-
Wakati Trump Anapokiuka Hata Ahadi Alizotoa kwa Washirika wake wa Kikanda!
Jul 28, 2026 08:18Rais Donald Trump wa Marekani amekiuka ahadi yake ya awali kwa Saudi Arabia kwa kutangaza masharti mapya ya utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia kati ya nchi hizo mbili.
-
Jeshi la Iran laapa kutoa jibu kali zaidi dhidi ya uchokozi wowote siku zijazo
Jul 28, 2026 03:58Jeshi la Iran limeapa kutoa jibu kali na la nguvu zaidi dhidi ya uchokozi wa nchi yoyote katika siku zijazo.
-
Muqawama wa Kiislamu Iraq: Hatua yoyote ya kipumbavu ya Saudia itakabiliwa na jibu la haraka
Jul 28, 2026 03:55Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq imeuonya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia kwamba hatua yoyote ya kipumbavu itakayochukuliwa na Riyadh itakabiliwa na jibu kali litakaloulamisha kujutia maamuzi yake.
-
Chad kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, yasema inaziandama zaidi nchi za Afrika
Jul 28, 2026 03:52Chad imejiunga na orodha inayoongezeka ya nchi zilizoanza taratibu za kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ikisema inaziandama zaidi nchi za Afrika.
-
Putin: Maadui wa Russia wamejielekeza katika mbinu za wazi za kigaidi
Jul 28, 2026 03:50Rais wa Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa maadui wa nchi hiyo wameamua kutumia mbinu za wazi za kigaidi, na kwamba Moscow itatimiza malengo yake yote ya kijeshi katika vita vya Ukraine na iko tayari kutoa jibu kwa hatua yoyote ya uhasama.
-
Jeshi la Sudan ladai kudhibiti barabara kuu inayounganisha Khartoum na El-Obeid
Jul 28, 2026 03:47Jeshi la Sudan limetangaza kuwa limerejesha udhibiti kamili wa barabara kuu inayounganisha mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum, na El-Obeid, mji ambao umekuwa ukizingirwa na kundi la wanamgambo Rapid Support Forces (RSF).
-
Baqaei: Hatua hatari za kukurupuka za Ukraine zitapewa majibu muwafaka
Jul 28, 2026 03:45Shambulio la Ukraine dhidi ya meli ya Iran lilikuwa kinyume cha sheria, limekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na ni kitendo hatari cha kichokozi.
-
Ansarullah Yemen: Hakuna meli ya Saudi Arabia inayoruhusiwa kupita Lango Bahari la Bab al-Mandab
Jul 27, 2026 10:14Harakati ya Ansarullah yaYemen imesema kuwa Mlango Bahari wa Bab al-Mandab umefungwa kikamilifu kwa Saudi Arabia, huku ikisisitiza msimamo wake kuhusu hatua zinazohusiana na usalama wa njia hiyo muhimu ya baharini.
-
Baghaei: Marekani imesaliti diplomasia kwa mara ya tatu
Jul 27, 2026 09:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema kuwa Marekani imeisaliti diplomasia kwa mara ya tatu, akieleza kuwa hatua za Washington zimeendelea kudhoofisha juhudi za kutatua migogoro kupitia mazungumzo.
-
Maambukizi ya Ebola DRC yazidi kuongezeka, yapindukia visa 3,000
Jul 27, 2026 09:47Maambukizi ya virusi vya Ebola yanaendelea kuongezeka kwa kasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.