Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China

Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China

Rais Bashar al Assad wa Syria Alhamisi ya juzi tarehe 21 Septemba aliwasili katika mji wa Hangzhou mashariki wa China kwa lengo la kushiriki katika hafla ya ufunguzi wa michezo ya Asia ya Hangzhou na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Xi Jin Ping wa nchi hiyo.

Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan

Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan

Licha ya kupita miezi mingi, lakini ndio kwanza vita baina ya majenerali wa kijeshi vinaendelea nchini Sudan na hali ya kisiasa na kiuchumi ya nchi hiyo inazidi kuwa mbaya siku baada ya siku. Cha kusikitisha ni kuwa pamoja na hali kuwa mbaya kiasi hicho, lakini bado pande hasimu zinaendelea kufanya ukaidi wa kutokubali kusimamisha mapigano.

Hatua mpya ya Russia ya kutumia sarafu za kitaifa na kupunguza utegemezi kwa dola ya Marekani

Hatua mpya ya Russia ya kutumia sarafu za kitaifa na kupunguza utegemezi kwa dola ya Marekani

Serikali ya Russia imeidhinisha orodha ya nchi 31, zikiwemo Iran, Brazil, Venezuela na Cuba, ambazo benki zao zinaweza kushiriki na kufanya biashara katika soko la fedha za kigeni nchini Russia.

Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Russia nchini Iran na kuimarika uhusiano wa kiulinzi wa nchi mbili

Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Russia nchini Iran na kuimarika uhusiano wa kiulinzi wa nchi mbili

Waziri wa Ulinzi wa Russia, Sergei Shoigu ameonana na Meja Jenerali Mohammad Baqeri, Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iran hapa mjini Tehran.