-
Raia 5 wauawa katika mashambulizi ya India huko Kashmir
May 09, 2025 11:05Mashambulizi ya India katika eneo la Kashmiri linalotawaliwa na Pakistan yamewaua raia watano. Mauaji hayo yanaripotiwa kufuatia siku kadhaa za makabiliano makali kati ya India na Pakistan katika eneo la Kashmir.
-
Makamu wa Rais wa Marekani: Vita vya India na Pakistan 'havituhusu'
May 09, 2025 07:47Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance amesema, nchi hiyo haitaingilia mzozo kati ya India na Pakistan.
-
Gazeti la Israel: Trump anaweza wikiendi hii akatangaza makubaliano ya kumaliza vita Ghaza
May 09, 2025 07:18Rais wa Marekani Donald Trump huenda wikiendi hii akatangaza rasimu ya makubaliano ambayo yatamaliza vita vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza. Hayo yameripotiwa na gazeti la Kizayuni la Israel Hayom.
-
Kanisa Katoliki lapata Papa mpya, ni Kadinali Robert Prevost atakayejulikana kama Leo XIV
May 09, 2025 03:04Kanisa Katoliki duniani hatimaye limepata kiongozi mpya ambaye ni Kadinali Robert Francis Prevost atakayejulikana kama Leo XIV.
-
China yatangaza kuwa tayari kuzipatanisha India na Pakistan
May 09, 2025 02:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameelezea wasiwasi wake kuhusu mvutano uliozuka kati ya India na Pakistan na kutangaza kuwa, Beijing iko tayari kuchukua jukumu amilifu la upatanishi ili kupunguza mzozo kati ya nchi hizo mbili jirani za kusini mwa Asia.
-
Je, Dan Jarvis anasema nini? Ni nani na amefanya nini?
May 09, 2025 02:20Madai yaliyotolewa katika bunge la Uingereza siku ya Jumanne, Mei 6 na Dan Jarvis, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, kwa mara nyingine tena yameibua kile kinachodaiwa kuwa tishio la usalama kutoka Iran.
-
Putin: Russia na China ni watetezi wa ukweli wa kihistoria
May 08, 2025 10:50Moscow na Beijing zinaendelea kuwa watetezi thabiti wa ukweli wa kihistoria na zikikumbuka idadi kubwa ya watu waliopoteza maisha katika nchi zao wakati wa Vita vya Pili vya Dunia, Rais Vladimir Putin wa Russia ameyasema hayo katika mazungumzo na Rais Xi Jinping wa China.
-
Pakistan: Tutalipiza kisasi cha mashambulio ya makombora ya India yalioua 31
May 08, 2025 07:05Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amesema nchi hiyo "italipiza kisasi cha damu za mashahidi wetu wasio na hatia" baada ya watu wasiopungua 31 kuripotiwa kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulio ya India kwenye mkoa wa Punjab na Kashmir inayodhibitiwa na Pakistan.
-
Mashirika 113 ya haki za binadamu yatoa wito kwa Baraza la Usalama kuiwekea Israel vikwazo
May 08, 2025 03:04Mitandao na mashirika 113 ya kutetea haki za binadamu duniani kote yamelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuweka vikwazo vya kimataifa kwa utawala ghasibu wa Israel ili kukomesha mauaji ya kimbari na njaa katika Ukanda wa Gaza, na kuondoa kukamilifu mzingiro wa eneo hilo.
-
Kurudi nyuma Marekani katika vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen; matunda ya Muqawama wa Wayemen
May 08, 2025 02:23Msemaji wa harakati ya Muqawama ya Ansarullah, Muhammad Abdul Salam amesema, Yemen haitaiacha Ghaza peke yake licha ya kufikiwa makubaliano ya kusitisha vita, na kwamba Marekani ndiyo iliyoomba kusitishwa mapigano.