-
Ukuta wa uzio katika mpaka wa Gaza; dharau ya Israel kwa Baraza la Usalama la UN
Jan 11, 2017 11:30Wakati Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio nambari 2234 la kuutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usimamishe ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu, waziri wa vita wa utawala huo haramu ameafiki shauri la kujengwa ukuta wa uzio katika mipaka ya Ukanda wa Gaza.
-
Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel
Jan 10, 2017 04:43Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemwandikia barua Rais mteule wa Marekani Donald Trump na kumuonya juu ya taathira hasi za pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.
-
Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina
Jan 07, 2017 03:42Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemuonya Rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.
-
Kuendelea kwa makabiliano kati ya Umoja wa Mataifa na utawala ghasibu wa Israel
Jan 05, 2017 03:51Wakala wa Umoja wa Mataifa kwa Ajili ya Misaada kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) umefuta jina la Israel katika vitabu vya shule vya watoto wa Kipalestina kutokana na utawala huo ghasibu kutokua ya historia.
-
Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel
Jan 03, 2017 10:16Jamii ya kimataifa imeipongeza Senegal kwa kuunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel
Jan 03, 2017 03:37Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limebainisha wasiwasi wake juu ya mauaji na jinai zinazotekelezwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
-
Israel yaingiwa na kiwewe kuhusu uwezo wa Hizbullah
Jan 02, 2017 22:57Kituo kimoja cha utafiti katika utawala wa Kizayuni wa Israel kimekiri katika ripoti yake ya hivi karibuni kuwa, Wazayuni wana wasiwasi mkubwa kuhusu nguvu za harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Abbas: 2017 utakuwa mwaka wa kujitangazia uhuru Palestina
Jan 01, 2017 04:35Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amekaribisha hatua ya hivi karibuni ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kupasisha azimio dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kusema kuwa 2017 utakuwa mwaka wa Palestina kujitangazia uhuru wake.
-
Mayahudi wa Othodoksi waunga mkono azimio la UN dhidi ya Israel
Dec 30, 2016 03:36Idadi kadhaa ya Mayahudi wa madhehebu ya Othodoksi wamekusanyika mbele ya Ikulu ya Rais wa Marekani, White House kuonyesha uungaji mkono wao kwa azimio lililopitishwa karibuni na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kulaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na utawala haramu wa Israel katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina.
-
UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka mno
Dec 30, 2016 01:00Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mwaka huu unaomalizika wa 2016 umeshuhudia ongezeko la vitendo vya uvunjaji na ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.