<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - west_asia</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Sat, 29 Aug 2026 11:21:02 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Sheikh Naim Qassim: Hizbullah imefelisha mpango wa ‘Israel Kubwa’ na kuzuia upanuzi wake ndani ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141056-sheikh_naim_qassim_hizbullah_imefelisha_mpango_wa_israel_kubwa’_na_kuzuia_upanuzi_wake_ndani_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0870d7c52882qdgk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141056-sheikh_naim_qassim_hizbullah_imefelisha_mpango_wa_israel_kubwa’_na_kuzuia_upanuzi_wake_ndani_ya_lebanon </guid>  
      <description>Wanamapambano wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon wamefanikiwa kuzima njama iliyopewa jina la "Israel Kubwa" na kuzuia upanuzi wa Israel hadi Lebanon. Haya yamesemwa na Katibu Mkuu wa harakati hiyo ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 10:45:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Saudia yashikilia msimamo wake: Hatutoanzisha uhusiano na Israel kabla ya kuasisiwa kwanza nchi huru ya Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141016-saudia_yashikilia_msimamo_wake_hatutoanzisha_uhusiano_na_israel_kabla_ya_kuasisiwa_kwanza_nchi_huru_ya_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0136c1711372qcw4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141016-saudia_yashikilia_msimamo_wake_hatutoanzisha_uhusiano_na_israel_kabla_ya_kuasisiwa_kwanza_nchi_huru_ya_palestina </guid>  
      <description>Saudi Arabia imesisitiza kwamba haitaanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa kizayuni wa Israel bila ya kuasisiwa kwanza nchi huru ya Palestina katika eneo la mipaka ya mwaka 1967, na Baitul Muqaddas Mashariki ukiwa ndio mji mkuu wake.</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 03:26:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel inanyakua maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141004-israel_inanyakua_maelfu_ya_ekari_za_ardhi_ya_wapalestina_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05bf36ee3452qcqs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141004-israel_inanyakua_maelfu_ya_ekari_za_ardhi_ya_wapalestina_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Mamlaka za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetwaa maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katikati mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu ili kujenga kile kinachoitwa "njia ya usalama" kuzunguka vitongoji haramu vya Wazayuni kinyume cha sheria za kimataifa na maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 11:54:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amani ya Kudumu Katika Eneo Itapatikana tu Pale Utawala wa Kizayuni Utakapopokonywa Silaha za Nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141002-amani_ya_kudumu_katika_eneo_itapatikana_tu_pale_utawala_wa_kizayuni_utakapopokonywa_silaha_za_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09e2894ee682qclc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i141002-amani_ya_kudumu_katika_eneo_itapatikana_tu_pale_utawala_wa_kizayuni_utakapopokonywa_silaha_za_nyuklia </guid>  
      <description>Madamu silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel, ambao ndio utawala pekee unaomiliki silaha za nyuklia katika Asia Magharibi, zitaendelea kufunikwa na utata wa makusudi wa utawala huo pamoja na kimya cha kimataifa, mjadala wowote kuhusu upokonyaji silaha katika eneo hautakuwa na maana na utaendelea kuwa ni unafiki mtupu.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 06:18:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watoto wachanga 14 wafariki katika ajali ya moto iliyotokea hospitalini Pakistan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140978-watoto_wachanga_14_wafariki_katika_ajali_ya_moto_iliyotokea_hospitalini_pakistan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09cf6d746ca2qcd4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140978-watoto_wachanga_14_wafariki_katika_ajali_ya_moto_iliyotokea_hospitalini_pakistan </guid>  
      <description>Watoto wachanga wasiopungua14 wamefariki dunia katika moto uliozuka kwenye chumba cha watoto cha hospitali ya serikali katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, huku Waziri Mkuu Shehbaz Sharif akitangaza kuwa ameshaamuru uchunguzi ufanyike kuhusu ajali hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:16:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya miaka 25, Misri yamtambulisha tena mtoto Muhammad al-Durra kwenye mtaala wa somo la historia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140976-baada_ya_miaka_25_misri_yamtambulisha_tena_mtoto_muhammad_al_durra_kwenye_mtaala_wa_somo_la_historia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dddc79872a2qcd2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140976-baada_ya_miaka_25_misri_yamtambulisha_tena_mtoto_muhammad_al_durra_kwenye_mtaala_wa_somo_la_historia </guid>  
      <description>Miaka 25 baada ya tukio lililoishtua na kuitikisa dunia, picha ya mtoto wa miaka 12 wa Kipalestina Muhammad al-Durra aliyeuliwa kinyama na hadharani na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel imehama kutoka kwenye skrini za televisheni hadi kwenye kurasa za kitabu cha kiada cha Misri, katika somo linaloangazia Intifadha ya Pili ya Wapalestina ya mwaka 2000.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:14:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Vita vya Marekani Dhidi ya Iran Vimesababisha Vipi Nakisi ya Bajeti katika Uchumi wa Qatar?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140972-je_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vimesababisha_vipi_nakisi_ya_bajeti_katika_uchumi_wa_qatar</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc072644940562qc96.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140972-je_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_vimesababisha_vipi_nakisi_ya_bajeti_katika_uchumi_wa_qatar </guid>  
      <description>Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeripoti kupungua kwa takriban asilimia 9 ya uchumi wa Qatar, ambapo baadhi ya wachambuzi wanakadiria kuwa uchumi wa nchi hiyo utapungua kwa asilimia 13 hadi 14 kufikia mwishoni mwa mwaka huu. </description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 06:54:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan yaripoti 'maendeleo makubwa' katika mazungumzo ya Tehran ili kupunguza mvutano kati ya Marekani na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140948-pakistan_yaripoti_'maendeleo_makubwa'_katika_mazungumzo_ya_tehran_ili_kupunguza_mvutano_kati_ya_marekani_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02dc96b5a022qbxa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140948-pakistan_yaripoti_'maendeleo_makubwa'_katika_mazungumzo_ya_tehran_ili_kupunguza_mvutano_kati_ya_marekani_na_iran </guid>  
      <description>Pakistan imeripoti "maendeleo makubwa" katika mazungumzo ya kidiplomasia ya ngazi ya juu yaliyofanyika Tehran, yenye lengo la kupunguza kasi ya vita vinavyoendelea kati ya Marekani na Iran na kuokoa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU), unaosimamiwa na Pakistan.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:20:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripota Maalumu wa UN atoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kulinda Wapalestina Ukingo wa Magharibi na Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140926-ripota_maalumu_wa_un_atoa_wito_wa_kupelekwa_haraka_kikosi_cha_kimataifa_cha_kulinda_wapalestina_ukingo_wa_magharibi_na_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06f078b0ee62qbkc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140926-ripota_maalumu_wa_un_atoa_wito_wa_kupelekwa_haraka_kikosi_cha_kimataifa_cha_kulinda_wapalestina_ukingo_wa_magharibi_na_gaza </guid>  
      <description>Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu katika Maeneo Yanayokaliwa kwa ya Palestina, Francesca Albanese, ametoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kuwalinda Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 13:39:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda Qaani: Palestina ni fikra iliyo hai na isiyobadilika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140914-kamanda_qaani_palestina_ni_fikra_iliyo_hai_na_isiyobadilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05859575d882qbb2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140914-kamanda_qaani_palestina_ni_fikra_iliyo_hai_na_isiyobadilika </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema: "Suala la kukomboa Palestina, kuanzia baharini hadi mtoni, (ardhi ya Palestina kuanzia Bahari ya Mediterania hadi Mto Jordan) liko hai zaidi na linawezekana kutimizwa sasa kuliko hapo awali."</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:11:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yawapongeza mabalozi wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaotaka Israel iwekewe vikwazo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140902-hamas_yawapongeza_mabalozi_wa_zamani_wa_ufaransa_na_uingereza_wanaotaka_israel_iwekewe_vikwazo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a34a5135d02qb82.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140902-hamas_yawapongeza_mabalozi_wa_zamani_wa_ufaransa_na_uingereza_wanaotaka_israel_iwekewe_vikwazo </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza muungano wa wanadiplomasia zaidi ya 100 wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaozitaka serikali za nchi zao kushirikiana kulinda sheria za kimataifa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina. Mabalozi hao pia wametaka Israel iwekewe vikwazo.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 13:58:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwisho wa satwa ya Marekani: Asia Magharibi Katika Ukingo wa Mfumo Mpya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140898-mwisho_wa_satwa_ya_marekani_asia_magharibi_katika_ukingo_wa_mfumo_mpya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09a8420b4832qaxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140898-mwisho_wa_satwa_ya_marekani_asia_magharibi_katika_ukingo_wa_mfumo_mpya </guid>  
      <description>Katika uchambuzi wake wa hivi karibuni, jarida la Foreign Affairs linataja vita dhidi ya Iran kama hatua muhimu inayoharakisha kuporomoka kwa mfumo wa kikanda unaoongozwa na Marekani na kudhihiri taratibu mabadiliko yanayoweza kubadili mitazamo na mikakati ya kiusalama ya mataifa ya Asia Magharibi katika miaka ijayo.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 06:38:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vitisho Visivyo na Uzito vya Trump na Kudhoofika kwa Nguvu ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140896-vitisho_visivyo_na_uzito_vya_trump_na_kudhoofika_kwa_nguvu_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01759d0cec52qaja.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140896-vitisho_visivyo_na_uzito_vya_trump_na_kudhoofika_kwa_nguvu_ya_marekani </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena ametishia kuishambulia Oman kwa mabomu, nchi iliyo na nafasi muhimu katika mazungumzo yanayohusu Iran pamoja na masuala yanayohusiana na usafiri wa baharini katika Lango Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 05:02:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maafisa wa jeshi la Israel: Netanyahu anataka kushadidisha vita ili uchaguzi usifanyike</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140886-maafisa_wa_jeshi_la_israel_netanyahu_anataka_kushadidisha_vita_ili_uchaguzi_usifanyike</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06194ef3c1c2qavi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140886-maafisa_wa_jeshi_la_israel_netanyahu_anataka_kushadidisha_vita_ili_uchaguzi_usifanyike </guid>  
      <description>Maafisa waandamizi wa jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel wanamshuku waziri mkuu Benjamin Netanyahu kwamba anaweza akataka kushadidisha vita katika Ukanda wa Ghaza ili kujaribu kuvuruga au kuahirisha uchaguzi ujao wa bunge wa utawala huo ghasibu.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:14:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Rekodi ya serikali ya Marekani imejaa umwagaji damu na jinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140874-hizbullah_rekodi_ya_serikali_ya_marekani_imejaa_umwagaji_damu_na_jinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01b302a28df2qar4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140874-hizbullah_rekodi_ya_serikali_ya_marekani_imejaa_umwagaji_damu_na_jinai </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali vikwazo vipya vya Wizara ya Hazina ya Marekani dhidi ya harakati hiyo.

</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 12:20:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu Ukanda wa Gaza ni mbaya kutokana na kuongezeka wimbi la njaa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140866-umoja_wa_mataifa_hali_ya_kibinadamu_ukanda_wa_gaza_ni_mbaya_kutokana_na_kuongezeka_wimbi_la_njaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc059db72e09c2qah6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140866-umoja_wa_mataifa_hali_ya_kibinadamu_ukanda_wa_gaza_ni_mbaya_kutokana_na_kuongezeka_wimbi_la_njaa </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza kutokana na kuendelea mashambulizi ya utawala wa Israel pamoja na kushadidishwa mzingiro dhidi ya eneo hilo.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:54:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Miaka 57 tangu kuchomwa moto Msikiti wa Al-Aqswa; uhalifu unaoendelea kujirudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140864-miaka_57_tangu_kuchomwa_moto_msikiti_wa_al_aqswa_uhalifu_unaoendelea_kujirudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc079ccbd194f2qah4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140864-miaka_57_tangu_kuchomwa_moto_msikiti_wa_al_aqswa_uhalifu_unaoendelea_kujirudia </guid>  
      <description>Miaka 57 baada ya kuchomwa moto kwa Msikiti wa Al-Aqsa, utambulisho wake wa Kiislamu unaendelea kutishiwa na njama za kuliyahudisha eneo hilo takatifu zingali zinaendeea.</description>
      <pubDate>Sat, 22 Aug 2026 02:53:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina ‘wanakabiliwa na baa la njaa’ huku walowezi wa Kizayuni wakiendeleza mzingiro katika mji wa Qusra</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140848-wapalestina_wanakabiliwa_na_baa_la_njaa’_huku_walowezi_wa_kizayuni_wakiendeleza_mzingiro_katika_mji_wa_qusra</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a6fc57c2552qaco.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140848-wapalestina_wanakabiliwa_na_baa_la_njaa’_huku_walowezi_wa_kizayuni_wakiendeleza_mzingiro_katika_mji_wa_qusra </guid>  
      <description>Wapalestina walionaswa ndani ya nyumba zao katika mji wa Qusra wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula huku walowezi wenye itikadi kali za Kizayuni wakiendeleza mzingiro wao dhidi ya mji huo wa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, wakati vikosi vya utawala ghasibu  wa Israel vikiendelea kuzuia misaada ya chakula kufika.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 10:22:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazishi ya Wapalestina 50 wasiojulikana waliouawa katika mauaji ya kimbari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140840-mazishi_ya_wapalestina_50_wasiojulikana_waliouawa_katika_mauaji_ya_kimbari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04b3a25b0312qa9s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140840-mazishi_ya_wapalestina_50_wasiojulikana_waliouawa_katika_mauaji_ya_kimbari </guid>  
      <description>Mamia ya watu wameswali Swala ya Janaza wakati wa mazishi ya pamoja katika Jiji la Gaza kwa ajili ya Wapalestina 50 ambao miili yao ilipatikana hivi karibuni na vikosi vya Ulinzi wa Raia ikiwa chini ya mabaki ya nyumba zilizobomolewa katika mashambulizi ya Israel wakati wa vita vya mauaji ya kimbari katika eneo hilo lililozingirwa.</description>
      <pubDate>Fri, 21 Aug 2026 06:10:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya kukana kwa zaidi ya miaka 2, Israel yakiri kumuua mtoto wa Kipalestina Hind Rajab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140826-baada_ya_kukana_kwa_zaidi_ya_miaka_2_israel_yakiri_kumuua_mtoto_wa_kipalestina_hind_rajab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04969dd09c72qa3o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140826-baada_ya_kukana_kwa_zaidi_ya_miaka_2_israel_yakiri_kumuua_mtoto_wa_kipalestina_hind_rajab </guid>  
      <description>Kwa mara ya kwanza, jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limekiri kuwa lilimuua Hind Rajab mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka mitano huko Ghaza, na hivyo kubatilisha makanusho yake ya hapo awali, na kutangaza kwamba limeshaagiza kufanyika uchunguzi wa kijinai kuhusiana na mauaji yake.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 11:44:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel imepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140806-israel_imepora_hekta_25_000_za_ardhi_ya_ukingo_wa_magharibi_katika_miaka_mitatu_iliyopita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0051e0c32052q9xk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140806-israel_imepora_hekta_25_000_za_ardhi_ya_ukingo_wa_magharibi_katika_miaka_mitatu_iliyopita </guid>  
      <description>Utawala dhalimu wa Israel umepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita. </description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:19:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Zimepoteza Imani na Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140788-kwa_nini_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_zimepoteza_imani_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a33eb0b59a2q9lm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140788-kwa_nini_nchi_za_kiarabu_za_ghuba_ya_uajemi_zimepoteza_imani_na_marekani </guid>  
      <description>Hali ya kutoridhishwa na Marekani inazidi kuongezeka miongoni mwa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 08:06:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yakanusha madai kuwa imeishambulia UAE kwa makombora </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140786-iran_yakanusha_madai_kuwa_imeishambulia_uae_kwa_makombora</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0616ae4d4552q3cy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140786-iran_yakanusha_madai_kuwa_imeishambulia_uae_kwa_makombora </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwamba Iran imevurumisha makombora mawili ya balestiki kuelekea nchi hiyo. </description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:19:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti:  Vikosi vya Yemen vyashambulia kiwanda cha kusafisha mafuta cha Saudia cha Aramco katika mji wa Jizan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140774-ripoti_vikosi_vya_yemen_vyashambulia_kiwanda_cha_kusafisha_mafuta_cha_saudia_cha_aramco_katika_mji_wa_jizan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc010a71b68272q9i0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140774-ripoti_vikosi_vya_yemen_vyashambulia_kiwanda_cha_kusafisha_mafuta_cha_saudia_cha_aramco_katika_mji_wa_jizan </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimetekeleza kwa mafanikio mashambulizi dhidi ya kituo cha mafuta kinachoendeshwa na kampuni ya serikali ya mafuta na gesi asilia ya Saudi Arabia ya Aramco, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi dhidi ya uchokozi na mzingiro unaoendelea kutekelezwa na utawala wa Riyadh dhidi ya Yemen.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 04:10:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen lashambulia meli ya kivita za Saudia katika Bahari ya Sham</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140752-jeshi_la_yemen_lashambulia_meli_ya_kivita_za_saudia_katika_bahari_ya_sham</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0c987e052e92q966.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140752-jeshi_la_yemen_lashambulia_meli_ya_kivita_za_saudia_katika_bahari_ya_sham </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya kivita na boti kadhaa za kijeshi za Saudia katika Bahari ya Sham, ikiwa ni sehemu ya jibu la kulipiza kisasi dhidi ya kampeni ya kijeshi na mzingiro unaoendelea wa ufalme wa Saudia dhidi ya taifa la Yemen.</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 03:23:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Uhalifu wa Israel nchini Lebanon na Palestina unafanywa kwa idhini ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140732-ansarullah_uhalifu_wa_israel_nchini_lebanon_na_palestina_unafanywa_kwa_idhini_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc069499d86a32q8vw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140732-ansarullah_uhalifu_wa_israel_nchini_lebanon_na_palestina_unafanywa_kwa_idhini_ya_marekani </guid>  
      <description>Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imelaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya maeneo ya kusini mwa Lebanon.</description>
      <pubDate>Mon, 17 Aug 2026 06:07:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kuanzia Uhamiaji hadi Kukimbia: Jinsi Ndoto ya Kizayuni ya "Nchi ya Ahadi" Ilivyoporomoka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140724-kuanzia_uhamiaji_hadi_kukimbia_jinsi_ndoto_ya_kizayuni_ya_nchi_ya_ahadi_ilivyoporomoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01021f108012q8v6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140724-kuanzia_uhamiaji_hadi_kukimbia_jinsi_ndoto_ya_kizayuni_ya_nchi_ya_ahadi_ilivyoporomoka </guid>  
      <description>Hali ya walowezi wa Kizayunu kukimbia ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, zinazodaiwa kuwa Israel, na kurejea katika nchi walikotoka imekuwa ishara ya wazi ya mmomonyoko wa ndani wa mradi wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Mon, 17 Aug 2026 05:27:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa muqawama ataka kuhitimishwa udhibiti wa moja kwa moja wa kifedha wa Marekani kwa Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140716-kiongozi_wa_muqawama_ataka_kuhitimishwa_udhibiti_wa_moja_kwa_moja_wa_kifedha_wa_marekani_kwa_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc038eebe6e322q8ma.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140716-kiongozi_wa_muqawama_ataka_kuhitimishwa_udhibiti_wa_moja_kwa_moja_wa_kifedha_wa_marekani_kwa_iraq </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa kundi la muqawama la Iraq la Kata’ib Sayyid al-Shuhada amekosoa vikali udhibiti wa moja kwa moja wa Marekani wa fedha na uchumi na mali za Iraq na kutaka kutafutwa masoko mbalimbali ya mauzo ya nje, kuimarisha uhusiano wa kibenki na kuhitimisha kivitendo udhibiti wa kifedha wa Washington kwa nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Sun, 16 Aug 2026 09:33:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mauaji ya Kimbari: Sera Rasmi ya Wazayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140710-mauaji_ya_kimbari_sera_rasmi_ya_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0129d3b501e2q7yu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140710-mauaji_ya_kimbari_sera_rasmi_ya_wazayuni </guid>  
      <description>"Mauaji ya kimbari na ubaguzi wa rangi ni mradi rasmi wa utawala wa Israel." Kwa maneno haya, Francesca Albanese, Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ameangazia uhalisia wa kisiasa na kisheria katika ardhi hizo.</description>
      <pubDate>Sun, 16 Aug 2026 05:18:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Hizbullah: Muqawama hautasalimu amri wala kurudi nyuma katika kulinda mamlaka ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140684-kiongozi_wa_hizbullah_muqawama_hautasalimu_amri_wala_kurudi_nyuma_katika_kulinda_mamlaka_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02be829b31a2q886.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140684-kiongozi_wa_hizbullah_muqawama_hautasalimu_amri_wala_kurudi_nyuma_katika_kulinda_mamlaka_ya_lebanon </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbollah amesema kuwa, Muqawama hautakubali kusalimu amri wala kurudi nyuma katika kulinda mamlaka, heshima na umoja wa ardhi ya Lebanon, akiongeza kuwa Israel na Marekani zimekuwa zikiilazimisha Beirut kutekeleza matakwa yao na kudhoofisha mamlaka ya nchi hiyo ya Kiarabu.

</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 10:57:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jerusalem Post: Israel imeshtushwa na kasi ya Iran ya kujiimarisha upya kijeshi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140676-jerusalem_post_israel_imeshtushwa_na_kasi_ya_iran_ya_kujiimarisha_upya_kijeshi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc046587706fb2q7z0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140676-jerusalem_post_israel_imeshtushwa_na_kasi_ya_iran_ya_kujiimarisha_upya_kijeshi </guid>  
      <description>Gazeti la kizayuni la Jerusalem Post limefichua kuwa, maafisa wa ulinzi wa Israel wameshtushwa na namna Iran ilivyojenga upya na kwa kasi uwezo wake wa kijeshi tangu baada ya mashambulizi makali ya Marekani na utawala huo wa kizayuni wakati wa kipindi cha mwanzoni mwa vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na tawala mbili hizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 03:54:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya 70% ya Wapalestina wanapinga HAMAS kukabidhi silaha kabla Israel kuondoka kikamilifu Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140672-zaidi_ya_70_ya_wapalestina_wanapinga_hamas_kukabidhi_silaha_kabla_israel_kuondoka_kikamilifu_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0275f29d23e2q7yw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140672-zaidi_ya_70_ya_wapalestina_wanapinga_hamas_kukabidhi_silaha_kabla_israel_kuondoka_kikamilifu_ghaza </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na Kituo cha Utafiti wa Sera na Utafiti cha Palestina (Palestinian Center for Policy and Survey Research) unaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya Wapalestina wanapinga Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS kukabidhi silaha zake kabla utawala wa kizayuni wa Israel kuondoka kikamilifu katika Ukanda wa Ghaza.</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 03:51:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel imebomoa kikamilifu misikiti 1,076 Ghaza, imeharibu 165 na kubakisha 34 tu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140670-israel_imebomoa_kikamilifu_misikiti_1_076_ghaza_imeharibu_165_na_kubakisha_34_tu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0129d3b501e2q7yu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140670-israel_imebomoa_kikamilifu_misikiti_1_076_ghaza_imeharibu_165_na_kubakisha_34_tu </guid>  
      <description>Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini ya Ghaza imetangaza kuwa, kati ya jumla ya misikiti 1,275 ya eneo hilo la Palestina inayokaliwa kwa mabavu, 1,076 imebomolewa kikamilifu, 165 imebomolewa baadhi ya sehemu, na misikiti 34 pekee ndiyo iliyosalimika na jinai za jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 15 Aug 2026 03:48:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Abdul-Malik al-Houth: Kukaririwa vitendo vya kuivunjia heshima Qur’ani kumefichua zaidi uadui wa Wazayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140664-abdul_malik_al_houth_kukaririwa_vitendo_vya_kuivunjia_heshima_qur’ani_kumefichua_zaidi_uadui_wa_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc084deb80cc12q7uk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140664-abdul_malik_al_houth_kukaririwa_vitendo_vya_kuivunjia_heshima_qur’ani_kumefichua_zaidi_uadui_wa_wazayuni </guid>  
      <description>Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, kukaririwa vitendo vya kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kumefichua kwa uwazi zaidi uadui wa Wazayuni dhidi ya misingi yote mitakatifu, pamoja na chuki yao dhidi ya ujumbe wa Mwenyezi Mungu.

</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 10:09:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Miinuko ya Golan ni sehemu isiyotenganishwa na ardhi ya Syria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140656-iran_miinuko_ya_golan_ni_sehemu_isiyotenganishwa_na_ardhi_ya_syria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b231f52bf92q7s2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140656-iran_miinuko_ya_golan_ni_sehemu_isiyotenganishwa_na_ardhi_ya_syria </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kwamba Miinuko ya Golan ni sehemu isiyotenganishwa na ardhi ya Syria, huku ikieleza kuunga mkono mapambano halali ya wananchi wa Palestina.</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 03:10:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Misri na Imarati zasisitiza kupunguzwa mvutano na kurejeshwa njia ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140654-misri_na_imarati_zasisitiza_kupunguzwa_mvutano_na_kurejeshwa_njia_ya_kidiplomasia_kati_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f00345f08c2q7s0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140654-misri_na_imarati_zasisitiza_kupunguzwa_mvutano_na_kurejeshwa_njia_ya_kidiplomasia_kati_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimesisitiza umuhimu wa kupunguzwa mvutano na kurejeshwa njia ya mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kkiislamu ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Fri, 14 Aug 2026 03:08:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel inashikilia  waandishihabari 40 wa Kipalestina katika kampeni ya kubana sauti ya haki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140640-israel_inashikilia_waandishihabari_40_wa_kipalestina_katika_kampeni_ya_kubana_sauti_ya_haki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09331b26d602q7mc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140640-israel_inashikilia_waandishihabari_40_wa_kipalestina_katika_kampeni_ya_kubana_sauti_ya_haki </guid>  
      <description>Israel inawashikilia takriban waandishi wa habari 40 wa Kipalestina, wakiwemo wanawake watano, huku ikiongeza kasi ya ukandamizaji mkubwa ili kunyamazisha vyombo vya habari vya Kipalestina na kuzuia kuripotiwa kwa ukiukaji na jinai zake.  Hayo ni kwa mujibu wa Jumuiya ya Wafungwa wa Kipalestina (PPS).</description>
      <pubDate>Thu, 13 Aug 2026 10:32:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel umeshafikia “hatua ya kusambaratika”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140620-un_ukingo_wa_magharibi_unaokaliwa_kwa_mabavu_na_israel_umeshafikia_hatua_ya_kusambaratika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0cfcf9470fc2q7f8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140620-un_ukingo_wa_magharibi_unaokaliwa_kwa_mabavu_na_israel_umeshafikia_hatua_ya_kusambaratika </guid>  
      <description>Mratibu wa juhudi za Umoja wa Mataifa za mchakato wa amani Mashariki ya Kati, Ramiz Alakbarov, amesema Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel umefikia “hatua ya kusambaratika”, huku ongezeko la vitendo vya ukatili na mabavu vya walowezi wa Israel, upanuzi wa vitongoji haramu na ufurushwaji wa jamii za Wapalestina vikiibadilisha kwa kasi sura ya eneo hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 12:05:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Duru za kuaminika: Saudia imepinga Misri kuingizwa kwenye Makubaliano ya Makka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140618-duru_za_kuaminika_saudia_imepinga_misri_kuingizwa_kwenye_makubaliano_ya_makka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02b3136fd5c2q794.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140618-duru_za_kuaminika_saudia_imepinga_misri_kuingizwa_kwenye_makubaliano_ya_makka </guid>  
      <description>Saudi Arabia ilipinga Misri kujiunga na Mkataba wa Pamoja wa Ulinzi wa Makka uliosainiwa na Saudia, Uturuki na Pakistan wiki iliyopita, licha ya Ankara kutoa msukumo wa Cairo kujumuishwa kwenye mkataba huo. Hayo yameripotiwa na vyanzo vitatu vya Saudi Arabia vyenye taarifa za majadiliano yaliyofanywa juu ya suala hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 11:57:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa Yemen: Hatujawahi katu kufunga milango ya mazungumzo na Saudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140598-afisa_wa_yemen_hatujawahi_katu_kufunga_milango_ya_mazungumzo_na_saudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02fa53f4ad52q76e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140598-afisa_wa_yemen_hatujawahi_katu_kufunga_milango_ya_mazungumzo_na_saudia </guid>  
      <description>Mkuu wa ujumbe wa Yemen katika mazungumzo ya amani amesema, Sana'a haijawahi kufunga milango ya mazungumzo na Saudi Arabia, bali Saudia ndiyo inayokataa suala hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 03:31:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini ni lazima Marekani iondoke Asia Magharibi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140582-kwa_nini_ni_lazima_marekani_iondoke_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e235c460432q6uw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140582-kwa_nini_ni_lazima_marekani_iondoke_asia_magharibi </guid>  
      <description>Uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, ambao kwa miaka mingi umehalalishwa kwa kisingizio cha kudhamini usalama, sasa umekuwa kichocheo cha migogoro, sababu ya kuongezeka gharama, na jambo linaloitumbukiza Washington katika vita vya kuchosha na vya muda mrefu, kuliko wakati mwingine wowote.</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 08:02:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mustakabali wa usalama wa eneo: Kwa nini nafasi muhimu ya nchi za kanda ni ya dharura?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140580-mustakabali_wa_usalama_wa_eneo_kwa_nini_nafasi_muhimu_ya_nchi_za_kanda_ni_ya_dharura</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04497476d432q6uq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140580-mustakabali_wa_usalama_wa_eneo_kwa_nini_nafasi_muhimu_ya_nchi_za_kanda_ni_ya_dharura </guid>  
      <description>Pembezoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kwa ajili ya kutetea Quds Tukufu (Jerusalem), uliofanyika mjini Amman, Jordan, Badr Abdelatty, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, alisisitiza umuhimu wa kuandaliwa dira ya pamoja ya Kiarabu kwa ajili ya mustakabali wa usalama wa eneo. Alisema kuwa nchi za eneo lazima ziwe katika mstari wa mbele wa kubuni mipango yoyote ya usalama katika siku zijazo.</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 07:42:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiwango cha mimba zinazoharibika Gaza chaongezeka mara tatu katika nusu ya kwanza ya 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140568-kiwango_cha_mimba_zinazoharibika_gaza_chaongezeka_mara_tatu_katika_nusu_ya_kwanza_ya_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0166cb3e4532q6py.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140568-kiwango_cha_mimba_zinazoharibika_gaza_chaongezeka_mara_tatu_katika_nusu_ya_kwanza_ya_2026 </guid>  
      <description>Kiwango cha mimba kuharibika huko Gaza kimeongezeka zaidi ya mara tatu katika nusu ya kwanza ya 2026 huku wanawake wajawazito wakisumbuliwa na utapiamlo, kuhama makazi yao mara kwa mara, joto kali na kuendelea kuporomoka mfumo wa afya wa Ukanda huo.

</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 03:03:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Karibu Wapalestina 8,000 wamekatwa viungo katika vita vya Israel dhidi ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140560-karibu_wapalestina_8_000_wamekatwa_viungo_katika_vita_vya_israel_dhidi_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b1d6ebf9aa2q6j0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140560-karibu_wapalestina_8_000_wamekatwa_viungo_katika_vita_vya_israel_dhidi_ya_gaza </guid>  
      <description>Wapalestina wapatao 8,000 wamekatwa viungo katika eneo la Ukanda wa Gaza tangu utawala wa kizayuni wa Israel ulipoanzisha vita vya kinyama Oktoba 2023 ambavyo vimeendelea kwa Zaidi ya miaka miwili.

</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 11:20:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Francesca Albanese: Mauaji ya kimbari na Apartheid vimekuwa sera rasmi ya utawala wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140556-francesca_albanese_mauaji_ya_kimbari_na_apartheid_vimekuwa_sera_rasmi_ya_utawala_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2850663f032ph3k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140556-francesca_albanese_mauaji_ya_kimbari_na_apartheid_vimekuwa_sera_rasmi_ya_utawala_wa_israel </guid>  
      <description>Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu Francesca Albanese amesema kuwa, mauaji ya kimbari na mfumo wa ubaguzi wa rangi (apartheid) vimegeuzwa kuwa mradi wa kiserikali wa utawala wa Israel.

</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 10:53:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen laangamiza makumi ya mamluki wa Saudia mkoani Ta'izz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140546-jeshi_la_yemen_laangamiza_makumi_ya_mamluki_wa_saudia_mkoani_ta'izz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fb4b940b862q69k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140546-jeshi_la_yemen_laangamiza_makumi_ya_mamluki_wa_saudia_mkoani_ta'izz </guid>  
      <description>Msemaji wa Vikosi vya Jeshi la Yemen amesema vitengo vya kijeshi vya nchi hiyo vimeendesha operesheni kubwa dhidi ya vibaraka wa  Saudia katika mkoa wa kusini-magharibi wa Ta’izz, na kuwaua na kuwajeruhi makumi yao.</description>
      <pubDate>Mon, 10 Aug 2026 03:17:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yavishambulia vituo vya nishati vya Saudi baada ya nchi hiyo kukiuka anga ya Sa’adah na Hajjah</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140534-yemen_yavishambulia_vituo_vya_nishati_vya_saudi_baada_ya_nchi_hiyo_kukiuka_anga_ya_sa’adah_na_hajjah</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dd56b3ee2d2q61k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140534-yemen_yavishambulia_vituo_vya_nishati_vya_saudi_baada_ya_nchi_hiyo_kukiuka_anga_ya_sa’adah_na_hajjah </guid>  
      <description>Yemen imeishambulia miundombinu ya nishati ya Saudi Arabia ikiwa ni jibu kwa ndege zisizo na rubani za adui zinazokiuka anga ya mikoa ya Sa’adah na Hajjah huko Yemen.</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 11:01:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malaysia na Indonesia zasisitiza kuunga mkono Palestina na maeneo matakatifu Baytul-Muqaddas</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140522-malaysia_na_indonesia_zasisitiza_kuunga_mkono_palestina_na_maeneo_matakatifu_baytul_muqaddas</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02ca89f67622q5wo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140522-malaysia_na_indonesia_zasisitiza_kuunga_mkono_palestina_na_maeneo_matakatifu_baytul_muqaddas </guid>  
      <description>Malaysia na Indonesia kwa mara nyingine tena zimesisitiza uungaji mkono wao kwa watu wa Palestina na kuhifadhi hadhi ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo katika Baytul-Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:17:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF yachukua hatua dhidi ya afisa anayetuhumiwa kufanya ujasusi kwa maslahi ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140518-unicef_yachukua_hatua_dhidi_ya_afisa_anayetuhumiwa_kufanya_ujasusi_kwa_maslahi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01be1a24cd32q5we.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140518-unicef_yachukua_hatua_dhidi_ya_afisa_anayetuhumiwa_kufanya_ujasusi_kwa_maslahi_ya_israel </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa amethibitisha kwamba Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) linachukua hatua dhidi ya mmoja wa wafanyakazi wake, kufuatia madai kwamba alifanya ujasusi kwa maslahi ya Israel wakati wa kazi yake ya awali katika Shirika la Idadi ya Watu la Umoja wa Mataifa.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 03:00:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Baraza la Usalama la UN limepoteza hadhi; maazimio yake hayana thamani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140506-ansarullah_baraza_la_usalama_la_un_limepoteza_hadhi_maazimio_yake_hayana_thamani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d8ef1cae1e2q5rm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140506-ansarullah_baraza_la_usalama_la_un_limepoteza_hadhi_maazimio_yake_hayana_thamani </guid>  
      <description>Kiongozi mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amepuzilia mbali hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kulaani mashambulizi ya makombora ya kulipiza kisasi dhidi ya Saudi Arabia na meli za kibiashara za utawala huo wa kifalme akisema kuwa chombo hicho cha kimataifa kimepoteza uhalali na hadhi yake, na maazimio yake hayana thamani yoyote.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:55:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan zasaini mkataba wa pamoja wa ulinzi huku nguvu ya Marekani ikipungua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140494-uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_zasaini_mkataba_wa_pamoja_wa_ulinzi_huku_nguvu_ya_marekani_ikipungua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d274a141242q5hq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140494-uturuki_saudi_arabia_na_pakistan_zasaini_mkataba_wa_pamoja_wa_ulinzi_huku_nguvu_ya_marekani_ikipungua </guid>  
      <description>Saudi Arabia imesaini makubaliano ya pamoja ya ulinzi kati yake na Uturuki Pakistan kwa lengo la kuimarisha usalama wa pamoja na ushirikiano wa kijeshi huku nguvu za kijeshi za Marekani zikipungua katika eneo hili. </description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 02:47:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi mapya ya Yemen yaangamiza mamluki wa Saudia wasiopungua 58 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140488-mashambulizi_mapya_ya_yemen_yaangamiza_mamluki_wa_saudia_wasiopungua_58</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00259ff306c2q5fs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140488-mashambulizi_mapya_ya_yemen_yaangamiza_mamluki_wa_saudia_wasiopungua_58 </guid>  
      <description>Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimefanya operesheni kubwa iliyozilenga ngome za kijeshi na vituo vikuu vya kamanda za kijeshi zilizokuwa zikisimamiwa na mamluki wanaoungwa mkono na Saudi Arabia nchini humo.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 13:41:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Mossad awatimua maafisa wawili wakuu kwa kufeli mpango wa kuipindua serikali ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140486-mkuu_wa_mossad_awatimua_maafisa_wawili_wakuu_kwa_kufeli_mpango_wa_kuipindua_serikali_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0531e9bfbea2q5fi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140486-mkuu_wa_mossad_awatimua_maafisa_wawili_wakuu_kwa_kufeli_mpango_wa_kuipindua_serikali_ya_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa shirika la ujasusi na ugaidi la utawala wa kizayuni wa Israel Mossad, Roman Gofman, amewafukuza kazi maafisa wawili wakuu wa intelijensia baada ya kushindwa au kutotekelezwa mpango wa kuipindua serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 12:31:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya nchi 8 za Kiarabu na Kiislamu yalaani jinai za Israel Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140468-taarifa_ya_nchi_8_za_kiarabu_na_kiislamu_yalaani_jinai_za_israel_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b294c15c422q58e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140468-taarifa_ya_nchi_8_za_kiarabu_na_kiislamu_yalaani_jinai_za_israel_ghaza </guid>  
      <description>Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nane za Kiarabu na Kiislamu wametoa taarifa ya pamoja ambapo mbali na kulaani uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wamelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liulazimishe utawala huo utekeleze majukumu yake na kuwawajibisha wale wanaokiuka haki za Wapalestina.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 03:33:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Mashambulio ya Marekani yaliua na kujeruhi mamia ya raia Yemen mwaka jana; Washington inaficha idadi kamili ya wahanga</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140462-ripoti_mashambulio_ya_marekani_yaliua_na_kujeruhi_mamia_ya_raia_yemen_mwaka_jana_washington_inaficha_idadi_kamili_ya_wahanga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00112b5d52e2q52e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140462-ripoti_mashambulio_ya_marekani_yaliua_na_kujeruhi_mamia_ya_raia_yemen_mwaka_jana_washington_inaficha_idadi_kamili_ya_wahanga </guid>  
      <description>Mashambulio ya anga ya Marekani nchini Yemen yalisababisha vifo au majeraha kwa mamia ya raia mwaka jana, hata hivyo utawala wa Trump umeficha kwa makusudi idadi kamili ya waliofariki na kushindwa kuwasilisha kwa Bunge la nchi hiyo ripoti inayohitajika kuhusu wahanga wa mashambulio hayo.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 11:06:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malengo yanayofuatiliwa na Marekani katika kuzichochea nchi za Kiarabu zikabiliane na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140456-malengo_yanayofuatiliwa_na_marekani_katika_kuzichochea_nchi_za_kiarabu_zikabiliane_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f527702e642q4ww.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140456-malengo_yanayofuatiliwa_na_marekani_katika_kuzichochea_nchi_za_kiarabu_zikabiliane_na_iran </guid>  
      <description>Hata kama nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi hazitaki kuchochea mivutano katika eneo, kwa mujibu wa sera zao rasmi, lakini Marekani inajaribu kuzivuta katika makabiliano ya moja kwa moja na Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 06:43:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen lapiga meli nyingine ya mafuta ya Saudi Arabia katika Bahari Nyekundu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140438-jeshi_la_yemen_lapiga_meli_nyingine_ya_mafuta_ya_saudi_arabia_katika_bahari_nyekundu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc037bbbce3982q4oy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140438-jeshi_la_yemen_lapiga_meli_nyingine_ya_mafuta_ya_saudi_arabia_katika_bahari_nyekundu </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya mafuta ya Saudi Arabia katika sehemu ya kaskazini ya Bahari Nyekundu, baada ya meli hiyo kukiuka mzingiro wa baharini uliowekwa dhidi ya Saudi Arabia.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:14:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ghaza yafanya maziko makubwa zaidi ya halaiki ya Wapalestina 112 waliouliwa kikatili na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140428-ghaza_yafanya_maziko_makubwa_zaidi_ya_halaiki_ya_wapalestina_112_waliouliwa_kikatili_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a44bbf59bd2q4cw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140428-ghaza_yafanya_maziko_makubwa_zaidi_ya_halaiki_ya_wapalestina_112_waliouliwa_kikatili_na_israel </guid>  
      <description>Wapalestina wamewazika watu 112 wa ukoo mmoja waliouawa katika mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel mnamo Novemba 2023, baada ya mabaki yao kupatikana kutoka chini ya vifusi mwezi uliopita.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 03:08:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vikosi vya Yemen vyashambulia shabaha muhimu ndani ya Uwanja wa Ndege wa Najran, Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140424-vikosi_vya_yemen_vyashambulia_shabaha_muhimu_ndani_ya_uwanja_wa_ndege_wa_najran_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b28b4512462q4cs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140424-vikosi_vya_yemen_vyashambulia_shabaha_muhimu_ndani_ya_uwanja_wa_ndege_wa_najran_saudi_arabia </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limekishambulia kituo cha kimkakati ndani ya uwanja wa ndege wa Najran kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni jibu kwa mashambulizi na mzingiro unaoendelea kufanywa na utawala wa Riyadh dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:57:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ElBaradei kwa Netanyahu: Umeiharibu Gaza, sasa unazungumzia "uhuru" wa watu wake!</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140422-elbaradei_kwa_netanyahu_umeiharibu_gaza_sasa_unazungumzia_uhuru_wa_watu_wake!</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0459b5c5bd12q4cq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140422-elbaradei_kwa_netanyahu_umeiharibu_gaza_sasa_unazungumzia_uhuru_wa_watu_wake! </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) Mohamed ElBaradei, amemhutubu Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akisema: "Umeiharibu Gaza, na sasa unazungumzia uhuru wa watu wake!"</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:55:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Aramco: Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha ‘mshtuko mkubwa kwa usambazaji wa mafuta katika historia’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140420-mkuu_wa_aramco_kufungwa_lango_bahari_la_hormuz_kumesababisha_mshtuko_mkubwa_kwa_usambazaji_wa_mafuta_katika_historia’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d0183a96712q4co.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140420-mkuu_wa_aramco_kufungwa_lango_bahari_la_hormuz_kumesababisha_mshtuko_mkubwa_kwa_usambazaji_wa_mafuta_katika_historia’ </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa kampuni kubwa ya mafuta ya Saudi Arabia ya Aramco ameeleza kuwa kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha "mshtuko mkubwa zaidi wa usambazaji wa mafuta katika historia," na kwamba masoko ya dunia yamepoteza mapipa ya mafuta zaidi ya bilioni 2.6 tangu kuanza kutekelezwa hatua hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:53:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Naim Qassim: Mazungumzo ya moja kwa moja ya Lebanon na Israel hayana tija yoyote isipokuwa aibu na fedheha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140410-sheikh_naim_qassim_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_ya_lebanon_na_israel_hayana_tija_yoyote_isipokuwa_aibu_na_fedheha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05cdcaead9c2q47u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140410-sheikh_naim_qassim_mazungumzo_ya_moja_kwa_moja_ya_lebanon_na_israel_hayana_tija_yoyote_isipokuwa_aibu_na_fedheha </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Lebanon na Israel hayajakuwa na matokeo yoyote isipokuwa aibu na fedheha.</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:30:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa Ansarullah: Kauli za Trump kuhusu amani zimetokana na hofu ya nguvu za Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140396-afisa_wa_ansarullah_kauli_za_trump_kuhusu_amani_zimetokana_na_hofu_ya_nguvu_za_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05c4d315cf92q43m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140396-afisa_wa_ansarullah_kauli_za_trump_kuhusu_amani_zimetokana_na_hofu_ya_nguvu_za_iran </guid>  
      <description>Afisa mwandamizi wa Ansarullah amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu amani yanaonyesha wasiwasi wa Marekani juu ya uwezo wa ulinzi wa Iran.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:05:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini shambulio la Saudi Arabia na Marekani dhidi ya Hashd al-Shaabi ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala ya Iraq?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140392-kwa_nini_shambulio_la_saudi_arabia_na_marekani_dhidi_ya_hashd_al_shaabi_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mamlaka_ya_kujitawala_ya_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc059d130d9f62q3yc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140392-kwa_nini_shambulio_la_saudi_arabia_na_marekani_dhidi_ya_hashd_al_shaabi_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_mamlaka_ya_kujitawala_ya_iraq </guid>  
      <description>Kikosi cha Hashd al-Shaabi cha Iraq kilitangaza siku chache zilizopita kuwa watu wasiopungua 20 waliuawa na wengine 32 kujeruhiwa katika shambulio la pamoja la kichokozi lililofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq mapema Jumatano iliyopita.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 11:17:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Palestina watoa onyo baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya Israel tangu kusitisha mapigano </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140386-muqawama_wa_palestina_watoa_onyo_baada_ya_mashambulizi_mabaya_zaidi_ya_israel_tangu_kusitisha_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04a263f2bc42q3x2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140386-muqawama_wa_palestina_watoa_onyo_baada_ya_mashambulizi_mabaya_zaidi_ya_israel_tangu_kusitisha_mapigano </guid>  
      <description>Makundi ya Muqawama ya Palestina yametoa onyo kali baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya anga ya Israel tangu kusitisha mapigano Oktoba 2025, yakisema mashambulizi hayo yasiyokoma ni hujuma ya makusudi dhidi ya makubaliano ya kusitisha mapigano na ujumbe kwamba Israel haina nia ya kutimiza majukumu yake.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 10:13:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi mkuu wa kidini wa Bahrain alaani mataifa ya Kiarabu kwa kutumikia ajenda za Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140384-kiongozi_mkuu_wa_kidini_wa_bahrain_alaani_mataifa_ya_kiarabu_kwa_kutumikia_ajenda_za_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08578b740ef2q3wy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140384-kiongozi_mkuu_wa_kidini_wa_bahrain_alaani_mataifa_ya_kiarabu_kwa_kutumikia_ajenda_za_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Ayatullah Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain, amezilaani nchi za Kiarabu na Kiislamu za kanda ya Magharibi mwa Asia kwa kuchangia katika njama za Marekani na Israel za kuimarisha migawanyiko katika eneo hilo.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 10:09:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malengo ya Julani katika kuanzisha uadui dhidi ya kundi la Hashd al-Shaabi la Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140380-malengo_ya_julani_katika_kuanzisha_uadui_dhidi_ya_kundi_la_hashd_al_shaabi_la_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04d01d63ea32q3vo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140380-malengo_ya_julani_katika_kuanzisha_uadui_dhidi_ya_kundi_la_hashd_al_shaabi_la_iraq </guid>  
      <description>Abu Mohammad al-Julani, mtawala wa serikali ya mpito ya Syria, amedai katika matamshi tatanishi kuwa ana wasiwasi kuhusu uwepo wa makundi ya wanamgambo wa Iraq na vikosi vya Hashd al-Shaabi katika maeneo ya mpaka wa nchi hiyo na Iraq.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 09:21:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano makubwa ya kupinga sera zilizofeli za Benjamin Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140368-maandamano_makubwa_ya_kupinga_sera_zilizofeli_za_benjamin_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00266482d112q3m4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140368-maandamano_makubwa_ya_kupinga_sera_zilizofeli_za_benjamin_netanyahu </guid>  
      <description>Wakazi wa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel wamefanya maandamano makubwa katika maeneo mbalimbali wakipinga sera za serikali ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambazo wamezitaja kuwa zimeshindwa.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 02:43:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika mwezi wa Julai pekee Israel imeua Wapalestina zaidi ya 150 Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140364-katika_mwezi_wa_julai_pekee_israel_imeua_wapalestina_zaidi_ya_150_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f65575c71a2q3k2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140364-katika_mwezi_wa_julai_pekee_israel_imeua_wapalestina_zaidi_ya_150_ghaza </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Ghaza imetangaza kuwa, katika mwezi Julai pekee, Wapalestina 152 waliuawa shahidi katika eneo hilo lililowekewa mzingiro, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo vya kila mwezi kuwahi kurekodiwa tangu ulipoanza mwaka huu.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:14:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya kinyama vya Israel Ghaza: Miili 40 ya watoto, 38 ya wanawake miongoni mwa iliyotolewa kwenye kifusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140358-vita_vya_kinyama_vya_israel_ghaza_miili_40_ya_watoto_38_ya_wanawake_miongoni_mwa_iliyotolewa_kwenye_kifusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc070459209992q3ju.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140358-vita_vya_kinyama_vya_israel_ghaza_miili_40_ya_watoto_38_ya_wanawake_miongoni_mwa_iliyotolewa_kwenye_kifusi </guid>  
      <description>Shirika la Ulinzi wa Raia la Ghaza limesema, wafanyakazi wake walipata miili na mabaki ya watu 112 kutoka chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel katika kitongoji cha Sabra cha Jiji la Ghaza.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 13:02:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Changamoto mpya kwa Wasaudia kufuatia mzingiro wa majini wa Yemen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140356-changamoto_mpya_kwa_wasaudia_kufuatia_mzingiro_wa_majini_wa_yemen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05d4115d55e2q3iq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140356-changamoto_mpya_kwa_wasaudia_kufuatia_mzingiro_wa_majini_wa_yemen </guid>  
      <description>Mzingiro wa majini wa Yemen dhidi ya Saudi Arabia, pamoja na kufungwa kwa Lango-Bahari la Bab al-Mandab kwa meli za mafuta za Saudia, vimetoa changamoto mpya kwa Wasaudia.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 11:14:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazuwari zaidi ya milioni nne wameingia Iraq tangu Muharram hadi sasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140354-mazuwari_zaidi_ya_milioni_nne_wameingia_iraq_tangu_muharram_hadi_sasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ddce2fed4c2q3aa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140354-mazuwari_zaidi_ya_milioni_nne_wameingia_iraq_tangu_muharram_hadi_sasa </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya habari ya masuala ya usalama wa Iraq ametangaza kuwa wafanyaziara zaidi ya milioni nne wa kigeni wamewasili nchini humo tangu mwanzo wa mwezi wa Muharram, na kwamba zoezi la upokeaji mazuwari wanaokwenda kushiriki kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS lingali unaendelea.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 03:29:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la Israel dhidi ya maghala ya dawa Ghaza latajwa kuwa ni 'jinai ovu sana'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140344-shambulio_la_israel_dhidi_ya_maghala_ya_dawa_ghaza_latajwa_kuwa_ni_'jinai_ovu_sana'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05acfe8a40e2q3a2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140344-shambulio_la_israel_dhidi_ya_maghala_ya_dawa_ghaza_latajwa_kuwa_ni_'jinai_ovu_sana' </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Ghaza imelaani kile ilichokiita "jinai ovu sana" iliyofanywa na vikosi vya utawala wa kizayuni wa Israel huko Deir el-Balah, ikisema shambulio hilo la Ijumaa asubuhi lililenga "maghala ya dawa" ya Hospitali ya Mashahidi wa Al-Aqsa, na kuyabomoa kikamilifu mawili kati ya maghala hayo.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 02:45:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meja Jenerali Abdullahi: Sasa, majeneza ni sehemu ya vifaa vya wanajeshi wa Marekani, Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140328-meja_jenerali_abdullahi_sasa_majeneza_ni_sehemu_ya_vifaa_vya_wanajeshi_wa_marekani_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06a94dfe7a52q2yo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140328-meja_jenerali_abdullahi_sasa_majeneza_ni_sehemu_ya_vifaa_vya_wanajeshi_wa_marekani_asia_magharibi </guid>  
      <description>Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) ameandika ujumbe katika mitandao ya kiijamii akisema: Majeneza ya Wamarekani sasa ni sehemu ya vifaa vyao katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:36:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen lalazimisha meli 8 za mafuta za Saudia kubadili njia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140324-jeshi_la_yemen_lalazimisha_meli_8_za_mafuta_za_saudia_kubadili_njia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09bfed291312q2xm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140324-jeshi_la_yemen_lalazimisha_meli_8_za_mafuta_za_saudia_kubadili_njia </guid>  
      <description>Msemaji wa Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen ametangaza katika taarifa kwamba, katika juhudi za kuimarisha mlingano wa “kuzingirwa kwa kuzingirwa”, na kufuatia kuongezeka kwa vikwazo vya baharini dhidi ya meli za mafuta za Saudi Arabia, meli nane za mafuta za Saudi Arabia zimelazimika kubadili njia na kuelekea Rasi ya Tumaini Jema (Cape of Good Hope).</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:34:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140298-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza69c5772052q2io.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140298-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa' </guid>  
      <description>Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:30:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140284-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza69c5772052q2io.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140284-al_nujaba_ya_iraq_yazionya_us_na_saudia_shambulio_lenu_'mtalilipia_gharama_kubwa' </guid>  
      <description>Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 11:09:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140274-kwa_nini_netanyahu_atasajiliwa_katika_historia_kama_waziri_mkuu_mbaya_zaidi_wa_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz66fd7c06552q2eo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140274-kwa_nini_netanyahu_atasajiliwa_katika_historia_kama_waziri_mkuu_mbaya_zaidi_wa_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Gazeti la Haaretz limeandika: Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni.
Gazeti hilo limechapisha ripoti inayokosoa vikali utendaji wa Benjamin Netanyahu, likisisitiza kuwa atakumbukwa kama Waziri Mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni na kwamba madhara ya kiusalama na kiuchumi ya vita alivyovisababisha yataukabili utawala wa Israel kwa miaka mingi ijayo.
</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 06:58:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani mashambulizi ya “kihalifu” ya Marekani na Saudia dhidi ya Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140270-iran_yalaani_mashambulizi_ya_kihalifu_ya_marekani_na_saudia_dhidi_ya_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza2c0924a302q2ck.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140270-iran_yalaani_mashambulizi_ya_kihalifu_ya_marekani_na_saudia_dhidi_ya_iraq </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa kauli kali ya kulaani mashambulizi ya pamoja ya angani yaliyofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 04:15:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iraq yafuta safari ya Waziri Mkuu wake Riyadh baada ya mashambulizi ya Marekani na Saudia nchini Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140268-iraq_yafuta_safari_ya_waziri_mkuu_wake_riyadh_baada_ya_mashambulizi_ya_marekani_na_saudia_nchini_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4994bd58702q2ci.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140268-iraq_yafuta_safari_ya_waziri_mkuu_wake_riyadh_baada_ya_mashambulizi_ya_marekani_na_saudia_nchini_iraq </guid>  
      <description>Serikali ya Iraq imefuta ziara iliyopangwa kufanywa na Waziri Mkuu wake nchini Saudi Arabia, kufuatia kile kilichotajwa kuwa mashambulizi ya Marekani na Saudi Arabia, huku kukiwa na ongezeko la wito ndani ya nchi wa kuchukua hatua ya kujibu.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 04:13:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgogoro katika Jeshi la Israel: Wanajeshi wengine wawili wa Kizayuni wajiua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140262-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_wanajeshi_wengine_wawili_wa_kizayuni_wajiua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz12e0246fe02q2ca.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140262-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_wanajeshi_wengine_wawili_wa_kizayuni_wajiua </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimeripoti kuwa, baada ya wanajeshi wengine wawili wa Kizayuni kujiua, idadi ya wanajeshi waliojitoa uhai tangu mwanzoni mwa mwaka huu imefikia 16.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 04:02:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mtaalamu wa kizayuni: Israel 'haina ubavu' wa kukabiliana na Iran kwa muda mrefu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140236-mtaalamu_wa_kizayuni_israel_'haina_ubavu'_wa_kukabiliana_na_iran_kwa_muda_mrefu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4aaaff530f2q1us.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140236-mtaalamu_wa_kizayuni_israel_'haina_ubavu'_wa_kukabiliana_na_iran_kwa_muda_mrefu </guid>  
      <description>Mtaalamu maarufu wa Kizayuni amekosoa kuongezeka utegemezi wa utawala haramu wa Israel kwa Marekani, akisisitiza kwamba utawala wa Kizayuni hauna tena uhuru wa kimkakati uliokuwa nao zamani na hauwezi kuhimili makabiliano ya muda mrefu na Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 14:11:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watetezi wa Palestina wakusanyika nje ya White House kupinga safari ya Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140232-watetezi_wa_palestina_wakusanyika_nje_ya_white_house_kupinga_safari_ya_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz177a30b9272q1u6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140232-watetezi_wa_palestina_wakusanyika_nje_ya_white_house_kupinga_safari_ya_netanyahu </guid>  
      <description>Waandamanaji wanaoitetea na kuiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya Ikulu ya White House jana Jumatatu kupinga ziara ya Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu huko Washington kabla ya mkutano wake aliopangiwa kufanya na Rais wa Marekani Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 14:02:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Kiislamu Iraq: Hatua yoyote ya kipumbavu ya Saudia itakabiliwa na jibu la haraka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140222-muqawama_wa_kiislamu_iraq_hatua_yoyote_ya_kipumbavu_ya_saudia_itakabiliwa_na_jibu_la_haraka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb2c7bb3c662q1k0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140222-muqawama_wa_kiislamu_iraq_hatua_yoyote_ya_kipumbavu_ya_saudia_itakabiliwa_na_jibu_la_haraka </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq imeuonya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia kwamba hatua yoyote ya kipumbavu itakayochukuliwa na Riyadh itakabiliwa na jibu kali litakaloulamisha kujutia maamuzi yake.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 03:57:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah Yemen: Hakuna meli ya Saudi Arabia inayoruhusiwa kupita Lango Bahari la Bab al-Mandab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140212-ansarullah_yemen_hakuna_meli_ya_saudi_arabia_inayoruhusiwa_kupita_lango_bahari_la_bab_al_mandab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf2243a8b802q1cq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140212-ansarullah_yemen_hakuna_meli_ya_saudi_arabia_inayoruhusiwa_kupita_lango_bahari_la_bab_al_mandab </guid>  
      <description>Harakati ya Ansarullah yaYemen imesema kuwa Mlango Bahari wa Bab al-Mandab umefungwa kikamilifu kwa Saudi Arabia, huku ikisisitiza msimamo wake kuhusu hatua zinazohusiana na usalama wa njia hiyo muhimu ya baharini.

</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 10:18:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani hatua za 'Zio-American' zinazolenga UNRWA, yahimiza hatua za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140194-hamas_yalaani_hatua_za_'zio_american'_zinazolenga_unrwa_yahimiza_hatua_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz98f6ae687e2q14i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140194-hamas_yalaani_hatua_za_'zio_american'_zinazolenga_unrwa_yahimiza_hatua_za_kimataifa </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani hatua mpya za Marekani na Israel zinazolenga Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), likitaka kuchukuliwe hatua za dharura za kimataifa dhidi ya kampeni ya "Wazayuni-Marekani" ya kutaka kulisambaratisha shirika hilo.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 03:56:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walowezi wa Israel wachoma misikiti ya Ukingo wa Magharibi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140190-walowezi_wa_israel_wachoma_misikiti_ya_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf168e2dc932q14e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140190-walowezi_wa_israel_wachoma_misikiti_ya_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Walowezi wa Kiisraeli wamevamia misikiti miwili, mmoja uliokuwa ukijengwa, katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na kuichoma moto katika kile kinacholaaniwa kama kampeni ya kimfumo inayolenga haki za kidini za Wapalestina.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 03:50:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wizara ya Afya Gaza: Israel imeuwa Wapalestina wengine 9 Gaza; Vifo vyapindukia 73,300</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140178-wizara_ya_afya_gaza_israel_imeuwa_wapalestina_wengine_9_gaza_vifo_vyapindukia_73_300</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9285515c522q10i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140178-wizara_ya_afya_gaza_israel_imeuwa_wapalestina_wengine_9_gaza_vifo_vyapindukia_73_300 </guid>  
      <description>Wapalestina wengine tisa wameuawa shahidi katika mashambulizi ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza katika saa 24 zilizopita. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 13:16:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Francesca Albanese atoa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140166-francesca_albanese_atoa_wito_wa_kuwekewa_vikwazo_vya_silaha_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz43822824cc2q0qs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140166-francesca_albanese_atoa_wito_wa_kuwekewa_vikwazo_vya_silaha_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu katika Ardhi za Palestina Zinazokaliwa kwa Mabavu, Francesca Albanese, ameyataja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kuwa ni "mauaji ya kimfumo", na kuitaka jamii ya kimataifa kuweka mara moja vikwazo vya silaha pamoja na kusitisha biashara na utawala huo.

</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 02:50:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya wanamichezo 1,000 wa Kipalestina wameuawa shahidi na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140164-zaidi_ya_wanamichezo_1_000_wa_kipalestina_wameuawa_shahidi_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb725f455d82q0qq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140164-zaidi_ya_wanamichezo_1_000_wa_kipalestina_wameuawa_shahidi_na_israel </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Palestina limetangaza kuwa wanamichezo 1,013 wa Kipalestina wameuawa shahidi tangu kuanza vita dhidi ya Ukanda wa Gaza mwezi Oktoba 2023, kutokana na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni.

</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 02:47:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen latekeleza hujuma ya makomora dhidi ya Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140160-jeshi_la_yemen_latekeleza_hujuma_ya_makomora_dhidi_ya_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd2da69a8672q0lm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140160-jeshi_la_yemen_latekeleza_hujuma_ya_makomora_dhidi_ya_saudi_arabia </guid>  
      <description>Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimefyatua makombora na kupiga kituo kikuu cha kijeshi cha anga katika jimbo la Asir, kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni hatua ya kujibu mapigo dhidi ya mashambulizi ya kijeshi ya hivi karibuni ya utawala wa Saudia pamoja na mzingiro unaoendelea dhidi ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 11:19:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa UN alaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya Walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140156-afisa_wa_un_alaani_vikali_mashambulizi_ya_kigaidi_ya_walowezi_wa_kizayuni_dhidi_ya_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbb2b5034382pdzs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140156-afisa_wa_un_alaani_vikali_mashambulizi_ya_kigaidi_ya_walowezi_wa_kizayuni_dhidi_ya_wapalestina </guid>  
      <description>Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa, Francesca Albanese, amelaani vikali wimbi kubwa la ghasia zinazotekelezwa na walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika maeneo yote ya Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 11:11:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Kuongezeka mashambulizi dhidi ya Gaza ni jaribio la kuua makubaliano ya kusitisha mapigano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140128-hamas_kuongezeka_mashambulizi_dhidi_ya_gaza_ni_jaribio_la_kuua_makubaliano_ya_kusitisha_mapigano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb89be328332q060.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140128-hamas_kuongezeka_mashambulizi_dhidi_ya_gaza_ni_jaribio_la_kuua_makubaliano_ya_kusitisha_mapigano </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kwamba mashambulizi makubwa ya anga ya utawala wa Israel eneo la Ukanda wa Gaza katika saa kadhaa zilizopita ni mwendelezo wa vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasio na hatia na msisitizo wa kuvuruga makubaliano ya kusitisha mapigano.</description>
      <pubDate>Fri, 24 Jul 2026 07:17:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yashambulia ngome za Marekani nchini Kuwait na Jordan yasema ni haki kisheria, kidini na kimantiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140114-iran_yashambulia_ngome_za_marekani_nchini_kuwait_na_jordan_yasema_ni_haki_kisheria_kidini_na_kimantiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz54d440845d2pzzs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140114-iran_yashambulia_ngome_za_marekani_nchini_kuwait_na_jordan_yasema_ni_haki_kisheria_kidini_na_kimantiki </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limethibitisha kufanya mashambulio dhidi ya vituo vya kijeshi vya Marekani nchini Kuwait na Jordan, likisisitiza kuwa kulenga kambi zinazotumiwa katika operesheni dhidi ya Iran ni “haki ya Iran ya kisheria, kidini, na kimantiki.”</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 11:55:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hatua ya Yemen ya Kuiwekea Saudi Arabia Mzingiro wa Majini: Sababu na Matokeo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140102-hatua_ya_yemen_ya_kuiwekea_saudi_arabia_mzingiro_wa_majini_sababu_na_matokeo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb0a2ad02782pzuw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140102-hatua_ya_yemen_ya_kuiwekea_saudi_arabia_mzingiro_wa_majini_sababu_na_matokeo </guid>  
      <description>Msemaji wa Jeshi la Yemen ametangaza marufuku ya usafiri wa meli na kuweka mzingiro wa majini dhidi ya Saudi Arabia, kwa kuzingatia kanuni ya "mzingiro kwa mzingiro."</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 07:19:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Hatuogopi kuuawa shahidi': Mkuu mpya wa Hamas atoa ujumbe wa kwanza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140066-'hatuogopi_kuuawa_shahidi'_mkuu_mpya_wa_hamas_atoa_ujumbe_wa_kwanza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdcd8fb39422pzem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140066-'hatuogopi_kuuawa_shahidi'_mkuu_mpya_wa_hamas_atoa_ujumbe_wa_kwanza </guid>  
      <description>Khalil al-Hayya, mkuu mpya wa Idara ya Siasa ya Hamas, ametangaza katika ujumbe wake wa kwanza kama kiongozi wa harakati hiyo kwamba muqawama wa Palestina hautatishwa na mauaji ya wanawe au mauaji ya makamanda wake.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 03:07:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaonya Saudi Arabia kuhusu ‘matokeo mabaya’ iwapo uchokozi na kuzingirwa vitaendelea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140052-yemen_yaonya_saudi_arabia_kuhusu_matokeo_mabaya’_iwapo_uchokozi_na_kuzingirwa_vitaendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz16401ae64f2pz80.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140052-yemen_yaonya_saudi_arabia_kuhusu_matokeo_mabaya’_iwapo_uchokozi_na_kuzingirwa_vitaendelea </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imeonya utawala wa Saudi Arabia kuhusu “matokeo mabaya na makubwa” iwapo utaendelea kuongeza mashambulizi yake kwa kulenga miundombinu ya kiraia, na kuimarisha sera ya kuzingira bandari na viwanja vya ndege nchini Yemen.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 11:30:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yafanya uharibifu mkubwa kusini mwa Lebanon huku ndege zisizo na rubani zikiruka katika anga ya Beirut</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140040-israel_yafanya_uharibifu_mkubwa_kusini_mwa_lebanon_huku_ndege_zisizo_na_rubani_zikiruka_katika_anga_ya_beirut</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc36cbaecd72pz2o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140040-israel_yafanya_uharibifu_mkubwa_kusini_mwa_lebanon_huku_ndege_zisizo_na_rubani_zikiruka_katika_anga_ya_beirut </guid>  
      <description>Jeshi la Israel jana lilifanya operesheni kubwa ya ubomoaji kusini mwa Lebanon siku ya Jumatatu huku ndege zisizo na rubani za utawala huo ghasibu zikiruka katika anga ya mji mkuu wa chi hiyo Beirut na vitongoji vyake.

</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 03:21:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Mzingiro wa baharini dhidi ya Saudia ni matokeo ya kukataa Riyadh kutoa jibu kwa matakwa halali ya Yemen</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140038-ansarullah_mzingiro_wa_baharini_dhidi_ya_saudia_ni_matokeo_ya_kukataa_riyadh_kutoa_jibu_kwa_matakwa_halali_ya_yemen</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzcfd04bbc0a2pz2k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140038-ansarullah_mzingiro_wa_baharini_dhidi_ya_saudia_ni_matokeo_ya_kukataa_riyadh_kutoa_jibu_kwa_matakwa_halali_ya_yemen </guid>  
      <description>Mohammed Abdulsalam, Mkuu wa timu ya mazungumzo ya Yemen, amesisitiza kuwa tangazo la vikosi vya ulinzi vya Yemen kuhusu marufuku ya usafiri wa baharini dhidi ya Saudi Arabia ilikuwa hatua ambayo Sana'a ililazimika kuichukua kujibu hatua ya Riyadh kukataa kujibu kwa njia ya amani matakwa halali ya Yemen.

</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 03:02:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ndege za Marekani za kuongeza mafuta angani zahamishiwa Israel kwa hofu ya mashambulizi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140030-ndege_za_marekani_za_kuongeza_mafuta_angani_zahamishiwa_israel_kwa_hofu_ya_mashambulizi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza5f2a39a812pyw2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140030-ndege_za_marekani_za_kuongeza_mafuta_angani_zahamishiwa_israel_kwa_hofu_ya_mashambulizi_ya_iran </guid>  
      <description>Ndege za Marekani za kuongeza mafuta angani (refuelling aircraft) zimehamishiwa katika eneo la Palestina inayokaliwa, kutokana na hofu ya mashambulizi yanayoweza kufanywa na Iran.

</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 11:02:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walowezi wa Kizayuni wachoma moto nyumba mbili na msikiti wa Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140028-walowezi_wa_kizayuni_wachoma_moto_nyumba_mbili_na_msikiti_wa_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz58c242129f2pyvc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140028-walowezi_wa_kizayuni_wachoma_moto_nyumba_mbili_na_msikiti_wa_wapalestina </guid>  
      <description>Walowezi wa Kizayuni wamechoma moto nyumba mbili pamoja na msikiti mmoja wa Wapalestina, katika tukio lililotajwa kuwa sehemu ya mashambulizi dhidi ya mali za Wapalestina.

</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 10:42:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askari mwingine wa Marekani auawa nchini Iraq huku idadi ya majeruhi ikipanda katika vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140018-askari_mwingine_wa_marekani_auawa_nchini_iraq_huku_idadi_ya_majeruhi_ikipanda_katika_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz1ec535ff302pyly.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140018-askari_mwingine_wa_marekani_auawa_nchini_iraq_huku_idadi_ya_majeruhi_ikipanda_katika_vita_na_iran </guid>  
      <description>Jeshi la Marekani limekiri Jumapili kwamba askari wake mwingine ameuawa kufuatia shambulio la ndege isiyo na rubani ya Iran, huku operesheni za kulipiza kisasi za Jamhuri ya Kiislamu zikiendelea kuwasababishia hasara kubwa askari wa jeshi katili Marekani katika kanda nzima.</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 04:12:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanazuoni wa Bahrain waonya kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140016-wanazuoni_wa_bahrain_waonya_kuhusu_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd79669819e2pyqo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140016-wanazuoni_wa_bahrain_waonya_kuhusu_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu </guid>  
      <description>Wanazuoni wa Bahrain wametoa onyo kuhusu kuendelea ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo, wakisema hali hiyo inazidi kuzorota na kuhatarisha haki za msingi za wananchi.
</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 04:10:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa zamani wa Vita wa Israel: Tulishindwa kufikia malengo katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140014-waziri_wa_zamani_wa_vita_wa_israel_tulishindwa_kufikia_malengo_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz778a74b6e22pyqk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140014-waziri_wa_zamani_wa_vita_wa_israel_tulishindwa_kufikia_malengo_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Moshe Ya'alon, Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Israel, amekiri kuwa mashambulizi yaliyoelekezwa dhidi ya Iran hayakufanikiwa kufikia malengo yaliyokuwa yamekusudiwa.</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 04:07:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia inahudumia miradi ya Wamarekani-Wazayuni </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139990-ansarullah_ya_yemen_saudi_arabia_inahudumia_miradi_ya_wamarekani_wazayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz08b6414d652pyf6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139990-ansarullah_ya_yemen_saudi_arabia_inahudumia_miradi_ya_wamarekani_wazayuni </guid>  
      <description>Mjumbe wa ngazi za juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kwamba Saudi Arabia imeweka uwezo na suhula zake za kisiasa, kifedha na kijeshi katika huduma ya miradi ya Marekani eneo la Asia Magharibi na inafanya kazi ya kudhoofisha mataifa ambayo yana misimamo dhidi ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Jul 2026 03:28:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yafanya mauaji makubwa huko Nuseirat, janga la binadamu linazidi kuwa baya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139980-israel_yafanya_mauaji_makubwa_huko_nuseirat_janga_la_binadamu_linazidi_kuwa_baya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzef63c980ad2pyb4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139980-israel_yafanya_mauaji_makubwa_huko_nuseirat_janga_la_binadamu_linazidi_kuwa_baya_gaza </guid>  
      <description>Wapalestina 14 wameuawa na wengine 37 kujeruhiwa, wengi wao wakiwa katika kambi ya Nuseirat katikati mwa Ukanda wa Gaza, kutokana na mashambulizi mtawalia ya Israel yaliyolenga maeneo mbalimbali ya ukanda huo, huku hali ya kibinadamu ikizidi kuwa mbaya.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 11:02:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mossad, Epstein na operesheni za siri: Vance aishambulia Israel na kusema umaarufu wake umeporomoka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139968-mossad_epstein_na_operesheni_za_siri_vance_aishambulia_israel_na_kusema_umaarufu_wake_umeporomoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz09fae2fd7d2py5u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139968-mossad_epstein_na_operesheni_za_siri_vance_aishambulia_israel_na_kusema_umaarufu_wake_umeporomoka </guid>  
      <description>Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Makamu wa Rais wa Marekani J.D. Vance aliishambulia Israel na kuishutumu kuwa inajaribu kushawishi siasa za Marekani, akisisitiza kuwa umaarufu wake umepungua nchini Marekani.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:17:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mateka wa zamani Muisraeli huko Gaza: Ninapata amani ninaposikiliza Qur'ani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139966-mateka_wa_zamani_muisraeli_huko_gaza_ninapata_amani_ninaposikiliza_qur'ani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz28341e367d2py5s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139966-mateka_wa_zamani_muisraeli_huko_gaza_ninapata_amani_ninaposikiliza_qur'ani </guid>  
      <description>Hadithi ya mateka wa zamani wa Hamas, Emily Damari imevuma tena katika vyombo vya habari katika tukio lililozua dhoruba ya hasira ndani ya duru za Israel na kwenda mbali zaidi hadi kutolewa wito mwanamke huyo arudishwe matekani huko Gaza!

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:16:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkurugenzi wa Huduma za Dharura Gaza: Asilimia 80 ya uwezo wa uokoaji umeharibiwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139958-mkurugenzi_wa_huduma_za_dharura_gaza_asilimia_80_ya_uwezo_wa_uokoaji_umeharibiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz92475e45432py1k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139958-mkurugenzi_wa_huduma_za_dharura_gaza_asilimia_80_ya_uwezo_wa_uokoaji_umeharibiwa </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa Huduma za Dharura katika Ukanda wa Gaza amesema kuwa takribani asilimia 80 ya uwezo wa huduma za uokoaji na misaada ya dharura umeangamizwa kutokana na mashambulizi na uharibifu unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel katika eneo hilo.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:47:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mpango wa kuvunjwa Bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) wapitishwa rasmi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139956-mpango_wa_kuvunjwa_bunge_la_utawala_wa_kizayuni_(knesset)_wapitishwa_rasmi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6c720b96962py1i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139956-mpango_wa_kuvunjwa_bunge_la_utawala_wa_kizayuni_(knesset)_wapitishwa_rasmi </guid>  
      <description>Rasimu ya sheria ya kuvunjwa Bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) imepitishwa rasmi, hatua inayofungua njia ya kuitisha uchaguzi mpya wa mapema Israel.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:46:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wagonjwa wa saratani Gaza wakabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa na vifaa tiba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139942-wagonjwa_wa_saratani_gaza_wakabiliwa_na_uhaba_mkubwa_wa_dawa_na_vifaa_tiba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2a898c9c632pxxo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139942-wagonjwa_wa_saratani_gaza_wakabiliwa_na_uhaba_mkubwa_wa_dawa_na_vifaa_tiba </guid>  
      <description>Wagonjwa wa saratani katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na hali ngumu kutokana na uhaba mkubwa wa dawa na vifaa vya matibabu, hali inayozidi kuhatarisha maisha yao huku mfumo wa afya ukiendelea kulemewa na athari za mzingiro na vita.</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 02:57:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Oman: Tishio hatari zaidi halitokani na Tehran bali Tel Aviv</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139888-oman_tishio_hatari_zaidi_halitokani_na_tehran_bali_tel_aviv</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz4407a8dbbf2px84.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139888-oman_tishio_hatari_zaidi_halitokani_na_tehran_bali_tel_aviv </guid>  
      <description>Serikali ya Oman imesema tishio kubwa zaidi kwa usalama na utulivu wa eneo halitokani na Tehran, bali linatoka Tel Aviv.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:53:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaionya Saudia: Shambulio dhidi ya uwanja wa ndege wa Sana’a ni mwisho wa usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139868-yemen_yaionya_saudia_shambulio_dhidi_ya_uwanja_wa_ndege_wa_sana’a_ni_mwisho_wa_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza07730c4032pwpm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139868-yemen_yaionya_saudia_shambulio_dhidi_ya_uwanja_wa_ndege_wa_sana’a_ni_mwisho_wa_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen mjini Sana’a imelaani vikali shambulio la Saudi Arabia dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana’a, ikisisitiza kuwa hatua hiyo ya kijeshi inahitimisha rasmi kipindi cha usitishaji vita na kuashiria kuanza kwa awamu mpya ya vita.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 04:45:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mfungwa wa Kipalestina aelezea unyanyasaji wa wanawake katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139834-mfungwa_wa_kipalestina_aelezea_unyanyasaji_wa_wanawake_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz15bb6e114a2pw46.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139834-mfungwa_wa_kipalestina_aelezea_unyanyasaji_wa_wanawake_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Mfungwa mwanamke Mpalestina amesimulia uvamizi wa mara kwa mara, unyanyasaji wa kimwili na hali mbaya ya kizuizini inayowaathiri wanawake Wapalestina waliofungwa katika magereza ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 12:29:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Kataib Hizbullah ya Iraq aapa kuendeleza njia ya mapambano, apinga vitisho vya adui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139818-kiongozi_wa_kataib_hizbullah_ya_iraq_aapa_kuendeleza_njia_ya_mapambano_apinga_vitisho_vya_adui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz99e6f231542pvxc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139818-kiongozi_wa_kataib_hizbullah_ya_iraq_aapa_kuendeleza_njia_ya_mapambano_apinga_vitisho_vya_adui </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Kataib Hizbullah nchini Iraq amesema kundi lake litaendeleza njia ya Muqawama na mapambano, akipuuza vitisho vya maadui na kuwataka maafisa wa serikali ya nchi hiyo na viongozi wa kisiasa kuheshimu matakwa ya taifa hilo la Kiarabu.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:18:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matamshi ya Waziri wa Vita wa Israel kuhusu Lebanon yana taathira gani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139802-matamshi_ya_waziri_wa_vita_wa_israel_kuhusu_lebanon_yana_taathira_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9f2501ff502pvqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139802-matamshi_ya_waziri_wa_vita_wa_israel_kuhusu_lebanon_yana_taathira_gani </guid>  
      <description>Israel Katz, Waziri wa Vita wa utawala ghasibu wa Israel, amejibu matamshi ya hivi karibuni ya Donald Trump kuhusu kuondoka Israel katika ardhi ya Lebanon kwa kuyapinga vikali, na kusema Israel haitaomba idhini ya mtu yoyote katika kuendelea kusalia nchini Lebanon.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 07:51:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Familia nzima imeangamizwa: Amnesty International yaituhumu Israel kufanya uhalifu wa kivita nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139776-familia_nzima_imeangamizwa_amnesty_international_yaituhumu_israel_kufanya_uhalifu_wa_kivita_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz9f2501ff502pvqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139776-familia_nzima_imeangamizwa_amnesty_international_yaituhumu_israel_kufanya_uhalifu_wa_kivita_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Shirika la Amnesty International mapema jana Alhamisi lilitoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi matatu yaliyofanywa na utawala wa Israel kusini mwa Lebanon mwezi Machi, likiyataja mashambulizi hayo kuwa ni uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:45:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Pezeshkian na Waziri Mkuu wa Iraq waongoza mapokezi ya mwili wa Kiongozi Shahidi mjini Najaf</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139722-rais_pezeshkian_na_waziri_mkuu_wa_iraq_waongoza_mapokezi_ya_mwili_wa_kiongozi_shahidi_mjini_najaf</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzabe91cc66c2pumm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139722-rais_pezeshkian_na_waziri_mkuu_wa_iraq_waongoza_mapokezi_ya_mwili_wa_kiongozi_shahidi_mjini_najaf </guid>  
      <description>Rais Masoud Pezeshkian na Waziri Mkuu wa Iraq, Ali al-Zaidi, wamehudhuria hafla rasmi ya mapokezi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf, kwa ajili ya kupokea mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kabla ya kuanza kwa taratibu za mazishi nchini Iraq.</description>
      <pubDate>Wed, 08 Jul 2026 04:49:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Harakati ya Ansarullah yalaani vitisho vya muungano wa Saudi Arabia; yasema ni ishara ya kushindwa Riyadh</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139658-harakati_ya_ansarullah_yalaani_vitisho_vya_muungano_wa_saudi_arabia_yasema_ni_ishara_ya_kushindwa_riyadh</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze49384f9d72pt7g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139658-harakati_ya_ansarullah_yalaani_vitisho_vya_muungano_wa_saudi_arabia_yasema_ni_ishara_ya_kushindwa_riyadh </guid>  
      <description>Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani vitisho vya hivi karibuni vya muungano unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen, akisema kuwa vinafichua kufeli Riyadh kisiasa na kijeshi pamoja na kushindwa kwake kusambaratisha mapambano ya Yemen licha ya nchi hiyo kuathirikwa kwa miaka mingi na vita na mzingiro.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 11:09:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Dakta Abu Safiya anakabiliwa na hali mbaya katika gereza la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139656-dakta_abu_safiya_anakabiliwa_na_hali_mbaya_katika_gereza_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz659da63e402pt7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139656-dakta_abu_safiya_anakabiliwa_na_hali_mbaya_katika_gereza_la_israel </guid>  
      <description>Shirika la Kimataifa la Haki za binadamu limearifu kuwa Dakta Hussam Abu Safiya, Mkurugenzi wa Hospitali ya Kamal Adwan huko Gaza ambaye amekuwa mikononi mwa Israel tangu mwaka 2024 anakabiliwa na tishio kubwa kwa maisha yake.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Jul 2026 11:04:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>