-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 9
Feb 09, 2026 07:08Natumai hujambo msikilizaji mpenzi na karibu tutupie jicho matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Alfajiri Kumi- Sekta ya afya ya Iran kabla na baada ya Mapinduzi
Feb 05, 2026 14:50Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Kipindi chetu kinazungumzia mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu katika sekta ya afya na ustawi wa jamii.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 2
Feb 02, 2026 06:44Hujambo msikilizaji mpenzi na karibu tutupie jicho matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Ulimwengu wa Michezo, Jan 26
Jan 26, 2026 09:18Hujambo msikilizaji mpenzi, na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku zilizopita kote duniani.
-
Nyayo za Madola ya Kigeni katika Machafuko ya Iran: Simulizi ya Nyaraka ya Uingiliaji Kati wa Marekani na Israel
Jan 26, 2026 04:23Leo tunafuatilia nyayo za kuhusika Marekani na Israel katika ghasia na machafuko ya karibuni nchini Iran..
-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 19
Jan 19, 2026 08:47Hujambo msikilizaji mpenzi, na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku zilizopita, ikiwemo fainali ya michuano ya AFCON. Nakusihi tuwe sote hadi tamati ya kipindi…..Karibu…….
-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 12
Jan 12, 2026 06:37Natumai mambo yako yanakuendea shwari msikilizaji mpenzi, na karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Kumbukumbu Maalumu ya Kuuawa Shahidi Jenerali Haj Qassem Soleimani
Jan 10, 2026 07:33Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuuliwa shahidi Meja Jenerali Qassim Soleimani.
-
Gaza: Mtihani kwa Dhamiri ya Ulimwengu katika mwaka 2026
Jan 10, 2026 06:18Makala yetu ya wiki inazungumzia hali ya Ukanda wa Gaza ambapo watu wanataabika kutokana na mafuriko, mvua kubwa, nyumba zilizobomoka, na uhaba mkubwa wa chakula na maji ya kunywa katika majira ya msimu wa baridi kali baada ya miaka mingi ya vita na uharibifu unaofanywa na utawala wa Israel.
-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 5
Jan 05, 2026 08:04Natumai huna neno hapo ulipo mskilizaji mpenzi. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu yaliyoshuhudiwa viwanjani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.