-
De Mistura: Mgogoro wa Syria hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi
Feb 24, 2017 00:23Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Syria amesema pande zote zinatambua kuwa, mgogoro wa nchi hiyo hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi.
Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Syria amesema pande zote zinatambua kuwa, mgogoro wa nchi hiyo hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi.