<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - world</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/world</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Wed, 29 Apr 2026 18:32:04 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>UN yaonya: Hatua za Marekani zimepandisha bei ya vyakula duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138058-un_yaonya_hatua_za_marekani_zimepandisha_bei_ya_vyakula_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw33cdf5417a2pala.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138058-un_yaonya_hatua_za_marekani_zimepandisha_bei_ya_vyakula_duniani </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa bei za vyakula duniani zimeongezeka kufuatia hatua za Marekani katika Mlango Bahari wa Hormuz. </description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 10:11:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Ukraine na washirika wake wamegeukia kwenye ugaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138050-putin_ukraine_na_washirika_wake_wamegeukia_kwenye_ugaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8632c8bde12pal4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138050-putin_ukraine_na_washirika_wake_wamegeukia_kwenye_ugaidi </guid>  
      <description>Rais wa Russia amesema: Vikosi vya jeshi la Ukraine na washirika wake haviwezi kuzuia kusonga mbele kwa jeshi la nchi hii na vinapoteza maeneo zaidi kila siku, kwa hivyo vinageukia ugaidi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:59:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Israel inapasa kuondoka katika ardhi ya Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138046-russia_israel_inapasa_kuondoka_katika_ardhi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa6f194561b2pal0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138046-russia_israel_inapasa_kuondoka_katika_ardhi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa Israel haiheshimu kivyovyote majukumu ya askari jeshi wa kulinda amani cha Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:53:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>: Afisa wa Marekani: Mfumo wa makombora wa Marekani umepoteza ufanisi wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138042-afisa_wa_marekani_mfumo_wa_makombora_wa_marekani_umepoteza_ufanisi_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw21ad8c0e2e2paks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138042-afisa_wa_marekani_mfumo_wa_makombora_wa_marekani_umepoteza_ufanisi_wake </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Vita wa Marekani amekiri kuwa mifumo ya makombora ya nchi hiyo haiwezi kudhamini kiwango cha kutosha cha ulinzi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:39:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Migawanyiko yaripotiwa katika utawala wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138038-migawanyiko_yaripotiwa_katika_utawala_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd40549d3ba2paka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138038-migawanyiko_yaripotiwa_katika_utawala_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Makamu wa Rais wa Marekani, J. D. Vance, anaripotiwa kuanza kutilia shaka kimyakimya simulizi ya matumaini inayotolewa na Wizara ya Vita ya Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:02:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Marekani Inao Utayari wa Kuachana na Sera na Ndoto Yake ya Kuipigisha Magoti Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138034-je_marekani_inao_utayari_wa_kuachana_na_sera_na_ndoto_yake_ya_kuipigisha_magoti_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf40622ba3a2pahq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138034-je_marekani_inao_utayari_wa_kuachana_na_sera_na_ndoto_yake_ya_kuipigisha_magoti_iran </guid>  
      <description>Jake Sullivan, mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani katika serikali ya Joe Biden, ametoa taswira wadhiha na ya wazi ya sifa maalumu za mwenendo wa Iran katika mazungumzo ambayo inaweza kuwa ramani ya njia ya kuinasua serikali ya Marekani kwenye mkwamo ilionasa ndani yake hivi sasa. Sullivan ametoa taswira hiyo katika mahojiano na jarida la Foreign Affairs.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 03:41:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran kufuta tuzo ya FIFA kwa Trump?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138032-iran_kufuta_tuzo_ya_fifa_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe7b665257c2padw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138032-iran_kufuta_tuzo_ya_fifa_kwa_trump </guid>  
      <description>Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, baada ya kusababisha hasara za kiuchumi na kutia doa hadhi ya kijeshi na kisiasa ya Marekani sasa vimeweka kivuli kizito juu ya kinachoitwa tuzo ya amani ya FIFA kwa rais Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:47:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Trump ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani; Amekwama katika kinamasi cha Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138028-new_york_times_trump_ndiye_rais_mbaya_zaidi_katika_historia_ya_marekani_amekwama_katika_kinamasi_cha_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw771e11ac522pabi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138028-new_york_times_trump_ndiye_rais_mbaya_zaidi_katika_historia_ya_marekani_amekwama_katika_kinamasi_cha_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Kimarekani la New York Times limemtaja Donald Trump kuwa ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:40:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Watu wa Iran wanapigania kwa ushujaa uhuru wao wa kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138020-putin_watu_wa_iran_wanapigania_kwa_ushujaa_uhuru_wao_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdeada0261f2paaq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138020-putin_watu_wa_iran_wanapigania_kwa_ushujaa_uhuru_wao_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Rais wa Russia, Vladimir Putin, amesema kuwa wananchi wa Iran wanapigana kwa ujasiri na kishujaa kulinda mamlaka yao ya kitaifa. Putin ameyasema hayo mjini Moscow  katika mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:22:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ufyatuaji Risasi Uliotokea Kwenye Hadhara ya Viongozi Wakuu wa US Utakuwa na Matokeo Gani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138012-ufyatuaji_risasi_uliotokea_kwenye_hadhara_ya_viongozi_wakuu_wa_us_utakuwa_na_matokeo_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw74ce559b602pabc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138012-ufyatuaji_risasi_uliotokea_kwenye_hadhara_ya_viongozi_wakuu_wa_us_utakuwa_na_matokeo_gani </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa, mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 31 aitwaye Cole Thomas Allen, ambaye alikuwa amedhamiria kuwashambulia kwa bunduki viongozi wakuu wa Marekani, amejeruhiwa na kutiwa nguvuni. Kwa mara nyingine tena, Marekani imeshuhudia tukio la ufyatuaji risasi kwenye hadhara ya viongozi wake wakuu akiwemo rais wake Donald Trump; mara hii ikiwa ni katika mkutano wa kila mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari wa Ikulu ya nchi hiyo, White House. </description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 04:59:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tanker Trackers: Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138000-tanker_trackers_iran_imepakia_mapipa_milioni_4.6_ya_mafuta_ghafi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw49875098452pa7o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138000-tanker_trackers_iran_imepakia_mapipa_milioni_4.6_ya_mafuta_ghafi </guid>  
      <description>Taasisi ya Ufuatiliaji wa Meli za Mafuta (Tanker Trackers) imetangaza kuwa Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi katika vituo vyake vya  kuuza nje bidhaa hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:20:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei ya mafuta duniani yaongezeka kutokana na ukaidi wa Marekani kuhusu Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137996-bei_ya_mafuta_duniani_yaongezeka_kutokana_na_ukaidi_wa_marekani_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa1c33cf1502pa6g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137996-bei_ya_mafuta_duniani_yaongezeka_kutokana_na_ukaidi_wa_marekani_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Bei ya mafuta imepanda duniani baada ya maafisa wa Iran kusisitiza kuwa Lango Bahari la Hormuz katu halitarejea katika hali yake ya awali kwa manufaa ya Marekani na washirika wake.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 09:41:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump atoroka baada ya ufyatuaji risasi kwenye dhifa ya waandishi wa habari wa White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137978-trump_atoroka_baada_ya_ufyatuaji_risasi_kwenye_dhifa_ya_waandishi_wa_habari_wa_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0195f76fc92p9zq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137978-trump_atoroka_baada_ya_ufyatuaji_risasi_kwenye_dhifa_ya_waandishi_wa_habari_wa_white_house </guid>  
      <description>Rais wa Marekani, Donald Trump na mkewe, Melania, waliondolewa kwenye Dhidi ya Waandishi wa Habari wa Ikulu ya White House (WHCA) baada ya ripoti za milio ya risasi kusababisha uingiliaji wa haraka wa Jeshi la Polisi.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:21:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Ulaya Ilivyochoshwa na Uchukuaji Hatua wa Upande Mmoja wa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137974-namna_ulaya_ilivyochoshwa_na_uchukuaji_hatua_wa_upande_mmoja_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwff38f9505a2p9zg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137974-namna_ulaya_ilivyochoshwa_na_uchukuaji_hatua_wa_upande_mmoja_wa_marekani </guid>  
      <description>Kuendelea kupanuka ufa wa mpasuko uliojitokeza kati ya Ulaya na Marekani kumezifanya serikali za Ulaya zichoshwe na mienendo ya udhalilishaji ya Trump na uchukuaji wake wa hatua wa upande mmoja. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:26:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137970-kwa_nini_chuki_dhidi_ya_israel_zinaendelea_kuongezeka_ndani_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw735a47c1da2p9z4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137970-kwa_nini_chuki_dhidi_ya_israel_zinaendelea_kuongezeka_ndani_ya_marekani </guid>  
      <description>Chama cha Democrat nchini Marekani hivi sasa kinazihama enzi za uungaji mkono wake wa jadi kwa utawala bandia wa Israel na kuhamia kwenye zama za kupingana vikali na utawala huo. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:08:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kansela wa Ujerumani: Athari mbaya za vita dhidi ya Iran haziishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137968-kansela_wa_ujerumani_athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_haziishii_kwenye_ongezeko_la_bei_ya_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4926a39d1d2p9ys.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137968-kansela_wa_ujerumani_athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_haziishii_kwenye_ongezeko_la_bei_ya_mafuta </guid>  
      <description>Kansela wa Ujerumani ameonya kwamba matokeo mabaya ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran hayaishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta, bali pia yanatishia misingi ya uchumi wa Ujerumani.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 08:18:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti wa Fox News: Trump hana afya ya akili  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137948-utafiti_wa_fox_news_trump_hana_afya_ya_akili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5a1ea1755f2p9qy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137948-utafiti_wa_fox_news_trump_hana_afya_ya_akili </guid>  
      <description>Asilimia 60 ya washiriki katika utafiti wa Fox News, kituo kinachomuunga mkono rais wa Marekani, wamesema kuwa Donald Trump hana tabia na afya ya akili inayofaa.  </description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:08:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti ya kimataifa: Theluthi mbili ya wanaokabiliwa na migogoro ya chakula duniani wanaishi katika nchi 10 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137958-ripoti_ya_kimataifa_theluthi_mbili_ya_wanaokabiliwa_na_migogoro_ya_chakula_duniani_wanaishi_katika_nchi_10</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw13ff3fc04d2p9r8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137958-ripoti_ya_kimataifa_theluthi_mbili_ya_wanaokabiliwa_na_migogoro_ya_chakula_duniani_wanaishi_katika_nchi_10 </guid>  
      <description>Ripoti ya kimataifa imeonya kwamba mzozo wa Mashariki ya Kati unaweza kuzidisha migogoro iliyopo, ikifichua kuwa watu milioni 266 katika nchi au maeneo 47 walikabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula mnamo 2025, karibu mara mbili ya idadi iliyorekodiwa mnamo 2016.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:02:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137930-papa_leo_aendelea_kukosoa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1ce465a93e2p9mo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137930-papa_leo_aendelea_kukosoa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi wa Wakatoliki duniani, ameendelea kukosoaji vikali sera za kuchochea vita za Donald Trump, Rais wa Marekani, akiwa ziarani barani Afrika na kwa mara nyingine amekemea vita na mashambulizi ya nchi hiyo ikishirikiana na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 05:24:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imekuwaje Muungano wa Nchi za Magharibi na Marekani Sasa Unaelekea Kutoweka? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137918-imekuwaje_muungano_wa_nchi_za_magharibi_na_marekani_sasa_unaelekea_kutoweka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7176ac9db82p9fu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137918-imekuwaje_muungano_wa_nchi_za_magharibi_na_marekani_sasa_unaelekea_kutoweka </guid>  
      <description>Jarida la Foreign Policy la nchini Marekani limetahadharisha kuwa, vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Iran ni nukta ya kushuhudiwa mabadiliko muhimu yanayopelekea kudhoofika muungano wa Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 24 Apr 2026 06:25:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Marekani Inaonekana si Mshirika wa Kuaminika kwa Nchi za Kiarabu?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137916-kwa_nini_marekani_inaonekana_si_mshirika_wa_kuaminika_kwa_nchi_za_kiarabu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf32fb4c54b2p9ki.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137916-kwa_nini_marekani_inaonekana_si_mshirika_wa_kuaminika_kwa_nchi_za_kiarabu </guid>  
      <description>Vita vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimekuwa na matokeo muhimu katika eneo la Asia Magharibi na hasa Ghuba ya Uajemi. Moja ya matokeo muhimu ya vita hivyo ni kuthibitika kwamba Marekani si mshirika wa kutegemewa na nchi za Kiarabu za eneo hilo.</description>
      <pubDate>Fri, 24 Apr 2026 06:13:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kremlin: Putin yuko tayari kukutana na Zelensky kukamilisha makubaliano ya amani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137900-kremlin_putin_yuko_tayari_kukutana_na_zelensky_kukamilisha_makubaliano_ya_amani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw2f6b4cd63b2p9bk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137900-kremlin_putin_yuko_tayari_kukutana_na_zelensky_kukamilisha_makubaliano_ya_amani </guid>  
      <description>Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo yuko tayari kukutana na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, lakini ikiwa mkutano wao utahusu suala la kusaini makubaliano ya amani.  </description>
      <pubDate>Thu, 23 Apr 2026 09:46:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137892-vita_vya_maneno_vya_trump_dhidi_ya_papa_chanzo_na_matokeo_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw833bf8fe1c2p94q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137892-vita_vya_maneno_vya_trump_dhidi_ya_papa_chanzo_na_matokeo_yake </guid>  
      <description>Tofauti zilizozuka kati ya Trump na Papa Leo wa 14 hazitokani na masuala ya kisiasa pekee, lakini zimesababishwa zaidi na hulka ya majivuno na ya kujikweza aliyonayo rais huyo wa sasa wa Marekani. </description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 16:37:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Trump Ameikasirikia NATO?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137890-kwa_nini_trump_ameikasirikia_nato</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5b2b8199b72p94m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137890-kwa_nini_trump_ameikasirikia_nato </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani, kwa upande mmoja, analimezea mate eneo lote la ardhi ya Canada ambayo ni mwanachama wa NATO, na kwa upande mwingine, ameonyesha kuwa, ana dhamira ya kuinyakua sehemu kubwa ya ardhi ya Denmark, ambayo nayo pia ni mwanachama wa shirika hilo la kijeshi.</description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 16:21:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137888-sababu_za_kuzidi_kuporomoka_umaarufu_wa_israel_mbele_ya_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw12a531d9342p8ym.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137888-sababu_za_kuzidi_kuporomoka_umaarufu_wa_israel_mbele_ya_wamarekani </guid>  
      <description>Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani umepungua kwa asilimia 31 na mbele ya vijana wa Republican kwa asilimia 22 kulinganisha na ilivyokuwa miaka minne iliyopita. </description>
      <pubDate>Wed, 22 Apr 2026 05:05:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makundi ya Kiislamu ya Marekani yatoa wito wa kuwachiwa huru kiongozi wa jumuiya ya Wapalestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137876-makundi_ya_kiislamu_ya_marekani_yatoa_wito_wa_kuwachiwa_huru_kiongozi_wa_jumuiya_ya_wapalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa80fcfcc732p8u6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137876-makundi_ya_kiislamu_ya_marekani_yatoa_wito_wa_kuwachiwa_huru_kiongozi_wa_jumuiya_ya_wapalestina </guid>  
      <description>Muungano wa mashirika ya kutetea haki za kiraia ya Kiislamu Jumatatu wiki hii ulikusanyika nje ya Mahakama ya Juu ya Marekani ukitaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Salah Sarsour, kiongozi wa Jumuiya ya Wapalestina huko Milwaukee ambaye anaishi Marekani kwa zaidi ya miaka 30.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 09:15:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu mpya wa Hungary: Netanyahu atakamatwa kama ataingia nchini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137870-waziri_mkuu_mpya_wa_hungary_netanyahu_atakamatwa_kama_ataingia_nchini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw69366b4d8d2p8qw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137870-waziri_mkuu_mpya_wa_hungary_netanyahu_atakamatwa_kama_ataingia_nchini </guid>  
      <description>Péter Magyar Waziri Mkuu mpya wa Hungary, amesema kuwa iwapo Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel ataingia nchini humo, atakamatwa kwa kesi ya uhalifu wa kivita.</description>
      <pubDate>Tue, 21 Apr 2026 08:02:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uongozi wa mashirika ya kidini na kisayansi ya Iran wapongeza msimamo wa Papa kuhusu vita vya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137868-uongozi_wa_mashirika_ya_kidini_na_kisayansi_ya_iran_wapongeza_msimamo_wa_papa_kuhusu_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4f2093db352p8gi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137868-uongozi_wa_mashirika_ya_kidini_na_kisayansi_ya_iran_wapongeza_msimamo_wa_papa_kuhusu_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Wenyeviti wa taasisi za kidini na kisayansi za Iran, katika barua ya pamoja kwa kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, wamepongeza "msimamo wake wa ujasiri" na kueleza matumaini kuwa utasaidia kumaliza migogoro inayoendelea.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 11:06:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137862-aljazeera_trump_anatafuta_njia_ya_kutoka_vitani_kwa_heshima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwb83af3c8462p8bq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137862-aljazeera_trump_anatafuta_njia_ya_kutoka_vitani_kwa_heshima </guid>  
      <description>Mwandishi wa kituo cha Aljazeera
 huko Washington anasema kuwa Rais Donald Trump Marekani anatafuta jinsi ya kutoka kwenye vita na Iran kwa njia ya heshima.</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:55:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137858-wamarekani_upungufu_wa_akili_wa_trump_umeongezeka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8d84924ba92p8em.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137858-wamarekani_upungufu_wa_akili_wa_trump_umeongezeka </guid>  
      <description>Mshauri wa Mkuu wa zamani mkuu wa Ikulu ya White House wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump ameonya kuwa upungufu wa akili wa rais wa Marekani umeongezeka kwa kiasi kikubwa.  </description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:50:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamala Harris: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni jaribio la kuvuruga kesi ya Epstein</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137856-kamala_harris_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_jaribio_la_kuvuruga_kesi_ya_epstein</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa9b07735f92p8ga.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137856-kamala_harris_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_jaribio_la_kuvuruga_kesi_ya_epstein </guid>  
      <description>Makamo wa zamani wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anasema Rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump alilazimika kuingia vitani na Iran akishirikiana na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, 'katika jaribio dhaifu la kupindisha na kupitisha mazingatio ya raia wa Marekani kutoka kwenye kesi ya Epstein.'</description>
      <pubDate>Sun, 19 Apr 2026 10:38:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kinara wa Liberal Democrats Uingereza asema Trump ni jambazi fisadi na hatari </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137846-kinara_wa_liberal_democrats_uingereza_asema_trump_ni_jambazi_fisadi_na_hatari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw557ecc408b2p7cm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137846-kinara_wa_liberal_democrats_uingereza_asema_trump_ni_jambazi_fisadi_na_hatari </guid>  
      <description> Mwanasiasa wa Uingereza amemtaja Donald Trump, rais wa Marekani, kuwa jambazi fisadi na hatari, na kusisitiza kuwa kitendo chake cha kuzingira Mlango-Bahari wa Hormuz kinaweza kuhatarisha usitishaji mapigano dhaifu kati ya Tehran na Washington.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Apr 2026 08:16:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137838-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw97af6bbb5a2p7a6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137838-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house </guid>  
      <description>Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 11:51:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137836-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw053fe0476f2p7a4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137836-muigizaji_wa_marekani_trump_anastahili_kuwa_gerezani_sio_white_house </guid>  
      <description>Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Apr 2026 11:50:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, wimbi la kuuzuliwa makamanda wakuu jeshini nchini Marekani linaweza kuwa ushindi mwingine wa kistratijia kwa Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw98d860b2e82p6dj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137828-je_wimbi_la_kuuzuliwa_makamanda_wakuu_jeshini_nchini_marekani_linaweza_kuwa_ushindi_mwingine_wa_kistratijia_kwa_iran </guid>  
      <description>Wimbi la kutimuliwa makamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Marekani kufuatia kushindwa kimkakati kwa nchi hiyo dhidi ya Iran limeibua mgogoro mkubwa zaidi wa kamandi katika Wizara ya Vita ya nchi hiyo, Pentagon.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 07:52:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Mr. Trump, Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1697c6caba2p6c1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137820-seneta_wa_marekani_mr._trump_mlango_bahari_wa_hormuz_haufunguliwi_kwa_matusi </guid>  
      <description>Seneta wa Marekani amekemea vitisho na matusi ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump dhidi ya Iran, akisema: Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi na lugha chafu, bali ni lazima kufanya mazungumzo na Iran.
</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:27:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madrid: Hatutadanganywa tena na Marekani; kwa uzoefu wa Iraq, hapana kwa vita ndio njia pekee</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c92eecee438302kymv.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137816-madrid_hatutadanganywa_tena_na_marekani_kwa_uzoefu_wa_iraq_hapana_kwa_vita_ndio_njia_pekee </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza kuwa nchi hiyo haitadanganywa tena na Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:13:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano ya kuunga mkono Iran kutoka London hadi Auckland</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva9db9df96f2p2d4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137814-maandamano_ya_kuunga_mkono_iran_kutoka_london_hadi_auckland </guid>  
      <description>Maandamano ya kulaani hujuma za kijeshi za Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran yangali yanaendelea katika pembe mbalimbali za dunia.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Apr 2026 02:09:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO yalaani hujuma ya Israel na Marekani dhidi ya kituo cha nyuklia Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa1faadc8822p6br.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137810-who_yalaani_hujuma_ya_israel_na_marekani_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_iran </guid>  
      <description>Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu kuendelea kwa mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran, akionya kuwa hatua hiyo inaweza kusababisha janga la nyuklia.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 22:19:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yapiga marufuku kuchapishwa picha za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome za nchi hiyo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw7e5a3eb58c2p672.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137808-marekani_yapiga_marufuku_kuchapishwa_picha_za_mashambulizi_ya_makombora_ya_iran_dhidi_ya_ngome_za_nchi_hiyo </guid>  
      <description>Katika jitihada za kudhibiti picha za athari za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome na vituo vyake, Marekani imepiga marufuku kuchapishwa na kuonyeshwa picha za setilaiti za maeneo yanayohusika katika vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 06:12:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New Yorker: Hali ya vita dhidi ya Iran ni tofauti na matarajio ya Trump na Hegseth</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0400e0ee1e2p65v.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137804-new_yorker_hali_ya_vita_dhidi_ya_iran_ni_tofauti_na_matarajio_ya_trump_na_hegseth </guid>  
      <description>Gazeti la New Yorker la Marekani limekosoa vita vya Marekani na dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, vita hivi vimeonyesha kwamba hali halisi ni tofauti na matarajio ya viongozi wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:38:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kapteni wa Timu ya Taifa ya Bosnia: Kwa heshima ya haki na uadilifu tumekataa kuwapa mkono Waisraeli </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bxye531353ea71tmn5.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137802-kapteni_wa_timu_ya_taifa_ya_bosnia_kwa_heshima_ya_haki_na_uadilifu_tumekataa_kuwapa_mkono_waisraeli </guid>  
      <description>Kapteni wa timu ya taifa ya soka ya Bosnia na Herzegovina chini ya miaka 21 amesema kuwa kuheshimu haki na uadilifu ndiyo sababu iliyowazuia wachezaji wa timu hiyo kuwapa mkono wachezaji wa timu ya Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 05:37:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yalaani hujuma ya Marekani, Israel dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbta38852ec2c2okqx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137798-russia_yalaani_hujuma_ya_marekani_israel_dhidi_ya_kituo_cha_nyuklia_cha_bushehr </guid>  
      <description>Maria Zakharova, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, ametangaza kuwa Moscow inalaani vikali mashambulio ya hivi karibuni dhidi ya kituo cha Nyuklia cha Bushehr kilichoko kusini mwa Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 05 Apr 2026 03:06:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Askofu Mkuu wa Wakatoliki Jeshi la Marekani: Vita dhidi ya Iran haviendani na mafundisho ya Kikristo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137780-askofu_mkuu_wa_wakatoliki_jeshi_la_marekani_vita_dhidi_ya_iran_haviendani_na_mafundisho_ya_kikristo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw255116dd4f2p645.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137780-askofu_mkuu_wa_wakatoliki_jeshi_la_marekani_vita_dhidi_ya_iran_haviendani_na_mafundisho_ya_kikristo </guid>  
      <description>Afisa wa juu zaidi wa Kikatoliki katika Majeshi ya Marekani amesema kuwa vita dhidi ya Iran si vya haki na haviendani na mafundisho ya Kikristo.</description>
      <pubDate>Sat, 04 Apr 2026 04:22:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwakilishi wa Texas: Kuwapiga mabomu watoto wasio na hatia katika shule ya Minab ni tusi kwa Yesu Kristo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137766-mwakilishi_wa_texas_kuwapiga_mabomu_watoto_wasio_na_hatia_katika_shule_ya_minab_ni_tusi_kwa_yesu_kristo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw1e62c7afd82p605.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137766-mwakilishi_wa_texas_kuwapiga_mabomu_watoto_wasio_na_hatia_katika_shule_ya_minab_ni_tusi_kwa_yesu_kristo </guid>  
      <description>Mwanasiasa mtajika wa Marekani amelitaja shambulio lililofanywa na Washington dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajarah Tayyiba huko Minab, kusini mwa Iran, kuwa ni dharau na dhihaka kwa Yesu Kristo (Isa Masih AS).</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 06:35:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Vita wa Marekani awatimua majenarali baada ya kushindwa kwa vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137762-waziri_wa_vita_wa_marekani_awatimua_majenarali_baada_ya_kushindwa_kwa_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8bd934b0af2p5yz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137762-waziri_wa_vita_wa_marekani_awatimua_majenarali_baada_ya_kushindwa_kwa_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth, amemlazimisha Mkuu wa Majeshi ya Marekani (Army Chief of Staff), Jenerali Randy George, kustaafu mara moja, huku kukiwa na mgogoro unaozidi kuongezeka ndani ya uongozi wa kijeshi nchini humo kufuatia kushindwa kwa vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Apr 2026 04:58:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imejaa uongo, udanganyifu: Wabunge wa Marekani wakosoa hotuba ya Trump kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137746-imejaa_uongo_udanganyifu_wabunge_wa_marekani_wakosoa_hotuba_ya_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa74290fb892p5vg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137746-imejaa_uongo_udanganyifu_wabunge_wa_marekani_wakosoa_hotuba_ya_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Wabunge wa Marekani wamelaani hotuba ya Rais Donald Trump kwa taifa kutokana na kuwa na mchanganyiko wa ajabu wa udanganyifu na uongo kuhusu malengo na mafanikio yanayodaiwa katika vita vya uchokozi vya Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:17:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mearsheimer: Kama kesi ya mtindo wa Nuremberg ingefanyika, Trump na Netanyahu wangenyongwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137744-mearsheimer_kama_kesi_ya_mtindo_wa_nuremberg_ingefanyika_trump_na_netanyahu_wangenyongwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwab1b6b7aaa2p5vd.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137744-mearsheimer_kama_kesi_ya_mtindo_wa_nuremberg_ingefanyika_trump_na_netanyahu_wangenyongwa </guid>  
      <description>John Mearsheimer, profesa maarufu wa mahusiano ya kimataifa katika Chuo Kikuu cha Chicago, amesema kufuatia vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza kwamba: "Kama kungefanyika kesi kama ile ya Nuremberg, na Waisraeli na Wamarekani wakafikishwa mahakamani, Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na washauri wao wengi wangehukumiwa kifo na kunyongwa."</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:15:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump: NATO ni simbamarara wa karatasi, ninafikiria kujiondoa kwenye shirika hili </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137742-trump_nato_ni_simbamarara_wa_karatasi_ninafikiria_kujiondoa_kwenye_shirika_hili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw98c7d999b52p5vf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137742-trump_nato_ni_simbamarara_wa_karatasi_ninafikiria_kujiondoa_kwenye_shirika_hili </guid>  
      <description>Rais wa Marekani amesema kwamba Washington inafikiria kwa dhati kujiondoa kwenye Shirika la Kujihami la Nchi za Magharibi (NATO).</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 07:15:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran na vikwazo kwa vyombo vya habari</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137740-un_yaonya_kuhusu_ukandamizaji_wa_waungaji_mkono_wa_iran_na_vikwazo_kwa_vyombo_vya_habari</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw71d3ded3262p5va.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137740-un_yaonya_kuhusu_ukandamizaji_wa_waungaji_mkono_wa_iran_na_vikwazo_kwa_vyombo_vya_habari </guid>  
      <description>Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali na kuonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran katika eneo la Magharibi mwa Asia kufuatia uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya nchi hiyo, pamoja na vikwazo dhidi ya uhuru wa vyombo vya habari huko Washington na Tel Aviv.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:55:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirika la Nishati la Kimataifa: Tatizo kubwa zaidi la mafuta katika historia liko njiani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137738-shirika_la_nishati_la_kimataifa_tatizo_kubwa_zaidi_la_mafuta_katika_historia_liko_njiani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0d7fa676ab2p5ve.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137738-shirika_la_nishati_la_kimataifa_tatizo_kubwa_zaidi_la_mafuta_katika_historia_liko_njiani </guid>  
      <description>Mkuu wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA) ameonya kwamba matatizo katika usambazaji wa mafuta na gesi yaliyosababishwa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran yamezidi mgogoro wa mafuta wa 1973 na 1979 na yameibua mshtuko mkubwa zaidi wa nishati katika historia.</description>
      <pubDate>Thu, 02 Apr 2026 06:55:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Italia pia yapiga marufuku Marekani kutumia vituo vyake katika vita dhidi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137722-italia_pia_yapiga_marufuku_marekani_kutumia_vituo_vyake_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0z9b0916ed3726aj1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137722-italia_pia_yapiga_marufuku_marekani_kutumia_vituo_vyake_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Italia nayo imepiga marufuku Marekani kutumia kituo chake cha anga cha Sigonella katika kuishambulia Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 04:08:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Tunashindwa vibaya katika vita dhidi ya Iran na kwa aibu </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137718-seneta_wa_marekani_tunashindwa_vibaya_katika_vita_dhidi_ya_iran_na_kwa_aibu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0w5c142d90a224krj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137718-seneta_wa_marekani_tunashindwa_vibaya_katika_vita_dhidi_ya_iran_na_kwa_aibu </guid>  
      <description>Seneta Chris Murphy wa Marekani ameonya kwamba Marekani inakaribia kushindwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:59:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China: Shambulio lolote la Marekani na Israel dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran litakuwa na madhara makubwa kwa usalama na uthabiti wa eneo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137716-china_shambulio_lolote_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran_litakuwa_na_madhara_makubwa_kwa_usalama_na_uthabiti_wa_eneo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw542ccde6eb2p5pz.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137716-china_shambulio_lolote_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_vya_iran_litakuwa_na_madhara_makubwa_kwa_usalama_na_uthabiti_wa_eneo </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, huku akisisitiza haja ya kusimamishwa haraka vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameonya dhidi ya shambulio lolote la pande mbili hizo dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 01 Apr 2026 03:55:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CNN: Kuharibiwa ndege za AWACS za US ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137708-cnn_kuharibiwa_ndege_za_awacs_za_us_ni_pigo_kubwa_kwa_uwezo_wa_anga_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv94b708047b2p5ml.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137708-cnn_kuharibiwa_ndege_za_awacs_za_us_ni_pigo_kubwa_kwa_uwezo_wa_anga_wa_marekani </guid>  
      <description>Mtaalamu wa masuala ya kijeshi wa Televisheni ya CNN ya Marekani ameitaja hatua ya Iran ya kupiga na kuharibu ndege ya kijasusi ya Marekani aina ya AWACS kuwa ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 06:44:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uungaji mkono wa Wamarekani kwa utendaji wa Trump wapungua hadi asilimia 33</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137702-uungaji_mkono_wa_wamarekani_kwa_utendaji_wa_trump_wapungua_hadi_asilimia_33</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvaa2f8966e42p5lx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137702-uungaji_mkono_wa_wamarekani_kwa_utendaji_wa_trump_wapungua_hadi_asilimia_33 </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa, kiwango cha uungaji mkono wa wananchi kwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena kimepungua hadi asilimia 33 tu; huku idadi kubwa ya Wamarekani wakipinga mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.  </description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 05:41:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uingereza: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran si vita vyetu/ Ujerumani: Kuenea kwa vita kutashinikiza vikali uchumi wa Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137698-uingereza_hujuma_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_si_vita_vyetu_ujerumani_kuenea_kwa_vita_kutashinikiza_vikali_uchumi_wa_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva38ceff3102p5lh.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137698-uingereza_hujuma_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_si_vita_vyetu_ujerumani_kuenea_kwa_vita_kutashinikiza_vikali_uchumi_wa_ulaya </guid>  
      <description>Keir Starmer, Waziri Mkuu wa Uingereza, amesisitiza tena msimamo wa London kuhusu vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema kuwa vita hivi sio vya Uingereza na kwamba nchi yake haitaburuzwa kuingia kwenye vita hivyo.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 03:01:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Uingereza: Athari mbaya za uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kwa maisha ya Wamarekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137696-vyombo_vya_habari_vya_uingereza_athari_mbaya_za_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_kwa_maisha_ya_wamarekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6e6a26423fa32i55a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137696-vyombo_vya_habari_vya_uingereza_athari_mbaya_za_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_kwa_maisha_ya_wamarekani </guid>  
      <description>Gazeti la Uingereza la The Guardian limeandika katika ripoti yake kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimetoa mashinikizo makubwa kwa Wamarekani na kuongeza pakubwa gharama za maisha yao ya kila siku.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 02:57:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyombo vya habari vya Marekani: Uungaji mkono wa Yemen kwa Iran katika mashambulizi ya Marekani na Israel umeongeza bei ya mafuta duniani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137694-vyombo_vya_habari_vya_marekani_uungaji_mkono_wa_yemen_kwa_iran_katika_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_umeongeza_bei_ya_mafuta_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbva691c495312p5hx.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137694-vyombo_vya_habari_vya_marekani_uungaji_mkono_wa_yemen_kwa_iran_katika_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_umeongeza_bei_ya_mafuta_duniani </guid>  
      <description>Tovuti ya CNBC imeandika kwamba uungaji mkono wa vikosi vya Yemen kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashambulizo ya kichokozi ya Marekani na Israel dhidi yake na urushaji wa makombora wa Wayemen kuelekea Palestina inayokaliwa kwa mabavu umepelekea bei ya mafuta kuongezeka sana katika soko la kimataifa.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 02:48:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhispania yafunga anga yake kwa ndege zenye uhusiano na mashambulizi dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137692-uhispania_yafunga_anga_yake_kwa_ndege_zenye_uhusiano_na_mashambulizi_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc7d4e5e7f32p5k3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137692-uhispania_yafunga_anga_yake_kwa_ndege_zenye_uhusiano_na_mashambulizi_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Serikali ya Uispania imetangaza kufunga anga ya nchi hiyo kwa ndege zote za kijeshi zinazohusiana na mashambulizi dhidi ya Iran, kama ishara ya kupinga vita vinavyoongozwa na Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 31 Mar 2026 00:28:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Senator Mdemocrat wa Marekani: Uwongo wa Trump ni ujumbe kwa Iran kuhusu namna alivyokwama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137684-senator_mdemocrat_wa_marekani_uwongo_wa_trump_ni_ujumbe_kwa_iran_kuhusu_namna_alivyokwama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bk1bf293db8b63577.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137684-senator_mdemocrat_wa_marekani_uwongo_wa_trump_ni_ujumbe_kwa_iran_kuhusu_namna_alivyokwama </guid>  
      <description>Chris Murphy Seneta wa chama cha Democratic nchini Marekani amesema kuwa uongo wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba anafanya mazungumzo na Iran unatoa ujumbe kwa Tehran kwamba amekwama kwenye kinamasi na amezongwa na mashinikizo. 
</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 07:11:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamilioni ya Wamarekani waandamana kupinga  vita  vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137680-mamilioni_ya_wamarekani_waandamana_kupinga_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv1319f2607f2p5g3.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137680-mamilioni_ya_wamarekani_waandamana_kupinga_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mamilioni ya Wamarekani wameandamana katika miji zaidi ya 50 kote Marekani mwishoni mwa juma kupinga uvamizi wa pamoja wa Marekani na Israel dhidi ya Iran, wakati mzozo huo ukiingia mwezi wake wa pili.</description>
      <pubDate>Mon, 30 Mar 2026 04:24:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo XIV audhihaki utawala wa Trump: Mungu hayuko pamoja na wapenda vita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137670-papa_leo_xiv_audhihaki_utawala_wa_trump_mungu_hayuko_pamoja_na_wapenda_vita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c970492bcd4c62mbmf.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137670-papa_leo_xiv_audhihaki_utawala_wa_trump_mungu_hayuko_pamoja_na_wapenda_vita </guid>  
      <description>Papa Leo wa 14 amepinga majaribio ya kutaka kuhalalisha vita na mauaji kwa kutumia vibaya jina la Mungu, katika matamshi ambayo, kwa mujibu wa Televisheni ya CNN, yamerudi na kupinga madai yaliyotolewa na utawala wa Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 09:12:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia nchini Iran yanapaswa kulaaniwa kimataifa/Grossi achukue msimamo ulio wazi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137654-russia_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_nchini_iran_yanapaswa_kulaaniwa_kimataifa_grossi_achukue_msimamo_ulio_wazi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c0v70859c433b2430s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137654-russia_mashambulizi_dhidi_ya_vituo_vya_amani_vya_nyuklia_nchini_iran_yanapaswa_kulaaniwa_kimataifa_grossi_achukue_msimamo_ulio_wazi </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema mashambulizi mapya ya Ijumaa kwenye vituo vya amani vya nyuklia nchini Iran yanapasa kulaaniwa kimataifa.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, mashambulizi mapya dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia nchini Iran siku ya Ijumaa yanapasa kulaaniwa kimataifa, na kumtaka Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki kuwa na msimamo wa wazi na kubainisha bayana kwamba wavamizi wa Marekani na Wazayuni wamevuka mipaka.
</description>
      <pubDate>Sun, 29 Mar 2026 03:06:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baraza la Haki za Binadamu la UN lalaani kwa kauli moja shambulio la Marekani na Israel dhidi ya shule Minab, Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137644-baraza_la_haki_za_binadamu_la_un_lalaani_kwa_kauli_moja_shambulio_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_shule_minab_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c97b2401cd9b22mcx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137644-baraza_la_haki_za_binadamu_la_un_lalaani_kwa_kauli_moja_shambulio_la_marekani_na_israel_dhidi_ya_shule_minab_iran </guid>  
      <description>Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limelaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya Shule ya Shajareh Tayyebeh katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ambapo kwa uchache wanafunzi na wafanyakazi wa shule 175 waliuawa kikatili tarehe 28 Februari.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 07:52:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran unahusiana na rasilimali za nishati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137636-russia_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_unahusiana_na_rasilimali_za_nishati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bk1fa039698bb2uv0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137636-russia_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_unahusiana_na_rasilimali_za_nishati </guid>  
      <description>Maria Zakharova, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, amesema kupitia taarifa akiashiria hujuma za kijeshi za Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran kwamba: "Sababu ya mashambulio dhidi ya nchi hii inahusiana moja kwa moja na tamaa ya madola ya kigeni ya kutaka kupora na kudhibiti rasilimali zake za mafuta na gesi."</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 04:42:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uungaji mkono wa mabunge ya CSTO kwa Iran dhidi ya uchokozi wa Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137634-uungaji_mkono_wa_mabunge_ya_csto_kwa_iran_dhidi_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9b9c65bc169d2o07w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137634-uungaji_mkono_wa_mabunge_ya_csto_kwa_iran_dhidi_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Baraza la Mabunge ya Jumuiya ya Makubaliano ya Usalama wa Pamoja (CSTO) limetoa taarifa ya pamoja likitangaza mshikamano wake na serikali pamoja na watu wa Iran katika kukabiliana na hujuma za kijeshi za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. Limesema: "Matumizi au tishio la nguvu dhidi ya nchi huru ni jambo lisilokubalika na kitendo hicho ni tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa."</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 04:37:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Iran ndiyo nchi iliyofanikiwa zaidi kudhibiti nguvu za kijeshi za Marekani tangu Vita vya Pili vya Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137630-new_york_times_iran_ndiyo_nchi_iliyofanikiwa_zaidi_kudhibiti_nguvu_za_kijeshi_za_marekani_tangu_vita_vya_pili_vya_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf88926f98d2p548.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137630-new_york_times_iran_ndiyo_nchi_iliyofanikiwa_zaidi_kudhibiti_nguvu_za_kijeshi_za_marekani_tangu_vita_vya_pili_vya_dunia </guid>  
      <description>Chombo cha habari cha Marekani kimetangaza kwamba Iran ndiyo kikwazo kikubwa zaidi kwa nguvu za kijeshi za Marekani tangu baada ya Vita vya Pili vya Dunia.</description>
      <pubDate>Sat, 28 Mar 2026 03:22:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kujiuzulu kwa Joe Kent kunasema mengi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137622-kujiuzulu_kwa_joe_kent_kunasema_mengi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc52ecb6e7c2p485.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137622-kujiuzulu_kwa_joe_kent_kunasema_mengi </guid>  
      <description>Katika chapisho la mtandao wa kijamii siku ya Jumanne tarehe 17 Machi, Joe Kent alitangaza kwamba amejiuzulu kama Mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi cha Marekani kwa lengo la kupinga uamuzi wa utawala wa Donald Trump wa kujiunga na Israel katika vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 11:08:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jarida la Marekani: Iran inapata ushindi katika vita vya Marekani na Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137612-jarida_la_marekani_iran_inapata_ushindi_katika_vita_vya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv2fa653f7332p50a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137612-jarida_la_marekani_iran_inapata_ushindi_katika_vita_vya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Jarida la Foreign Affairs la Marekani, limechunguza uwiano wa ushindi na hasara katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kuandika: Tehran inapata ushindi katika vita hivi.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 04:37:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Matokeo ya uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran yanaweza kulinganishwa na athari mbaya za corona</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137610-putin_matokeo_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_yanaweza_kulinganishwa_na_athari_mbaya_za_corona</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by02bdd97e7711uy5i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137610-putin_matokeo_ya_uchokozi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_yanaweza_kulinganishwa_na_athari_mbaya_za_corona </guid>  
      <description>Rais wa Russia amesema tathmini ya matokeo ya uchokozi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran inaweza kulinganishwa na matokeo mabaya ya janga la virusi vya corona, na vita hivi vimepunguza kasi ya maendeleo ya kanda na mabara yote.</description>
      <pubDate>Fri, 27 Mar 2026 04:34:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yataka Umoja wa Mataifa uwalaani wavamizi na uwawajibishe</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137608-iran_yataka_umoja_wa_mataifa_uwalaani_wavamizi_na_uwawajibishe</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvf4b2c693c52p4zk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137608-iran_yataka_umoja_wa_mataifa_uwalaani_wavamizi_na_uwawajibishe </guid>  
      <description> Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za dhati na kutoa msimamo thabiti na wa wazi katika kulaani tawala zilizoanzisha vita dhidi ya Iran. Aidha ametaka uwezo wa taasisi hiyo na nchi huru utumike kuwawajibisha wahusika wa vita hivyo.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 23:28:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vyanzo vya habari: Trump anahofia ongezeko la vifo vya wanajeshi wa US katika vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137600-vyanzo_vya_habari_trump_anahofia_ongezeko_la_vifo_vya_wanajeshi_wa_us_katika_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc27d7ad4b72p4v4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137600-vyanzo_vya_habari_trump_anahofia_ongezeko_la_vifo_vya_wanajeshi_wa_us_katika_vita_na_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Wall Street Journal limeripoti mapema leo Alkhamisi likiwanukuu maafisa wa serikali ya Marekani, kwamba Rais Donald Trump anahaha kutafuta njia ya kukomesha vita na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 07:17:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Guardian: Iron Dome imeshindwa kukabiliana na makombora ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137598-guardian_iron_dome_imeshindwa_kukabiliana_na_makombora_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv5d8f43350f2p4v1.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137598-guardian_iron_dome_imeshindwa_kukabiliana_na_makombora_ya_iran </guid>  
      <description>Gazeti la The Guardian la Uingereza limeandika katika ripoti inayozungumzia kushindwa kwa Iron Dome katika kukabiliana na makombora ya Iran kwamba: "Mng’aro wa makombora madogo magogo angani nyakati za usiku limekuwa jambo la kawaida kwa Waisraeli, huku Iran ikiendelea kutumia vyema udhaifu wa ulinzi wa anga wa utawala wa Israel."</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 07:15:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Vita na Iran ndio vita ya kijinga zaidi katika historia ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137588-seneta_wa_marekani_vita_na_iran_ndio_vita_ya_kijinga_zaidi_katika_historia_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv265c4c41052p4um.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137588-seneta_wa_marekani_vita_na_iran_ndio_vita_ya_kijinga_zaidi_katika_historia_ya_marekani </guid>  
      <description>Seneta wa chama cha Democratic cha Marekani, Chris Murphy, amesema katika ujumbe wake: "Vita na Iran ni vita vya kijinga zaidi katika historia ya Marekani."</description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:40:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Duru za uchumi: Mgogoro wa vita vya Iran umelishtua bara Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137586-duru_za_uchumi_mgogoro_wa_vita_vya_iran_umelishtua_bara_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv435109954f2p4uj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137586-duru_za_uchumi_mgogoro_wa_vita_vya_iran_umelishtua_bara_ulaya </guid>  
      <description>Duru za kiuchumi za kimataifa zinasema mgogoro uliojitokeza kutokana na uchokozi na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umelishtua na kuliacha bara la Ulaya katika hali ya sintofahamu. </description>
      <pubDate>Thu, 26 Mar 2026 04:37:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Mashambulizi yasiyo na sababu ya US na Israel dhidi ya Iran ni hujuma dhidi ya mfumo wa usalama wa kanda na kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137582-russia_mashambulizi_yasiyo_na_sababu_ya_us_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_hujuma_dhidi_ya_mfumo_wa_usalama_wa_kanda_na_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3p47ddf748602d72i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137582-russia_mashambulizi_yasiyo_na_sababu_ya_us_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_hujuma_dhidi_ya_mfumo_wa_usalama_wa_kanda_na_kimataifa </guid>  
      <description>Sergei Shoigu Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema: Mashambulizi yasiyo na sababu ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni hujuma dhidi ya mfumo wa usalama wa kanda na kimataifa.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 08:07:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CENTCOM: Wanajeshi wetu waliojeruhiwa katika vita dhidi ya Iran wamefika 290</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137578-centcom_wanajeshi_wetu_waliojeruhiwa_katika_vita_dhidi_ya_iran_wamefika_290</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsl58ca5bc8ab1i96e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137578-centcom_wanajeshi_wetu_waliojeruhiwa_katika_vita_dhidi_ya_iran_wamefika_290 </guid>  
      <description>Kamandi Kuu ya jeshi gaidi la Marekani (CENTCOM) imetangaza kuwa karibu wanajeshi 290 wa nchi hiyo wamejeruhiwa katIka vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran. </description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 07:49:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jenerali wa Marekani: Wairani wanaweza kukabiliana na uchokozi wa Marekani na Israel kwa miaka mingi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137572-jenerali_wa_marekani_wairani_wanaweza_kukabiliana_na_uchokozi_wa_marekani_na_israel_kwa_miaka_mingi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvcf567401de2p4pn.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137572-jenerali_wa_marekani_wairani_wanaweza_kukabiliana_na_uchokozi_wa_marekani_na_israel_kwa_miaka_mingi </guid>  
      <description>Jenerali mstaafu wa Marekani amezungumzia mashinikizo ya kiuchumi na kisiasa yanayoongezeka kwa serikali ya Washington kutokana na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, na kukiri kwamba Wairani wanaweza "kukabiliana na mashambulizi haya kwa miaka mingi."</description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 07:30:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Uhispania: Vita dhidi ya Iran ni janga na maafa makubwa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137570-waziri_mkuu_wa_uhispania_vita_dhidi_ya_iran_ni_janga_na_maafa_makubwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv9c0fbec6e82p4re.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137570-waziri_mkuu_wa_uhispania_vita_dhidi_ya_iran_ni_janga_na_maafa_makubwa </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania ametangaza kwamba vita vya sasa vya Marekani na Wazayuni katika Mashariki ya Kati ni "vibaya zaidi" kuliko vita vya Iraq mwaka 2003 na ni "janga kubwa," na kusema: Utawala wa Kizayuni wa Israel unataka kurudia "uharibifu" uleule wa Gaza nchini Lebanon.</description>
      <pubDate>Wed, 25 Mar 2026 07:30:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wamarekani wakosoa sera za vita za Trump, wasema: Uhai wa wanajeshi umewekwa hatarini kwa sababu tu ya Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137554-wamarekani_wakosoa_sera_za_vita_za_trump_wasema_uhai_wa_wanajeshi_umewekwa_hatarini_kwa_sababu_tu_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv7ef5341fba2p4ho.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137554-wamarekani_wakosoa_sera_za_vita_za_trump_wasema_uhai_wa_wanajeshi_umewekwa_hatarini_kwa_sababu_tu_ya_israel </guid>  
      <description>Sauti za kupinga sera za vita za Rais Donald Trump zinaendelea kuongezeka nchini Marekani huku wananchi na familia za wanajeshi wanaotumwa Mashariki ya kati kwa ajili ya vita vya nchi hiyo na Irael dhidi ya Iran zikisema watoto wao wanauawa kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Mar 2026 07:41:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mgogoro wa nishati waiathiri Ulaya; Slovenia mafuta yanatolewa kwa mgao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137552-mgogoro_wa_nishati_waiathiri_ulaya_slovenia_mafuta_yanatolewa_kwa_mgao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv182bd9cbe52p4lu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137552-mgogoro_wa_nishati_waiathiri_ulaya_slovenia_mafuta_yanatolewa_kwa_mgao </guid>  
      <description>Athari mbaya za vita vya Marekani na utawala ghasibu wa Israel zinaanza koenekana waziwazi barani Ulaya na kuathiri sekta mbalimbali za viwanda, usafirishaji na maisha ya watu wa kawaida. </description>
      <pubDate>Tue, 24 Mar 2026 07:40:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump aondoa vitisho baada ya onyo kali kutoka Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137544-trump_aondoa_vitisho_baada_ya_onyo_kali_kutoka_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv6ca50c9cd22p4l4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137544-trump_aondoa_vitisho_baada_ya_onyo_kali_kutoka_iran </guid>  
      <description>Rais  wa Marekani amelazimika kuondoa vitisho vyake kuhusu kushambulia miundombinu ya umeme ya Iran baada ya onyo kali la Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 24 Mar 2026 04:34:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Uhispania ataka kulindwa vyanzo vya nishati katika Mashariki ya Kati </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137538-waziri_mkuu_wa_uhispania_ataka_kulindwa_vyanzo_vya_nishati_katika_mashariki_ya_kati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv115ab6978d2p4ge.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137538-waziri_mkuu_wa_uhispania_ataka_kulindwa_vyanzo_vya_nishati_katika_mashariki_ya_kati </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania ametahadharisha kuhusu mgogoro wa nishati wa muda mrefu kwa wanadamu wote kutokana na vita vya uchokozi vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kutaka kulindwa vyanzo vyote vya nishati katika eneo la Mashariki ya Kati.</description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 07:09:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sauti na nara za kupinga vita dhidi ya Iran zasikika kuanzia Uhispania hadi Canada</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137534-sauti_na_nara_za_kupinga_vita_dhidi_ya_iran_zasikika_kuanzia_uhispania_hadi_canada</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9c9741bf51f52o3cy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137534-sauti_na_nara_za_kupinga_vita_dhidi_ya_iran_zasikika_kuanzia_uhispania_hadi_canada </guid>  
      <description>Wananchi wa Uhispania wameandamana kulaani vita vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran. Maelfu ya wananchi wa Uhispania wamemiminika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Madrid, kutangaza upinzani wao kwa vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran. </description>
      <pubDate>Mon, 23 Mar 2026 06:59:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yajipapatua kudhibiti bei ya mafuta; Washington yafuta vikwazo vya mafuta ya Iran kwa muda</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137516-marekani_yajipapatua_kudhibiti_bei_ya_mafuta_washington_yafuta_vikwazo_vya_mafuta_ya_iran_kwa_muda</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6jf05259f18d2k4k2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137516-marekani_yajipapatua_kudhibiti_bei_ya_mafuta_washington_yafuta_vikwazo_vya_mafuta_ya_iran_kwa_muda </guid>  
      <description>Baada ya Iran kufunga Lango Bahari la Hormuz na kupanda bei ya nishati kwa kiwango kikubwa, Wizara ya Fedha ya Marekani imelazimika kutangaza kuwa imeondoa vikwazo vya kununua mafuta ya Iran kwa kipindi cha mwezi mmoja.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 06:13:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais Putin: Russia itaendelea kuwa rafiki na mshirika wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137514-rais_putin_russia_itaendelea_kuwa_rafiki_na_mshirika_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6id654cd9b522jqu2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137514-rais_putin_russia_itaendelea_kuwa_rafiki_na_mshirika_wa_iran </guid>  
      <description>Rais wa Russia amesisitiza kuwa nchi yake itaendelea kuwa mshirika mwaminifu wa Iran katika nyakati hizi ngumu za kukabiliana na hujuma ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni na Marekani</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 05:06:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wademokrati US wataka kubadilishwa utawala wa Marekani, Trump na Netanyahu wamesababisha maafa ya binadamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137502-wademokrati_us_wataka_kubadilishwa_utawala_wa_marekani_trump_na_netanyahu_wamesababisha_maafa_ya_binadamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c3qd774d101a62dvmn.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137502-wademokrati_us_wataka_kubadilishwa_utawala_wa_marekani_trump_na_netanyahu_wamesababisha_maafa_ya_binadamu </guid>  
      <description>Kinara wa Wademokrati katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amekosoa serikali na Warepublican nchini humo kwa kuanzisha vita dhidi ya Iran na kusisitiza udharura wa kubadilishwa utawala wa Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 22 Mar 2026 03:47:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>  Wall Street Journal: Kambi ya Diego Garcia imeshambuliwa kwa makombora ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137496-wall_street_journal_kambi_ya_diego_garcia_imeshambuliwa_kwa_makombora_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc662a5a4ed2p47r.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137496-wall_street_journal_kambi_ya_diego_garcia_imeshambuliwa_kwa_makombora_ya_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Kimarekani la Wall Street Journal limeripoti kwamba, Iran imeshambulia kwa makombora mojawapo ya kambi za mbali zaidi za kistratijia za jeshi la Marekani nje ya nchi hiyo. </description>
      <pubDate>Sat, 21 Mar 2026 06:36:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uharibifu mkubwa wa makombora ya Iran dhidi ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137492-uharibifu_mkubwa_wa_makombora_ya_iran_dhidi_ya_kiwanda_cha_kusafisha_mafuta_cha_haifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4by1360dbe65811v4ks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137492-uharibifu_mkubwa_wa_makombora_ya_iran_dhidi_ya_kiwanda_cha_kusafisha_mafuta_cha_haifa </guid>  
      <description>Operesheni iliyofanikiwa ya makombora ya Iran dhidi ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa imesababisha uharibifu mkubwa katika kiwanda hicho.
Kampuni ya Kusafisha Mafuta ya Haifa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) imetangaza kuwa moto katika mitambo ya kusafisha mafuta katika kiwanda hicho kufuatia shambulio la kombora la Iran umesababisha uharibifu wa shekeli milioni sita (sarafu ya utawala wa Kizayuni wa Israel).
</description>
      <pubDate>Sat, 21 Mar 2026 06:25:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Beijing yasisitiza kuendelezwa juhudi za usuluhishi ili kurejesha amani Magharibi mwa Asia </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137478-beijing_yasisitiza_kuendelezwa_juhudi_za_usuluhishi_ili_kurejesha_amani_magharibi_mwa_asia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc8826b88d92p424.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137478-beijing_yasisitiza_kuendelezwa_juhudi_za_usuluhishi_ili_kurejesha_amani_magharibi_mwa_asia </guid>  
      <description> Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema kuwa mashambulizi yanayoendelea katika eneo la Magharibi mwa Asia yamevuruga usafirishaji wa baharini na kwamba Beijing itaendeleza juhudu za usuluhishi ili kufanikisha usitishaji vita na kukomesha uhasama ili kurejesha amani na utulivu katika eneo la Magharibi mwa Asia haraka iwezekanavyo. </description>
      <pubDate>Fri, 20 Mar 2026 07:55:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Meya wa New York: Ninapinga mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137474-meya_wa_new_york_ninapinga_mashambulizi_ya_kijeshi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv60ea5cb9692p41g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137474-meya_wa_new_york_ninapinga_mashambulizi_ya_kijeshi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Zahran Mamdani, meya Mwislamu wa New York, ametuma ujumbe wa salamu za Sikukuu ya Nowruz na mwaka mpya wa Kiirani kwa Wairani na kutangaza kwamba bado anapinga mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Mar 2026 04:49:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kivuli cha mauti juu ya mawaziri wa Marekani; ndege zisizo na rubani zamuandama Rubio na Hegseth</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137472-kivuli_cha_mauti_juu_ya_mawaziri_wa_marekani_ndege_zisizo_na_rubani_zamuandama_rubio_na_hegseth</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv96b46129c52p3zl.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137472-kivuli_cha_mauti_juu_ya_mawaziri_wa_marekani_ndege_zisizo_na_rubani_zamuandama_rubio_na_hegseth </guid>  
      <description>Maafisa wa serikali ya Marekani wamegundua ndege zisizo na rubani zisizojulikana juu ya kambi ya kijeshi huko Washington ambako Waziri wa Mambo ya Nje na Waziri wa Vita wa Marekani wanaishi.</description>
      <pubDate>Fri, 20 Mar 2026 04:00:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Dunia ya Siku Zijazo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137464-dunia_ya_siku_zijazo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bmuc332fba710mk1r.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137464-dunia_ya_siku_zijazo </guid>  
      <description>Hebu, jaribu kufumba macho yako na faradhisha kuwa unaishi katika mwaka wa 2050. Kwa mtazamo wako dunia itakuwaje wakati huo? Mgawanyo wa nguvu umebadilika vipi?</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 09:10:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yalaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya taasisi za gesi na nishati za Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137460-un_yalaani_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_taasisi_za_gesi_na_nishati_za_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bsh2ecda044e71f1g4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137460-un_yalaani_mashambulizi_ya_marekani_na_israel_dhidi_ya_taasisi_za_gesi_na_nishati_za_iran </guid>  
      <description>Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika taasisi za gesi na nishati za Iran pamoja na shambulio katika kisima cha gesi cha Pars-Kusini na katika eneo la Asaluyeh.</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 07:32:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Indhari ya Gavana wa Benki Kuu ya US kuhusu taathira za kupanda gharama za maisha kutokana na vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137456-indhari_ya_gavana_wa_benki_kuu_ya_us_kuhusu_taathira_za_kupanda_gharama_za_maisha_kutokana_na_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bvce3c5e798d41pw9b.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137456-indhari_ya_gavana_wa_benki_kuu_ya_us_kuhusu_taathira_za_kupanda_gharama_za_maisha_kutokana_na_vita_na_iran </guid>  
      <description>Gavana wa Benki Kuu ya Marekani ametahadharisha kuhusu athari mbaya za vita dhidi ya Iran kwa uchumi wa Marekani na kuongezeka gharama za maisha nchini humo. </description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 07:23:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhispania : Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni ukiukaji wa sharia za kimataifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137452-uhispania_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_ukiukaji_wa_sharia_za_kimataifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6a7d81f3db542g2j9.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137452-uhispania_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_ni_ukiukaji_wa_sharia_za_kimataifa </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania, José Manuel Albares, amesisitiza kwamba Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wameanzisha “vita vya upande mmoja” dhidi ya Iran na huo ni“ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.”</description>
      <pubDate>Thu, 19 Mar 2026 06:21:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwigizaji wa Hollywood: Trump ni gaidi na mhalifu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137442-mwigizaji_wa_hollywood_trump_ni_gaidi_na_mhalifu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv85a42da8472p3tj.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137442-mwigizaji_wa_hollywood_trump_ni_gaidi_na_mhalifu </guid>  
      <description>Mwigizaji maarufu wa Marekani Morgan Freeman ameandika katika ukurasa wake binafsi kwenye mitandao ya kijamii kwamba rais Donald Trump ni gaidi, mbaguzi wa rangi na mhalifu, na kwamba Ikulu ya White House inapaswa kuhesabiwa kuwa ni shirika la kigaidi.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Mar 2026 06:23:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Amnesty International: Marekani lazima iwajibishwe kwa uhalifu katika Shule ya Minab nchini Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137440-amnesty_international_marekani_lazima_iwajibishwe_kwa_uhalifu_katika_shule_ya_minab_nchini_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv975a9ea3832p25t.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137440-amnesty_international_marekani_lazima_iwajibishwe_kwa_uhalifu_katika_shule_ya_minab_nchini_iran </guid>  
      <description>Shirika la Amnesty International limetangaza kwamba Marekani lazima iwajibishwe kwa mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Msingi ya Minab nchini Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Mar 2026 05:53:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Israel inadanganya, Iran haitutishii": Afisa wa ujasusi aliyeteuliwa na Trump ajiuzulu kwa sababu ya vita na Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137434-israel_inadanganya_iran_haitutishii_afisa_wa_ujasusi_aliyeteuliwa_na_trump_ajiuzulu_kwa_sababu_ya_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv1bbe2691b02p3rs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137434-israel_inadanganya_iran_haitutishii_afisa_wa_ujasusi_aliyeteuliwa_na_trump_ajiuzulu_kwa_sababu_ya_vita_na_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Marekani amejiuzulu baada ya kufichua yanayojiri nyuma ya pazia kuhusu vita vya nchi hiyo na Israel dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Mar 2026 04:57:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta wa Marekani: Trump ni mpumbavu/ Panetta: Utawala wa Iran umekita mizizi, ni imara</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137432-seneta_wa_marekani_trump_ni_mpumbavu_panetta_utawala_wa_iran_umekita_mizizi_ni_imara</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bn460980278d8yk1e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137432-seneta_wa_marekani_trump_ni_mpumbavu_panetta_utawala_wa_iran_umekita_mizizi_ni_imara </guid>  
      <description>Seneta wa chama cha Democratic cha Marekani amemtaja rais wa nchi hiyo kuwa ni mjinga kwa kufuata kibubusa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Wed, 18 Mar 2026 04:55:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mfumo Mpya wa Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137428-mfumo_mpya_wa_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv80ac5f80222p3qn.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137428-mfumo_mpya_wa_dunia </guid>  
      <description>Je, hadi sasa umewahi kufikiria mfumo huu unaotawala dunia ulitoka wapi?</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 08:48:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Politico: Marekani inachukiwa sana kuliko Wamarekani wanavyodhani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137420-politico_marekani_inachukiwa_sana_kuliko_wamarekani_wanavyodhani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbt8e411c4fe42ofak.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137420-politico_marekani_inachukiwa_sana_kuliko_wamarekani_wanavyodhani </guid>  
      <description>Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonyesha kuwa sura ya Marekani ni mbaya sana miongoni mwa raia wa nchi waitifaki wa nchi hiyo duniani kwa kiasi ambacho hakiingii hata katika fikra na akili za Wamarekani.</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 06:59:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kushiriki vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137412-ujerumani_yakataa_ombi_la_marekani_la_kushiriki_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9a97944209412ncyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137412-ujerumani_yakataa_ombi_la_marekani_la_kushiriki_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kansela wa Ujerumani, amejibu ombi la Donald Trump la kutaka ushiriki wa Berlin katika operesheni ya kijeshi ya Marekani katika Lango Bahari la Hormuz, na kusema wazi kuwa Ujerumani haitashiriki katika vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Tue, 17 Mar 2026 04:43:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Daily Mail: Trump amekwama kwenye kinamasi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137408-daily_mail_trump_amekwama_kwenye_kinamasi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bn47f674473e7yk1i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137408-daily_mail_trump_amekwama_kwenye_kinamasi </guid>  
      <description>Gazeti la Daily Mail linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa Iran imethibitisha kuwa ina nguvu na imejiandaa vizuri sana kuliko vile ilivyokuwa ikidhaniwa na Marekani.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 10:32:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchambuzi wa Marekani: Wananchi wa Marekani wanachukizwa na vita vya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137404-mchambuzi_wa_marekani_wananchi_wa_marekani_wanachukizwa_na_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bmt610581140dldky.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137404-mchambuzi_wa_marekani_wananchi_wa_marekani_wanachukizwa_na_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mchambuzi wa Marekani ameeleza kuwa wapiga kura wa nchi hiyo wamekasirishwa na hatua ya rais wa nchi hiyo ya kuiburuta Washington katika vita na Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 10:30:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Guardian: Dunia itakumbwa na mgogoro wa chakula vita dhidi ya Iran vikiendelea</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137394-guardian_dunia_itakumbwa_na_mgogoro_wa_chakula_vita_dhidi_ya_iran_vikiendelea</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c945ab84928bf2lnzl.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137394-guardian_dunia_itakumbwa_na_mgogoro_wa_chakula_vita_dhidi_ya_iran_vikiendelea </guid>  
      <description>Mkuu wa moja ya kampuni kubwa zaidi za mbolea duniani amenukuliwa na gazeti la The Guardian akionya kuwa, usambazaji wa chakula duniani utaathiriwa vibaya sana mwaka huu iwapo vita dhidi ya Iran vitapanuka na kuendelea.</description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 04:38:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Uwezo wa Iran ni zaidi  ya alivyotarajia Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137390-new_york_times_uwezo_wa_iran_ni_zaidi_ya_alivyotarajia_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c6j537bbd65a52jxfa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137390-new_york_times_uwezo_wa_iran_ni_zaidi_ya_alivyotarajia_trump </guid>  
      <description>Gazeti moja la Marekani limekiri uwezo wa Iran wa kuathiri uchumi wa dunia kwa kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz</description>
      <pubDate>Mon, 16 Mar 2026 03:58:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Dkt Tedros: Kushambulia kwa mabomu hospitali na shule ni jinai ya kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137386-dkt_tedros_kushambulia_kwa_mabomu_hospitali_na_shule_ni_jinai_ya_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv975a9ea3832p25t.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137386-dkt_tedros_kushambulia_kwa_mabomu_hospitali_na_shule_ni_jinai_ya_kivita </guid>  
      <description>Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Duniani (WHO) amelaani vikali kitendo cha kushambuliwa kwa mabomu hospitali na shule, akisisitiza kuwa hujuma hizo si kitu kingine ghairi ya jinai za kivita.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Mar 2026 05:12:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uvamizi Dhidi ya Iran na Nyufa Ndani ya Ikulu ya Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137382-uvamizi_dhidi_ya_iran_na_nyufa_ndani_ya_ikulu_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9cc67342f9142ob5u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137382-uvamizi_dhidi_ya_iran_na_nyufa_ndani_ya_ikulu_ya_marekani </guid>  
      <description>Taarifa mpya imefichua kuwa, makamu wa rais wa Marekani, J.D. Vance, tokea alikuwa na mashaka kuhusu vita  dhidi ya Iran na hadi sasa anaendelea kupinga mitazamo ya Rais Trump kuhusu vita hivyo ambavyo viko katika wiki ya tatu sasa vimeigharimu Marekani mabilioni ya dola.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Mar 2026 05:08:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ufaransa yamkaidi Trump, yasema manowari zake hazitashiriki katika vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137376-ufaransa_yamkaidi_trump_yasema_manowari_zake_hazitashiriki_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bv85b2fc6f0cd1mqir.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137376-ufaransa_yamkaidi_trump_yasema_manowari_zake_hazitashiriki_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Wizara ya Ulinzi ya Ufaransa imetangaza katika taarifa rasmi kwamba manowari za nchi hiyo hazitashiriki katika operesheni yoyote ya mashambulizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Mar 2026 04:39:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>The Economist: Pipa la mafuta ya petroli litafikia dola 200</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137372-the_economist_pipa_la_mafuta_ya_petroli_litafikia_dola_200</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbvc5dad6a5092p3hc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137372-the_economist_pipa_la_mafuta_ya_petroli_litafikia_dola_200 </guid>  
      <description>Gazeti la masuala ya kiuchumi la The Economist limeripoti kuwa gharama ya pipa moja la mauta ya petroli itafikia dola 200 iwapo vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vitaendelea.</description>
      <pubDate>Sun, 15 Mar 2026 02:07:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Netanyahu yuko wapi? Galloway ashangazwa na video yake ya Akili Mnemba</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137370-netanyahu_yuko_wapi_galloway_ashangazwa_na_video_yake_ya_akili_mnemba</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c99340f1432fd2n8fc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137370-netanyahu_yuko_wapi_galloway_ashangazwa_na_video_yake_ya_akili_mnemba </guid>  
      <description>Kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi Uingereza, George Galloway amesema video ya hotuba ya Benjamin Netanyahu iliyotengezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) inaibua masuali mengi kuhusu kitendawili cha aliko Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 04:35:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maseneta wa Marekani wataka kufukuzwa Waziri wa Vita wa nchi hiyo kwa kuua wanafunzi shule ya msingi Minab</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137366-maseneta_wa_marekani_wataka_kufukuzwa_waziri_wa_vita_wa_nchi_hiyo_kwa_kuua_wanafunzi_shule_ya_msingi_minab</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv975a9ea3832p25t.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137366-maseneta_wa_marekani_wataka_kufukuzwa_waziri_wa_vita_wa_nchi_hiyo_kwa_kuua_wanafunzi_shule_ya_msingi_minab </guid>  
      <description>Maseneta Elizabeth Warren na Chriss Van Hollen wa Marekani wametoa wito wa kutimuliwa Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth, kwa sababu ya kutenda jinai ya kuua watoto wadogo wa shule ya msingi nchini Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 04:00:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Akiba ya mafuta ya Marekani yapungua hadi kiwango cha chini kabisa katika miaka 44</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137360-akiba_ya_mafuta_ya_marekani_yapungua_hadi_kiwango_cha_chini_kabisa_katika_miaka_44</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv55acff73442p3da.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137360-akiba_ya_mafuta_ya_marekani_yapungua_hadi_kiwango_cha_chini_kabisa_katika_miaka_44 </guid>  
      <description>Akiba ya mafuta ya Marekani imepungua hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miaka 44 iliyopita, na hayo ni kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani. </description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:48:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Belarus: Wavamizi Marekani na Israel hawajafikia malengo yao</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137356-rais_wa_belarus_wavamizi_marekani_na_israel_hawajafikia_malengo_yao</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bvd6bb2b573821qhi8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137356-rais_wa_belarus_wavamizi_marekani_na_israel_hawajafikia_malengo_yao </guid>  
      <description>Rais Alexender Lukashenko wa Belarus amelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusema kuwa wavamizi hao hawajifikia hata lengo lao moja. </description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:45:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Japan: Hakuna Mpango wa Kutuma Jeshi  Lango Bahari la Hormuz, Wajapani wapinga vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137352-japan_hakuna_mpango_wa_kutuma_jeshi_lango_bahari_la_hormuz_wajapani_wapinga_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c9a0cb0e1fd1a2nkla.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137352-japan_hakuna_mpango_wa_kutuma_jeshi_lango_bahari_la_hormuz_wajapani_wapinga_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Japan amesema wazi katika kikao cha bunge kwamba nchi yakehaina mpango wa kutuma vikosi vya kijeshi kwa ajili ya operesheni za kuondoa mabomu ya baharini katika Lango Bahari la Hormuz.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:44:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137346-wataalamu_wa_haki_wa_un_walaani_mashambulizi_ya_us_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbv0ec56b8ff82p34s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137346-wataalamu_wa_haki_wa_un_walaani_mashambulizi_ya_us_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Kundi moja la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani vikali mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Lebanon.</description>
      <pubDate>Sat, 14 Mar 2026 03:29:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mjumbe wa UN: Walioua watoto wa shule ya msingi ya Minab wapandishwe kizimbani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137342-mjumbe_wa_un_walioua_watoto_wa_shule_ya_msingi_ya_minab_wapandishwe_kizimbani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4c94a50172c8652lj4r.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137342-mjumbe_wa_un_walioua_watoto_wa_shule_ya_msingi_ya_minab_wapandishwe_kizimbani </guid>  
      <description>Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Elimu Duniani, Gordon Brown, amesema watoto hawapasi kufanywa wahanga wa vita, na shule na hospitali hazipaswi kushambuliwa.</description>
      <pubDate>Fri, 13 Mar 2026 08:05:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Reuters: Hitilafu zanatikisa White House; Trump anatafuta njia ya kujinasua katika kinamasi cha vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137340-reuters_hitilafu_zanatikisa_white_house_trump_anatafuta_njia_ya_kujinasua_katika_kinamasi_cha_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4bpp746b693e6c1624x.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137340-reuters_hitilafu_zanatikisa_white_house_trump_anatafuta_njia_ya_kujinasua_katika_kinamasi_cha_vita_na_iran </guid>  
      <description>Shirika la habari la Reuters limemnukuu mmoja wa washauri wa Rais wa Marekani akisema kuwa hitilafu kubwa zimepamba moto ndani ya Ikulu ya Rais wa Marekani, White House, kuhusu mwelekeo wa vita vya sasa na Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 13 Mar 2026 07:55:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>