-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Marekani inatumia 'sheria ya mwituni' badala ya diplomasia
Dec 27, 2025 10:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema kwamba Marekani inafuata "sheria ya mwituni" badalaya ya diplomasia, ikitumia nguvu na vikwazo ili kuendeleza maslahi yake.
-
Sababu za kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
Dec 27, 2025 02:23Ripoti mpya ya Shirika la Haki za Kimsingi la Umoja wa Ulaya (FRA) ya mwaka wa 2025 imefichua sura isiyo ya kawaida ya kuenea chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya.
-
Trump asema US imeshambulia kijeshi ndani ya Nigeria kuwalenga wanaoua wakristo wasio na hatia
Dec 26, 2025 07:31Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limefanya shambulio la anga dhidi ya wapiganaji wa kundi la DAESH (ISIS) au ISIL kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Papa Leo azungumzia madhila ya Wapalestina wa Ghaza katika ibada ya Krismasi
Dec 26, 2025 06:30Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amesema katika mahubiri ya Krismasi aliyotoa jana Alkhamisi kwamba anasikitishwa na madhila yanayowafika Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
-
Shukurani za Venezuela kwa Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuitetea Caracas
Dec 26, 2025 02:48Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Venezuela ameisifu Iran kwa misimamo yake thabiti ya kutetea mamlaka ya kujitawala Caracas.
-
Tahadhari kuhusu ongezeko la utapeli mtandaoni
Dec 25, 2025 11:46Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu UNODC imeonya kuwa kuongezeka kwa muunganisho wa kidijitali kunakwenda sambamba na ongezeko kubwa la uhalifu wa mtandaoni.
-
Kwa nini Marekani inashadidisha mazingira ya vita dhidi ya Venezuela?
Dec 25, 2025 02:36Marekani, kwa mara nyingine tena, imeimarisha uwepo wake kijeshi huko Caribbean.
-
Mwanaharakati Muaustralia aliyesilimu kutokana na Palestina: Nashangaa watu wote si Waislamu
Dec 24, 2025 06:18Robert Martin, mwandishi na mwanaharakati Muaustralia mtetezi na muungaji mkono wa Palestina, ambaye amesilimu hivi karibuni amesema, uungaji mkono wake kwa Palestina na safari yake ya kiimani kuelekea kwenye dini tukufu ya Uislamu vimechochewa na miaka kadhaa ya uanaharakati na tajiriba aliyopata katika safari za misafara ya meli za Uhuru, ambazo zimejaribu kuvunja kizuizi kilichowekwa na Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
-
'Futa kauli au jiuzulu': CAIR yamkemea Mkuu wa Intelijensia kwa kudai Uislamu ndiyo tishio kuu kwa US
Dec 24, 2025 06:17Jumuiya kubwa zaidi ya kutetea haki za kiraia ya Waislamu nchini Marekani ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (Cair) (The Council on American Islamic Relations) imemtaka mkurugenzi wa intelijensia ya taifa ya nchi hiyo Tulsi Gabbard ajiuzulu au afute kauli yake ya kudai kwamba tishio kubwa kwa nchi hiyo ni "Sharia za Kiislamu" na ambazo amesema "zinatishia ustaarabu wa magharibi".
-
Vence adai Ulaya itakuwa hatari kwa Marekani, kwa kuwa eti itatawaliwa na Waislamu
Dec 23, 2025 11:56Makamu wa Rais wa Marekani J.D. Vance amedai kuwa, Ulaya Magharibi yenye silaha za nyuklia inaweza kuwa hatari kubwa ya kiusalama kwa Marekani ikiwa utambulisho wa kitaifa wa nchi zake utaendelea kubadilika kutokana na uhamiaji mkubwa unaofanyika katika nchi hizo.