-
Viwango vya Undumakuwili wa Ulaya; Kwa Nini Jinai za Israel Zinanyamaziwa Kimya?
May 22, 2026 15:20Hatua ya utawala wa Kizayuni ya kukamata meli 50 zilizokuwa zimebeba wanaharakati 428 wa haki za binadamu na misaada ya kibinadamu kutoka nchi 44 kwa ajili ya Wapalestina wanaozingirwa na utawala huo huko Gaza katika bahari ya Mediterania imeibua wimbi la hasira na chuki dhidi ya Wazayuni.
-
Imam wa Swala ya Ijumaa Tehran: Maadui watakabiliana na makombora mapya ikiwa watafanya makosa
May 22, 2026 15:05Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: "Iwapo maadui watafanya kosa jingine, watakabiliana na vita vipana zaidi badala ya vita vya kikanda, na badala ya kuzuiliwa Mlango-Bahari wa Hormuz, wakati huo Mlango Bahari wa Bab al-Mandeb pia atafungwa.
-
San Diego yaaga wahanga wa shambulizi dhidi ya Kituo cha Kiislamu katika mazishi ya heshima
May 22, 2026 15:03Zaidi ya watu 2,000 walihudhuria mazishi yaliyofanyika jana Alhamisi ya wahanga watatu wa shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko San Diego, California, huku kukiwa na huzuni kubwa zilizoandamana na pongezi kwa kujitolea wahanga hao waliowalinda watoto zaidi ya 140 waliokuwa ndani ya shule ya kituo hicho.
-
Picha za satalaiti zaonyesha uharibifu mkubwa kwenye kambi za kijeshi za Israel kutokana na mashambulizi ya Iran
May 22, 2026 14:53Picha mpya za satalaiti zilizochambuliwa zimefichua uharibifu na hasara kubwa iliyotokea katika vituo vingi vya kijeshi vya Israel kufuatia mashambulizi na operesheni za kujihami za Iran na harakati ya Lebanon Hizbullah na hivyo kuzusha maswali kuhusu ukubwa wa uharibifu ambao Tel Aviv inauficha mbele ya umma.
-
Wakazi wa Roma, Italia waandamana kuonesha mshikamano na Palestina
May 22, 2026 14:50Duru za habari zimeripoti kuwa, idadi kubwa ya raia wanaopiga dhulma na ukandamizaji duniani na waungaji mkono wa mapambano ya ukombozi wa Palestina wameandamana huko Roma mji mkuu wa Italia kulalamikia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msafara wa kimataifa kwa jina la The Global Sumud Flotilla kwa lengo la kuvunja mzingiro haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.
-
Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo
May 22, 2026 14:38Waandamanaji waliokuwa na hasira wameshambulia na kuchoma moto mahema kadhaa katika kituo cha matibabu ya Ebola katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wakijaribu kudai miili ya jamaa zao waliofariki dunia kwa ugonjwa huo.
-
Pezeshkian: Serikali imejitolea kikamilifu kuboresha uwezo wa Jeshi la Iran
May 22, 2026 06:55Rais Masoud Pezeshkian amesema serikali yake itatumia “nguvu na rasilimali zote zilizopo” kuimarisha majeshi ya ulinzi huku akisifu majibu ya kijeshi ya Iran kuwa “makini, madhubuti na yanayozuia uchokozi” kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni yaliyotekelezwa na tawala za Marekani na Israel.
-
Gaza yaripoti visa zaidi ya 125,000 vya maambukizi yanayohusiana na panya na vimelea: UNRWA
May 22, 2026 06:52Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) limeripoti visa zaidi ya 125,000 vya maambukizi yanayohusiana na panya na vimelea katika Ukanda wa Gaza ulioathiriwa na vita katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka huu.
-
Jenerali Qa'ani: Freedom Flotilla imewafedhehesha Wazayuni
May 22, 2026 04:29Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema katika ujumbe wake kwamba mafanikio ya msafara wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza "Global Sumud Flotilla, yanaendelea.
-
Maonyesho ya "Kisiwa cha Dhambi" yafanyika Magharibi mwa Kabul
May 22, 2026 04:09Maonyesho maalumu ya yanayodhihirisha uhalifu wa nchi za kibeberu pamoja na kashfa za kingono za viongozi wa nchi za Magharibi yaliyopewa jina "Kisiwa cha Dhambi" yanafanyika magharibi mwa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.