Matukio
  • Siku mbaya zaidi: Israeli yaua karibu watu 80 wa Ghaza katika shambulio kwenye zahanati ya UN

    Siku mbaya zaidi: Israeli yaua karibu watu 80 wa Ghaza katika shambulio kwenye zahanati ya UN

    Apr 03, 2025 14:26

    Wimbi jipya la mashambulizi ya anga ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza yamesababisha takriban watu 77 kuuawa shahidi, ikiwa ni siku mbaya zaidi kwa Wapalestina tangu utawala katili wa Israel uanze tena mauaji yake ya kijinai na ya umati kwenye ukanda huo uliozingiwa kila upande.

  • Iran yazindua ‘Mji Mkubwa wa Makombora’ chini ya ardhi + Video

    Iran yazindua ‘Mji Mkubwa wa Makombora’ chini ya ardhi + Video

    Mar 26, 2025 11:12

    Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) kimezindua “mji mkubwa wa makombora" ulioko chinia ya ardhi, ukiwa ni moja kati ya vituo vyake vingi vya aina hiyo.

  • Ulimwengu wa Spoti, Machi 10

    Ulimwengu wa Spoti, Machi 10

    Mar 10, 2025 05:24

    Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa......

  • Ulimwengu wa Spoti, Machi 3

    Ulimwengu wa Spoti, Machi 3

    Mar 03, 2025 09:29

    Hujambo mpenzi mwanaspoti. Karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio yaliyogonga vichwa vya habari katika viwanja na kumbi mbalimbali za michezo ndani ya wiki moja iliyopita...

  • Ulimwengu wa Spoti, Feb 24

    Ulimwengu wa Spoti, Feb 24

    Feb 24, 2025 06:02

    Hujambo msikilizaji mpenzi na hasa mfuatiliaji wa matukio ya spoti. Karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku zilizopita katika kona mbali mbali za dunia.....

  • Mwana wa Nasrullah asema siku ya Jumapili ya mazishi ya baba yake ni

    Mwana wa Nasrullah asema siku ya Jumapili ya mazishi ya baba yake ni "Siku ya Kutangaza Msimamo"

    Feb 22, 2025 06:07

    Sayyid Muhammad Mahdi Nasrullah, mwana wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon aliyeuawa shahidi amesema katika hotuba ya kuwatolea mwito watu kuhudhuria mazishi ya baba yake kwamba: "kushiriki katika mazishi ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah kutakuwa ni kushiriki mtu katika siku ya kutangaza msimamo na kudhihirisha kivitendo mapenzi yake kwa Shahidi Nasrullah".

  • Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina; Jinai mpya dhidi ya Wapalestina

    Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina; Jinai mpya dhidi ya Wapalestina

    Feb 20, 2025 08:10

    Leo tutaangazia jinai mpya ya Wazayuni na washirika wao ya kutaka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina katika makazi na nchi yao.....

  • Deep Seek; Kuongezeka mchuano kati ya China na Marekani katika uga wa teknolojia

    Deep Seek; Kuongezeka mchuano kati ya China na Marekani katika uga wa teknolojia

    Feb 20, 2025 08:07

    Kuibuka na kupanuka kwa teknolojia ya hali ya juu katika nyanja mbalimbali, hasa katika uwanja wa akili mnemba (Artificial Intligence) kumesababisha mabadiliko makubwa duniani Katika miaka ya hivi karibuni.

  • Ulimwengu wa Spoti, Feb 17

    Ulimwengu wa Spoti, Feb 17

    Feb 17, 2025 06:36

    Hujambo mpenzi na ashiki wa spoti, natumai u mzima wa afya. Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyoshuhudiwa ndani ya siku zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.