-
Muhammadu Buhari, rais wa zamani wa Nigeria afariki dunia Uingereza alikokuwa matibabuni
Jul 13, 2025 18:27Muhammadu Buhari, rais wa zamani wa Nigeria aliyewahi pia kuitawala nchi hiyo kijeshi amefariki dunia mjini London, Uingereza alikokuwa kipatiwa matibabu akiwa na umri wa miaka 82.
-
Olmert: Walowezi haramu wanafanya 'uhalifu wa kivita' Ufukwe Magharibi kwa uungaji mkono wa utawala
Jul 13, 2025 17:33Waziri mkuu wa zamani wa utawala wa kizayuni Israel Ehud Olmert amekiri kuwa walowezi haramu wa kizayuni wamekuwa wakifanya "uhalifu wa kivita" kila leo dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huku wakilindwa na utawala wa Tel Aviv.
-
Putin: Migongano kati ya Russia na Magharibi haihusiani na idiolojia
Jul 13, 2025 16:28Rais Vladimir Putin wa Russia amesema malengo ya kiukiritimba ya mataifa ya Magharibi na kutupilia mbali kwao wasiwasi wa kiusalama wa nchi yake ndivyo vilivyosababisha mzozo unaoendelea hivi sasa kati ya Moscow na Magharibi.
-
Mabalozi wa nchi 28 wakagua jengo la IRIB lililoshambuliwa na jeshi la kizayuni
Jul 13, 2025 15:40Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, amewapokea mabalozi wanaowakilisha nchi 28 hapa mjini Tehran waliofanya ziara ya kukagua moja ya majengo ya IRIB lililolengwa na shambulio la kigaidi la jeshi la utawala wa kizayuni Israel mwezi uliopita.
-
Wabunge wa Iran waandaa muswada wa kuimarisha vikosi vya ulinzi kwa vita kamili na Israel
Jul 13, 2025 14:16Wabunge wa Iran wamo mbioni kuandaa mswada wa kuongeza bajeti ya matumizi ya kijeshi kwa lengo la kuviimarisha Vikosi vya Ulinzi kwa ajili ya makabiliano ya kijeshi ya pande zote na utawala haramu wa kizayuni wa Israel.
-
UNESCO yaongeza Bonde la Khorramabad la Iran kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia
Jul 13, 2025 14:16Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeongeza rasmi maeneo ya kale ya enzi ya mawe katika Bonde la Khorramabad, lililoko katika jimbo la Lorestan, magharibi mwa Iran, kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia.
-
Euro-Med: Trump afunguliwe mashitaka kwa mauaji ya Wapalestina wanaotafuta misaada
Jul 13, 2025 14:06Kituo cha Euro-Mediterranean Human Rights Monitor kimeikashifu taasisi ya Gaza Humanitarian Foundation (GHF), inayofadhiliwa na Marekani pamoka na utawala haramu wa Israel, kwa mashambulizi ya mara kwa mara na yenye umwagaji damu dhidi ya raia wenye njaa wanaokusanyika kupokea misaada katika Ukanda wa Gaza, kikitoa wito wa kusitishwa haraka shughuli zote za GHF.
-
Kwa nini Trump amemwekea vikwazo Rais wa Cuba?
Jul 13, 2025 14:00Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza vikwazo vipya vya fedha dhidi ya Rais wa Cuba Miguel Díaz-Canel na maafisa wengine waandamizi wa nchi hiyo pamoja na marufuku ya usafiri kwa kisingizio cha kukandamiza maandamano ya amani yaliyofanyika mwaka 2021.
-
Nigeria yawafunga watu 44 waliofadhili kundi la kigaidi la Boko Haram
Jul 13, 2025 13:58Serikali ya Nigeria imewahukumu watu 44 kifungo cha hadi miaka 30 jela kwa makosa ya kufadhili ugaidi, msemaji wa shirika la kupambana na ugaidi nchini humo amebaini.
-
Hizbullah: Mauaji ya Sheikh Shahoud yanalenga kuvuruga umoja na mshikamano wa Syria
Jul 13, 2025 13:54Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali mauaji ya kiongozi maarufu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia, Sheikh Rasoul Shahoud, aliyeuawa katika shambulizi lililotokea katika mkoa wa Homs, Syria ya kati.