-
Mufti wa Oman: Umma wa Kiislamu umekumbwa na fitina kubwa
Sep 13, 2026 07:20Mufti wa Oman, Sheikh Ahmed Al-Khalili, amekosoa misimamo ya baadhi ya wanazuoni wa Kiislamu kuhusu Ansarullah ya Yemen, akieleza kuwa, hali imekuwa ya hatari kutokana na kuzuka tena mapigano nchini humo.
-
Askari wa Israel asema waliambiwa: 'Mnao watu milioni mbili wa kuwalenga shabaha Ghaza'
Sep 13, 2026 07:05Askari wa akiba wa jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel amesema, maafisa wa jeshi hilo wanaichukulia idadi yote ya Wapalestina milioni mbili wa Ukanda wa Ghaza kama walengwa halali wa kuuawa, na amesimulia mauaji mengi yaliyofanywa na askari wa kizayuni na jinsi utekelezaji wa kanuani za vita ulivyoporomoka wakati wa mauaji ya kimbari ya Wapalestina wa eneo hilo.
-
Uzalishaji wa mafuta wa Saudia umeshuka hadi kiwango cha chini zaidi cha tangu 1990; sababu ni vita vya US dhidi ya Iran
Sep 13, 2026 07:02Uzalishaji wa mafuta ghafi wa Saudi Arabia ulishuka hadi mapipa milioni 6.24 kwa siku mwezi Agosti, na kuashiria kiwango chake cha chini kabisa kilichoripotiwa tangu 1990, huku vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani dhidi ya Iran vikiendelea kuvuruga mtiririko wa nishati katika Mashariki ya Kati.
-
Iran: Mamlaka ya kujitawala ya Yemen lazima yaheshimiwe, mzingiro haramu lazima ukomeshwe
Sep 12, 2026 04:31Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza tena msimamo wake thabiti na wa kimisngi kuhusu ulazima wa kuheshimiwa uhuru, mamlaka ya kitaifa ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya Yemen, na kutoa wito wa kukomeshwa mara moja mzingiro haramu na usio wa kibinadamu uliowekwa dhidi ya nchi hiyo.
-
Axios: Trump amemkatalia Bin Salman ombi la kutaka Marekani iisaidie kijeshi Saudia dhidi ya Yemen
Sep 12, 2026 04:26Marekani imeyakataa maombi ya Saudi Arabia ya kuanzisha mashambulizi ya moja kwa moja ya kijeshi dhidi ya harakati ya Wahouthi ya Ansarullah nchini Yemen baada ya wapiganaji wa harakati hiyo kuuteka mji wa kimkakati wa pwani wa Mokha. Hayo ni kwa mujibu wa tovuti ya habari ya nchini Marekani ya Axios.
-
Jeshi la Yemen ladhibiti kikamilifu Lango Bahari Bab al-Mandab, pigo kubwa kwa wavamizi
Sep 11, 2026 09:26Jeshi la Yemen limefanikiwa kudhibiti kikamilifu Lango-Bahari muhimu mno la Bab al-Mandab baada ya kukikomboa kisiwa cha kimkakati cha Mayun. Hilo ni pigo kubwa kwa wavamizi wote wa Yemen.
-
Vikosi vya Yemen vyateka jiji la bandari la kimkakati la Bahari ya Sham la Mokha
Sep 11, 2026 04:14Vikosi vya Yemen Alhamisi vimedhibiti jiji la bandari la kimkakati la Bahari ya Sham la Mokha, huku vikielekea kwenye mlango-bahari muhimu wa Bab al-Mandab, hatua ambayo ni pigo kubwa kwa mamluki Saudi Arabia.
-
Uchaguzi wa Bunge la utawala wa Israel: Wapinzani wa Netanyahu wanaongoza katika kura za maoni
Sep 10, 2026 10:03Kura mpya ya maoni katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel kuhusiana na uchaguzi wa bunge inaonyesha kuwa, wapinzani wa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu bado wanaongoza.
-
Je, vita vimezidisha vipi hali ya kutengwa kielimu utawala wa Kizayuni?
Sep 10, 2026 05:50Tovuti ya Kizayuni ya Calcalist imeripoti kuwa sehemu ya Israel katika ufadhili wa utafiti wenye itibari wa Ulaya imepungua kwa kiasi kikubwa, huku kukiwa na ongezeko la visa vya watafiti wa kigeni wanaokataa kushirikiana na taasisi za Israel.
-
Ripoti: Watu 8,000 wamekatwa viungo tangu kuanza kwa vita dhidi ya Gaza
Sep 10, 2026 03:19Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Quds (Qudsna), vyanzo vya Palestina vimeripoti kwamba tangu kuanza vita dhidi ya Gaza, visa 8,000 vya kukatwa viungo vya mwili vimeripotiwa. Aidha, katika hali ya sasa, watu 10,000 wenye ulemavu wa viungo wanahitaji huduma za urekebishaji na tiba ya viungo kwa dharura.