-
Mgogoro wa itibari ya kimaadili ya nchi za Magharibi kuhusu suala la Palestina
Sep 23, 2025 09:52Kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa haoni kinachoendelea katika eneo hilo kuwa ni mauaji ya kimbari.
-
White House: Trump atakutana na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kujadili kadhia ya Ghaza
Sep 23, 2025 06:57Msemaji wa ikulu ya White House Karoline Leavitt ametangaza kuwa rais wa Marekani Donald Trump anatazamiwa kufanya mkutano na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kujadili kadhia ya Ghaza.
-
Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Hali ya Ghaza haikubaliki, vita lazima vikome
Sep 23, 2025 06:30Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Annalena Baerbock ameuambia mkutano wa suluhisho la mataifa mawili uliofanyika makao makuu ya umoja huo jana Jumatatu: "nchi-dola huru ya Palestina lazima ianzishwe".
-
Marekani inatafakari kuiwekea vikwazo mahakama nzima ya ICC kwa kuchunguza jinai za Israel Ghaza
Sep 23, 2025 06:29Marekani inatafakari juu ya kuiwekea vikwazo vikali Mahakama nzima ya Kimataifa ya Jinai (ICC) mapema wiki hii, hatua ambayo inaweza kuvuruga sana shughuli za mahakama hiyo katika kuchunguza uhalifu wa kivita uliofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel huko Ghaza.
-
Rais wa Baraza la EU: Lengo hasa la Israel ni kuufanya uundwaji wa nchi ya Palestina usiwezekane
Sep 23, 2025 02:57Rais wa Baraza la Ulaya Antonio Costa amesema hatua za kijeshi zinazochukuliwa na Israel huko Ghaza si suala tena la kujilinda na zinaonekana kuwa na lengo la kuufanya uundaji wa nchi ya Palestina hapo baadaye usiwezekane.
-
Kwa nini Trump anang'ang'ania kuikalia kwa mabavu tena kambi ya Bagram ya Afghanistan?
Sep 23, 2025 02:35Kambi ya Jeshi la Anga ya Bagram, ni moja ya vituo muhimu vya kijeshi nchini Afghanistan, na ni umuhimu hasa kutokana na kwamba ipo kwenye eneo la kimkakati, miundombinu yake ni ya hali ya juu, na inabeba jukumu muhimu katika masuala ya kijeshi, kisiasa na kijiografia.
-
Bandari za miji 60 ya Italia zafungwa ili kuiunga mkono Ghaza
Sep 22, 2025 12:25Sekta mbalimbali za kiuchumi na huduma katika miji 60 ya Italia, kutoka bandari hadi usafiri wa umma, zimefungwa kwa saa 24 leo Jumatatu kutokana na mgomo wa umma ulioitishwa kwa ajili ya kuliunga mkono taifa madhlumu la Palestina hususan wananchi wa Ghaza.
-
EU yagawanyika juu ya kifurushi cha vikwazo dhidi ya Russia
Sep 22, 2025 02:44NATO imepeleka ndege tatu za kivita za Ufaransa huko Poland Mashariki kwa kile kilichotajwa kuwa ni sehemu ya kukabiliana na Russia. Wachambuzi wengi wanasema kuwa, ni vitendo kama hivyo vya jeshi la nchi za Magharibi NATO la kutanua uwepo wake karibu na Russia ndivyo vilivyozusha na kushadidisha mgogoro wa Ukraine.
-
Trump atoa vitisho dhidi ya Afghanistan endapo Taliban haitaikabidhi US kituo cha anga cha Bagram
Sep 21, 2025 03:24Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuchukua hatua kali ambazo hakuzitaja iwapo serikali ya Taliban nchini Afghanistan itakataa kukabidhi kituo cha jeshi la anga cha Bagram, ambacho kilitelekezwa wakati majeshi ya Marekani. yalipoondoka kifedheha katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Kupinga nchi za Magharibio azimio la kuondolewa vikwazo Iran
Sep 21, 2025 02:35Nchi za Magharibi zimezuia kupitishwa azimio katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililopendekezwa na Korea Kusini kuhusu kuongezwa muda wa kuondolewa vikwazo vya nyuklia Iran.