-
Vita vya Sudan: Wapiganaji 318 wa RSF wajiunga na jeshi
Aug 20, 2026 03:21Jeshi la Sudan limeripoti kuwa wapiganaji 318 wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF), wakiwemo makamanda wanne wameasi na kujiunga na jeshi hilo katika tukio la hivi karibuni la wanachama wa kikosi hicho cha kijeshi kuamua kujisalimisha.
-
Maporomoko ya udongo kwenye mgodi wa dhahabu katika mpaka wa Cameron na CAR yaua zaidi ya watu 100
Aug 20, 2026 03:19Zaidi ya watu 100 wamefariki dunia baada ya maporomoko ya udongo kutokea katika mgodi wa dhahabu ulioko katika eneo la mpakani kati ya Cameroon na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Israel imepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita
Aug 20, 2026 03:18Utawala dhalimu wa Israel umepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita.
-
Kamanda wa majeshi ya Iran azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kuhusu kulisaidia jeshi la Marekani
Aug 19, 2026 11:03Mkuu wa Majeshi ya Iran amezionya nchi za kusini mwa Ghuba ya Uajemi kuhusu kulisaidia au kuliruhusu jeshi la Marekani kutumia ardhi za nchi hizo katika uchokozi wake dhidi ya Iran.
-
Gaza na Sudan zaongoza katika orodha ya maeneo hatari zaidi kwa watoa misaada ya kibinadamu
Aug 19, 2026 10:52Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba mwaka 2025 ulishuhudia viwango vya juu vya ukatili dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, ambapo wafanyakazi 907 wa sekta hiyo wameuawa, kujeruhiwa au kutekwa nyara.
-
Rais wa Zambia aahidi kukuza uchumi baada ya kushinda uchaguzi
Aug 19, 2026 10:49Rais Hakainde Hichilema wa Zambia amesema kuwa atatumia muhula wake mpya kukuza uchumi wa nchi hiyo na kuandaa fursa zaidi kwa wananchi ili kupunguza gharama za maisha.
-
Iran yawatimua wanadiplomasia wawili wa Ufaransa kutokana na mienendo yao haramu
Aug 19, 2026 10:05Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imewatangaza wanadiplomasia wawili wa Ufaransa wanaofanya kazi katika Ubalozi wa Ufaransa mjini Tehran kuwa ni watu wasiostahili kutokana na shughuli zao zinazotambuliwa kuwa kinyume na sheria za kimataifa na Mkataba wa Vienna wa 1961 kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia.
-
Mwanasheria Mkuu Kenya akosa kujibu iwapo waliotimuliwa afisini wanaweza kuwania urais au la
Aug 19, 2026 09:38Mvutano wa kisheria kuhusu iwapo viongozi waliotimuliwa afisini kupitia Bunge wanaweza kugombea nyadhifa za kisiasa kabla ya kesi zao kukamilika bado utaendelea kutokota nchini Kenya.
-
WHO: Inawezekana kuitokomeza Ebola ndani ya miezi 3
Aug 19, 2026 09:12Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa bado kuna uwezekano wa kudhibiti mlipuko wa Ebola ambao unaenea kwa kasi inayopiku juhudi za kuuzuia, na ambao umekuwa mlipuko wa pili kwa ukubwa kuwahi kurekodiwa.
-
Kwa nini Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Zimepoteza Imani na Marekani?
Aug 19, 2026 08:00Hali ya kutoridhishwa na Marekani inazidi kuongezeka miongoni mwa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.