-
Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote
Jun 16, 2025 07:08Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky amelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran na kuelezea hujuma hizo za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi huru kuwa ni kitendo cha juu zaidi cha uchokozi, kinachopaswa kulaaniwa duniani kote.
-
MSF: Unyanyasaji wa kijinsia umeongezeka mashariki mwa DRC
Jun 15, 2025 12:33Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetangaza kuwa, vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vimeongezeka mno katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Sheikh Dalhu Abdul Mumin: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran ni kitendo cha ugaidi
Jun 15, 2025 11:36Imamu wa Waislamu wa Kishia wa eneo la Kaskazini mwa Ghana, Sheikh Dalhu Abdul Mumin amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya Israel dhidi ya Iran na kuyataja kuwa ni "kitendo cha wazi cha kigaidi cha Israel ya Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran."
-
Nigeria yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran
Jun 15, 2025 04:36Nigeria imelaani vikali mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusema uhasama huo wa Israel utatumbukiza eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) katika hali ya taharuki.
-
Afrika Kusini yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Israel dhidi ya Iran
Jun 14, 2025 10:50Afrika Kusini usiku wa kumkia leo Jumamosi imelaani mashambulizi ya kigaidi ya Israel dhidi ya Iran na kuhimiza kufanyika juhudi za kidiplomasia za kupunguza mivutano katika eneo la Asia Magharibi.
-
Takriban Wasudan 75,000 wamekimbia Ethiopia kutafuta usalama wao
Jun 14, 2025 10:46Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi limetangaza kuwa, takriban Wasudan 75,000 wamekimbia Ethiopia kutafuta usalama wao tangu mgogoro wa uchu wa madaraka baina ya majenerali ulipozuka nchini humo zaidi ya miwili iliyopita.
-
Waliokufa maji katika ajali za boti 2 DRC wapindukia 50
Jun 14, 2025 07:03Watu wasiopungua 52 wamethibitishwa kufariki dunia huku wengine kadhaa wakitoweka baada ya boti mbili za abiria kuzama kwenye maji ya Ziwa Tumba, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Karibu watu 50 waaga dunia kwa mafuriko nchini Afrika Kusini
Jun 12, 2025 12:26Watu karibu 50 wakiwemo wanafunzi wa Shule, wamepoteza maisha Nchini Afrika Kusini kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kwenye mkoa wa Cape Mashariki.
-
Rais Traore: Mabeberu wanajaribu kuvunja Muungano wa Sahel
Jun 12, 2025 07:52Rais wa mpito wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traoré, amezishutumu nchi za kigeni kwa kujaribu kuhujumu Muungano wa Mataifa ya Sahel (AES) kwa kuwachochea wanachama kusalitiana.
-
China, Afrika zaitaka Marekani kutatua mvutano wa kibiashara kwa mazungumzo yenye usawa
Jun 12, 2025 07:48Nchi 53 za Afrika pamoja na China zimeitaka Marekani kurejea kwenye meza ya mazungumzo ya kibiashara kwa msingi wa “usawa, heshima na manufaa ya pande zote”. Pia zimeihimiza kuachana na ushuru wa kulinda bidhaa za ndani na badala yake kuzingatia majadiliano ya kimataifa ya pande nyingi.