-
Wairani kuadhimisha Mapinduzi ya Kiislamu leo, sauti za Takbira zatanda kote nchini kuanzia jana usiku
Feb 10, 2023 23:36Wananchi wa Iran leo wanatarajiwa kushiriki kwa wingi katika maandamano ya maadhimisho ya miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kupiga nara dhidi ya Marekani na madola mengine ya kibeberu.