<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - west_asia</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Sun, 09 Aug 2026 09:51:28 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Malaysia na Indonesia zasisitiza kuunga mkono Palestina na maeneo matakatifu Baytul-Muqaddas</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140522-malaysia_na_indonesia_zasisitiza_kuunga_mkono_palestina_na_maeneo_matakatifu_baytul_muqaddas</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02ca89f67622q5wo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140522-malaysia_na_indonesia_zasisitiza_kuunga_mkono_palestina_na_maeneo_matakatifu_baytul_muqaddas </guid>  
      <description>Malaysia na Indonesia kwa mara nyingine tena zimesisitiza uungaji mkono wao kwa watu wa Palestina na kuhifadhi hadhi ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo katika Baytul-Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:17:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF yachukua hatua dhidi ya afisa anayetuhumiwa kufanya ujasusi kwa maslahi ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140518-unicef_yachukua_hatua_dhidi_ya_afisa_anayetuhumiwa_kufanya_ujasusi_kwa_maslahi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01be1a24cd32q5we.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140518-unicef_yachukua_hatua_dhidi_ya_afisa_anayetuhumiwa_kufanya_ujasusi_kwa_maslahi_ya_israel </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa amethibitisha kwamba Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) linachukua hatua dhidi ya mmoja wa wafanyakazi wake, kufuatia madai kwamba alifanya ujasusi kwa maslahi ya Israel wakati wa kazi yake ya awali katika Shirika la Idadi ya Watu la Umoja wa Mataifa.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:00:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Baraza la Usalama la UN limepoteza hadhi; maazimio yake hayana thamani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140506-ansarullah_baraza_la_usalama_la_un_limepoteza_hadhi_maazimio_yake_hayana_thamani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d8ef1cae1e2q5rm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140506-ansarullah_baraza_la_usalama_la_un_limepoteza_hadhi_maazimio_yake_hayana_thamani </guid>  
      <description>Kiongozi mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amepuzilia mbali hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kulaani mashambulizi ya makombora ya kulipiza kisasi dhidi ya Saudi Arabia na meli za kibiashara za utawala huo wa kifalme akisema kuwa chombo hicho cha kimataifa kimepoteza uhalali na hadhi yake, na maazimio yake hayana thamani yoyote.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:55:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan zasaini mkataba wa pamoja wa ulinzi huku nguvu ya Marekani ikipungua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140494-uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_zasaini_mkataba_wa_pamoja_wa_ulinzi_huku_nguvu_ya_marekani_ikipungua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d274a141242q5hq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140494-uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_zasaini_mkataba_wa_pamoja_wa_ulinzi_huku_nguvu_ya_marekani_ikipungua </guid>  
      <description>Saudi Arabia imesaini makubaliano ya pamoja ya ulinzi kati yake na Uturuki Pakistan kwa lengo la kuimarisha usalama wa pamoja na ushirikiano wa kijeshi huku nguvu za kijeshi za Marekani zikipungua katika eneo hili. </description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 02:47:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi mapya ya Yemen yaangamiza mamluki wa Saudia wasiopungua 58 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140488-mashambulizi_mapya_ya_yemen_yaangamiza_mamluki_wa_saudia_wasiopungua_58</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00259ff306c2q5fs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140488-mashambulizi_mapya_ya_yemen_yaangamiza_mamluki_wa_saudia_wasiopungua_58 </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimefanya operesheni kubwa iliyozilenga ngome za kijeshi na vituo vikuu vya kamanda za kijeshi zilizokuwa zikisimamiwa na mamluki wanaoungwa mkono na Saudi Arabia nchini humo.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 13:41:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Mossad awatimua maafisa wawili wakuu kwa kufeli mpango wa kuipindua serikali ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140486-mkuu_wa_mossad_awatimua_maafisa_wawili_wakuu_kwa_kufeli_mpango_wa_kuipindua_serikali_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0531e9bfbea2q5fi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140486-mkuu_wa_mossad_awatimua_maafisa_wawili_wakuu_kwa_kufeli_mpango_wa_kuipindua_serikali_ya_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa shirika la ujasusi na ugaidi la utawala wa kizayuni wa Israel Mossad, Roman Gofman, amewafukuza kazi maafisa wawili wakuu wa intelijensia baada ya kushindwa au kutotekelezwa mpango wa kuipindua serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 12:31:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya nchi 8 za Kiarabu na Kiislamu yalaani jinai za Israel Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140468-taarifa_ya_nchi_8_za_kiarabu_na_kiislamu_yalaani_jinai_za_israel_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b294c15c422q58e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140468-taarifa_ya_nchi_8_za_kiarabu_na_kiislamu_yalaani_jinai_za_israel_ghaza </guid>  
      <description>Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nane za Kiarabu na Kiislamu wametoa taarifa ya pamoja ambapo mbali na kulaani uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wamelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liulazimishe utawala huo utekeleze majukumu yake na kuwawajibisha wale wanaokiuka haki za Wapalestina.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:33:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Mashambulio ya Marekani yaliua na kujeruhi mamia ya raia Yemen mwaka jana; Washington inaficha idadi kamili ya wahanga</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140462-ripoti_mashambulio_ya_marekani_yaliua_na_kujeruhi_mamia_ya_raia_yemen_mwaka_jana_washington_inaficha_idadi_kamili_ya_wahanga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00112b5d52e2q52e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140462-ripoti_mashambulio_ya_marekani_yaliua_na_kujeruhi_mamia_ya_raia_yemen_mwaka_jana_washington_inaficha_idadi_kamili_ya_wahanga </guid>  
      <description>Mashambulio ya anga ya Marekani nchini Yemen yalisababisha vifo au majeraha kwa mamia ya raia mwaka jana, hata hivyo utawala wa Trump umeficha kwa makusudi idadi kamili ya waliofariki na kushindwa kuwasilisha kwa Bunge la nchi hiyo ripoti inayohitajika kuhusu wahanga wa mashambulio hayo.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:06:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malengo yanayofuatiliwa na Marekani katika kuzichochea nchi za Kiarabu zikabiliane na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140456-malengo_yanayofuatiliwa_na_marekani_katika_kuzichochea_nchi_za_kiarabu_zikabiliane_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f527702e642q4ww.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140456-malengo_yanayofuatiliwa_na_marekani_katika_kuzichochea_nchi_za_kiarabu_zikabiliane_na_iran </guid>  
      <description>Hata kama nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi hazitaki kuchochea mivutano katika eneo, kwa mujibu wa sera zao rasmi, lakini Marekani inajaribu kuzivuta katika makabiliano ya moja kwa moja na Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 06:43:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen lapiga meli nyingine ya mafuta ya Saudi Arabia katika Bahari Nyekundu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140438-jeshi_la_yemen_lapiga_meli_nyingine_ya_mafuta_ya_saudi_arabia_katika_bahari_nyekundu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc037bbbce3982q4oy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140438-jeshi_la_yemen_lapiga_meli_nyingine_ya_mafuta_ya_saudi_arabia_katika_bahari_nyekundu </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya mafuta ya Saudi Arabia katika sehemu ya kaskazini ya Bahari Nyekundu, baada ya meli hiyo kukiuka mzingiro wa baharini uliowekwa dhidi ya Saudi Arabia.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:14:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ghaza yafanya maziko makubwa zaidi ya halaiki ya Wapalestina 112 waliouliwa kikatili na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140428-ghaza_yafanya_maziko_makubwa_zaidi_ya_halaiki_ya_wapalestina_112_waliouliwa_kikatili_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a44bbf59bd2q4cw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140428-ghaza_yafanya_maziko_makubwa_zaidi_ya_halaiki_ya_wapalestina_112_waliouliwa_kikatili_na_israel </guid>  
      <description>Wapalestina wamewazika watu 112 wa ukoo mmoja waliouawa katika mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel mnamo Novemba 2023, baada ya mabaki yao kupatikana kutoka chini ya vifusi mwezi uliopita.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 03:08:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya Yemen vyashambulia shabaha muhimu ndani ya Uwanja wa Ndege wa Najran, Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140424-vikosi_vya_yemen_vyashambulia_shabaha_muhimu_ndani_ya_uwanja_wa_ndege_wa_najran_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b28b4512462q4cs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140424-vikosi_vya_yemen_vyashambulia_shabaha_muhimu_ndani_ya_uwanja_wa_ndege_wa_najran_saudi_arabia </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limekishambulia kituo cha kimkakati ndani ya uwanja wa ndege wa Najran kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni jibu kwa mashambulizi na mzingiro unaoendelea kufanywa na utawala wa Riyadh dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:57:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ElBaradei kwa Netanyahu: Umeiharibu Gaza, sasa unazungumzia "uhuru" wa watu wake!</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140422-elbaradei_kwa_netanyahu_umeiharibu_gaza_sasa_unazungumzia_uhuru_wa_watu_wake!</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0459b5c5bd12q4cq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140422-elbaradei_kwa_netanyahu_umeiharibu_gaza_sasa_unazungumzia_uhuru_wa_watu_wake! </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) Mohamed ElBaradei, amemhutubu Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akisema: "Umeiharibu Gaza, na sasa unazungumzia uhuru wa watu wake!"</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:55:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Aramco: Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha ‘mshtuko mkubwa kwa usambazaji wa mafuta katika historia’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140420-mkuu_wa_aramco_kufungwa_lango_bahari_la_hormuz_kumesababisha_mshtuko_mkubwa_kwa_usambazaji_wa_mafuta_katika_historia’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d0183a96712q4co.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140420-mkuu_wa_aramco_kufungwa_lango_bahari_la_hormuz_kumesababisha_mshtuko_mkubwa_kwa_usambazaji_wa_mafuta_katika_historia’ </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa kampuni kubwa ya mafuta ya Saudi Arabia ya Aramco ameeleza kuwa kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha "mshtuko mkubwa zaidi wa usambazaji wa mafuta katika historia," na kwamba masoko ya dunia yamepoteza mapipa ya mafuta zaidi ya bilioni 2.6 tangu kuanza kutekelezwa hatua hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:53:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Naim Qassim: Mazungumzo ya moja kwa moja ya Lebanon na Israel hayana tija yoyote isipokuwa aibu na fedheha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140410-sheikh_naim_qassim_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_ya_lebanon_na_israel_hayana_tija_yoyote_isipokuwa_aibu_na_fedheha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05cdcaead9c2q47u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140410-sheikh_naim_qassim_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_ya_lebanon_na_israel_hayana_tija_yoyote_isipokuwa_aibu_na_fedheha </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Lebanon na Israel hayajakuwa na matokeo yoyote isipokuwa aibu na fedheha.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:30:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa Ansarullah: Kauli za Trump kuhusu amani zimetokana na hofu ya nguvu za Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140396-afisa_wa_ansarullah_kauli_za_trump_kuhusu_amani_zimetokana_na_hofu_ya_nguvu_za_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05c4d315cf92q43m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140396-afisa_wa_ansarullah_kauli_za_trump_kuhusu_amani_zimetokana_na_hofu_ya_nguvu_za_iran </guid>  
      <description>Afisa mwandamizi wa Ansarullah amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu amani yanaonyesha wasiwasi wa Marekani juu ya uwezo wa ulinzi wa Iran.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:05:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini shambulio la Saudi Arabia na Marekani dhidi ya Hashd al-Shaabi ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala ya Iraq?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140392-kwa_nini_shambulio_la_saudi_arabia_na_marekani_dhidi_ya_hashd_al_shaabi_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mamlaka_ya_kujitawala_ya_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc059d130d9f62q3yc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140392-kwa_nini_shambulio_la_saudi_arabia_na_marekani_dhidi_ya_hashd_al_shaabi_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mamlaka_ya_kujitawala_ya_iraq </guid>  
      <description>Kikosi cha Hashd al-Shaabi cha Iraq kilitangaza siku chache zilizopita kuwa watu wasiopungua 20 waliuawa na wengine 32 kujeruhiwa katika shambulio la pamoja la kichokozi lililofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq mapema Jumatano iliyopita.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 11:17:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Palestina watoa onyo baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya Israel tangu kusitisha mapigano </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140386-muqawama_wa_palestina_watoa_onyo_baada_ya_mashambulizi_mabaya_zaidi_ya_israel_tangu_kusitisha_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04a263f2bc42q3x2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140386-muqawama_wa_palestina_watoa_onyo_baada_ya_mashambulizi_mabaya_zaidi_ya_israel_tangu_kusitisha_mapigano </guid>  
      <description>Makundi ya Muqawama ya Palestina yametoa onyo kali baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya anga ya Israel tangu kusitisha mapigano Oktoba 2025, yakisema mashambulizi hayo yasiyokoma ni hujuma ya makusudi dhidi ya makubaliano ya kusitisha mapigano na ujumbe kwamba Israel haina nia ya kutimiza majukumu yake.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 10:13:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi mkuu wa kidini wa Bahrain alaani mataifa ya Kiarabu kwa kutumikia ajenda za Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140384-kiongozi_mkuu_wa_kidini_wa_bahrain_alaani_mataifa_ya_kiarabu_kwa_kutumikia_ajenda_za_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08578b740ef2q3wy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140384-kiongozi_mkuu_wa_kidini_wa_bahrain_alaani_mataifa_ya_kiarabu_kwa_kutumikia_ajenda_za_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Ayatullah Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain, amezilaani nchi za Kiarabu na Kiislamu za kanda ya Magharibi mwa Asia kwa kuchangia katika njama za Marekani na Israel za kuimarisha migawanyiko katika eneo hilo.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 10:09:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malengo ya Julani katika kuanzisha uadui dhidi ya kundi la Hashd al-Shaabi la Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140380-malengo_ya_julani_katika_kuanzisha_uadui_dhidi_ya_kundi_la_hashd_al_shaabi_la_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04d01d63ea32q3vo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140380-malengo_ya_julani_katika_kuanzisha_uadui_dhidi_ya_kundi_la_hashd_al_shaabi_la_iraq </guid>  
      <description>Abu Mohammad al-Julani, mtawala wa serikali ya mpito ya Syria, amedai katika matamshi tatanishi kuwa ana wasiwasi kuhusu uwepo wa makundi ya wanamgambo wa Iraq na vikosi vya Hashd al-Shaabi katika maeneo ya mpaka wa nchi hiyo na Iraq.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 09:21:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano makubwa ya kupinga sera zilizofeli za Benjamin Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140368-maandamano_makubwa_ya_kupinga_sera_zilizofeli_za_benjamin_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00266482d112q3m4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140368-maandamano_makubwa_ya_kupinga_sera_zilizofeli_za_benjamin_netanyahu </guid>  
      <description>Wakazi wa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel wamefanya maandamano makubwa katika maeneo mbalimbali wakipinga sera za serikali ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambazo wamezitaja kuwa zimeshindwa.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 02:43:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika mwezi wa Julai pekee Israel imeua Wapalestina zaidi ya 150 Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140364-katika_mwezi_wa_julai_pekee_israel_imeua_wapalestina_zaidi_ya_150_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f65575c71a2q3k2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140364-katika_mwezi_wa_julai_pekee_israel_imeua_wapalestina_zaidi_ya_150_ghaza </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Ghaza imetangaza kuwa, katika mwezi Julai pekee, Wapalestina 152 waliuawa shahidi katika eneo hilo lililowekewa mzingiro, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo vya kila mwezi kuwahi kurekodiwa tangu ulipoanza mwaka huu.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:14:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya kinyama vya Israel Ghaza: Miili 40 ya watoto, 38 ya wanawake miongoni mwa iliyotolewa kwenye kifusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140358-vita_vya_kinyama_vya_israel_ghaza_miili_40_ya_watoto_38_ya_wanawake_miongoni_mwa_iliyotolewa_kwenye_kifusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc070459209992q3ju.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140358-vita_vya_kinyama_vya_israel_ghaza_miili_40_ya_watoto_38_ya_wanawake_miongoni_mwa_iliyotolewa_kwenye_kifusi </guid>  
      <description>Shirika la Ulinzi wa Raia la Ghaza limesema, wafanyakazi wake walipata miili na mabaki ya watu 112 kutoka chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel katika kitongoji cha Sabra cha Jiji la Ghaza.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:02:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Changamoto mpya kwa Wasaudia kufuatia mzingiro wa majini wa Yemen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140356-changamoto_mpya_kwa_wasaudia_kufuatia_mzingiro_wa_majini_wa_yemen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05d4115d55e2q3iq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140356-changamoto_mpya_kwa_wasaudia_kufuatia_mzingiro_wa_majini_wa_yemen </guid>  
      <description>Mzingiro wa majini wa Yemen dhidi ya Saudi Arabia, pamoja na kufungwa kwa Lango-Bahari la Bab al-Mandab kwa meli za mafuta za Saudia, vimetoa changamoto mpya kwa Wasaudia.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 11:14:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazuwari zaidi ya milioni nne wameingia Iraq tangu Muharram hadi sasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140354-mazuwari_zaidi_ya_milioni_nne_wameingia_iraq_tangu_muharram_hadi_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ddce2fed4c2q3aa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140354-mazuwari_zaidi_ya_milioni_nne_wameingia_iraq_tangu_muharram_hadi_sasa </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya habari ya masuala ya usalama wa Iraq ametangaza kuwa wafanyaziara zaidi ya milioni nne wa kigeni wamewasili nchini humo tangu mwanzo wa mwezi wa Muharram, na kwamba zoezi la upokeaji mazuwari wanaokwenda kushiriki kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS lingali unaendelea.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 03:29:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la Israel dhidi ya maghala ya dawa Ghaza latajwa kuwa ni 'jinai ovu sana'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140344-shambulio_la_israel_dhidi_ya_maghala_ya_dawa_ghaza_latajwa_kuwa_ni_'jinai_ovu_sana'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05acfe8a40e2q3a2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140344-shambulio_la_israel_dhidi_ya_maghala_ya_dawa_ghaza_latajwa_kuwa_ni_'jinai_ovu_sana' </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Ghaza imelaani kile ilichokiita "jinai ovu sana" iliyofanywa na vikosi vya utawala wa kizayuni wa Israel huko Deir el-Balah, ikisema shambulio hilo la Ijumaa asubuhi lililenga "maghala ya dawa" ya Hospitali ya Mashahidi wa Al-Aqsa, na kuyabomoa kikamilifu mawili kati ya maghala hayo.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 02:45:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Abdullahi: Sasa, majeneza ni sehemu ya vifaa vya wanajeshi wa Marekani, Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140328-meja_jenerali_abdullahi_sasa_majeneza_ni_sehemu_ya_vifaa_vya_wanajeshi_wa_marekani_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06a94dfe7a52q2yo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140328-meja_jenerali_abdullahi_sasa_majeneza_ni_sehemu_ya_vifaa_vya_wanajeshi_wa_marekani_asia_magharibi </guid>  
      <description>Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) ameandika ujumbe katika mitandao ya kiijamii akisema: Majeneza ya Wamarekani sasa ni sehemu ya vifaa vyao katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:36:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen lalazimisha meli 8 za mafuta za Saudia kubadili njia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140324-jeshi_la_yemen_lalazimisha_meli_8_za_mafuta_za_saudia_kubadili_njia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09bfed291312q2xm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140324-jeshi_la_yemen_lalazimisha_meli_8_za_mafuta_za_saudia_kubadili_njia </guid>  
      <description>Msemaji wa Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen ametangaza katika taarifa kwamba, katika juhudi za kuimarisha mlingano wa “kuzingirwa kwa kuzingirwa”, na kufuatia kuongezeka kwa vikwazo vya baharini dhidi ya meli za mafuta za Saudi Arabia, meli nane za mafuta za Saudi Arabia zimelazimika kubadili njia na kuelekea Rasi ya Tumaini Jema (Cape of Good Hope).</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:34:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140298-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza69c5772052q2io.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140298-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa' </guid>  
      <description>Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:30:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140284-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza69c5772052q2io.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140284-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa' </guid>  
      <description>Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 11:09:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140274-kwa_nini_netanyahu_atasajiliwa_katika_historia_kama_waziri_mkuu_mbaya_zaidi_wa_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz66fd7c06552q2eo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140274-kwa_nini_netanyahu_atasajiliwa_katika_historia_kama_waziri_mkuu_mbaya_zaidi_wa_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Gazeti la Haaretz limeandika: Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni.
Gazeti hilo limechapisha ripoti inayokosoa vikali utendaji wa Benjamin Netanyahu, likisisitiza kuwa atakumbukwa kama Waziri Mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni na kwamba madhara ya kiusalama na kiuchumi ya vita alivyovisababisha yataukabili utawala wa Israel kwa miaka mingi ijayo.
</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 06:58:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani mashambulizi ya “kihalifu” ya Marekani na Saudia dhidi ya Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140270-iran_yalaani_mashambulizi_ya_kihalifu_ya_marekani_na_saudia_dhidi_ya_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza2c0924a302q2ck.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140270-iran_yalaani_mashambulizi_ya_kihalifu_ya_marekani_na_saudia_dhidi_ya_iraq </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa kauli kali ya kulaani mashambulizi ya pamoja ya angani yaliyofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 04:15:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iraq yafuta safari ya Waziri Mkuu wake Riyadh baada ya mashambulizi ya Marekani na Saudia nchini Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140268-iraq_yafuta_safari_ya_waziri_mkuu_wake_riyadh_baada_ya_mashambulizi_ya_marekani_na_saudia_nchini_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4994bd58702q2ci.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140268-iraq_yafuta_safari_ya_waziri_mkuu_wake_riyadh_baada_ya_mashambulizi_ya_marekani_na_saudia_nchini_iraq </guid>  
      <description>Serikali ya Iraq imefuta ziara iliyopangwa kufanywa na Waziri Mkuu wake nchini Saudi Arabia, kufuatia kile kilichotajwa kuwa mashambulizi ya Marekani na Saudi Arabia, huku kukiwa na ongezeko la wito ndani ya nchi wa kuchukua hatua ya kujibu.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 04:13:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgogoro katika Jeshi la Israel: Wanajeshi wengine wawili wa Kizayuni wajiua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140262-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_wanajeshi_wengine_wawili_wa_kizayuni_wajiua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz12e0246fe02q2ca.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140262-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_wanajeshi_wengine_wawili_wa_kizayuni_wajiua </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimeripoti kuwa, baada ya wanajeshi wengine wawili wa Kizayuni kujiua, idadi ya wanajeshi waliojitoa uhai tangu mwanzoni mwa mwaka huu imefikia 16.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 04:02:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mtaalamu wa kizayuni: Israel 'haina ubavu' wa kukabiliana na Iran kwa muda mrefu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140236-mtaalamu_wa_kizayuni_israel_'haina_ubavu'_wa_kukabiliana_na_iran_kwa_muda_mrefu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4aaaff530f2q1us.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140236-mtaalamu_wa_kizayuni_israel_'haina_ubavu'_wa_kukabiliana_na_iran_kwa_muda_mrefu </guid>  
      <description>Mtaalamu maarufu wa Kizayuni amekosoa kuongezeka utegemezi wa utawala haramu wa Israel kwa Marekani, akisisitiza kwamba utawala wa Kizayuni hauna tena uhuru wa kimkakati uliokuwa nao zamani na hauwezi kuhimili makabiliano ya muda mrefu na Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 14:11:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watetezi wa Palestina wakusanyika nje ya White House kupinga safari ya Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140232-watetezi_wa_palestina_wakusanyika_nje_ya_white_house_kupinga_safari_ya_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz177a30b9272q1u6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140232-watetezi_wa_palestina_wakusanyika_nje_ya_white_house_kupinga_safari_ya_netanyahu </guid>  
      <description>Waandamanaji wanaoitetea na kuiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya Ikulu ya White House jana Jumatatu kupinga ziara ya Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu huko Washington kabla ya mkutano wake aliopangiwa kufanya na Rais wa Marekani Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 14:02:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Kiislamu Iraq: Hatua yoyote ya kipumbavu ya Saudia itakabiliwa na jibu la haraka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140222-muqawama_wa_kiislamu_iraq_hatua_yoyote_ya_kipumbavu_ya_saudia_itakabiliwa_na_jibu_la_haraka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb2c7bb3c662q1k0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140222-muqawama_wa_kiislamu_iraq_hatua_yoyote_ya_kipumbavu_ya_saudia_itakabiliwa_na_jibu_la_haraka </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq imeuonya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia kwamba hatua yoyote ya kipumbavu itakayochukuliwa na Riyadh itakabiliwa na jibu kali litakaloulamisha kujutia maamuzi yake.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 03:57:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah Yemen: Hakuna meli ya Saudi Arabia inayoruhusiwa kupita Lango Bahari la Bab al-Mandab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140212-ansarullah_yemen_hakuna_meli_ya_saudi_arabia_inayoruhusiwa_kupita_lango_bahari_la_bab_al_mandab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf2243a8b802q1cq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140212-ansarullah_yemen_hakuna_meli_ya_saudi_arabia_inayoruhusiwa_kupita_lango_bahari_la_bab_al_mandab </guid>  
      <description>Harakati ya Ansarullah yaYemen imesema kuwa Mlango Bahari wa Bab al-Mandab umefungwa kikamilifu kwa Saudi Arabia, huku ikisisitiza msimamo wake kuhusu hatua zinazohusiana na usalama wa njia hiyo muhimu ya baharini.

</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 10:18:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani hatua za 'Zio-American' zinazolenga UNRWA, yahimiza hatua za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140194-hamas_yalaani_hatua_za_'zio_american'_zinazolenga_unrwa_yahimiza_hatua_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz98f6ae687e2q14i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140194-hamas_yalaani_hatua_za_'zio_american'_zinazolenga_unrwa_yahimiza_hatua_za_kimataifa </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani hatua mpya za Marekani na Israel zinazolenga Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), likitaka kuchukuliwe hatua za dharura za kimataifa dhidi ya kampeni ya "Wazayuni-Marekani" ya kutaka kulisambaratisha shirika hilo.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 03:56:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walowezi wa Israel wachoma misikiti ya Ukingo wa Magharibi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140190-walowezi_wa_israel_wachoma_misikiti_ya_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf168e2dc932q14e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140190-walowezi_wa_israel_wachoma_misikiti_ya_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Walowezi wa Kiisraeli wamevamia misikiti miwili, mmoja uliokuwa ukijengwa, katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na kuichoma moto katika kile kinacholaaniwa kama kampeni ya kimfumo inayolenga haki za kidini za Wapalestina.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 03:50:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Afya Gaza: Israel imeuwa Wapalestina wengine 9 Gaza; Vifo vyapindukia 73,300</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140178-wizara_ya_afya_gaza_israel_imeuwa_wapalestina_wengine_9_gaza_vifo_vyapindukia_73_300</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9285515c522q10i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140178-wizara_ya_afya_gaza_israel_imeuwa_wapalestina_wengine_9_gaza_vifo_vyapindukia_73_300 </guid>  
      <description>Wapalestina wengine tisa wameuawa shahidi katika mashambulizi ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza katika saa 24 zilizopita. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 13:16:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Francesca Albanese atoa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140166-francesca_albanese_atoa_wito_wa_kuwekewa_vikwazo_vya_silaha_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz43822824cc2q0qs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140166-francesca_albanese_atoa_wito_wa_kuwekewa_vikwazo_vya_silaha_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu katika Ardhi za Palestina Zinazokaliwa kwa Mabavu, Francesca Albanese, ameyataja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kuwa ni "mauaji ya kimfumo", na kuitaka jamii ya kimataifa kuweka mara moja vikwazo vya silaha pamoja na kusitisha biashara na utawala huo.

</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 02:50:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya wanamichezo 1,000 wa Kipalestina wameuawa shahidi na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140164-zaidi_ya_wanamichezo_1_000_wa_kipalestina_wameuawa_shahidi_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb725f455d82q0qq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140164-zaidi_ya_wanamichezo_1_000_wa_kipalestina_wameuawa_shahidi_na_israel </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Palestina limetangaza kuwa wanamichezo 1,013 wa Kipalestina wameuawa shahidi tangu kuanza vita dhidi ya Ukanda wa Gaza mwezi Oktoba 2023, kutokana na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni.

</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 02:47:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen latekeleza hujuma ya makomora dhidi ya Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140160-jeshi_la_yemen_latekeleza_hujuma_ya_makomora_dhidi_ya_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd2da69a8672q0lm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140160-jeshi_la_yemen_latekeleza_hujuma_ya_makomora_dhidi_ya_saudi_arabia </guid>  
      <description>Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimefyatua makombora na kupiga kituo kikuu cha kijeshi cha anga katika jimbo la Asir, kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni hatua ya kujibu mapigo dhidi ya mashambulizi ya kijeshi ya hivi karibuni ya utawala wa Saudia pamoja na mzingiro unaoendelea dhidi ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 11:19:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa UN alaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya Walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140156-afisa_wa_un_alaani_vikali_mashambulizi_ya_kigaidi_ya_walowezi_wa_kizayuni_dhidi_ya_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbb2b5034382pdzs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140156-afisa_wa_un_alaani_vikali_mashambulizi_ya_kigaidi_ya_walowezi_wa_kizayuni_dhidi_ya_wapalestina </guid>  
      <description>Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa, Francesca Albanese, amelaani vikali wimbi kubwa la ghasia zinazotekelezwa na walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika maeneo yote ya Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 11:11:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Kuongezeka mashambulizi dhidi ya Gaza ni jaribio la kuua makubaliano ya kusitisha mapigano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140128-hamas_kuongezeka_mashambulizi_dhidi_ya_gaza_ni_jaribio_la_kuua_makubaliano_ya_kusitisha_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb89be328332q060.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140128-hamas_kuongezeka_mashambulizi_dhidi_ya_gaza_ni_jaribio_la_kuua_makubaliano_ya_kusitisha_mapigano </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kwamba mashambulizi makubwa ya anga ya utawala wa Israel eneo la Ukanda wa Gaza katika saa kadhaa zilizopita ni mwendelezo wa vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasio na hatia na msisitizo wa kuvuruga makubaliano ya kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Fri, 24 Jul 2026 07:17:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yashambulia ngome za Marekani nchini Kuwait na Jordan yasema ni haki kisheria, kidini na kimantiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140114-iran_yashambulia_ngome_za_marekani_nchini_kuwait_na_jordan_yasema_ni_haki_kisheria_kidini_na_kimantiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz54d440845d2pzzs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140114-iran_yashambulia_ngome_za_marekani_nchini_kuwait_na_jordan_yasema_ni_haki_kisheria_kidini_na_kimantiki </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limethibitisha kufanya mashambulio dhidi ya vituo vya kijeshi vya Marekani nchini Kuwait na Jordan, likisisitiza kuwa kulenga kambi zinazotumiwa katika operesheni dhidi ya Iran ni “haki ya Iran ya kisheria, kidini, na kimantiki.”</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 11:55:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hatua ya Yemen ya Kuiwekea Saudi Arabia Mzingiro wa Majini: Sababu na Matokeo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140102-hatua_ya_yemen_ya_kuiwekea_saudi_arabia_mzingiro_wa_majini_sababu_na_matokeo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb0a2ad02782pzuw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140102-hatua_ya_yemen_ya_kuiwekea_saudi_arabia_mzingiro_wa_majini_sababu_na_matokeo </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Yemen ametangaza marufuku ya usafiri wa meli na kuweka mzingiro wa majini dhidi ya Saudi Arabia, kwa kuzingatia kanuni ya "mzingiro kwa mzingiro."</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 07:19:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Hatuogopi kuuawa shahidi': Mkuu mpya wa Hamas atoa ujumbe wa kwanza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140066-'hatuogopi_kuuawa_shahidi'_mkuu_mpya_wa_hamas_atoa_ujumbe_wa_kwanza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdcd8fb39422pzem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140066-'hatuogopi_kuuawa_shahidi'_mkuu_mpya_wa_hamas_atoa_ujumbe_wa_kwanza </guid>  
      <description>Khalil al-Hayya, mkuu mpya wa Idara ya Siasa ya Hamas, ametangaza katika ujumbe wake wa kwanza kama kiongozi wa harakati hiyo kwamba muqawama wa Palestina hautatishwa na mauaji ya wanawe au mauaji ya makamanda wake.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 03:07:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaonya Saudi Arabia kuhusu ‘matokeo mabaya’ iwapo uchokozi na kuzingirwa vitaendelea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140052-yemen_yaonya_saudi_arabia_kuhusu_matokeo_mabaya’_iwapo_uchokozi_na_kuzingirwa_vitaendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz16401ae64f2pz80.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140052-yemen_yaonya_saudi_arabia_kuhusu_matokeo_mabaya’_iwapo_uchokozi_na_kuzingirwa_vitaendelea </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imeonya utawala wa Saudi Arabia kuhusu “matokeo mabaya na makubwa” iwapo utaendelea kuongeza mashambulizi yake kwa kulenga miundombinu ya kiraia, na kuimarisha sera ya kuzingira bandari na viwanja vya ndege nchini Yemen.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 11:30:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yafanya uharibifu mkubwa kusini mwa Lebanon huku ndege zisizo na rubani zikiruka katika anga ya Beirut</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140040-israel_yafanya_uharibifu_mkubwa_kusini_mwa_lebanon_huku_ndege_zisizo_na_rubani_zikiruka_katika_anga_ya_beirut</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc36cbaecd72pz2o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140040-israel_yafanya_uharibifu_mkubwa_kusini_mwa_lebanon_huku_ndege_zisizo_na_rubani_zikiruka_katika_anga_ya_beirut </guid>  
      <description>Jeshi la Israel jana lilifanya operesheni kubwa ya ubomoaji kusini mwa Lebanon siku ya Jumatatu huku ndege zisizo na rubani za utawala huo ghasibu zikiruka katika anga ya mji mkuu wa chi hiyo Beirut na vitongoji vyake.

</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 03:21:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Mzingiro wa baharini dhidi ya Saudia ni matokeo ya kukataa Riyadh kutoa jibu kwa matakwa halali ya Yemen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140038-ansarullah_mzingiro_wa_baharini_dhidi_ya_saudia_ni_matokeo_ya_kukataa_riyadh_kutoa_jibu_kwa_matakwa_halali_ya_yemen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzcfd04bbc0a2pz2k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140038-ansarullah_mzingiro_wa_baharini_dhidi_ya_saudia_ni_matokeo_ya_kukataa_riyadh_kutoa_jibu_kwa_matakwa_halali_ya_yemen </guid>  
      <description>Mohammed Abdulsalam, Mkuu wa timu ya mazungumzo ya Yemen, amesisitiza kuwa tangazo la vikosi vya ulinzi vya Yemen kuhusu marufuku ya usafiri wa baharini dhidi ya Saudi Arabia ilikuwa hatua ambayo Sana'a ililazimika kuichukua kujibu hatua ya Riyadh kukataa kujibu kwa njia ya amani matakwa halali ya Yemen.

</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 03:02:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ndege za Marekani za kuongeza mafuta angani zahamishiwa Israel kwa hofu ya mashambulizi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140030-ndege_za_marekani_za_kuongeza_mafuta_angani_zahamishiwa_israel_kwa_hofu_ya_mashambulizi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza5f2a39a812pyw2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140030-ndege_za_marekani_za_kuongeza_mafuta_angani_zahamishiwa_israel_kwa_hofu_ya_mashambulizi_ya_iran </guid>  
      <description>Ndege za Marekani za kuongeza mafuta angani (refuelling aircraft) zimehamishiwa katika eneo la Palestina inayokaliwa, kutokana na hofu ya mashambulizi yanayoweza kufanywa na Iran.

</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 11:02:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walowezi wa Kizayuni wachoma moto nyumba mbili na msikiti wa Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140028-walowezi_wa_kizayuni_wachoma_moto_nyumba_mbili_na_msikiti_wa_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz58c242129f2pyvc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140028-walowezi_wa_kizayuni_wachoma_moto_nyumba_mbili_na_msikiti_wa_wapalestina </guid>  
      <description>Walowezi wa Kizayuni wamechoma moto nyumba mbili pamoja na msikiti mmoja wa Wapalestina, katika tukio lililotajwa kuwa sehemu ya mashambulizi dhidi ya mali za Wapalestina.

</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 10:42:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askari mwingine wa Marekani auawa nchini Iraq huku idadi ya majeruhi ikipanda katika vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140018-askari_mwingine_wa_marekani_auawa_nchini_iraq_huku_idadi_ya_majeruhi_ikipanda_katika_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1ec535ff302pyly.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140018-askari_mwingine_wa_marekani_auawa_nchini_iraq_huku_idadi_ya_majeruhi_ikipanda_katika_vita_na_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Marekani limekiri Jumapili kwamba askari wake mwingine ameuawa kufuatia shambulio la ndege isiyo na rubani ya Iran, huku operesheni za kulipiza kisasi za Jamhuri ya Kiislamu zikiendelea kuwasababishia hasara kubwa askari wa jeshi katili Marekani katika kanda nzima.</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 04:12:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanazuoni wa Bahrain waonya kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140016-wanazuoni_wa_bahrain_waonya_kuhusu_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd79669819e2pyqo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140016-wanazuoni_wa_bahrain_waonya_kuhusu_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu </guid>  
      <description>Wanazuoni wa Bahrain wametoa onyo kuhusu kuendelea ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo, wakisema hali hiyo inazidi kuzorota na kuhatarisha haki za msingi za wananchi.
</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 04:10:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa zamani wa Vita wa Israel: Tulishindwa kufikia malengo katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140014-waziri_wa_zamani_wa_vita_wa_israel_tulishindwa_kufikia_malengo_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz778a74b6e22pyqk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140014-waziri_wa_zamani_wa_vita_wa_israel_tulishindwa_kufikia_malengo_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Moshe Ya'alon, Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Israel, amekiri kuwa mashambulizi yaliyoelekezwa dhidi ya Iran hayakufanikiwa kufikia malengo yaliyokuwa yamekusudiwa.</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 04:07:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia inahudumia miradi ya Wamarekani-Wazayuni </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139990-ansarullah_ya_yemen_saudi_arabia_inahudumia_miradi_ya_wamarekani_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz08b6414d652pyf6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139990-ansarullah_ya_yemen_saudi_arabia_inahudumia_miradi_ya_wamarekani_wazayuni </guid>  
      <description>Mjumbe wa ngazi za juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kwamba Saudi Arabia imeweka uwezo na suhula zake za kisiasa, kifedha na kijeshi katika huduma ya miradi ya Marekani eneo la Asia Magharibi na inafanya kazi ya kudhoofisha mataifa ambayo yana misimamo dhidi ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:28:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yafanya mauaji makubwa huko Nuseirat, janga la binadamu linazidi kuwa baya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139980-israel_yafanya_mauaji_makubwa_huko_nuseirat_janga_la_binadamu_linazidi_kuwa_baya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzef63c980ad2pyb4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139980-israel_yafanya_mauaji_makubwa_huko_nuseirat_janga_la_binadamu_linazidi_kuwa_baya_gaza </guid>  
      <description>Wapalestina 14 wameuawa na wengine 37 kujeruhiwa, wengi wao wakiwa katika kambi ya Nuseirat katikati mwa Ukanda wa Gaza, kutokana na mashambulizi mtawalia ya Israel yaliyolenga maeneo mbalimbali ya ukanda huo, huku hali ya kibinadamu ikizidi kuwa mbaya.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 11:02:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mossad, Epstein na operesheni za siri: Vance aishambulia Israel na kusema umaarufu wake umeporomoka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139968-mossad_epstein_na_operesheni_za_siri_vance_aishambulia_israel_na_kusema_umaarufu_wake_umeporomoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz09fae2fd7d2py5u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139968-mossad_epstein_na_operesheni_za_siri_vance_aishambulia_israel_na_kusema_umaarufu_wake_umeporomoka </guid>  
      <description>Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Makamu wa Rais wa Marekani J.D. Vance aliishambulia Israel na kuishutumu kuwa inajaribu kushawishi siasa za Marekani, akisisitiza kuwa umaarufu wake umepungua nchini Marekani.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:17:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mateka wa zamani Muisraeli huko Gaza: Ninapata amani ninaposikiliza Qur'ani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139966-mateka_wa_zamani_muisraeli_huko_gaza_ninapata_amani_ninaposikiliza_qur'ani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz28341e367d2py5s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139966-mateka_wa_zamani_muisraeli_huko_gaza_ninapata_amani_ninaposikiliza_qur'ani </guid>  
      <description>Hadithi ya mateka wa zamani wa Hamas, Emily Damari imevuma tena katika vyombo vya habari katika tukio lililozua dhoruba ya hasira ndani ya duru za Israel na kwenda mbali zaidi hadi kutolewa wito mwanamke huyo arudishwe matekani huko Gaza!

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:16:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkurugenzi wa Huduma za Dharura Gaza: Asilimia 80 ya uwezo wa uokoaji umeharibiwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139958-mkurugenzi_wa_huduma_za_dharura_gaza_asilimia_80_ya_uwezo_wa_uokoaji_umeharibiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz92475e45432py1k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139958-mkurugenzi_wa_huduma_za_dharura_gaza_asilimia_80_ya_uwezo_wa_uokoaji_umeharibiwa </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa Huduma za Dharura katika Ukanda wa Gaza amesema kuwa takribani asilimia 80 ya uwezo wa huduma za uokoaji na misaada ya dharura umeangamizwa kutokana na mashambulizi na uharibifu unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel katika eneo hilo.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:47:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mpango wa kuvunjwa Bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) wapitishwa rasmi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139956-mpango_wa_kuvunjwa_bunge_la_utawala_wa_kizayuni_(knesset)_wapitishwa_rasmi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6c720b96962py1i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139956-mpango_wa_kuvunjwa_bunge_la_utawala_wa_kizayuni_(knesset)_wapitishwa_rasmi </guid>  
      <description>Rasimu ya sheria ya kuvunjwa Bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) imepitishwa rasmi, hatua inayofungua njia ya kuitisha uchaguzi mpya wa mapema Israel.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:46:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wagonjwa wa saratani Gaza wakabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa na vifaa tiba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139942-wagonjwa_wa_saratani_gaza_wakabiliwa_na_uhaba_mkubwa_wa_dawa_na_vifaa_tiba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2a898c9c632pxxo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139942-wagonjwa_wa_saratani_gaza_wakabiliwa_na_uhaba_mkubwa_wa_dawa_na_vifaa_tiba </guid>  
      <description>Wagonjwa wa saratani katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na hali ngumu kutokana na uhaba mkubwa wa dawa na vifaa vya matibabu, hali inayozidi kuhatarisha maisha yao huku mfumo wa afya ukiendelea kulemewa na athari za mzingiro na vita.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 02:57:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Oman: Tishio hatari zaidi halitokani na Tehran bali Tel Aviv</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139888-oman_tishio_hatari_zaidi_halitokani_na_tehran_bali_tel_aviv</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4407a8dbbf2px84.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139888-oman_tishio_hatari_zaidi_halitokani_na_tehran_bali_tel_aviv </guid>  
      <description>Serikali ya Oman imesema tishio kubwa zaidi kwa usalama na utulivu wa eneo halitokani na Tehran, bali linatoka Tel Aviv.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:53:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaionya Saudia: Shambulio dhidi ya uwanja wa ndege wa Sana’a ni mwisho wa usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139868-yemen_yaionya_saudia_shambulio_dhidi_ya_uwanja_wa_ndege_wa_sana’a_ni_mwisho_wa_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza07730c4032pwpm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139868-yemen_yaionya_saudia_shambulio_dhidi_ya_uwanja_wa_ndege_wa_sana’a_ni_mwisho_wa_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen mjini Sana’a imelaani vikali shambulio la Saudi Arabia dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana’a, ikisisitiza kuwa hatua hiyo ya kijeshi inahitimisha rasmi kipindi cha usitishaji vita na kuashiria kuanza kwa awamu mpya ya vita.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:45:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mfungwa wa Kipalestina aelezea unyanyasaji wa wanawake katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139834-mfungwa_wa_kipalestina_aelezea_unyanyasaji_wa_wanawake_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz15bb6e114a2pw46.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139834-mfungwa_wa_kipalestina_aelezea_unyanyasaji_wa_wanawake_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Mfungwa mwanamke Mpalestina amesimulia uvamizi wa mara kwa mara, unyanyasaji wa kimwili na hali mbaya ya kizuizini inayowaathiri wanawake Wapalestina waliofungwa katika magereza ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 12:29:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Kataib Hizbullah ya Iraq aapa kuendeleza njia ya mapambano, apinga vitisho vya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139818-kiongozi_wa_kataib_hizbullah_ya_iraq_aapa_kuendeleza_njia_ya_mapambano_apinga_vitisho_vya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz99e6f231542pvxc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139818-kiongozi_wa_kataib_hizbullah_ya_iraq_aapa_kuendeleza_njia_ya_mapambano_apinga_vitisho_vya_adui </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Kataib Hizbullah nchini Iraq amesema kundi lake litaendeleza njia ya Muqawama na mapambano, akipuuza vitisho vya maadui na kuwataka maafisa wa serikali ya nchi hiyo na viongozi wa kisiasa kuheshimu matakwa ya taifa hilo la Kiarabu.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:18:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matamshi ya Waziri wa Vita wa Israel kuhusu Lebanon yana taathira gani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139802-matamshi_ya_waziri_wa_vita_wa_israel_kuhusu_lebanon_yana_taathira_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9f2501ff502pvqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139802-matamshi_ya_waziri_wa_vita_wa_israel_kuhusu_lebanon_yana_taathira_gani </guid>  
      <description>Israel Katz, Waziri wa Vita wa utawala ghasibu wa Israel, amejibu matamshi ya hivi karibuni ya Donald Trump kuhusu kuondoka Israel katika ardhi ya Lebanon kwa kuyapinga vikali, na kusema Israel haitaomba idhini ya mtu yoyote katika kuendelea kusalia nchini Lebanon.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 07:51:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Familia nzima imeangamizwa: Amnesty International yaituhumu Israel kufanya uhalifu wa kivita nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139776-familia_nzima_imeangamizwa_amnesty_international_yaituhumu_israel_kufanya_uhalifu_wa_kivita_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9f2501ff502pvqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139776-familia_nzima_imeangamizwa_amnesty_international_yaituhumu_israel_kufanya_uhalifu_wa_kivita_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Shirika la Amnesty International mapema jana Alhamisi lilitoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi matatu yaliyofanywa na utawala wa Israel kusini mwa Lebanon mwezi Machi, likiyataja mashambulizi hayo kuwa ni uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:45:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian na Waziri Mkuu wa Iraq waongoza mapokezi ya mwili wa Kiongozi Shahidi mjini Najaf</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139722-rais_pezeshkian_na_waziri_mkuu_wa_iraq_waongoza_mapokezi_ya_mwili_wa_kiongozi_shahidi_mjini_najaf</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzabe91cc66c2pumm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139722-rais_pezeshkian_na_waziri_mkuu_wa_iraq_waongoza_mapokezi_ya_mwili_wa_kiongozi_shahidi_mjini_najaf </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian na Waziri Mkuu wa Iraq, Ali al-Zaidi, wamehudhuria hafla rasmi ya mapokezi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf, kwa ajili ya kupokea mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kabla ya kuanza kwa taratibu za mazishi nchini Iraq.</description>
      <pubDate>Wed, 08 Jul 2026 04:49:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Harakati ya Ansarullah yalaani vitisho vya muungano wa Saudi Arabia; yasema ni ishara ya kushindwa Riyadh</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139658-harakati_ya_ansarullah_yalaani_vitisho_vya_muungano_wa_saudi_arabia_yasema_ni_ishara_ya_kushindwa_riyadh</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze49384f9d72pt7g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139658-harakati_ya_ansarullah_yalaani_vitisho_vya_muungano_wa_saudi_arabia_yasema_ni_ishara_ya_kushindwa_riyadh </guid>  
      <description>Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani vitisho vya hivi karibuni vya muungano unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen, akisema kuwa vinafichua kufeli Riyadh kisiasa na kijeshi pamoja na kushindwa kwake kusambaratisha mapambano ya Yemen licha ya nchi hiyo kuathirikwa kwa miaka mingi na vita na mzingiro.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 11:09:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Dakta Abu Safiya anakabiliwa na hali mbaya katika gereza la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139656-dakta_abu_safiya_anakabiliwa_na_hali_mbaya_katika_gereza_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz659da63e402pt7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139656-dakta_abu_safiya_anakabiliwa_na_hali_mbaya_katika_gereza_la_israel </guid>  
      <description>Shirika la Kimataifa la Haki za binadamu limearifu kuwa Dakta Hussam Abu Safiya, Mkurugenzi wa Hospitali ya Kamal Adwan huko Gaza ambaye amekuwa mikononi mwa Israel tangu mwaka 2024 anakabiliwa na tishio kubwa kwa maisha yake.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 11:04:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Korea Kaskazini yalifanyia majaribio kombora la kimkakati la kruzi na silaha nyingine</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139654-korea_kaskazini_yalifanyia_majaribio_kombora_la_kimkakati_la_kruzi_na_silaha_nyingine</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza9090455cb2pt78.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139654-korea_kaskazini_yalifanyia_majaribio_kombora_la_kimkakati_la_kruzi_na_silaha_nyingine </guid>  
      <description>Korea Kaskazini imelifanyia jaribio kombora la kimkakati la kruzi na silaha nyingine kutoka katika meli yake mpya ya kivita ya Kang Kon yenye yenye uzito wa tani 5,000 na refu wa mita 140.
Shirika Kuu la Habari la Korea Kaskazini KCNA leo limetangaza kuwa Kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong Un alisimamia majaribio hayo siku ya Ijumaa. 
</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 11:00:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa' ilibadilisha milinganyo yote ya kisiasa na kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139646-hamas_operesheni_ya_kimbunga_cha_al_aqsa'_ilibadilisha_milinganyo_yote_ya_kisiasa_na_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz5881e0a06e2psw4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139646-hamas_operesheni_ya_kimbunga_cha_al_aqsa'_ilibadilisha_milinganyo_yote_ya_kisiasa_na_kijeshi </guid>  
      <description>Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano ya Kisiasa na Vyombo vya Habari cha Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) nchini Lebanon amesema kuwa 'Operesheni ya 'Kimbunga cha Al-Aqsa' ilibadilisha milinganyo yote ya awali ya kisiasa na kijeshi, huku akisisitiza kuwa istiqama na mapambano ya taifa la Palestina vinapaswa kuenziwa kwa siku 1,000 baada ya kuanza operesheni hiyo kubwa dhidi ya Israel.

</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 03:48:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga la haki za binaadamu al-Obeid</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139616-umoja_wa_mataifa_watahadharisha_juu_ya_janga_la_haki_za_binaadamu_al_obeid</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf72150b87b2pm0i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139616-umoja_wa_mataifa_watahadharisha_juu_ya_janga_la_haki_za_binaadamu_al_obeid </guid>  
      <description>Mkuu wa shirika la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa Volker Turk ametahadharisha juu ya janga jingine la haki za binaadamu katika mji wa al-Obeid, nchini Sudan na kuutolea wito ulimwengu kuchukua hatua haraka iwezekanavyo.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Jul 2026 04:15:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yaonya mataifa ya Ghuba ya Uajemi baada ya kikao kilichosimamiwa na Marekani nchini Bahrain</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139608-iran_yaonya_mataifa_ya_ghuba_ya_uajemi_baada_ya_kikao_kilichosimamiwa_na_marekani_nchini_bahrain</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdfa21fad552prra.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139608-iran_yaonya_mataifa_ya_ghuba_ya_uajemi_baada_ya_kikao_kilichosimamiwa_na_marekani_nchini_bahrain </guid>  
      <description>Iran imetoa onyo kwa nchi za kikanda kuwa zichukue tahadhari ya juu dhidi ya mipango ya usalama inayoongozwa na Marekani, ikisema kuwa nchi hizo zisizahau athari za uvamizi wa kijeshi wa hivi karibuni wa Marekani na Israel uliovuruga usalama katika ukanda mzima wa Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 09:02:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina wasisitiza haki ya kujilinda huku Gaza ikitimiza siku 1,000 za mauaji ya kimbari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139606-wapalestina_wasisitiza_haki_ya_kujilinda_huku_gaza_ikitimiza_siku_1_000_za_mauaji_ya_kimbari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz3bd6037baf2prrc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139606-wapalestina_wasisitiza_haki_ya_kujilinda_huku_gaza_ikitimiza_siku_1_000_za_mauaji_ya_kimbari </guid>  
      <description>Makundi ya kupigania ukombozi wa  Palestina yamesisitiza kuhusu “haki ya Wapalestina kupinga uvamizi kwa namna yoyote ile” na kukataa “usimamizi wowote wa kigeni” katika mambo ya ndani ya Palestina, wakati Gaza ikifikisha siku ya 1,000 ya mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala katili Israel ambayo yamesababisha vifo vya zaidi ya Wapalestina wasipungua 73,000.
</description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 08:30:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yatuma zana za kijeshi Somalia kupitia Nairobi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139592-israel_yatuma_zana_za_kijeshi_somalia_kupitia_nairobi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz788e2011052prn0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139592-israel_yatuma_zana_za_kijeshi_somalia_kupitia_nairobi </guid>  
      <description>Vyanzo vya ngazi ya juu vya kimkakati katika kanda vimeeleza kuwa shehena ya zana za kijeshi iliyotoka katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel imesafirishwa hadi Somalia kwa jina la ofisi ya Umoja wa Mataifa (UN).</description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 03:45:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi katili wa Israel wamuuwa kipa Mpalestina huko Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139586-wanajeshi_katili_wa_israel_wamuuwa_kipa_mpalestina_huko_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb79e1984ae2prfu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139586-wanajeshi_katili_wa_israel_wamuuwa_kipa_mpalestina_huko_gaza </guid>  
      <description>Wanajeshi wa Israel wameuuwa shahidi kwa risasi kipa wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza, na hivyo kuifanya idadi ya wanamichezo waliouliwa shahidi na jeshi la Israel kufikia 1,009.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Jul 2026 11:48:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Watoto Wachanga wa Kipalestina Walivyogeuzwa Kuwa Walengwa wa Jinai za Kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139580-namna_watoto_wachanga_wa_kipalestina_walivyogeuzwa_kuwa_walengwa_wa_jinai_za_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz72264972c42prf6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139580-namna_watoto_wachanga_wa_kipalestina_walivyogeuzwa_kuwa_walengwa_wa_jinai_za_kivita </guid>  
      <description>Ripoti mpya ya Tume Huru ya Kimataifa ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel imefichua mwelekeo mpya wa vita kwa kuwasilisha ushahidi wa kulengwa kimfumo watoto wachanga huko Gaza.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Jul 2026 10:48:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wabunge wa Israel warushiana makonde ndani ya ukumbi wa Bunge</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139548-wabunge_wa_israel_warushiana_makonde_ndani_ya_ukumbi_wa_bunge</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz55ef9a0abf2pqz6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139548-wabunge_wa_israel_warushiana_makonde_ndani_ya_ukumbi_wa_bunge </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimeripoti kutokea vurugu na mapigano ndani ya Bunge la utawala huo (Knesset), kufuatia kufutwa sheria iliyokuwa inahusu wafungwa wa Kipalestina.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Jul 2026 03:39:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Oman yaunga mkono mpango wa Iran wa kutoza ‘ada za huduma’ katika Lango la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139538-oman_yaunga_mkono_mpango_wa_iran_wa_kutoza_ada_za_huduma’_katika_lango_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby176e44af0c2pque.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139538-oman_yaunga_mkono_mpango_wa_iran_wa_kutoza_ada_za_huduma’_katika_lango_la_hormuz </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman, Badr al-Busaidi, ametangaza msimamo wa nchi yake kuunga mkono mpango wa Iran wa kuanzisha utaratibu wa “ada za huduma za baharini” kwa meli zinazopita katika Lango Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Tue, 30 Jun 2026 11:30:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mjumbe wa Palestina ataka jumuiya ya kimataifa izuie hatua za Israel za kupora ardhi ya Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139534-mjumbe_wa_palestina_ataka_jumuiya_ya_kimataifa_izuie_hatua_za_israel_za_kupora_ardhi_ya_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0ca6400ea52pqu4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139534-mjumbe_wa_palestina_ataka_jumuiya_ya_kimataifa_izuie_hatua_za_israel_za_kupora_ardhi_ya_palestina </guid>  
      <description>Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ameitaka jamii ya kimataifa kuacha kauli za kulaani pekee na badala yake kuchukua hatua za kivitendo ili kusitisha mpango wa Israel wa kupora ardhi za Palestina.</description>
      <pubDate>Tue, 30 Jun 2026 11:23:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139528-kwa_nini_makubaliano_ya_washington_yamefungua_njia_ya_fitina_mpya_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd86009b1402pqm6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139528-kwa_nini_makubaliano_ya_washington_yamefungua_njia_ya_fitina_mpya_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Nabih Berri, Spika wa Bunge la Lebanon ametahadharisha kuhusu njama mpya dhidi ya Lebanon akiashiria makubaliano ya Washington kati ya serikali ya Lebanon na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuwahutubu wananchi wa nchi hiyo kwa kusema: "Enyi watu wa Lebanon, hii ni njama hatari."</description>
      <pubDate>Tue, 30 Jun 2026 05:54:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Kimya cha dunia kuhusu watoto wa Kipalestina waliouawa Gaza ni kushiriki katika mauaji ya kimbari ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139524-hamas_kimya_cha_dunia_kuhusu_watoto_wa_kipalestina_waliouawa_gaza_ni_kushiriki_katika_mauaji_ya_kimbari_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc15fbb1d0c2pqn8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139524-hamas_kimya_cha_dunia_kuhusu_watoto_wa_kipalestina_waliouawa_gaza_ni_kushiriki_katika_mauaji_ya_kimbari_ya_israel </guid>  
      <description>Katika taarifa yake Jumatatu usiku, msemaji wa Hamas, Hazem Qassem, alisema kwamba mtoto wa Kipalestina asiye na hatia aliyeuawa jana na jeshi la Israel ndiye mwathirika wa hivi karibuni zaidi miongoni mwa makumi ya maelfu ya watoto wa Kipalestina waliouawa katika mashambulizi ya mabomu ya Wazayuni, njaa, kunyimwa huduma za matibabu, ugaidi na kutokana na huzuni ya kufiwa na wazazi wao.</description>
      <pubDate>Tue, 30 Jun 2026 03:51:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran na Oman zazindua kamati ya pamoja ya Hormuz kujadili usimamizi wa baadaye wa lango hilo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139514-iran_na_oman_zazindua_kamati_ya_pamoja_ya_hormuz_kujadili_usimamizi_wa_baadaye_wa_lango_hilo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby44aaf7f6d22pqhc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139514-iran_na_oman_zazindua_kamati_ya_pamoja_ya_hormuz_kujadili_usimamizi_wa_baadaye_wa_lango_hilo </guid>  
      <description>Iran na Oman zimefanya mkutano wa kwanza wa kamati mpya ya pamoja ya Hormuz, unaojadili usimamizi wa baadaye wa Lango-Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:29:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Lebanon apinga makubaliano na Israel akisema 'ni ya kutwishwa' </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139510-spika_wa_bunge_la_lebanon_apinga_makubaliano_na_israel_akisema_'ni_ya_kutwishwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby742f0a52002pqh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139510-spika_wa_bunge_la_lebanon_apinga_makubaliano_na_israel_akisema_'ni_ya_kutwishwa' </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Lebanon, Nabih Berri, amekosoa vikali makubaliano yaliyosainiwa Washington kati ya Lebanon na utawala wa Israel, akiyataja kuwa ni seti ya maagizo ya kutwishwa badala ya kuwa makubaliano yanayolinda haki za nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:15:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Hizbullah inapinga makubaliano ya serikali ya Lebanon na Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139506-kwa_nini_hizbullah_inapinga_makubaliano_ya_serikali_ya_lebanon_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3ebcb42c8f2pqf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139506-kwa_nini_hizbullah_inapinga_makubaliano_ya_serikali_ya_lebanon_na_israel </guid>  
      <description>Sheikh Naim Qassim, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, na baadhi ya wabunge wa Hizbullah wamekosoa na kupinga vikali mazungumzo yanayodaiwa kufikiwa kati ya serikali ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 09:08:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taasisi ya Hind Rajab yawasilisha mashtaka Wizara ya Sheria ya Marekani dhidi ya Ben-Gvir</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139498-taasisi_ya_hind_rajab_yawasilisha_mashtaka_wizara_ya_sheria_ya_marekani_dhidi_ya_ben_gvir</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7a1b5d77d52pqac.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139498-taasisi_ya_hind_rajab_yawasilisha_mashtaka_wizara_ya_sheria_ya_marekani_dhidi_ya_ben_gvir </guid>  
      <description>Taasisi ya Hind Rajab (HRF) imewasilisha malalamiko kwa Wizara ya Sheria ya Marekani (DoJ), ikitaka kukamatwa na kushtakiwa anayeitwa waziri wa usalama wa taifa wa utawala wa Israel, Itamar Ben-Gvir kwa tuhuma za kutenda jinai.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:42:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Gaza inatafuta maiti 8,500 za mauaji ya kimbari ya Israel chini ya vifusi kwa kutumia chombo kimoja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139496-ripoti_gaza_inatafuta_maiti_8_500_za_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_chini_ya_vifusi_kwa_kutumia_chombo_kimoja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3a9ac2bdd62pqa8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139496-ripoti_gaza_inatafuta_maiti_8_500_za_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_chini_ya_vifusi_kwa_kutumia_chombo_kimoja </guid>  
      <description>Ripoti kutoka Ukanda wa Gaza zinasema kuwa chombo kimoja cha kuchimba vifusi (excavator) tu kinatumiwa kutafuta karibu miili ya watu 8,500 na mabaki yaliyo chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na jeshi la Israel wakati wa vita vya mauaji ya kimbari katika eneo hilo.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:38:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139464-maandamano_kote_lebanon_kupinga_makubaliano_yanayoungwa_mkono_na_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf17fba9aa72ppsk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139464-maandamano_kote_lebanon_kupinga_makubaliano_yanayoungwa_mkono_na_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Maelfu ya wananchi wa Lebanon wamejitokeza mitaani katika miji na maeneo mbalimbali kupinga “makubaliano” yanayoungwa mkono na Marekani kati ya Lebanon na  utawala wa Israel, huku wakiyataja kuwa tishio kwa mamlaka ya taifa lao.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 11:06:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139448-kiongozi_wa_hizbullah_israel_italazimika_kuondoka_lebanon_ikiwa_imedhalilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3dcdd0cf452ppis.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139448-kiongozi_wa_hizbullah_israel_italazimika_kuondoka_lebanon_ikiwa_imedhalilika </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, amesema kuwa Israel italazimika kuondoka bila masharti katika kila sehemu ya ardhi ya Lebanon, ikiwa “imeshindwa na kudhalilika.”</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 03:01:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139440-ansarullah_yatishia_kushambnulia_vituo_vyovyote_vya_israel_katika_eneo_la_somaliland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfc700cd24c2ppg2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139440-ansarullah_yatishia_kushambnulia_vituo_vyovyote_vya_israel_katika_eneo_la_somaliland </guid>  
      <description>Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik al-Houthi, ameapa kwamba atashambulia uwepo wowote wa Israel katika eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland kwa njia zote zinazowezekana, akisisitiza kwamba Yemen "haitakaa kimya mbele ya uwepo wowote wa Israel huko Somaliland, na haitawasubiri waoga."</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 11:23:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Mpangilio mpya wa Kiislamu uundwe baada ya Marekani na Israel kudhalilishwa katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139408-qalibaf_mpangilio_mpya_wa_kiislamu_uundwe_baada_ya_marekani_na_israel_kudhalilishwa_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4c3b5d8ac12poxw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139408-qalibaf_mpangilio_mpya_wa_kiislamu_uundwe_baada_ya_marekani_na_israel_kudhalilishwa_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa mataifa ya Asia Magharibi na ulimwengu wa Kiislamu kuanzisha mpangilio mpya wa kikanda unaotegemea uwezo, rasilimali na watu wa mataifa hayo, akisisitiza kwamba “chanzo cha misiba yote ni utawala wa Kizayuni.”</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:28:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Israel haiwezi kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139406-hizbullah_israel_haiwezi_kamwe_kufikia_malengo_yake_katika_medani_ya_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb0030302302pp02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139406-hizbullah_israel_haiwezi_kamwe_kufikia_malengo_yake_katika_medani_ya_vita </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, ameashiria "kugonga mwamba wa mradi wa Israel," na kusisitiza kwamba, utawala huu hautaweza kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:26:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Hakuna hospitali yoyote Gaza inayofanya kazi kwa uwezo wake kamili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139400-who_hakuna_hospitali_yoyote_gaza_inayofanya_kazi_kwa_uwezo_wake_kamili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2d5060e3f22pp16.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139400-who_hakuna_hospitali_yoyote_gaza_inayofanya_kazi_kwa_uwezo_wake_kamili </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kwamba hakuna hospitali yoyote katika Ukanda wa Gaza inayofanya kazi kwa uwezo wake kamili kwa sasa, na kwamba, uhaba mkubwa wa vifaa vya matibabu na mafuta umeweka utoaji wa huduma za afya katika hatari kubwa.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:18:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tasu'a ya Imam Hussein (AS) yaunganisha mamilioni ya Wairani, waapa kuendeleza mapambano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139380-tasu'a_ya_imam_hussein_(as)_yaunganisha_mamilioni_ya_wairani_waapa_kuendeleza_mapambano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfcce45759b2ponk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139380-tasu'a_ya_imam_hussein_(as)_yaunganisha_mamilioni_ya_wairani_waapa_kuendeleza_mapambano </guid>  
      <description>Wairani katika mji mkuu Tehran, majiji, miji na vijiji vyote nchini usiku wa kuamkia leo walikusanyika misikitini na katika vituo vya kidini na barabarani katika marasimu ya kuadhimisha Tasu'a, siku ya tisa ya mwezi Muharram, kuelekea kwenye Siku ya Ashura ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS), mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW). </description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 04:28:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf akutana na Sultani wa Oman kufuatia mazungumzo ya Uswisi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139374-spika_qalibaf_akutana_na_sultani_wa_oman_kufuatia_mazungumzo_ya_uswisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby232fa586cd2pong.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139374-spika_qalibaf_akutana_na_sultani_wa_oman_kufuatia_mazungumzo_ya_uswisi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran ambaye pia ni mkuu wa timu ya mazungumzo na Marekani, Mohammad Baqer Qalibaf, amekutana na Sultani Haitham bin Tariq wa Oman jijini Muscat, ambapo wamejadili uhusiano wa nchi mbili na matukio ya hivi karibuni kuhusu Mkataba wa Maelewano (MoU) kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 03:44:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139364-netanyahu_alinasa_vipi_katika_mtego_wa_vita_vyake_mwenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc74b4f82152pnvc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139364-netanyahu_alinasa_vipi_katika_mtego_wa_vita_vyake_mwenyewe </guid>  
      <description>Kutiwa saini Mkataba wa Maelewano wa Islamabad kati ya Iran na Marekani kumevuruga milinganyo anayoipendelea Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni na kuuweka utawala huo katika hali isiyo na mfano wake ya kutengwa kimkakati, kudhoofika kijeshi na mgogoro wa kisiasa; hali ambayo hata vyombo vya habari vya Israel yenyewe vinaitaja kuwa "mbaya sana kwa Israel."</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 11:43:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yasema uwepo wowote wa Israel katika maji ya Somalia utakuwa shabaha halali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139362-yemen_yasema_uwepo_wowote_wa_israel_katika_maji_ya_somalia_utakuwa_shabaha_halali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7f53766cce2pofk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139362-yemen_yasema_uwepo_wowote_wa_israel_katika_maji_ya_somalia_utakuwa_shabaha_halali </guid>  
      <description>Mwanachama wa ngazi za juu wa harakati inayotawala nchini Yemen ya Ansarullah ameonya kuhusu uwepo wa vikosi vya jeshi la Israel katika maji ya Somalia, akisema kwamba kupelekwa huko wanajeshi hao kutatambuliwa kuwa shabaha halali.</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 11:23:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran na Oman zajadili utaratibu mpya wa kusimamia Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139360-iran_na_oman_zajadili_utaratibu_mpya_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby33244194b72poew.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139360-iran_na_oman_zajadili_utaratibu_mpya_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araghchi wamekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman, Sayyid Badr bin Hamad al-Busaidi, kujadili utaratibu mpya wa kusimamia Lango-Bahari la kimkakati la Hormuz.</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 10:51:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naim Qassem: Mradi wa kuangamiza Iran na Muqawama umefeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139334-naim_qassem_mradi_wa_kuangamiza_iran_na_muqawama_umefeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6392423f472pa7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139334-naim_qassem_mradi_wa_kuangamiza_iran_na_muqawama_umefeli </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwamba, mradi wa kuisambaratisha Iran na Muqawama katika eneo la Asia Magharibi umeshindwa na kugonga mwamba.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 09:09:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139330-kwa_nini_ulaya_ina_wasiwasi_kuhusu_mrengo_wa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc362541aed2pnxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139330-kwa_nini_ulaya_ina_wasiwasi_kuhusu_mrengo_wa_lebanon </guid>  
      <description>Uungaji mkono wa Ulaya juu kwa usimamishaji hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon katika maelewano kati ya Tehran na Washington unaonyesha wasiwasi unaoongezeka wa nchi za Ulaya kuhusu kuenea vita na taathira zake hasi katika uthabiti na usalama wa eneo.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 05:57:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139318-kwa_nini_israel_haina_uwezo_wa_kuilazimisha_hizbullah_ijisalimishe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6392423f472pa7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139318-kwa_nini_israel_haina_uwezo_wa_kuilazimisha_hizbullah_ijisalimishe </guid>  
      <description>Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema, maadui walijaribu kuandaa mazingira ya kuuangamiza muqawama kwa kutumia vibaya serikali ya Lebanon na kuunda mwavuli haramu wa kisheria, lakini pamoja na hayo si tu kwamba adui wa Kizayuni alishindwa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe, bali pia inaendelea kupipigania ushindi wa mwisho.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 12:51:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walebanon waipongeza Iran kwa kuunga mkono kukomeshwa hujuma ya vita ya Israel dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139310-walebanon_waipongeza_iran_kwa_kuunga_mkono_kukomeshwa_hujuma_ya_vita_ya_israel_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf2ba823a592pnlm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139310-walebanon_waipongeza_iran_kwa_kuunga_mkono_kukomeshwa_hujuma_ya_vita_ya_israel_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Mabango yanayoonyesha shukrani kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesimikwa kando ya barabara kuu inayoelekea uwanja wa ndege wa Beirut, yakionyesha shukrani za dhati kwa msimamo wa Iran wa kutaka kukomeshwa kikamilifu uchokozi wa Israel dhidi ya Lebanon, kama ilivyotajwa katika waraka wa makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:22:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Israel imeua watoto 265 wa Kipalestina tangu Oktoba 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139278-un_israel_imeua_watoto_265_wa_kipalestina_tangu_oktoba_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby091dc3cbac2pn2g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139278-un_israel_imeua_watoto_265_wa_kipalestina_tangu_oktoba_2025 </guid>  
      <description>Huku utawala katili wa Israel ukiendeleza jinai Lebanon, mashirika ya misaada ya kibinadamu yametoa tahadhari mpya kuhusu Gaza, ambapo watoto 265 wa Kipalestina wameuawa katika mashambulizi ya Israel tangu usitishaji wa mapigano ulipotangazwa mwezi Oktoba 2025.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:16:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yaionya Israel dhidi ya kuzuia makubaliano ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139276-china_yaionya_israel_dhidi_ya_kuzuia_makubaliano_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb464a8e4fa2pn2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139276-china_yaionya_israel_dhidi_ya_kuzuia_makubaliano_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>China imeionya Israel dhidi ya kuzuia utekelezaji wa Mkataba wa Maelewano (MoU) kati ya Iran na Marekani, huku ikitaka pande zote kuchukua hatua za vitendo kuunga mkono amani ya kikanda na kuunda mazingira yanayofaa kwa mazungumzo yajayo.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:14:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utawala wa Kizayuni wakiri kuuawa na kujeruhiwa wanajeshi wake 22 katika mapigano ya kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139268-utawala_wa_kizayuni_wakiri_kuuawa_na_kujeruhiwa_wanajeshi_wake_22_katika_mapigano_ya_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya437487a6e2pmzo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139268-utawala_wa_kizayuni_wakiri_kuuawa_na_kujeruhiwa_wanajeshi_wake_22_katika_mapigano_ya_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Jeshi la utawala wa Kizayuni limetangaza kuuawa na kujeruhiwa askari wake 22 katika mapigano ya jana Alhamisi jioni na vikosi vya muqawama vya Hizbullah ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:25:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jihad Islami yailaumu Marekani kwa ukatili unaoendelezwa na Israel huko Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139256-jihad_islami_yailaumu_marekani_kwa_ukatili_unaoendelezwa_na_israel_huko_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4d3330552f2pmvu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139256-jihad_islami_yailaumu_marekani_kwa_ukatili_unaoendelezwa_na_israel_huko_gaza </guid>  
      <description>Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina imesema utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani lazima uwajibishwe kwa ukatili na vitendo vya uchokozi vinavyofanywa na askari wa utawala vamizi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa kawaida katika Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 03:55:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakuu wa zamani wa usalama wamwambia Netanyahu: Komesha ugaidi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139242-wakuu_wa_zamani_wa_usalama_wamwambia_netanyahu_komesha_ugaidi_wa_kiyahudi_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8421c1020b2pmrg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139242-wakuu_wa_zamani_wa_usalama_wamwambia_netanyahu_komesha_ugaidi_wa_kiyahudi_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Mawaziri wakuu wawili wa zamani wa Israel, pamoja na watu mashuhuri kutoka Israel na Marekani, wakuu wa zamani wa mashirika ya usalama, na maafisa kadhaa wa zamani katika taasisi mbalimbali za usalama, wamesaini barua iliyoelekezwa kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu jana Jumatano, wakiitaka serikali na mashirika yake kuchukua hatua za haraka za kukabiliana na kile walichokiita "ugaidi wa Kiyahudi" katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huko Palestina.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 11:36:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Kamwe hatutakabidhi silaha zetu kwa Israel na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139232-hamas_kamwe_hatutakabidhi_silaha_zetu_kwa_israel_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyea12f2ca892pmni.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139232-hamas_kamwe_hatutakabidhi_silaha_zetu_kwa_israel_na_marekani </guid>  
      <description>Naibu mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) nje ya nchi ametangaza kwamba harakati hiyo kamwe haitakabidhi silaha zake kwa Israel na Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 05:58:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Bila Israel, kusingekuwa na Marekani"; Balozi wa Washington huko Tel Aviv aibua hasira za Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139228-bila_israel_kusingekuwa_na_marekani_balozi_wa_washington_huko_tel_aviv_aibua_hasira_za_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfa2b9dec012pmn4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139228-bila_israel_kusingekuwa_na_marekani_balozi_wa_washington_huko_tel_aviv_aibua_hasira_za_wamarekani </guid>  
      <description>Matamshi ya balozi wa Marekani huko Israel, Mike Huckabee, yamezua wimbi la hasira na ukosoaji mkubwa katika duru za kisiasa na vyombo vya habari vya Marekani, baada ya kusema kwamba Marekani "haingekuwepo bila Israel," katika taarifa iliyozusha mjadala mkubwa kuhusu ushawishi wa Israel ndani ya duru za kufanya maamuzi za Marekani na mipaka ya majukumu ya balozi wa Marekani huko Tel Aviv.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 04:27:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapiganaji wa Hizbullah wakabiliana na wanajeshi vamizi wa Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139188-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_wanajeshi_vamizi_wa_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc1c79acf772pm7c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139188-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_wanajeshi_vamizi_wa_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Wapiganaji wa Hizbullah wakabiliana na wanajeshi vamizi wa Israel kusini mwa Lebanon</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 11:09:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu: Pakistani itakuwa mwenyeji wa hafla ya "kihistoria" ya kusaini makubaliano ya Iran na Marekani mjini Geneva, Juni 19</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139174-waziri_mkuu_pakistani_itakuwa_mwenyeji_wa_hafla_ya_kihistoria_ya_kusaini_makubaliano_ya_iran_na_marekani_mjini_geneva_juni_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9036282aaa2pm34.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139174-waziri_mkuu_pakistani_itakuwa_mwenyeji_wa_hafla_ya_kihistoria_ya_kusaini_makubaliano_ya_iran_na_marekani_mjini_geneva_juni_19 </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Pakistani, Shehbaz Sharif amesema kuwa hafla ya kutia saini Mkataba wa Maelewano kati ya Iran na Marekani (MOU) itaandaliwa na nchi yake mjini Geneva, Juni 19 mwaka huu.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 02:58:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani safari ya "rais wa Somaliland" huko Israel, yasema ni dhambi ya kisiasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139144-hamas_yalaani_safari_ya_rais_wa_somaliland_huko_israel_yasema_ni_dhambi_ya_kisiasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6df371083d2pltk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139144-hamas_yalaani_safari_ya_rais_wa_somaliland_huko_israel_yasema_ni_dhambi_ya_kisiasa </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeitaja safari ya rais wa jimbo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland huko Israel kuwa ni "dhambi ya kisiasa, ukiukaji wa kanuni na sheria zote za kimataifa, na kupuuza msimamo wa Waarabu na Waislamu kuhusu suala la Quds tukufu."</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:20:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu atoa msamaha kwa wafungwa 139 waliohukumiwa adhabu ya kifo Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139136-kiongozi_muadhamu_atoa_msamaha_kwa_wafungwa_139_waliohukumiwa_adhabu_ya_kifo_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9d22c8b5642pgm2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139136-kiongozi_muadhamu_atoa_msamaha_kwa_wafungwa_139_waliohukumiwa_adhabu_ya_kifo_iran </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ameidhinisha pendekezo la kubadilisha hukumu za wafungwa 139 waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo na mahakama mbalimbali nchini.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:05:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapiganaji wa Hizbullah wakabiliana na jeshi vamizi la Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139134-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_jeshi_vamizi_la_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby55d74c2bb42plou.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139134-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_jeshi_vamizi_la_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Wapiganaji wa harakati ya mapambano ya Hizbullah wamekabiliana na vikosi vya Israel vilipokuwa vikijaribu kupenya katika maeneo ya kusini mwa Lebanon, wakilenga mikusanyiko ya wanajeshi na magari ya kijeshi kwa mashambulizi ya makombora pamoja na droni za kujitoa mhanga.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:03:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mradi wa reli ya Ankara–Riyadh waibua wasiwasi Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139120-mradi_wa_reli_ya_ankara_riyadh_waibua_wasiwasi_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby39dbaf41982pli2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139120-mradi_wa_reli_ya_ankara_riyadh_waibua_wasiwasi_israel </guid>  
      <description>Pendekezo la kuanzisha ukanda mpya wa biashara na usafirishaji unaoendelezwa na Uturuki na Saudi Arabia limeibua wasiwasi miongoni mwa maafisa wa utawala wa Israel. </description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:08:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amnesty International: Israel inafanya "maangamizi ya kizazi" katika Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139108-amnesty_international_israel_inafanya_maangamizi_ya_kizazi_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby76be2b04802plcc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139108-amnesty_international_israel_inafanya_maangamizi_ya_kizazi_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekutaja kuongezeka vitendo vya ukatili vya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi kuwa ni "maangamizi ya kizazi" na "kulazimisha watu kuhama makazi yao."</description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 09:23:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>