-
Kwa kupiga marufuku shughuli za kundi la 'Palestine Action', Uingereza ni mtetezi kweli wa uhuru wa kutoa maoni?
Nov 29, 2025 02:42Kundi linalolitetea taifa madhulumu la Palestina nchini Uingereza liitwalo 'Palestine Action' limesema, kupigwa marufuku uendeshaji wa shughuli zake na serikali ya London ni hatua ya kidikteta.
-
Maelfu ya wafanyakazi waandamana Ireland kulaani jinai za Israel
Nov 28, 2025 11:44Maelfu ya wafanyakazi wameandamana nchini Ireland kulaani kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina.
-
Makumi waaga dunia kwa mafuriko Indonesia, Thailand na Malaysia
Nov 28, 2025 11:40Kwa akali watu 250 wamefariki dunia katika mataifa ya Indonesia, Thailand na Malaysia kufuatia mvua kubwa iliyoambatana na mafuriko na maporomoko ya ardhi.
-
Trump avunja rekodi ya kuwa kiongozi anayechukiza zaidi katika historia ya Marekani
Nov 28, 2025 06:32Marais wa Marekani kwa kawaida huwa wanakumbwa na janga la kupungua umaarufu wa muda mfupi baada ya kuingia madarakani. Lakini kwa mujibu wa The Economist, hakuna rais katika miongo ya hivi karibuni ambaye amepitia janga la kupungua mno umaarufu wake kama lilivyomkuba janga hilo Donald Trump.
-
Putin: Pendekezo la Marekani linaweza kuwa msingi wa makubaliano ya amani ya siku zijazo
Nov 28, 2025 06:32Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, vipengele vya rasimu ya amani vilivyojadiliwa hivi karibuni na Marekani na Ukraine vinaweza kutumika kama msingi wa makubaliano ya siku zijazo ya kukomesha vita nchini Ukraine.
-
Iran yawaonya mahasimu kuhusu mbinu za mabavu na mashinikizo
Nov 27, 2025 12:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametoa onyo kali kwa mahasimu wa Jamhuri ya Kiislamu akiwataka waache mwenendo wa mabavu na mashinikizo ya kupita kiasi dhidi ya taifa hili.
-
Marekani ina kiwewe cha kudukuliwa na Iran kombora lake la GBU-39B
Nov 27, 2025 06:00Marekani imeingiwa na kiwewe kikubwa cha kudukuliwa kombora lake la GBU-39B lililopatikana nchini Lebanon na kuziruhusu nchi zisizo rafiki kwake hasa Iran na Russia kupata teknolojia iliyotumika kwenye kombora hilo la kisasa na kuwa hatari kwa Marekani na utawala wa Kizayuni.
-
Mkutano wa Luanda: Ulaya na Afrika zakubaliana kushirikiana zaidi
Nov 27, 2025 02:28Mataifa ya Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika yamesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu mwishoni mwa mkutano wao wa siku mbili katika mji mkuu wa Angola, Luanda.
-
UNAIDS: Kupunguzwa misaada ya kigeni kumeua watu na kuwaacha mamilioni bila dawa
Nov 27, 2025 02:26Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, juhudi za kimataifa za kupambana na ukimwi zimepitia hali ngumu kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili kimataifa.
-
Je, Marekani ni nchi ya demokrasia au Jamhuri ya Mabilionea?
Nov 27, 2025 02:24Ingawa karne moja iliyopita, ni asilimia 0.25 tu ya fedha za uchaguzi wa Marekani ndizo zilizotoka mifukoni mwa watu 100 matajiri zaidi wa nchi hiyo, lakini leo, dola moja kati ya kila dola 13 za chaguzi za serikali ya shirikisho hutoka moja kwa moja kwa mabilionea, jambo ambalo Washington Post imesema kuwa ni kuhodhiwa siasa za Marekani na mabilionea.