-
Tahadhari kuhusu njama za Marekani na Israel za kuibua mifarakano baina ya Waislamu
Feb 13, 2017 23:44Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amesema: "Maadui wa Uislamu hasa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wanatumia uwezo wao wote kuibua mifarakano katika ulimwengu wa Kiislamu."
-
Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge
Feb 13, 2017 00:50Kuwait imelaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kutoa wito wa kutaka utawala huo ufukuzwe katika Umoja wa Kimataifa wa Mabunge.
-
Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!
Feb 12, 2017 04:01Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel amewataka Wapalestina wote waondoke mara moja katika ardhi zao zilizoghusubiwa na utawala huo bandia.
-
Palestina yaendelea kutambuliwa kimataifa, Marekani yashindwa kuitetea Israel
Feb 12, 2017 03:56Pamoja na kuwa Marekani inaendelea kuunga mkono kikamilifu utawala wa Kizayuni wa Israel, gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limeandika kuwa, balozi za Palestina zinaendelea kuongezeka duniani na hata kuzishinda zile za Israel.
-
Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir
Feb 12, 2017 03:41Rekodi iliyovuja ya mazungumzo ya simu imefichua kuwa Misri iliwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kupata baraka na uungaji mkono wake kabla ya kusaini muafaka wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa vyake viwili vya Sanafir na Tiran.
-
Kushtadi jinai za Israel na mashtaka yanayoongezeka dhidi ya Netanyahu
Feb 09, 2017 03:39Jumanne ya wiki hii, Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel alisisitiza kuwa, kuitambua rasmi Israel kama “Dola la Kiyahudi” utakuwa mwanzo mpya wa amani na Wapalestina na hatua moja mbele kuelekea katika kupatikana amani katika Mashariki ya Kati.
-
UN: Israel imevuka mstari mwekundu kwa kuidhinisha ujenzi haramu
Feb 08, 2017 00:04Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Israel imekanyaga mstari mwekundu kwa kupasisha sheria ya kuhalalisha ujenzi mpya wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo wa Kizayuni.
-
Mogherini: Ujenzi wa vitongoji vya Israel ni kinyume cha sheria
Feb 07, 2017 03:35Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya alisisitiza jana huko Brussels kuwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni ni kinyume cha sheria na kwamba Umoja wa Ulaya hauafiki ujenzi huo wa vitongoji.
-
Nicaragua yakosoa kufumbiwa macho jinai za utawala wa Israel
Feb 05, 2017 11:21Serikali ya Nicaragua imekosoa vikali hatua ya kuendelea kukingiwa kifua na kutowajibishwa utawala wa Kizayuni wa Israel licha ya jinai zake za kila uchao dhidi ya Wapalestina.
-
Sisitizo la wapinzani wa Netanyahu la kujiuzulu Waziri Mkuu huyo wa Israel
Feb 05, 2017 03:50Upinzani dhidi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeongezeka sana hivi sasa. Mamia ya wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu wanaendelea kuandamana wakimshikinikiza Netanyahu ajiuzulu.