-
PLO yasisitizia kupandishwa kizimbani viongozi wa utawala wa Kizayuni
Feb 04, 2017 04:07Katibu Mkuu wa kamati ya utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina ametaka viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wapandishwe kizimbani kwa jinai walizofanya ikiwemo ya ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina.
-
Kuendelea ukandamizaji wa Israel dhidi ya mateka wa Kipalestina
Feb 04, 2017 00:26Qadura Fares, Mkuu wa Klabu ya Mateka wa Kipalestina amesema kuwa, vitendo viovu wanavyofanyiwa Wapalestina hao kwa madai tofauti na kuongezeka sana jinai hizo dhidi ya mateka waKipalestina, ni mambo yanayofanyika kwa amri ya moja kwa moja ya Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Lebanon yafanikiwa kuangamiza mtandao wa kijasusi wa Israel
Jan 28, 2017 04:12Lebanon imefanikiwa kuangamiza mtandao wa kigaidi wa shirika la kijasusi la Mossad la utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wakimbizi wa Afrika huko Israel walalamikia unyanyasaji
Jan 27, 2017 10:21Mamia ya wakimbizi wa Kiafrika wamefanya maandamano nje ya Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset), kukosoa sera za kikatili na kibaguzi za Tel Aviv dhidi yao.
-
Dunia yaendelea kupinga sera za kupenda kujipanua za Israel
Jan 26, 2017 00:10Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimetoa taarifa tofauti zikilaani hatua ya Israel ya kupasisha ujenzi wa nyumba mpya 2500 za walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.
-
Glenn: Huenda Israel itafanya njama za kuuawa Trump wa US
Jan 24, 2017 04:45Mark Glenn, mchambuzi mashuhuri wa kisiasa nchini Marekani amesema yumkini serikali ya Washington ikapanga njama za kuuawa Rais mpya wa Marekani Donald Trump, iwapo hatasimamia maslahi ya Wazayuni.
-
White House: Kuhamishiwa ubalozi wa Marekani Beitul Muqaddas kungali kunachunguzwa
Jan 23, 2017 03:42Katika radiamali yake kuhusiana na kuenea habari za kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Beitul Muqaddas katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel, ikulu ya White House imesema kuwa suala hilo lingali katika hatua zake za mwanzo na kwamba bado linachunguzwa.
-
Benjamin Netanyahu azidi kuandamwa
Jan 15, 2017 03:47Mamia ya wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano ya kulaani ufisadi wa kifedha wa viongozi wa utawala huo hususan Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel, mjini Tel Aviv.
-
Fedheha na kashfa za ngono zaendelea kuutikisa utawala haramu wa Israel
Jan 13, 2017 01:21Msururu wa kashfa na fedheha za ngono unaendelea kuutikisa utawala wa kizayuni wa Isarel na kuzusha maswali mengi kuhusu maadili ya viongozi wa utawala huo baada ya wanawake wengi kujitokeza na kuanika madhila wanayofanyiwa na maafisa wa serikali au katika jeshi la Israel.
-
Syria yaapa kulipiza kisasi shambulizi la Israel dhidi ya uwanja wa ndege wa Mezzah
Jan 13, 2017 00:43Jeshi la Syria limetangaza kuwa utawala wa kizayuni wa Israel umeshambulia uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mezzah ulioko magharibi mwa mji wa Damascus na kuutahadharisha utawala huo kuhusu taathira mbaya za shambulizi hilo.