-
IRGC yaangusha droni ya kivita ya Marekani aina ya MQ 9 karibu na Hormuz
Jun 11, 2026 03:15Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema kuwa liliangusha droni ya kivita ya Marekani aina ya MQ 9 karibu na Mlango Bahari wa Hormuz, wakati mvutano wa kijeshi ukiongezeka kufuatia vitendo vya kijeshi vya Marekani na ukiukaji wa mara kwa mara wa makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Marekani yashambulia kigaidi kituo cha maji ya kunywa Hormuzgan, Iran
Jun 11, 2026 03:12Marekani yashambulia kigaidi kituo cha maji ya kunywa Hormozgan, Iran
-
Iran yaongoza miongoni mwa nchi bora duniani katika Mikroelektroniki
Jun 11, 2026 03:09Iran imejitokeza kama taifa linaloongoza kwa uzalishaji wa kisayansi katika nyanja ya mikroelektroniki miongoni mwa nchi za Kiislamu, huku ikishika nafasi ya kwanza katika matawi mengi muhimu ya sekta hiyo na kupanda hadi kuwa miongoni mwa mataifa 16 bora duniani katika uwezo wa kisayansi wa sekta hiyo.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Vikosi vya ulinzi vyatoa 'vipigo vikali' kwa vituo vya Marekani, na mali baada ya 'hujuma haramu'
Jun 10, 2026 10:49Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeripoti kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hii vimetoa vipigo vikali kwa kambi za Marekani na mali mbalimbali katika kanda hii ambavyo Marekani imevitumia kuishambulia Iran.
-
Spika wa Bunge la Iran: Ukikiuka majukumu yako, tutatumia lugha tunayoijua vyema
Jun 10, 2026 09:29Akijibu uchokozi na ukiukwaji wa mapigano uliofanywa na Marekani, Spika wa Bunge la Iran amesisitiza kuwa: "Ukivunja ahadi na majukumu yako, tutatumia lugha tunayoijua vyema."
-
Iran yakosoa 'onyesho lingine la unafiki' UN huku igizo la vikwazo vya Marekani likigonga mwamba
Jun 10, 2026 09:26Ujumbe wa Iran katika Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali mkutano wa Baraza la Usalama la umoja huo ulioitishwa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran ukiutaja kuwa ni "onyesho lingine la unafiki," na kusisitiza kwamba hakuna msingi wa kisheria wa kutumia azimio lililopitwa na wakati kuiwekea vikwazo Tehran.
-
IRGC yashambulia kwa makombora kituo cha anga cha jeshi la Marekani na kituo cha udhibiti huko Al-Arzaq, Jordan
Jun 10, 2026 04:09Maeneo manne muhimu katika kambi ya anga na kituo cha amri na udhibiti cha jeshi la mauaji ya watoto la Marekani huko Al-Azraq, Jordan yameshambuliwa usiku wa kuamkia leo kwa makombora ya Jeshi la Walinzi wa Jamhuri ya Kiislamu (IRGC).
-
Iran yaiomba FIFA kuruhusu vitambaa vyeusi vya mkononi katika mechi na Misri sambamba na Ashura
Jun 10, 2026 04:03Shirikisho la Soka la Iran limeomba rasmi ruhusa ya FIFA kwa wachezaji wa timu yake ya taifa kuvaa vitambaa vyeusi mikononi wakati wa mechi yao ijayo ya Kombe la Dunia dhidi ya Misri, ili kuenzi mwezi wa Muharram na tukio la Ashura ya mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).
-
Shughuli ya kumuaga Imam Khamenei kufanyika baada ya siku kumi za kwanza za Muharram
Jun 10, 2026 03:47Makao makuu ya taasisi yanayosimamia shughuli za kumuenzi shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, yametangaza kuwa shughuli ya kumuaga na mazishi ya Shahidi huyo yatafanyika baada ya siku 10 za mwanzo za mwezi wa Muharram.
-
Ni ujumbe gani umetolewa na vita vipya na vya muda mfupi kati ya Iran na Israel?
Jun 09, 2026 12:56Hatimaye duru mpya ya vita kati ya utawala wa Kizayuni na Iran ilianza Jumapili, kufuatia utawala huo kuishambulia Lebanon mara kwa mara; na ingawa ilikuwa fupi, lakini ilikuwa na ujumbe muhimu.