-
Haj Ali Akbari: Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki hauna thamani yoyote kwa watu wa Iran
Nov 21, 2025 11:21Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amekosoa mashirika ya kimataifa kwa hatua zao zisizo na maana na zisizoaminika, akisema: "Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) halina thamani yoyote kwa taifa la Iran."
-
Harakati ya M-23: Mazungumzo ya amani na serikali ya Congo yanaendelea
Nov 21, 2025 10:30Harakati ya M-23 imethibitisha kwamba mazungumzo na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo huko Doha yataendelea katika wiki zijazo.
-
The Guardian: Israel imetumia mabomu yaliyopigwa marufuku dhidi ya Lebanon
Nov 21, 2025 09:57Uchunguzi mpya uliofanywa na gazeti la Uingereza, The Guardian, umebaini kuwa Israel ilitumia mabomu yaliyopigwa marufuku wakati wa vita vyake vya hivi karibuni dhidi ya Lebanon.
-
Vyama vipya 25 vyasajiliwa, 30 vikiwasilisha maombi ya kusajiliwa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Kenya
Nov 21, 2025 09:56Karibu vyama vipya 25 vya kisiasa vimepata usajili wa muda katika kipindi cha miezi michache iliyopita nchini Kenya, huku vingine zaidi ya 30 vikiwasilisha maombi ya kusajiliwa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027.
-
Kupinga Uturuki ombi la Marekani la kuacha kununua gesi ya Russia
Nov 21, 2025 09:00Uturuki imekataa ombi la Marekani la kuitaka Ankara isinunue gesi kutoka Russia na kusema kuwa, haiwezi kuacha kununua gesi ya Russia kwa sababu imesaini makubaliano ya gesi na nchi hiyo na itaendelea kuheshimu makubaliano hayo.
-
Watoto wa Kipalestina katika jahanamu ya jela za Israel
Nov 21, 2025 08:57Jana, tarehe 20 Novemba, dunia iliadhimisha"Siku ya Watoto Duniani," huku hali ya mambo huko Palestina ikionyesha picha tofauti kabisa, ambapo watoto ndio wanaoongoza katika janga linaloendelea kulitesa eneo la Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Araghchi: Iran imejiandaa zaidi kukabiliana na uhasama wa Israel
Nov 21, 2025 08:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu sasa imejiandaa kuliko wakati wowote kukabiliana na uhasama wowote kutoka Israel.
-
Iran yalaani azimio la IAEA kuhusu mpango wake wa nyuklia
Nov 21, 2025 08:00Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali azimio lililopitishwa na Bodi ya Magavana wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), ikilitaja kuwa “batili na lisilo na msingi.”
-
Waasi wa RSF wameharibi viwanda zaidi ya 1,800 huko Khartoum, Sudan
Nov 21, 2025 07:59Waziri wa Viwanda na Biashara wa Sudan, Mahasen Ali Yaqoub, amesema kuwa zaidi ya viwanda 1,800 vimeharibiwa na kundi la waasi wa Rapid Support Forces (RSF) katika jimbo la Khartoum.
-
Rais wa Afrika Kusini akiashiria ubabe wa Marekani asema, hakuna taifa linalopaswa kulitisha jingine
Nov 21, 2025 07:58Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa hakuna taifa linalopaswa kulitisha jingine kwa nguvu za kiuchumi au kijeshi, akieleza kuwa mataifa yote ni sawa. Kauli hiyo ya kupinga ubabe wa Marekani imetolewa mjini Boksburg, mashariki mwa Johannesburg, wakati wa hitimisho la mkutano wa kijamii wa G20.