-
Uongozi wa mashirika ya kidini na kisayansi ya Iran wapongeza msimamo wa Papa kuhusu vita vya Marekani na Israel
Apr 19, 2026 10:57Wenyeviti wa taasisi za kidini na kisayansi za Iran, katika barua ya pamoja kwa kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, wamepongeza "msimamo wake wa ujasiri" na kueleza matumaini kuwa utasaidia kumaliza migogoro inayoendelea.
-
Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima
Apr 19, 2026 10:51Mwandishi wa kituo cha Aljazeera huko Washington anasema kuwa Rais Donald Trump Marekani anatafuta jinsi ya kutoka kwenye vita na Iran kwa njia ya heshima.
-
Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka
Apr 19, 2026 10:39Mshauri wa Mkuu wa zamani mkuu wa Ikulu ya White House wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump ameonya kuwa upungufu wa akili wa rais wa Marekani umeongezeka kwa kiasi kikubwa.
-
Kamala Harris: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni jaribio la kuvuruga kesi ya Epstein
Apr 19, 2026 10:30Makamo wa zamani wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anasema Rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump alilazimika kuingia vitani na Iran akishirikiana na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, 'katika jaribio dhaifu la kupindisha na kupitisha mazingatio ya raia wa Marekani kutoka kwenye kesi ya Epstein.'
-
Kinara wa Liberal Democrats Uingereza asema Trump ni jambazi fisadi na hatari
Apr 15, 2026 08:12Mwanasiasa wa Uingereza amemtaja Donald Trump, rais wa Marekani, kuwa jambazi fisadi na hatari, na kusisitiza kuwa kitendo chake cha kuzingira Mlango-Bahari wa Hormuz kinaweza kuhatarisha usitishaji mapigano dhaifu kati ya Tehran na Washington.
-
Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House
Apr 12, 2026 09:47Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.
-
Muigizaji wa Marekani: Trump anastahili kuwa gerezani sio White House
Apr 12, 2026 09:47Muigizaji mmoja wa Marekani amesema kwamba rais wa nchi hiyo, Donald Trump, anastahili kufungwa jela na siyo kuwa White House.
-
Je, wimbi la kuuzuliwa makamanda wakuu jeshini nchini Marekani linaweza kuwa ushindi mwingine wa kistratijia kwa Iran?
Apr 06, 2026 07:52Wimbi la kutimuliwa makamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Marekani kufuatia kushindwa kimkakati kwa nchi hiyo dhidi ya Iran limeibua mgogoro mkubwa zaidi wa kamandi katika Wizara ya Vita ya nchi hiyo, Pentagon.
-
Seneta wa Marekani: Mr. Trump, Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi
Apr 06, 2026 02:27Seneta wa Marekani amekemea vitisho na matusi ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump dhidi ya Iran, akisema: Mlango Bahari wa Hormuz haufunguliwi kwa matusi na lugha chafu, bali ni lazima kufanya mazungumzo na Iran.
-
Madrid: Hatutadanganywa tena na Marekani; kwa uzoefu wa Iraq, hapana kwa vita ndio njia pekee
Apr 06, 2026 02:13Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza kuwa nchi hiyo haitadanganywa tena na Marekani kuhusu vita dhidi ya Iran.