-
Mshauri wa Kiongozi aonya dhidi ya matumaini kupita kiasi kuhusu mazungumzo na “adui anayevunja ahadi”
Jun 21, 2026 11:24Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonya dhidi ya kuwa na matumaini kupita kiasi kuhusu mazungumzo na adui, akitaja historia yake ya kuvunja ahadi.
-
Imamu ashambuliwa nje ya msikiti nchini Kanada huku chuki dhidi ya Uislamu ikiongezeka
Jun 21, 2026 11:22Imamu wa Msikiti wa Jumuiya ya Waislamu wa British Columbia (BCMA), Sheikh Ebrahim, ameshambuliwa katika tukio linalohusishwa na chuki dhidi ya Uislamu.
-
Walebanon waipongeza Iran kwa kuunga mkono kukomeshwa hujuma ya vita ya Israel dhidi ya Lebanon
Jun 21, 2026 11:21Mabango yanayoonyesha shukrani kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesimikwa kando ya barabara kuu inayoelekea uwanja wa ndege wa Beirut, yakionyesha shukrani za dhati kwa msimamo wa Iran wa kutaka kukomeshwa kikamilifu uchokozi wa Israel dhidi ya Lebanon, kama ilivyotajwa katika waraka wa makubaliano (MoU) uliosainiwa hivi karibuni kati ya Iran na Marekani.
-
UN: Yamkini waasi wa RSF wanatekeleza mauaji ya halaiki mjini El Obeid, Sudan
Jun 21, 2026 11:18Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameeleza wasiwasi mkubwa kuhusu taarifa za kuongezeka kwa wapiganaji wa kundi la waasi la RSF, ambao wameuzingira mji wa El Obeid nchini Sudan.
-
Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US
Jun 21, 2026 04:41Spika wa Bunge la Iran amesisitiza tena kwamba atatetea haki za Wairani waliouawa shahidi wakati wa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu baada ya kuwasili Uswisi kufuatilia mkataba wa Hati ya Maelewano uliosainiwa na viongozi wa nchi mbili kwa lengo la kukomesha vita.
-
Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria
Jun 21, 2026 04:38Karne nyingi baada ya kumalizika biashara ya utumwa ya kuvuka Atlantiki, moja ya masuala nyeti zaidi ya kihistoria yameibuka tena katika mji mkuu wa Ghana, Accra, ambapo Mkutano wa Dunia kuhusu Fidia ya Utumwa na Haki ya Kihistoria ulihitimishwa jana, huku Afrika ikitaka kuwepo mfumo wa vitendo wa kufidia jamii ambazo bado zinateseka kutokana na athari mbaya za enzi hizo.
-
Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka
Jun 21, 2026 02:58Picha iliyochukuliwa kutokea angani inayoonyesha mazishi ya wanafunzi 168 waliouawa shahidi wakati wa shambulio la makombora ya Marekani dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab, kusini mwa Iran, imeshinda tuzo ya juu katika Kategoria ya Upigaji Picha za Habari ya tuzo za Golden Shot Photography Awards 2026.
-
Mkuu wa CDC asema Afrika lazima iwekeze fedha zake katika kukabiliana na Ebola
Jun 21, 2026 02:55Mkuu wa Vituo vya Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) amesema bara hilo linahitaji kuwekeza fedha zake lenyewe katika kukabiliana na Ebola.
-
UN: Kutoadhibiwa wahalifu kunaeneza hisia za mauaji ya kimbari nchini Nigeria
Jun 21, 2026 02:52Ripoti ya Umoja wa Mtaifa inasema, kutoadhibiwa watu wanaofanya mashambulizi ya mara kwa mara dhidi ya viongozi wa kidini na sehemu za ibada, pamoja na kinga dhaifu na uwajibikaji duni, vinawafanya waathiriwa nchini Nigeria kuona kwamba vurugu zinazofanyika nchini humo ni mateso au hata mauaji ya halaiki.
-
Iran yafunga tena Lango-Bahari la Hormuz baada ya Marekani na Israel kukiuka MoU
Jun 20, 2026 14:46Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran imetangaza rasmi kwamba Lango-Bahari la Hormuz limefungwa kwa vyombo vyote vya usafirishaji wa baharini, baada ya Marekani na Israel kukiuka makubaliano ya hati ya maelewano ya kusitisha vita kati ya Tehran na Washington.