Apr 18, 2024 11:43
Mwanasiasa maarufu wa Uingereza amejibu mashambulizi ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, akihoji: "Kwa nini hukulaani vikali shambulio la Israel kwenye sehemu ya ubalozi mdogo wa Iran mjini Damascus, Syria."