-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Netanyahu ni mtenda jinai anayechukiwa zaidi katika historia
Jan 07, 2026 07:37Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amemtaja Waziri Mkuu wa Israel kuwa mtenda jinai anayechukiwa zaidi katika historia na kusema: "Uongo wa Benjamin Netanyahu dhidi ya miradi ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayoendeshwa kwa malengo ya amani ulikuwa kisingizio tu cha kuhalalisha mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran.
-
Je, Greenland ni Venezuela inayofuata?
Jan 07, 2026 02:58Waziri Mkuu wa Denmark amepinga madai mapya ya Donald Trump kuhusu kuimiliki eneo la Greenland na kuitaka Washington ikome kutoa vutisho dhidi ya mshirika wake huyo wa kihistoria.
-
“Usalama ni Mstari Mwekundu”: Iran yaapa kujibu vikali vitisho vinavyozidi kuongezeka
Jan 07, 2026 02:58Baraza la Ulinzi la Iran limelaani vitisho vinavyozidi kuongezeka, kauli za uchochezi na matamshi ya kuingilia mambo ya ndani, hususan kutoka Marekani, dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, likionya kuwa shambulio lolote dhidi ya usalama, uhuru au mipaka ya ardhi ya taifa litakabiliwa kwa majibu makali.
-
IRGC: Iran haiogopi vitisho na haitakubali kutawaliwa na Marekani
Jan 07, 2026 02:57Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Ahmad Vahidi, amesema kuwa Iran haiogopi vitishio vya maadui na kamwe haitakubali kutawaliwa na Marekani. Ametoa kauli hiyo kujibu vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Somalia yalaani ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Israel huko Somaliland
Jan 07, 2026 02:57Serikali ya Somalia Jumanne imelaani ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel, Gideon Saar, katika Somaliland, ikieleza kuwa ni “uvunjaji wa mamlaka usioidhinishwa” na ikaitaka Tel Aviv kusitisha mara moja hatua zote zinazodhoofisha uhuru na umoja wa ardhi ya Somalia.
-
Wazayuni wamefanya mashambulizi 24,000 katika Ukingo wa Magharibi
Jan 07, 2026 02:56Ripoti ya kila mwaka ya shirika moja la Palestina imefichua kuwa, katika kipindi cha mwaka uliopita wa 2025, Wazayuni wamefanya karibu mashambulizi 24,000 katika eneo la Ukingo wa Magharibi la Mto Jordan huko Palestina.
-
Marekani ilidhani Maduro wa Venezuela ni Noriega, ikapata Mandela
Jan 07, 2026 02:56Ubalozi wa Jamhuri ya Bolivaria ya Venezuela ulioko Tehran, mji mkuu wa Iran, umefananishia Rais Nicolas Maduro , aliyetekwa hivi karibuni , na kiongozi wa kupinga ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini, shujaa Nelson Mandela, ukisisitiza kuwa Marekani imekosea kutathmini uongozi wa Venezuela na wananchi wake.
-
Qalibaf: Israel ilibembeleza kusitisha mapigano wakati wa vita vya siku 12
Jan 06, 2026 12:11Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa: Katika siku chache za mwisho za vita vya siku 12, utawala wa Kizayuni uliomba kwa kubembeleza kusitisha mapigano na ukweli huo unaonesha nguvu ya Muqawama wa taifa la Iran mbele ya wavamizi.
-
Baqaei: Vikosi vya Iran viko macho kukabiliana na vitisho vyovyote vya adui
Jan 06, 2026 12:11Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje amesema kuhusu mazingira yaliyozushwa ya kuonesha kuna uwezekano wa kurudiwa uchokozi wa kijeshi dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa: Kilicho muhimu na kinachotuhusu sisi ni kuimarisha nguvu zetu na kuwa macho zaidi kulihami taifa la Iran.
-
Venezuela yaunda kamati maalumu ya kumkomboa Rais Maduro
Jan 06, 2026 12:10Waziri mmoja wa Venezuela ametoa taarifa ya kuundwa tume maalumu katika bunge la nchi hiyo ya kumkomboa Rais Nicolas Maduro kutoka kwenye makucha ya kibeberu ya Trump na wenzake.