-
Wanazuoni wa Yemen watangaza mshikamano na Iran
Feb 02, 2026 02:42Jumuiya ya Wanazuoni wa Yemen imetangaza mshikamano wake kamili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutaka ulimwengu wa Kiislamu kuchukua msimamo wa pamoja katika suala hilo.
-
Afisa wa Umoja wa Mataifa: Usitishaji mapigano Gaza si wa kweli
Feb 01, 2026 05:20Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) amelaani shambulio la jeshi la Israel katika kitongoji cha Sheikh Radwan kaskazini magharibi mwa Jiji la Gaza, ambalo limeua makumi ya Wapalestina akisema kwamba makubaliano ya kusitisha mapigano katika eneo hili si ya kweli.
-
Askari 10 na magaidi 109 wauawa katika mapigano kwenye jimbo la Balochistan, Pakistan
Feb 01, 2026 02:28Askari wasiopungua 10 na magaidi 109 wameuawa katika mapigano wakati vikosi vya usalama vya Pakistan vilipozima mashambulizi makubwa "yaliyoratibiwa" katika jimbo la kusini-magharibi mwa Balochistan. Hayo yalielezwa jana Jumamosi na afisa mmoja wa usalama wa Pakistan.
-
Israel yaua Wapalestina 31 wakiwemo watoto 6 katika ukiukaji mpya wa usitishaji vita Ghaza
Jan 31, 2026 14:44Wapalestina wasiopungua 31, wakiwemo kwa uchache watoto sita, wameuawa shahidi katika mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel tangu alfajiri ya leo hadi wakati huu katika Jiji la Ghaza na mji wa Khan Younis katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kocha wa Manchester City: Mimi niko pamoja na Wapalestina
Jan 31, 2026 07:11Kocha wa timu yya soka ya Manchester City Mhispania Pep Guardiola kwa mara nyingine ametangaza himaya na uungaji mkono wake kwa Palestina na kusisitiza kwamba, yeye yuko pamoja na Wapalestina.
-
OCHA: Watu milioni moja Gaza wanahitaji makazi na msaada wa haraka
Jan 31, 2026 07:04Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imeonya kwamba, hali ya kibinadamu huko Gaza bado ni mbaya, huku zaidi ya watu milioni moja wakihitaji makazi na msaada wa haraka.
-
Ripota wa Umoja wa Mataifa: Kuna ulazima wa kusitishwa uhusiano na utawala wa Israel
Jan 30, 2026 11:22Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na Israel ametoa wito kwa nchi zote ulimwenguni kusitisha uhusiano wao na utawala wa Israel na kuweka vikwazo vya kimataifa dhidi ya utawala huo.
-
Afisa mwandamizi wa jeshi la Israel: Iran ni dola moja kuu kwa makombora duniani
Jan 30, 2026 07:47Kamanda wa zamani wa mitambo ya ulinzi wa anga wa utawala wa kizayuni wa Israel ameielezea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni moja ya madola makuu duniani kwa upande wa masuala ya anga na ulimwengu wa makombora, na akasema, Tehran itailenga Tel Aviv iwapo kutakuwa na shambulio lolote litakalofanywa na Marekani dhidi yake.
-
Nujaba kwa maadui wa Iran: Vita vinaweza kufika milangoni kwenu
Jan 29, 2026 06:27Katibu Mkuu wa kundi la kupambana na ugaidi la Harakat al-Nujaba la Iraq amewaonya vikali maadui wa Iran kuhusu matokeo mabaya ya uchokozi wowote mpya ambao wanaweza kufanya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Hatua ya Israel ya kubomoa makao makuu ya UNRWA yaendelea kulaaniwa kimataifa
Jan 29, 2026 03:46Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi tisa za Ulaya, pamoja na Kanada na Japan, wamelaani vikali hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kubomoa makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) katika mji wa Baitul Muqaddas Mashariki unaokaliwa kwa mabavu.