-
Araqchi: Kushiriki Uingereza katika mashambulizi dhidi ya Iran kutasajiliwa katika historia ya uhusiano wa nchi mbili
Mar 20, 2026 11:40Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumza kwa simu na mwenzake wa Uingereza, Yvette Cooper, kuhusu taathira za vita vya kulazimishwa vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na hali ya mambo ya sasa katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Ansarullah ya Yemen: Iran inahami mustakbali wake na Umma wa Kiislamu
Mar 20, 2026 11:40Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa yoyote atakayepuuza haki ya Iran ya kujihami atakuwa amemhudumia adui.
-
Beijing yasisitiza kuendelezwa juhudi za usuluhishi ili kurejesha amani Magharibi mwa Asia
Mar 20, 2026 11:25Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema kuwa mashambulizi yanayoendelea katika eneo la Magharibi mwa Asia yamevuruga usafirishaji wa baharini na kwamba Beijing itaendeleza juhudu za usuluhishi ili kufanikisha usitishaji vita na kukomesha uhasama ili kurejesha amani na utulivu katika eneo la Magharibi mwa Asia haraka iwezekanavyo.
-
Msemaji wa IRGC: Uzalishaji wa makombora unaendelea hata wakati wa vita
Mar 20, 2026 08:22Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema: "Hakuna wasiwasi katika uwanja wa makombora kwa sababu tunazalisha makombora hata wakati wa vita, jambo ambalo linashangaza, na hakuna tatizo maalumu katika suala la hifadhi ya makombora yetu."
-
Meya wa New York: Ninapinga mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Mar 20, 2026 08:19Zahran Mamdani, meya Mwislamu wa New York, ametuma ujumbe wa salamu za Sikukuu ya Nowruz na mwaka mpya wa Kiirani kwa Wairani na kutangaza kwamba bado anapinga mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
-
Kivuli cha mauti juu ya mawaziri wa Marekani; ndege zisizo na rubani zamuandama Rubio na Hegseth
Mar 20, 2026 07:30Maafisa wa serikali ya Marekani wamegundua ndege zisizo na rubani zisizojulikana juu ya kambi ya kijeshi huko Washington ambako Waziri wa Mambo ya Nje na Waziri wa Vita wa Marekani wanaishi.
-
Iran yamjibu waziri wa mambo ya nje wa Saudia
Mar 20, 2026 02:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza umuhimu wa hatua za haraka kutoka kwa nchi za eneo la Asia Magharibi ili kuzuia kuendelea kwa matumizi ya ardhi na miundombinu yao na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni katika mashambulizi dhidi ya Iran.
-
Onyo la Pezeshkian kuhusu uhalifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni: Moto wa mgogoro huu utaathiri wengi
Mar 20, 2026 02:57Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa onyo kuhusu uhalifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, akisisitiza kuwa moto wa mgogoro huu unaweza kuenea na kuwaathiri wengi.
-
Jeshi la Iran lalenga ndege ya kivita ya Marekani aina ya F‑35
Mar 20, 2026 02:43Ndege ya kivita ya kimkakati aina ya F‑35 ya Jeshi la Marekani imelengwa kwa kombora na kuharibiwa vibaya ikiwa inaruka katika anga ya kati mwa Iran kwa lengo la kutekeleza mashambulizi.
-
Dunia ya Siku Zijazo
Mar 19, 2026 12:40Hebu, jaribu kufumba macho yako na faradhisha kuwa unaishi katika mwaka wa 2050. Kwa mtazamo wako dunia itakuwaje wakati huo? Mgawanyo wa nguvu umebadilika vipi?