<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - west_asia</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Wed, 20 May 2026 20:06:23 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Israel yavamia meli za Freedom Flotilla na kuwakamata washiriki 100</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138460-israel_yavamia_meli_za_freedom_flotilla_na_kuwakamata_washiriki_100</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1431e64f2a2pevo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138460-israel_yavamia_meli_za_freedom_flotilla_na_kuwakamata_washiriki_100 </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vimeripoti kwamba makomandoo wa jeshi la Wanamaji la Israel wamevamia msafara wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza "Global Sumud Flotilla," ambao ulianza safari Alhamisi iliyopita kutoka Uturuki kuelekea Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 04:02:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel ilianzisha vipi vituo vya kijeshi nchini Iraq na madhara yake ni yapi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138456-israel_ilianzisha_vipi_vituo_vya_kijeshi_nchini_iraq_na_madhara_yake_ni_yapi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbfb6e2780c2peuk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138456-israel_ilianzisha_vipi_vituo_vya_kijeshi_nchini_iraq_na_madhara_yake_ni_yapi </guid>  
      <description>Gazeti la Marekani la New York Times limeandika katika ripoti yake kwamba, Israel imeanzisha vituo viwili vya kijeshi vya siri ndani ya ardhi ya Iraq kwa ajili ya kusaidia operesheni zake dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 16:21:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iraq yachora mstari mwekundu; yasema: Ardhi ya nchi hiyo haitatumika kufanya mashambulizi dhidi ya Iran au nchi jirani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138440-iraq_yachora_mstari_mwekundu_yasema_ardhi_ya_nchi_hiyo_haitatumika_kufanya_mashambulizi_dhidi_ya_iran_au_nchi_jirani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf8503c55e22peog.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138440-iraq_yachora_mstari_mwekundu_yasema_ardhi_ya_nchi_hiyo_haitatumika_kufanya_mashambulizi_dhidi_ya_iran_au_nchi_jirani </guid>  
      <description>Iraq imetangaza wazi kuwa kamwe haitaruhusu ardhi yake itumike kwa ajili ya kufanya mashambulizi dhidi ya nchi jirani, hasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:37:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yatoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu unyanyasaji dhidi ya wafungwa katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138426-un_yatoa_wito_wa_kufanyika_uchunguzi_kuhusu_unyanyasaji_dhidi_ya_wafungwa_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcc2ef6f27b2peia.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138426-un_yatoa_wito_wa_kufanyika_uchunguzi_kuhusu_unyanyasaji_dhidi_ya_wafungwa_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa imelaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya wafungwa wa Kipalestina, ikitaka kufanyike uchunguzi huru, usioegemea upande wowote na wa wazi kuhusu visa vyote vya vifo, mateso, unyanyasaji na ukiukaji mwingine, na kwa wale waliohusika kuwajibishwa.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 08:45:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemeni: Ansarullah iko ‘bega kwa bega’ na Hizbullah dhidi ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138418-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_yemeni_ansarullah_iko_bega_kwa_bega’_na_hizbullah_dhidi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx824c3993432pefc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138418-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_yemeni_ansarullah_iko_bega_kwa_bega’_na_hizbullah_dhidi_ya_israel </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema harakati ya muqawama ya nchi hiyo Ansarullah iko "bega kwa bega" na harakati ya mapambano ya Lebanon Hizbullah katika kukukabiliana na njama na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:43:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Kuhusu "Siku ya Nakbat"; Uhalifu wa Israel ni jinai ya kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138408-taarifa_ya_wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_kuhusu_siku_ya_nakbat_uhalifu_wa_israel_ni_jinai_ya_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4df8edbcfd2pebg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138408-taarifa_ya_wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_kuhusu_siku_ya_nakbat_uhalifu_wa_israel_ni_jinai_ya_kivita </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza katika taarifa iliyotolewa kwa mnasaba wa tukio la "Siku ya Nakbat" kwamba uhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kielelezo halisi cha jinai za kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya kimbari, na kwa msingi huu, mahakama za kimataifa zinataka kuwaadhibu wahalifu wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:21:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini UAE imekuwa na wasiwasi kuhusu kufichuliwa safari ya Netanyahu huko Abu Dhabi? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138396-kwa_nini_uae_imekuwa_na_wasiwasi_kuhusu_kufichuliwa_safari_ya_netanyahu_huko_abu_dhabi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxee7c5c1f062peas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138396-kwa_nini_uae_imekuwa_na_wasiwasi_kuhusu_kufichuliwa_safari_ya_netanyahu_huko_abu_dhabi </guid>  
      <description>Kufichuliwa kwa safari ya Netanyahu huko UAE wakati wa vita vya kichokozi vya Marekani na utawala haramu wa Israel dhidi ya Iran kumewafanya watawala wa UAE wawakasirikie sana wenzao wa utawala wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 10:50:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Quds na Msikiti wa Al-Aqsa ndio utambulisho wa Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138382-hamas_quds_na_msikiti_wa_al_aqsa_ndio_utambulisho_wa_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd7180c83ea2pe6q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138382-hamas_quds_na_msikiti_wa_al_aqsa_ndio_utambulisho_wa_palestina </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba uvamizi wa walowezi wa Kizayuni na kufanya "maandamano ya bendera" huko Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Al-Aqsa ni majaribio yaliyoshindwa ya kutaka kubadilisha utambulisho wa ardhi takatifu ya Palestina.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:19:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nchi Washirika wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi wagawanyika kuhusu vita vipya dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138358-nchi_washirika_wa_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_wagawanyika_kuhusu_vita_vipya_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0070d4357e2pe00.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138358-nchi_washirika_wa_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_wagawanyika_kuhusu_vita_vipya_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Tathmini ya siri iliyofanywa na shirika la kijasusi la Marekani, CIA, imebaini kuwa washirika wa Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi wamegawanyika kuhusu iwapo waunge mkono vita vipya dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:01:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wairani 24,000 wameingia Saudia kwa ajili ya ibada ya Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138306-wairani_24_000_wameingia_saudia_kwa_ajili_ya_ibada_ya_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6c5edc9cab2pday.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138306-wairani_24_000_wameingia_saudia_kwa_ajili_ya_ibada_ya_hija </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara la Iran amesema kuwa takribani Wairani 24,000 tayari wamewasili nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija mwaka huu, ambapo kati yao takribani 14,000 wako Makka, na zaidi ya 10,000 wapo Madina.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:10:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yafanya mashambulizi dhidi ya vikosi vya Israel Kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138304-hizbullah_yafanya_mashambulizi_dhidi_ya_vikosi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx72378d5a792pd8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138304-hizbullah_yafanya_mashambulizi_dhidi_ya_vikosi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema imefanya operesheni 20 za kijeshi dhidi ya vikosi vamizi vya Israel katika maeneo ya kusini mwa Lebanon, huku mapigano yakiendelea licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyoongezwa hadi katikati ya mwezi Mei.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:08:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen yaionya Marekani baada ya Trump kukataa mpango wa amani wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138296-ansarullah_ya_yemen_yaionya_marekani_baada_ya_trump_kukataa_mpango_wa_amani_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcf0fe6b1ba2pd7q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138296-ansarullah_ya_yemen_yaionya_marekani_baada_ya_trump_kukataa_mpango_wa_amani_wa_iran </guid>  
      <description>Afisa mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen ameonya kuwa Marekani italazimika kubeba dhima ya madhara ya kukataa mapendekezo mapya ya Iran ya kumaliza vita, kufuatia matamshi ya kupinga yaliyotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:28:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi wa Kizayuni nchini Lebanon: Hatuna chaguo ila kukimbia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138286-wanajeshi_wa_kizayuni_nchini_lebanon_hatuna_chaguo_ila_kukimbia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx48df8675512pd22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138286-wanajeshi_wa_kizayuni_nchini_lebanon_hatuna_chaguo_ila_kukimbia </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri kushindwa jeshi la utawala wa vamizi wa Israel kukabiliana na ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 11:21:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ongezeko la vifo kabla ya Hija laibua taharuki nchini Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138284-ongezeko_la_vifo_kabla_ya_hija_laibua_taharuki_nchini_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd5629266d62pd1m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138284-ongezeko_la_vifo_kabla_ya_hija_laibua_taharuki_nchini_saudi_arabia </guid>  
      <description>Ripoti za kuongezeka vifo baina ya mahujaji waliokwenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija imezua wasiwasi na taharuki baina ya viongozi na wasimamizi wa ibada hiyo. </description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 10:30:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mateso na unyanyasaji wa wanawake wa Kipalestina katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138272-hamas_yalaani_mateso_na_unyanyasaji_wa_wanawake_wa_kipalestina_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa8e46f65a12pczw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138272-hamas_yalaani_mateso_na_unyanyasaji_wa_wanawake_wa_kipalestina_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani ongezeko la uhalifu na ukiukwaji wa haki za wafungwa wanawake wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel, ikisema kwamba mateso ya kimwili na kisaikolojia ni uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 07:47:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Kiebrania: Lebanon imekuwa kinamasi chenye gharama kubwa kwa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138248-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_lebanon_imekuwa_kinamasi_chenye_gharama_kubwa_kwa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7432f0778e2pcly.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138248-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_lebanon_imekuwa_kinamasi_chenye_gharama_kubwa_kwa_israel </guid>  
      <description>Gazeti la Kiebrania Ma'ariv limeripoti kwamba Lebanon imekuwa kinamasi cha misukosuko na mawimbi makali, chenye gharama kubwa kwa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:10:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Majibu ya Khalil al-Hayyah kwa mauaji ya mwanawe: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138244-majibu_ya_khalil_al_hayyah_kwa_mauaji_ya_mwanawe_adui_mzayuni_hawezi_kupata_maafikiano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxde0d9c1c7d2pcr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138244-majibu_ya_khalil_al_hayyah_kwa_mauaji_ya_mwanawe_adui_mzayuni_hawezi_kupata_maafikiano </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya harakati ya Hamas huko Gaza, amethibitisha kuuawa shahidi mwanawe, Azzam na rafiki yake, akisisitiza kuwa: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano kwenye meza ya mazungumzo kwa kulenga na kuua familia zetu.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 08:08:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni ukiukaji wa wazi wa usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138230-hamas_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxddf2a8157f2pcd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138230-hamas_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani mashambulizi yanayoongezeka ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, ikiyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa makubaliano ya usitishaji vita na sheria za kimataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:24:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu Gani Zinaifanya UAE Ishupalie Vita Dhidi ya Iran? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138216-sababu_gani_zinaifanya_uae_ishupalie_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6e81ede3642pc7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138216-sababu_gani_zinaifanya_uae_ishupalie_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Muungano wa Falme za Kiarabu, UAE au Imarati umechukua msimamo wa waziwazi wa kushupalia vita hususan dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 11:34:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138180-palestina_yajibu_hatua_ya_rais_wa_fifa_yasema_wanasoka_566_wa_wameuawa_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7414b859402pby6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138180-palestina_yajibu_hatua_ya_rais_wa_fifa_yasema_wanasoka_566_wa_wameuawa_na_israel </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Palestina limechapisha ripoti kuhusu mauaji ya wachezaji wa mpira wa miguu na uharibifu wa miundombinu ya soka uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:38:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yatwanga maeneo mbalimbali ya Israel katika oparesheni 11 za droni na makombora </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138160-hizbullah_yatwanga_maeneo_mbalimbali_ya_israel_katika_oparesheni_11_za_droni_na_makombora</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx58143544a52pblw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138160-hizbullah_yatwanga_maeneo_mbalimbali_ya_israel_katika_oparesheni_11_za_droni_na_makombora </guid>  
      <description>Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa imefanya operesheni 11 dhidi ya maeneo mbalimbali ya Israel, kwa kutumia ndege zisizo na rubani, makombora na mizinga katika mshambulizi yake mtawalia. </description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:27:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yaifanya Gaza kuwa mahali hatari zaidi duniani kwa wanahabari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138152-israel_yaifanya_gaza_kuwa_mahali_hatari_zaidi_duniani_kwa_wanahabari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa21ebdd2922pblm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138152-israel_yaifanya_gaza_kuwa_mahali_hatari_zaidi_duniani_kwa_wanahabari </guid>  
      <description>Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu imetangaza Jumapili kuwa Gaza imegeuka kuwa sehemu hatari kuliko zote duniani kwa wanahabari, huku angalau wafanyakazi 295 wa vyombo vya habari wakithibitishwa kuuawa katika mashambulizi ya Israel tangu kuanza kwa vita Oktoba 2023.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 09:52:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Utekaji wa wanaharakati wa msafara wa misaada Gaza ni ‘ugaidi wa kimataifa’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138140-irgc_utekaji_wa_wanaharakati_wa_msafara_wa_misaada_gaza_ni_ugaidi_wa_kimataifa’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe5b9c23a8b2pb9e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138140-irgc_utekaji_wa_wanaharakati_wa_msafara_wa_misaada_gaza_ni_ugaidi_wa_kimataifa’ </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) la Iran amelaani vikali hatua ya vikosi vya jeshi la utawala haramu wa Israel kuzuia kwa nguvu meli za Msafara wa Global Sumud zilizokuwa zikipeleka misaada ya kibinadamu Gaza.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:25:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Ukatili uliopangwa wa walowezi wa Israel dhidi ya Wakristo umefikia kiwango cha juu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138136-ripoti_ukatili_uliopangwa_wa_walowezi_wa_israel_dhidi_ya_wakristo_umefikia_kiwango_cha_juu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd272a4fd7f2pbem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138136-ripoti_ukatili_uliopangwa_wa_walowezi_wa_israel_dhidi_ya_wakristo_umefikia_kiwango_cha_juu </guid>  
      <description>Ukatili uliopangwa unaofanywa na walowezi Waisraeli dhidi ya Wakristo na jamii zisizo za Kiyahudi katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu umeongezeka kwa kiasi kikubwa.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:22:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Takwa la kukabidhi silaha ni kisingizio cha Israel cha kukwepa wajibu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138134-hamas_takwa_la_kukabidhi_silaha_ni_kisingizio_cha_israel_cha_kukwepa_wajibu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7f1c58aa3e2pbek.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138134-hamas_takwa_la_kukabidhi_silaha_ni_kisingizio_cha_israel_cha_kukwepa_wajibu </guid>  
      <description>Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Hamas, Mohammed Nazzal, amesema kuwa ombi la kukabidhiwa silaha za harakati hiyo ni kisingizio kinachotumiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kukwepa utekelezaji wa majukumu yake.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:22:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Manowari kubwa na ya kisasa zaidi ya Marekani yaondoka kwa fedheha katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138122-manowari_kubwa_na_ya_kisasa_zaidi_ya_marekani_yaondoka_kwa_fedheha_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc315c6251c2pb7u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138122-manowari_kubwa_na_ya_kisasa_zaidi_ya_marekani_yaondoka_kwa_fedheha_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>USS Gerald R. Ford, meli kubwa zaidi ya kivita na ya gharama ya juu kuwahi kuundwa na Marekani, imelazimika kujiondoa kutoka ukanda wa Asia Magharibi baada ya siku 309 za operesheni endelevu baharini, ikiwa katika jukumu la kuunga mkono vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 11:34:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Kikristo wamlaani Muisraeli aliyemshambulia mtawa wa kike katika mji wa al-Quds</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138120-viongozi_wa_kikristo_wamlaani_muisraeli_aliyemshambulia_mtawa_wa_kike_katika_mji_wa_al_quds</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx43adc2f2a12pb7o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138120-viongozi_wa_kikristo_wamlaani_muisraeli_aliyemshambulia_mtawa_wa_kike_katika_mji_wa_al_quds </guid>  
      <description>Malalamiko yameendelea kumiminika baada ya Muisraeli mwenye misimamo mikali kumshambulia mtawa wa kike raia wa Kifaransa, huku Waisraeli Wazayuni wakishadidisha mashambulizi dhidi ya Waislamu na Wakristo pamoja na maeneo matakatifu katika ardhi za Palestina zinazokoloniwa na utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 11:30:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Palestina akataa ombi la rais wa FIFA la kupiga picha na Muisraeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138108-mwakilishi_wa_palestina_akataa_ombi_la_rais_wa_fifa_la_kupiga_picha_na_muisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaff768b6932pb68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138108-mwakilishi_wa_palestina_akataa_ombi_la_rais_wa_fifa_la_kupiga_picha_na_muisraeli </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirikisho la Soka la Palestina amekataa ombi la rais wa FIFA, Gianni Infantino la kupiga picha na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 09:54:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yapewa kichapo Lebanon, wanajeshi wasiopungua 2 wauawa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138092-israel_yapewa_kichapo_lebanon_wanajeshi_wasiopungua_2_wauawa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx57b80115b82pb3g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138092-israel_yapewa_kichapo_lebanon_wanajeshi_wasiopungua_2_wauawa </guid>  
      <description>Wanajeshi wasiopungua wawili wa Israel wameuawa na wengine zaidi ya 27 kujeruhiwa katika mashambulizi kadhaa ya ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah kusini mwa Lebanon, huku Israel ikiitonya Washington kwamba uwezo wake wa kukabiliana na harakati ya mapambano ya Lebanon unakaribia kusambaratika.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:21:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jina la Netanyahu ni "Shetani" kwa wengi duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138074-vyombo_vya_habari_vya_kizayuni_jina_la_netanyahu_ni_shetani_kwa_wengi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe2d72ca5de2pav4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138074-vyombo_vya_habari_vya_kizayuni_jina_la_netanyahu_ni_shetani_kwa_wengi_duniani </guid>  
      <description>Chombo cha habari cha Kizayuni kimechambua kuporomoka kwa nafasi ya utawala wa Israel duniani na kubadilika fikra za umma kuhusu utawala huo.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 10:20:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa Hizbullah: Mapambano yataendelea hadi ukombozi kamili wa ardhi ya Lebanon  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138062-afisa_wa_hizbullah_mapambano_yataendelea_hadi_ukombozi_kamili_wa_ardhi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5d6bed51012pasa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138062-afisa_wa_hizbullah_mapambano_yataendelea_hadi_ukombozi_kamili_wa_ardhi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Makamu wa Mwenyekiti wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza msimamo wa msingi wa harakati hiyo kuhusu uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa Muqawama na mapambano yataendelea hadi ardhi yote ya nchi hiyo itakapokombolewa kikamilifu.  </description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 07:58:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yamtahadharisha Trump/ Sana'a : Tunaunga mkono hatua za Iran katika Mlango Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138054-yemen_yamtahadharisha_trump_sana'a_tunaunga_mkono_hatua_za_iran_katika_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw2d4f6665902pal8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138054-yemen_yamtahadharisha_trump_sana'a_tunaunga_mkono_hatua_za_iran_katika_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetahadharisha kuhusu  hatua zozote za uchokozi na ukatili za serikali ya Trump katika Ghuba ya Uajemi na kutangaza kuwa Sana'a inaunga mkono hatua za Iran katika Mlango wa Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 10:06:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC asisistiza kuhusu uungaji mkono imara kwa Hizbullah</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138018-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_asisistiza_kuhusu_uungaji_mkono_imara_kwa_hizbullah</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwab903527e02paai.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138018-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_asisistiza_kuhusu_uungaji_mkono_imara_kwa_hizbullah </guid>  
      <description> Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amekanusha vikali propaganda za Israel zinazolenga kupunguza nguvu za harakati ya Hizbullah, huku akisisitiza uungaji mkono kamili wa mhimili wa muqawama kwa harakati hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:19:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iraq amteua al-Zaidi kuwa Waziri Mkuu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138014-rais_wa_iraq_amteua_al_zaidi_kuwa_waziri_mkuu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6ec77398772pac6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138014-rais_wa_iraq_amteua_al_zaidi_kuwa_waziri_mkuu </guid>  
      <description>Rais wa Iraq, Nizar Amedi, ambaye amechaguliwa hivi karibuni, ametangaza rasmi kumteua Ali al Zaidi kuwa waziri mkuu mteule wa nchi hiyo na kumpa jukumu la kuunda serikali ijayo.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:17:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgogoro katika jeshi la Israel; Ongezeko kubwa la kujiua miongoni mwa jeshi la utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138002-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_ongezeko_kubwa_la_kujiua_miongoni_mwa_jeshi_la_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8a511d49872pa7s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138002-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_ongezeko_kubwa_la_kujiua_miongoni_mwa_jeshi_la_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Chombo cha habari cha Kizayuni kimeripoti ongezeko kubwa la idadi ya kujiua katika jeshi la utawala wa Kizayuni tangu mwanzoni mwa mwaka huu 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:31:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sultan wa Oman akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137988-sultan_wa_oman_akutana_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb23e744d2c2p9z8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137988-sultan_wa_oman_akutana_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran </guid>  
      <description>Sultan wa Oman Haitham bin Tariq amemkaribisha Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika Kasri la Al-Barakah mjini Muscat, mapema Jumapili.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 11:31:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mashambulizi ya Israel Gaza; yasema ni jinai kamili ya kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137964-hamas_yalaani_mashambulizi_ya_israel_gaza_yasema_ni_jinai_kamili_ya_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6ec321de752p9s4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137964-hamas_yalaani_mashambulizi_ya_israel_gaza_yasema_ni_jinai_kamili_ya_kivita </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na makundi mengine ya muqawama wa Palestina yamelaani vikali wimbi la sasa la mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kuwa ni "kuzidisha umwagaji damu na jinai kamili ya kivitaya Wazayuni." </description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:41:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwandishi wa Kiyahudi Mpinga Uzayuni: Netanyahu ni saratani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137956-mwandishi_wa_kiyahudi_mpinga_uzayuni_netanyahu_ni_saratani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw97c535d7932p9r4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137956-mwandishi_wa_kiyahudi_mpinga_uzayuni_netanyahu_ni_saratani </guid>  
      <description>Alon Mizrahi, mwandishi wa habari wa Kiyahudi anayepinga Uzayuni, ameandika katika ujumbe wake ulioashiria taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu uvimbe wa saratani wa Benjamin Netanyahu kwamba:  
“Je, saratani yenyewe inaweza kuwa na saratani?”  
</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:13:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aoun: Lengo la Israel katika kuwaua waandishi wa habari ni kuficha uhalifu wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137926-aoun_lengo_la_israel_katika_kuwaua_waandishi_wa_habari_ni_kuficha_uhalifu_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0352593f622p9mg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137926-aoun_lengo_la_israel_katika_kuwaua_waandishi_wa_habari_ni_kuficha_uhalifu_wake </guid>  
      <description>Rais wa Lebanon ameeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya mwandishi wa habari wa nchi hiyo na kujeruhiwa mwandishi mwingine wa habari katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa Lebanon, akitangaza kwamba lengo la uhalifu huu ni jitihada za utawala wa Israeli za kutaka kuficha uhalifu wake.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 05:03:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Uhalifu Mpya Kaskazini mwa Gaza Unaonyesha Kutokuwa na Uwezo wa Bodi ya Amani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137924-hamas_uhalifu_mpya_kaskazini_mwa_gaza_unaonyesha_kutokuwa_na_uwezo_wa_bodi_ya_amani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw780e3b56392p9me.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137924-hamas_uhalifu_mpya_kaskazini_mwa_gaza_unaonyesha_kutokuwa_na_uwezo_wa_bodi_ya_amani </guid>  
      <description>Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kwamba mauaji ya kutisha yaliyofanywa na jeshi utawala vamizi la Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, ambayo yamewalenga moja kwa moja watoto, ni kielelezo kipya cha kuendelea vita vya mauaji ya kimbari na maangamizi ya kizazi katika maeneo mbalimbali ya Ukanda huo.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 04:55:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Onyo la Yemen: Hakuna atakayefungua Lango Bahari la Bab el Mandeb likifungwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137854-onyo_la_yemen_hakuna_atakayefungua_lango_bahari_la_bab_el_mandeb_likifungwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf8334ce5942p8g8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137854-onyo_la_yemen_hakuna_atakayefungua_lango_bahari_la_bab_el_mandeb_likifungwa </guid>  
      <description>Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amemhimiza Rais wa Marekani Donald Trump kujiepusha na maamuzi ya uchochezi na kuheshimu haki za mataifa ya Kiislamu, akimwonya yeye pamoja na washirika wake kuhusu uwezekano wa kufungwa kwa Lango Bahari la Bab el Mandeb.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:36:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka: Hali ya maisha huko Gaza ni ya kutisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137842-shirika_la_madaktari_wasio_na_mipaka_hali_ya_maisha_huko_gaza_ni_ya_kutisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw521f22d90e2p7aa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137842-shirika_la_madaktari_wasio_na_mipaka_hali_ya_maisha_huko_gaza_ni_ya_kutisha </guid>  
      <description>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetoa onyo kuhusu kuendelea na kuongezeka kwa mashambulizi ya kikatili na udhibiti wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 12:08:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah Yemen: Lobi ya Wazayuni imezuia makubaliano kati ya Marekani na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137832-ansarullah_yemen_lobi_ya_wazayuni_imezuia_makubaliano_kati_ya_marekani_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfed6f30ea42p72a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137832-ansarullah_yemen_lobi_ya_wazayuni_imezuia_makubaliano_kati_ya_marekani_na_iran </guid>  
      <description> Mjumbe wa Idara ya Siasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa lobi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Marekani imezuia kufikiwa makubaliano katika mazungumzo kati ya Marekani na Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 09:18:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0ve545e68447240p6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia </guid>  
      <description>Ni jambo la kawaida kwamba nchi zilizoko katika maeneo tofauti ya kijografia na kistratijia hutumia nafasi hiyo kwa manufaa ya watu wake na kulinda maslahi yao ya kitaifa. Wachambuzi wa mambo wanasema hilo ni jambo linakubalika kimataifa na wala hakuna sheria yoyote inayopinga suala hilo ambayo ni haki ya kimsingi ya nchi iliyo katika maeneo kama hayo. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 12:57:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchambuzi wa Yemen: Haiwezekani kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw9d08cda6ed2p644.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu </guid>  
      <description>Mwandishi na mchambuzi wa Yemen ameeleza kuwa: Adui haiwezi kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 07:27:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wananchi na vyama vya kisiasa vya Uturuki vyapinga mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137782-wananchi_na_vyama_vya_kisiasa_vya_uturuki_vyapinga_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw54bff52dff2p646.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137782-wananchi_na_vyama_vya_kisiasa_vya_uturuki_vyapinga_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi wa maoni nchini Uturuki unaonyesha kuwa akthari ya wananchi wa nchi hiyo wanaunga mkono msimamo wa serikali yao wa kujiweka mbali na vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Vyama mbalimbali vya siasa nchini humo pia vimelaani mashambulizi ya pande mbili hizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 06:16:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Israel lalegeza msimamo kuhusu ahadi alizotoa Netanyahu/Upokonyaji silaha wa Hizbullah hauwezekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137772-jeshi_la_israel_lalegeza_msimamo_kuhusu_ahadi_alizotoa_netanyahu_upokonyaji_silaha_wa_hizbullah_hauwezekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bse307e39f4451d5pa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137772-jeshi_la_israel_lalegeza_msimamo_kuhusu_ahadi_alizotoa_netanyahu_upokonyaji_silaha_wa_hizbullah_hauwezekani </guid>  
      <description>Katika kukiri kistratijia kulikofichua udhaifu na mkanganyiko katika baraza la mawaziri la Israel, jeshi la utawala huo ghasibu limelegeza msimamo kuhusu ahadi alizotoa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel na  kutangaza rasmi kwamba, upokonyaji silaha dhidi ya Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon ni jambo lisilowezekana na kwamba sasa kauli mbiu hiyo imeondolewa katika orodha ya malengo ya vita.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:49:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaingia rasmi vitani kwa maslahi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137736-yemen_yaingia_rasmi_vitani_kwa_maslahi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c93f06090523f2la98.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137736-yemen_yaingia_rasmi_vitani_kwa_maslahi_ya_iran </guid>  
      <description>Yemen imetangaza rasmi kuingia katika vita kwa maslahi ya Iran, na sasa kila mtu ana wasiwasi kuhusu muelekeo wa vita hivi huku Wamagharibi na waungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel wakiingiwa na wasi wasi mkubwa kwamba huenda uchumi wa utawala huo ukabanwa na kupata madhara makubwa iwapo jeshi la Yemen litaamua kufunga na kudhibiti njia muhimu ya usafiri wa meli za biashara na mizigo, yaani  Lango-Bahari la Bab al-Mandab.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:43:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali sheria ya Israel inayoruhusu kunyongwa wafungwa wa Kipalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137732-iran_yalaani_vikali_sheria_ya_israel_inayoruhusu_kunyongwa_wafungwa_wa_kipalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd146d4e7aa2p5ts.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137732-iran_yalaani_vikali_sheria_ya_israel_inayoruhusu_kunyongwa_wafungwa_wa_kipalestina </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amelaani jaribio la utawala wa Kizayuni wa Israel kupitisha sheria kupitia bunge la utawala huo, Knesset, itakayoruhusu kunyongwa wafungwa wa Kipalestina, akitaja uamuzi huo kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na misingi ya haki za binadamu.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:23:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yashambuliwa kwa makombora kutoka Iran, Yemen na Hizbullah</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137726-israel_yashambuliwa_kwa_makombora_kutoka_iran_yemen_na_hizbullah</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpw0d883eeae31b9ey.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137726-israel_yashambuliwa_kwa_makombora_kutoka_iran_yemen_na_hizbullah </guid>  
      <description>Mashambulizi ya pamoja ya makombora kutoka Iran, harakati ya Hizbullah ya Lebnon na Jeshi la Yemen yamelenga ngome za utawala wa Kizayuni wa Israel mapema siku ya Jumatano.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:35:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa ngazi ya juu wa vikosi vya ulinzi vya Yemen: Tupo pamoja na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137682-kamanda_wa_ngazi_ya_juu_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_yemen_tupo_pamoja_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv051aad0ba82p5ib.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137682-kamanda_wa_ngazi_ya_juu_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_yemen_tupo_pamoja_na_iran </guid>  
      <description>Kamanda wa ngazi ya juu wa vikosi vya ulinzi vya Yemen amesema: Tunatumia chaguo la kufunga Mlango Bahari wa Babul Mandab kwa meli za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. </description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 06:57:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jebelli: Misimamo ya ujasiri ya Shahidi Shoaib ilipinga mashine ya vita ya adui Mzayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137662-jebelli_misimamo_ya_ujasiri_ya_shahidi_shoaib_ilipinga_mashine_ya_vita_ya_adui_mzayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvb892e65e6a2p5ba.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137662-jebelli_misimamo_ya_ujasiri_ya_shahidi_shoaib_ilipinga_mashine_ya_vita_ya_adui_mzayuni </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ametuma salamu za rambirambi kwa wakurugenzi wa Televisheni za Al-Manar na Al-Mayadeen za Lebanon kufuatia hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwauwa kwa makusudi waandishi habari wa vyombo hivyo habari kusini mwa Lebanon. </description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 05:50:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bloomberg: Nchi za Ghuba ya Uajemi zimechoshwa na vita/ Oman yaunga mkono Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137656-bloomberg_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_zimechoshwa_na_vita_oman_yaunga_mkono_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3oe7a74742132cbzf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137656-bloomberg_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_zimechoshwa_na_vita_oman_yaunga_mkono_iran </guid>  
      <description>Chombo kimoja cha habari cha Magharibi kimekiri kwamba nchi za Ghuba ya Uajemi zimechoshwa na vita dhidi ya Iran na zinaamini kuwa Marekani haina mkakati wowote katika vita hivi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 03:17:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah yaingia rasmi vitani; Yashambulia kusini mwa Israel kwa makombora ya balestiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137642-ansarullah_yaingia_rasmi_vitani_yashambulia_kusini_mwa_israel_kwa_makombora_ya_balestiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c69bca15a453f2ft72.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137642-ansarullah_yaingia_rasmi_vitani_yashambulia_kusini_mwa_israel_kwa_makombora_ya_balestiki </guid>  
      <description>Vikosi vya jeshi la Yemen vimetangaza kwamba vimeshambulia shabaha nyeti kusini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa makombora ya balestiki.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 07:38:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ankara yaziambia nchi za Kiarabu: Msiingie katika mchezo wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137638-ankara_yaziambia_nchi_za_kiarabu_msiingie_katika_mchezo_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9b8610d92d022noqt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137638-ankara_yaziambia_nchi_za_kiarabu_msiingie_katika_mchezo_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amezihutubu nchi za Kiislamu na kuzitahadharisha ziwe makini na kutoingia katika mchezo wa utawala wa Kizayuni Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 04:42:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen latangaza utayari wa kujiunga na Iran kupambana na maadui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137628-jeshi_la_yemen_latangaza_utayari_wa_kujiunga_na_iran_kupambana_na_maadui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvafc15983132p543.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137628-jeshi_la_yemen_latangaza_utayari_wa_kujiunga_na_iran_kupambana_na_maadui </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limetangaza kuwa liko tayari kuingilia moja kwa moja kijeshi iwapo pande nyingine zitaungana na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mhimili wa Muqawama.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 00:12:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al Houthi: Mashambulizi ya adui Marekani na Mzayuni dhidi ya Iran hayawezi kuhalalishwa kwa namna yoyote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137618-al_houthi_mashambulizi_ya_adui_marekani_na_mzayuni_dhidi_ya_iran_hayawezi_kuhalalishwa_kwa_namna_yoyote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6hb5c22c60692j6ud.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137618-al_houthi_mashambulizi_ya_adui_marekani_na_mzayuni_dhidi_ya_iran_hayawezi_kuhalalishwa_kwa_namna_yoyote </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran hayana msingi wowote.  </description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 06:20:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vipigo vya makombora ya Hizbullah vyalivuruga baraza la mawaziri la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137614-vipigo_vya_makombora_ya_hizbullah_vyalivuruga_baraza_la_mawaziri_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf16261d5bb2p501.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137614-vipigo_vya_makombora_ya_hizbullah_vyalivuruga_baraza_la_mawaziri_la_israel </guid>  
      <description>Ongezeko la mashambulizi ya roketi ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon dhidi ya jeshi la utawala ghasibu wa Israel, yaliyoelezwa na vyombo vya habari vya Israel kama mashambulizi makali zaidi tangu kuanza kwa vita, limeugeuza mkutano wa baraza la mawaziri la Israel kuwa uwanja wa malumbano makali kati ya waziri wa fedha na mkuu wa majeshi ya utawala huo.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 04:49:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Harakati ya Ansarullah ya Yemen iko tayari Kudhibiti Lango Bahari la Bab al‑Mandab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137596-ripoti_harakati_ya_ansarullah_ya_yemen_iko_tayari_kudhibiti_lango_bahari_la_bab_al_mandab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0ve545e68447240p6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137596-ripoti_harakati_ya_ansarullah_ya_yemen_iko_tayari_kudhibiti_lango_bahari_la_bab_al_mandab </guid>  
      <description>Duru zinadokeza kuwa, Harakati ya Ansarullah ya Yemen iko tayari kuchukua udhibiti wa eneo la kimkakati la  Lango Bahari wa Bab al‑Mandab kama sehemu ya hatua za nguvu za Muqawama (Mapambano) za kuwaadhibu maadui walioanzisha hujuma ya kichokozi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 06:00:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Harakati ya Al-Nujaba yataka makubaliano ya usalama kati ya Iraq na Marekani yafutwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137590-harakati_ya_al_nujaba_yataka_makubaliano_ya_usalama_kati_ya_iraq_na_marekani_yafutwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsd0b727555c31ci2l.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137590-harakati_ya_al_nujaba_yataka_makubaliano_ya_usalama_kati_ya_iraq_na_marekani_yafutwe </guid>  
      <description>Mkuu wa Baraza Kuu la harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Iraq, Al-Nujaba, ametoa wito kwa Bunge na harakati za kizalendo kufuta makubaliano ya usalama na Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:47:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lauonya utawala lauonya utawala wa Israel kuhusu mauaji ya raia Palestina, Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137548-jeshi_la_iran_lauonya_utawala_lauonya_utawala_wa_israel_kuhusu_mauaji_ya_raia_palestina_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsibc977cf6591flh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137548-jeshi_la_iran_lauonya_utawala_lauonya_utawala_wa_israel_kuhusu_mauaji_ya_raia_palestina_lebanon </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu mauaji yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya raia wa Palestina na Lebanon. Taarifa ya IRGC imesema jeshi katili la Israel limevuka mistari yote myekundu katika mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina na Walebanoni.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Mar 2026 06:22:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Sistani: Tunalaani vikali vita dhidi ya Iran na Lebanon, nchi za Kiislamu zichukue hatua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137528-ayatullah_sistani_tunalaani_vikali_vita_dhidi_ya_iran_na_lebanon_nchi_za_kiislamu_zichukue_hatua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6ief9df5ac6e2jkzt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137528-ayatullah_sistani_tunalaani_vikali_vita_dhidi_ya_iran_na_lebanon_nchi_za_kiislamu_zichukue_hatua </guid>  
      <description>Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al‑Sistani, amelaani kwa maneno makali vita vinavyoendeshwa hivi sasa na Marekani na Israel dhidi ya Iran na Lebanon, na amewataka Waislamu wote pamoja na watu huru duniani kuvipinga na kuvikemea.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 05:29:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah ya Lebanon yavunja rekodi kwa kutekeleza operesheni 61 dhidi ya ngome za ‘Israel’ ndani ya siku moja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137526-hizbullah_ya_lebanon_yavunja_rekodi_kwa_kutekeleza_operesheni_61_dhidi_ya_ngome_za_israel’_ndani_ya_siku_moja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvfd7b0ca19c2p4g2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137526-hizbullah_ya_lebanon_yavunja_rekodi_kwa_kutekeleza_operesheni_61_dhidi_ya_ngome_za_israel’_ndani_ya_siku_moja </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama au mapambano ya Kiislamu ya  Hizbullah nchini Lebanon imeweka rekodi mpya baada ya kutekeleza operesheni 61 dhidi ya ngome za utawala wa Kizayuni wa Israel katika siku moja.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 05:29:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa al Qassam asema Iran ni safu ya mbele ya kutetea Umma wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137504-msemaji_wa_al_qassam_asema_iran_ni_safu_ya_mbele_ya_kutetea_umma_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3r85db8e25ff2eokc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137504-msemaji_wa_al_qassam_asema_iran_ni_safu_ya_mbele_ya_kutetea_umma_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Msemaji wa tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza mashambulizi ya makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya maeneo mbalimbali ya utawala ghasibu wa Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 03:48:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen: Iran inahami mustakbali wake na Umma wa Kiislamu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137480-ansarullah_ya_yemen_iran_inahami_mustakbali_wake_na_umma_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bk7c124607322a8uj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137480-ansarullah_ya_yemen_iran_inahami_mustakbali_wake_na_umma_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa yoyote atakayepuuza haki ya Iran ya kujihami atakuwa amemhudumia adui. </description>
      <pubDate>Fri, 20 Mar 2026 08:10:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Picha ya NASA yaonyesha athari za shambulio la Iran kwenye kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha gesi duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137462-picha_ya_nasa_yaonyesha_athari_za_shambulio_la_iran_kwenye_kiwanda_kikubwa_zaidi_cha_kusafisha_gesi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6228134a322p3z1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137462-picha_ya_nasa_yaonyesha_athari_za_shambulio_la_iran_kwenye_kiwanda_kikubwa_zaidi_cha_kusafisha_gesi_duniani </guid>  
      <description>Picha za setilaiti za NASA zinaonyesha moto mkubwa uliotokea katika kituo kikubwa zaidi cha kuzalisha gesi duniani huko Qatar.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 07:57:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas na Jihad Islami zalaani mauaji ya mkuu wa baraza la usalama wa taifa la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137448-hamas_na_jihad_islami_zalaani_mauaji_ya_mkuu_wa_baraza_la_usalama_wa_taifa_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3m04aad415232b3ja.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137448-hamas_na_jihad_islami_zalaani_mauaji_ya_mkuu_wa_baraza_la_usalama_wa_taifa_la_iran </guid>  
      <description>Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) Palestina zimelaani mauaji ya afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, na kuahidi kuendeleza njia na msimamo wake.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 05:29:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afghanistan yaituhumu Pakistan kwamba imeua watu 400 hospitalini Kabul</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137424-afghanistan_yaituhumu_pakistan_kwamba_imeua_watu_400_hospitalini_kabul</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3o76fbf1b7b42cllk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137424-afghanistan_yaituhumu_pakistan_kwamba_imeua_watu_400_hospitalini_kabul </guid>  
      <description>Afghanistan imelituhumu jeshi la Pakistan kwamba limeua mamia ya watu katika shambulio la anga dhidi ya hospitali moja mjini Kabul.</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 08:17:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio Lailenga Rada na Mfumo wa Ulinzi wa Anga wa Ubalozi wa Marekani Baghdad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137368-shambulio_lailenga_rada_na_mfumo_wa_ulinzi_wa_anga_wa_ubalozi_wa_marekani_baghdad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv0174cff07a2p3dd.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137368-shambulio_lailenga_rada_na_mfumo_wa_ulinzi_wa_anga_wa_ubalozi_wa_marekani_baghdad </guid>  
      <description>Baada ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad nchini Iraq kulengwa kwa shambulio, vyanzo vya habari vimeripoti kuharibiwa kwa mfumo wa ulinzi wa anga wa ubalozi huo.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 04:22:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Brigedi za al Qassam zapongeza mashambulizi ya Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu katika Siku ya Kimataifa ya Quds</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137364-brigedi_za_al_qassam_zapongeza_mashambulizi_ya_iran_katika_ardhi_zinazokaliwa_kwa_mabavu_katika_siku_ya_kimataifa_ya_quds</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6c2f281b20ae2h3jx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137364-brigedi_za_al_qassam_zapongeza_mashambulizi_ya_iran_katika_ardhi_zinazokaliwa_kwa_mabavu_katika_siku_ya_kimataifa_ya_quds </guid>  
      <description>Brigedi za Shahidi Izzuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimepongeza mashambulizi yaliyofanywa na Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) katika kujibu mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:59:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naim Qassim: Tumejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu/donda la saratani linavuruga amani Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137348-naim_qassim_tumejiandaa_kwa_ajili_ya_mapambano_ya_muda_mrefu_donda_la_saratani_linavuruga_amani_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv7a334d08022p3d9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137348-naim_qassim_tumejiandaa_kwa_ajili_ya_mapambano_ya_muda_mrefu_donda_la_saratani_linavuruga_amani_asia_magharibi </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametangaza kuwa, harakati hiyo imejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu. </description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:33:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ndege ya kujaza mafuta ya Jeshi la Marekani imetunguliwa nchini Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137324-ndege_ya_kujaza_mafuta_ya_jeshi_la_marekani_imetunguliwa_nchini_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv2945e509fd2p365.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137324-ndege_ya_kujaza_mafuta_ya_jeshi_la_marekani_imetunguliwa_nchini_iraq </guid>  
      <description>Makao Makuu ya Kamandi ya Kati ya Marekani (CENTCOM) yametangaza ‘kuanguka’ kwa ndege yao ya kijeshi ya kujaza mafuta angani katika eneo la magharibi mwa Iraq, na kutaja tukio hilo kuwa eti ni “ajali”. Hatahivyo Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu nchini Iraq imetangaza rasmi kutungua ndege hiyo ya jeshi la kigaidi la Marekani.</description>
      <pubDate>Fri, 13 Mar 2026 03:40:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waisraeli 2,700 wajeruhiwa katika mashambulizi ya kisasi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137320-waisraeli_2_700_wajeruhiwa_katika_mashambulizi_ya_kisasi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv507dd07f6d2p31w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137320-waisraeli_2_700_wajeruhiwa_katika_mashambulizi_ya_kisasi_ya_iran </guid>  
      <description>Ripoti ya Wizara ya Afya ya utawala wa Kizayuni wa Israel imesema Waisraeli zaidi ya 2,700 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyoanza Februari 28.</description>
      <pubDate>Fri, 13 Mar 2026 03:13:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti wa Oman apongeza kuchaguliwa kwa Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137318-mufti_wa_oman_apongeza_kuchaguliwa_kwa_kiongozi_mpya_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3h3a2bc6543627ot4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137318-mufti_wa_oman_apongeza_kuchaguliwa_kwa_kiongozi_mpya_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_ya_iran </guid>  
      <description>Sheikh Ahmed bin Hamad Al Khalili, Mufti Mkuu wa Oman, ametoa pongezi zake kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
</description>
      <pubDate>Fri, 13 Mar 2026 03:04:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yatwanga ngome za Israel kwa makombora na droni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137312-hizbullah_yatwanga_ngome_za_israel_kwa_makombora_na_droni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv44b923f9fd2p30z.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137312-hizbullah_yatwanga_ngome_za_israel_kwa_makombora_na_droni </guid>  
      <description>Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa mapema leo ikisema kwamba imeshambulia ngome za utawala haramu wa Israel kaskazini na katikati mwa ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).</description>
      <pubDate>Thu, 12 Mar 2026 04:45:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Middle East Monitor: Vita vya Iran huenda vikawa mwisho wa kisiasa wa Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137310-middle_east_monitor_vita_vya_iran_huenda_vikawa_mwisho_wa_kisiasa_wa_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva4423b22332p31x.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137310-middle_east_monitor_vita_vya_iran_huenda_vikawa_mwisho_wa_kisiasa_wa_netanyahu </guid>  
      <description>Tovuti ya Middle East Minitor imeandika makala ya uchambuzi kuhusu mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na utawala wa Kziayuni wa Israel ikisema kuwa vita ambavyo Benjamin Netanyahu amejiandaa kwa ajili yake kwa miaka mingi yumkini vikapelekea kutengwa kisiasa na kuporomoka stratejia yake.</description>
      <pubDate>Thu, 12 Mar 2026 04:38:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazungumzo ya kikanda kwa ajili ya kufunga kambi za majeshi ya Marekani Asia Magharibi, kisa? Mashambulizi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137284-mazungumzo_ya_kikanda_kwa_ajili_ya_kufunga_kambi_za_majeshi_ya_marekani_asia_magharibi_kisa_mashambulizi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6a7bd796ccf32g4oc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137284-mazungumzo_ya_kikanda_kwa_ajili_ya_kufunga_kambi_za_majeshi_ya_marekani_asia_magharibi_kisa_mashambulizi_ya_iran </guid>  
      <description>Duru za kuaminika zimeiambia Rusia Today kwamba nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zimeanza mazungumzo ya kujadili suala la kufunga kwa muda kambi za majeshi ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Wed, 11 Mar 2026 04:57:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137256-nini_maana_ya_marekani_kushindwa_kistratejia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6e77c67c192p2k9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137256-nini_maana_ya_marekani_kushindwa_kistratejia </guid>  
      <description>Kwa nini Marekani inakaribia kushindwa kistratejia? Jibu la swali hili linapatika katika utambulisho wa vita vya sasa vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 09 Mar 2026 09:02:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makundi ya Muqawama yapongeza kuchaguliwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137250-makundi_ya_muqawama_yapongeza_kuchaguliwa_kiongozi_mpya_wa_mapinduzi_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv236a7844e92p2od.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137250-makundi_ya_muqawama_yapongeza_kuchaguliwa_kiongozi_mpya_wa_mapinduzi_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Harakati za Muqawama zimetoa taarifa zikilipongeza taifa la Iran kwa mnasaba wa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.</description>
      <pubDate>Mon, 09 Mar 2026 07:49:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yaionya Israel: Kuendelea vita dhidi ya  Iran kutachochea zaidi mgogoro wa Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137216-china_yaionya_israel_kuendelea_vita_dhidi_ya_iran_kutachochea_zaidi_mgogoro_wa_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c69613f40573d2fmzj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137216-china_yaionya_israel_kuendelea_vita_dhidi_ya_iran_kutachochea_zaidi_mgogoro_wa_asia_magharibi </guid>  
      <description>China imeonya kwamba kuendelea kwa vita dhidi ya Iran kunaweza kuzidisha zaidi mgogoro unaoendelea katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sat, 07 Mar 2026 09:36:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137212-njama_ya_'genge_la_netanyahu'_ya_kushambulia_masjidul_aqsa_kwa_makombora_yatibuka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by156e12814331ve8m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137212-njama_ya_'genge_la_netanyahu'_ya_kushambulia_masjidul_aqsa_kwa_makombora_yatibuka </guid>  
      <description>Wizara ya Intelijensia ya Iran imefichua njama chafu iliyokuwa ikipikwa na genge la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ya kushambulia kwa makombora Msikiti wa al-Aqsa ili kuibua fitna katika ulimwengu wa Kiislamu. </description>
      <pubDate>Sat, 07 Mar 2026 05:59:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yawataka walowezi wa Kizayuni kuondoka karibu na mpaka wa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137192-hizbullah_yawataka_walowezi_wa_kizayuni_kuondoka_karibu_na_mpaka_wa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6c0b4fa87c2p27z.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137192-hizbullah_yawataka_walowezi_wa_kizayuni_kuondoka_karibu_na_mpaka_wa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imewataka walowezi wa vitongoji haramu katika mpaka wa pamoja wa Lebanon na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel kuondoka katika eneo hilo mara moja.</description>
      <pubDate>Fri, 06 Mar 2026 04:40:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maafisa 4 wa ngazi za juu wa CIA waangamizwa kwa mashambulizi ya Iran huko Saudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137184-maafisa_4_wa_ngazi_za_juu_wa_cia_waangamizwa_kwa_mashambulizi_ya_iran_huko_saudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3m1c7f9cea2c2atoi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137184-maafisa_4_wa_ngazi_za_juu_wa_cia_waangamizwa_kwa_mashambulizi_ya_iran_huko_saudia </guid>  
      <description>Ripoti zinasema kuwa maafisa wanne wa ngazi za juu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) na askari 8 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi la jeshi la Iran lililolenga kituo cha shirika hilo nchini Saudi Arabia.</description>
      <pubDate>Thu, 05 Mar 2026 15:00:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi ya Hizbullah yalipa jeshi la kizayuni mashinikizo ambayo halijawahi kushuhudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137168-mashambulizi_ya_hizbullah_yalipa_jeshi_la_kizayuni_mashinikizo_ambayo_halijawahi_kushuhudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3n03e4ef4c4a2bhsq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137168-mashambulizi_ya_hizbullah_yalipa_jeshi_la_kizayuni_mashinikizo_ambayo_halijawahi_kushuhudia </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya utawala wa kizayuni vimekiri kuwa jeshi la utawala huo ghasibu liko kwenye mashinikizo ambayo halijawahi kushuhudia kutokana na mashambulio ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kwenye medani ya kaskazini ya vita ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.</description>
      <pubDate>Thu, 05 Mar 2026 04:28:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Abdulqawi wa Misri asisitiza kufuata njia ya Shahidi Ayatullah Khamenei, atoa Fatwa ya kuunga mkono Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137146-sheikh_abdulqawi_wa_misri_asisitiza_kufuata_njia_ya_shahidi_ayatullah_khamenei_atoa_fatwa_ya_kuunga_mkono_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv4f35c8a90c2p22f.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137146-sheikh_abdulqawi_wa_misri_asisitiza_kufuata_njia_ya_shahidi_ayatullah_khamenei_atoa_fatwa_ya_kuunga_mkono_iran </guid>  
      <description>Mwanazuoni mmoja wa Misri amempongeza Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, na kusisitiza kwamba njia yake lazima iendelezwe na Umma ya Waislamu.</description>
      <pubDate>Wed, 04 Mar 2026 05:54:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Siku ya Tano ya Vita; Wimbi la 17 la Operesheni ya “Ahadi ya Kweli 4”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137138-siku_ya_tano_ya_vita_wimbi_la_17_la_operesheni_ya_ahadi_ya_kweli_4</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv9d7dea9db12p21n.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137138-siku_ya_tano_ya_vita_wimbi_la_17_la_operesheni_ya_ahadi_ya_kweli_4 </guid>  
      <description>Vikosi vya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinaendeleza operesheni za ‘Ahadi ya Kweli 4’ ikiwa ni katika kujibu uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ulioanzishwa Jumamosi.</description>
      <pubDate>Wed, 04 Mar 2026 03:19:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi 40 wa US wauawa Dubai katika shambulizi la kulipiza kisasi la IRGC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137124-wanajeshi_40_wa_us_wauawa_dubai_katika_shambulizi_la_kulipiza_kisasi_la_irgc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvd516eda5fa2p1y3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137124-wanajeshi_40_wa_us_wauawa_dubai_katika_shambulizi_la_kulipiza_kisasi_la_irgc </guid>  
      <description>Makumi ya wanajeshi wa Marekani wameuawa katika shambulizi la kulipiza kisasi la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) dhidi ya kambi ya kijeshi ya Marekani jijini Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu.</description>
      <pubDate>Tue, 03 Mar 2026 09:17:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makuhani wa Israel waungana na Iran, walaani mashambulizi ya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137112-makuhani_wa_israel_waungana_na_iran_walaani_mashambulizi_ya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3q94d7a416a02dt2n.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137112-makuhani_wa_israel_waungana_na_iran_walaani_mashambulizi_ya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Makuhani wa Kiyahudi wanaopinga utawala ghasibu wa Israel wamelaani vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel na Marekani dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 03 Mar 2026 04:00:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amnesty International: Upanuzi wa Israel wa vitongoji vya walowezi katika Ukingo wa Magharibi ni changamoto dhahiri kwa sheria za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137096-amnesty_international_upanuzi_wa_israel_wa_vitongoji_vya_walowezi_katika_ukingo_wa_magharibi_ni_changamoto_dhahiri_kwa_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9cf197a38c2d2ocdw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137096-amnesty_international_upanuzi_wa_israel_wa_vitongoji_vya_walowezi_katika_ukingo_wa_magharibi_ni_changamoto_dhahiri_kwa_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Shirika la Amnesty International limetangaza kwamba tangu mwezi Disemba mwaka jana, serikali ya Israel imezidisha harakati zake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huko Palestina, ikiwa ni pamoja na Quds Mashariki (Yerusalemu Mashariki), kupitia mfululizo wa maamuzi ambayo imesema yanalenga kuimarisha unyakuzi wa ardhi hiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Feb 2026 02:32:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yahimiza kusitishwa mapigano mara moja kati ya Afghanistan na Pakistan </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137088-iran_yahimiza_kusitishwa_mapigano_mara_moja_kati_ya_afghanistan_na_pakistan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu5edecf4c7a2p1nf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137088-iran_yahimiza_kusitishwa_mapigano_mara_moja_kati_ya_afghanistan_na_pakistan </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imezitaka Pakistan na Afghanistan kuketi kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kusimamisha mapigano na kupunguza mvutano, huku mapigano ya mpakani kati ya nchi hizo mbili yakizidi kupamba moto.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Feb 2026 02:00:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>OIC yaonya dhidi ya vitisho vya kuishambulia kijeshi Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137084-oic_yaonya_dhidi_ya_vitisho_vya_kuishambulia_kijeshi_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu0ab069735d2p1ic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137084-oic_yaonya_dhidi_ya_vitisho_vya_kuishambulia_kijeshi_iran </guid>  
      <description>Kamati ya Utendaji ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeonyesha wasiwasi wake kuhusu vitisho vya hivi karibuni dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Feb 2026 22:58:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yaendelea kuwazuia Wapalestina kuswali Masjidul Aqsa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137080-israel_yaendelea_kuwazuia_wapalestina_kuswali_masjidul_aqsa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3s6a78e949462f1el.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137080-israel_yaendelea_kuwazuia_wapalestina_kuswali_masjidul_aqsa </guid>  
      <description>Jeshi la Israel jana lilipeleka idadi kubwa ya wanajeshi katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, hasa katika vituo vya ukaguzi vinavyoelekea katika mji wa Quds (Jerusalem), sanjari na kuimarisha vizuizi dhidi ya Wapalestina waliotaka kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya pili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Feb 2026 22:51:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CPJ: Israel ndiyo iliyoua wanahabari wengine zaidi duniani 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137048-cpj_israel_ndiyo_iliyoua_wanahabari_wengine_zaidi_duniani_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9cbd5964cadc2o532.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137048-cpj_israel_ndiyo_iliyoua_wanahabari_wengine_zaidi_duniani_2025 </guid>  
      <description>Utawala haramu wa Israel uliwaua wanahabari wasiopungua 84 mwaka wa 2025 - idadi kubwa zaidi kuliko dola lolote duniani katika mwaka uliokuwa mbaya zaidi kuwahi kurekodiwa kwa vyombo vya habari.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Feb 2026 01:54:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Intelijinsia ya Israel: Jeshi la Marekani linaweza kumudu mashambulizi dhidi ya Iran kwa siku kadhaa tu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137026-intelijinsia_ya_israel_jeshi_la_marekani_linaweza_kumudu_mashambulizi_dhidi_ya_iran_kwa_siku_kadhaa_tu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu8a990f3f272p13a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137026-intelijinsia_ya_israel_jeshi_la_marekani_linaweza_kumudu_mashambulizi_dhidi_ya_iran_kwa_siku_kadhaa_tu </guid>  
      <description>Maafisa wa ujasusi wa Israel wanakadiria kuwa Marekani inaweza kuendeleza mashambulio ya kijeshi kwa "siku nne hadi tano" pekee dhidi ya Iran ikiwa itaanzisha mashambulizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu. Hii ni kwa mujibu wa ripoti mpya.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Feb 2026 05:35:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa mwandamizi wa PLO asema, HAMAS si kundi la kigaidi, apinga mpango wa kuipokonya silaha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137016-afisa_mwandamizi_wa_plo_asema_hamas_si_kundi_la_kigaidi_apinga_mpango_wa_kuipokonya_silaha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbudb3247468c2p0yh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137016-afisa_mwandamizi_wa_plo_asema_hamas_si_kundi_la_kigaidi_apinga_mpango_wa_kuipokonya_silaha </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Azzam al-Ahmad amesema, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS si shirika la kigaidi na ameukataa wito wa kupokonywa silaha zake huku akibainisha kuwepo mipango ya kufanya mazungumzo kuhusu uwezekano wa harakati hiyo kujumuishwa katika PLO.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Feb 2026 03:28:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Israel iliwamiminia risasi, kuwaua wafanyakazi wa misaada Tel al Sultan, Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137006-ripoti_israel_iliwamiminia_risasi_kuwaua_wafanyakazi_wa_misaada_tel_al_sultan_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbudcc476eab02p0t0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137006-ripoti_israel_iliwamiminia_risasi_kuwaua_wafanyakazi_wa_misaada_tel_al_sultan_gaza </guid>  
      <description>Karibu risasi elfu moja zilifyatuliwa na wanajeshi wa Israel katika mauaji ya kiholela dhidi ya wafanyakazi wa misaada huko Tel al-Sultan, Gaza, huku baadhi yao wakiuawa kwa kupigwa risasi kwa karibu, kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa hivi karibuni.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 22:56:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iraq yamueleza mjumbe wa Marekani: Uundaji wa serikali ni 'suala letu la ndani'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136998-iraq_yamueleza_mjumbe_wa_marekani_uundaji_wa_serikali_ni_'suala_letu_la_ndani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu7e487739ab2p0re.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136998-iraq_yamueleza_mjumbe_wa_marekani_uundaji_wa_serikali_ni_'suala_letu_la_ndani' </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fuad Hussein amesema, uundaji wa serikali mpya ya nchi hiyo ni "suala la ndani," ukiwa ni mjibizo uliotolewa wiki chache baada ya Marekani kutishia kufuta msaada na uungaji mkono wake kwa nchi hiyo ya Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 08:22:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel imepeleka Ghaza maboksi yenye mafuvu na miili iliyonyofolewa ya wanawake Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136996-israel_imepeleka_ghaza_maboksi_yenye_mafuvu_na_miili_iliyonyofolewa_ya_wanawake_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu20015e37122p0pw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136996-israel_imepeleka_ghaza_maboksi_yenye_mafuvu_na_miili_iliyonyofolewa_ya_wanawake_wapalestina </guid>  
      <description>Mbunge wa kujitegemea, ambaye pia ni kiongozi wa zamani wa chama cha Leba nchini Uingereza Jeremy Corbyn, ametoa simulizi za kutisha zilizotokana na maelezo ya mkurugenzi wa Hospitali ya Al-Shifa katika Ukanda wa Ghaza uliozingirwa, zinazobainisha kwa undani jinsi utawala wa kizayuni wa Israel ulivyopeleka katika eneo hilo masanduku kadhaa yenye mafuvu ya vichwa na mabaki ya Wapalestina yaliyokatwakatwa.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 07:45:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Netanyahu kuunda 'muungano' utakaoshirikisha Waarabu kukabiliana na mihimili ya Sunni na Shia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136992-netanyahu_kuunda_'muungano'_utakaoshirikisha_waarabu_kukabiliana_na_mihimili_ya_sunni_na_shia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bv6bdd1677f3d1lbx9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136992-netanyahu_kuunda_'muungano'_utakaoshirikisha_waarabu_kukabiliana_na_mihimili_ya_sunni_na_shia </guid>  
      <description>Waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amesema juhudi zinaendelea kufanywa za kuunda kile alichokielezea kama "muungano" wa kikanda wa kukabiliana na kile alichokiita "mihimili ya Sunni na Shia".</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 07:42:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina wanakoseshwa kufunga na kufungua Saumu kwa wakati kwenye jela za Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136970-wapalestina_wanakoseshwa_kufunga_na_kufungua_saumu_kwa_wakati_kwenye_jela_za_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu8f963d3b672p0f8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136970-wapalestina_wanakoseshwa_kufunga_na_kufungua_saumu_kwa_wakati_kwenye_jela_za_israel </guid>  
      <description>Tume moja ya Palestina inayoshughulikia masuala ya Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala wa kizayuni wa Israel imezishutumu mamlaka za jela hizo kwa kuwafanya Wapalestina hao washindwe kufunga Saumu zao "kwa wakati sahihi" katika mfungo huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 00:36:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa OIC kujadili unyakuzi wa Israel wa ardhi za Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136946-mkutano_wa_dharura_wa_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_oic_kujadili_unyakuzi_wa_israel_wa_ardhi_za_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsldc7adad3c91hx7g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136946-mkutano_wa_dharura_wa_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_oic_kujadili_unyakuzi_wa_israel_wa_ardhi_za_palestina </guid>  
      <description>Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) itafanya mkutano wa dharura katika ngazi ya mawaziri wa mambo ya nje Alhamisi ijayo kujadili maamuzi ya hivi karibuni ya Israel yanayozidisha ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na unyakuzi wa ardhi za Palestina katika Ukingo wa Magharibi.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Feb 2026 03:39:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah yalaani mauaji ya umati ya umwagaji damu ya Israel mashariki mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136932-ansarullah_yalaani_mauaji_ya_umati_ya_umwagaji_damu_ya_israel_mashariki_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbucc684182792p03v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136932-ansarullah_yalaani_mauaji_ya_umati_ya_umwagaji_damu_ya_israel_mashariki_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali "mauaji ya umati ya umwagaji damu" yaliyofanywa na utawala wa Israel katika eneo la Beqaa mashariki mwa Lebanon, na kuuwa takriban watu kumi na kujeruhi wengine wengi.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Feb 2026 00:09:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Ansarullah: Marekani ni mshirika wa adui Mzayuni katika jinai zake zote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136928-kiongozi_wa_ansarullah_marekani_ni_mshirika_wa_adui_mzayuni_katika_jinai_zake_zote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9c63c8e5e93d2ocjt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136928-kiongozi_wa_ansarullah_marekani_ni_mshirika_wa_adui_mzayuni_katika_jinai_zake_zote </guid>  
      <description>Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, ameashiria kile kinachojulikana kama "Bodi ya Amani ya Trump" kwa ajili ya Gaza, na kusema: "Marekani ni mshirika wa adui Mzayuni katika jinai zake zote."

</description>
      <pubDate>Mon, 23 Feb 2026 00:08:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matamshi ya Huckabee yalaaniwa vikali katika Ulimwengu wa Kiislamu, yaitwa ya 'kipuuzi' na 'kichochezi'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136910-matamshi_ya_huckabee_yalaaniwa_vikali_katika_ulimwengu_wa_kiislamu_yaitwa_ya_'kipuuzi'_na_'kichochezi'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbuabd210d7b12ozri.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136910-matamshi_ya_huckabee_yalaaniwa_vikali_katika_ulimwengu_wa_kiislamu_yaitwa_ya_'kipuuzi'_na_'kichochezi' </guid>  
      <description>Matamshi ya balozi wa Marekani katika utawala wa kizayuni wa Israel Mike Huckabee kwamba utawala huo ghasibu una haki ya kupanua eneo lake kwa kupora eneo kubwa la Mashariki ya Kati la nchi kadhaa za Kiarabu na Kiislamu za eneo hilo yamekosolewa na kulaaniwa vikali na nchi hizo, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC, Jumuiya ya Waarabu na makundi ya ukombozi wa Palestina.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Feb 2026 03:20:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wazayuni washadidisha mashambulizi Ukingo wa Magharibi katika mwezi wa Ramadhani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136906-wazayuni_washadidisha_mashambulizi_ukingo_wa_magharibi_katika_mwezi_wa_ramadhani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbub61dd586c62ozp7.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136906-wazayuni_washadidisha_mashambulizi_ukingo_wa_magharibi_katika_mwezi_wa_ramadhani </guid>  
      <description>Sambamba na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, jeshi la utawala wa Kizayuni limeshadidisha mashambulizi yake katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi huko Palestina.

</description>
      <pubDate>Sun, 22 Feb 2026 03:18:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Kujizatiti upya kijeshi maadui katika eneo ni ishara kwamba Muqawama ungali hai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136886-ansarullah_kujizatiti_upya_kijeshi_maadui_katika_eneo_ni_ishara_kwamba_muqawama_ungali_hai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by3dad4973e321x0r9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136886-ansarullah_kujizatiti_upya_kijeshi_maadui_katika_eneo_ni_ishara_kwamba_muqawama_ungali_hai </guid>  
      <description>Mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Yemen ya Ansarullah ametoa taarifa akieleza kwamba kuzungumziwa duru mpya ya vita vinavyotaka kuanzishwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Muqawama ni sawa na adui kukiri kwamba alishindwa katika vita vilivyopita.

</description>
      <pubDate>Sat, 21 Feb 2026 07:38:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I'sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136884-licha_ya_vizuizi_vikali_vya_israel_wapalestina_laki_moja_wasali_i'sha_na_tarawehe_masjidul_aqsa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu36fe8169942ozl4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136884-licha_ya_vizuizi_vikali_vya_israel_wapalestina_laki_moja_wasali_i'sha_na_tarawehe_masjidul_aqsa </guid>  
      <description>Licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vya kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa, makumi ya maelfu ya Wapalestina jana usiku walihudhuria katika msikiti huo mtukufu kusali Sala za I'sha na Tarawehe wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Feb 2026 07:37:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136876-mtazamo_wa_moscow_kuhusu_maneva_ya_pamoja_ya_baharini_kati_ya_iran_russia_na_china</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu75d12e43a92ozhi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136876-mtazamo_wa_moscow_kuhusu_maneva_ya_pamoja_ya_baharini_kati_ya_iran_russia_na_china </guid>  
      <description>Moscow imetangaza kuwa mazoezi ya pamoja ya majini kati ya majeshi ya Iran, Russia na China yatafanyika katika Lango -Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Feb 2026 05:41:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Balozi wa Marekani: Ni sawa ikiwa Israel itanyakua ardhi kote Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136868-balozi_wa_marekani_ni_sawa_ikiwa_israel_itanyakua_ardhi_kote_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbub1dfdcbeab2ozfp.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136868-balozi_wa_marekani_ni_sawa_ikiwa_israel_itanyakua_ardhi_kote_asia_magharibi </guid>  
      <description>Balozi wa Marekani katika utawala Israel amesema itakuwa “sawa tu” iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utapanua mipaka yake kote katika Asia Magharibi chini ya mpango wa “Israeli Kubwa.”</description>
      <pubDate>Sat, 21 Feb 2026 04:05:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripota wa UN kuhusu Palestina asema, licha ya kuandamwa hatasalimu amri, hatajiuzulu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136862-ripota_wa_un_kuhusu_palestina_asema_licha_ya_kuandamwa_hatasalimu_amri_hatajiuzulu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c910a8412410a2kl8m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136862-ripota_wa_un_kuhusu_palestina_asema_licha_ya_kuandamwa_hatasalimu_amri_hatajiuzulu </guid>  
      <description>Francesca Albanese, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, amesema hatajiuzulu wadhifa wake huo licha ya mashinikizo yanayotolewa dhidi yake na serikali za nchi kadhaa za Ulaya kutokana na matamshi yanayodaiwa kuwa ametoa dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Feb 2026 23:06:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136850-israel_yawazuia_wapalestina_kuswali_ijumaa_ya_kwanza_ya_ramadhani_al_aqsa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu82312eb2622oz3e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136850-israel_yawazuia_wapalestina_kuswali_ijumaa_ya_kwanza_ya_ramadhani_al_aqsa </guid>  
      <description>Utawala wa Kizayuni wa Israel umewawekea vizuizi vikali Wapalestina kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, huku mamia ya watu wakipanga foleni kwenye kizuizi cha Qalandiya karibu na Ramallah wakitarajia kuingia.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Feb 2026 09:37:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136842-hamas_yalaani_mkutano_wa_'bodi_ya_amani'_ya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu8367a178d52oz19.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136842-hamas_yalaani_mkutano_wa_'bodi_ya_amani'_ya_trump </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali kufanyika mkutano wa kile kinachoitwa 'Bodi ya Amani ya Gaza' huko nchini Marekani.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Feb 2026 06:18:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya Wapalestina na Waarabu 9,300 wanashikiliwa mateka katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136832-zaidi_ya_wapalestina_na_waarabu_9_300_wanashikiliwa_mateka_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbub5456688462oyxa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136832-zaidi_ya_wapalestina_na_waarabu_9_300_wanashikiliwa_mateka_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Klabu ya Wafungwa wa Palestina imetangaza kuwa, zaidi ya mateka na wafungwa 9,300 wa Palestina na Kiarabu wanashikiliwa katika magereza ya utawala ghasibu wa Israel na wamekuwa wakikabiliwa na sera za mateso, njaa, na mauaji ya taratibu tangu kuanza "mauaji ya kimbari ya Israel" mnamo Oktoba 7, 2023.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Feb 2026 03:41:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa: Israel inaendeleza 'hatua za taratibu' kunyakua Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136812-umoja_wa_mataifa_israel_inaendeleza_'hatua_za_taratibu'_kunyakua_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu434d18a7482oyrp.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136812-umoja_wa_mataifa_israel_inaendeleza_'hatua_za_taratibu'_kunyakua_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameonya kwamba, mipango ya utawala ghasibu wa Israel ya kuimarisha udhibiti wa sehemu za Ukingo wa Magharibi inakwenda sambamba na kutwaa eneo hilo kimabavu.

</description>
      <pubDate>Thu, 19 Feb 2026 08:40:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CPJ: Waandishi wa Habari wa Kipalestina wanateswa katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136810-cpj_waandishi_wa_habari_wa_kipalestina_wanateswa_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbudc08753bef2oyrt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136810-cpj_waandishi_wa_habari_wa_kipalestina_wanateswa_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari (CPJ) imetangaza kuwa,  waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya utawala ghasibu wa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Januari 2026 wamepitia "unyanyasaji wa kimfumo."

</description>
      <pubDate>Thu, 19 Feb 2026 08:39:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina Gaza waswali Tarawehe chini ya minara iliyoporomoka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136796-wapalestina_gaza_waswali_tarawehe_chini_ya_minara_iliyoporomoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu100267b19d2oykg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136796-wapalestina_gaza_waswali_tarawehe_chini_ya_minara_iliyoporomoka </guid>  
      <description>Jua lilipotua juu ya Gaza siku ya Jumanne, safu za waumini zilisimama kuswali, si ndani ya misikiti, bali juu ya magofu yake.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Feb 2026 04:14:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti wa Libya: Kuikomboa Palestina ni wajibu wa kidini </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136786-mufti_wa_libya_kuikomboa_palestina_ni_wajibu_wa_kidini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpq4c15808f9816u0x.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136786-mufti_wa_libya_kuikomboa_palestina_ni_wajibu_wa_kidini </guid>  
      <description>Sheikh Sadiq al-Ghariani, Mufti wa Libya amesema kwamba kuikomboa Palestina na kuwasaidia wakazi wake ni wajibu wa kidini kwa Waislamu wote.

</description>
      <pubDate>Wed, 18 Feb 2026 23:39:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia msikiti wa al-Aqswa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136780-wazayuni_wenye_misimamo_mikali_wavamia_msikiti_wa_al_aqswa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu0df04b7e862oye3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136780-wazayuni_wenye_misimamo_mikali_wavamia_msikiti_wa_al_aqswa </guid>  
      <description>Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena Msikiti mtakatifu wa Al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi dhidi ya kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.

</description>
      <pubDate>Wed, 18 Feb 2026 23:11:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136776-israel_tishio_kwa_amani_na_usalama_wa_eneo_la_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu3b9acb84442oy8y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136776-israel_tishio_kwa_amani_na_usalama_wa_eneo_la_asia_magharibi </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya jinai kubwa zaidi kwa kupewa kinga kamili katika kipindi cha miongo minane iliyopita.
</description>
      <pubDate>Wed, 18 Feb 2026 07:49:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa kuwadia Ramadhani, mlowezi wa kizayuni auchoma moto Msahafu Baitul-Muqaddas</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136770-kwa_kuwadia_ramadhani_mlowezi_wa_kizayuni_auchoma_moto_msahafu_baitul_muqaddas</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu3a072e782f2oy7s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136770-kwa_kuwadia_ramadhani_mlowezi_wa_kizayuni_auchoma_moto_msahafu_baitul_muqaddas </guid>  
      <description>Mlowezi mmoja Muisraeli wa kizayuni mwenye misimamo ya chuki ameichoma moto nakala ya Kitabu kitakatifu cha Waislamu, Qur'ani, akiwa katika eneo ambalo halijafahamika katika mji wa Baitul-Muqaddas, siku chache kabla ya kuanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Feb 2026 07:00:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>