-
Waziri Mkuu wa Uhispania atoa wito wa Israel kufukuzwa katika michezo ya kimataifa
Sep 16, 2025 03:06Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sánchez ametoa wito wa utawala wa kizayuni wa Israel kutojumuishwa katika mashindano ya kimataifa ya michezo kutokana na vita na jinai zake huko Gaza.
-
Waziri wa Ulinzi wa Venezuela aonya askari wa US: Msiwe wapumbavu
Sep 15, 2025 11:20Waziri wa Ulinzi wa Venezuela, Vladimir Padrino López amelaani kitendo cha Marekani cha kupeleka vikosi vyake vya majini kwenye visiwa vya Caribbean kwa kisingizio kupambana na ulanguzi wa dawa za kulevya, akisisitiza kuwa lengo halisi la Washington ni kuangusha serikali halali ya Rais Nicolas Maduro.
-
Russia yaionya vikali Ulaya dhidi ya kuchukua mali yake
Sep 15, 2025 11:15Serikali ya Russia imezionya vikali nchi za Ulaya kwamba itachukua hatua kali dhidi ya taifa lolote litakalochukua mali yake.
-
Kwa nini maandamano ya kupinga kuungwa mkono Israel yameongezeka barani Ulaya?
Sep 15, 2025 11:00Maelfu ya watu wamemiminika barabarani mjini Berlin kupinga sera za Ujerumani katika eneo la Asia Magharibi hususan za kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
WHO: Vifo vilivyosababishwa na kipindupindu duniani kote katika mwaka 2024 viliongezeka kwa 50%
Sep 15, 2025 06:16Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa vifo vilivyosababishwa na ugonjwa wa kipindupindu viliongezeka kwa asilimia 50 duniani kote katika mwaka uliopita wa 2024 ikilinganishwa na mwaka wa kabla yake.
-
New Zealand yatikiswa kwa maandamano makubwa ya historia ya kuunga mkono Gaza
Sep 15, 2025 04:02Maandamano makubwa ya kihistyoria ya kuunga mkono wananchi wa Palestina hususan wa Ukanda wa Gaza yamefanyika nchini New Zealand.
-
Save the Children: Zaidi ya nusu ya waathiriwa wa tetemeko la ardhi mashariki mwa Afghanistan ni watoto
Sep 15, 2025 03:59Shirika la Kimataifa la Save the Children limetangaza kuwa, karibu watoto 1,200 wamepoteza maisha na maelfu ya wengine kuachwa bila makao katika tetemeko la ardhi la hivi majuzi mashariki mwa Afghanistan, ambalo limechukua zaidi la nusu ya jumla ya wahanga.
-
Rais wa zamani wa Ireland: Nikiwa raia wa Ulaya 'naona aibu' kwa namna EU inavyoamiliana na Israel
Sep 14, 2025 11:02Rais wa zamani wa Ireland Mary Robinson amesema, "anaona aibu" kwa mjibizo ambao Umoja wa Ulaya (EU) umeonyesha kwa vita vinavyoendelezwa na Israel huko Ghaza, na akaukosoa umoja huo kwa kushindwa kusimamisha makubaliano yake ya kibiashara na utawala huo wa kizayuni licha ya wito uliotolewa wa kuutaka ufanye hivyo.
-
Mafuriko yaliyoikumba Punjab ya Pakistan yaua watu wapatao 101, yaathiri watu milioni 4.6
Sep 14, 2025 11:01Watu wasiopungua 101 wameaga dunia katika mafuriko yaliyolikumba jimbo la Punjab la Pakistan. Hayo ni kwa mujibu wa afisa mmoja wa Mamlaka ya Kudhibiti Maafa ya Mkoa (PDMA).
-
Maseneta wa US: Israel inaangamiza kizazi Ghaza na Marekani ni mshirika, dunia lazima ikomeshe
Sep 14, 2025 10:48Maseneta wawili waandamizi wa Marekani wameishutumu Israel kwa kutekeleza kampeni ya maangamizi ya kizazi katika Ukanda wa Ghaza na kubainisha kwamba Marekani inashiriki katika jinai hiyo na kwamba dunia lazima ichukue hatua kukomesha jambo hilo.