-
Katibu Mkuu wa UN: Hatua kali zaidi zichukuliwe kukomesha ubaguzi kwa sababu ya dini
Aug 23, 2026 03:24Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kukomesha vurugu na ubaguzi dhidi ya watu kwa sababu ya dini au imani yao, akionya kuwa mashambulizi dhidi ya jumuiya za kidini ni shambulio dhidi ya haki za binadamu na utu wa binadamu.
-
ICC yalaani na kupinga vikali vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya maafisa wake
Aug 20, 2026 10:36Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, imelaani na kupinga vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Rais wa Mahakama hiyo, Jaji Tomoko Akane kutoka Japan, na Wakili Mwandamizi wa Ofisi ya Mwendesha Mashtaka, Abdoulaye Seye kutoka Senegal.
-
Vita dhidi ya Iran na Mgogoro katika Akiba ya Kimkakati ya Mafuta ya Marekani
Aug 20, 2026 06:22Vita dhidi ya Iran vimesababisha akiba ya kimkakati ya mafuta ya Marekani kushuka hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miongo mine iliyopita.
-
Mearsheimer: Marekani haina budi isipokuwa kukubali matakwa ya Iran
Aug 20, 2026 03:28Msomi na mtaalamu mashuhuri wa masuala ya siasa za kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amesema kuwa Marekani haina chaguo jingine bali kukubali matakwa ya Iran.
-
Gaza na Sudan zaongoza katika orodha ya maeneo hatari zaidi kwa watoa misaada ya kibinadamu
Aug 19, 2026 10:52Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba mwaka 2025 ulishuhudia viwango vya juu vya ukatili dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, ambapo wafanyakazi 907 wa sekta hiyo wameuawa, kujeruhiwa au kutekwa nyara.
-
Namna Dunia Inavyorejea katika Enzi za Ukatili na Ufedhuli?
Aug 18, 2026 11:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alisema karibuni hivi kwamba "matumizi ya nguvu za wazi na madai ya kumiliki rasilimali za mataifa mengine ni ishara zinazoonyesha kuwa tunarejea kwenye zama za kale za matumizi ya nguvu, ambalo lilikuwa jambo la kawaida na lisilodhibitiwa."
-
Hali mbaya ya afya ya akili ya askari wa Marekani ndani ya meli ya kivita ya USS Abraham Lincoln
Aug 18, 2026 03:19Wasiwasi umeongezeka kuhusu kuzorota afya ya kiakili ya wanajeshi waliopo ndani ya meli kubwa ya kivita ya Marekani, USS Abraham Lincoln, huku meli hiyo ikikaribia kumaliza muda wake mrefu zaidi baharinim hali inayopelekea maafisa wa Marekani kukabiliwa na ukosoaji mkali kuhusu mazingira mabovu ndani ya meli hiyo.
-
Maandamano Ujerumani na Korea Kusini kupinga utawala wa Kizayuni na kuunga mkono wananchi wa Palestina
Aug 17, 2026 06:02Maandamano makubwa yamefanyika nchini Ujerumani na Korea Kusini kupinga sera na vitendo vya kikatili vya utawala wa Kizayuni na kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina.
-
ILO: Mafunzo ya ufundi yatumike kukabiliana na ongezeko la ukosefu wa ajira kwa vijana
Aug 13, 2026 10:34Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana duniani umeongezeka, huku ukuaji dhaifu wa uchumi na upungufu wa nafasi mpya za kazi ukiwaweka vijana katika mazingira magumu ya kuingia katika soko la ajira.
-
Ripoti: Maafisa wa Uturuki waamini Israel ilitunga ‘njama ya Iran’ ya kumuua Trump
Aug 13, 2026 10:33Ripoti mpya inaonyesha kwamba madai ya njama ya Iran ya kumuua Rais wa Marekani Donald Trump wakati wa mkutano wa hivi karibuni wa NATO nchini Uturuki yalikuwa ni upotoshaji uliopikwa na shirika la kijasusi la Israel, Mossad, kwa lengo la kuvuruga mazungumzo ya Iran na Marekani yaliyolenga kumaliza kabisa uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran.