-
New York Times: Iran ndiyo nchi iliyofanikiwa zaidi kudhibiti nguvu za kijeshi za Marekani tangu Vita vya Pili vya Dunia
Mar 28, 2026 06:52Chombo cha habari cha Marekani kimetangaza kwamba Iran ndiyo kikwazo kikubwa zaidi kwa nguvu za kijeshi za Marekani tangu baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
-
Baraza la Haki za Binadamu la UN lalaani kwa kauli moja shambulio la Marekani na Israel dhidi ya shule Minab, Iran
Mar 28, 2026 03:17Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limelaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya Shule ya Shajareh Tayyebeh katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ambapo angalau wanafunzi na wafanyakazi wa shule 175 waliuawa katika mauaji ya kikatili tarehe 28 Februari.
-
Kujiuzulu kwa Joe Kent kunasema mengi
Mar 27, 2026 14:38Katika chapisho la mtandao wa kijamii siku ya Jumanne tarehe 17 Machi, Joe Kent alitangaza kwamba amejiuzulu kama Mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi cha Marekani kwa lengo la kupinga uamuzi wa utawala wa Donald Trump wa kujiunga na Israel katika vita dhidi ya Iran.
-
Jarida la Marekani: Iran inapata ushindi katika vita vya Marekani na Israel
Mar 27, 2026 08:07Jarida la Foreign Affairs la Marekani, limechunguza uwiano wa ushindi na hasara katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kuandika: Tehran inapata ushindi katika vita hivi.
-
Putin: Matokeo ya uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran yanaweza kulinganishwa na athari mbaya za corona
Mar 27, 2026 08:04Rais wa Russia amesema tathmini ya matokeo ya uchokozi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran inaweza kulinganishwa na matokeo mabaya ya janga la virusi vya corona, na vita hivi vimepunguza kasi ya maendeleo ya kanda na mabara yote.
-
Iran yataka Umoja wa Mataifa uwalaani wavamizi na uwawajibishe
Mar 27, 2026 02:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za dhati na kutoa msimamo thabiti na wa wazi katika kulaani tawala zilizoanzisha vita dhidi ya Iran. Aidha ametaka uwezo wa taasisi hiyo na nchi huru utumike kuwawajibisha wahusika wa vita hivyo.
-
Vyanzo vya habari: Trump anahofia ongezeko la vifo vya wanajeshi wa US katika vita na Iran
Mar 26, 2026 10:47Gazeti la Wall Street Journal limeripoti mapema leo Alkhamisi likiwanukuu maafisa wa serikali ya Marekani, kwamba Rais Donald Trump anahaha kutafuta njia ya kukomesha vita na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Guardian: Iron Dome imeshindwa kukabiliana na makombora ya Iran
Mar 26, 2026 10:45Gazeti la The Guardian la Uingereza limeandika katika ripoti inayozungumzia kushindwa kwa Iron Dome katika kukabiliana na makombora ya Iran kwamba: "Mng’aro wa makombora madogo magogo angani nyakati za usiku limekuwa jambo la kawaida kwa Waisraeli, huku Iran ikiendelea kutumia vyema udhaifu wa ulinzi wa anga wa utawala wa Israel."
-
Seneta wa Marekani: Vita na Iran ndio vita ya kijinga zaidi katika historia ya Marekani
Mar 26, 2026 08:10Seneta wa chama cha Democratic cha Marekani, Chris Murphy, amesema katika ujumbe wake: "Vita na Iran ni vita vya kijinga zaidi katika historia ya Marekani."
-
Duru za uchumi: Mgogoro wa vita vya Iran umelishtua bara Ulaya
Mar 26, 2026 08:07Duru za kiuchumi za kimataifa zinasema mgogoro uliojitokeza kutokana na uchokozi na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umelishtua na kuliacha bara la Ulaya katika hali ya sintofahamu.