-
Wimbi la uungaji mkono kwa Iran barani Afrika, Ulaya na Marekani; Watu walaani uchokozi wa Marekani na Israel
Mar 29, 2026 10:06Wananchi katika nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano wakipinga vita na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mufti Mkuu wa Libya awataka Waislamu kuinga mkono Iran
Mar 23, 2026 10:41Mufti Mkuu wa Libya ametoa taarifa kuhusu mashambulizi na uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran akisisitiza kuwa: Ni wajibu kuwahami Waislamu pale vita vinapotokea baina ya Waislamu na makafiri.
-
Mtetezi wa haki za binadamu Kenya atangaza mshikamano na watu wa Iran
Mar 23, 2026 09:00Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Kenya, Shakira Wafula, ametangaza mshikamano wake na watu wa Iran na Palestina, akitoa ujumbe wa imani na matumaini.
-
Watunisia waunga mkono Iran na kulaani vita vya Marekani
Mar 08, 2026 11:30Watunisia wamefanya maandamano ya kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kukosoa kauli ya Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ambayo haikulaani mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Iran.
-
Maandamano ya kuunga mkono Iran yamefanyika nchini Afrika Kusini
Mar 08, 2026 10:18Wananchi wa Afrika Kusini walifanya maandamano na mikusanyiko mikubwa wakionyesha uungaji mkono wao kwa Iran kufuatia uvamizi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais wa Afrika ya Kati afichua sura mpya ya ukoloni
Mar 07, 2026 17:55Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema katika: "Diplomasia ya adhabu na vikwazo ni barakoa mpya ya ukoloni."
-
Mufti wa Libya atangaza kuunga mkono Iran katika vita vya kukabiliana na Israel, Marekani
Mar 06, 2026 12:08Wakati mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yakiendelea, Mufti Mkuu wa Libya ametangaza kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Niger yaguswa na mauaji ya kigaidi ya Kiongozi Muadhamu wa Iran
Mar 05, 2026 13:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger amelinyooshea mkono wa pole taifa la Iran kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Kiongozi wa Kiislamu Nigeria: Mauaji ya Ayatullah Khamenei ni vita dhidi ya binadamu wote
Mar 04, 2026 10:24Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Guinea imewaachia huru wanajeshi 16 wa Sierra Leone waliokamatwa mapema wiki hii
Feb 28, 2026 06:02Katika hatua inayolenga kupunguza mvutano, Sierra Leone imesema kuwa Guinea jana iliwaachilia huru wanajeshi na maafisa wake wa polisi 16 waliokamatwa siku ya Jumanne.