-
Naim Qassem: Mradi wa kuangamiza Iran na Muqawama umefeli
Jun 22, 2026 09:06Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwamba, mradi wa kuisambaratisha Iran na Muqawama katika eneo la Asia Magharibi umeshindwa na kugonga mwamba.
-
Mawaziri wa Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan wajadili makubaliano ya Iran na Marekani
Jun 22, 2026 08:50Mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa Misri, Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan umefanyika mjini Cairo kwa ajili ya kujadili utulivu wa kikanda na kufuatilia makubaliano kati ya Iran na Marekani.
-
Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?
Jun 22, 2026 05:52Uungaji mkono wa Ulaya juu kwa usimamishaji hujuma ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon katika maelewano kati ya Tehran na Washington unaonyesha wasiwasi unaoongezeka wa nchi za Ulaya kuhusu kuenea vita na taathira zake hasi katika uthabiti na usalama wa eneo.
-
Araqchi: Mazungumzo ya Uswisi yamepiga hatua kubwa, usitishaji vita Lebanon bado ni mtihani
Jun 22, 2026 04:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amezipongeza Pakistan na Qatar kwa juhudi zao alizozitaja kuwa za "kutochoka" katika upatanishi, akisema kuwa hatua kubwa zimefikiwa kuelekea kumaliza vita dhidi ya Iran, lakini akasisitiza kuwa "kipimo halisi" kitakuwa utekelezaji wenye mafanikio wa usitishaji vita nchini Lebanon.
-
Rais Pezeshkian: Hatuogopi vita, lakini vita havina maslahi na mtu yeyote
Jun 22, 2026 04:43Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Hatuogopi vita, lakini vita havina maslahi na mtu yeyote.
-
Vyombo vya habari vya Kiebrania: Israel kwa mara nyingine tena imesalimu amri kwa masharti ya Iran
Jun 22, 2026 04:37Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti kuwa, uamuzi wa kusitisha mapigano nchini Lebanon umetolewa baada ya Marekani kutoa mashinikizo makali dhidi ya Tel Aviv na kwamba, maafisa wa kisiasa wa utawala huo wamesalimu amri tena kwa masharti ya Iran.
-
Timu ya taifa ya karate ya wanawake ya Iran yatwaa ubingwa wa Asia
Jun 22, 2026 04:33Timu ya taifa ya karate ya wanawake ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa ubingwa wa bara la Asia katika mchezo huo.
-
CENCO yapinga kufanyika kwa mageuzi ya katiba DRC
Jun 22, 2026 04:29Muungano maaskofu wa kanisa Katoliki (CENCO) umepinga mapendekezo ya kuifanyia marekebisho katiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?
Jun 21, 2026 12:42Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema, maadui walijaribu kuandaa mazingira ya kuuangamiza muqawama kwa kutumia vibaya serikali ya Lebanon na kuunda mwavuli haramu wa kisheria, lakini pamoja na hayo si tu kwamba adui wa Kizayuni alishindwa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe, bali pia inaendelea kupipigania ushindi wa mwisho.
-
Iran yasema mazungumzo na Marekani yanahusu kutotekelezwa kwa kifungu cha kwanza cha makubaliano
Jun 21, 2026 11:26Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kuwa mazungumzo yaliyopangwa kufanyika na Marekani yatalenga suala la kutotekelezwa kwa kifungu cha kwanza cha Waraka wa Makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya nchi hizo mbili.