<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - world</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/world</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Tue, 09 Jun 2026 21:23:42 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Guterres: Wafanyakazi 80 wa Umoja wa Mataifa waliuawa mwaka jana huko Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139006-guterres_wafanyakazi_80_wa_umoja_wa_mataifa_waliuawa_mwaka_jana_huko_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9463d428412pkc4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139006-guterres_wafanyakazi_80_wa_umoja_wa_mataifa_waliuawa_mwaka_jana_huko_gaza </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ametangaza kwamba wafanyakazi 136 wa shirika hilo la kimataifa waliuawa wakitekeleza majukumu yao katika mwaka uliopita, wakiwemo wafanyakazi 80 waliokuwa wakifanya kazi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 11:53:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yamsimamisha Kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu kwa tuhuma za utovu wa nidhamu wa kingono</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139000-icc_yamsimamisha_kazi_mwendesha_mashtaka_mkuu_kwa_tuhuma_za_utovu_wa_nidhamu_wa_kingono</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby13d176a21d2pkay.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139000-icc_yamsimamisha_kazi_mwendesha_mashtaka_mkuu_kwa_tuhuma_za_utovu_wa_nidhamu_wa_kingono </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemsimamisha kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu, Karim Khan, kwa madai ya utovu wa nidhamu wa kingono na msaidizi wake.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 10:26:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lavrov: Guterres anashirikiana na Magharibi, Washington haina nia ya kurudi kwenye makubaliano ya Anchorage</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138992-lavrov_guterres_anashirikiana_na_magharibi_washington_haina_nia_ya_kurudi_kwenye_makubaliano_ya_anchorage</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx167b41ddad2pgqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138992-lavrov_guterres_anashirikiana_na_magharibi_washington_haina_nia_ya_kurudi_kwenye_makubaliano_ya_anchorage </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amekosoa utendaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, akisisitiza haja ya kutekelezwa kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa "bila kubagua".</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:22:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita dhidi ya Iran havikidhi vigezo vya “Vita vya Haki”, asema Papa Leo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138968-vita_dhidi_ya_iran_havikidhi_vigezo_vya_vita_vya_haki_asema_papa_leo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyde8af67bd32pjyq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138968-vita_dhidi_ya_iran_havikidhi_vigezo_vya_vita_vya_haki_asema_papa_leo </guid>  
      <description>Katika kauli yenye ukali dhidi ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran havina uhalali wa maadili.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:17:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sanders: Netanyahu anashirikiana na Kongresi kuficha msaada wa kijeshi kwa Israel katika mikataba ya Pentagon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138954-sanders_netanyahu_anashirikiana_na_kongresi_kuficha_msaada_wa_kijeshi_kwa_israel_katika_mikataba_ya_pentagon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyca00e3192a2pjtc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138954-sanders_netanyahu_anashirikiana_na_kongresi_kuficha_msaada_wa_kijeshi_kwa_israel_katika_mikataba_ya_pentagon </guid>  
      <description>Seneta wa kujitegemea kutoka Vermont, Bernie Sanders, ametangaza kwamba atapinga sheria inayochunguzwa bungeni ambayo itaongeza ushawishi wa Israel katika taasisi za kijeshi na viwanda vya Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 09:29:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo XIV : Uvamizi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran 'sio vita vya haki'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138948-papa_leo_xiv_uvamizi_wa_kijeshi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_'sio_vita_vya_haki'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8e53adb3252pjny.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138948-papa_leo_xiv_uvamizi_wa_kijeshi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_'sio_vita_vya_haki' </guid>  
      <description>Kiongozi wa kanisa katoliki Dunia, Papa Leo XIV amesema uchokozi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa "vita vya haki", akisisitiza kwamba itikadi hiyo ya karne nyingi haiendani na uhalisia wa vita vya kisasa.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:49:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138940-kwa_nini_ulaya_inataka_kufafanua_upya_uhusiano_wake_na_china</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2080547c6e2pjku.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138940-kwa_nini_ulaya_inataka_kufafanua_upya_uhusiano_wake_na_china </guid>  
      <description>Ufaransa na nchi nyingine nne za Ulaya, katika mkesha wa mkutano wa kimkakati wa Kamisheni ya Ulaya kuhusu China, zilitoa wito wa kuundwa vyombo vipya vya kutetea biashara ili kulinda viwanda vya Ulaya na kukabiliana na ushindani kutoka kwa makampuni yanayoungwa mkono na serikali ya Beijing.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 12:59:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waislamu wa Canada watoa wito kwa serikali kupambana na chuki dhidi ya Uislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138938-waislamu_wa_canada_watoa_wito_kwa_serikali_kupambana_na_chuki_dhidi_ya_uislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5a7ade276e2pjjq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138938-waislamu_wa_canada_watoa_wito_kwa_serikali_kupambana_na_chuki_dhidi_ya_uislamu </guid>  
      <description>Waislamu wa Canada wameitaka serikali kupambana na chuki dhidi ya Uislamu nchini humo kupitia mageuzi ya kina na hatua madhubuti.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 11:37:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Leon Panetta: Vita dhidi ya Iran imekuwa Vietnam nyingine kwa Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138930-leon_panetta_vita_dhidi_ya_iran_imekuwa_vietnam_nyingine_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9aa74cf96a2pjim.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138930-leon_panetta_vita_dhidi_ya_iran_imekuwa_vietnam_nyingine_kwa_trump </guid>  
      <description>Waziri wa zamani wa Vita wa Marekani ameonya kuwa: Vita dhidi ya Iran vinakuwa sawa na vita Vietnam kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 09:39:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WFP: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinasukuma mamilioni kukumbwa na njaa Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138918-wfp_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_vinasukuma_mamilioni_kukumbwa_na_njaa_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya0eceb08eb2pjd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138918-wfp_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_vinasukuma_mamilioni_kukumbwa_na_njaa_afrika </guid>  
      <description>Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinawasukuma mamilioni ya watu duniani kuingia katika hali ya njaa huku bara Afrika likionekana kuathirika zaidi.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 03:14:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump sasa adai atahisi “heshima” kukutana na Kiongozi mpya wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138914-trump_sasa_adai_atahisi_heshima_kukutana_na_kiongozi_mpya_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby05d56413e22pj9m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138914-trump_sasa_adai_atahisi_heshima_kukutana_na_kiongozi_mpya_wa_iran </guid>  
      <description>Rais wa Marekani Donald Trump amesema angehisi “heshima” kukutana na Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, iwapo makubaliano yatafikiwa ya kumaliza vita kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:25:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Utafiti: Wamarekani waliowengi wanataka vita dhidi ya Iran visitishwe haraka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138906-utafiti_wamarekani_waliowengi_wanataka_vita_dhidi_ya_iran_visitishwe_haraka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby27d5e79b2a2pj9e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138906-utafiti_wamarekani_waliowengi_wanataka_vita_dhidi_ya_iran_visitishwe_haraka </guid>  
      <description>Takribani Wamarekani saba kati ya kumi wanautaka utawala wa nchi hiyo ukomeshe vita vyake visivyo halali dhidi ya Iran “haraka iwezekanavyo.” Hayo ni kwa mujibu wa utafiti mpya uliofichua kiwango kikubwa cha kutoridhika kwa umma kuhusu mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Trump ambayo yanaendelea kwa zaidi ya miezi mitatu.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:04:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Marekani lapitisha hatua ya kupunguza mamlaka ya vita ya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138872-bunge_la_marekani_lapitisha_hatua_ya_kupunguza_mamlaka_ya_vita_ya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6add70225b2pj02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138872-bunge_la_marekani_lapitisha_hatua_ya_kupunguza_mamlaka_ya_vita_ya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha azimio linalolenga kupunguza mamlaka ya vita ya Rais Donald Trump kuhusiana na Iran, ikiwa ni ishara ya changamoto kubwa kwa jinsi utawala wa Trump unavyoshughulikia uchokozi wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:34:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watetezi haki za binadamu: NBA ikomeshe ushirikiano na UAE katika mauaji ya halaiki Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138858-watetezi_haki_za_binadamu_nba_ikomeshe_ushirikiano_na_uae_katika_mauaji_ya_halaiki_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby17c56952af2piws.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138858-watetezi_haki_za_binadamu_nba_ikomeshe_ushirikiano_na_uae_katika_mauaji_ya_halaiki_sudan </guid>  
      <description>Watetezi wa haki za binadamu wamekitaka Chama cha Kitaifa cha Mpira wa Kikapu cha Marekani (NBA) kukomesha ushirikiano wake na Umoja wa Falme za Kiarabuu (UAE), wakisema uhusiano wa ligi hiyo na Abu Dhabi unaikingia kifua nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi kutokana na kulaaniwa vikali kwa kuhusika kwake katika vita ndani nchini Sudan.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 13:15:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirikisho la Soka la Norway laiomba FIFA kuchunguza tuzo ya amani ya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138844-shirikisho_la_soka_la_norway_laiomba_fifa_kuchunguza_tuzo_ya_amani_ya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8ed59aee1b2pire.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138844-shirikisho_la_soka_la_norway_laiomba_fifa_kuchunguza_tuzo_ya_amani_ya_trump </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Norway (NFF) lilisema jana Jumanne kwamba limeiomba kamati ya maadili ya FIFA kuchunguza tuzo ya amani iliyotolewa na baraza linalosimamia soka duniani kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:08:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lengo la Marekani kutokana na siasa zake zenye mgongano katika eneo la Asia-Pasifiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138836-lengo_la_marekani_kutokana_na_siasa_zake_zenye_mgongano_katika_eneo_la_asia_pasifiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1bbdb92caa2pima.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138836-lengo_la_marekani_kutokana_na_siasa_zake_zenye_mgongano_katika_eneo_la_asia_pasifiki </guid>  
      <description>Waziri wa Vita wa Marekani amesema katika mkutano wa Shangri-La huko Singapore kwamba Washington inatarajia washirika wake wa Asia waongeze matumizi yao ya kijeshi na ulinzi hadi asilimia 3.5 ya Pato lao la Taifa.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 10:06:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei ya mafuta duniani yapanda huku majeshi ya Israel yakisonga ndani zaidi kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138818-bei_ya_mafuta_duniani_yapanda_huku_majeshi_ya_israel_yakisonga_ndani_zaidi_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby51881ffd892pihq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138818-bei_ya_mafuta_duniani_yapanda_huku_majeshi_ya_israel_yakisonga_ndani_zaidi_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Bei ya mafuta duniani yapanda huku majeshi ya Israel yakisonga ndani zaidi kusini mwa Lebanon</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 02:58:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, ni vipi Ulaya imekuwa mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138802-je_ni_vipi_ulaya_imekuwa_mshirika_wa_jinai_za_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye8006f09ae2pidc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138802-je_ni_vipi_ulaya_imekuwa_mshirika_wa_jinai_za_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Jürgen Todenhofer, mwanasiasa na mjumbe wa zamani wa bunge la Ujerumani, amesema: "Umoja wa Ulaya na serikali ya Ujerumani zinahusika moja kwa moja katika maangamizi makubwa ya watu wa Palestina." </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 10:03:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanasiasa wa Ujerumani: EU ni mshirika katika ugaidi wa kimfumo wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138790-mwanasiasa_wa_ujerumani_eu_ni_mshirika_katika_ugaidi_wa_kimfumo_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby23614602702pi64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138790-mwanasiasa_wa_ujerumani_eu_ni_mshirika_katika_ugaidi_wa_kimfumo_wa_israel </guid>  
      <description>Mwanasiasa wa Ujerumani na mbunge wa zamani wa bunge la nchi hiyo amekosoa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema: "Walowezi wa Kizayuni wanafanya ugaidi wa kimfumo dhidi ya Wapalestina, na serikali ya Ujerumani na Umoja wa Ulaya wanashiriki katika uhalifu huo kwa kunyamaza kimya."</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 03:20:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Uvutaji sigara unahatarisha afya ya watu bilioni 1.2 duniani kote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138788-who_uvutaji_sigara_unahatarisha_afya_ya_watu_bilioni_1.2_duniani_kote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8823b51a432pi60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138788-who_uvutaji_sigara_unahatarisha_afya_ya_watu_bilioni_1.2_duniani_kote </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza takwimu za kutisha na za kusikitisha kuhusu hatari ya uvutaji sigara, kwa mnasaba wa madhimisho ya kila mwaka ya Siku ya Kupiga Vita Tumbaku Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 31. </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:51:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkaguzi mkuu wa magereza Ufaransa: Hali ya magereza nchini ni "mbaya, ya aibu na ya majanga"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138784-mkaguzi_mkuu_wa_magereza_ufaransa_hali_ya_magereza_nchini_ni_mbaya_ya_aibu_na_ya_majanga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby50fb89566d2pi5w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138784-mkaguzi_mkuu_wa_magereza_ufaransa_hali_ya_magereza_nchini_ni_mbaya_ya_aibu_na_ya_majanga </guid>  
      <description>Wizara ya Sheria ya Ufaransa imetangaza kwamba idadi ya wafungwa nchini humo imefikia zaidi ya watu 88,600, ambayo ni kubwa zaidi kuwahi kurekodiwa katika historia ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:42:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Wanazuoni Waislamu: Kuanzisha uhusiano na Israel kuna madhara kwa nchi za Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138778-umoja_wa_wanazuoni_waislamu_kuanzisha_uhusiano_na_israel_kuna_madhara_kwa_nchi_za_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb855168ef52pi24.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138778-umoja_wa_wanazuoni_waislamu_kuanzisha_uhusiano_na_israel_kuna_madhara_kwa_nchi_za_kiislamu </guid>  
      <description>Umoja wa Wasomi wa Kiislamu Duniani umetangaza upinzani wake kamili kwa tishio lolote linaloelekezwa kwa nchi za Kiislamu au mataifa yao kutoka upande wowote ule, na kuonya kuhusu matokeo mabaya ya kunzisha uhusiano na utawala wa Tel Aviv. </description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:55:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Simulizi la Wall Street Journal kuhusu vita vya Marekani dhidi ya Iran: Ni ushindi wa kimaonyesho wa Trump au kushindwa halisi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138776-simulizi_la_wall_street_journal_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ushindi_wa_kimaonyesho_wa_trump_au_kushindwa_halisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9abb6c05812pi0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138776-simulizi_la_wall_street_journal_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ushindi_wa_kimaonyesho_wa_trump_au_kushindwa_halisi </guid>  
      <description>Mhariri mkuu wa Wall Street Journal amesema: "Trump analazimika kudhihirisha kushindwa kwake mbele ya Iran kama ushindi ili kulinda sura na hadhi yake."</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:52:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti: Wamarekani wengi wanasumbuliwa na njaa kuliko wakati wa janga la Covid-19</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138766-utafiti_wamarekani_wengi_wanasumbuliwa_na_njaa_kuliko_wakati_wa_janga_la_covid_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0d62f5c6de2phwk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138766-utafiti_wamarekani_wengi_wanasumbuliwa_na_njaa_kuliko_wakati_wa_janga_la_covid_19 </guid>  
      <description>Utafiti wa Benki ya Hifadhi ya Shirikisho ya New York unaonyesha kwamba karibu 10% ya kaya zinaripoti kutokula chakula kutokana na kupanda kwa gharama na matatizo ya kifedha.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:25:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini makubaliano yoyote na Iran ni fedheha kwa Trump?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138726-kwa_nini_makubaliano_yoyote_na_iran_ni_fedheha_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2cabd475922phg2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138726-kwa_nini_makubaliano_yoyote_na_iran_ni_fedheha_kwa_trump </guid>  
      <description>Kadiri uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Marekani na Iran unavyoongezeka, waandishi wa habari na wachambuzi mashuhuri wa Marekani wanatoa maoni yao kwa uwazi zaidi kuhusu kushindwa Trump na Netanyahu kutimiza matakwa yao katika mashambulio ya kijeshi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:45:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CNN: Trump amezitishia au kuzishambulia nchi 15 akiwa madarakani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138710-cnn_trump_amezitishia_au_kuzishambulia_nchi_15_akiwa_madarakani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx456282cbab2pha4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138710-cnn_trump_amezitishia_au_kuzishambulia_nchi_15_akiwa_madarakani </guid>  
      <description>Ripoti ya televisheni ya CNN imeeleza kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amezitishia, ameeleza wazi uwezekano wa kufanya mashambulizi au amezishambulia nchi 15 katika mihula yake miwili ya uongozi; yaani kwa mahesabu ya haraka amefanya hivyo kwa nchi moja kati ya kila nchi 13 duniani. </description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:07:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yarejesha vikwazo dhidi ya Ripota Maalumu wa UN kwa kufichua mauaji ya kimbari ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138698-marekani_yarejesha_vikwazo_dhidi_ya_ripota_maalumu_wa_un_kwa_kufichua_mauaji_ya_kimbari_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2850663f032ph3k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138698-marekani_yarejesha_vikwazo_dhidi_ya_ripota_maalumu_wa_un_kwa_kufichua_mauaji_ya_kimbari_ya_israel </guid>  
      <description>Marekani imemuwekea tena vikwazo Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu kwa sababu tu ya kufichua mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 10:41:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Russia yaunga mkono msukumo wa Afrika wa kudai fidia kutoka kwa madola ya kikoloni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138658-russia_yaunga_mkono_msukumo_wa_afrika_wa_kudai_fidia_kutoka_kwa_madola_ya_kikoloni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx167b41ddad2pgqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138658-russia_yaunga_mkono_msukumo_wa_afrika_wa_kudai_fidia_kutoka_kwa_madola_ya_kikoloni </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema nchi yake inaunga mkono msukumo wa Afrika wa kutaka fidia kutoka kwa madola ya kikoloni. Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Afrika mjini Moscow, Lavrov amesema suala hilo ni sehemu ya mapambano mapana dhidi ya ukoloni mambo-leo.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:12:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mahujaji wanasimama Arafa leo kutekeleza nguzo muhimu ya Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138640-mahujaji_wanasimama_arafa_leo_kutekeleza_nguzo_muhimu_ya_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa8567115d2pghi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138640-mahujaji_wanasimama_arafa_leo_kutekeleza_nguzo_muhimu_ya_hija </guid>  
      <description>Mamilioni ya Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, Al Kaaba, leo wanasimama katika uwanja wa Arafa katika kilele cha ibada tukufu ya Hija.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 03:29:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo aomba radhi kutokana na nafasi ya Kanisa Katoliki katika biashara ya utumwa ya kuvuka Bahari ya Atlantiki </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138638-papa_leo_aomba_radhi_kutokana_na_nafasi_ya_kanisa_katoliki_katika_biashara_ya_utumwa_ya_kuvuka_bahari_ya_atlantiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa99641f5d52pghg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138638-papa_leo_aomba_radhi_kutokana_na_nafasi_ya_kanisa_katoliki_katika_biashara_ya_utumwa_ya_kuvuka_bahari_ya_atlantiki </guid>  
      <description>Katika hatua ya kihistoria, Papa Leo wa XIV Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameomba radhi kutokana nafasi ya Baraza Kuu la Uongozi wa Kanisa Katoliki na Vatican la kuhalalisha utumwa na kushindwa kulaani suala hilo kwa karne kadhaa. </description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 03:06:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>John Mearsheimer: Hakuna nguvu duniani yenye uwezo wa kuishinda Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138634-john_mearsheimer_hakuna_nguvu_duniani_yenye_uwezo_wa_kuishinda_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9a2dc053f92pge0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138634-john_mearsheimer_hakuna_nguvu_duniani_yenye_uwezo_wa_kuishinda_iran </guid>  
      <description>Profesa wa sayansi ya siasa na mtaalamu wa nadharia ya mahusiano ya kimataifa amesema kuwa: Wakati Marekani na Israel zimeshindwa kuishinda Iran kwa kutumia nguvu zao zote, katika kipindi cha siku 40 za mashambulizi ya anga, hakuna nguvu nyingine duniani yenye uwezo wa kufanya hivyo.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 02:54:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa China aunga mkono diplomasia ya amani kati ya Iran na Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138632-rais_wa_china_aunga_mkono_diplomasia_ya_amani_kati_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx516afe56e62pghc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138632-rais_wa_china_aunga_mkono_diplomasia_ya_amani_kati_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Katika kikao chake na Waziri Mkuu na Mkuu wa Majeshi wa Pakistan, Rais wa China amesisitiza uungaji mkono wa Beijing kwa upatanishi wa Islamabad na diplomasia inayoendelea katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ajili ya amani, akitolea mfano ziara ya hivi karibuni ya Asim Munir, Mkuu wa Majeshi wa Pakistan jijini Tehran.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 02:52:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>El Baradei: Mwendawazimu Trump anatafuta njia ya kujiondoa kwenye vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138610-el_baradei_mwendawazimu_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_kwenye_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa147c974aa2pgd6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138610-el_baradei_mwendawazimu_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_kwenye_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa zamani wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ametangaza kuwa mtu mmoja mwendawazimu alianzisha vita dhidi ya Iran na sasa anatafuta njia ya kujiondoa vitani.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 09:14:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu za kuongezeka mgawanyiko barani Ulaya kuhusu utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138596-sababu_za_kuongezeka_mgawanyiko_barani_ulaya_kuhusu_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1af6f892552pg40.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138596-sababu_za_kuongezeka_mgawanyiko_barani_ulaya_kuhusu_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Mbali na maoni ya wananchi, baadhi ya wabunge wa Bunge la Ulaya pia wameutaka Umoja wa Ulaya uchukue hatua kali dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na viongozi wake.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 07:35:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu ya kujiuzulu Mkurugenzi wa Intelijensia ya Kitaifa wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138580-sababu_ya_kujiuzulu_mkurugenzi_wa_intelijensia_ya_kitaifa_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf03593279f2pfxc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138580-sababu_ya_kujiuzulu_mkurugenzi_wa_intelijensia_ya_kitaifa_wa_marekani </guid>  
      <description>Kuibuka kwa baadhi ya tofauti kati ya Rais wa Marekani na mkuu wa jumuiya ya ujasusi ya nchi hiyo kumezua shaka kuwa kujiuzulu kwa Tulsi Gabbard kulitokana na sababu za kisiasa.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 13:17:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa ujasusi wa Trump ajiuzulu kwa mashinikizo ya White House kuhusu vita haramu dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138564-mkuu_wa_ujasusi_wa_trump_ajiuzulu_kwa_mashinikizo_ya_white_house_kuhusu_vita_haramu_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe26dc3035c2pfqa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138564-mkuu_wa_ujasusi_wa_trump_ajiuzulu_kwa_mashinikizo_ya_white_house_kuhusu_vita_haramu_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa Ujasusi wa Kitaifa (DNI) wa Rais wa Marekani, Donald Trump, Tulsi Gabbard, amejiuzulu kutokana na shinikizo kubwa la Ikulu ya White House baada ya kupinga vikali vita haramu na vya uchokozi vya Marekani dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 03:05:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Suala la nyuklia linaweza kutatuliwa kwa kuzingatia maslahi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138558-russia_suala_la_nyuklia_linaweza_kutatuliwa_kwa_kuzingatia_maslahi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa71ad3b9822pfpw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138558-russia_suala_la_nyuklia_linaweza_kutatuliwa_kwa_kuzingatia_maslahi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, anasema kwamba mgogoro unaoendelezwa na Marekani kuhusu suala la nyuklia la Iran unaweza tu kutatuliwa kwa njia za kidiplomasia na kwa kutilia maanani maslahi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 02:41:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viwango vya Undumakuwili wa Ulaya; Kwa Nini Jinai za Israel Zinanyamaziwa Kimya?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138556-viwango_vya_undumakuwili_wa_ulaya_kwa_nini_jinai_za_israel_zinanyamaziwa_kimya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2e366c1c742pfos.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138556-viwango_vya_undumakuwili_wa_ulaya_kwa_nini_jinai_za_israel_zinanyamaziwa_kimya </guid>  
      <description>Hatua ya utawala wa Kizayuni ya kukamata meli 50 zilizokuwa zimebeba wanaharakati 428 wa haki za binadamu na misaada ya kibinadamu kutoka nchi 44 kwa ajili ya Wapalestina wanaozingirwa na utawala huo huko Gaza katika bahari ya Mediterania imeibua wimbi la hasira na chuki dhidi ya Wazayuni. </description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 15:42:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>San Diego yaaga wahanga wa shambulizi dhidi ya Kituo cha Kiislamu katika mazishi ya heshima</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138552-san_diego_yaaga_wahanga_wa_shambulizi_dhidi_ya_kituo_cha_kiislamu_katika_mazishi_ya_heshima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5561c5e6f92pfoo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138552-san_diego_yaaga_wahanga_wa_shambulizi_dhidi_ya_kituo_cha_kiislamu_katika_mazishi_ya_heshima </guid>  
      <description>Zaidi ya watu 2,000 walihudhuria mazishi yaliyofanyika jana Alhamisi ya wahanga watatu wa shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko San Diego, California, huku kukiwa na huzuni kubwa zilizoandamana na pongezi kwa kujitolea wahanga hao waliowalinda watoto zaidi ya 140 waliokuwa ndani ya shule ya kituo hicho.</description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 15:04:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakazi wa Roma, Italia waandamana kuonesha mshikamano na Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138548-wakazi_wa_roma_italia_waandamana_kuonesha_mshikamano_na_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx94a929e1a82pfoe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138548-wakazi_wa_roma_italia_waandamana_kuonesha_mshikamano_na_palestina </guid>  
      <description>Duru za habari zimeripoti kuwa, idadi kubwa ya raia wanaopiga dhulma na ukandamizaji duniani na waungaji mkono wa mapambano ya ukombozi wa Palestina wameandamana huko Roma mji mkuu wa Italia kulalamikia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msafara wa kimataifa kwa jina la The Global Sumud Flotilla kwa lengo la kuvunja mzingiro haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.  </description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 14:52:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maonyesho ya "Kisiwa cha Dhambi" yafanyika Magharibi mwa Kabul </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138538-maonyesho_ya_kisiwa_cha_dhambi_yafanyika_magharibi_mwa_kabul</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx07c58d48042pfl6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138538-maonyesho_ya_kisiwa_cha_dhambi_yafanyika_magharibi_mwa_kabul </guid>  
      <description>Maonyesho maalumu ya yanayodhihirisha uhalifu wa nchi za kibeberu pamoja na kashfa za kingono za viongozi wa nchi za Magharibi yaliyopewa jina "Kisiwa cha Dhambi" yanafanyika magharibi mwa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.</description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 04:15:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujumbe wa safari ya Rais Putin nchini China kwa ulimwengu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138530-ujumbe_wa_safari_ya_rais_putin_nchini_china_kwa_ulimwengu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3c7aaf7e252pfi2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138530-ujumbe_wa_safari_ya_rais_putin_nchini_china_kwa_ulimwengu </guid>  
      <description>Siku nne tu baada ya kufanyika safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini China, Rais Xi Jinping wa nchi hiyo amemkaribisha kwa shangwe Rais Vladimir Putin wa Russia mjini Beijing.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 13:36:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: UNSC Iivunje ukimya kuhusu vitisho vya Marekani na uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138526-iran_unsc_iivunje_ukimya_kuhusu_vitisho_vya_marekani_na_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3a5d922cd62pfh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138526-iran_unsc_iivunje_ukimya_kuhusu_vitisho_vya_marekani_na_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama livunje ukimya wake kuhusu vitisho vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa kimfumo wa sheria za kimataifa za kibinadamu uliofanyika wakati wa vita haramu vya hivi karibuni.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 13:07:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin na Xi walaani vita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138512-putin_na_xi_walaani_vita_vya_uchokozi_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxdd295430d62pfda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138512-putin_na_xi_walaani_vita_vya_uchokozi_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais wa Russia, Vladimir Putin, na mwenzake wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping, wamekemea kwa pamoja vita vya hivi karibuni vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakisisitiza kwamba njia pekee ya kumaliza mzozo huo unaotishia uthabiti wa kanda ni kupitia mazungumzo na diplomasia.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 04:32:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa China na Russia: Tunafanya kazi ili kuasisi utaratibu wa kiadilifu na haki zaidi duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138502-viongozi_wa_china_na_russia_tunafanya_kazi_ili_kuasisi_utaratibu_wa_kiadilifu_na_haki_zaidi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9384ff5de12pfa4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138502-viongozi_wa_china_na_russia_tunafanya_kazi_ili_kuasisi_utaratibu_wa_kiadilifu_na_haki_zaidi_duniani </guid>  
      <description>Viongozi wa China na Russia wamesisitiza mwanzoni mwa mazungumzo yao kuhusu azimio la pamoja la nchi hizo mbili la kuasisi utaratibu wa haki zaidi wa kimataifa na ulimwengu wa kambi kadhaa. </description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:06:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138488-russia_yaanza_mazoezi_ya_nyuklia_ya_siku_3_huku_putin_akitarajiwa_nchini_china_kwa_ziara_ya_siku_mbili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5902e7a4a22pf4w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138488-russia_yaanza_mazoezi_ya_nyuklia_ya_siku_3_huku_putin_akitarajiwa_nchini_china_kwa_ziara_ya_siku_mbili </guid>  
      <description>Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya siku mbili.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:01:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu watano wauawa katika shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko California</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138476-watu_watano_wauawa_katika_shambulio_dhidi_ya_msikiti_na_kituo_cha_kiislamu_huko_california</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf248b69dee2pf12.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138476-watu_watano_wauawa_katika_shambulio_dhidi_ya_msikiti_na_kituo_cha_kiislamu_huko_california </guid>  
      <description>Polisi wa San Diego huko California nchini Marekani wametangaza kwamba watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga kituo cha Kiislamu cha mji huo, wakiwemo washambuliaji wawili.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 12:34:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138470-kwa_nini_ndoto_ya_marekani_ya_kuwa_nchi_ya_fursa_imeyoyoma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfa05eb8f142pezg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138470-kwa_nini_ndoto_ya_marekani_ya_kuwa_nchi_ya_fursa_imeyoyoma </guid>  
      <description>Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema, kutokana na “hali ya kijamii” ya Marekani inayozidi kuwa mbaya, haitazami tena nchi hiyo kwa jicho la mahala pa kuwashauri watoto wake wakasome au kufanya kazi. </description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 09:39:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi wa Washington Post kuhusu mashambulio ya Iran kwenye vituo 228 vya kijeshi vya Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138464-uchunguzi_wa_washington_post_kuhusu_mashambulio_ya_iran_kwenye_vituo_228_vya_kijeshi_vya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx764065ff812pery.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138464-uchunguzi_wa_washington_post_kuhusu_mashambulio_ya_iran_kwenye_vituo_228_vya_kijeshi_vya_marekani </guid>  
      <description>Mwandishi wa habari mpelelezi wa gazeti la Washington Post amechapishwa maelezo kuhusu mashambulizi ya Iran kwenye taasisi na zana 228 za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 05:44:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Kihispania: Simulizi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya watu wa Gaza inabadilika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138462-muigizaji_wa_kihispania_simulizi_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_dhidi_ya_watu_wa_gaza_inabadilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx760aafd7b52pewi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138462-muigizaji_wa_kihispania_simulizi_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_dhidi_ya_watu_wa_gaza_inabadilika </guid>  
      <description>Muigizaji maarufu wa Kihispania amesema kando ya Tamasha la Filamu la Cannes kwamba: Licha ya kampeni yake ya hadharani dhidi ya vita vya Israel na mauaji ya kimbari ya utawala huo huko Gaza, Palestina, anafanya kazi zaidi kuliko hapo awali, na hii ina maana ya kubadilika simulizi kuhusu vita vya Gaza.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 04:11:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Cuba yasisitiza haki yake ya kujilinda kufuatia tishio la hujuma ya kijeshi kutoka Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138446-cuba_yasisitiza_haki_yake_ya_kujilinda_kufuatia_tishio_la_hujuma_ya_kijeshi_kutoka_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7b6494502e2pese.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138446-cuba_yasisitiza_haki_yake_ya_kujilinda_kufuatia_tishio_la_hujuma_ya_kijeshi_kutoka_marekani </guid>  
      <description>Balozi wa Cuba katika Umoja wa Mataifa amesisitiza haki ya nchi yake kujilinda dhidi ya uwezekano wowote wa uvamizi wa kijeshi kutoka Marekani, kwa mujibu wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 11:50:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>FIFA yafanya mazungumzo “chanya” na Iran Kabla ya Kombe la Dunia 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138442-fifa_yafanya_mazungumzo_chanya_na_iran_kabla_ya_kombe_la_dunia_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5fe54313f82peoi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138442-fifa_yafanya_mazungumzo_chanya_na_iran_kabla_ya_kombe_la_dunia_2026 </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limesema mazungumzo ya hivi karibuni na maafisa wa soka wa Iran yalikuwa chanya na yenye kujenga, huku maandalizi ya kuelekea Kombe la Dunia la 2026 yakiendelea.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:40:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yatoa hati “za siri” za kukamatwa kwa maafisa watano wa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138436-icc_yatoa_hati_za_siri_za_kukamatwa_kwa_maafisa_watano_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2708388a892peoc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138436-icc_yatoa_hati_za_siri_za_kukamatwa_kwa_maafisa_watano_wa_israel </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yenye makao yake The Hague imeripotiwa kutoa hati tano za “siri” za kukamatwa kwa maafisa wa utawala wa Israel, wakiwemo wanasiasa watatu na maafisa wawili wa kijeshi.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:29:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mzimu wa Khashoggi bado unamwandama Bin Salman; Mahakama ya Ufaransa yaidhinisha uchunguzi kuhusu mauaji yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138420-mzimu_wa_khashoggi_bado_unamwandama_bin_salman_mahakama_ya_ufaransa_yaidhinisha_uchunguzi_kuhusu_mauaji_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0b69df0b912pefe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138420-mzimu_wa_khashoggi_bado_unamwandama_bin_salman_mahakama_ya_ufaransa_yaidhinisha_uchunguzi_kuhusu_mauaji_yake </guid>  
      <description>Jaji wa Ufaransa atachunguza mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi mwaka 2018 kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu dhidi ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:45:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeffrey Sachs: Walioishambulia Iran wanapasa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138416-jeffrey_sachs_walioishambulia_iran_wanapasa_kuarifishwa_kama_pande_zilizoshindwa_vitani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxed7aad6c1e2pef8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138416-jeffrey_sachs_walioishambulia_iran_wanapasa_kuarifishwa_kama_pande_zilizoshindwa_vitani </guid>  
      <description>Mchumi mashuhuri wa Marekani, anaamini kuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa, walioanzisha mashambulizi dhidi ya Iran wanapaswa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani; wamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na wanawajibika kwa uharibifu na matokeo ya vita walivyovianzisha.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:38:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138402-kiongozi_wa_wachache_wa_seneti_ya_marekani_safari_ya_trump_nchini_china_ilikuwa_fedheha_tupu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc7a3d021bd2peba.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138402-kiongozi_wa_wachache_wa_seneti_ya_marekani_safari_ya_trump_nchini_china_ilikuwa_fedheha_tupu </guid>  
      <description>Chuck Schumer, Kiongozi wa Wachache katika Seneti ya Marekani, amesema kwamba safari ya Rais Donald Trump nchini China haikuwa na mafanikio yoyote kwa watu wa Marekani na ilikuwa fedheha kamili.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:05:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mashirika ya Kiislamu ya Marekani: Warepublican wamegeuza vikao vya Kongresi kuwa silaha dhidi ya Waislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138386-mashirika_ya_kiislamu_ya_marekani_warepublican_wamegeuza_vikao_vya_kongresi_kuwa_silaha_dhidi_ya_waislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0307b8e7b72pe6u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138386-mashirika_ya_kiislamu_ya_marekani_warepublican_wamegeuza_vikao_vya_kongresi_kuwa_silaha_dhidi_ya_waislamu </guid>  
      <description>Mashirika ya Kiislamu nchini Marekani yametangaza kwamba vikao vya Kongresi, ambavyo wabunge wa Republican wametangaza kuwa lengo lake ni kuondoa Sharia nchini Marekani, vimekuwa silaha dhidi ya Waislamu waliowachache kwa kusababisha hofu dhidi ya wafusi wa dini hiiyo.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 02:43:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanzo wa mpasuko wa kimkakati kati ya pande mbili za Atlantiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138378-mwanzo_wa_mpasuko_wa_kimkakati_kati_ya_pande_mbili_za_atlantiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6f1ac59d632pb6g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138378-mwanzo_wa_mpasuko_wa_kimkakati_kati_ya_pande_mbili_za_atlantiki </guid>  
      <description>José Manuel Albares Bueno, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uhispania, akisisitiza tena sera ya serikali ya nchi yake katika kupinga uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema: 'Marekani haiwezi kutumia vituo vyetu vya anga kwa ajili ya vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 10:22:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mahakama yasitisha vikwazo vya Marekani dhidi ya Albanese kwa kauli zake kuhusu mauaji ya kimbari Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138356-mahakama_yasitisha_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_albanese_kwa_kauli_zake_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxbb2b5034382pdzs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138356-mahakama_yasitisha_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_albanese_kwa_kauli_zake_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_gaza </guid>  
      <description>Jaji wa mahakama ya shirikisho katika Wilaya ya Columbia nchini Marekani amesitisha vikwazo vilivyowekwa na serikali ya Marekani dhidi ya Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina.</description>
      <pubDate>Fri, 15 May 2026 04:40:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Havana yatahadharisha: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Cuba yatasababisha umwagaji damu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138352-havana_yatahadharisha_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_cuba_yatasababisha_umwagaji_damu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx6348224fc52pdui.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138352-havana_yatahadharisha_mashambulizi_ya_marekani_dhidi_ya_cuba_yatasababisha_umwagaji_damu </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba ametahadharisha kuwa: Hujuma yoyote ya kijeshi ya Marekani dhidi ya nchi hiyo itasababisha maafa ya binadamu na umwagaji damu.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 10:16:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madaktari wa magonjwa ya akili wa Marekani: Trump anapasa kuuzuliwa mamlakani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138350-madaktari_wa_magonjwa_ya_akili_wa_marekani_trump_anapasa_kuuzuliwa_mamlakani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8647dfe29e2pdug.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138350-madaktari_wa_magonjwa_ya_akili_wa_marekani_trump_anapasa_kuuzuliwa_mamlakani </guid>  
      <description>Makumi ya madaktari wa magonjwa ya akili na wataalam wakuu wa afya ya akili nchini Marekani wametia saini taarifa ambayo imemtaja Rais Donald Trump kuwa "hatari ya wazi na ya haraka" na kutaka hatua za haraka zichukuliwe ili kumuondoa madarakani.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 10:13:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa China amuonya Trump kuhusu Taiwan; usifanye makosa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138348-rais_wa_china_amuonya_trump_kuhusu_taiwan_usifanye_makosa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc4b4c51fe62pdik.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138348-rais_wa_china_amuonya_trump_kuhusu_taiwan_usifanye_makosa </guid>  
      <description>Rais wa China ameonya katika mazungumzo yake na mwenzake wa Marekani, Donald Trump huko Beijing kuhusu hatua zozote za Washington katika Kisiwa cha Taiwan, akisema: Kosa lolote linaweza kusababisha mzozo kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 09:18:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Uhispania ampongeza Lamine Yamal kwa kusherehekea ubingwa na bendera ya Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138342-waziri_mkuu_wa_uhispania_ampongeza_lamine_yamal_kwa_kusherehekea_ubingwa_na_bendera_ya_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8820a4bf162pdh6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138342-waziri_mkuu_wa_uhispania_ampongeza_lamine_yamal_kwa_kusherehekea_ubingwa_na_bendera_ya_palestina </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sanchez, amesisitiza uungaji mkono wa nchi yake kwa haki ya Wapalestina ya kuanzisha nchi yao wenyewe, akitoa maoni yake kuhusu utata uliosababishwa na hatua ya nyoka wa timu ya soka ya Barcelona, Lamine Yamal, wakati timu yake ilipokuwa ikisherehekea taji la ubingwa wa ligi ya Uhispania.</description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:35:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Barua ya wanasayansi zaidi ya 1,000 yasisitiza kulindwa vyuo vikuu vya Iran dhidi mashambulizi ya Marekani na Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138340-barua_ya_wanasayansi_zaidi_ya_1_000_yasisitiza_kulindwa_vyuo_vikuu_vya_iran_dhidi_mashambulizi_ya_marekani_na_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4de2f0f01f2pdp6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138340-barua_ya_wanasayansi_zaidi_ya_1_000_yasisitiza_kulindwa_vyuo_vikuu_vya_iran_dhidi_mashambulizi_ya_marekani_na_israel </guid>  
      <description>Mamia ya wanachama wa Muungano wa Kimataifa wa Wanasayansi Duniani wameandika barua ya wazi kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UNESCO, na Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wakitaka kulindwa taasisi za kisayansi nchini Iran, na pande vamizi yaani Marekani na Israel ziwajibishwe. </description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:29:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin apongeza uzinduzi wa 'kombora lenye nguvu zaidi duniani'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138338-putin_apongeza_uzinduzi_wa_'kombora_lenye_nguvu_zaidi_duniani'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx38b143d3f62pdp4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138338-putin_apongeza_uzinduzi_wa_'kombora_lenye_nguvu_zaidi_duniani' </guid>  
      <description>Russia imefanya majaribio ya kombora jipya la balestiki lenye uwezo wa kupiga shabaha kutoka bara moja hadi jingine, huku Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo akilitaja kombora hilo lenye uwezo wa kutumia silaha za nyuklia kwa jina la "Sarmat" kuwa kombora "lenye nguvu zaidi" duniani. </description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:27:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yaionya Marekani kuhusu mauzo ya silaha kwa Taiwan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138336-china_yaionya_marekani_kuhusu_mauzo_ya_silaha_kwa_taiwan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7135a362542pdp2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138336-china_yaionya_marekani_kuhusu_mauzo_ya_silaha_kwa_taiwan </guid>  
      <description>China kwa mara nyingine tena imepinga vikali hatua ya Marekani kuzidisha himaya na uungaji mkono wake wa kijeshi kwa Taiwan sambamba na ziara ya Rais Trump mjini Beijing.  </description>
      <pubDate>Thu, 14 May 2026 03:24:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kukaribia mwisho wa kisiasa wa Starmer na kuzidi kupata nguvu Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138334-kukaribia_mwisho_wa_kisiasa_wa_starmer_na_kuzidi_kupata_nguvu_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0c12a188e02p79s.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138334-kukaribia_mwisho_wa_kisiasa_wa_starmer_na_kuzidi_kupata_nguvu_iran </guid>  
      <description>Pars Today - Magazeti ya Uingereza yameripoti kwa wingi habari inayosisitiza kuwa, kusambaratika kisiasa Waziri mkuu wa nchi hiyo Keir Starmer kumekaribia.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 18:56:48 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa dini wafanya maandamano ya amani ya 'Moral Monday' mjini Washington kulaani 'vita visivyo vitakatifu' vya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138324-viongozi_wa_dini_wafanya_maandamano_ya_amani_ya_'moral_monday'_mjini_washington_kulaani_'vita_visivyo_vitakatifu'_vya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf8d2028dfa2pdkm.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138324-viongozi_wa_dini_wafanya_maandamano_ya_amani_ya_'moral_monday'_mjini_washington_kulaani_'vita_visivyo_vitakatifu'_vya_trump </guid>  
      <description>Viongozi wa imani za dini walifanya maandamano ya amani ya Jumatatu ya Maadili (Moral Monday) nje ya Ikulu ya White House dhidi ya 'vita visivyo vitakatifu' katika eneo la Asia Magharibi.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 12:14:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Watu milioni 83 watalazimika kuhama makazi yao ifikapo mwaka wa 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138320-ripoti_watu_milioni_83_watalazimika_kuhama_makazi_yao_ifikapo_mwaka_wa_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa4f75f5df2pdii.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138320-ripoti_watu_milioni_83_watalazimika_kuhama_makazi_yao_ifikapo_mwaka_wa_2026 </guid>  
      <description>Idadi ya watu waliokimbia makazi yao ndani ya nchi zao kutokana na migogoro na machafuko imeongezeka katika mwaka uliopita ikilinganishwa na watu waliokimbia makazi yao kutokana na majanga ya asili, idadi ambayo imeweka rekodi ya watu milioni 32, hasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:27:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bolton: Trump amenaswa katika mtego wa kujitengenezea wa Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138318-bolton_trump_amenaswa_katika_mtego_wa_kujitengenezea_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx52c1cb70a02pdig.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138318-bolton_trump_amenaswa_katika_mtego_wa_kujitengenezea_wa_iran </guid>  
      <description>Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema: Donald Trump, Rais wa nchi hiyo, amenaswa katika mtego wa kujitengenezea mwenyewe wa Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:18:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Yamal apongezwa kwa kupeperusha bendera ya Palestina katika sherehe ya ubingwa wa Barça</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138316-yamal_apongezwa_kwa_kupeperusha_bendera_ya_palestina_katika_sherehe_ya_ubingwa_wa_barça</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb1256d72e82pdic.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138316-yamal_apongezwa_kwa_kupeperusha_bendera_ya_palestina_katika_sherehe_ya_ubingwa_wa_barça </guid>  
      <description>Nyota wa timu ya soka ya Barçelona, Lamine Yamal, alimeonyesha kitendo cha kupigiwa mfano kwa kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa sherehe ya ubingwa wa timu hiyo kama ishara ya kuwaunga mkono watu wanaokandamizwa wa Palestina.</description>
      <pubDate>Wed, 13 May 2026 08:15:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi wa Maoni: Wamarekani waliowengi wanasema Trump hakuwa na hoja ya wazi ya vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138308-uchunguzi_wa_maoni_wamarekani_waliowengi_wanasema_trump_hakuwa_na_hoja_ya_wazi_ya_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa546072d442pdb0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138308-uchunguzi_wa_maoni_wamarekani_waliowengi_wanasema_trump_hakuwa_na_hoja_ya_wazi_ya_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa asilimia 66  Wamarekani wanaamini kuwa Rais Donald Trump ameshindwa kutoa hoja iliyo wazi kuhusu vita vya kichokozi vya na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Aidha Wamarekani waliwengi wanasema wamekumbwa na hali ngumu ya kifedha kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta baada ya mashambulizi hayo.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 09:13:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>China yakataa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, yaapa kulinda kampuni zake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138292-china_yakataa_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_iran_yaapa_kulinda_kampuni_zake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx80fc1472082pd74.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138292-china_yakataa_vikwazo_vya_marekani_dhidi_ya_iran_yaapa_kulinda_kampuni_zake </guid>  
      <description>China imepinga vikali vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya kampuni zake tatu kwa madai ya kusaidia shughuli za kijeshi za Iran, na imeahidi kulinda biashara zake dhidi ya hatua hizo ambazo imezitaja kuwa za upande mmoja na zisizo halali.</description>
      <pubDate>Tue, 12 May 2026 04:00:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sera ya US ya Mwiko wa Kutosema Chochote Kuhusu Silaha za Nyuklia ya Israel Inamomonyoka?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138266-sera_ya_us_ya_mwiko_wa_kutosema_chochote_kuhusu_silaha_za_nyuklia_ya_israel_inamomonyoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf2e0621b732pcvq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138266-sera_ya_us_ya_mwiko_wa_kutosema_chochote_kuhusu_silaha_za_nyuklia_ya_israel_inamomonyoka </guid>  
      <description>Katika hali isiyo ya kawaida na ya nadra kuwahi kushuhudiwa, wajumbe 29 wa Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio wakiitaka Washington ifichue na kuweka hadharani mpango wa silaha za nyuklia wa Israel. Barua hiyo inataka kukomeshwa sera ya kiitwacho "kimya rasmi" kuhusu uwezo wa nyuklia wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 13:49:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran ni trilioni kadhaa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138258-new_york_times_gharama_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_trilioni_kadhaa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx97b29d96552pcoe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138258-new_york_times_gharama_ya_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_trilioni_kadhaa </guid>  
      <description>Justin Wolfers, profesa wa uchumi katika Chuo Kikuu cha Michigan, katika makala ya New York Times, amekadiria gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran kuwa trilioni kadhaa za dola.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:54:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Virusi vya Hanta si sawa na vya COVID-19 </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138264-who_virusi_vya_hanta_si_sawa_na_vya_covid_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb88ebb62fd2pcu8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138264-who_virusi_vya_hanta_si_sawa_na_vya_covid_19 </guid>  
      <description>Kufuatia mlipuko wa virusi vya Hanta au kwa kiingereza Hantavirus kuzua taharuki miongoni mwa umma kufuatia vifo vya watu watatu na wengine kadhaa wanapata matibabu, Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) limesisitiza kuwa mlipuko wa virusi huo kutoka meli ya kifahari ya kitalii ya MV Hondius si sawa na wa virusi vya  COVID-19 na kwamba hatari ya virusi hivyo kuenea kwa jamii kwa ujumla bado ni ndogo sana.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 09:41:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Msemaji wa zamani wa Pentagon: Majenerali wa Marekani wana hofu kubwa kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138246-msemaji_wa_zamani_wa_pentagon_majenerali_wa_marekani_wana_hofu_kubwa_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa8cd6353c52pcsu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138246-msemaji_wa_zamani_wa_pentagon_majenerali_wa_marekani_wana_hofu_kubwa_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) amefichua kuwa: Majenerali waandamizi wa jeshi la nchi hiyo wana hofu kubwa kuhusu kuzungumzia vita vya maafa dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 08:13:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeshi la Israel lawanyanyasa kingono wanaharakati wa Al-Samoud Global Flotilla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138242-jeshi_la_israel_lawanyanyasa_kingono_wanaharakati_wa_al_samoud_global_flotilla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0a59c8d0d52pcso.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138242-jeshi_la_israel_lawanyanyasa_kingono_wanaharakati_wa_al_samoud_global_flotilla </guid>  
      <description>Wakati mjadala wa mzingiro wa Ukanda wa Gaza na kampeni za kimataifa za kuvunja mzingiro huo wa utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo ukiendelea, kundi la Al-Samoud Global Flotilla, limechapisha ushuhuda kutoka kwa wanaharakati wake walioachiliwa huru, likishutumu jeshi la Israel kuwa limewanyanyasa kimwili na kingono washiriki wa msafara huo.</description>
      <pubDate>Sat, 09 May 2026 08:06:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yapinga azimio la Marekani dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama la UN</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138236-russia_yapinga_azimio_la_marekani_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama_la_un</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxcf90ae04e82pcmi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138236-russia_yapinga_azimio_la_marekani_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama_la_un </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa, Vasily Nebenzya, amepinga vikali azimio lililopendekezwa na Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Baraza la Usalama. Amelitaja azimio hilo kuwa ni jaribio jingine lenye mtazamo wa uhasama, linalolenga kuizingira Iran huku likipuuza mizizi halisi ya mzozo wa sasa wa Ukanda wa Asia ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Fri, 08 May 2026 10:50:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yataka kuachiliwa huru wanaharakati wa Global Sumud Flotilla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138234-un_yataka_kuachiliwa_huru_wanaharakati_wa_global_sumud_flotilla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx01a07a90762pcga.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138234-un_yataka_kuachiliwa_huru_wanaharakati_wa_global_sumud_flotilla </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeitaka Israel iwaachilie mara moja wanaharakati wawili wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza wanaoshikiliwa bila mashtaka; na vilevile kuchunguzwa visa vya kuaminika vya kuteswa wanaharakati hao.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 12:03:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Chapisho la Trump kuhusu Yesu Kristo lapingwa na 87% ya umma huko Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138232-chapisho_la_trump_kuhusu_yesu_kristo_lapingwa_na_87_ya_umma_huko_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5c1032c60d2pcg0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138232-chapisho_la_trump_kuhusu_yesu_kristo_lapingwa_na_87_ya_umma_huko_marekani </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa Wamarekani wengi wamepinga vikali picha iliyotengenezwa na Donald Trump kwa kutumia akili mnemba (AI) ikimdhihirisha kiongozi huyo kama Yesu Kristo, na vilevile matamshi yake yanayomshambulia Papa Leo XIV, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:31:38 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Athari mbaya za vita dhidi ya Iran… Ongezeko la mafuta ya ndege lawatia wasiwasi washauri wa Trump </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138226-athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_ongezeko_la_mafuta_ya_ndege_lawatia_wasiwasi_washauri_wa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4cfd4b00bf2pcaa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138226-athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_ongezeko_la_mafuta_ya_ndege_lawatia_wasiwasi_washauri_wa_trump </guid>  
      <description>Washauri wa Rais Donald Trump wa Marekani wanazidi kuwa na wasiwasi kwamba kupanda kwa bei ya mafuta ya ndege kunakosababishwa na vita vya nchi hiyo na Israel dhidi ya Iran kutawadhuru Warepublican katika uchaguzi wa katikati ya muhula.</description>
      <pubDate>Thu, 07 May 2026 11:12:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo aendelea kuponda bwabwaja za Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138208-papa_leo_aendelea_kuponda_bwabwaja_za_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf7178158342pc70.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138208-papa_leo_aendelea_kuponda_bwabwaja_za_trump </guid>  
      <description>Mvutano kati ya Rais Donald Trump wa Marekani na Kiongozi wa Wakatoliki duniani Papa Leo wa XIV kuhusu misimamo ya kupinga vita unaendelea kutokota.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:56:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>BBC: Uingereza ni mwathirika mkubwa zaidi wa kiuchumi wa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138200-bbc_uingereza_ni_mwathirika_mkubwa_zaidi_wa_kiuchumi_wa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx15f365d4c82pc6c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138200-bbc_uingereza_ni_mwathirika_mkubwa_zaidi_wa_kiuchumi_wa_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Ripoti ya BBC inasema Uingereza inakabiliwa na pigo kubwa zaidi kwa ukuaji wa uchumi miononi mwa nchi za kundi la 20 (G20), kutokana na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kufungwa Mlango Bahari wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Wed, 06 May 2026 10:35:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Njozi za Marekani Kujiona Dola Lenye Nguvu za Kipekee Zimefikia Ukingoni? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138190-njozi_za_marekani_kujiona_dola_lenye_nguvu_za_kipekee_zimefikia_ukingoni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2ee6cccd2a2pc02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138190-njozi_za_marekani_kujiona_dola_lenye_nguvu_za_kipekee_zimefikia_ukingoni </guid>  
      <description>Profesa Jeffrey Sachs wa Chuo Kikuu cha Columbia amesema: "Vita vya Iran ndio wakati ambapo dhana ya Marekani kuwa dola lenye nguvu za kipekee ilikumbana na ukweli halisi." </description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 14:26:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yatibua mpango wa Trump kuhusu Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138188-iran_yatibua_mpango_wa_trump_kuhusu_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1563be35232pbyu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138188-iran_yatibua_mpango_wa_trump_kuhusu_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Iran imevuruga mipango ya Rais wa Marekani, Donald Trump, si tu katika nyanja za uchumi, siasa na masuala ya kijeshi kufuatia mvutano kati ya pande hizo mbili, bali pia katika mradi unaohusiana na Kombe la Dunia FIFA 2026.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 12:05:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump ataka kufichwa picha za vituo vya Marekani vilivyoharibiwa na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138186-trump_ataka_kufichwa_picha_za_vituo_vya_marekani_vilivyoharibiwa_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx4a4b92c7d92pbym.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138186-trump_ataka_kufichwa_picha_za_vituo_vya_marekani_vilivyoharibiwa_na_iran </guid>  
      <description>Donald Trump, Rais wa Marekani, amezitaka kampuni za satalaiti kuficha picha za vituo na kambi za kijeshi za Marekani zilizoharibiwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Asia ya Magharibi.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:51:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripoti: Ajali ya ndege ya China mwaka 2022 iliyoua watu 132 huwenda ilikuwa ya makusudi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138182-ripoti_ajali_ya_ndege_ya_china_mwaka_2022_iliyoua_watu_132_huwenda_ilikuwa_ya_makusudi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1cd92f95112pbya.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138182-ripoti_ajali_ya_ndege_ya_china_mwaka_2022_iliyoua_watu_132_huwenda_ilikuwa_ya_makusudi </guid>  
      <description>Televisheni ya CNN imeripoti kuwa, ikiwa imepita zaidi ya miaka minne baada ya ndege ya abiria ya Boeing 737-800 kuanguka mlimani kusini mwa China na kuua watu wote 132 waliokuwa ndani yake, data iliyotolewa hivi karibuni "imeashiria kwambs upo uwezekano mtu aliyekuwa katika chumba cha marubani alizima usambazaji wa mafuta katika injini kwa makusudi.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:41:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mshukiwa wa jaribio la mauaji apigwa risasi karibu na Ikulu ya White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138178-mshukiwa_wa_jaribio_la_mauaji_apigwa_risasi_karibu_na_ikulu_ya_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8bcc9002192pby2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138178-mshukiwa_wa_jaribio_la_mauaji_apigwa_risasi_karibu_na_ikulu_ya_white_house </guid>  
      <description>Maafisa wa serikali ya Marekani wamesema kwamba maajenti wa Huduma za Siri (Secret Service) wamempiga risasi na kumjeruhi mwanaume aliyekuwa na silaha katikati mwa jiji la Washington, D.C., karibu na Mnara wa Washington siku ya Jumanne, na kusababisha kufungwa kwa muda Ikulu ya White House.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 11:36:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa Kisunni watoa wito wa msaada wa ulimwengu kwa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138172-viongozi_wa_kisunni_watoa_wito_wa_msaada_wa_ulimwengu_kwa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx37f4af82412pbsg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138172-viongozi_wa_kisunni_watoa_wito_wa_msaada_wa_ulimwengu_kwa_iran </guid>  
      <description>Wanazuoni wa Kisunni kutoka pembe zote za dunia wamehimiza umoja wa Kiislamu na kutoa wito wa kuungwa mkono kwa Iran, katika kongamano la kipekee lililofanyika Jumatatu asubuhi chini ya uratibu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu yenye makao yake Tehran.</description>
      <pubDate>Tue, 05 May 2026 05:39:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uungaji Mkono wa Ulaya kwa Jinai za Israel Umekuwa na Matokeo Gani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138168-uungaji_mkono_wa_ulaya_kwa_jinai_za_israel_umekuwa_na_matokeo_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9ae03e74d22pbo8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138168-uungaji_mkono_wa_ulaya_kwa_jinai_za_israel_umekuwa_na_matokeo_gani </guid>  
      <description>Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametoa indhari kali akisema, nchi za Ulaya zinazizoesha jamii zao sera za kikatili za Israel, yakiwa ni matokeo ya kuendeleza uhusiano na ushirikiano wa kijeshi na kibiashara na utawala huo wa kizayuni licha ya kuwa unakabiliwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari katika mahakama za kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 12:50:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>John Mearsheimer: Vita dhidi ya Iran ni kushindwa mutlaki Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138162-john_mearsheimer_vita_dhidi_ya_iran_ni_kushindwa_mutlaki_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx8f8975dd2f2pbi0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138162-john_mearsheimer_vita_dhidi_ya_iran_ni_kushindwa_mutlaki_marekani </guid>  
      <description>Mnadharia wa mahusiano ya kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amevitaja vita dhidi ya Iran kuwa ni kosa lenye janga kubwa zaidi katika historia ya sera za kigeni na kushindwa kabisa kwa Marekani.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:28:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwandishi wa habari wa Marekani amwita Trump "mateka wa Netanyahu"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138154-mwandishi_wa_habari_wa_marekani_amwita_trump_mateka_wa_netanyahu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfa202e1b5d2pbgk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138154-mwandishi_wa_habari_wa_marekani_amwita_trump_mateka_wa_netanyahu </guid>  
      <description>Mchambuzi wa Marekani, Tucker Carlson amemtaja Donald Trump kama mtu anayedhibitiwa kwa mbali na mateka wa Waziri Mkuu wa Israel katika vita vya Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 04 May 2026 10:19:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muda wa Kuondolewa Vituo vya Kijeshi vya Marekani Barani Ulaya Umeshaanza Rasmi? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138128-muda_wa_kuondolewa_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_barani_ulaya_umeshaanza_rasmi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa740204072pbe8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138128-muda_wa_kuondolewa_vituo_vya_kijeshi_vya_marekani_barani_ulaya_umeshaanza_rasmi </guid>  
      <description>Wizara ya vita ya Marekani Pentagon imetangaza rasmi kuwa, itawaondoa wanajeshi 5,000 wa nchi hiyo walioko Ujerumani; uamuzi ambao utatekelezwa ndani ya muda wa miezi sita hadi kumi na mbili ijayo. </description>
      <pubDate>Sun, 03 May 2026 09:56:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Marekani Ilivyokosa Kuwa na Mkakati Unaoeleweka Katika Kuamiliana na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138126-namna_marekani_ilivyokosa_kuwa_na_mkakati_unaoeleweka_katika_kuamiliana_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf06b9268702pb9k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138126-namna_marekani_ilivyokosa_kuwa_na_mkakati_unaoeleweka_katika_kuamiliana_na_iran </guid>  
      <description>Naibu waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani, Wendy Sherman, amekosoa namna serikali ya Donald Trump inavyosimamia suala la vita dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, Washington haina mkakati unaoeleweka, wala mwenendo wa uchukuaji maamuzi ulioratibika, na kwamba mgogoro wa sasa hautatatuka pasi na kuirejea tena diplomasia. </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 17:45:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shambulio la Utawala wa Kizayuni Dhidi ya Msafara wa Meli wa Sumud; Mijibizo, Jumbe na Matokeo Yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138124-shambulio_la_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_msafara_wa_meli_wa_sumud_mijibizo_jumbe_na_matokeo_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe5b9c23a8b2pb9e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138124-shambulio_la_utawala_wa_kizayuni_dhidi_ya_msafara_wa_meli_wa_sumud_mijibizo_jumbe_na_matokeo_yake </guid>  
      <description>Wanajeshi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameushambulia msafara wa Sumud wa meli za kimataifa na kuzuia kupelekwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro na utawala wa kizayuni wa Israel. </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 17:19:43 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbunge wa Marekani asema Trump ni mtendajinai</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138114-mbunge_wa_marekani_asema_trump_ni_mtendajinai</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa3f79463182pb3m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138114-mbunge_wa_marekani_asema_trump_ni_mtendajinai </guid>  
      <description>Mbunge wa chama cha Democratic wa Marekani amemtaja Donald Trump Rais wa nchi hiyo kuwa ni mhalifu mtendajinai.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 10:02:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138110-uchunguzi_mpya_wa_cnn_kambi_nyingi_za_marekani_asia_magharibi_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx10bc682fcd2pb6a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138110-uchunguzi_mpya_wa_cnn_kambi_nyingi_za_marekani_asia_magharibi_ziliharibiwa_katika_mashambulizi_ya_kulipiza_kisasi_ya_iran </guid>  
      <description>Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 09:57:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mufti Mkuu wa Russia: Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za shetani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138102-mufti_mkuu_wa_russia_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kusimama_pamoja_na_iran_dhidi_ya_njama_za_shetani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7fe0478d9b2pb50.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138102-mufti_mkuu_wa_russia_umma_wa_kiislamu_unapaswa_kusimama_pamoja_na_iran_dhidi_ya_njama_za_shetani </guid>  
      <description>Mufti Mkuu na Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Russia ameeleza kuwa, Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na akasema: "Iwapo Waislamu watakuwa na umoja na mshikamano, kambi ya shetani haiwezi kamwe kurudia uchokozi dhidi ya Gaza, Syria, Iran na Lebanon."</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:41:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ripota Maalumu wa UN ataka Israel iwajibishwe kwa kukamata meli za Samood Frotila</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138100-ripota_maalumu_wa_un_ataka_israel_iwajibishwe_kwa_kukamata_meli_za_samood_frotila</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3b30e1ded22pb1u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138100-ripota_maalumu_wa_un_ataka_israel_iwajibishwe_kwa_kukamata_meli_za_samood_frotila </guid>  
      <description>Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu, ametoa wito kwa Ulaya kuchukua hatua za haraka baada ya utawala ghasibu wa Israel kuzuia na  kukamata meli za misaada ya kibinadamu zinazojulikana kama Samood Flotilla zilizokuwa zikielekea Ukanda wa Gaza huko Palestina kwa ajili ya kuvunja mzingio wa kikatili wa utawala huo.</description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:33:49 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mbunge wa Kongresi: Ni mwehu anayedai Marekani imeshinda vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138098-mbunge_wa_kongresi_ni_mwehu_anayedai_marekani_imeshinda_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7cdc3e8f2d2pb4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138098-mbunge_wa_kongresi_ni_mwehu_anayedai_marekani_imeshinda_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mwakilishi wa cha cha Democratic wa California katika Kongresi ya Marekani, Sara Jacobs, amemkosoa vikali Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth kwa kutangaza ushindi dhidi ya Iran, akitaja madai hayo kuwa ni udanganyifu. </description>
      <pubDate>Sat, 02 May 2026 07:31:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mchambuzi wa siasa wa Marekani: Trump ndiye gaidi zaidi duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138080-mchambuzi_wa_siasa_wa_marekani_trump_ndiye_gaidi_zaidi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwecb9f2d86a2paie.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138080-mchambuzi_wa_siasa_wa_marekani_trump_ndiye_gaidi_zaidi_duniani </guid>  
      <description>Mchambuzi wa siasa wa Marekani, Kyle Kolinsky, amesema: Donald Trump, rais wa nchi hii, ndiye gaidi mkubwa zaidi duniani.</description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 10:54:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kukiri Washirika wa Marekani Kwamba Nchi Hiyo Imeshindwa Katika Vita Dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138060-kukiri_washirika_wa_marekani_kwamba_nchi_hiyo_imeshindwa_katika_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw368aede5a72paqk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138060-kukiri_washirika_wa_marekani_kwamba_nchi_hiyo_imeshindwa_katika_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Baada ya kupita takribani miezi miwili tangu Marekani na utawala wa kizayuni zilipoanzisha uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran, wakosoaji wa sera za kushupalia vita za Trump katika kila pembe ya dunia wanaendelea kukiri na kutamka kwa uwazi zaidi kwamba Marekani imeshindwa katika vita hivyo. </description>
      <pubDate>Thu, 30 Apr 2026 04:58:05 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>UN yaonya: Hatua za Marekani zimepandisha bei ya vyakula duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138058-un_yaonya_hatua_za_marekani_zimepandisha_bei_ya_vyakula_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw33cdf5417a2pala.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138058-un_yaonya_hatua_za_marekani_zimepandisha_bei_ya_vyakula_duniani </guid>  
      <description>Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa bei za vyakula duniani zimeongezeka kufuatia hatua za Marekani katika Mlango Bahari wa Hormuz. </description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 10:11:50 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Ukraine na washirika wake wamegeukia kwenye ugaidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138050-putin_ukraine_na_washirika_wake_wamegeukia_kwenye_ugaidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw8632c8bde12pal4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138050-putin_ukraine_na_washirika_wake_wamegeukia_kwenye_ugaidi </guid>  
      <description>Rais wa Russia amesema: Vikosi vya jeshi la Ukraine na washirika wake haviwezi kuzuia kusonga mbele kwa jeshi la nchi hii na vinapoteza maeneo zaidi kila siku, kwa hivyo vinageukia ugaidi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:59:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Israel inapasa kuondoka katika ardhi ya Lebanon </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138046-russia_israel_inapasa_kuondoka_katika_ardhi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa6f194561b2pal0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138046-russia_israel_inapasa_kuondoka_katika_ardhi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa Israel haiheshimu kivyovyote majukumu ya askari jeshi wa kulinda amani cha Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:53:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>: Afisa wa Marekani: Mfumo wa makombora wa Marekani umepoteza ufanisi wake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138042-afisa_wa_marekani_mfumo_wa_makombora_wa_marekani_umepoteza_ufanisi_wake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw21ad8c0e2e2paks.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138042-afisa_wa_marekani_mfumo_wa_makombora_wa_marekani_umepoteza_ufanisi_wake </guid>  
      <description>Naibu Waziri wa Vita wa Marekani amekiri kuwa mifumo ya makombora ya nchi hiyo haiwezi kudhamini kiwango cha kutosha cha ulinzi.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:39:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Migawanyiko yaripotiwa katika utawala wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138038-migawanyiko_yaripotiwa_katika_utawala_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwd40549d3ba2paka.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138038-migawanyiko_yaripotiwa_katika_utawala_wa_trump_kuhusu_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Makamu wa Rais wa Marekani, J. D. Vance, anaripotiwa kuanza kutilia shaka kimyakimya simulizi ya matumaini inayotolewa na Wizara ya Vita ya Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 09:02:35 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, Marekani Inao Utayari wa Kuachana na Sera na Ndoto Yake ya Kuipigisha Magoti Iran?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138034-je_marekani_inao_utayari_wa_kuachana_na_sera_na_ndoto_yake_ya_kuipigisha_magoti_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwf40622ba3a2pahq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138034-je_marekani_inao_utayari_wa_kuachana_na_sera_na_ndoto_yake_ya_kuipigisha_magoti_iran </guid>  
      <description>Jake Sullivan, mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani katika serikali ya Joe Biden, ametoa taswira wadhiha na ya wazi ya sifa maalumu za mwenendo wa Iran katika mazungumzo ambayo inaweza kuwa ramani ya njia ya kuinasua serikali ya Marekani kwenye mkwamo ilionasa ndani yake hivi sasa. Sullivan ametoa taswira hiyo katika mahojiano na jarida la Foreign Affairs.</description>
      <pubDate>Wed, 29 Apr 2026 03:41:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran kufuta tuzo ya FIFA kwa Trump?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138032-iran_kufuta_tuzo_ya_fifa_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwe7b665257c2padw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138032-iran_kufuta_tuzo_ya_fifa_kwa_trump </guid>  
      <description>Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, baada ya kusababisha hasara za kiuchumi na kutia doa hadhi ya kijeshi na kisiasa ya Marekani sasa vimeweka kivuli kizito juu ya kinachoitwa tuzo ya amani ya FIFA kwa rais Donald Trump.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:47:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>New York Times: Trump ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani; Amekwama katika kinamasi cha Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138028-new_york_times_trump_ndiye_rais_mbaya_zaidi_katika_historia_ya_marekani_amekwama_katika_kinamasi_cha_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw771e11ac522pabi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138028-new_york_times_trump_ndiye_rais_mbaya_zaidi_katika_historia_ya_marekani_amekwama_katika_kinamasi_cha_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Kimarekani la New York Times limemtaja Donald Trump kuwa ndiye rais mbaya zaidi katika historia ya Marekani.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:40:42 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin: Watu wa Iran wanapigania kwa ushujaa uhuru wao wa kitaifa</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138020-putin_watu_wa_iran_wanapigania_kwa_ushujaa_uhuru_wao_wa_kitaifa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwdeada0261f2paaq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138020-putin_watu_wa_iran_wanapigania_kwa_ushujaa_uhuru_wao_wa_kitaifa </guid>  
      <description>Rais wa Russia, Vladimir Putin, amesema kuwa wananchi wa Iran wanapigana kwa ujasiri na kishujaa kulinda mamlaka yao ya kitaifa. Putin ameyasema hayo mjini Moscow  katika mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi.</description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 09:22:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ufyatuaji Risasi Uliotokea Kwenye Hadhara ya Viongozi Wakuu wa US Utakuwa na Matokeo Gani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138012-ufyatuaji_risasi_uliotokea_kwenye_hadhara_ya_viongozi_wakuu_wa_us_utakuwa_na_matokeo_gani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw74ce559b602pabc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138012-ufyatuaji_risasi_uliotokea_kwenye_hadhara_ya_viongozi_wakuu_wa_us_utakuwa_na_matokeo_gani </guid>  
      <description>Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa, mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 31 aitwaye Cole Thomas Allen, ambaye alikuwa amedhamiria kuwashambulia kwa bunduki viongozi wakuu wa Marekani, amejeruhiwa na kutiwa nguvuni. Kwa mara nyingine tena, Marekani imeshuhudia tukio la ufyatuaji risasi kwenye hadhara ya viongozi wake wakuu akiwemo rais wake Donald Trump; mara hii ikiwa ni katika mkutano wa kila mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari wa Ikulu ya nchi hiyo, White House. </description>
      <pubDate>Tue, 28 Apr 2026 04:59:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tanker Trackers: Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138000-tanker_trackers_iran_imepakia_mapipa_milioni_4.6_ya_mafuta_ghafi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw49875098452pa7o.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138000-tanker_trackers_iran_imepakia_mapipa_milioni_4.6_ya_mafuta_ghafi </guid>  
      <description>Taasisi ya Ufuatiliaji wa Meli za Mafuta (Tanker Trackers) imetangaza kuwa Iran imepakia mapipa milioni 4.6 ya mafuta ghafi katika vituo vyake vya  kuuza nje bidhaa hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 12:20:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei ya mafuta duniani yaongezeka kutokana na ukaidi wa Marekani kuhusu Lango Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137996-bei_ya_mafuta_duniani_yaongezeka_kutokana_na_ukaidi_wa_marekani_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwa1c33cf1502pa6g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137996-bei_ya_mafuta_duniani_yaongezeka_kutokana_na_ukaidi_wa_marekani_kuhusu_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Bei ya mafuta imepanda duniani baada ya maafisa wa Iran kusisitiza kuwa Lango Bahari la Hormuz katu halitarejea katika hali yake ya awali kwa manufaa ya Marekani na washirika wake.</description>
      <pubDate>Mon, 27 Apr 2026 09:41:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump atoroka baada ya ufyatuaji risasi kwenye dhifa ya waandishi wa habari wa White House</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137978-trump_atoroka_baada_ya_ufyatuaji_risasi_kwenye_dhifa_ya_waandishi_wa_habari_wa_white_house</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw0195f76fc92p9zq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137978-trump_atoroka_baada_ya_ufyatuaji_risasi_kwenye_dhifa_ya_waandishi_wa_habari_wa_white_house </guid>  
      <description>Rais wa Marekani, Donald Trump na mkewe, Melania, waliondolewa kwenye Dhidi ya Waandishi wa Habari wa Ikulu ya White House (WHCA) baada ya ripoti za milio ya risasi kusababisha uingiliaji wa haraka wa Jeshi la Polisi.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:21:37 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Namna Ulaya Ilivyochoshwa na Uchukuaji Hatua wa Upande Mmoja wa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137974-namna_ulaya_ilivyochoshwa_na_uchukuaji_hatua_wa_upande_mmoja_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbwff38f9505a2p9zg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137974-namna_ulaya_ilivyochoshwa_na_uchukuaji_hatua_wa_upande_mmoja_wa_marekani </guid>  
      <description>Kuendelea kupanuka ufa wa mpasuko uliojitokeza kati ya Ulaya na Marekani kumezifanya serikali za Ulaya zichoshwe na mienendo ya udhalilishaji ya Trump na uchukuaji wake wa hatua wa upande mmoja. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:26:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137970-kwa_nini_chuki_dhidi_ya_israel_zinaendelea_kuongezeka_ndani_ya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw735a47c1da2p9z4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137970-kwa_nini_chuki_dhidi_ya_israel_zinaendelea_kuongezeka_ndani_ya_marekani </guid>  
      <description>Chama cha Democrat nchini Marekani hivi sasa kinazihama enzi za uungaji mkono wake wa jadi kwa utawala bandia wa Israel na kuhamia kwenye zama za kupingana vikali na utawala huo. </description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 09:08:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kansela wa Ujerumani: Athari mbaya za vita dhidi ya Iran haziishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137968-kansela_wa_ujerumani_athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_haziishii_kwenye_ongezeko_la_bei_ya_mafuta</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw4926a39d1d2p9ys.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137968-kansela_wa_ujerumani_athari_mbaya_za_vita_dhidi_ya_iran_haziishii_kwenye_ongezeko_la_bei_ya_mafuta </guid>  
      <description>Kansela wa Ujerumani ameonya kwamba matokeo mabaya ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran hayaishii kwenye ongezeko la bei ya mafuta, bali pia yanatishia misingi ya uchumi wa Ujerumani.</description>
      <pubDate>Sun, 26 Apr 2026 08:18:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti wa Fox News: Trump hana afya ya akili  </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i137948-utafiti_wa_fox_news_trump_hana_afya_ya_akili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbw5a1ea1755f2p9qy.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i137948-utafiti_wa_fox_news_trump_hana_afya_ya_akili </guid>  
      <description>Asilimia 60 ya washiriki katika utafiti wa Fox News, kituo kinachomuunga mkono rais wa Marekani, wamesema kuwa Donald Trump hana tabia na afya ya akili inayofaa.  </description>
      <pubDate>Sat, 25 Apr 2026 11:08:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>