-
Kurudi Nyumbani Wakati wa Vita vya Siku 40 Wairan Waliokuwa Wameihajiri Nchi Kunafikisha Ujumbe Gani?
May 09, 2026 14:04Takwimu zilizorekodiwa katika mipaka ya Iran zinaonyesha kuwa wakati wa vita vya siku 40 vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Wairani 630,000 waliingia nchini kupitia mipaka ya nchi kavu.
-
Sera ya US ya Mwiko wa Kutosema Chochote Kuhusu Silaha za Nyuklia ya Israel Inamomonyoka?
May 09, 2026 13:08Katika hali isiyo ya kawaida na ya nadra kuwahi kushuhudiwa, wajumbe 29 wa Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio wakiitaka Washington ifichue na kuweka hadharani mpango wa silaha za nyuklia wa Israel. Barua hiyo inataka kukomeshwa sera ya kiitwacho "kimya rasmi" kuhusu uwezo wa nyuklia wa Israel.
-
CIA yakiri: Iran inaweza kuhimili mzingiro wa baharini wa Marekani
May 09, 2026 09:57Shirika la Ujasusi la Marekani limekiri kuwa Iran ina uwezo wa kuhimili athari za mzingiro wa nchi hiyo kwa miezi kadhaa, na pia ina hifadhi kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani.
-
Wapinzani Afrika Kusini waapa kumuondoa madarakani Ramaphosa
May 09, 2026 09:54Julius Malema, kiongozi wa chama cha upinzani cha Economic Freedom Fighters (EFF) nchini Afrika Kusini, amemtaka Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo ajiuzulu haraka iwezekanavyo na taratibu za kumfungulia mashtaka zianze.
-
New York Times: Gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran ni trilioni kadhaa
May 09, 2026 09:51Justin Wolfers, profesa wa uchumi katika Chuo Kikuu cha Michigan, katika makala ya New York Times, amekadiria gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran kuwa trilioni kadhaa za dola.
-
Burundi kufanya uchaguzi wa rais Mei 3 mwaka ujao
May 09, 2026 09:47Burundi itafanya uchaguzi wa rais Mei 3 mwaka ujao. Habari hiyo ilitangazwa Ijumaa na Tume ya Uchaguzi, wakati wa mkutano uliosusiwa na upinzani.
-
WHO: Virusi vya Hanta si sawa na vya COVID-19
May 09, 2026 09:39Kufuatia mlipuko wa virusi vya Hanta au kwa kiingereza Hantavirus kuzua taharuki miongoni mwa umma kufuatia vifo vya watu watatu na wengine kadhaa wanapata matibabu, Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) limesisitiza kuwa mlipuko wa virusi huo kutoka meli ya kifahari ya kitalii ya MV Hondius si sawa na wa virusi vya COVID-19 na kwamba hatari ya virusi hivyo kuenea kwa jamii kwa ujumla bado ni ndogo sana.
-
Araghchi: Wairani hawapigi magoti mbele ya mashinikizo
May 09, 2026 09:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameonya kuwa Marekani hukimbilia hatua za kijeshi za kiholela hasa pale suluhisho la kidiplomasia linapoonekana kuwa karibu, huku akisisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasalimu amri kamwe mbele ya mashinikizo.
-
Pezeshkian: Ukoloni hauna nafasi katika dunia; Iran yataka mahusiano ya kuheshimiana
May 09, 2026 09:27Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa ukoloni na unyonyaji havitakuwa na nafasi katika dunia ya kesho, akisisitiza tena dhamira ya Iran ya kuendeleza mahusiano ya kirafiki yanayojengwa juu ya kuheshimiana na maslahi ya pamoja.
-
Mbunge Ulaya atoa wito wa uchunguzi kuhusu mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab
May 09, 2026 09:12Mwakilishi wa Bunge la Ulaya ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji yaliyofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wasichana wa Shule ya Msingi ya Minab kusini mwa Iran, akisema huenda yalikuwa shambulio la kupangwa.