-
Maandamano ya kuunga mkono Iran kutoka London hadi Auckland
Apr 06, 2026 02:09Maandamano ya kulaani hujuma za kijeshi za Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran yangali yanaendelea katika pembe mbalimbali za dunia.
-
WHO yalaani hujuma ya Israel na Marekani dhidi ya kituo cha nyuklia Iran
Apr 05, 2026 22:19Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu kuendelea kwa mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran, akionya kuwa hatua hiyo inaweza kusababisha janga la nyuklia.
-
Marekani yapiga marufuku kuchapishwa picha za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome za nchi hiyo
Apr 05, 2026 06:12Katika jitihada za kudhibiti picha za athari za mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya ngome na vituo vyake, Marekani imepiga marufuku kuchapishwa na kuonyeshwa picha za setilaiti za maeneo yanayohusika katika vita dhidi ya Iran.
-
New Yorker: Hali ya vita dhidi ya Iran ni tofauti na matarajio ya Trump na Hegseth
Apr 05, 2026 05:38Gazeti la New Yorker la Marekani limekosoa vita vya Marekani na dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, vita hivi vimeonyesha kwamba hali halisi ni tofauti na matarajio ya viongozi wa nchi hiyo.
-
Kapteni wa Timu ya Taifa ya Bosnia: Kwa heshima ya haki na uadilifu tumekataa kuwapa mkono Waisraeli
Apr 05, 2026 05:37Kapteni wa timu ya taifa ya soka ya Bosnia na Herzegovina chini ya miaka 21 amesema kuwa kuheshimu haki na uadilifu ndiyo sababu iliyowazuia wachezaji wa timu hiyo kuwapa mkono wachezaji wa timu ya Israel.
-
Russia yalaani hujuma ya Marekani, Israel dhidi ya kituo cha nyuklia cha Bushehr
Apr 05, 2026 03:06Maria Zakharova, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, ametangaza kuwa Moscow inalaani vikali mashambulio ya hivi karibuni dhidi ya kituo cha Nyuklia cha Bushehr kilichoko kusini mwa Iran.
-
Askofu Mkuu wa Wakatoliki Jeshi la Marekani: Vita dhidi ya Iran haviendani na mafundisho ya Kikristo
Apr 04, 2026 04:22Afisa wa juu zaidi wa Kikatoliki katika Majeshi ya Marekani amesema kuwa vita dhidi ya Iran si vya haki na haviendani na mafundisho ya Kikristo.
-
Mwakilishi wa Texas: Kuwapiga mabomu watoto wasio na hatia katika shule ya Minab ni tusi kwa Yesu Kristo
Apr 03, 2026 06:35Mwanasiasa mtajika wa Marekani amelitaja shambulio lililofanywa na Washington dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajarah Tayyiba huko Minab, kusini mwa Iran, kuwa ni dharau na dhihaka kwa Yesu Kristo (Isa Masih AS).
-
Waziri wa Vita wa Marekani awatimua majenarali baada ya kushindwa kwa vita dhidi ya Iran
Apr 03, 2026 04:58Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth, amemlazimisha Mkuu wa Majeshi ya Marekani (Army Chief of Staff), Jenerali Randy George, kustaafu mara moja, huku kukiwa na mgogoro unaozidi kuongezeka ndani ya uongozi wa kijeshi nchini humo kufuatia kushindwa kwa vita dhidi ya Iran.
-
Imejaa uongo, udanganyifu: Wabunge wa Marekani wakosoa hotuba ya Trump kuhusu vita dhidi ya Iran
Apr 02, 2026 07:17Wabunge wa Marekani wamelaani hotuba ya Rais Donald Trump kwa taifa kutokana na kuwa na mchanganyiko wa ajabu wa udanganyifu na uongo kuhusu malengo na mafanikio yanayodaiwa katika vita vya uchokozi vya Washington na Tel Aviv dhidi ya Iran.