-
Kikosi cha Majini cha IRGC chafanya luteka Ghuba ya Uajemi, Hormuz
Feb 17, 2026 02:58Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba, Iran inadumisha ufuatiliaji kamili wa kijasusi wa saa 24 katika Lango-Bahari la Hormuz.
-
Iran: Tumeingia katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani kwa nia njema
Feb 17, 2026 02:35Ismail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Tehran imeingia katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani kwa mtazamo wenye mwelekeo wa matokeo, huku ikibainisha shaka kuhusu taarifa zinazokinzana za Washington.
-
Araghchi, Grossi wakutana Geneva kabla ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na US
Feb 16, 2026 11:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi wamekutana katika jiji la Geneva nchini Uswisi, kabla ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani.
-
Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz
Feb 16, 2026 11:07Wakati mivutano kati ya Iran na Marekani inazidi kuongezeka, Tehran imesisitiza kuwa, machaguo yake yote yako mezani, licha ya mazungumzo yanayoendelea baina yake na Washington.
-
Iran na Tanzania kupanua ushirikiano wa karantini na kilimo
Feb 16, 2026 10:18Mkuu wa Shirika la Ulinzi wa Mimea la Iran ameeleza azma ya taifa hili ya kukuza ushirikiano na Tanzania katika uga wa karantini na kilimo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awasili Geneva kwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani
Feb 16, 2026 05:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amewasili katika mji wa Geneva nchini Uswisi kwa ajili ya duru ya pili ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Jenerali Mousavi: Mapambano dhidi ya Iran yatakuwa funzo kwa Trump
Feb 16, 2026 03:32Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Donald Trump anapaswa kufahamu kwamba kuingia katika mapambano ya kijeshi na Iran kutakuwa funzo lenye athari kubwa, ambalo matokeo yake yatamzuia kufanya vitisho na majigambo kwenye jukwaa la kimataifa.
-
Iran yaingia kwenye klabu ya mataifa yenye bidhaa za juu za tiba ya seli
Feb 16, 2026 02:59Taasisi ya Utafiti ya Royan Research ya Iran imezindua bidhaa sita mpya zilizotengenezwa ndani ya nchi katika nyanja ya tiba ya seli na uhandisi wa tishu, hatua inayoiweka Iran miongoni mwa mataifa yanayozalisha bidhaa za kisasa za tiba zinazojulikana kama Advanced Therapy Medicinal Products (ATMPs).
-
Sheikh Maher Hammoud: Uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran utawasha moto Asia Magharibi
Feb 15, 2026 12:17Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama amesema kuwa, uchokozi wowote mpya dhidi ya Iran utapelekea kuwaka moto katika eneo lote la Asia Magharibi.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Iran: Mpira uko kwenye uwanja wa Marekani kuthibitisha azma ya kufikia makubaliano ya nyuklia
Feb 15, 2026 10:56Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema ni zamu ya Marekani kuonyesha azma ya kufikia makubaliano yanayolenga kutatua suala la nyuklia la Tehran.