c92qavq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140894-kaimu_waziri_wa_ulinzi_jamhuri_ya_kiislamu_ya_iran_katu_haitasalimu_amri_kwa_kuwekewa_mashinikizo </guid>  
      <description>Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, taifa hili limeishinda kimkakati Marekani na utawala wa Kizayuni kwa kutegemea uwezo wake wa ndani, na akasisitiza kwamba: Jamhuri ya Kiislamu haitasalimu amri katu kwa kuwekewa mashinikizo.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:33:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Safavi: Jina la Iran linapaswa kuwa jinamizi la daima kwa tawala vamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140880-meja_jenerali_safavi_jina_la_iran_linapaswa_kuwa_jinamizi_la_daima_kwa_tawala_vamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0c568df8d452qare.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140880-meja_jenerali_safavi_jina_la_iran_linapaswa_kuwa_jinamizi_la_daima_kwa_tawala_vamizi </guid>  
      <description>Mshauri Mkuu wa Kiongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Meja Jenerali Sayyed Yahya Rahim Safavi, amesema uzoefu wa Iran katika vita na makabiliano yake na Marekani na utawala wa Israel unaonesha umuhimu wa kuimarisha uwezo wa kiulinzi na kujenga nguvu ya kuzuia uchokozi.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:25:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikwazo vipya vya Marekani na kuvitaja kuwa hujuma dhidi ya mamlaka ya nchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140878-iran_yalaani_vikwazo_vipya_vya_marekani_na_kuvitaja_kuwa_hujuma_dhidi_ya_mamlaka_ya_nchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc000f5768bbb2qarc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140878-iran_yalaani_vikwazo_vipya_vya_marekani_na_kuvitaja_kuwa_hujuma_dhidi_ya_mamlaka_ya_nchi </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali vikwazo vipya vya kiuchumi vilivyotangazwa na Marekani, ikisema hatua hiyo ni ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala nchi huru na jaribio la Washington la kujipa mamlaka juu ya mataifa mengine.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:23:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Salehi-Amiri: Afrika Kusini ni lango la Iran kuingia katika soko la utalii barani Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140876-salehi_amiri_afrika_kusini_ni_lango_la_iran_kuingia_katika_soko_la_utalii_barani_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03b762466ae2qara.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140876-salehi_amiri_afrika_kusini_ni_lango_la_iran_kuingia_katika_soko_la_utalii_barani_afrika </guid>  
      <description>Waziri wa Urithi wa Utamaduni, Utalii na Kazi za Mikono wa Iran, Seyyed Reza Salehi-Amiri, amesema Afrika Kusini inaweza kuwa lango la Iran kuingia katika soko la utalii barani Afrika, akisisitiza umuhimu wa kubadilisha mazungumzo ya kisiasa na kidiplomasia kuwa ushirikiano wa kivitendo na wa kiuchumi.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:22:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaendelea kuboresha sekta yake ya ulinzi baada ya vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140868-iran_yaendelea_kuboresha_sekta_yake_ya_ulinzi_baada_ya_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09615188f5d2qah8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140868-iran_yaendelea_kuboresha_sekta_yake_ya_ulinzi_baada_ya_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Iran imesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu inaendelea kuifanya sekta yake ya ulinzi kuwa ya kisasa, ikizingatia mahitaji yaliyojitokeza kutokana na vita vya hivi karibuni vilivyolazimishwa dhidi ya nchi hii na Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:57:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Vikwazo vipya vya Marekani ni ‘ugaidi wa kiuchumi’ na ‘uhalifu dhidi ya ubinadamu’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140856-iran_vikwazo_vipya_vya_marekani_ni_ugaidi_wa_kiuchumi’_na_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a03dfce6dc2qaac.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140856-iran_vikwazo_vipya_vya_marekani_ni_ugaidi_wa_kiuchumi’_na_uhalifu_dhidi_ya_ubinadamu’ </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali mzunguko mpya wa vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Marekani dhidi ya taifa hili, ikisisitiza kuwa hatua hizo ni sawa na “ugaidi wa kiuchumi” na “uhalifu dhidi ya ubinadamu.”</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 10:35:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran:  Qur’ani yahimiza mshikamano wa Umma wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140854-imamu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_qur’ani_yahimiza_mshikamano_wa_umma_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ca7a74b4272qacy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140854-imamu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_qur’ani_yahimiza_mshikamano_wa_umma_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Imamu wa muda wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran, Hujjat al-Islam wal-Muslimin Muhammad-Hassan Abutorabi-Fard, amesema Wiki ya Umoja na sherehe za kukumbuka  kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) hutoa fursa muhimu ya kutafakari ujumbe wa Qur’ani Tukufu kuhusu umoja na mshikamano wa jamii ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 10:33:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: “Ugaidi wa kiuchumi” wa Trump dhidi ya Iran ni mbinu ya kupotosha umma kuhusu matatizo ya uchumi wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140844-araghchi_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_trump_dhidi_ya_iran_ni_mbinu_ya_kupotosha_umma_kuhusu_matatizo_ya_uchumi_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02f1f2c12262qaa2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140844-araghchi_ugaidi_wa_kiuchumi_wa_trump_dhidi_ya_iran_ni_mbinu_ya_kupotosha_umma_kuhusu_matatizo_ya_uchumi_wa_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameionya Marekani kwamba kuendeleza sera “zilizoshindwa” dhidi ya Iran kutasababisha kurudi nyuma zaidi kwa Washington. Kauli hiyo imekuja huku Marekani ikigeukia mashinikizo ya kiuchumi baada ya kukiri kushindwa katika uchokozi wake wa kijeshi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 06:16:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lengo la Marekani ni kupora rasilimali za eneo, Qalibaf amwambia Rais wa Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140842-lengo_la_marekani_ni_kupora_rasilimali_za_eneo_qalibaf_amwambia_rais_wa_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08bcce861b22qaa0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140842-lengo_la_marekani_ni_kupora_rasilimali_za_eneo_qalibaf_amwambia_rais_wa_iraq </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa uwepo wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi unasukumwa na shauku ya kupora rasilimali za eneo hilo.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 06:13:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Vikizuka vita vipya, Iran itatumia silaha zinazosababisha uharibifu mkubwa zaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140834-irgc_vikizuka_vita_vipya_iran_itatumia_silaha_zinazosababisha_uharibifu_mkubwa_zaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b09ae6b9622qa0y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140834-irgc_vikizuka_vita_vipya_iran_itatumia_silaha_zinazosababisha_uharibifu_mkubwa_zaidi </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa, kama vitazuka vita vipya litatumia silaha zinazosababisha uharibifu mkubwa zaidi na za kisasa zaidi kuliko zile zilizotumika katika vita vilivyopita.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 11:53:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Vita vikishtadi, yamkini Iran ikavishambulia vituo vya Marekani barani Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140832-ripoti_vita_vikishtadi_yamkini_iran_ikavishambulia_vituo_vya_marekani_barani_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc080b124feec2qa3u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140832-ripoti_vita_vikishtadi_yamkini_iran_ikavishambulia_vituo_vya_marekani_barani_ulaya </guid>  
      <description>Gazeti la Financial Times limeripoti kuwa Iran inafikiria kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya ikiwa Rais wa Marekani Donald Trump atashadidisha vita, wakati Tehran inazingatia pia machaguo ya kupanua wigo wa mzozo hadi nje ya Mashariki ya Kati. </description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 11:49:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna shambulio la kijeshi dhidi ya Iran lilivyoikatisha tamaa Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140822-namna_shambulio_la_kijeshi_dhidi_ya_iran_lilivyoikatisha_tamaa_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b16776f1732q9zg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140822-namna_shambulio_la_kijeshi_dhidi_ya_iran_lilivyoikatisha_tamaa_ulaya </guid>  
      <description>Vita vinavyoendeshwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran si mgogoro wa kijeshi wa eneo dogo tu katika Asia Magharibi. Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz na kuvurugika kimataifa usambazaji wa nishati kumetikisa uchumi wa dunia nzima, ambapo madhara yake yanaonekana wazi hadi katika kitovu cha Ulaya na Uingereza.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 06:54:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Muqawama wa Iraq ni chanzo kikuu cha nguvu kwa Iran na Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140814-spika_qalibaf_muqawama_wa_iraq_ni_chanzo_kikuu_cha_nguvu_kwa_iran_na_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05e28c46b062q9xs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140814-spika_qalibaf_muqawama_wa_iraq_ni_chanzo_kikuu_cha_nguvu_kwa_iran_na_iraq </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Muqawama wa Kiislamu nchini Iraq umekuwa moja ya nguzo muhimu za nguvu kwa Iran na Iraq, akisisitiza kuwa fikra na harakati za Muqawama zimevuka mipaka ya eneo na kupata uungwaji mkono duniani.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:32:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa majeshi ya Iran azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kuhusu kulisaidia jeshi la Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140800-kamanda_wa_majeshi_ya_iran_azionya_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_kulisaidia_jeshi_la_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08c0bebe0e12q9ri.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140800-kamanda_wa_majeshi_ya_iran_azionya_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_kulisaidia_jeshi_la_marekani </guid>  
      <description>Mkuu wa Majeshi ya Iran amezionya nchi za kusini mwa Ghuba ya Uajemi kuhusu kulisaidia au kuliruhusu jeshi la Marekani kutumia ardhi za nchi hizo katika uchokozi wake dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 11:05:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawatimua wanadiplomasia wawili wa Ufaransa kutokana na mienendo yao haramu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140794-iran_yawatimua_wanadiplomasia_wawili_wa_ufaransa_kutokana_na_mienendo_yao_haramu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fef7ac99e82q9py.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140794-iran_yawatimua_wanadiplomasia_wawili_wa_ufaransa_kutokana_na_mienendo_yao_haramu </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imewatangaza wanadiplomasia wawili wa Ufaransa wanaofanya kazi katika Ubalozi wa Ufaransa mjini Tehran kuwa ni watu wasiostahili kutokana na shughuli zao zinazotambuliwa kuwa kinyume na sheria za kimataifa na Mkataba wa Vienna wa 1961 kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 10:07:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yamtahadharisha Trump kuhusu 'fikra potofu' ya kudai Mlango-Bahari wa Hormuz ni eneo la Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140784-iran_yamtahadharisha_trump_kuhusu_'fikra_potofu'_ya_kudai_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_eneo_la_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01905aed8e02q9i6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140784-iran_yamtahadharisha_trump_kuhusu_'fikra_potofu'_ya_kudai_mlango_bahari_wa_hormuz_ni_eneo_la_marekani </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Masuala ya Kisheria na Kimataifa Kazem Gharibabadi amemkosoa vikali Rais Donald Trump wa Marekani kwa madai yake kuhusu Lango la Bahari la Hormuz, akionya kuwa "fikra yake potofu" ya kuihesabu njia hiyo muhimu ya maji kama "eneo jipya la Marekani" inapasa kurekebishwa, la sivyo Tehran itamweka sawa.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:17:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marasimu ya Arubaini ya kumuenzi Kiongozi shahidi wa Iran na familia yake yafanyika Musalla wa Imam Khomeini, Tehran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140772-marasimu_ya_arubaini_ya_kumuenzi_kiongozi_shahidi_wa_iran_na_familia_yake_yafanyika_musalla_wa_imam_khomeini_tehran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc075d94e4bc02q9he.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140772-marasimu_ya_arubaini_ya_kumuenzi_kiongozi_shahidi_wa_iran_na_familia_yake_yafanyika_musalla_wa_imam_khomeini_tehran </guid>  
      <description>Sambamba na kutimia siku arubaini tangu kufanyika mazishi ya kihistoria ya kiongozi wa Iran aliyeuliwa shahidi, shughuli ya kumbukumbu ya kumuenzi kiongozi huyo shahidi na familia yake imefanyika leo katika eneo la Swala (Mosalla) la Imam Khomeini (RA) mjini Tehran.</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 15:42:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Ustahimilivu, umoja, na matumaini ni nguzo ya Iran kukabiliana na vitisho vya nje</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140770-pezeshkian_ustahimilivu_umoja_na_matumaini_ni_nguzo_ya_iran_kukabiliana_na_vitisho_vya_nje</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00a2c19b1332q994.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140770-pezeshkian_ustahimilivu_umoja_na_matumaini_ni_nguzo_ya_iran_kukabiliana_na_vitisho_vya_nje </guid>  
      <description>Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema vita vya Iraq dhidi ya Iran, vinavyofahamika nchini Iran kama Vita vya Kujihami Kutakatifu, vina somo muhimu ambalo ni ustahimilivu, umoja, na matumaini. </description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:45:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Iran italipiza kisasi damu ya Kiongozi Shahidi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140768-qalibaf_iran_italipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04a200937bc2q97w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140768-qalibaf_iran_italipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ameahidi kwamba Jamhuri ya Kiislamu haitaruhusu damu ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, na mashahidi wengine wa uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya taifa hili “kupotea bila kulipiziwa kisasi.”</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:43:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda: Iran ilitungua ndege zaidi ya 200 za adui katika Uvamizi wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140766-kamanda_iran_ilitungua_ndege_zaidi_ya_200_za_adui_katika_uvamizi_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ade9b0fb0e2q9c6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140766-kamanda_iran_ilitungua_ndege_zaidi_ya_200_za_adui_katika_uvamizi_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Naibu Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilitungua ndege za adui zaidi ya 200, zikiwemo ndege zisizo na rubani (drones) na ndege zenye marubani, wakati wa uvamizi wa hivi karibuni wa Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:41:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani kauli ya waziri wa Israel, Ben-Gvir ya kuhamasisha mauaji dhidi ya Wapalestina, Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140756-iran_yalaani_kauli_ya_waziri_wa_israel_ben_gvir_ya_kuhamasisha_mauaji_dhidi_ya_wapalestina_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b7021754c52q96a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140756-iran_yalaani_kauli_ya_waziri_wa_israel_ben_gvir_ya_kuhamasisha_mauaji_dhidi_ya_wapalestina_gaza </guid>  
      <description>Mwanadiplomasia mwandamizi wa Iran ameeleza ghadhabu yake baada ya waziri mmoja wa itikadi kali wa utawala wa Kizayuni wa Israel kushauri kwamba utawala huo unapaswa kuwaua Wapalestina wa Ukanda wa Gaza kwa misingi ya “kiwango cha mauaji ya kila usiku.”</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 03:29:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Iran haibadili sera zake kwa kushinikizwa na kuainishiwa muda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140746-baghaei_iran_haibadili_sera_zake_kwa_kushinikizwa_na_kuainishiwa_muda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc07382005d542q936.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140746-baghaei_iran_haibadili_sera_zake_kwa_kushinikizwa_na_kuainishiwa_muda </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haibadilishi sera zake kutokana na shinikizo au muda wa mwisho uliowekwa.

</description>
      <pubDate>Mon, 17 Aug 2026 12:37:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Hatami: Ni muhali kwa vituo vya kijeshi vya Marekani kurejea katika hali ya awali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140744-meja_jenerali_hatami_ni_muhali_kwa_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_kurejea_katika_hali_ya_awali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0509f702a9d2q934.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140744-meja_jenerali_hatami_ni_muhali_kwa_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_kurejea_katika_hali_ya_awali </guid>  
      <description>Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran, Meja Jenerali Amir Hatami amesema Marekani haina tena ruhusa wala haki ya kuingia katika Ghuba ya Uajemi, Bahari ya Oman na Mlango Bahari wa Hormuz, akisisitiza kuwa vituo vya kijeshi vya Marekani katu haviwezi kurejea katika hali iliyokuwepo awali.

</description>
      <pubDate>Mon, 17 Aug 2026 12:04:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malaysia: Iran inapaswa kupongezwa kwa kusimama kidete dhidi ya mashambulizi ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140742-malaysia_iran_inapaswa_kupongezwa_kwa_kusimama_kidete_dhidi_ya_mashambulizi_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fe09a2a16a2q928.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140742-malaysia_iran_inapaswa_kupongezwa_kwa_kusimama_kidete_dhidi_ya_mashambulizi_ya_marekani </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim amesema msimamo na azma iliyoonyeshwa na Iran katika kukabiliana na mashambulizi ya kijeshi ya Marekani unastahili pongezi.

</description>
      <pubDate>Mon, 17 Aug 2026 10:39:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa IRGC aonya:  Adui ajiandae na "mshtukizo wa kimkakati" wa mashambulizi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140734-kamanda_wa_irgc_aonya_adui_ajiandae_na_mshtukizo_wa_kimkakati_wa_mashambulizi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03a8595a80c2q8w0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140734-kamanda_wa_irgc_aonya_adui_ajiandae_na_mshtukizo_wa_kimkakati_wa_mashambulizi_ya_iran </guid>  
      <description>Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameonya kwamba, japokuwa hatua za kijeshi za Iran hadi sasa zimebaki kuwa za kujihami tu tangu ulipoanzishwa uadui wa kijeshi dhidi ya taifa hili, lakini vikosi vya jeshi vimejiandaa kikamilifu kuchukua hatua ya kushambulia endapo italazimu, huku akiwaonya maadui kutarajia "mshtukizo wa kimkakati." </description>
      <pubDate>Mon, 17 Aug 2026 06:13:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Majeshi ya Iran yaapa kutorudi nyuma hadi Marekani na Israel zitaposhindwa kikamilifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140722-majeshi_ya_iran_yaapa_kutorudi_nyuma_hadi_marekani_na_israel_zitaposhindwa_kikamilifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b16c4337f22q8na.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140722-majeshi_ya_iran_yaapa_kutorudi_nyuma_hadi_marekani_na_israel_zitaposhindwa_kikamilifu </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeapa kutorudi nyuma hata kidogo hadi pale haki za kisheria za nchi zitakapopatikana kikamilifu na wavamizi, yaani Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, watakapokabiliwa na kipigo cha kukomesha katika eneo hili.</description>
      <pubDate>Sun, 16 Aug 2026 12:50:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani jinai za utawala wa Kizayuni nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140720-iran_yalaani_jinai_za_utawala_wa_kizayuni_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc068d4c5b89a2q8p2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140720-iran_yalaani_jinai_za_utawala_wa_kizayuni_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamuy a Iran imelaani vikali uhalifu na jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni nchini Lebanon, ikisisitiza kupinga mashambulizi na ukiukaji wa haki dhidi ya taifa hilo.

</description>
      <pubDate>Sun, 16 Aug 2026 11:49:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muirani anyongwa kwa kuwagonga polisi wakati wa ghasia zilizofadhiliwa na wageni </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140714-muirani_anyongwa_kwa_kuwagonga_polisi_wakati_wa_ghasia_zilizofadhiliwa_na_wageni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc058efe69e312q8m0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140714-muirani_anyongwa_kwa_kuwagonga_polisi_wakati_wa_ghasia_zilizofadhiliwa_na_wageni </guid>  
      <description>Mwanamume aliyehukumiwa kwa kuwagonga na kuwajeruhi maafisa kadhaa wa polisi wakati wa ghasia zilizoungwa mkono na kufadhiliwa na wageni kote Iran mwezi Januari, ameuawa.</description>
      <pubDate>Sun, 16 Aug 2026 09:19:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Idara ya Mahakama amwambia Trump: Iran ndiyo mmiliki na mtawala wa Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140712-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_amwambia_trump_iran_ndiyo_mmiliki_na_mtawala_wa_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0331623d7592q8fg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140712-mkuu_wa_idara_ya_mahakama_amwambia_trump_iran_ndiyo_mmiliki_na_mtawala_wa_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholam-Hossein Mohseni-Eje’i, amezitaja kauli za hivi karibuni za Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu umiliki wa Lango Bahari la Hormuz kuwa ni "upuuzi," akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ndiyo mmiliki na mtawala halisi wa lango hilo. </description>
      <pubDate>Sun, 16 Aug 2026 05:58:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Nilisitisha mazungumzo baada ya shambulio la Israel dhidi ya Dahiyeh huko Beirut</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140694-qalibaf_nilisitisha_mazungumzo_baada_ya_shambulio_la_israel_dhidi_ya_dahiyeh_huko_beirut</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09f63587b852q8f8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140694-qalibaf_nilisitisha_mazungumzo_baada_ya_shambulio_la_israel_dhidi_ya_dahiyeh_huko_beirut </guid>  
      <description>Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa alisitisha mazungumzo kufuatia shambulio la Israel dhidi ya eneo la Dahiyeh mjini Beirut nchini Lebanon, na kusema kuwa Iran itaushambulia utawala huo haraka iwezekanavyo.</description>
      <pubDate>Sun, 16 Aug 2026 03:07:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa IRGC: Iran imelipigisha magoti jeshi lenye silaha nyingi zaidi duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140690-mkuu_wa_irgc_iran_imelipigisha_magoti_jeshi_lenye_silaha_nyingi_zaidi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0133fe7e8e92q88k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140690-mkuu_wa_irgc_iran_imelipigisha_magoti_jeshi_lenye_silaha_nyingi_zaidi_duniani </guid>  
      <description>Mkuu wa Jeshi la Walinzi mwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema kuwa, Iran imefanikiwa “kulipigisha magoti jeshi lenye silaha nyingi zaidi katika historia ya dunia”, kupitia operesheni za mashambulizi na ulinzi zilizotekelezwa kwa mafanikio licha ya mashambulizi makali ya adui.

</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 11:01:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araghchi: Bado Hatujachukua uamuzi wowote wa kuanzisha upya mazungumzo na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140688-araghchi_bado_hatujachukua_uamuzi_wowote_wa_kuanzisha_upya_mazungumzo_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a9a6a1371a2q88a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140688-araghchi_bado_hatujachukua_uamuzi_wowote_wa_kuanzisha_upya_mazungumzo_na_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, Tehran bado haijachukua uamuzi wowote wa kuanza tena mazungumzo na upande wa Marekani.

</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 11:00:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaitaka Ufaransa kutoa maelezo kuhusu mienendo “haramu” ya wanadiplomasia wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140686-iran_yaitaka_ufaransa_kutoa_maelezo_kuhusu_mienendo_haramu_ya_wanadiplomasia_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08823013a862q88i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140686-iran_yaitaka_ufaransa_kutoa_maelezo_kuhusu_mienendo_haramu_ya_wanadiplomasia_wake </guid>  
      <description>Wizara ya Usalama wa Taifa ya Iran imeionya Ufaransa dhidi ya kuingilia mambo ya ndani ya taifa hili, ikisema kuwa Paris inapaswa kutoa maelezo kuhusu mienendo na shughuli haramu za wanadiplomasia wake.

</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 10:58:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matokeo ya Kuendelea Vita: Marekani Iliyodhoofika na Iran Iliyoimarika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140680-matokeo_ya_kuendelea_vita_marekani_iliyodhoofika_na_iran_iliyoimarika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0686f5906ae2q7nw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140680-matokeo_ya_kuendelea_vita_marekani_iliyodhoofika_na_iran_iliyoimarika </guid>  
      <description>Seneta mmoja wa Marekani amekiri kuwa kuendelea vita kati ya Marekani na Iran kutapelekea Marekani kudhoofika na Iran kuimarika zaidi.</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 05:49:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonyesha mabaki ya ndege za kivita za Marekani na Israel ilizozitungua +Video</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140678-iran_yaonyesha_mabaki_ya_ndege_za_kivita_za_marekani_na_israel_ilizozitungua_video</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03f6edf67732q7z4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140678-iran_yaonyesha_mabaki_ya_ndege_za_kivita_za_marekani_na_israel_ilizozitungua_video </guid>  
      <description>Iran imeonyesha sehemu za vifaa vilivyopatikana kutoka ndege za kivita zisizo na rubani (droni) za Marekani na Israel, pamoja na ndege ya kivita ya F-15 ambazo zilitunguliwa kwa mifumo ya ulinzi ya Iran wakati wa vita. Mifumo ya ulinzi iliyotumika kutungua ndege hizo za adui imeundwa hapa nchini.</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 03:58:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Khatami: Uwezo wa makombora wa Iran umeidhalilisha Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140668-ayatullah_khatami_uwezo_wa_makombora_wa_iran_umeidhalilisha_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03532a54cb02q7uo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140668-ayatullah_khatami_uwezo_wa_makombora_wa_iran_umeidhalilisha_marekani </guid>  
      <description>Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Marekani ilitaka kuangamiza uwezo wa makombora wa Iran, lakini ilishindwa na kuufeli katika mpango wake huo.

</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 10:12:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tehran: Taarifa ya Ufaransa na washirika wake wa Magharibi dhidi ya Iran ni propaganda za kinafiki za kupotosha ukweli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140666-tehran_taarifa_ya_ufaransa_na_washirika_wake_wa_magharibi_dhidi_ya_iran_ni_propaganda_za_kinafiki_za_kupotosha_ukweli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc027e1dc40ac2q7um.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140666-tehran_taarifa_ya_ufaransa_na_washirika_wake_wa_magharibi_dhidi_ya_iran_ni_propaganda_za_kinafiki_za_kupotosha_ukweli </guid>  
      <description>Kaimu Mkuu wa Idara ya Haki za Binadamu ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani hatua ya Ufaransa na baadhi ya nchi za Magharibi ya kutoa taarifa ya pamoja dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kisingizio cha masuala ya haki za binadamu na kusema kuwa hatua hiyo ni mfano wa wazi wa unafiki wa kupotosha uukweli wa mambo.

</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 10:11:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Hakuna chombo kinachoweza kupita salama Hormuz bila idhini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140658-iran_hakuna_chombo_kinachoweza_kupita_salama_hormuz_bila_idhini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08246c2a1352q7q8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140658-iran_hakuna_chombo_kinachoweza_kupita_salama_hormuz_bila_idhini </guid>  
      <description>Msemaji wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ijulikanayo kama Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya amekanusha madai ya Marekani kwamba meli zinaendelea kupita kwa hali ya kawaida katika Lango Bahari la Hormuz, akisema hakuna chombo kinachoweza kuvuka kwa usalama njia hiyo ya kimkakati bila idhini na uangalizi wa Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 03:32:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Kimya mbele ya mabavu huvunja imani ya watu kwa utawala wa sheria kimataifa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140652-baghaei_kimya_mbele_ya_mabavu_huvunja_imani_ya_watu_kwa_utawala_wa_sheria_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0616ae4d4552q3cy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140652-baghaei_kimya_mbele_ya_mabavu_huvunja_imani_ya_watu_kwa_utawala_wa_sheria_kimataifa </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema kwamba pale ambapo sheria inashindwa kuchukua hatua mbele ya nguvu na mabavu, imani ya jamii ya kimataifa katika uwezekano wa kuwepo utawala wa sheria katika mahusiano ya kimataifa hudhoofika.</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 03:07:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>‘Unafiki’: Iran yashutumu Ufaransa kwa kuhubiri haki huku ikiunga mkono uhalifu wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140648-unafiki’_iran_yashutumu_ufaransa_kwa_kuhubiri_haki_huku_ikiunga_mkono_uhalifu_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc031cf553a782q7m4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140648-unafiki’_iran_yashutumu_ufaransa_kwa_kuhubiri_haki_huku_ikiunga_mkono_uhalifu_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amelaani vikali Ufaransa na mataifa mengine kwa kujifanya mawakili wa haki za binadamu na sheria za kimataifa, wakati wakihalalisha na kuunga mkono uhalifu wa kivita unaofanywa na Israel na Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 13 Aug 2026 10:43:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yasisitiza Lango la Hormuz halifunguliwi mpaka masharti yake yatimizwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140646-iran_yasisitiza_lango_la_hormuz_halifunguliwi_mpaka_masharti_yake_yatimizwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08a606a3f6d2q7jk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140646-iran_yasisitiza_lango_la_hormuz_halifunguliwi_mpaka_masharti_yake_yatimizwe </guid>  
      <description>Mamlaka ya Iran inayosimamia Lango Bahari la Hormuz katika Ghuba ya Uajemi imekanusha vikali madai ya maafisa wa Marekani kuhusu kufunguliwa tena kwa njia hiyo ya kimkakati ya baharini.</description>
      <pubDate>Thu, 13 Aug 2026 10:41:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iran amwambia Waziri Mkuu wa Japan: Iran haijawahi kukiuka sheria za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140636-rais_wa_iran_amwambia_waziri_mkuu_wa_japan_iran_haijawahi_kukiuka_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc07f306d3ff82q7io.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140636-rais_wa_iran_amwambia_waziri_mkuu_wa_japan_iran_haijawahi_kukiuka_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran haijawahi kukiuka sheria za kimataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 13 Aug 2026 04:42:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali: Jaribio lolote la uvamizi wa nchi kavu dhidi ya Iran litasambaratishwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140634-jenerali_jaribio_lolote_la_uvamizi_wa_nchi_kavu_dhidi_ya_iran_litasambaratishwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc030827ba8fe2q7im.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140634-jenerali_jaribio_lolote_la_uvamizi_wa_nchi_kavu_dhidi_ya_iran_litasambaratishwa </guid>  
      <description>Naibu wa Mambo ya Kiutendaji katika Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa utayari wa kijeshi na uwezo wa kimkakati wa jeshi hilo vimelazimisha Marekani kurekebisha malengo yake ya kisiasa mara kwa mara, akionya kuwa jaribio lolote la uvamizi wa nchi kavu dhidi ya Iran litasambaratishwa.</description>
      <pubDate>Thu, 13 Aug 2026 04:39:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rezaei: Mlango-Bahari wa Hormuz utafunguliwa ikiwa tu US itayakubali masharti ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140622-rezaei_mlango_bahari_wa_hormuz_utafunguliwa_ikiwa_tu_us_itayakubali_masharti_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02f82eff8142q7fg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140622-rezaei_mlango_bahari_wa_hormuz_utafunguliwa_ikiwa_tu_us_itayakubali_masharti_ya_iran </guid>  
      <description>Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema, kufunguliwa tena kikamilifu Mlango-Bahari wa Hormuz katika Ghuba ya Uajemi, ambao umewekewa vizuizi vya uvukaji na Iran tangu mwanzoni mwa mwezi Machi kutokana na uchokozi wa kijeshi wa Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel kutafanyika pale tu Marekani itakapoyakubali masharti ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 12:37:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu na Umuhimu wa Makubaliano ya Makka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140610-sababu_na_umuhimu_wa_makubaliano_ya_makka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02b3136fd5c2q794.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140610-sababu_na_umuhimu_wa_makubaliano_ya_makka </guid>  
      <description>Siku ya Ijumaa, Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan zilitia saini "Makubaliano ya Makka ya Ulinzi wa Pamoja".</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 06:51:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf awapongeza makamanda wa ngazi ya juu kwa uteuzi wao katika majeshi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140592-qalibaf_awapongeza_makamanda_wa_ngazi_ya_juu_kwa_uteuzi_wao_katika_majeshi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0908b40b60d2q6yk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140592-qalibaf_awapongeza_makamanda_wa_ngazi_ya_juu_kwa_uteuzi_wao_katika_majeshi_ya_iran </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amewapongeza makamanda na maafisa kadhaa wa ngazi ya juu wa jeshi walioteuliwa kushika nyadhifa muhimu za kijeshi.</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 11:29:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Iran ilifanikiwa katika nyanja zote mbili, yaani vita na diplomasia dhidi ya uchokozi wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140590-araqchi_iran_ilifanikiwa_katika_nyanja_zote_mbili_yaani_vita_na_diplomasia_dhidi_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc082069fd4222q6yg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140590-araqchi_iran_ilifanikiwa_katika_nyanja_zote_mbili_yaani_vita_na_diplomasia_dhidi_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi ameeleza kuwa Tehran imepata ushindi katika nyanja zote mbili za kijeshi na kidiplomasia katika uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani na Israel katika vita vya siku 12 na kusisitiza kuwa muqawama wa Iran uliwalazimisha maadui kuomba kufanya mazungumzo.</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 11:27:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini ushawishi wa Kizayuni nchini Marekani hauna tena taathira kama zamani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140578-kwa_nini_ushawishi_wa_kizayuni_nchini_marekani_hauna_tena_taathira_kama_zamani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc043334c99bd2q6tc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140578-kwa_nini_ushawishi_wa_kizayuni_nchini_marekani_hauna_tena_taathira_kama_zamani </guid>  
      <description>Ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa mchujo wa Chama cha Democratic jimboni Michigan umeashiria kushindwa wazi kwa mara ya kwanza kwa fikra inayosema kwamba pesa, ushawishi na kampeni hasi huamua matokeo ya kisiasa ya moja kwa moja nchini Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 07:03:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu ateua makamanda wapya katika nyadhifa mbalimbali za jeshi la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140576-kiongozi_muadhamu_ateua_makamanda_wapya_katika_nyadhifa_mbalimbali_za_jeshi_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03d55e463a62q6q4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140576-kiongozi_muadhamu_ateua_makamanda_wapya_katika_nyadhifa_mbalimbali_za_jeshi_la_iran </guid>  
      <description>Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amefanya uteuzi mpya katika baadhi ya nyadhifa za juu za kijeshi nchini, huku akimteua Brigedia Jenerali Ahmad Vahidi kuwa Kamanda mpya wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).

</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 03:26:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mkataba wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan unaonyesha kuongezeka hali ya kutoaminika ahadi za usalama za Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140574-iran_mkataba_wa_saudi_arabia_uturuki_na_pakistan_unaonyesha_kuongezeka_hali_ya_kutoaminika_ahadi_za_usalama_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc030635536b62q6q2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140574-iran_mkataba_wa_saudi_arabia_uturuki_na_pakistan_unaonyesha_kuongezeka_hali_ya_kutoaminika_ahadi_za_usalama_za_marekani </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran anasema makubaliano ya ulinzi yaliyosainiwa hivi karibuni kati ya Saudi Arabia, Pakistani na Uturuki yanaonyesha mtazamo wa mataifa ya kikanda kuhusu "udanganyifu" wa Marekani linapokuja suala la usalama.

</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 03:24:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jarida la Wall Street: Vita na Iran vimefichua udhaifu wa jeshi la Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140570-jarida_la_wall_street_vita_na_iran_vimefichua_udhaifu_wa_jeshi_la_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ca233969b32q6q0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140570-jarida_la_wall_street_vita_na_iran_vimefichua_udhaifu_wa_jeshi_la_marekani </guid>  
      <description>Jarida la The Wall Street Journal, katika uchambuzi, limeeleza wasiwasi wake kuhusu kufichuka mapungufu na udhaifu wa jeshi la Marekani katika vita na Iran.

</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 03:04:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa kikanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140564-baghaei_utawala_wa_kizayuni_wa_israel_ni_tishio_kubwa_zaidi_kwa_usalama_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04017391d782q6jm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140564-baghaei_utawala_wa_kizayuni_wa_israel_ni_tishio_kubwa_zaidi_kwa_usalama_wa_kikanda </guid>  
      <description>Esmaeil Baghaei msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kubwa zaidi kwa utulivu, usalama na ushirikiano miongoni mwa nchi za eneo la Asia Magharibi.

</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 11:55:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Vita vimeifanya Iran kuwa imara zaidi, Marekani imedhoofika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140562-seneta_wa_marekani_vita_vimeifanya_iran_kuwa_imara_zaidi_marekani_imedhoofika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dd494918f22q6j6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140562-seneta_wa_marekani_vita_vimeifanya_iran_kuwa_imara_zaidi_marekani_imedhoofika </guid>  
      <description>Seneta mmoja wa Marekani, amekiri wazi kushindwa serikali ya Donald Trump katika vita dhidi ya Iran, na kubainisha kwamba, vita hivyo vimesababisha Marekani kudhoofika na Iran kuwa na nguvu zaidi.

</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 11:37:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ufichuzi kuhusu kisingizio bandia kilichotumiwa na Trump kuishambulia Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140554-ufichuzi_kuhusu_kisingizio_bandia_kilichotumiwa_na_trump_kuishambulia_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01d7f2e939d2q5to.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140554-ufichuzi_kuhusu_kisingizio_bandia_kilichotumiwa_na_trump_kuishambulia_iran </guid>  
      <description>Joe Kent, afisa wa zamani katika utawala wa Trump, amekiri kuwa madai kuhusu Iran kutengeneza silaha za nyuklia ni mbinu ya kipropaganda tu iliyotumika kwa ajili ya kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 04:58:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian akutana na Kiongozi Muadhamu anapoanza mwaka wake wa tatu madarakani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140550-rais_pezeshkian_akutana_na_kiongozi_muadhamu_anapoanza_mwaka_wake_wa_tatu_madarakani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0c2158b2cfe2q69o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140550-rais_pezeshkian_akutana_na_kiongozi_muadhamu_anapoanza_mwaka_wake_wa_tatu_madarakani </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amekutana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ikiwa ni mwanzo wa mwaka wake wa tatu tangu aingie madarakani.</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 03:22:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yazindua teknolojia ya virusi vya kuangamiza saratani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140548-iran_yazindua_teknolojia_ya_virusi_vya_kuangamiza_saratani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05a35ce83312q69m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140548-iran_yazindua_teknolojia_ya_virusi_vya_kuangamiza_saratani </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua teknolojia ya kiasili kwa ajili ya kubuni, uhandisi wa kijeni, uzalishaji wa virusi vya oncolytic vinavyoua seli za saratani. </description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 03:20:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Mazungumzo na Oman kuhusu Lango-Bahari la Hormuz yako katika hatua za mwisho</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140540-araqchi_mazungumzo_na_oman_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz_yako_katika_hatua_za_mwisho</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08e1c84846e2q63w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140540-araqchi_mazungumzo_na_oman_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz_yako_katika_hatua_za_mwisho </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema leo kwamba mazungumzo na Oman kuhusu Lango Bahari la Hormuz yako katika hatua za mwisho na kuongeza: "Bila shaka, hii haina maana kwamba Lango la Hormuz litafunguliwa. Ufunguzi wa Lango la Hormuz unategemea masharti mengine."</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 11:11:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zolqadr: Lango-Bahari la Hormuz litaendelea kufungwa hadi pale Marekani itakapobadilisha tabia yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140530-zolqadr_lango_bahari_la_hormuz_litaendelea_kufungwa_hadi_pale_marekani_itakapobadilisha_tabia_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0950feea2e92q5yi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140530-zolqadr_lango_bahari_la_hormuz_litaendelea_kufungwa_hadi_pale_marekani_itakapobadilisha_tabia_yake </guid>  
      <description>Afisa wa ngazi ya juu wa usalama wa Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa nchi hiyo haitalegeza vikwazo vya usafirishaji kupitia Lango Bahari la Hormuz hadi pale Marekani itakapobadilisha mwenendo wake mbele ya Tehran. </description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 09:57:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump amekwama katika "fedheha ya kimkakati" katika vita dhidi ya Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140526-kwa_nini_trump_amekwama_katika_fedheha_ya_kimkakati_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ddfa94c6eb2q5gc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140526-kwa_nini_trump_amekwama_katika_fedheha_ya_kimkakati_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Financial Times, huku likinukuu wachambuzi mashuhuri, linaripoti kuwa Trump amekwama katika "fedheha ya kimkakati" kuhusiana na vita dhidi ya Iran na kwamba hawezi kujiondoa katika hali hiyo bila kulipa gharama za kisiasa nchini kwake.</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 05:48:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi Mkuu Iran asema vikosi vya Marekani lazima viondoke Asia Magharibi, ahimiza ushirikiano wa kikanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140524-mshauri_wa_kiongozi_mkuu_iran_asema_vikosi_vya_marekani_lazima_viondoke_asia_magharibi_ahimiza_ushirikiano_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fa898d1ee92q5wq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140524-mshauri_wa_kiongozi_mkuu_iran_asema_vikosi_vya_marekani_lazima_viondoke_asia_magharibi_ahimiza_ushirikiano_wa_kikanda </guid>  
      <description>Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ali Akbar Velayati, amesema vikosi vya majeshi ya kigeni lazima viondoke Asia Magharibi, akitaja uwepo wao wa kama chanzo kikuu cha ukosefu wa usalama na utulivu katika eneo hilo.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:19:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian akumbuka mashambulizi ya mabomu ya atomiki huko Hiroshima na Nagasaki, asema mtazamo uleule bado unatawala Washington</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140512-pezeshkian_akumbuka_mashambulizi_ya_mabomu_ya_atomiki_huko_hiroshima_na_nagasaki_asema_mtazamo_uleule_bado_unatawala_washington</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05c1ec58b5b2q5rs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140512-pezeshkian_akumbuka_mashambulizi_ya_mabomu_ya_atomiki_huko_hiroshima_na_nagasaki_asema_mtazamo_uleule_bado_unatawala_washington </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amelaani mashambulizi ya mabomu ya nyuklia yaliyofanywa na Marekani dhidi ya miji ya Hiroshima na Nagasaki huko Japan na kueleza kuwa mtazamo fikra zilizopelekea kufanyika mashambulizi hayo bado zipo Washington hii leo.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 13:02:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maafisa wa ngazi ya juu wa Iran wapongeza nafasi ya waandishi wa habari katika kuhami ukweli na umoja wa kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140510-maafisa_wa_ngazi_ya_juu_wa_iran_wapongeza_nafasi_ya_waandishi_wa_habari_katika_kuhami_ukweli_na_umoja_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0efdb6861f52q5rq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140510-maafisa_wa_ngazi_ya_juu_wa_iran_wapongeza_nafasi_ya_waandishi_wa_habari_katika_kuhami_ukweli_na_umoja_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Maafisa wa Iran wamewasifu na kuwapongeza waandishi wa habari kutokana na mchango wao wa kukabiliana na taarifa potofu za uhasama na vita vya kisaikolojia, na kusisitiza umuhimu wa vyombo vya habari katika kulinda uelewa wa umma na umoja wa kitaifa.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:59:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tabia za Marekani Kudumisha Mvutano katika uhusiano wake na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140502-tabia_za_marekani_kudumisha_mvutano_katika_uhusiano_wake_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc035f31048cd2q5ge.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140502-tabia_za_marekani_kudumisha_mvutano_katika_uhusiano_wake_na_iran </guid>  
      <description>Mwenendo wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unachochea kuendelea kwa mvutano na uhasama katika uhusiano wa Washington na Tehran.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 06:33:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yayaasa mataifa ya Kiislamu: Ni wakati sasa wa sisi kujitegemea, kuwa na udugu wa kweli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140498-iran_yayaasa_mataifa_ya_kiislamu_ni_wakati_sasa_wa_sisi_kujitegemea_kuwa_na_udugu_wa_kweli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fd4f9ad9bc2q5ik.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140498-iran_yayaasa_mataifa_ya_kiislamu_ni_wakati_sasa_wa_sisi_kujitegemea_kuwa_na_udugu_wa_kweli </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito wa kuwepo muunganiko na ushirikiano mkubwa wa kikanda, ikitilia mkazo udharura wa mataifa ya eneo kutegemea uwezo wao wa kikanda ili kuondoa uingiliaji wa kigeni.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 03:26:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf: Mkakati wa Marekani wa vitisho na kuvunja ahadi umefeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140476-spika_qalibaf_mkakati_wa_marekani_wa_vitisho_na_kuvunja_ahadi_umefeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8abcbb876c2pdb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140476-spika_qalibaf_mkakati_wa_marekani_wa_vitisho_na_kuvunja_ahadi_umefeli </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, amekosoa miamala ya hivi karibuni ya Washington kama “diplomasia ya maigizo” isiyo na mashiko, akitangaza kuwa mkakati wa Marekani wa vitisho, kuvunja ahadi, na kusuka simulizi za uongo umefeli. Aidha amesisitiza  kwamba Iran haitashiriki katika michezo hiyo ya kuigiza tena.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:39:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Ulinzi: Vikosi vya Iran vimesheheni silaha za kujibu mapigo kwa tishio lolote lile</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140474-waziri_wa_ulinzi_vikosi_vya_iran_vimesheheni_silaha_za_kujibu_mapigo_kwa_tishio_lolote_lile</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02eb5839f2e2q58k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140474-waziri_wa_ulinzi_vikosi_vya_iran_vimesheheni_silaha_za_kujibu_mapigo_kwa_tishio_lolote_lile </guid>  
      <description>Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesisitiza kuwa, kwa kutegemea utaalamu wa kiulinzi wa ndani ya nchi, Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vimesheheni kila vinachohitaji ili kutoa jibu kwa tishio lolote lile.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:37:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran inajulikana kama nchi yenye nguvu na inayoheshimika; maadui wanalenga nembo za nguvu zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140466-pezeshkian_iran_inajulikana_kama_nchi_yenye_nguvu_na_inayoheshimika_maadui_wanalenga_nembo_za_nguvu_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b497b543802q52i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140466-pezeshkian_iran_inajulikana_kama_nchi_yenye_nguvu_na_inayoheshimika_maadui_wanalenga_nembo_za_nguvu_zake </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa licha ya changamoto zinazoikabili nchi, Iran inatambulika kimataifa kama taifa lenye nguvu na linaloheshimika sana, huku akitahadharisha kuwa maadui wa taifa hili wanajaribu kudhoofisha alama za nguvu zake.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:10:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Watu 8 wenye silaha wenye mfungamano na makundi ya kigaidi watiwa nguvuni kusini-mashariki mwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140464-irgc_watu_8_wenye_silaha_wenye_mfungamano_na_makundi_ya_kigaidi_watiwa_nguvuni_kusini_mashariki_mwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc07c8408c96d2q52g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140464-irgc_watu_8_wenye_silaha_wenye_mfungamano_na_makundi_ya_kigaidi_watiwa_nguvuni_kusini_mashariki_mwa_iran </guid>  
      <description>Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa kimewatia nguvuni watu wanane wenye silaha wenye mfungamano na makundi ya kigaidi katika mkoa wa Sistan na Baluchestan kusini-mashariki mwa Iran kufuatia oparesheni maalum mtawalia. </description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:08:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgawanyiko kati ya Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Kuhusu Vita vya Marekani dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140454-mgawanyiko_kati_ya_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d0dfe776312q4we.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140454-mgawanyiko_kati_ya_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa gazeti la The Wall Street Journal, nchi za Kiarabu katika eneo la Ghuba ya Uajemi bado zimegawanyika pakubwa kuhusu namna ya kushughulikia vita vya kichokozi na kulazimishwa dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 05:51:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Iran itaunga mkono maamuzi yatakayochukuliwa na viongozi wa Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140450-pezeshkian_iran_itaunga_mkono_maamuzi_yatakayochukuliwa_na_viongozi_wa_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0def773e4b22q4v2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140450-pezeshkian_iran_itaunga_mkono_maamuzi_yatakayochukuliwa_na_viongozi_wa_palestina </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itaunga mkono mpango au uamuzi wowote utakaopitishwa na viongozi wa Palestina katika mchakato wa mazungumzo yanayoendelea, akithibitisha tena uungaji mkono thabiti wa Tehran kwa mapambano ya Palestina.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 03:55:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Afya wa Iran alaani shambulio la Marekani dhidi ya uwanja wa michezo wa Lamerd Februari mwaka huu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140440-waziri_wa_afya_wa_iran_alaani_shambulio_la_marekani_dhidi_ya_uwanja_wa_michezo_wa_lamerd_februari_mwaka_huu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0bdc85c49942q4p4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140440-waziri_wa_afya_wa_iran_alaani_shambulio_la_marekani_dhidi_ya_uwanja_wa_michezo_wa_lamerd_februari_mwaka_huu </guid>  
      <description>Waziri wa Afya wa Iran kwa mara nyingine tena amelaani shambulio lililofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya uwanja wa michezo katika mji wa Lamerd mwanzoni mwa mashambulizi ya nchii hiyo na utawala katili wa Israel mwezi Februari mwaka huu hapa nchini lililosababisha vifo kuwajeruhi raia kadhaa.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:20:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gharama Halisi ya Vita vya Marekani dhidi ya Iran: Mara Nne ya Makadirio ya Pentagon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140430-gharama_halisi_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_mara_nne_ya_makadirio_ya_pentagon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc004568ea21d2q42k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140430-gharama_halisi_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_mara_nne_ya_makadirio_ya_pentagon </guid>  
      <description>Gazeti la Uingereza la The Telegraph limefichua kuwa gharama halisi ya vita vya Marekani dhidi ya Iran ni mara nne zaidi ya kiasi kilichotajwa na Pentagon.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 06:44:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni ya Wairani washiriki Arubaini ya Imam Hussein, watoa wito wa kulipiza kisasi damu ya Kiongozi aliyeuawa shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140416-mamilioni_ya_wairani_washiriki_arubaini_ya_imam_hussein_watoa_wito_wa_kulipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01687d5807a2q4ay.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140416-mamilioni_ya_wairani_washiriki_arubaini_ya_imam_hussein_watoa_wito_wa_kulipiza_kisasi_damu_ya_kiongozi_aliyeuawa_shahidi </guid>  
      <description>Mamilioni ya Wairani wamekusanyika kote nchini kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein bin Ali (AS), ambayo inaashiria siku ya 40 baada ya kuuawa shahidi mjukuu huyo wa Mtume wetu Muhammad (SAW) huko Karbala nchini Iraq mwaka 61 Hijria.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 14:54:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Arubaini ya Imam Hussein ni onyesho kubwa la umoja wa kitaifa kati ya Iran na Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140414-araqchi_arubaini_ya_imam_hussein_ni_onyesho_kubwa_la_umoja_wa_kitaifa_kati_ya_iran_na_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0511644596e2q480.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140414-araqchi_arubaini_ya_imam_hussein_ni_onyesho_kubwa_la_umoja_wa_kitaifa_kati_ya_iran_na_iraq </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi ameyataja matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein baina ya miji miwili mitakatifu ya Najaf na Karbala nchini Iraq kuwa ni onyesho kubwa la umoja usiovunjika kati ya watu wa Iran na Iraq, akitilia mkazo viunganishi vikubwa vya kidini na kidugu vinavyoendelea kuimarisha uhusiano wa pande mbili.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:38:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Iran iliishinda Marekani katikati ya 'vita vya tatu vya Trump'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140412-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_iran_iliishinda_marekani_katikati_ya_'vita_vya_tatu_vya_trump'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0cdc02bde342q47y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140412-mshauri_wa_kiongozi_muadhamu_iran_iliishinda_marekani_katikati_ya_'vita_vya_tatu_vya_trump' </guid>  
      <description>Mohsen Rezaei, Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa Marekani ilishindwa katikati ya "vita vya tatu vya Rais wa Marekani Donald Trump" dhidi ya Iran, huku vikosi vya ulinzi vya Iran vikivuruga mipango ya Marekani, kuilazimisha kuhamisha vituo vyake vya amri na wanajeshi wengi wa nchi hiyo wakiangamizwa na kujeruhiwa; hatua inayozidisha kushindwa kwingine kukubwa katika rekodi ya kufeli ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:33:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya raia nchini Iran ni uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140400-baghaei_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_maeneo_ya_raia_nchini_iran_ni_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05d7cb251e32q43q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140400-baghaei_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_maeneo_ya_raia_nchini_iran_ni_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya makazi na ya raia katika miji ya Qeshm, Minab, na Lamerd ni uhalifu wa kivita, huku akiahidi kuwa Iran itatumia mifumo yote ya kimataifa inayopatikana kuwafikisha wahalifu mbele ya sheria.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:10:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran laangusha ndege ya kivita ya Marekani ya MQ-9 Reaper katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140398-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_ya_marekani_ya_mq_9_reaper_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b3fd2099762q43o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140398-jeshi_la_iran_laangusha_ndege_ya_kivita_ya_marekani_ya_mq_9_reaper_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza rasmi kuwa kikosi chake cha anga kimeidungua ndege ya kivita isiyo na rubani ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper juu ya Lango la Hormuz, kwa kutumia mfumo wa ulinzi wa anga ulio wa kisasa na wenye uwezo wa hali ya juu.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:08:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baqaei: Hakuna mazungumzo na Washington kwa sasa, tunajadiliana na Oman kuhusu njia ya muda Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140390-baqaei_hakuna_mazungumzo_na_washington_kwa_sasa_tunajadiliana_na_oman_kuhusu_njia_ya_muda_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08d86a55db42q3ya.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140390-baqaei_hakuna_mazungumzo_na_washington_kwa_sasa_tunajadiliana_na_oman_kuhusu_njia_ya_muda_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Hatufanyi mazungumzo na Marekani, na mazungumzo yetu na Oman yanahusu njia ya kupita salama meli katika Lango-Bahari la Hormuz."</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 11:16:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vibaraka wawili wa Mossad wanyongwa nchini Iran kwa kutoa taarifa za usalama kwa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140382-vibaraka_wawili_wa_mossad_wanyongwa_nchini_iran_kwa_kutoa_taarifa_za_usalama_kwa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc069fb8bc24c2q3wg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140382-vibaraka_wawili_wa_mossad_wanyongwa_nchini_iran_kwa_kutoa_taarifa_za_usalama_kwa_israel </guid>  
      <description>Wanaume wawili waliopatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa maslahi ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad, wamenyongwa kwa kosa la kutoa taarifa nyeti kuhusu jeshi na maeneo ya usalama ya Iran katika vita vya hivi karibuni vya Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 09:50:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Haniya, Iran yasisitiza uungaji mkono wake kwa malengo ya Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140378-kwa_mnasaba_wa_kuuawa_shahidi_haniya_iran_yasisitiza_uungaji_mkono_wake_kwa_malengo_ya_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a80e600c252q3mg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140378-kwa_mnasaba_wa_kuuawa_shahidi_haniya_iran_yasisitiza_uungaji_mkono_wake_kwa_malengo_ya_palestina </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa pili tangu alipouawa shahidi Ismail Haniya, ambapo mbali na kumuenzi mkuu huyo wa zamani wa ofisi ya kisiasa ya HAMAS imesisitiza kuendelea kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina na ulazima wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa ili kupunguza mateso ya watu wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi, sambamba na kufunguliwa kesi wahusika wa jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni </description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 03:39:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya Iran kuapa kuwa itajibu mapigo makali, Trump asitisha mashambulizi dhidi ya miundombinu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140366-baada_ya_iran_kuapa_kuwa_itajibu_mapigo_makali_trump_asitisha_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06685c835b02q3ji.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140366-baada_ya_iran_kuapa_kuwa_itajibu_mapigo_makali_trump_asitisha_mashambulizi_dhidi_ya_miundombinu </guid>  
      <description>Rais wa Marekani Donald Trump amesema amefuta mashambulizi aliyotangaza kuwa yatafanywa dhidi ya Iran baada ya nchi za eneo kuomba yasitishwe wakati juhudi zinafanywa ili kufikia makubaliano, na kufuatia maonyo yaliyotolewa na Tehran kwamba uchokozi wowote mpya wa Marekani au Israel utakabiliwa na jibu la mapigo makali.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:16:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Abdel Bari Atwan: Makamanda wa jeshi la Marekani wanahofia kurudiwa "tajiriba ya Vietnam"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140362-abdel_bari_atwan_makamanda_wa_jeshi_la_marekani_wanahofia_kurudiwa_tajiriba_ya_vietnam</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05602c863ba2q3k0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140362-abdel_bari_atwan_makamanda_wa_jeshi_la_marekani_wanahofia_kurudiwa_tajiriba_ya_vietnam </guid>  
      <description>Abdel Bari Atwan, mchambuzi mashuhuri katika Ulimwengu wa Kiarabu ameashiria jinsi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilivyojiandaa kutoa kipigo kikali dhidi ya uchokozi wowote, na hofu ya makamanda wa kijeshi wa Marekani ya kujirudia tajriba ya Vita vya Vietnam, na kutaja sababu tano zilizomfanya Trump arudi nyuma katika kutekeleza vitisho vyake.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:09:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Araqchi: Iran iko tayari kukabiliana na uvamizi wowote mpya wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140350-araqchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_uvamizi_wowote_mpya_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01346e76d252q3a8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140350-araqchi_iran_iko_tayari_kukabiliana_na_uvamizi_wowote_mpya_wa_marekani </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ameonya dhidi ya kitendo chochote kipya cha uvamizi cha Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisisitiza kwamba Tehran iko tayari kikamilifu kukabiliana na makosa yoyote kama hayo.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 03:16:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Mkuu wa Iran: Nchi za kanda hii zinazotumika kama ngao ya Marekani 'zitateketea katika moto wa vita'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140336-kamanda_mkuu_wa_iran_nchi_za_kanda_hii_zinazotumika_kama_ngao_ya_marekani_'zitateketea_katika_moto_wa_vita'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d4e1c906552q35u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140336-kamanda_mkuu_wa_iran_nchi_za_kanda_hii_zinazotumika_kama_ngao_ya_marekani_'zitateketea_katika_moto_wa_vita' </guid>  
      <description>Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amezionya nchi za kanda hii kuhusu kushirikiana na Marekani akisema: Nchi yoyote itakayotumika kama "ngao ya ulinzi" kwa Washington itaungua katika moto wa vita. </description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 11:34:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC yazilenga na kuzisimamisha meli mbili za mafuta katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140326-irgc_yazilenga_na_kuzisimamisha_meli_mbili_za_mafuta_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb7db8c06722q2v4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140326-irgc_yazilenga_na_kuzisimamisha_meli_mbili_za_mafuta_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) jana lilitangaza kuwa zimezishambulia meli mbili za mafuta katika Lango Bahari la Hormuz na kuzisimamisha baada ya kukiuka sheria na tahadhari ilizopewa.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:35:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani si mchezaji mkuu tena Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140314-hatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_si_mchezaji_mkuu_tena_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1facf5f1262q2s8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140314-hatibu_wa_swala_ya_ijumaa_tehran_marekani_si_mchezaji_mkuu_tena_asia_magharibi </guid>  
      <description>Imamu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran, amesema Marekani si mchezaji mkuu tena katika eneo la Magharibi mwa Asia, akisisitiza kwamba: "Leo, kwa hatua za Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na mapambano yanayotokana na maarifa na imani ya wapiganaji wa Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefikia kiwango cha juu cha kujilinda ambacho kinamfanya adui asiwezi kuanza chochoko ya aina yoyote bila kupata jibu linalofaa."</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 11:03:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Droni za Jeshi la Iran zashambulia vituo vya kimkakati vya Marekani nchini Kuwait</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140308-droni_za_jeshi_la_iran_zashambulia_vituo_vya_kimkakati_vya_marekani_nchini_kuwait</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze5d5f18a9d2q2r4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140308-droni_za_jeshi_la_iran_zashambulia_vituo_vya_kimkakati_vya_marekani_nchini_kuwait </guid>  
      <description>Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeshambulia vituo vya kimkakati vya jeshi la kigaidi la Marekani katika kambi ya Ahmed al-Jaber huko Kuwait kwa kutumia ndege zisizo na rubani zenye uharibifu mkubwa.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 10:01:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baghaei amhoji Guterres; kwa nini unahepa kuwataja wavurugaji wawili wakuu wa sheria za kimataifa?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140304-baghaei_amhoji_guterres_kwa_nini_unahepa_kuwataja_wavurugaji_wawili_wakuu_wa_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz09042b5b432q2ok.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140304-baghaei_amhoji_guterres_kwa_nini_unahepa_kuwataja_wavurugaji_wawili_wakuu_wa_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria matamshi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupuuzwa kwa sheria za kimataifa kwa namna inayotisha, na kumhutubu yeye kwa kumwambia: "Sasa ni wakati wa kutimiza jukumu lako zito na kusaidia kuzuia Umoja wa Mataifa na mfumo wa kanuni zake kutofikwa na hatima ya Jumuiya ya Mataifa."</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:42:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya watu milioni 2 wavuka mipaka ya Iran kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein (AS)</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140302-zaidi_ya_watu_milioni_2_wavuka_mipaka_ya_iran_kwa_ajili_ya_arubaini_ya_imam_hussein_(as)</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz00ac14c5292q2om.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140302-zaidi_ya_watu_milioni_2_wavuka_mipaka_ya_iran_kwa_ajili_ya_arubaini_ya_imam_hussein_(as) </guid>  
      <description>Zaidi ya mazuwari milioni mbili wa Iran wamevuka salama mipaka ya nchi ili kuhudhuria shughuli ya kila mwaka ya Arubaini ya Imam Hussein, mojawapo ya mikusanyiko mikubwa zaidi ya kidini duniani, inayofanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:40:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran yaharibu ndege tatu za F-35 katika kambi ya Marekani huko Jordan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140292-mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran_yaharibu_ndege_tatu_za_f_35_katika_kambi_ya_marekani_huko_jordan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze274706dc12q2lw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140292-mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran_yaharibu_ndege_tatu_za_f_35_katika_kambi_ya_marekani_huko_jordan </guid>  
      <description>Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limefanya mashambulizi ya makombora ya balestiki kwenye Kituo cha Anga cha Muwaffaq Salti kinachoendeshwa na jeshi la Marekani huko Azraq, nchini Jordan, na kuharibu ndege tatu za kivita za Marekani aina ya F-35 na kusababisha madhara makubwa kwa ndege nyingine tatu, katika operesheni ya kulipiza kisasi kwa shambulio la anga la Marekani lililoua watu watatu wa familia moja kwenye Kisiwa cha Qeshm nchini Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 15:02:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la kinyama la US kisiwani Qeshm, Iran laua wazazi na mtoto wao mdogo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140286-shambulio_la_kinyama_la_us_kisiwani_qeshm_iran_laua_wazazi_na_mtoto_wao_mdogo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzbecba062fa2q2iu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140286-shambulio_la_kinyama_la_us_kisiwani_qeshm_iran_laua_wazazi_na_mtoto_wao_mdogo </guid>  
      <description>Wanafamilia watatu, wakiwemo mama, baba na mtoto wao wa kiume wa miaka miwili, wameuawa shahidi katika shambulio la kinyama la anga la jeshi la kigaidi la Marekani lililolenga jengo la makazi kwenye Kisiwa cha Qeshm kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 11:11:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>