-
Picha ya NASA yaonyesha athari za shambulio la Iran kwenye kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha gesi duniani
Mar 19, 2026 11:27Picha za setilaiti za NASA zinaonyesha moto mkubwa uliotokea katika kituo kikubwa zaidi cha kuzalisha gesi duniani huko Qatar.
-
UN yalaani mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya taasisi za gesi na nishati za Iran
Mar 19, 2026 11:02Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika taasisi za gesi na nishati za Iran pamoja na shambulio katika kisima cha gesi cha Pars-Kusini na katika eneo la Asaluyeh.
-
Baqaei: Raia wote wa US wanapaswa kutangaza kuchukizwa na vita haramu vya Trump
Mar 19, 2026 10:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa vita vya sasa si vita vya wananchi wa Marekani. Ismail Baqaei ameeleza haya katika ujumbe aliotuma katika mtandao wa kijamii wa X baada ya kujiuzulu Mkuu wa Kituo cha Taifa cha Kupambana na Ugaidi wa Marekani, Joseph Kent.
-
Indhari ya Gavana wa Benki Kuu ya US kuhusu taathira za kupanda gharama za maisha kutokana na vita na Iran
Mar 19, 2026 10:53Gavana wa Benki Kuu ya Marekani ametahadharisha kuhusu athari mbaya za vita dhidi ya Iran kwa uchumi wa Marekani na kuongezeka gharama za maisha nchini humo.
-
Pezeshkian: Taathira za mashambulizi dhidi ya miundo mbinu ya nishati ya Iran zitaitatiza dunia nzima
Mar 19, 2026 10:50Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ametuma ujumbe na kuandika kuwa: Mashambulizi dhidi ya miundo msingi ya nishati ya Iran yana taathira ambazo ukubwa wake utaitatiza dunia nzima.
-
Uhispania : Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni ukiukaji wa sharia za kimataifa
Mar 19, 2026 09:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania, José Manuel Albares, amesisitiza kwamba Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wameanzisha “vita vya upande mmoja” dhidi ya Iran na huo ni“ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.”
-
Ujumbe wa Rambirambi wa Kiongozi Muadhamu Kufuatia kuuawa shahidi Dkt.Larijani
Mar 19, 2026 09:00Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei, ammetuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kuuawa shahidi kwa Dk. Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, pamoja na mwanawe na baadhi ya wenzake.
-
Hamas na Jihad Islami zalaani mauaji ya mkuu wa baraza la usalama wa taifa la Iran
Mar 19, 2026 08:59Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) Palestina zimelaani mauaji ya afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, na kuahidi kuendeleza njia na msimamo wake.
-
Siku ya ishirini ya mapambano; Wazayuni na Wamarekani watenda jinai katika kinamasi
Mar 19, 2026 07:25Vita vya kichokozi vilivyoanzisha na Marekani kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, sasa vimeingia siku yake ya ishirini.
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran: Tutalipiza kisasi kwa damu ya Shahidi Larijani
Mar 18, 2026 09:55Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Luteni Jenerali Hatami amesema kuwa jibu la Iran kwa mauaji ya kigaidi ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa litakuwa thabiti na la kuwafanya wahusika wajute.