- Wamorocco waungana na Wajordan kuzitaka serikali zao zivunje uhusiano na Israel
- ICJ: Israel lazima ihakikishe msaada wa dharura, chakula vinaingizwa Ghaza bila kuchelewa
- Wapalestina: Gati ya muda inayotaka kujenga Marekani Ghaza ni "Bandari ya Uvamizi"
- Watu 45 wafariki dunia katika ajali ya basi la wafanyaziara wa Pasaka nchini Afrika Kusini
Chaguo La Mhariri
-
Kupokewa vizuri ripoti ya UN kuhusu mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza9 hours ago
-
Subira ya kihistoria ya watu wa Ghaza, sababu kuu ya kufedheheka Israel duniani
-
Msisitizo wa Iran juu ya haki yake katika medani ya gesi ya Arash
-
Muqawama wa Iraq waendeleza mashambulizi dhidi ya maeneo ya Wazayuni + VIDEO22 days ago
-
Hamas: Washington inabeba dhima ya kifo cha mwanajeshi aliyejichoma moto nje ya Ubalozi wa Israel huko Washington + video1 month ago
-
Ghaza imeendelea kuwa makaburi ya halaiki ya wanajeshi vamizi wa Israel + VIDEO2 months ago
-
Yemen: Mashambulizi ya US na UK hayatotuzuia kuliunga mkono taifa la Palestina + VIDEO3 months ago
-
ICJ: Israel lazima ihakikishe msaada wa dharura, chakula vinaingizwa Ghaza bila kuchelewa
Mahakama ya Juu zaidi duniani ya Haki ICJ imeuamuru utawala wa Kizayuni wa Israel "kuhakikisha msaada wa haraka wa kibinadamu" unaingizwa huko Ghaza bila kuchelewa, ikisisitiza kuwa "njaa imeshaingia" katika eneo hilo.
-
Spika Qalibaf: Ulimwengu wote wa Kiislamu una wajibu wa kuunga mkono Muqawama wa taifa la Palestina
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amepongeza istikama na kusimama imara kusio na mfano kwa Muqawama na wananchi wa Palestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na akasema, Ulimwengu mzima wa Kiislamu una wajibu wa kuliunga mkono taifa la Palestina katika vita visivyo na mlingano na utawala huo wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza.
-
Wamorocco waungana na Wajordan kuzitaka serikali zao zivunje uhusiano na Israel
Maelfu ya watu wameandamana katika nchi za Jordan na Morocco kuonyesha mshikamano na Wapalestina ambao wamekuwa wakikabiliwa na vita vya kinyama vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa takriban miezi sita sasa, sambamba na kutoa wito kwa serikali zao wa kuvunja uhusiano na utawala huo ghasibu.
-
Watu 45 wafariki dunia katika ajali ya basi la wafanyaziara wa Pasaka nchini Afrika Kusini
Watu wasiopungua 45 wamefariki dunia nchini Afrika Kusini wakati basi lililokuwa limebeba wafanyaziara wa Pasaka lilipotumbukia kwenye daraja jana Alhamisi.
Kupokewa vizuri ripoti ya UN kuhusu mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza
Tathmini ya ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya Palestina juu ya mauaji ya umati yanayofanywa na Israel kwenye Ukanda wa Ghaza imepokewa vizuri na kuungwa mkono na wawakilishi wa nchi za dunia ndani ya umoja huo.
Subira ya kihistoria ya watu wa Ghaza, sababu kuu ya kufedheheka Israel duniani
Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwenye mazungumzo yake na Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwamba, subira ya kihistoria na kusimama imara wananchi wa Ghaza mbele ya jinai za utawala wa Kizayuni kumeifanya kadhia ya Palestina kuwa suala kuu nambari moja duniani.
Msisitizo wa Iran juu ya haki yake katika medani ya gesi ya Arash
Naibu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Masuala ya Sheria, Mohammed Dehghan, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitafumbia jicho kwa hali yoyote ile haki zake katika medani ya pamoja ya gesi ya Arash na haitaruhusu upande wowote kukiuka sheria za kimataifa katika suala hili.
Safari ya pili ya Haniyeh mjini Tehran baada ya operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa
Ismail Haniyeh, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas, aliwasili Jumanne ya jana mjini Tehran ikiwa ni safari yake ya pili baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
Zilizotembelewa Zaidi
-
Wataalamu wa US: Mapigano ya Al-Shifa yanaonyesha wapiganaji Wapalestina wangali wako imara
-
Putin: 'Ni upuuzi tu' kudai kwamba Russia inapanga kuishambulia kijeshi NATO
-
Kutolewa pendekezo la kuanzisha klabu ya nyuklia ya BRICS kwa kuishirikisha Iran
-
Marekani imeshindwa kukabiliana na jeshi la Yemen katika Bahari Nyekundu
-
Marekani yaiwekea vikwazo GAZA NOW kwa tuhuma za kuchangisha fedha za kuisaidia HAMAS
-
Wachunguzi wa Russia kujadili ombi la kuchunguza kuhusika Magharibi katika ugaidi
-
Ireland 'kuingilia kati' kesi ya mauaji ya kimbari ya Afrika Kusini dhidi ya Israel
-
Subira ya kihistoria ya watu wa Ghaza, sababu kuu ya kufedheheka Israel duniani
-
CAIR: UN ichunguze jeshi la Israel lilivyowaua Wapalestina bila sababu na kuzifukia maiti zao
-
Msisitizo wa Iran juu ya haki yake katika medani ya gesi ya Arash