<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - world</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/world</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Fri, 18 Sep 2026 15:12:08 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Pigo jingine kwa Trump; Korea Kusini yapinga kupeleka wanajeshi Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141546-pigo_jingine_kwa_trump_korea_kusini_yapinga_kupeleka_wanajeshi_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc164e458f7792qkle.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141546-pigo_jingine_kwa_trump_korea_kusini_yapinga_kupeleka_wanajeshi_hormuz </guid>  
      <description>Licha ya kuweko mashinikizo makubwa na ya pande zote ya Marekani, lakini Rais wa Korea Kusini ametangaza kuwa nchi yake haina nia ya kupeleka wanajeshi katika Lango-Bahari La Hormuz la kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 10:38:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Petroli ya Euro 3 yazusha fujo na malalamiko Ujerumani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141542-petroli_ya_euro_3_yazusha_fujo_na_malalamiko_ujerumani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1816aa46df72qkla.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141542-petroli_ya_euro_3_yazusha_fujo_na_malalamiko_ujerumani </guid>  
      <description>Kupaa vibaya na kwa kasi bei ya mafuta nchini Ujerumani kumewakasirisha madereva na kuiweka serikali katika mashinikizo ya kutafuta suluhisho la haraka.</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 10:35:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>The Nation: Iran “haikusalimu amri”, Marekani iko katika hatihati ya kupiga magoti</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141532-the_nation_iran_haikusalimu_amri_marekani_iko_katika_hatihati_ya_kupiga_magoti</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc162fd6e78e12qkhw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141532-the_nation_iran_haikusalimu_amri_marekani_iko_katika_hatihati_ya_kupiga_magoti </guid>  
      <description>Chombo cha habari cha Marekani The Nation, katika makala kali iliyoikosoa vikali serikali ya nchi hiyo kwa kuingia vitani na Iran, kimeandika:</description>
      <pubDate>Fri, 18 Sep 2026 03:50:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, BRICS iko tayari kuwa na nafasi athirifu zaidi katika mfumo wa dunia? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141516-je_brics_iko_tayari_kuwa_na_nafasi_athirifu_zaidi_katika_mfumo_wa_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1318e8872cc2qk70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141516-je_brics_iko_tayari_kuwa_na_nafasi_athirifu_zaidi_katika_mfumo_wa_dunia </guid>  
      <description>Katika mkutano wa 18 wa kilele wa BRICS mjini New Delhi India, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akisisitiza umuhimu wa jumuiya hiyo kuunga mkono na kutetea mamlaka ya kitaifa pamoja na umoja wa ardhi na wakati huo huo kupinga matumizi ya nguvu, ametoa wito kwa BRICS kuwa na nafasi zaidi katika mausala ya kimataifa, nafasi inayovuka mipaka ya ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara pekee.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 05:45:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Beki Mfaransa wa Klabu ya Barcelona ataka kukombolewa Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141508-beki_mfaransa_wa_klabu_ya_barcelona_ataka_kukombolewa_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1753c6678cc2qk66.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141508-beki_mfaransa_wa_klabu_ya_barcelona_ataka_kukombolewa_palestina </guid>  
      <description>Jules Koundé, beki Mfaransa wa klabu ya soka ya Barcelona ya Uhispania, kwa mara nyingine ameonyesha himaya na uungaji mkono wake kwa taifa la Palestina na kutoa wito wa kukombolewa ardhi hiyo.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 02:46:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Von der Leyen: Vita dhidi ya Iran vimeigharimu Ulaya Euro bilioni 90 za ziada</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141506-von_der_leyen_vita_dhidi_ya_iran_vimeigharimu_ulaya_euro_bilioni_90_za_ziada</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ade1dfbb4e2qk64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141506-von_der_leyen_vita_dhidi_ya_iran_vimeigharimu_ulaya_euro_bilioni_90_za_ziada </guid>  
      <description>Rais wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen amesema vita dhidi ya Iran hadi sasa vimeisababishia Umoja wa Ulaya gharama ya ziada ya euro bilioni 90 kutokana na kuongezeka gharama za uagizaji wa nishati ya mafuta kutoka nje.</description>
      <pubDate>Thu, 17 Sep 2026 02:42:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump apanga kuipatia Israel 'shehena kubwa zaidi ya mabomu katika historia ya Marekani'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141494-trump_apanga_kuipatia_israel_'shehena_kubwa_zaidi_ya_mabomu_katika_historia_ya_marekani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc17ec80c908b2qjqi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141494-trump_apanga_kuipatia_israel_'shehena_kubwa_zaidi_ya_mabomu_katika_historia_ya_marekani' </guid>  
      <description>Ripoti moja inasema, serikali ya Trump inaandaa mpango wa kuupatia utawala wa kizayuni wa Israel shehena ya mabomu 40,000 yenye uzito wa pauni 2,000 kila moja, ambayo thamani yake ni dola bilioni 2.8.</description>
      <pubDate>Wed, 16 Sep 2026 03:35:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu wa UN: Imani ya wananchi kwa serikali inadorora, uhusiano baina yao unazidi kudhoofika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141476-katibu_mkuu_wa_un_imani_ya_wananchi_kwa_serikali_inadorora_uhusiano_baina_yao_unazidi_kudhoofika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1933d6b3fdb2qjjm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141476-katibu_mkuu_wa_un_imani_ya_wananchi_kwa_serikali_inadorora_uhusiano_baina_yao_unazidi_kudhoofika </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema demokrasia inakabiliwa na wakati mgumu huku migogoro ikiongezeka, imani ya wananchi kwa taasisi za serikali ikidorora na uhusiano kati ya raia na serikali zao ukizidi kudhoofika.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 10:46:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yatoa onyo kwa Japan, yakosoa mazoezi ya pamoja ya kijeshi inayofanya kila mara na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141474-china_yatoa_onyo_kwa_japan_yakosoa_mazoezi_ya_pamoja_ya_kijeshi_inayofanya_kila_mara_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc115165f59562qjjg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141474-china_yatoa_onyo_kwa_japan_yakosoa_mazoezi_ya_pamoja_ya_kijeshi_inayofanya_kila_mara_na_marekani </guid>  
      <description>China imekosoa hatua ya Japan ya kutangulia kupanga silaha za kimkakati za ushambuliaji na vilevile kwa mazoezi ya kijeshi inayoendelea kufanya kila mara kwa kushirikiana na Marekani na Australia, ikisema, vitendo hivyo vinaongeza hatari ya makabiliano katika eneo hilo.</description>
      <pubDate>Tue, 15 Sep 2026 10:41:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei za kukodisha Meli za Mafuta zapaa mara nane</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141458-bei_za_kukodisha_meli_za_mafuta_zapaa_mara_nane</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1dc38f9b2b62qj52.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141458-bei_za_kukodisha_meli_za_mafuta_zapaa_mara_nane </guid>  
      <description>Wakati Marekani ikidai kuwa na udhibiti kamili wa Lango-Bahari wa Hormuz, gharama za kukodisha meli za mafuta katika njia hiyo muhimu mno ya baharini zinaendelea kupaa na kuvunja rekodi.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 10:55:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakulima: Mzingiro tulioiwekea Iran unatumaliza sisi wenyewe Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141444-wakulima_mzingiro_tulioiwekea_iran_unatumaliza_sisi_wenyewe_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1bc84d78b4f2qj14.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141444-wakulima_mzingiro_tulioiwekea_iran_unatumaliza_sisi_wenyewe_wamarekani </guid>  
      <description>Chama cha Wakulima wa Michigan huko Marekani kimeshindwa kujizuia kulalamikia hali ngumu wanayopitia baada ya Marekani kuanzisha vita dhidi ya Iran na kuizingira kiuchumi na kimesema, mzingiro tulioiwekea Iran unatumaliza sisi wenyewe Wamarekani.</description>
      <pubDate>Mon, 14 Sep 2026 07:38:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maelfu waandamana kupinga ziara ya Trump nchini Ireland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141430-maelfu_waandamana_kupinga_ziara_ya_trump_nchini_ireland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1fe020121702qip8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141430-maelfu_waandamana_kupinga_ziara_ya_trump_nchini_ireland </guid>  
      <description>Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika mitaa ya Dublin kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump, nchini Ireland, huku wanaharakati wakilaani sera zake katika masuala ya kigeni, mabadiliko ya tabianchi, uhamiaji, na masuala ya kijamii.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 11:26:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, BRICS Itazuia Vipi Siasa na Hatua za Upande Mmoja za Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141422-je_brics_itazuia_vipi_siasa_na_hatua_za_upande_mmoja_za_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc17cd2a61f522qika.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141422-je_brics_itazuia_vipi_siasa_na_hatua_za_upande_mmoja_za_marekani </guid>  
      <description>Mkutano wa 18 wa kilele wa BRICS mjini New Delhi unafanyika wakati ambapo kundi hilo si tena kama muungano wa kiuchumi wa mataifa yanayoinukia pekee; bali, limebadilika kuwa jukwaa muhimu la mashindano kuhusu sura ya baadaye ya mfumo wa dunia.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 10:25:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tucker Carlson: Tuko ukingoni mwa vita vya dunia vitavyomalizika kwa utumiaji wa silaha za nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141396-tucker_carlson_tuko_ukingoni_mwa_vita_vya_dunia_vitavyomalizika_kwa_utumiaji_wa_silaha_za_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1f116af30612qihk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141396-tucker_carlson_tuko_ukingoni_mwa_vita_vya_dunia_vitavyomalizika_kwa_utumiaji_wa_silaha_za_nyuklia </guid>  
      <description>Mwandishi wa habari mashuhuri nchini Marekani mwenye msimamo wa kihafidhina, Tucker Carlson, ametahadharisha kuwa dunia iko ukingoni kutumbukia kwenye mzozo wa kimataifa unaoweza kuhitimishwa kwa matumizi ya silaha za nyuklia.</description>
      <pubDate>Sun, 13 Sep 2026 06:59:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Vita Dhidi ya Ugaidi' vilivyoanzishwa baada ya Septemba 11, 2001 vimezigharimu haki za binadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141390-'vita_dhidi_ya_ugaidi'_vilivyoanzishwa_baada_ya_septemba_11_2001_vimezigharimu_haki_za_binadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1a814677c102qiby.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141390-'vita_dhidi_ya_ugaidi'_vilivyoanzishwa_baada_ya_septemba_11_2001_vimezigharimu_haki_za_binadamu </guid>  
      <description>Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu wameonya kuwa robo karne ya hatua za kimataifa za kukabiliana na ugaidi zilizoanzishwa baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001 nchini Marekani imesababisha ukiukaji mkubwa na ulioenea wa haki za binadamu duniani.</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:30:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pakistan: Tunafanya juhudi za kuzirudisha Marekani na Iran kwenye meza ya mazungumzo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141386-pakistan_tunafanya_juhudi_za_kuzirudisha_marekani_na_iran_kwenye_meza_ya_mazungumzo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc121196864a82qibu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141386-pakistan_tunafanya_juhudi_za_kuzirudisha_marekani_na_iran_kwenye_meza_ya_mazungumzo </guid>  
      <description>Balozi wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amesema: "tunafanya juhudi za kuzirudisha Marekani na Iran kwenye meza ya mazungumzo".</description>
      <pubDate>Sat, 12 Sep 2026 04:26:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF: Zaidi ya wanafunzi milioni 171 masomo yao yalivurugika kutokana na majanga ya hali ya hewa 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141352-unicef_zaidi_ya_wanafunzi_milioni_171_masomo_yao_yalivurugika_kutokana_na_majanga_ya_hali_ya_hewa_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc191133f12002qhsw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141352-unicef_zaidi_ya_wanafunzi_milioni_171_masomo_yao_yalivurugika_kutokana_na_majanga_ya_hali_ya_hewa_2025 </guid>  
      <description>Zaidi ya wanafunzi milioni 171 duniani kote, sawa na mwanafunzi mmoja kati ya 10, kuanzia ngazi ya elimu ya awali hadi sekondari ya juu masomo yao yalivurugika kutokana na majanga ya hali ya hewa mwaka 2025.

</description>
      <pubDate>Thu, 10 Sep 2026 10:05:56 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Fedha Uingereza atoa tahadhari kuhusu athari za kiuchumi za vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141232-waziri_wa_fedha_uingereza_atoa_tahadhari_kuhusu_athari_za_kiuchumi_za_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc104186b577b2qg92.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141232-waziri_wa_fedha_uingereza_atoa_tahadhari_kuhusu_athari_za_kiuchumi_za_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Fedha  wa Uingereza, John Healey, ametoa tahadhari kali kwamba vita vinavyoendelea vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran vinaongeza shinikizo kwenye uchumi wa Uingereza na fedha za serikali, jambo linalotishia kuyumbisha Bajeti ya mwezi Oktoba.</description>
      <pubDate>Sun, 06 Sep 2026 02:56:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Russia aliamuru jeshi lisitishe mashambulizi dhidi ya Ukraine kwa muda wa siku tatu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141230-rais_wa_russia_aliamuru_jeshi_lisitishe_mashambulizi_dhidi_ya_ukraine_kwa_muda_wa_siku_tatu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc186e5b727b02qgac.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141230-rais_wa_russia_aliamuru_jeshi_lisitishe_mashambulizi_dhidi_ya_ukraine_kwa_muda_wa_siku_tatu </guid>  
      <description>Rais Vladimir Putin wa Russia ameamuru kusitishwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Ukraine kwa muda wa siku tatu kabla ya mazungumzo na wapatanishi wakuu wa Marekani Steve Witkoff na Jared Kushner, ambao waliwasili mjini Moscow mapema leo Jumamosi.</description>
      <pubDate>Sat, 05 Sep 2026 13:47:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei ya dizeli Marekani yavunja rekodi huku vita dhidi ya Iran vikiwadhuru Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141222-bei_ya_dizeli_marekani_yavunja_rekodi_huku_vita_dhidi_ya_iran_vikiwadhuru_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc18a9236457b2qg8y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141222-bei_ya_dizeli_marekani_yavunja_rekodi_huku_vita_dhidi_ya_iran_vikiwadhuru_wamarekani </guid>  
      <description>Wastani wa bei ya dizeli umefikia rekodi ya juu nchini Marekani, kufuatia vitendo vya uchokozi vya Marekani dhidi ya Iran na kufungwa kwa Lango Bahari la Hormuz, ambalo kabla ya vita lilikuwa likipitisha  takriban asilimia 20 ya mafuta yanayouzwa duniani.</description>
      <pubDate>Sat, 05 Sep 2026 12:00:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa waonya ‘El Nino kubwa’ inayoweza kuvunja rekodi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141212-umoja_wa_mataifa_waonya_el_nino_kubwa’_inayoweza_kuvunja_rekodi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1cb72193d112qg2k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141212-umoja_wa_mataifa_waonya_el_nino_kubwa’_inayoweza_kuvunja_rekodi </guid>  
      <description>Shirika la Hali ya Hewa Duniani limetangaza kuwa, El Niño inayoendelea kuimarika inaweza kuwa kali zaidi kuwahi kurekodiwa, ikiongeza hatari ya mafuriko, ukame, joto kali na upungufu mkubwa wa chakula.

</description>
      <pubDate>Sat, 05 Sep 2026 03:16:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Jeshi la Wanamaji la Marekani lina hali mbaya; meli nne tu zimevuka Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141198-new_york_times_jeshi_la_wanamaji_la_marekani_lina_hali_mbaya_meli_nne_tu_zimevuka_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1d4ddca401e2qfyq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141198-new_york_times_jeshi_la_wanamaji_la_marekani_lina_hali_mbaya_meli_nne_tu_zimevuka_hormuz </guid>  
      <description>Gazeti la New York Times limekiri kwamba baada ya Iran kushambulia kituo kikuu cha vifaa vya Jeshi la Wanamaji la Marekani huko Bahrain na kukiharibu kikamilifu, hali hivi sasa imezidi kuwa mbaya kwa jeshi la Marekani kiasi kwamba vituo vingine vya dola hilo pia vinahisi kuwa kwenye hatari za waziwazi na haviwezi kujilinda mbele ya mashambulizi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 04 Sep 2026 10:52:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Washirika wa Ukraine ni washirika wa ugaidi wa kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141184-putin_washirika_wa_ukraine_ni_washirika_wa_ugaidi_wa_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1b2073da7ba2qfw0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141184-putin_washirika_wa_ukraine_ni_washirika_wa_ugaidi_wa_kimataifa </guid>  
      <description>Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, kurejeshwa uhusiano wa nchi yake na Marekani kunategemea misimamo ya Washington na kusisitiza kwamba: Madola ya Magharibi yanayoshirikiana na Ukraine ni washirika wa ugaidi wa kimataifa.</description>
      <pubDate>Fri, 04 Sep 2026 03:18:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNICEF: Watoto milioni 20 wamerubuniwa na kunyanyaswa kingono katika mitandao ya kijamii</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141172-unicef_watoto_milioni_20_wamerubuniwa_na_kunyanyaswa_kingono_katika_mitandao_ya_kijamii</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1c264dcee682qfkm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141172-unicef_watoto_milioni_20_wamerubuniwa_na_kunyanyaswa_kingono_katika_mitandao_ya_kijamii </guid>  
      <description>Ripoti mpya ya Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) imesema kuwa, takriban watoto milioni 20 wanaotumia mtandao katika nchi 21 walirubiniwa kimapenzi au kufanyiwa unyanyasaji wa kingono kwenye majukwaa ya kidijitali katika kipindi cha mwaka mmoja, matukio mengi yakitokana na mitandao ya kijamii.

</description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 08:49:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mpango wa Chakula Duniani: Wapalestina 200,000 wamenyimwa msaada wa chakula</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141160-mpango_wa_chakula_duniani_wapalestina_200_000_wamenyimwa_msaada_wa_chakula</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1228a3f56e72qfe6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141160-mpango_wa_chakula_duniani_wapalestina_200_000_wamenyimwa_msaada_wa_chakula </guid>  
      <description>Mpango wa Chakula Duniani (WFP) sambamba na kuonya kuhusu kunyimwa Wapalestina 200,000 msaada wa chakula, umetahadharisha pia kuhusu mgogoro wa kiuchumi, ukosefu wa usalama wa chakula na kuzorota hali ya afya katika Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Thu, 03 Sep 2026 03:22:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Biashara ya utumwa: UN inasema nchi zina wajibu wa kisheria wa kuzingatia fidia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141148-biashara_ya_utumwa_un_inasema_nchi_zina_wajibu_wa_kisheria_wa_kuzingatia_fidia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc18ffb89fcaa2qf7m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141148-biashara_ya_utumwa_un_inasema_nchi_zina_wajibu_wa_kisheria_wa_kuzingatia_fidia </guid>  
      <description>Kwa miongo kadhaa sasa Afrika imekuwa ikidai haki na fidia. Sasa Umoja wa Mataifa unaitikia wito huo wa Waafrika. </description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 12:49:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Ulaya Ilivyojiweka Mbali na Uhuru Wake wa Kimkakati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141146-namna_ulaya_ilivyojiweka_mbali_na_uhuru_wake_wa_kimkakati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc160eec1671d2qf5a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141146-namna_ulaya_ilivyojiweka_mbali_na_uhuru_wake_wa_kimkakati </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kwamba, Ulaya lazima ichague kama itakuwa mhusika huru au itaendelea kufuata kibubusa siasa na sera za watu wengine. Kauli hii ya Esmaeil Baghaei, inafafanua msimamo wa hivi karibuni wa Umoja wa Ulaya katika kuunga mkono mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 10:19:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Jumuiya ya Shanghai walaani vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141136-viongozi_wa_jumuiya_ya_shanghai_walaani_vikali_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1ca7476599b2qevq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141136-viongozi_wa_jumuiya_ya_shanghai_walaani_vikali_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) wamelaani vikali vita vya kichokozi vya  Marekani pamoja na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia azimio lao la pamoja, wakionya kwamba jinai na chokochoko hizo zinaweka amani na usalama wa kimataifa katika hatari kubwa mno.</description>
      <pubDate>Wed, 02 Sep 2026 02:54:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Pezeshkian: Marekani ilikiuka MoU ya Islamabad, ikahamia kwenye madai ya kuchupa mipaka ndani ya wiki mbili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141130-pezeshkian_marekani_ilikiuka_mou_ya_islamabad_ikahamia_kwenye_madai_ya_kuchupa_mipaka_ndani_ya_wiki_mbili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1854edbd9fc2qeqi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141130-pezeshkian_marekani_ilikiuka_mou_ya_islamabad_ikahamia_kwenye_madai_ya_kuchupa_mipaka_ndani_ya_wiki_mbili </guid>  
      <description>Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwamba usalama endelevu haupatikani kupitia makabiliano, bali kupitia njia ya kuaminiana, kuheshimu mamlaka ya kujitawala ya nchi nyingine, kutoingilia mambo yao ya ndani, na ushirikiano kati ya serikali, na ametoa wito wa kuimarishwa ushirikiano wa kiusalama na kiuchumi katika Shirika la Ushirikiano la Shanghai.</description>
      <pubDate>Tue, 01 Sep 2026 14:57:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Jeshi la Marekani ajiuzulu huku Hegseth akiendeleza fagio la chuma katikati ya vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141128-waziri_wa_jeshi_la_marekani_ajiuzulu_huku_hegseth_akiendeleza_fagio_la_chuma_katikati_ya_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc1b40b6ac9da2qet6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141128-waziri_wa_jeshi_la_marekani_ajiuzulu_huku_hegseth_akiendeleza_fagio_la_chuma_katikati_ya_vita </guid>  
      <description>Jeshi la Marekani linakabiliwa na mgogoro mkubwa wa uongozi hasa baada ya Waziri wa Jeshi, Dan Driscoll, kuwasilisha barua ya kujiuzulu, huku Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth akiendelea na harakati za ndani za kuwafutilia mbali wapinzani wake.</description>
      <pubDate>Tue, 01 Sep 2026 14:55:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshauri wa Trump aliyejiuzulu adai: Marekani inaweza ikaishambulia Iran kwa silaha za nyuklia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141076-mshauri_wa_trump_aliyejiuzulu_adai_marekani_inaweza_ikaishambulia_iran_kwa_silaha_za_nyuklia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03738105a7d2qdvi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141076-mshauri_wa_trump_aliyejiuzulu_adai_marekani_inaweza_ikaishambulia_iran_kwa_silaha_za_nyuklia </guid>  
      <description>Mshauri wa zamani wa rais wa Marekani wa masuala ya kupambana na ugaidi Joe Kent, amedai kuwa Marekani inaweza ikatumia silaha za nyuklia dhidi ya Iran baada ya kushindwa kuupindua mfumo wa utawala wa Iran kwa kutumia silaha za kawaida.</description>
      <pubDate>Sun, 30 Aug 2026 12:18:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Guterres ataka mataifa yenye silaha za nyuklia yakomeshe majaribio ya nyuklia huku tishio la Israel likishadidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141066-guterres_ataka_mataifa_yenye_silaha_za_nyuklia_yakomeshe_majaribio_ya_nyuklia_huku_tishio_la_israel_likishadidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fb01c569d02qdm4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141066-guterres_ataka_mataifa_yenye_silaha_za_nyuklia_yakomeshe_majaribio_ya_nyuklia_huku_tishio_la_israel_likishadidi </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amezitaka nchi zote zinazomiliki silaha za nyuklia kuendeleza usitishaji wa majaribio ya nyuklia na kuchukua hatua za haraka kuhakikisha Mkataba wa Kupiga Marufuku Majaribio ya Nyuklia (CTBT) unaanza kutekelezwa.</description>
      <pubDate>Sun, 30 Aug 2026 03:42:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mafuriko ya Nepal na China: Watu 676 wapoteza maisha, karibu 3,000 hawajulikani walipo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141062-mafuriko_ya_nepal_na_china_watu_676_wapoteza_maisha_karibu_3_000_hawajulikani_walipo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc03e770771272qdm0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141062-mafuriko_ya_nepal_na_china_watu_676_wapoteza_maisha_karibu_3_000_hawajulikani_walipo </guid>  
      <description>Wakati juhudi za uokoaji katika jamii zilizofukiwa na mafuriko makubwa ya ghafla kando ya mpaka wa Nepal na China zikiingia siku ya nne siku ya Jumamosi, mamlaka husika ziliendelea kuwaokoa manusura na kuwahamishia maeneo salama. </description>
      <pubDate>Sun, 30 Aug 2026 03:35:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Fedha wa Ujerumani amwambia Trump: Komesha vita 'visivyo na uwajibikaji' dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141052-waziri_wa_fedha_wa_ujerumani_amwambia_trump_komesha_vita_'visivyo_na_uwajibikaji'_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00801bf46872qdg6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141052-waziri_wa_fedha_wa_ujerumani_amwambia_trump_komesha_vita_'visivyo_na_uwajibikaji'_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Fedha wa Ujerumani amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani kukomesha vita "visivyo vya kuwajibika" dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 10:18:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Wanataka kututisha": Mwanachama wa zamani wa Palestine Action akosoa vikwazo vya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141038-wanataka_kututisha_mwanachama_wa_zamani_wa_palestine_action_akosoa_vikwazo_vya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0434a21638d2qd60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141038-wanataka_kututisha_mwanachama_wa_zamani_wa_palestine_action_akosoa_vikwazo_vya_trump </guid>  
      <description>Mwanachama wa zamani wa harakati ya Palestine Action ameikosoa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuliwekea vikwazo shirika hilo, ambalo linafanya kazi kwa bidii kupinga biashara ya silaha inayounga mkono mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya watu wa Palestina.</description>
      <pubDate>Sat, 29 Aug 2026 02:46:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamia waaga dunia katika mafuriko ya Nepal, zaidi ya 1000 hawajulikani walipo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141030-mamia_waaga_dunia_katika_mafuriko_ya_nepal_zaidi_ya_1000_hawajulikani_walipo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05548bd74042qd0i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141030-mamia_waaga_dunia_katika_mafuriko_ya_nepal_zaidi_ya_1000_hawajulikani_walipo </guid>  
      <description>Idadi ya vifo kutokana na mafuriko katika milima ya Himalaya imeongezeka hadi kufikia watu 469, huku zaidi ya watu 1,000 wakiwa bado hawajulikani walipo.

</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 10:00:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Boris Johnson: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran yalikuwa “kosa kubwa la kimkakati”</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141028-boris_johnson_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_iran_yalikuwa_kosa_kubwa_la_kimkakati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0f5f54b625b2qd0e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141028-boris_johnson_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_iran_yalikuwa_kosa_kubwa_la_kimkakati </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Boris Johnson, amesema hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran ilikuwa “kosa”, akieleza kuwa Washington iliingia katika mtego wa wazi bila kuwa na mkakati madhubuti wala malengo yaliyoainishwa.

</description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 09:58:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Vituo vya kijeshi vya UK ndani ya Ukraine na kwengineko vinaweza vikawa walengwa wa mashambulizi yetu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i141014-russia_vituo_vya_kijeshi_vya_uk_ndani_ya_ukraine_na_kwengineko_vinaweza_vikawa_walengwa_wa_mashambulizi_yetu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0035a72b1942qcw2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i141014-russia_vituo_vya_kijeshi_vya_uk_ndani_ya_ukraine_na_kwengineko_vinaweza_vikawa_walengwa_wa_mashambulizi_yetu </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia Maria Zakharova ameonya kuwa, zana na vifaa vya kijeshi vya Uingereza vilivyoko nchini Ukraine na kwingineko vinaweza kuwa walengwa halali wa mashambulizi ya Russia ikiwa Kiev itaendelea kutumia silaha zinazotolewa na Uingereza kushambulia maeneo ya ardhi ya Russia. </description>
      <pubDate>Fri, 28 Aug 2026 03:24:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Nchi 125 zawajibika kisheria kumkamata Netanyahu huku hati ya ICC ikimnyemelea Waziri Mkuu huyo wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140986-ripoti_nchi_125_zawajibika_kisheria_kumkamata_netanyahu_huku_hati_ya_icc_ikimnyemelea_waziri_mkuu_huyo_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0576ae1a0fa2qcj4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140986-ripoti_nchi_125_zawajibika_kisheria_kumkamata_netanyahu_huku_hati_ya_icc_ikimnyemelea_waziri_mkuu_huyo_wa_israel </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anakabiliwa na vizuizi vikali kimataifa vya kusafiri huku nchi 125 duniani zikiwajibika kisheria kwa kuwa wanachama katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kumtia mbaroni mtenda jinai huyo iwapo awasili katika nchi hizo.</description>
      <pubDate>Thu, 27 Aug 2026 04:22:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti mpya: Mashambulizi ya Iran yalisababisha uharibifu kwa vituo vya ujasusi vya US ambao "haujawahi kushuhudiwa"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140980-ripoti_mpya_mashambulizi_ya_iran_yalisababisha_uharibifu_kwa_vituo_vya_ujasusi_vya_us_ambao_haujawahi_kushuhudiwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d4b6dec83d2qcda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140980-ripoti_mpya_mashambulizi_ya_iran_yalisababisha_uharibifu_kwa_vituo_vya_ujasusi_vya_us_ambao_haujawahi_kushuhudiwa </guid>  
      <description>Mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesababisha "uharibifu ambao haujawahi kushuhudiwa" kwa vituo vya ujasusi vya Marekani na vifaa vyake vya upelelezi kote Mashariki ya Kati.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 11:22:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yapinga vitisho vya Marekani na vikwazo haramu dhidi ya nchi zinazofanya biashara na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140964-china_yapinga_vitisho_vya_marekani_na_vikwazo_haramu_dhidi_ya_nchi_zinazofanya_biashara_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dc94d902da2qc4u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140964-china_yapinga_vitisho_vya_marekani_na_vikwazo_haramu_dhidi_ya_nchi_zinazofanya_biashara_na_iran </guid>  
      <description>China imepinga vitisho vya Marekani vya kuziwekea vikwazo nchi zinazofanya biashara na Iran, ikisema kuwa ushirikiano wa Beijing na Tehran unafanyika kwa mujibu wa sheria za kimataifa na haupaswi kuvurugwa.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:30:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maseneta wa Marekani wataka kusikilizwa hoja kuhusu mashinikizo yanayowasibu wanajeshi wao katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140962-maseneta_wa_marekani_wataka_kusikilizwa_hoja_kuhusu_mashinikizo_yanayowasibu_wanajeshi_wao_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0225d62e8ab2qc4s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140962-maseneta_wa_marekani_wataka_kusikilizwa_hoja_kuhusu_mashinikizo_yanayowasibu_wanajeshi_wao_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kundi la maseneta wa Marekani limetaka kufanyike kikao cha kusikiliza maoni bungeni kuhusu kuchoka na mashinikizo yanayowasumbua wanajeshi wa Marekani kutokana na vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 26 Aug 2026 03:27:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Vita dhidi ya Iran vimefichua mapungufu ya mataifa makubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140956-mkuu_wa_umoja_wa_mataifa_vita_dhidi_ya_iran_vimefichua_mapungufu_ya_mataifa_makubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0664baa21042qbyw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140956-mkuu_wa_umoja_wa_mataifa_vita_dhidi_ya_iran_vimefichua_mapungufu_ya_mataifa_makubwa </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema kwamba uvamizi wa kijeshi wa hivi karibuni wa Marekani na Israel dhidi ya Iran umefichua mapungufu ya udhibiti wa madola makubwa, na kuashiria mabadiliko ya uhakika na yasiyoweza kurekebishwa kuelekea mfumo wa kimataifa wa kambi nyingi. </description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 11:32:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Serikali ya India yabomoa zaidi ya misikiti na shule 23, Waislamu wafungua mashtaka </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140952-serikali_ya_india_yabomoa_zaidi_ya_misikiti_na_shule_23_waislamu_wafungua_mashtaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc084e982688c2qbyc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140952-serikali_ya_india_yabomoa_zaidi_ya_misikiti_na_shule_23_waislamu_wafungua_mashtaka </guid>  
      <description>Serikali ya India imebomoa zaidi ya misikiti 23, shule za Kiislamu na kumbi za sala za Eid katika siku 45 pekee, zote zikiwa katika majimbo yanayoongozwa na Chama cha Bharatiya Janata (BJP), chama kinachoongozwa na Waziri Mkuu wa sasa, Narendra Modi.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:59:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Taasisi ya Brookings: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ni vya kimaonyesho tu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140946-taasisi_ya_brookings_vikwazo_vipya_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_vya_kimaonyesho_tu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0cac3db837e2qbx2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140946-taasisi_ya_brookings_vikwazo_vipya_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_vya_kimaonyesho_tu </guid>  
      <description>Mjumbe mkuu wa taasisi ya wanafikra ya Brookings amezungumzia mpango wa Marekani wa eti kuzidisha mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya Iran na kusema: Kwa mujibu wa matarajio, mpango huu si chochote ila kampeni ya kipropaganda yenye makelele mengi.</description>
      <pubDate>Tue, 25 Aug 2026 10:15:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti: Kampuni ya Uingereza ilisafirisha Waafrika kama watumwa hadi Guyana baada ya kukomeshwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140916-utafiti_kampuni_ya_uingereza_ilisafirisha_waafrika_kama_watumwa_hadi_guyana_baada_ya_kukomeshwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ea7bcd75882qbb6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140916-utafiti_kampuni_ya_uingereza_ilisafirisha_waafrika_kama_watumwa_hadi_guyana_baada_ya_kukomeshwa </guid>  
      <description>Gazeti la The Guardian limefichua kuwa, kampuni ya kibiashara ya Uingereza iliendelea kusafirisha Waafrika kama watumwa kwenda Guyana, miaka kadhaa baada ya kukomeshwa utumwa katika sehemu kubwa ya makoloni ya Uingereza.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:15:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa ulinzi aliyetimuliwa Ukraine: Ufisadi mkubwa unazuia kuhitishwa vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140912-waziri_wa_ulinzi_aliyetimuliwa_ukraine_ufisadi_mkubwa_unazuia_kuhitishwa_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b39284ab0e2qbau.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140912-waziri_wa_ulinzi_aliyetimuliwa_ukraine_ufisadi_mkubwa_unazuia_kuhitishwa_vita </guid>  
      <description>Waziri wa ulinzi aliyefukuzwa kazi wa Ukraine amekosoa kiwango cha ufisadi nchini humo, akisema kwamba ufisadi uliokita mizizi unazuia kukomeshwa vita na ujenzi mpya wa Ukraine.</description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 06:08:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti Mkuu wa Russia asifu juhudi za Iran za kuunganisha Umma wa Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140910-mufti_mkuu_wa_russia_asifu_juhudi_za_iran_za_kuunganisha_umma_wa_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0fe7c4d10e42qbac.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140910-mufti_mkuu_wa_russia_asifu_juhudi_za_iran_za_kuunganisha_umma_wa_kiislamu </guid>  
      <description>Mkuu wa Baraza la Mufti na Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Russia amepongeza hatua za Tehran kuimarisha umoja wa Umma wa Kiislamu.  </description>
      <pubDate>Mon, 24 Aug 2026 04:40:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu wa UN: Hatua kali zaidi zichukuliwe kukomesha ubaguzi kwa sababu ya dini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140892-katibu_mkuu_wa_un_hatua_kali_zaidi_zichukuliwe_kukomesha_ubaguzi_kwa_sababu_ya_dini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc08517b94b152qavo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140892-katibu_mkuu_wa_un_hatua_kali_zaidi_zichukuliwe_kukomesha_ubaguzi_kwa_sababu_ya_dini </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kukomesha vurugu na ubaguzi dhidi ya watu kwa sababu ya dini au imani yao, akionya kuwa mashambulizi dhidi ya jumuiya za kidini ni shambulio dhidi ya haki za binadamu na utu wa binadamu.</description>
      <pubDate>Sun, 23 Aug 2026 03:28:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yalaani na kupinga vikali vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya maafisa wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140824-icc_yalaani_na_kupinga_vikali_vikwazo_vipya_vya_marekani_dhidi_ya_maafisa_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d2e311508c2qa2w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140824-icc_yalaani_na_kupinga_vikali_vikwazo_vipya_vya_marekani_dhidi_ya_maafisa_wake </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, imelaani na kupinga vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Rais wa Mahakama hiyo, Jaji Tomoko Akane kutoka Japan, na Wakili Mwandamizi wa Ofisi ya Mwendesha Mashtaka, Abdoulaye Seye kutoka Senegal.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 10:38:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita dhidi ya Iran na Mgogoro katika Akiba ya Kimkakati ya Mafuta ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140820-vita_dhidi_ya_iran_na_mgogoro_katika_akiba_ya_kimkakati_ya_mafuta_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a1ff9d4f312q9zc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140820-vita_dhidi_ya_iran_na_mgogoro_katika_akiba_ya_kimkakati_ya_mafuta_ya_marekani </guid>  
      <description>Vita dhidi ya Iran vimesababisha akiba ya kimkakati ya mafuta ya Marekani kushuka hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miongo mine iliyopita.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 06:39:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mearsheimer: Marekani haina budi isipokuwa kukubali matakwa ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140812-mearsheimer_marekani_haina_budi_isipokuwa_kukubali_matakwa_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00b3fec6e272q9xq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140812-mearsheimer_marekani_haina_budi_isipokuwa_kukubali_matakwa_ya_iran </guid>  
      <description>Msomi na mtaalamu mashuhuri wa masuala ya siasa za kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amesema kuwa Marekani haina chaguo jingine bali kukubali matakwa ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 20 Aug 2026 03:30:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gaza na Sudan zaongoza katika orodha ya maeneo hatari zaidi kwa watoa misaada ya kibinadamu   </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140798-gaza_na_sudan_zaongoza_katika_orodha_ya_maeneo_hatari_zaidi_kwa_watoa_misaada_ya_kibinadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02b194afff82q9rc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140798-gaza_na_sudan_zaongoza_katika_orodha_ya_maeneo_hatari_zaidi_kwa_watoa_misaada_ya_kibinadamu </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba mwaka 2025 ulishuhudia viwango vya juu vya ukatili dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, ambapo wafanyakazi 907 wa sekta hiyo wameuawa, kujeruhiwa au kutekwa nyara.</description>
      <pubDate>Wed, 19 Aug 2026 11:01:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Dunia Inavyorejea katika Enzi za Ukatili na Ufedhuli?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140760-namna_dunia_inavyorejea_katika_enzi_za_ukatili_na_ufedhuli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02d830efb082q9c0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140760-namna_dunia_inavyorejea_katika_enzi_za_ukatili_na_ufedhuli </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alisema karibuni hivi kwamba "matumizi ya nguvu za wazi na madai ya kumiliki rasilimali za mataifa mengine ni ishara zinazoonyesha kuwa tunarejea kwenye zama za kale za matumizi ya nguvu, ambalo lilikuwa jambo la kawaida na lisilodhibitiwa."</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 11:30:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hali mbaya ya afya ya akili ya askari wa Marekani ndani ya meli ya kivita ya USS Abraham Lincoln </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140750-hali_mbaya_ya_afya_ya_akili_ya_askari_wa_marekani_ndani_ya_meli_ya_kivita_ya_uss_abraham_lincoln</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc04decefffcb2q964.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140750-hali_mbaya_ya_afya_ya_akili_ya_askari_wa_marekani_ndani_ya_meli_ya_kivita_ya_uss_abraham_lincoln </guid>  
      <description>Wasiwasi umeongezeka kuhusu kuzorota afya ya kiakili ya wanajeshi waliopo ndani ya meli kubwa ya kivita ya Marekani, USS Abraham Lincoln, huku meli hiyo ikikaribia kumaliza muda wake mrefu zaidi baharinim hali inayopelekea maafisa wa Marekani kukabiliwa na ukosoaji mkali kuhusu mazingira mabovu ndani ya meli hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 18 Aug 2026 03:21:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano Ujerumani na Korea Kusini kupinga utawala wa Kizayuni na kuunga mkono wananchi wa Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140730-maandamano_ujerumani_na_korea_kusini_kupinga_utawala_wa_kizayuni_na_kuunga_mkono_wananchi_wa_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0292ed07a612q8vu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140730-maandamano_ujerumani_na_korea_kusini_kupinga_utawala_wa_kizayuni_na_kuunga_mkono_wananchi_wa_palestina </guid>  
      <description>Maandamano makubwa yamefanyika nchini Ujerumani na Korea Kusini kupinga sera na vitendo vya kikatili vya utawala wa Kizayuni na kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina.</description>
      <pubDate>Mon, 17 Aug 2026 06:04:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ILO: Mafunzo ya ufundi yatumike kukabiliana na ongezeko la ukosefu wa ajira kwa vijana</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140644-ilo_mafunzo_ya_ufundi_yatumike_kukabiliana_na_ongezeko_la_ukosefu_wa_ajira_kwa_vijana</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc02823f862942q7mg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140644-ilo_mafunzo_ya_ufundi_yatumike_kukabiliana_na_ongezeko_la_ukosefu_wa_ajira_kwa_vijana </guid>  
      <description>Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana duniani umeongezeka, huku ukuaji dhaifu wa uchumi na upungufu wa nafasi mpya za kazi ukiwaweka vijana katika mazingira magumu ya kuingia katika soko la ajira.</description>
      <pubDate>Thu, 13 Aug 2026 10:39:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Maafisa wa Uturuki waamini Israel ilitunga ‘njama ya Iran’ ya kumuua Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140642-ripoti_maafisa_wa_uturuki_waamini_israel_ilitunga_njama_ya_iran’_ya_kumuua_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0cb8aabb46f2q7ks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140642-ripoti_maafisa_wa_uturuki_waamini_israel_ilitunga_njama_ya_iran’_ya_kumuua_trump </guid>  
      <description>Ripoti mpya inaonyesha kwamba madai ya njama ya Iran ya kumuua Rais wa Marekani Donald Trump wakati wa mkutano wa hivi karibuni wa NATO nchini Uturuki yalikuwa ni upotoshaji uliopikwa na shirika la kijasusi la Israel, Mossad, kwa lengo la kuvuruga mazungumzo ya Iran na Marekani yaliyolenga kumaliza kabisa uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 13 Aug 2026 10:34:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muislamu aliyeshinda kuwania Useneta Michigan atumiwa jumbe za chuki 3,000 kwa siku</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140614-muislamu_aliyeshinda_kuwania_useneta_michigan_atumiwa_jumbe_za_chuki_3_000_kwa_siku</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0c3a7f62bf42q7ea.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140614-muislamu_aliyeshinda_kuwania_useneta_michigan_atumiwa_jumbe_za_chuki_3_000_kwa_siku </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya uliofanywa na Kituo cha Utafiti wa Chuki Zilizoratibiwa (CSOH) cha nchini Marekani unaonyesha kuwa jumbe za maandishi zilizomlenga Abdulraham El-Sayed, za hisia za chuki dhidi yake kwa sababu ya Uislamu wake zilifikia wastani wa 3,099 kwa siku katika muda wa wiki moja baada ya ushindi wake, ikilinganishwa na wastani wa watu 155 kila siku katika miezi miwili kabla yake; hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 1,895.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 11:46:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wanajeshi wa Marekani wauana ndani ya manuari ya kivita ya USS Abraham Lincoln </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140606-wanajeshi_wa_marekani_wauana_ndani_ya_manuari_ya_kivita_ya_uss_abraham_lincoln</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc09fc50f8b542q76m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140606-wanajeshi_wa_marekani_wauana_ndani_ya_manuari_ya_kivita_ya_uss_abraham_lincoln </guid>  
      <description>Wanajeshi saba wa Jeshi la Wanamaji la Marekani wameripotiwa kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano makali ndani ya meli ya USS Abraham Lincoln, huku machafuko yanayoongezeka miongoni mwa wafanyakazi wa meli hiyo yakiweka wazi mashinikizo makubwa ndani ya jeshi la Marekani kutokana na majukumu ya muda mrefu ya kivita.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 03:42:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanadiplomasia wa kizayuni: Baadhi ya Wademocrat wanaipendelea Iran kuliko serikali ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140604-mwanadiplomasia_wa_kizayuni_baadhi_ya_wademocrat_wanaipendelea_iran_kuliko_serikali_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0b16b7222322q76k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140604-mwanadiplomasia_wa_kizayuni_baadhi_ya_wademocrat_wanaipendelea_iran_kuliko_serikali_ya_marekani </guid>  
      <description>Mwanadiplomasia mmoja mwandamizi wa utawala wa kizayuni wa Israel amesema, ametiwa wasiwasi mkubwa na alichokiita "mabadiliko ya mwelekeo" katika sera ya Marekani, akisisitiza kwamba Tel Aviv inajiandaa kwa zama za kupunguza utegemezi kwa Washington na kujitegemea zaidi, ikiwa ni pamoja na "kuanzisha muungano na nchi zingine."</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 03:38:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka Ujerumani, matukio 231 yarekodiwa katika nusu ya mwaka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140602-chuki_dhidi_ya_uislamu_zaongezeka_ujerumani_matukio_231_yarekodiwa_katika_nusu_ya_mwaka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0dd6592d2852q76i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140602-chuki_dhidi_ya_uislamu_zaongezeka_ujerumani_matukio_231_yarekodiwa_katika_nusu_ya_mwaka </guid>  
      <description>Mamlaka za Ujerumani zimerekodi makosa 231 ya jinai yaliyofanywa dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2026.</description>
      <pubDate>Wed, 12 Aug 2026 03:36:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Trump alibadilisha ndege kwa siri nchini Uturuki kutokana na 'tishio la Iran'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140584-ripoti_trump_alibadilisha_ndege_kwa_siri_nchini_uturuki_kutokana_na_'tishio_la_iran'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e3718a1f5d2q6y2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140584-ripoti_trump_alibadilisha_ndege_kwa_siri_nchini_uturuki_kutokana_na_'tishio_la_iran' </guid>  
      <description>Vyanzo vya habari vya nchini Marekani vimeripoti kuwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo mwezi uliopita alibadilisha kwa siri ndege ya Air Force One na kutumia ndege ndogo ya kijeshi ya Marekani baada ya kuondoka kwenye mkutano wa kilele wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) mjini Ankara, Uturuki, katika operesheni iliyoripotiwa kuchochewa na "tishio la Iran,".</description>
      <pubDate>Tue, 11 Aug 2026 11:20:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanzilishi mwenza aonya: Wikipedia imekuwa chombo cha propaganda cha CIA, taasisi zingine zenye nguvu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140536-mwanzilishi_mwenza_aonya_wikipedia_imekuwa_chombo_cha_propaganda_cha_cia_taasisi_zingine_zenye_nguvu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0c88b017e5a2q62i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140536-mwanzilishi_mwenza_aonya_wikipedia_imekuwa_chombo_cha_propaganda_cha_cia_taasisi_zingine_zenye_nguvu </guid>  
      <description>Mwanzilishi mwenza wa Wikipedia, Lawrence Mark Sanger, ameonya kwamba ensaiklopidia hiyo ya mtandaoni imekuwa chombo cha propaganda, akisema Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) na marekebisho yanayofanywa na makampuni mbalimbali kwenye Wikipedia yamedhoofisha sera yake ya kutopendelea upande wowote.</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 11:04:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali wa Trump anatafuta njia ya kujiondoa vitani na Iran huku machaguo ya kijeshi ya Marekani yakipungua</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140516-jenerali_wa_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_vitani_na_iran_huku_machaguo_ya_kijeshi_ya_marekani_yakipungua</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc038d81ccb2f2q5wc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140516-jenerali_wa_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_vitani_na_iran_huku_machaguo_ya_kijeshi_ya_marekani_yakipungua </guid>  
      <description>Mkuu wa Majeshi ya Marekani, Jenerali Daniel Caine, amewasihi maafisa wakuu wa utawala wa Trump kutafuta njia ya kupunguza vita na Iran, akionya kwamba ongezeko zaidi la mapigano ya kijeshi haliwezi kupata mafanikio makubwa na kwamba linawaweka wanajeshi wa Marekani na washirika wake katika hatari ya majibu angamizi ya Iran.

</description>
      <pubDate>Sun, 09 Aug 2026 02:57:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yashambulia eneo la kutengeneza makombora na ghala la mafuta la Ukraine huko Kyiv</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140504-russia_yashambulia_eneo_la_kutengeneza_makombora_na_ghala_la_mafuta_la_ukraine_huko_kyiv</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d5cbfbb9472q5rk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140504-russia_yashambulia_eneo_la_kutengeneza_makombora_na_ghala_la_mafuta_la_ukraine_huko_kyiv </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi ya nchi hiyo vimeshambulia kituo cha kijeshi na viwanda cha Ukraine kinachotengeneza makombora ya cruise pamoja na ghala la mafuta huko Kyiv.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 12:50:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Telegraph: Vita dhidi ya Iran vinaweza vikawa moja ya makosa ya kihistoria</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140496-telegraph_vita_dhidi_ya_iran_vinaweza_vikawa_moja_ya_makosa_ya_kihistoria</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0991be607072q5ii.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140496-telegraph_vita_dhidi_ya_iran_vinaweza_vikawa_moja_ya_makosa_ya_kihistoria </guid>  
      <description>Gazeti la Telegraph linalochapishwa nchini Uingereza limekiri katika ripoti yake kwamba Marekani na Israel zimeshindwa katika vita, huku Iran ikiwa imeibuka mshindi, na kwamba vita hivi vinaweza kuwa tukio muhimu sana la kupelekea kupungua satua na ushawishi wa Marekani duniani.</description>
      <pubDate>Sat, 08 Aug 2026 03:24:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katika kumbukumbu ya mwaka wa 81 tangu US ilipoishambulia Hiroshima, UN yataka silaha za nyuklia ziangamizwe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140482-katika_kumbukumbu_ya_mwaka_wa_81_tangu_us_ilipoishambulia_hiroshima_un_yataka_silaha_za_nyuklia_ziangamizwe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0491dd158612q5fc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140482-katika_kumbukumbu_ya_mwaka_wa_81_tangu_us_ilipoishambulia_hiroshima_un_yataka_silaha_za_nyuklia_ziangamizwe </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameonya kuwa dunia inakabiliwa na ongezeko la hatari ya matumizi ya silaha za nyuklia kutokana na kushamiri migawanyiko ya kisiasa, kutokuaminiana na mashindano ya kijeshi. </description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 12:27:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watetezi wa Palestina washinda katika uteuzi wa wagombea wa Democratic wa uchaguzi wa US</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140480-watetezi_wa_palestina_washinda_katika_uteuzi_wa_wagombea_wa_democratic_wa_uchaguzi_wa_us</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ae80664a9e2q5f8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140480-watetezi_wa_palestina_washinda_katika_uteuzi_wa_wagombea_wa_democratic_wa_uchaguzi_wa_us </guid>  
      <description>Matokeo ya uchaguzi wa mashinani wa Marekani wa kuteua wagombea wa Seneti na Baraza la Wawakilishi katika uchaguzi wa Novemba yanaonyesha ushawishi unaoongezeka wa mrengo wa chama cha Democratic unaotaka mabadiliko, ambao umeliweka suala la Palestina kwenye kitovu cha wito wake wa kisiasa.</description>
      <pubDate>Fri, 07 Aug 2026 12:25:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump anazidi kuchanganyikiwa kuhusu ulipizaji kisasi wa Iran, amkabili Hegseth kuhusu uhaba wa silaha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140448-trump_anazidi_kuchanganyikiwa_kuhusu_ulipizaji_kisasi_wa_iran_amkabili_hegseth_kuhusu_uhaba_wa_silaha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ea4baf297c2q4v0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140448-trump_anazidi_kuchanganyikiwa_kuhusu_ulipizaji_kisasi_wa_iran_amkabili_hegseth_kuhusu_uhaba_wa_silaha </guid>  
      <description>Rais wa Marekani, Donald Trump, amezidi kukatishwa tamaa na kushindwa mara kwa mara kwa mashine ya kivita ya nchi hiyo kutokana na ulipizaji kisasi wa Iran na amemkabili Waziri wa Vita, Pete Hegseth, kuhusu uhaba wa silaha muhimu za Marekani.</description>
      <pubDate>Thu, 06 Aug 2026 03:52:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Marekani inazishinikiza nchi za Afrika kujiondoa ICC au kukabiliwa na madhara</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140436-ripoti_marekani_inazishinikiza_nchi_za_afrika_kujiondoa_icc_au_kukabiliwa_na_madhara</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc001a144c0a52q4oq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140436-ripoti_marekani_inazishinikiza_nchi_za_afrika_kujiondoa_icc_au_kukabiliwa_na_madhara </guid>  
      <description>Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani unazishinikiza nchi za Afrika kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) na kutishia kuzichukulia hatua, huku Washington ikiongeza kasi ya kampeni yake dhidi ya mahakama hiyo.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:13:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hukumu ya kihistoria nchini Uingereza: Kupinga Uzayuni si chuki dhidi ya Wayahudi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140432-hukumu_ya_kihistoria_nchini_uingereza_kupinga_uzayuni_si_chuki_dhidi_ya_wayahudi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0a217e37dd52q4ok.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140432-hukumu_ya_kihistoria_nchini_uingereza_kupinga_uzayuni_si_chuki_dhidi_ya_wayahudi </guid>  
      <description>Katika uamuzi wa kihistoria uliotolewa jana Agosti 4, 2026, Mahakama Kuu ya Rufaa ya Ajira ya Uingereza ilikataa rufaa iliyowasilishwa na Chuo Kikuu cha Bristol dhidi ya msomi David Miller, ikithibitisha mfano wa kisheria unaotambua imani za kupinga Uzayuni kuwa ni itikadi ya kifalsafa inayolindwa chini ya Kifungu cha 10 cha Sheria ya Usawa ya Uingereza ya 2010.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 12:08:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari Ulaya vyafichua mpango wa kifisadi wa Rais wa FIFA na wandani wa Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140418-vyombo_vya_habari_ulaya_vyafichua_mpango_wa_kifisadi_wa_rais_wa_fifa_na_wandani_wa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0be67c878852q4cm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140418-vyombo_vya_habari_ulaya_vyafichua_mpango_wa_kifisadi_wa_rais_wa_fifa_na_wandani_wa_trump </guid>  
      <description>Jarida la The Times limefichua kiasi kikubwa cha fedha ambazo rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino, angeweka mfukoni iwapo mpango wa kuuza Kombe la Dunia ungetekelezwa.</description>
      <pubDate>Wed, 05 Aug 2026 02:50:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Algeria na Italia zakubaliana kuimarisha ushirikiano ili kupambana na uhamiaji haramu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140406-algeria_na_italia_zakubaliana_kuimarisha_ushirikiano_ili_kupambana_na_uhamiaji_haramu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc06056fe8d032q47m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140406-algeria_na_italia_zakubaliana_kuimarisha_ushirikiano_ili_kupambana_na_uhamiaji_haramu </guid>  
      <description>Algeria na Italia zimekubaliana kuimarisha ushirikiano dhidi ya uhamiaji haramu na uhalifu wa kuvuka mipaka. Uamuzi huu umefikiwa wakati wa mazungumzo kati ya Mawaziri wa Mambo ya Ndani wan chi mbili hizo huko Roma, Italia. </description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 10:22:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Leo ni Arubaini ya Imam Hussein AS, Waislamu wa Iran waungana na Waislamu wengine kuiadhimisha</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140402-leo_ni_arubaini_ya_imam_hussein_as_waislamu_wa_iran_waungana_na_waislamu_wengine_kuiadhimisha</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc00cdfc098c12q43s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140402-leo_ni_arubaini_ya_imam_hussein_as_waislamu_wa_iran_waungana_na_waislamu_wengine_kuiadhimisha </guid>  
      <description>Jumanne ya leo ya tarehe 4 Agosti 2026 inasadifiana na maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS, yaani siku ya 40 tangu Imam Husain AS na wafuasi wake watiifu walipouawa kinyama kwenye jangwa la Karbala mwezi 10 Mfunguo Nne Muharram, mwaka wa 61 Hijria.

</description>
      <pubDate>Tue, 04 Aug 2026 03:18:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti ya Middle East Monitor: Mwisho wa dhana ya Marekani ya 'kutoshindwa'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140372-ripoti_ya_middle_east_monitor_mwisho_wa_dhana_ya_marekani_ya_'kutoshindwa'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ace1e4465f2q3m8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140372-ripoti_ya_middle_east_monitor_mwisho_wa_dhana_ya_marekani_ya_'kutoshindwa' </guid>  
      <description>Ripoti ya gazeti la Middle East Monitor imesema kuwa, Iran haiwezi kushindwa katika vita, na kwamba hali hiyo ni ukweli ambao Marekani na Israel haziwezi kuubadilisha hata kama watajitahidi kiasi gani.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 02:46:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Umaskini wakithiri Marekani, pengo la kijamii lazidi kupanuka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140370-new_york_times_umaskini_wakithiri_marekani_pengo_la_kijamii_lazidi_kupanuka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0ee9243b6372q3m6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140370-new_york_times_umaskini_wakithiri_marekani_pengo_la_kijamii_lazidi_kupanuka </guid>  
      <description>Gazeti la New York Times limeripoti kuongezeka umaskini nchini Marekani na kuongezeka pengo la kijamii miongoni mwa wananchi wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 03 Aug 2026 02:44:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali wa Marekani: Hatuna vikosi vya kutosha vya kuilinda Israel na makombora ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140348-jenerali_wa_marekani_hatuna_vikosi_vya_kutosha_vya_kuilinda_israel_na_makombora_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc01b24bc0f432q3a6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140348-jenerali_wa_marekani_hatuna_vikosi_vya_kutosha_vya_kuilinda_israel_na_makombora_ya_iran </guid>  
      <description>Gazeti la The Washington Post limeandika: Jenerali mmoja mwandamizi wa Marekani barani Ulaya ameionya Pentagon kuwa Jeshi la Wanamaji halina vikosi vya kutosha vya kuweza kuendelea kuilinda Israel na makombora ya masafa marefu.</description>
      <pubDate>Sun, 02 Aug 2026 02:51:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa waonya kuhusu utumiaji wa mada zilizopigwa marufuku dhidi ya raia wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140334-umoja_wa_mataifa_waonya_kuhusu_utumiaji_wa_mada_zilizopigwa_marufuku_dhidi_ya_raia_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc05e229ccc832q35s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140334-umoja_wa_mataifa_waonya_kuhusu_utumiaji_wa_mada_zilizopigwa_marufuku_dhidi_ya_raia_wa_iran </guid>  
      <description>Maripota wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wametoa taarifa ya pamoja, wakisema kuwa raia 3,375 wa Iran wameuawa katika mashambulizi ya kikatili ya Marekani na Israel (wakiwemo wanawake wapatao 500), na kutoa wito wa kuwajibishwa Marekani na Israel kwa uhalifu wao wa kivita, hasa kuhusu janga la shule ya msingi ya Minab.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 11:31:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meya wa Moscow: Zaidi ya droni 6,000 za Ukraine zililenga mji mkuu wa Russia mwezi Julai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140330-meya_wa_moscow_zaidi_ya_droni_6_000_za_ukraine_zililenga_mji_mkuu_wa_russia_mwezi_julai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0e120c641032q35k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140330-meya_wa_moscow_zaidi_ya_droni_6_000_za_ukraine_zililenga_mji_mkuu_wa_russia_mwezi_julai </guid>  
      <description>Zaidi ya ndege zisizo na rubani (droni) 6,000 za Ukraine ziliulenga mji mkuu wa Russia, Moscow mwezi Julai mwaka huu. Haya yameelezwa na, Meya wa Moscow, Sergey Sobyanin.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 11:24:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Nguvu ya Marekani Inaelekea Ukingoni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140318-kwa_nini_nguvu_ya_marekani_inaelekea_ukingoni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cc0d135e2cfd82q2ya.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140318-kwa_nini_nguvu_ya_marekani_inaelekea_ukingoni </guid>  
      <description>Miongo mitatu baada ya operesheni ya "Desert Storm," mtazamo ndani ya duru za kimkakati za Marekani ni kwamba zama za nguvu na utawala usio na mpinzani wa Washington zimefikia ukingoni. Vita na Iran vimethibitisha kuwa mwenendo wa mabadiliko katika uwiano wa nguvu na kupungua kwa uwezo wa Marekani wa kuzuia vitisho (deterrence credibility) ndani ya mfumo wa dunia umeanza kushika kasi.</description>
      <pubDate>Sat, 01 Aug 2026 06:29:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Karibu nusu ya Wamarekani wanataka Netanyahu akamatwe licha ya propaganda za mamilioni ya dola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140300-karibu_nusu_ya_wamarekani_wanataka_netanyahu_akamatwe_licha_ya_propaganda_za_mamilioni_ya_dola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd83694ef082q2ha.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140300-karibu_nusu_ya_wamarekani_wanataka_netanyahu_akamatwe_licha_ya_propaganda_za_mamilioni_ya_dola </guid>  
      <description>Karibu nusu ya Wamarekani wanataka waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akamatwe licha ya propaganda zinazofanywa na utawala huo wa kizayuni ambazo zimeugharimu mamilioni ya dola.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:33:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amnesty International: India inashiriki katika mauaji ya kimbari ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140296-amnesty_international_india_inashiriki_katika_mauaji_ya_kimbari_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz08beb082de2q2gq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140296-amnesty_international_india_inashiriki_katika_mauaji_ya_kimbari_ya_gaza </guid>  
      <description>Katika ripoti mpya iliyotolewa jana, Julai 30, Amnesty International imefichua data za forodha kuhusu usafirishaji kutoka India kuelekea Israel, ikisema kwamba New Delhi imeendelea kusafirisha vipuri vya zana za kijeshi, risasi na vifaa kwa makampuni ya Israel licha ya hatari iliyo wazi ya silaha hizo kutumika katika mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.</description>
      <pubDate>Fri, 31 Jul 2026 03:27:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Karibu nusu ya Wamarekani wanataka Netanyahu akamatwe licha ya propaganda za mamilioni ya dola</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140280-karibu_nusu_ya_wamarekani_wanataka_netanyahu_akamatwe_licha_ya_propaganda_za_mamilioni_ya_dola</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd83694ef082q2ha.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140280-karibu_nusu_ya_wamarekani_wanataka_netanyahu_akamatwe_licha_ya_propaganda_za_mamilioni_ya_dola </guid>  
      <description>Karibu nusu ya Wamarekani wanataka waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akamatwe licha ya propaganda zinazofanywa na utawala huo wa kizayuni ambazo zimeugharimu mamilioni ya dola.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 10:19:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UNHCR yaonya juu ya ukandamizaji wa haki za wakimbizi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140266-unhcr_yaonya_juu_ya_ukandamizaji_wa_haki_za_wakimbizi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz92aa69a0612q2cg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140266-unhcr_yaonya_juu_ya_ukandamizaji_wa_haki_za_wakimbizi </guid>  
      <description>Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema haki za waomba hifadhi ulimwenguni zinakabiliwa na shinikizo kubwa la kisiasa. Hayo yameelezwa wakati shirika hilo likiadhimisha miaka 75 ya kupitishwa kwa Mkataba wa Wakimbiuzi.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 04:11:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Zakharova: Shambulio la Ukraine dhidi ya meli ya Iran lilikuwa kitendo cha wazi cha ugaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140264-zakharova_shambulio_la_ukraine_dhidi_ya_meli_ya_iran_lilikuwa_kitendo_cha_wazi_cha_ugaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz535b0210dd2q2ce.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140264-zakharova_shambulio_la_ukraine_dhidi_ya_meli_ya_iran_lilikuwa_kitendo_cha_wazi_cha_ugaidi </guid>  
      <description>
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameikosoa vikali serikali ya Kyiv, akisisitiza kuwa shambulio la Ukraine dhidi ya meli ya Iran lilikuwa mfano halisi wa kitendo cha kigaidi.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Jul 2026 04:04:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu wa UN: Mkataba kuhusu wakimbizi si wa kupuuzwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140244-katibu_mkuu_wa_un_mkataba_kuhusu_wakimbizi_si_wa_kupuuzwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzf10702f3ad2q1xm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140244-katibu_mkuu_wa_un_mkataba_kuhusu_wakimbizi_si_wa_kupuuzwa </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito kwa nchi zote wanachama kuhuisha dhamira yao ya kutekeleza Mkataba wa Wakimbizi wa mwaka 1951, akisema haki ya watu wanaokimbia mateso kutafuta hifadhi inazidi kutiliwa shaka, kuwekewa vikwazo au kunyimwa.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Jul 2026 02:28:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Licha ya ushahidi wa UN, serikali ya UK yakataa kutambua mauaji ya kimbari ya Ghaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140242-licha_ya_ushahidi_wa_un_serikali_ya_uk_yakataa_kutambua_mauaji_ya_kimbari_ya_ghaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdc81c191942q1xk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140242-licha_ya_ushahidi_wa_un_serikali_ya_uk_yakataa_kutambua_mauaji_ya_kimbari_ya_ghaza </guid>  
      <description>Serikali mpya ya Uingereza imekataa wito uliotolewa wabunge 80 na wenzao wa kuyatambua mauaji ya kimbari yaliyofanywa na Israel katika Ukanda wa Ghaza, kuuwekea utawala huo wa kizayuni vikwazo kamili vya silaha na kuanzisha vikwazo kamili dhidi ya utawala huo ghasibu.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Jul 2026 02:25:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wabunge wa US waanza kuchunguza ufisadi kuhusu FIFA na uhusiano wa Infantino na Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140230-wabunge_wa_us_waanza_kuchunguza_ufisadi_kuhusu_fifa_na_uhusiano_wa_infantino_na_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz61ea6ee9dc2q1ug.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140230-wabunge_wa_us_waanza_kuchunguza_ufisadi_kuhusu_fifa_na_uhusiano_wa_infantino_na_trump </guid>  
      <description>Mbunge mmoja nchini Marekani wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la nchi hiyo ametangaza kuanzishwa uchunguzi kuhusu shirikisho la soka duniani FIFA, akiongeza kuwa inawezekana kukawepo na uhusiano kati ya shirikisho hilo na serikali ya Rais wa Marekani Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 13:58:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakati Trump Anapokiuka Hata Ahadi Alizotoa kwa Washirika wake wa Kikanda!</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140228-wakati_trump_anapokiuka_hata_ahadi_alizotoa_kwa_washirika_wake_wa_kikanda!</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6d19268f302q1bm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140228-wakati_trump_anapokiuka_hata_ahadi_alizotoa_kwa_washirika_wake_wa_kikanda! </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani amekiuka ahadi yake ya awali kwa Saudi Arabia kwa kutangaza masharti mapya ya utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 08:23:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Maadui wa Russia wamejielekeza katika mbinu za wazi za kigaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140218-putin_maadui_wa_russia_wamejielekeza_katika_mbinu_za_wazi_za_kigaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0830b99e7f2q1js.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140218-putin_maadui_wa_russia_wamejielekeza_katika_mbinu_za_wazi_za_kigaidi </guid>  
      <description>Rais wa Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa maadui wa nchi hiyo wameamua kutumia mbinu za wazi za kigaidi, na kwamba Moscow itatimiza malengo yake yote ya kijeshi katika vita vya Ukraine na iko tayari kutoa jibu kwa hatua yoyote ya uhasama.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Jul 2026 03:52:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maelfu Waandamana Jakarta kulaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140202-maelfu_waandamana_jakarta_kulaani_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzfd4fb4cb9f2q1au.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140202-maelfu_waandamana_jakarta_kulaani_mashambulizi_ya_israel_dhidi_ya_gaza </guid>  
      <description>Maandamano makubwa yamefanyika katika mji mkuuu wa Indonesia Jakarta kulaani mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza.

</description>
      <pubDate>Mon, 27 Jul 2026 08:44:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malaysia yasisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwafukuza Waisraeli</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140168-malaysia_yasisitiza_msimamo_wake_wa_kuendelea_kuwafukuza_waisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb5dc3494012q0qu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140168-malaysia_yasisitiza_msimamo_wake_wa_kuendelea_kuwafukuza_waisraeli </guid>  
      <description>Waziri wa Ulinzi wa Malaysia, Mohamed Khaled Nordin, amesisitiza kuwa serikali ya nchi hiyo itaendelea kuwafukuza raia wa Israel kutoka katika ardhi ya Malaysia, akieleza kuwa hatua hiyo ni sehemu ya sera ya muda mrefu ya Kuala Lumpur ya kutoutambua utawala wa Kizayuni wa Israel.

</description>
      <pubDate>Sun, 26 Jul 2026 02:53:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwendesha-mashtaka wa ICC Karim Khan aondolewa kufuatia tuhuma za unyanyasaji wa kingono</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140138-mwendesha_mashtaka_wa_icc_karim_khan_aondolewa_kufuatia_tuhuma_za_unyanyasaji_wa_kingono</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz024f12ad032q0ce.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140138-mwendesha_mashtaka_wa_icc_karim_khan_aondolewa_kufuatia_tuhuma_za_unyanyasaji_wa_kingono </guid>  
      <description>Mkutano wa Nchi Wanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) umepiga kura ya kumwondoa Mwendesha Mashtaka Karim Khan kufuatia madai ya utovu wa nidhamu wa kingono; timu yake ya wanasheria imethibitisha hayo, huku ikidokeza kuwa hatua hiyo ilikuwa ya "kisiasa".</description>
      <pubDate>Sat, 25 Jul 2026 03:03:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamdani ataka Marekani imkamate Netanyahu kwa uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140092-mamdani_ataka_marekani_imkamate_netanyahu_kwa_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz8e570508a62pzt6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140092-mamdani_ataka_marekani_imkamate_netanyahu_kwa_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, amemtaja Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuwa ni mhalifu wa kivita, na kuitaka serikali ya Marekani kutekeleza hati ya kukamatwa kwake iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iwapo atatia mguu katika ardhi ya Marekani.

</description>
      <pubDate>Thu, 23 Jul 2026 02:48:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari Marekani: Trump anataka kumteua rais wa FIFA kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140086-vyombo_vya_habari_marekani_trump_anataka_kumteua_rais_wa_fifa_kuwa_katibu_mkuu_wa_umoja_wa_mataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2ddf4aed062pzm6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140086-vyombo_vya_habari_marekani_trump_anataka_kumteua_rais_wa_fifa_kuwa_katibu_mkuu_wa_umoja_wa_mataifa </guid>  
      <description>Rais wa Marekani, Donald Trump, anataka kumteua Rais wa FIFA, Gianni Infantino katika nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 10:24:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uholanzi yatangaza kususia bidhaa zinazotoka Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140078-uholanzi_yatangaza_kususia_bidhaa_zinazotoka_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz73f8e191392pzlk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140078-uholanzi_yatangaza_kususia_bidhaa_zinazotoka_israel </guid>  
      <description>Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari, serikali ya Uholanzi imeamua kupiga marufuku uingizaji, ununuzi na uuzaji wa bidhaa zinazozalishwa katika maeneo ya vitongozi haramu vya walowezi wa utawala wa Kizayuni.

</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 09:48:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti ya UN: Njaa inapungua lakini bado iko juu ikilinganishwa na viwango vya kabla ya COVID</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140068-ripoti_ya_un_njaa_inapungua_lakini_bado_iko_juu_ikilinganishwa_na_viwango_vya_kabla_ya_covid</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc1151031d32pzeo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140068-ripoti_ya_un_njaa_inapungua_lakini_bado_iko_juu_ikilinganishwa_na_viwango_vya_kabla_ya_covid </guid>  
      <description>Inakadiriwa kuwa watu milioni 645 walikumbwa na njaa mwaka jana duniani kote; idadi ambayo ni pungufu kwa watu milioni 14 ikilinganishwa na mwaka 2024, na wakati huo huo ni pungufu kwa watu milioni 43 ikilinganishwa na idadi ya watu walioathiriwa na njaa mwaka wa 2022. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa ripoti ya karibuni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Hali ya Usalama wa Chakula na Lishe Duniani.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Jul 2026 03:18:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ukandamizaji wa sauti za kutetea Palestina nchini Ujerumani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140050-ukandamizaji_wa_sauti_za_kutetea_palestina_nchini_ujerumani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz58d5f516c42pz98.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140050-ukandamizaji_wa_sauti_za_kutetea_palestina_nchini_ujerumani </guid>  
      <description>Mauaji ya halaiki yanayoendelezwa na utawala wa Israel huko Gaza kwa kiasi kikubwa yamefutwa kwenye vyombo vya habari vya Ujerumani na katika ajenda ya umma; hata hivyo, ukandamizaji wa sauti za kuunga mkono Palestina haujatoweka.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Jul 2026 11:28:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>The Guardian: Trump ndiye adui nambari moja wa jamii ya kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140026-the_guardian_trump_ndiye_adui_nambari_moja_wa_jamii_ya_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz7e1e3ef16b2pyuy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140026-the_guardian_trump_ndiye_adui_nambari_moja_wa_jamii_ya_kimataifa </guid>  
      <description>Gazeti la Uingereza The Guardian limemuelezea Rais wa Marekani Donald Trump kuwa ndiye “adui wa nambari moja wa jamii ya kimataifa”, likikosoa sera na hatua zake katika masuala ya kimataifa.

</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 10:19:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hamas yapongeza ushindi wa Uhispania katika Kombe la Dunia, yasema ni pigo kwa utawala wa Kizayuni </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140020-hamas_yapongeza_ushindi_wa_uhispania_katika_kombe_la_dunia_yasema_ni_pigo_kwa_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb9b20cce582pyqm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140020-hamas_yapongeza_ushindi_wa_uhispania_katika_kombe_la_dunia_yasema_ni_pigo_kwa_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Palestina, Hamas, ametoa pongezi za dhati kwa Uhispania kufuatia ushindi wake baada ya mechi ngumu katika fainali ya Kombe la Dunia la FIFA la mwaka 2026, akielezea mafanikio hayo kuwa ni chanzo cha furaha kwa watu wa Palestina na wafuasi wote wa haki, huku akibainisha kuwa ushindi huo ni pigo hasa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na wafadhili wake.</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 04:17:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya vita dhidi ya Iran: Akiba ya mafuta ya Marekani yashuka hadi kiwango cha chini zaidi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i140012-baada_ya_vita_dhidi_ya_iran_akiba_ya_mafuta_ya_marekani_yashuka_hadi_kiwango_cha_chini_zaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzb6f26c53a12pyqe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i140012-baada_ya_vita_dhidi_ya_iran_akiba_ya_mafuta_ya_marekani_yashuka_hadi_kiwango_cha_chini_zaidi </guid>  
      <description>Gazeti la Eurasia Daily limeripoti kuwa mvutano unaoendelea katika eneo la Asia Magharibi umesababisha akiba ya mafuta ya Marekani kushuka hadi kiwango cha chini zaidi katika kipindi cha miaka 43 iliyopita.</description>
      <pubDate>Mon, 20 Jul 2026 04:05:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139978-kwa_nini_trump_aliachana_na_mpango_wa_kutoza_ushuru_wa_20_kwenye_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze08af339622pxtw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139978-kwa_nini_trump_aliachana_na_mpango_wa_kutoza_ushuru_wa_20_kwenye_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani ameachana na mpango wake wa kutoza ushuru wa asilimia 20 kwenye Lango Bahari la Hormuz.
Trump ambaye awali alidai kwamba Marekani ina nia ya kuwa "mlinzi wa Lango-Bahari la Hormuz" na kusema atatoza ushuru wa asilimia 20 kwenye njia hii ya maji ambayo hana mamlaka nayo, hatimaye ameachana na ndoto hiyo isiyothibiti.
</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 09:54:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139976-who_ada_za_mazishi_zinatatiza_juhudi_za_kudhibiti_ebola_congo_dr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze60ef3f82d2pya2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139976-who_ada_za_mazishi_zinatatiza_juhudi_za_kudhibiti_ebola_congo_dr </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeonya kwamba kusafirisha miili za waathiriwa wa virusi vya Ebola kati ya maeneo mbalimbali kwa ajili ya mazishi katika miji yao kunaweza kuchangia kuenea kwa maambukizi, wakati huu ambapo idadi ya maambukizi ya virusi hivyo imeongezeka kwa takriban 70% katika wiki mbili, huku zaidi ya maambukizi 40 mapya yakirekodiwa kila siku kwa wastani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 09:13:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tucker Carlson: Marekani inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139964-tucker_carlson_marekani_inakabiliwa_na_tishio_la_mapinduzi_ya_umma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz916a3879122py5q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139964-tucker_carlson_marekani_inakabiliwa_na_tishio_la_mapinduzi_ya_umma </guid>  
      <description>Mwanahabari maarufu wa kihafidhina wa Marekani amesema kwamba nchi hiyo inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:14:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Kiislamu wa Iraq watangaza zawadi ya dola milioni 10 kwa atakayemuua Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139954-muqawama_wa_kiislamu_wa_iraq_watangaza_zawadi_ya_dola_milioni_10_kwa_atakayemuua_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz22aebc1b602py1g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139954-muqawama_wa_kiislamu_wa_iraq_watangaza_zawadi_ya_dola_milioni_10_kwa_atakayemuua_trump </guid>  
      <description>Muqawama wa Kiislamu wa Iraq (Islamic Resistance in Iraq) umetangaza zawadi ya dola milioni 10 za Marekani kwa mtu yeyote atakayemuua Rais wa Marekani, Donald Trump.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:44:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Malaysia asema raia yeyote wa Israel atakayepatikana nchini huko atafukuzwa mara moja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139914-waziri_mkuu_wa_malaysia_asema_raia_yeyote_wa_israel_atakayepatikana_nchini_huko_atafukuzwa_mara_moja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze68e2cdcc32pxli.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139914-waziri_mkuu_wa_malaysia_asema_raia_yeyote_wa_israel_atakayepatikana_nchini_huko_atafukuzwa_mara_moja </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, amesema Muisraeli yeyote atakaopatikana akiingia nchini humo atafukuzwa mara moja. Amesema hayo huku mamlaka za Malaysia zikichunguza ripoti kwamba Waisraeli walitumia hati mbili za kusafiria kuingia katika jimbo la kusini la Johor.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:09:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>EU yaunga mkono ICC, yapinga kampeni ya Trump ya kuvunja mahakama ya uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139910-eu_yaunga_mkono_icc_yapinga_kampeni_ya_trump_ya_kuvunja_mahakama_ya_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza11de091a02pxle.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139910-eu_yaunga_mkono_icc_yapinga_kampeni_ya_trump_ya_kuvunja_mahakama_ya_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza tena uungaji mkono wake kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ukipinga kampeni mpya ya utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump ya kudhoofisha mahakama hiyo yenye makao yake makuu The Hague nchini Uholanzi.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:04:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139896-kwa_nini_upinzani_dhidi_ya_mashambulizi_ya_kijeshi_dhidi_ya_iran_unaongezeka_nchini_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz275075cf202px78.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139896-kwa_nini_upinzani_dhidi_ya_mashambulizi_ya_kijeshi_dhidi_ya_iran_unaongezeka_nchini_marekani </guid>  
      <description>Mgogoro unaoendelea wa Marekani na Iran umefichua kwa uwazi zaidi kuliko huko nyuma, mipasuko ya kisiasa iliyopo huko Washington. Huku utawala wa Donald Trump ukisisitiza kuendeleza operesheni za kijeshi, upinzani unaongezeka bungeni, miongoni mwa umma kwa ujumla, na hata miongoni mwa baadhi ya Warepublican.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 06:31:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhispania yaibamiza Ufaransa na kutinga fainali ya Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139892-uhispania_yaibamiza_ufaransa_na_kutinga_fainali_ya_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdf901236632px8a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139892-uhispania_yaibamiza_ufaransa_na_kutinga_fainali_ya_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Timu ya taifa ya soka ya Uhispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia la Fifa 2026 baada ya kuilaza Ufaransa kwa ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa mjini Dallas, Marekani.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:59:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>El Niño na tishio la mafuriko Afrika Mashariki na Asia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139862-el_niño_na_tishio_la_mafuriko_afrika_mashariki_na_asia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6ee9cc0a662pwos.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139862-el_niño_na_tishio_la_mafuriko_afrika_mashariki_na_asia </guid>  
      <description>Shirika la Masuala ya kibinadamu limetahadharisha kuwa hali ya hewa ya El Niño inayozidi kuongezeka kwa kasi inatishia kuleta mafuriko makubwa, magonjwa na ukame katika baadhi ya jamii zilizo hatarini zaidi duniani katika eneo la Afrika Mashariki na Asia.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 03:23:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madaktari na wauguzi wa London wataka kuachiliwa huru daktari wa watoto wa Kipalestina </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139844-madaktari_na_wauguzi_wa_london_wataka_kuachiliwa_huru_daktari_wa_watoto_wa_kipalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd7568de0ab2pw92.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139844-madaktari_na_wauguzi_wa_london_wataka_kuachiliwa_huru_daktari_wa_watoto_wa_kipalestina </guid>  
      <description>Madaktari, wauguzi na wanaharakati wamekusanyika nje ya Chuo cha Kifalme cha Watoto na Afya ya Watoto (RCPCH) jijini London, wakitaka hatua zichukuliwe dhidi ya kukamatwa kinyume cha sheria daktari wa watoto wa Kipalestina Dkt. Hussam Abu Safiya anayeshilikiwa na utawala ghasibu wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:10:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwalimu Fatima Kurtic afukuzwa kazi Luxenbourg kwa kuiunga mkono Palestina </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139842-mwalimu_fatima_kurtic_afukuzwa_kazi_luxenbourg_kwa_kuiunga_mkono_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6dda68b8942pw90.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139842-mwalimu_fatima_kurtic_afukuzwa_kazi_luxenbourg_kwa_kuiunga_mkono_palestina </guid>  
      <description>Mamlaka za Luxembourg zimemfukuza kazi mwalimu wa shule ya msingia mbaye pia ni manusura wa mauaji ya halaiki ya Bosnia-Herzegovina baada ya kukosoa hadharani mauaji ya watoto katika Ukanda wa Ghaza kupitia machapisho yake kwenye mitandao ya kijamii.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:08:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta Graham, msaidizi mkuu wa Trump na mchochezi mkuu wa vita dhidi ya Iran ameangamia ghafla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139828-seneta_graham_msaidizi_mkuu_wa_trump_na_mchochezi_mkuu_wa_vita_dhidi_ya_iran_ameangamia_ghafla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz947ed498802pw22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139828-seneta_graham_msaidizi_mkuu_wa_trump_na_mchochezi_mkuu_wa_vita_dhidi_ya_iran_ameangamia_ghafla </guid>  
      <description>Seneta Lindsey Graham, anayetambuliwa kuwa mhandisi wa mipango ya Washington dhidi ya Iran na mhamasishaji mkuu wa Trump kufanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, hatimaye ameangamia na ndoto yake ya kunyakua "matrilioni ya dola katika pesa na mafuta ya Iran." </description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 10:21:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ushiriki wa Wamarekani kwenye mazishi ya Ayatullah Khamenei waibua hasira huko Washington</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139814-ushiriki_wa_wamarekani_kwenye_mazishi_ya_ayatullah_khamenei_waibua_hasira_huko_washington</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc3dd9e83e32pvx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139814-ushiriki_wa_wamarekani_kwenye_mazishi_ya_ayatullah_khamenei_waibua_hasira_huko_washington </guid>  
      <description>Mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Shahidi Ayatullah Ali Khamenei, hayakuwa tukio la Iran pekee; bali pia uwepo mkubwa wa watu wenye ushawishi na wanablogu wa kigeni katika shughuli hiyo, wakiwemo Wamarekani ambao wamesema walikwenda Iran kuonyesha mshikamano wao na kutetea simulizi ya nchi hiyo mbele ya Marekani na Israel, umezusha hasira kubwa katika duru za Magharibi.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:13:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia na China zapinga mashinikizo ya  Magharibi dhidi  ya Iran katika Baraza la Usalama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139806-russia_na_china_zapinga_mashinikizo_ya_magharibi_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2873b9da562pvv2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139806-russia_na_china_zapinga_mashinikizo_ya_magharibi_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama </guid>  
      <description>Russia na China zimepinga vikali kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) kilichochochewa na nchi za Magharibi kuhusu Iran siku ya Ijumaa, zikisisitiza kuwa Azimio namba 2231 lilifika ukingano mnamo Oktoba 2025, na hivyo Baraza hilo halina tena mamlaka ya kisheria kujadili suala la nyuklia la Tehran.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 11:37:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malalamiko rasmi dhidi ya Infantino wa FIFA kuhusu uhusiano Wake na Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139792-malalamiko_rasmi_dhidi_ya_infantino_wa_fifa_kuhusu_uhusiano_wake_na_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz638505443e2pvro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139792-malalamiko_rasmi_dhidi_ya_infantino_wa_fifa_kuhusu_uhusiano_wake_na_trump </guid>  
      <description>Shirika moja la kutetea haki za binadamu na usimamizi wa michezo limetangaza mpango wake wa kuwasilisha malalamiko dhidi ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino, kwa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC). Shirika hilo linamtuhumu Infantino kwa kukiuka mara kwa mara sheria za kutofungamana na upande wowote katika masuala ya kisiasa, kupitia uungaji mkono wake wa wazi na uhusiano wa karibu na Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 04:38:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mauaji ya kimbari, ubaguzi wa rangi, na ukoloni... Je, Kanisa la Uingereza limeipa mgongo Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139786-mauaji_ya_kimbari_ubaguzi_wa_rangi_na_ukoloni..._je_kanisa_la_uingereza_limeipa_mgongo_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz216c81cb492pvr4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139786-mauaji_ya_kimbari_ubaguzi_wa_rangi_na_ukoloni..._je_kanisa_la_uingereza_limeipa_mgongo_israel </guid>  
      <description>Gazeti la Times la London limeripoti kwamba Rabi Mkuu wa Mayahudi wa Uingereza, Sir Ephraim Mirvis, amelitaka Kanisa la Uingereza kukataa kujadili ripoti inayoelezea vita vya Israel huko Gaza kuwa ni "mauaji ya kimbari," akidai kwamba kupitishwa hati hiyo kunaweza kuharibu uhusiano kati ya Wayahudi na Wakristo uliojengwa kwa miongo kadhaa.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 03:09:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Hatua za Marekani ni mfano wa wazi wa uhalifu mkubwa wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139774-iran_hatua_za_marekani_ni_mfano_wa_wazi_wa_uhalifu_mkubwa_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0c96b7a2452pvqs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139774-iran_hatua_za_marekani_ni_mfano_wa_wazi_wa_uhalifu_mkubwa_wa_kivita </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema, mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya maeneo kadhaa katika mikoa ya pwani ya kusini mwa nchi pamoja na madaraja mawili yaliyopo katika mikoa ya mashariki kwenye njia ya reli inayoelekea mji mtakatifu wa Mashhad, yanajumuisha uhalifu mkubwa wa kivita.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:43:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Saratani inaua 26,000 kwa siku, WHO yafichua pengo la maisha kati ya matajiri na maskini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139760-saratani_inaua_26_000_kwa_siku_who_yafichua_pengo_la_maisha_kati_ya_matajiri_na_maskini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz11ce2e76712pvce.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139760-saratani_inaua_26_000_kwa_siku_who_yafichua_pengo_la_maisha_kati_ya_matajiri_na_maskini </guid>  
      <description>Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani (WHO) imeonya kwamba saratani inaweka mzigo mkubwa wa kibinadamu na kiuchumi kwa jamii duniani kote, ikichukua uhai wa zaidi ya watu 26,000 kila siku na kudhihirisha ukosefu mkubwa wa usawa katika viwango vya maisha kati ya nchi tajiri na maskini.</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 10:45:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>