-
Ayatullah Khamenei: Marekani, chanzo cha ugaidi, vita katika ulimwengu wa Kiislamu
Jul 06, 2016 14:00Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema chanzo kikuu cha vita, ukosefu wa usalama katika eneo la Magharibi mwa Asia na Ulimwengu wa Kiislamu ni madola makubwa ya kiistikbari yakiongozwa na Marekani.
-
Sala ya Idul Fitr yafutwa Uingereza kwa kuhofia hujuma ya wenye misimamo mikali
Jul 03, 2016 03:35Sala ya Idul Fitri imefutwa katika mji mwa Southampton Uingereza kufuatia ripoti kuwa makundi ya watu wenye misimamo mikali wenye chuki dhidi ya Waislamu wanapanga kuvuruga sala hiyo.