-
Iran yazitaka nchi jirani kuwafukuza wanajeshi vamizi wa kigeni
Mar 15, 2026 09:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran inaziomba nchi jirani na za kindugu kuwafukuza wanajeshi wa kigeni wanaovamia kutoka katika ardhi zao.
-
Qaddoumi: Iran ina haki ya kujibu mashambulizi dhidi yake
Mar 15, 2026 08:41Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Tehran amesisitiza kuwa Iran ina haki kamili na ya pande zote ya kukabiliana na mashambulizi ya adui kwa kila njia inayoiona inafaa.
-
Jenerali Shekarchi: Tumeharibu kambi zote za US katika eneo, meli ya Abraham Lincoln imetimka
Mar 15, 2026 08:35Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi amesema kambi za kijeshi za Marekani zilizoundwa kwa kutumia rasilimali za Waislamu kwa kisingizio cha kudhamini usalama wa eneo, huku zikifuja mali za mataifa ya Waislamu, zimeharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Spika wa Iran: Kambi za kijeshi za US ni tishio kwa nchi wenyeji wake
Mar 15, 2026 08:34Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Marekani imeitoa kafara kila nchi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, na kwamba kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi hazizipi ulinzi nchi wenyeji.
-
IRGC: Kama Netanyahu hajafa tutaendelea kumuwinda na kumuua
Mar 15, 2026 08:08Idara ya Mawasiliano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) imetangaza kuwa kama Waziri Mkuu mtendajinai wa Israel atakuwa hai jeshi hilo linamuwinda na kumuangamiza.
-
Qalibaf: Dhamiri iliyoamka ya watu wa Iran dhidi ya ukandamizaji haitanyamazishwa na tishio lolote
Mar 14, 2026 07:25Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema katika ujumbe kuwa: Watu wakubwa wa Iran kwa mara nyingine wameonyesha kwa hatua zao thabiti mitaani kwamba dhamiri iliyo macho ya taifa hili lenye busara dhidi ya dhulma haitanyamazishwa na tishio lolote.
-
Jen. Mousavi: Iran imeivurumishia Israel makombora 30 ya balestiki
Mar 14, 2026 07:18Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC amesema asilimia kubwa ya makombora 30 ya balestiki yaliyovumishwa na Jamhuri ya Kiislamu usiku wa Lailatul Qadr yalipiga shabaha zilizokusudiwa kwa usahihi mkubwa.
-
Pezeshkian: Marekani na utawala wa Kizayuni zinafuatilia malengo maovu ya kuigawa Iran na nchi nyingine kubwa za Kiislamu
Mar 14, 2026 07:15Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Kiislamu kuwa macho dhidi ya njama za maadui wa pamoja wa Umma wa Kiislamu.
-
Araghchi: Kujitokeza mamilioni Siku ya Quds ni ishara ya azma thabiti ya Wairani
Mar 14, 2026 07:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kwamba: “Taifa la Iran, kwa umoja na mshikamano, litaendelea kusimama pamoja na misingi na malengo yake, na halitarudi nyuma kamwe.”
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu Mpya wa Iran
Mar 13, 2026 16:14Ayatullah Sayyid Mojtaba Husseini Khamenei, Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wake wa kwanza kulihutubia taifa la Iran.