-
Askari mwandamizi wa Marekani akamatwa kwa kujaribu kuua Waislamu
Jun 11, 2016 02:39Ofisa mwandamizi wa jeshi la Marekani anatazamiwa kupandishwa kizimbani karibuni hivi kwa madai ya kutishia kushambulia msikiti na kuua waumini wa Kiislamu katika jimbo la Carolina Kaskazini.
-
Pentagon: Marekani kutuma vikosi zaidi nchini Iraq
Mar 26, 2016 03:39Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inajiandaa kutuma vikosi zaidi vya jeshi la nchini hiyo huko Iraq, eti kwa lengo la kuipa nguvu operesheni inayoendelea dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.