<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - west_asia</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Fri, 18 Sep 2026 16:27:34 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Saudia yakimbilia Oman kuomba kusimamishwa vita Yemen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141548-saudia_yakimbilia_oman_kuomba_kusimamishwa_vita_yemen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1b655615c5d2qklg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141548-saudia_yakimbilia_oman_kuomba_kusimamishwa_vita_yemen </guid>  
      <description>Baada ya kuanzisha vita vya miaka mingi kwa lengo la kuiteka Yemen, sasa hali ni ngumu sana kwa Saudi Arabia kiasi kwamba imefikia hatua ya kuomba msaada wa Oman iingilie kati ili kusimamisha mashambulizi ya Ansarullah na Jeshi la Yemen.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 10:39:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Houthi: Madai ya Saudia kuwa Yemen imelenga Makkah ni “uongo wa kuchukiza,” na kashfa ya wazi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141530-al_houthi_madai_ya_saudia_kuwa_yemen_imelenga_makkah_ni_uongo_wa_kuchukiza_na_kashfa_ya_wazi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1e502e928282qkhu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141530-al_houthi_madai_ya_saudia_kuwa_yemen_imelenga_makkah_ni_uongo_wa_kuchukiza_na_kashfa_ya_wazi </guid>  
      <description>Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdul-Malik al-Houthi, amelaani vikali madai ya Saudi Arabia kuwa vikosi vya Yemen vimelenga mji mtakatifu wa Makkah, akifutilia mbali madai hayo kama “uongo mkubwa, mbaya, na wa kuchukiza” unaolenga kuhalalisha vita vya Saudia dhidi ya Yemen.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:48:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanamgambo wa HTS wauawa Syria huku maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha yakisambaa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141524-wanamgambo_wa_hts_wauawa_syria_huku_maandamano_ya_kupinga_hali_ngumu_ya_maisha_yakisambaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc117aeff5f482qkca.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141524-wanamgambo_wa_hts_wauawa_syria_huku_maandamano_ya_kupinga_hali_ngumu_ya_maisha_yakisambaa </guid>  
      <description>Takriban wanamgambo watatu wanaofungamana na utawala unaotawala wa kundi la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) nchini Syria wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa, kufuatia mapigano makali yaliyozuka kati ya vikosi hivyo na wapiganaji wa kundi la wenyeji katika mkoa wa kusini-magharibi wa Dara’a.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 11:43:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti Mkuu wa Libya: Saudi Arabia iko vitani Yemen kwa niaba ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141520-mufti_mkuu_wa_libya_saudi_arabia_iko_vitani_yemen_kwa_niaba_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16571a764a82qkbg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141520-mufti_mkuu_wa_libya_saudi_arabia_iko_vitani_yemen_kwa_niaba_ya_marekani </guid>  
      <description>Mufti Mkuu wa Libya, Sheikh Sadiq al-Ghariani, amezungumzia matukio ya hivi karibuni nchini Yemen, akisema kuwa Saudi Arabia iko vitani nchini humo kwa niaba ya Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 10:54:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Mpango wa "Kuifanya Yemen kama Syria" Ulifeli Vipi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141518-je_mpango_wa_kuifanya_yemen_kama_syria_ulifeli_vipi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a98abcc9c02qk2i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141518-je_mpango_wa_kuifanya_yemen_kama_syria_ulifeli_vipi </guid>  
      <description>Vyanzo vya habari mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen, vimeripoti kuhusu njama kubwa ya kuifanya Yemen ikabiliwe na hali ya machafuko kama ile ya Syria, mpango ambao hatimaye umefeli licha ya kushirikishwa makundi ya kitakfiri yanayohusishwa na utawala wa muda wa Al-Julani.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 05:49:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Tuhuma ya kuishambulia Makka ni 'uongo mkubwa' wa Saudia; Wayemen ndio watetezi wa kweli wa maeneo matakatifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141514-ansarullah_tuhuma_ya_kuishambulia_makka_ni_'uongo_mkubwa'_wa_saudia_wayemen_ndio_watetezi_wa_kweli_wa_maeneo_matakatifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a9b0b7bb8d2qk6e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141514-ansarullah_tuhuma_ya_kuishambulia_makka_ni_'uongo_mkubwa'_wa_saudia_wayemen_ndio_watetezi_wa_kweli_wa_maeneo_matakatifu </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya wananchi wa Yemen, Ansarullah, imesisitiza tena msimamo wa serikali ya Sana'a wa kukanusha vikali madai ya Saudi Arabia kwamba Jeshi la Yemen linatishia kuyashambulia maeneo matakatifu katika mji wa Makka nchini Saudia.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 03:28:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Rais wa Imarati: Marekani haina mwamana; Saudia ni jangwa tupu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141498-mshauri_wa_rais_wa_imarati_marekani_haina_mwamana_saudia_ni_jangwa_tupu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c55542b0352qjzu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141498-mshauri_wa_rais_wa_imarati_marekani_haina_mwamana_saudia_ni_jangwa_tupu </guid>  
      <description>Mshauri wa Rais wa Muungano wa Falme za Kiarabu ametoa matamshi makali dhidi ya Saudi Arabia na Marekani na kusema kuwa, asilimia 90 ya ardhi ya Saudia ni jangwa tupu na kwa upande wa Marekani ni dola lisilo na mwamana na wala huwezi kulitegemea</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 12:06:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa wataka wakaguzi wa kimataifa waruhusiwe kufika maeneo yote ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141488-umoja_wa_mataifa_wataka_wakaguzi_wa_kimataifa_waruhusiwe_kufika_maeneo_yote_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc18a36baf12c2qjqc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141488-umoja_wa_mataifa_wataka_wakaguzi_wa_kimataifa_waruhusiwe_kufika_maeneo_yote_ya_gaza </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeashiria kugunduliwa mamia ya miili chini ya vifusi katika Ukanda wa Gaza na kutoa wito wakaguzi wa kimataifa waruhusiwe kuingia na kufika katika maeneo yote ya ukanda huo ili kukusanya ushahidi na kuchunguza uwezekano wa kutendeka uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 02:56:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tovuti ya kizayuni: Ishara za kushindwa Marekani katika vita na Iran ziko wazi kabisa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141480-tovuti_ya_kizayuni_ishara_za_kushindwa_marekani_katika_vita_na_iran_ziko_wazi_kabisa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1140e655dbd2qjk6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141480-tovuti_ya_kizayuni_ishara_za_kushindwa_marekani_katika_vita_na_iran_ziko_wazi_kabisa </guid>  
      <description>Tovuti moja ya habari ya Kizayuni imeandika kuwa, Marekani inajiona ndiye mshindi katika vita wakati Pentagon inakiri kwamba ina uhaba wa silaha, huku bei ya mafuta ikipanda na kufikia $110, na Mlango-Bahari wa Hormuz na ule wa Bab al-Mandab ikiwa imewekewa mzingiro kamili.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 10:57:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watengezaji wa filamu NAZA iliyofichua ukweli wa mauaji ya kimbari ya Ghaza hatarini kuvuliwa uraia wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141468-watengezaji_wa_filamu_naza_iliyofichua_ukweli_wa_mauaji_ya_kimbari_ya_ghaza_hatarini_kuvuliwa_uraia_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1f4abc1a1eb2qjcq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141468-watengezaji_wa_filamu_naza_iliyofichua_ukweli_wa_mauaji_ya_kimbari_ya_ghaza_hatarini_kuvuliwa_uraia_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Utamaduni wa utawala wa kizayuni wa Israel, Miki Zohar amesema atajaribu kuhakikisha watengenezaji wa filamu iitwayo NAZA inayofichua "mfumo wa mauaji" uliotumiwa dhidi ya raia wa Palestina huko Ghaza wakati wa mauaji ya kimbari yaliyofanywa na utawala huo wa kizayuni wanavuliwa uraia wao kwa kufanya "uhaini".</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:15:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waandishi wa habari 37 Wapalestina wanashikiliwa kwenye jela za Israel, 19 bila kufunguliwa mashtaka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141466-waandishi_wa_habari_37_wapalestina_wanashikiliwa_kwenye_jela_za_israel_19_bila_kufunguliwa_mashtaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c25c9f29542qjco.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141466-waandishi_wa_habari_37_wapalestina_wanashikiliwa_kwenye_jela_za_israel_19_bila_kufunguliwa_mashtaka </guid>  
      <description>Utawala wa kizayuni wa Israel unawashikilia waandishi wa habari 37 wa Kipalestina katika magereza yake, wakiwemo 19 waliowekwa kwenye kizuizi kisicho na kikomo kwa kutumia sheria ya kutofunguliwa mashtaka au kutofikishwa mahakamani. Hayo yameelezwa katika taarifa iliyotolewa na Jumuiya ya Wafungwa wa Kipalestina, Palestinian Prisoner Society.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:12:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yashambulia maegesho ya ndege za kivita, rada na maghala ya silaha ya kituo cha anga cha Saudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141464-yemen_yashambulia_maegesho_ya_ndege_za_kivita_rada_na_maghala_ya_silaha_ya_kituo_cha_anga_cha_saudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c968641b072qjcm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141464-yemen_yashambulia_maegesho_ya_ndege_za_kivita_rada_na_maghala_ya_silaha_ya_kituo_cha_anga_cha_saudia </guid>  
      <description>Vikosi vya Jeshi la Yemen vimefanya shambulio la pamoja la makombora na ndege zisizo na rubani kwenye kambi kubwa ya anga katika eneo la kusini mwa Saudi Arabia la Asir kulipiza kisasi kwa shambulio la hivi karibuni la uchokozi wa kijeshi lililofanywa na Saudia na mzingiro inaoendelea kuiwekea nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 04:06:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya Marekani vyadhoofisha mno Uchumi wa Imarati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141456-vita_vya_marekani_vyadhoofisha_mno_uchumi_wa_imarati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1126a9a85b12qj50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141456-vita_vya_marekani_vyadhoofisha_mno_uchumi_wa_imarati </guid>  
      <description>Takwimu rasmi zilizotolewa na Muungano wa Falme za Kiarabu zinaonesha kuwa, vita vilivyochochewa na Marekani na utawala wa Kizayuni katika ukanda huu vimefuta karibu nusu ya mapato ya sekta ya utalii ya Imarati (UAE).</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 10:54:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Muqawama wa Yemen Ulishindaje Mkakati wa Saudi Arabia?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141452-je_muqawama_wa_yemen_ulishindaje_mkakati_wa_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16460a457ef2qj3i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141452-je_muqawama_wa_yemen_ulishindaje_mkakati_wa_saudi_arabia </guid>  
      <description>Kufuatia matukio ya hivi karibuni nchini Yemen, Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa ikisisitiza kuwa kutatuliwa matatizo ya Yemen hakuwezekani kupitia kuendelezwa mzingiro na utunishaji misuli ya kijeshi.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 09:29:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Moto warindima katika Kitovu cha Usafirishaji Mafuta Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141440-moto_warindima_katika_kitovu_cha_usafirishaji_mafuta_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1bcaebc7c892qj10.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141440-moto_warindima_katika_kitovu_cha_usafirishaji_mafuta_saudi_arabia </guid>  
      <description>Vyombo mbalimbali vya habari jana Jumapili vilisambaza picha zinazoonesha moshi mzito ukifuka kutoka kwenye kituo cha mafuta vya Yanbu katika pwani ya Bahari ya Shamu. Taarifa zinasema kuwa, kituo hicho ndicho kilichokuwa kinaisaidia Marekani kupakia mafuta baada ya Iran kufunga Lango-Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 07:36:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yashambulia kambi ya kijeshi ya Saudia kwa makombora na ndege zisizo na rubani kulipiza kisasi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141428-yemen_yashambulia_kambi_ya_kijeshi_ya_saudia_kwa_makombora_na_ndege_zisizo_na_rubani_kulipiza_kisasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14f275823272qink.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141428-yemen_yashambulia_kambi_ya_kijeshi_ya_saudia_kwa_makombora_na_ndege_zisizo_na_rubani_kulipiza_kisasi </guid>  
      <description>Majeshi ya Jamhuri ya Yemen (YAF) yametekeleza operesheni kubwa ya pamoja ya makombora ya balistiki na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya kambi ya kijeshi ya Saudia katika eneo la Sharurah mkoani Najran kusini mwa ufalme huo, ikiwa ni jibu kwa kuendelea mashambulizi ya Saudia dhidi ya ardhi ya Yemen.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 11:23:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti wa Oman: Umma wa Kiislamu umekumbwa na fitina kubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141410-mufti_wa_oman_umma_wa_kiislamu_umekumbwa_na_fitina_kubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1321683fe2e2qii0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141410-mufti_wa_oman_umma_wa_kiislamu_umekumbwa_na_fitina_kubwa </guid>  
      <description>Mufti wa Oman, Sheikh Ahmed Al-Khalili, amekosoa misimamo ya baadhi ya wanazuoni wa Kiislamu kuhusu Ansarullah ya Yemen, akieleza kuwa, hali imekuwa ya hatari kutokana na kuzuka tena mapigano nchini humo.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:21:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askari wa Israel asema waliambiwa: 'Mnao watu milioni mbili wa kuwalenga shabaha Ghaza'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141402-askari_wa_israel_asema_waliambiwa_'mnao_watu_milioni_mbili_wa_kuwalenga_shabaha_ghaza'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1365869a6662qihq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141402-askari_wa_israel_asema_waliambiwa_'mnao_watu_milioni_mbili_wa_kuwalenga_shabaha_ghaza' </guid>  
      <description>Askari wa akiba wa jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel amesema, maafisa wa jeshi hilo wanaichukulia idadi yote ya Wapalestina milioni mbili wa Ukanda wa Ghaza kama walengwa halali wa kuuawa, na amesimulia mauaji mengi yaliyofanywa na askari wa kizayuni na jinsi utekelezaji wa kanuani za vita ulivyoporomoka wakati wa mauaji ya kimbari ya Wapalestina wa eneo hilo.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:07:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uzalishaji wa mafuta wa Saudia umeshuka hadi kiwango cha chini zaidi cha tangu 1990; sababu ni vita vya US dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141400-uzalishaji_wa_mafuta_wa_saudia_umeshuka_hadi_kiwango_cha_chini_zaidi_cha_tangu_1990_sababu_ni_vita_vya_us_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc192c826d8442qiho.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141400-uzalishaji_wa_mafuta_wa_saudia_umeshuka_hadi_kiwango_cha_chini_zaidi_cha_tangu_1990_sababu_ni_vita_vya_us_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uzalishaji wa mafuta ghafi wa Saudi Arabia ulishuka hadi mapipa milioni 6.24 kwa siku mwezi Agosti, na kuashiria kiwango chake cha chini kabisa kilichoripotiwa tangu 1990, huku vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani dhidi ya Iran vikiendelea kuvuruga mtiririko wa nishati katika Mashariki ya Kati.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 07:03:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Mamlaka ya kujitawala ya Yemen lazima yaheshimiwe, mzingiro haramu lazima ukomeshwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141392-iran_mamlaka_ya_kujitawala_ya_yemen_lazima_yaheshimiwe_mzingiro_haramu_lazima_ukomeshwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ed366705992qic0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141392-iran_mamlaka_ya_kujitawala_ya_yemen_lazima_yaheshimiwe_mzingiro_haramu_lazima_ukomeshwe </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza tena msimamo wake thabiti na wa kimisngi kuhusu ulazima wa kuheshimiwa uhuru, mamlaka ya kitaifa ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya Yemen, na kutoa wito wa kukomeshwa mara moja mzingiro haramu na usio wa kibinadamu uliowekwa dhidi ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:33:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Axios: Trump amemkatalia Bin Salman ombi la kutaka Marekani iisaidie kijeshi Saudia dhidi ya Yemen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141388-axios_trump_amemkatalia_bin_salman_ombi_la_kutaka_marekani_iisaidie_kijeshi_saudia_dhidi_ya_yemen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc100d794492c2qibw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141388-axios_trump_amemkatalia_bin_salman_ombi_la_kutaka_marekani_iisaidie_kijeshi_saudia_dhidi_ya_yemen </guid>  
      <description>Marekani imeyakataa maombi ya Saudi Arabia ya kuanzisha mashambulizi ya moja kwa moja ya kijeshi dhidi ya harakati ya Wahouthi ya Ansarullah nchini Yemen baada ya wapiganaji wa harakati hiyo kuuteka mji wa kimkakati wa pwani wa Mokha. Hayo ni kwa mujibu wa tovuti ya habari ya nchini Marekani ya Axios.</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:29:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen ladhibiti kikamilifu Lango Bahari Bab al-Mandab, pigo kubwa kwa wavamizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141378-jeshi_la_yemen_ladhibiti_kikamilifu_lango_bahari_bab_al_mandab_pigo_kubwa_kwa_wavamizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc16129dbd1b62qi4w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141378-jeshi_la_yemen_ladhibiti_kikamilifu_lango_bahari_bab_al_mandab_pigo_kubwa_kwa_wavamizi </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limefanikiwa kudhibiti kikamilifu Lango-Bahari muhimu mno la Bab al-Mandab baada ya kukikomboa kisiwa cha kimkakati cha Mayun. Hilo ni pigo kubwa kwa wavamizi wote wa Yemen.</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 09:27:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya Yemen vyateka jiji la bandari la kimkakati la Bahari ya Sham la Mokha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141366-vikosi_vya_yemen_vyateka_jiji_la_bandari_la_kimkakati_la_bahari_ya_sham_la_mokha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1765eb11e9e2qi18.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141366-vikosi_vya_yemen_vyateka_jiji_la_bandari_la_kimkakati_la_bahari_ya_sham_la_mokha </guid>  
      <description>Vikosi vya Yemen  Alhamisi vimedhibiti jiji la bandari la kimkakati la Bahari ya Sham la Mokha, huku vikielekea kwenye mlango-bahari muhimu wa Bab al-Mandab, hatua ambayo ni pigo kubwa kwa mamluki Saudi Arabia.

</description>
      <pubDate>Fri, 11 Sep 2026 04:15:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchaguzi wa Bunge la utawala wa Israel: Wapinzani wa Netanyahu wanaongoza katika kura za maoni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141350-uchaguzi_wa_bunge_la_utawala_wa_israel_wapinzani_wa_netanyahu_wanaongoza_katika_kura_za_maoni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc137525389252qhsu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141350-uchaguzi_wa_bunge_la_utawala_wa_israel_wapinzani_wa_netanyahu_wanaongoza_katika_kura_za_maoni </guid>  
      <description>Kura mpya ya maoni katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel kuhusiana na uchaguzi wa bunge inaonyesha kuwa, wapinzani wa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu bado wanaongoza.

</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:04:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, vita vimezidisha vipi hali ya kutengwa kielimu utawala wa Kizayuni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141346-je_vita_vimezidisha_vipi_hali_ya_kutengwa_kielimu_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1da5d66692f2qhoo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141346-je_vita_vimezidisha_vipi_hali_ya_kutengwa_kielimu_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Tovuti ya Kizayuni ya Calcalist imeripoti kuwa sehemu ya Israel katika ufadhili wa utafiti wenye itibari wa Ulaya imepungua kwa kiasi kikubwa, huku kukiwa na ongezeko la visa vya watafiti wa kigeni wanaokataa kushirikiana na taasisi za Israel.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 05:52:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Watu 8,000 wamekatwa viungo tangu kuanza kwa vita dhidi ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141338-ripoti_watu_8_000_wamekatwa_viungo_tangu_kuanza_kwa_vita_dhidi_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14a48d2253d2qhny.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141338-ripoti_watu_8_000_wamekatwa_viungo_tangu_kuanza_kwa_vita_dhidi_ya_gaza </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Quds (Qudsna), vyanzo vya Palestina vimeripoti kwamba tangu kuanza vita dhidi ya Gaza, visa 8,000 vya kukatwa viungo vya mwili vimeripotiwa. Aidha, katika hali ya sasa, watu 10,000 wenye ulemavu wa viungo wanahitaji huduma za urekebishaji na tiba ya viungo kwa dharura.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 03:20:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa zamani wa Shin Bet: Kwa sasa tunaelekea kushuhudia mwisho wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141332-mkuu_wa_zamani_wa_shin_bet_kwa_sasa_tunaelekea_kushuhudia_mwisho_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1dbf81318ac2qhnm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141332-mkuu_wa_zamani_wa_shin_bet_kwa_sasa_tunaelekea_kushuhudia_mwisho_wa_israel </guid>  
      <description>Mkuu wa zamani wa Shirika la Usalama wa Ndani la Israel Shin Bet amesema kuwa, vita vinavyoanzishwa na Tel Aviv havina lengo la kisiasa, na kwamba Israel inaelekea katika mwisho wa mradi wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 02:47:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen yaitaka Saudia ijiondoe kwenye gwanda na mwavuli wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141330-ansarullah_ya_yemen_yaitaka_saudia_ijiondoe_kwenye_gwanda_na_mwavuli_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc11eee5b0d9f2qhig.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141330-ansarullah_ya_yemen_yaitaka_saudia_ijiondoe_kwenye_gwanda_na_mwavuli_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeituhumu Saudi Arabia kuwa inatekeleza mipango ya Kizayuni katika eneo na kuwataka watawala wa Riyadh wajiondoe kwenye gwanda na mwavuli wa himaya ya Marekani na utawala wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 11:43:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yaiamuru Uingereza ifunge ubalozi wake mdogo ulioko Baitul Muqaddas Mashariki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141320-israel_yaiamuru_uingereza_ifunge_ubalozi_wake_mdogo_ulioko_baitul_muqaddas_mashariki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1639f9636752qhh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141320-israel_yaiamuru_uingereza_ifunge_ubalozi_wake_mdogo_ulioko_baitul_muqaddas_mashariki </guid>  
      <description>Utawala wa kizayuni wa Israel umeutaarifu ubalozi mdogo wa Uingereza ulioko katika eneo la Baitul Muqaddas Mashariki (East Jerusalem) linalokaliwa kwa mabavu, kwamba lazima uwe umeshaufunga ubalozi huo ndani ya muda wa siku 30. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa leo na kituo cha habari cha umma cha Israel KAN.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 10:19:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya kushtadi jinai za walowezi wa kizayuni, nchi 12 zatangaza marufuku ya biashara na vitongoji haramu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141312-baada_ya_kushtadi_jinai_za_walowezi_wa_kizayuni_nchi_12_zatangaza_marufuku_ya_biashara_na_vitongoji_haramu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc100b86a735f2qham.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141312-baada_ya_kushtadi_jinai_za_walowezi_wa_kizayuni_nchi_12_zatangaza_marufuku_ya_biashara_na_vitongoji_haramu </guid>  
      <description>Nchi 12 zimetoa taarifa ya pamoja zikitangaza marufuku ya kitaifa ya biashara kwa bidhaa zinazotoka kwenye vitongoji haramu vilivyojengwa na utawala wa kizayuni wa Israel katika maeneo ya Palestina ya Ukingo wa Magharibi unayoyakalia kwa mabavu.</description>
      <pubDate>Wed, 09 Sep 2026 03:13:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaanzisha mashambulizi makubwa ya makombora na droni dhidi ya vituo vya mafuta vya Aramco, Saudia Arabia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141296-yemen_yaanzisha_mashambulizi_makubwa_ya_makombora_na_droni_dhidi_ya_vituo_vya_mafuta_vya_aramco_saudia_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14c244d54092qh54.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141296-yemen_yaanzisha_mashambulizi_makubwa_ya_makombora_na_droni_dhidi_ya_vituo_vya_mafuta_vya_aramco_saudia_arabia </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limeanzisha operesheni kubwa ya kijeshi inayolenga vituo vya mafuta vya Saudi Aramco na kambi za kijeshi za anga kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi cha moja kwa moja dhidi ya kampeni ya kikatili ya mashambulizi ya anga ya siku tatu iliyofanywa na Riyadh, ambayo ilijumuisha mauaji ya kutisha katika gereza moja nchini Yemen.</description>
      <pubDate>Tue, 08 Sep 2026 11:09:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya kidini vya utawala wa Kizayuni: Marufuku ya kutoa adhana katika Msikiti wa Ibrahimi yaingia siku ya 75</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141278-vita_vya_kidini_vya_utawala_wa_kizayuni_marufuku_ya_kutoa_adhana_katika_msikiti_wa_ibrahimi_yaingia_siku_ya_75</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc15fb3b95ad82qgr8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141278-vita_vya_kidini_vya_utawala_wa_kizayuni_marufuku_ya_kutoa_adhana_katika_msikiti_wa_ibrahimi_yaingia_siku_ya_75 </guid>  
      <description>Katika kipindi cha siku 75 zilizopita, utawala wa Kizayuni, pamoja na kukiuka heshima ya Msikiti wa Ibrahimi katika mji wa Al-Khalil, umekiuka waziwazi uhuru wa kidini wa Waislamu kwa kuzuia kutolewa adhana katika eneo hilo takatifu la Kiislamu.

</description>
      <pubDate>Mon, 07 Sep 2026 11:44:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nchi nane za Kiarabu na Kiislamu: Gaza ni eneo lisiloweza kutenganishwa na Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141262-nchi_nane_za_kiarabu_na_kiislamu_gaza_ni_eneo_lisiloweza_kutenganishwa_na_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1d4d1f4d2402qgle.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141262-nchi_nane_za_kiarabu_na_kiislamu_gaza_ni_eneo_lisiloweza_kutenganishwa_na_palestina </guid>  
      <description>Nchi nane za Kiarabu na Kiislamu ambazo ni Saudi Arabia, Jordan, Umoja wa Falme za Kiarabu, Indonesia, Pakistan, Uturuki, Qatar na Misri, zimetangaza kuwa, Ukanda wa Gaza ni sehemu isiyotenganishwa ya ardhi ya Palestina.</description>
      <pubDate>Mon, 07 Sep 2026 03:07:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa: Hakuna sehemu salama katika Ukanda wa Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141256-umoja_wa_mataifa_hakuna_sehemu_salama_katika_ukanda_wa_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1343532d74e2qgla.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141256-umoja_wa_mataifa_hakuna_sehemu_salama_katika_ukanda_wa_gaza </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hakuna sehemu salama katika Ukanda wa Gaza huko Palestina. </description>
      <pubDate>Mon, 07 Sep 2026 02:58:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchambuzi wa Asia Magharibi: Israel inakabiliwa na changamoto chungu nzima</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141254-mchambuzi_wa_asia_magharibi_israel_inakabiliwa_na_changamoto_chungu_nzima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1f73fc66acd2qgl8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141254-mchambuzi_wa_asia_magharibi_israel_inakabiliwa_na_changamoto_chungu_nzima </guid>  
      <description>Mtaalamu wa masuala ya Asia Magharibi amesisitiza: “Tatizo kubwa zaidi la ndani linaloukabili utawala wa Kizayuni katika hali ya sasa ni matatizo ya kijamii ndani ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu. </description>
      <pubDate>Mon, 07 Sep 2026 02:55:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi ya Wapalestina 100 waliouliwa shahidi yafanyika Gaza; watoto 70 ni miongoni mwa mashahidi hao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141248-mazishi_ya_wapalestina_100_waliouliwa_shahidi_yafanyika_gaza_watoto_70_ni_miongoni_mwa_mashahidi_hao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ec2a3fe20e2qghq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141248-mazishi_ya_wapalestina_100_waliouliwa_shahidi_yafanyika_gaza_watoto_70_ni_miongoni_mwa_mashahidi_hao </guid>  
      <description>Mazishi ya Wapalestina 100 waliouliwa shahidi yafanyika Gaza; watoto 70 ni miongoni mwa mashahidi hao</description>
      <pubDate>Sun, 06 Sep 2026 11:36:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Majeshi ya Yemen yakabiliana na mamluki wa Saudia mkoani Ta’izz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141208-majeshi_ya_yemen_yakabiliana_na_mamluki_wa_saudia_mkoani_ta’izz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a5c961d4712qg2g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141208-majeshi_ya_yemen_yakabiliana_na_mamluki_wa_saudia_mkoani_ta’izz </guid>  
      <description>Inaripotiwa kuwa maelfu ya mamluki wanaofadhiliwa na ufalme wa Saudi Arabia wamekabiliana na Majeshi ya Yemen katika mkoa wa Ta’izz.

</description>
      <pubDate>Sat, 05 Sep 2026 03:02:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu wa Harakati ya Nujaba: Kuanzia mwezi ujao, hatutambakisha hai mwanajeshi hata mmoja wa Marekani nchini Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141176-katibu_mkuu_wa_harakati_ya_nujaba_kuanzia_mwezi_ujao_hatutambakisha_hai_mwanajeshi_hata_mmoja_wa_marekani_nchini_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1dd12f0f2db2qflo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141176-katibu_mkuu_wa_harakati_ya_nujaba_kuanzia_mwezi_ujao_hatutambakisha_hai_mwanajeshi_hata_mmoja_wa_marekani_nchini_iraq </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa harakati ya al Nujaba ya Iraq amesema kwamba Kambi ya Muqawama imejitayarisha kikamilifu kwa ajili ya kuwafukuza wanajeshi wa kigeni nchini humo tarehe 30 mwezi huu wa Septemba, na kwamba baada ya tarehe hiyo, hatutamwacha hai hata mwanajeshi mmoja wa Marekani atakayesalia nchini Iraq.</description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 09:10:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Guterres atishia kuipeleka Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141174-guterres_atishia_kuipeleka_israel_katika_mahakama_ya_kimataifa_ya_haki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc12cc22897082qfli.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141174-guterres_atishia_kuipeleka_israel_katika_mahakama_ya_kimataifa_ya_haki </guid>  
      <description>Gazeti la Kizayuni limeripoti kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametishia kuupeleka utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) huko The Hague nchini Uholanzi.</description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 09:08:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malengo ya utawala wa Kizayuni ya kubakisha majeshi yake katika ardhi ya Syria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141170-malengo_ya_utawala_wa_kizayuni_ya_kubakisha_majeshi_yake_katika_ardhi_ya_syria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc17269630f8f2qfhc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141170-malengo_ya_utawala_wa_kizayuni_ya_kubakisha_majeshi_yake_katika_ardhi_ya_syria </guid>  
      <description>Asaad al-Shaibani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, amesisitiza kuwa tangazo la utawala wa Kizayuni kuhusu kuendelea kuwepo kwa majeshi yake katika ardhi ya Syria ni jaribio la kuimarisha na kudumisha uvamizi wake katika nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 07:35:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen: Shambulio la Marekani kwenye hafla ya harusi nchini Iran ni uhalifu kamili wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141164-yemen_shambulio_la_marekani_kwenye_hafla_ya_harusi_nchini_iran_ni_uhalifu_kamili_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc14fcfc76da12qfea.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141164-yemen_shambulio_la_marekani_kwenye_hafla_ya_harusi_nchini_iran_ni_uhalifu_kamili_wa_kivita </guid>  
      <description>Taasisi ya Kitaifa ya Haki za Binadamu ya Yemen imelaani vikali uhalifu wa kivita uliofanywa na Marekani katika shambulio dhidi ya hafla ya harusi huko Sirik, kusini mwa Iran. </description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 03:26:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Hali ya kibinadamu Gaza na Ukingo wa Magharibi yazidi kuzorota</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141132-un_hali_ya_kibinadamu_gaza_na_ukingo_wa_magharibi_yazidi_kuzorota</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc17d5e8eff292qevm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141132-un_hali_ya_kibinadamu_gaza_na_ukingo_wa_magharibi_yazidi_kuzorota </guid>  
      <description>Mashirika ya Umoja wa Mataifa, lile la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na la Afya Duniani (WHO) yameonya kuhusu kuzorota kwa hali ya kibinadamu katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kimabavu na Israel.</description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 02:46:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Pakistan: Uvamizi dhidi ya Iran ndio sababu kuu ya mgogoro wa kikanda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141124-waziri_mkuu_wa_pakistan_uvamizi_dhidi_ya_iran_ndio_sababu_kuu_ya_mgogoro_wa_kikanda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1018e3ae4392qese.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141124-waziri_mkuu_wa_pakistan_uvamizi_dhidi_ya_iran_ndio_sababu_kuu_ya_mgogoro_wa_kikanda </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesema kuwa ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala na ardhi ya Iran mapema mwaka huu umesababisha mgogoro mkubwa wa kikanda, na kusisitiza kuwa diplomasia ndiyo njia pekee endelevu ya kutatua mgogoro huo.</description>
      <pubDate>Tue, 01 Sep 2026 14:19:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti za UN: Mashambulizi ya walowezi huko Palestina yanaongezeka, na takwimu zinamkadhibisha Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141114-ripoti_za_un_mashambulizi_ya_walowezi_huko_palestina_yanaongezeka_na_takwimu_zinamkadhibisha_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc13f0ce63fbe2qehi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141114-ripoti_za_un_mashambulizi_ya_walowezi_huko_palestina_yanaongezeka_na_takwimu_zinamkadhibisha_netanyahu </guid>  
      <description>Kwa wiki ya nne mfululizo, walowezi wa kuzayuni wa Israel wanaendelea kuzingira familia tatu za Wapalestina katika eneo la Ras al-Ain la mji wa Qusra, kusini mwa Nablus, huku mashambulizi yakiendelea dhidi ya nyumba na ardhi za kandokando ya mji huo.</description>
      <pubDate>Tue, 01 Sep 2026 03:11:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maulama wa Pakistan: Umoja wa Waislamu mkabala wa mashambulizi ya Marekani na Israel si jambo la kupuuzwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141100-maulama_wa_pakistan_umoja_wa_waislamu_mkabala_wa_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_si_jambo_la_kupuuzwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0059fe47fe22qeau.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141100-maulama_wa_pakistan_umoja_wa_waislamu_mkabala_wa_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_si_jambo_la_kupuuzwa </guid>  
      <description>Kongamano la kila mwaka lenye kaulimbiu ya “Kumpenda Mtume Mtukufu; Kitovu cha Umoja wa Waislamu” limefanyika mjini Islamabad Pakistan sambamba na maadhimisho ya kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Mtukufu wa Uislamu, Muhammad al-Mustafa (SAW), na Wiki ya Umoja.

</description>
      <pubDate>Mon, 31 Aug 2026 11:14:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Marekani na Israel zimeshindwa katika vita vitatu vya uchokozi dhidi ya Iran kutokana na umoja na ustahimilivu wa wananchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141092-hizbullah_marekani_na_israel_zimeshindwa_katika_vita_vitatu_vya_uchokozi_dhidi_ya_iran_kutokana_na_umoja_na_ustahimilivu_wa_wananchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08d5c19a6e32qe0g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141092-hizbullah_marekani_na_israel_zimeshindwa_katika_vita_vitatu_vya_uchokozi_dhidi_ya_iran_kutokana_na_umoja_na_ustahimilivu_wa_wananchi </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah amesifu na kupongeza ustahimilivu na istiqama ya matabaka mbalimbali ya wananchi wa Iran wakati wa vita vya hivi karibuni vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, na kusisitiza kuwa istiqama ya wananchi itawarudisha nyuma maadui na kufelisha njama zao.</description>
      <pubDate>Mon, 31 Aug 2026 04:40:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa kizayuni aeleza 'anavyofurahishwa' na mateso wanayopata wafungwa Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141082-waziri_wa_kizayuni_aeleza_'anavyofurahishwa'_na_mateso_wanayopata_wafungwa_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc069c9b7ee5d2qdws.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141082-waziri_wa_kizayuni_aeleza_'anavyofurahishwa'_na_mateso_wanayopata_wafungwa_wapalestina </guid>  
      <description>Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa kizayuni wa Israel, Itamar Ben-Gvir, amesema "anafurahishwa" na unyanyasaji wa wafungwa Wapalestina walioko kwenye jela za utawala huo na kuongeza kwamba yeye anahusika moja kwa moja na hali zinazoshuhudiwa katika jela hizo.</description>
      <pubDate>Sun, 30 Aug 2026 13:31:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afrika Kusini yawasilisha kesi ICJ dhidi ya Israel kwa kukataa kutekeleza maamuzi yake kuhusu Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141068-afrika_kusini_yawasilisha_kesi_icj_dhidi_ya_israel_kwa_kukataa_kutekeleza_maamuzi_yake_kuhusu_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0163a6ecd342qdm6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141068-afrika_kusini_yawasilisha_kesi_icj_dhidi_ya_israel_kwa_kukataa_kutekeleza_maamuzi_yake_kuhusu_gaza </guid>  
      <description>Afrika Kusini imewasilisha hati mpya ya ushahidi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), ikiishutumu Israel kwa kukataa kufuata maagizo matatu ya kisheria kuhusu Ukanda wa Gaza, na kuonya kwamba kuendelea ukiukwaji wa sheria za kimataifa kunaweza kudhoofisha himaya inayotolewa na mahakama hiyo na uhalali wake.</description>
      <pubDate>Sun, 30 Aug 2026 03:48:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Naim Qassim: Hizbullah imefelisha mpango wa ‘Israel Kubwa’ na kuzuia upanuzi wake ndani ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141056-sheikh_naim_qassim_hizbullah_imefelisha_mpango_wa_israel_kubwa’_na_kuzuia_upanuzi_wake_ndani_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0870d7c52882qdgk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141056-sheikh_naim_qassim_hizbullah_imefelisha_mpango_wa_israel_kubwa’_na_kuzuia_upanuzi_wake_ndani_ya_lebanon </guid>  
      <description>Wanamapambano wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon wamefanikiwa kuzima njama iliyopewa jina la "Israel Kubwa" na kuzuia upanuzi wa Israel hadi Lebanon. Haya yamesemwa na Katibu Mkuu wa harakati hiyo ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 10:45:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Saudia yashikilia msimamo wake: Hatutoanzisha uhusiano na Israel kabla ya kuasisiwa kwanza nchi huru ya Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141016-saudia_yashikilia_msimamo_wake_hatutoanzisha_uhusiano_na_israel_kabla_ya_kuasisiwa_kwanza_nchi_huru_ya_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0136c1711372qcw4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141016-saudia_yashikilia_msimamo_wake_hatutoanzisha_uhusiano_na_israel_kabla_ya_kuasisiwa_kwanza_nchi_huru_ya_palestina </guid>  
      <description>Saudi Arabia imesisitiza kwamba haitaanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa kizayuni wa Israel bila ya kuasisiwa kwanza nchi huru ya Palestina katika eneo la mipaka ya mwaka 1967, na Baitul Muqaddas Mashariki ukiwa ndio mji mkuu wake.</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 03:26:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel inanyakua maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141004-israel_inanyakua_maelfu_ya_ekari_za_ardhi_ya_wapalestina_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05bf36ee3452qcqs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141004-israel_inanyakua_maelfu_ya_ekari_za_ardhi_ya_wapalestina_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Mamlaka za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetwaa maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katikati mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu ili kujenga kile kinachoitwa "njia ya usalama" kuzunguka vitongoji haramu vya Wazayuni kinyume cha sheria za kimataifa na maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 11:54:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amani ya Kudumu Katika Eneo Itapatikana tu Pale Utawala wa Kizayuni Utakapopokonywa Silaha za Nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141002-amani_ya_kudumu_katika_eneo_itapatikana_tu_pale_utawala_wa_kizayuni_utakapopokonywa_silaha_za_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09e2894ee682qclc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141002-amani_ya_kudumu_katika_eneo_itapatikana_tu_pale_utawala_wa_kizayuni_utakapopokonywa_silaha_za_nyuklia </guid>  
      <description>Madamu silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel, ambao ndio utawala pekee unaomiliki silaha za nyuklia katika Asia Magharibi, zitaendelea kufunikwa na utata wa makusudi wa utawala huo pamoja na kimya cha kimataifa, mjadala wowote kuhusu upokonyaji silaha katika eneo hautakuwa na maana na utaendelea kuwa ni unafiki mtupu.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 06:18:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watoto wachanga 14 wafariki katika ajali ya moto iliyotokea hospitalini Pakistan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140978-watoto_wachanga_14_wafariki_katika_ajali_ya_moto_iliyotokea_hospitalini_pakistan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09cf6d746ca2qcd4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140978-watoto_wachanga_14_wafariki_katika_ajali_ya_moto_iliyotokea_hospitalini_pakistan </guid>  
      <description>Watoto wachanga wasiopungua14 wamefariki dunia katika moto uliozuka kwenye chumba cha watoto cha hospitali ya serikali katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, huku Waziri Mkuu Shehbaz Sharif akitangaza kuwa ameshaamuru uchunguzi ufanyike kuhusu ajali hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:16:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya miaka 25, Misri yamtambulisha tena mtoto Muhammad al-Durra kwenye mtaala wa somo la historia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140976-baada_ya_miaka_25_misri_yamtambulisha_tena_mtoto_muhammad_al_durra_kwenye_mtaala_wa_somo_la_historia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dddc79872a2qcd2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140976-baada_ya_miaka_25_misri_yamtambulisha_tena_mtoto_muhammad_al_durra_kwenye_mtaala_wa_somo_la_historia </guid>  
      <description>Miaka 25 baada ya tukio lililoishtua na kuitikisa dunia, picha ya mtoto wa miaka 12 wa Kipalestina Muhammad al-Durra aliyeuliwa kinyama na hadharani na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel imehama kutoka kwenye skrini za televisheni hadi kwenye kurasa za kitabu cha kiada cha Misri, katika somo linaloangazia Intifadha ya Pili ya Wapalestina ya mwaka 2000.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:14:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Vita vya Marekani Dhidi ya Iran Vimesababisha Vipi Nakisi ya Bajeti katika Uchumi wa Qatar?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140972-je_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vimesababisha_vipi_nakisi_ya_bajeti_katika_uchumi_wa_qatar</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc072644940562qc96.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140972-je_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vimesababisha_vipi_nakisi_ya_bajeti_katika_uchumi_wa_qatar </guid>  
      <description>Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeripoti kupungua kwa takriban asilimia 9 ya uchumi wa Qatar, ambapo baadhi ya wachambuzi wanakadiria kuwa uchumi wa nchi hiyo utapungua kwa asilimia 13 hadi 14 kufikia mwishoni mwa mwaka huu. </description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 06:54:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan yaripoti 'maendeleo makubwa' katika mazungumzo ya Tehran ili kupunguza mvutano kati ya Marekani na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140948-pakistan_yaripoti_'maendeleo_makubwa'_katika_mazungumzo_ya_tehran_ili_kupunguza_mvutano_kati_ya_marekani_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02dc96b5a022qbxa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140948-pakistan_yaripoti_'maendeleo_makubwa'_katika_mazungumzo_ya_tehran_ili_kupunguza_mvutano_kati_ya_marekani_na_iran </guid>  
      <description>Pakistan imeripoti "maendeleo makubwa" katika mazungumzo ya kidiplomasia ya ngazi ya juu yaliyofanyika Tehran, yenye lengo la kupunguza kasi ya vita vinavyoendelea kati ya Marekani na Iran na kuokoa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU), unaosimamiwa na Pakistan.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:20:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripota Maalumu wa UN atoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kulinda Wapalestina Ukingo wa Magharibi na Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140926-ripota_maalumu_wa_un_atoa_wito_wa_kupelekwa_haraka_kikosi_cha_kimataifa_cha_kulinda_wapalestina_ukingo_wa_magharibi_na_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06f078b0ee62qbkc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140926-ripota_maalumu_wa_un_atoa_wito_wa_kupelekwa_haraka_kikosi_cha_kimataifa_cha_kulinda_wapalestina_ukingo_wa_magharibi_na_gaza </guid>  
      <description>Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu katika Maeneo Yanayokaliwa kwa ya Palestina, Francesca Albanese, ametoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kuwalinda Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:39:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Qaani: Palestina ni fikra iliyo hai na isiyobadilika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140914-kamanda_qaani_palestina_ni_fikra_iliyo_hai_na_isiyobadilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05859575d882qbb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140914-kamanda_qaani_palestina_ni_fikra_iliyo_hai_na_isiyobadilika </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema: "Suala la kukomboa Palestina, kuanzia baharini hadi mtoni, (ardhi ya Palestina kuanzia Bahari ya Mediterania hadi Mto Jordan) liko hai zaidi na linawezekana kutimizwa sasa kuliko hapo awali."</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:11:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yawapongeza mabalozi wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaotaka Israel iwekewe vikwazo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140902-hamas_yawapongeza_mabalozi_wa_zamani_wa_ufaransa_na_uingereza_wanaotaka_israel_iwekewe_vikwazo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a34a5135d02qb82.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140902-hamas_yawapongeza_mabalozi_wa_zamani_wa_ufaransa_na_uingereza_wanaotaka_israel_iwekewe_vikwazo </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza muungano wa wanadiplomasia zaidi ya 100 wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaozitaka serikali za nchi zao kushirikiana kulinda sheria za kimataifa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina. Mabalozi hao pia wametaka Israel iwekewe vikwazo.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 13:58:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwisho wa satwa ya Marekani: Asia Magharibi Katika Ukingo wa Mfumo Mpya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140898-mwisho_wa_satwa_ya_marekani_asia_magharibi_katika_ukingo_wa_mfumo_mpya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09a8420b4832qaxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140898-mwisho_wa_satwa_ya_marekani_asia_magharibi_katika_ukingo_wa_mfumo_mpya </guid>  
      <description>Katika uchambuzi wake wa hivi karibuni, jarida la Foreign Affairs linataja vita dhidi ya Iran kama hatua muhimu inayoharakisha kuporomoka kwa mfumo wa kikanda unaoongozwa na Marekani na kudhihiri taratibu mabadiliko yanayoweza kubadili mitazamo na mikakati ya kiusalama ya mataifa ya Asia Magharibi katika miaka ijayo.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 06:38:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vitisho Visivyo na Uzito vya Trump na Kudhoofika kwa Nguvu ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140896-vitisho_visivyo_na_uzito_vya_trump_na_kudhoofika_kwa_nguvu_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01759d0cec52qaja.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140896-vitisho_visivyo_na_uzito_vya_trump_na_kudhoofika_kwa_nguvu_ya_marekani </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena ametishia kuishambulia Oman kwa mabomu, nchi iliyo na nafasi muhimu katika mazungumzo yanayohusu Iran pamoja na masuala yanayohusiana na usafiri wa baharini katika Lango Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 05:02:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maafisa wa jeshi la Israel: Netanyahu anataka kushadidisha vita ili uchaguzi usifanyike</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140886-maafisa_wa_jeshi_la_israel_netanyahu_anataka_kushadidisha_vita_ili_uchaguzi_usifanyike</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06194ef3c1c2qavi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140886-maafisa_wa_jeshi_la_israel_netanyahu_anataka_kushadidisha_vita_ili_uchaguzi_usifanyike </guid>  
      <description>Maafisa waandamizi wa jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel wanamshuku waziri mkuu Benjamin Netanyahu kwamba anaweza akataka kushadidisha vita katika Ukanda wa Ghaza ili kujaribu kuvuruga au kuahirisha uchaguzi ujao wa bunge wa utawala huo ghasibu.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:14:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Rekodi ya serikali ya Marekani imejaa umwagaji damu na jinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140874-hizbullah_rekodi_ya_serikali_ya_marekani_imejaa_umwagaji_damu_na_jinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01b302a28df2qar4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140874-hizbullah_rekodi_ya_serikali_ya_marekani_imejaa_umwagaji_damu_na_jinai </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali vikwazo vipya vya Wizara ya Hazina ya Marekani dhidi ya harakati hiyo.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:20:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu Ukanda wa Gaza ni mbaya kutokana na kuongezeka wimbi la njaa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140866-umoja_wa_mataifa_hali_ya_kibinadamu_ukanda_wa_gaza_ni_mbaya_kutokana_na_kuongezeka_wimbi_la_njaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc059db72e09c2qah6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140866-umoja_wa_mataifa_hali_ya_kibinadamu_ukanda_wa_gaza_ni_mbaya_kutokana_na_kuongezeka_wimbi_la_njaa </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza kutokana na kuendelea mashambulizi ya utawala wa Israel pamoja na kushadidishwa mzingiro dhidi ya eneo hilo.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:54:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Miaka 57 tangu kuchomwa moto Msikiti wa Al-Aqswa; uhalifu unaoendelea kujirudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140864-miaka_57_tangu_kuchomwa_moto_msikiti_wa_al_aqswa_uhalifu_unaoendelea_kujirudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc079ccbd194f2qah4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140864-miaka_57_tangu_kuchomwa_moto_msikiti_wa_al_aqswa_uhalifu_unaoendelea_kujirudia </guid>  
      <description>Miaka 57 baada ya kuchomwa moto kwa Msikiti wa Al-Aqsa, utambulisho wake wa Kiislamu unaendelea kutishiwa na njama za kuliyahudisha eneo hilo takatifu zingali zinaendeea.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:53:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina ‘wanakabiliwa na baa la njaa’ huku walowezi wa Kizayuni wakiendeleza mzingiro katika mji wa Qusra</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140848-wapalestina_wanakabiliwa_na_baa_la_njaa’_huku_walowezi_wa_kizayuni_wakiendeleza_mzingiro_katika_mji_wa_qusra</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a6fc57c2552qaco.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140848-wapalestina_wanakabiliwa_na_baa_la_njaa’_huku_walowezi_wa_kizayuni_wakiendeleza_mzingiro_katika_mji_wa_qusra </guid>  
      <description>Wapalestina walionaswa ndani ya nyumba zao katika mji wa Qusra wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula huku walowezi wenye itikadi kali za Kizayuni wakiendeleza mzingiro wao dhidi ya mji huo wa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, wakati vikosi vya utawala ghasibu  wa Israel vikiendelea kuzuia misaada ya chakula kufika.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 10:22:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi ya Wapalestina 50 wasiojulikana waliouawa katika mauaji ya kimbari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140840-mazishi_ya_wapalestina_50_wasiojulikana_waliouawa_katika_mauaji_ya_kimbari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04b3a25b0312qa9s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140840-mazishi_ya_wapalestina_50_wasiojulikana_waliouawa_katika_mauaji_ya_kimbari </guid>  
      <description>Mamia ya watu wameswali Swala ya Janaza wakati wa mazishi ya pamoja katika Jiji la Gaza kwa ajili ya Wapalestina 50 ambao miili yao ilipatikana hivi karibuni na vikosi vya Ulinzi wa Raia ikiwa chini ya mabaki ya nyumba zilizobomolewa katika mashambulizi ya Israel wakati wa vita vya mauaji ya kimbari katika eneo hilo lililozingirwa.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 06:10:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya kukana kwa zaidi ya miaka 2, Israel yakiri kumuua mtoto wa Kipalestina Hind Rajab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140826-baada_ya_kukana_kwa_zaidi_ya_miaka_2_israel_yakiri_kumuua_mtoto_wa_kipalestina_hind_rajab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04969dd09c72qa3o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140826-baada_ya_kukana_kwa_zaidi_ya_miaka_2_israel_yakiri_kumuua_mtoto_wa_kipalestina_hind_rajab </guid>  
      <description>Kwa mara ya kwanza, jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limekiri kuwa lilimuua Hind Rajab mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka mitano huko Ghaza, na hivyo kubatilisha makanusho yake ya hapo awali, na kutangaza kwamba limeshaagiza kufanyika uchunguzi wa kijinai kuhusiana na mauaji yake.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 11:44:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel imepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140806-israel_imepora_hekta_25_000_za_ardhi_ya_ukingo_wa_magharibi_katika_miaka_mitatu_iliyopita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0051e0c32052q9xk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140806-israel_imepora_hekta_25_000_za_ardhi_ya_ukingo_wa_magharibi_katika_miaka_mitatu_iliyopita </guid>  
      <description>Utawala dhalimu wa Israel umepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita. </description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:19:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Zimepoteza Imani na Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140788-kwa_nini_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_zimepoteza_imani_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a33eb0b59a2q9lm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140788-kwa_nini_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_zimepoteza_imani_na_marekani </guid>  
      <description>Hali ya kutoridhishwa na Marekani inazidi kuongezeka miongoni mwa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 08:06:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakanusha madai kuwa imeishambulia UAE kwa makombora </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140786-iran_yakanusha_madai_kuwa_imeishambulia_uae_kwa_makombora</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0616ae4d4552q3cy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140786-iran_yakanusha_madai_kuwa_imeishambulia_uae_kwa_makombora </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwamba Iran imevurumisha makombora mawili ya balestiki kuelekea nchi hiyo. </description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:19:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti:  Vikosi vya Yemen vyashambulia kiwanda cha kusafisha mafuta cha Saudia cha Aramco katika mji wa Jizan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140774-ripoti_vikosi_vya_yemen_vyashambulia_kiwanda_cha_kusafisha_mafuta_cha_saudia_cha_aramco_katika_mji_wa_jizan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc010a71b68272q9i0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140774-ripoti_vikosi_vya_yemen_vyashambulia_kiwanda_cha_kusafisha_mafuta_cha_saudia_cha_aramco_katika_mji_wa_jizan </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimetekeleza kwa mafanikio mashambulizi dhidi ya kituo cha mafuta kinachoendeshwa na kampuni ya serikali ya mafuta na gesi asilia ya Saudi Arabia ya Aramco, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi dhidi ya uchokozi na mzingiro unaoendelea kutekelezwa na utawala wa Riyadh dhidi ya Yemen.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:10:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen lashambulia meli ya kivita za Saudia katika Bahari ya Sham</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140752-jeshi_la_yemen_lashambulia_meli_ya_kivita_za_saudia_katika_bahari_ya_sham</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0c987e052e92q966.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140752-jeshi_la_yemen_lashambulia_meli_ya_kivita_za_saudia_katika_bahari_ya_sham </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya kivita na boti kadhaa za kijeshi za Saudia katika Bahari ya Sham, ikiwa ni sehemu ya jibu la kulipiza kisasi dhidi ya kampeni ya kijeshi na mzingiro unaoendelea wa ufalme wa Saudia dhidi ya taifa la Yemen.</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 03:23:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Uhalifu wa Israel nchini Lebanon na Palestina unafanywa kwa idhini ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140732-ansarullah_uhalifu_wa_israel_nchini_lebanon_na_palestina_unafanywa_kwa_idhini_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc069499d86a32q8vw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140732-ansarullah_uhalifu_wa_israel_nchini_lebanon_na_palestina_unafanywa_kwa_idhini_ya_marekani </guid>  
      <description>Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imelaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya maeneo ya kusini mwa Lebanon.</description>
      <pubDate>Mon, 17 Aug 2026 06:07:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kuanzia Uhamiaji hadi Kukimbia: Jinsi Ndoto ya Kizayuni ya "Nchi ya Ahadi" Ilivyoporomoka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140724-kuanzia_uhamiaji_hadi_kukimbia_jinsi_ndoto_ya_kizayuni_ya_nchi_ya_ahadi_ilivyoporomoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01021f108012q8v6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140724-kuanzia_uhamiaji_hadi_kukimbia_jinsi_ndoto_ya_kizayuni_ya_nchi_ya_ahadi_ilivyoporomoka </guid>  
      <description>Hali ya walowezi wa Kizayunu kukimbia ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, zinazodaiwa kuwa Israel, na kurejea katika nchi walikotoka imekuwa ishara ya wazi ya mmomonyoko wa ndani wa mradi wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Mon, 17 Aug 2026 05:27:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa muqawama ataka kuhitimishwa udhibiti wa moja kwa moja wa kifedha wa Marekani kwa Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140716-kiongozi_wa_muqawama_ataka_kuhitimishwa_udhibiti_wa_moja_kwa_moja_wa_kifedha_wa_marekani_kwa_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc038eebe6e322q8ma.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140716-kiongozi_wa_muqawama_ataka_kuhitimishwa_udhibiti_wa_moja_kwa_moja_wa_kifedha_wa_marekani_kwa_iraq </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa kundi la muqawama la Iraq la Kata’ib Sayyid al-Shuhada amekosoa vikali udhibiti wa moja kwa moja wa Marekani wa fedha na uchumi na mali za Iraq na kutaka kutafutwa masoko mbalimbali ya mauzo ya nje, kuimarisha uhusiano wa kibenki na kuhitimisha kivitendo udhibiti wa kifedha wa Washington kwa nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Sun, 16 Aug 2026 09:33:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mauaji ya Kimbari: Sera Rasmi ya Wazayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140710-mauaji_ya_kimbari_sera_rasmi_ya_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0129d3b501e2q7yu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140710-mauaji_ya_kimbari_sera_rasmi_ya_wazayuni </guid>  
      <description>"Mauaji ya kimbari na ubaguzi wa rangi ni mradi rasmi wa utawala wa Israel." Kwa maneno haya, Francesca Albanese, Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ameangazia uhalisia wa kisiasa na kisheria katika ardhi hizo.</description>
      <pubDate>Sun, 16 Aug 2026 05:18:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Hizbullah: Muqawama hautasalimu amri wala kurudi nyuma katika kulinda mamlaka ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140684-kiongozi_wa_hizbullah_muqawama_hautasalimu_amri_wala_kurudi_nyuma_katika_kulinda_mamlaka_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02be829b31a2q886.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140684-kiongozi_wa_hizbullah_muqawama_hautasalimu_amri_wala_kurudi_nyuma_katika_kulinda_mamlaka_ya_lebanon </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbollah amesema kuwa, Muqawama hautakubali kusalimu amri wala kurudi nyuma katika kulinda mamlaka, heshima na umoja wa ardhi ya Lebanon, akiongeza kuwa Israel na Marekani zimekuwa zikiilazimisha Beirut kutekeleza matakwa yao na kudhoofisha mamlaka ya nchi hiyo ya Kiarabu.

</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 10:57:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jerusalem Post: Israel imeshtushwa na kasi ya Iran ya kujiimarisha upya kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140676-jerusalem_post_israel_imeshtushwa_na_kasi_ya_iran_ya_kujiimarisha_upya_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc046587706fb2q7z0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140676-jerusalem_post_israel_imeshtushwa_na_kasi_ya_iran_ya_kujiimarisha_upya_kijeshi </guid>  
      <description>Gazeti la kizayuni la Jerusalem Post limefichua kuwa, maafisa wa ulinzi wa Israel wameshtushwa na namna Iran ilivyojenga upya na kwa kasi uwezo wake wa kijeshi tangu baada ya mashambulizi makali ya Marekani na utawala huo wa kizayuni wakati wa kipindi cha mwanzoni mwa vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na tawala mbili hizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 03:54:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya 70% ya Wapalestina wanapinga HAMAS kukabidhi silaha kabla Israel kuondoka kikamilifu Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140672-zaidi_ya_70_ya_wapalestina_wanapinga_hamas_kukabidhi_silaha_kabla_israel_kuondoka_kikamilifu_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0275f29d23e2q7yw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140672-zaidi_ya_70_ya_wapalestina_wanapinga_hamas_kukabidhi_silaha_kabla_israel_kuondoka_kikamilifu_ghaza </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na Kituo cha Utafiti wa Sera na Utafiti cha Palestina (Palestinian Center for Policy and Survey Research) unaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya Wapalestina wanapinga Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS kukabidhi silaha zake kabla utawala wa kizayuni wa Israel kuondoka kikamilifu katika Ukanda wa Ghaza.</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 03:51:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel imebomoa kikamilifu misikiti 1,076 Ghaza, imeharibu 165 na kubakisha 34 tu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140670-israel_imebomoa_kikamilifu_misikiti_1_076_ghaza_imeharibu_165_na_kubakisha_34_tu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0129d3b501e2q7yu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140670-israel_imebomoa_kikamilifu_misikiti_1_076_ghaza_imeharibu_165_na_kubakisha_34_tu </guid>  
      <description>Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini ya Ghaza imetangaza kuwa, kati ya jumla ya misikiti 1,275 ya eneo hilo la Palestina inayokaliwa kwa mabavu, 1,076 imebomolewa kikamilifu, 165 imebomolewa baadhi ya sehemu, na misikiti 34 pekee ndiyo iliyosalimika na jinai za jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 03:48:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Abdul-Malik al-Houth: Kukaririwa vitendo vya kuivunjia heshima Qur’ani kumefichua zaidi uadui wa Wazayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140664-abdul_malik_al_houth_kukaririwa_vitendo_vya_kuivunjia_heshima_qur’ani_kumefichua_zaidi_uadui_wa_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc084deb80cc12q7uk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140664-abdul_malik_al_houth_kukaririwa_vitendo_vya_kuivunjia_heshima_qur’ani_kumefichua_zaidi_uadui_wa_wazayuni </guid>  
      <description>Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, kukaririwa vitendo vya kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kumefichua kwa uwazi zaidi uadui wa Wazayuni dhidi ya misingi yote mitakatifu, pamoja na chuki yao dhidi ya ujumbe wa Mwenyezi Mungu.

</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 10:09:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Miinuko ya Golan ni sehemu isiyotenganishwa na ardhi ya Syria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140656-iran_miinuko_ya_golan_ni_sehemu_isiyotenganishwa_na_ardhi_ya_syria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b231f52bf92q7s2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140656-iran_miinuko_ya_golan_ni_sehemu_isiyotenganishwa_na_ardhi_ya_syria </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kwamba Miinuko ya Golan ni sehemu isiyotenganishwa na ardhi ya Syria, huku ikieleza kuunga mkono mapambano halali ya wananchi wa Palestina.</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 03:10:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Misri na Imarati zasisitiza kupunguzwa mvutano na kurejeshwa njia ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140654-misri_na_imarati_zasisitiza_kupunguzwa_mvutano_na_kurejeshwa_njia_ya_kidiplomasia_kati_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f00345f08c2q7s0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140654-misri_na_imarati_zasisitiza_kupunguzwa_mvutano_na_kurejeshwa_njia_ya_kidiplomasia_kati_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimesisitiza umuhimu wa kupunguzwa mvutano na kurejeshwa njia ya mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kkiislamu ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 03:08:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel inashikilia  waandishihabari 40 wa Kipalestina katika kampeni ya kubana sauti ya haki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140640-israel_inashikilia_waandishihabari_40_wa_kipalestina_katika_kampeni_ya_kubana_sauti_ya_haki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09331b26d602q7mc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140640-israel_inashikilia_waandishihabari_40_wa_kipalestina_katika_kampeni_ya_kubana_sauti_ya_haki </guid>  
      <description>Israel inawashikilia takriban waandishi wa habari 40 wa Kipalestina, wakiwemo wanawake watano, huku ikiongeza kasi ya ukandamizaji mkubwa ili kunyamazisha vyombo vya habari vya Kipalestina na kuzuia kuripotiwa kwa ukiukaji na jinai zake.  Hayo ni kwa mujibu wa Jumuiya ya Wafungwa wa Kipalestina (PPS).</description>
      <pubDate>Thu, 13 Aug 2026 10:32:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel umeshafikia “hatua ya kusambaratika”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140620-un_ukingo_wa_magharibi_unaokaliwa_kwa_mabavu_na_israel_umeshafikia_hatua_ya_kusambaratika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0cfcf9470fc2q7f8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140620-un_ukingo_wa_magharibi_unaokaliwa_kwa_mabavu_na_israel_umeshafikia_hatua_ya_kusambaratika </guid>  
      <description>Mratibu wa juhudi za Umoja wa Mataifa za mchakato wa amani Mashariki ya Kati, Ramiz Alakbarov, amesema Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel umefikia “hatua ya kusambaratika”, huku ongezeko la vitendo vya ukatili na mabavu vya walowezi wa Israel, upanuzi wa vitongoji haramu na ufurushwaji wa jamii za Wapalestina vikiibadilisha kwa kasi sura ya eneo hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 12:05:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Duru za kuaminika: Saudia imepinga Misri kuingizwa kwenye Makubaliano ya Makka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140618-duru_za_kuaminika_saudia_imepinga_misri_kuingizwa_kwenye_makubaliano_ya_makka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02b3136fd5c2q794.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140618-duru_za_kuaminika_saudia_imepinga_misri_kuingizwa_kwenye_makubaliano_ya_makka </guid>  
      <description>Saudi Arabia ilipinga Misri kujiunga na Mkataba wa Pamoja wa Ulinzi wa Makka uliosainiwa na Saudia, Uturuki na Pakistan wiki iliyopita, licha ya Ankara kutoa msukumo wa Cairo kujumuishwa kwenye mkataba huo. Hayo yameripotiwa na vyanzo vitatu vya Saudi Arabia vyenye taarifa za majadiliano yaliyofanywa juu ya suala hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 11:57:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa Yemen: Hatujawahi katu kufunga milango ya mazungumzo na Saudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140598-afisa_wa_yemen_hatujawahi_katu_kufunga_milango_ya_mazungumzo_na_saudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02fa53f4ad52q76e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140598-afisa_wa_yemen_hatujawahi_katu_kufunga_milango_ya_mazungumzo_na_saudia </guid>  
      <description>Mkuu wa ujumbe wa Yemen katika mazungumzo ya amani amesema, Sana'a haijawahi kufunga milango ya mazungumzo na Saudi Arabia, bali Saudia ndiyo inayokataa suala hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 03:31:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini ni lazima Marekani iondoke Asia Magharibi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140582-kwa_nini_ni_lazima_marekani_iondoke_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e235c460432q6uw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140582-kwa_nini_ni_lazima_marekani_iondoke_asia_magharibi </guid>  
      <description>Uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, ambao kwa miaka mingi umehalalishwa kwa kisingizio cha kudhamini usalama, sasa umekuwa kichocheo cha migogoro, sababu ya kuongezeka gharama, na jambo linaloitumbukiza Washington katika vita vya kuchosha na vya muda mrefu, kuliko wakati mwingine wowote.</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 08:02:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mustakabali wa usalama wa eneo: Kwa nini nafasi muhimu ya nchi za kanda ni ya dharura?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140580-mustakabali_wa_usalama_wa_eneo_kwa_nini_nafasi_muhimu_ya_nchi_za_kanda_ni_ya_dharura</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04497476d432q6uq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140580-mustakabali_wa_usalama_wa_eneo_kwa_nini_nafasi_muhimu_ya_nchi_za_kanda_ni_ya_dharura </guid>  
      <description>Pembezoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kwa ajili ya kutetea Quds Tukufu (Jerusalem), uliofanyika mjini Amman, Jordan, Badr Abdelatty, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, alisisitiza umuhimu wa kuandaliwa dira ya pamoja ya Kiarabu kwa ajili ya mustakabali wa usalama wa eneo. Alisema kuwa nchi za eneo lazima ziwe katika mstari wa mbele wa kubuni mipango yoyote ya usalama katika siku zijazo.</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 07:42:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiwango cha mimba zinazoharibika Gaza chaongezeka mara tatu katika nusu ya kwanza ya 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140568-kiwango_cha_mimba_zinazoharibika_gaza_chaongezeka_mara_tatu_katika_nusu_ya_kwanza_ya_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0166cb3e4532q6py.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140568-kiwango_cha_mimba_zinazoharibika_gaza_chaongezeka_mara_tatu_katika_nusu_ya_kwanza_ya_2026 </guid>  
      <description>Kiwango cha mimba kuharibika huko Gaza kimeongezeka zaidi ya mara tatu katika nusu ya kwanza ya 2026 huku wanawake wajawazito wakisumbuliwa na utapiamlo, kuhama makazi yao mara kwa mara, joto kali na kuendelea kuporomoka mfumo wa afya wa Ukanda huo.

</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 03:03:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Karibu Wapalestina 8,000 wamekatwa viungo katika vita vya Israel dhidi ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140560-karibu_wapalestina_8_000_wamekatwa_viungo_katika_vita_vya_israel_dhidi_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b1d6ebf9aa2q6j0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140560-karibu_wapalestina_8_000_wamekatwa_viungo_katika_vita_vya_israel_dhidi_ya_gaza </guid>  
      <description>Wapalestina wapatao 8,000 wamekatwa viungo katika eneo la Ukanda wa Gaza tangu utawala wa kizayuni wa Israel ulipoanzisha vita vya kinyama Oktoba 2023 ambavyo vimeendelea kwa Zaidi ya miaka miwili.

</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 11:20:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Francesca Albanese: Mauaji ya kimbari na Apartheid vimekuwa sera rasmi ya utawala wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140556-francesca_albanese_mauaji_ya_kimbari_na_apartheid_vimekuwa_sera_rasmi_ya_utawala_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2850663f032ph3k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140556-francesca_albanese_mauaji_ya_kimbari_na_apartheid_vimekuwa_sera_rasmi_ya_utawala_wa_israel </guid>  
      <description>Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu Francesca Albanese amesema kuwa, mauaji ya kimbari na mfumo wa ubaguzi wa rangi (apartheid) vimegeuzwa kuwa mradi wa kiserikali wa utawala wa Israel.

</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 10:53:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen laangamiza makumi ya mamluki wa Saudia mkoani Ta'izz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140546-jeshi_la_yemen_laangamiza_makumi_ya_mamluki_wa_saudia_mkoani_ta'izz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fb4b940b862q69k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140546-jeshi_la_yemen_laangamiza_makumi_ya_mamluki_wa_saudia_mkoani_ta'izz </guid>  
      <description>Msemaji wa Vikosi vya Jeshi la Yemen amesema vitengo vya kijeshi vya nchi hiyo vimeendesha operesheni kubwa dhidi ya vibaraka wa  Saudia katika mkoa wa kusini-magharibi wa Ta’izz, na kuwaua na kuwajeruhi makumi yao.</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 03:17:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yavishambulia vituo vya nishati vya Saudi baada ya nchi hiyo kukiuka anga ya Sa’adah na Hajjah</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140534-yemen_yavishambulia_vituo_vya_nishati_vya_saudi_baada_ya_nchi_hiyo_kukiuka_anga_ya_sa’adah_na_hajjah</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dd56b3ee2d2q61k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140534-yemen_yavishambulia_vituo_vya_nishati_vya_saudi_baada_ya_nchi_hiyo_kukiuka_anga_ya_sa’adah_na_hajjah </guid>  
      <description>Yemen imeishambulia miundombinu ya nishati ya Saudi Arabia ikiwa ni jibu kwa ndege zisizo na rubani za adui zinazokiuka anga ya mikoa ya Sa’adah na Hajjah huko Yemen.</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 11:01:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malaysia na Indonesia zasisitiza kuunga mkono Palestina na maeneo matakatifu Baytul-Muqaddas</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140522-malaysia_na_indonesia_zasisitiza_kuunga_mkono_palestina_na_maeneo_matakatifu_baytul_muqaddas</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02ca89f67622q5wo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140522-malaysia_na_indonesia_zasisitiza_kuunga_mkono_palestina_na_maeneo_matakatifu_baytul_muqaddas </guid>  
      <description>Malaysia na Indonesia kwa mara nyingine tena zimesisitiza uungaji mkono wao kwa watu wa Palestina na kuhifadhi hadhi ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo katika Baytul-Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:17:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF yachukua hatua dhidi ya afisa anayetuhumiwa kufanya ujasusi kwa maslahi ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140518-unicef_yachukua_hatua_dhidi_ya_afisa_anayetuhumiwa_kufanya_ujasusi_kwa_maslahi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01be1a24cd32q5we.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140518-unicef_yachukua_hatua_dhidi_ya_afisa_anayetuhumiwa_kufanya_ujasusi_kwa_maslahi_ya_israel </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa amethibitisha kwamba Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) linachukua hatua dhidi ya mmoja wa wafanyakazi wake, kufuatia madai kwamba alifanya ujasusi kwa maslahi ya Israel wakati wa kazi yake ya awali katika Shirika la Idadi ya Watu la Umoja wa Mataifa.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:00:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Baraza la Usalama la UN limepoteza hadhi; maazimio yake hayana thamani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140506-ansarullah_baraza_la_usalama_la_un_limepoteza_hadhi_maazimio_yake_hayana_thamani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d8ef1cae1e2q5rm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140506-ansarullah_baraza_la_usalama_la_un_limepoteza_hadhi_maazimio_yake_hayana_thamani </guid>  
      <description>Kiongozi mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amepuzilia mbali hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kulaani mashambulizi ya makombora ya kulipiza kisasi dhidi ya Saudi Arabia na meli za kibiashara za utawala huo wa kifalme akisema kuwa chombo hicho cha kimataifa kimepoteza uhalali na hadhi yake, na maazimio yake hayana thamani yoyote.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:55:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan zasaini mkataba wa pamoja wa ulinzi huku nguvu ya Marekani ikipungua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140494-uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_zasaini_mkataba_wa_pamoja_wa_ulinzi_huku_nguvu_ya_marekani_ikipungua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d274a141242q5hq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140494-uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_zasaini_mkataba_wa_pamoja_wa_ulinzi_huku_nguvu_ya_marekani_ikipungua </guid>  
      <description>Saudi Arabia imesaini makubaliano ya pamoja ya ulinzi kati yake na Uturuki Pakistan kwa lengo la kuimarisha usalama wa pamoja na ushirikiano wa kijeshi huku nguvu za kijeshi za Marekani zikipungua katika eneo hili. </description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 02:47:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi mapya ya Yemen yaangamiza mamluki wa Saudia wasiopungua 58 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140488-mashambulizi_mapya_ya_yemen_yaangamiza_mamluki_wa_saudia_wasiopungua_58</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00259ff306c2q5fs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140488-mashambulizi_mapya_ya_yemen_yaangamiza_mamluki_wa_saudia_wasiopungua_58 </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimefanya operesheni kubwa iliyozilenga ngome za kijeshi na vituo vikuu vya kamanda za kijeshi zilizokuwa zikisimamiwa na mamluki wanaoungwa mkono na Saudi Arabia nchini humo.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 13:41:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Mossad awatimua maafisa wawili wakuu kwa kufeli mpango wa kuipindua serikali ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140486-mkuu_wa_mossad_awatimua_maafisa_wawili_wakuu_kwa_kufeli_mpango_wa_kuipindua_serikali_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0531e9bfbea2q5fi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140486-mkuu_wa_mossad_awatimua_maafisa_wawili_wakuu_kwa_kufeli_mpango_wa_kuipindua_serikali_ya_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa shirika la ujasusi na ugaidi la utawala wa kizayuni wa Israel Mossad, Roman Gofman, amewafukuza kazi maafisa wawili wakuu wa intelijensia baada ya kushindwa au kutotekelezwa mpango wa kuipindua serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 12:31:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya nchi 8 za Kiarabu na Kiislamu yalaani jinai za Israel Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140468-taarifa_ya_nchi_8_za_kiarabu_na_kiislamu_yalaani_jinai_za_israel_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b294c15c422q58e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140468-taarifa_ya_nchi_8_za_kiarabu_na_kiislamu_yalaani_jinai_za_israel_ghaza </guid>  
      <description>Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nane za Kiarabu na Kiislamu wametoa taarifa ya pamoja ambapo mbali na kulaani uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wamelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liulazimishe utawala huo utekeleze majukumu yake na kuwawajibisha wale wanaokiuka haki za Wapalestina.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:33:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Mashambulio ya Marekani yaliua na kujeruhi mamia ya raia Yemen mwaka jana; Washington inaficha idadi kamili ya wahanga</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140462-ripoti_mashambulio_ya_marekani_yaliua_na_kujeruhi_mamia_ya_raia_yemen_mwaka_jana_washington_inaficha_idadi_kamili_ya_wahanga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00112b5d52e2q52e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140462-ripoti_mashambulio_ya_marekani_yaliua_na_kujeruhi_mamia_ya_raia_yemen_mwaka_jana_washington_inaficha_idadi_kamili_ya_wahanga </guid>  
      <description>Mashambulio ya anga ya Marekani nchini Yemen yalisababisha vifo au majeraha kwa mamia ya raia mwaka jana, hata hivyo utawala wa Trump umeficha kwa makusudi idadi kamili ya waliofariki na kushindwa kuwasilisha kwa Bunge la nchi hiyo ripoti inayohitajika kuhusu wahanga wa mashambulio hayo.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:06:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malengo yanayofuatiliwa na Marekani katika kuzichochea nchi za Kiarabu zikabiliane na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140456-malengo_yanayofuatiliwa_na_marekani_katika_kuzichochea_nchi_za_kiarabu_zikabiliane_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f527702e642q4ww.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140456-malengo_yanayofuatiliwa_na_marekani_katika_kuzichochea_nchi_za_kiarabu_zikabiliane_na_iran </guid>  
      <description>Hata kama nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi hazitaki kuchochea mivutano katika eneo, kwa mujibu wa sera zao rasmi, lakini Marekani inajaribu kuzivuta katika makabiliano ya moja kwa moja na Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 06:43:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen lapiga meli nyingine ya mafuta ya Saudi Arabia katika Bahari Nyekundu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140438-jeshi_la_yemen_lapiga_meli_nyingine_ya_mafuta_ya_saudi_arabia_katika_bahari_nyekundu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc037bbbce3982q4oy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140438-jeshi_la_yemen_lapiga_meli_nyingine_ya_mafuta_ya_saudi_arabia_katika_bahari_nyekundu </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya mafuta ya Saudi Arabia katika sehemu ya kaskazini ya Bahari Nyekundu, baada ya meli hiyo kukiuka mzingiro wa baharini uliowekwa dhidi ya Saudi Arabia.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:14:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ghaza yafanya maziko makubwa zaidi ya halaiki ya Wapalestina 112 waliouliwa kikatili na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140428-ghaza_yafanya_maziko_makubwa_zaidi_ya_halaiki_ya_wapalestina_112_waliouliwa_kikatili_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a44bbf59bd2q4cw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140428-ghaza_yafanya_maziko_makubwa_zaidi_ya_halaiki_ya_wapalestina_112_waliouliwa_kikatili_na_israel </guid>  
      <description>Wapalestina wamewazika watu 112 wa ukoo mmoja waliouawa katika mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel mnamo Novemba 2023, baada ya mabaki yao kupatikana kutoka chini ya vifusi mwezi uliopita.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 03:08:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya Yemen vyashambulia shabaha muhimu ndani ya Uwanja wa Ndege wa Najran, Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140424-vikosi_vya_yemen_vyashambulia_shabaha_muhimu_ndani_ya_uwanja_wa_ndege_wa_najran_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b28b4512462q4cs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140424-vikosi_vya_yemen_vyashambulia_shabaha_muhimu_ndani_ya_uwanja_wa_ndege_wa_najran_saudi_arabia </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limekishambulia kituo cha kimkakati ndani ya uwanja wa ndege wa Najran kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni jibu kwa mashambulizi na mzingiro unaoendelea kufanywa na utawala wa Riyadh dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:57:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ElBaradei kwa Netanyahu: Umeiharibu Gaza, sasa unazungumzia "uhuru" wa watu wake!</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140422-elbaradei_kwa_netanyahu_umeiharibu_gaza_sasa_unazungumzia_uhuru_wa_watu_wake!</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0459b5c5bd12q4cq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140422-elbaradei_kwa_netanyahu_umeiharibu_gaza_sasa_unazungumzia_uhuru_wa_watu_wake! </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) Mohamed ElBaradei, amemhutubu Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akisema: "Umeiharibu Gaza, na sasa unazungumzia uhuru wa watu wake!"</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:55:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Aramco: Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha ‘mshtuko mkubwa kwa usambazaji wa mafuta katika historia’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140420-mkuu_wa_aramco_kufungwa_lango_bahari_la_hormuz_kumesababisha_mshtuko_mkubwa_kwa_usambazaji_wa_mafuta_katika_historia’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d0183a96712q4co.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140420-mkuu_wa_aramco_kufungwa_lango_bahari_la_hormuz_kumesababisha_mshtuko_mkubwa_kwa_usambazaji_wa_mafuta_katika_historia’ </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa kampuni kubwa ya mafuta ya Saudi Arabia ya Aramco ameeleza kuwa kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha "mshtuko mkubwa zaidi wa usambazaji wa mafuta katika historia," na kwamba masoko ya dunia yamepoteza mapipa ya mafuta zaidi ya bilioni 2.6 tangu kuanza kutekelezwa hatua hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:53:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Naim Qassim: Mazungumzo ya moja kwa moja ya Lebanon na Israel hayana tija yoyote isipokuwa aibu na fedheha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140410-sheikh_naim_qassim_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_ya_lebanon_na_israel_hayana_tija_yoyote_isipokuwa_aibu_na_fedheha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05cdcaead9c2q47u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140410-sheikh_naim_qassim_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_ya_lebanon_na_israel_hayana_tija_yoyote_isipokuwa_aibu_na_fedheha </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Lebanon na Israel hayajakuwa na matokeo yoyote isipokuwa aibu na fedheha.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:30:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa Ansarullah: Kauli za Trump kuhusu amani zimetokana na hofu ya nguvu za Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140396-afisa_wa_ansarullah_kauli_za_trump_kuhusu_amani_zimetokana_na_hofu_ya_nguvu_za_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05c4d315cf92q43m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140396-afisa_wa_ansarullah_kauli_za_trump_kuhusu_amani_zimetokana_na_hofu_ya_nguvu_za_iran </guid>  
      <description>Afisa mwandamizi wa Ansarullah amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu amani yanaonyesha wasiwasi wa Marekani juu ya uwezo wa ulinzi wa Iran.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:05:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini shambulio la Saudi Arabia na Marekani dhidi ya Hashd al-Shaabi ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala ya Iraq?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140392-kwa_nini_shambulio_la_saudi_arabia_na_marekani_dhidi_ya_hashd_al_shaabi_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mamlaka_ya_kujitawala_ya_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc059d130d9f62q3yc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140392-kwa_nini_shambulio_la_saudi_arabia_na_marekani_dhidi_ya_hashd_al_shaabi_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mamlaka_ya_kujitawala_ya_iraq </guid>  
      <description>Kikosi cha Hashd al-Shaabi cha Iraq kilitangaza siku chache zilizopita kuwa watu wasiopungua 20 waliuawa na wengine 32 kujeruhiwa katika shambulio la pamoja la kichokozi lililofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq mapema Jumatano iliyopita.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 11:17:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Palestina watoa onyo baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya Israel tangu kusitisha mapigano </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140386-muqawama_wa_palestina_watoa_onyo_baada_ya_mashambulizi_mabaya_zaidi_ya_israel_tangu_kusitisha_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04a263f2bc42q3x2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140386-muqawama_wa_palestina_watoa_onyo_baada_ya_mashambulizi_mabaya_zaidi_ya_israel_tangu_kusitisha_mapigano </guid>  
      <description>Makundi ya Muqawama ya Palestina yametoa onyo kali baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya anga ya Israel tangu kusitisha mapigano Oktoba 2025, yakisema mashambulizi hayo yasiyokoma ni hujuma ya makusudi dhidi ya makubaliano ya kusitisha mapigano na ujumbe kwamba Israel haina nia ya kutimiza majukumu yake.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 10:13:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi mkuu wa kidini wa Bahrain alaani mataifa ya Kiarabu kwa kutumikia ajenda za Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140384-kiongozi_mkuu_wa_kidini_wa_bahrain_alaani_mataifa_ya_kiarabu_kwa_kutumikia_ajenda_za_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08578b740ef2q3wy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140384-kiongozi_mkuu_wa_kidini_wa_bahrain_alaani_mataifa_ya_kiarabu_kwa_kutumikia_ajenda_za_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Ayatullah Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain, amezilaani nchi za Kiarabu na Kiislamu za kanda ya Magharibi mwa Asia kwa kuchangia katika njama za Marekani na Israel za kuimarisha migawanyiko katika eneo hilo.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 10:09:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malengo ya Julani katika kuanzisha uadui dhidi ya kundi la Hashd al-Shaabi la Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140380-malengo_ya_julani_katika_kuanzisha_uadui_dhidi_ya_kundi_la_hashd_al_shaabi_la_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04d01d63ea32q3vo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140380-malengo_ya_julani_katika_kuanzisha_uadui_dhidi_ya_kundi_la_hashd_al_shaabi_la_iraq </guid>  
      <description>Abu Mohammad al-Julani, mtawala wa serikali ya mpito ya Syria, amedai katika matamshi tatanishi kuwa ana wasiwasi kuhusu uwepo wa makundi ya wanamgambo wa Iraq na vikosi vya Hashd al-Shaabi katika maeneo ya mpaka wa nchi hiyo na Iraq.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 09:21:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano makubwa ya kupinga sera zilizofeli za Benjamin Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140368-maandamano_makubwa_ya_kupinga_sera_zilizofeli_za_benjamin_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00266482d112q3m4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140368-maandamano_makubwa_ya_kupinga_sera_zilizofeli_za_benjamin_netanyahu </guid>  
      <description>Wakazi wa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel wamefanya maandamano makubwa katika maeneo mbalimbali wakipinga sera za serikali ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambazo wamezitaja kuwa zimeshindwa.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 02:43:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika mwezi wa Julai pekee Israel imeua Wapalestina zaidi ya 150 Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140364-katika_mwezi_wa_julai_pekee_israel_imeua_wapalestina_zaidi_ya_150_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f65575c71a2q3k2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140364-katika_mwezi_wa_julai_pekee_israel_imeua_wapalestina_zaidi_ya_150_ghaza </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Ghaza imetangaza kuwa, katika mwezi Julai pekee, Wapalestina 152 waliuawa shahidi katika eneo hilo lililowekewa mzingiro, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo vya kila mwezi kuwahi kurekodiwa tangu ulipoanza mwaka huu.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:14:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya kinyama vya Israel Ghaza: Miili 40 ya watoto, 38 ya wanawake miongoni mwa iliyotolewa kwenye kifusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140358-vita_vya_kinyama_vya_israel_ghaza_miili_40_ya_watoto_38_ya_wanawake_miongoni_mwa_iliyotolewa_kwenye_kifusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc070459209992q3ju.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140358-vita_vya_kinyama_vya_israel_ghaza_miili_40_ya_watoto_38_ya_wanawake_miongoni_mwa_iliyotolewa_kwenye_kifusi </guid>  
      <description>Shirika la Ulinzi wa Raia la Ghaza limesema, wafanyakazi wake walipata miili na mabaki ya watu 112 kutoka chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel katika kitongoji cha Sabra cha Jiji la Ghaza.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:02:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Changamoto mpya kwa Wasaudia kufuatia mzingiro wa majini wa Yemen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140356-changamoto_mpya_kwa_wasaudia_kufuatia_mzingiro_wa_majini_wa_yemen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05d4115d55e2q3iq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140356-changamoto_mpya_kwa_wasaudia_kufuatia_mzingiro_wa_majini_wa_yemen </guid>  
      <description>Mzingiro wa majini wa Yemen dhidi ya Saudi Arabia, pamoja na kufungwa kwa Lango-Bahari la Bab al-Mandab kwa meli za mafuta za Saudia, vimetoa changamoto mpya kwa Wasaudia.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 11:14:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazuwari zaidi ya milioni nne wameingia Iraq tangu Muharram hadi sasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140354-mazuwari_zaidi_ya_milioni_nne_wameingia_iraq_tangu_muharram_hadi_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ddce2fed4c2q3aa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140354-mazuwari_zaidi_ya_milioni_nne_wameingia_iraq_tangu_muharram_hadi_sasa </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya habari ya masuala ya usalama wa Iraq ametangaza kuwa wafanyaziara zaidi ya milioni nne wa kigeni wamewasili nchini humo tangu mwanzo wa mwezi wa Muharram, na kwamba zoezi la upokeaji mazuwari wanaokwenda kushiriki kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS lingali unaendelea.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 03:29:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>