• Nafasi ya Mapinduzi ya Kiislamu katika kuleta umoja katika umma wa Kiislamu + SAUTI

    Nafasi ya Mapinduzi ya Kiislamu katika kuleta umoja katika umma wa Kiislamu + SAUTI

    Feb 09, 2016 08:57

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Karibuni wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki kingine maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho Alfajiri Kumi ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Leo tutajaribu kuangazia nafasi ya mapinduzi hayo katika kuleta umoja na mshikamano katika umma wa Kiislamu tukiwa na matumaini mtakuwa nasi hadi mwisho wa makala hii.

  • Matamshi ya Kiongozi Muadhamu katika mkutano na maafisa wa Jeshi la Anga

    Matamshi ya Kiongozi Muadhamu katika mkutano na maafisa wa Jeshi la Anga

    Feb 09, 2016 07:38

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, siku ya Jumatatu alikutana na makamanda na maafisa wa Jeshi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Februari 11 Bahman na uchaguzi ujao wa Februari 26 ni Idi mbili zenye maana kwa taifa la Iran.

  • Mapinduzi ya Kiislamu na moyo wa kujiamini

    Mapinduzi ya Kiislamu na moyo wa kujiamini

    Feb 08, 2016 18:20

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya makala hizi maalumu zinazokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Ni matumaini yetu kwamba mtaendelea kuwa kando ye redio zenu kusikiliza tuliyokuandalieni.

  • Mapinduzi ya Kiislamu na Sanaa ya Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu na Sanaa ya Kiislamu

    Feb 07, 2016 08:53

    Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza kipindi kingine maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran. Kipindi hiki kinakujieni moja kwa moja kupitia Idhaa ya Kiswahili, Saut ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mchango wa Iran katika kuunga mkono kambi ya muqawama na kupambana na ugaidi wa kimataifa

    Mchango wa Iran katika kuunga mkono kambi ya muqawama na kupambana na ugaidi wa kimataifa

    Feb 07, 2016 08:42

    Assalamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nami katika mfululizo mwengine wa vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ambapo leo tutazungumzia Mchango wa Iran katika kuunga mkono kambi ya muqawama na kupambana na ugaidi wa kimataifa. Endeleeni kuwa nami hadi mwisho wa kipindi kusikiliza niliyokuandalieni katika mfululizo huu.

  • Nafasi ya msikiti wakati wa kutokea Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Nafasi ya msikiti wakati wa kutokea Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Feb 07, 2016 08:31

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji popote pale yanapokufikieni matangazo haya ya Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hususan huko nyumbani AfrikaMashariki. Ninakukaribisheni mjiunge nami katika kipindi hiki maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa masiku haya adhimu ya kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran uliopatikana mwaka 1979 kwa uongozi wa hekima na busara wa Imam Ruhullah Musawi al-Khomeini (r.a).

  • Fikra ya Mapinduzi ya Kiislamu mkabala na fikra ya Ukufurishaji na Utovu wa kufikiri

    Fikra ya Mapinduzi ya Kiislamu mkabala na fikra ya Ukufurishaji na Utovu wa kufikiri

    Feb 06, 2016 13:04

    Assalamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nami katika mfululizo huu wa vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ambapo leo tutazungumzia Fikra ya Mapinduzi ya Kiislamu mkabala na fikra ya Ukufurishaji na ya Utovu wa kufikiri. Endeleeni kuwa nami hadi mwisho wa kipindi kusikiliza niliyokuandalieni katika mfululizo huu.

  • Taathira ya Mapinduzi ya Kiislamu katika Hali ya Wanawake Kimataifa

    Taathira ya Mapinduzi ya Kiislamu katika Hali ya Wanawake Kimataifa

    Feb 06, 2016 11:24

    Tuko katika siku za kukaribia kilele cha maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu; mapinduzi ambayo yameweza kuleta mabadiliko makubwa katika nyuga zote hasa katika masuala ya kiutamaduni, kijamii na kisiasa.

  • Imam Khomeini na kubadilishwa fikra ya mwamko wa Kiislamu kuwa mwenendo wa Kisiasa

    Imam Khomeini na kubadilishwa fikra ya mwamko wa Kiislamu kuwa mwenendo wa Kisiasa

    Feb 03, 2016 07:20

    Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran kwa uongozi wa Imam Khomeini (MA) na kuanzishwa kwa serikali iliyosimama juu ya msingi wa mafundisho ya Uislamu halisi, ulifungua ukurasa mpya katika ulimwengu wa siasa.