-
Spoti, Feb 23
Feb 23, 2026 08:13Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Pezeshkian: Kuna ishara 'ya kutia moyo' katika mazungumzo na Marekani, lakini Iran iko tayari kwa hali yoyote
Feb 23, 2026 07:09Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amekaribisha ishara ya "kutia moyo" katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa Tehran lakini amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kwa "hali yoyote inayowezekana."
-
Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa OIC kujadili unyakuzi wa Israel wa ardhi za Palestina
Feb 23, 2026 07:09Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) itafanya mkutano wa dharura katika ngazi ya mawaziri wa mambo ya nje Alhamisi ijayo kujadili maamuzi ya hivi karibuni ya Israel yanayozidisha ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na unyakuzi wa ardhi za Palestina katika Ukingo wa Magharibi.
-
Velayati: Kashfa ya Epstein ilikuwa mwisho wa ustaarabu wa Magharibi
Feb 23, 2026 07:08Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu masuala ya kimataifa amesema: "Uchunguzi kuhusu kesi ya wanasiasa wa Marekani na washirika wao wa Magharibi katika kadhia ya Jeffrey Epstein umeibua kashfa kubwa katika nchi za Magharibi katika nyanja zote."
-
Ghannouchi, akiwa gerezani: Mustakabali wa Tunisia ni uhuru, "hata kama itachukua muda"
Feb 23, 2026 07:08Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Ennahda, Rached Ghannouchi, amesema kwamba mustakabali wa Tunisia ni uhuru, utawala wa sheria na kubadilishana madaraka kwa amani "hata kama itachukua muda."
-
Waislamu wa kaunti kame Kenya walalamikia ukosefu wa maji katika mwezi Ramadhani
Feb 23, 2026 07:06Viongozi wa kidini nchini Kenya wamelalamika kuhusu hali ya ukame inayokumba kaunti zenye idadi kubwa ya Waislamu huku waumini wakiwa katika mfungo wa Ramadhani.
-
Kamanda wa Iran apuuzilia mbali hatua ya US ya kutuma meli za kivita Asia Magharibi; asema ni ya kimaonyesho
Feb 23, 2026 03:40Kamanda wa jeshi la Iran amepuuzilia mbali mkusanyiko wa meli na ndege za kivita za Marekani katika eneo la Asia Magharibi zilizoshuhudiwa wiki chache za hivi karibuni na kuitaja kuwa hatua ya kimaonyesho" huku kukiwa na mvutano kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran na kwamba Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa jibu madhubuti kwa hila hizo za hali ya juu.
-
Marekani yashangaa kwa nini Iran haijasalimu amri licha ya mashinikizo ya kijeshi
Feb 23, 2026 03:40Mjumbe maalum wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, Steve Witkoff, amesema kuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameonyesha mshangao mkubwa kuhusu sababu zinazofanya Iran isikubali masharti ya Washington katika mazungumzo yanayohusu mpango wake wa nyuklia.
-
Ansarullah yalaani mauaji ya umati ya umwagaji damu ya Israel mashariki mwa Lebanon
Feb 23, 2026 03:39Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali "mauaji ya umati ya umwagaji damu" yaliyofanywa na utawala wa Israel katika eneo la Beqaa mashariki mwa Lebanon, na kuuwa takriban watu kumi na kujeruhi wengine wengi.
-
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Feb 23, 2026 03:38Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.