-
Tehran yaikosoa Magharibi kwa kutoweza kutatua migogoro inayojitengenezea yenyewe
May 17, 2026 02:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemsihi mwandishi anayepinga ukoloni, Aimé Césaire, kulaani uozo wa maadili, unafiki na kushindwa kwa nchi za Magharibi kukabiliana na migogoro iliyotokana na vita na udhibiti wao.
-
Mzimu wa Khashoggi bado unamwandama Bin Salman; Mahakama ya Ufaransa yaidhinisha uchunguzi kuhusu mauaji yake
May 17, 2026 02:43Jaji wa Ufaransa atachunguza mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi mwaka 2018 kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu dhidi ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemeni: Ansarullah iko ‘bega kwa bega’ na Hizbullah dhidi ya Israel
May 17, 2026 02:39Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema harakati ya muqawama ya nchi hiyo Ansarullah iko "bega kwa bega" na harakati ya mapambano ya Lebanon Hizbullah katika kukukabiliana na njama na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel.
-
Jeffrey Sachs: Walioishambulia Iran wanapasa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani
May 17, 2026 02:37Mchumi mashuhuri wa Marekani, anaamini kuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa, walioanzisha mashambulizi dhidi ya Iran wanapaswa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani; wamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na wanawajibika kwa uharibifu na matokeo ya vita walivyovianzisha.
-
Watu wenye silaha wawateka nyara makumi ya wanafunzi katika Jimbo la Borno nchini Nigeria
May 17, 2026 02:34Watu waliokuwa na silaha wameteka nyara makumi ya wanafunzi wa shule katika jimbo lililokumbwa na machafuko la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Kumalizika enzi za kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu za madola ya Magharibi
May 17, 2026 02:03Pars Today - Majid Nili Ahmadabadi, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ujerumani amejibu kauli za kansela wa nchi hiyo alizotoa baada ya mazungumzo ya simu na rais wa Marekani Donald Trump, akisema kwa maandishi kwamba: "Enzi ya kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu na za upande mmoja za madola ya Magharibi, zimekwisha.
-
Rais Pezeshkian ampongeza Papa Leo, asema Iran bado imejitolea kwa diplomasia
May 16, 2026 12:21Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza misimamo ya kimaadili ya Papa Leo XIV kuhusu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, akisisitiza haja ya jamii ya kimataifa kuchukua mwelekeo unaotilia maanani hali halisi na wa haki, na kutoa wito kwa nchi zote duniani kukabiliana na matakwa haramu na sera za kibabe na hatari za Marekani.
-
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Kuhusu "Siku ya Nakbat"; Uhalifu wa Israel ni jinai ya kivita
May 16, 2026 12:15Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza katika taarifa iliyotolewa kwa mnasaba wa tukio la "Siku ya Nakbat" kwamba uhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kielelezo halisi cha jinai za kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya kimbari, na kwa msingi huu, mahakama za kimataifa zinataka kuwaadhibu wahalifu wa Kizayuni.
-
Iran: Walioanzisha vita wanabeba dhima ya hali ya sasa ya Hormuz na athari zake mbaya za kiuchumi
May 16, 2026 12:11Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa mjini New York amesema kuwa walioanzisha vita dhidi ya Iran na washirika wao katika kanda hii wanabeba dhima kamili ya hali ya sasa katika Mlango-Bahari wa Hormuz na athari zake mbaya za kiuchumi duniani.
-
Uchunguzi wa awali wabaini utambulisho wa miili 12 iliyopatikana pwani ya Matrouh, Misri
May 16, 2026 12:06Vyanzo rasmi vya Misri vimefichua kwamba miili 12 iliyopatikana kwenye boti ya mpira siku ya Alkhamisi nje ya pwani ya kijiji cha Abu Ghleila katika mji wa Sidi Barrani ni ya vijana wa Misri kutoka majimbo 5 nchini humo.