Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Ukuta wa uzio katika mpaka wa Gaza; dharau ya Israel kwa Baraza la Usalama la UN

    Ukuta wa uzio katika mpaka wa Gaza; dharau ya Israel kwa Baraza la Usalama la UN

    Jan 11, 2017 11:30

    Wakati Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio nambari 2234 la kuutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usimamishe ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu, waziri wa vita wa utawala huo haramu ameafiki shauri la kujengwa ukuta wa uzio katika mipaka ya Ukanda wa Gaza.

  • Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel

    Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel

    Jan 10, 2017 04:43

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemwandikia barua Rais mteule wa Marekani Donald Trump na kumuonya juu ya taathira hasi za pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.

  • Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina

    Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina

    Jan 07, 2017 03:42

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemuonya Rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.

  • Kuendelea kwa makabiliano kati ya Umoja wa Mataifa na utawala ghasibu wa Israel

    Kuendelea kwa makabiliano kati ya Umoja wa Mataifa na utawala ghasibu wa Israel

    Jan 05, 2017 03:51

    Wakala wa Umoja wa Mataifa kwa Ajili ya Misaada kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) umefuta jina la Israel katika vitabu vya shule vya watoto wa Kipalestina kutokana na utawala huo ghasibu kutokua ya historia.

  • Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel

    Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel

    Jan 03, 2017 10:16

    Jamii ya kimataifa imeipongeza Senegal kwa kuunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel

    Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel

    Jan 03, 2017 03:37

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limebainisha wasiwasi wake juu ya mauaji na jinai zinazotekelezwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.

  • Israel yaingiwa na kiwewe kuhusu uwezo wa Hizbullah

    Israel yaingiwa na kiwewe kuhusu uwezo wa Hizbullah

    Jan 02, 2017 22:57

    Kituo kimoja cha utafiti katika utawala wa Kizayuni wa Israel kimekiri katika ripoti yake ya hivi karibuni kuwa, Wazayuni wana wasiwasi mkubwa kuhusu nguvu za harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Abbas: 2017 utakuwa mwaka wa kujitangazia uhuru Palestina

    Abbas: 2017 utakuwa mwaka wa kujitangazia uhuru Palestina

    Jan 01, 2017 04:35

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amekaribisha hatua ya hivi karibuni ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kupasisha azimio dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kusema kuwa 2017 utakuwa mwaka wa Palestina kujitangazia uhuru wake.

  • Mayahudi wa Othodoksi waunga mkono azimio la UN dhidi ya Israel

    Mayahudi wa Othodoksi waunga mkono azimio la UN dhidi ya Israel

    Dec 30, 2016 03:36

    Idadi kadhaa ya Mayahudi wa madhehebu ya Othodoksi wamekusanyika mbele ya Ikulu ya Rais wa Marekani, White House kuonyesha uungaji mkono wao kwa azimio lililopitishwa karibuni na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kulaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na utawala haramu wa Israel katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina.

  • UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka  mno

    UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka mno

    Dec 30, 2016 01:00

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mwaka huu unaomalizika wa 2016 umeshuhudia ongezeko la vitendo vya uvunjaji na ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS