-
Araqchi: Ujerumani imeonyesha uadui wake kwa kuunga mkono mashambulizi dhidi ya Iran
Jul 04, 2025 03:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi amejibu maandishi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani katika mtandao wa kijamii wa X kuhusu uamuzi wa Iran wa kusitisha ushirikiano wake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki baada ya Israel na Marekani kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran.
-
Araqchi: Mazungumzo ya kuhitimisha mpango wa nyuklia wa Iran hayakubaliki
Jul 03, 2025 14:29Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesisitiza kuwa, ikiwa lengo la mazungumzo ni kuhitimisha mpango wa nyuklia wa Iran, jukumu na ushiriki wa Ulaya na Uingereza katika mchakato wa mazungumzo hayo litakuwa batili na hilo halina maana yoyote.
-
Utafiti: Asilimia 77 ya Wairani 'wanajivunia' uwezo wa makombora na droni wa jeshi dhidi ya uvamizi wa Israel
Jul 03, 2025 07:43Wairani wasiopungua asilimia 77 wameeleza kuwa wanahisi kuwa na fakhari kubwa kufuatia jibu lililotolewa na vikosi vya ulinzi mkabala wa uvamizi wa Israel dhidi ya Iran. Takwimu hii ni kwa mujibu wa utafiti ulioendeshwa na Kitengo cha Utafiti cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB).
-
Makamanda wa juu waahidi kutoa kipigo kikali zaidi iwapo Iran itashambuliwa tena
Jul 03, 2025 07:38Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Iran amewaonya maadui kwamba watapata kipigo kikali zaidi iwapo wataanzisha uchokozi mpya dhidi ya Iran.
-
Araqchi: Vikosi vya ulinzi vya Iran viko tayari kukabiliana na uchokozi wowote wa utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wake
Jul 03, 2025 07:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vikosi vya ulinzi vya Iran viko tayari kabisa kukabiliana kwa nguvu zake zote na chokochoko za aina yoyote za utawala wa Kizayuni na pande zinazouunga mkono utawala huo.
-
Iran yakataa takwa la EU la kujadili kusitisha mpango wake wa nyuklia
Jul 03, 2025 04:39Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepinga msimamo wa Umoja wa Ulaya (EU) wa hivi karibuni unaotaka kuanzishwa mazungumzo mapya yenye lengo la kusitisha mpango wa nyuklia wa Iran.
-
UNESCO yaionya Israel kuhusu kulenga kijeshi maeneo ya urithi wa kihistoria ya Iran
Jul 02, 2025 12:04Waziri wa Turathi za Kitamaduni, Utalii na Sanaa za Mikono wa Iran amesema kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) ametoa onyo kwa Israel na kuutaka utawala huo kutojaribu kulenga maeneo ya turathi za kihistoria na kitamaduni ya Iran.
-
Rais wa Iran aidhinisha kusitisha ushirikiano na IAEA kufuatia azimio la kisiasa
Jul 02, 2025 11:54Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, ameidhinisha rasmi sheria ya kusitisha ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) kufuatia azimio la kisiasa lililochochea hatua za uchokozi kutoka Marekani na Israel dhidi ya Iran.
-
Ufaransa yaondoka katika kituo kingine cha kijeshi Senegal
Jul 02, 2025 11:50Ufaransa imekabidhi kituo cha mawasiliano ya kijeshi kilichoko magharibi mwa Senegal kwa serokali ya nchi hiyo baada ya kuondoa wanajeshi wake. Rais wa taifa hilo la Afrika Magharibi, Bassirou Diomaye Faye, mwaka jana alitaka kusitishwa kwa mkataba wa ulinzi uliodumu kwa miongo kadhaa kati ya Senegal na mkoloni wa zamani, akisema mkataba huo “hauendani” na uhuru wa taifa lake.
-
Iran na nchi tisa zalaani vikwazo vya mataifa ya magharibi dhidi ya nchi zinazoendelea
Jul 02, 2025 11:45Iran pamoja na nchi zingine tisa zimelaani vikali vikwazo vya upande mmoja na hatua za kulazimisha zinazowekwa na mataifa ya Magharibi dhidi ya nchi mbalimbali, wakizitaja kuwa ni ukiukaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa na kanuni ya kutokujihusisha na mambo ya ndani ya mataifa mengine.