-
Iran: Madai ya njama ya kumuua balozi wa Israel huko Mexico ni 'uongo mkubwa', Mexico pia yakadhibisha
Nov 08, 2025 04:29Iran imekadhibisha vikali madai yaliyotolewa na Marekani na Israel kwamba Jamhuri ya Kiislamu ilikuwa na mipango ya kumuua balozi wa Israel nchini Mexico, ikiyataja madai hayo kuwa ni "uongo mkubwa."
-
Kauli ya Trump inathibitisha Marekani ilishirikiana na Israel moja kwa moja kuishambulia Iran
Nov 08, 2025 01:23Iran imesema kuwa Marekani ilihusika moja kwa moja katika uvamizi wa utawala wa Israel dhidi yake mnamo mwezi Juni, ikinukuu kauli za hivi karibuni za Rais Donald Trump wa Marekani, kama ushahidi wa wazi wa ushiriki wa Washington katika kitendo hicho cha uchokozi.
-
Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu ‘yanapaswa kutumia nguvu’ dhidi ya Israel
Nov 08, 2025 00:36Mohammad Bagher Qalibaf Spika wa Majlisi ya ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa nchi za Kiislamu "zinapasa kutumia nguvu" dhidi ya utawala wa Israel na kuonya kuwa diplomasia pekee haitazuia vitendo vya uchokozi vya Israel.
-
Rais Pezeshkian: Migawanyiko na mifarakano baina ya Waislamu inaunufaisha Uzayuni wa dunia
Nov 07, 2025 08:22Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, migawanyiko na mifarakano baina ya Waislamu ndilo jambo hasa wanalolitamani maadui wa Uislamu.
-
Baghaei: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Wairani ni jinai dhidi ya ubinadamu
Nov 07, 2025 03:24Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Wairani ni jinai dhidi ya ubinadamu.
-
Araghchi: Tunaendelea kufungua milango ya masoko ya kimataifa kwa Iran
Nov 07, 2025 00:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wizara yake inaendelea na jitihada zake za kidiplomasia za kufungua milango ya masoko ya kimataifa kwa ajili ya Iran na kuwasahilishia mambo wale wote wanaojishughulisha na masuala ya kiuchumi.
-
Qalibaf: Iran na Pakistan zinatoa kipaumbele kwa uhusiano wa kiuchumi na kibiashara
Nov 06, 2025 07:44Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa kupanua uhusiano wa kiuchumi na kuzidisha kiwango cha biashara kati ya Tehran na Islamabad ni vipaumbele vya juu vya nchi zote mbili.
-
Je, dunia inapaswa kuwa na wasiwasi juu ya uamuzi wa nyuklia aliotangaza Trump? Nini mtazamo wa Iran?
Nov 06, 2025 05:20Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa mjibizo kwa matamshi ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu kuanza tena nchi hiyo kuzifanyia majaribio silaha zake za nyuklia.
-
Rais wa Iran: Marekani na Ulaya lazima zionyeshe “uaminifu wa dhati”
Nov 06, 2025 04:23Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ameitaka Marekani na nchi za Ulaya kuonesha uaminifu wa dhati endapo zinataka kurejesha imani na Iran.
-
Araqchi: Iran iliilazimisha Marekani na Israel 'kusitisha mapigano bila masharti' badala ya 'kusalimu amri bila masharti'
Nov 06, 2025 00:34Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesifu kusimama kidete kwa nchi dhidi ya uvamizi wa hivi karibuni wa siku 12 wa Marekani na Israel, akisema kusimama kidete huko kulimlazimisha adui aliyetaka Iran ijisalimishe bila masharti, kuomba kusitishwa mapigano bila masharti.