Afrika
  • Somalia yazuia meli za Israel kupita Bab al-Mandab

    Somalia yazuia meli za Israel kupita Bab al-Mandab

    Apr 23, 2026 09:47

    Somalia imepiga marufuku meli za utawala wa Israel kupita katika mlango‑bahari wa kimkakati wa Bab al‑Mandab kama jibu kwa hatua ya utawala huo ya kulitambua rasmi eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la “Somaliland”.

  • Mkuu wa ujumbe wa UN atoa wito wa mazungumzo ili kurejesha utulivu mashariki mwa Kongo

    Mkuu wa ujumbe wa UN atoa wito wa mazungumzo ili kurejesha utulivu mashariki mwa Kongo

    Apr 23, 2026 09:38

    Mkuu wa Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) amesema kuwa amekutana na kuzungumza na maafisa wa majimbo kuhusu haja ya kufanyika mazungumzo na kufanya juhudi za pamoja ili kurejesha utulivu wa kudumu na kukabiliana na changamoto za kiusalama mashariki ya nchi.

  • Hofu yatanza juu ya uwezekano wa kuibuka mzozo mpya Ethiopia

    Hofu yatanza juu ya uwezekano wa kuibuka mzozo mpya Ethiopia

    Apr 21, 2026 10:25

    Chama kikuu cha siasa katika eneo la Tigray kaskaizni mwa Ethiopia kimetangaza kuwa kinachukua udhibiti wa serikali ya eneo hilo, na hivyo kubatilisha makubaliano ya amani na Serikali ya Shirikisho ya Ethiopia ambayo yalihitimisha moja ya migogoro mibaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika karne hii.

  • Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo

    Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo

    Apr 21, 2026 09:24

    Serikali ya Burundi, kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), imetangaza mpango wa kuwarejesha makwao kwa hiari maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaoishi nchini humo.

  • Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia

    Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia

    Apr 21, 2026 08:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya utawala wa kizayuni wa Israel ya kuteua mjumbe wa kidiplomasia huko Somaliland ni ishara wazi ya njama ya utawala huo ya kuvuruga amani na utulivu na kuchochea migawanyiko baina ya nchi za Kiislamu na za Kanda hiyo.

  • Kenya yaongeza bei ya mafuta kufuatia vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Kenya yaongeza bei ya mafuta kufuatia vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Apr 16, 2026 06:19

    Serikali ya Kenya imepandisha bei za rejareja za bidhaa za mafuta kwa kiwango cha hadi asilimia 24.2, ikizingatia ongezeko la ghafla la bei ya mafuta ghafi duniani na changamoto za usambazaji wa nishati zinazosababishwa na vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Iran..

  • Nigeria yataka msaada kukabiliana na mshtuko wa kiuchumi uliochochewa na vita dhidi ya Iran

    Nigeria yataka msaada kukabiliana na mshtuko wa kiuchumi uliochochewa na vita dhidi ya Iran

    Apr 16, 2026 06:13

    Waziri wa Fedha wa Nigeria, ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa muungano wa nchi zinazoendelea unaojulikana kama G24, amesema kwamba taasisi za kifedha za kimataifa zinapaswa kuongeza hatua za kusaidia mataifa yaliyo hatarini ili kuvuka mishtuko ya kiuchumi inayosababishwa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran.

  • Huenda uchumi wa Afrika ukaporomoka kutokana na vita dhidi ya Iran

    Huenda uchumi wa Afrika ukaporomoka kutokana na vita dhidi ya Iran

    Apr 06, 2026 03:40

    Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa, pamoja na Umoja wa Afrika na Benki ya Maendeleo ya Afrika, yametoa ripoti mpya ikionya kuwa uchumi wa mataifa ya bara hili unaweza kukumbwa na kuporomoka ikiwa mapigano yanayoendelea katika ukanda wa Asia Magharibi yataendelea bila suluhu ya haraka.

  • El Baradei awashambulia watawala wa Kiarabu vibaraka wa Marekani

    El Baradei awashambulia watawala wa Kiarabu vibaraka wa Marekani

    Apr 03, 2026 04:40

    Mwanasiasa mashuhuri wa Misri amekosoa utiifu wa baadhi ya watawala wa Kiarabu vibaraka wa Marekani na uungaji mkono wao kwa Washington kwenye vita vyake dhidi ya Iran.