• Askari 500 wa Marekani walijiua mwaka jana

    Askari 500 wa Marekani walijiua mwaka jana

    Apr 06, 2016 07:43

    Takaribani askari 500 wa Jeshi la Marekani walijiua mwaka jana na hivyo kuendeleza mkondo wa idadi kubwa ya wanajeshi wanaojiua nchini humo katika kipindi cha miaka saba iliyopita.