Luteka ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni, kuendelea kutumia turufu iliyofeli kutatua mgogoro wa ndani

Luteka ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni, kuendelea kutumia turufu iliyofeli kutatua mgogoro wa ndani

Baraza la Mawaziri la waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu linaendelea kutumia turufu iliyofeli ya kijeshi kujaribu kutatua mgogoro wa ndani unaoikabili serikali ya genge lenye misimamo mikali ya kufurutu mipaka la Kizayuni.

Kutishiwa kuwekewa vikwazo Uganda, njama za Marekani za kuzitwisha ufuska nchi za Afrika

Kutishiwa kuwekewa vikwazo Uganda, njama za Marekani za kuzitwisha ufuska nchi za Afrika

Rais wa Marekani, Joe Biden amelaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo na ameitaka Uganda kufuta mara moja sheria hiyo.

Onyo kuhusu kudorora Ulaya katika mfumo unaotawaliwa na Marekani

Onyo kuhusu kudorora Ulaya katika mfumo unaotawaliwa na Marekani

Mwanafikra mashuhuri wa Marekani Noam Chomsky ameonya kwamba huenda Ulaya ikadhoofika sana kiviwanda ikiwa itaendelea kuwa chini ya utawala wa Marekani.

Nafasi ya BRICS duniani na umuhimu wake kwa Iran

Nafasi ya BRICS duniani na umuhimu wake kwa Iran

Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran atasafiri hivi karibuni kuelekea Cape Town, Afrika Kusini, kwa ajili ya kushiriki katika mkutano ujao wa BRICS .