-
Mearsheimer: Kama kesi ya mtindo wa Nuremberg ingefanyika, Trump na Netanyahu wangenyongwa
Apr 02, 2026 07:15John Mearsheimer, profesa maarufu wa mahusiano ya kimataifa katika Chuo Kikuu cha Chicago, amesema kufuatia vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza kwamba: "Kama kungefanyika kesi kama ile ya Nuremberg, na Waisraeli na Wamarekani wakafikishwa mahakamani, Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na washauri wao wengi wangehukumiwa kifo na kunyongwa."
-
Trump: NATO ni simbamarara wa karatasi, ninafikiria kujiondoa kwenye shirika hili
Apr 02, 2026 07:15Rais wa Marekani amesema kwamba Washington inafikiria kwa dhati kujiondoa kwenye Shirika la Kujihami la Nchi za Magharibi (NATO).
-
UN yaonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran na vikwazo kwa vyombo vya habari
Apr 02, 2026 06:55Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali na kuonya kuhusu ukandamizaji wa waungaji mkono wa Iran katika eneo la Magharibi mwa Asia kufuatia uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya nchi hiyo, pamoja na vikwazo dhidi ya uhuru wa vyombo vya habari huko Washington na Tel Aviv.
-
Shirika la Nishati la Kimataifa: Tatizo kubwa zaidi la mafuta katika historia liko njiani
Apr 02, 2026 06:55Mkuu wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA) ameonya kwamba matatizo katika usambazaji wa mafuta na gesi yaliyosababishwa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran yamezidi mgogoro wa mafuta wa 1973 na 1979 na yameibua mshtuko mkubwa zaidi wa nishati katika historia.
-
Italia pia yapiga marufuku Marekani kutumia vituo vyake katika vita dhidi ya Iran
Apr 01, 2026 04:08Italia nayo imepiga marufuku Marekani kutumia kituo chake cha anga cha Sigonella katika kuishambulia Iran.
-
Seneta wa Marekani: Tunashindwa vibaya katika vita dhidi ya Iran na kwa aibu
Apr 01, 2026 03:59Seneta Chris Murphy wa Marekani ameonya kwamba Marekani inakaribia kushindwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran.
-
China: Shambulio lolote la Marekani na Israel dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran litakuwa na madhara makubwa kwa usalama na uthabiti wa eneo
Apr 01, 2026 03:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China, huku akisisitiza haja ya kusimamishwa haraka vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameonya dhidi ya shambulio lolote la pande mbili hizo dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran.
-
CNN: Kuharibiwa ndege za AWACS za US ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa Marekani
Mar 31, 2026 06:44Mtaalamu wa masuala ya kijeshi wa Televisheni ya CNN ya Marekani ameitaja hatua ya Iran ya kupiga na kuharibu ndege ya kijasusi ya Marekani aina ya AWACS kuwa ni pigo kubwa kwa uwezo wa anga wa nchi hiyo.
-
Uungaji mkono wa Wamarekani kwa utendaji wa Trump wapungua hadi asilimia 33
Mar 31, 2026 05:41Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa, kiwango cha uungaji mkono wa wananchi kwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena kimepungua hadi asilimia 33 tu; huku idadi kubwa ya Wamarekani wakipinga mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.
-
Uingereza: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran si vita vyetu/ Ujerumani: Kuenea kwa vita kutashinikiza vikali uchumi wa Ulaya
Mar 31, 2026 03:01Keir Starmer, Waziri Mkuu wa Uingereza, amesisitiza tena msimamo wa London kuhusu vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema kuwa vita hivi sio vya Uingereza na kwamba nchi yake haitaburuzwa kuingia kwenye vita hivyo.