Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • PLO yasisitizia kupandishwa kizimbani viongozi wa utawala wa Kizayuni

    PLO yasisitizia kupandishwa kizimbani viongozi wa utawala wa Kizayuni

    Feb 04, 2017 04:07

    Katibu Mkuu wa kamati ya utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina ametaka viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wapandishwe kizimbani kwa jinai walizofanya ikiwemo ya ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina.

  • Kuendelea ukandamizaji wa Israel dhidi ya mateka wa Kipalestina

    Kuendelea ukandamizaji wa Israel dhidi ya mateka wa Kipalestina

    Feb 04, 2017 00:26

    Qadura Fares, Mkuu wa Klabu ya Mateka wa Kipalestina amesema kuwa, vitendo viovu wanavyofanyiwa Wapalestina hao kwa madai tofauti na kuongezeka sana jinai hizo dhidi ya mateka waKipalestina, ni mambo yanayofanyika kwa amri ya moja kwa moja ya Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Lebanon yafanikiwa kuangamiza mtandao wa kijasusi wa Israel

    Lebanon yafanikiwa kuangamiza mtandao wa kijasusi wa Israel

    Jan 28, 2017 04:12

    Lebanon imefanikiwa kuangamiza mtandao wa kigaidi wa shirika la kijasusi la Mossad la utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wakimbizi wa Afrika huko Israel walalamikia unyanyasaji

    Wakimbizi wa Afrika huko Israel walalamikia unyanyasaji

    Jan 27, 2017 10:21

    Mamia ya wakimbizi wa Kiafrika wamefanya maandamano nje ya Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset), kukosoa sera za kikatili na kibaguzi za Tel Aviv dhidi yao.

  • Dunia yaendelea kupinga sera za kupenda kujipanua za Israel

    Dunia yaendelea kupinga sera za kupenda kujipanua za Israel

    Jan 26, 2017 00:10

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimetoa taarifa tofauti zikilaani hatua ya Israel ya kupasisha ujenzi wa nyumba mpya 2500 za walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • Glenn: Huenda Israel itafanya njama za kuuawa Trump wa US

    Glenn: Huenda Israel itafanya njama za kuuawa Trump wa US

    Jan 24, 2017 04:45

    Mark Glenn, mchambuzi mashuhuri wa kisiasa nchini Marekani amesema yumkini serikali ya Washington ikapanga njama za kuuawa Rais mpya wa Marekani Donald Trump, iwapo hatasimamia maslahi ya Wazayuni.

  • White House: Kuhamishiwa ubalozi wa Marekani Beitul Muqaddas kungali kunachunguzwa

    White House: Kuhamishiwa ubalozi wa Marekani Beitul Muqaddas kungali kunachunguzwa

    Jan 23, 2017 03:42

    Katika radiamali yake kuhusiana na kuenea habari za kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Beitul Muqaddas katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel, ikulu ya White House imesema kuwa suala hilo lingali katika hatua zake za mwanzo na kwamba bado linachunguzwa.

  • Benjamin Netanyahu azidi kuandamwa

    Benjamin Netanyahu azidi kuandamwa

    Jan 15, 2017 03:47

    Mamia ya wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano ya kulaani ufisadi wa kifedha wa viongozi wa utawala huo hususan Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel, mjini Tel Aviv.

  • Fedheha na kashfa za ngono zaendelea kuutikisa utawala haramu wa Israel

    Fedheha na kashfa za ngono zaendelea kuutikisa utawala haramu wa Israel

    Jan 13, 2017 01:21

    Msururu wa kashfa na fedheha za ngono unaendelea kuutikisa utawala wa kizayuni wa Isarel na kuzusha maswali mengi kuhusu maadili ya viongozi wa utawala huo baada ya wanawake wengi kujitokeza na kuanika madhila wanayofanyiwa na maafisa wa serikali au katika jeshi la Israel.

  • Syria yaapa kulipiza kisasi shambulizi la Israel dhidi ya uwanja wa ndege wa Mezzah

    Syria yaapa kulipiza kisasi shambulizi la Israel dhidi ya uwanja wa ndege wa Mezzah

    Jan 13, 2017 00:43

    Jeshi la Syria limetangaza kuwa utawala wa kizayuni wa Israel umeshambulia uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mezzah ulioko magharibi mwa mji wa Damascus na kuutahadharisha utawala huo kuhusu taathira mbaya za shambulizi hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS