-
Waziri wa Ulinzi wa Venezuela aonya askari wa US: Msiwe wapumbavu
Sep 15, 2025 07:50Waziri wa Ulinzi wa Venezuela, Vladimir Padrino López amelaani kitendo cha Marekani cha kupeleka vikosi vyake vya majini kwenye visiwa vya Caribbean kwa kisingizio kupambana na ulanguzi wa dawa za kulevya, akisisitiza kuwa lengo halisi la Washington ni kuangusha serikali halali ya Rais Nicolas Maduro.
-
Maseneta wa US: Israel inaangamiza kizazi Ghaza na Marekani ni mshirika, dunia lazima ikomeshe
Sep 14, 2025 07:18Maseneta wawili waandamizi wa Marekani wameishutumu Israel kwa kutekeleza kampeni ya maangamizi ya kizazi katika Ukanda wa Ghaza na kubainisha kwamba Marekani inashiriki katika jinai hiyo na kwamba dunia lazima ichukue hatua kukomesha jambo hilo.
-
Seneta Cruz ataka US ama iitambue Ikhwanul Muslimin kuwa kundi la kigaidi au iwaue wanachama wake
Sep 12, 2025 06:57Ted Cruz, Seneta wa Marekani wa jimbo la Texas kwa tiketi ya chama tawala cha Republican amesema, wakati umewadia kwa Marekani kuitambua harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni shirika la kigaidi, kwa sababu hiyo ndiyo hatua mbadala ya kuwaua wanachama na washirika wa harakati hiyo.
-
HAMAS: Pendekezo la Marekani halilengi kumaliza vita vya Ghaza
Sep 09, 2025 07:34Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, Bassem Naim amesema, mapendekezo ya awali yaliyowasilishwa na Marekani lengo lake lilikuwa ni kutaka yakataliwe, na si kuweza kufikiwa makubaliano ya kumaliza vita, kuhakikisha vikosi vamizi vinaondoka kikamilifu huko Ghaza na kutekelezwa mabadilishano ya wafungwa.
-
Kwa nini UN imetoa wito wa kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya makundi ya kutetea haki za binadamu ya Palestina?
Sep 08, 2025 05:28Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, amekosoa vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya makundi ya kutetea haki za binadamu ya Palestina, na kutoa wito wa kuondolewa mara moja.
-
Je, China imejibu vipi tuhuma za Trump?
Sep 07, 2025 03:19Ikiwa ni katika kujibu madai ya Trump, China imetangaza kwamba kupanua ushirikiano wake na nchi nyingine sio tishio kwa nchi yoyote ya tatu.
-
Hasira za nchi za Magharibi kuhusu Mkutano wa Shanghai na mjumuiko wa madola yanayoibukia
Sep 06, 2025 08:32Viongozi wa Marekani na Umoja wa Ulaya wamekasirishwa na mkutano wa kilele wa Shanghai na mkusanyiko wa nchi hasimu za Magharibi
-
Trump abadilisha jina la wizara ya ulinzi ya Marekani, sasa itaitwa 'Wizara ya Vita'
Sep 06, 2025 02:48Rais Donald Trump wa Marekani ametia saini amri ya utekelezaji ya kubadilisha jina la wizara ya ulinzi ya nchi hiyo na kuwa 'Wizara ya Vita', jina ambalo litatumika katika taarifa zote za utendaji za serikali.
-
"Vikwazo vya Marekani, Ulaya vimeua watu milioni 38 tangu 1970"
Sep 04, 2025 04:12Tahariri iliyoandikwa na tovuti ya habari ya kanali ya televisheni ya al-Jazeera ya Qatar imekosoa muenendo wa nchi za Magharibi kutumia vikwazo kuziadhabu nchi zinazozitazama kama maadui; ikieleza kuwa, vikwazo vya Marekani na Umoja wa Ulaya vimeua watu zaidi ya milioni 38 kote duniani tangu 1970.
-
Marekani inafutilia nini katika kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran?
Sep 04, 2025 03:51Marekani imeweka vikwazo vipya ili kuzuia uuzaji nje wa mafuta ya Iran.