-
Mamilioni wafurika Tehran kwa mazishi ya kihistoria ya Kiongozi Muadhamu aliyeuawa Shahidi
Jul 06, 2026 05:59Umati wa waombolezaji umefurika barabarani katika mji mkuu wa Iran huku msafara wa mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, yakianza. Tukio hili linaelezwa na maafisa kama mkusanyiko mkubwa zaidi wa umma kuwahi kushuhudiwa katika historia.
-
Tehran katika Maombolezo na Hamasa: Msafara wa Mazishi wa Mamilioni ya Watu kwa ajili ya Kiongozi Shujaa, Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Jul 06, 2026 17:20Msafara mkubwa usio na mfano wake wa mazishi adhimu na ya kihistoria ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu yamefanyika Jumatatu Tehran mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mkuu wa Jeshi: Iran haitachoka kuwafuatilia waliomuua Kiongozi wetu
Jul 06, 2026 03:50Iran haitawahi kuacha azma yake ya kutafuta haki na kulipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Ali Khamenei (Mwenyezi Mungu amrehemu), zaidi ya miezi minne tangu alipouawa shahidi katika mashambulizi ya kigaidi ya Marekani na Israel.
-
Jihad Islami: Nguvu ya Muqawama inatokana na kujitolea Kiongozi Shahidi
Jul 06, 2026 03:42Msemaji wa harakati ya Muqawama ya Jihad Islami ya Palestina amesisitiza kuhusu “matamanio matukufu” ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, akisema kuwa nguvu ya Mhimili wa Muqawama inatokana na kujitolea kwake maishani.
-
Pezeshkian: Kufa shahidi Ayatullah Khamenei kumetoa msukumo kwa Waislamu kudumisha umoja
Jul 05, 2026 11:15Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu hayati Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, na kuuawa kwake shahidi, vimewapa Waislamu kote duniani hamasa katika harakati zao za kudumisha umoja na mshikamano.
-
Maafisa wa muqawama wafanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran pambizoni mwa mazishi ya Kiongozi Shahidi Khamenei
Jul 05, 2026 11:10Maafisa kutoka harakati ya muqawama wamekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi, na kuwasilisha salamu za rambirambi kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika mashambulizi ya kigaidi a Marekani na Israel dhidi ya Iran Februari 28 mwaka huu.
-
Taifa Lamuaga kwa Hamasa Kiongozi Shahidi: Dhihirisho la Nguvu na Umoja Dhidi ya Maadui
Jul 05, 2026 10:46Huku taifa la Iran likimuaga kwa hamasa Kiongozi wake wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, tukio hili limeakisi wazi na kwa mara nyingine mandhari ya kuvutia ya umoja, kusimama imara, na mwamko wa kina wa Umma wa Kiislamu.
-
Mamilioni wauswalia mwili wa Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mjini Tehran
Jul 05, 2026 07:15Mamilioni ua waombolezaji wameshikiri Swala ya maiti ya mwili mtakatifu wa Imam shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na kundi la wanafamilia wake watukufu iliyofanyika kwa uwepo mkubwa wa viongozi wa serikali, jeshi na umma kwa ujumla.
-
Rais Pezeshkian: Utawala wa Kizayuni ndio chanzo kikuu cha migogoro na ukosefu wa utulivu Asia Magharibi
Jul 05, 2026 03:50Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya mashambulizi dhidi ya nchi kadhaa za eneo la Asia Magharibi na umekuwa chanzo cha migogoro mingi pamoja na hali ya ukosefu wa usalama, huku akibainisha kwamba, nchi za Kiislamu hazijawahi kuanzisha mashambulizi ya aina hiyo.
-
Wizara ya Usalama ya Iran yaahidi kulipiza kisasi ajili ya damu ya Kiongozi aliyeuawa shahidi
Jul 05, 2026 03:49Wizara ya Usalama ya Iran imeapa kulipiza kisasi damu ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, ikisisitiza kuwa mioyo iliyojeruhiwa ya wananchi wa Iran na wapenda uhuru duniani kote haitapata faraja yoyote isipokuwa kwa kulipiza kisasi dhidi ya wahusika.