<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - west_asia</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Fri, 10 Apr 2026 04:08:01 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0ve545e68447240p6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137790-wenzo_wa_nguvu_wa_maeneo_ya_kijografia_na_kistratijia </guid>  
      <description>Ni jambo la kawaida kwamba nchi zilizoko katika maeneo tofauti ya kijografia na kistratijia hutumia nafasi hiyo kwa manufaa ya watu wake na kulinda maslahi yao ya kitaifa. Wachambuzi wa mambo wanasema hilo ni jambo linakubalika kimataifa na wala hakuna sheria yoyote inayopinga suala hilo ambayo ni haki ya kimsingi ya nchi iliyo katika maeneo kama hayo. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 12:57:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchambuzi wa Yemen: Haiwezekani kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw9d08cda6ed2p644.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137786-mchambuzi_wa_yemen_haiwezekani_kuufungua_mlango_bahari_wa_hormuz_kwa_kutumia_nguvu </guid>  
      <description>Mwandishi na mchambuzi wa Yemen ameeleza kuwa: Adui haiwezi kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz kwa kutumia nguvu. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 07:27:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wananchi na vyama vya kisiasa vya Uturuki vyapinga mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137782-wananchi_na_vyama_vya_kisiasa_vya_uturuki_vyapinga_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw54bff52dff2p646.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137782-wananchi_na_vyama_vya_kisiasa_vya_uturuki_vyapinga_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi wa maoni nchini Uturuki unaonyesha kuwa akthari ya wananchi wa nchi hiyo wanaunga mkono msimamo wa serikali yao wa kujiweka mbali na vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Vyama mbalimbali vya siasa nchini humo pia vimelaani mashambulizi ya pande mbili hizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu. </description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 06:16:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Israel lalegeza msimamo kuhusu ahadi alizotoa Netanyahu/Upokonyaji silaha wa Hizbullah hauwezekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137772-jeshi_la_israel_lalegeza_msimamo_kuhusu_ahadi_alizotoa_netanyahu_upokonyaji_silaha_wa_hizbullah_hauwezekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bse307e39f4451d5pa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137772-jeshi_la_israel_lalegeza_msimamo_kuhusu_ahadi_alizotoa_netanyahu_upokonyaji_silaha_wa_hizbullah_hauwezekani </guid>  
      <description>Katika kukiri kistratijia kulikofichua udhaifu na mkanganyiko katika baraza la mawaziri la Israel, jeshi la utawala huo ghasibu limelegeza msimamo kuhusu ahadi alizotoa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel na  kutangaza rasmi kwamba, upokonyaji silaha dhidi ya Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon ni jambo lisilowezekana na kwamba sasa kauli mbiu hiyo imeondolewa katika orodha ya malengo ya vita.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 02:49:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yemen yaingia rasmi vitani kwa maslahi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137736-yemen_yaingia_rasmi_vitani_kwa_maslahi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c93f06090523f2la98.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137736-yemen_yaingia_rasmi_vitani_kwa_maslahi_ya_iran </guid>  
      <description>Yemen imetangaza rasmi kuingia katika vita kwa maslahi ya Iran, na sasa kila mtu ana wasiwasi kuhusu muelekeo wa vita hivi huku Wamagharibi na waungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel wakiingiwa na wasi wasi mkubwa kwamba huenda uchumi wa utawala huo ukabanwa na kupata madhara makubwa iwapo jeshi la Yemen litaamua kufunga na kudhibiti njia muhimu ya usafiri wa meli za biashara na mizigo, yaani  Lango-Bahari la Bab al-Mandab.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:43:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani vikali sheria ya Israel inayoruhusu kunyongwa wafungwa wa Kipalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137732-iran_yalaani_vikali_sheria_ya_israel_inayoruhusu_kunyongwa_wafungwa_wa_kipalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd146d4e7aa2p5ts.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137732-iran_yalaani_vikali_sheria_ya_israel_inayoruhusu_kunyongwa_wafungwa_wa_kipalestina </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei, amelaani jaribio la utawala wa Kizayuni wa Israel kupitisha sheria kupitia bunge la utawala huo, Knesset, itakayoruhusu kunyongwa wafungwa wa Kipalestina, akitaja uamuzi huo kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na misingi ya haki za binadamu.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 04:23:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yashambuliwa kwa makombora kutoka Iran, Yemen na Hizbullah</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137726-israel_yashambuliwa_kwa_makombora_kutoka_iran_yemen_na_hizbullah</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpw0d883eeae31b9ey.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137726-israel_yashambuliwa_kwa_makombora_kutoka_iran_yemen_na_hizbullah </guid>  
      <description>Mashambulizi ya pamoja ya makombora kutoka Iran, harakati ya Hizbullah ya Lebnon na Jeshi la Yemen yamelenga ngome za utawala wa Kizayuni wa Israel mapema siku ya Jumatano.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:35:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamanda wa ngazi ya juu wa vikosi vya ulinzi vya Yemen: Tupo pamoja na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137682-kamanda_wa_ngazi_ya_juu_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_yemen_tupo_pamoja_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv051aad0ba82p5ib.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137682-kamanda_wa_ngazi_ya_juu_wa_vikosi_vya_ulinzi_vya_yemen_tupo_pamoja_na_iran </guid>  
      <description>Kamanda wa ngazi ya juu wa vikosi vya ulinzi vya Yemen amesema: Tunatumia chaguo la kufunga Mlango Bahari wa Babul Mandab kwa meli za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. </description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 06:57:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jebelli: Misimamo ya ujasiri ya Shahidi Shoaib ilipinga mashine ya vita ya adui Mzayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137662-jebelli_misimamo_ya_ujasiri_ya_shahidi_shoaib_ilipinga_mashine_ya_vita_ya_adui_mzayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvb892e65e6a2p5ba.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137662-jebelli_misimamo_ya_ujasiri_ya_shahidi_shoaib_ilipinga_mashine_ya_vita_ya_adui_mzayuni </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ametuma salamu za rambirambi kwa wakurugenzi wa Televisheni za Al-Manar na Al-Mayadeen za Lebanon kufuatia hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwauwa kwa makusudi waandishi habari wa vyombo hivyo habari kusini mwa Lebanon. </description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 05:50:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bloomberg: Nchi za Ghuba ya Uajemi zimechoshwa na vita/ Oman yaunga mkono Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137656-bloomberg_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_zimechoshwa_na_vita_oman_yaunga_mkono_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3oe7a74742132cbzf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137656-bloomberg_nchi_za_ghuba_ya_uajemi_zimechoshwa_na_vita_oman_yaunga_mkono_iran </guid>  
      <description>Chombo kimoja cha habari cha Magharibi kimekiri kwamba nchi za Ghuba ya Uajemi zimechoshwa na vita dhidi ya Iran na zinaamini kuwa Marekani haina mkakati wowote katika vita hivi.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 03:17:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah yaingia rasmi vitani; Yashambulia kusini mwa Israel kwa makombora ya balestiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137642-ansarullah_yaingia_rasmi_vitani_yashambulia_kusini_mwa_israel_kwa_makombora_ya_balestiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c69bca15a453f2ft72.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137642-ansarullah_yaingia_rasmi_vitani_yashambulia_kusini_mwa_israel_kwa_makombora_ya_balestiki </guid>  
      <description>Vikosi vya jeshi la Yemen vimetangaza kwamba vimeshambulia shabaha nyeti kusini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa makombora ya balestiki.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 07:38:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ankara yaziambia nchi za Kiarabu: Msiingie katika mchezo wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137638-ankara_yaziambia_nchi_za_kiarabu_msiingie_katika_mchezo_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9b8610d92d022noqt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137638-ankara_yaziambia_nchi_za_kiarabu_msiingie_katika_mchezo_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amezihutubu nchi za Kiislamu na kuzitahadharisha ziwe makini na kutoingia katika mchezo wa utawala wa Kizayuni Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 04:42:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Yemen latangaza utayari wa kujiunga na Iran kupambana na maadui</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137628-jeshi_la_yemen_latangaza_utayari_wa_kujiunga_na_iran_kupambana_na_maadui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvafc15983132p543.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137628-jeshi_la_yemen_latangaza_utayari_wa_kujiunga_na_iran_kupambana_na_maadui </guid>  
      <description>Jeshi la Yemen limetangaza kuwa liko tayari kuingilia moja kwa moja kijeshi iwapo pande nyingine zitaungana na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mhimili wa Muqawama.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 00:12:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al Houthi: Mashambulizi ya adui Marekani na Mzayuni dhidi ya Iran hayawezi kuhalalishwa kwa namna yoyote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137618-al_houthi_mashambulizi_ya_adui_marekani_na_mzayuni_dhidi_ya_iran_hayawezi_kuhalalishwa_kwa_namna_yoyote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6hb5c22c60692j6ud.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137618-al_houthi_mashambulizi_ya_adui_marekani_na_mzayuni_dhidi_ya_iran_hayawezi_kuhalalishwa_kwa_namna_yoyote </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran hayana msingi wowote.  </description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 06:20:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vipigo vya makombora ya Hizbullah vyalivuruga baraza la mawaziri la Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137614-vipigo_vya_makombora_ya_hizbullah_vyalivuruga_baraza_la_mawaziri_la_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf16261d5bb2p501.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137614-vipigo_vya_makombora_ya_hizbullah_vyalivuruga_baraza_la_mawaziri_la_israel </guid>  
      <description>Ongezeko la mashambulizi ya roketi ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon dhidi ya jeshi la utawala ghasibu wa Israel, yaliyoelezwa na vyombo vya habari vya Israel kama mashambulizi makali zaidi tangu kuanza kwa vita, limeugeuza mkutano wa baraza la mawaziri la Israel kuwa uwanja wa malumbano makali kati ya waziri wa fedha na mkuu wa majeshi ya utawala huo.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 04:49:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Harakati ya Ansarullah ya Yemen iko tayari Kudhibiti Lango Bahari la Bab al‑Mandab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137596-ripoti_harakati_ya_ansarullah_ya_yemen_iko_tayari_kudhibiti_lango_bahari_la_bab_al_mandab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0ve545e68447240p6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137596-ripoti_harakati_ya_ansarullah_ya_yemen_iko_tayari_kudhibiti_lango_bahari_la_bab_al_mandab </guid>  
      <description>Duru zinadokeza kuwa, Harakati ya Ansarullah ya Yemen iko tayari kuchukua udhibiti wa eneo la kimkakati la  Lango Bahari wa Bab al‑Mandab kama sehemu ya hatua za nguvu za Muqawama (Mapambano) za kuwaadhibu maadui walioanzisha hujuma ya kichokozi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 06:00:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Harakati ya Al-Nujaba yataka makubaliano ya usalama kati ya Iraq na Marekani yafutwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137590-harakati_ya_al_nujaba_yataka_makubaliano_ya_usalama_kati_ya_iraq_na_marekani_yafutwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsd0b727555c31ci2l.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137590-harakati_ya_al_nujaba_yataka_makubaliano_ya_usalama_kati_ya_iraq_na_marekani_yafutwe </guid>  
      <description>Mkuu wa Baraza Kuu la harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Iraq, Al-Nujaba, ametoa wito kwa Bunge na harakati za kizalendo kufuta makubaliano ya usalama na Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:47:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Iran lauonya utawala lauonya utawala wa Israel kuhusu mauaji ya raia Palestina, Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137548-jeshi_la_iran_lauonya_utawala_lauonya_utawala_wa_israel_kuhusu_mauaji_ya_raia_palestina_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsibc977cf6591flh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137548-jeshi_la_iran_lauonya_utawala_lauonya_utawala_wa_israel_kuhusu_mauaji_ya_raia_palestina_lebanon </guid>  
      <description>Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu mauaji yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya raia wa Palestina na Lebanon. Taarifa ya IRGC imesema jeshi katili la Israel limevuka mistari yote myekundu katika mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina na Walebanoni.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Mar 2026 06:22:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ayatullah Sistani: Tunalaani vikali vita dhidi ya Iran na Lebanon, nchi za Kiislamu zichukue hatua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137528-ayatullah_sistani_tunalaani_vikali_vita_dhidi_ya_iran_na_lebanon_nchi_za_kiislamu_zichukue_hatua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6ief9df5ac6e2jkzt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137528-ayatullah_sistani_tunalaani_vikali_vita_dhidi_ya_iran_na_lebanon_nchi_za_kiislamu_zichukue_hatua </guid>  
      <description>Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al‑Sistani, amelaani kwa maneno makali vita vinavyoendeshwa hivi sasa na Marekani na Israel dhidi ya Iran na Lebanon, na amewataka Waislamu wote pamoja na watu huru duniani kuvipinga na kuvikemea.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 05:29:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah ya Lebanon yavunja rekodi kwa kutekeleza operesheni 61 dhidi ya ngome za ‘Israel’ ndani ya siku moja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137526-hizbullah_ya_lebanon_yavunja_rekodi_kwa_kutekeleza_operesheni_61_dhidi_ya_ngome_za_israel’_ndani_ya_siku_moja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvfd7b0ca19c2p4g2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137526-hizbullah_ya_lebanon_yavunja_rekodi_kwa_kutekeleza_operesheni_61_dhidi_ya_ngome_za_israel’_ndani_ya_siku_moja </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama au mapambano ya Kiislamu ya  Hizbullah nchini Lebanon imeweka rekodi mpya baada ya kutekeleza operesheni 61 dhidi ya ngome za utawala wa Kizayuni wa Israel katika siku moja.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 05:29:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa al Qassam asema Iran ni safu ya mbele ya kutetea Umma wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137504-msemaji_wa_al_qassam_asema_iran_ni_safu_ya_mbele_ya_kutetea_umma_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3r85db8e25ff2eokc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137504-msemaji_wa_al_qassam_asema_iran_ni_safu_ya_mbele_ya_kutetea_umma_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Msemaji wa tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza mashambulizi ya makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya maeneo mbalimbali ya utawala ghasibu wa Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 03:48:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah ya Yemen: Iran inahami mustakbali wake na Umma wa Kiislamu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137480-ansarullah_ya_yemen_iran_inahami_mustakbali_wake_na_umma_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bk7c124607322a8uj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137480-ansarullah_ya_yemen_iran_inahami_mustakbali_wake_na_umma_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa yoyote atakayepuuza haki ya Iran ya kujihami atakuwa amemhudumia adui. </description>
      <pubDate>Fri, 20 Mar 2026 08:10:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Picha ya NASA yaonyesha athari za shambulio la Iran kwenye kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha gesi duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137462-picha_ya_nasa_yaonyesha_athari_za_shambulio_la_iran_kwenye_kiwanda_kikubwa_zaidi_cha_kusafisha_gesi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6228134a322p3z1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137462-picha_ya_nasa_yaonyesha_athari_za_shambulio_la_iran_kwenye_kiwanda_kikubwa_zaidi_cha_kusafisha_gesi_duniani </guid>  
      <description>Picha za setilaiti za NASA zinaonyesha moto mkubwa uliotokea katika kituo kikubwa zaidi cha kuzalisha gesi duniani huko Qatar.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 07:57:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas na Jihad Islami zalaani mauaji ya mkuu wa baraza la usalama wa taifa la Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137448-hamas_na_jihad_islami_zalaani_mauaji_ya_mkuu_wa_baraza_la_usalama_wa_taifa_la_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3m04aad415232b3ja.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137448-hamas_na_jihad_islami_zalaani_mauaji_ya_mkuu_wa_baraza_la_usalama_wa_taifa_la_iran </guid>  
      <description>Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) Palestina zimelaani mauaji ya afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, na kuahidi kuendeleza njia na msimamo wake.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 05:29:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afghanistan yaituhumu Pakistan kwamba imeua watu 400 hospitalini Kabul</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137424-afghanistan_yaituhumu_pakistan_kwamba_imeua_watu_400_hospitalini_kabul</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3o76fbf1b7b42cllk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137424-afghanistan_yaituhumu_pakistan_kwamba_imeua_watu_400_hospitalini_kabul </guid>  
      <description>Afghanistan imelituhumu jeshi la Pakistan kwamba limeua mamia ya watu katika shambulio la anga dhidi ya hospitali moja mjini Kabul.</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 08:17:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio Lailenga Rada na Mfumo wa Ulinzi wa Anga wa Ubalozi wa Marekani Baghdad</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137368-shambulio_lailenga_rada_na_mfumo_wa_ulinzi_wa_anga_wa_ubalozi_wa_marekani_baghdad</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv0174cff07a2p3dd.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137368-shambulio_lailenga_rada_na_mfumo_wa_ulinzi_wa_anga_wa_ubalozi_wa_marekani_baghdad </guid>  
      <description>Baada ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad nchini Iraq kulengwa kwa shambulio, vyanzo vya habari vimeripoti kuharibiwa kwa mfumo wa ulinzi wa anga wa ubalozi huo.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 04:22:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Brigedi za al Qassam zapongeza mashambulizi ya Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu katika Siku ya Kimataifa ya Quds</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137364-brigedi_za_al_qassam_zapongeza_mashambulizi_ya_iran_katika_ardhi_zinazokaliwa_kwa_mabavu_katika_siku_ya_kimataifa_ya_quds</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6c2f281b20ae2h3jx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137364-brigedi_za_al_qassam_zapongeza_mashambulizi_ya_iran_katika_ardhi_zinazokaliwa_kwa_mabavu_katika_siku_ya_kimataifa_ya_quds </guid>  
      <description>Brigedi za Shahidi Izzuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimepongeza mashambulizi yaliyofanywa na Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) katika kujibu mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:59:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Naim Qassim: Tumejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu/donda la saratani linavuruga amani Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137348-naim_qassim_tumejiandaa_kwa_ajili_ya_mapambano_ya_muda_mrefu_donda_la_saratani_linavuruga_amani_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv7a334d08022p3d9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137348-naim_qassim_tumejiandaa_kwa_ajili_ya_mapambano_ya_muda_mrefu_donda_la_saratani_linavuruga_amani_asia_magharibi </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametangaza kuwa, harakati hiyo imejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu. </description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:33:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ndege ya kujaza mafuta ya Jeshi la Marekani imetunguliwa nchini Iraq</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137324-ndege_ya_kujaza_mafuta_ya_jeshi_la_marekani_imetunguliwa_nchini_iraq</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv2945e509fd2p365.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137324-ndege_ya_kujaza_mafuta_ya_jeshi_la_marekani_imetunguliwa_nchini_iraq </guid>  
      <description>Makao Makuu ya Kamandi ya Kati ya Marekani (CENTCOM) yametangaza ‘kuanguka’ kwa ndege yao ya kijeshi ya kujaza mafuta angani katika eneo la magharibi mwa Iraq, na kutaja tukio hilo kuwa eti ni “ajali”. Hatahivyo Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu nchini Iraq imetangaza rasmi kutungua ndege hiyo ya jeshi la kigaidi la Marekani.</description>
      <pubDate>Fri, 13 Mar 2026 03:40:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waisraeli 2,700 wajeruhiwa katika mashambulizi ya kisasi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137320-waisraeli_2_700_wajeruhiwa_katika_mashambulizi_ya_kisasi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv507dd07f6d2p31w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137320-waisraeli_2_700_wajeruhiwa_katika_mashambulizi_ya_kisasi_ya_iran </guid>  
      <description>Ripoti ya Wizara ya Afya ya utawala wa Kizayuni wa Israel imesema Waisraeli zaidi ya 2,700 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyoanza Februari 28.</description>
      <pubDate>Fri, 13 Mar 2026 03:13:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti wa Oman apongeza kuchaguliwa kwa Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137318-mufti_wa_oman_apongeza_kuchaguliwa_kwa_kiongozi_mpya_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3h3a2bc6543627ot4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137318-mufti_wa_oman_apongeza_kuchaguliwa_kwa_kiongozi_mpya_wa_mapinduzi_ya_kiislamu_ya_iran </guid>  
      <description>Sheikh Ahmed bin Hamad Al Khalili, Mufti Mkuu wa Oman, ametoa pongezi zake kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
</description>
      <pubDate>Fri, 13 Mar 2026 03:04:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yatwanga ngome za Israel kwa makombora na droni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137312-hizbullah_yatwanga_ngome_za_israel_kwa_makombora_na_droni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv44b923f9fd2p30z.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137312-hizbullah_yatwanga_ngome_za_israel_kwa_makombora_na_droni </guid>  
      <description>Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa mapema leo ikisema kwamba imeshambulia ngome za utawala haramu wa Israel kaskazini na katikati mwa ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).</description>
      <pubDate>Thu, 12 Mar 2026 04:45:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Middle East Monitor: Vita vya Iran huenda vikawa mwisho wa kisiasa wa Netanyahu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137310-middle_east_monitor_vita_vya_iran_huenda_vikawa_mwisho_wa_kisiasa_wa_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva4423b22332p31x.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137310-middle_east_monitor_vita_vya_iran_huenda_vikawa_mwisho_wa_kisiasa_wa_netanyahu </guid>  
      <description>Tovuti ya Middle East Minitor imeandika makala ya uchambuzi kuhusu mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na utawala wa Kziayuni wa Israel ikisema kuwa vita ambavyo Benjamin Netanyahu amejiandaa kwa ajili yake kwa miaka mingi yumkini vikapelekea kutengwa kisiasa na kuporomoka stratejia yake.</description>
      <pubDate>Thu, 12 Mar 2026 04:38:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mazungumzo ya kikanda kwa ajili ya kufunga kambi za majeshi ya Marekani Asia Magharibi, kisa? Mashambulizi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137284-mazungumzo_ya_kikanda_kwa_ajili_ya_kufunga_kambi_za_majeshi_ya_marekani_asia_magharibi_kisa_mashambulizi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6a7bd796ccf32g4oc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137284-mazungumzo_ya_kikanda_kwa_ajili_ya_kufunga_kambi_za_majeshi_ya_marekani_asia_magharibi_kisa_mashambulizi_ya_iran </guid>  
      <description>Duru za kuaminika zimeiambia Rusia Today kwamba nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zimeanza mazungumzo ya kujadili suala la kufunga kwa muda kambi za majeshi ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Wed, 11 Mar 2026 04:57:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137256-nini_maana_ya_marekani_kushindwa_kistratejia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6e77c67c192p2k9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137256-nini_maana_ya_marekani_kushindwa_kistratejia </guid>  
      <description>Kwa nini Marekani inakaribia kushindwa kistratejia? Jibu la swali hili linapatika katika utambulisho wa vita vya sasa vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 09 Mar 2026 09:02:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makundi ya Muqawama yapongeza kuchaguliwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137250-makundi_ya_muqawama_yapongeza_kuchaguliwa_kiongozi_mpya_wa_mapinduzi_ya_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv236a7844e92p2od.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137250-makundi_ya_muqawama_yapongeza_kuchaguliwa_kiongozi_mpya_wa_mapinduzi_ya_kiislamu </guid>  
      <description>Harakati za Muqawama zimetoa taarifa zikilipongeza taifa la Iran kwa mnasaba wa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.</description>
      <pubDate>Mon, 09 Mar 2026 07:49:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yaionya Israel: Kuendelea vita dhidi ya  Iran kutachochea zaidi mgogoro wa Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137216-china_yaionya_israel_kuendelea_vita_dhidi_ya_iran_kutachochea_zaidi_mgogoro_wa_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c69613f40573d2fmzj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137216-china_yaionya_israel_kuendelea_vita_dhidi_ya_iran_kutachochea_zaidi_mgogoro_wa_asia_magharibi </guid>  
      <description>China imeonya kwamba kuendelea kwa vita dhidi ya Iran kunaweza kuzidisha zaidi mgogoro unaoendelea katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sat, 07 Mar 2026 09:36:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137212-njama_ya_'genge_la_netanyahu'_ya_kushambulia_masjidul_aqsa_kwa_makombora_yatibuka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by156e12814331ve8m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137212-njama_ya_'genge_la_netanyahu'_ya_kushambulia_masjidul_aqsa_kwa_makombora_yatibuka </guid>  
      <description>Wizara ya Intelijensia ya Iran imefichua njama chafu iliyokuwa ikipikwa na genge la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ya kushambulia kwa makombora Msikiti wa al-Aqsa ili kuibua fitna katika ulimwengu wa Kiislamu. </description>
      <pubDate>Sat, 07 Mar 2026 05:59:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hizbullah yawataka walowezi wa Kizayuni kuondoka karibu na mpaka wa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137192-hizbullah_yawataka_walowezi_wa_kizayuni_kuondoka_karibu_na_mpaka_wa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6c0b4fa87c2p27z.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137192-hizbullah_yawataka_walowezi_wa_kizayuni_kuondoka_karibu_na_mpaka_wa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imewataka walowezi wa vitongoji haramu katika mpaka wa pamoja wa Lebanon na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel kuondoka katika eneo hilo mara moja.</description>
      <pubDate>Fri, 06 Mar 2026 04:40:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maafisa 4 wa ngazi za juu wa CIA waangamizwa kwa mashambulizi ya Iran huko Saudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137184-maafisa_4_wa_ngazi_za_juu_wa_cia_waangamizwa_kwa_mashambulizi_ya_iran_huko_saudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3m1c7f9cea2c2atoi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137184-maafisa_4_wa_ngazi_za_juu_wa_cia_waangamizwa_kwa_mashambulizi_ya_iran_huko_saudia </guid>  
      <description>Ripoti zinasema kuwa maafisa wanne wa ngazi za juu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) na askari 8 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi la jeshi la Iran lililolenga kituo cha shirika hilo nchini Saudi Arabia.</description>
      <pubDate>Thu, 05 Mar 2026 15:00:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashambulizi ya Hizbullah yalipa jeshi la kizayuni mashinikizo ambayo halijawahi kushuhudia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137168-mashambulizi_ya_hizbullah_yalipa_jeshi_la_kizayuni_mashinikizo_ambayo_halijawahi_kushuhudia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3n03e4ef4c4a2bhsq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137168-mashambulizi_ya_hizbullah_yalipa_jeshi_la_kizayuni_mashinikizo_ambayo_halijawahi_kushuhudia </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya utawala wa kizayuni vimekiri kuwa jeshi la utawala huo ghasibu liko kwenye mashinikizo ambayo halijawahi kushuhudia kutokana na mashambulio ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kwenye medani ya kaskazini ya vita ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.</description>
      <pubDate>Thu, 05 Mar 2026 04:28:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Abdulqawi wa Misri asisitiza kufuata njia ya Shahidi Ayatullah Khamenei, atoa Fatwa ya kuunga mkono Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137146-sheikh_abdulqawi_wa_misri_asisitiza_kufuata_njia_ya_shahidi_ayatullah_khamenei_atoa_fatwa_ya_kuunga_mkono_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv4f35c8a90c2p22f.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137146-sheikh_abdulqawi_wa_misri_asisitiza_kufuata_njia_ya_shahidi_ayatullah_khamenei_atoa_fatwa_ya_kuunga_mkono_iran </guid>  
      <description>Mwanazuoni mmoja wa Misri amempongeza Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, na kusisitiza kwamba njia yake lazima iendelezwe na Umma ya Waislamu.</description>
      <pubDate>Wed, 04 Mar 2026 05:54:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Siku ya Tano ya Vita; Wimbi la 17 la Operesheni ya “Ahadi ya Kweli 4”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137138-siku_ya_tano_ya_vita_wimbi_la_17_la_operesheni_ya_ahadi_ya_kweli_4</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv9d7dea9db12p21n.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137138-siku_ya_tano_ya_vita_wimbi_la_17_la_operesheni_ya_ahadi_ya_kweli_4 </guid>  
      <description>Vikosi vya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinaendeleza operesheni za ‘Ahadi ya Kweli 4’ ikiwa ni katika kujibu uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ulioanzishwa Jumamosi.</description>
      <pubDate>Wed, 04 Mar 2026 03:19:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi 40 wa US wauawa Dubai katika shambulizi la kulipiza kisasi la IRGC</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137124-wanajeshi_40_wa_us_wauawa_dubai_katika_shambulizi_la_kulipiza_kisasi_la_irgc</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvd516eda5fa2p1y3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137124-wanajeshi_40_wa_us_wauawa_dubai_katika_shambulizi_la_kulipiza_kisasi_la_irgc </guid>  
      <description>Makumi ya wanajeshi wa Marekani wameuawa katika shambulizi la kulipiza kisasi la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) dhidi ya kambi ya kijeshi ya Marekani jijini Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu.</description>
      <pubDate>Tue, 03 Mar 2026 09:17:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makuhani wa Israel waungana na Iran, walaani mashambulizi ya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137112-makuhani_wa_israel_waungana_na_iran_walaani_mashambulizi_ya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3q94d7a416a02dt2n.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137112-makuhani_wa_israel_waungana_na_iran_walaani_mashambulizi_ya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Makuhani wa Kiyahudi wanaopinga utawala ghasibu wa Israel wamelaani vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel na Marekani dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 03 Mar 2026 04:00:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amnesty International: Upanuzi wa Israel wa vitongoji vya walowezi katika Ukingo wa Magharibi ni changamoto dhahiri kwa sheria za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137096-amnesty_international_upanuzi_wa_israel_wa_vitongoji_vya_walowezi_katika_ukingo_wa_magharibi_ni_changamoto_dhahiri_kwa_sheria_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9cf197a38c2d2ocdw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137096-amnesty_international_upanuzi_wa_israel_wa_vitongoji_vya_walowezi_katika_ukingo_wa_magharibi_ni_changamoto_dhahiri_kwa_sheria_za_kimataifa </guid>  
      <description>Shirika la Amnesty International limetangaza kwamba tangu mwezi Disemba mwaka jana, serikali ya Israel imezidisha harakati zake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huko Palestina, ikiwa ni pamoja na Quds Mashariki (Yerusalemu Mashariki), kupitia mfululizo wa maamuzi ambayo imesema yanalenga kuimarisha unyakuzi wa ardhi hiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Feb 2026 02:32:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yahimiza kusitishwa mapigano mara moja kati ya Afghanistan na Pakistan </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137088-iran_yahimiza_kusitishwa_mapigano_mara_moja_kati_ya_afghanistan_na_pakistan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu5edecf4c7a2p1nf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137088-iran_yahimiza_kusitishwa_mapigano_mara_moja_kati_ya_afghanistan_na_pakistan </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imezitaka Pakistan na Afghanistan kuketi kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kusimamisha mapigano na kupunguza mvutano, huku mapigano ya mpakani kati ya nchi hizo mbili yakizidi kupamba moto.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Feb 2026 02:00:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>OIC yaonya dhidi ya vitisho vya kuishambulia kijeshi Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137084-oic_yaonya_dhidi_ya_vitisho_vya_kuishambulia_kijeshi_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu0ab069735d2p1ic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137084-oic_yaonya_dhidi_ya_vitisho_vya_kuishambulia_kijeshi_iran </guid>  
      <description>Kamati ya Utendaji ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeonyesha wasiwasi wake kuhusu vitisho vya hivi karibuni dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Feb 2026 22:58:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yaendelea kuwazuia Wapalestina kuswali Masjidul Aqsa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137080-israel_yaendelea_kuwazuia_wapalestina_kuswali_masjidul_aqsa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3s6a78e949462f1el.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137080-israel_yaendelea_kuwazuia_wapalestina_kuswali_masjidul_aqsa </guid>  
      <description>Jeshi la Israel jana lilipeleka idadi kubwa ya wanajeshi katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, hasa katika vituo vya ukaguzi vinavyoelekea katika mji wa Quds (Jerusalem), sanjari na kuimarisha vizuizi dhidi ya Wapalestina waliotaka kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya pili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Feb 2026 22:51:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CPJ: Israel ndiyo iliyoua wanahabari wengine zaidi duniani 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137048-cpj_israel_ndiyo_iliyoua_wanahabari_wengine_zaidi_duniani_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9cbd5964cadc2o532.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137048-cpj_israel_ndiyo_iliyoua_wanahabari_wengine_zaidi_duniani_2025 </guid>  
      <description>Utawala haramu wa Israel uliwaua wanahabari wasiopungua 84 mwaka wa 2025 - idadi kubwa zaidi kuliko dola lolote duniani katika mwaka uliokuwa mbaya zaidi kuwahi kurekodiwa kwa vyombo vya habari.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Feb 2026 01:54:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Intelijinsia ya Israel: Jeshi la Marekani linaweza kumudu mashambulizi dhidi ya Iran kwa siku kadhaa tu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137026-intelijinsia_ya_israel_jeshi_la_marekani_linaweza_kumudu_mashambulizi_dhidi_ya_iran_kwa_siku_kadhaa_tu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu8a990f3f272p13a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137026-intelijinsia_ya_israel_jeshi_la_marekani_linaweza_kumudu_mashambulizi_dhidi_ya_iran_kwa_siku_kadhaa_tu </guid>  
      <description>Maafisa wa ujasusi wa Israel wanakadiria kuwa Marekani inaweza kuendeleza mashambulio ya kijeshi kwa "siku nne hadi tano" pekee dhidi ya Iran ikiwa itaanzisha mashambulizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu. Hii ni kwa mujibu wa ripoti mpya.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Feb 2026 05:35:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Afisa mwandamizi wa PLO asema, HAMAS si kundi la kigaidi, apinga mpango wa kuipokonya silaha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137016-afisa_mwandamizi_wa_plo_asema_hamas_si_kundi_la_kigaidi_apinga_mpango_wa_kuipokonya_silaha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbudb3247468c2p0yh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137016-afisa_mwandamizi_wa_plo_asema_hamas_si_kundi_la_kigaidi_apinga_mpango_wa_kuipokonya_silaha </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Azzam al-Ahmad amesema, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS si shirika la kigaidi na ameukataa wito wa kupokonywa silaha zake huku akibainisha kuwepo mipango ya kufanya mazungumzo kuhusu uwezekano wa harakati hiyo kujumuishwa katika PLO.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Feb 2026 03:28:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Israel iliwamiminia risasi, kuwaua wafanyakazi wa misaada Tel al Sultan, Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137006-ripoti_israel_iliwamiminia_risasi_kuwaua_wafanyakazi_wa_misaada_tel_al_sultan_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbudcc476eab02p0t0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i137006-ripoti_israel_iliwamiminia_risasi_kuwaua_wafanyakazi_wa_misaada_tel_al_sultan_gaza </guid>  
      <description>Karibu risasi elfu moja zilifyatuliwa na wanajeshi wa Israel katika mauaji ya kiholela dhidi ya wafanyakazi wa misaada huko Tel al-Sultan, Gaza, huku baadhi yao wakiuawa kwa kupigwa risasi kwa karibu, kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa hivi karibuni.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 22:56:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iraq yamueleza mjumbe wa Marekani: Uundaji wa serikali ni 'suala letu la ndani'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136998-iraq_yamueleza_mjumbe_wa_marekani_uundaji_wa_serikali_ni_'suala_letu_la_ndani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu7e487739ab2p0re.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136998-iraq_yamueleza_mjumbe_wa_marekani_uundaji_wa_serikali_ni_'suala_letu_la_ndani' </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fuad Hussein amesema, uundaji wa serikali mpya ya nchi hiyo ni "suala la ndani," ukiwa ni mjibizo uliotolewa wiki chache baada ya Marekani kutishia kufuta msaada na uungaji mkono wake kwa nchi hiyo ya Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 08:22:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel imepeleka Ghaza maboksi yenye mafuvu na miili iliyonyofolewa ya wanawake Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136996-israel_imepeleka_ghaza_maboksi_yenye_mafuvu_na_miili_iliyonyofolewa_ya_wanawake_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu20015e37122p0pw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136996-israel_imepeleka_ghaza_maboksi_yenye_mafuvu_na_miili_iliyonyofolewa_ya_wanawake_wapalestina </guid>  
      <description>Mbunge wa kujitegemea, ambaye pia ni kiongozi wa zamani wa chama cha Leba nchini Uingereza Jeremy Corbyn, ametoa simulizi za kutisha zilizotokana na maelezo ya mkurugenzi wa Hospitali ya Al-Shifa katika Ukanda wa Ghaza uliozingirwa, zinazobainisha kwa undani jinsi utawala wa kizayuni wa Israel ulivyopeleka katika eneo hilo masanduku kadhaa yenye mafuvu ya vichwa na mabaki ya Wapalestina yaliyokatwakatwa.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 07:45:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Netanyahu kuunda 'muungano' utakaoshirikisha Waarabu kukabiliana na mihimili ya Sunni na Shia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136992-netanyahu_kuunda_'muungano'_utakaoshirikisha_waarabu_kukabiliana_na_mihimili_ya_sunni_na_shia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bv6bdd1677f3d1lbx9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136992-netanyahu_kuunda_'muungano'_utakaoshirikisha_waarabu_kukabiliana_na_mihimili_ya_sunni_na_shia </guid>  
      <description>Waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amesema juhudi zinaendelea kufanywa za kuunda kile alichokielezea kama "muungano" wa kikanda wa kukabiliana na kile alichokiita "mihimili ya Sunni na Shia".</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 07:42:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina wanakoseshwa kufunga na kufungua Saumu kwa wakati kwenye jela za Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136970-wapalestina_wanakoseshwa_kufunga_na_kufungua_saumu_kwa_wakati_kwenye_jela_za_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu8f963d3b672p0f8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136970-wapalestina_wanakoseshwa_kufunga_na_kufungua_saumu_kwa_wakati_kwenye_jela_za_israel </guid>  
      <description>Tume moja ya Palestina inayoshughulikia masuala ya Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala wa kizayuni wa Israel imezishutumu mamlaka za jela hizo kwa kuwafanya Wapalestina hao washindwe kufunga Saumu zao "kwa wakati sahihi" katika mfungo huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Feb 2026 00:36:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa OIC kujadili unyakuzi wa Israel wa ardhi za Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136946-mkutano_wa_dharura_wa_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_oic_kujadili_unyakuzi_wa_israel_wa_ardhi_za_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsldc7adad3c91hx7g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136946-mkutano_wa_dharura_wa_mawaziri_wa_mambo_ya_nje_wa_oic_kujadili_unyakuzi_wa_israel_wa_ardhi_za_palestina </guid>  
      <description>Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) itafanya mkutano wa dharura katika ngazi ya mawaziri wa mambo ya nje Alhamisi ijayo kujadili maamuzi ya hivi karibuni ya Israel yanayozidisha ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na unyakuzi wa ardhi za Palestina katika Ukingo wa Magharibi.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Feb 2026 03:39:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah yalaani mauaji ya umati ya umwagaji damu ya Israel mashariki mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136932-ansarullah_yalaani_mauaji_ya_umati_ya_umwagaji_damu_ya_israel_mashariki_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbucc684182792p03v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136932-ansarullah_yalaani_mauaji_ya_umati_ya_umwagaji_damu_ya_israel_mashariki_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali "mauaji ya umati ya umwagaji damu" yaliyofanywa na utawala wa Israel katika eneo la Beqaa mashariki mwa Lebanon, na kuuwa takriban watu kumi na kujeruhi wengine wengi.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Feb 2026 00:09:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Ansarullah: Marekani ni mshirika wa adui Mzayuni katika jinai zake zote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136928-kiongozi_wa_ansarullah_marekani_ni_mshirika_wa_adui_mzayuni_katika_jinai_zake_zote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9c63c8e5e93d2ocjt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136928-kiongozi_wa_ansarullah_marekani_ni_mshirika_wa_adui_mzayuni_katika_jinai_zake_zote </guid>  
      <description>Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, ameashiria kile kinachojulikana kama "Bodi ya Amani ya Trump" kwa ajili ya Gaza, na kusema: "Marekani ni mshirika wa adui Mzayuni katika jinai zake zote."

</description>
      <pubDate>Mon, 23 Feb 2026 00:08:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matamshi ya Huckabee yalaaniwa vikali katika Ulimwengu wa Kiislamu, yaitwa ya 'kipuuzi' na 'kichochezi'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136910-matamshi_ya_huckabee_yalaaniwa_vikali_katika_ulimwengu_wa_kiislamu_yaitwa_ya_'kipuuzi'_na_'kichochezi'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbuabd210d7b12ozri.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136910-matamshi_ya_huckabee_yalaaniwa_vikali_katika_ulimwengu_wa_kiislamu_yaitwa_ya_'kipuuzi'_na_'kichochezi' </guid>  
      <description>Matamshi ya balozi wa Marekani katika utawala wa kizayuni wa Israel Mike Huckabee kwamba utawala huo ghasibu una haki ya kupanua eneo lake kwa kupora eneo kubwa la Mashariki ya Kati la nchi kadhaa za Kiarabu na Kiislamu za eneo hilo yamekosolewa na kulaaniwa vikali na nchi hizo, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC, Jumuiya ya Waarabu na makundi ya ukombozi wa Palestina.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Feb 2026 03:20:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wazayuni washadidisha mashambulizi Ukingo wa Magharibi katika mwezi wa Ramadhani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136906-wazayuni_washadidisha_mashambulizi_ukingo_wa_magharibi_katika_mwezi_wa_ramadhani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbub61dd586c62ozp7.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136906-wazayuni_washadidisha_mashambulizi_ukingo_wa_magharibi_katika_mwezi_wa_ramadhani </guid>  
      <description>Sambamba na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, jeshi la utawala wa Kizayuni limeshadidisha mashambulizi yake katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi huko Palestina.

</description>
      <pubDate>Sun, 22 Feb 2026 03:18:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ansarullah: Kujizatiti upya kijeshi maadui katika eneo ni ishara kwamba Muqawama ungali hai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136886-ansarullah_kujizatiti_upya_kijeshi_maadui_katika_eneo_ni_ishara_kwamba_muqawama_ungali_hai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by3dad4973e321x0r9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136886-ansarullah_kujizatiti_upya_kijeshi_maadui_katika_eneo_ni_ishara_kwamba_muqawama_ungali_hai </guid>  
      <description>Mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Yemen ya Ansarullah ametoa taarifa akieleza kwamba kuzungumziwa duru mpya ya vita vinavyotaka kuanzishwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Muqawama ni sawa na adui kukiri kwamba alishindwa katika vita vilivyopita.

</description>
      <pubDate>Sat, 21 Feb 2026 07:38:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Licha ya vizuizi vikali vya Israel, Wapalestina laki moja wasali I'sha na Tarawehe Masjidul-Aqsa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136884-licha_ya_vizuizi_vikali_vya_israel_wapalestina_laki_moja_wasali_i'sha_na_tarawehe_masjidul_aqsa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu36fe8169942ozl4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136884-licha_ya_vizuizi_vikali_vya_israel_wapalestina_laki_moja_wasali_i'sha_na_tarawehe_masjidul_aqsa </guid>  
      <description>Licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vya kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa, makumi ya maelfu ya Wapalestina jana usiku walihudhuria katika msikiti huo mtukufu kusali Sala za I'sha na Tarawehe wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Feb 2026 07:37:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136876-mtazamo_wa_moscow_kuhusu_maneva_ya_pamoja_ya_baharini_kati_ya_iran_russia_na_china</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu75d12e43a92ozhi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136876-mtazamo_wa_moscow_kuhusu_maneva_ya_pamoja_ya_baharini_kati_ya_iran_russia_na_china </guid>  
      <description>Moscow imetangaza kuwa mazoezi ya pamoja ya majini kati ya majeshi ya Iran, Russia na China yatafanyika katika Lango -Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Sat, 21 Feb 2026 05:41:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Balozi wa Marekani: Ni sawa ikiwa Israel itanyakua ardhi kote Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136868-balozi_wa_marekani_ni_sawa_ikiwa_israel_itanyakua_ardhi_kote_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbub1dfdcbeab2ozfp.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136868-balozi_wa_marekani_ni_sawa_ikiwa_israel_itanyakua_ardhi_kote_asia_magharibi </guid>  
      <description>Balozi wa Marekani katika utawala Israel amesema itakuwa “sawa tu” iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utapanua mipaka yake kote katika Asia Magharibi chini ya mpango wa “Israeli Kubwa.”</description>
      <pubDate>Sat, 21 Feb 2026 04:05:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripota wa UN kuhusu Palestina asema, licha ya kuandamwa hatasalimu amri, hatajiuzulu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136862-ripota_wa_un_kuhusu_palestina_asema_licha_ya_kuandamwa_hatasalimu_amri_hatajiuzulu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c910a8412410a2kl8m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136862-ripota_wa_un_kuhusu_palestina_asema_licha_ya_kuandamwa_hatasalimu_amri_hatajiuzulu </guid>  
      <description>Francesca Albanese, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, amesema hatajiuzulu wadhifa wake huo licha ya mashinikizo yanayotolewa dhidi yake na serikali za nchi kadhaa za Ulaya kutokana na matamshi yanayodaiwa kuwa ametoa dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Feb 2026 23:06:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yawazuia Wapalestina kuswali Ijumaa ya kwanza ya Ramadhani al-Aqsa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136850-israel_yawazuia_wapalestina_kuswali_ijumaa_ya_kwanza_ya_ramadhani_al_aqsa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu82312eb2622oz3e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136850-israel_yawazuia_wapalestina_kuswali_ijumaa_ya_kwanza_ya_ramadhani_al_aqsa </guid>  
      <description>Utawala wa Kizayuni wa Israel umewawekea vizuizi vikali Wapalestina kuingia katika Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, kwa ajili ya Swala ya Ijumaa ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, huku mamia ya watu wakipanga foleni kwenye kizuizi cha Qalandiya karibu na Ramallah wakitarajia kuingia.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Feb 2026 09:37:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136842-hamas_yalaani_mkutano_wa_'bodi_ya_amani'_ya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu8367a178d52oz19.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136842-hamas_yalaani_mkutano_wa_'bodi_ya_amani'_ya_trump </guid>  
      <description>Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali kufanyika mkutano wa kile kinachoitwa 'Bodi ya Amani ya Gaza' huko nchini Marekani.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Feb 2026 06:18:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya Wapalestina na Waarabu 9,300 wanashikiliwa mateka katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136832-zaidi_ya_wapalestina_na_waarabu_9_300_wanashikiliwa_mateka_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbub5456688462oyxa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136832-zaidi_ya_wapalestina_na_waarabu_9_300_wanashikiliwa_mateka_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Klabu ya Wafungwa wa Palestina imetangaza kuwa, zaidi ya mateka na wafungwa 9,300 wa Palestina na Kiarabu wanashikiliwa katika magereza ya utawala ghasibu wa Israel na wamekuwa wakikabiliwa na sera za mateso, njaa, na mauaji ya taratibu tangu kuanza "mauaji ya kimbari ya Israel" mnamo Oktoba 7, 2023.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Feb 2026 03:41:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa: Israel inaendeleza 'hatua za taratibu' kunyakua Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136812-umoja_wa_mataifa_israel_inaendeleza_'hatua_za_taratibu'_kunyakua_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu434d18a7482oyrp.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136812-umoja_wa_mataifa_israel_inaendeleza_'hatua_za_taratibu'_kunyakua_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameonya kwamba, mipango ya utawala ghasibu wa Israel ya kuimarisha udhibiti wa sehemu za Ukingo wa Magharibi inakwenda sambamba na kutwaa eneo hilo kimabavu.

</description>
      <pubDate>Thu, 19 Feb 2026 08:40:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CPJ: Waandishi wa Habari wa Kipalestina wanateswa katika magereza ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136810-cpj_waandishi_wa_habari_wa_kipalestina_wanateswa_katika_magereza_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbudc08753bef2oyrt.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136810-cpj_waandishi_wa_habari_wa_kipalestina_wanateswa_katika_magereza_ya_israel </guid>  
      <description>Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari (CPJ) imetangaza kuwa,  waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya utawala ghasibu wa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Januari 2026 wamepitia "unyanyasaji wa kimfumo."

</description>
      <pubDate>Thu, 19 Feb 2026 08:39:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina Gaza waswali Tarawehe chini ya minara iliyoporomoka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136796-wapalestina_gaza_waswali_tarawehe_chini_ya_minara_iliyoporomoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu100267b19d2oykg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136796-wapalestina_gaza_waswali_tarawehe_chini_ya_minara_iliyoporomoka </guid>  
      <description>Jua lilipotua juu ya Gaza siku ya Jumanne, safu za waumini zilisimama kuswali, si ndani ya misikiti, bali juu ya magofu yake.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Feb 2026 04:14:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti wa Libya: Kuikomboa Palestina ni wajibu wa kidini </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136786-mufti_wa_libya_kuikomboa_palestina_ni_wajibu_wa_kidini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpq4c15808f9816u0x.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136786-mufti_wa_libya_kuikomboa_palestina_ni_wajibu_wa_kidini </guid>  
      <description>Sheikh Sadiq al-Ghariani, Mufti wa Libya amesema kwamba kuikomboa Palestina na kuwasaidia wakazi wake ni wajibu wa kidini kwa Waislamu wote.

</description>
      <pubDate>Wed, 18 Feb 2026 23:39:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia msikiti wa al-Aqswa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136780-wazayuni_wenye_misimamo_mikali_wavamia_msikiti_wa_al_aqswa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu0df04b7e862oye3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136780-wazayuni_wenye_misimamo_mikali_wavamia_msikiti_wa_al_aqswa </guid>  
      <description>Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena Msikiti mtakatifu wa Al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi dhidi ya kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.

</description>
      <pubDate>Wed, 18 Feb 2026 23:11:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136776-israel_tishio_kwa_amani_na_usalama_wa_eneo_la_asia_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu3b9acb84442oy8y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136776-israel_tishio_kwa_amani_na_usalama_wa_eneo_la_asia_magharibi </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya jinai kubwa zaidi kwa kupewa kinga kamili katika kipindi cha miongo minane iliyopita.
</description>
      <pubDate>Wed, 18 Feb 2026 07:49:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa kuwadia Ramadhani, mlowezi wa kizayuni auchoma moto Msahafu Baitul-Muqaddas</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136770-kwa_kuwadia_ramadhani_mlowezi_wa_kizayuni_auchoma_moto_msahafu_baitul_muqaddas</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu3a072e782f2oy7s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136770-kwa_kuwadia_ramadhani_mlowezi_wa_kizayuni_auchoma_moto_msahafu_baitul_muqaddas </guid>  
      <description>Mlowezi mmoja Muisraeli wa kizayuni mwenye misimamo ya chuki ameichoma moto nakala ya Kitabu kitakatifu cha Waislamu, Qur'ani, akiwa katika eneo ambalo halijafahamika katika mji wa Baitul-Muqaddas, siku chache kabla ya kuanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Feb 2026 07:00:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nchi 80 zalaani mpango wa Israel wa kughusubu Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136760-nchi_80_zalaani_mpango_wa_israel_wa_kughusubu_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu0e0632ce1d2ow7p.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136760-nchi_80_zalaani_mpango_wa_israel_wa_kughusubu_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Zaidi ya nchi 80 wanachama wa Umoja wa Mataifa zimelaani mpango wa Israel wa kupora na kuyakalia kwa mabavu maeneo kadhaa ya ardhi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu, na kuyatambua maeneo hayo ya Palestina kama "milki ya serikali" ya Israel.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Feb 2026 02:55:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yashadidisha mateso kwa Wapalestina inaowashikilia kwenye magereza yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136742-israel_yashadidisha_mateso_kwa_wapalestina_inaowashikilia_kwenye_magereza_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu21db11591f2oy0i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136742-israel_yashadidisha_mateso_kwa_wapalestina_inaowashikilia_kwenye_magereza_yake </guid>  
      <description>Jumuiya ya Wafungwa wa Palestina imetangaza kuwa, kwa mujibu wa ziara za ukaguzi zilizofanywa na wanasheria wake na ushuhuda uliorekodiwa, utawala wa kizayuni wa Israel umeshadidisha udhalilishaji na ushinikizaji wa kimfumo dhidi ya wafungwa Wapalestina unaowashikilia katika magereza yake ya kuogofya. </description>
      <pubDate>Tue, 17 Feb 2026 23:33:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sheikh Qassem: Hizbullah haina lengo la kuanzisha vita, lakini kamwe haitasalimu amri</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136720-sheikh_qassem_hizbullah_haina_lengo_la_kuanzisha_vita_lakini_kamwe_haitasalimu_amri</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu1543890d642oxqb.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136720-sheikh_qassem_hizbullah_haina_lengo_la_kuanzisha_vita_lakini_kamwe_haitasalimu_amri </guid>  
      <description>Sheikh Naim Qassim Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa harakati hiyo ya muqawama haitaki vita lakini imejiandaa kikamilifu kuilinda Lebanon na kutoa jibu kali kwa uchokozi wowote wa maadui wa nchi hiyo. </description>
      <pubDate>Tue, 17 Feb 2026 03:37:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mijibizo dhidi ya njama za Israel za kuendeleza uporaji na ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136704-mijibizo_dhidi_ya_njama_za_israel_za_kuendeleza_uporaji_na_ukaliaji_wa_mabavu_wa_ardhi_za_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbubcada45c652oxf9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136704-mijibizo_dhidi_ya_njama_za_israel_za_kuendeleza_uporaji_na_ukaliaji_wa_mabavu_wa_ardhi_za_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Makundi ya Wapalestina na nchi kadhaa za eneo zimetoa mjibizo kwa mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuvamia na kuyakalia kwa mabavu maeneo kadhaa ya ardhi za Ukingo wa Magharibi, zikisisitiza kwamba, huo ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Feb 2026 22:54:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Ni muhali kufikia amani na Israel madhali inakiuka haki za Wapalestina"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136692-ni_muhali_kufikia_amani_na_israel_madhali_inakiuka_haki_za_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu13389f0f3c2oxi9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136692-ni_muhali_kufikia_amani_na_israel_madhali_inakiuka_haki_za_wapalestina </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje na Wahamiaji wa Palestina, Varsen Aghabekian Shahin amesema kufikia amani na Israel "haiyumkiniki" madhali haki za Wapalestina zinakiukwa na utawala huo wa Kizayuni, akisisitiza kwamba sheria za kimataifa zinapasa kuzingatiwa, na uchukuaji wa hatua za upande mmoja lazima ukomeshwe.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Feb 2026 06:47:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Palestina yapongeza matokeo ya mkutano wa kilele wa Afrika uliounga mkono uanachama wake UN </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136684-palestina_yapongeza_matokeo_ya_mkutano_wa_kilele_wa_afrika_uliounga_mkono_uanachama_wake_un</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu44c8f31e7c2oxbo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136684-palestina_yapongeza_matokeo_ya_mkutano_wa_kilele_wa_afrika_uliounga_mkono_uanachama_wake_un </guid>  
      <description>Palestina imekaribisha matokeo ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika uliofanyika Addis Ababa, ambao umesisitiza tena upinzani wa bara hilo dhidi ya mipango ya kuwafukuza Wapalestina katika nchi yao na kuunga mkono suala la Palestina kupata uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Feb 2026 02:28:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa serikali ya Afghanistan: Tutaiunga mkono Iran kama itakabiliwa na uadui </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136678-msemaji_wa_serikali_ya_afghanistan_tutaiunga_mkono_iran_kama_itakabiliwa_na_uadui</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu2ddad525b22oxcv.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136678-msemaji_wa_serikali_ya_afghanistan_tutaiunga_mkono_iran_kama_itakabiliwa_na_uadui </guid>  
      <description>Msemaji wa serikali ya Afghanistan amesisitiza kwamba watu wa Afghanistan wataonyesha mshikamano na kutoa aina mbalimbali za misaada kwa Iran iwapo kutatokea uchokozi wowote dhidi ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Feb 2026 02:25:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Palestina yataka uingiliaji kati wa walimwengu kusitisha mashambulizi ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136672-palestina_yataka_uingiliaji_kati_wa_walimwengu_kusitisha_mashambulizi_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbudaf57d45f62oxas.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136672-palestina_yataka_uingiliaji_kati_wa_walimwengu_kusitisha_mashambulizi_ya_israel </guid>  
      <description>Mamlaka ya Ndani ya Palestina, imetoa radiamali kwa uamuzi wa baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kutaifisha ardhi za Ukingo wa Magharibi na kuitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua kuhusu suala hilo.

</description>
      <pubDate>Mon, 16 Feb 2026 00:01:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapalestina 10 wauawa katika mashambulizi ya Israel Gaza licha ya usitishaji vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136664-wapalestina_10_wauawa_katika_mashambulizi_ya_israel_gaza_licha_ya_usitishaji_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbuf5769914cd2ox74.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136664-wapalestina_10_wauawa_katika_mashambulizi_ya_israel_gaza_licha_ya_usitishaji_vita </guid>  
      <description>Vikosi vya Israel vimewaua angalau Wapalestina 10 katika mashambulizi mapya yaliyofanywa katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, katika ukiukaji mwingine wa makubaliano ya usitishaji vita yaliyoratibiwa na Marekani na kuanza kutekelezwa Oktoba 10 mwaka jana.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Feb 2026 23:27:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mvutano waongezeka kati ya Netanyahu na Herzog baada ya Trump kumtusi Rais wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136660-mvutano_waongezeka_kati_ya_netanyahu_na_herzog_baada_ya_trump_kumtusi_rais_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu753e3ff4dd2ox5g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136660-mvutano_waongezeka_kati_ya_netanyahu_na_herzog_baada_ya_trump_kumtusi_rais_wa_israel </guid>  
      <description>Hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kumtusi Rais wa utawala wa kizayuni wa Israel akimuunga mkono waziri mkuu wa utawala huo yameongeza mvutano kati ya Netanyahu na Isaac Herzog.

</description>
      <pubDate>Sun, 15 Feb 2026 08:03:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu wa Hizbollah: Iran daima imekuwa ikiunga mkono Palestina na wanyonge duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136658-katibu_mkuu_wa_hizbollah_iran_daima_imekuwa_ikiunga_mkono_palestina_na_wanyonge_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbuc84a8897012ox4o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136658-katibu_mkuu_wa_hizbollah_iran_daima_imekuwa_ikiunga_mkono_palestina_na_wanyonge_duniani </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbollah ya Lebanon amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikiunga mkono Palestina na watu wanaokandamizwa duniani.

</description>
      <pubDate>Sun, 15 Feb 2026 07:29:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Hatuui tu, tunabaka": Mwanajeshi wa Israel aliyeua watu Gaza akiri kufanya uhalifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136654-hatuui_tu_tunabaka_mwanajeshi_wa_israel_aliyeua_watu_gaza_akiri_kufanya_uhalifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbuc1452bd1c82ox3m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136654-hatuui_tu_tunabaka_mwanajeshi_wa_israel_aliyeua_watu_gaza_akiri_kufanya_uhalifu </guid>  
      <description>Mwanajeshi mmoja katika jeshi la Israel ametoa kauli ya kushtua katika mahojiaano ya moja kwa moja na YouTuber wa Marekani, akizungumzia vitendo vinavyofanywa na wanajeshi wa utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza katika vita vya mauaji ya kimbari.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Feb 2026 06:54:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yakasirishwa na kauli ya kumdhalilisha rais wake iliyotolewa na Trump </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136638-israel_yakasirishwa_na_kauli_ya_kumdhalilisha_rais_wake_iliyotolewa_na_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbube59a54de32owv4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136638-israel_yakasirishwa_na_kauli_ya_kumdhalilisha_rais_wake_iliyotolewa_na_trump </guid>  
      <description>Duru zilizo karibu na rais wa utawala wa kizayuni wa Israel zimeyaelezea matamshi ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kumtusi na kumdhalilisha rais wa utawala huo Isaac Herzog kuwa ni uvukaji mistari myekundu.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Feb 2026 23:56:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripota maalumu wa UN: Hujuma dhidi yangu si chochote kulinganisha na mateso ya Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136622-ripota_maalumu_wa_un_hujuma_dhidi_yangu_si_chochote_kulinganisha_na_mateso_ya_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu7a604b51bd2owk4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136622-ripota_maalumu_wa_un_hujuma_dhidi_yangu_si_chochote_kulinganisha_na_mateso_ya_wapalestina </guid>  
      <description>Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema, analengwa na hujuma za kumchafulia jina na kumtaja kwa ubaya kwa sababu ya kulaani vita vya utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza na Ukingo wa Magharibi.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Feb 2026 06:26:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ulinzi wa Raia Gaza: Miili 8,000 ya mashahidi wa mauaji ya kimbari bado imefunikwa na vifusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136610-ulinzi_wa_raia_gaza_miili_8_000_ya_mashahidi_wa_mauaji_ya_kimbari_bado_imefunikwa_na_vifusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbuf5d50fa28a2owhh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136610-ulinzi_wa_raia_gaza_miili_8_000_ya_mashahidi_wa_mauaji_ya_kimbari_bado_imefunikwa_na_vifusi </guid>  
      <description>Idara ya Ulinzi wa Raia katika Ukanda wa Gaza inasema kuwa maelfu ya miili ya Wapalestina waliouawa katika mashambulizi ya Israel bado imezikwa chini ya magofu ya majengo yaliyoharibiwa katika eneo hilo la Palestina, huku timu za uokoaji zikijitahidi kufika kwenye vitongoji vilivyoharibiwa wakati wa vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Feb 2026 02:51:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Al Houthi: Iran ni ngome imara inayokwamisha njama za Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136602-al_houthi_iran_ni_ngome_imara_inayokwamisha_njama_za_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu47c1610a942owh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136602-al_houthi_iran_ni_ngome_imara_inayokwamisha_njama_za_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amesema kuwa Marekani na Utawala wa Israel zinakabiliana na Iran kwa sababu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasimama kama kizuizi dhidi ya mradi wao mpana wa kutawala eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Feb 2026 00:44:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Chama cha Jamaat-e-Islami nchini Bangladesh chatilia shaka matokeo ya uchaguzi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136600-chama_cha_jamaat_e_islami_nchini_bangladesh_chatilia_shaka_matokeo_ya_uchaguzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu0dcd3161062owd1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136600-chama_cha_jamaat_e_islami_nchini_bangladesh_chatilia_shaka_matokeo_ya_uchaguzi </guid>  
      <description>Chama cha Jamaat-e-Islami, chama kikubwa zaidi cha Kiislamu nchini Bangladesh, kimehoji matokeo ya uchaguzi uliofanyika nchini humo majuzi, ambapo kimeshika nafasi ya pili kwa kupata viti 74 baada ya Chama cha Kizalendo cha Bangladesh, ambacho kumeshinda viti 212 kati ya 300 vya Bunge.</description>
      <pubDate>Fri, 13 Feb 2026 22:53:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yalaani juhudi za Israel za kunyakua Ukingo wa Magharibi, yasema ni 'maangamizi ya kizazi ya kikoloni' </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136598-iran_yalaani_juhudi_za_israel_za_kunyakua_ukingo_wa_magharibi_yasema_ni_'maangamizi_ya_kizazi_ya_kikoloni'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu6b02d02b9d2owb9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136598-iran_yalaani_juhudi_za_israel_za_kunyakua_ukingo_wa_magharibi_yasema_ni_'maangamizi_ya_kizazi_ya_kikoloni' </guid>  
      <description>Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali uamuzi wa hivi karibuni wa utawala ghasibu wa Israel wa kunyakua ardhi zaidi za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ikisema hatua hiyo inalenga kupanua 'ujenzi wa vitongoji haramu' na kuimarish uvamizi na udhibiti wa masuala ya usalama katika eneo hilo, sambamba na kuendeleza 'mauaji ya kimbari' ya Gaza.</description>
      <pubDate>Fri, 13 Feb 2026 22:53:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Palestina inavyotokomezwa kupitia ukoloni; Iran yalaani uamuzi wa Israel wa kunyakua Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136576-palestina_inavyotokomezwa_kupitia_ukoloni_iran_yalaani_uamuzi_wa_israel_wa_kunyakua_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu0e0632ce1d2ow7p.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136576-palestina_inavyotokomezwa_kupitia_ukoloni_iran_yalaani_uamuzi_wa_israel_wa_kunyakua_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Iran imelaani vikali uamuzi wa hivi karibuni wa utawala wa Israel wa kunyakua ardhi zaidi za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ikisema kuwa hatua hiyo inalenga kupanua "ujenzi haramu wa vitongoji vya walowezi za Kizayuni" na kuimarisha ukaliaji mabavu na hatua kali za kiusalama dhidi ya Wapalestina na kuendelea "mauaji ya kimbari" huko Gaza.
</description>
      <pubDate>Fri, 13 Feb 2026 03:51:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yazionya US, Israel: Vita yoyote dhidi ya Iran ni sawa na kushambulia Ulimwengu mzima wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136550-hamas_yazionya_us_israel_vita_yoyote_dhidi_ya_iran_ni_sawa_na_kushambulia_ulimwengu_mzima_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu108206abf42ovuz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136550-hamas_yazionya_us_israel_vita_yoyote_dhidi_ya_iran_ni_sawa_na_kushambulia_ulimwengu_mzima_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Brigedi za al Qassam, tawi ila kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeonya kuwa
vita yoyote dhidi ya Iran ni sawa na shambulio dhidi ya Umma mzima wa Kiislamu.</description>
      <pubDate>Thu, 12 Feb 2026 07:53:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wabangladesh washiriki katika uchaguzi wa kihistoria tangu kuangushwa utawala wa Hasina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136536-wabangladesh_washiriki_katika_uchaguzi_wa_kihistoria_tangu_kuangushwa_utawala_wa_hasina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu7eb74bc3722ovrv.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136536-wabangladesh_washiriki_katika_uchaguzi_wa_kihistoria_tangu_kuangushwa_utawala_wa_hasina </guid>  
      <description>Upigaji kura unaendelea nchini Bangladesh katika uchaguzi unaoonekana kama mtihani muhimu wa kurejea kwa demokrasia nchini humo baada ya vuguvugu la umma lililoongozwa na wanafunzi kumng'oa madarakani kiongozi wa muda mrefu Sheikh Hasina mnamo Agosti 2024.</description>
      <pubDate>Thu, 12 Feb 2026 03:00:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika upeo wa unyama, Israel imetumia silaha 'zilizoyeyusha' maelfu ya Wapalestina Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136530-katika_upeo_wa_unyama_israel_imetumia_silaha_'zilizoyeyusha'_maelfu_ya_wapalestina_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c94633b708f342libs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136530-katika_upeo_wa_unyama_israel_imetumia_silaha_'zilizoyeyusha'_maelfu_ya_wapalestina_ghaza </guid>  
      <description>Uchunguzi uliofanywa na televisheni ya Al Jazeera ya Qatar umefichua kuwa, utawala wa kizayuni wa Israel umetumia silaha zilizopigwa marufuku kimataifa zenye joto kupindukia katika vita vya mauaji ya kimbari huko Ghaza, na kupelekea "kuyeyuka" maelfu ya miili ya Wapalestina.</description>
      <pubDate>Wed, 11 Feb 2026 23:02:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas: Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu mateka inathibitisha uhalifu wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136510-hamas_ripoti_ya_umoja_wa_mataifa_kuhusu_mateka_inathibitisha_uhalifu_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu51094ab3792ovbz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136510-hamas_ripoti_ya_umoja_wa_mataifa_kuhusu_mateka_inathibitisha_uhalifu_wa_israel </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, ambayo imerekodi ukatili unaofanywa na utawala vamizi wa Israel dhidi ya mateka wa Kipalestina katika vituo na mahabusi zake, inathibitisha zaidi ukiukaji wa sheria za kimataifa ambao haujawahi kutokea unaofanywa na utawala huo.</description>
      <pubDate>Wed, 11 Feb 2026 06:02:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mpango wa hatua nne wa Netanyahu wa kuumeza Ukingo wa Magharibi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136484-mpango_wa_hatua_nne_wa_netanyahu_wa_kuumeza_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bk7201f89890cay8m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136484-mpango_wa_hatua_nne_wa_netanyahu_wa_kuumeza_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Uamuzi wa baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu siku ya Jumapili kuhusu Ukingo wa Magharibi ulikuwa msumari wa mwisho katika jeneza la udanganyifu na matumaini ya wale waliofikiri kwamba chini ya kivuli cha makubaliano na wavamizi wa Kizayuni, inawezekana kupata haki za Wapalestina.

</description>
      <pubDate>Tue, 10 Feb 2026 22:52:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu wa UN alaani mradi mpya wa Israel wa kunyakua maeneo ya Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136466-katibu_mkuu_wa_un_alaani_mradi_mpya_wa_israel_wa_kunyakua_maeneo_ya_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0qe658abc01420w7f.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136466-katibu_mkuu_wa_un_alaani_mradi_mpya_wa_israel_wa_kunyakua_maeneo_ya_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameonyesha wasiwasi mkubwa na kulaani uamuzi wa hivi karibuni wa Israel wa kuidhinisha hatua zinazorahisisha upanuzi wa makaazi ya walowezi wa Kizayuni na kupanua udhibiti wa kiutawala na utekelezaji wa sheria wa Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa.</description>
      <pubDate>Tue, 10 Feb 2026 03:51:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136454-kuungana_makundi_ya_kipalestina_dhidi_ya_njama_za_utawala_wa_kizayuni_katika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu6c75fa75f92ouaj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136454-kuungana_makundi_ya_kipalestina_dhidi_ya_njama_za_utawala_wa_kizayuni_katika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Makundi ya mapambano ya ukombozi ya Palestina yamesisitiza ulazima wa kukabiliana na mipango ya Wazayuni wenye misimamo mikali katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. </description>
      <pubDate>Mon, 09 Feb 2026 23:03:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Harakati ya BDS yalaani undumakuwili wa Human Rights Watch</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136434-harakati_ya_bds_yalaani_undumakuwili_wa_human_rights_watch</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbuf3606a32fc2ouf6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136434-harakati_ya_bds_yalaani_undumakuwili_wa_human_rights_watch </guid>  
      <description>Kamati ya Kitaifa ya Palestina ya harakati inayopinga dhulma na ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina BDS imelikosoa vikali shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa kutoa ripoti za upendeleo zinazoakisi haki za Wapalestina, ikiwa ni pamoja na haki ya kurejea katika ardhi za mababu zao, na kudogosha ukiukwaji wa haki za Wapalestina wa Gaza unaofanywa na utawala wa Kizayuni.</description>
      <pubDate>Mon, 09 Feb 2026 06:39:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mradi wa kifashisti na kikoloni wa Israel unaolenga kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136416-hamas_yalaani_mradi_wa_kifashisti_na_kikoloni_wa_israel_unaolenga_kulitwaa_eneo_la_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbtece6fd3fd92oina.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136416-hamas_yalaani_mradi_wa_kifashisti_na_kikoloni_wa_israel_unaolenga_kulitwaa_eneo_la_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali maamuzi mtawalia yaliyopasishwa na baraza la usalama la Israel jana Jumapili. Hamas imeyataja maamuzii hayo kuwa ni sehemu ya mradi wa kifashishti, wa kikoloni na wa kilowezi wenye lengo la kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi na kuliunganisha na ardhi nyingine zilizoghusubiwa za Palestina.</description>
      <pubDate>Sun, 08 Feb 2026 23:30:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF: Israel imeuwa watoto 37 wa Kipalestina katika mashambulizi Gaza mwaka huu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136402-unicef_israel_imeuwa_watoto_37_wa_kipalestina_katika_mashambulizi_gaza_mwaka_huu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbuc059e82ab62otxr.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136402-unicef_israel_imeuwa_watoto_37_wa_kipalestina_katika_mashambulizi_gaza_mwaka_huu </guid>  
      <description>Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeeleza kuwa watoto wa Kipalestinan wasiopungua 37wameuawa katika mashambuliiz ya Israel huko Gaza tangu kuanza mwaka huu wa 2026. </description>
      <pubDate>Sun, 08 Feb 2026 05:42:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maelfu ya Wairaqi wajiandikisha kuingia vitani kuisaidia Iran endapo itashambuliwa na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136386-maelfu_ya_wairaqi_wajiandikisha_kuingia_vitani_kuisaidia_iran_endapo_itashambuliwa_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbub1f19a503b2ottg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136386-maelfu_ya_wairaqi_wajiandikisha_kuingia_vitani_kuisaidia_iran_endapo_itashambuliwa_na_marekani </guid>  
      <description>Maelfu ya Wairaqi wamesaini hati ya ahadi ya kusaidia kuihami Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iwapo itashambuliwa kijeshi na Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 08 Feb 2026 02:46:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Akademia ya Geneva: Waliofariki Ghaza wanakaribia 200,000, watu wamepungua kwa 10%</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136376-akademia_ya_geneva_waliofariki_ghaza_wanakaribia_200_000_watu_wamepungua_kwa_10</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c695eab9406442flm5.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136376-akademia_ya_geneva_waliofariki_ghaza_wanakaribia_200_000_watu_wamepungua_kwa_10 </guid>  
      <description>Stuart Casey Maslen, mkuu wa Akademia ya Geneva ya Sheria za Kimataifa za Kibinadamu na Haki za Binadamu amesema, tangu Oktoba 2023 hadi sasa, idadi ya watu huko Ghaza imepungua kwa zaidi ya 10%, hali inayoashiria kutokea vifo takribani laki mbili.</description>
      <pubDate>Sat, 07 Feb 2026 22:56:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hali yazidi kuwa mbaya Gaza: Uhaba wa dawa na vifaa vya matibabu washadidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136368-hali_yazidi_kuwa_mbaya_gaza_uhaba_wa_dawa_na_vifaa_vya_matibabu_washadidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbufbc554cf412otnp.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136368-hali_yazidi_kuwa_mbaya_gaza_uhaba_wa_dawa_na_vifaa_vya_matibabu_washadidi </guid>  
      <description>Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza katika taarifa yake kwamba, hospitali zilizobaki zinazofanya kazi katika Ukanda huo, ambazo zinajitahidi kuendelea kutoa huduma za kimatibabu, zimekuwa vituo vya kusubiri maelfu ya wagonjwa na majeruhi ambao wanakabiliwa na hatima isiyojulikana.

</description>
      <pubDate>Sat, 07 Feb 2026 08:39:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakaribisha mazungumzo ya Iran na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136366-baraza_la_ushirikiano_la_ghuba_ya_uajemi_lakaribisha_mazungumzo_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsoc8e9d9b3511k1s4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136366-baraza_la_ushirikiano_la_ghuba_ya_uajemi_lakaribisha_mazungumzo_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi limetangaza kuwa, limekaribisha kwa mikono miwili mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani yaliyofanyika Muscat Oman.

</description>
      <pubDate>Sat, 07 Feb 2026 08:25:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zaidi ya wagonjwa 11,000 wa saratani Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na kifo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136342-zaidi_ya_wagonjwa_11_000_wa_saratani_ukanda_wa_gaza_wanakabiliwa_na_kifo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu56c5bf593b2ot8v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136342-zaidi_ya_wagonjwa_11_000_wa_saratani_ukanda_wa_gaza_wanakabiliwa_na_kifo </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa Taasisi ya Haki za Binadamu ya Al-Dameer amekosoa vikali utaratibu wa sasa wa kivuko cha Rafah, akikiita "tasa na hatari" na kuonya kwamba utaratibu wa sasa umesababisha ongezeko lisilotarajiwa la idadi ya vifo miongoni mwa wagonjwa wa saratani katika Ukanda wa Gaza.

</description>
      <pubDate>Fri, 06 Feb 2026 23:15:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Olmert akiri: Maangamizi ya kizazi cha Wapalestina yanafanyika Ukingo wa Magharibi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136326-olmert_akiri_maangamizi_ya_kizazi_cha_wapalestina_yanafanyika_ukingo_wa_magharibi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu2f5a0ae77e2ot54.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136326-olmert_akiri_maangamizi_ya_kizazi_cha_wapalestina_yanafanyika_ukingo_wa_magharibi </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa kizayuni wa Israel Ehud Olmert amekiri kwamba polisi, jeshi na Shirika la Usalama wa Ndani la utawala huo (Shabak) wanahusika katika mashambulizi yaliyopangwa na walowezi dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi, akielezea vitendo hivyo kama njama ya kijinai na utumiaji nguvu ya uangamizaji wa kizazi cha Wapalestina.

</description>
      <pubDate>Fri, 06 Feb 2026 06:40:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Euro-Med Monitor: EU ni mshiriki wa mauaji ya kimbari Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136316-euro_med_monitor_eu_ni_mshiriki_wa_mauaji_ya_kimbari_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6g9d3dd24b5a2it3x.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136316-euro_med_monitor_eu_ni_mshiriki_wa_mauaji_ya_kimbari_gaza </guid>  
      <description>Shirika la kutetea haki za binadamu la Euro-Mediteranean Human Rights Monitor (Euro-Med Monitor) lenye makao yake makuu huko Geneva, Uswisi limekosoa vikali msimamo wa Umoja wa Ulaya kwa kuweka masharti yasiyotekelezeka kwa ajili ya ujenzi mpya wa Gaza.</description>
      <pubDate>Fri, 06 Feb 2026 02:53:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yalaani mashambulizi ya Israel Ukanda wa Gaza; Netanyahu amekusudia kukwamisha mapatano</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136306-hamas_yalaani_mashambulizi_ya_israel_ukanda_wa_gaza_netanyahu_amekusudia_kukwamisha_mapatano</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbuf41a52c9682osxk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136306-hamas_yalaani_mashambulizi_ya_israel_ukanda_wa_gaza_netanyahu_amekusudia_kukwamisha_mapatano </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani mashambulizi makubwa ya anga ya Israel katika Ukanda wa Gaza yaliyouwa shahidi Wapalestina 23 tangu ustishaji vita wa Oktoba mwaka jana na ksuema kuwa hujuma hiyo ya utawala wa Kizayuni inathibitisha kuwa namna Israel inavyoendeleza kampeni yake ya mauaji ya kimbari.</description>
      <pubDate>Thu, 05 Feb 2026 23:00:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Human Rights Watch: Israel inafanya mauaji ya halaiki Ukanda wa Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136286-human_rights_watch_israel_inafanya_mauaji_ya_halaiki_ukanda_wa_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6hdead78eeb52jbix.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136286-human_rights_watch_israel_inafanya_mauaji_ya_halaiki_ukanda_wa_gaza </guid>  
      <description>Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, utawala wa Israel unafanya mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza, Palestina.

</description>
      <pubDate>Thu, 05 Feb 2026 08:09:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Guardiola apaza sauti tena kuhusu mauaji ya kimbari ya Ghaza na dhulma inayotawala duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136278-guardiola_apaza_sauti_tena_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_ghaza_na_dhulma_inayotawala_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbua62cc4a7a72osiy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136278-guardiola_apaza_sauti_tena_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_ghaza_na_dhulma_inayotawala_duniani </guid>  
      <description>Kocha wa timu ya soka ya Manchester City, Pep Guardiola, amesema mauaji ya watu wasio na hatia duniani kote yanamuathiri sana na amewahimiza walimwengu wasinyamazie kimya dhulma zinazofanywa. </description>
      <pubDate>Thu, 05 Feb 2026 02:35:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya kieneo; maana yake na jinsi vinavyotokea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136262-vita_vya_kieneo_maana_yake_na_jinsi_vinavyotokea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbu31cabe8cc42os2k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136262-vita_vya_kieneo_maana_yake_na_jinsi_vinavyotokea </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa ripoti ya Pars Today, kutokana na uchochezi na vitisho vya mara kwa mara vya Marekani dhidi ya Iran, Tehran imeonya kwamba shambulio lolote la kijeshi kutoka Marekani dhidi ya Iran litasababisha kuwashwa moto wa vita vya eneo.
Sasa swali linaibuka: vita vya eneo ni nini na vinafanyika vipi?</description>
      <pubDate>Wed, 04 Feb 2026 23:02:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina, yaua 20 Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136252-israel_yaendelea_kumwaga_damu_za_wapalestina_yaua_20_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbue866d577502os1v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136252-israel_yaendelea_kumwaga_damu_za_wapalestina_yaua_20_gaza </guid>  
      <description>Mashambulizi mapya ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel yamewaua shahidi watu wasiopungua 20, wakiwemo watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Wed, 04 Feb 2026 06:53:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ni kwa sababu gani utawala wa kizayuni unakwamisha utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita Ghaza?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136224-ni_kwa_sababu_gani_utawala_wa_kizayuni_unakwamisha_utekelezaji_wa_awamu_ya_pili_ya_usitishaji_vita_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbub54095315d2orwd.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136224-ni_kwa_sababu_gani_utawala_wa_kizayuni_unakwamisha_utekelezaji_wa_awamu_ya_pili_ya_usitishaji_vita_ghaza </guid>  
      <description>Maelezo yaliyotolewa na maafisa wa Palestina na wa Umoja wa Mataifa yanaonyesha kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unakataa kutekeleza awamu ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko Ghaza.</description>
      <pubDate>Tue, 03 Feb 2026 22:55:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yatoa wito wa kuchukuliwa hatua za kimataifa za kuvunja mzingiro wa Gaza, kukomeshwa mashambulizi ya Israel, kuhamishwa watu kwa mabavu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136214-hamas_yatoa_wito_wa_kuchukuliwa_hatua_za_kimataifa_za_kuvunja_mzingiro_wa_gaza_kukomeshwa_mashambulizi_ya_israel_kuhamishwa_watu_kwa_mabavu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6i90c0216db42jsgh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i136214-hamas_yatoa_wito_wa_kuchukuliwa_hatua_za_kimataifa_za_kuvunja_mzingiro_wa_gaza_kukomeshwa_mashambulizi_ya_israel_kuhamishwa_watu_kwa_mabavu </guid>  
      <description>Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ) imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kushiriki katika maandamano ya hasira na shughuli za mashinikizo dhidi ya mashambulizi na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Israel dhidi ya watu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Tue, 03 Feb 2026 06:27:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>