-
Rais wa Nigeria atangaza hali ya hatari kufuatia wimbi la utekaji nyara
Nov 27, 2025 08:55Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, ametangaza hali ya hatari ya kiusalama nchini humo baada ya mauaji na utekaji nyara kuongezeka kwa kasi.
-
Waangalizi wa uchaguzi walaani mapinduzi ya kijeshi Guinea-Bissau
Nov 27, 2025 08:53Viongozi wa ujumbe wa waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Afrika (AU), Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) pamoja na Jukwaa la Wazee wa Afrika Magharibi (WAEF) wameeleza “wasiwasi mkubwa” kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea Guinea-Bissau baada ya uchaguzi wa urais.
-
Wakimbizi 115 wa Burundi warudishwa nyumbani kutokea Rwanda
Nov 27, 2025 02:29Wakimbizi 115 wa Burundi, ambao wengi wao walikuwa wamekimbilia Rwanda mwaka huu wa 2015 kutokana na machafuko ya kisiasa nchini mwao, wamerudishwa kwa hiari nchini Burundi. Hayo ni kwa mujibu wa Wizara ya Usimamiaji wa Masuala ya Dharura ya Rwanda.
-
Tunisia yamwita Balozi wa EU ili ajieleze kwa kukiuka itifaki ya kidiplomasia
Nov 27, 2025 02:28Rais Kais Saied wa Tunisia amemwita Giuseppe Perrone, balozi wa Umoja wa Ulaya nchini humo na kumtaka ajieleze kwa kufanya uchochezi na kutoheshimu itifaki za kidiplomasia. Hayo yametangazwa na Ikulu ya Rais mjini Tunis.
-
Guterres: UN inafuatilia hali ya Guinea-Bissau 'kwa wasiwasi mkubwa' baada ya jeshi kufanya mapinduzi
Nov 26, 2025 23:27Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa anafuatilia matukio ya Guinea Bissau kwa wasiwasi mkubwa baada ya baada ya jeshi la nchi hiyo jana Jumatano kumuondoa madarakani Rais Umaro Sissoco Embalo wa nchi hiyo.
-
OXFAM: Nusu ya raia Sudan Kusini wanakabiliwa na njaa kali
Nov 26, 2025 22:59Shirika la OXFAM limetangaza kuwa, takriban watu milioni sita wanakabiliwa na baa la njaa kali Sudan Kusini, idadi ambayo ni sawa na nusu ya raia wote nchini humo.
-
Gavana wa Darfur: Katika kipindi cha siku tatu tu, RSF iliua Wasudan 27,000 El-Fasher
Nov 26, 2025 07:21Gavana wa Jimbo la Darfur nchini Sudan, Minni Arko Minnawi, ameviambia vyombo vya habari kuwa, katika kipindi cha siku tatu tu Wasudan 27,000 waliuliwa na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) wakati wanamgambo wa vikosi hivyo walipoendeleza wimbi la mauaji baada ya kuuteka mji wa el-Fasher mwishoni mwa mwezi uliopita.
-
UN: Tangazo la RSF la kusitisha mapigano ni 'hatua katika mwelekeo sahihi'
Nov 26, 2025 03:43Umoja wa Mataifa umekaribisha kwa tahadhari tangazo la kibinadamu la kusitisha mapigano lililotolewa jana na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF), ukisema kuwa linawakilisha kupiga hatua lakini linahitaji kuidhinishwa kupitia hatua maidanini.
-
Rais wa Nigeria: Wanafunzi wa kike 24 waliotekwa nyara wiki jana wakombolewa
Nov 26, 2025 03:43Wanafunzi wa kike 24 waliokuwa wametekwa nyara kutoka katika shule yao ya bweni wiki iliyopita kaskazini magharibi mwa Nigeria wamekombolewa. Hii ni kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais.
-
Russia: Tupo tayari kuisaidia Nigeria katika mapambano dhidi ya ugaidi
Nov 26, 2025 03:42Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa nchi hiyo ipo tayari kusaidia na kuung amkono juhudu za nigeria za kupambana na ugaidi. Bi Zakharova aidha amepongeza jitihada kubwa za serikali ya Abuja za kukabiliana na makundi yenye misimamo mikali.