-
Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka
Mar 07, 2026 09:29Wizara ya Intelijensia ya Iran imefichua njama chafu iliyokuwa ikipikwa na genge la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ya kushambulia kwa makombora Msikiti wa al-Aqsa ili kuibua fitna katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Hizbullah yawataka walowezi wa Kizayuni kuondoka karibu na mpaka wa Lebanon
Mar 06, 2026 08:10Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imewataka walowezi wa vitongoji haramu katika mpaka wa pamoja wa Lebanon na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel kuondoka katika eneo hilo mara moja.
-
Maafisa 4 wa ngazi za juu wa CIA waangamizwa kwa mashambulizi ya Iran huko Saudia
Mar 05, 2026 18:30Ripoti zinasema kuwa maafisa wanne wa ngazi za juu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) na askari 8 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi la jeshi la Iran lililolenga kituo cha shirika hilo nchini Saudi Arabia.
-
Mashambulizi ya Hizbullah yalipa jeshi la kizayuni mashinikizo ambayo halijawahi kushuhudia
Mar 05, 2026 07:58Vyombo vya habari vya utawala wa kizayuni vimekiri kuwa jeshi la utawala huo ghasibu liko kwenye mashinikizo ambayo halijawahi kushuhudia kutokana na mashambulio ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kwenye medani ya kaskazini ya vita ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Sheikh Abdulqawi wa Misri asisitiza kufuata njia ya Shahidi Ayatullah Khamenei, atoa Fatwa ya kuunga mkono Iran
Mar 04, 2026 09:24Mwanazuoni mmoja wa Misri amempongeza Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, na kusisitiza kwamba njia yake lazima iendelezwe na Umma ya Waislamu.
-
Siku ya Tano ya Vita; Wimbi la 17 la Operesheni ya “Ahadi ya Kweli 4”
Mar 04, 2026 06:49Vikosi vya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinaendeleza operesheni za ‘Ahadi ya Kweli 4’ ikiwa ni katika kujibu uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ulioanzishwa Jumamosi.
-
Wanajeshi 40 wa US wauawa Dubai katika shambulizi la kulipiza kisasi la IRGC
Mar 03, 2026 12:47Makumi ya wanajeshi wa Marekani wameuawa katika shambulizi la kulipiza kisasi la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) dhidi ya kambi ya kijeshi ya Marekani jijini Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
-
Makuhani wa Israel waungana na Iran, walaani mashambulizi ya Marekani na Israel
Mar 03, 2026 07:30Makuhani wa Kiyahudi wanaopinga utawala ghasibu wa Israel wamelaani vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel na Marekani dhidi ya Iran.
-
Amnesty International: Upanuzi wa Israel wa vitongoji vya walowezi katika Ukingo wa Magharibi ni changamoto dhahiri kwa sheria za kimataifa
Feb 28, 2026 06:02Shirika la Amnesty International limetangaza kwamba tangu mwezi Disemba mwaka jana, serikali ya Israel imezidisha harakati zake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huko Palestina, ikiwa ni pamoja na Quds Mashariki (Yerusalemu Mashariki), kupitia mfululizo wa maamuzi ambayo imesema yanalenga kuimarisha unyakuzi wa ardhi hiyo.
-
Iran yahimiza kusitishwa mapigano mara moja kati ya Afghanistan na Pakistan
Feb 28, 2026 05:30Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imezitaka Pakistan na Afghanistan kuketi kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kusimamisha mapigano na kupunguza mvutano, huku mapigano ya mpakani kati ya nchi hizo mbili yakizidi kupamba moto.