-
Imamu Khamenei: Watu wa Iran wamesambaratisha njama adui za kubadilisha utambulisho wao wa kidini na kihistoria
Dec 11, 2025 12:59Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapiga hatua na kusonga mbele licha ya kukabiliwa na mapungufu mengi.
-
Mtazamo wa Iran kuhusu vitendo vya Marekani dhidi ya Venezuela: Uzushi hatari unaotishia amani na usalama wa dunia
Dec 11, 2025 08:45Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amevitaja vitendo vya Marekani dhidi ya Venezuela kuwa ni uzushi hatari unaotishia amani na usalama wa dunia.
-
Israel yakiri: Iran ilikuwa na uwezo wa kumlenga kwa hujuma za mtandao kila Muisraeli katika Vita vya Siku 12
Dec 11, 2025 07:12Mkuu wa idara ya usalama wa kimtandao ya utawala wa kizayuni wa Israel (INCD) amesema, operesheni za kimtandao za Iran za wakati wa vita vya siku 12 mnamo mwezi Juni zilikuwa na wigo mpana kutosha kumfikia kila raia wa Israel na kwamba Tehran ilikuwa ikipanga na kufanya mashambulizi ya makombora dhidi ya maeneo yaliyolengwa kama vile Taasisi ya Weizmann kwa kudukua kwanza kamera za usalama za maeneo hayo.
-
Pezeshkian: Hatua ya Marekani dhidi ya Venezuela ni uzushi hatari unaotishia amani ya dunia
Dec 11, 2025 03:35Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amekosoa na kulaani waziwazi vitendo haramu vya Marekani katika eneo la Karibi, akisema: "Kitendo cha serikali ya Marekani cha kutuma meli za kivita huko Karibi na pwani ya Venezuela, kwa visingizio vya uwongo, ni haramu, ukiukaji wa sheria za kimataifa na ni uzushi hatari unaotishia amani na usalama wa dunia."
-
Rais Pezeshkian: Wanawake ndio wajenzi wa nchi na mustakbali
Dec 10, 2025 11:16Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba haifikiriki wanawake kuwa na hadhi na thamani duni na ya chini kuliko wanaume, akisisitiza kwamba: "Wanawake ndio nguzo za jamii na wajenzi wa nchi na mustakbali wake."
-
Iran yahimiza hatua madhubuti za kimataifa za kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel
Dec 10, 2025 06:35Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka na za pamoja za kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Iran, China, Saudia zakutana kuimarisha uhusiano na kudumisha amani
Dec 10, 2025 03:13Kikao cha tatu wa Kamati ya Pande Tatu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Saudi Arabia na Jamhuri ya Watu wa China cha kufuatilia Makubaliano ya Beijing kilifanyika jana Jumanne hapa Tehran kwa kuhudhuriwa na wajumbe wa ngazi za juu wa pande hizo tatu.
-
Hatua mpya katika uhusiano wa Iran na Kenya; kianzio katika diplomasia ya Kiafrika ya Tehran?
Dec 09, 2025 12:42Balozi wa Iran nchini Kenya amesema kuwa uhusiano kati ya Tehran na Nairobi umeingia katika hatua mpya.
-
Iran yalalamikia FIFA kuhusu nara ya mechi yake na Misri katika Kombe la Dunia
Dec 09, 2025 07:29Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limewasilisha malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Soka Duniani, FIFA, dhidi ya hatua isiyo ya kimichezo ya kamati ya maandalizi ya Kombe la Dunia mjini Seattle, Marekani.
-
Mwanadiplomasia: Iran iliitia Israel hasara 'kubwa na iliyoenea' wakati wa Vita vya Siku 12
Dec 09, 2025 03:32Mwanadiplomasia mwandamizi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu iliusababishia utawala wa kizayuni wa Israel uharibifu 'mkubwa na ulioenea' wakati wa uvamizi wake uliofanya mwezi Juni dhidi ya Iran kwa uungaji mkono wa Marekani.