-
Oman: Tishio hatari zaidi halitokani na Tehran bali Tel Aviv
Jul 15, 2026 03:52Serikali ya Oman imesema tishio kubwa zaidi kwa usalama na utulivu wa eneo halitokani na Tehran, bali linatoka Tel Aviv.
-
Yemen yaionya Saudia: Shambulio dhidi ya uwanja wa ndege wa Sana’a ni mwisho wa usitishaji vita
Jul 14, 2026 04:42Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen mjini Sana’a imelaani vikali shambulio la Saudi Arabia dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana’a, ikisisitiza kuwa hatua hiyo ya kijeshi inahitimisha rasmi kipindi cha usitishaji vita na kuashiria kuanza kwa awamu mpya ya vita.
-
Mfungwa wa Kipalestina aelezea unyanyasaji wa wanawake katika magereza ya Israel
Jul 12, 2026 12:26Mfungwa mwanamke Mpalestina amesimulia uvamizi wa mara kwa mara, unyanyasaji wa kimwili na hali mbaya ya kizuizini inayowaathiri wanawake Wapalestina waliofungwa katika magereza ya Israel.
-
Kiongozi wa Kataib Hizbullah ya Iraq aapa kuendeleza njia ya mapambano, apinga vitisho vya adui
Jul 12, 2026 04:17Katibu Mkuu wa Kataib Hizbullah nchini Iraq amesema kundi lake litaendeleza njia ya Muqawama na mapambano, akipuuza vitisho vya maadui na kuwataka maafisa wa serikali ya nchi hiyo na viongozi wa kisiasa kuheshimu matakwa ya taifa hilo la Kiarabu.
-
Matamshi ya Waziri wa Vita wa Israel kuhusu Lebanon yana taathira gani?
Jul 11, 2026 07:49Israel Katz, Waziri wa Vita wa utawala ghasibu wa Israel, amejibu matamshi ya hivi karibuni ya Donald Trump kuhusu kuondoka Israel katika ardhi ya Lebanon kwa kuyapinga vikali, na kusema Israel haitaomba idhini ya mtu yoyote katika kuendelea kusalia nchini Lebanon.
-
Familia nzima imeangamizwa: Amnesty International yaituhumu Israel kufanya uhalifu wa kivita nchini Lebanon
Jul 11, 2026 02:43Shirika la Amnesty International mapema jana Alhamisi lilitoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi matatu yaliyofanywa na utawala wa Israel kusini mwa Lebanon mwezi Machi, likiyataja mashambulizi hayo kuwa ni uhalifu wa kivita.
-
Rais Pezeshkian na Waziri Mkuu wa Iraq waongoza mapokezi ya mwili wa Kiongozi Shahidi mjini Najaf
Jul 08, 2026 04:49Rais Masoud Pezeshkian na Waziri Mkuu wa Iraq, Ali al-Zaidi, wamehudhuria hafla rasmi ya mapokezi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf, kwa ajili ya kupokea mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kabla ya kuanza kwa taratibu za mazishi nchini Iraq.
-
Harakati ya Ansarullah yalaani vitisho vya muungano wa Saudi Arabia; yasema ni ishara ya kushindwa Riyadh
Jul 05, 2026 11:04Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani vitisho vya hivi karibuni vya muungano unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen, akisema kuwa vinafichua kufeli Riyadh kisiasa na kijeshi pamoja na kushindwa kwake kusambaratisha mapambano ya Yemen licha ya nchi hiyo kuathirikwa kwa miaka mingi na vita na mzingiro.
-
Dakta Abu Safiya anakabiliwa na hali mbaya katika gereza la Israel
Jul 05, 2026 11:00Shirika la Kimataifa la Haki za binadamu limearifu kuwa Dakta Hussam Abu Safiya, Mkurugenzi wa Hospitali ya Kamal Adwan huko Gaza ambaye amekuwa mikononi mwa Israel tangu mwaka 2024 anakabiliwa na tishio kubwa kwa maisha yake.
-
Korea Kaskazini yalifanyia majaribio kombora la kimkakati la kruzi na silaha nyingine
Jul 05, 2026 10:57Korea Kaskazini imelifanyia jaribio kombora la kimkakati la kruzi na silaha nyingine kutoka katika meli yake mpya ya kivita ya Kang Kon yenye yenye uzito wa tani 5,000 na refu wa mita 140. Shirika Kuu la Habari la Korea Kaskazini KCNA leo limetangaza kuwa Kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong Un alisimamia majaribio hayo siku ya Ijumaa.