-
Mgombea ugavana wa Republican huko Florida: Ukuta wa Kuomboleza huko Israel ni ukuta wa kijinga
Feb 11, 2026 06:56Mgombea wa chama cha Republican katika nafasi ya gavana wa Florida, James Fishbach, amezua mzozo wa kisiasa baada ya shambulio lake la moja kwa moja dhidi ya Ukuta wa Magharibi (Wailing Wall) na ahadi yake ya kukata uhusiano wote wa kiuchumi na Israel kama atashinda kiti hicho.
-
Ramaphosa na Putin wajadili suala la kuhitimisha vita kati ya Russia na Ukraine
Feb 11, 2026 06:55Rais wa Vladimir Putin wa Russia amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ambapo pande hizo mbili zimejadili kuhusu suluhu inyoweza kufikiwa nchini Ukraine.
-
Macron: Utawala wa Trump una uadui na Umoja wa Ulaya na unataka kuuvunja
Feb 11, 2026 06:55Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amesema kwamba utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump unaonyesha uadui dhidi ya Umoja wa Ulaya na unataka kuuvunja.
-
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya 'kuabudu shetani' ya watu mashuhuri wa Magharibi
Feb 10, 2026 03:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake ni ushuhuda wa kuporomoka kimaadili shakhsia muhimu na maarufu wa Magharibi.
-
Maandamano katika miji mikuu mingi ya kutaka kuingizwa misaada Gaza na kulaani jinai za Israel
Feb 09, 2026 06:38Miji mikuu mingi ya dunia imeendelea kushuhudia maandamano ya kulaani ukiukaji unaoendelea wa utawala wa Kizayuni wa makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.
-
Kwa nini China inatetea "haki ya nyuklia" ya Iran?
Feb 09, 2026 02:23China kwa mara nyingine tena imesisitiza juu ya kutetea haki ya nyuklia ya Iran.
-
Italia yasema haiwezi kujiunga na 'Bodi ya Amani' ya Trump, sababu ni kukinzana na katiba yake
Feb 08, 2026 06:18Italia imesema haiwezi kujiunga na kinachoitwa "Bodi ya Amani" ya Rais wa Marekani Donald Trump kutokana na "mpaka wa kikatiba" ukiwa ni mkwamo mpya na wa karibuni zaidi kukikabili "chombo hicho cha kimataifa cha kujenga amani", alichojibunia rais wa Marekani.
-
Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?
Feb 07, 2026 11:41Donald Trump, ambaye anajiona kama rais wa amani, amekariri madai yake dhidi ya uwezo wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuhalalisha mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, akidai kwamba bila hivyo, amani katika Asia Magharibi isingewezekana.
-
Guardiola ajibu mapigo dhidi ya Baraza la Wayahudi, apinga tena mauaji ya watu wasio na hatia huko Gaza
Feb 07, 2026 07:24Meneja wa timu ya Manchester City, Pep Guardiola aliisisitiza jana Ijumaa kwamba atapaza sauti yake waziwazi wakati wowote "watu wasio na hatia wanapouawa" popote pale duniani, akijibu ukosoaji wa Baraza la Wawakilishi wa Jumuiya ya Wayahudi la Jiji la Manchester nchini Uingereza.
-
Trump anakabiliwa na tuhuma za ubaguzi wa rangi baada ya kuchapisha video inayomuonyesha Obama na mkewe kama nyani
Feb 07, 2026 05:47Rais wa Marekani, Donald Trump, amezua hasira katika duru za kisiasa baada ya kurusha mkanda wa video kwenye jukwaa lake la "Truth Social" akitangaza nadharia za njama za uchaguzi ikiwa na kile kilichoelezwa kuwa maudhui ya "ubaguzi wa rangi" yanayomuonyesha Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama na mkewe, Michelle kama nyani.