Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Maandamano ya kuwaunga mkono watu wanaodhulumiwa wa Yemen yafanyika nchini Iran

    Maandamano ya kuwaunga mkono watu wanaodhulumiwa wa Yemen yafanyika nchini Iran

    Jan 28, 2022 23:29

    Maelfu ya wananchi katika miji mingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameshiriki katika maandamano ya kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Yemen na kulaani jinai zinazotendwa na muungano vamizi unaoongozwa na Saudia dhidi ya taifa hilo.

  • Umuhimu wa safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar mjini Tehran

    Umuhimu wa safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar mjini Tehran

    Jan 28, 2022 04:54

    Mohammed bin Abdulrahman Al-Thani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu wa nchi hiyo siku ya Alhamisi alifanya ziara mjini Tehran ambapo alionana na kuzungumza na waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Iran Hussein Amir Abdollahian.

  • Iran yajibu uropokaji wa Uingereza kuhusu mazungumzo ya JCPOA

    Iran yajibu uropokaji wa Uingereza kuhusu mazungumzo ya JCPOA

    Jan 27, 2022 04:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali bwabwaja mpya zilizotolewa na Uingereza juu ya mazungumzo ya kufufua makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanayoendelea huko Vienna, Austria.

  • Mazungumzo ya Vienna; ufunguo wa makubaliano yoyote ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya taifa la Iran

    Mazungumzo ya Vienna; ufunguo wa makubaliano yoyote ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya taifa la Iran

    Jan 26, 2022 23:05

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ameeleza kuwa, ufunguo wa mapatano yoyote ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya wananchi wa Iran.

  • Iran: Hatujaamua kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani

    Iran: Hatujaamua kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani

    Jan 25, 2022 04:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijafikia uamuzi wa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani.

  • Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani

    Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani

    Jan 19, 2022 07:16

    Iran imepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana hapa nchini katika kuwawezesha wanawake na wasichana, licha ya vikwazo vya Marekani vilivyo kinyume cha sheria na vya kinyama vinavyolenga nchi hiyo.

  • Kuanza kupelekwa barani Ulaya huduma za nishati za Iran

    Kuanza kupelekwa barani Ulaya huduma za nishati za Iran

    Jan 18, 2022 04:38

    Kufuatia kutiwa saini hati ya mapatano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Romania kwa ajili ya kupelekwa nchini humo huduma za kiufundi za Iran katika sekta ya gesi, kwa mara ya kwanza Iran imejiunga na nchi zinazouza barani Ulaya huduma za nishati.

  • Benki ya Dunia:  Uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021

    Benki ya Dunia: Uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021

    Jan 17, 2022 04:33

    Benki ya Dunia imesema uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021 na hivyo kupiga hatua zaidi ya utabiri wa benki hiyo ambayo ilikuwa imetabiri Juni mwaka jana kuwa ustawi huo ungekuwa kwa asilimia moja.

  • Kamanda: Usalama wa Iran ni mstari mwekundu wa vikosi vya ulinzi

    Kamanda: Usalama wa Iran ni mstari mwekundu wa vikosi vya ulinzi

    Jan 16, 2022 04:32

    Naibu Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran amesema usalama wa taifa hili ni mstari mwekundu wa vikosi vyote vya ulinzi na usalama vya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Rais wa Iran alegeza baadhi ya masharti ya kukabiliana na Corona, huku vifo vikipungua

    Rais wa Iran alegeza baadhi ya masharti ya kukabiliana na Corona, huku vifo vikipungua

    Jan 16, 2022 00:02

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran ameruhusu kuondolewa baadhi ya masharti na vikwazo vilivyokuwa vimetangazwa hapa nchini kwa lengo la kupambana na msambao wa ugonjwa wa Covid-19, huku idadi ya maambukizi na vifo vinavyotokana na maradhi hayo ikiendelea kupungua.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS