-
Trump atishia kuishambulia kijeshi Nigeria kwa tuhuma za alichokiita 'kuuliwa raia Wakristo wapendwa'
Nov 02, 2025 06:26Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kufanya mashambulizi ya kijeshi ndani ya ardhi ya Nigeria kutoa mjibizo kwa alichodai kuwa ni ukatili wanaofanyiwa Wakristo, akisema ameiagiza Wizara yake ya Vita aliyoipa jina hilo jipya hivi karibuni "kujiandaa kwa hatua zinazowezekana" kuchukuliwa.
-
Watu 21 wameaga dunia na 30 hawajulikani walipo kufuatia maporomoko ya udongo yaliyoikumba Kenya
Nov 02, 2025 03:14Maporomoko ya udongo yaliyoathiri maeneo ya magharibi mwa Kenya yameuwa watu wasiopungua 21 na kujeruhi makumi ya wengine. Watu wengine zaidi ya 30 hawajulikani walipo kufuatia maafa hayo.
-
Komoro kujiunga na kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel katika Mahakama ya ICJ
Nov 02, 2025 03:12Komoro imewasilisha tamko rasmi la kujiunga na kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel iliyofunguliwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).
-
RSF yawatia mbaroni wanamgambo wake wanaotuhumiwa kufanya jinai el Fasher Sudan
Nov 01, 2025 11:41Vikosi vya Msaa wa Haraka RSF nchini Sudan vimetangaza kuwa vimewatia mbaroni wapiganaji wanaoshutumiwa kukiuka haki za binadamu na kufanya mauaji ya umati kwenye mji wa El-Fasher uliotekwa na kundi hilo hivi karibuni.
-
Mwito wa kiongozi wa upinzani wa mgomo wa nchi nzima Cameroon waitikiwa vizuri
Nov 01, 2025 11:41Mji wa Maroua ambao ni makao makuu ya jimbo la Kaskazini la Cameroon limesimamisha shughuli zote za kibiashara ikiwa ni kuitikia mwito wa kiongozi wa upinzani aliyetangaza mgomo wa biashara kwa watu wote.
-
Afrika Kusini yalaani mpango wa wakimbizi wa Marekani kwa mapungufu yake mengi
Nov 01, 2025 11:40Serikali ya Afrika Kusini imelezea kusikitishwa na mpango wa wakimbizi wa Marekani, ikiuelezea kuwa si sahihi ni upotoshaji na una mapungufu mengi.
-
Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania: Samia ameshinda uchaguzi wa rais kwa asilimia 98 ya kura
Nov 01, 2025 07:27Tume Huru ya Uchaguzi nchini Tanzania imemtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais ulifanyika Oktoba 29 kwa asilimia 98 ya kura.
-
Tanzania yakanusha madai ya kutumia nguvu dhidi ya waandamanaji
Nov 01, 2025 03:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mahmoud Thabit Kombo, amekanusha madai ya matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji wanaopinga zoezi la Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29.
-
Hali bado si shwari Tanzania, matokeo yakiendelea kutangazwa
Oct 31, 2025 12:12Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania inaendelea kutangaza matokeo ya awali ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika 29 Oktoba, 2025.
-
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu 'ukatili wa kutisha' nchini Sudan
Oct 31, 2025 10:25Maafisa wa Umoja wa Mataifa wameonya kuhusiana na 'ukatili wa kutisha' unaofanyika nchini Sudan.