Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais wa Iran

  • Mahasimu wa kisiasa nchini Libya waafikiana kuhusu tarehe ya uchaguzi

    Mahasimu wa kisiasa nchini Libya waafikiana kuhusu tarehe ya uchaguzi

    May 29, 2018 14:02

    Pande hasimu za kisiasa nchini Libya zimeafikiana kuhusu kufanyika uchaguzi wa rais na wa bunge nchini humo Disemba 10 mwaka huu.

  • Amri ya Mahakama ya Katiba ya Madagascar ya kubuniwa nchini serikali ya umoja wa kitaifa

    Amri ya Mahakama ya Katiba ya Madagascar ya kubuniwa nchini serikali ya umoja wa kitaifa

    May 26, 2018 12:55

    Mahakama ya Katiba ya Madagascar imetoa amri ya kubuniwa serikali mpya ya umoja wa kitaifa kwa ajili ya kumaliza mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Kutangazwa matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq na matukio ya kisiasa ya nchi hiyo

    Kutangazwa matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq na matukio ya kisiasa ya nchi hiyo

    May 20, 2018 02:21

    Muungano wa As- Sairun unaoongozwa na Muqtada Sadr umeibuka mshindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni nchini Iraq kwa kupata viti 54 vya uwakilishi bungeni huku muungano wa Fat-h unaoongozwa na Hadi al Amiri Katibu Mkuu wa Taasisi ya Badr ukinyakua viti 47 na muungano wa An- Nasr unaoongozwa na Waziri Mkuu Haidari al Abadi ukipata viti 42.

  • Orodha ya al Abadi inaongoza katika uchaguzi Iraq; matokeo ya awali yaonyesha

    Orodha ya al Abadi inaongoza katika uchaguzi Iraq; matokeo ya awali yaonyesha

    May 13, 2018 15:44

    Duru kutoka katika Tume Kuu Huru ya Uchaguzi ya Iraq leo imearifu kuwa orodha ya al Nasr yenye mfungamano na Haidar al Abadi Waziri Mkuu wa nchi hiyo inaongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge yaliyotangazwa hadi sasa.

  • Nabih Berri: Umoja wa Kitaifa ndiyo matunda halisi ya uchaguzi wa bunge Lebanon

    Nabih Berri: Umoja wa Kitaifa ndiyo matunda halisi ya uchaguzi wa bunge Lebanon

    May 07, 2018 15:21

    Spika wa Bunge la Lebanon amesisitiza baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge nchini humo kwamba: Umoja wa kitaifa ndiyo matunda na mafaniko halisi ya uchaguzi wa bunge; ambayo yamepatikana kufuatia sheria mpya ya uchaguzi.

  • Chama cha Kiislamu cha al Nahdha chadai kushinda uchaguzi Tunisia, matokeo rasmi kutangazwa Mei 9

    Chama cha Kiislamu cha al Nahdha chadai kushinda uchaguzi Tunisia, matokeo rasmi kutangazwa Mei 9

    May 07, 2018 15:12

    Chama chenye mielekeo ya Kiislamu cha al Nahdha kimedai kuwa kimeshinda katika uchaguzi wa mabaraza ya miji uliofanyika jana Jumapili nchini Tunisia.

  • Uchaguzi wa kwanza wa mabaraza ya miji Tunisia baada ya kupinduliwa dikteta wa nchi hiyo

    Uchaguzi wa kwanza wa mabaraza ya miji Tunisia baada ya kupinduliwa dikteta wa nchi hiyo

    May 06, 2018 02:33

    Uchaguzi wa kwanza wa mabaraza ya miji nchini Tunisia baada ya kujirti mapinduzi ya wananchi yaliyomg'oa madarakani dikteta wa nchi hiyo mwaka 2011 unafanyika leo Jumapili tarehe 6 Mei.

  • Maadamano ya wananchi Madagascar yailazimu mahakama kuu kufuta sheria mpya ya uchaguzi

    Maadamano ya wananchi Madagascar yailazimu mahakama kuu kufuta sheria mpya ya uchaguzi

    May 05, 2018 04:29

    Hatimaye Mahakama Kuu ya Katiba nchini Madagascar imefuta sehemu ya sheria mpya ya uchaguzi iliyoibua hivi karibuni ghasia na maandamano ya wananchi.

  • Uungaji mkono wa Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya kwa takwa la kamati ya pande nne

    Uungaji mkono wa Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya kwa takwa la kamati ya pande nne

    May 03, 2018 07:00

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imetangaza uungaji mkono wake kwa takwa la kamati ya pande nne la kuyakubali matokeo ya uchaguzi ujao katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq

    Nouri al-Maliki: Saudia inapanga njama ya kuharibu uchaguzi ujao nchini Iraq

    Apr 26, 2018 03:40

    Makamu wa Rais wa Iraq Nouri al-Maliki amesema Saudi Arabia inafanya kila iwezalo kupitia fedha na propaganda za vyombo vya habari kuharibu matokeo ya uchaguzi ujao nchini humo.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Papa ‘ashambuliwa’ kwa msimamo wake kuhusu kushambuliwa kanisa Ghaza

    Papa ‘ashambuliwa’ kwa msimamo wake kuhusu kushambuliwa kanisa Ghaza

    23 minutes ago
  • UNRWA: Israel inawatesa raia kwa njaa Ghaza, wakiwemo watoto milioni moja

  • Iran yawasilisha ripoti rasmi UN kuhusu jinai za kivita za Israel

  • Spika Qalibaf: Kizuizi kikuu cha Iran dhidi ya maadui ni umoja wa kitaifa

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel

Chaguo La Mhariri
  • Je, umewadia sasa wakati wa kuhitimishwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

    Je, umewadia sasa wakati wa kuhitimishwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?

    3 hours ago
  • Marekebisho ya Taylor Greene ya kuacha kuusaidia utawala wa Kizayuni yapingwa katika Kongresi ya Marekani

    Marekebisho ya Taylor Greene ya kuacha kuusaidia utawala wa Kizayuni yapingwa katika Kongresi ya Marekani

    11 hours ago
  •  Sababu za India kupinga sera za kindumakuwili za EU ni zipi?

    Sababu za India kupinga sera za kindumakuwili za EU ni zipi?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Wizara ya Ulinzi ya US yanakili droni ya kamikaze ya Iran

  • Kremlin: Hatuna habari kuhusu mkutano wa Putin, Trump, Xi

  • Kiongozi wa kidini wa Wadruze: Hatutaki 'himaya' ya Israel

  • Afisa wa Syria aonya: Yumkini Israel imetuvamia ili kumpindua al-Sharaa

  • Hamas: Askari zaidi wa Israel watauawa iwapo mauaji ya kimbari yataendelea Gaza

  • Syria na Israel zafikia makubaliano tete ya usitishaji vita

  • Araghchi: Iran ‘imejiandaa kikamilifu’ iwapo Israel itavunja usitishaji vita ‘dhaifu’

  • Hizbullah: Israel ilitaka kuisambaratisha Iran, lakini Tehran ikaibuka mshindi

  • Sababu za India kupinga sera za kindumakuwili za EU ni zipi?

  • Serikali ya Trump kuteketeza tani 500 za chakula, dunia ikisakamwa na njaa

  • Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni akiri kutengwa Israel duniani

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS