-
Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika
Sep 20, 2025 02:33Mauzo ya Iran barani Afrika yameongezeka maradufu.
-
Haj Ali Akbari: Hatutahadaika na mchezo wa Snapback
Sep 19, 2025 13:20Khatibu wa muda wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuhusiana na kuhuishwa utaratibu wa "Snapback" kwamba: Inapasa kuzingatiwa kuwa baada ya kuvuka vikwazo vinavyolemaza; masuala haya kwa kiasi kikubwa ni ya kisaikolojia na ni hila yenye lengo la kupotosha fikra za waliowengi, na kamwe Iran haiwezi kuhadaika na michezo hii.
-
Baghaei: Wafuasi wa utawala katili wa Israel lazima waache kushiriki mauaji ya kimbari
Sep 19, 2025 04:27Ismail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa na kusema kuwa, ripoti ya Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa haikubakisha chembe ya shaka kwamba jinai za Israel huko Ghaza ni mauaji ya kimbari, hivyo waungaji mkono wa utawala huo ghasibu wanapaswa kuacha kushiriki katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina.
-
Saudia yaitaarifu rasmi Iran makubaliano yake ya kijeshi na Pakistan
Sep 19, 2025 02:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amefanya mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran n kumtaarifu rasmi kuhusu makubaliano ya hivi karibuni ya ulinzi ya Saudia na Pakistan.
-
Ushirikiano wa Iran na Saudi Arabia kwenye njia ya kusaidiana na utaratibu mpya wa kikanda
Sep 18, 2025 11:11Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mohammed bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia wamekutana mjini Riyadh na kujadili uhusiano wa pande mbili na matukio ya kieneo.
-
Pezeshkian: Ushirikiano wa "mafanikio" wa Iran na Russia unaashiria mwisho wa zama za uchukuaji hatua za upande mmoja
Sep 18, 2025 11:04Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kigezo "kilichofanikiwa" cha ushirikiano kati ya nchi huru, zikiwemo na Iran na Russia, utathibitisha kwamba zama za uchukuaji hatua za upande mmoja duniani zimemalizika.
-
Araqchi: Nchi za Ulaya zinapasa kuonyesha nia ya dhati na ya kweli katika diplomasia
Sep 18, 2025 07:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi jana amezungumza kwa simu na Mawaziri wenzake wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza na pia na mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa Umoja wa Ulaya kujadili kadhia ya nyuklia na kuondoa vikwazo haramu na kusema: Wakati umefika sasa kwa nchi za Ulaya kudhihirisha nia ya dhati na ya kweli katika diplomasia.
-
Eslami: Vitisho vya maadui vinaendelea; hali ya kuaminiana na IAEA inapasa kujengwa upya
Sep 18, 2025 07:24Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema vitisho kutoka kwa maadui wa Jamhuri ya Kiislamu vinaendelea tangu kujiri mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya nchi hii.
-
Iran yayataja kuwa ya kipuuzi madai ya Marekani kuhusu mpango wake wa makombora
Sep 18, 2025 04:40Iran imetaja kuwa ya kipuuzi madai ya Marekani kuhusu ustawi wake katika sekta ya makombora, ikielezea mpango huo kuwa wa kujihami dhidi ya mashambulizi ya Marekani na Israel.
-
Jenerali: Uwezo wa Iran wa kivita unawazuia maadui kuanzisha mashambulizi mapya
Sep 18, 2025 06:05Mkuu wa Majeshi ya Iran, Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi, amepongeza kuimarika kwa uwezo wa kujihami wa taifa , akisisitiza kuwa utayari wa Iran wa kivita umezuia maadui kuanzisha duru mpya ya mashambulizi dhidi ya nchi.