Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Tahadhari kuhusu njama za Marekani na Israel za kuibua mifarakano baina ya Waislamu

    Tahadhari kuhusu njama za Marekani na Israel za kuibua mifarakano baina ya Waislamu

    Feb 13, 2017 23:44

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amesema: "Maadui wa Uislamu hasa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wanatumia uwezo wao wote kuibua mifarakano katika ulimwengu wa Kiislamu."

  • Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge

    Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge

    Feb 13, 2017 00:50

    Kuwait imelaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kutoa wito wa kutaka utawala huo ufukuzwe katika Umoja wa Kimataifa wa Mabunge.

  • Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!

    Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!

    Feb 12, 2017 04:01

    Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel amewataka Wapalestina wote waondoke mara moja katika ardhi zao zilizoghusubiwa na utawala huo bandia.

  • Palestina yaendelea kutambuliwa kimataifa, Marekani yashindwa kuitetea Israel

    Palestina yaendelea kutambuliwa kimataifa, Marekani yashindwa kuitetea Israel

    Feb 12, 2017 03:56

    Pamoja na kuwa Marekani inaendelea kuunga mkono kikamilifu utawala wa Kizayuni wa Israel, gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limeandika kuwa, balozi za Palestina zinaendelea kuongezeka duniani na hata kuzishinda zile za Israel.

  • Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir

    Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir

    Feb 12, 2017 03:41

    Rekodi iliyovuja ya mazungumzo ya simu imefichua kuwa Misri iliwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kupata baraka na uungaji mkono wake kabla ya kusaini muafaka wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa vyake viwili vya Sanafir na Tiran.

  • Kushtadi jinai za Israel na mashtaka yanayoongezeka dhidi ya Netanyahu

    Kushtadi jinai za Israel na mashtaka yanayoongezeka dhidi ya Netanyahu

    Feb 09, 2017 03:39

    Jumanne ya wiki hii, Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel alisisitiza kuwa, kuitambua rasmi Israel kama “Dola la Kiyahudi” utakuwa mwanzo mpya wa amani na Wapalestina na hatua moja mbele kuelekea katika kupatikana amani katika Mashariki ya Kati.

  • UN: Israel imevuka mstari mwekundu kwa kuidhinisha ujenzi haramu

    UN: Israel imevuka mstari mwekundu kwa kuidhinisha ujenzi haramu

    Feb 08, 2017 00:04

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Israel imekanyaga mstari mwekundu kwa kupasisha sheria ya kuhalalisha ujenzi mpya wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo wa Kizayuni.

  • Mogherini: Ujenzi wa vitongoji vya Israel ni kinyume cha sheria

    Mogherini: Ujenzi wa vitongoji vya Israel ni kinyume cha sheria

    Feb 07, 2017 03:35

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya alisisitiza jana huko Brussels kuwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni ni kinyume cha sheria na kwamba Umoja wa Ulaya hauafiki ujenzi huo wa vitongoji.

  • Nicaragua yakosoa kufumbiwa macho jinai za utawala wa Israel

    Nicaragua yakosoa kufumbiwa macho jinai za utawala wa Israel

    Feb 05, 2017 11:21

    Serikali ya Nicaragua imekosoa vikali hatua ya kuendelea kukingiwa kifua na kutowajibishwa utawala wa Kizayuni wa Israel licha ya jinai zake za kila uchao dhidi ya Wapalestina.

  • Sisitizo la wapinzani wa Netanyahu la kujiuzulu Waziri Mkuu huyo wa Israel

    Sisitizo la wapinzani wa Netanyahu la kujiuzulu Waziri Mkuu huyo wa Israel

    Feb 05, 2017 03:50

    Upinzani dhidi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeongezeka sana hivi sasa. Mamia ya wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu wanaendelea kuandamana wakimshikinikiza Netanyahu ajiuzulu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS