-
Iran, Misri zaafiki kuendeleza mazungumzo ya kupanua uhusiano
Dec 07, 2025 03:41Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Misri wameafiki juu ya kuweko mazungumzo ya kupanua uhusiano wa mataifa yao.
-
India, Russia zasisitiza utatuzi wa mpango wa nyuklia wa Iran kupitia mazungumzo
Dec 06, 2025 07:54Baada ya Rais wa Russia Vladimir Putin na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi kukutana mjini New Delhi, nchi hizo mbili zimesisitiza umuhimu wa kutatua masuala yanayohusiana na mpango wa nyuklia wa Iran kwa njia ya mazungumzo.
-
Je, hatua ya Iran na Uturuki kuelekea ustawi wa eneo inaashiria kufunguliwa ukurasa mpya wa ushirikiano?
Dec 05, 2025 11:48Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zimeazimia kwa dhati kuchukua hatua kuelekea maendeleo na ustawi wa kikanda.
-
Ayatullah Khatami: Iran haijawahi kuwa na wasomi wengi wanawake kama ilivyo hii leo
Dec 05, 2025 11:33Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amechambua hotuba iliyotolewa siku chache zilizopita na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei katika hadhara ya wanawake, akielezea mtazamo wa Uislamu kuhusu wanawake, na kusisitiza kwamba Iran haijawahi kuwa na wanawake wengi wasomi na wenye maono kama ilivyo sasa, na jambo hili linaonyesha jinsi utawala wa Kiislamu hapa nchini unavyowathamini wanawake."
-
IRGC yaanza maneva makubwa la kijeshi Ghuba ya Uajemi kwa kutoa onyo kwa meli za Marekani
Dec 05, 2025 10:51Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeanza mazoezi makubwa katika Ghuba ya Uajemi, kikionyesha uwezo wa hali ya juu wa kujilinda na kushambulia ulioimarishwa kwa akili mnemba.
-
Kamanda: Mazoezi ya kijeshi ya Sahand 2025 yamemalizika kwa mafanikio katika sinario zote
Dec 05, 2025 07:52Kamanda wa manuva ya kupambana na ugaidi ya "Sahand 2025" ameuelezea ujumbe wa mazoezi hayo ya kijeshi kuwa ni juhudi za pande zote za kupambana na ugaidi, akisema: "Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu na vya nchi zilizoshiriki vimefanikiwa kutekeleza sinario zote za manuva hayo".
-
Spika wa Bunge: Iran iko wazi kwa diplomasia lakini usalama wa taifa na nguvu ya ulinzi haviwezi kujadiliwa
Dec 05, 2025 02:58Spika wa Bunge la Iran, Mohammad-Baqer Qalibaf amesema ingawa Iran iko wazi kwa diplomasia, lakini haitalegeza kamba katika suala la usalama wa taifa na nguvu zake za ulinzi.
-
Shamkhani azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kutocheza na “mistari myekundu” ya Iran
Dec 04, 2025 12:21Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika Baraza la Ulinzi la Iran amelionya Baraza la Ushirikiano la Nchi za Ghuba ya Uajemi dhidi ya madai “yasiyo ya kujenga” kuhusu visiwa vitatu vya Iran na visima vya gesi vya Arash.
-
Televisheni ya Kiebrania ya Iran yazua wasiwasi katika vyombo vya habari vya Israel
Dec 04, 2025 12:03Press TV ya Iran imezindua kitengo cha lugha ya Kiebrania jambo ambalo limezua hofu katika duru za vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel kwani hatua hiyo inaonekana kama sehemu ya juhudi za kimkakati za Iran kuathiri maoni ya Waisraeli huku kukiwa na vita vya simulizi vinavyozidi kupamba moto.
-
Kamanda wa IRGC: Usalama wa Ghuba ya Uajemi ni 'mstari mwekundu'
Dec 04, 2025 07:47Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametoa onyo kali kwa Marekani na washirika wake kuhusu Ghuba ya Uajemi na Mlango-Bahari wa Hormoz, akisema usalama wa njia hiyo ya maji ni "mstari mwekundu" wa Iran na misheni kuu ya IRGC.