-
The Guardian: Trump ndiye adui nambari moja wa jamii ya kimataifa
Jul 20, 2026 10:15Gazeti la Uingereza The Guardian limemuelezea Rais wa Marekani Donald Trump kuwa ndiye “adui wa nambari moja wa jamii ya kimataifa”, likikosoa sera na hatua zake katika masuala ya kimataifa.
-
Hamas yapongeza ushindi wa Uhispania katika Kombe la Dunia, yasema ni pigo kwa utawala wa Kizayuni
Jul 20, 2026 04:12Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Palestina, Hamas, ametoa pongezi za dhati kwa Uhispania kufuatia ushindi wake baada ya mechi ngumu katika fainali ya Kombe la Dunia la FIFA la mwaka 2026, akielezea mafanikio hayo kuwa ni chanzo cha furaha kwa watu wa Palestina na wafuasi wote wa haki, huku akibainisha kuwa ushindi huo ni pigo hasa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na wafadhili wake.
-
Baada ya vita dhidi ya Iran: Akiba ya mafuta ya Marekani yashuka hadi kiwango cha chini zaidi
Jul 20, 2026 04:03Gazeti la Eurasia Daily limeripoti kuwa mvutano unaoendelea katika eneo la Asia Magharibi umesababisha akiba ya mafuta ya Marekani kushuka hadi kiwango cha chini zaidi katika kipindi cha miaka 43 iliyopita.
-
Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?
Jul 18, 2026 09:49Rais Donald Trump wa Marekani ameachana na mpango wake wa kutoza ushuru wa asilimia 20 kwenye Lango Bahari la Hormuz. Trump ambaye awali alidai kwamba Marekani ina nia ya kuwa "mlinzi wa Lango-Bahari la Hormuz" na kusema atatoza ushuru wa asilimia 20 kwenye njia hii ya maji ambayo hana mamlaka nayo, hatimaye ameachana na ndoto hiyo isiyothibiti.
-
WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR
Jul 18, 2026 09:09Umoja wa Mataifa umeonya kwamba kusafirisha miili za waathiriwa wa virusi vya Ebola kati ya maeneo mbalimbali kwa ajili ya mazishi katika miji yao kunaweza kuchangia kuenea kwa maambukizi, wakati huu ambapo idadi ya maambukizi ya virusi hivyo imeongezeka kwa takriban 70% katika wiki mbili, huku zaidi ya maambukizi 40 mapya yakirekodiwa kila siku kwa wastani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Tucker Carlson: Marekani inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma
Jul 18, 2026 03:12Mwanahabari maarufu wa kihafidhina wa Marekani amesema kwamba nchi hiyo inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma.
-
Muqawama wa Kiislamu wa Iraq watangaza zawadi ya dola milioni 10 kwa atakayemuua Trump
Jul 17, 2026 11:43Muqawama wa Kiislamu wa Iraq (Islamic Resistance in Iraq) umetangaza zawadi ya dola milioni 10 za Marekani kwa mtu yeyote atakayemuua Rais wa Marekani, Donald Trump.
-
Waziri Mkuu wa Malaysia asema raia yeyote wa Israel atakayepatikana nchini huko atafukuzwa mara moja
Jul 16, 2026 03:07Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, amesema Muisraeli yeyote atakaopatikana akiingia nchini humo atafukuzwa mara moja. Amesema hayo huku mamlaka za Malaysia zikichunguza ripoti kwamba Waisraeli walitumia hati mbili za kusafiria kuingia katika jimbo la kusini la Johor.
-
EU yaunga mkono ICC, yapinga kampeni ya Trump ya kuvunja mahakama ya uhalifu wa kivita
Jul 16, 2026 02:55Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza tena uungaji mkono wake kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ukipinga kampeni mpya ya utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump ya kudhoofisha mahakama hiyo yenye makao yake makuu The Hague nchini Uholanzi.
-
Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?
Jul 15, 2026 06:27Mgogoro unaoendelea wa Marekani na Iran umefichua kwa uwazi zaidi kuliko huko nyuma, mipasuko ya kisiasa iliyopo huko Washington. Huku utawala wa Donald Trump ukisisitiza kuendeleza operesheni za kijeshi, upinzani unaongezeka bungeni, miongoni mwa umma kwa ujumla, na hata miongoni mwa baadhi ya Warepublican.