-
Mwigizaji wa Hollywood: Trump ni gaidi na mhalifu
Mar 18, 2026 09:53Mwigizaji maarufu wa Marekani Morgan Freeman ameandika katika ukurasa wake binafsi kwenye mitandao ya kijamii kwamba rais Donald Trump ni gaidi, mbaguzi wa rangi na mhalifu, na kwamba Ikulu ya White House inapaswa kuhesabiwa kuwa ni shirika la kigaidi.
-
Amnesty International: Marekani lazima iwajibishwe kwa uhalifu katika Shule ya Minab nchini Iran
Mar 18, 2026 09:23Shirika la Amnesty International limetangaza kwamba Marekani lazima iwajibishwe kwa mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Msingi ya Minab nchini Iran.
-
Iran yatuma barua UN; yalalamikia mashambulizi ya US dhidi yake kutokea katika nchi za eneo
Mar 18, 2026 09:21Iran imetuma barua saba tofauti kwa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la umoja huo kuhusiana na mashambulizi ya Marekani dhidi yake kutokea katika nchi za kanda hii.
-
Iran yamnyonga jasusi wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad
Mar 18, 2026 08:35Mahakama ya Iran imetangaza mapema Jumatano kwamba imemnyonga mtu aliyepatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa maslahi ya utawala haramu wa Israel.
-
"Israel inadanganya, Iran haitutishii": Afisa wa ujasusi aliyeteuliwa na Trump ajiuzulu kwa sababu ya vita na Iran
Mar 18, 2026 08:27Mkuu wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Marekani amejiuzulu baada ya kufichua yanayojiri nyuma ya pazia kuhusu vita vya nchi hiyo na Israel dhidi ya Iran.
-
Seneta wa Marekani: Trump ni mpumbavu/ Panetta: Utawala wa Iran umekita mizizi, ni imara
Mar 18, 2026 08:25Seneta wa chama cha Democratic cha Marekani amemtaja rais wa nchi hiyo kuwa ni mjinga kwa kufuata kibubusa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, ameuawa Shahidi
Mar 18, 2026 07:13Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuuawa shahidi kwa katibu wake, Ali Larijani, kufuatia shambulio la maadui, ambao ni Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mfumo Mpya wa Dunia
Mar 17, 2026 12:18Je, hadi sasa umewahi kufikiria mfumo huu unaotawala dunia ulitoka wapi?
-
Araqchi amwambia Guterres: Simamisheni uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran
Mar 17, 2026 12:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Matatizo ya usafirishaji wa meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz ni matokeo ya vita vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, na kila nchi au shirika la kimataifa linalojali amani na usalama lazima lilaani uhalifu wa tawala hizo mbili na kutoa wito wa kukomeshwa uchokozi wao wa kijeshi dhidi ya taifa la Iran."
-
Afghanistan yaituhumu Pakistan kwamba imeua watu 400 hospitalini Kabul
Mar 17, 2026 11:47Afghanistan imelituhumu jeshi la Pakistan kwamba limeua mamia ya watu katika shambulio la anga dhidi ya hospitali moja mjini Kabul.