<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - world</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/world</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Wed, 20 May 2026 20:05:26 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Viongozi wa China na Russia: Tunafanya kazi ili kuasisi utaratibu wa kiadilifu na haki zaidi duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138502-viongozi_wa_china_na_russia_tunafanya_kazi_ili_kuasisi_utaratibu_wa_kiadilifu_na_haki_zaidi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9384ff5de12pfa4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138502-viongozi_wa_china_na_russia_tunafanya_kazi_ili_kuasisi_utaratibu_wa_kiadilifu_na_haki_zaidi_duniani </guid>  
      <description>Viongozi wa China na Russia wamesisitiza mwanzoni mwa mazungumzo yao kuhusu azimio la pamoja la nchi hizo mbili la kuasisi utaratibu wa haki zaidi wa kimataifa na ulimwengu wa kambi kadhaa. </description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:06:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138488-russia_yaanza_mazoezi_ya_nyuklia_ya_siku_3_huku_putin_akitarajiwa_nchini_china_kwa_ziara_ya_siku_mbili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5902e7a4a22pf4w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138488-russia_yaanza_mazoezi_ya_nyuklia_ya_siku_3_huku_putin_akitarajiwa_nchini_china_kwa_ziara_ya_siku_mbili </guid>  
      <description>Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya siku mbili.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:01:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu watano wauawa katika shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko California</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138476-watu_watano_wauawa_katika_shambulio_dhidi_ya_msikiti_na_kituo_cha_kiislamu_huko_california</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf248b69dee2pf12.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138476-watu_watano_wauawa_katika_shambulio_dhidi_ya_msikiti_na_kituo_cha_kiislamu_huko_california </guid>  
      <description>Polisi wa San Diego huko California nchini Marekani wametangaza kwamba watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga kituo cha Kiislamu cha mji huo, wakiwemo washambuliaji wawili.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 12:34:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138470-kwa_nini_ndoto_ya_marekani_ya_kuwa_nchi_ya_fursa_imeyoyoma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfa05eb8f142pezg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138470-kwa_nini_ndoto_ya_marekani_ya_kuwa_nchi_ya_fursa_imeyoyoma </guid>  
      <description>Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema, kutokana na “hali ya kijamii” ya Marekani inayozidi kuwa mbaya, haitazami tena nchi hiyo kwa jicho la mahala pa kuwashauri watoto wake wakasome au kufanya kazi. </description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 09:39:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi wa Washington Post kuhusu mashambulio ya Iran kwenye vituo 228 vya kijeshi vya Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138464-uchunguzi_wa_washington_post_kuhusu_mashambulio_ya_iran_kwenye_vituo_228_vya_kijeshi_vya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx764065ff812pery.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138464-uchunguzi_wa_washington_post_kuhusu_mashambulio_ya_iran_kwenye_vituo_228_vya_kijeshi_vya_marekani </guid>  
      <description>Mwandishi wa habari mpelelezi wa gazeti la Washington Post amechapishwa maelezo kuhusu mashambulizi ya Iran kwenye taasisi na zana 228 za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 05:44:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Kihispania: Simulizi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya watu wa Gaza inabadilika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138462-muigizaji_wa_kihispania_simulizi_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_dhidi_ya_watu_wa_gaza_inabadilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx760aafd7b52pewi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138462-muigizaji_wa_kihispania_simulizi_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_dhidi_ya_watu_wa_gaza_inabadilika </guid>  
      <description>Muigizaji maarufu wa Kihispania amesema kando ya Tamasha la Filamu la Cannes kwamba: Licha ya kampeni yake ya hadharani dhidi ya vita vya Israel na mauaji ya kimbari ya utawala huo huko Gaza, Palestina, anafanya kazi zaidi kuliko hapo awali, na hii ina maana ya kubadilika simulizi kuhusu vita vya Gaza.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 04:11:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Cuba yasisitiza haki yake ya kujilinda kufuatia tishio la hujuma ya kijeshi kutoka Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138446-cuba_yasisitiza_haki_yake_ya_kujilinda_kufuatia_tishio_la_hujuma_ya_kijeshi_kutoka_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7b6494502e2pese.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138446-cuba_yasisitiza_haki_yake_ya_kujilinda_kufuatia_tishio_la_hujuma_ya_kijeshi_kutoka_marekani </guid>  
      <description>Balozi wa Cuba katika Umoja wa Mataifa amesisitiza haki ya nchi yake kujilinda dhidi ya uwezekano wowote wa uvamizi wa kijeshi kutoka Marekani, kwa mujibu wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 11:50:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>FIFA yafanya mazungumzo “chanya” na Iran Kabla ya Kombe la Dunia 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138442-fifa_yafanya_mazungumzo_chanya_na_iran_kabla_ya_kombe_la_dunia_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5fe54313f82peoi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138442-fifa_yafanya_mazungumzo_chanya_na_iran_kabla_ya_kombe_la_dunia_2026 </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limesema mazungumzo ya hivi karibuni na maafisa wa soka wa Iran yalikuwa chanya na yenye kujenga, huku maandalizi ya kuelekea Kombe la Dunia la 2026 yakiendelea.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:40:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yatoa hati “za siri” za kukamatwa kwa maafisa watano wa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138436-icc_yatoa_hati_za_siri_za_kukamatwa_kwa_maafisa_watano_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2708388a892peoc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138436-icc_yatoa_hati_za_siri_za_kukamatwa_kwa_maafisa_watano_wa_israel </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yenye makao yake The Hague imeripotiwa kutoa hati tano za “siri” za kukamatwa kwa maafisa wa utawala wa Israel, wakiwemo wanasiasa watatu na maafisa wawili wa kijeshi.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:29:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mzimu wa Khashoggi bado unamwandama Bin Salman; Mahakama ya Ufaransa yaidhinisha uchunguzi kuhusu mauaji yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138420-mzimu_wa_khashoggi_bado_unamwandama_bin_salman_mahakama_ya_ufaransa_yaidhinisha_uchunguzi_kuhusu_mauaji_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0b69df0b912pefe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138420-mzimu_wa_khashoggi_bado_unamwandama_bin_salman_mahakama_ya_ufaransa_yaidhinisha_uchunguzi_kuhusu_mauaji_yake </guid>  
      <description>Jaji wa Ufaransa atachunguza mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi mwaka 2018 kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu dhidi ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:45:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeffrey Sachs: Walioishambulia Iran wanapasa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138416-jeffrey_sachs_walioishambulia_iran_wanapasa_kuarifishwa_kama_pande_zilizoshindwa_vitani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxed7aad6c1e2pef8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138416-jeffrey_sachs_walioishambulia_iran_wanapasa_kuarifishwa_kama_pande_zilizoshindwa_vitani </guid>  
      <description>Mchumi mashuhuri wa Marekani, anaamini kuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa, walioanzisha mashambulizi dhidi ya Iran wanapaswa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani; wamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na wanawajibika kwa uharibifu na matokeo ya vita walivyovianzisha.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:38:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138402-kiongozi_wa_wachache_wa_seneti_ya_marekani_safari_ya_trump_nchini_china_ilikuwa_fedheha_tupu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc7a3d021bd2peba.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138402-kiongozi_wa_wachache_wa_seneti_ya_marekani_safari_ya_trump_nchini_china_ilikuwa_fedheha_tupu </guid>  
      <description>Chuck Schumer, Kiongozi wa Wachache katika Seneti ya Marekani, amesema kwamba safari ya Rais Donald Trump nchini China haikuwa na mafanikio yoyote kwa watu wa Marekani na ilikuwa fedheha kamili.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:05:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashirika ya Kiislamu ya Marekani: Warepublican wamegeuza vikao vya Kongresi kuwa silaha dhidi ya Waislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138386-mashirika_ya_kiislamu_ya_marekani_warepublican_wamegeuza_vikao_vya_kongresi_kuwa_silaha_dhidi_ya_waislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0307b8e7b72pe6u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138386-mashirika_ya_kiislamu_ya_marekani_warepublican_wamegeuza_vikao_vya_kongresi_kuwa_silaha_dhidi_ya_waislamu </guid>  
      <description>Mashirika ya Kiislamu nchini Marekani yametangaza kwamba vikao vya Kongresi, ambavyo wabunge wa Republican wametangaza kuwa lengo lake ni kuondoa Sharia nchini Marekani, vimekuwa silaha dhidi ya Waislamu waliowachache kwa kusababisha hofu dhidi ya wafusi wa dini hiiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:43:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanzo wa mpasuko wa kimkakati kati ya pande mbili za Atlantiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138378-mwanzo_wa_mpasuko_wa_kimkakati_kati_ya_pande_mbili_za_atlantiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6f1ac59d632pb6g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138378-mwanzo_wa_mpasuko_wa_kimkakati_kati_ya_pande_mbili_za_atlantiki </guid>  
      <description>José Manuel Albares Bueno, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uhispania, akisisitiza tena sera ya serikali ya nchi yake katika kupinga uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema: 'Marekani haiwezi kutumia vituo vyetu vya anga kwa ajili ya vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 10:22:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mahakama yasitisha vikwazo vya Marekani dhidi ya Albanese kwa kauli zake kuhusu mauaji ya kimbari Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138356-mahakama_yasitisha_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_albanese_kwa_kauli_zake_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbb2b5034382pdzs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138356-mahakama_yasitisha_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_albanese_kwa_kauli_zake_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_gaza </guid>  
      <description>Jaji wa mahakama ya shirikisho katika Wilaya ya Columbia nchini Marekani amesitisha vikwazo vilivyowekwa na serikali ya Marekani dhidi ya Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 04:40:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Havana yatahadharisha: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Cuba yatasababisha umwagaji damu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138352-havana_yatahadharisha_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_cuba_yatasababisha_umwagaji_damu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6348224fc52pdui.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138352-havana_yatahadharisha_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_cuba_yatasababisha_umwagaji_damu </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba ametahadharisha kuwa: Hujuma yoyote ya kijeshi ya Marekani dhidi ya nchi hiyo itasababisha maafa ya binadamu na umwagaji damu.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 10:16:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madaktari wa magonjwa ya akili wa Marekani: Trump anapasa kuuzuliwa mamlakani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138350-madaktari_wa_magonjwa_ya_akili_wa_marekani_trump_anapasa_kuuzuliwa_mamlakani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8647dfe29e2pdug.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138350-madaktari_wa_magonjwa_ya_akili_wa_marekani_trump_anapasa_kuuzuliwa_mamlakani </guid>  
      <description>Makumi ya madaktari wa magonjwa ya akili na wataalam wakuu wa afya ya akili nchini Marekani wametia saini taarifa ambayo imemtaja Rais Donald Trump kuwa "hatari ya wazi na ya haraka" na kutaka hatua za haraka zichukuliwe ili kumuondoa madarakani.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 10:13:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa China amuonya Trump kuhusu Taiwan; usifanye makosa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138348-rais_wa_china_amuonya_trump_kuhusu_taiwan_usifanye_makosa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc4b4c51fe62pdik.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138348-rais_wa_china_amuonya_trump_kuhusu_taiwan_usifanye_makosa </guid>  
      <description>Rais wa China ameonya katika mazungumzo yake na mwenzake wa Marekani, Donald Trump huko Beijing kuhusu hatua zozote za Washington katika Kisiwa cha Taiwan, akisema: Kosa lolote linaweza kusababisha mzozo kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 09:18:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Uhispania ampongeza Lamine Yamal kwa kusherehekea ubingwa na bendera ya Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138342-waziri_mkuu_wa_uhispania_ampongeza_lamine_yamal_kwa_kusherehekea_ubingwa_na_bendera_ya_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8820a4bf162pdh6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138342-waziri_mkuu_wa_uhispania_ampongeza_lamine_yamal_kwa_kusherehekea_ubingwa_na_bendera_ya_palestina </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sanchez, amesisitiza uungaji mkono wa nchi yake kwa haki ya Wapalestina ya kuanzisha nchi yao wenyewe, akitoa maoni yake kuhusu utata uliosababishwa na hatua ya nyoka wa timu ya soka ya Barcelona, Lamine Yamal, wakati timu yake ilipokuwa ikisherehekea taji la ubingwa wa ligi ya Uhispania.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:35:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Barua ya wanasayansi zaidi ya 1,000 yasisitiza kulindwa vyuo vikuu vya Iran dhidi mashambulizi ya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138340-barua_ya_wanasayansi_zaidi_ya_1_000_yasisitiza_kulindwa_vyuo_vikuu_vya_iran_dhidi_mashambulizi_ya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4de2f0f01f2pdp6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138340-barua_ya_wanasayansi_zaidi_ya_1_000_yasisitiza_kulindwa_vyuo_vikuu_vya_iran_dhidi_mashambulizi_ya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Mamia ya wanachama wa Muungano wa Kimataifa wa Wanasayansi Duniani wameandika barua ya wazi kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UNESCO, na Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wakitaka kulindwa taasisi za kisayansi nchini Iran, na pande vamizi yaani Marekani na Israel ziwajibishwe. </description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:29:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin apongeza uzinduzi wa 'kombora lenye nguvu zaidi duniani'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138338-putin_apongeza_uzinduzi_wa_'kombora_lenye_nguvu_zaidi_duniani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx38b143d3f62pdp4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138338-putin_apongeza_uzinduzi_wa_'kombora_lenye_nguvu_zaidi_duniani' </guid>  
      <description>Russia imefanya majaribio ya kombora jipya la balestiki lenye uwezo wa kupiga shabaha kutoka bara moja hadi jingine, huku Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo akilitaja kombora hilo lenye uwezo wa kutumia silaha za nyuklia kwa jina la "Sarmat" kuwa kombora "lenye nguvu zaidi" duniani. </description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:27:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yaionya Marekani kuhusu mauzo ya silaha kwa Taiwan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138336-china_yaionya_marekani_kuhusu_mauzo_ya_silaha_kwa_taiwan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7135a362542pdp2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138336-china_yaionya_marekani_kuhusu_mauzo_ya_silaha_kwa_taiwan </guid>  
      <description>China kwa mara nyingine tena imepinga vikali hatua ya Marekani kuzidisha himaya na uungaji mkono wake wa kijeshi kwa Taiwan sambamba na ziara ya Rais Trump mjini Beijing.  </description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:24:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kukaribia mwisho wa kisiasa wa Starmer na kuzidi kupata nguvu Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138334-kukaribia_mwisho_wa_kisiasa_wa_starmer_na_kuzidi_kupata_nguvu_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0c12a188e02p79s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138334-kukaribia_mwisho_wa_kisiasa_wa_starmer_na_kuzidi_kupata_nguvu_iran </guid>  
      <description>Pars Today - Magazeti ya Uingereza yameripoti kwa wingi habari inayosisitiza kuwa, kusambaratika kisiasa Waziri mkuu wa nchi hiyo Keir Starmer kumekaribia.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 18:56:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa dini wafanya maandamano ya amani ya 'Moral Monday' mjini Washington kulaani 'vita visivyo vitakatifu' vya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138324-viongozi_wa_dini_wafanya_maandamano_ya_amani_ya_'moral_monday'_mjini_washington_kulaani_'vita_visivyo_vitakatifu'_vya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf8d2028dfa2pdkm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138324-viongozi_wa_dini_wafanya_maandamano_ya_amani_ya_'moral_monday'_mjini_washington_kulaani_'vita_visivyo_vitakatifu'_vya_trump </guid>  
      <description>Viongozi wa imani za dini walifanya maandamano ya amani ya Jumatatu ya Maadili (Moral Monday) nje ya Ikulu ya White House dhidi ya 'vita visivyo vitakatifu' katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:14:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Watu milioni 83 watalazimika kuhama makazi yao ifikapo mwaka wa 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138320-ripoti_watu_milioni_83_watalazimika_kuhama_makazi_yao_ifikapo_mwaka_wa_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa4f75f5df2pdii.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138320-ripoti_watu_milioni_83_watalazimika_kuhama_makazi_yao_ifikapo_mwaka_wa_2026 </guid>  
      <description>Idadi ya watu waliokimbia makazi yao ndani ya nchi zao kutokana na migogoro na machafuko imeongezeka katika mwaka uliopita ikilinganishwa na watu waliokimbia makazi yao kutokana na majanga ya asili, idadi ambayo imeweka rekodi ya watu milioni 32, hasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:27:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bolton: Trump amenaswa katika mtego wa kujitengenezea wa Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138318-bolton_trump_amenaswa_katika_mtego_wa_kujitengenezea_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx52c1cb70a02pdig.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138318-bolton_trump_amenaswa_katika_mtego_wa_kujitengenezea_wa_iran </guid>  
      <description>Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema: Donald Trump, Rais wa nchi hiyo, amenaswa katika mtego wa kujitengenezea mwenyewe wa Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:18:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yamal apongezwa kwa kupeperusha bendera ya Palestina katika sherehe ya ubingwa wa Barça</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138316-yamal_apongezwa_kwa_kupeperusha_bendera_ya_palestina_katika_sherehe_ya_ubingwa_wa_barça</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb1256d72e82pdic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138316-yamal_apongezwa_kwa_kupeperusha_bendera_ya_palestina_katika_sherehe_ya_ubingwa_wa_barça </guid>  
      <description>Nyota wa timu ya soka ya Barçelona, Lamine Yamal, alimeonyesha kitendo cha kupigiwa mfano kwa kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa sherehe ya ubingwa wa timu hiyo kama ishara ya kuwaunga mkono watu wanaokandamizwa wa Palestina.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:15:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi wa Maoni: Wamarekani waliowengi wanasema Trump hakuwa na hoja ya wazi ya vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138308-uchunguzi_wa_maoni_wamarekani_waliowengi_wanasema_trump_hakuwa_na_hoja_ya_wazi_ya_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa546072d442pdb0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138308-uchunguzi_wa_maoni_wamarekani_waliowengi_wanasema_trump_hakuwa_na_hoja_ya_wazi_ya_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa asilimia 66  Wamarekani wanaamini kuwa Rais Donald Trump ameshindwa kutoa hoja iliyo wazi kuhusu vita vya kichokozi vya na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Aidha Wamarekani waliwengi wanasema wamekumbwa na hali ngumu ya kifedha kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta baada ya mashambulizi hayo.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:13:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yakataa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, yaapa kulinda kampuni zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138292-china_yakataa_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_iran_yaapa_kulinda_kampuni_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx80fc1472082pd74.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138292-china_yakataa_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_iran_yaapa_kulinda_kampuni_zake </guid>  
      <description>China imepinga vikali vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya kampuni zake tatu kwa madai ya kusaidia shughuli za kijeshi za Iran, na imeahidi kulinda biashara zake dhidi ya hatua hizo ambazo imezitaja kuwa za upande mmoja na zisizo halali.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:00:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sera ya US ya Mwiko wa Kutosema Chochote Kuhusu Silaha za Nyuklia ya Israel Inamomonyoka?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138266-sera_ya_us_ya_mwiko_wa_kutosema_chochote_kuhusu_silaha_za_nyuklia_ya_israel_inamomonyoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf2e0621b732pcvq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138266-sera_ya_us_ya_mwiko_wa_kutosema_chochote_kuhusu_silaha_za_nyuklia_ya_israel_inamomonyoka </guid>  
      <description>Katika hali isiyo ya kawaida na ya nadra kuwahi kushuhudiwa, wajumbe 29 wa Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio wakiitaka Washington ifichue na kuweka hadharani mpango wa silaha za nyuklia wa Israel. Barua hiyo inataka kukomeshwa sera ya kiitwacho "kimya rasmi" kuhusu uwezo wa nyuklia wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 13:49:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran ni trilioni kadhaa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138258-new_york_times_gharama_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_trilioni_kadhaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx97b29d96552pcoe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138258-new_york_times_gharama_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_trilioni_kadhaa </guid>  
      <description>Justin Wolfers, profesa wa uchumi katika Chuo Kikuu cha Michigan, katika makala ya New York Times, amekadiria gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran kuwa trilioni kadhaa za dola.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:54:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Virusi vya Hanta si sawa na vya COVID-19 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138264-who_virusi_vya_hanta_si_sawa_na_vya_covid_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb88ebb62fd2pcu8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138264-who_virusi_vya_hanta_si_sawa_na_vya_covid_19 </guid>  
      <description>Kufuatia mlipuko wa virusi vya Hanta au kwa kiingereza Hantavirus kuzua taharuki miongoni mwa umma kufuatia vifo vya watu watatu na wengine kadhaa wanapata matibabu, Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) limesisitiza kuwa mlipuko wa virusi huo kutoka meli ya kifahari ya kitalii ya MV Hondius si sawa na wa virusi vya  COVID-19 na kwamba hatari ya virusi hivyo kuenea kwa jamii kwa ujumla bado ni ndogo sana.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:41:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa zamani wa Pentagon: Majenerali wa Marekani wana hofu kubwa kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138246-msemaji_wa_zamani_wa_pentagon_majenerali_wa_marekani_wana_hofu_kubwa_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa8cd6353c52pcsu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138246-msemaji_wa_zamani_wa_pentagon_majenerali_wa_marekani_wana_hofu_kubwa_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) amefichua kuwa: Majenerali waandamizi wa jeshi la nchi hiyo wana hofu kubwa kuhusu kuzungumzia vita vya maafa dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 08:13:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Israel lawanyanyasa kingono wanaharakati wa Al-Samoud Global Flotilla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138242-jeshi_la_israel_lawanyanyasa_kingono_wanaharakati_wa_al_samoud_global_flotilla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0a59c8d0d52pcso.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138242-jeshi_la_israel_lawanyanyasa_kingono_wanaharakati_wa_al_samoud_global_flotilla </guid>  
      <description>Wakati mjadala wa mzingiro wa Ukanda wa Gaza na kampeni za kimataifa za kuvunja mzingiro huo wa utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo ukiendelea, kundi la Al-Samoud Global Flotilla, limechapisha ushuhuda kutoka kwa wanaharakati wake walioachiliwa huru, likishutumu jeshi la Israel kuwa limewanyanyasa kimwili na kingono washiriki wa msafara huo.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 08:06:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yapinga azimio la Marekani dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama la UN</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138236-russia_yapinga_azimio_la_marekani_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama_la_un</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcf90ae04e82pcmi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138236-russia_yapinga_azimio_la_marekani_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama_la_un </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa, Vasily Nebenzya, amepinga vikali azimio lililopendekezwa na Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Baraza la Usalama. Amelitaja azimio hilo kuwa ni jaribio jingine lenye mtazamo wa uhasama, linalolenga kuizingira Iran huku likipuuza mizizi halisi ya mzozo wa sasa wa Ukanda wa Asia ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 08 May 2026 10:50:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yataka kuachiliwa huru wanaharakati wa Global Sumud Flotilla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138234-un_yataka_kuachiliwa_huru_wanaharakati_wa_global_sumud_flotilla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx01a07a90762pcga.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138234-un_yataka_kuachiliwa_huru_wanaharakati_wa_global_sumud_flotilla </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeitaka Israel iwaachilie mara moja wanaharakati wawili wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza wanaoshikiliwa bila mashtaka; na vilevile kuchunguzwa visa vya kuaminika vya kuteswa wanaharakati hao.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 12:03:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Chapisho la Trump kuhusu Yesu Kristo lapingwa na 87% ya umma huko Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138232-chapisho_la_trump_kuhusu_yesu_kristo_lapingwa_na_87_ya_umma_huko_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5c1032c60d2pcg0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138232-chapisho_la_trump_kuhusu_yesu_kristo_lapingwa_na_87_ya_umma_huko_marekani </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa Wamarekani wengi wamepinga vikali picha iliyotengenezwa na Donald Trump kwa kutumia akili mnemba (AI) ikimdhihirisha kiongozi huyo kama Yesu Kristo, na vilevile matamshi yake yanayomshambulia Papa Leo XIV, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:31:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Athari mbaya za vita dhidi ya Iran… Ongezeko la mafuta ya ndege lawatia wasiwasi washauri wa Trump </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138226-athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_ongezeko_la_mafuta_ya_ndege_lawatia_wasiwasi_washauri_wa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4cfd4b00bf2pcaa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138226-athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_ongezeko_la_mafuta_ya_ndege_lawatia_wasiwasi_washauri_wa_trump </guid>  
      <description>Washauri wa Rais Donald Trump wa Marekani wanazidi kuwa na wasiwasi kwamba kupanda kwa bei ya mafuta ya ndege kunakosababishwa na vita vya nchi hiyo na Israel dhidi ya Iran kutawadhuru Warepublican katika uchaguzi wa katikati ya muhula.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo aendelea kuponda bwabwaja za Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138208-papa_leo_aendelea_kuponda_bwabwaja_za_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf7178158342pc70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138208-papa_leo_aendelea_kuponda_bwabwaja_za_trump </guid>  
      <description>Mvutano kati ya Rais Donald Trump wa Marekani na Kiongozi wa Wakatoliki duniani Papa Leo wa XIV kuhusu misimamo ya kupinga vita unaendelea kutokota.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:56:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>BBC: Uingereza ni mwathirika mkubwa zaidi wa kiuchumi wa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138200-bbc_uingereza_ni_mwathirika_mkubwa_zaidi_wa_kiuchumi_wa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx15f365d4c82pc6c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138200-bbc_uingereza_ni_mwathirika_mkubwa_zaidi_wa_kiuchumi_wa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Ripoti ya BBC inasema Uingereza inakabiliwa na pigo kubwa zaidi kwa ukuaji wa uchumi miononi mwa nchi za kundi la 20 (G20), kutokana na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kufungwa Mlango Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:35:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Njozi za Marekani Kujiona Dola Lenye Nguvu za Kipekee Zimefikia Ukingoni? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138190-njozi_za_marekani_kujiona_dola_lenye_nguvu_za_kipekee_zimefikia_ukingoni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2ee6cccd2a2pc02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138190-njozi_za_marekani_kujiona_dola_lenye_nguvu_za_kipekee_zimefikia_ukingoni </guid>  
      <description>Profesa Jeffrey Sachs wa Chuo Kikuu cha Columbia amesema: "Vita vya Iran ndio wakati ambapo dhana ya Marekani kuwa dola lenye nguvu za kipekee ilikumbana na ukweli halisi." </description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 14:26:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatibua mpango wa Trump kuhusu Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138188-iran_yatibua_mpango_wa_trump_kuhusu_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1563be35232pbyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138188-iran_yatibua_mpango_wa_trump_kuhusu_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Iran imevuruga mipango ya Rais wa Marekani, Donald Trump, si tu katika nyanja za uchumi, siasa na masuala ya kijeshi kufuatia mvutano kati ya pande hizo mbili, bali pia katika mradi unaohusiana na Kombe la Dunia FIFA 2026.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 12:05:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump ataka kufichwa picha za vituo vya Marekani vilivyoharibiwa na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138186-trump_ataka_kufichwa_picha_za_vituo_vya_marekani_vilivyoharibiwa_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4a4b92c7d92pbym.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138186-trump_ataka_kufichwa_picha_za_vituo_vya_marekani_vilivyoharibiwa_na_iran </guid>  
      <description>Donald Trump, Rais wa Marekani, amezitaka kampuni za satalaiti kuficha picha za vituo na kambi za kijeshi za Marekani zilizoharibiwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Asia ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:51:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Ajali ya ndege ya China mwaka 2022 iliyoua watu 132 huwenda ilikuwa ya makusudi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138182-ripoti_ajali_ya_ndege_ya_china_mwaka_2022_iliyoua_watu_132_huwenda_ilikuwa_ya_makusudi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1cd92f95112pbya.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138182-ripoti_ajali_ya_ndege_ya_china_mwaka_2022_iliyoua_watu_132_huwenda_ilikuwa_ya_makusudi </guid>  
      <description>Televisheni ya CNN imeripoti kuwa, ikiwa imepita zaidi ya miaka minne baada ya ndege ya abiria ya Boeing 737-800 kuanguka mlimani kusini mwa China na kuua watu wote 132 waliokuwa ndani yake, data iliyotolewa hivi karibuni "imeashiria kwambs upo uwezekano mtu aliyekuwa katika chumba cha marubani alizima usambazaji wa mafuta katika injini kwa makusudi.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:41:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshukiwa wa jaribio la mauaji apigwa risasi karibu na Ikulu ya White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138178-mshukiwa_wa_jaribio_la_mauaji_apigwa_risasi_karibu_na_ikulu_ya_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8bcc9002192pby2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138178-mshukiwa_wa_jaribio_la_mauaji_apigwa_risasi_karibu_na_ikulu_ya_white_house </guid>  
      <description>Maafisa wa serikali ya Marekani wamesema kwamba maajenti wa Huduma za Siri (Secret Service) wamempiga risasi na kumjeruhi mwanaume aliyekuwa na silaha katikati mwa jiji la Washington, D.C., karibu na Mnara wa Washington siku ya Jumanne, na kusababisha kufungwa kwa muda Ikulu ya White House.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:36:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Kisunni watoa wito wa msaada wa ulimwengu kwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138172-viongozi_wa_kisunni_watoa_wito_wa_msaada_wa_ulimwengu_kwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx37f4af82412pbsg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138172-viongozi_wa_kisunni_watoa_wito_wa_msaada_wa_ulimwengu_kwa_iran </guid>  
      <description>Wanazuoni wa Kisunni kutoka pembe zote za dunia wamehimiza umoja wa Kiislamu na kutoa wito wa kuungwa mkono kwa Iran, katika kongamano la kipekee lililofanyika Jumatatu asubuhi chini ya uratibu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu yenye makao yake Tehran.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 05:39:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uungaji Mkono wa Ulaya kwa Jinai za Israel Umekuwa na Matokeo Gani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138168-uungaji_mkono_wa_ulaya_kwa_jinai_za_israel_umekuwa_na_matokeo_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9ae03e74d22pbo8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138168-uungaji_mkono_wa_ulaya_kwa_jinai_za_israel_umekuwa_na_matokeo_gani </guid>  
      <description>Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametoa indhari kali akisema, nchi za Ulaya zinazizoesha jamii zao sera za kikatili za Israel, yakiwa ni matokeo ya kuendeleza uhusiano na ushirikiano wa kijeshi na kibiashara na utawala huo wa kizayuni licha ya kuwa unakabiliwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari katika mahakama za kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 12:50:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>John Mearsheimer: Vita dhidi ya Iran ni kushindwa mutlaki Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138162-john_mearsheimer_vita_dhidi_ya_iran_ni_kushindwa_mutlaki_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8f8975dd2f2pbi0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138162-john_mearsheimer_vita_dhidi_ya_iran_ni_kushindwa_mutlaki_marekani </guid>  
      <description>Mnadharia wa mahusiano ya kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amevitaja vita dhidi ya Iran kuwa ni kosa lenye janga kubwa zaidi katika historia ya sera za kigeni na kushindwa kabisa kwa Marekani.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:28:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwandishi wa habari wa Marekani amwita Trump "mateka wa Netanyahu"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138154-mwandishi_wa_habari_wa_marekani_amwita_trump_mateka_wa_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfa202e1b5d2pbgk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138154-mwandishi_wa_habari_wa_marekani_amwita_trump_mateka_wa_netanyahu </guid>  
      <description>Mchambuzi wa Marekani, Tucker Carlson amemtaja Donald Trump kama mtu anayedhibitiwa kwa mbali na mateka wa Waziri Mkuu wa Israel katika vita vya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:19:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muda wa Kuondolewa Vituo vya Kijeshi vya Marekani Barani Ulaya Umeshaanza Rasmi? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138128-muda_wa_kuondolewa_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_barani_ulaya_umeshaanza_rasmi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa740204072pbe8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138128-muda_wa_kuondolewa_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_barani_ulaya_umeshaanza_rasmi </guid>  
      <description>Wizara ya vita ya Marekani Pentagon imetangaza rasmi kuwa, itawaondoa wanajeshi 5,000 wa nchi hiyo walioko Ujerumani; uamuzi ambao utatekelezwa ndani ya muda wa miezi sita hadi kumi na mbili ijayo. </description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 09:56:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Marekani Ilivyokosa Kuwa na Mkakati Unaoeleweka Katika Kuamiliana na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138126-namna_marekani_ilivyokosa_kuwa_na_mkakati_unaoeleweka_katika_kuamiliana_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf06b9268702pb9k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138126-namna_marekani_ilivyokosa_kuwa_na_mkakati_unaoeleweka_katika_kuamiliana_na_iran </guid>  
      <description>Naibu waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani, Wendy Sherman, amekosoa namna serikali ya Donald Trump inavyosimamia suala la vita dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, Washington haina mkakati unaoeleweka, wala mwenendo wa uchukuaji maamuzi ulioratibika, na kwamba mgogoro wa sasa hautatatuka pasi na kuirejea tena diplomasia. </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 17:45:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la Utawala wa Kizayuni Dhidi ya Msafara wa Meli wa Sumud; Mijibizo, Jumbe na Matokeo Yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138124-shambulio_la_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_msafara_wa_meli_wa_sumud_mijibizo_jumbe_na_matokeo_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe5b9c23a8b2pb9e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138124-shambulio_la_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_msafara_wa_meli_wa_sumud_mijibizo_jumbe_na_matokeo_yake </guid>  
      <description>Wanajeshi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameushambulia msafara wa Sumud wa meli za kimataifa na kuzuia kupelekwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro na utawala wa kizayuni wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 17:19:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbunge wa Marekani asema Trump ni mtendajinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138114-mbunge_wa_marekani_asema_trump_ni_mtendajinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa3f79463182pb3m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138114-mbunge_wa_marekani_asema_trump_ni_mtendajinai </guid>  
      <description>Mbunge wa chama cha Democratic wa Marekani amemtaja Donald Trump Rais wa nchi hiyo kuwa ni mhalifu mtendajinai.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 10:02:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138110-uchunguzi_mpya_wa_cnn_kambi_nyingi_za_marekani_asia_magharibi_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx10bc682fcd2pb6a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138110-uchunguzi_mpya_wa_cnn_kambi_nyingi_za_marekani_asia_magharibi_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 09:57:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti Mkuu wa Russia: Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za shetani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138102-mufti_mkuu_wa_russia_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kusimama_pamoja_na_iran_dhidi_ya_njama_za_shetani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7fe0478d9b2pb50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138102-mufti_mkuu_wa_russia_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kusimama_pamoja_na_iran_dhidi_ya_njama_za_shetani </guid>  
      <description>Mufti Mkuu na Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Russia ameeleza kuwa, Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na akasema: "Iwapo Waislamu watakuwa na umoja na mshikamano, kambi ya shetani haiwezi kamwe kurudia uchokozi dhidi ya Gaza, Syria, Iran na Lebanon."</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:41:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripota Maalumu wa UN ataka Israel iwajibishwe kwa kukamata meli za Samood Frotila</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138100-ripota_maalumu_wa_un_ataka_israel_iwajibishwe_kwa_kukamata_meli_za_samood_frotila</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3b30e1ded22pb1u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138100-ripota_maalumu_wa_un_ataka_israel_iwajibishwe_kwa_kukamata_meli_za_samood_frotila </guid>  
      <description>Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu, ametoa wito kwa Ulaya kuchukua hatua za haraka baada ya utawala ghasibu wa Israel kuzuia na  kukamata meli za misaada ya kibinadamu zinazojulikana kama Samood Flotilla zilizokuwa zikielekea Ukanda wa Gaza huko Palestina kwa ajili ya kuvunja mzingio wa kikatili wa utawala huo.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:33:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbunge wa Kongresi: Ni mwehu anayedai Marekani imeshinda vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138098-mbunge_wa_kongresi_ni_mwehu_anayedai_marekani_imeshinda_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7cdc3e8f2d2pb4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138098-mbunge_wa_kongresi_ni_mwehu_anayedai_marekani_imeshinda_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mwakilishi wa cha cha Democratic wa California katika Kongresi ya Marekani, Sara Jacobs, amemkosoa vikali Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth kwa kutangaza ushindi dhidi ya Iran, akitaja madai hayo kuwa ni udanganyifu. </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:31:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchambuzi wa siasa wa Marekani: Trump ndiye gaidi zaidi duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138080-mchambuzi_wa_siasa_wa_marekani_trump_ndiye_gaidi_zaidi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwecb9f2d86a2paie.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138080-mchambuzi_wa_siasa_wa_marekani_trump_ndiye_gaidi_zaidi_duniani </guid>  
      <description>Mchambuzi wa siasa wa Marekani, Kyle Kolinsky, amesema: Donald Trump, rais wa nchi hii, ndiye gaidi mkubwa zaidi duniani.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 10:54:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kukiri Washirika wa Marekani Kwamba Nchi Hiyo Imeshindwa Katika Vita Dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138060-kukiri_washirika_wa_marekani_kwamba_nchi_hiyo_imeshindwa_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw368aede5a72paqk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138060-kukiri_washirika_wa_marekani_kwamba_nchi_hiyo_imeshindwa_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Baada ya kupita takribani miezi miwili tangu Marekani na utawala wa kizayuni zilipoanzisha uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran, wakosoaji wa sera za kushupalia vita za Trump katika kila pembe ya dunia wanaendelea kukiri na kutamka kwa uwazi zaidi kwamba Marekani imeshindwa katika vita hivyo. </description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 04:58:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaonya: Hatua za Marekani zimepandisha bei ya vyakula duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138058-un_yaonya_hatua_za_marekani_zimepandisha_bei_ya_vyakula_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw33cdf5417a2pala.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138058-un_yaonya_hatua_za_marekani_zimepandisha_bei_ya_vyakula_duniani </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa bei za vyakula duniani zimeongezeka kufuatia hatua za Marekani katika Mlango Bahari wa Hormuz. </description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 10:11:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Ukraine na washirika wake wamegeukia kwenye ugaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138050-putin_ukraine_na_washirika_wake_wamegeukia_kwenye_ugaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8632c8bde12pal4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138050-putin_ukraine_na_washirika_wake_wamegeukia_kwenye_ugaidi </guid>  
      <description>Rais wa Russia amesema: Vikosi vya jeshi la Ukraine na washirika wake haviwezi kuzuia kusonga mbele kwa jeshi la nchi hii na vinapoteza maeneo zaidi kila siku, kwa hivyo vinageukia ugaidi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:59:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Israel inapasa kuondoka katika ardhi ya Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138046-russia_israel_inapasa_kuondoka_katika_ardhi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa6f194561b2pal0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138046-russia_israel_inapasa_kuondoka_katika_ardhi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa Israel haiheshimu kivyovyote majukumu ya askari jeshi wa kulinda amani cha Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:53:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>: Afisa wa Marekani: Mfumo wa makombora wa Marekani umepoteza ufanisi wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138042-afisa_wa_marekani_mfumo_wa_makombora_wa_marekani_umepoteza_ufanisi_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw21ad8c0e2e2paks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138042-afisa_wa_marekani_mfumo_wa_makombora_wa_marekani_umepoteza_ufanisi_wake </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Vita wa Marekani amekiri kuwa mifumo ya makombora ya nchi hiyo haiwezi kudhamini kiwango cha kutosha cha ulinzi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:39:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Migawanyiko yaripotiwa katika utawala wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138038-migawanyiko_yaripotiwa_katika_utawala_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd40549d3ba2paka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138038-migawanyiko_yaripotiwa_katika_utawala_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Makamu wa Rais wa Marekani, J. D. Vance, anaripotiwa kuanza kutilia shaka kimyakimya simulizi ya matumaini inayotolewa na Wizara ya Vita ya Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:02:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Marekani Inao Utayari wa Kuachana na Sera na Ndoto Yake ya Kuipigisha Magoti Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138034-je_marekani_inao_utayari_wa_kuachana_na_sera_na_ndoto_yake_ya_kuipigisha_magoti_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf40622ba3a2pahq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138034-je_marekani_inao_utayari_wa_kuachana_na_sera_na_ndoto_yake_ya_kuipigisha_magoti_iran </guid>  
      <description>Jake Sullivan, mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani katika serikali ya Joe Biden, ametoa taswira wadhiha na ya wazi ya sifa maalumu za mwenendo wa Iran katika mazungumzo ambayo inaweza kuwa ramani ya njia ya kuinasua serikali ya Marekani kwenye mkwamo ilionasa ndani yake hivi sasa. Sullivan ametoa taswira hiyo katika mahojiano na jarida la Foreign Affairs.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 03:41:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran kufuta tuzo ya FIFA kwa Trump?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138032-iran_kufuta_tuzo_ya_fifa_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe7b665257c2padw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138032-iran_kufuta_tuzo_ya_fifa_kwa_trump </guid>  
      <description>Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, baada ya kusababisha hasara za kiuchumi na kutia doa hadhi ya kijeshi na kisiasa ya Marekani sasa vimeweka kivuli kizito juu ya kinachoitwa tuzo ya amani ya FIFA kwa rais Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:47:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Trump ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani; Amekwama katika kinamasi cha Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138028-new_york_times_trump_ndiye_rais_mbaya_zaidi_katika_historia_ya_marekani_amekwama_katika_kinamasi_cha_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw771e11ac522pabi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138028-new_york_times_trump_ndiye_rais_mbaya_zaidi_katika_historia_ya_marekani_amekwama_katika_kinamasi_cha_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Kimarekani la New York Times limemtaja Donald Trump kuwa ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:40:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Watu wa Iran wanapigania kwa ushujaa uhuru wao wa kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138020-putin_watu_wa_iran_wanapigania_kwa_ushujaa_uhuru_wao_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdeada0261f2paaq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138020-putin_watu_wa_iran_wanapigania_kwa_ushujaa_uhuru_wao_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Rais wa Russia, Vladimir Putin, amesema kuwa wananchi wa Iran wanapigana kwa ujasiri na kishujaa kulinda mamlaka yao ya kitaifa. Putin ameyasema hayo mjini Moscow  katika mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:22:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ufyatuaji Risasi Uliotokea Kwenye Hadhara ya Viongozi Wakuu wa US Utakuwa na Matokeo Gani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138012-ufyatuaji_risasi_uliotokea_kwenye_hadhara_ya_viongozi_wakuu_wa_us_utakuwa_na_matokeo_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw74ce559b602pabc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138012-ufyatuaji_risasi_uliotokea_kwenye_hadhara_ya_viongozi_wakuu_wa_us_utakuwa_na_matokeo_gani </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa, mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 31 aitwaye Cole Thomas Allen, ambaye alikuwa amedhamiria kuwashambulia kwa bunduki viongozi wakuu wa Marekani, amejeruhiwa na kutiwa nguvuni. Kwa mara nyingine tena, Marekani imeshuhudia tukio la ufyatuaji risasi kwenye hadhara ya viongozi wake wakuu akiwemo rais wake Donald Trump; mara hii ikiwa ni katika mkutano wa kila mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari wa Ikulu ya nchi hiyo, White House. </description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 04:59:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tanker Trackers: Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138000-tanker_trackers_iran_imepakia_mapipa_milioni_4.6_ya_mafuta_ghafi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw49875098452pa7o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138000-tanker_trackers_iran_imepakia_mapipa_milioni_4.6_ya_mafuta_ghafi </guid>  
      <description>Taasisi ya Ufuatiliaji wa Meli za Mafuta (Tanker Trackers) imetangaza kuwa Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi katika vituo vyake vya  kuuza nje bidhaa hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:20:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei ya mafuta duniani yaongezeka kutokana na ukaidi wa Marekani kuhusu Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137996-bei_ya_mafuta_duniani_yaongezeka_kutokana_na_ukaidi_wa_marekani_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa1c33cf1502pa6g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137996-bei_ya_mafuta_duniani_yaongezeka_kutokana_na_ukaidi_wa_marekani_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Bei ya mafuta imepanda duniani baada ya maafisa wa Iran kusisitiza kuwa Lango Bahari la Hormuz katu halitarejea katika hali yake ya awali kwa manufaa ya Marekani na washirika wake.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 09:41:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump atoroka baada ya ufyatuaji risasi kwenye dhifa ya waandishi wa habari wa White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137978-trump_atoroka_baada_ya_ufyatuaji_risasi_kwenye_dhifa_ya_waandishi_wa_habari_wa_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0195f76fc92p9zq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137978-trump_atoroka_baada_ya_ufyatuaji_risasi_kwenye_dhifa_ya_waandishi_wa_habari_wa_white_house </guid>  
      <description>Rais wa Marekani, Donald Trump na mkewe, Melania, waliondolewa kwenye Dhidi ya Waandishi wa Habari wa Ikulu ya White House (WHCA) baada ya ripoti za milio ya risasi kusababisha uingiliaji wa haraka wa Jeshi la Polisi.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:21:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Ulaya Ilivyochoshwa na Uchukuaji Hatua wa Upande Mmoja wa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137974-namna_ulaya_ilivyochoshwa_na_uchukuaji_hatua_wa_upande_mmoja_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwff38f9505a2p9zg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137974-namna_ulaya_ilivyochoshwa_na_uchukuaji_hatua_wa_upande_mmoja_wa_marekani </guid>  
      <description>Kuendelea kupanuka ufa wa mpasuko uliojitokeza kati ya Ulaya na Marekani kumezifanya serikali za Ulaya zichoshwe na mienendo ya udhalilishaji ya Trump na uchukuaji wake wa hatua wa upande mmoja. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:26:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137970-kwa_nini_chuki_dhidi_ya_israel_zinaendelea_kuongezeka_ndani_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw735a47c1da2p9z4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137970-kwa_nini_chuki_dhidi_ya_israel_zinaendelea_kuongezeka_ndani_ya_marekani </guid>  
      <description>Chama cha Democrat nchini Marekani hivi sasa kinazihama enzi za uungaji mkono wake wa jadi kwa utawala bandia wa Israel na kuhamia kwenye zama za kupingana vikali na utawala huo. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:08:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kansela wa Ujerumani: Athari mbaya za vita dhidi ya Iran haziishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137968-kansela_wa_ujerumani_athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_haziishii_kwenye_ongezeko_la_bei_ya_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4926a39d1d2p9ys.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137968-kansela_wa_ujerumani_athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_haziishii_kwenye_ongezeko_la_bei_ya_mafuta </guid>  
      <description>Kansela wa Ujerumani ameonya kwamba matokeo mabaya ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran hayaishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta, bali pia yanatishia misingi ya uchumi wa Ujerumani.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 08:18:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti wa Fox News: Trump hana afya ya akili  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137948-utafiti_wa_fox_news_trump_hana_afya_ya_akili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5a1ea1755f2p9qy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137948-utafiti_wa_fox_news_trump_hana_afya_ya_akili </guid>  
      <description>Asilimia 60 ya washiriki katika utafiti wa Fox News, kituo kinachomuunga mkono rais wa Marekani, wamesema kuwa Donald Trump hana tabia na afya ya akili inayofaa.  </description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:08:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti ya kimataifa: Theluthi mbili ya wanaokabiliwa na migogoro ya chakula duniani wanaishi katika nchi 10 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137958-ripoti_ya_kimataifa_theluthi_mbili_ya_wanaokabiliwa_na_migogoro_ya_chakula_duniani_wanaishi_katika_nchi_10</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw13ff3fc04d2p9r8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137958-ripoti_ya_kimataifa_theluthi_mbili_ya_wanaokabiliwa_na_migogoro_ya_chakula_duniani_wanaishi_katika_nchi_10 </guid>  
      <description>Ripoti ya kimataifa imeonya kwamba mzozo wa Mashariki ya Kati unaweza kuzidisha migogoro iliyopo, ikifichua kuwa watu milioni 266 katika nchi au maeneo 47 walikabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula mnamo 2025, karibu mara mbili ya idadi iliyorekodiwa mnamo 2016.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:02:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137930-papa_leo_aendelea_kukosoa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1ce465a93e2p9mo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137930-papa_leo_aendelea_kukosoa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi wa Wakatoliki duniani, ameendelea kukosoaji vikali sera za kuchochea vita za Donald Trump, Rais wa Marekani, akiwa ziarani barani Afrika na kwa mara nyingine amekemea vita na mashambulizi ya nchi hiyo ikishirikiana na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 05:24:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imekuwaje Muungano wa Nchi za Magharibi na Marekani Sasa Unaelekea Kutoweka? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137918-imekuwaje_muungano_wa_nchi_za_magharibi_na_marekani_sasa_unaelekea_kutoweka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7176ac9db82p9fu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137918-imekuwaje_muungano_wa_nchi_za_magharibi_na_marekani_sasa_unaelekea_kutoweka </guid>  
      <description>Jarida la Foreign Policy la nchini Marekani limetahadharisha kuwa, vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Iran ni nukta ya kushuhudiwa mabadiliko muhimu yanayopelekea kudhoofika muungano wa Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 24 Apr 2026 06:25:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Marekani Inaonekana si Mshirika wa Kuaminika kwa Nchi za Kiarabu?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137916-kwa_nini_marekani_inaonekana_si_mshirika_wa_kuaminika_kwa_nchi_za_kiarabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf32fb4c54b2p9ki.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137916-kwa_nini_marekani_inaonekana_si_mshirika_wa_kuaminika_kwa_nchi_za_kiarabu </guid>  
      <description>Vita vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimekuwa na matokeo muhimu katika eneo la Asia Magharibi na hasa Ghuba ya Uajemi. Moja ya matokeo muhimu ya vita hivyo ni kuthibitika kwamba Marekani si mshirika wa kutegemewa na nchi za Kiarabu za eneo hilo.</description>
      <pubDate>Fri, 24 Apr 2026 06:13:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kremlin: Putin yuko tayari kukutana na Zelensky kukamilisha makubaliano ya amani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137900-kremlin_putin_yuko_tayari_kukutana_na_zelensky_kukamilisha_makubaliano_ya_amani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw2f6b4cd63b2p9bk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137900-kremlin_putin_yuko_tayari_kukutana_na_zelensky_kukamilisha_makubaliano_ya_amani </guid>  
      <description>Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo yuko tayari kukutana na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, lakini ikiwa mkutano wao utahusu suala la kusaini makubaliano ya amani.  </description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:46:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137892-vita_vya_maneno_vya_trump_dhidi_ya_papa_chanzo_na_matokeo_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw833bf8fe1c2p94q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137892-vita_vya_maneno_vya_trump_dhidi_ya_papa_chanzo_na_matokeo_yake </guid>  
      <description>Tofauti zilizozuka kati ya Trump na Papa Leo wa 14 hazitokani na masuala ya kisiasa pekee, lakini zimesababishwa zaidi na hulka ya majivuno na ya kujikweza aliyonayo rais huyo wa sasa wa Marekani. </description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 16:37:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Trump Ameikasirikia NATO?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137890-kwa_nini_trump_ameikasirikia_nato</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5b2b8199b72p94m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137890-kwa_nini_trump_ameikasirikia_nato </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani, kwa upande mmoja, analimezea mate eneo lote la ardhi ya Canada ambayo ni mwanachama wa NATO, na kwa upande mwingine, ameonyesha kuwa, ana dhamira ya kuinyakua sehemu kubwa ya ardhi ya Denmark, ambayo nayo pia ni mwanachama wa shirika hilo la kijeshi.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 16:21:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137888-sababu_za_kuzidi_kuporomoka_umaarufu_wa_israel_mbele_ya_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw12a531d9342p8ym.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137888-sababu_za_kuzidi_kuporomoka_umaarufu_wa_israel_mbele_ya_wamarekani </guid>  
      <description>Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani umepungua kwa asilimia 31 na mbele ya vijana wa Republican kwa asilimia 22 kulinganisha na ilivyokuwa miaka minne iliyopita. </description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 05:05:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makundi ya Kiislamu ya Marekani yatoa wito wa kuwachiwa huru kiongozi wa jumuiya ya Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137876-makundi_ya_kiislamu_ya_marekani_yatoa_wito_wa_kuwachiwa_huru_kiongozi_wa_jumuiya_ya_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa80fcfcc732p8u6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137876-makundi_ya_kiislamu_ya_marekani_yatoa_wito_wa_kuwachiwa_huru_kiongozi_wa_jumuiya_ya_wapalestina </guid>  
      <description>Muungano wa mashirika ya kutetea haki za kiraia ya Kiislamu Jumatatu wiki hii ulikusanyika nje ya Mahakama ya Juu ya Marekani ukitaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Salah Sarsour, kiongozi wa Jumuiya ya Wapalestina huko Milwaukee ambaye anaishi Marekani kwa zaidi ya miaka 30.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:15:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu mpya wa Hungary: Netanyahu atakamatwa kama ataingia nchini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137870-waziri_mkuu_mpya_wa_hungary_netanyahu_atakamatwa_kama_ataingia_nchini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw69366b4d8d2p8qw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137870-waziri_mkuu_mpya_wa_hungary_netanyahu_atakamatwa_kama_ataingia_nchini </guid>  
      <description>Péter Magyar Waziri Mkuu mpya wa Hungary, amesema kuwa iwapo Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel ataingia nchini humo, atakamatwa kwa kesi ya uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 08:02:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uongozi wa mashirika ya kidini na kisayansi ya Iran wapongeza msimamo wa Papa kuhusu vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137868-uongozi_wa_mashirika_ya_kidini_na_kisayansi_ya_iran_wapongeza_msimamo_wa_papa_kuhusu_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4f2093db352p8gi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137868-uongozi_wa_mashirika_ya_kidini_na_kisayansi_ya_iran_wapongeza_msimamo_wa_papa_kuhusu_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Wenyeviti wa taasisi za kidini na kisayansi za Iran, katika barua ya pamoja kwa kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, wamepongeza "msimamo wake wa ujasiri" na kueleza matumaini kuwa utasaidia kumaliza migogoro inayoendelea.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 11:06:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137862-aljazeera_trump_anatafuta_njia_ya_kutoka_vitani_kwa_heshima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb83af3c8462p8bq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137862-aljazeera_trump_anatafuta_njia_ya_kutoka_vitani_kwa_heshima </guid>  
      <description>Mwandishi wa kituo cha Aljazeera
 huko Washington anasema kuwa Rais Donald Trump Marekani anatafuta jinsi ya kutoka kwenye vita na Iran kwa njia ya heshima.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:55:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137858-wamarekani_upungufu_wa_akili_wa_trump_umeongezeka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8d84924ba92p8em.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137858-wamarekani_upungufu_wa_akili_wa_trump_umeongezeka </guid>  
      <description>Mshauri wa Mkuu wa zamani mkuu wa Ikulu ya White House wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump ameonya kuwa upungufu wa akili wa rais wa Marekani umeongezeka kwa kiasi kikubwa.  </description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:50:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamala Harris: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni jaribio la kuvuruga kesi ya Epstein</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137856-kamala_harris_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_jaribio_la_kuvuruga_kesi_ya_epstein</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa9b07735f92p8ga.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137856-kamala_harris_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_jaribio_la_kuvuruga_kesi_ya_epstein </guid>  
      <description>Makamo wa zamani wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anasema Rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump alilazimika kuingia vitani na Iran akishirikiana na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, 'katika jaribio dhaifu la kupindisha na kupitisha mazingatio ya raia wa Marekani kutoka kwenye kesi ya Epstein.'</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:38:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kinara wa Liberal Democrats Uingereza asema Trump ni jambazi fisadi na hatari </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137846-kinara_wa_liberal_democrats_uingereza_asema_trump_ni_jambazi_fisadi_na_hatari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw557ecc408b2p7cm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137846-kinara_wa_liberal_democrats_uingereza_asema_trump_ni_jambazi_fisadi_na_hatari </guid>  
      <description> Mwanasiasa wa Uingereza amemtaja Donald Trump, rais wa Marekani, kuwa jambazi fisadi na hatari, na kusisitiza kuwa kitendo chake cha kuzingira Mlango-Bahari wa Hormuz kinaweza kuhatarisha usitishaji mapigano dhaifu kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Apr 2026 08:16:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137838-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw97af6bbb5a2p7a6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137838-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house </guid>  
      <description>Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 11:51:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137836-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw053fe0476f2p7a4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137836-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house </guid>  
      <description>Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 11:50:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, wimbi la kuuzuliwa makamanda wakuu jeshini nchini Marekani linaweza kuwa ushindi mwingine wa kistratijia kwa Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw98d860b2e82p6dj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran </guid>  
      <description>Wimbi la kutimuliwa makamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Marekani kufuatia kushindwa kimkakati kwa nchi hiyo dhidi ya Iran limeibua mgogoro mkubwa zaidi wa kamandi katika Wizara ya Vita ya nchi hiyo, Pentagon.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 07:52:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Mr. Trump, Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1697c6caba2p6c1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi </guid>  
      <description>Seneta wa Marekani amekemea vitisho na matusi ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump dhidi ya Iran, akisema: Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi na lugha chafu, bali ni lazima kufanya mazungumzo na Iran.
</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:27:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madrid: Hatutadanganywa tena na Marekani; kwa uzoefu wa Iraq, hapana kwa vita ndio njia pekee</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c92eecee438302kymv.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza kuwa nchi hiyo haitadanganywa tena na Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:13:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano ya kuunga mkono Iran kutoka London hadi Auckland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva9db9df96f2p2d4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland </guid>  
      <description>Maandamano ya kulaani hujuma za kijeshi za Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran yangali yanaendelea katika pembe mbalimbali za dunia.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:09:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO yalaani hujuma ya Israel na Marekani dhidi ya kituo cha nyuklia Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa1faadc8822p6br.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran </guid>  
      <description>Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu kuendelea kwa mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran, akionya kuwa hatua hiyo inaweza kusababisha janga la nyuklia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:19:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yapiga marufuku kuchapishwa picha za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome za nchi hiyo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7e5a3eb58c2p672.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo </guid>  
      <description>Katika jitihada za kudhibiti picha za athari za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome na vituo vyake, Marekani imepiga marufuku kuchapishwa na kuonyeshwa picha za setilaiti za maeneo yanayohusika katika vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 06:12:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New Yorker: Hali ya vita dhidi ya Iran ni tofauti na matarajio ya Trump na Hegseth</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0400e0ee1e2p65v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth </guid>  
      <description>Gazeti la New Yorker la Marekani limekosoa vita vya Marekani na dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, vita hivi vimeonyesha kwamba hali halisi ni tofauti na matarajio ya viongozi wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:38:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kapteni wa Timu ya Taifa ya Bosnia: Kwa heshima ya haki na uadilifu tumekataa kuwapa mkono Waisraeli </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bxye531353ea71tmn5.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli </guid>  
      <description>Kapteni wa timu ya taifa ya soka ya Bosnia na Herzegovina chini ya miaka 21 amesema kuwa kuheshimu haki na uadilifu ndiyo sababu iliyowazuia wachezaji wa timu hiyo kuwapa mkono wachezaji wa timu ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:37:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yalaani hujuma ya Marekani, Israel dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbta38852ec2c2okqx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr </guid>  
      <description>Maria Zakharova, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, ametangaza kuwa Moscow inalaani vikali mashambulio ya hivi karibuni dhidi ya kituo cha Nyuklia cha Bushehr kilichoko kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:06:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askofu Mkuu wa Wakatoliki Jeshi la Marekani: Vita dhidi ya Iran haviendani na mafundisho ya Kikristo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137780-askofu_mkuu_wa_wakatoliki_jeshi_la_marekani_vita_dhidi_ya_iran_haviendani_na_mafundisho_ya_kikristo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw255116dd4f2p645.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137780-askofu_mkuu_wa_wakatoliki_jeshi_la_marekani_vita_dhidi_ya_iran_haviendani_na_mafundisho_ya_kikristo </guid>  
      <description>Afisa wa juu zaidi wa Kikatoliki katika Majeshi ya Marekani amesema kuwa vita dhidi ya Iran si vya haki na haviendani na mafundisho ya Kikristo.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 04:22:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Texas: Kuwapiga mabomu watoto wasio na hatia katika shule ya Minab ni tusi kwa Yesu Kristo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137766-mwakilishi_wa_texas_kuwapiga_mabomu_watoto_wasio_na_hatia_katika_shule_ya_minab_ni_tusi_kwa_yesu_kristo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1e62c7afd82p605.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137766-mwakilishi_wa_texas_kuwapiga_mabomu_watoto_wasio_na_hatia_katika_shule_ya_minab_ni_tusi_kwa_yesu_kristo </guid>  
      <description>Mwanasiasa mtajika wa Marekani amelitaja shambulio lililofanywa na Washington dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajarah Tayyiba huko Minab, kusini mwa Iran, kuwa ni dharau na dhihaka kwa Yesu Kristo (Isa Masih AS).</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 06:35:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Vita wa Marekani awatimua majenarali baada ya kushindwa kwa vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137762-waziri_wa_vita_wa_marekani_awatimua_majenarali_baada_ya_kushindwa_kwa_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8bd934b0af2p5yz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137762-waziri_wa_vita_wa_marekani_awatimua_majenarali_baada_ya_kushindwa_kwa_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth, amemlazimisha Mkuu wa Majeshi ya Marekani (Army Chief of Staff), Jenerali Randy George, kustaafu mara moja, huku kukiwa na mgogoro unaozidi kuongezeka ndani ya uongozi wa kijeshi nchini humo kufuatia kushindwa kwa vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:58:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imejaa uongo, udanganyifu: Wabunge wa Marekani wakosoa hotuba ya Trump kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137746-imejaa_uongo_udanganyifu_wabunge_wa_marekani_wakosoa_hotuba_ya_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa74290fb892p5vg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137746-imejaa_uongo_udanganyifu_wabunge_wa_marekani_wakosoa_hotuba_ya_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Wabunge wa Marekani wamelaani hotuba ya Rais Donald Trump kwa taifa kutokana na kuwa na mchanganyiko wa ajabu wa udanganyifu na uongo kuhusu malengo na mafanikio yanayodaiwa katika vita vya uchokozi vya Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:17:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mearsheimer: Kama kesi ya mtindo wa Nuremberg ingefanyika, Trump na Netanyahu wangenyongwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137744-mearsheimer_kama_kesi_ya_mtindo_wa_nuremberg_ingefanyika_trump_na_netanyahu_wangenyongwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwab1b6b7aaa2p5vd.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137744-mearsheimer_kama_kesi_ya_mtindo_wa_nuremberg_ingefanyika_trump_na_netanyahu_wangenyongwa </guid>  
      <description>John Mearsheimer, profesa maarufu wa mahusiano ya kimataifa katika Chuo Kikuu cha Chicago, amesema kufuatia vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza kwamba: "Kama kungefanyika kesi kama ile ya Nuremberg, na Waisraeli na Wamarekani wakafikishwa mahakamani, Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na washauri wao wengi wangehukumiwa kifo na kunyongwa."</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:15:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump: NATO ni simbamarara wa karatasi, ninafikiria kujiondoa kwenye shirika hili </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137742-trump_nato_ni_simbamarara_wa_karatasi_ninafikiria_kujiondoa_kwenye_shirika_hili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw98c7d999b52p5vf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137742-trump_nato_ni_simbamarara_wa_karatasi_ninafikiria_kujiondoa_kwenye_shirika_hili </guid>  
      <description>Rais wa Marekani amesema kwamba Washington inafikiria kwa dhati kujiondoa kwenye Shirika la Kujihami la Nchi za Magharibi (NATO).</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:15:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran na vikwazo kwa vyombo vya habari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137740-un_yaonya_kuhusu_ukandamizaji_wa_waungaji_mkono_wa_iran_na_vikwazo_kwa_vyombo_vya_habari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw71d3ded3262p5va.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137740-un_yaonya_kuhusu_ukandamizaji_wa_waungaji_mkono_wa_iran_na_vikwazo_kwa_vyombo_vya_habari </guid>  
      <description>Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali na kuonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran katika eneo la Magharibi mwa Asia kufuatia uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya nchi hiyo, pamoja na vikwazo dhidi ya uhuru wa vyombo vya habari huko Washington na Tel Aviv.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:55:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Nishati la Kimataifa: Tatizo kubwa zaidi la mafuta katika historia liko njiani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137738-shirika_la_nishati_la_kimataifa_tatizo_kubwa_zaidi_la_mafuta_katika_historia_liko_njiani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0d7fa676ab2p5ve.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137738-shirika_la_nishati_la_kimataifa_tatizo_kubwa_zaidi_la_mafuta_katika_historia_liko_njiani </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA) ameonya kwamba matatizo katika usambazaji wa mafuta na gesi yaliyosababishwa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran yamezidi mgogoro wa mafuta wa 1973 na 1979 na yameibua mshtuko mkubwa zaidi wa nishati katika historia.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:55:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Italia pia yapiga marufuku Marekani kutumia vituo vyake katika vita dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137722-italia_pia_yapiga_marufuku_marekani_kutumia_vituo_vyake_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0z9b0916ed3726aj1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137722-italia_pia_yapiga_marufuku_marekani_kutumia_vituo_vyake_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Italia nayo imepiga marufuku Marekani kutumia kituo chake cha anga cha Sigonella katika kuishambulia Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:08:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Tunashindwa vibaya katika vita dhidi ya Iran na kwa aibu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137718-seneta_wa_marekani_tunashindwa_vibaya_katika_vita_dhidi_ya_iran_na_kwa_aibu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0w5c142d90a224krj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137718-seneta_wa_marekani_tunashindwa_vibaya_katika_vita_dhidi_ya_iran_na_kwa_aibu </guid>  
      <description>Seneta Chris Murphy wa Marekani ameonya kwamba Marekani inakaribia kushindwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:59:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China: Shambulio lolote la Marekani na Israel dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran litakuwa na madhara makubwa kwa usalama na uthabiti wa eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137716-china_shambulio_lolote_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran_litakuwa_na_madhara_makubwa_kwa_usalama_na_uthabiti_wa_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw542ccde6eb2p5pz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137716-china_shambulio_lolote_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran_litakuwa_na_madhara_makubwa_kwa_usalama_na_uthabiti_wa_eneo </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, huku akisisitiza haja ya kusimamishwa haraka vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameonya dhidi ya shambulio lolote la pande mbili hizo dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:55:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CNN: Kuharibiwa ndege za AWACS za US ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137708-cnn_kuharibiwa_ndege_za_awacs_za_us_ni_pigo_kubwa_kwa_uwezo_wa_anga_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv94b708047b2p5ml.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137708-cnn_kuharibiwa_ndege_za_awacs_za_us_ni_pigo_kubwa_kwa_uwezo_wa_anga_wa_marekani </guid>  
      <description>Mtaalamu wa masuala ya kijeshi wa Televisheni ya CNN ya Marekani ameitaja hatua ya Iran ya kupiga na kuharibu ndege ya kijasusi ya Marekani aina ya AWACS kuwa ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:44:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uungaji mkono wa Wamarekani kwa utendaji wa Trump wapungua hadi asilimia 33</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137702-uungaji_mkono_wa_wamarekani_kwa_utendaji_wa_trump_wapungua_hadi_asilimia_33</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvaa2f8966e42p5lx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137702-uungaji_mkono_wa_wamarekani_kwa_utendaji_wa_trump_wapungua_hadi_asilimia_33 </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa, kiwango cha uungaji mkono wa wananchi kwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena kimepungua hadi asilimia 33 tu; huku idadi kubwa ya Wamarekani wakipinga mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.  </description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 05:41:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uingereza: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran si vita vyetu/ Ujerumani: Kuenea kwa vita kutashinikiza vikali uchumi wa Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137698-uingereza_hujuma_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_si_vita_vyetu_ujerumani_kuenea_kwa_vita_kutashinikiza_vikali_uchumi_wa_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva38ceff3102p5lh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137698-uingereza_hujuma_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_si_vita_vyetu_ujerumani_kuenea_kwa_vita_kutashinikiza_vikali_uchumi_wa_ulaya </guid>  
      <description>Keir Starmer, Waziri Mkuu wa Uingereza, amesisitiza tena msimamo wa London kuhusu vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema kuwa vita hivi sio vya Uingereza na kwamba nchi yake haitaburuzwa kuingia kwenye vita hivyo.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 03:01:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Uingereza: Athari mbaya za uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kwa maisha ya Wamarekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137696-vyombo_vya_habari_vya_uingereza_athari_mbaya_za_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_kwa_maisha_ya_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6e6a26423fa32i55a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137696-vyombo_vya_habari_vya_uingereza_athari_mbaya_za_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_kwa_maisha_ya_wamarekani </guid>  
      <description>Gazeti la Uingereza la The Guardian limeandika katika ripoti yake kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimetoa mashinikizo makubwa kwa Wamarekani na kuongeza pakubwa gharama za maisha yao ya kila siku.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 02:57:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Marekani: Uungaji mkono wa Yemen kwa Iran katika mashambulizi ya Marekani na Israel umeongeza bei ya mafuta duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137694-vyombo_vya_habari_vya_marekani_uungaji_mkono_wa_yemen_kwa_iran_katika_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_umeongeza_bei_ya_mafuta_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva691c495312p5hx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137694-vyombo_vya_habari_vya_marekani_uungaji_mkono_wa_yemen_kwa_iran_katika_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_umeongeza_bei_ya_mafuta_duniani </guid>  
      <description>Tovuti ya CNBC imeandika kwamba uungaji mkono wa vikosi vya Yemen kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashambulizo ya kichokozi ya Marekani na Israel dhidi yake na urushaji wa makombora wa Wayemen kuelekea Palestina inayokaliwa kwa mabavu umepelekea bei ya mafuta kuongezeka sana katika soko la kimataifa.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 02:48:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhispania yafunga anga yake kwa ndege zenye uhusiano na mashambulizi dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137692-uhispania_yafunga_anga_yake_kwa_ndege_zenye_uhusiano_na_mashambulizi_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc7d4e5e7f32p5k3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137692-uhispania_yafunga_anga_yake_kwa_ndege_zenye_uhusiano_na_mashambulizi_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Serikali ya Uispania imetangaza kufunga anga ya nchi hiyo kwa ndege zote za kijeshi zinazohusiana na mashambulizi dhidi ya Iran, kama ishara ya kupinga vita vinavyoongozwa na Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 00:28:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Senator Mdemocrat wa Marekani: Uwongo wa Trump ni ujumbe kwa Iran kuhusu namna alivyokwama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137684-senator_mdemocrat_wa_marekani_uwongo_wa_trump_ni_ujumbe_kwa_iran_kuhusu_namna_alivyokwama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bk1bf293db8b63577.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137684-senator_mdemocrat_wa_marekani_uwongo_wa_trump_ni_ujumbe_kwa_iran_kuhusu_namna_alivyokwama </guid>  
      <description>Chris Murphy Seneta wa chama cha Democratic nchini Marekani amesema kuwa uongo wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba anafanya mazungumzo na Iran unatoa ujumbe kwa Tehran kwamba amekwama kwenye kinamasi na amezongwa na mashinikizo. 
</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 07:11:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>