-
Pakistan yasisitiza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa Iran
Jul 05, 2025 04:15Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesisitiza uungaji mkono usioyumba wa nchi yake kwa umoja wa ardhi na mamlaka ya kujitawala ya Iran.
-
IRGC yaonya Israel: Iran haitazingatia 'mistari miekundu' ikishambuliwa tena
Jul 05, 2025 03:20Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kwamba Iran haitazingatia tena 'mistari miekundu ya kijeshi au kisiasa endapo utawala wa Israel utafanya tena kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jibu thabiti la Araghchi kwa msimamo wa kimihemko wa Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya
Jul 05, 2025 03:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Sayyid Abbas Araghchi ametoa jibu thabiti kwa kauli ya hivi majuzi ya Kaja Kallas, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, kwamba mazungumzo yoyote yale yatakayofanyika, lengo lake liwe ni "kufuta moja kwa moja mpango wa nyuklia wa Iran".
-
Rais Pezeshkian: Taifa la Iran limetoa somo kubwa kwa wavamizi wa Kizayuni
Jul 04, 2025 15:28Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amelaani hujuma ya hivi majuzi ya Israel dhidi ya Iran, na kusisitiza kwamba jeshi la Iran limetoa jibu madhubuti ambalo lilizuia kuenea kwa vita na kulinda mamlaka ya taifa.
-
Imam wa Swala ya Ijumaa Tehran: Vita vya Siku 12 vilikuwa dhihirisho la imani ya Tauhidi ya taifa la Iran
Jul 04, 2025 15:27Ayatullah Sayyid Ahmad Khatami amesema: "Mienendo na matua za wananchi wa Iran katika vita vya siku 12 vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vilikuwa dhihirisho la Tauhidi."
-
Iran: Marekani ithibitishe dhamira yake ya diplomasia kabla ya kuanza tena mazungumzo ya nyuklia
Jul 04, 2025 07:14Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema, Tehran haitashiriki tena mazungumzo ya nyuklia isipokuwa pale Marekani itakapoonyesha dhamira ya kweli ya diplomasia na kuacha kuitumia kama chombo cha mashinikizo au udanganyifu.
-
Araqchi: Ujerumani imeonyesha uadui wake kwa kuunga mkono mashambulizi dhidi ya Iran
Jul 04, 2025 03:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi amejibu maandishi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani katika mtandao wa kijamii wa X kuhusu uamuzi wa Iran wa kusitisha ushirikiano wake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki baada ya Israel na Marekani kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran.
-
Araqchi: Mazungumzo ya kuhitimisha mpango wa nyuklia wa Iran hayakubaliki
Jul 03, 2025 14:29Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesisitiza kuwa, ikiwa lengo la mazungumzo ni kuhitimisha mpango wa nyuklia wa Iran, jukumu na ushiriki wa Ulaya na Uingereza katika mchakato wa mazungumzo hayo litakuwa batili na hilo halina maana yoyote.
-
Utafiti: Asilimia 77 ya Wairani 'wanajivunia' uwezo wa makombora na droni wa jeshi dhidi ya uvamizi wa Israel
Jul 03, 2025 07:43Wairani wasiopungua asilimia 77 wameeleza kuwa wanahisi kuwa na fakhari kubwa kufuatia jibu lililotolewa na vikosi vya ulinzi mkabala wa uvamizi wa Israel dhidi ya Iran. Takwimu hii ni kwa mujibu wa utafiti ulioendeshwa na Kitengo cha Utafiti cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB).
-
Makamanda wa juu waahidi kutoa kipigo kikali zaidi iwapo Iran itashambuliwa tena
Jul 03, 2025 07:38Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Iran amewaonya maadui kwamba watapata kipigo kikali zaidi iwapo wataanzisha uchokozi mpya dhidi ya Iran.