Dunia
-
UN yakosoa ubaguzi wa rangi uliopo katika mfumo wa utoaji haki wa Marekani
Oct 01, 2023 03:39Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamekosoa vikali ubaguzi wa rangi uliopo katika mfumo wa utoaji haki wa Marekani.
-
Nchi za Kiislamu zalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya hafla ya Maulidi nchini Pakistan
Oct 01, 2023 02:54Nchi za Kiislamu zimelaani vikali mashambulizi mawili ya kigaidi ambayo yamesababisha vifo vya watu wengi nchini Pakistan.
-
Mpango wa Ufaransa wa kupiga marufuku hijabu katika michezo ya Olimpiki ya Paris wapigwa veto
Sep 30, 2023 15:47Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa imepinga mpango wa Ufaransa wa kupiga marufuku vazi la hijabu katika michezo ya Olimpiki ya Paris 2024.
-
Kashif Asrar: Umoja wa Kiislamu ni nembo ya mshikamano wa Waislamu
Sep 30, 2023 15:46Mwanazuoni wa madhehebu ya Suni nchini Ghana amesema kuwa, umoja wa Kiislamu chini ya uongozi wa Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, unastahiki sifa na ni nembo ya mshikamano wa Waislamu.
-
Polisi ya Sweden yampatia kibali tena Momika cha kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu
Sep 30, 2023 07:25Vyombo vya habari vya Sweden vimetangaza kuwa, Salwan Momika leo atarudia tena kitendo kiovu na cha kishenzi cha kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu mjini Malmö kwa kibali rasmi cha Polisi ya nchi hiyo.
-
UN yatuma ujumbe wake Nagorno-Karabagh kwa mara ya kwanza baada ya takribani miaka 30
Sep 30, 2023 06:45Umoja wa Mataifa utatuma ujumbe katika eneo la Nagorno-Karabakh kwa mara ya kwanza baada ya takribani miaka 30, kufuatia makubaliano uliyofikia na Serikali ya Azerbaijan juu ya suala hilo.
-
Waziri wa Russia: BRICS itaanzisha mfumo mbadala wa SWIFT
Sep 30, 2023 04:38Waziri wa Fedha wa Russia amedokeza kuwa, nchi wanachama wa kundi la BRICS zinajiandaa kuanzisha mfumo wa mawasiliano ya kibenki kama mbadala wa ule wa SWIFT wa Wamagharibi.
-
Magaidi Pakistan waua watu 52 katika sherehe za Maulidi
Sep 29, 2023 13:07Takriban watu 52 wameuawa na zaidi ya watu 80 kujeruhiwa katika mlipuko katika jimbo la kusini magharibi la Balochistan nchini Pakistan, kulingana na maafisa wa eneo hilo.
-
Kukita mizizi ubaguzi katika kikosi cha polisi Marekani
Sep 29, 2023 12:46Kwa mujibu wa wataalamu wa Umoja wa Mataifa, ubaguzi wa rangi uliokithiri unaonekana katika vikosi vya polisi na mfumo wa mahakama wa nchini Marekani.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu
Sep 29, 2023 08:17Marta Hurtado, Msemaji wa Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, Jumatano alikosoa marufuku ya uvaaji hijabu kwa wanariadha wa Ufaransa katika michezo ya Olimpiki ya 2024, ambayo imepangwa kufanyika Paris mwaka ujao.