Chaguo La Mhariri
-
Kuwekwa vikwazo vipya dhidi ya Iran17 minutes ago
-
Makundi ya Palestina yako tayari kukabiliana na njama za pamoja za Marekani na utawala wa Kizayuni
-
Joe Biden akiri kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Marekani
-
Muqawama wa Iraq waendeleza mashambulizi dhidi ya maeneo ya Wazayuni + VIDEO12 days ago
-
Hamas: Washington inabeba dhima ya kifo cha mwanajeshi aliyejichoma moto nje ya Ubalozi wa Israel huko Washington + video21 days ago
-
Ghaza imeendelea kuwa makaburi ya halaiki ya wanajeshi vamizi wa Israel + VIDEO2 months ago
-
Yemen: Mashambulizi ya US na UK hayatotuzuia kuliunga mkono taifa la Palestina + VIDEO2 months ago
-
Wanafunzi wa kigeni washambuliwa India kwa kusali Tarawehe kwenye dakhalia ya chuo
Wanafunzi wasiopungua wanne wa kigeni wamejeruhiwa baada ya kundi la Wahindu wenye chuki za kidini kuvamia dakhalia ya chuo kikuu katika jimbo la Gujarat magharibi mwa India na kushambulia kundi la wanafunzi waliokuwa wanasali Sala ya Tarawehe katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
-
Kuwekwa vikwazo vipya dhidi ya Iran
Wizara ya Fedha ya Marekani kwa mara nyingine imeamua kuweka vikwazo vipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jeshi la Israel lashambulia tena Hospitali ya Al-Shifa, laua na kujeruhi kadhaa
Vikosi vya jeshi la utawala wa Israel vilivyojizatiti kwa silaha nzito vimevamia hospitali ya al-Shifa katika mji wa Ghaza kwa kutumia vifaru na ndege zisizo na rubani na kuwafyatulia risasi watu waliokuwa ndani ya jengo hilo.
-
Rais wa Nigeria aliagiza jeshi liwasake walioua askari 16 Delta
Rais wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu ameliamrisha jeshi la nchi hiyo kuwasaka na kuwafikisha katika vyombo vya dola wahusika wa mauaji ya wanajeshi 16 wa nchi hiyo katika jimbo la kusini la Delta.
Kuwekwa vikwazo vipya dhidi ya Iran
Wizara ya Fedha ya Marekani kwa mara nyingine imeamua kuweka vikwazo vipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Makundi ya Palestina yako tayari kukabiliana na njama za pamoja za Marekani na utawala wa Kizayuni
Mustafa al-Barghouthi, Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina ametahadharisha kuhusu njama mpya ya pamoja ya serikali ya Marekani na utawala haramu wa Israel kuhusu ujenzi wa bandari au gati la muda huko Gaza.
Joe Biden akiri kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Marekani
Ijumaa, Februari 15, Rais Joe Biden wa Marekani huku akikiri kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo tangu kuanza mashambulizi ya Wazayuni huko Gaza alisema: 'Waislamu kote duniani wanapitia hali ngumu kutokana na imani yao.'
Makundi ya mapambano ya Palestina yakosoa hatua ya Mahmoud Abbas ya kumteua waziri mkuu mpya
Mahmoud Abbas, Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, amemteua Mohammad Mustafa kwa ajili ya kuunda baraza jipya la mawaziri, hatua ambayo imekosolewa na makundi ya muqawama ya Palestina.
Zilizotembelewa Zaidi
-
Kim Jong-un avitaka vikosi vya ulinzi kujiweka tayari kwa ajili ya vita
-
Trump aonya: Kutakuwa na 'umwagaji mkubwa wa damu' nisipochaguliwa kuwa rais wa Marekani
-
Al Atifi: Yemen kuainisha sheria mpya za vita mkabala wa Marekani na Uingereza
-
Waziri wa Ulinzi: Iran iko tayari kuisaidia Syria kuimarisha nguvu zake za kiulinzi na za kuzuia mashambulio
-
Makundi ya mapambano ya Palestina yakosoa hatua ya Mahmoud Abbas ya kumteua waziri mkuu mpya
-
Muqawama wa Iraq: Milango ya kuzimu itafunguka; watoa kauli ya mwisho kwa vikosi vamizi vya Marekani
-
Niger yavunja mkataba wa ushirikiano wa kijeshi na Marekani
-
Putin ashinda uchaguzi wa rais wa Russia kwa kishindo, apata takriban asilimia 88 ya kura
-
Hamdan: Mpango uliopendekezwa na HAMAS kwa ajili ya kusitisha vita unaendana na uhalisia
-
Makundi ya Palestina yako tayari kukabiliana na njama za pamoja za Marekani na utawala wa Kizayuni