Mar 28, 2024 07:09
Tovuti ya Marekani ya Counter Punch imechapisha ripoti inayosema kuwa Ethiopia, chini ya utawala wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed na chama chake tawala (Chama cha Mafanikio), imekuwa sehemu ya giza na ya kutisha, ambapo mtu yeyote anayepinga serikali yuko katika hatari ya kukabiliwa na ukatili na kukamatwa.