-
Lavrov: Wanajeshi wa Ukraine Wanahusika na Ugaidi dhidi ya Nchi za Afrika
Aug 18, 2026 11:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema kuwa Moscow imetiwa wasiwasi na ripoti zinazoashiria kuwa wanajeshi wa Ukraine wanahusika katika operesheni zinazotekelezwa na makundi haramu ya wanamgambo dhidi ya nchi za ukanda wa Sahel barani Afrika.
-
Maharamia wateka meli ya mizigo katika pwani ya Somalia
Aug 18, 2026 11:33Maharamia wa katika pwani ya Somalia wameiteka meli nyingine ya mizigo kando ya pwani ya nchi hiyo. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti za mashirika ya usalama wa baharini. Tukio hili ni ishara mpya ya kurejea kwa uharamia katika maji ya Pembe ya Afrika, baada ya miaka mingi ya utulivu .
-
Namna Dunia Inavyorejea katika Enzi za Ukatili na Ufedhuli?
Aug 18, 2026 11:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alisema karibuni hivi kwamba "matumizi ya nguvu za wazi na madai ya kumiliki rasilimali za mataifa mengine ni ishara zinazoonyesha kuwa tunarejea kwenye zama za kale za matumizi ya nguvu, ambalo lilikuwa jambo la kawaida na lisilodhibitiwa."
-
Iran yalaani kauli ya waziri wa Israel, Ben-Gvir ya kuhamasisha mauaji dhidi ya Wapalestina, Gaza
Aug 18, 2026 03:27Mwanadiplomasia mwandamizi wa Iran ameeleza ghadhabu yake baada ya waziri mmoja wa itikadi kali wa utawala wa Kizayuni wa Israel kushauri kwamba utawala huo unapaswa kuwaua Wapalestina wa Ukanda wa Gaza kwa misingi ya “kiwango cha mauaji ya kila usiku.”
-
Hichilema ashinda uchaguzi wa rais wa Zambia kwa asilimia 60 ya kura
Aug 18, 2026 03:23Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, ameshinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo kwa takriban asilimia 60 ya kura zilizopigwa wiki iliyopita. Hayo yametangazwa mapema leo Jumanne na Tume ya Uchaguzi ya Zambia.
-
Jeshi la Yemen lashambulia meli ya kivita za Saudia katika Bahari ya Sham
Aug 18, 2026 03:21Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya kivita na boti kadhaa za kijeshi za Saudia katika Bahari ya Sham, ikiwa ni sehemu ya jibu la kulipiza kisasi dhidi ya kampeni ya kijeshi na mzingiro unaoendelea wa ufalme wa Saudia dhidi ya taifa la Yemen.
-
Hali mbaya ya afya ya akili ya askari wa Marekani ndani ya meli ya kivita ya USS Abraham Lincoln
Aug 18, 2026 03:19Wasiwasi umeongezeka kuhusu kuzorota afya ya kiakili ya wanajeshi waliopo ndani ya meli kubwa ya kivita ya Marekani, USS Abraham Lincoln, huku meli hiyo ikikaribia kumaliza muda wake mrefu zaidi baharinim hali inayopelekea maafisa wa Marekani kukabiliwa na ukosoaji mkali kuhusu mazingira mabovu ndani ya meli hiyo.
-
Mlipuko wa Ebola DRC sasa ni mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo
Aug 18, 2026 03:16Mlipuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umesababisha vifo vya watu 2,325 tangu mwezi Mei.
-
Baghaei: Iran haibadili sera zake kwa kushinikizwa na kuainishiwa muda
Aug 17, 2026 12:36Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haibadilishi sera zake kutokana na shinikizo au muda wa mwisho uliowekwa.
-
Meja Jenerali Hatami: Ni muhali kwa vituo vya kijeshi vya Marekani kurejea katika hali ya awali
Aug 17, 2026 12:02Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran, Meja Jenerali Amir Hatami amesema Marekani haina tena ruhusa wala haki ya kuingia katika Ghuba ya Uajemi, Bahari ya Oman na Mlango Bahari wa Hormuz, akisisitiza kuwa vituo vya kijeshi vya Marekani katu haviwezi kurejea katika hali iliyokuwepo awali.