Chaguo La Mhariri
-
Pigo kali la Wapalestina kwa baraza lenye misimamo mikali la Israel2 hours ago
-
Kuendelea ukandamizaji wa Aal Khalifa dhidi ya wafungwa wa kisiasa katika kukaribia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi
-
Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika
-
Jibu la Iran kwa vikwazo vya Umoja wa Ulaya
-
VIDEO: Siku ambayo Iran ilishambulia kwa makombora kambi ya kijeshi ya Marekani huko Ain al-Asad22 days ago
-
Mvua kali na mafuriko katika majimbo ya Makka na Jeddah Saudia1 month ago
-
Pigo jingine kwa Wazayuni, Morocco yasherehekea kwa bendera ya Palestina, kupanda Kombe la Dunia + Video2 months ago
-
Raisi: Adui ajue kuwa hana nafasi katika nyoyo za wananchi wa Iran + Video2 months ago
-
Mauzo ya silaha za Marekani nje ya nchi yaliongezeka katika mwaka 2022
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa nyaraka zinazoonyesha kuwa, baada ya kuanza vita nchini Ukraine, mauzo ya silaha za nchi hiyo nje ya nchi yaliongezeka sana katika mwaka wa fedha wa 2022.
-
-
-
Iran ni ya pili katika nchi za Kiislamu kwenye orodha ya nchi zenye vyuo vikuu vingi
Katika orodha ya Daraja za Vyuo Vikuu Duniani (ISC World University Rankings) Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeshika nafasi ya pili katika nchi za Kiislamu zenye vyuo vikuu vingi, ikiwa na vyuo vikuu 63 ikitanguliwa na Uturuki.
-
-
-
Jihadul-Islami: Wapalestina hawakhofu walowezi wa Kizayuni kuzatitiwa kwa silaha
Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa, Wapalestina hawaogopi wala hawaingiwi na hofu yoyote kwa sababu ya walowezi wa Kizayuni kuzatitiwa kwa silaha.
-
-
-
Watu 15 wateketea kwa moto katika ajali ya barabarani nchini Nigeria
Watu 15 wameteketea kwa moto baada ya basi moja kugongana na lori, kusini magharibi mwa Nigeria.
-
-

Pigo kali la Wapalestina kwa baraza lenye misimamo mikali la Israel
Siku moja tu baada ya kutekelezwa jinai ya Wazayuni dhidi ya Wapalestina huko Jenin, kijana mmoja wa Kipalestina ametekeleza oparesheni ya kishujaa katika mji mtakatifu wa Quds inayokaliwa kwa mabavu na kusababisha vifo vya Wazayuni 10.

Mauaji ya kikatili ya raia mwingine mweusi; ukatili usio na mwisho wa polisi wa Marekani
Siku ya Ijumaa na baada ya kuchapishwa picha za kutisha za kupigwa kinyama Tyre Nichols, Mmarekani mweusi mwenye umri wa miaka 29 na polisi huko Memphis, katika jimbo la Tennessee, wimbi jipya la maandamano limeanza nchini humo na hasa katika miji ya Memphis, Boston, Chicago, Detroit, New York City, Portland, Oregon na Washington dhidi ya ukatili unaofanywa na polisi dhidi ya watu weusi.

Kuendelea ukandamizaji wa Aal Khalifa dhidi ya wafungwa wa kisiasa katika kukaribia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi
Katika kukaribia maadhimisho ya kutimia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi wa Bahrain, utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain unawazuia wafungwa wa kisiasa nchini humo kuwasiliana na kuoana na familia zao katika fremu ya sera zake za ukandamizaji na kuwawekea mbinyo na vizingiti mbalimbali wafungwa wa kisiasa na wapinzani nchini humo.

Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika
Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Jumatatu tarehe 23 mwezi huu alianza safari ya kiduru kwa kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika na hadi sasa amefanya safari huko Afrika Kusini, Eswatini, Angola na Eritrea.
Zilizotembelewa Zaidi
-
Iran yazima mashambulio ya droni katika mkoa wa Isfahan
-
Medvedev atahadharisha kuhusu kutokea Vita vya Tatu vya Dunia
-
Ujerumani yakosolewa kwa ujumbe wa Twitter wa kuidhalilisha Afrika
-
Jenerali Mmarekani atabiri vita na China mwaka 2025, anawaambia maafisa wajitayarishe
-
Rais wa Argentina: Nchi za Amerika ya Latini hazitaipatia silaha Ukraine
-
Wanamuqawama watekeleza oparesheni 57 dhidi ya Wazayuni katika saa 24 zilizopita
-
Wapalestina wapongeza operesheni ya al-Quds, wasema ni kulipiza kisasi kwa mauaji ya Jenin
-
Kadkhodaei: Operesheni ya kumsaka Pompeo na Trump itaendelea hadi haki ipatikane
-
Jihadul-Islami: Misimamo ya Uturuki na UAE kuhusu operesheni ya Quds ni usaliti kwa Palestina
-
Mtaalamu wa UK: Magharibi imerudi kwenye zama za giza za uchomaji vitabu