• Aliyeteka nyara ndege ya Misri ajisalimisha kwa polisi ya Cyprus

    Aliyeteka nyara ndege ya Misri ajisalimisha kwa polisi ya Cyprus

    Mar 29, 2016 10:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Cyprus imesema kuwa, Seifuddin Mustafa, raia wa Misri aliyeteka nyara ndege ya abiria ya EgyptAir hatimaye amejisalimisha kwa vyombo vya usalama katika uwanja wa ndege wa Larnaca nchini Cyprus, baada ya masaa sita ya utekaji nyara.