• Ujumbe unaogongana wa Marekani kwa Iran: Salamu za Nowruz zilizowekwa viungo vya kushadidisha vikwazo

    Ujumbe unaogongana wa Marekani kwa Iran: Salamu za Nowruz zilizowekwa viungo vya kushadidisha vikwazo

    Mar 22, 2025 22:52

    Katika siku ya kwanza ya mwaka mpya wa Kiirani wa 1404 Hijiria Shamsia, Wizara ya Fedha ya Marekani imeiwekea Iran vikwazo vipya, ambavyo vinalenga idara kadhaa, meli na watu binafsi, huku Rais Donald Trump wa nchi hiyo, akidai kuwatakia Wairani heri ya mwaka mpya. Kwa maneno mengine ni kuwa, salamu za Nowruz za Wamarekani kwa Wairani zimewekwa viungo vya kushadidisha vikwazo na mashinikizo dhidi yao.

  • Onyo la Iran kwa Marekani kuhusu matokeo mabaya ya uchokozi wa aina yoyote

    Onyo la Iran kwa Marekani kuhusu matokeo mabaya ya uchokozi wa aina yoyote

    Mar 19, 2025 23:04

    Amir Saeed Irvani, Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa alitahadharisha katika barua yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumatatu kwamba, hatua zozote za kichokozi zitakazofanywa na Marekani zitakuwa na matokeo mabaya na hatari mno.

  • EU: Trump ni janga baya zaidi kwa dunia kuliko hata Corona

    EU: Trump ni janga baya zaidi kwa dunia kuliko hata Corona

    Mar 17, 2025 22:42

    Naibu wa Gavana wa Benki Kuu ya Umoja wa Ulaya amesema kuwa, rais wa Marekani, Donald Trump amesababisha kukosekana utulivu katika ghughuli za kiuchumi na rais huyo ni janga baya zaidi kuliko hata janga la Corona la miaka mitano iliyopita.

  • Mgongano wa maneno na vitendo vya seriakli ya Trump kuhusu Iran

    Mgongano wa maneno na vitendo vya seriakli ya Trump kuhusu Iran

    Mar 15, 2025 22:48

    Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kuzungumzia mara kwa mara nia yake ya kufanya mazungumzo na Iran katika miezi ya kwanza ya muhula wake wa pili wa urais na hata kutuma barua kuhusiana na suala hilo kwa Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, lakini kivitendo amekuwa akitekeleza mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran na kuchukua hatua mpya katika uwanja huo kila siku.

  • Iran yachunguza barua ya Rais wa Marekani

    Iran yachunguza barua ya Rais wa Marekani

    Mar 13, 2025 23:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa baada ya tathmini na uchunguzi kamili wa barua ya Rais wa Marekani kwa Iran, uamuzi utachukuliwa kuhusu jinsi ya kujibu barua hiyo.

  • Jamaatul-Islami yaitahadharisha serikali ya Pakistan isihadaiwe na hila za Trump

    Jamaatul-Islami yaitahadharisha serikali ya Pakistan isihadaiwe na hila za Trump

    Mar 11, 2025 23:07

    Mkuu wa Chama cha Kiislamu cha Jamaat-e-Islami Pakistan (JIP) ameihutubu serikali ya Islamabad akisema: Marekani si yenye kuitakia kheri katu Pakistan na haipasi kuridhia matakwa ya nchi hiyo.

  • The Guardian: Trump anajifanya tu mbabe lakini ni mtu dhaifu

    The Guardian: Trump anajifanya tu mbabe lakini ni mtu dhaifu

    Mar 09, 2025 07:53

    Gazerti la The Guardian la nchini Uingereza limeandika makala maalumu kuhusu misimamo dhaifu ya rais wa Marekani, Donald Trump katika masuala tofauti na kusema kuwa, ijapokuwa rais huyo anajifanya mbabe, lakini ni mtu dhaifu na vitisho vyake havina maana.

  • Trump na kukandamizwa uhuru wa kusema huko Marekani

    Trump na kukandamizwa uhuru wa kusema huko Marekani

    Mar 08, 2025 00:53

    Gazeti la Marekani la Washington Post limeandika makala likiashiria amri za utendaji zilizotolewa na Rais wa Marekani, Donald Trump, tangu aingie madarakani na kusema: Wakosoaji wanamtuhumu kuwa anakandamiza sana uhuru wa kujieleza na kukiuka Katiba ya Marekani.

  • Kenya yaiamuru TikTok iondoe maudhui za kingono zinazowalenga watoto

    Kenya yaiamuru TikTok iondoe maudhui za kingono zinazowalenga watoto

    Mar 07, 2025 03:47

    Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imeutaka mtandao wa kijamii wa China wa TikTok uondoe maudhui za kingono zinazowalenga na kuwaathiri watoto.

  • UN: Tuna wasiwasi kuhusu mwelekeo wa White House

    UN: Tuna wasiwasi kuhusu mwelekeo wa White House

    Mar 03, 2025 23:29

    Kamishna wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk ameelezea wasiwasi wake kuhusu mabadiliko ya mwelekeo yanayofanyika nchini Marekani katika uwanja wa ndani na kimataifa.