-
Duru za Palestina zakanusha madai ya US kwamba HAMAS imekubali kupokonywa silaha
Mar 11, 2025 23:10Duru moja ya Palestina yenye taarifa za mazungumzo yaliyofanyika kati ya HAMAS na serikali ya Marekani imekanusha ripoti zinazodai kuwa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina imekubali kupokonywa silaha mkabala wa kutekelezwa usitishaji vita baina yake na utawala wa Kizayuni wa muda mrefu huko Gaza.
-
Iran na US katika 'mazungumzo' ya kubadilishana wafungwa
Feb 16, 2023 23:21Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zipo katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja juu ya suala la kubadilishana wafungwa, huku Qatar na Uingereza zikiwa wapatanishi kwenye mazungumzo hayo.
-
Matamshi yanayokinzana ya Rais wa Jamhuri ya Azerbaijan
Oct 18, 2021 00:21Wakuu wa serikali ya Jamhuri ya Azerbaijan, hasa Rais wa nchi hiyo Ilham Aliyev, wanaendelea kutoa matamshi yanayokinzana kuhusiana na mapatano na nchi jirani ya Armenia.