<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>

<rss version="2.0">

<channel>

  <title>PARS TODAY - world</title>
  <link>https://parstoday.ir/sw/news/world</link>
  <description>Kiswahili Radio kwa habari motomoto, habari mpya video, sauti na makala mbalimbali. Idhaa ya Kiswahili inatangaza habari za uhakika kutoka kona zote za dunia</description>
  <language>Kiswahili</language>
  <ttl>60</ttl>
  <lastBuildDate>Mon, 20 Jul 2026 03:12:28 GMT</lastBuildDate>
      <item>
      <title>Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139978-kwa_nini_trump_aliachana_na_mpango_wa_kutoza_ushuru_wa_20_kwenye_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze08af339622pxtw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139978-kwa_nini_trump_aliachana_na_mpango_wa_kutoza_ushuru_wa_20_kwenye_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Rais Donald Trump wa Marekani ameachana na mpango wake wa kutoza ushuru wa asilimia 20 kwenye Lango Bahari la Hormuz.
Trump ambaye awali alidai kwamba Marekani ina nia ya kuwa "mlinzi wa Lango-Bahari la Hormuz" na kusema atatoza ushuru wa asilimia 20 kwenye njia hii ya maji ambayo hana mamlaka nayo, hatimaye ameachana na ndoto hiyo isiyothibiti.
</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 09:54:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139976-who_ada_za_mazishi_zinatatiza_juhudi_za_kudhibiti_ebola_congo_dr</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze60ef3f82d2pya2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139976-who_ada_za_mazishi_zinatatiza_juhudi_za_kudhibiti_ebola_congo_dr </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umeonya kwamba kusafirisha miili za waathiriwa wa virusi vya Ebola kati ya maeneo mbalimbali kwa ajili ya mazishi katika miji yao kunaweza kuchangia kuenea kwa maambukizi, wakati huu ambapo idadi ya maambukizi ya virusi hivyo imeongezeka kwa takriban 70% katika wiki mbili, huku zaidi ya maambukizi 40 mapya yakirekodiwa kila siku kwa wastani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 09:13:10 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tucker Carlson: Marekani inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139964-tucker_carlson_marekani_inakabiliwa_na_tishio_la_mapinduzi_ya_umma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz916a3879122py5q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139964-tucker_carlson_marekani_inakabiliwa_na_tishio_la_mapinduzi_ya_umma </guid>  
      <description>Mwanahabari maarufu wa kihafidhina wa Marekani amesema kwamba nchi hiyo inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma.

</description>
      <pubDate>Sat, 18 Jul 2026 03:14:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muqawama wa Kiislamu wa Iraq watangaza zawadi ya dola milioni 10 kwa atakayemuua Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139954-muqawama_wa_kiislamu_wa_iraq_watangaza_zawadi_ya_dola_milioni_10_kwa_atakayemuua_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz22aebc1b602py1g.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139954-muqawama_wa_kiislamu_wa_iraq_watangaza_zawadi_ya_dola_milioni_10_kwa_atakayemuua_trump </guid>  
      <description>Muqawama wa Kiislamu wa Iraq (Islamic Resistance in Iraq) umetangaza zawadi ya dola milioni 10 za Marekani kwa mtu yeyote atakayemuua Rais wa Marekani, Donald Trump.

</description>
      <pubDate>Fri, 17 Jul 2026 11:44:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Malaysia asema raia yeyote wa Israel atakayepatikana nchini huko atafukuzwa mara moja</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139914-waziri_mkuu_wa_malaysia_asema_raia_yeyote_wa_israel_atakayepatikana_nchini_huko_atafukuzwa_mara_moja</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbze68e2cdcc32pxli.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139914-waziri_mkuu_wa_malaysia_asema_raia_yeyote_wa_israel_atakayepatikana_nchini_huko_atafukuzwa_mara_moja </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, amesema Muisraeli yeyote atakaopatikana akiingia nchini humo atafukuzwa mara moja. Amesema hayo huku mamlaka za Malaysia zikichunguza ripoti kwamba Waisraeli walitumia hati mbili za kusafiria kuingia katika jimbo la kusini la Johor.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:09:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>EU yaunga mkono ICC, yapinga kampeni ya Trump ya kuvunja mahakama ya uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139910-eu_yaunga_mkono_icc_yapinga_kampeni_ya_trump_ya_kuvunja_mahakama_ya_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza11de091a02pxle.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139910-eu_yaunga_mkono_icc_yapinga_kampeni_ya_trump_ya_kuvunja_mahakama_ya_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza tena uungaji mkono wake kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ukipinga kampeni mpya ya utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump ya kudhoofisha mahakama hiyo yenye makao yake makuu The Hague nchini Uholanzi.</description>
      <pubDate>Thu, 16 Jul 2026 03:04:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139896-kwa_nini_upinzani_dhidi_ya_mashambulizi_ya_kijeshi_dhidi_ya_iran_unaongezeka_nchini_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz275075cf202px78.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139896-kwa_nini_upinzani_dhidi_ya_mashambulizi_ya_kijeshi_dhidi_ya_iran_unaongezeka_nchini_marekani </guid>  
      <description>Mgogoro unaoendelea wa Marekani na Iran umefichua kwa uwazi zaidi kuliko huko nyuma, mipasuko ya kisiasa iliyopo huko Washington. Huku utawala wa Donald Trump ukisisitiza kuendeleza operesheni za kijeshi, upinzani unaongezeka bungeni, miongoni mwa umma kwa ujumla, na hata miongoni mwa baadhi ya Warepublican.</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 06:31:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uhispania yaibamiza Ufaransa na kutinga fainali ya Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139892-uhispania_yaibamiza_ufaransa_na_kutinga_fainali_ya_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdf901236632px8a.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139892-uhispania_yaibamiza_ufaransa_na_kutinga_fainali_ya_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Timu ya taifa ya soka ya Uhispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia la Fifa 2026 baada ya kuilaza Ufaransa kwa ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa mjini Dallas, Marekani.

</description>
      <pubDate>Wed, 15 Jul 2026 03:59:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>El Niño na tishio la mafuriko Afrika Mashariki na Asia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139862-el_niño_na_tishio_la_mafuriko_afrika_mashariki_na_asia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6ee9cc0a662pwos.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139862-el_niño_na_tishio_la_mafuriko_afrika_mashariki_na_asia </guid>  
      <description>Shirika la Masuala ya kibinadamu limetahadharisha kuwa hali ya hewa ya El Niño inayozidi kuongezeka kwa kasi inatishia kuleta mafuriko makubwa, magonjwa na ukame katika baadhi ya jamii zilizo hatarini zaidi duniani katika eneo la Afrika Mashariki na Asia.</description>
      <pubDate>Tue, 14 Jul 2026 03:23:21 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Madaktari na wauguzi wa London wataka kuachiliwa huru daktari wa watoto wa Kipalestina </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139844-madaktari_na_wauguzi_wa_london_wataka_kuachiliwa_huru_daktari_wa_watoto_wa_kipalestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzd7568de0ab2pw92.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139844-madaktari_na_wauguzi_wa_london_wataka_kuachiliwa_huru_daktari_wa_watoto_wa_kipalestina </guid>  
      <description>Madaktari, wauguzi na wanaharakati wamekusanyika nje ya Chuo cha Kifalme cha Watoto na Afya ya Watoto (RCPCH) jijini London, wakitaka hatua zichukuliwe dhidi ya kukamatwa kinyume cha sheria daktari wa watoto wa Kipalestina Dkt. Hussam Abu Safiya anayeshilikiwa na utawala ghasibu wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:10:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwalimu Fatima Kurtic afukuzwa kazi Luxenbourg kwa kuiunga mkono Palestina </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139842-mwalimu_fatima_kurtic_afukuzwa_kazi_luxenbourg_kwa_kuiunga_mkono_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz6dda68b8942pw90.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139842-mwalimu_fatima_kurtic_afukuzwa_kazi_luxenbourg_kwa_kuiunga_mkono_palestina </guid>  
      <description>Mamlaka za Luxembourg zimemfukuza kazi mwalimu wa shule ya msingia mbaye pia ni manusura wa mauaji ya halaiki ya Bosnia-Herzegovina baada ya kukosoa hadharani mauaji ya watoto katika Ukanda wa Ghaza kupitia machapisho yake kwenye mitandao ya kijamii.</description>
      <pubDate>Mon, 13 Jul 2026 03:08:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneta Graham, msaidizi mkuu wa Trump na mchochezi mkuu wa vita dhidi ya Iran ameangamia ghafla</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139828-seneta_graham_msaidizi_mkuu_wa_trump_na_mchochezi_mkuu_wa_vita_dhidi_ya_iran_ameangamia_ghafla</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz947ed498802pw22.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139828-seneta_graham_msaidizi_mkuu_wa_trump_na_mchochezi_mkuu_wa_vita_dhidi_ya_iran_ameangamia_ghafla </guid>  
      <description>Seneta Lindsey Graham, anayetambuliwa kuwa mhandisi wa mipango ya Washington dhidi ya Iran na mhamasishaji mkuu wa Trump kufanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, hatimaye ameangamia na ndoto yake ya kunyakua "matrilioni ya dola katika pesa na mafuta ya Iran." </description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 10:21:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ushiriki wa Wamarekani kwenye mazishi ya Ayatullah Khamenei waibua hasira huko Washington</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139814-ushiriki_wa_wamarekani_kwenye_mazishi_ya_ayatullah_khamenei_waibua_hasira_huko_washington</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzc3dd9e83e32pvx6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139814-ushiriki_wa_wamarekani_kwenye_mazishi_ya_ayatullah_khamenei_waibua_hasira_huko_washington </guid>  
      <description>Mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Shahidi Ayatullah Ali Khamenei, hayakuwa tukio la Iran pekee; bali pia uwepo mkubwa wa watu wenye ushawishi na wanablogu wa kigeni katika shughuli hiyo, wakiwemo Wamarekani ambao wamesema walikwenda Iran kuonyesha mshikamano wao na kutetea simulizi ya nchi hiyo mbele ya Marekani na Israel, umezusha hasira kubwa katika duru za Magharibi.</description>
      <pubDate>Sun, 12 Jul 2026 04:13:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia na China zapinga mashinikizo ya  Magharibi dhidi  ya Iran katika Baraza la Usalama</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139806-russia_na_china_zapinga_mashinikizo_ya_magharibi_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz2873b9da562pvv2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139806-russia_na_china_zapinga_mashinikizo_ya_magharibi_dhidi_ya_iran_katika_baraza_la_usalama </guid>  
      <description>Russia na China zimepinga vikali kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) kilichochochewa na nchi za Magharibi kuhusu Iran siku ya Ijumaa, zikisisitiza kuwa Azimio namba 2231 lilifika ukingano mnamo Oktoba 2025, na hivyo Baraza hilo halina tena mamlaka ya kisheria kujadili suala la nyuklia la Tehran.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 11:37:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Malalamiko rasmi dhidi ya Infantino wa FIFA kuhusu uhusiano Wake na Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139792-malalamiko_rasmi_dhidi_ya_infantino_wa_fifa_kuhusu_uhusiano_wake_na_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz638505443e2pvro.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139792-malalamiko_rasmi_dhidi_ya_infantino_wa_fifa_kuhusu_uhusiano_wake_na_trump </guid>  
      <description>Shirika moja la kutetea haki za binadamu na usimamizi wa michezo limetangaza mpango wake wa kuwasilisha malalamiko dhidi ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino, kwa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC). Shirika hilo linamtuhumu Infantino kwa kukiuka mara kwa mara sheria za kutofungamana na upande wowote katika masuala ya kisiasa, kupitia uungaji mkono wake wa wazi na uhusiano wa karibu na Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 04:38:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mauaji ya kimbari, ubaguzi wa rangi, na ukoloni... Je, Kanisa la Uingereza limeipa mgongo Israel?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139786-mauaji_ya_kimbari_ubaguzi_wa_rangi_na_ukoloni..._je_kanisa_la_uingereza_limeipa_mgongo_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz216c81cb492pvr4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139786-mauaji_ya_kimbari_ubaguzi_wa_rangi_na_ukoloni..._je_kanisa_la_uingereza_limeipa_mgongo_israel </guid>  
      <description>Gazeti la Times la London limeripoti kwamba Rabi Mkuu wa Mayahudi wa Uingereza, Sir Ephraim Mirvis, amelitaka Kanisa la Uingereza kukataa kujadili ripoti inayoelezea vita vya Israel huko Gaza kuwa ni "mauaji ya kimbari," akidai kwamba kupitishwa hati hiyo kunaweza kuharibu uhusiano kati ya Wayahudi na Wakristo uliojengwa kwa miongo kadhaa.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 03:09:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: Hatua za Marekani ni mfano wa wazi wa uhalifu mkubwa wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139774-iran_hatua_za_marekani_ni_mfano_wa_wazi_wa_uhalifu_mkubwa_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz0c96b7a2452pvqs.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139774-iran_hatua_za_marekani_ni_mfano_wa_wazi_wa_uhalifu_mkubwa_wa_kivita </guid>  
      <description>Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema, mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya maeneo kadhaa katika mikoa ya pwani ya kusini mwa nchi pamoja na madaraja mawili yaliyopo katika mikoa ya mashariki kwenye njia ya reli inayoelekea mji mtakatifu wa Mashhad, yanajumuisha uhalifu mkubwa wa kivita.</description>
      <pubDate>Sat, 11 Jul 2026 02:43:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Saratani inaua 26,000 kwa siku, WHO yafichua pengo la maisha kati ya matajiri na maskini</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139760-saratani_inaua_26_000_kwa_siku_who_yafichua_pengo_la_maisha_kati_ya_matajiri_na_maskini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz11ce2e76712pvce.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139760-saratani_inaua_26_000_kwa_siku_who_yafichua_pengo_la_maisha_kati_ya_matajiri_na_maskini </guid>  
      <description>Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani (WHO) imeonya kwamba saratani inaweka mzigo mkubwa wa kibinadamu na kiuchumi kwa jamii duniani kote, ikichukua uhai wa zaidi ya watu 26,000 kila siku na kudhihirisha ukosefu mkubwa wa usawa katika viwango vya maisha kati ya nchi tajiri na maskini.</description>
      <pubDate>Thu, 09 Jul 2026 10:45:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Austria: Iran sasa ni dola kubwa lenye ushawishi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139692-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_zamani_wa_austria_iran_sasa_ni_dola_kubwa_lenye_ushawishi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz34364697d42pu4q.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139692-waziri_wa_mambo_ya_nje_wa_zamani_wa_austria_iran_sasa_ni_dola_kubwa_lenye_ushawishi </guid>  
      <description>Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Austria amesema, akiashiria nafasi ya ustaarabu wa maelfu ya miaka wa Iran katika historia ya dunia, kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa sasa imegeuka kuwa moja ya mataifa makubwa yenye ushawishi katika ngazi ya kimataifa. </description>
      <pubDate>Tue, 07 Jul 2026 03:27:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Idadi kubwa ya wapiga kura wa Marekani wasema vita vya Trump dhidi ya Iran havina tija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139682-idadi_kubwa_ya_wapiga_kura_wa_marekani_wasema_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran_havina_tija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzdc5612fff62ptty.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139682-idadi_kubwa_ya_wapiga_kura_wa_marekani_wasema_vita_vya_trump_dhidi_ya_iran_havina_tija </guid>  
      <description>Idadi kubwa ya wapiga kura nchini Marekani wanaamini kuwa vita vya Donald Trump dhidi ya Iran havijazalisha tija inayostahili gharama zilizotumika. Kulingana na utafiti mpya wa gazeti la Financial Times, hali hiyo inaashiria jinsi mzozo huo unavyozidi kudhoofisha uungaji mkono kwa mtawala huyo kuelekea uchaguzi wa katikati wa muhula mwezi Novemba.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Jul 2026 10:28:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ubelgiji yalaani FIFA kuhusu kuruhusiwa kwa mshambuliaji wa Marekani licha ya kadi nyekundu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139680-ubelgiji_yalaani_fifa_kuhusu_kuruhusiwa_kwa_mshambuliaji_wa_marekani_licha_ya_kadi_nyekundu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbzfb426475f72ptno.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139680-ubelgiji_yalaani_fifa_kuhusu_kuruhusiwa_kwa_mshambuliaji_wa_marekani_licha_ya_kadi_nyekundu </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Ubelgiji limeonyesha ghadhabu kubwa kufuatia uamuzi wa Shirikisho la Soka Duniani, FIFA,  kumruhusu mshambuliaji wa Marekani, Folarin Balogun, kushiriki katika mechi muhimu ya hatua ya 16 bora dhidi ya Ubelgiji siku ya Jumatatu, licha ya mchezaji huyo kuonyeshwa kadi nyekundu katika mzunguko uliopita.</description>
      <pubDate>Mon, 06 Jul 2026 07:34:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Makundi ya Ulaya yanayopinga ubeberu yawasili Iran kwa mazishi ya Kiongozi Shahidi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139598-makundi_ya_ulaya_yanayopinga_ubeberu_yawasili_iran_kwa_mazishi_ya_kiongozi_shahidi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbza98d9302ad2prn4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139598-makundi_ya_ulaya_yanayopinga_ubeberu_yawasili_iran_kwa_mazishi_ya_kiongozi_shahidi </guid>  
      <description>Misafara ya wanaharakati wanaopinga ubeberu, wasomi, waandishi wa habari na wawakilishi wa vituo vya Kiislamu kutoka kote barani Ulaya inaendelea kuwasili Tehran kushiriki katika mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei aliyeuawa shahidi katika shambulizi la kushtukiza la Marekani na Israel.</description>
      <pubDate>Fri, 03 Jul 2026 03:55:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bayer, kampuni ya Ujerumani, yahusishwa na silaha za kemikali za Israel nchini Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139570-bayer_kampuni_ya_ujerumani_yahusishwa_na_silaha_za_kemikali_za_israel_nchini_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbz420abb174f2prao.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139570-bayer_kampuni_ya_ujerumani_yahusishwa_na_silaha_za_kemikali_za_israel_nchini_lebanon </guid>  
      <description>Kampuni kubwa ya dawa na kemikali ya Ujerumani, Bayer, imeshutumiwa kwa kusambaza fosforasi nyeupe na glyphosate inayotumiwa na jeshi la Israel katika mashambulizi yake nchini Lebanon, na kuibua maswali mapya kuhusu mnyororo wa usambazaji wa silaha zilizopigwa marufuku zinazotumika katika uchokozi huo kuua raia wa Lebanon.

</description>
      <pubDate>Thu, 02 Jul 2026 03:27:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Korea Kaskazini yaituhumu Japan kujigeuza ‘Taifa la Vita’ kufuatia mazoezi ya kijeshi na Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139520-korea_kaskazini_yaituhumu_japan_kujigeuza_taifa_la_vita’_kufuatia_mazoezi_ya_kijeshi_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyafe9e770ed2pqn4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139520-korea_kaskazini_yaituhumu_japan_kujigeuza_taifa_la_vita’_kufuatia_mazoezi_ya_kijeshi_na_marekani </guid>  
      <description>Korea Kaskazini imekosoa vikali mazoezi ya kijeshi yanayoendelea kati ya Marekani na Japan, ikiituhumu Tokyo kutumia hali ya sasa ya dunia iliyojaa misukosuko kama kisingizio cha “kujihalalishia mabadiliko yake kuwa taifa la vita.”</description>
      <pubDate>Tue, 30 Jun 2026 03:42:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maandamano ya kupinga ukiukaji wa usitishaji vita Gaza yafanyika nchini Sweden</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139486-maandamano_ya_kupinga_ukiukaji_wa_usitishaji_vita_gaza_yafanyika_nchini_sweden</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbycbc106bb332pq3i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139486-maandamano_ya_kupinga_ukiukaji_wa_usitishaji_vita_gaza_yafanyika_nchini_sweden </guid>  
      <description>Maandamano makubwa ya kupinga ukiukaji wa usitishaji vita Gaza yamefanyika nchini Sweden yakilaani pia jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 09:51:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Volker Turk aonya kuongezeka vifo vya wahamiaji katika utawala wa Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139476-volker_turk_aonya_kuongezeka_vifo_vya_wahamiaji_katika_utawala_wa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby7ba9ca351e2ppyi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139476-volker_turk_aonya_kuongezeka_vifo_vya_wahamiaji_katika_utawala_wa_trump </guid>  
      <description>Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk imetoa taarifa na kuonyesha wasiwasi kuhusu ongezeko kubwa la vifo vya wahamiaji vinavyotokea katika vituo vya kuwazuilia wahamiaji nchini Marekani wakati wa muhula wa pili wa utawala wa Donald Trump, na ametaka kufanyika uchunguzi huru kuhusu suala hilo.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:31:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ireland: Wanamichezo waungana kupinga uhusiano wa kimichezo na utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139472-ireland_wanamichezo_waungana_kupinga_uhusiano_wa_kimichezo_na_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbybe98093d5d2ppza.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139472-ireland_wanamichezo_waungana_kupinga_uhusiano_wa_kimichezo_na_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Mji mkuu wa Ireland, Dublin, umeshuhudia kufanyika kwa wakati mmoja shughuli mbalimbali za wananchi na matukio ya michezo yaliyolenga kuunga mkono Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano wa kimichezo na utawala wa Kizayuni wa Israel.</description>
      <pubDate>Sun, 28 Jun 2026 04:29:07 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Katibu Mkuu UN: Jitihada zaidi zinahitajika kutokomeza matumizi ya mihadarati</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139444-katibu_mkuu_un_jitihada_zaidi_zinahitajika_kutokomeza_matumizi_ya_mihadarati</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc3c25d01ce2ppkg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139444-katibu_mkuu_un_jitihada_zaidi_zinahitajika_kutokomeza_matumizi_ya_mihadarati </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuimarisha juhudi za kukabiliana na matumizi ya dawa za kulevya na biashara haramu ya dawa hizo, akionya kuwa tatizo hilo linaendelea kusababisha madhara makubwa kwa watu na jamii duniani kote.</description>
      <pubDate>Sat, 27 Jun 2026 02:52:40 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka" </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139438-trump_amwambia_netanyahu_katika_malumbano_makali_ya_simu_wayahudi_wote_wamekuchoka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0e6ab302142ppfw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139438-trump_amwambia_netanyahu_katika_malumbano_makali_ya_simu_wayahudi_wote_wamekuchoka </guid>  
      <description>Televisheni ya CNN ya Marekani imefichua malumbano makali ya simu baina ya Rais wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel ambapo Donald Trump amemkemea Benjamin Netanyahu, akimwambia: "Wayahudi wote wamekuchoka," huku Marekani ikizidisha mashinikizo kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusu Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 11:20:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Timu za uokoaji zinakimbizana na wakati kutafuta manusura chini ya vifusi; huenda 10,000 wameuawa zilzala ya Venezuela</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139434-timu_za_uokoaji_zinakimbizana_na_wakati_kutafuta_manusura_chini_ya_vifusi_huenda_10_000_wameuawa_zilzala_ya_venezuela</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyad90d4e2ef2ppfg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139434-timu_za_uokoaji_zinakimbizana_na_wakati_kutafuta_manusura_chini_ya_vifusi_huenda_10_000_wameuawa_zilzala_ya_venezuela </guid>  
      <description>Baada ya mitetemeko miwili mikubwa ya ardhi kukumba miji kadhaa nchini Venezuela Jumatano jioni, Wavenezuela wamekuwa wakiishi katika hali ngumu, ikiwa ni pamoja na kuhama makazi na kutafuta jamaa zao waliokwama chini ya vifusi, huku makadirio yakisema kwamba idadi ya vifo vilivyosababishwa na mitetemeko hiyo inaweza kuzidi watu 10,000.</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 10:41:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Joto kali lasababisha vifo vya zaidi ya watu 212 barani Ulaya</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139430-joto_kali_lasababisha_vifo_vya_zaidi_ya_watu_212_barani_ulaya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb7d08841ea2ppc4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139430-joto_kali_lasababisha_vifo_vya_zaidi_ya_watu_212_barani_ulaya </guid>  
      <description>Nchi kadhaa za Ulaya zimerekodi vifo vya makumi ya watu kutokana na wimbi kubwa la joto, huku kwa uchache watu 212 wakifariki dunia nchini Uhispania, na wengine kadhaa, wakiwemo watoto 3, wakiaga dunia nchini Ufaransa wiki hii.

</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 04:20:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wamarekani: Waasisi wangekatishwa tamaa na hali ya sasa ya nchi</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139426-wamarekani_waasisi_wangekatishwa_tamaa_na_hali_ya_sasa_ya_nchi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6fad4087102ppbw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139426-wamarekani_waasisi_wangekatishwa_tamaa_na_hali_ya_sasa_ya_nchi </guid>  
      <description>Wamarekani wengi wamekatishwa tamaa na serikali yao, wakisema kwamba Waasisi wangesikitishwa sana na hali ya sasa ya kijamii na kisiasa ya Marekani.

</description>
      <pubDate>Fri, 26 Jun 2026 03:51:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139420-ashura_shule_ya_ufahamu_na_uaminifu_iliyovuka_mipaka_ya_historia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd0892f01142pp7u.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139420-ashura_shule_ya_ufahamu_na_uaminifu_iliyovuka_mipaka_ya_historia </guid>  
      <description>Ashura; Shule ambayo iliunganika na damu tukufu na kupelekea watu waaminifu 72 kuuawa shahidi, na hivyo kuwa taa ya wongofu wa historia huku wakiwa wamechagua utukufu wa milele kwa ufahamu na mwamko kamili.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 12:57:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Matetemeko makubwa ya ardhi yaikumba Venezuela, makumi waaaga dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139414-matetemeko_makubwa_ya_ardhi_yaikumba_venezuela_makumi_waaaga_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyd0d11f1ec32pp60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139414-matetemeko_makubwa_ya_ardhi_yaikumba_venezuela_makumi_waaaga_dunia </guid>  
      <description>Matetemeko mawili makubwa ya ardhi yameikumba Venezuela siku ya Jumatano, na kusababisha uharibifu mkubwa katika mji mkuu Caracas na maeneo ya jirani.

</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 09:53:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Nembo na alama za Palestina zatawala katika mashindano ya Kombe la Dunia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139412-nembo_na_alama_za_palestina_zatawala_katika_mashindano_ya_kombe_la_dunia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2e28f877ec2pp5w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139412-nembo_na_alama_za_palestina_zatawala_katika_mashindano_ya_kombe_la_dunia </guid>  
      <description>Mtandao wa Al Jazeera umeripoti uwepo mkubwa wa alama, nembo na bendera za Palestina katika mashindano ya Kombe la Dunia la Mpira wa Miguu 2026 yanayoendelea huko Marekani, Canada na Mexico.

</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 09:36:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Mataifa: Watoto milioni 100 wameachishwa shule kutokana na migogoro</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139402-umoja_wa_mataifa_watoto_milioni_100_wameachishwa_shule_kutokana_na_migogoro</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyed30562eeb2pp18.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139402-umoja_wa_mataifa_watoto_milioni_100_wameachishwa_shule_kutokana_na_migogoro </guid>  
      <description>Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watoto milioni 100 wameachishwa shule kutokana na migogoro.</description>
      <pubDate>Thu, 25 Jun 2026 04:22:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Seneti yapitisha azimio la kuondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vitani na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139378-seneti_yapitisha_azimio_la_kuondoa_wanajeshi_wa_marekani_kwenye_vitani_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc8403ce0ce2pona.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139378-seneti_yapitisha_azimio_la_kuondoa_wanajeshi_wa_marekani_kwenye_vitani_na_iran </guid>  
      <description>Seneti ya Marekani imepiga kura ya kuidhinisha azimio la kuwaondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vita na Iran, katika hatua ambayo imetajwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni kielelezo cha pigo la kisiasa kwa Rais Donald Trump.</description>
      <pubDate>Wed, 24 Jun 2026 04:01:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Karbala yajiandaa kwa ajili ya mamilioni ya mazuwari wa Siku ya Ashura</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139368-karbala_yajiandaa_kwa_ajili_ya_mamilioni_ya_mazuwari_wa_siku_ya_ashura</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb444367eaa2pojk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139368-karbala_yajiandaa_kwa_ajili_ya_mamilioni_ya_mazuwari_wa_siku_ya_ashura </guid>  
      <description>Mamlaka za Iraq zinajitayarisha kwa ajili ya kupokea mamilioni ya mazuwari wa Waislamu wanaoendelea kumiminika katika mji mtakatifu wa Karbala kwa ajili ya siku za Tasu'a na Ashura na kukumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS). </description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 14:10:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>"Uhispania ni nchi ya Kikristo, si ya Kiislamu": Kusujudu Yamal kwachochea kampeni chafu ya mrengo wa kulia</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139366-uhispania_ni_nchi_ya_kikristo_si_ya_kiislamu_kusujudu_yamal_kwachochea_kampeni_chafu_ya_mrengo_wa_kulia</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf8b578ac882poi6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139366-uhispania_ni_nchi_ya_kikristo_si_ya_kiislamu_kusujudu_yamal_kwachochea_kampeni_chafu_ya_mrengo_wa_kulia </guid>  
      <description>Dakika chache baada ya kufunga bao lake la kwanza katika Kombe la Dunia Jumapili iliyopita, mchezaji wa timu ya taifa ya Uhispania, Lamine Yamal alijikuta akikabiliwa na wimbi kubwa la mashambulizi kwenye mitandao ya kijamii baada ya kusujudu akimshukuru Mungu kwa bao alilofunga dhidi ya timu ya taifa ya Saudi Arabia kwenye mashindano ya Kombe la Dunia FIFA 2026. </description>
      <pubDate>Tue, 23 Jun 2026 13:19:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Italia amwambia Trump: Pilipili usioila inakuwashia nini?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139342-waziri_mkuu_wa_italia_amwambia_trump_pilipili_usioila_inakuwashia_nini</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyc4b7193d182po64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139342-waziri_mkuu_wa_italia_amwambia_trump_pilipili_usioila_inakuwashia_nini </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amemshauri Rais wa Marekani, Donald Trump kujalia ya kwake mwenyewe badala na kufuatilia ya wengine baada ya kudai kwamba kiongozi huyo wa Italia anajaribu kuongeza umaarufu na viwango vyake vya kukubalika ndani ya nchi kwa kurekebisha uhusiano na Washington.</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 14:11:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mataifa ya Ulaya yakabiliwa na wimbi la joto kali</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139336-mataifa_ya_ulaya_yakabiliwa_na_wimbi_la_joto_kali</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb895900dd22po1c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139336-mataifa_ya_ulaya_yakabiliwa_na_wimbi_la_joto_kali </guid>  
      <description>Mataifa ya Ulaya yanakabiliwa na wimbi la joto kali huku yakilazimika kuchukua hatua kadhaa ili kuepusha maafa.

</description>
      <pubDate>Mon, 22 Jun 2026 10:15:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Imamu ashambuliwa nje ya msikiti nchini Kanada huku chuki dhidi ya Uislamu ikiongezeka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139312-imamu_ashambuliwa_nje_ya_msikiti_nchini_kanada_huku_chuki_dhidi_ya_uislamu_ikiongezeka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf32c0acde92pnlu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139312-imamu_ashambuliwa_nje_ya_msikiti_nchini_kanada_huku_chuki_dhidi_ya_uislamu_ikiongezeka </guid>  
      <description>Imamu wa Msikiti wa Jumuiya ya Waislamu wa British Columbia (BCMA), Sheikh Ebrahim, ameshambuliwa katika tukio linalohusishwa na chuki dhidi ya Uislamu.</description>
      <pubDate>Sun, 21 Jun 2026 11:24:11 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran yawasilisha malalamiko FIFA kuhusu vikwazo vya Marekani kabla ya mechi na Ubelgiji</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139280-iran_yawasilisha_malalamiko_fifa_kuhusu_vikwazo_vya_marekani_kabla_ya_mechi_na_ubelgiji</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyecaf9559342pn2i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139280-iran_yawasilisha_malalamiko_fifa_kuhusu_vikwazo_vya_marekani_kabla_ya_mechi_na_ubelgiji </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Iran limetangaza kuwa limewasilisha malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) kufuatia kukataliwa kwa mara ya pili mfululizo kwa mipango ya maandalizi ya Timu ya Taifa ya Iran, Team Melli.</description>
      <pubDate>Sat, 20 Jun 2026 04:24:06 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mamia waandamana Brussels wakitaka kuwekewa vikwazo Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139252-mamia_waandamana_brussels_wakitaka_kuwekewa_vikwazo_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby18930fac182pmvq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139252-mamia_waandamana_brussels_wakitaka_kuwekewa_vikwazo_israel </guid>  
      <description>Mamia ya watu walifanya maandamano jana Alhamisi Brussels, Ubelgiji kabla ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya. </description>
      <pubDate>Fri, 19 Jun 2026 03:46:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Kujisalimisha kikamilifu' kwa Iran: Wabunge wa Marekani washambulia MoU ya Trump na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139248-'kujisalimisha_kikamilifu'_kwa_iran_wabunge_wa_marekani_washambulia_mou_ya_trump_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8a230452e52pmse.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139248-'kujisalimisha_kikamilifu'_kwa_iran_wabunge_wa_marekani_washambulia_mou_ya_trump_na_iran </guid>  
      <description>Wakielezea hati ya maelewano kati ya Iran na Marekani kuwa ni "kujisalimisha kikamilifu" kwa Iran, wakosoaji wa Donald Trump katika Bunge la marekanii wamesema utawala wake umesalimu amri kwa Jamhuri ya Kiislamu baada ya vita vya gharama kubwa na visivyo na maana ambavyo vilishindwa kufikia malengo yaliyotajwa na Washington.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 12:43:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Hitilafu zapamba moto baina ya Trump na Netanyahu kuhusu mashambulizi dhidi ya Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139246-hitilafu_zapamba_moto_baina_ya_trump_na_netanyahu_kuhusu_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby65de10820c2pmrw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139246-hitilafu_zapamba_moto_baina_ya_trump_na_netanyahu_kuhusu_mashambulizi_dhidi_ya_lebanon </guid>  
      <description>Rais wa Marekani, Donald Trump amekosoa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, na kukiri kwamba kuna hitilafu kati yake na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu suala la Lebanon.</description>
      <pubDate>Thu, 18 Jun 2026 12:19:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Baada ya Trump kusherekea bethidei yake ya 80, sasa umri na afya ndio kiini cha mjadala wa kisiasa wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139172-baada_ya_trump_kusherekea_bethidei_yake_ya_80_sasa_umri_na_afya_ndio_kiini_cha_mjadala_wa_kisiasa_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya8a0caedf52pm32.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139172-baada_ya_trump_kusherekea_bethidei_yake_ya_80_sasa_umri_na_afya_ndio_kiini_cha_mjadala_wa_kisiasa_wa_marekani </guid>  
      <description>Ripoti ya Newsweek inaonyesha kwamba kutimiza umri wa miaka 80 Rais wa Marekani Donald Trump kumerejesha mjadala wa umri na afya ya rais katika mstari wa mbele wa malumbano ya kisiasa nchini Marekani, baada ya yeye mwenyewe kufanya umri na utimamu wa akili wa mtangulizi wake, Joe Biden kuwa moja ya mada kuu za kampeni yake ya uchaguzi.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 02:56:22 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tel Aviv inawakera hata washirika wake, Ufaransa yalituhumu shirika la Israel kuingia mambo ya ndani ya nchi hiyo </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139170-tel_aviv_inawakera_hata_washirika_wake_ufaransa_yalituhumu_shirika_la_israel_kuingia_mambo_ya_ndani_ya_nchi_hiyo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbydc8f9868ce2pm30.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139170-tel_aviv_inawakera_hata_washirika_wake_ufaransa_yalituhumu_shirika_la_israel_kuingia_mambo_ya_ndani_ya_nchi_hiyo </guid>  
      <description>Baada ya takriban mwezi mmoja wa uchunguzi rasmi, Paris imeituhumu kampuni ya Israel kwa kuingilia uchaguzi uliopita nchini Ufaransa, na imetaka maelezo kutoka Tel Aviv kuhusu suala hilo.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 02:53:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uingereza kupiga marufuku watoto wa chini ya miaka 16 kutumia mitandao ya kijamii</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139168-uingereza_kupiga_marufuku_watoto_wa_chini_ya_miaka_16_kutumia_mitandao_ya_kijamii</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby0351135f952pm2y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139168-uingereza_kupiga_marufuku_watoto_wa_chini_ya_miaka_16_kutumia_mitandao_ya_kijamii </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Uingereza jana alisema nchi hiyo itapiga marufuku watoto walio na umri wa chini ya miaka 16 kutumia programu mbalimbali za mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na Snapchat, TikTok na YouTube ili kuwalinda vijana dhidi ya maudhui hatari na kupoteza muda mwingi katika mitandao ya kijamii.</description>
      <pubDate>Tue, 16 Jun 2026 02:51:12 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kamishna wa Haki za Binadamu UN: Mapigano yasitishwe Gaza na Lebanon, aonya kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139164-kamishna_wa_haki_za_binadamu_un_mapigano_yasitishwe_gaza_na_lebanon_aonya_kuhusu_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyf72150b87b2pm0i.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139164-kamishna_wa_haki_za_binadamu_un_mapigano_yasitishwe_gaza_na_lebanon_aonya_kuhusu_ukiukwaji_wa_haki_za_binadamu_sudan </guid>  
      <description>Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza haja ya kuimarishwa usitishaji mapigano huko Gaza na kufikiwa makubaliano endelevu ya kusitisha mapigano, akibainisha kuwa vikosi vya jeshi la Israel vimewaua Wapalestina wapatao 1,000 tangu usitishaji mapigano Oktoba mwaka jana, pamoja na kuimarisha vizingiti vya kuzuia misaada ya kibinadamu kwa watu wa Gaza, jambo ambalo amesema limezidisha mgogoro wa binadamu katika sekta hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 12:40:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wapiga picha wa Gaza washinda Tuzo ya Kalamu ya Dhahabu ya Uhuru</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139160-wapiga_picha_wa_gaza_washinda_tuzo_ya_kalamu_ya_dhahabu_ya_uhuru</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby47cb0e81402plzi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139160-wapiga_picha_wa_gaza_washinda_tuzo_ya_kalamu_ya_dhahabu_ya_uhuru </guid>  
      <description>Jumuiya ya Wachapishaji Habari Duniani imetangaza kwamba tuzo ya Kalamu ya Dhahabu ya Uhuru 2026 itatolewa kwa wapiga picha na wakurugenzi wa video kutoka Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 11:28:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Washington Post: Trump anasherehekea kurudi katika hali ya kabla ya vita na Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139156-washington_post_trump_anasherehekea_kurudi_katika_hali_ya_kabla_ya_vita_na_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyb4bbb0f6422plwi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139156-washington_post_trump_anasherehekea_kurudi_katika_hali_ya_kabla_ya_vita_na_iran </guid>  
      <description>Gazeti la Washington Post, katika ripoti yake kuhusu hati ya makubaliano kati ya Iran na Marekani, limekejeli hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kusherehekea kurejea Washington kwenye hali ya kabla ya Februari 28, hatua ambayo baadhi ya wataalamu wanaamini ni kurudi nyuma kwa maana halisi ya neno hilo mkabala wa Iran.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 10:11:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa dunia wakaribisha makubaliano ya kumaliza vita vya Marekani dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139152-viongozi_wa_dunia_wakaribisha_makubaliano_ya_kumaliza_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1f552670ad2plt0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139152-viongozi_wa_dunia_wakaribisha_makubaliano_ya_kumaliza_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Viongozi mbalimbali duniani wamekaribisha hati ya makubaliano (MoU) kati ya Iran na Marekani, ambayo inahitimisha mara moja vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran, kuondoa mzingiro wa baharini, na kufungua tena Lango Bahari la Hormuz kwa usafiri wa kimataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:29:31 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jezi za Kombe la Dunia zilizopewa jina la mtoto wa Kipalestina aliyeuawa na Isral zazinduliwa </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139150-jezi_za_kombe_la_dunia_zilizopewa_jina_la_mtoto_wa_kipalestina_aliyeuawa_na_isral_zazinduliwa</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9c8d3bfe2a2pltu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139150-jezi_za_kombe_la_dunia_zilizopewa_jina_la_mtoto_wa_kipalestina_aliyeuawa_na_isral_zazinduliwa </guid>  
      <description>Fulana za michezo zenye jina la "Jezi ya Kombe la Dunia ya Hind Rajab" zimezinduliwa rasmi sambamba na mashindano ya kombe hilo yanayoendelea katika nchi za Marekani, Canada na Mexico; jezi ambazo zimebuniwa na kutengenezwa kwa idhini ya mama wa "Hind Rajab", mtoto wa Kipalestina aliyeuawa shahidi na askari wa Israel.</description>
      <pubDate>Mon, 15 Jun 2026 04:28:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waziri Mkuu wa Pakistan: Makubaliano kati ya Iran na Marekani 'yanatarajiwa ndani ya saa 24'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139126-waziri_mkuu_wa_pakistan_makubaliano_kati_ya_iran_na_marekani_'yanatarajiwa_ndani_ya_saa_24'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfbbcf6c0c62pli8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139126-waziri_mkuu_wa_pakistan_makubaliano_kati_ya_iran_na_marekani_'yanatarajiwa_ndani_ya_saa_24' </guid>  
      <description>Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amesema kuwa makubaliano kati ya Iran na Marekani kwa lengo la kukumaliza vita yapo "karibu zaidi kuliko wakati mwingine wowote," huku yakitarajiwa kukamilika ndani ya saa 24 zijazo.</description>
      <pubDate>Sun, 14 Jun 2026 03:19:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139110-rais_wa_cuba_atangaza_mageuzi_mapya_ya_kiuchumi_ili_kukabiliana_na_mzingiro_wa_kijinai_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby624a4d5ea02ple6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139110-rais_wa_cuba_atangaza_mageuzi_mapya_ya_kiuchumi_ili_kukabiliana_na_mzingiro_wa_kijinai_wa_marekani </guid>  
      <description>Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani </description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 11:16:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Tucker Carlson: Marekani imeshindwa kufungua Lango-Bahari la Hormuz</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139106-tucker_carlson_marekani_imeshindwa_kufungua_lango_bahari_la_hormuz</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6a37e01b102plaa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139106-tucker_carlson_marekani_imeshindwa_kufungua_lango_bahari_la_hormuz </guid>  
      <description>Tucker Carlson, mwanahabari maarufu wa kihafidhina wa Marekani, amesema kwamba matukio ya sasa katika mzozo wa Asia Magharibi yanaonyesha mapungufu ya nguvu ya kijeshi ya Marekani, akisisitiza kwamba Washington imeshindwa kufungua tena Lango-Bahari la Hormuz licha ya kutumia gharama kubwa.</description>
      <pubDate>Sat, 13 Jun 2026 08:04:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>'Nchi inayoshiriki mauaji ya kimbari Gaza inataka kusafisha sura yake chafu kwa kuandaa Kombe la Dunia 2026'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139090-'nchi_inayoshiriki_mauaji_ya_kimbari_gaza_inataka_kusafisha_sura_yake_chafu_kwa_kuandaa_kombe_la_dunia_2026'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyfe3632a72d2pl4w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139090-'nchi_inayoshiriki_mauaji_ya_kimbari_gaza_inataka_kusafisha_sura_yake_chafu_kwa_kuandaa_kombe_la_dunia_2026' </guid>  
      <description>Nyota wa zamani wa soka wa Misri na mchambuzi wa masuala ya michezo, Mohamed Aboutrika, ameibua wimbi kubwa la majibizano na mijadala kwenye mitandao ya kijamii, baada ya kukosoa sera za undumakuwili katika kuandaa mashindano makubwa ya michezo, na jitihada za baadhi ya nchi za kutumia michezo kama wenzo wa kutakasa na kusafisha sura zao chafu za kisiasa.</description>
      <pubDate>Fri, 12 Jun 2026 14:09:29 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa Colombia aishambulia Israel katika Baraza la Usalama la UN, asema ni utawala wa kinazi </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139080-rais_wa_colombia_aishambulia_israel_katika_baraza_la_usalama_la_un_asema_ni_utawala_wa_kinazi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby260d9048462pk6y.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139080-rais_wa_colombia_aishambulia_israel_katika_baraza_la_usalama_la_un_asema_ni_utawala_wa_kinazi </guid>  
      <description>Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ameifananisha Israel na "utawala wa Nazi" katika maoni yake kuhusu vita vya kuangamiza vya Tel Aviv katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Fri, 12 Jun 2026 04:45:08 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa mara ya kwanza katika muongo mmoja, idadi ya wakimbizi duniani ilipungua mwaka 2025</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139078-kwa_mara_ya_kwanza_katika_muongo_mmoja_idadi_ya_wakimbizi_duniani_ilipungua_mwaka_2025</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby696b385e372pl06.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139078-kwa_mara_ya_kwanza_katika_muongo_mmoja_idadi_ya_wakimbizi_duniani_ilipungua_mwaka_2025 </guid>  
      <description>Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imetangaza kwamba idadi ya watu waliolazimika kuhama makwao duniani kote ilipungua mwaka wa 2025, ikiwa ni mara ya kwanza kurekodiwa punguo kama hilo katika muongo mmoja, licha ya viwango vya juu vya wakimbizi wa muda mrefu.</description>
      <pubDate>Fri, 12 Jun 2026 04:43:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ni kosa kubwa... Blatter amkosoa Infantino na Marekani kuhusu mwamuzi wa Somalia FIFA 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139074-ni_kosa_kubwa..._blatter_amkosoa_infantino_na_marekani_kuhusu_mwamuzi_wa_somalia_fifa_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby928cbf68332pk6e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139074-ni_kosa_kubwa..._blatter_amkosoa_infantino_na_marekani_kuhusu_mwamuzi_wa_somalia_fifa_2026 </guid>  
      <description>Wakati ambapo macho yote yameelekezwa kwenye viwanja vya mashindano ya Kombe la Dunia huko Marekani, Mexico na Canada, Mswizi Joseph Blatter, rais wa zamani wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), ameelekeza mishale ya hasira yake kwa mrithi wake Gianni Infantino na nchi mwenyeji mwenza Marekani, akiimbusha dunia kuwa "shujaa wa FIFA" anafuatilia mashindano hayo kwa uchungu.</description>
      <pubDate>Fri, 12 Jun 2026 04:38:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei za mafuta zapanda duniani kutokana na ukiukaji wa usitishaji vita wa Marekani dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139068-bei_za_mafuta_zapanda_duniani_kutokana_na_ukiukaji_wa_usitishaji_vita_wa_marekani_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby29c16dfb8a2pkus.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139068-bei_za_mafuta_zapanda_duniani_kutokana_na_ukiukaji_wa_usitishaji_vita_wa_marekani_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Bei za mafuta ghafi ya petroli zilipanda Alhamisi duniani kufuatia kurejea kwa mashambulizi ya kijeshi baada ya uchokozi wa Marekani na ukiukaji wake wa makubaliano ya kusitisha mapigano na Iran. Mvutano huo umeongeza wasiwasi kuhusu usambazaji wa nishati duniani pamoja na kuendelea kwa usumbufu wa usafirishaji kupitia Mlango wa Hormuz.</description>
      <pubDate>Thu, 11 Jun 2026 11:41:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Gazeti la NYT: Shambulio la Marekani dhidi ya miundombinu ya maji nchini Iran ni uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139060-gazeti_la_nyt_shambulio_la_marekani_dhidi_ya_miundombinu_ya_maji_nchini_iran_ni_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby97cf9b89c12pkty.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139060-gazeti_la_nyt_shambulio_la_marekani_dhidi_ya_miundombinu_ya_maji_nchini_iran_ni_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Gazeti mashuhuri la The New York Times limesema kuwa mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani dhidi ya miundombinu ya maji kusini mwa Iran yanaweza kuhesabika kama uhalifu wa kivita, kwani kulenga miundombinu ya kiraia ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa.</description>
      <pubDate>Thu, 11 Jun 2026 11:12:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, siasa zinapoingizwa michezoni, FIFA bado huwa ndiyo inayochukua maamuzi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139058-je_siasa_zinapoingizwa_michezoni_fifa_bado_huwa_ndiyo_inayochukua_maamuzi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1d1a13d9482pkts.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139058-je_siasa_zinapoingizwa_michezoni_fifa_bado_huwa_ndiyo_inayochukua_maamuzi </guid>  
      <description>Kombe la Dunia la mchezo wa kandanda, ambalo waasisi wake wamekuwa wakidai kuheshimu maadili na thamani za kimataifa pamoja na kutenganishwa siasa na mchezo huo, sasa limekuwa mateka wa siasa za mabavu na ubaguzi wa serikali ya Marekani, ambapo hata Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) lenyewe limeshindwa kutetea na kuwalinda maafisa wake mbele ya siasa hizo.</description>
      <pubDate>Thu, 11 Jun 2026 10:43:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Guterres: Wafanyakazi 80 wa Umoja wa Mataifa waliuawa mwaka jana huko Gaza</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139006-guterres_wafanyakazi_80_wa_umoja_wa_mataifa_waliuawa_mwaka_jana_huko_gaza</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9463d428412pkc4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139006-guterres_wafanyakazi_80_wa_umoja_wa_mataifa_waliuawa_mwaka_jana_huko_gaza </guid>  
      <description>Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ametangaza kwamba wafanyakazi 136 wa shirika hilo la kimataifa waliuawa wakitekeleza majukumu yao katika mwaka uliopita, wakiwemo wafanyakazi 80 waliokuwa wakifanya kazi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 11:53:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yamsimamisha Kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu kwa tuhuma za utovu wa nidhamu wa kingono</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i139000-icc_yamsimamisha_kazi_mwendesha_mashtaka_mkuu_kwa_tuhuma_za_utovu_wa_nidhamu_wa_kingono</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby13d176a21d2pkay.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i139000-icc_yamsimamisha_kazi_mwendesha_mashtaka_mkuu_kwa_tuhuma_za_utovu_wa_nidhamu_wa_kingono </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemsimamisha kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu, Karim Khan, kwa madai ya utovu wa nidhamu wa kingono na msaidizi wake.</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 10:26:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lavrov: Guterres anashirikiana na Magharibi, Washington haina nia ya kurudi kwenye makubaliano ya Anchorage</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138992-lavrov_guterres_anashirikiana_na_magharibi_washington_haina_nia_ya_kurudi_kwenye_makubaliano_ya_anchorage</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx167b41ddad2pgqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138992-lavrov_guterres_anashirikiana_na_magharibi_washington_haina_nia_ya_kurudi_kwenye_makubaliano_ya_anchorage </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amekosoa utendaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, akisisitiza haja ya kutekelezwa kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa "bila kubagua".</description>
      <pubDate>Tue, 09 Jun 2026 04:22:00 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Vita dhidi ya Iran havikidhi vigezo vya “Vita vya Haki”, asema Papa Leo</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138968-vita_dhidi_ya_iran_havikidhi_vigezo_vya_vita_vya_haki_asema_papa_leo</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyde8af67bd32pjyq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138968-vita_dhidi_ya_iran_havikidhi_vigezo_vya_vita_vya_haki_asema_papa_leo </guid>  
      <description>Katika kauli yenye ukali dhidi ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran havina uhalali wa maadili.</description>
      <pubDate>Mon, 08 Jun 2026 03:17:39 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sanders: Netanyahu anashirikiana na Kongresi kuficha msaada wa kijeshi kwa Israel katika mikataba ya Pentagon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138954-sanders_netanyahu_anashirikiana_na_kongresi_kuficha_msaada_wa_kijeshi_kwa_israel_katika_mikataba_ya_pentagon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbyca00e3192a2pjtc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138954-sanders_netanyahu_anashirikiana_na_kongresi_kuficha_msaada_wa_kijeshi_kwa_israel_katika_mikataba_ya_pentagon </guid>  
      <description>Seneta wa kujitegemea kutoka Vermont, Bernie Sanders, ametangaza kwamba atapinga sheria inayochunguzwa bungeni ambayo itaongeza ushawishi wa Israel katika taasisi za kijeshi na viwanda vya Marekani.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 09:29:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo XIV : Uvamizi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran 'sio vita vya haki'</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138948-papa_leo_xiv_uvamizi_wa_kijeshi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_'sio_vita_vya_haki'</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8e53adb3252pjny.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138948-papa_leo_xiv_uvamizi_wa_kijeshi_wa_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_'sio_vita_vya_haki' </guid>  
      <description>Kiongozi wa kanisa katoliki Dunia, Papa Leo XIV amesema uchokozi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa "vita vya haki", akisisitiza kwamba itikadi hiyo ya karne nyingi haiendani na uhalisia wa vita vya kisasa.</description>
      <pubDate>Sun, 07 Jun 2026 03:49:59 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138940-kwa_nini_ulaya_inataka_kufafanua_upya_uhusiano_wake_na_china</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby2080547c6e2pjku.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138940-kwa_nini_ulaya_inataka_kufafanua_upya_uhusiano_wake_na_china </guid>  
      <description>Ufaransa na nchi nyingine nne za Ulaya, katika mkesha wa mkutano wa kimkakati wa Kamisheni ya Ulaya kuhusu China, zilitoa wito wa kuundwa vyombo vipya vya kutetea biashara ili kulinda viwanda vya Ulaya na kukabiliana na ushindani kutoka kwa makampuni yanayoungwa mkono na serikali ya Beijing.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 12:59:58 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Waislamu wa Canada watoa wito kwa serikali kupambana na chuki dhidi ya Uislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138938-waislamu_wa_canada_watoa_wito_kwa_serikali_kupambana_na_chuki_dhidi_ya_uislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby5a7ade276e2pjjq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138938-waislamu_wa_canada_watoa_wito_kwa_serikali_kupambana_na_chuki_dhidi_ya_uislamu </guid>  
      <description>Waislamu wa Canada wameitaka serikali kupambana na chuki dhidi ya Uislamu nchini humo kupitia mageuzi ya kina na hatua madhubuti.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 11:37:51 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Leon Panetta: Vita dhidi ya Iran imekuwa Vietnam nyingine kwa Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138930-leon_panetta_vita_dhidi_ya_iran_imekuwa_vietnam_nyingine_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby9aa74cf96a2pjim.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138930-leon_panetta_vita_dhidi_ya_iran_imekuwa_vietnam_nyingine_kwa_trump </guid>  
      <description>Waziri wa zamani wa Vita wa Marekani ameonya kuwa: Vita dhidi ya Iran vinakuwa sawa na vita Vietnam kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 09:39:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WFP: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinasukuma mamilioni kukumbwa na njaa Afrika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138918-wfp_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_vinasukuma_mamilioni_kukumbwa_na_njaa_afrika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbya0eceb08eb2pjd8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138918-wfp_vita_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran_vinasukuma_mamilioni_kukumbwa_na_njaa_afrika </guid>  
      <description>Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinawasukuma mamilioni ya watu duniani kuingia katika hali ya njaa huku bara Afrika likionekana kuathirika zaidi.</description>
      <pubDate>Sat, 06 Jun 2026 03:14:55 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Trump sasa adai atahisi “heshima” kukutana na Kiongozi mpya wa Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138914-trump_sasa_adai_atahisi_heshima_kukutana_na_kiongozi_mpya_wa_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby05d56413e22pj9m.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138914-trump_sasa_adai_atahisi_heshima_kukutana_na_kiongozi_mpya_wa_iran </guid>  
      <description>Rais wa Marekani Donald Trump amesema angehisi “heshima” kukutana na Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, iwapo makubaliano yatafikiwa ya kumaliza vita kati ya nchi hizo mbili.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:25:32 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Utafiti: Wamarekani waliowengi wanataka vita dhidi ya Iran visitishwe haraka</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138906-utafiti_wamarekani_waliowengi_wanataka_vita_dhidi_ya_iran_visitishwe_haraka</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby27d5e79b2a2pj9e.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138906-utafiti_wamarekani_waliowengi_wanataka_vita_dhidi_ya_iran_visitishwe_haraka </guid>  
      <description>Takribani Wamarekani saba kati ya kumi wanautaka utawala wa nchi hiyo ukomeshe vita vyake visivyo halali dhidi ya Iran “haraka iwezekanavyo.” Hayo ni kwa mujibu wa utafiti mpya uliofichua kiwango kikubwa cha kutoridhika kwa umma kuhusu mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Trump ambayo yanaendelea kwa zaidi ya miezi mitatu.</description>
      <pubDate>Fri, 05 Jun 2026 11:04:28 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bunge la Marekani lapitisha hatua ya kupunguza mamlaka ya vita ya Trump dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138872-bunge_la_marekani_lapitisha_hatua_ya_kupunguza_mamlaka_ya_vita_ya_trump_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby6add70225b2pj02.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138872-bunge_la_marekani_lapitisha_hatua_ya_kupunguza_mamlaka_ya_vita_ya_trump_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha azimio linalolenga kupunguza mamlaka ya vita ya Rais Donald Trump kuhusiana na Iran, ikiwa ni ishara ya changamoto kubwa kwa jinsi utawala wa Trump unavyoshughulikia uchokozi wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.</description>
      <pubDate>Thu, 04 Jun 2026 03:34:26 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watetezi haki za binadamu: NBA ikomeshe ushirikiano na UAE katika mauaji ya halaiki Sudan</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138858-watetezi_haki_za_binadamu_nba_ikomeshe_ushirikiano_na_uae_katika_mauaji_ya_halaiki_sudan</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby17c56952af2piws.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138858-watetezi_haki_za_binadamu_nba_ikomeshe_ushirikiano_na_uae_katika_mauaji_ya_halaiki_sudan </guid>  
      <description>Watetezi wa haki za binadamu wamekitaka Chama cha Kitaifa cha Mpira wa Kikapu cha Marekani (NBA) kukomesha ushirikiano wake na Umoja wa Falme za Kiarabuu (UAE), wakisema uhusiano wa ligi hiyo na Abu Dhabi unaikingia kifua nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi kutokana na kulaaniwa vikali kwa kuhusika kwake katika vita ndani nchini Sudan.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 13:15:01 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Shirikisho la Soka la Norway laiomba FIFA kuchunguza tuzo ya amani ya Trump</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138844-shirikisho_la_soka_la_norway_laiomba_fifa_kuchunguza_tuzo_ya_amani_ya_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8ed59aee1b2pire.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138844-shirikisho_la_soka_la_norway_laiomba_fifa_kuchunguza_tuzo_ya_amani_ya_trump </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka la Norway (NFF) lilisema jana Jumanne kwamba limeiomba kamati ya maadili ya FIFA kuchunguza tuzo ya amani iliyotolewa na baraza linalosimamia soka duniani kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.</description>
      <pubDate>Wed, 03 Jun 2026 04:08:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Lengo la Marekani kutokana na siasa zake zenye mgongano katika eneo la Asia-Pasifiki</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138836-lengo_la_marekani_kutokana_na_siasa_zake_zenye_mgongano_katika_eneo_la_asia_pasifiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby1bbdb92caa2pima.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138836-lengo_la_marekani_kutokana_na_siasa_zake_zenye_mgongano_katika_eneo_la_asia_pasifiki </guid>  
      <description>Waziri wa Vita wa Marekani amesema katika mkutano wa Shangri-La huko Singapore kwamba Washington inatarajia washirika wake wa Asia waongeze matumizi yao ya kijeshi na ulinzi hadi asilimia 3.5 ya Pato lao la Taifa.</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 10:06:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Bei ya mafuta duniani yapanda huku majeshi ya Israel yakisonga ndani zaidi kusini mwa Lebanon</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138818-bei_ya_mafuta_duniani_yapanda_huku_majeshi_ya_israel_yakisonga_ndani_zaidi_kusini_mwa_lebanon</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby51881ffd892pihq.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138818-bei_ya_mafuta_duniani_yapanda_huku_majeshi_ya_israel_yakisonga_ndani_zaidi_kusini_mwa_lebanon </guid>  
      <description>Bei ya mafuta duniani yapanda huku majeshi ya Israel yakisonga ndani zaidi kusini mwa Lebanon</description>
      <pubDate>Tue, 02 Jun 2026 02:58:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Je, ni vipi Ulaya imekuwa mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138802-je_ni_vipi_ulaya_imekuwa_mshirika_wa_jinai_za_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbye8006f09ae2pidc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138802-je_ni_vipi_ulaya_imekuwa_mshirika_wa_jinai_za_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Jürgen Todenhofer, mwanasiasa na mjumbe wa zamani wa bunge la Ujerumani, amesema: "Umoja wa Ulaya na serikali ya Ujerumani zinahusika moja kwa moja katika maangamizi makubwa ya watu wa Palestina." </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 10:03:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mwanasiasa wa Ujerumani: EU ni mshirika katika ugaidi wa kimfumo wa Israel</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138790-mwanasiasa_wa_ujerumani_eu_ni_mshirika_katika_ugaidi_wa_kimfumo_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby23614602702pi64.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138790-mwanasiasa_wa_ujerumani_eu_ni_mshirika_katika_ugaidi_wa_kimfumo_wa_israel </guid>  
      <description>Mwanasiasa wa Ujerumani na mbunge wa zamani wa bunge la nchi hiyo amekosoa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema: "Walowezi wa Kizayuni wanafanya ugaidi wa kimfumo dhidi ya Wapalestina, na serikali ya Ujerumani na Umoja wa Ulaya wanashiriki katika uhalifu huo kwa kunyamaza kimya."</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 03:20:15 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>WHO: Uvutaji sigara unahatarisha afya ya watu bilioni 1.2 duniani kote</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138788-who_uvutaji_sigara_unahatarisha_afya_ya_watu_bilioni_1.2_duniani_kote</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby8823b51a432pi60.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138788-who_uvutaji_sigara_unahatarisha_afya_ya_watu_bilioni_1.2_duniani_kote </guid>  
      <description>Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza takwimu za kutisha na za kusikitisha kuhusu hatari ya uvutaji sigara, kwa mnasaba wa madhimisho ya kila mwaka ya Siku ya Kupiga Vita Tumbaku Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 31. </description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:51:16 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkaguzi mkuu wa magereza Ufaransa: Hali ya magereza nchini ni "mbaya, ya aibu na ya majanga"</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138784-mkaguzi_mkuu_wa_magereza_ufaransa_hali_ya_magereza_nchini_ni_mbaya_ya_aibu_na_ya_majanga</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cby50fb89566d2pi5w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138784-mkaguzi_mkuu_wa_magereza_ufaransa_hali_ya_magereza_nchini_ni_mbaya_ya_aibu_na_ya_majanga </guid>  
      <description>Wizara ya Sheria ya Ufaransa imetangaza kwamba idadi ya wafungwa nchini humo imefikia zaidi ya watu 88,600, ambayo ni kubwa zaidi kuwahi kurekodiwa katika historia ya nchi hiyo.</description>
      <pubDate>Mon, 01 Jun 2026 02:42:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Umoja wa Wanazuoni Waislamu: Kuanzisha uhusiano na Israel kuna madhara kwa nchi za Kiislamu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138778-umoja_wa_wanazuoni_waislamu_kuanzisha_uhusiano_na_israel_kuna_madhara_kwa_nchi_za_kiislamu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxb855168ef52pi24.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138778-umoja_wa_wanazuoni_waislamu_kuanzisha_uhusiano_na_israel_kuna_madhara_kwa_nchi_za_kiislamu </guid>  
      <description>Umoja wa Wasomi wa Kiislamu Duniani umetangaza upinzani wake kamili kwa tishio lolote linaloelekezwa kwa nchi za Kiislamu au mataifa yao kutoka upande wowote ule, na kuonya kuhusu matokeo mabaya ya kunzisha uhusiano na utawala wa Tel Aviv. </description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:55:41 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Simulizi la Wall Street Journal kuhusu vita vya Marekani dhidi ya Iran: Ni ushindi wa kimaonyesho wa Trump au kushindwa halisi?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138776-simulizi_la_wall_street_journal_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ushindi_wa_kimaonyesho_wa_trump_au_kushindwa_halisi</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9abb6c05812pi0c.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138776-simulizi_la_wall_street_journal_kuhusu_vita_vya_marekani_dhidi_ya_iran_ni_ushindi_wa_kimaonyesho_wa_trump_au_kushindwa_halisi </guid>  
      <description>Mhariri mkuu wa Wall Street Journal amesema: "Trump analazimika kudhihirisha kushindwa kwake mbele ya Iran kama ushindi ili kulinda sura na hadhi yake."</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 12:52:13 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Utafiti: Wamarekani wengi wanasumbuliwa na njaa kuliko wakati wa janga la Covid-19</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138766-utafiti_wamarekani_wengi_wanasumbuliwa_na_njaa_kuliko_wakati_wa_janga_la_covid_19</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0d62f5c6de2phwk.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138766-utafiti_wamarekani_wengi_wanasumbuliwa_na_njaa_kuliko_wakati_wa_janga_la_covid_19 </guid>  
      <description>Utafiti wa Benki ya Hifadhi ya Shirikisho ya New York unaonyesha kwamba karibu 10% ya kaya zinaripoti kutokula chakula kutokana na kupanda kwa gharama na matatizo ya kifedha.</description>
      <pubDate>Sun, 31 May 2026 04:25:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa nini makubaliano yoyote na Iran ni fedheha kwa Trump?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138726-kwa_nini_makubaliano_yoyote_na_iran_ni_fedheha_kwa_trump</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2cabd475922phg2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138726-kwa_nini_makubaliano_yoyote_na_iran_ni_fedheha_kwa_trump </guid>  
      <description>Kadiri uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Marekani na Iran unavyoongezeka, waandishi wa habari na wachambuzi mashuhuri wa Marekani wanatoa maoni yao kwa uwazi zaidi kuhusu kushindwa Trump na Netanyahu kutimiza matakwa yao katika mashambulio ya kijeshi dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 12:45:03 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>CNN: Trump amezitishia au kuzishambulia nchi 15 akiwa madarakani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138710-cnn_trump_amezitishia_au_kuzishambulia_nchi_15_akiwa_madarakani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx456282cbab2pha4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138710-cnn_trump_amezitishia_au_kuzishambulia_nchi_15_akiwa_madarakani </guid>  
      <description>Ripoti ya televisheni ya CNN imeeleza kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amezitishia, ameeleza wazi uwezekano wa kufanya mashambulizi au amezishambulia nchi 15 katika mihula yake miwili ya uongozi; yaani kwa mahesabu ya haraka amefanya hivyo kwa nchi moja kati ya kila nchi 13 duniani. </description>
      <pubDate>Fri, 29 May 2026 03:07:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Marekani yarejesha vikwazo dhidi ya Ripota Maalumu wa UN kwa kufichua mauaji ya kimbari ya Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138698-marekani_yarejesha_vikwazo_dhidi_ya_ripota_maalumu_wa_un_kwa_kufichua_mauaji_ya_kimbari_ya_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2850663f032ph3k.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138698-marekani_yarejesha_vikwazo_dhidi_ya_ripota_maalumu_wa_un_kwa_kufichua_mauaji_ya_kimbari_ya_israel </guid>  
      <description>Marekani imemuwekea tena vikwazo Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu kwa sababu tu ya kufichua mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza.</description>
      <pubDate>Thu, 28 May 2026 10:41:18 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title> Russia yaunga mkono msukumo wa Afrika wa kudai fidia kutoka kwa madola ya kikoloni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138658-russia_yaunga_mkono_msukumo_wa_afrika_wa_kudai_fidia_kutoka_kwa_madola_ya_kikoloni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx167b41ddad2pgqu.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138658-russia_yaunga_mkono_msukumo_wa_afrika_wa_kudai_fidia_kutoka_kwa_madola_ya_kikoloni </guid>  
      <description>Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema nchi yake inaunga mkono msukumo wa Afrika wa kutaka fidia kutoka kwa madola ya kikoloni. Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Afrika mjini Moscow, Lavrov amesema suala hilo ni sehemu ya mapambano mapana dhidi ya ukoloni mambo-leo.</description>
      <pubDate>Wed, 27 May 2026 03:12:44 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mahujaji wanasimama Arafa leo kutekeleza nguzo muhimu ya Hija</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138640-mahujaji_wanasimama_arafa_leo_kutekeleza_nguzo_muhimu_ya_hija</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxaa8567115d2pghi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138640-mahujaji_wanasimama_arafa_leo_kutekeleza_nguzo_muhimu_ya_hija </guid>  
      <description>Mamilioni ya Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, Al Kaaba, leo wanasimama katika uwanja wa Arafa katika kilele cha ibada tukufu ya Hija.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 03:29:04 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Papa Leo aomba radhi kutokana na nafasi ya Kanisa Katoliki katika biashara ya utumwa ya kuvuka Bahari ya Atlantiki </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138638-papa_leo_aomba_radhi_kutokana_na_nafasi_ya_kanisa_katoliki_katika_biashara_ya_utumwa_ya_kuvuka_bahari_ya_atlantiki</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa99641f5d52pghg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138638-papa_leo_aomba_radhi_kutokana_na_nafasi_ya_kanisa_katoliki_katika_biashara_ya_utumwa_ya_kuvuka_bahari_ya_atlantiki </guid>  
      <description>Katika hatua ya kihistoria, Papa Leo wa XIV Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameomba radhi kutokana nafasi ya Baraza Kuu la Uongozi wa Kanisa Katoliki na Vatican la kuhalalisha utumwa na kushindwa kulaani suala hilo kwa karne kadhaa. </description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 03:06:02 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>John Mearsheimer: Hakuna nguvu duniani yenye uwezo wa kuishinda Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138634-john_mearsheimer_hakuna_nguvu_duniani_yenye_uwezo_wa_kuishinda_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9a2dc053f92pge0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138634-john_mearsheimer_hakuna_nguvu_duniani_yenye_uwezo_wa_kuishinda_iran </guid>  
      <description>Profesa wa sayansi ya siasa na mtaalamu wa nadharia ya mahusiano ya kimataifa amesema kuwa: Wakati Marekani na Israel zimeshindwa kuishinda Iran kwa kutumia nguvu zao zote, katika kipindi cha siku 40 za mashambulizi ya anga, hakuna nguvu nyingine duniani yenye uwezo wa kufanya hivyo.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 02:54:53 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Rais wa China aunga mkono diplomasia ya amani kati ya Iran na Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138632-rais_wa_china_aunga_mkono_diplomasia_ya_amani_kati_ya_iran_na_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx516afe56e62pghc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138632-rais_wa_china_aunga_mkono_diplomasia_ya_amani_kati_ya_iran_na_marekani </guid>  
      <description>Katika kikao chake na Waziri Mkuu na Mkuu wa Majeshi wa Pakistan, Rais wa China amesisitiza uungaji mkono wa Beijing kwa upatanishi wa Islamabad na diplomasia inayoendelea katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ajili ya amani, akitolea mfano ziara ya hivi karibuni ya Asim Munir, Mkuu wa Majeshi wa Pakistan jijini Tehran.</description>
      <pubDate>Tue, 26 May 2026 02:52:57 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>El Baradei: Mwendawazimu Trump anatafuta njia ya kujiondoa kwenye vita dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138610-el_baradei_mwendawazimu_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_kwenye_vita_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa147c974aa2pgd6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138610-el_baradei_mwendawazimu_trump_anatafuta_njia_ya_kujiondoa_kwenye_vita_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mkuu wa zamani wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ametangaza kuwa mtu mmoja mwendawazimu alianzisha vita dhidi ya Iran na sasa anatafuta njia ya kujiondoa vitani.</description>
      <pubDate>Mon, 25 May 2026 09:14:30 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu za kuongezeka mgawanyiko barani Ulaya kuhusu utawala wa Kizayuni</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138596-sababu_za_kuongezeka_mgawanyiko_barani_ulaya_kuhusu_utawala_wa_kizayuni</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx1af6f892552pg40.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138596-sababu_za_kuongezeka_mgawanyiko_barani_ulaya_kuhusu_utawala_wa_kizayuni </guid>  
      <description>Mbali na maoni ya wananchi, baadhi ya wabunge wa Bunge la Ulaya pia wameutaka Umoja wa Ulaya uchukue hatua kali dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na viongozi wake.</description>
      <pubDate>Sun, 24 May 2026 07:35:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Sababu ya kujiuzulu Mkurugenzi wa Intelijensia ya Kitaifa wa Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138580-sababu_ya_kujiuzulu_mkurugenzi_wa_intelijensia_ya_kitaifa_wa_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf03593279f2pfxc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138580-sababu_ya_kujiuzulu_mkurugenzi_wa_intelijensia_ya_kitaifa_wa_marekani </guid>  
      <description>Kuibuka kwa baadhi ya tofauti kati ya Rais wa Marekani na mkuu wa jumuiya ya ujasusi ya nchi hiyo kumezua shaka kuwa kujiuzulu kwa Tulsi Gabbard kulitokana na sababu za kisiasa.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 13:17:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mkuu wa ujasusi wa Trump ajiuzulu kwa mashinikizo ya White House kuhusu vita haramu dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138564-mkuu_wa_ujasusi_wa_trump_ajiuzulu_kwa_mashinikizo_ya_white_house_kuhusu_vita_haramu_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxe26dc3035c2pfqa.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138564-mkuu_wa_ujasusi_wa_trump_ajiuzulu_kwa_mashinikizo_ya_white_house_kuhusu_vita_haramu_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Mkurugenzi wa Ujasusi wa Kitaifa (DNI) wa Rais wa Marekani, Donald Trump, Tulsi Gabbard, amejiuzulu kutokana na shinikizo kubwa la Ikulu ya White House baada ya kupinga vikali vita haramu na vya uchokozi vya Marekani dhidi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 03:05:17 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia: Suala la nyuklia linaweza kutatuliwa kwa kuzingatia maslahi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138558-russia_suala_la_nyuklia_linaweza_kutatuliwa_kwa_kuzingatia_maslahi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxa71ad3b9822pfpw.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138558-russia_suala_la_nyuklia_linaweza_kutatuliwa_kwa_kuzingatia_maslahi_ya_iran </guid>  
      <description>Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, anasema kwamba mgogoro unaoendelezwa na Marekani kuhusu suala la nyuklia la Iran unaweza tu kutatuliwa kwa njia za kidiplomasia na kwa kutilia maanani maslahi ya Iran.</description>
      <pubDate>Sat, 23 May 2026 02:41:09 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viwango vya Undumakuwili wa Ulaya; Kwa Nini Jinai za Israel Zinanyamaziwa Kimya?</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138556-viwango_vya_undumakuwili_wa_ulaya_kwa_nini_jinai_za_israel_zinanyamaziwa_kimya</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2e366c1c742pfos.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138556-viwango_vya_undumakuwili_wa_ulaya_kwa_nini_jinai_za_israel_zinanyamaziwa_kimya </guid>  
      <description>Hatua ya utawala wa Kizayuni ya kukamata meli 50 zilizokuwa zimebeba wanaharakati 428 wa haki za binadamu na misaada ya kibinadamu kutoka nchi 44 kwa ajili ya Wapalestina wanaozingirwa na utawala huo huko Gaza katika bahari ya Mediterania imeibua wimbi la hasira na chuki dhidi ya Wazayuni. </description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 15:42:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>San Diego yaaga wahanga wa shambulizi dhidi ya Kituo cha Kiislamu katika mazishi ya heshima</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138552-san_diego_yaaga_wahanga_wa_shambulizi_dhidi_ya_kituo_cha_kiislamu_katika_mazishi_ya_heshima</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5561c5e6f92pfoo.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138552-san_diego_yaaga_wahanga_wa_shambulizi_dhidi_ya_kituo_cha_kiislamu_katika_mazishi_ya_heshima </guid>  
      <description>Zaidi ya watu 2,000 walihudhuria mazishi yaliyofanyika jana Alhamisi ya wahanga watatu wa shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko San Diego, California, huku kukiwa na huzuni kubwa zilizoandamana na pongezi kwa kujitolea wahanga hao waliowalinda watoto zaidi ya 140 waliokuwa ndani ya shule ya kituo hicho.</description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 15:04:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Wakazi wa Roma, Italia waandamana kuonesha mshikamano na Palestina</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138548-wakazi_wa_roma_italia_waandamana_kuonesha_mshikamano_na_palestina</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx94a929e1a82pfoe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138548-wakazi_wa_roma_italia_waandamana_kuonesha_mshikamano_na_palestina </guid>  
      <description>Duru za habari zimeripoti kuwa, idadi kubwa ya raia wanaopiga dhulma na ukandamizaji duniani na waungaji mkono wa mapambano ya ukombozi wa Palestina wameandamana huko Roma mji mkuu wa Italia kulalamikia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msafara wa kimataifa kwa jina la The Global Sumud Flotilla kwa lengo la kuvunja mzingiro haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.  </description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 14:52:33 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Maonyesho ya "Kisiwa cha Dhambi" yafanyika Magharibi mwa Kabul </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138538-maonyesho_ya_kisiwa_cha_dhambi_yafanyika_magharibi_mwa_kabul</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx07c58d48042pfl6.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138538-maonyesho_ya_kisiwa_cha_dhambi_yafanyika_magharibi_mwa_kabul </guid>  
      <description>Maonyesho maalumu ya yanayodhihirisha uhalifu wa nchi za kibeberu pamoja na kashfa za kingono za viongozi wa nchi za Magharibi yaliyopewa jina "Kisiwa cha Dhambi" yanafanyika magharibi mwa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.</description>
      <pubDate>Fri, 22 May 2026 04:15:54 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Ujumbe wa safari ya Rais Putin nchini China kwa ulimwengu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138530-ujumbe_wa_safari_ya_rais_putin_nchini_china_kwa_ulimwengu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3c7aaf7e252pfi2.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138530-ujumbe_wa_safari_ya_rais_putin_nchini_china_kwa_ulimwengu </guid>  
      <description>Siku nne tu baada ya kufanyika safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini China, Rais Xi Jinping wa nchi hiyo amemkaribisha kwa shangwe Rais Vladimir Putin wa Russia mjini Beijing.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 13:36:45 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Iran: UNSC Iivunje ukimya kuhusu vitisho vya Marekani na uhalifu wa kivita</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138526-iran_unsc_iivunje_ukimya_kuhusu_vitisho_vya_marekani_na_uhalifu_wa_kivita</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx3a5d922cd62pfh0.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138526-iran_unsc_iivunje_ukimya_kuhusu_vitisho_vya_marekani_na_uhalifu_wa_kivita </guid>  
      <description>Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama livunje ukimya wake kuhusu vitisho vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa kimfumo wa sheria za kimataifa za kibinadamu uliofanyika wakati wa vita haramu vya hivi karibuni.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 13:07:36 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Putin na Xi walaani vita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138512-putin_na_xi_walaani_vita_vya_uchokozi_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxdd295430d62pfda.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138512-putin_na_xi_walaani_vita_vya_uchokozi_vya_marekani_na_israel_dhidi_ya_iran </guid>  
      <description>Rais wa Russia, Vladimir Putin, na mwenzake wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping, wamekemea kwa pamoja vita vya hivi karibuni vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakisisitiza kwamba njia pekee ya kumaliza mzozo huo unaotishia uthabiti wa kanda ni kupitia mazungumzo na diplomasia.</description>
      <pubDate>Thu, 21 May 2026 04:32:47 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Viongozi wa China na Russia: Tunafanya kazi ili kuasisi utaratibu wa kiadilifu na haki zaidi duniani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138502-viongozi_wa_china_na_russia_tunafanya_kazi_ili_kuasisi_utaratibu_wa_kiadilifu_na_haki_zaidi_duniani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx9384ff5de12pfa4.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138502-viongozi_wa_china_na_russia_tunafanya_kazi_ili_kuasisi_utaratibu_wa_kiadilifu_na_haki_zaidi_duniani </guid>  
      <description>Viongozi wa China na Russia wamesisitiza mwanzoni mwa mazungumzo yao kuhusu azimio la pamoja la nchi hizo mbili la kuasisi utaratibu wa haki zaidi wa kimataifa na ulimwengu wa kambi kadhaa. </description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 11:06:34 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138488-russia_yaanza_mazoezi_ya_nyuklia_ya_siku_3_huku_putin_akitarajiwa_nchini_china_kwa_ziara_ya_siku_mbili</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5902e7a4a22pf4w.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138488-russia_yaanza_mazoezi_ya_nyuklia_ya_siku_3_huku_putin_akitarajiwa_nchini_china_kwa_ziara_ya_siku_mbili </guid>  
      <description>Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya siku mbili.</description>
      <pubDate>Wed, 20 May 2026 03:01:19 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Watu watano wauawa katika shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko California</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138476-watu_watano_wauawa_katika_shambulio_dhidi_ya_msikiti_na_kituo_cha_kiislamu_huko_california</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxf248b69dee2pf12.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138476-watu_watano_wauawa_katika_shambulio_dhidi_ya_msikiti_na_kituo_cha_kiislamu_huko_california </guid>  
      <description>Polisi wa San Diego huko California nchini Marekani wametangaza kwamba watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga kituo cha Kiislamu cha mji huo, wakiwemo washambuliaji wawili.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 12:34:46 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kwa Nini Ndoto ya Marekani ya Kuwa Nchi ya Fursa Imeyoyoma? </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138470-kwa_nini_ndoto_ya_marekani_ya_kuwa_nchi_ya_fursa_imeyoyoma</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxfa05eb8f142pezg.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138470-kwa_nini_ndoto_ya_marekani_ya_kuwa_nchi_ya_fursa_imeyoyoma </guid>  
      <description>Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema, kutokana na “hali ya kijamii” ya Marekani inayozidi kuwa mbaya, haitazami tena nchi hiyo kwa jicho la mahala pa kuwashauri watoto wake wakasome au kufanya kazi. </description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 09:39:20 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Uchunguzi wa Washington Post kuhusu mashambulio ya Iran kwenye vituo 228 vya kijeshi vya Marekani </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138464-uchunguzi_wa_washington_post_kuhusu_mashambulio_ya_iran_kwenye_vituo_228_vya_kijeshi_vya_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx764065ff812pery.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138464-uchunguzi_wa_washington_post_kuhusu_mashambulio_ya_iran_kwenye_vituo_228_vya_kijeshi_vya_marekani </guid>  
      <description>Mwandishi wa habari mpelelezi wa gazeti la Washington Post amechapishwa maelezo kuhusu mashambulizi ya Iran kwenye taasisi na zana 228 za kijeshi za Marekani katika Ghuba ya Uajemi.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 05:44:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Muigizaji wa Kihispania: Simulizi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya watu wa Gaza inabadilika</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138462-muigizaji_wa_kihispania_simulizi_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_dhidi_ya_watu_wa_gaza_inabadilika</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx760aafd7b52pewi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138462-muigizaji_wa_kihispania_simulizi_kuhusu_mauaji_ya_kimbari_ya_israel_dhidi_ya_watu_wa_gaza_inabadilika </guid>  
      <description>Muigizaji maarufu wa Kihispania amesema kando ya Tamasha la Filamu la Cannes kwamba: Licha ya kampeni yake ya hadharani dhidi ya vita vya Israel na mauaji ya kimbari ya utawala huo huko Gaza, Palestina, anafanya kazi zaidi kuliko hapo awali, na hii ina maana ya kubadilika simulizi kuhusu vita vya Gaza.</description>
      <pubDate>Tue, 19 May 2026 04:11:24 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Cuba yasisitiza haki yake ya kujilinda kufuatia tishio la hujuma ya kijeshi kutoka Marekani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138446-cuba_yasisitiza_haki_yake_ya_kujilinda_kufuatia_tishio_la_hujuma_ya_kijeshi_kutoka_marekani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx7b6494502e2pese.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138446-cuba_yasisitiza_haki_yake_ya_kujilinda_kufuatia_tishio_la_hujuma_ya_kijeshi_kutoka_marekani </guid>  
      <description>Balozi wa Cuba katika Umoja wa Mataifa amesisitiza haki ya nchi yake kujilinda dhidi ya uwezekano wowote wa uvamizi wa kijeshi kutoka Marekani, kwa mujibu wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 11:50:14 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>FIFA yafanya mazungumzo “chanya” na Iran Kabla ya Kombe la Dunia 2026</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138442-fifa_yafanya_mazungumzo_chanya_na_iran_kabla_ya_kombe_la_dunia_2026</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx5fe54313f82peoi.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138442-fifa_yafanya_mazungumzo_chanya_na_iran_kabla_ya_kombe_la_dunia_2026 </guid>  
      <description>Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limesema mazungumzo ya hivi karibuni na maafisa wa soka wa Iran yalikuwa chanya na yenye kujenga, huku maandalizi ya kuelekea Kombe la Dunia la 2026 yakiendelea.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:40:23 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>ICC yatoa hati “za siri” za kukamatwa kwa maafisa watano wa Israel </title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138436-icc_yatoa_hati_za_siri_za_kukamatwa_kwa_maafisa_watano_wa_israel</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx2708388a892peoc.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138436-icc_yatoa_hati_za_siri_za_kukamatwa_kwa_maafisa_watano_wa_israel </guid>  
      <description>Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yenye makao yake The Hague imeripotiwa kutoa hati tano za “siri” za kukamatwa kwa maafisa wa utawala wa Israel, wakiwemo wanasiasa watatu na maafisa wawili wa kijeshi.</description>
      <pubDate>Mon, 18 May 2026 04:29:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Mzimu wa Khashoggi bado unamwandama Bin Salman; Mahakama ya Ufaransa yaidhinisha uchunguzi kuhusu mauaji yake</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138420-mzimu_wa_khashoggi_bado_unamwandama_bin_salman_mahakama_ya_ufaransa_yaidhinisha_uchunguzi_kuhusu_mauaji_yake</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbx0b69df0b912pefe.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138420-mzimu_wa_khashoggi_bado_unamwandama_bin_salman_mahakama_ya_ufaransa_yaidhinisha_uchunguzi_kuhusu_mauaji_yake </guid>  
      <description>Jaji wa Ufaransa atachunguza mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi mwaka 2018 kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu dhidi ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:45:27 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Jeffrey Sachs: Walioishambulia Iran wanapasa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138416-jeffrey_sachs_walioishambulia_iran_wanapasa_kuarifishwa_kama_pande_zilizoshindwa_vitani</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxed7aad6c1e2pef8.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138416-jeffrey_sachs_walioishambulia_iran_wanapasa_kuarifishwa_kama_pande_zilizoshindwa_vitani </guid>  
      <description>Mchumi mashuhuri wa Marekani, anaamini kuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa, walioanzisha mashambulizi dhidi ya Iran wanapaswa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani; wamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na wanawajibika kwa uharibifu na matokeo ya vita walivyovianzisha.</description>
      <pubDate>Sun, 17 May 2026 02:38:52 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
      <item>
      <title>Kiongozi wa Wachache wa Seneti ya Marekani: Safari ya Trump nchini China Ilikuwa fedheha tupu</title>
      <link>https://parstoday.ir/sw/news/world-i138402-kiongozi_wa_wachache_wa_seneti_ya_marekani_safari_ya_trump_nchini_china_ilikuwa_fedheha_tupu</link>
      <image>https://media.parstoday.ir/image/4cbxc7a3d021bd2peba.jpg</image>
      <guid isPermaLink="true"> https://parstoday.ir/sw/news/world-i138402-kiongozi_wa_wachache_wa_seneti_ya_marekani_safari_ya_trump_nchini_china_ilikuwa_fedheha_tupu </guid>  
      <description>Chuck Schumer, Kiongozi wa Wachache katika Seneti ya Marekani, amesema kwamba safari ya Rais Donald Trump nchini China haikuwa na mafanikio yoyote kwa watu wa Marekani na ilikuwa fedheha kamili.</description>
      <pubDate>Sat, 16 May 2026 12:05:25 GMT</pubDate>
      <content:encoded xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"/>
    </item>
  
</channel>

</rss>