-
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
Dec 29, 2025 03:21Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran ametangaza kwamba mawimbi ya kwanza ya satelaiti zote tatu zilizobuniwa na kutengenezwa ndani ya Iran zinazoitwa "Zafar 2", "Paya" na "Kowsar" zilizotumwa angani Jumapili jioni Disemba 28, 2025 yamepokewa kwa mafanikio ardhini akisisitiza kuwa, hii inathibitisha uzima wa kiufundi na utendajikazi mzuri wa satelaiti hizo za Iran baada ya kuingia kwenye obiti.
-
Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali, ni hatua madhubuti ya kiteknolojia
Dec 28, 2025 13:01Satelaiti tatu za Iran zilizoundwa ndani ya nchi , ‘Paya’, ‘Zafar 2’ na ‘Kowsar’, leo zimerushwa katika anga za mbali kwa kutumia roketi ya kubeba satelaiti aina ya Soyuz kutoka kituo cha anga cha Vostochny kilichoko nchini Russia.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Qatar wajadili matukio ya kikanda hasa hali ya Yemen
Dec 28, 2025 10:29Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Qatar wamezungumza kwa njia ya simu na kubadilishana mawazo kuhusu matukio ya kikanda hususan matukio ya karibuni huko Yemene. Wamesema kuwa ipo haja ya kulindwa mamlaka ya kujitawal ya ardhi nzima ya nchi hiyo.
-
Iran: Tumejiandaa kutoa jibu chungu zaidi kwa wavamizi
Dec 28, 2025 06:47Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameonya kwamba, kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kitakabiliwa na jibu la haraka na la kuumiza zaidi, akisisitiza utayarifu wa Vikosi vya Jeshi vya nchi hii kukabiliana na maadui na vitisho vyao.
-
Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia
Dec 28, 2025 03:34Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kukiukaji wazi mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Somalia.
-
Ujumbe Kiongozi Muadhamu kwa Umoja wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya; kubebwa na Iran bendera ya kukabiliana na utaratibu usio wa kiadilifu
Dec 27, 2025 11:11Katika ujumbe wake kwa mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Taifa la Iran kwa kutumia uwezo wake linaweza kusimama na kutoa wito wa thamani za Kiislamu kwa walimwengu kwa sauti kubwa kuliko wakati mwingine wowote."
-
Ayatullah Khamenei: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalishindwa kwa hima na ushujaa wa vijana wa Iran
Dec 27, 2025 09:48Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema mashambulio makubwa ya jeshi la Marekani na mwanaharamu wake katika eneo la Magharibi mwa Asia yalishindwa kutokana na ubunifu, ushujaa na kujitolea kwa vijana wa Iran ya Kiislamu.
-
Iran yalaani vikali shambulio baya la kigaidi nchini Syria
Dec 27, 2025 02:47Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali shambulio la kigaidi dhidi ya Waislamu katika Msikiti wa Imam Ali ibn Abi Talib (AS) katika Mkoa wa Homs nchini Syria ambalo limeua shahidi na kujeruhi watu wengi wakati wa Sala ya Ijumaa ya jana Msikitini humo.
-
Mji wa Shiraz; moja ya vituo vikuu vya utalii wa kimatibabu Asia Magharibi
Dec 27, 2025 02:26Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba cha Shiraz katika Mkoa wa Fars, Iran, kimechukua hatua kubwa za kubadilisha jiji hili kuwa kitovu cha utalii wa matibabu katika Asia Magharibi kwa kufikia makubaliano ya ushirikiano na Uzbekistan na kupanga kupanua mazungumzo na nchi zingine jirani.
-
Ayatullah Khatami: Adui atakumbwa na usiku wa giza iwapo atasababisha madhara kwa Iran
Dec 26, 2025 12:07Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, uwezo wa makombora wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran utaendelea kuwepo na kwamba: "Maadui watakumbana na usiku wa giza kama wanataka kuidhuru Jamhuri ya Kiislamu.