-
Kamanda: Baada ya kushindwa vita vya Juni, US na Israel zinaendesha 'vita laini' kuvuruga utulivu Iran
Jan 05, 2026 03:17Kamanda Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel zinaendesha "vita laini" ili kuvuruga uthabiti na utulivu nchini likiwa ni jaribio la kufidia kushindwa kwao katika vita vya siku 12 vya mwezi Juni zilivyoanzisha dhidi ya Iran.
-
Viongozi wa Iraq: Qassem Soleimani alikuwa na mchango mkubwa katika kuliangamiza kundi la Daesh
Jan 05, 2026 02:45Viongozi wa Iraq wamesisitiza mchango muhimu wa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani katika kuliangamiza kundi la kigaidi la Daesh kulinda mafanikio ya ushindi huo.
-
Wanamgambo wa RSF washambulia kwa droni maeneo muhimu ya Sudan
Jan 05, 2026 02:45Wanamgambo wa Kikosi cha Usaidizi wa Haraka (RSF) wameshambulia vituo muhimu vya Sudan kwa kutumia ndege zisizo na rubani, na kusababisha uharibifu mkubwa kwenye vituo hivyo.
-
Umoja wa Maulamaa wa Muqawama wakosoa ulimwengu wa Kiislamu kwa uzembe kuhusu hali ya Gaza
Jan 05, 2026 02:44Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama amekosoa vikali uzembe wa Ulimwengu wa Kiislamu kuhusiana na hali ya Ukanda wa Gaza.
-
Vyombo vya habari vya Israel: Madawa ya kulevya ni kisingizio tu; shabaha ya Trump ni mafuta ya Venezuela
Jan 05, 2026 02:44Vyombo vya habari vya Israel vimekiri kwamba, lengo la Rai wa Marekani Donald Trump la kuanzisha shambulio la kijeshi dhidi ya Venezuela halikuwa kupambana na biashara haramu ya madawa ya kulevya bali kupora rasilimali za nchi hiyo.
-
Kwa nini dunia imelaani hatua za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela?
Jan 05, 2026 02:42Hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela na kutekwa nyara Rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, imekabiliwa na wimbi kubwa la laana na ukosoaji mkubwa kote duniani.
-
Kaimu Rais wa Venezuela: Kuna mkono wa Israel katika utekaji wa Maduro
Jan 04, 2026 12:36Kaimu Rais wa Venezuela, aliyeidhinishwa na Mahakama ya Juu Zaidi nchini humo, amesema kulikuwa na "kivuli cha Wazayuni" katika operesheni ya kutekwa nyara Rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro.
-
Muqawama: Mashambulizi ya Venezuela yameanika dhati ya Marekani
Jan 04, 2026 12:12Makundi ya Muqawama katika eneo la Asia Magharibi sanjari na kulaani kile yalichokiita ugaidi wa kiserikali wa Marekani dhidi ya Venezuela, yamesema mashambulizi na utekaji nyara wa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela kwa mara nyingine tena umeanika dhati na hulka halisi ya Marekani.
-
Umoja wa wananchi na uongozi wenye busara: Siri ya kumshinda adui katika vita laini
Jan 04, 2026 12:11Marekani na washirika wa Ulaya wa Ikulu ya White House wameshindwa katika vita laini dhidi ya Iran ya Kiislamu, licha ya kutumia kiwango kikubwa cha fedha na mashirika ya propaganda na kuenea kwa uwongo.
-
Hizbullah: Iran haijataka chochote kwetu mkabala wa kutusaidia, kutuunga mkono
Jan 04, 2026 11:06Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem amepongeza ustadi wa kijeshi wa aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Luteni Jenerali Qassem Soleimani na kuongeza kuwa, Iran haijataka chochote kutoka kwa harakati hiyo ya Muqawama mkabala wa uungaji mkono wake kwake.