-
Mkuu wa Mawaziri Kenya atofautiana na Rais Ruto kuhusu kuwapiga risasi waandamanaji
Jul 14, 2025 03:13Mkuu wa Mawaziri wa Mawaziri nchini Kenya, Musalia Mudavadi ametofautiana na Rais William Ruto kuhusu wito wake wa kupigwa risasi viijana wanaoandamana kupinga sera za serikali yake na amevitaka vyombo vya usalama visiwaumize Wakenya wakati wa maandamano.
-
Muhammadu Buhari, rais wa zamani wa Nigeria afariki dunia Uingereza alikokuwa matibabuni
Jul 13, 2025 18:27Muhammadu Buhari, rais wa zamani wa Nigeria aliyewahi pia kuitawala nchi hiyo kijeshi amefariki dunia mjini London, Uingereza alikokuwa kipatiwa matibabu akiwa na umri wa miaka 82.
-
Nigeria yawafunga watu 44 waliofadhili kundi la kigaidi la Boko Haram
Jul 13, 2025 13:58Serikali ya Nigeria imewahukumu watu 44 kifungo cha hadi miaka 30 jela kwa makosa ya kufadhili ugaidi, msemaji wa shirika la kupambana na ugaidi nchini humo amebaini.
-
Watoto watatu wa Kisuadani ni miongoni mwa raia 11 waliouawa na waasi wa RSF huko Kordofan
Jul 13, 2025 13:22Raia wasiopungua 11, wakiwemo watoto watatu, wameuawa katika shambulizi la kikosi cha wanamgambo wa Jeshi la Msaada wa Haraka (RSF) katika jimbo la Kordofan Kaskazini, magharibi mwa Sudan, kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa madaktari wa eneo hilo leo Jumapili.
-
DRC yataka maelezo kutoka Uganda kuhusu kufunguliwa mpaka wa Bunagana
Jul 13, 2025 03:11Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetaka maelezo kutoka kwa serikali ya Uganda, kuhusiana na kufunguliwa kwa mpaka wa Bunagana, katika eneo linalodhibitiwa na waasi wa M23.
-
Ethiopia kuitosa sarafu ya dola ya US katika miamala ya biashara?
Jul 12, 2025 16:33Wizara ya Fedha ya Ethiopia imesema kuwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki inafanyia kazi hatua za kuiruhusu kufanya biashara kwa kutumia sarafu tofauti isiyo dola ya Marekani, na kwamba kuna nchi ambazo imefikia makubaliano nazo katika suala hili kwa nyakati tofauti.
-
Afrika imenakili vifo 4,200 vya kipindupindu na mpox 2025
Jul 12, 2025 12:52Afrika imerekodi vifo zaidi ya 4,200 kutokana na miripuko ya kipindupindu na mpox inayoendelea kuripotiwa katika maeneo tofauti ya bara hilo mwaka 2025, Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) kimesema.
-
Mwanaharakati: Mkataba wa Uvuvi kati ya Gambia na EU ni "Mkataba Mbovu Zaidi wa Uvuvi"
Jul 12, 2025 07:49Mwanaharakati maarufu kutoka Gambia, magharibi mwa Afrika amesema kuwa mkataba wa uvuvi kati ya nchi hiyo na Umoja wa Ulaya (EU) ni "mkataba mbaya kabisa wa uvuvi" kuwahi kushuhudiwa.
-
Uchaguzi wa rais Cameroon kufanyika mwezi Oktoba
Jul 12, 2025 07:38Serikali ya Cameroon imetangaza kuwa uchaguzi wa urais utafanyika tarehe 12 Oktoba. Hayo ni kwa mujibu wa amri iliyosainiwa Ijumaa na Rais Paul Biya.
-
Nigeria: US inazilazimisha nchi za Afrika ziwapokee wakimbizi Wavenezuela
Jul 11, 2025 16:41Nigeria imefichua kuwa Marekani inazishinikiza nchi za bara Afrika kuwakubali wakimbizi wa Venezuela wanaofukuzwa nchini Marekani.