Chaguo La Mhariri
-
Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China7 hours ago
-
Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan
-
Hatua mpya ya Russia ya kutumia sarafu za kitaifa na kupunguza utegemezi kwa dola ya Marekani
-
Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Russia nchini Iran na kuimarika uhusiano wa kiulinzi wa nchi mbili
-
Rais wa Iran: Maadui hawatafanikiwa kamwe kupotosha ukweli wa Qur'ani3 days ago
-
Sheikh Ibrahim Zakzaki: Muqawama wa Imam Husain AS ndiyo njia pekee ya kuokoka mwanadamu + Video16 days ago
-
Waislamu wa Kondoa Tanzania walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu +VIDIO2 months ago
-
Rais wa Iran apokewa Zimbabwe kwa kaswida ya "Salam Farmande"2 months ago
-
EU: Mkutano kati ya Borrell na Amir-Abdollahian ulikuwa na umuhimu mkubwa
Msemaji mkuu wa Kamisheni ya Ulaya amesema, mkutano kati ya Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian uliofanyika pembeni ya Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ulikuwa na umuhimu mkubwa.
-
-
-
Rais wa Iran: Kuna ulazima wa kuangaliwa upya muundo wa Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuna umuhimu wa kufanyika marekebisho katika muundo wa Umoja wa Mataifa.
-
-
-
Iran: Hotuba ya Netanyahu katika UN inashabihiana na 'onyesho la vichekesho'
Ujumbe wa kidiplomasia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali madai yasiyo na msingi ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni Israel Benjamin Netanyahu na kusema ni "maonesho ya vichekesho" dhidi ya mpango wa amani wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na shughuli zake za kieneo katika kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
-
-
Hujuma ya kigaidi yaua takriban watu 15 nchini Somalia
Bomu ambalo lilikuwa limetegwa ndani ya lori lililipuka katika kituo cha ukaguzi katikati mwa mji wa Beledweyne nchini Somalia siku ya Jumamosi, na kuua takriban watu wasiopungua 15 na kuharibu majengo ya karibu.
-
-

Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China
Rais Bashar al Assad wa Syria Alhamisi ya juzi tarehe 21 Septemba aliwasili katika mji wa Hangzhou mashariki wa China kwa lengo la kushiriki katika hafla ya ufunguzi wa michezo ya Asia ya Hangzhou na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Xi Jin Ping wa nchi hiyo.

Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan
Licha ya kupita miezi mingi, lakini ndio kwanza vita baina ya majenerali wa kijeshi vinaendelea nchini Sudan na hali ya kisiasa na kiuchumi ya nchi hiyo inazidi kuwa mbaya siku baada ya siku. Cha kusikitisha ni kuwa pamoja na hali kuwa mbaya kiasi hicho, lakini bado pande hasimu zinaendelea kufanya ukaidi wa kutokubali kusimamisha mapigano.

Hatua mpya ya Russia ya kutumia sarafu za kitaifa na kupunguza utegemezi kwa dola ya Marekani
Serikali ya Russia imeidhinisha orodha ya nchi 31, zikiwemo Iran, Brazil, Venezuela na Cuba, ambazo benki zao zinaweza kushiriki na kufanya biashara katika soko la fedha za kigeni nchini Russia.

Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Russia nchini Iran na kuimarika uhusiano wa kiulinzi wa nchi mbili
Waziri wa Ulinzi wa Russia, Sergei Shoigu ameonana na Meja Jenerali Mohammad Baqeri, Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iran hapa mjini Tehran.
Zilizotembelewa Zaidi
-
Russia yapiga marufuku uuzaji wa petroli na dizeli yake kwa akthari ya nchi duniani
-
Marekani yatangaza kusitisha ushirikiano wake wa kijeshi na Rwanda; DRC yapongeza
-
Kiongozi wa Guinea: Mataifa ya Magharibi komeni kujifanya walimu wa demokrasia
-
Ripoti: Vifaru vya kivita vya UK vina mada za sumu
-
Hatua mpya ya Russia ya kutumia sarafu za kitaifa na kupunguza utegemezi kwa dola ya Marekani
-
Rais wa Kenya: Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halifai, libadilishwe
-
Guterres apongeza azma ya Iran kutuma vikosi vyake kulinda amani duniani
-
Kuzidi kuharibika uhusiano wa kidiplomasia kati ya India na Canada
-
Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Russia nchini Iran na kuimarika uhusiano wa kiulinzi wa nchi mbili
-
Wapinzani Wazayuni "wala sahani moja" na Netanyahu mjini New York