<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - west_asia</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Tue, 30 Jun 2026 00:21:51 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Iran na Oman zazindua kamati ya pamoja ya Hormuz kujadili usimamizi wa baadaye wa lango hilo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139514-iran_na_oman_zazindua_kamati_ya_pamoja_ya_hormuz_kujadili_usimamizi_wa_baadaye_wa_lango_hilo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby44aaf7f6d22pqhc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139514-iran_na_oman_zazindua_kamati_ya_pamoja_ya_hormuz_kujadili_usimamizi_wa_baadaye_wa_lango_hilo </guid>  
      <description>Iran na Oman zimefanya mkutano wa kwanza wa kamati mpya ya pamoja ya Hormuz, unaojadili usimamizi wa baadaye wa Lango-Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:29:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Lebanon apinga makubaliano na Israel akisema 'ni ya kutwishwa' </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139510-spika_wa_bunge_la_lebanon_apinga_makubaliano_na_israel_akisema_'ni_ya_kutwishwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby742f0a52002pqh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139510-spika_wa_bunge_la_lebanon_apinga_makubaliano_na_israel_akisema_'ni_ya_kutwishwa' </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Lebanon, Nabih Berri, amekosoa vikali makubaliano yaliyosainiwa Washington kati ya Lebanon na utawala wa Israel, akiyataja kuwa ni seti ya maagizo ya kutwishwa badala ya kuwa makubaliano yanayolinda haki za nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 12:15:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Hizbullah inapinga makubaliano ya serikali ya Lebanon na Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139506-kwa_nini_hizbullah_inapinga_makubaliano_ya_serikali_ya_lebanon_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3ebcb42c8f2pqf0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139506-kwa_nini_hizbullah_inapinga_makubaliano_ya_serikali_ya_lebanon_na_israel </guid>  
      <description>Sheikh Naim Qassim, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, na baadhi ya wabunge wa Hizbullah wamekosoa na kupinga vikali mazungumzo yanayodaiwa kufikiwa kati ya serikali ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 09:08:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taasisi ya Hind Rajab yawasilisha mashtaka Wizara ya Sheria ya Marekani dhidi ya Ben-Gvir</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139498-taasisi_ya_hind_rajab_yawasilisha_mashtaka_wizara_ya_sheria_ya_marekani_dhidi_ya_ben_gvir</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7a1b5d77d52pqac.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139498-taasisi_ya_hind_rajab_yawasilisha_mashtaka_wizara_ya_sheria_ya_marekani_dhidi_ya_ben_gvir </guid>  
      <description>Taasisi ya Hind Rajab (HRF) imewasilisha malalamiko kwa Wizara ya Sheria ya Marekani (DoJ), ikitaka kukamatwa na kushtakiwa anayeitwa waziri wa usalama wa taifa wa utawala wa Israel, Itamar Ben-Gvir kwa tuhuma za kutenda jinai.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:42:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Gaza inatafuta maiti 8,500 za mauaji ya kimbari ya Israel chini ya vifusi kwa kutumia chombo kimoja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139496-ripoti_gaza_inatafuta_maiti_8_500_za_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_chini_ya_vifusi_kwa_kutumia_chombo_kimoja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3a9ac2bdd62pqa8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139496-ripoti_gaza_inatafuta_maiti_8_500_za_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_chini_ya_vifusi_kwa_kutumia_chombo_kimoja </guid>  
      <description>Ripoti kutoka Ukanda wa Gaza zinasema kuwa chombo kimoja cha kuchimba vifusi (excavator) tu kinatumiwa kutafuta karibu miili ya watu 8,500 na mabaki yaliyo chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na jeshi la Israel wakati wa vita vya mauaji ya kimbari katika eneo hilo.

</description>
      <pubDate>Mon, 29 Jun 2026 03:38:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139464-maandamano_kote_lebanon_kupinga_makubaliano_yanayoungwa_mkono_na_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf17fba9aa72ppsk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139464-maandamano_kote_lebanon_kupinga_makubaliano_yanayoungwa_mkono_na_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Maelfu ya wananchi wa Lebanon wamejitokeza mitaani katika miji na maeneo mbalimbali kupinga “makubaliano” yanayoungwa mkono na Marekani kati ya Lebanon na  utawala wa Israel, huku wakiyataja kuwa tishio kwa mamlaka ya taifa lao.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 11:06:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139448-kiongozi_wa_hizbullah_israel_italazimika_kuondoka_lebanon_ikiwa_imedhalilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3dcdd0cf452ppis.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139448-kiongozi_wa_hizbullah_israel_italazimika_kuondoka_lebanon_ikiwa_imedhalilika </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, amesema kuwa Israel italazimika kuondoka bila masharti katika kila sehemu ya ardhi ya Lebanon, ikiwa “imeshindwa na kudhalilika.”</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 03:01:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139440-ansarullah_yatishia_kushambnulia_vituo_vyovyote_vya_israel_katika_eneo_la_somaliland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfc700cd24c2ppg2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139440-ansarullah_yatishia_kushambnulia_vituo_vyovyote_vya_israel_katika_eneo_la_somaliland </guid>  
      <description>Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik al-Houthi, ameapa kwamba atashambulia uwepo wowote wa Israel katika eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland kwa njia zote zinazowezekana, akisisitiza kwamba Yemen "haitakaa kimya mbele ya uwepo wowote wa Israel huko Somaliland, na haitawasubiri waoga."</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 11:23:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Qalibaf: Mpangilio mpya wa Kiislamu uundwe baada ya Marekani na Israel kudhalilishwa katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139408-qalibaf_mpangilio_mpya_wa_kiislamu_uundwe_baada_ya_marekani_na_israel_kudhalilishwa_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4c3b5d8ac12poxw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139408-qalibaf_mpangilio_mpya_wa_kiislamu_uundwe_baada_ya_marekani_na_israel_kudhalilishwa_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa mataifa ya Asia Magharibi na ulimwengu wa Kiislamu kuanzisha mpangilio mpya wa kikanda unaotegemea uwezo, rasilimali na watu wa mataifa hayo, akisisitiza kwamba “chanzo cha misiba yote ni utawala wa Kizayuni.”</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:28:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Israel haiwezi kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139406-hizbullah_israel_haiwezi_kamwe_kufikia_malengo_yake_katika_medani_ya_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb0030302302pp02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139406-hizbullah_israel_haiwezi_kamwe_kufikia_malengo_yake_katika_medani_ya_vita </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, ameashiria "kugonga mwamba wa mradi wa Israel," na kusisitiza kwamba, utawala huu hautaweza kamwe kufikia malengo yake katika medani ya vita.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:26:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Hakuna hospitali yoyote Gaza inayofanya kazi kwa uwezo wake kamili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139400-who_hakuna_hospitali_yoyote_gaza_inayofanya_kazi_kwa_uwezo_wake_kamili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2d5060e3f22pp16.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139400-who_hakuna_hospitali_yoyote_gaza_inayofanya_kazi_kwa_uwezo_wake_kamili </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kwamba hakuna hospitali yoyote katika Ukanda wa Gaza inayofanya kazi kwa uwezo wake kamili kwa sasa, na kwamba, uhaba mkubwa wa vifaa vya matibabu na mafuta umeweka utoaji wa huduma za afya katika hatari kubwa.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:18:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tasu'a ya Imam Hussein (AS) yaunganisha mamilioni ya Wairani, waapa kuendeleza mapambano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139380-tasu'a_ya_imam_hussein_(as)_yaunganisha_mamilioni_ya_wairani_waapa_kuendeleza_mapambano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfcce45759b2ponk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139380-tasu'a_ya_imam_hussein_(as)_yaunganisha_mamilioni_ya_wairani_waapa_kuendeleza_mapambano </guid>  
      <description>Wairani katika mji mkuu Tehran, majiji, miji na vijiji vyote nchini usiku wa kuamkia leo walikusanyika misikitini na katika vituo vya kidini na barabarani katika marasimu ya kuadhimisha Tasu'a, siku ya tisa ya mwezi Muharram, kuelekea kwenye Siku ya Ashura ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS), mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW). </description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 04:28:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika Qalibaf akutana na Sultani wa Oman kufuatia mazungumzo ya Uswisi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139374-spika_qalibaf_akutana_na_sultani_wa_oman_kufuatia_mazungumzo_ya_uswisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby232fa586cd2pong.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139374-spika_qalibaf_akutana_na_sultani_wa_oman_kufuatia_mazungumzo_ya_uswisi </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran ambaye pia ni mkuu wa timu ya mazungumzo na Marekani, Mohammad Baqer Qalibaf, amekutana na Sultani Haitham bin Tariq wa Oman jijini Muscat, ambapo wamejadili uhusiano wa nchi mbili na matukio ya hivi karibuni kuhusu Mkataba wa Maelewano (MoU) kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 03:44:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139364-netanyahu_alinasa_vipi_katika_mtego_wa_vita_vyake_mwenyewe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc74b4f82152pnvc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139364-netanyahu_alinasa_vipi_katika_mtego_wa_vita_vyake_mwenyewe </guid>  
      <description>Kutiwa saini Mkataba wa Maelewano wa Islamabad kati ya Iran na Marekani kumevuruga milinganyo anayoipendelea Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni na kuuweka utawala huo katika hali isiyo na mfano wake ya kutengwa kimkakati, kudhoofika kijeshi na mgogoro wa kisiasa; hali ambayo hata vyombo vya habari vya Israel yenyewe vinaitaja kuwa "mbaya sana kwa Israel."</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 11:43:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yasema uwepo wowote wa Israel katika maji ya Somalia utakuwa shabaha halali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139362-yemen_yasema_uwepo_wowote_wa_israel_katika_maji_ya_somalia_utakuwa_shabaha_halali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7f53766cce2pofk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139362-yemen_yasema_uwepo_wowote_wa_israel_katika_maji_ya_somalia_utakuwa_shabaha_halali </guid>  
      <description>Mwanachama wa ngazi za juu wa harakati inayotawala nchini Yemen ya Ansarullah ameonya kuhusu uwepo wa vikosi vya jeshi la Israel katika maji ya Somalia, akisema kwamba kupelekwa huko wanajeshi hao kutatambuliwa kuwa shabaha halali.</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 11:23:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran na Oman zajadili utaratibu mpya wa kusimamia Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139360-iran_na_oman_zajadili_utaratibu_mpya_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby33244194b72poew.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139360-iran_na_oman_zajadili_utaratibu_mpya_wa_kusimamia_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araghchi wamekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman, Sayyid Badr bin Hamad al-Busaidi, kujadili utaratibu mpya wa kusimamia Lango-Bahari la kimkakati la Hormuz.</description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 10:51:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naim Qassem: Mradi wa kuangamiza Iran na Muqawama umefeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139334-naim_qassem_mradi_wa_kuangamiza_iran_na_muqawama_umefeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6392423f472pa7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139334-naim_qassem_mradi_wa_kuangamiza_iran_na_muqawama_umefeli </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwamba, mradi wa kuisambaratisha Iran na Muqawama katika eneo la Asia Magharibi umeshindwa na kugonga mwamba.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 09:09:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139330-kwa_nini_ulaya_ina_wasiwasi_kuhusu_mrengo_wa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc362541aed2pnxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139330-kwa_nini_ulaya_ina_wasiwasi_kuhusu_mrengo_wa_lebanon </guid>  
      <description>Uungaji mkono wa Ulaya juu kwa usimamishaji hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon katika maelewano kati ya Tehran na Washington unaonyesha wasiwasi unaoongezeka wa nchi za Ulaya kuhusu kuenea vita na taathira zake hasi katika uthabiti na usalama wa eneo.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 05:57:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139318-kwa_nini_israel_haina_uwezo_wa_kuilazimisha_hizbullah_ijisalimishe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6392423f472pa7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139318-kwa_nini_israel_haina_uwezo_wa_kuilazimisha_hizbullah_ijisalimishe </guid>  
      <description>Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema, maadui walijaribu kuandaa mazingira ya kuuangamiza muqawama kwa kutumia vibaya serikali ya Lebanon na kuunda mwavuli haramu wa kisheria, lakini pamoja na hayo si tu kwamba adui wa Kizayuni alishindwa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe, bali pia inaendelea kupipigania ushindi wa mwisho.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 12:51:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Walebanon waipongeza Iran kwa kuunga mkono kukomeshwa hujuma ya vita ya Israel dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139310-walebanon_waipongeza_iran_kwa_kuunga_mkono_kukomeshwa_hujuma_ya_vita_ya_israel_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf2ba823a592pnlm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139310-walebanon_waipongeza_iran_kwa_kuunga_mkono_kukomeshwa_hujuma_ya_vita_ya_israel_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Mabango yanayoonyesha shukrani kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesimikwa kando ya barabara kuu inayoelekea uwanja wa ndege wa Beirut, yakionyesha shukrani za dhati kwa msimamo wa Iran wa kutaka kukomeshwa kikamilifu uchokozi wa Israel dhidi ya Lebanon, kama ilivyotajwa katika waraka wa makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya Iran na Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:22:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Israel imeua watoto 265 wa Kipalestina tangu Oktoba 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139278-un_israel_imeua_watoto_265_wa_kipalestina_tangu_oktoba_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby091dc3cbac2pn2g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139278-un_israel_imeua_watoto_265_wa_kipalestina_tangu_oktoba_2025 </guid>  
      <description>Huku utawala katili wa Israel ukiendeleza jinai Lebanon, mashirika ya misaada ya kibinadamu yametoa tahadhari mpya kuhusu Gaza, ambapo watoto 265 wa Kipalestina wameuawa katika mashambulizi ya Israel tangu usitishaji wa mapigano ulipotangazwa mwezi Oktoba 2025.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:16:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yaionya Israel dhidi ya kuzuia makubaliano ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139276-china_yaionya_israel_dhidi_ya_kuzuia_makubaliano_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb464a8e4fa2pn2c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139276-china_yaionya_israel_dhidi_ya_kuzuia_makubaliano_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>China imeionya Israel dhidi ya kuzuia utekelezaji wa Mkataba wa Maelewano (MoU) kati ya Iran na Marekani, huku ikitaka pande zote kuchukua hatua za vitendo kuunga mkono amani ya kikanda na kuunda mazingira yanayofaa kwa mazungumzo yajayo.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:14:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utawala wa Kizayuni wakiri kuuawa na kujeruhiwa wanajeshi wake 22 katika mapigano ya kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139268-utawala_wa_kizayuni_wakiri_kuuawa_na_kujeruhiwa_wanajeshi_wake_22_katika_mapigano_ya_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya437487a6e2pmzo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139268-utawala_wa_kizayuni_wakiri_kuuawa_na_kujeruhiwa_wanajeshi_wake_22_katika_mapigano_ya_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Jeshi la utawala wa Kizayuni limetangaza kuuawa na kujeruhiwa askari wake 22 katika mapigano ya jana Alhamisi jioni na vikosi vya muqawama vya Hizbullah ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 12:25:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jihad Islami yailaumu Marekani kwa ukatili unaoendelezwa na Israel huko Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139256-jihad_islami_yailaumu_marekani_kwa_ukatili_unaoendelezwa_na_israel_huko_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4d3330552f2pmvu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139256-jihad_islami_yailaumu_marekani_kwa_ukatili_unaoendelezwa_na_israel_huko_gaza </guid>  
      <description>Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina imesema utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani lazima uwajibishwe kwa ukatili na vitendo vya uchokozi vinavyofanywa na askari wa utawala vamizi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa kawaida katika Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita.</description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 03:55:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakuu wa zamani wa usalama wamwambia Netanyahu: Komesha ugaidi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139242-wakuu_wa_zamani_wa_usalama_wamwambia_netanyahu_komesha_ugaidi_wa_kiyahudi_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8421c1020b2pmrg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139242-wakuu_wa_zamani_wa_usalama_wamwambia_netanyahu_komesha_ugaidi_wa_kiyahudi_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Mawaziri wakuu wawili wa zamani wa Israel, pamoja na watu mashuhuri kutoka Israel na Marekani, wakuu wa zamani wa mashirika ya usalama, na maafisa kadhaa wa zamani katika taasisi mbalimbali za usalama, wamesaini barua iliyoelekezwa kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu jana Jumatano, wakiitaka serikali na mashirika yake kuchukua hatua za haraka za kukabiliana na kile walichokiita "ugaidi wa Kiyahudi" katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huko Palestina.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 11:36:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Kamwe hatutakabidhi silaha zetu kwa Israel na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139232-hamas_kamwe_hatutakabidhi_silaha_zetu_kwa_israel_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyea12f2ca892pmni.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139232-hamas_kamwe_hatutakabidhi_silaha_zetu_kwa_israel_na_marekani </guid>  
      <description>Naibu mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) nje ya nchi ametangaza kwamba harakati hiyo kamwe haitakabidhi silaha zake kwa Israel na Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 05:58:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Bila Israel, kusingekuwa na Marekani"; Balozi wa Washington huko Tel Aviv aibua hasira za Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139228-bila_israel_kusingekuwa_na_marekani_balozi_wa_washington_huko_tel_aviv_aibua_hasira_za_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfa2b9dec012pmn4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139228-bila_israel_kusingekuwa_na_marekani_balozi_wa_washington_huko_tel_aviv_aibua_hasira_za_wamarekani </guid>  
      <description>Matamshi ya balozi wa Marekani huko Israel, Mike Huckabee, yamezua wimbi la hasira na ukosoaji mkubwa katika duru za kisiasa na vyombo vya habari vya Marekani, baada ya kusema kwamba Marekani "haingekuwepo bila Israel," katika taarifa iliyozusha mjadala mkubwa kuhusu ushawishi wa Israel ndani ya duru za kufanya maamuzi za Marekani na mipaka ya majukumu ya balozi wa Marekani huko Tel Aviv.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 04:27:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapiganaji wa Hizbullah wakabiliana na wanajeshi vamizi wa Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139188-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_wanajeshi_vamizi_wa_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc1c79acf772pm7c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139188-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_wanajeshi_vamizi_wa_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Wapiganaji wa Hizbullah wakabiliana na wanajeshi vamizi wa Israel kusini mwa Lebanon</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 11:09:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu: Pakistani itakuwa mwenyeji wa hafla ya "kihistoria" ya kusaini makubaliano ya Iran na Marekani mjini Geneva, Juni 19</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139174-waziri_mkuu_pakistani_itakuwa_mwenyeji_wa_hafla_ya_kihistoria_ya_kusaini_makubaliano_ya_iran_na_marekani_mjini_geneva_juni_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9036282aaa2pm34.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139174-waziri_mkuu_pakistani_itakuwa_mwenyeji_wa_hafla_ya_kihistoria_ya_kusaini_makubaliano_ya_iran_na_marekani_mjini_geneva_juni_19 </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Pakistani, Shehbaz Sharif amesema kuwa hafla ya kutia saini Mkataba wa Maelewano kati ya Iran na Marekani (MOU) itaandaliwa na nchi yake mjini Geneva, Juni 19 mwaka huu.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 02:58:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani safari ya "rais wa Somaliland" huko Israel, yasema ni dhambi ya kisiasa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139144-hamas_yalaani_safari_ya_rais_wa_somaliland_huko_israel_yasema_ni_dhambi_ya_kisiasa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6df371083d2pltk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139144-hamas_yalaani_safari_ya_rais_wa_somaliland_huko_israel_yasema_ni_dhambi_ya_kisiasa </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeitaja safari ya rais wa jimbo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland huko Israel kuwa ni "dhambi ya kisiasa, ukiukaji wa kanuni na sheria zote za kimataifa, na kupuuza msimamo wa Waarabu na Waislamu kuhusu suala la Quds tukufu."</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:20:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi Muadhamu atoa msamaha kwa wafungwa 139 waliohukumiwa adhabu ya kifo Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139136-kiongozi_muadhamu_atoa_msamaha_kwa_wafungwa_139_waliohukumiwa_adhabu_ya_kifo_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9d22c8b5642pgm2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139136-kiongozi_muadhamu_atoa_msamaha_kwa_wafungwa_139_waliohukumiwa_adhabu_ya_kifo_iran </guid>  
      <description>Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ameidhinisha pendekezo la kubadilisha hukumu za wafungwa 139 waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo na mahakama mbalimbali nchini.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:05:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapiganaji wa Hizbullah wakabiliana na jeshi vamizi la Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139134-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_jeshi_vamizi_la_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby55d74c2bb42plou.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139134-wapiganaji_wa_hizbullah_wakabiliana_na_jeshi_vamizi_la_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Wapiganaji wa harakati ya mapambano ya Hizbullah wamekabiliana na vikosi vya Israel vilipokuwa vikijaribu kupenya katika maeneo ya kusini mwa Lebanon, wakilenga mikusanyiko ya wanajeshi na magari ya kijeshi kwa mashambulizi ya makombora pamoja na droni za kujitoa mhanga.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 12:03:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mradi wa reli ya Ankara–Riyadh waibua wasiwasi Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139120-mradi_wa_reli_ya_ankara_riyadh_waibua_wasiwasi_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby39dbaf41982pli2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139120-mradi_wa_reli_ya_ankara_riyadh_waibua_wasiwasi_israel </guid>  
      <description>Pendekezo la kuanzisha ukanda mpya wa biashara na usafirishaji unaoendelezwa na Uturuki na Saudi Arabia limeibua wasiwasi miongoni mwa maafisa wa utawala wa Israel. </description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:08:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amnesty International: Israel inafanya "maangamizi ya kizazi" katika Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139108-amnesty_international_israel_inafanya_maangamizi_ya_kizazi_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby76be2b04802plcc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139108-amnesty_international_israel_inafanya_maangamizi_ya_kizazi_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekutaja kuongezeka vitendo vya ukatili vya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi kuwa ni "maangamizi ya kizazi" na "kulazimisha watu kuhama makazi yao."</description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 09:23:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Tuna imani Iran itailinda Lebanon katika makubaliano yoyote na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139098-hizbullah_tuna_imani_iran_itailinda_lebanon_katika_makubaliano_yoyote_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby09e04b6bb62pl66.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139098-hizbullah_tuna_imani_iran_itailinda_lebanon_katika_makubaliano_yoyote_na_marekani </guid>  
      <description>Makubaliano yoyote kati ya Iran na Marekani yatakuwa na matokeo ya moja kwa moja kwa Lebanon bila kujali kuwa mamlaka za Lebanon zinakubali au la. </description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 02:49:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini watawala wa Marekani wanajaribu kujitenga na chokochoko za Netanyahu?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139038-kwa_nini_watawala_wa_marekani_wanajaribu_kujitenga_na_chokochoko_za_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyde7001e6df2pklm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139038-kwa_nini_watawala_wa_marekani_wanajaribu_kujitenga_na_chokochoko_za_netanyahu </guid>  
      <description>Kushirikiana kwa utawala wa Trump na vitendo vya jinai na uchokozi vya Israel katika kipindi cha miaka miwili iliyopita kumekuwa na taathira mbaya kwa msimamo wa serikali ya sasa ya Marekani mbele ya maoni ya umma ndani na nje ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 12:23:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Italia yaanzisha uchunguzi dhidi ya Ben-Gvir kuhusu unyanyasaji wa wanaharakati wa Global Sumud Flotilla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139022-italia_yaanzisha_uchunguzi_dhidi_ya_ben_gvir_kuhusu_unyanyasaji_wa_wanaharakati_wa_global_sumud_flotilla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7edf7c78c52pkbs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139022-italia_yaanzisha_uchunguzi_dhidi_ya_ben_gvir_kuhusu_unyanyasaji_wa_wanaharakati_wa_global_sumud_flotilla </guid>  
      <description>Waendesha mashtaka wa Italia wameanzisha uchunguzi dhidi ya Waziri wa Usalama wa Israel mwenye msimamo mkali wa mrengo wa kulia, Itamar Ben-Gvir kuhusu mateso, unyanyasaji na utekaji nyara wa wanaharakati walioshiriki katika msafara wa Global Sumud Flotilla wa kupeleka misaada ya kibinadamu kwa watu wa Gaza, mwezi uliopita.</description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 04:01:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yaonya kuhusu ongezeko la ubomoaji wa majengo Ukingo wa Magharibi, yataka hatua za kimataifa zichukuliwe dhidi ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139020-hamas_yaonya_kuhusu_ongezeko_la_ubomoaji_wa_majengo_ukingo_wa_magharibi_yataka_hatua_za_kimataifa_zichukuliwe_dhidi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby3207ff0d162pkgo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139020-hamas_yaonya_kuhusu_ongezeko_la_ubomoaji_wa_majengo_ukingo_wa_magharibi_yataka_hatua_za_kimataifa_zichukuliwe_dhidi_ya_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Hamas imeonya kuhusu ongezeko la shughuli za ubomoaji wa nyumba na majengo ya Wapalestina unaofanywa na Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ikiwa ni pamoja na al-Khalil, ikitaja vitendo hivyo kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa. </description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 03:58:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Spika wa Bunge la Lebanon ataka kuondoka Israel nchini humo huku Hizbullah ikifichua madai ya uwongo ya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139014-spika_wa_bunge_la_lebanon_ataka_kuondoka_israel_nchini_humo_huku_hizbullah_ikifichua_madai_ya_uwongo_ya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby77c2999d7d2pkgg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i139014-spika_wa_bunge_la_lebanon_ataka_kuondoka_israel_nchini_humo_huku_hizbullah_ikifichua_madai_ya_uwongo_ya_trump </guid>  
      <description>Spika wa Bunge la Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitakubali chochote isipokuwa usitishaji vita kamili na usio na masharti kwa upande wa ardhini, anga na baharini, na kusisitiza msimamo thabiti wa Muqawama wa Lebanon dhidi ya hujuma za Israel.</description>
      <pubDate>Wed, 10 Jun 2026 03:46:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yatangaza marufuku ya meli za Israel katika Bahari ya Sham</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138982-yemen_yatangaza_marufuku_ya_meli_za_israel_katika_bahari_ya_sham</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd7facee80a2pk2k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138982-yemen_yatangaza_marufuku_ya_meli_za_israel_katika_bahari_ya_sham </guid>  
      <description>Vikosi vya Jeshi la Yemen vimetangaza marufuku kamili ya usafiri wa baharini wa Israel katika Bahari Nyekundu (Bahari ya Sham), vikisema kwamba harakati zote za adui katika eneo hilo sasa zitachukuliwa kuwa malengo halali ya kijeshi, baada ya kutekeleza shambulizi la kombora lenye usahihi dhidi ya maeneo nyeti ya Israel huko Tel Aviv.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 11:14:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waandishi wa habari wa Gaza wasimulia unyanyasaji waliokumbana nao katika gereza la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138950-waandishi_wa_habari_wa_gaza_wasimulia_unyanyasaji_waliokumbana_nao_katika_gereza_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby44e9020fde2pjo0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138950-waandishi_wa_habari_wa_gaza_wasimulia_unyanyasaji_waliokumbana_nao_katika_gereza_la_israel </guid>  
      <description>Shirika la Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (RSF) limechapisha ushuhuda kutoka kwa waandishi wa habari watano wa Kipalestina huko Gaza, ambao walitekwa nyara na askari wa Israel baada ya Oktoba 7, 2023 ikiwa ni pamoja na visa vya unyanyasaji, kuhojiwa na ukiukwaji wa sheria unaohusiana moja kwa moja na shughuli zao za uandishi wa habari.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:55:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel na walowezi wa Kizayuni wazidisha mashambulizi katika Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138942-israel_na_walowezi_wa_kizayuni_wazidisha_mashambulizi_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc0a89027ef2pjns.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138942-israel_na_walowezi_wa_kizayuni_wazidisha_mashambulizi_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Wanajeshi wa Israel na walowezi wa Kizayuni wamezidisha mashambulizi yao dhidi ya Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu. </description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:20:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utawala wa Bahrain unafuatilia malengo gani katika kuwatia mbaroni viongozi wa kidini?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138916-utawala_wa_bahrain_unafuatilia_malengo_gani_katika_kuwatia_mbaroni_viongozi_wa_kidini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf5639a462c2pjbc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138916-utawala_wa_bahrain_unafuatilia_malengo_gani_katika_kuwatia_mbaroni_viongozi_wa_kidini </guid>  
      <description>Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kuwakandamiza viongozi mashuhuri wa kidini Utawala wa Al Khalifa nchini Bahrain umewatia nguvuni viongozi wengine kadhaa wa kidini.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 14:28:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yashambulia vikosi vamizi vya Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138912-hizbullah_yashambulia_vikosi_vamizi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby348ff3dcf52pj9q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138912-hizbullah_yashambulia_vikosi_vamizi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Wapiganaji wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wametekeleza wimbi la mashambulizi yaliyoratibiwa siku ya Alhamisi, wakilenga ngome kadhaa za kijeshi za Israel na kusababisha hasara kubwa kwa wanajeshi hao vamizi wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:21:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Foreign Policy: Chuki dhidi ya Wakristo imeongezeka huko Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138870-foreign_policy_chuki_dhidi_ya_wakristo_imeongezeka_huko_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby4ef44e5d892pj00.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138870-foreign_policy_chuki_dhidi_ya_wakristo_imeongezeka_huko_israel </guid>  
      <description>Uchunguzi uliofanywa na baadhi ya vyombo vya habari umebaini kuwa chuki na hujuma dhidi ya Wakristo vimeongezeka huko Israel.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:32:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi wa Israel wakiona cha mtemakuni Lebanon; ripoti ya Marekani: Hizbullah sasa ina uwezo zaidi kuliko awali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138862-wanajeshi_wa_israel_wakiona_cha_mtemakuni_lebanon_ripoti_ya_marekani_hizbullah_sasa_ina_uwezo_zaidi_kuliko_awali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby17f43ca17c2pix6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138862-wanajeshi_wa_israel_wakiona_cha_mtemakuni_lebanon_ripoti_ya_marekani_hizbullah_sasa_ina_uwezo_zaidi_kuliko_awali </guid>  
      <description>Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema imetoa kipigo kikubwa kwa wanajeshi wa Israel katika mji wa al-Bayyada, kusini mwa Lebanon, huku jeshi la Israel likiendelea kushindwa na wanajeshi wake wakikabiliwa na mbinu za kisasa zaidi.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 13:27:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Israel inafuatilia malengo gani katika kuzidisha vita nchini Lebanon?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138856-je_israel_inafuatilia_malengo_gani_katika_kuzidisha_vita_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby48ca7045ff2piti.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138856-je_israel_inafuatilia_malengo_gani_katika_kuzidisha_vita_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Utawala wa Kizayuni unaendelea kushambulia Lebanon ambapo katika siku za hivi karibuni ulikuwa umetishia kuushambulia mtaa wa Dhahiyah kusini mwa Beirut na kutaka watu wahame kutoka eneo hilo.
Swali muhimu ni je, kwa nini utawala wa Kizayuni unataka kushadidisha mgogoro na vita nchini Lebanon?
</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 12:51:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yatishia kutoa jibu la pande zote kwa ongezeko lolote la mashambulizi ya Israel nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138848-yemen_yatishia_kutoa_jibu_la_pande_zote_kwa_ongezeko_lolote_la_mashambulizi_ya_israel_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf8334ce5942p8g8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138848-yemen_yatishia_kutoa_jibu_la_pande_zote_kwa_ongezeko_lolote_la_mashambulizi_ya_israel_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya mapambano ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuwa vikosi vya jeshi la Israel vilivyotumwa Lebanon vitaendelea kuwa katika hatari ya mashambulizi yatakayofanywa na harakati hiyo kuonyesha mshikamano na Lebanon na harakati yake ya mapambano ya Hizbullah hadi vitakapoondoka kabisa kwenye ardhi ya Lebanon.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:12:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waliowengi Baraza la Usalama la UN walaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138830-waliowengi_baraza_la_usalama_la_un_walaani_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby093be492652pija.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138830-waliowengi_baraza_la_usalama_la_un_walaani_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Idadi kubwa ya wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameonyesha kutokuridhishwa kwao na kuongezeka kwa mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya Lebanon. Wakati hayo yakijiri, Marekani imepuuza kuukosoa utawala wa Israel, badala yake ikielekeza lawama zake zote kwa harakati ya Muqawama ya Hizbullah na nchi ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 09:09:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu 12 wauawa shahidi katika mashambulizi ya anga ya Israel katika ardhi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138808-watu_12_wauawa_shahidi_katika_mashambulizi_ya_anga_ya_israel_katika_ardhi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby30784199272piai.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138808-watu_12_wauawa_shahidi_katika_mashambulizi_ya_anga_ya_israel_katika_ardhi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Ikiwa ni katika muendelezo wa ukiukaji wa makubaliano ya usitishaji vita na mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya miji na vijiji vya kusini mwa Lebanon yaliyotekelezwa zaidi ya mara 36 mchana na Jumapili usiku, watu 12 wameuawa shahidi na wengine 35 kujeruhiwa katika mashambulizi hayo ya jinai.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 11:27:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen: Kupiga marufuku Hamas na Jihad Islami kunaonyesha jinsi Ulaya inavyoukingia kifua Uzayuni wa kimataifa.</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138800-yemen_kupiga_marufuku_hamas_na_jihad_islami_kunaonyesha_jinsi_ulaya_inavyoukingia_kifua_uzayuni_wa_kimataifa.</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye49a132cb32pice.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138800-yemen_kupiga_marufuku_hamas_na_jihad_islami_kunaonyesha_jinsi_ulaya_inavyoukingia_kifua_uzayuni_wa_kimataifa. </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imelaani vikali hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuimarisha vikwazo dhidi ya harakati za ukombozi wa Palestina, Hamas na Jihad Islami, ikiitaja kuwa ni ishara ya utiifu kwa Uzayuni wa kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 09:27:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Israeli Ben-Gvir amhimiza Netanyahu 'kusawazisha vitongoji vya Beirut na ardhi'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138774-waziri_wa_israeli_ben_gvir_amhimiza_netanyahu_'kusawazisha_vitongoji_vya_beirut_na_ardhi'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7ab61337de2pi22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138774-waziri_wa_israeli_ben_gvir_amhimiza_netanyahu_'kusawazisha_vitongoji_vya_beirut_na_ardhi' </guid>  
      <description>Waziri anayejiita wa usalama wa Israel, Itamar Ben-Gvir, amemtaka Waziri Mkuu wa utawaka huo katili, Benjamin Netanyahu, kusawazisha na ardhi vitongoji vya mji mkuu wa Lebanon, Beirut huku utawala huo ukizidisha mashambulizi yake dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:49:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: EU imewawekea vikwazo viongozi wa Gaza lakini 'imepuuza' ukatili wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138762-hamas_eu_imewawekea_vikwazo_viongozi_wa_gaza_lakini_'imepuuza'_ukatili_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx98ea9fee6e2phvw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138762-hamas_eu_imewawekea_vikwazo_viongozi_wa_gaza_lakini_'imepuuza'_ukatili_wa_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Hamas imelaani vikwazo vya Umoja wa Ulaya, ikiikosoa kambi hiyo kwa "kufumbia macho" ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na Israel huku ikiyalenga makundi na viongozi wa mapambano ya ukombozi wa Palestina.
</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:19:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN: Asilimia 100 ya Gaza ni mali ya Wapalestina, yataka Israel ikomeshe uvamizi haramu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138750-un_asilimia_100_ya_gaza_ni_mali_ya_wapalestina_yataka_israel_ikomeshe_uvamizi_haramu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx204597ef952phpk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138750-un_asilimia_100_ya_gaza_ni_mali_ya_wapalestina_yataka_israel_ikomeshe_uvamizi_haramu </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umekosoa vikali mipango ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ya kupanua udhibiti juu ya Ukanda wa Gaza, na kusisitiza kuwa eneo lote ni haki ya watu wa Palestina.</description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 10:31:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini utawala wa Kizayuni unasisitiza kuendeleza vita huko Lebanon?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138742-kwa_nini_utawala_wa_kizayuni_unasisitiza_kuendeleza_vita_huko_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxdad644bfc62phmm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138742-kwa_nini_utawala_wa_kizayuni_unasisitiza_kuendeleza_vita_huko_lebanon </guid>  
      <description>Moja ya vikwazo muhimu katika mazungumzo ya Iran na Marekani ni sisitizo la utawala wa Kizayuni wa Israel la kuondolewa medani ya vita vya Lebanon kwenye mazungumzo hayo na kuendeleza vita dhidi ya harakati ya Hizbullah. Hii ni katika hali ambayo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa moja ya masharti muhimu ya kufikiwa mapatano na Marekani ni kusimamishwa kikamilifu vita katika ngome zote za mhimili wa muqawama na hasa nchini Lebanon. </description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 07:07:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah: Hakuna njia nyingine isipokuwa mapambano dhidi ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138732-hizbullah_hakuna_njia_nyingine_isipokuwa_mapambano_dhidi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfe090a52852phk6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138732-hizbullah_hakuna_njia_nyingine_isipokuwa_mapambano_dhidi_ya_israel </guid>  
      <description>Mbunge mwandamizi wa Lebanon amesema kuwa harakati ya Hizbullah itaendeleza operesheni zake za kijeshi dhidi ya vikosi vya utawala dhalimu wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 30 May 2026 03:31:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRIB yalaani mauaji ya Israel dhidi ya mwandishi habari wa al-Alam kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138722-irib_yalaani_mauaji_ya_israel_dhidi_ya_mwandishi_habari_wa_al_alam_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd85cc53e8d2phfy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138722-irib_yalaani_mauaji_ya_israel_dhidi_ya_mwandishi_habari_wa_al_alam_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, na Kitengo cha Matangazo ya Ng'ambo cha IRIB wamelaani vikali mauaji ya Hesam Zidan, mwandishi wa habari wa zamani wa chaneli ya televisheni ya al-Alam ya Iran nchini Syria, ambaye ameuawa katika shambulio la Israel kusini mwa Lebanon.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:40:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaanika uhalifu wa kutisha wa Israel... Ripoti ya Guterres kuhusu unyanyasaji wa kingono imefichua nini?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138720-un_yaanika_uhalifu_wa_kutisha_wa_israel..._ripoti_ya_guterres_kuhusu_unyanyasaji_wa_kingono_imefichua_nini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9413625e382phfw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138720-un_yaanika_uhalifu_wa_kutisha_wa_israel..._ripoti_ya_guterres_kuhusu_unyanyasaji_wa_kingono_imefichua_nini </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, Alkhamisi ya jana aliwasilisha ripoti yake ya kila mwaka kwa wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ukatili wa kingono unaohusiana na migogoro, ambayo inarekodi ukiukwaji mkubwa na wa kutisha wa sheria uliofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:38:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Washington Post: Israel imetengwa duniani kutokana na vita vya mara kwa mara vya Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138706-washington_post_israel_imetengwa_duniani_kutokana_na_vita_vya_mara_kwa_mara_vya_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe77cac15df2pgsq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138706-washington_post_israel_imetengwa_duniani_kutokana_na_vita_vya_mara_kwa_mara_vya_netanyahu </guid>  
      <description>Gazeti la Washington Post limeandika kuwa: Vita vya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, Lebanon, Syria, Iran na Yemen vimeiweka Israel katika njia ya mmomonyoko wa kijeshi, kushindwa kimkakati na kutengwa kimataifa.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:00:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al-Houthi: Umma wa Kiislamu unapaswa kujifunza kutokana na mapambano ya Iran dhidi ya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138686-al_houthi_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kujifunza_kutokana_na_mapambano_ya_iran_dhidi_ya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx84ce88f8072pgu4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138686-al_houthi_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kujifunza_kutokana_na_mapambano_ya_iran_dhidi_ya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa: Msimamo imara wa Iran unapaswa kuwa kichocheo cha kuimarisha ushirikiano wa kikanda.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 04:49:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ma'ariv: Maafisa 50 wa utawala unaotaka kujitenga Somaliland wamepewa nafunzo Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138684-ma'ariv_maafisa_50_wa_utawala_unaotaka_kujitenga_somaliland_wamepewa_nafunzo_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfcef00db952pgyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138684-ma'ariv_maafisa_50_wa_utawala_unaotaka_kujitenga_somaliland_wamepewa_nafunzo_israel </guid>  
      <description>Gazeti la Kiebrania la Ma'ariv limefichua kashfa mpya kuhusu uhusiano wa siri kati ya Tel Aviv na eneo linalotaka kujitenga huko kaskazini mwa Somalia, likiandika kwamba askari 50 wa "Somaliland" wamerejea Afrika baada ya kukamilisha kozi za mafunzo katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 04:48:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump anataka Pakistan iwe na uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138676-kwa_nini_trump_anataka_pakistan_iwe_na_uhusiano_wa_kawaida_na_utawala_ghasibu_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9b16896a242pgx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138676-kwa_nini_trump_anataka_pakistan_iwe_na_uhusiano_wa_kawaida_na_utawala_ghasibu_wa_israel </guid>  
      <description>Chanzo kimoja cha habari cha Pakistan kimeripoti kuhusu upinzani wa wazi wa Islamabad dhidi ya ombi la Rais Donald Trump wa Marekani la kuitaka nchi hiyo ijiunge na mchakato wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, na kuongeza kuwa Islamabad inaiona hatua ya Washington kuwa jaribio la kutumia vibaya diplomasia ya "kusimamisha vita na Iran" ili kutoa mashinikizo katika kesi zisizohusiana.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 13:57:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yatekeleza operesheni 32 dhidi ya majeshi ghasibu ya Israel kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138670-hizbullah_yatekeleza_operesheni_32_dhidi_ya_majeshi_ghasibu_ya_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa0577192e12pgrw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138670-hizbullah_yatekeleza_operesheni_32_dhidi_ya_majeshi_ghasibu_ya_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu nchini Lebanon, Hizbullah, imetangaza kutekeleza mfululizo wa operesheni 32 za kijeshi dhidi ya majeshi vamizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yanayofanya chokochoko kusini mwa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 10:52:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina wa Gaza katika jinamizi badala ya sherehe wakati wa Eid el-Adha </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138668-wapalestina_wa_gaza_katika_jinamizi_badala_ya_sherehe_wakati_wa_eid_el_adha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf2b6e9f4002pgui.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138668-wapalestina_wa_gaza_katika_jinamizi_badala_ya_sherehe_wakati_wa_eid_el_adha </guid>  
      <description>Ikiwa leo ni sikukuu ya Eid El-Adha, Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel hawana cha kusherehekea bali wanakumbwa na jinamizi na masaibu yaliyosababishwa na utawala huo ghasibu.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 10:50:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan yakataa wito wa Marekani wa kuanzisha uhusiano na 'Israel'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138660-pakistan_yakataa_wito_wa_marekani_wa_kuanzisha_uhusiano_na_'israel'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc057e8e88c2pgqw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138660-pakistan_yakataa_wito_wa_marekani_wa_kuanzisha_uhusiano_na_'israel' </guid>  
      <description>Pakistan imekataa wito wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa kuitaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Waziri wa Ulinzi wa Pakistan, Khawaja Asif, amesema pendekezo hilo kuwa “halikubaliki” na linakwenda kinyume na misingi ya taifa hilo.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:14:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nabih Berri: Kwa pamoja tutaikomboa na kuijenga upya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138628-nabih_berri_kwa_pamoja_tutaikomboa_na_kuijenga_upya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe99a4c189a2pgfs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138628-nabih_berri_kwa_pamoja_tutaikomboa_na_kuijenga_upya_lebanon </guid>  
      <description>Katika siku ya kumbukumbu ya kukombolewa Lebanon kutoka kwenye makucha ya utawala ghasibu wa Israel, Nabih Berri, Spika wa Bunge la nchi hiyo amesema kuwa, adui Mzayuni hatasita hata kidogo kulipiza kisasi dhidi ya Lebanon na kuongeza kwamba kwa pamoja watu wa nchi hiyo wana uwezo wa kuikomboa na kuijenga upya.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 14:30:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malaysia: Tutaipeleka Israel ICJ kwa kuteka nyara na kuwatesa wanaharakati wa Freedom Flotilla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138624-malaysia_tutaipeleka_israel_icj_kwa_kuteka_nyara_na_kuwatesa_wanaharakati_wa_freedom_flotilla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaedc7115d72pgeq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138624-malaysia_tutaipeleka_israel_icj_kwa_kuteka_nyara_na_kuwatesa_wanaharakati_wa_freedom_flotilla </guid>  
      <description>Serikali ya Malaysia iko tayari kuipeleka Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kwa kosa la kuteka nyara na kuwatesa wanaharakati wa msafara meli za misaada ya kibinadamu wa Global Sumud Flotilla, uliokuwa njiani kuelekea Ukanda wa Gaza huko Palestina.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 12:27:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Palestina utaikomboa al-Qud: Jenerali Qa’ani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138622-muqawama_wa_palestina_utaikomboa_al_qud_jenerali_qa’ani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx211788bd652pgeo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138622-muqawama_wa_palestina_utaikomboa_al_qud_jenerali_qa’ani </guid>  
      <description>Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Muqawama wa Palestina utafungua njia ya ukombozi wa al-Quds, ukiashiria ushindi wa harakati za Muqawama nchini Iran na Lebanon.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 12:20:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa zamani wa Kizayuni: Hatimaye tutatoroka Lebanon kwa madhila</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138620-afisa_wa_zamani_wa_kizayuni_hatimaye_tutatoroka_lebanon_kwa_madhila</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx249bd69ed52pgem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138620-afisa_wa_zamani_wa_kizayuni_hatimaye_tutatoroka_lebanon_kwa_madhila </guid>  
      <description>Mkuu wa zamani wa Kamati ya Usalama na Mahusiano ya Kigeni katika Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kwamba utawala huo hatimaye utatoroka Lebanon kwa madhila na kushindwa.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 12:18:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makumi wauawa katika shambulio la bomu lililolenga kituo cha treni Pakistani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138606-makumi_wauawa_katika_shambulio_la_bomu_lililolenga_kituo_cha_treni_pakistani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8f2d306f192pg7s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138606-makumi_wauawa_katika_shambulio_la_bomu_lililolenga_kituo_cha_treni_pakistani </guid>  
      <description>Shambulio la kigaidi katika kituo cha treni katika mji mkuu wa jimbo la Balochistan nchini Pakistani limesababisha vifo vya watu 24 na kujeruhiwa wengine wengi.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 13:16:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yawazuia tena Wapalestina wa Gaza kutekeleza ibada ya Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138602-israel_yawazuia_tena_wapalestina_wa_gaza_kutekeleza_ibada_ya_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw83a26202a62p9q8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138602-israel_yawazuia_tena_wapalestina_wa_gaza_kutekeleza_ibada_ya_hija </guid>  
      <description>Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wamelaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia maelfu ya Wapalestina wa Gaza kusafiri kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 12:44:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>MEE: Misri iliishinikiza Al-Azhar 'kuunga mkono UAE' katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138562-mee_misri_iliishinikiza_al_azhar_'kuunga_mkono_uae'_katika_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1746aef6b92pfpy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138562-mee_misri_iliishinikiza_al_azhar_'kuunga_mkono_uae'_katika_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Ripoti zinasema kwamba Ofisi ya Rais wa Misri iliishinikiza taasisi ya Al-Azhar, ambayo ni mamlaka ya juu zaidi ya Waislamu wa madhehebu ya Suni, kuunga mkono hadharani Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na mataifa mengine ya Kiarabu ya Ghuba ya Uajemi katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 02:47:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Picha za satalaiti zaonyesha uharibifu mkubwa kwenye kambi za kijeshi za Israel kutokana na mashambulizi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138550-picha_za_satalaiti_zaonyesha_uharibifu_mkubwa_kwenye_kambi_za_kijeshi_za_israel_kutokana_na_mashambulizi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx64954459922pfom.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138550-picha_za_satalaiti_zaonyesha_uharibifu_mkubwa_kwenye_kambi_za_kijeshi_za_israel_kutokana_na_mashambulizi_ya_iran </guid>  
      <description>Picha mpya za satalaiti zilizochambuliwa zimefichua uharibifu na hasara kubwa iliyotokea katika vituo vingi vya kijeshi vya Israel kufuatia mashambulizi na operesheni za kujihami za Iran na harakati ya Lebanon Hizbullah na hivyo kuzusha maswali kuhusu ukubwa wa uharibifu ambao Tel Aviv inauficha mbele ya umma.</description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 15:02:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gaza yaripoti visa zaidi ya 125,000 vya maambukizi yanayohusiana na panya na vimelea: UNRWA</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138542-gaza_yaripoti_visa_zaidi_ya_125_000_vya_maambukizi_yanayohusiana_na_panya_na_vimelea_unrwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx481726a7d82pflw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138542-gaza_yaripoti_visa_zaidi_ya_125_000_vya_maambukizi_yanayohusiana_na_panya_na_vimelea_unrwa </guid>  
      <description>Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) limeripoti visa zaidi ya 125,000 vya maambukizi yanayohusiana na panya na vimelea katika Ukanda wa Gaza ulioathiriwa na vita katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka huu.</description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 06:54:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanaharakati 87 waliotekwa na vikosi vya Israel waanzisha mgomo wa njaa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138532-wanaharakati_87_waliotekwa_na_vikosi_vya_israel_waanzisha_mgomo_wa_njaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd1ab9692fc2pfhs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138532-wanaharakati_87_waliotekwa_na_vikosi_vya_israel_waanzisha_mgomo_wa_njaa </guid>  
      <description>Angalau wanaharakati 87 waliotekwa nyara na vikosi vya Israel wakati wa uvamizi dhidi ya msafara wa misaada ya kibinadamu kuelekea Gaza, wameanzisha mgomo wa njaa, waandaaji wa safari hiyo walitangaza Jumatano.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 13:39:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yavamia meli za Freedom Flotilla na kuwakamata washiriki 100</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138460-israel_yavamia_meli_za_freedom_flotilla_na_kuwakamata_washiriki_100</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1431e64f2a2pevo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138460-israel_yavamia_meli_za_freedom_flotilla_na_kuwakamata_washiriki_100 </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vimeripoti kwamba makomandoo wa jeshi la Wanamaji la Israel wamevamia msafara wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza "Global Sumud Flotilla," ambao ulianza safari Alhamisi iliyopita kutoka Uturuki kuelekea Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 04:02:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel ilianzisha vipi vituo vya kijeshi nchini Iraq na madhara yake ni yapi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138456-israel_ilianzisha_vipi_vituo_vya_kijeshi_nchini_iraq_na_madhara_yake_ni_yapi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbfb6e2780c2peuk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138456-israel_ilianzisha_vipi_vituo_vya_kijeshi_nchini_iraq_na_madhara_yake_ni_yapi </guid>  
      <description>Gazeti la Marekani la New York Times limeandika katika ripoti yake kwamba, Israel imeanzisha vituo viwili vya kijeshi vya siri ndani ya ardhi ya Iraq kwa ajili ya kusaidia operesheni zake dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 16:21:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iraq yachora mstari mwekundu; yasema: Ardhi ya nchi hiyo haitatumika kufanya mashambulizi dhidi ya Iran au nchi jirani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138440-iraq_yachora_mstari_mwekundu_yasema_ardhi_ya_nchi_hiyo_haitatumika_kufanya_mashambulizi_dhidi_ya_iran_au_nchi_jirani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf8503c55e22peog.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138440-iraq_yachora_mstari_mwekundu_yasema_ardhi_ya_nchi_hiyo_haitatumika_kufanya_mashambulizi_dhidi_ya_iran_au_nchi_jirani </guid>  
      <description>Iraq imetangaza wazi kuwa kamwe haitaruhusu ardhi yake itumike kwa ajili ya kufanya mashambulizi dhidi ya nchi jirani, hasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:37:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yatoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu unyanyasaji dhidi ya wafungwa katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138426-un_yatoa_wito_wa_kufanyika_uchunguzi_kuhusu_unyanyasaji_dhidi_ya_wafungwa_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcc2ef6f27b2peia.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138426-un_yatoa_wito_wa_kufanyika_uchunguzi_kuhusu_unyanyasaji_dhidi_ya_wafungwa_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa imelaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya wafungwa wa Kipalestina, ikitaka kufanyike uchunguzi huru, usioegemea upande wowote na wa wazi kuhusu visa vyote vya vifo, mateso, unyanyasaji na ukiukaji mwingine, na kwa wale waliohusika kuwajibishwa.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 08:45:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemeni: Ansarullah iko ‘bega kwa bega’ na Hizbullah dhidi ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138418-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_yemeni_ansarullah_iko_bega_kwa_bega’_na_hizbullah_dhidi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx824c3993432pefc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138418-naibu_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_yemeni_ansarullah_iko_bega_kwa_bega’_na_hizbullah_dhidi_ya_israel </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema harakati ya muqawama ya nchi hiyo Ansarullah iko "bega kwa bega" na harakati ya mapambano ya Lebanon Hizbullah katika kukukabiliana na njama na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:43:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Kuhusu "Siku ya Nakbat"; Uhalifu wa Israel ni jinai ya kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138408-taarifa_ya_wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_kuhusu_siku_ya_nakbat_uhalifu_wa_israel_ni_jinai_ya_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4df8edbcfd2pebg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138408-taarifa_ya_wizara_ya_mambo_ya_nje_ya_iran_kuhusu_siku_ya_nakbat_uhalifu_wa_israel_ni_jinai_ya_kivita </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza katika taarifa iliyotolewa kwa mnasaba wa tukio la "Siku ya Nakbat" kwamba uhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kielelezo halisi cha jinai za kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya kimbari, na kwa msingi huu, mahakama za kimataifa zinataka kuwaadhibu wahalifu wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:21:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini UAE imekuwa na wasiwasi kuhusu kufichuliwa safari ya Netanyahu huko Abu Dhabi? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138396-kwa_nini_uae_imekuwa_na_wasiwasi_kuhusu_kufichuliwa_safari_ya_netanyahu_huko_abu_dhabi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxee7c5c1f062peas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138396-kwa_nini_uae_imekuwa_na_wasiwasi_kuhusu_kufichuliwa_safari_ya_netanyahu_huko_abu_dhabi </guid>  
      <description>Kufichuliwa kwa safari ya Netanyahu huko UAE wakati wa vita vya kichokozi vya Marekani na utawala haramu wa Israel dhidi ya Iran kumewafanya watawala wa UAE wawakasirikie sana wenzao wa utawala wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 10:50:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Quds na Msikiti wa Al-Aqsa ndio utambulisho wa Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138382-hamas_quds_na_msikiti_wa_al_aqsa_ndio_utambulisho_wa_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd7180c83ea2pe6q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138382-hamas_quds_na_msikiti_wa_al_aqsa_ndio_utambulisho_wa_palestina </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba uvamizi wa walowezi wa Kizayuni na kufanya "maandamano ya bendera" huko Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Al-Aqsa ni majaribio yaliyoshindwa ya kutaka kubadilisha utambulisho wa ardhi takatifu ya Palestina.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:19:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nchi Washirika wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi wagawanyika kuhusu vita vipya dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138358-nchi_washirika_wa_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_wagawanyika_kuhusu_vita_vipya_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0070d4357e2pe00.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138358-nchi_washirika_wa_marekani_katika_ghuba_ya_uajemi_wagawanyika_kuhusu_vita_vipya_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Tathmini ya siri iliyofanywa na shirika la kijasusi la Marekani, CIA, imebaini kuwa washirika wa Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi wamegawanyika kuhusu iwapo waunge mkono vita vipya dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 06:01:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wairani 24,000 wameingia Saudia kwa ajili ya ibada ya Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138306-wairani_24_000_wameingia_saudia_kwa_ajili_ya_ibada_ya_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6c5edc9cab2pday.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138306-wairani_24_000_wameingia_saudia_kwa_ajili_ya_ibada_ya_hija </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara la Iran amesema kuwa takribani Wairani 24,000 tayari wamewasili nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija mwaka huu, ambapo kati yao takribani 14,000 wako Makka, na zaidi ya 10,000 wapo Madina.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:10:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yafanya mashambulizi dhidi ya vikosi vya Israel Kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138304-hizbullah_yafanya_mashambulizi_dhidi_ya_vikosi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx72378d5a792pd8c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138304-hizbullah_yafanya_mashambulizi_dhidi_ya_vikosi_vya_israel_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema imefanya operesheni 20 za kijeshi dhidi ya vikosi vamizi vya Israel katika maeneo ya kusini mwa Lebanon, huku mapigano yakiendelea licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyoongezwa hadi katikati ya mwezi Mei.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:08:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen yaionya Marekani baada ya Trump kukataa mpango wa amani wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138296-ansarullah_ya_yemen_yaionya_marekani_baada_ya_trump_kukataa_mpango_wa_amani_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcf0fe6b1ba2pd7q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138296-ansarullah_ya_yemen_yaionya_marekani_baada_ya_trump_kukataa_mpango_wa_amani_wa_iran </guid>  
      <description>Afisa mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen ameonya kuwa Marekani italazimika kubeba dhima ya madhara ya kukataa mapendekezo mapya ya Iran ya kumaliza vita, kufuatia matamshi ya kupinga yaliyotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:28:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi wa Kizayuni nchini Lebanon: Hatuna chaguo ila kukimbia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138286-wanajeshi_wa_kizayuni_nchini_lebanon_hatuna_chaguo_ila_kukimbia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx48df8675512pd22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138286-wanajeshi_wa_kizayuni_nchini_lebanon_hatuna_chaguo_ila_kukimbia </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri kushindwa jeshi la utawala wa vamizi wa Israel kukabiliana na ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 11:21:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ongezeko la vifo kabla ya Hija laibua taharuki nchini Saudi Arabia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138284-ongezeko_la_vifo_kabla_ya_hija_laibua_taharuki_nchini_saudi_arabia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd5629266d62pd1m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138284-ongezeko_la_vifo_kabla_ya_hija_laibua_taharuki_nchini_saudi_arabia </guid>  
      <description>Ripoti za kuongezeka vifo baina ya mahujaji waliokwenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija imezua wasiwasi na taharuki baina ya viongozi na wasimamizi wa ibada hiyo. </description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 10:30:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mateso na unyanyasaji wa wanawake wa Kipalestina katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138272-hamas_yalaani_mateso_na_unyanyasaji_wa_wanawake_wa_kipalestina_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa8e46f65a12pczw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138272-hamas_yalaani_mateso_na_unyanyasaji_wa_wanawake_wa_kipalestina_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani ongezeko la uhalifu na ukiukwaji wa haki za wafungwa wanawake wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel, ikisema kwamba mateso ya kimwili na kisaikolojia ni uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 10 May 2026 07:47:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Kiebrania: Lebanon imekuwa kinamasi chenye gharama kubwa kwa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138248-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_lebanon_imekuwa_kinamasi_chenye_gharama_kubwa_kwa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7432f0778e2pcly.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138248-vyombo_vya_habari_vya_kiebrania_lebanon_imekuwa_kinamasi_chenye_gharama_kubwa_kwa_israel </guid>  
      <description>Gazeti la Kiebrania Ma'ariv limeripoti kwamba Lebanon imekuwa kinamasi cha misukosuko na mawimbi makali, chenye gharama kubwa kwa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:10:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Majibu ya Khalil al-Hayyah kwa mauaji ya mwanawe: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138244-majibu_ya_khalil_al_hayyah_kwa_mauaji_ya_mwanawe_adui_mzayuni_hawezi_kupata_maafikiano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxde0d9c1c7d2pcr6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138244-majibu_ya_khalil_al_hayyah_kwa_mauaji_ya_mwanawe_adui_mzayuni_hawezi_kupata_maafikiano </guid>  
      <description>Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya harakati ya Hamas huko Gaza, amethibitisha kuuawa shahidi mwanawe, Azzam na rafiki yake, akisisitiza kuwa: Adui Mzayuni hawezi kupata maafikiano kwenye meza ya mazungumzo kwa kulenga na kuua familia zetu.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 08:08:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni ukiukaji wa wazi wa usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138230-hamas_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxddf2a8157f2pcd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138230-hamas_mashambulizi_ya_utawala_wa_kizayuni_ni_ukiukaji_wa_wazi_wa_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani mashambulizi yanayoongezeka ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, ikiyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa makubaliano ya usitishaji vita na sheria za kimataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:24:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu Gani Zinaifanya UAE Ishupalie Vita Dhidi ya Iran? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138216-sababu_gani_zinaifanya_uae_ishupalie_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6e81ede3642pc7a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138216-sababu_gani_zinaifanya_uae_ishupalie_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Muungano wa Falme za Kiarabu, UAE au Imarati umechukua msimamo wa waziwazi wa kushupalia vita hususan dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 11:34:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138180-palestina_yajibu_hatua_ya_rais_wa_fifa_yasema_wanasoka_566_wa_wameuawa_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7414b859402pby6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138180-palestina_yajibu_hatua_ya_rais_wa_fifa_yasema_wanasoka_566_wa_wameuawa_na_israel </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Palestina limechapisha ripoti kuhusu mauaji ya wachezaji wa mpira wa miguu na uharibifu wa miundombinu ya soka uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:38:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yatwanga maeneo mbalimbali ya Israel katika oparesheni 11 za droni na makombora </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138160-hizbullah_yatwanga_maeneo_mbalimbali_ya_israel_katika_oparesheni_11_za_droni_na_makombora</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx58143544a52pblw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138160-hizbullah_yatwanga_maeneo_mbalimbali_ya_israel_katika_oparesheni_11_za_droni_na_makombora </guid>  
      <description>Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa imefanya operesheni 11 dhidi ya maeneo mbalimbali ya Israel, kwa kutumia ndege zisizo na rubani, makombora na mizinga katika mshambulizi yake mtawalia. </description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:27:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yaifanya Gaza kuwa mahali hatari zaidi duniani kwa wanahabari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138152-israel_yaifanya_gaza_kuwa_mahali_hatari_zaidi_duniani_kwa_wanahabari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa21ebdd2922pblm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138152-israel_yaifanya_gaza_kuwa_mahali_hatari_zaidi_duniani_kwa_wanahabari </guid>  
      <description>Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu imetangaza Jumapili kuwa Gaza imegeuka kuwa sehemu hatari kuliko zote duniani kwa wanahabari, huku angalau wafanyakazi 295 wa vyombo vya habari wakithibitishwa kuuawa katika mashambulizi ya Israel tangu kuanza kwa vita Oktoba 2023.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 09:52:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>IRGC: Utekaji wa wanaharakati wa msafara wa misaada Gaza ni ‘ugaidi wa kimataifa’</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138140-irgc_utekaji_wa_wanaharakati_wa_msafara_wa_misaada_gaza_ni_ugaidi_wa_kimataifa’</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe5b9c23a8b2pb9e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138140-irgc_utekaji_wa_wanaharakati_wa_msafara_wa_misaada_gaza_ni_ugaidi_wa_kimataifa’ </guid>  
      <description>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) la Iran amelaani vikali hatua ya vikosi vya jeshi la utawala haramu wa Israel kuzuia kwa nguvu meli za Msafara wa Global Sumud zilizokuwa zikipeleka misaada ya kibinadamu Gaza.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:25:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Ukatili uliopangwa wa walowezi wa Israel dhidi ya Wakristo umefikia kiwango cha juu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138136-ripoti_ukatili_uliopangwa_wa_walowezi_wa_israel_dhidi_ya_wakristo_umefikia_kiwango_cha_juu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxd272a4fd7f2pbem.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138136-ripoti_ukatili_uliopangwa_wa_walowezi_wa_israel_dhidi_ya_wakristo_umefikia_kiwango_cha_juu </guid>  
      <description>Ukatili uliopangwa unaofanywa na walowezi Waisraeli dhidi ya Wakristo na jamii zisizo za Kiyahudi katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu umeongezeka kwa kiasi kikubwa.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:22:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Takwa la kukabidhi silaha ni kisingizio cha Israel cha kukwepa wajibu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138134-hamas_takwa_la_kukabidhi_silaha_ni_kisingizio_cha_israel_cha_kukwepa_wajibu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7f1c58aa3e2pbek.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138134-hamas_takwa_la_kukabidhi_silaha_ni_kisingizio_cha_israel_cha_kukwepa_wajibu </guid>  
      <description>Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Hamas, Mohammed Nazzal, amesema kuwa ombi la kukabidhiwa silaha za harakati hiyo ni kisingizio kinachotumiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kukwepa utekelezaji wa majukumu yake.</description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 10:22:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Manowari kubwa na ya kisasa zaidi ya Marekani yaondoka kwa fedheha katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138122-manowari_kubwa_na_ya_kisasa_zaidi_ya_marekani_yaondoka_kwa_fedheha_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc315c6251c2pb7u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138122-manowari_kubwa_na_ya_kisasa_zaidi_ya_marekani_yaondoka_kwa_fedheha_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>USS Gerald R. Ford, meli kubwa zaidi ya kivita na ya gharama ya juu kuwahi kuundwa na Marekani, imelazimika kujiondoa kutoka ukanda wa Asia Magharibi baada ya siku 309 za operesheni endelevu baharini, ikiwa katika jukumu la kuunga mkono vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 11:34:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Kikristo wamlaani Muisraeli aliyemshambulia mtawa wa kike katika mji wa al-Quds</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138120-viongozi_wa_kikristo_wamlaani_muisraeli_aliyemshambulia_mtawa_wa_kike_katika_mji_wa_al_quds</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx43adc2f2a12pb7o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138120-viongozi_wa_kikristo_wamlaani_muisraeli_aliyemshambulia_mtawa_wa_kike_katika_mji_wa_al_quds </guid>  
      <description>Malalamiko yameendelea kumiminika baada ya Muisraeli mwenye misimamo mikali kumshambulia mtawa wa kike raia wa Kifaransa, huku Waisraeli Wazayuni wakishadidisha mashambulizi dhidi ya Waislamu na Wakristo pamoja na maeneo matakatifu katika ardhi za Palestina zinazokoloniwa na utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 11:30:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Palestina akataa ombi la rais wa FIFA la kupiga picha na Muisraeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138108-mwakilishi_wa_palestina_akataa_ombi_la_rais_wa_fifa_la_kupiga_picha_na_muisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaff768b6932pb68.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138108-mwakilishi_wa_palestina_akataa_ombi_la_rais_wa_fifa_la_kupiga_picha_na_muisraeli </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirikisho la Soka la Palestina amekataa ombi la rais wa FIFA, Gianni Infantino la kupiga picha na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 09:54:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yapewa kichapo Lebanon, wanajeshi wasiopungua 2 wauawa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138092-israel_yapewa_kichapo_lebanon_wanajeshi_wasiopungua_2_wauawa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx57b80115b82pb3g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138092-israel_yapewa_kichapo_lebanon_wanajeshi_wasiopungua_2_wauawa </guid>  
      <description>Wanajeshi wasiopungua wawili wa Israel wameuawa na wengine zaidi ya 27 kujeruhiwa katika mashambulizi kadhaa ya ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah kusini mwa Lebanon, huku Israel ikiitonya Washington kwamba uwezo wake wa kukabiliana na harakati ya mapambano ya Lebanon unakaribia kusambaratika.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:21:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jina la Netanyahu ni "Shetani" kwa wengi duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138074-vyombo_vya_habari_vya_kizayuni_jina_la_netanyahu_ni_shetani_kwa_wengi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe2d72ca5de2pav4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138074-vyombo_vya_habari_vya_kizayuni_jina_la_netanyahu_ni_shetani_kwa_wengi_duniani </guid>  
      <description>Chombo cha habari cha Kizayuni kimechambua kuporomoka kwa nafasi ya utawala wa Israel duniani na kubadilika fikra za umma kuhusu utawala huo.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 10:20:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa wa Hizbullah: Mapambano yataendelea hadi ukombozi kamili wa ardhi ya Lebanon  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138062-afisa_wa_hizbullah_mapambano_yataendelea_hadi_ukombozi_kamili_wa_ardhi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5d6bed51012pasa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138062-afisa_wa_hizbullah_mapambano_yataendelea_hadi_ukombozi_kamili_wa_ardhi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Makamu wa Mwenyekiti wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza msimamo wa msingi wa harakati hiyo kuhusu uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa Muqawama na mapambano yataendelea hadi ardhi yote ya nchi hiyo itakapokombolewa kikamilifu.  </description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 07:58:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yamtahadharisha Trump/ Sana'a : Tunaunga mkono hatua za Iran katika Mlango Bahari wa Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138054-yemen_yamtahadharisha_trump_sana'a_tunaunga_mkono_hatua_za_iran_katika_mlango_bahari_wa_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw2d4f6665902pal8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138054-yemen_yamtahadharisha_trump_sana'a_tunaunga_mkono_hatua_za_iran_katika_mlango_bahari_wa_hormuz </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetahadharisha kuhusu  hatua zozote za uchokozi na ukatili za serikali ya Trump katika Ghuba ya Uajemi na kutangaza kuwa Sana'a inaunga mkono hatua za Iran katika Mlango wa Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 10:06:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC asisistiza kuhusu uungaji mkono imara kwa Hizbullah</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138018-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_asisistiza_kuhusu_uungaji_mkono_imara_kwa_hizbullah</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwab903527e02paai.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138018-kamanda_wa_kikosi_cha_quds_cha_irgc_asisistiza_kuhusu_uungaji_mkono_imara_kwa_hizbullah </guid>  
      <description> Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amekanusha vikali propaganda za Israel zinazolenga kupunguza nguvu za harakati ya Hizbullah, huku akisisitiza uungaji mkono kamili wa mhimili wa muqawama kwa harakati hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:19:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Iraq amteua al-Zaidi kuwa Waziri Mkuu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138014-rais_wa_iraq_amteua_al_zaidi_kuwa_waziri_mkuu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6ec77398772pac6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138014-rais_wa_iraq_amteua_al_zaidi_kuwa_waziri_mkuu </guid>  
      <description>Rais wa Iraq, Nizar Amedi, ambaye amechaguliwa hivi karibuni, ametangaza rasmi kumteua Ali al Zaidi kuwa waziri mkuu mteule wa nchi hiyo na kumpa jukumu la kuunda serikali ijayo.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:17:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgogoro katika jeshi la Israel; Ongezeko kubwa la kujiua miongoni mwa jeshi la utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138002-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_ongezeko_kubwa_la_kujiua_miongoni_mwa_jeshi_la_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8a511d49872pa7s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i138002-mgogoro_katika_jeshi_la_israel_ongezeko_kubwa_la_kujiua_miongoni_mwa_jeshi_la_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Chombo cha habari cha Kizayuni kimeripoti ongezeko kubwa la idadi ya kujiua katika jeshi la utawala wa Kizayuni tangu mwanzoni mwa mwaka huu 2026.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:31:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sultan wa Oman akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137988-sultan_wa_oman_akutana_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb23e744d2c2p9z8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137988-sultan_wa_oman_akutana_na_waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_iran </guid>  
      <description>Sultan wa Oman Haitham bin Tariq amemkaribisha Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika Kasri la Al-Barakah mjini Muscat, mapema Jumapili.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 11:31:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mashambulizi ya Israel Gaza; yasema ni jinai kamili ya kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137964-hamas_yalaani_mashambulizi_ya_israel_gaza_yasema_ni_jinai_kamili_ya_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw6ec321de752p9s4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137964-hamas_yalaani_mashambulizi_ya_israel_gaza_yasema_ni_jinai_kamili_ya_kivita </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na makundi mengine ya muqawama wa Palestina yamelaani vikali wimbi la sasa la mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kuwa ni "kuzidisha umwagaji damu na jinai kamili ya kivitaya Wazayuni." </description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:41:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwandishi wa Kiyahudi Mpinga Uzayuni: Netanyahu ni saratani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137956-mwandishi_wa_kiyahudi_mpinga_uzayuni_netanyahu_ni_saratani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw97c535d7932p9r4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137956-mwandishi_wa_kiyahudi_mpinga_uzayuni_netanyahu_ni_saratani </guid>  
      <description>Alon Mizrahi, mwandishi wa habari wa Kiyahudi anayepinga Uzayuni, ameandika katika ujumbe wake ulioashiria taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu uvimbe wa saratani wa Benjamin Netanyahu kwamba:  
“Je, saratani yenyewe inaweza kuwa na saratani?”  
</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:13:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aoun: Lengo la Israel katika kuwaua waandishi wa habari ni kuficha uhalifu wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137926-aoun_lengo_la_israel_katika_kuwaua_waandishi_wa_habari_ni_kuficha_uhalifu_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0352593f622p9mg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137926-aoun_lengo_la_israel_katika_kuwaua_waandishi_wa_habari_ni_kuficha_uhalifu_wake </guid>  
      <description>Rais wa Lebanon ameeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya mwandishi wa habari wa nchi hiyo na kujeruhiwa mwandishi mwingine wa habari katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa Lebanon, akitangaza kwamba lengo la uhalifu huu ni jitihada za utawala wa Israeli za kutaka kuficha uhalifu wake.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 05:03:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Uhalifu Mpya Kaskazini mwa Gaza Unaonyesha Kutokuwa na Uwezo wa Bodi ya Amani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137924-hamas_uhalifu_mpya_kaskazini_mwa_gaza_unaonyesha_kutokuwa_na_uwezo_wa_bodi_ya_amani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw780e3b56392p9me.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137924-hamas_uhalifu_mpya_kaskazini_mwa_gaza_unaonyesha_kutokuwa_na_uwezo_wa_bodi_ya_amani </guid>  
      <description>Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kwamba mauaji ya kutisha yaliyofanywa na jeshi utawala vamizi la Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, ambayo yamewalenga moja kwa moja watoto, ni kielelezo kipya cha kuendelea vita vya mauaji ya kimbari na maangamizi ya kizazi katika maeneo mbalimbali ya Ukanda huo.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 04:55:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Onyo la Yemen: Hakuna atakayefungua Lango Bahari la Bab el Mandeb likifungwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137854-onyo_la_yemen_hakuna_atakayefungua_lango_bahari_la_bab_el_mandeb_likifungwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf8334ce5942p8g8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137854-onyo_la_yemen_hakuna_atakayefungua_lango_bahari_la_bab_el_mandeb_likifungwa </guid>  
      <description>Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amemhimiza Rais wa Marekani Donald Trump kujiepusha na maamuzi ya uchochezi na kuheshimu haki za mataifa ya Kiislamu, akimwonya yeye pamoja na washirika wake kuhusu uwezekano wa kufungwa kwa Lango Bahari la Bab el Mandeb.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:36:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka: Hali ya maisha huko Gaza ni ya kutisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137842-shirika_la_madaktari_wasio_na_mipaka_hali_ya_maisha_huko_gaza_ni_ya_kutisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw521f22d90e2p7aa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137842-shirika_la_madaktari_wasio_na_mipaka_hali_ya_maisha_huko_gaza_ni_ya_kutisha </guid>  
      <description>Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetoa onyo kuhusu kuendelea na kuongezeka kwa mashambulizi ya kikatili na udhibiti wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 12:08:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah Yemen: Lobi ya Wazayuni imezuia makubaliano kati ya Marekani na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137832-ansarullah_yemen_lobi_ya_wazayuni_imezuia_makubaliano_kati_ya_marekani_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwfed6f30ea42p72a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137832-ansarullah_yemen_lobi_ya_wazayuni_imezuia_makubaliano_kati_ya_marekani_na_iran </guid>  
      <description> Mjumbe wa Idara ya Siasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa lobi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Marekani imezuia kufikiwa makubaliano katika mazungumzo kati ya Marekani na Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Apr 2026 09:18:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0ve545e68447240p6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia </guid>  
      <description>Ni jambo la kawaida kwamba nchi zilizoko katika maeneo tofauti ya kijografia na kistratijia hutumia nafasi hiyo kwa manufaa ya watu wake na kulinda maslahi yao ya kitaifa. Wachambuzi wa mambo wanasema hilo ni jambo linakubalika kimataifa na wala hakuna sheria yoyote inayopinga suala hilo ambayo ni haki ya kimsingi ya nchi iliyo katika maeneo kama hayo. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 12:57:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchambuzi wa Yemen: Haiwezekani kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw9d08cda6ed2p644.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu </guid>  
      <description>Mwandishi na mchambuzi wa Yemen ameeleza kuwa: Adui haiwezi kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 07:27:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>