-
Guterres: Mwenendo wa vita wa Israel huko Gaza 'kimsingi si sahihi'
Dec 04, 2025 07:46Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani namna Israel ilivyoendesha vita dhidi ya Gaza na kuutaja mwenendo huo kuwa kimsingi si sahihi. Amesema, kuna sababu kubwa" za kuamini kwamba wanajeshi wa Israel wametenda jinai za kivita katika ardhi ya Palestina.
-
Meya wa Minneapolis apinga matamshi ya Donald Trump dhidi ya Wasomali
Dec 04, 2025 07:45Maafisa katika mji wa Minneapolis nchini Marekani wameungana ili kuondoa hofu iliyotanda miongoni mwa jamii kubwa ya Wasomali katika mji huo.
-
China yapinga uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Venezuela
Dec 04, 2025 04:04Serikali ya China imetangaza kuwa, inapinga vikali uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela.
-
Papa Leo: Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya zinachochewa na wanaotaka kuwatenga wengine
Dec 03, 2025 10:48Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amesema, chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) barani Ulaya mara nyingi huchochewa na wale wanaotaka kuwatenga watu wa imani na mbari tofauti na zao.
-
Mbunge Ilhan Omar amjibu Trump kwa kumwita yeye na wahamiaji Wasomali "takataka"
Dec 03, 2025 10:39Ilhan Omar, mbunge Muislamu anayewakilisha jimbo la Minnesota kwa tiketi ya chama cha Democrat amejibu mapigo kwa rais wa nchi hiyo Donald Trump baada ya kiongozi huyo kuanzisha tena mashambulizi ya matusi ya kibaguzi dhidi yake na jamii ya Wasomali wa jimbo la Minnesota.
-
Russia: Hakuna mazungumzo ya kusitisha mapigano mkesha wa Mwaka Mpya
Dec 03, 2025 06:36Msemaji wa Ikulu ya Russia, Kremlin, amesema kuwa, hakuna mazungumzo yoyote yaliyofanyika kuhusu kusimamishwa vita wakati wa mkesha wa X-Mass na mwaka mpya huko Ukraine.
-
Putin: Tuko tayari kupigana na Ulaya kama itataka vita
Dec 03, 2025 03:17Rais wa Russia, Vladimir Putin, ameishambulia vikali Ulaya katika matamshi yake ya jana Jumanne, akitangaza utayarifu wa nchi yake kupigana vita dhidi Ulaya, anayoituhumu kuwa inafanya jitihada za kuharibu makubaliano ya kusimamisha mapigano nchini Ukraine na kuishinda Russia kistratijia.
-
Maduro aapa Venezuela haitakubali "amani ya utumwa" ya Marekani
Dec 03, 2025 02:50Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, amesema Caracas haitainama mbele ya shinikizo la kijeshi na kisiasa kutoka Washington, akisisitiza taifa hilo linapinga aina yoyote ya amani ambayo ni sawa na "utumwa" kwa Marekani.
-
WHO yaafiki matumizi ya dawa za kupunguza uzito, utipwatupwa ni ugonjwa sugu
Dec 03, 2025 02:47Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO limetoa mwongozo wake wa kwanza kuhusu matumizi ya kundi jipya la dawa za kupunguza uzito, hatua inayowakilisha mabadiliko makubwa katika sera za afya duniani wakati viwango vya unene wa kupitiliza au utipwatupwa vikizidi kuongezeka.
-
Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?
Dec 02, 2025 07:15Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesisitiza kuwa, nchi yake itaendelea kulinda rasilimali zake kwa nguvu zote mbele ya tamaa ya kuchupa mipaka ya Marekani.