May 12, 2024 02:37
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka, huru na wa kina kuhusu ripoti za kugunduliwa makaburi ya halaiki katika Ukanda wa Gaza, likisisitiza haja ya kuruhusiwa wachunguzi kufikia maeneo hayo na kuwawajibisha wale waliohusika na uhalifu huo.